Dark | Light
# ![@weyanitvonline Avatar](https://lunarcrush.com/gi/w:26/cr:youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw.png) @weyanitvonline Weyani Tv

Weyani Tv posts on YouTube about zanzibar, tanzania, omo, leo the most. They currently have [------] followers and [--] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.

### Engagements: [------] [#](/creator/youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw/interactions)
![Engagements Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw/c:line/m:interactions.svg)

- [--] Year [------] +2,285,200%

### Mentions: [--] [#](/creator/youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw/posts_active)
![Mentions Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw/c:line/m:posts_active.svg)


### Followers: [------] [#](/creator/youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw/followers)
![Followers Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw/c:line/m:followers.svg)


### CreatorRank: [-------] [#](/creator/youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw/influencer_rank)
![CreatorRank Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:youtube::UClP8jEbN1w6KaJuU3SGbnaw/c:line/m:influencer_rank.svg)

### Social Influence

**Social category influence**
[travel destinations](/list/travel-destinations)  [countries](/list/countries)  [finance](/list/finance)  [currencies](/list/currencies)  [social networks](/list/social-networks)  [technology brands](/list/technology-brands) 

**Social topic influence**
[zanzibar](/topic/zanzibar) #44, [tanzania](/topic/tanzania), [omo](/topic/omo) #120, [leo](/topic/leo), [hii](/topic/hii), [bara](/topic/bara), [ipo](/topic/ipo), [sala](/topic/sala), [kwanza](/topic/kwanza), [ile](/topic/ile)

**Top accounts mentioned or mentioned by**
[@othmanmasoudothman](/creator/undefined) [@zanzibarkamilitv](/creator/undefined) [@samitungo](/creator/undefined)
### Top Social Posts
Top posts by engagements in the last [--] hours

"Jussa: Sisi hatumo kwenye harakati hizi kutafutiana ulwa kama wao tunaipigania nchi yetu Zanzibar Makamu mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Mhe. Ismail Jussa akihutubia wanachama katika mkutano wa kutoa taarifa kuhusu zoezi linaloendelea la Lusaka suluhu ya mgogoro wa kisiasa Zanzibar baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba [----]. Katika mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Majid Kiembesamaki kisiwani Unguja Jussa na viongozi wengine wa ngazi za juu wa chama hicho walizungumza na umma. Sikiliza alichokisema katika video hii na utupe maoni yako. weyanitv zanzibar pemba unguja weyanitv zanzibar"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=21H5tkO7onc)  2026-02-16T07:01Z 98K followers, [----] engagements


"Kinachoendelea kwenye mgogoro wa kisiasa Zanzibar OMO apasua jipu pwaa mambo hadharani. 📍Kiembesamaki Unguja Leo Feb [--] [----] Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Ndugu @othmanmasoudothman amesema mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mkwamo wa kisiasa Zanzibar yanaendelea. Ndugu Mwenyekiti amesisitiza kuwa ACT haishiriki kwa ajili ya kugawana madaraka bali kwa madhumuni ya kurekebisha kasoro za mfumo wa uchaguzi ulioleta mgogoro baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [----]. Amesema tangu Novemba [--] hadi Februari [--] vikao sita vimefanyika na msimamo wetu ni kuhakikisha haki ya kuchagua na kuchaguliwa"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=B2bns6u643c)  2026-02-15T18:47Z 98K followers, [----] engagements


"Lissu awarded IDU Award for Freedom [----] Vice Chairman of CHADEMA Tanzania and its presidential candidate for [----] elections Tundu Lissu has been awarded the [----] Freedom Award by the International Democratic Union"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=CzOKy7x41Dk)  2020-12-10T19:35Z 96.5K followers, 11.5K engagements


"OMO: Tuna GNU Zanzibar lakini ipo tu haifanyi yale yalokusidiwa Makamo Mwenyekiti wa ACT Zanzibar Mhe. Othman Masoud akizungumza katika mandala wa uchaguzi"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=2pFd9ioYY84)  2024-03-05T08:13Z [--] followers, [--] engagements


"Mwanzo mwisho ACT waeleza vituko vya uchaguzi mashaka ya ZEC bado yapo"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=XvOGA_SKQ4I)  2023-10-28T17:49Z 77.1K followers, [--] engagements


"OMO: Hayahalaliki yalokuwa haramu kama kigezo ni dini yetu Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akizungumza na waumini wa kiislamu Chakechake baada ya Sala ya Ijumaa kisiwani Pemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ZjR0WbO2mMo)  2026-02-14T19:52Z 98K followers, [---] engagements


"#live :🔴 MKUTANO WA KAMPENI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO BAMBI MPAPA #ACT #JUSSA #OMO25 @WeyaniTvonline @ZanzibarKamiliTV #live :🔴 MKUTANO WA KAMPENI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO BAMBI MPAPA #ACT #JUSSA #OMO25"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=UwBih7n1enQ)  2025-09-24T20:04Z 97.9K followers, 11.2K engagements


"OMO: KATIBA MPYA NI LAZIMA KAMA TUNATAKA KUREKEBISHA MAMBO NCHINI Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akihutubia wananchi kisiwani Pemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=VlIiWCQZwWg)  2026-02-13T07:46Z 98K followers, [----] engagements


"ACT WAFUNGUA MASHAURI MAPYA BAADA YA MAHAKAMA KUTUPILIA MBALI PINGAMIZI LAO LA KUCHOMWA NYARAKA Mwanasheria wa ACT Wazalendo Omar Said Shaaban akifafanua kuhusu uamuzi wa mahakama kutupilia mbali mashauri yao waloyafungua Mahakama Kuu Zanzibar. Amesema kuwa wabunge [--] wa chama hicho wamefungua mashauri mapya"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=561p7iAGi-g)  2026-02-15T07:32Z 98K followers, [---] engagements


"Jussa atoa ujumbe mzito Pemba kuhusu mwelekeo wa Zanzibar Makamo kwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Ismail Jussa akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama hicho Pemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=I-QZ8ErTsfI)  2026-02-14T14:08Z 98K followers, [----] engagements


"Mgogoro wa kisiasa Zanzibar wafika kwa wastaafu Babu Duni na marais wastaafu CCM wasaka suluhu Mwenyekiti mstaafu wa ACT Wazalendo Juma Duni Haji akielezea hatua zinazoendelea za kutafuta ufumbuzi wa mkwamo wa kisiasa Zanzibar uliotokana na wizi wa uchaguzi wa Oktoba [----]. Babu Duni alikutana na Azeem wastaafu waliokuwa Maraiswa Zanzibar kupitia CCM"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=bN0XWQsn7xM)  2026-02-16T09:00Z 98K followers, 11.2K engagements


"OMO: TUNAYAPIGANIA YOTE HADI HIYO MAHAKAMA KUU YA ZANZIBAR ILI IPATE UHURU WAKE"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=rCzNkPXOInU)  2026-02-15T10:01Z 98K followers, [----] engagements


"Mgogoro wa kisiasa Zanzibar wafika kwa wastaafu Babu Duni na marais wastaafu CCM wasaka suluhu Mwenyekiti mstaafu wa ACT Wazalendo Juma Duni Haji akielezea hatua zinazoendelea za kutafuta ufumbuzi wa mkwamo wa kisiasa Zanzibar uliotokana na wizi wa uchaguzi wa Oktoba [----]. Babu Duni alikutana na Azeem wastaafu waliokuwa Maraiswa Zanzibar kupitia CCM"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=bN0XWQsn7xM)  2026-02-16T09:00Z 98K followers, 11.2K engagements


"Jussa: Sisi hatumo kwenye harakati hizi kutafutiana ulwa kama wao tunaipigania nchi yetu Zanzibar Makamu mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Mhe. Ismail Jussa akihutubia wanachama katika mkutano wa kutoa taarifa kuhusu zoezi linaloendelea la Lusaka suluhu ya mgogoro wa kisiasa Zanzibar baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba [----]. Katika mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Majid Kiembesamaki kisiwani Unguja Jussa na viongozi wengine wa ngazi za juu wa chama hicho walizungumza na umma. Sikiliza alichokisema katika video hii na utupe maoni yako. weyanitv zanzibar pemba unguja weyanitv zanzibar"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=21H5tkO7onc)  2026-02-16T07:01Z 98K followers, [----] engagements


"Kinachoendelea kwenye mgogoro wa kisiasa Zanzibar OMO apasua jipu pwaa mambo hadharani. 📍Kiembesamaki Unguja Leo Feb [--] [----] Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Ndugu @othmanmasoudothman amesema mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mkwamo wa kisiasa Zanzibar yanaendelea. Ndugu Mwenyekiti amesisitiza kuwa ACT haishiriki kwa ajili ya kugawana madaraka bali kwa madhumuni ya kurekebisha kasoro za mfumo wa uchaguzi ulioleta mgogoro baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [----]. Amesema tangu Novemba [--] hadi Februari [--] vikao sita vimefanyika na msimamo wetu ni kuhakikisha haki ya kuchagua na kuchaguliwa"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=B2bns6u643c)  2026-02-15T18:47Z 98K followers, [----] engagements


"OMO: TUNAYAPIGANIA YOTE HADI HIYO MAHAKAMA KUU YA ZANZIBAR ILI IPATE UHURU WAKE"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=rCzNkPXOInU)  2026-02-15T10:01Z 98K followers, [----] engagements


"ACT WAFUNGUA MASHAURI MAPYA BAADA YA MAHAKAMA KUTUPILIA MBALI PINGAMIZI LAO LA KUCHOMWA NYARAKA Mwanasheria wa ACT Wazalendo Omar Said Shaaban akifafanua kuhusu uamuzi wa mahakama kutupilia mbali mashauri yao waloyafungua Mahakama Kuu Zanzibar. Amesema kuwa wabunge [--] wa chama hicho wamefungua mashauri mapya"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=561p7iAGi-g)  2026-02-15T07:32Z 98K followers, [---] engagements


"OMO: Hayahalaliki yalokuwa haramu kama kigezo ni dini yetu Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akizungumza na waumini wa kiislamu Chakechake baada ya Sala ya Ijumaa kisiwani Pemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ZjR0WbO2mMo)  2026-02-14T19:52Z 98K followers, [---] engagements


"Jussa atoa ujumbe mzito Pemba kuhusu mwelekeo wa Zanzibar Makamo kwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Ismail Jussa akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama hicho Pemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=I-QZ8ErTsfI)  2026-02-14T14:08Z 98K followers, [----] engagements


"OMO: KATIBA MPYA NI LAZIMA KAMA TUNATAKA KUREKEBISHA MAMBO NCHINI Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akihutubia wananchi kisiwani Pemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=VlIiWCQZwWg)  2026-02-13T07:46Z 98K followers, [----] engagements


"ACT WAIKAZIA KAMBA TUME YA SAMIA WASEMA HAWAIAMINI SABABU BAADHI YA WATUHUMIWA NDIYO WACHUNGUZAJI Makamu mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Bara Isihaka Mchinjita amesisitiza kuwa chama chake hakiitambui wala hakitatoa ushirikiano kwa Tume ya Kuchunguza mauwaj* ya wakati na baada ya Oktoba [--] mwaka [----] kwasababu chombo hicho kinaundwa na watu ambao wao ndiyo watuhumiwa. Baadhi yao ni aliyeunda time hiyo Rais Samia Suluhu na aliyekuwa waziri wa ulinzi wakati matukio hayo yanafanyika Stagomena Tax"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=XwWjGVya0QU)  2026-02-08T11:11Z 98K followers, [----] engagements


"ACT Wazalendo waijia juu ZEC kutaka kuzichoma nyaraka za uchaguzi Jussa asema ukweli hauchomeki CHAMA CHA ACT WAZALENDO CHALAANI NA KUPINGA MPANGO WA ZEC WA KUCHOMA USHAHIDI WA WIZI WA KURA ZANZIBAR [--] FEBRUARI [----] Wakati timu yetu ya Wanasheria ikiwa mbele ya Mahakama Kuu kuomba Kukagua na Kupata nyaraka muhimu za uchaguzi (Application for Discovery and Inspection) Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kupitia Mwenyekiti wake Jaji George Kazi jana tarehe [--] Februari [----] imetangaza bila aibu mpango wa kuteketeza nyaraka zote zilizotumika katika Uchaguzi Mkuu uliopita wa Oktoba [----]. Haki"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=6I6D-DorEN4)  2026-02-04T15:01Z 98K followers, 18.4K engagements


"ADO SHAIBU AWACHANA WABUNGE WANOHUBIRI AMANI BILA KUIZUNGUMZIA HAKI "Amani ni zao la haki na demokrasia. Bila demokrasia hakuna haki; bila haki hakuna amani na bila amani hakuna maendeleo. Hiyo ndiyo kanuni." - Mbunge wa Tunduru Kaskazini Mhe. Ado Shaibu Ado"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=J7FYWzjVk1k)  2026-01-31T11:00Z 98K followers, [---] engagements


"Mpina akataa kukutana na Tume ya Samia asema si chombo huru na kinafuata maagizo ya serikali Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Luhaga Mpina leo amekataa kukutana na Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [----]. Mpina amsema tune hiyo si chombo huru na kinafuata maagizo ya Serikali"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=cGyw0z8oJXU)  2026-01-31T09:24Z 98K followers, [----] engagements


"OMO AFUNGUKA KUHUSU GNU ASEMA HAWAPAPARIKI NA MADARAKA WANATAKA SULUHU YA KUDUMU Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud leo amejibu maswali ya wananchi Zanzibar kuhusu kuingia ama kutoingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Alisema na hapa tunamnukuu "Tunaendelea kwa dhati kupigania utulivu wa kweli amani ya kweli maridhiano ya kweli na suluhu ya kudumu wala si 'funika kombe'"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=9CW62SIARHE)  2026-01-30T17:14Z 98K followers, [----] engagements


"Uteuzi wa Dkt. Rahma Mahfoudh BOT wawatoa POVU Watanganyika Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Dkt. Rahma Salim Mahfoudh Ateuliwa Kuwa Naibu Gavana wa BOT Rais Samia ametangaza leo Januari [--] [----] kumteua Dkt. Rahma Salim Mahfoudh kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ambapo atasimamia masuala ya utawala na udhibiti wa ndani wa Benki Kuu. Kabla ya uteuzi huo Dkt Rahma Mahfoudh alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ikiwa ni takribani miezi miwili toka ateuliwe na Rais Hussein Mwinyi. Dkt Mahfoudh anakuwa mwanamke wa tatu kushika wadhifa wa Naibu"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=lqbFCouVAKc)  2026-01-30T08:44Z 98K followers, 23.2K engagements


"Mahakama Kuu Zanzibar yasalimu amri kwa Bara yasema haina uwezo wa kusikiliza kesi za ubunge za ACT Mahakama Kuu Zanzibar haina uwezo wa kusikiliza mashauri ya ubunge ya Zanzibar"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=s-w5xDshqk0)  2026-01-27T14:30Z 98K followers, 14K engagements


"ACT WAZALENDO WAFANYA KUMBUKUMBU YA MAUWAJI YA JANUARI [--] NA [--] ZANZIBAR"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=B--rBe6ycz8)  2026-01-27T13:47Z 98K followers, [---] engagements


"ACT LAZIMA WAINGIE SERIKALINI AU WANA HAKI YA KULIKATAA ZIGO LA MWIZI IPI HATMA YA GNU ZANZIBAR Mwanasheria wa ACT Wazalendo akifafanua suala la chama hicho kuingia au kutoingia katika serikali ya Umoja wa Kitaifa GNU. Hadi sasa hakuna Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar wala mawaziri kutoka chama cha upinzani ambacho ni ACT"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=V6lymYkJZ9A)  2026-01-26T16:29Z 98K followers, [----] engagements


"MANGE KIMAMBI AICHARUKIA TUME YA CHANDE ASEMA MASUALA MAZITO YALOIBULIWA NA WAATHIRIKA YAMEWAUMBUA Tume ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi iliyoundwa na Rais Samia Suluhu imewazuia waandishi wa habari kuhudhuria zoezi la ukusanyaji taarifa kutoka kwa wananchi. Tume hiyo inayoongozwa na Bw. Mohamed Chande imesema vikao vyake vya kukusanya maoni sasa vitakuwa faragha. Mange Kimambi mwanaharakati maarufu katika mitandao ya kijamii ameibuka na kusema kuwa hatua hiyo ni mbinu ya kuficha yanayosemwa na watu yasifike kwa umma. Sikiliza alichosema kwenye video hii"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=LSBlEPjgg5k)  2026-01-26T15:18Z 98K followers, [---] engagements


"MUMEWE ALIPIGWA RISASI YA INI HAKUWA KWENYE MAANDAMANO NA SABABU ZA KIFO WAKAANDIKA UTI WA MGONGO Veronica Lyimo anamlilia mumewe aliyepigwa risasi wakati wa maandamano ya Oktoba [--] na baada ya hapo nchini Tanzania yaliyofanyika mwaka [----]. Amebaki na maswali akijiuliza kwanini mumewe alikatishwa uhai wake kwa aina ile. DW Kiswahili imezungumza na Bi. Veronica kuhusu hali yake katika video hii"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=azO6wthZLEo)  2026-01-25T14:37Z 98K followers, [---] engagements


"Simulizi za kumbukumbu ya miaka [--] ya mauwaji ya Januari [----] Zanzibar*Kilichowapata waandamanaji Maandamano na mauwaji ni kitu ambacho kiko midomoni mwa Watanzania wengi tangu yatokee matujlkio ya aina hiyo Oktoba [--] na siku zilizofuata mwaka [----]. Lakini je wajua kuwa hilo si tukio la kwanza kufanyika katika ardhi ya Tanzania Mwezi huu wa Januari miaka [--] iliyopita kulifanyika pia mauwaji dhidi ya waanadamanji katika visiwa vya Zanzibar. Watu waliuawa kwa risasi kukamatwa kuwekwa vizuini na kupigwa vipigo ambavyo vilivyoacha alama kwenye miili na maisha yao. Said Miraji ni miongoni mwa"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=JJkYxO2ehCg)  2026-01-25T12:53Z 98K followers, [----] engagements


"Mauwaji ya Waandamanaji Zanzibar Januari 2001: Sababu zilezile miaka [--] baadae tangu yafanyike Maandamano na mauwaji ni kitu ambacho kiko midomoni mwa Watanzania wengi tangu yatokee matujlkio ya aina hiyo Oktoba [--] na siku zilizofuata mwaka [----]. Lakini je wajua kuwa hilo si tukio la kwanza kufanyika katika ardhi ya Tanzania Mwezi huu wa Januari miaka [--] iliyopita kulifanyika pia mauwaji dhidi ya waanadamanji katika visiwa vya Zanzibar. Watu waliuawa kwa risasi kukamatwa kuwekwa vizuini na kupigwa vipigo ambavyo vilivyoacha alama kwenye miili na maisha yao. Said Miraji ni miongoni mwa"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=RloAtZo2J0I)  2026-01-22T13:36Z 98K followers, [----] engagements


"ACT WAKATAA KUWA KICHAKA CHA KUHALALISHA UHARAMIA WA CCM KUPITIA GNU WAWAACHIA ZIGO LAO LA MWIZI "Uchaguzi Mkuu haukuwa huru wa haki na wa kuaminika. Serikali haina ridhaa ya wananchi. Hivyo basi uchaguzi mkuu unapaswa kurudiwa ili kuwapa Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka." Makamu Mwenyekiti ACT Bara-Isihaka Mchinjita akizungumzia maazimio ya Kamati Kuu ya chama hicho"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=eOsP2PzG3Mk)  2026-01-20T02:00Z 98K followers, 27.7K engagements


"Othman Masoud afunguka Dar aweka wazi namna walawala walivyo wabovu asema nchi haina mweleko Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Ndugu Othman Masoud Othman akiongoza Kikao cha Kamati Kuu kinachoendelea muda huu kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema Makao Makuu ya chama Magomeni DSM"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=nzLN5lNJNZ0)  2026-01-19T07:46Z 98K followers, 11.2K engagements


"Suala la Wazanzibari kuwasajili wenzao wa diaspora lamkera Maria Sarungi asema linakiuka muungano Maria Sarungi anasema masuala ya mambo ya nje no jambo la muungano kwanini Wazanzibari wamejianzishia mfumo wao wenyewe wa kuwasijili watu wao walioko ughaibuni ama diaspora Kizungumkuti cha muungano kinaendelea"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=PJ3MU-InN_M)  2026-01-19T04:00Z 98K followers, [----] engagements


"Kwanini Mahakama Kuu Zanzibar haiwezi kusikiliza kesi za Muungano"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=n4e0RT3CcFY)  2026-01-16T11:37Z 98K followers, [----] engagements


"ALI KARUME AIPASHA CCM ASEMA INALAZIMISHA KUTAWALA NA KUWA IPO SIKU WENYE HAKI YAO WATAAMUA Kada wa CCM Zanzibar Ali Karume amesema ubabe wa chama chake wa kupora chaguzi kila mara utasababisha matatizo visiwani humo. Ali Karume ameyasema hayo katika mahojiano ya DW Kiswahili. Amesema ile tabia ya CCM ya kusema ushindi ni lazima hata kama kura hazitoshi ni mchezo usio na manufaa kwa visiwa hivyo"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=5jezrBJc_Nc)  2026-01-12T16:09Z 98K followers, 11.7K engagements


"Samia na mwanae Wanu: Geuka wakuone vizuri Je ni kijembe kwa wanaosema kajaza familia serikalini Samia Suluhu akimtambulisha mwanawe Wanu Hafidhi ambaye ni Naibu waziri wa elimu katika serikali yake. Video hii imezua gumzo katika mitandao ya kijamii"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ZM_Pf5Aoozk)  2026-01-10T19:51Z 98K followers, [---] engagements


"Watanganyika walia Samia Suluhu 'anajaza' Wazanzibari kwenye serikali 'yao'-Je Muungano ni wa nani Mgongano wa hija umezuka baada ya Rais Samia Suluhu kumteua Ayoub Mohammed (kutoka Zanzibar) kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Watanganyika wanahoji kwanini wao hawapati teuzi kwenye serikali ya Zanzibar"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=2ucVSN2A33U)  2026-01-10T18:40Z 98K followers, 21.6K engagements


"Kipi kimemfanya Simbachawene atumbuliwe nafasi ya waziri wa mambo ya ndani Wadau wafunguka Katika mabadiliko madogo aliyoyafanya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Baraza lake la Mawaziri ni pamoja na kutengua uteuzi wa Boniface George Simbachawene ambae alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Nafasi yake hivi sasa imechukuliwa na Patrobas Paschal Katambi ambae awali alikuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara. Ripoti hii imekusanya baadhi ya maoni ya watu waliyoyatoa mitandaoni kuhusu kutumbukiwa kwa waziri huyo"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=sto6L0PI_Nc)  2026-01-09T12:56Z 98K followers, [---] engagements


"Mapinduzi ya Zanzibar: Usoyajua kuhusu walioshiriki kuipindua serikali ya Zanzibar Januari [--] [----] Mchambuzi na mwandishi wa masuala ya historia Tanzania sheikh Mohamed Said akichambua historia ya mapinduzi ya Zanzibar na mambo waloyagundua wakati wa utafiti wa kitabu cha Kwaheri Uhuru kwa heri ukoloni cha Dr. Harith Ghassany. Kama unataka kujifunza mengi zaidi tembelea chaneli ya YouTube ya Mohamed Said @samitungo . Video iliyotumika kwa ufafanuzi ni ya chaneli ya Mohamed Said. Leo tarehe [--] Januari [----] Mapinduzi ya Zanzibar yametimiza miaka 62"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=rSKCoOy6Ahw)  2026-01-07T11:03Z 98K followers, 11.5K engagements


"Bakwata yazidi kukataliwa na umma hoja za mashehe wake zapanguliwa Waislamu Tanganyika wameamka Uchambuzi kuhusu nafasi ya Bakwata Kwa waislamu wa Tanganyika. Bakwata amekiwa ikijinadi na kupendelewa na mamlaka kama chombo pekee cha kutetea maslahi ya Waislamu Tanzania Bara. Lakini upepo umegeuka baada ya Mahakama Kuu kusema kuwa chombo hicho si mwakilishi wa Waislamu wote wa Tanzania. Ripoti hii imeandaliwa kwa masada wa video kutoka vyombo mbalimbali ikiwemo Jambo TV"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=-9uJ2iK9o6E)  2026-01-05T11:48Z 98K followers, [----] engagements


"OMO atoa somo kwa wahubiri amani ambao ndio vinara wa kuivuruga amani hiyo kwa ajili ya kipato Mweyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud aliwahitubia waumini wa dininya kiislamu Bwejuu Kusini Unguja"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=zX9PQ_AUT-g)  2026-01-03T13:42Z 98K followers, [----] engagements


"Ajali ya Shilole yaonyesha Watanzania wana maumivu mioyoni umma watoa pole kwa ng'ombe na gari🙆🏾 Shilole leo apata ajali Dodoma akitokea mkoani Kogoma. Watanzania watoa maoni yao mitandano kuhusu ajali hiyo. Wengi wampa pole ng'ombe aliyegongwa na gari hilo na kumkaushia Shilole. Haya ni majibu kwa wasanii na watu watu maarufu ambao wananchi wanawaona kama wasaliti waliochagua upande wa watawala hata pale ambapo watawala hair wanakosea na kukiuka haki za umma. Maoni na uchambuzi kuhusu mioyo wa Watanzania"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=J2MW19xl84M)  2026-01-03T11:54Z 98K followers, [----] engagements


"Mange aibuka na mpya [----] ahoji uhalali wa maridhiano yalosemwa na Rais Samia Mange Kimambi akitoa salamu za mwaka mpya wa [----] kwa Watanzania. Amegusia na kuhoji baashi ya mambo yalosemwa na Rais Samia katika hotuba yake ya mwaka mpya"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=P7IEfiGgdlI)  2026-01-01T14:14Z 98K followers, [---] engagements


"Je Watanganyika wataandamana Januari mosi Wadau wafunguka mitandaoni wasema hawakati tamaa Mjadala kuhusu mustakabali wa Tanzania na vuguvugu la maandamano yasiyo na kikomo Tanzania"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=2LkowWJEaOc)  2025-12-31T20:30Z 98K followers, [---] engagements


"Hotuba ya Samia Suluhu leo azungumzia kilichoikumba Tanzania na kutaka watu walinde amani Hotuba ya Samia Suluhu Leo kuuaga mwaka [----] na kuukaribisha mwaka 2026"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=dvF4ht9EPIo)  2025-12-31T19:21Z 98K followers, [----] engagements


"USIYOYAJUA KUHUSU BAKWATA KABLA YA KUJIVIKA KOTI LA UWAKILISHI WA WAISLAMU WA TANGANYIKA Mchambuzi wa masuala ya historia na mwandishi wa vitabu bwana Mohamed Said akichambua historia ya taasisi za kiislamu kabla ya Bakwata. Swali ni kwanini serikali ya Nyerere iliivunja East African Muslim Welfare Society"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=xQ31pr9F8tQ)  2025-12-31T13:24Z 98K followers, [----] engagements


"MJADALA:KWANINI WAISLAMU WANAIKATAA BAKWATA JE IPO KWA AJILI YA NANI WADAU WAFUNGUKA USIYOYAJUA Mjadala kuhusu uwakilishi wa Baraza la Waislamu Tanzania BAKWATA na dhima yake katika jamii. Waislamu wengi nchini Tanzania hawajinasibishi na chombo hicho wakiamini kuwa hakipo kwa ajili ya maslahi yao. Sikiliza mjadala kuhusu muundo wa chombo hicho"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=s-ek3BHo9O4)  2025-12-26T03:01Z 98K followers, 11.8K engagements


"Boniface Jacob (Boniyai) afunguka mazito kuhusu urais wa Samia Suluhu Tume ya Uchunguzi na mengine Sehemu ya mahojiano ya Meya wa zamani wa Ubungo kwa tiketi ya Chadema Boniface Jacob alimaarufu Boniyai"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=d-kVkuO8UV0)  2025-12-25T14:40Z 98K followers, 17.6K engagements


"Waislamu wafunguka baada ya mahakama kusema BAKWATA si chombo cha Waislamu wote Watu mbalimbali wametoa maoni Yao baada ya mahakama kuu ya Tanzania kutoa uamuzi unaosema kuwa Bakwata si chombo kinachowakilisha waislam wote"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=LD2uaOMvve8)  2025-12-25T12:17Z 98K followers, [----] engagements


"Uchambuzi kuhusu alichokisema Jaji Warioba Je kwanini sasa na lengo ni nini Jaji mstaafu Joseph Warioba amezungumza hivi karibuni katika mahojiano na mwandishi wa habari Manyerere Jackton wa Jamhuri na kusema mambo kadhaa ambayo yamezua gumzo huko mitandaoni. Mchambuzi wa masuala ya siasa na uchumi bwana Gwandumi Mwakatobe anachambua uamuzi wa Jaji Warioba kuzungumza. Mwakatobe alifanyiwa mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=7Veq2mP_khs)  2025-12-24T09:23Z 98K followers, [----] engagements


"Jaji Warioba afunguka mazito azungumzia mauwaji udini na mpasuko kwenye vyombo vya ulinzi Tanzania Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba amezungumzia namna mambo yanavyoendeshwa kiholela nchini Tanzania. Jaji Warioba amekosoa pia namna serikali ilivyofanya mambo yake baada ya kutokea maandamano ya Oktoba [--]. Jaji Warioba ameyasema hayo katika mahojiano ya ana kwa ana na mwandishi wa habari wa Jamhuri bwana Manyerere Jackton. Sikiliza baadhi ya mambo aliyoyasema katika ripoti hii"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=3WbNk3EzX-k)  2025-12-23T09:07Z 98K followers, 19.1K engagements


"Mhe. Othman Masoud: Nchi yenye watu wenye dini lakini matendo yao hayafanani na mafunzo ya dini Leo Disemba [--] [----] nimejumuika na Waumini wenzangu wa Kiislamu katika Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Masjid Taqwa uliopo kijiji cha Maziwani Jimbo la Pandani Mkoa wa Kaskazini Pemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=xvCwrGfIyEs)  2025-12-20T11:30Z 98K followers, [----] engagements


"Bibi aibuka tena na ujumbe mwingine ataka mabadiliko uwepo utawala wa haki kwa wote Bibi huyu amejipatia umaarufu mitandaoni kwa kutoa ujumbe kwa viongozi tangu yatokee maandamano na mauwaj* siku na baada ya uchaguzi wa Oktoba [--] nchini Tanzania. Sikiliza maoni na ujumbe wake mpya katika video yake inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=iQ7t0p3e7mc)  2025-12-20T09:01Z 98K followers, [---] engagements


"Bavicha yamwambia Rais Samia kuwa hakuna damu inayomwagika bure yakosoa kauli zake kuhusu mauwaj* Baraza la vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema limetoa tamko kuhusu mauwaji yaliyofanyika siku na baada ya uchaguzi wa tarehe [--] Oktoba mwaka huu likiitaka serikali kuwapa watu miili ya ndugu zao waliouwawa na vyombo vya dola ili wakaizike. Pamoja na hayo Bavicha imelaani kauli za Rais Samia alizozitoa kuhusiana na mauwaji hayo wakati alipozungumza na baadhi ya wazee wa Dar ea salaam. Katibu Mkuu wa Bavicha Taifa bwana Dua Liyamzito anafafanua zaidi katika taarifa yake aliyoitoa"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Urg19S38pUo)  2025-12-20T07:48Z 98K followers, 10.7K engagements


"Mange amjibu Mwigulu Nchemba afunguka mengi kwenye majibu hayo Mange Kimambi akijibu hija za Mwigulu Nchemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=cumuRtWxJLQ)  2025-12-19T10:15Z 98K followers, 13.3K engagements


"KAULI YA NCHEMBA KUHUSU WALIOUWAW* OKTOBA YAZUA GUMZO WADAU WASEMA NI KUWADHIHAKI WALIOKUFA Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba anazungumza na wakazi wa Uyole mkoani Mbeya. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu yupo mkoani Mbeya kwa Ziara ya Kikazi ya kukagua Miundombinu ya Umma na Mali Binafsi zilizoathiriwa na Virugu zilizotokea Oktoba [--] 2025"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=UZuPPclKZAw)  2025-12-19T09:11Z 98K followers, [---] engagements


"DUNIA NZIMA INAJUA KUWA WAZANZIBARI WAMEIKATAA CCM CCM HAINA CHAKE ZANZIBAR - OMO Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akiwa Shumba mjini Pemba"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=xs7DaIfko4k)  2025-12-17T13:35Z 98K followers, [----] engagements


"OMO: UOVU NI UOVU LAZIMA UKEMEWE TUSITUMIE SIASA KUHALALISHA DHULMA Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud Othman akizungumzia wajibu wa kukatazana mabaya katika jamii akiwa visiwani Zanzibar"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=DjENumFNblg)  2025-12-17T11:46Z 98K followers, [----] engagements


"Mtoto wa Ali Kibao:Hakuna anayestahiki kuuwaw* kinyama namna ile tunataka familia nyingine isipitie Kwa mara nyingine mtoto wa marehemu Ali Kibao aitwaye Mohammed Ali Kibao amezungumzia juhudi za kusaka haki ya baba yake aliyeuwaw* mwezi September mwaka [----]. Haya ni sehemu tu ya maelezo yake katika mahojiano na chombo cha habari cha The Chanzo"  
[YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=OBtanl3RCpE)  2025-12-17T10:15Z 98K followers, [---] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@weyanitvonline Avatar @weyanitvonline Weyani Tv

Weyani Tv posts on YouTube about zanzibar, tanzania, omo, leo the most. They currently have [------] followers and [--] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [------] #

Engagements Line Chart

  • [--] Year [------] +2,285,200%

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

Followers: [------] #

Followers Line Chart

CreatorRank: [-------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence travel destinations countries finance currencies social networks technology brands

Social topic influence zanzibar #44, tanzania, omo #120, leo, hii, bara, ipo, sala, kwanza, ile

Top accounts mentioned or mentioned by @othmanmasoudothman @zanzibarkamilitv @samitungo

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"Jussa: Sisi hatumo kwenye harakati hizi kutafutiana ulwa kama wao tunaipigania nchi yetu Zanzibar Makamu mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Mhe. Ismail Jussa akihutubia wanachama katika mkutano wa kutoa taarifa kuhusu zoezi linaloendelea la Lusaka suluhu ya mgogoro wa kisiasa Zanzibar baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba [----]. Katika mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Majid Kiembesamaki kisiwani Unguja Jussa na viongozi wengine wa ngazi za juu wa chama hicho walizungumza na umma. Sikiliza alichokisema katika video hii na utupe maoni yako. weyanitv zanzibar pemba unguja weyanitv zanzibar"
YouTube Link 2026-02-16T07:01Z 98K followers, [----] engagements

"Kinachoendelea kwenye mgogoro wa kisiasa Zanzibar OMO apasua jipu pwaa mambo hadharani. 📍Kiembesamaki Unguja Leo Feb [--] [----] Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Ndugu @othmanmasoudothman amesema mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mkwamo wa kisiasa Zanzibar yanaendelea. Ndugu Mwenyekiti amesisitiza kuwa ACT haishiriki kwa ajili ya kugawana madaraka bali kwa madhumuni ya kurekebisha kasoro za mfumo wa uchaguzi ulioleta mgogoro baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [----]. Amesema tangu Novemba [--] hadi Februari [--] vikao sita vimefanyika na msimamo wetu ni kuhakikisha haki ya kuchagua na kuchaguliwa"
YouTube Link 2026-02-15T18:47Z 98K followers, [----] engagements

"Lissu awarded IDU Award for Freedom [----] Vice Chairman of CHADEMA Tanzania and its presidential candidate for [----] elections Tundu Lissu has been awarded the [----] Freedom Award by the International Democratic Union"
YouTube Link 2020-12-10T19:35Z 96.5K followers, 11.5K engagements

"OMO: Tuna GNU Zanzibar lakini ipo tu haifanyi yale yalokusidiwa Makamo Mwenyekiti wa ACT Zanzibar Mhe. Othman Masoud akizungumza katika mandala wa uchaguzi"
YouTube Link 2024-03-05T08:13Z [--] followers, [--] engagements

"Mwanzo mwisho ACT waeleza vituko vya uchaguzi mashaka ya ZEC bado yapo"
YouTube Link 2023-10-28T17:49Z 77.1K followers, [--] engagements

"OMO: Hayahalaliki yalokuwa haramu kama kigezo ni dini yetu Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akizungumza na waumini wa kiislamu Chakechake baada ya Sala ya Ijumaa kisiwani Pemba"
YouTube Link 2026-02-14T19:52Z 98K followers, [---] engagements

"#live :🔴 MKUTANO WA KAMPENI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO BAMBI MPAPA #ACT #JUSSA #OMO25 @WeyaniTvonline @ZanzibarKamiliTV #live :🔴 MKUTANO WA KAMPENI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO BAMBI MPAPA #ACT #JUSSA #OMO25"
YouTube Link 2025-09-24T20:04Z 97.9K followers, 11.2K engagements

"OMO: KATIBA MPYA NI LAZIMA KAMA TUNATAKA KUREKEBISHA MAMBO NCHINI Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akihutubia wananchi kisiwani Pemba"
YouTube Link 2026-02-13T07:46Z 98K followers, [----] engagements

"ACT WAFUNGUA MASHAURI MAPYA BAADA YA MAHAKAMA KUTUPILIA MBALI PINGAMIZI LAO LA KUCHOMWA NYARAKA Mwanasheria wa ACT Wazalendo Omar Said Shaaban akifafanua kuhusu uamuzi wa mahakama kutupilia mbali mashauri yao waloyafungua Mahakama Kuu Zanzibar. Amesema kuwa wabunge [--] wa chama hicho wamefungua mashauri mapya"
YouTube Link 2026-02-15T07:32Z 98K followers, [---] engagements

"Jussa atoa ujumbe mzito Pemba kuhusu mwelekeo wa Zanzibar Makamo kwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Ismail Jussa akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama hicho Pemba"
YouTube Link 2026-02-14T14:08Z 98K followers, [----] engagements

"Mgogoro wa kisiasa Zanzibar wafika kwa wastaafu Babu Duni na marais wastaafu CCM wasaka suluhu Mwenyekiti mstaafu wa ACT Wazalendo Juma Duni Haji akielezea hatua zinazoendelea za kutafuta ufumbuzi wa mkwamo wa kisiasa Zanzibar uliotokana na wizi wa uchaguzi wa Oktoba [----]. Babu Duni alikutana na Azeem wastaafu waliokuwa Maraiswa Zanzibar kupitia CCM"
YouTube Link 2026-02-16T09:00Z 98K followers, 11.2K engagements

"OMO: TUNAYAPIGANIA YOTE HADI HIYO MAHAKAMA KUU YA ZANZIBAR ILI IPATE UHURU WAKE"
YouTube Link 2026-02-15T10:01Z 98K followers, [----] engagements

"Mgogoro wa kisiasa Zanzibar wafika kwa wastaafu Babu Duni na marais wastaafu CCM wasaka suluhu Mwenyekiti mstaafu wa ACT Wazalendo Juma Duni Haji akielezea hatua zinazoendelea za kutafuta ufumbuzi wa mkwamo wa kisiasa Zanzibar uliotokana na wizi wa uchaguzi wa Oktoba [----]. Babu Duni alikutana na Azeem wastaafu waliokuwa Maraiswa Zanzibar kupitia CCM"
YouTube Link 2026-02-16T09:00Z 98K followers, 11.2K engagements

"Jussa: Sisi hatumo kwenye harakati hizi kutafutiana ulwa kama wao tunaipigania nchi yetu Zanzibar Makamu mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Mhe. Ismail Jussa akihutubia wanachama katika mkutano wa kutoa taarifa kuhusu zoezi linaloendelea la Lusaka suluhu ya mgogoro wa kisiasa Zanzibar baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba [----]. Katika mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Majid Kiembesamaki kisiwani Unguja Jussa na viongozi wengine wa ngazi za juu wa chama hicho walizungumza na umma. Sikiliza alichokisema katika video hii na utupe maoni yako. weyanitv zanzibar pemba unguja weyanitv zanzibar"
YouTube Link 2026-02-16T07:01Z 98K followers, [----] engagements

"Kinachoendelea kwenye mgogoro wa kisiasa Zanzibar OMO apasua jipu pwaa mambo hadharani. 📍Kiembesamaki Unguja Leo Feb [--] [----] Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Ndugu @othmanmasoudothman amesema mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mkwamo wa kisiasa Zanzibar yanaendelea. Ndugu Mwenyekiti amesisitiza kuwa ACT haishiriki kwa ajili ya kugawana madaraka bali kwa madhumuni ya kurekebisha kasoro za mfumo wa uchaguzi ulioleta mgogoro baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [----]. Amesema tangu Novemba [--] hadi Februari [--] vikao sita vimefanyika na msimamo wetu ni kuhakikisha haki ya kuchagua na kuchaguliwa"
YouTube Link 2026-02-15T18:47Z 98K followers, [----] engagements

"OMO: TUNAYAPIGANIA YOTE HADI HIYO MAHAKAMA KUU YA ZANZIBAR ILI IPATE UHURU WAKE"
YouTube Link 2026-02-15T10:01Z 98K followers, [----] engagements

"ACT WAFUNGUA MASHAURI MAPYA BAADA YA MAHAKAMA KUTUPILIA MBALI PINGAMIZI LAO LA KUCHOMWA NYARAKA Mwanasheria wa ACT Wazalendo Omar Said Shaaban akifafanua kuhusu uamuzi wa mahakama kutupilia mbali mashauri yao waloyafungua Mahakama Kuu Zanzibar. Amesema kuwa wabunge [--] wa chama hicho wamefungua mashauri mapya"
YouTube Link 2026-02-15T07:32Z 98K followers, [---] engagements

"OMO: Hayahalaliki yalokuwa haramu kama kigezo ni dini yetu Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akizungumza na waumini wa kiislamu Chakechake baada ya Sala ya Ijumaa kisiwani Pemba"
YouTube Link 2026-02-14T19:52Z 98K followers, [---] engagements

"Jussa atoa ujumbe mzito Pemba kuhusu mwelekeo wa Zanzibar Makamo kwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Ismail Jussa akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama hicho Pemba"
YouTube Link 2026-02-14T14:08Z 98K followers, [----] engagements

"OMO: KATIBA MPYA NI LAZIMA KAMA TUNATAKA KUREKEBISHA MAMBO NCHINI Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akihutubia wananchi kisiwani Pemba"
YouTube Link 2026-02-13T07:46Z 98K followers, [----] engagements

"ACT WAIKAZIA KAMBA TUME YA SAMIA WASEMA HAWAIAMINI SABABU BAADHI YA WATUHUMIWA NDIYO WACHUNGUZAJI Makamu mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Bara Isihaka Mchinjita amesisitiza kuwa chama chake hakiitambui wala hakitatoa ushirikiano kwa Tume ya Kuchunguza mauwaj* ya wakati na baada ya Oktoba [--] mwaka [----] kwasababu chombo hicho kinaundwa na watu ambao wao ndiyo watuhumiwa. Baadhi yao ni aliyeunda time hiyo Rais Samia Suluhu na aliyekuwa waziri wa ulinzi wakati matukio hayo yanafanyika Stagomena Tax"
YouTube Link 2026-02-08T11:11Z 98K followers, [----] engagements

"ACT Wazalendo waijia juu ZEC kutaka kuzichoma nyaraka za uchaguzi Jussa asema ukweli hauchomeki CHAMA CHA ACT WAZALENDO CHALAANI NA KUPINGA MPANGO WA ZEC WA KUCHOMA USHAHIDI WA WIZI WA KURA ZANZIBAR [--] FEBRUARI [----] Wakati timu yetu ya Wanasheria ikiwa mbele ya Mahakama Kuu kuomba Kukagua na Kupata nyaraka muhimu za uchaguzi (Application for Discovery and Inspection) Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kupitia Mwenyekiti wake Jaji George Kazi jana tarehe [--] Februari [----] imetangaza bila aibu mpango wa kuteketeza nyaraka zote zilizotumika katika Uchaguzi Mkuu uliopita wa Oktoba [----]. Haki"
YouTube Link 2026-02-04T15:01Z 98K followers, 18.4K engagements

"ADO SHAIBU AWACHANA WABUNGE WANOHUBIRI AMANI BILA KUIZUNGUMZIA HAKI "Amani ni zao la haki na demokrasia. Bila demokrasia hakuna haki; bila haki hakuna amani na bila amani hakuna maendeleo. Hiyo ndiyo kanuni." - Mbunge wa Tunduru Kaskazini Mhe. Ado Shaibu Ado"
YouTube Link 2026-01-31T11:00Z 98K followers, [---] engagements

"Mpina akataa kukutana na Tume ya Samia asema si chombo huru na kinafuata maagizo ya serikali Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Luhaga Mpina leo amekataa kukutana na Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [----]. Mpina amsema tune hiyo si chombo huru na kinafuata maagizo ya Serikali"
YouTube Link 2026-01-31T09:24Z 98K followers, [----] engagements

"OMO AFUNGUKA KUHUSU GNU ASEMA HAWAPAPARIKI NA MADARAKA WANATAKA SULUHU YA KUDUMU Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud leo amejibu maswali ya wananchi Zanzibar kuhusu kuingia ama kutoingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar. Alisema na hapa tunamnukuu "Tunaendelea kwa dhati kupigania utulivu wa kweli amani ya kweli maridhiano ya kweli na suluhu ya kudumu wala si 'funika kombe'"
YouTube Link 2026-01-30T17:14Z 98K followers, [----] engagements

"Uteuzi wa Dkt. Rahma Mahfoudh BOT wawatoa POVU Watanganyika Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Dkt. Rahma Salim Mahfoudh Ateuliwa Kuwa Naibu Gavana wa BOT Rais Samia ametangaza leo Januari [--] [----] kumteua Dkt. Rahma Salim Mahfoudh kuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ambapo atasimamia masuala ya utawala na udhibiti wa ndani wa Benki Kuu. Kabla ya uteuzi huo Dkt Rahma Mahfoudh alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ikiwa ni takribani miezi miwili toka ateuliwe na Rais Hussein Mwinyi. Dkt Mahfoudh anakuwa mwanamke wa tatu kushika wadhifa wa Naibu"
YouTube Link 2026-01-30T08:44Z 98K followers, 23.2K engagements

"Mahakama Kuu Zanzibar yasalimu amri kwa Bara yasema haina uwezo wa kusikiliza kesi za ubunge za ACT Mahakama Kuu Zanzibar haina uwezo wa kusikiliza mashauri ya ubunge ya Zanzibar"
YouTube Link 2026-01-27T14:30Z 98K followers, 14K engagements

"ACT WAZALENDO WAFANYA KUMBUKUMBU YA MAUWAJI YA JANUARI [--] NA [--] ZANZIBAR"
YouTube Link 2026-01-27T13:47Z 98K followers, [---] engagements

"ACT LAZIMA WAINGIE SERIKALINI AU WANA HAKI YA KULIKATAA ZIGO LA MWIZI IPI HATMA YA GNU ZANZIBAR Mwanasheria wa ACT Wazalendo akifafanua suala la chama hicho kuingia au kutoingia katika serikali ya Umoja wa Kitaifa GNU. Hadi sasa hakuna Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar wala mawaziri kutoka chama cha upinzani ambacho ni ACT"
YouTube Link 2026-01-26T16:29Z 98K followers, [----] engagements

"MANGE KIMAMBI AICHARUKIA TUME YA CHANDE ASEMA MASUALA MAZITO YALOIBULIWA NA WAATHIRIKA YAMEWAUMBUA Tume ya Kuchunguza Matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi iliyoundwa na Rais Samia Suluhu imewazuia waandishi wa habari kuhudhuria zoezi la ukusanyaji taarifa kutoka kwa wananchi. Tume hiyo inayoongozwa na Bw. Mohamed Chande imesema vikao vyake vya kukusanya maoni sasa vitakuwa faragha. Mange Kimambi mwanaharakati maarufu katika mitandao ya kijamii ameibuka na kusema kuwa hatua hiyo ni mbinu ya kuficha yanayosemwa na watu yasifike kwa umma. Sikiliza alichosema kwenye video hii"
YouTube Link 2026-01-26T15:18Z 98K followers, [---] engagements

"MUMEWE ALIPIGWA RISASI YA INI HAKUWA KWENYE MAANDAMANO NA SABABU ZA KIFO WAKAANDIKA UTI WA MGONGO Veronica Lyimo anamlilia mumewe aliyepigwa risasi wakati wa maandamano ya Oktoba [--] na baada ya hapo nchini Tanzania yaliyofanyika mwaka [----]. Amebaki na maswali akijiuliza kwanini mumewe alikatishwa uhai wake kwa aina ile. DW Kiswahili imezungumza na Bi. Veronica kuhusu hali yake katika video hii"
YouTube Link 2026-01-25T14:37Z 98K followers, [---] engagements

"Simulizi za kumbukumbu ya miaka [--] ya mauwaji ya Januari [----] Zanzibar*Kilichowapata waandamanaji Maandamano na mauwaji ni kitu ambacho kiko midomoni mwa Watanzania wengi tangu yatokee matujlkio ya aina hiyo Oktoba [--] na siku zilizofuata mwaka [----]. Lakini je wajua kuwa hilo si tukio la kwanza kufanyika katika ardhi ya Tanzania Mwezi huu wa Januari miaka [--] iliyopita kulifanyika pia mauwaji dhidi ya waanadamanji katika visiwa vya Zanzibar. Watu waliuawa kwa risasi kukamatwa kuwekwa vizuini na kupigwa vipigo ambavyo vilivyoacha alama kwenye miili na maisha yao. Said Miraji ni miongoni mwa"
YouTube Link 2026-01-25T12:53Z 98K followers, [----] engagements

"Mauwaji ya Waandamanaji Zanzibar Januari 2001: Sababu zilezile miaka [--] baadae tangu yafanyike Maandamano na mauwaji ni kitu ambacho kiko midomoni mwa Watanzania wengi tangu yatokee matujlkio ya aina hiyo Oktoba [--] na siku zilizofuata mwaka [----]. Lakini je wajua kuwa hilo si tukio la kwanza kufanyika katika ardhi ya Tanzania Mwezi huu wa Januari miaka [--] iliyopita kulifanyika pia mauwaji dhidi ya waanadamanji katika visiwa vya Zanzibar. Watu waliuawa kwa risasi kukamatwa kuwekwa vizuini na kupigwa vipigo ambavyo vilivyoacha alama kwenye miili na maisha yao. Said Miraji ni miongoni mwa"
YouTube Link 2026-01-22T13:36Z 98K followers, [----] engagements

"ACT WAKATAA KUWA KICHAKA CHA KUHALALISHA UHARAMIA WA CCM KUPITIA GNU WAWAACHIA ZIGO LAO LA MWIZI "Uchaguzi Mkuu haukuwa huru wa haki na wa kuaminika. Serikali haina ridhaa ya wananchi. Hivyo basi uchaguzi mkuu unapaswa kurudiwa ili kuwapa Watanzania haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka." Makamu Mwenyekiti ACT Bara-Isihaka Mchinjita akizungumzia maazimio ya Kamati Kuu ya chama hicho"
YouTube Link 2026-01-20T02:00Z 98K followers, 27.7K engagements

"Othman Masoud afunguka Dar aweka wazi namna walawala walivyo wabovu asema nchi haina mweleko Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Ndugu Othman Masoud Othman akiongoza Kikao cha Kamati Kuu kinachoendelea muda huu kwenye Ukumbi wa Hakainde Hichilema Makao Makuu ya chama Magomeni DSM"
YouTube Link 2026-01-19T07:46Z 98K followers, 11.2K engagements

"Suala la Wazanzibari kuwasajili wenzao wa diaspora lamkera Maria Sarungi asema linakiuka muungano Maria Sarungi anasema masuala ya mambo ya nje no jambo la muungano kwanini Wazanzibari wamejianzishia mfumo wao wenyewe wa kuwasijili watu wao walioko ughaibuni ama diaspora Kizungumkuti cha muungano kinaendelea"
YouTube Link 2026-01-19T04:00Z 98K followers, [----] engagements

"Kwanini Mahakama Kuu Zanzibar haiwezi kusikiliza kesi za Muungano"
YouTube Link 2026-01-16T11:37Z 98K followers, [----] engagements

"ALI KARUME AIPASHA CCM ASEMA INALAZIMISHA KUTAWALA NA KUWA IPO SIKU WENYE HAKI YAO WATAAMUA Kada wa CCM Zanzibar Ali Karume amesema ubabe wa chama chake wa kupora chaguzi kila mara utasababisha matatizo visiwani humo. Ali Karume ameyasema hayo katika mahojiano ya DW Kiswahili. Amesema ile tabia ya CCM ya kusema ushindi ni lazima hata kama kura hazitoshi ni mchezo usio na manufaa kwa visiwa hivyo"
YouTube Link 2026-01-12T16:09Z 98K followers, 11.7K engagements

"Samia na mwanae Wanu: Geuka wakuone vizuri Je ni kijembe kwa wanaosema kajaza familia serikalini Samia Suluhu akimtambulisha mwanawe Wanu Hafidhi ambaye ni Naibu waziri wa elimu katika serikali yake. Video hii imezua gumzo katika mitandao ya kijamii"
YouTube Link 2026-01-10T19:51Z 98K followers, [---] engagements

"Watanganyika walia Samia Suluhu 'anajaza' Wazanzibari kwenye serikali 'yao'-Je Muungano ni wa nani Mgongano wa hija umezuka baada ya Rais Samia Suluhu kumteua Ayoub Mohammed (kutoka Zanzibar) kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Watanganyika wanahoji kwanini wao hawapati teuzi kwenye serikali ya Zanzibar"
YouTube Link 2026-01-10T18:40Z 98K followers, 21.6K engagements

"Kipi kimemfanya Simbachawene atumbuliwe nafasi ya waziri wa mambo ya ndani Wadau wafunguka Katika mabadiliko madogo aliyoyafanya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Baraza lake la Mawaziri ni pamoja na kutengua uteuzi wa Boniface George Simbachawene ambae alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Nafasi yake hivi sasa imechukuliwa na Patrobas Paschal Katambi ambae awali alikuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara. Ripoti hii imekusanya baadhi ya maoni ya watu waliyoyatoa mitandaoni kuhusu kutumbukiwa kwa waziri huyo"
YouTube Link 2026-01-09T12:56Z 98K followers, [---] engagements

"Mapinduzi ya Zanzibar: Usoyajua kuhusu walioshiriki kuipindua serikali ya Zanzibar Januari [--] [----] Mchambuzi na mwandishi wa masuala ya historia Tanzania sheikh Mohamed Said akichambua historia ya mapinduzi ya Zanzibar na mambo waloyagundua wakati wa utafiti wa kitabu cha Kwaheri Uhuru kwa heri ukoloni cha Dr. Harith Ghassany. Kama unataka kujifunza mengi zaidi tembelea chaneli ya YouTube ya Mohamed Said @samitungo . Video iliyotumika kwa ufafanuzi ni ya chaneli ya Mohamed Said. Leo tarehe [--] Januari [----] Mapinduzi ya Zanzibar yametimiza miaka 62"
YouTube Link 2026-01-07T11:03Z 98K followers, 11.5K engagements

"Bakwata yazidi kukataliwa na umma hoja za mashehe wake zapanguliwa Waislamu Tanganyika wameamka Uchambuzi kuhusu nafasi ya Bakwata Kwa waislamu wa Tanganyika. Bakwata amekiwa ikijinadi na kupendelewa na mamlaka kama chombo pekee cha kutetea maslahi ya Waislamu Tanzania Bara. Lakini upepo umegeuka baada ya Mahakama Kuu kusema kuwa chombo hicho si mwakilishi wa Waislamu wote wa Tanzania. Ripoti hii imeandaliwa kwa masada wa video kutoka vyombo mbalimbali ikiwemo Jambo TV"
YouTube Link 2026-01-05T11:48Z 98K followers, [----] engagements

"OMO atoa somo kwa wahubiri amani ambao ndio vinara wa kuivuruga amani hiyo kwa ajili ya kipato Mweyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud aliwahitubia waumini wa dininya kiislamu Bwejuu Kusini Unguja"
YouTube Link 2026-01-03T13:42Z 98K followers, [----] engagements

"Ajali ya Shilole yaonyesha Watanzania wana maumivu mioyoni umma watoa pole kwa ng'ombe na gari🙆🏾 Shilole leo apata ajali Dodoma akitokea mkoani Kogoma. Watanzania watoa maoni yao mitandano kuhusu ajali hiyo. Wengi wampa pole ng'ombe aliyegongwa na gari hilo na kumkaushia Shilole. Haya ni majibu kwa wasanii na watu watu maarufu ambao wananchi wanawaona kama wasaliti waliochagua upande wa watawala hata pale ambapo watawala hair wanakosea na kukiuka haki za umma. Maoni na uchambuzi kuhusu mioyo wa Watanzania"
YouTube Link 2026-01-03T11:54Z 98K followers, [----] engagements

"Mange aibuka na mpya [----] ahoji uhalali wa maridhiano yalosemwa na Rais Samia Mange Kimambi akitoa salamu za mwaka mpya wa [----] kwa Watanzania. Amegusia na kuhoji baashi ya mambo yalosemwa na Rais Samia katika hotuba yake ya mwaka mpya"
YouTube Link 2026-01-01T14:14Z 98K followers, [---] engagements

"Je Watanganyika wataandamana Januari mosi Wadau wafunguka mitandaoni wasema hawakati tamaa Mjadala kuhusu mustakabali wa Tanzania na vuguvugu la maandamano yasiyo na kikomo Tanzania"
YouTube Link 2025-12-31T20:30Z 98K followers, [---] engagements

"Hotuba ya Samia Suluhu leo azungumzia kilichoikumba Tanzania na kutaka watu walinde amani Hotuba ya Samia Suluhu Leo kuuaga mwaka [----] na kuukaribisha mwaka 2026"
YouTube Link 2025-12-31T19:21Z 98K followers, [----] engagements

"USIYOYAJUA KUHUSU BAKWATA KABLA YA KUJIVIKA KOTI LA UWAKILISHI WA WAISLAMU WA TANGANYIKA Mchambuzi wa masuala ya historia na mwandishi wa vitabu bwana Mohamed Said akichambua historia ya taasisi za kiislamu kabla ya Bakwata. Swali ni kwanini serikali ya Nyerere iliivunja East African Muslim Welfare Society"
YouTube Link 2025-12-31T13:24Z 98K followers, [----] engagements

"MJADALA:KWANINI WAISLAMU WANAIKATAA BAKWATA JE IPO KWA AJILI YA NANI WADAU WAFUNGUKA USIYOYAJUA Mjadala kuhusu uwakilishi wa Baraza la Waislamu Tanzania BAKWATA na dhima yake katika jamii. Waislamu wengi nchini Tanzania hawajinasibishi na chombo hicho wakiamini kuwa hakipo kwa ajili ya maslahi yao. Sikiliza mjadala kuhusu muundo wa chombo hicho"
YouTube Link 2025-12-26T03:01Z 98K followers, 11.8K engagements

"Boniface Jacob (Boniyai) afunguka mazito kuhusu urais wa Samia Suluhu Tume ya Uchunguzi na mengine Sehemu ya mahojiano ya Meya wa zamani wa Ubungo kwa tiketi ya Chadema Boniface Jacob alimaarufu Boniyai"
YouTube Link 2025-12-25T14:40Z 98K followers, 17.6K engagements

"Waislamu wafunguka baada ya mahakama kusema BAKWATA si chombo cha Waislamu wote Watu mbalimbali wametoa maoni Yao baada ya mahakama kuu ya Tanzania kutoa uamuzi unaosema kuwa Bakwata si chombo kinachowakilisha waislam wote"
YouTube Link 2025-12-25T12:17Z 98K followers, [----] engagements

"Uchambuzi kuhusu alichokisema Jaji Warioba Je kwanini sasa na lengo ni nini Jaji mstaafu Joseph Warioba amezungumza hivi karibuni katika mahojiano na mwandishi wa habari Manyerere Jackton wa Jamhuri na kusema mambo kadhaa ambayo yamezua gumzo huko mitandaoni. Mchambuzi wa masuala ya siasa na uchumi bwana Gwandumi Mwakatobe anachambua uamuzi wa Jaji Warioba kuzungumza. Mwakatobe alifanyiwa mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani"
YouTube Link 2025-12-24T09:23Z 98K followers, [----] engagements

"Jaji Warioba afunguka mazito azungumzia mauwaji udini na mpasuko kwenye vyombo vya ulinzi Tanzania Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba amezungumzia namna mambo yanavyoendeshwa kiholela nchini Tanzania. Jaji Warioba amekosoa pia namna serikali ilivyofanya mambo yake baada ya kutokea maandamano ya Oktoba [--]. Jaji Warioba ameyasema hayo katika mahojiano ya ana kwa ana na mwandishi wa habari wa Jamhuri bwana Manyerere Jackton. Sikiliza baadhi ya mambo aliyoyasema katika ripoti hii"
YouTube Link 2025-12-23T09:07Z 98K followers, 19.1K engagements

"Mhe. Othman Masoud: Nchi yenye watu wenye dini lakini matendo yao hayafanani na mafunzo ya dini Leo Disemba [--] [----] nimejumuika na Waumini wenzangu wa Kiislamu katika Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Masjid Taqwa uliopo kijiji cha Maziwani Jimbo la Pandani Mkoa wa Kaskazini Pemba"
YouTube Link 2025-12-20T11:30Z 98K followers, [----] engagements

"Bibi aibuka tena na ujumbe mwingine ataka mabadiliko uwepo utawala wa haki kwa wote Bibi huyu amejipatia umaarufu mitandaoni kwa kutoa ujumbe kwa viongozi tangu yatokee maandamano na mauwaj* siku na baada ya uchaguzi wa Oktoba [--] nchini Tanzania. Sikiliza maoni na ujumbe wake mpya katika video yake inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii"
YouTube Link 2025-12-20T09:01Z 98K followers, [---] engagements

"Bavicha yamwambia Rais Samia kuwa hakuna damu inayomwagika bure yakosoa kauli zake kuhusu mauwaj* Baraza la vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema limetoa tamko kuhusu mauwaji yaliyofanyika siku na baada ya uchaguzi wa tarehe [--] Oktoba mwaka huu likiitaka serikali kuwapa watu miili ya ndugu zao waliouwawa na vyombo vya dola ili wakaizike. Pamoja na hayo Bavicha imelaani kauli za Rais Samia alizozitoa kuhusiana na mauwaji hayo wakati alipozungumza na baadhi ya wazee wa Dar ea salaam. Katibu Mkuu wa Bavicha Taifa bwana Dua Liyamzito anafafanua zaidi katika taarifa yake aliyoitoa"
YouTube Link 2025-12-20T07:48Z 98K followers, 10.7K engagements

"Mange amjibu Mwigulu Nchemba afunguka mengi kwenye majibu hayo Mange Kimambi akijibu hija za Mwigulu Nchemba"
YouTube Link 2025-12-19T10:15Z 98K followers, 13.3K engagements

"KAULI YA NCHEMBA KUHUSU WALIOUWAW* OKTOBA YAZUA GUMZO WADAU WASEMA NI KUWADHIHAKI WALIOKUFA Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba anazungumza na wakazi wa Uyole mkoani Mbeya. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu yupo mkoani Mbeya kwa Ziara ya Kikazi ya kukagua Miundombinu ya Umma na Mali Binafsi zilizoathiriwa na Virugu zilizotokea Oktoba [--] 2025"
YouTube Link 2025-12-19T09:11Z 98K followers, [---] engagements

"DUNIA NZIMA INAJUA KUWA WAZANZIBARI WAMEIKATAA CCM CCM HAINA CHAKE ZANZIBAR - OMO Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud akiwa Shumba mjini Pemba"
YouTube Link 2025-12-17T13:35Z 98K followers, [----] engagements

"OMO: UOVU NI UOVU LAZIMA UKEMEWE TUSITUMIE SIASA KUHALALISHA DHULMA Mwenyekiti wa ACT Taifa Mhe. Othman Masoud Othman akizungumzia wajibu wa kukatazana mabaya katika jamii akiwa visiwani Zanzibar"
YouTube Link 2025-12-17T11:46Z 98K followers, [----] engagements

"Mtoto wa Ali Kibao:Hakuna anayestahiki kuuwaw* kinyama namna ile tunataka familia nyingine isipitie Kwa mara nyingine mtoto wa marehemu Ali Kibao aitwaye Mohammed Ali Kibao amezungumzia juhudi za kusaka haki ya baba yake aliyeuwaw* mwezi September mwaka [----]. Haya ni sehemu tu ya maelezo yake katika mahojiano na chombo cha habari cha The Chanzo"
YouTube Link 2025-12-17T10:15Z 98K followers, [---] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@weyanitvonline
/creator/youtube::weyanitvonline