#  @salmavoice_ ZANZIBAR YETU ZANZIBAR YETU posts on YouTube about zanzibar, omo, leo, tanzania the most. They currently have [-----] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [------] [#](/creator/youtube::UCdGSKTqUrurFJHKGst_ybag/interactions)  - [--] Week [------] +34,690% - [--] Month [------] +22,170% - [--] Months [------] +654% ### Mentions: [--] [#](/creator/youtube::UCdGSKTqUrurFJHKGst_ybag/posts_active)  ### Followers: [-----] [#](/creator/youtube::UCdGSKTqUrurFJHKGst_ybag/followers)  - [--] Months [-----] +61% ### CreatorRank: [-------] [#](/creator/youtube::UCdGSKTqUrurFJHKGst_ybag/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [travel destinations](/list/travel-destinations) [countries](/list/countries) [currencies](/list/currencies) [finance](/list/finance) **Social topic influence** [zanzibar](/topic/zanzibar) #44, [omo](/topic/omo) #243, [leo](/topic/leo), [tanzania](/topic/tanzania), [zec](/topic/zec), [ali](/topic/ali), [kwanza](/topic/kwanza), [breaking news](/topic/breaking-news), [breaking](/topic/breaking), [humo](/topic/humo) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "ZANZIBAR NA UTAPELI WA MITANDAO UNYANG'ANYI MADUKANI Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja lilifanya Operesheni kuanzia tarehe [--] Januari [----] ambapo katika Operesheni hiyo limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa [--] wanaohusika kwa wizi wa vifaa vya ujenzi kwa njia ya udanganyifu Wahalifu wa Unyang'anyi kwa kutumia silaha na matapeli wa fedha. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe [--] Februari [----] na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Thadei Mchomvu wakati akizungumza na vyombo vya habari huko ofisini kwake Madema. Amesema" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=hOGAK1wQTgU) 2026-02-03T17:35Z [----] followers, [--] engagements "JUSSA APONGEZA LICHA YA YOTE PEMBA BADO MOTO WA MBALI Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha ACT Wazalendo Ismail Jussa akizingumza na wafuasi na wanachama wa chama hicho na kuwapongeza kwa kuonesha hamasa kwa chama chao hali inayodhihirisha kwamba wananchi wa Pemba bado wana imani na chama chao" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4MojzZGj4y0) 2026-02-14T06:17Z [----] followers, [---] engagements "TUTUMIENI FURSA YA KISWAHILI - HEMED Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na viongozi mbali mbali na wadau wa lugha ya kiswahili katika Maadhimisho ya kutimia miaka kumi (10) ya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=7MXulNLc2NY) 2026-02-14T12:42Z [----] followers, [--] engagements "OMO AWASEMA CCM KINAMNA FULANI Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea kushikamana na kuimarisha harakati za kukiendeleza chama. Akizungumza katika eneo la Wingwi Mapofu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Tawi la Mapofu A Mheshimiwa Othman alisema kuwa nguvu ya chama hicho inatokana na mshikamano wa wanachama wake. Umoja huu tulionao ndio unaowatia kiwewe wapinzani wetu alisema Othman. Aliongeza kuwa ujenzi wa matawi unaoendelea unaliweka chama katika nafasi bora zaidi ya kisiasa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=HUHp9J7zTTQ) 2026-02-14T12:12Z [----] followers, [----] engagements "JUSSA ATOA WITO KWA WANA ACT WOTE Makamo Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO Ismail Jussa Landu ametoa wito kwa wafuasi wa ACT kuendelea na kukiunga mkono chama hicho bila ya kuchoka" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Zil7hA7eKsE) 2026-02-14T06:24Z [----] followers, [----] engagements "WAKILI WA ACT ATOA NENO BAADA YA UAMUZI WA MAHAKAMA Mahakama Kuu ya Zanzibar leo imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa Uwakilishi kutoka Majimbo [--] yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchoma au kuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo (Affidavits) vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi kwa madai kuwa Mkuu wa Viapo (Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji hakuwa amehuisha leseni yake ya mwaka [----]. ZEC watoa neno na ACT pia" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=oKULuGJueoU) 2026-02-13T15:02Z [----] followers, [----] engagements "OMO AKARIBISHWA TUMBATU KWA DUA Mwenyekiti wa Taifa wa ACT-Wazalendo Alhaj Othman Masoud Othman leo Novemba [--] [----] amejumuika na Waumini wenzake wa Kiislamu pamoja na Wananchi katika Sala ya Ijumaa hapo Msikiti Mkubwa wa Shangani Mkokotoni Jimbo la Kijini Mkoa wa Kaskazini Unguja. Mara baada ya Ibada hiyo Viongozi pamoja na Waumini wa Mkoa wa Kichama wa Kaskazini A Unguja wameshiriki katika Dua Maalum kwaajili ya Mheshimiwa Alhaj Othman ili Mwenyezi Mungu Amfanyie wepesi katika Majukumu yake na ya Chama chake; Dua ambayo imeongozwa na Jopo la Walimu na Masheikh mashuhuri wakiwemo Sheikh" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=a5CJpQPXOHg) 2025-11-22T15:16Z [----] followers, [----] engagements "OTHMAN ATAMKA MAZITO JUKWAANI Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Othman Masoud Othman amesema wananchi wa Zanzibar hawataki kuonewa wamechoka. Akizungumzia ahadi amesema kwamba iwapo atashinda serikali atakayoiyunda itahakikisha kuzisimaimia ipasavyo rasilimali za Zanzibar zikiwemo mafuta na gesi asilia ili zichimbwe na zitumike kwa faida ya nchi na wananchi waweze kuneemeka nazo. Hayo ameyasema huko viwanja vya Laurent Ole Kianga Jimbo la Ole Mkoa wa kusini Pemba alipozungunza katika mkutano wa hadhara wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba [--] mwaka huu. Othman amefahamisha" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=a_ZcWpiQVyQ) 2025-10-21T20:17Z [----] followers, [---] engagements "OMO AMCHOKOZA HEMED KIWANI Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameanza kumchokoza Mgombea wa Kiwani Hemed Suleiman Abdulla Jimboni kwake Kiwani" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=dY6w1U5cFB0) 2025-10-15T04:07Z [----] followers, [----] engagements "YANGA NA UBINGWA WA PENALTI [--] Matokeo ya Mpira kati ya Azam na Yanga Kisiwani Pemba Yanga walishinda kwa penalti baada ya timu zote kutoka sare. Kwa hivyo yanga ndio bingwa wa Mapinduzi Cup mwaka 2026" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=iwP1MzL-yFs) 2026-01-14T06:52Z [----] followers, [--] engagements "KUNA SHIDA GANI KUMUONDOSHA FAINA - OTHMAN Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameonesha kutokuwepo kwa ridhaa ya pande mbili katika kuendeshwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa huku akitoa mfano wa subira yao ya maamuzi ya kuondoshwa kwa Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina katika nafasi yake hiyo na kuwekwa mtu mwengine ili kuwa na imani na tume hiyo. Kutokuridhishwa kwa chama hicho juu ya Mkurugenzi huyo ni kumetokana uchaguzi wa October mwaka [----] ambao unaelezwa kuwa na maafa makubwa ya ukatili na mauaji yaliofanyika katika visiwa vya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=jfSxTQotdWk) 2025-11-11T07:22Z [----] followers, [---] engagements "SAMIA AZINDUA JENGO LA CHUO KIKUU Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Jengo la Taaluma na Utawala na Bweni la Wanafunzi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Taasisi ya Sayansi za Bahari Buyu Zanzibar tarehe [--] Januari 2026" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=jx38xVicP74) 2026-01-08T22:08Z [----] followers, [--] engagements "BABU DUNI HAJAFA MSIZUE - BIMANI Katibu wa Habari na Uenezi Salum Bimani amesema kuna watu walifanya uchuro wa kumtangazia kifo Mwenyekiti Mstaafu Babu Juma Duni Haji. Bimani ameuarifu umma na wanachama kwamba Babu Duni yuhai na amehudhuria mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika viwanja vya Garagara katika Jimbo la Mwera ambapo haumi na afya yake nzuri kabisa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=okqasu2BEAI) 2025-10-18T14:41Z [----] followers, [---] engagements "BAKWATA "IMEPORA MALI" - USTADH JUMA Bakwata tangu ilivyoundwa imekuwa ikitengeneza migogoro na mifarakano kwenye jamii ya kiislamkuna migogoro mingi na mengine ipo mahakamani" Ustadh Juma Hussein Kilaghai amewaambia waandishi wa habari. Kilaghai amesema yeye ni miongoni mwa waislam kumi na mbili (12) walioishtakiwa na Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA). Amesema BAKWATA imejaribu kwenda kwenye jumuiya na taasisi kwenda kufanya vurugu na kunyanganya mali zao na ushahidi wa hayo upo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=v0U768ikAzw) 2026-01-03T18:24Z [----] followers, [---] engagements "CT WAPONGEZANA HATUA WALIOFIKIA Mwenyekiti wa ACT Wazalendo (Taifa) Othman Masoud Othman amesema mchakato wa mazungumzo ya kuupatia suluhu ya kudumu mgogoro wa kisiasa Zanzibar unakwenda vyema. Akizungumza na viongozi na wanachama wa chama chake kwenye mkutano wa ndani hivi leo kusini kwa kisiwa cha Pemba Mheshimiwa Othman amesema jumla ya vikao sita vimefanyika baina ya mwezi Novemba na Februari [--] chini ya usimamizi wa viongozi wanaoheshimika Zanzibar. Kwenye vikao hivi kila upande uliwasilisha hoja zake na kwa pamoja tumezipitia. Ziko ambazo kila upande uliomba ziondolewe na ziko ambazo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=0E4-iYIwjL4) 2026-02-11T19:09Z [----] followers, [---] engagements "OMO APOKEWA KWA SHANGWE PEMBA/ MWIKO KUKATA TAMAA Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa Othman Masoud Othman amewasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya ziara ya kikazi. Alipowasili Uwanja wa Ndege Othman amelakiwa na Wafuasi Wanachama na Wapenzi wa Chama chake kutoka maeneo mbali mbali Kisiwani humo. Katika ziara hiyo ameambatana na Mke wake Mama Zainab Kombo Shaib ameongozana na Viongozi mbali mbali wakiwemo Makamu Mwenyekiti wa Chama na Naibu Katibu Mkuu wote upande wa Zanzibar Ismail Jussa na Omar Ali Shehe.Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1EEXyZLxE7c) 2026-02-11T07:49Z [----] followers, [---] engagements "BWEGE AWALILIA NA MAASKOFU/MASHEKHE Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Seleman Bungara maarufu kama Bwege ametoa wito kwa wadau wa kada mbalimbali wakiwemo wanasiasa viongozi wa dini wanaharakati na Watanzania kwa ujumla kuhakikisha wanamuombea na kumuunga mkono Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini. Bwege ametoa kauli hiyo leo Jumatatu [--] Februari [--] 2026Katika alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam alikokwenda kufuatilia mwenendo wa kesi hiyo. Amesema anaamini kuwa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1n33Z7y1O0E) 2026-02-10T09:44Z [----] followers, [---] engagements "BWEGE AMFUATA LISSU MAHAKAMANI Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini (CUF) Seleman Bungara 'Bwege' amefika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kusikiliza shauri Na. 19605/2026 la uhaini linalomkabili Tundu Lissu Mweyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=AHLlFJx_GRQ) 2026-02-09T12:03Z [----] followers, [--] engagements "HECHE BADO ANA HASIRA NA CCM John Heche Makamu Mwenyekiti wa Chadema. Hatutakubali Blackmail (kutishiwa) hii kesi wanataka kuitumia kama blackmail kwamba wamemkamata Mwenyekiti wanakaa naye halafu wanatengeneza masharti kwamba fanya hivi mara ya kwanza walisema kubali tukuachie kubali tukuachie uende Ulaya Mwenyekiti amewaambia hawezi kukubali wakae naye mpaka siku watakapomuachia bila masharti. Wanatumia hii wakifikiri kwamba wanatulazimisha tukubaliane na maagizo makubaliano au kitu wanachokiita maridhiano ya uongo hatutakubali Lissu aachiwe kwa masharti" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=V-gYl2f8ad8) 2026-02-10T09:35Z [----] followers, [--] engagements "BREAKING NEWS: MAPYA YAIBUKA MAHAKAMANI" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=VvgEZ6hch6A) 2026-02-10T14:04Z [----] followers, [----] engagements "LISSU AZIDIWA NGUVU NA VITABU Ni shangwe .Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimshangilia Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama hicho anayeshtakiwa kwa uhaini alipokuwa anaingia kwenye chumba Na.1 cha Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizaji wa shauri hilo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=W3sM1uF1j7k) 2026-02-12T13:02Z [----] followers, [--] engagements "BAADA YA SIKU [--] LISSU AFIKISHWA MAHAKAMANI Baada ya siku [--] tangu kuahirishwa kwa shauri la uhaini Na. 19605/2025 linalomkabili Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo tarehe [--] Februari [----] amefikishwa kwa mara nyingine kwenye Mahakama kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kuendelea na usikilwaji wa kesi hiyo. Leo upande wa Jamhuri utawasilisha majibu yao dhidi ya pingamizi liliwasilishwa mahakamani hapo na Lissu. Awali Lissu aliibua pingamizi la uhalali wa kutumika kwa sheria ya kulinda mashahidi akidai kuwa sheria hiyo haijachapishwa kwenye" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=e-mU0Vag_e8) 2026-02-09T07:47Z [----] followers, [---] engagements "DK NSHALA KUPIGIA MSUMARI TENA DK. Rugemeleza Nshala Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesisitiza kuwa mwenendo wa kesi ya Lissu umedorora na kwamba umetumika muda mrefu bila kusikilizwa na kwamba kesi hiyo ina siku [---] lakini imesikilizwa siku [--] pekee" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=o6nfXzGeFwA) 2026-02-10T10:08Z [----] followers, [--] engagements "MAUWANI KIWANI WAWEKEWA MAMBO SAWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Hemed Suleiman Abdulla akikagua maendeleo ya uchimbaji wa Kisima katika kijiji cha Mauwani Kiwani Pemba" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=qPMHZW-hFks) 2026-02-08T13:01Z [----] followers, [--] engagements "AYOUB AJITAMBULISHA ZANZIBAR Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi uliofika ofisini kwake Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar kwa ajili yakujitambulisha" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=riugMi9dKIk) 2026-02-11T12:48Z [----] followers, [---] engagements "CHAUMMA YATUPIWA LAWAMA Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) PatricK Assenga amesema kuwa chama chake kimepoteza uelekeo na kwamba hakitekelezi wajibu wake wa kisiasa . Wanamuimbia mapambio mtawala. Hatuana tunachokifanya kwenye siasa wajibu wa chama vya upinzani ni kuikosoa chama kilichokuwa madarakani kwa sera zake na namna wanavyoendesha nchi ndio wajibu wa chama cha siasa kinapaswa kusimama kwa niaba ya umma umma ambao unaoutaka kesho na kesho kutwa wakuamini wakupigie kura ndio maana sisi wengine tumejitanabaisha wazi kuwa Chaumma hawako sawa huu ndio msimamo wangu kwamba Chauma" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=s8l7jtUjqxQ) 2026-02-11T14:20Z [----] followers, [--] engagements "TANZANIA INAONGOZA KWA USALAMA MITANDAONI - NAIBU AMJIBU DKT NASSRA Tanzania inaongoza kwa usalama mitandaoni kwa Afrika Mashariki na ni miongoni mwa nchi ya [--] zinazofanya vizuri duniani katika usalama mitandaoni. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano Teknolojia ya Habari na Ubunifu Mohammed Sijamini Mohammed katika kikao cha baraza la wawakilishi wakati akijibu suali lililo na Mwakilishi wa Viti Maalum Dkt Nassra Nassor Omar aliyetaka kujua kwa namna gani Serikali ina mikakati ya kupunguza udukuzi ndani ya wizara ili kulinda taarifa za wananchi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=-HjQSIYIZtg) 2026-02-14T05:13Z [----] followers, [---] engagements "KATAMBI AWAPONGEZA POLISI ZANZIBAR Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi Visiwani Zanzibar kwa kupambana na uhalifu hali iliyopelekea kupungua kwa matukio [---] ambapo matukio [----] yaliripotiwa mwaka [----] huku mwaka [----] yakiripotiwa matukio [----]. Akizungumza na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi Visiwani humo Waziri Katambi alizungumzia pia kulindwa kwa watalii akikumbushia jitihada zilizofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hussein Ali Mwinyi katika kuutangaza na kuukuza utalii." [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=0Rd0QTUxn5c) 2026-02-12T13:54Z [----] followers, [---] engagements "BREAKING NEWS MAHAKAMA YATUPA MAOMBI YA ACT/WENYEWE WAFUNGUA MENGINE/ WAKILI ATOA NENO Mahakama Kuu ya Zanzibar leo imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa Uwakilishi kutoka Majimbo [--] yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchoma au kuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo (Affidavits) vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi kwa madai kuwa Mkuu wa Viapo (Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji hakuwa amehuisha leseni yake ya mwaka 2026" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4Q4hR7q0wbQ) 2026-02-13T12:15Z [----] followers, [----] engagements "OMO ATOA DARSA ZITO MICHEWENI PEMBA Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea kushikamana na kuimarisha harakati za kukiendeleza chama. Akizungumza katika eneo la Wingwi Mapofu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Tawi la Mapofu A Mheshimiwa Othman alisema kuwa nguvu ya chama hicho inatokana na mshikamano wa wanachama wake. Umoja huu tulionao ndio unaowatia kiwewe wapinzani wetu alisema Othman. Aliongeza kuwa ujenzi wa matawi unaoendelea unaliweka chama katika nafasi bora zaidi ya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=58TavzNZHI8) 2026-02-14T12:23Z [----] followers, [----] engagements "UWANJA WA NDEGE ZANZIBAR WARUKA KIMANGA WIZI WA MIZIGO Mamlaka ya uwanja wa Ndege Zanzibar imekanusha na kuruka kimanga kuhusiana na kuibiwa kwa mizigo ya wafanyabiashara waliosambaza kwneye mitandao ya kijamii Mkurugenzi Mamlaka ya uwanja wa Ndege Zanzibar Seif Abdalllah Juma aliwaambia waandishi wa habari kwamba uongozi wa mamlaka ya uwanja wa ndege umeunda kamati ya uchunguzi na kubaini mizigo hio haikutolewa katika uwanja huo hivyo kukanusha taarifa hizo zilizosambazwa na vyombo vya habari. Tukio la wafanyabiashara kulalamikiwa kuibiwa mizigo yao na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=7KtLW2-JIFA) 2026-02-12T07:27Z [----] followers, [---] engagements "VIONGOZI WAFUNDISHWA MBINU ZA UONGOZI Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amesema ni jambo muhimu kwa viongozi wa Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zinazojitegemea kupatiwa mafunzo yatakayowajengea uwelewa mpana katika utekelezaji wa majukumu yao. Ameyasema hayo katika hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya wakuu wa Taasisi zinazojitegemea za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Zanzibar. Amesema mafunzo hayo kwa kiasi kikubwa yatawasaidia katika kutekeleza majukumu yao kutambua muelekeo sahihi wa Serikali" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=U_wHzSgJDAQ) 2026-02-12T13:54Z [----] followers, [---] engagements "HAKI NA UADILIFU HAIPO KWENYE UONGOZI PEKEE - OMO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Alhaj Othman Masoud Othman amesema haki ya uadilifu haipo kwenye uongozi peke yake bali katika maisha ya yote ya muislamu. Amesema hayo leo Februari [--] [----] wakati akitoa salamu zake kwa Waumini wa Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Ikhtisam Msikiti uliopo Chambani Ukutini Mkoa wa Kusini Pemba. Amesema Changamoto za kisiasa na mitafaruku iliyopo kama itapewa nafasi ya kushamiri ni wazi hata thamani ya Ardhi hio tukufu itapotea. "Zanzibar ilijaaliwa tangu awali kuwa nchi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=VhZcPs3URJY) 2026-02-13T20:16Z [----] followers, [---] engagements ""RAIS" ATINGA MAHAKAMANI Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amepanda kwenye kizimba katika Chumba cha [--] cha Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kuendelea na kesi ya uhaini inayomkabili. Wakati akipandishwa kizimbani baadhi ya watu waliokuwa mahakamani hapo walisikika wakishangilia kwa sauti za Rais Rais Rais" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=fDeuXs6He6Q) 2026-02-11T14:56Z [----] followers, [----] engagements "ULINZI WA LISSU KAMA MASHEIKH WA UAMSHO Ni shangwe .Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimshangilia Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama hicho anayeshtakiwa kwa uhaini alipokuwa anaingia kwenye chumba Na.1 cha Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizaji wa shauri hilo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=fQz4LCsIZHA) 2026-02-12T13:38Z [----] followers, [---] engagements "VURUGU NYINGI ZINAANZIA MTANDAONI Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelitaka Jeshi la Polisi kutumia kitengo cha Makosa ya kimtandao katika kuthibiti matukio ya uhalifu ikiwemo utapeli wa mitandao na vitendo vya uvunjifu wa maadili na vitendo vinavyoenda kinyume na tamaduni za nchi yetu. Katambi ameyasema hayo leo Februari [------] wakati akizungumza na Maafisa Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali wa Mikoa mitatu ya Unguja Zanzibar. Amesema pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa katika kupambana na vitendo vya utapeli wa mtandao lakini bado wananchi wameendelea kutapeliwa hivyo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=jbWH9qHc61s) 2026-02-11T20:27Z [----] followers, [--] engagements "TUMESHAKUTANA MARA SITA KUSAKA MARIDHIANO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman amesema kwamba kinachozuia kuingia ama kutoingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) kwa sasa ni kutokana na kutokamilika na pia kuendelea mchakato wa mazungunzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiasa kati ya chama chake na CCM. Mhe. Othman ameyasema hayo huko ukumbi wa Baraza la wawakilishi wete Kaskazini Pemba alipozungunza na viongozi wa ngazi mbali wa chama chake kuelezea mwendendo wa mazungunzo hayo pamoja na mwelekeo wa Zanzibar kuendelea kuwepo ama kutokuwepo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=pRWnD-XPf9M) 2026-02-12T15:08Z [----] followers, [----] engagements "KHARAMU HAIWEZI KUWA HALALI - OMO "Sisi Wazanzibari kuitafuta Amani ya kweli ya Nchi yetu ni jukumu letu la msingi". Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman leo Februari [--] [----] akitoa salamu zake kwa Waumini wa Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Ikhtisam Msikiti uliopo Chambani Ukutini Mkoa wa Kusini Pemba. Amesema Changamoto za kisiasa na mitafaruku iliyopo kama itapewa nafasi ya kushamiri ni wazi hata thamani ya Ardhi hio tukufu itapotea. "Zanzibar ilijaaliwa tangu awali kuwa nchi yenye neema ya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=vz9zml_SN5w) 2026-02-13T21:00Z [----] followers, [---] engagements "WAHIMIZWA KUCHANGIA KWA DAMU KWA AJILI YA RAMADHAN Jamii nchini imehimizwa kuendelea kujitolea kuchangia damu hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ili kuepuka uhaba wa damu katika benki ya damu salama. Wito huo umetolewa na Daktari Dhamana wa Wilaya ya Kati Bi. Amina Hussen Pandu mara baada ya kukamilika kwa zoezi la uchangiaji damu lililoandaliwa na Serikali ya Wilaya ya Kati kupitia Kitengo cha Damu Salama kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo Taasisi ya Direct Aid Zanzibar. Akizungumza baada ya zoezi hilo Daktari Pandu amesema kuwa katika kipindi cha Mwezi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=z2wVsI2RqeE) 2026-02-14T21:12Z [----] followers, [--] engagements "ACT WALIA NA KUONDOSHWA BAKHRESSA Kampeni za uchaguzi mkuu wa ACT Wazalendo zimeendelea kuchukua kasi baada ya Meneja wa Kampeni za Urais wa chama hicho Ismail Jussa kufichua ufisadi mwengine mkubwa unaolikumba taifa katika sekta ya mafuta Zanzibar. Akihutubia wananchi waliofurika katika viwanja vya Kwa Geji Jimbo la Bububu Jussa adai Serikali iliyopo madarakani imekiuka kanuni za zabuni za uingizaji mafuta na kugeuza sekta hiyo kuwa sehemu ya manufaa ya wachache. Kanuni za Ununuzi wa Mafuta kwa Jumla (Petroleum Bulk Procurement Regulations 2017) ziko wazi kabisa. Zabuni ilitakiwa kupewa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=0dsej0CuTVY) 2025-09-24T03:53Z [----] followers, [----] engagements "CCM WAONYWA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1EF4GA15-7M) 2025-06-11T18:05Z [----] followers, [---] engagements "TADEA WAIPA TANO ZEC - JUMA ALI KHATIB" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4aVUX0R7CqE) 2025-09-10T07:43Z [----] followers, [--] engagements "ARAFA AKATAA KUVUNJA BANDA LAKE" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4fAwlppPqyk) 2025-07-08T19:51Z [----] followers, [--] engagements "WACHENI MAJUNGU - HEMED" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=5ZedxIy8g3Y) 2025-06-12T08:48Z [----] followers, [---] engagements "CHUNGU NA TAMU -ALI HILAL" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=7MUZjxW_0DA) 2025-07-09T04:26Z [----] followers, [---] engagements "KIFO CHA MOHAMMED KIMENISHTUA - ALI SALEH AMWAMBIA SUDI MNETTE" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=9UUXRRX_u1A) 2025-07-19T19:49Z [----] followers, [---] engagements "MTIRIRIKO WA HIJJA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=9oktlmxhNvk) 2025-06-05T10:48Z [----] followers, [---] engagements "BENDERA CHUMA MLINGOTI CHUMA - OMO Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameahidi kuwa Serikali itakayoundwa chini ya uongozi wake itakuwa ya wananchi na kwa ajili ya wananchi. Amesema kipaumbele cha kwanza cha Serikali hiyo ni kuhakikisha wananchi wananufaika moja kwa moja na rasilimali za Taifa badala ya matunda ya uchumi kupotea mikononi mwa wachache. Ni wakati wa Zanzibar kurudishiwa heshima yake. Serikali yetu itahakikisha kila mwananchi ananufaika na rasilimali za ardhi bahari na mali asili. Hatutakubali wananchi wetu wabaki maskini wakati neema" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=9v6LBYKsPYE) 2025-09-14T16:29Z [----] followers, [---] engagements ""I'M LOOKING FOR2ARD TO VISIT ZANZIBAR AGAIN" ABDALLAH KAYMAK" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=A6nlB-apOMg) 2025-09-09T03:39Z [----] followers, [--] engagements "SALAMU ZA EID" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=AnadiBemJ8k) 2025-03-30T19:48Z [----] followers, [----] engagements "TUKATIE UDHU TUENDELEE NA SAFARI- OMO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=AuqWJcjQhRg) 2025-09-01T06:58Z [----] followers, [----] engagements "PEMBA YATENGENEZA UNGA WAKE" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=BtKA5SMJrJ0) 2025-07-22T18:49Z [----] followers, [---] engagements "MZURI SANA NABIA - HASSAN UWESU Kasida ya Mzuri sana Nabia inewavutia watu wengi kutikana na mashairi yake yalivyotungwa na namna ya upigaji na usomaji wake katika Tamasha linalofanyika wakati wa kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad ambapo waislamu nchi nnyingi huadhimisha" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=E-7KC2BbyEc) 2025-09-29T07:16Z [----] followers, [--] engagements "CCM WANA HASHUO -OMO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=E8exf8Iip18) 2025-04-28T06:29Z [----] followers, [--] engagements "SERIKALI YATOA ONYO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=F5V84Ii4gQM) 2025-07-12T05:19Z [----] followers, [--] engagements "MPINA AKARIBISHWA PEMBA AHUTUBIA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=G7mWUxW8unw) 2025-08-10T18:44Z [----] followers, [--] engagements "MAPEMBE BASMATI MAPEMBE BEI CHEE" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=H7ntXMcIJXM) 2025-08-13T09:40Z [----] followers, [---] engagements "MAHUJAJI WAWEKWA HOTEL YA NDOTA TANO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=HhXFRwDFstA) 2025-05-29T03:28Z [----] followers, [--] engagements "OMO AKERWA KUTESWA AGATHER" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=IiPiARh1OEg) 2025-05-27T04:47Z [----] followers, [---] engagements "SHEIKH ABUBAKAR ATOA NASAHA ZA ARAFA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=IxhSWbekJ7E) 2025-06-05T19:27Z [----] followers, [---] engagements "JUSSA APINDUA HOJA ZA DK MWINYI Mwenyekiti wa Timu ya ushindi ya ACT WAZALENDO Ismail Jussa Ladhu amehoji ni kwa nini Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dkt Hussein Mwinyi hatekelezi ahadi zake alizoahidi miaka mitano iliyopita na badala yake anaahidi mengine wakato zile hajazitekeleza. Jussa amesema Dkt Mwinyi aliyempa jina la Bwamdogo kwamba hapaswi kuahidi kwa kuwa anapaswa kusema amefanya nini na nini kwa kuwa uwezo wa kutekeleza anao kwani yeye ndio aliyeshika mpini hivyo ana uwezo wa kufanya utekelezaji" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=MYdbv67T8Vw) 2025-10-16T03:51Z [----] followers, [----] engagements "OTHMAN ANAGUSWA - HASSAN JANI Mgombea wa ACT WAZALENDO Othman Masoud Othman ameelezwa kuwa ni mtu muadilifu na mwenye kuguswa na shida za watu" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=NufEedOivYA) 2025-10-01T14:31Z [----] followers, [---] engagements "KAZI YA POLISI KULINDA MAISHA NA MALI" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=QcVJKjtFlyc) 2025-08-07T14:59Z [----] followers, [--] engagements "ZUBAYDA KACHOKA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=RwP89JACTDc) 2025-07-09T04:56Z [----] followers, [--] engagements "KATA YA KYANG'OMBE WAIKUBALI ACT" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Tm5DoZRl0ls) 2025-05-29T11:59Z [----] followers, [---] engagements "HAJJAT RAYA HAMDAN ATOA YA MOYONI" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Wy1Qx6OSuAw) 2025-06-06T17:08Z [----] followers, [---] engagements "ZANZIBAR TUMEKUPENDA - AT-TAAUN ISLAMIC GIRLS SEMINARY Wanafunzi [--] na walimu wao kutoka AT-TAAUN ISLAMIC GIRLS SEMINARY iliyopo Morogoro Tanzania wametembea maeneo ya vivutio vya kitalii katika maeneo mbali mbali ya Zanzibar. Katika ziara hiyo ya siku tatu walitembea maeneo ya Mji Mkongwe na kuona maeneo ya vivutio ikiwemo Makumbusho (Spices Musium) ya viungo iliyopo Hamamni walitembea pia Forodhani na kushuhudia vijana wa Makachu na kupita vichochoro vya Mji Mkongwe ambao ni Urithi wa Kimataifa. Maeneo mengine waliotembelea ni Maruhubi kuona kasri za Mfalme Sayyid Barghash walikwenda pia" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=X8RPyJGKs08) 2025-09-26T17:01Z [----] followers, [---] engagements "QASIDA CONNECT US - ULE ZCAN" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=YA9iQvJyNj0) 2025-09-09T03:48Z [----] followers, [--] engagements "CCM TUTASHINDA BILA YA KURA GWAJIMA AHOJI" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=YzuYV018Klw) 2025-08-23T12:04Z [----] followers, [---] engagements "TULIPIGWA VITA SANA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Z_iSJPto3M4) 2025-06-16T15:32Z [----] followers, [--] engagements "ONLY FAIR POLLS GUARANTEE PEACE- OMO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=aHQGve1nPNM) 2025-04-17T13:46Z [----] followers, [--] engagements "KOMBO AMWAGIA SIFA RAIS SAMIA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=aTel8O83SDg) 2025-07-09T04:03Z [----] followers, [--] engagements "OLE WAKE AISHINDE CCM - HEMED Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani (CCM) Hemed Suleiman Abdulla "Niwaombe sana wana Kiwani kutuunga mkono ilintuwaletee maendeleo huo ndio wasia wangu" amesema Hemed. Amesema kwa hali hii ole yenu kuwashinda CCM huna namna ya kuwashinda CCM. Aidha amesema katika kuwaletea maendeleo hakutakuwa na mtu kubaguliwa wananchi wote watatizamwa bila ya kubaguliwa muhimu wawe wananchi wa Kiwani. Amesema vijana wanaofaulu Kiwani ni wengi na wameamua kusaidiana na wazee ili kuwaendeleza kielimu. Amesema uchaguzi utapita salama CCM watashinda watamuapisha Rais na wataapishwa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=bX9hafKx4qo) 2025-09-21T21:41Z [----] followers, [---] engagements "RAIS APATIKANE KIHALALI - OMO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=cAK8SbQmDQA) 2025-09-01T07:42Z [----] followers, [----] engagements "NASHUKURU TUMEMALIZA - KAZOBA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=cD-cawBthQA) 2025-06-06T17:33Z [----] followers, [---] engagements "OMO AKUMBUSHA KILIO MATANGANI (PENNYROYAL) Zanzibar imejaaliwa kuwa na rasilimali nyingi zenye thamani kubwa ndani na nje ya nchi ikiwemo bahari ardhi utalii na biashara ya kimataifa ambazo zikisimamiwa ipasavyo zinaweza kuingiza mamilioni ya fedha na kufungua fursa za ajira na biashara. Hayo yameelezwa na Mgombea Urais wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman alipozungumza na wafanyabiashara katika Soko la Darajani Mjini Mkongwe wa Zanzibar ambapo amewaelezwa wafanyabiasha na wananchi aliokutana nao kwamba Serikali yake itakayoundwa iwapo atapewa ridhaa itaweka mfumo utakaowawezesha wafanyakazi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ckJFnmNOesk) 2025-09-20T13:10Z [----] followers, [----] engagements "TUTAUWANA MPAKA LINI OMO AHOJI Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amehoji wanaopigania urais kwa hali na mali na kutaka kutoa roho za watu jee hicho cheo watu wanakwenda nacho Akhera hata iwe hata kwa kumwaga damu" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=dIlQP7cdUjM) 2025-10-12T11:58Z [----] followers, [----] engagements "ARAFA NI SIKU YA KUNYENYEKEA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=di33sQ_qIdo) 2025-06-06T04:22Z [----] followers, [---] engagements "PENCHENI [-----] NI AIBU - ACT Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amesema kwamba sera ya ACT katika suala la hifadhi ya jamii itakuja na mpango mpya wa Pencheni jamii itakayosaidia kuwatazama upya wastaafu ili waweze kuishi kwa kujiamini. Hayo ameyasema huko viwanja nyota nyekundu Mpapa Jimbo la Uzini wilaya ya Kati Mkoa wa kusini Unguja alipohutubia mkutano wa hadhara wa kampeni ya chama chake katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Othman amesema kwamba kiwango kinachotolewa sasa cha shilingi [--] kwa mwezi kuwapatia wazee ni kidogo nno" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=dqzQPZzzMMU) 2025-09-24T20:04Z [----] followers, [---] engagements "MATEMWE TUNANYANYASWA - MACHANO Machano Faki Juma Mkaazi wa Mtemwe amesema wao walidhani ukoloni umeshamaliza lakini bahati mbaya sana kwamba mpaka leo wananchi wa Matemwe wananyanyaswa wakati wanaambiwa hakuna ukoloni tena. Tunaonewa na wazee wetu wamesema hivi pamoja na nyie tunawaambia ukoloni umeondoka lakini Wallahi nasema huo ukoloni umezidi sasa hivi kuliko hiyo zamani sasa ndio ukoloni khasaa maana kunanyanyaswa kunateswa huna ruraha shida ya dunia Amesema. Amesema kuna watu wanakuja na bunduki haijulikani kunatafutwa nini lakini wananchi hawana furaha kwa kupitia shida mbali mbali" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ltow-8vDcRQ) 2025-09-22T07:58Z [----] followers, [---] engagements "OMO ATUPIWA MADONGO NA HEMED Mgombea wa Uwakilishi wa jimbo a Kiwani Hemed Suleiman Abdullah amemrushia madongo kinamna Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cja ACT WAZALENDO Othman Masoud akitaka kama anataka kukosoa serikali kwanza ajiuzulu. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mkoani kusini mwa kisiwa cha Pemba Hemed amesema mtu huyo hafai uendelelea kuwepo serikalini kwa kuwa yeye ni sehemu ya serikali Ingawa Hemed hakumtaja kwa jina katika hutuba yake lakini ametaka atumie uungwana na hapaswi kukosoa serikali kwa sasa huku akiwashawisho wananchi wa Mkoani" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=mOPGpL4HhpM) 2025-09-24T20:17Z [----] followers, [----] engagements "IMAMU WA MASJID ASALAM MLANDEGE ZNZ" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=mk84XV4CsYY) 2025-06-05T20:24Z [----] followers, [---] engagements "OMO AKUTANA NA WALIMU WA MADRASA Mgombea Urais wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameahidi kuwa Serikali atakayoiongoza itaweka historia mpya ya kuthamini walimu wa madrasa kwa kuwajumuisha rasmi katika mfumo wa malipo ya Serikali hatua itakayowaondoa kwenye maisha magumu wanayopitia kwa sasa. Akizungumza na walimu wa madrasa katika mkutano uliofanyika Wilaya ya Chake Chake Pemba Othman alisema walimu hao wamekuwa nguzo muhimu katika kujenga maadili misingi ya dini na malezi bora kwa watoto wa Zanzibar lakini Serikali iliyopo madarakani imeshindwa kuwaenzi_ ipasavyo. Alisema" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=p8zUKd2kvmE) 2025-10-05T12:16Z [----] followers, [----] engagements "WAZEE PEMBA WAMCHANGIA MILIONI SITA" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=tJwlVvYwhxA) 2025-08-28T12:49Z [----] followers, [---] engagements "KWA NINI OTHMAN - SEIF KHAMIS Mjumbe wa Kamati Kuu wa ACT Seif Khamis Mohammed amesema kwamba Zanzibar inamuhitaji Othman Kuwa Kiongozi mkuu wa Zanzibar kwa sababu ya Uzalendo wake na kutetea maslahi ya wanyonge wa Zanzibar. Amesema kwamba. Othman alisismama kidete kuinusuru Zanzibar katika bunge la katiba kwa kukataa katiba pendekezwa ambayo iliendelea kuimeza Zanzibar na kwamba wazanzibar wanamuhitaji Mhe. Othman ili awajenge nchi na uchaguzi isiwe sababu ya kuondosha uhai wa wamaninchi wa Zanzibar kila baada ya miaka mitano. Amesema kwamba kumekuwa na utitiri wa kodi na za ajabu mitaani" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=wfNpwnJuhSs) 2025-10-02T20:17Z [----] followers, [---] engagements "OUR MOTO IS A WIN-WIN PARTNERSHIP - BEKIR GEZER (TURKISH AMBASSADOR)" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=yvWPg7hmuMM) 2025-09-09T04:40Z [----] followers, [--] engagements "UNA AMANI NA ARDHI YAKO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=zDl5bLFLhHM) 2025-07-07T08:02Z [----] followers, [----] engagements "WAHIMIZWA KUCHANGIA KWA DAMU KWA AJILI YA RAMADHAN Jamii nchini imehimizwa kuendelea kujitolea kuchangia damu hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ili kuepuka uhaba wa damu katika benki ya damu salama. Wito huo umetolewa na Daktari Dhamana wa Wilaya ya Kati Bi. Amina Hussen Pandu mara baada ya kukamilika kwa zoezi la uchangiaji damu lililoandaliwa na Serikali ya Wilaya ya Kati kupitia Kitengo cha Damu Salama kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo Taasisi ya Direct Aid Zanzibar. Akizungumza baada ya zoezi hilo Daktari Pandu amesema kuwa katika kipindi cha Mwezi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=z2wVsI2RqeE) 2026-02-14T21:12Z [----] followers, [--] engagements "TUTUMIENI FURSA YA KISWAHILI - HEMED Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na viongozi mbali mbali na wadau wa lugha ya kiswahili katika Maadhimisho ya kutimia miaka kumi (10) ya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=7MXulNLc2NY) 2026-02-14T12:42Z [----] followers, [--] engagements "OMO ATOA DARSA ZITO MICHEWENI PEMBA Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea kushikamana na kuimarisha harakati za kukiendeleza chama. Akizungumza katika eneo la Wingwi Mapofu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Tawi la Mapofu A Mheshimiwa Othman alisema kuwa nguvu ya chama hicho inatokana na mshikamano wa wanachama wake. Umoja huu tulionao ndio unaowatia kiwewe wapinzani wetu alisema Othman. Aliongeza kuwa ujenzi wa matawi unaoendelea unaliweka chama katika nafasi bora zaidi ya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=58TavzNZHI8) 2026-02-14T12:23Z [----] followers, [----] engagements "OMO AWASEMA CCM KINAMNA FULANI Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea kushikamana na kuimarisha harakati za kukiendeleza chama. Akizungumza katika eneo la Wingwi Mapofu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Tawi la Mapofu A Mheshimiwa Othman alisema kuwa nguvu ya chama hicho inatokana na mshikamano wa wanachama wake. Umoja huu tulionao ndio unaowatia kiwewe wapinzani wetu alisema Othman. Aliongeza kuwa ujenzi wa matawi unaoendelea unaliweka chama katika nafasi bora zaidi ya kisiasa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=HUHp9J7zTTQ) 2026-02-14T12:12Z [----] followers, [----] engagements "JUSSA ATOA WITO KWA WANA ACT WOTE Makamo Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO Ismail Jussa Landu ametoa wito kwa wafuasi wa ACT kuendelea na kukiunga mkono chama hicho bila ya kuchoka" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Zil7hA7eKsE) 2026-02-14T06:24Z [----] followers, [----] engagements "JUSSA APONGEZA LICHA YA YOTE PEMBA BADO MOTO WA MBALI Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha ACT Wazalendo Ismail Jussa akizingumza na wafuasi na wanachama wa chama hicho na kuwapongeza kwa kuonesha hamasa kwa chama chao hali inayodhihirisha kwamba wananchi wa Pemba bado wana imani na chama chao" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4MojzZGj4y0) 2026-02-14T06:17Z [----] followers, [---] engagements "TANZANIA INAONGOZA KWA USALAMA MITANDAONI - NAIBU AMJIBU DKT NASSRA Tanzania inaongoza kwa usalama mitandaoni kwa Afrika Mashariki na ni miongoni mwa nchi ya [--] zinazofanya vizuri duniani katika usalama mitandaoni. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano Teknolojia ya Habari na Ubunifu Mohammed Sijamini Mohammed katika kikao cha baraza la wawakilishi wakati akijibu suali lililo na Mwakilishi wa Viti Maalum Dkt Nassra Nassor Omar aliyetaka kujua kwa namna gani Serikali ina mikakati ya kupunguza udukuzi ndani ya wizara ili kulinda taarifa za wananchi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=-HjQSIYIZtg) 2026-02-14T05:13Z [----] followers, [---] engagements "KHARAMU HAIWEZI KUWA HALALI - OMO "Sisi Wazanzibari kuitafuta Amani ya kweli ya Nchi yetu ni jukumu letu la msingi". Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman leo Februari [--] [----] akitoa salamu zake kwa Waumini wa Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Ikhtisam Msikiti uliopo Chambani Ukutini Mkoa wa Kusini Pemba. Amesema Changamoto za kisiasa na mitafaruku iliyopo kama itapewa nafasi ya kushamiri ni wazi hata thamani ya Ardhi hio tukufu itapotea. "Zanzibar ilijaaliwa tangu awali kuwa nchi yenye neema ya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=vz9zml_SN5w) 2026-02-13T21:00Z [----] followers, [---] engagements "HAKI NA UADILIFU HAIPO KWENYE UONGOZI PEKEE - OMO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Alhaj Othman Masoud Othman amesema haki ya uadilifu haipo kwenye uongozi peke yake bali katika maisha ya yote ya muislamu. Amesema hayo leo Februari [--] [----] wakati akitoa salamu zake kwa Waumini wa Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Ikhtisam Msikiti uliopo Chambani Ukutini Mkoa wa Kusini Pemba. Amesema Changamoto za kisiasa na mitafaruku iliyopo kama itapewa nafasi ya kushamiri ni wazi hata thamani ya Ardhi hio tukufu itapotea. "Zanzibar ilijaaliwa tangu awali kuwa nchi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=VhZcPs3URJY) 2026-02-13T20:16Z [----] followers, [---] engagements "WAKILI WA ACT ATOA NENO BAADA YA UAMUZI WA MAHAKAMA Mahakama Kuu ya Zanzibar leo imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa Uwakilishi kutoka Majimbo [--] yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchoma au kuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo (Affidavits) vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi kwa madai kuwa Mkuu wa Viapo (Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji hakuwa amehuisha leseni yake ya mwaka [----]. ZEC watoa neno na ACT pia" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=oKULuGJueoU) 2026-02-13T15:02Z [----] followers, [----] engagements "BREAKING NEWS MAHAKAMA YATUPA MAOMBI YA ACT/WENYEWE WAFUNGUA MENGINE/ WAKILI ATOA NENO Mahakama Kuu ya Zanzibar leo imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa Uwakilishi kutoka Majimbo [--] yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchoma au kuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo (Affidavits) vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi kwa madai kuwa Mkuu wa Viapo (Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji hakuwa amehuisha leseni yake ya mwaka 2026" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4Q4hR7q0wbQ) 2026-02-13T12:15Z [----] followers, [----] engagements "TUMESHAKUTANA MARA SITA KUSAKA MARIDHIANO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman amesema kwamba kinachozuia kuingia ama kutoingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) kwa sasa ni kutokana na kutokamilika na pia kuendelea mchakato wa mazungunzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiasa kati ya chama chake na CCM. Mhe. Othman ameyasema hayo huko ukumbi wa Baraza la wawakilishi wete Kaskazini Pemba alipozungunza na viongozi wa ngazi mbali wa chama chake kuelezea mwendendo wa mazungunzo hayo pamoja na mwelekeo wa Zanzibar kuendelea kuwepo ama kutokuwepo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=pRWnD-XPf9M) 2026-02-12T15:08Z [----] followers, [----] engagements "VIONGOZI WAFUNDISHWA MBINU ZA UONGOZI Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amesema ni jambo muhimu kwa viongozi wa Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zinazojitegemea kupatiwa mafunzo yatakayowajengea uwelewa mpana katika utekelezaji wa majukumu yao. Ameyasema hayo katika hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya wakuu wa Taasisi zinazojitegemea za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Zanzibar. Amesema mafunzo hayo kwa kiasi kikubwa yatawasaidia katika kutekeleza majukumu yao kutambua muelekeo sahihi wa Serikali" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=U_wHzSgJDAQ) 2026-02-12T13:54Z [----] followers, [---] engagements "KATAMBI AWAPONGEZA POLISI ZANZIBAR Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi Visiwani Zanzibar kwa kupambana na uhalifu hali iliyopelekea kupungua kwa matukio [---] ambapo matukio [----] yaliripotiwa mwaka [----] huku mwaka [----] yakiripotiwa matukio [----]. Akizungumza na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi Visiwani humo Waziri Katambi alizungumzia pia kulindwa kwa watalii akikumbushia jitihada zilizofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hussein Ali Mwinyi katika kuutangaza na kuukuza utalii." [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=0Rd0QTUxn5c) 2026-02-12T13:54Z [----] followers, [---] engagements "ULINZI WA LISSU KAMA MASHEIKH WA UAMSHO Ni shangwe .Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimshangilia Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama hicho anayeshtakiwa kwa uhaini alipokuwa anaingia kwenye chumba Na.1 cha Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizaji wa shauri hilo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=fQz4LCsIZHA) 2026-02-12T13:38Z [----] followers, [---] engagements "LISSU AZIDIWA NGUVU NA VITABU Ni shangwe .Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimshangilia Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama hicho anayeshtakiwa kwa uhaini alipokuwa anaingia kwenye chumba Na.1 cha Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizaji wa shauri hilo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=W3sM1uF1j7k) 2026-02-12T13:02Z [----] followers, [--] engagements "UWANJA WA NDEGE ZANZIBAR WARUKA KIMANGA WIZI WA MIZIGO Mamlaka ya uwanja wa Ndege Zanzibar imekanusha na kuruka kimanga kuhusiana na kuibiwa kwa mizigo ya wafanyabiashara waliosambaza kwneye mitandao ya kijamii Mkurugenzi Mamlaka ya uwanja wa Ndege Zanzibar Seif Abdalllah Juma aliwaambia waandishi wa habari kwamba uongozi wa mamlaka ya uwanja wa ndege umeunda kamati ya uchunguzi na kubaini mizigo hio haikutolewa katika uwanja huo hivyo kukanusha taarifa hizo zilizosambazwa na vyombo vya habari. Tukio la wafanyabiashara kulalamikiwa kuibiwa mizigo yao na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=7KtLW2-JIFA) 2026-02-12T07:27Z [----] followers, [---] engagements "VURUGU NYINGI ZINAANZIA MTANDAONI Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelitaka Jeshi la Polisi kutumia kitengo cha Makosa ya kimtandao katika kuthibiti matukio ya uhalifu ikiwemo utapeli wa mitandao na vitendo vya uvunjifu wa maadili na vitendo vinavyoenda kinyume na tamaduni za nchi yetu. Katambi ameyasema hayo leo Februari [------] wakati akizungumza na Maafisa Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali wa Mikoa mitatu ya Unguja Zanzibar. Amesema pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa katika kupambana na vitendo vya utapeli wa mtandao lakini bado wananchi wameendelea kutapeliwa hivyo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=jbWH9qHc61s) 2026-02-11T20:27Z [----] followers, [--] engagements "OMO ATOBOA SIRI YA MARIDHIANO PEMBA Mwenyekiti wa Chama cha ACT wazalendo Taifa Othman Masoud Othman amesema kwamba wananchi wa Zanzibar watarajie kwamba katika kipindi kifupi kijacho viongozi wa pande mbili za mazungunzo kati ya CCM na ACT watakuja hadharani kuelezea mambo ya msingi waliyokubaliana kwenye mazungunzo yao ya kisiasa. Othman ambaye pia ni makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu Zanzibar ameyasema katika ofisi za chama hicho zilizopo kijiji cha Ngazi Jimbo la Chambani mkoa wa kusini Pemba alipokzungunza na viongozi mbali mbali wa chama hicho kuelezea hatua iliyofikiwa katika kutafuta" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=9pH-qWx5kZ8) 2026-02-11T19:18Z [----] followers, [---] engagements "CT WAPONGEZANA HATUA WALIOFIKIA Mwenyekiti wa ACT Wazalendo (Taifa) Othman Masoud Othman amesema mchakato wa mazungumzo ya kuupatia suluhu ya kudumu mgogoro wa kisiasa Zanzibar unakwenda vyema. Akizungumza na viongozi na wanachama wa chama chake kwenye mkutano wa ndani hivi leo kusini kwa kisiwa cha Pemba Mheshimiwa Othman amesema jumla ya vikao sita vimefanyika baina ya mwezi Novemba na Februari [--] chini ya usimamizi wa viongozi wanaoheshimika Zanzibar. Kwenye vikao hivi kila upande uliwasilisha hoja zake na kwa pamoja tumezipitia. Ziko ambazo kila upande uliomba ziondolewe na ziko ambazo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=0E4-iYIwjL4) 2026-02-11T19:09Z [----] followers, [---] engagements ""RAIS" ATINGA MAHAKAMANI Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amepanda kwenye kizimba katika Chumba cha [--] cha Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kuendelea na kesi ya uhaini inayomkabili. Wakati akipandishwa kizimbani baadhi ya watu waliokuwa mahakamani hapo walisikika wakishangilia kwa sauti za Rais Rais Rais" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=fDeuXs6He6Q) 2026-02-11T14:56Z [----] followers, [----] engagements "CHAUMMA YATUPIWA LAWAMA Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) PatricK Assenga amesema kuwa chama chake kimepoteza uelekeo na kwamba hakitekelezi wajibu wake wa kisiasa . Wanamuimbia mapambio mtawala. Hatuana tunachokifanya kwenye siasa wajibu wa chama vya upinzani ni kuikosoa chama kilichokuwa madarakani kwa sera zake na namna wanavyoendesha nchi ndio wajibu wa chama cha siasa kinapaswa kusimama kwa niaba ya umma umma ambao unaoutaka kesho na kesho kutwa wakuamini wakupigie kura ndio maana sisi wengine tumejitanabaisha wazi kuwa Chaumma hawako sawa huu ndio msimamo wangu kwamba Chauma" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=s8l7jtUjqxQ) 2026-02-11T14:20Z [----] followers, [--] engagements "AYOUB AJITAMBULISHA ZANZIBAR Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi uliofika ofisini kwake Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar kwa ajili yakujitambulisha" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=riugMi9dKIk) 2026-02-11T12:48Z [----] followers, [---] engagements "OMO APOKEWA KWA SHANGWE PEMBA/ MWIKO KUKATA TAMAA Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa Othman Masoud Othman amewasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya ziara ya kikazi. Alipowasili Uwanja wa Ndege Othman amelakiwa na Wafuasi Wanachama na Wapenzi wa Chama chake kutoka maeneo mbali mbali Kisiwani humo. Katika ziara hiyo ameambatana na Mke wake Mama Zainab Kombo Shaib ameongozana na Viongozi mbali mbali wakiwemo Makamu Mwenyekiti wa Chama na Naibu Katibu Mkuu wote upande wa Zanzibar Ismail Jussa na Omar Ali Shehe.Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1EEXyZLxE7c) 2026-02-11T07:49Z [----] followers, [---] engagements "BREAKING NEWS: MAPYA YAIBUKA MAHAKAMANI" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=VvgEZ6hch6A) 2026-02-10T14:04Z [----] followers, [----] engagements "DK NSHALA KUPIGIA MSUMARI TENA DK. Rugemeleza Nshala Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesisitiza kuwa mwenendo wa kesi ya Lissu umedorora na kwamba umetumika muda mrefu bila kusikilizwa na kwamba kesi hiyo ina siku [---] lakini imesikilizwa siku [--] pekee" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=o6nfXzGeFwA) 2026-02-10T10:08Z [----] followers, [--] engagements "BWEGE AWALILIA NA MAASKOFU/MASHEKHE Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Seleman Bungara maarufu kama Bwege ametoa wito kwa wadau wa kada mbalimbali wakiwemo wanasiasa viongozi wa dini wanaharakati na Watanzania kwa ujumla kuhakikisha wanamuombea na kumuunga mkono Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini. Bwege ametoa kauli hiyo leo Jumatatu [--] Februari [--] 2026Katika alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam alikokwenda kufuatilia mwenendo wa kesi hiyo. Amesema anaamini kuwa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1n33Z7y1O0E) 2026-02-10T09:44Z [----] followers, [---] engagements "HECHE BADO ANA HASIRA NA CCM John Heche Makamu Mwenyekiti wa Chadema. Hatutakubali Blackmail (kutishiwa) hii kesi wanataka kuitumia kama blackmail kwamba wamemkamata Mwenyekiti wanakaa naye halafu wanatengeneza masharti kwamba fanya hivi mara ya kwanza walisema kubali tukuachie kubali tukuachie uende Ulaya Mwenyekiti amewaambia hawezi kukubali wakae naye mpaka siku watakapomuachia bila masharti. Wanatumia hii wakifikiri kwamba wanatulazimisha tukubaliane na maagizo makubaliano au kitu wanachokiita maridhiano ya uongo hatutakubali Lissu aachiwe kwa masharti" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=V-gYl2f8ad8) 2026-02-10T09:35Z [----] followers, [--] engagements "BWEGE AMFUATA LISSU MAHAKAMANI Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini (CUF) Seleman Bungara 'Bwege' amefika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kusikiliza shauri Na. 19605/2026 la uhaini linalomkabili Tundu Lissu Mweyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=AHLlFJx_GRQ) 2026-02-09T12:03Z [----] followers, [--] engagements "BAADA YA SIKU [--] LISSU AFIKISHWA MAHAKAMANI Baada ya siku [--] tangu kuahirishwa kwa shauri la uhaini Na. 19605/2025 linalomkabili Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo tarehe [--] Februari [----] amefikishwa kwa mara nyingine kwenye Mahakama kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kuendelea na usikilwaji wa kesi hiyo. Leo upande wa Jamhuri utawasilisha majibu yao dhidi ya pingamizi liliwasilishwa mahakamani hapo na Lissu. Awali Lissu aliibua pingamizi la uhalali wa kutumika kwa sheria ya kulinda mashahidi akidai kuwa sheria hiyo haijachapishwa kwenye" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=e-mU0Vag_e8) 2026-02-09T07:47Z [----] followers, [---] engagements "MAUWANI KIWANI WAWEKEWA MAMBO SAWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Hemed Suleiman Abdulla akikagua maendeleo ya uchimbaji wa Kisima katika kijiji cha Mauwani Kiwani Pemba" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=qPMHZW-hFks) 2026-02-08T13:01Z [----] followers, [--] engagements "MAHAKAMA ZANZIBAR KUACHANA NA MAKARATASI KUJA TEKNOLOJIA - MAKAMU Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amewataka wananchi kuendelea kuwa karibu na Mahkama katika kupata haki zao na ellimu ya sheria jambo ambalo litawasaidia kuondokana na changamoto na vikwazo mbalimbali vinavyotokea kwa kutokujua sheria. Ameyasema hayo katika matembezi ya wiki ya sheria yaliyoanzia Bank ya PBZ Chake Chake na kumalizia katika Uwanja wa Mpira Gombani Kisiwani Pemba. Amesema kuna umuhimu mkubwa wa kufanya mazoezi walau dakika thelathini ( [--] ) kwa siku kwa lengo la kutunza afya na kuepuka" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=x16daZjdITg) 2026-02-08T12:05Z [----] followers, [---] engagements "JAJI MKUU APONGEZWA KWA UBUNIFU Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akiongoza matembezi ya Wiki ya Sheria yaliyoanzia Benki ya PBZ Chake Chake na kumalizia katika Uwanja wa Mpira wa Gombani Chake Chake Pemba" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=6N3bRrl8xTg) 2026-02-08T10:43Z [----] followers, [--] engagements "KIWANI YAANZA KUBADILISHWA Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Hemed Suleiman Abdulla amesema kwa kushirikiana na viongozi wenzake watahakikisha wanalipa kipaombele suala la tahfidh qur-ani ndani ya Jimbo la Kiwani. Ameyasema hayo katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa madrasat Thamarat Jamii na madrasatu Thamarat Jannah zilizomo katika Shehia ya Mwambe Jimbo la Kiwani Pemba. Amesema katika kuhakikisha elimu ya Qur-an inaimarika zaidi jimboni humo uongozi wa Jimbo wamejipanga kuweka mazingira bora salama na rafiki kwa walimu" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=psfCh4MYKQk) 2026-02-07T17:08Z [----] followers, [--] engagements "SAFARI YA KUTEKELEZA AHADI ZA CCM IMEANZIA KIWANI Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Hemed Suleiman Abdulla ametembelea Bonde la mpunga lililopo Mwambe kwa Shavuai kukagua namna wananchi wanavyopatiwa huduma ya kulimiwa mashamba yao kwa kutumia Trekta la Jimbo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=iNozYXT_1pM) 2026-02-07T15:24Z [----] followers, [--] engagements "BREAKING NEWS: ZEC WAPIGWA "STOP" KUTEKETEZA NYARAKA Mahakama Kuu Zanzibar mbele ya Jaji Salma Ali Hassan imetoa amri ya kumesitisha kitendo (Status Qou) katika maombi madogo ya madai Na. [--] ya mwaka [----] amri hiyo imesimamisha rasmi mpango wa Tumenya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wa kuharibu vifaa na nyaraka za uchaguzi mkuu wa October 2025" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=PI0IA0QplL4) 2026-02-06T19:20Z [----] followers, [----] engagements "ZANZIBAR IKIGOMBEWA KWA HADHI YAKE- OMO Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amesema Uzuri wa Visiwa vya Zanzibar unatokana na akhlaki za watu wake Dini Ustaarabu na upendo uliojengeka tangu asili na zama; wala siyo mandhari ya fukwe kama isemwavyo sasa na baadhi ya watu" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=2KB5a3oa3yk) 2026-02-06T14:04Z [----] followers, [---] engagements "BILA YA ILMU NAFSI ITACHEZEWA TU - OMO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman leo Februari [--] [----] amejumuika na Waumini wa Kiislamu katika Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Huda Msikiti uliopo Chwaka Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja. Akitoa salamu zake mara baada ya Ibada hiyo Alhaj Othman amesema kukosekana kwa elimu sahihi uadilifu na kukinai kunapelekea kushindwa kuzichunga nafsi na hatimaye upotofu katika jamii. Ameitaja hali hiyo kwamba inakuja kwa kupuuza Misingi ya Dini; kisha kupoteza muelekeo wa nafsi na hatimaye kusababisha" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1z8318cpNjI) 2026-02-06T13:12Z [----] followers, [---] engagements "TAMASHA HILI LINA IMPACT KUBWA - LORENZ HERMAN Meneja wa Busara Promotion Lorenz Herman amesema Tamasha la Sauti za Busara ni Tamasha kubwa na lenye impact kubwa kwani Matamasha kama hayo huwa yanasaidia kuitangaza Zanzibar kiuchumi na kuleta wageni wengi wa kila aina na kutoka mataifa tofauti" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=KKbC9r43iqY) 2026-02-05T19:47Z [----] followers, [--] engagements "VIJANA CCM SOMENI HISTORIA YA CHAMA - HEMED Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Mlezi wa Mkoa wa Tanga Kichama ndugu Hemed Suleiman Abdulla amesema Chama cha Mapinduzi kikiwa kinatimiza miaka [--] tangu kuzaliwa kwake kuna umuhimu mkubwa wa vijana kupatiwa Elimu juu ya historia ya CCM tokea kuasisiwa kwake hadi kilipofikia. Ameyasema hayo katika maadhimisho ya Miaka [--] ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi yaliyofanyika katika Uwanja wa Stendi ya Bombani Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga. Amesema Ikiwa Serikali inaendelea kutekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo vijana" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Ncy1XG6AAds) 2026-02-05T15:02Z [----] followers, [--] engagements "WANANCHI WAHIMIZWA KUTENDA KHERI Wazazi na walezi wametakiwa kushirikiana na walimu wa madrasa katika kuwalea vijana kwa kufuata misingi ya dini ya kiislamu na mafundisho ya Bwana Mtume Muhammad (S.A.W ) Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla katika maadhimisho ya Maulid ya kuzaliwa kwa mtume Muhammad (S.A.WA ) yaliyoyanyika katika Mtaa wa BAKWATA Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga. Amesema kuwalea vijana katika malezi bora yenye kufuata mafundisho yaliyomo ndani ya kitabu kitakatifu cha Qur-an pamoja na kuwapatia elimu yenye manufaa kutapelekea kupata" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4IKaCBn6DL8) 2026-02-05T14:09Z [----] followers, [--] engagements "BUSARA HUCHAGIZA UCHUMI ZANZIBAR - SIMAI Mwenyekiti wa Tamasha la Sauti la Busara Zanzibar Simai Mohammed Said amesema tamasha hilo ni miongoni mwa Tamasha bora duniani na kwamba uwepo wake unachangia uchumi Zanzibar" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=jMSV3haQpxk) 2026-02-05T13:55Z [----] followers, [--] engagements "NI TAMASHA LA AINA YAKE - JARNEY Mkurugenzi wa Tamasha la [--] la Sautibza Busara Jarney Ramadhani amesema matayarisho yote yamekamilika na leo ndio Tamasha litaanza kwa wasanii mbali mbali wa ndani na nje ambalo ameliita nibtamaa la kipelee ambalo kwa mwaka huu litafanyika viwanja vya Mnazi Mmoja badala ya Ngome Kongwe" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=-ggai91epy4) 2026-02-05T12:12Z [----] followers, [--] engagements "SAUTI ZA BUSARA KUHAMIA MNAZI MMOJA - ZAKIA Zakia Lulu Mdemo mkuu wa mawasiliano wa Sauti za Busara amesema mwanzo walikuwa na khofu kwenye kushiriki Tamasha la Busara la [--] kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Manazi Mmoja ambapo ni kwa mara ya kwanza kufanyika katika Mji Mkongwe Ngome Kongwe. Amesema kutakuwa na Busara Bazaar ambalo ni la wajasiriamali mbali mbali kuuza bidhaa zao" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=SHGHpcceQxE) 2026-02-05T06:39Z [----] followers, [--] engagements "LEO NI LEO TAMASHA LA BUSARA - GULAM Naibu waziri anayeshughulikia sanaa na michezo Ali Abdul Gulam amesema kwa mara ya kwanza tamasha la Sauti za Busara hivyo kila kitu kimekamilika na kuwakaribisha wazanzibari kushiriki katika tamasha hilo kutokana na kuwa haitakuwa vizuri kuja wageni huku wenyewe wakawa hawashiriki" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=BMdbGgFF7Lw) 2026-02-05T06:27Z [----] followers, [--] engagements "UKWELI HAUCHOMWI MOTO - JUSSA Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha ACT Wazalendo Jussa Landu akijibu masuala ya Waandishi wa Habari amesema ukweli hauchomoki hivyo hata kama nyaraka zitachomwa ukweli utabaki" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=9ipspmrU_58) 2026-02-05T04:59Z [----] followers, [--] engagements "ZEC WANA "KIBURI" ASEMA JUSSA Makamu Mwenyekiti wa wa Chama Cha ACT Wazalendo Ismail Jussa Ladhu amesema Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inafanya kazi kwa kiburi na haiwashirikishi wadau wa siasa ikiwemo wao. Jussa amesema hayo wakati akijibu masuali ya waandishi wa habari kuhusiana na iwapo ACT imefanya mashauriano na ZEC kwenye masuala yanayoendelea kwenye tume hiyo" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=9tt_tsQyNmk) 2026-02-05T04:40Z [----] followers, [---] engagements "ZEC KUWAALIKA WADAU MAALUM KUSHUHUDIA KUTEKETEZA NYARAKA ZA UCHAGUZI Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar George Joseph Kazi amejibu ametoa maelezo juu ya kauli zilizotolewa na Chama Cha ACT Wazalendo juu ya hatua hiyo ya ZEC kutaka kuteketeza nyaraka zote za uchaguzi wa October [----] uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=_zrpBSAg6LI) 2026-02-04T17:35Z [----] followers, [---] engagements "ZEC WAJIFICHA KWENYE KICHAKA - JUSSA Akizungumza leo na waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu ya chama cha ACT-Wazalendo zilizoko Vuga mjini Unguja Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Ismail Jussa amesema kwamba hatua ya kuazimia kuteketeza nyaraka za uchaguzi mkuu wa [----] ina maana kwamba tume inakusudia kuharibu maendeleo ya kesi [--] zilizofunguliwa na wagombea waliopitishwa na chama hicho kuwania viti vya uwakilishi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Y5a8RUaOFgg) 2026-02-04T16:17Z [----] followers, [----] engagements "ACT YAPINGA ZEC KUTEKETEZA NYARAKA ZA UCHAGUZI Chama kikuu cha upinzani Zanzibar cha ACT-Wazalendo leo kimepinga hatua ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC kutekeleza mpango wa kuteketeza nyaraka zote za uchaguzi mkuu uliofanyika October [--] mwaka jana kikidai kuwa hatua hiyo ni kinyume cha sheria na inalenga kuhujumu haki ya msingi ya ushahidi unaohitajika mahakamani" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=yf0r7bhcFd8) 2026-02-04T16:10Z [----] followers, [---] engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@salmavoice_ ZANZIBAR YETUZANZIBAR YETU posts on YouTube about zanzibar, omo, leo, tanzania the most. They currently have [-----] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence travel destinations countries currencies finance
Social topic influence zanzibar #44, omo #243, leo, tanzania, zec, ali, kwanza, breaking news, breaking, humo
Top posts by engagements in the last [--] hours
"ZANZIBAR NA UTAPELI WA MITANDAO UNYANG'ANYI MADUKANI Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja lilifanya Operesheni kuanzia tarehe [--] Januari [----] ambapo katika Operesheni hiyo limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa [--] wanaohusika kwa wizi wa vifaa vya ujenzi kwa njia ya udanganyifu Wahalifu wa Unyang'anyi kwa kutumia silaha na matapeli wa fedha. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe [--] Februari [----] na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Thadei Mchomvu wakati akizungumza na vyombo vya habari huko ofisini kwake Madema. Amesema"
YouTube Link 2026-02-03T17:35Z [----] followers, [--] engagements
"JUSSA APONGEZA LICHA YA YOTE PEMBA BADO MOTO WA MBALI Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha ACT Wazalendo Ismail Jussa akizingumza na wafuasi na wanachama wa chama hicho na kuwapongeza kwa kuonesha hamasa kwa chama chao hali inayodhihirisha kwamba wananchi wa Pemba bado wana imani na chama chao"
YouTube Link 2026-02-14T06:17Z [----] followers, [---] engagements
"TUTUMIENI FURSA YA KISWAHILI - HEMED Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na viongozi mbali mbali na wadau wa lugha ya kiswahili katika Maadhimisho ya kutimia miaka kumi (10) ya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar"
YouTube Link 2026-02-14T12:42Z [----] followers, [--] engagements
"OMO AWASEMA CCM KINAMNA FULANI Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea kushikamana na kuimarisha harakati za kukiendeleza chama. Akizungumza katika eneo la Wingwi Mapofu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Tawi la Mapofu A Mheshimiwa Othman alisema kuwa nguvu ya chama hicho inatokana na mshikamano wa wanachama wake. Umoja huu tulionao ndio unaowatia kiwewe wapinzani wetu alisema Othman. Aliongeza kuwa ujenzi wa matawi unaoendelea unaliweka chama katika nafasi bora zaidi ya kisiasa"
YouTube Link 2026-02-14T12:12Z [----] followers, [----] engagements
"JUSSA ATOA WITO KWA WANA ACT WOTE Makamo Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO Ismail Jussa Landu ametoa wito kwa wafuasi wa ACT kuendelea na kukiunga mkono chama hicho bila ya kuchoka"
YouTube Link 2026-02-14T06:24Z [----] followers, [----] engagements
"WAKILI WA ACT ATOA NENO BAADA YA UAMUZI WA MAHAKAMA Mahakama Kuu ya Zanzibar leo imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa Uwakilishi kutoka Majimbo [--] yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchoma au kuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo (Affidavits) vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi kwa madai kuwa Mkuu wa Viapo (Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji hakuwa amehuisha leseni yake ya mwaka [----]. ZEC watoa neno na ACT pia"
YouTube Link 2026-02-13T15:02Z [----] followers, [----] engagements
"OMO AKARIBISHWA TUMBATU KWA DUA Mwenyekiti wa Taifa wa ACT-Wazalendo Alhaj Othman Masoud Othman leo Novemba [--] [----] amejumuika na Waumini wenzake wa Kiislamu pamoja na Wananchi katika Sala ya Ijumaa hapo Msikiti Mkubwa wa Shangani Mkokotoni Jimbo la Kijini Mkoa wa Kaskazini Unguja. Mara baada ya Ibada hiyo Viongozi pamoja na Waumini wa Mkoa wa Kichama wa Kaskazini A Unguja wameshiriki katika Dua Maalum kwaajili ya Mheshimiwa Alhaj Othman ili Mwenyezi Mungu Amfanyie wepesi katika Majukumu yake na ya Chama chake; Dua ambayo imeongozwa na Jopo la Walimu na Masheikh mashuhuri wakiwemo Sheikh"
YouTube Link 2025-11-22T15:16Z [----] followers, [----] engagements
"OTHMAN ATAMKA MAZITO JUKWAANI Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Othman Masoud Othman amesema wananchi wa Zanzibar hawataki kuonewa wamechoka. Akizungumzia ahadi amesema kwamba iwapo atashinda serikali atakayoiyunda itahakikisha kuzisimaimia ipasavyo rasilimali za Zanzibar zikiwemo mafuta na gesi asilia ili zichimbwe na zitumike kwa faida ya nchi na wananchi waweze kuneemeka nazo. Hayo ameyasema huko viwanja vya Laurent Ole Kianga Jimbo la Ole Mkoa wa kusini Pemba alipozungunza katika mkutano wa hadhara wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba [--] mwaka huu. Othman amefahamisha"
YouTube Link 2025-10-21T20:17Z [----] followers, [---] engagements
"OMO AMCHOKOZA HEMED KIWANI Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameanza kumchokoza Mgombea wa Kiwani Hemed Suleiman Abdulla Jimboni kwake Kiwani"
YouTube Link 2025-10-15T04:07Z [----] followers, [----] engagements
"YANGA NA UBINGWA WA PENALTI [--] Matokeo ya Mpira kati ya Azam na Yanga Kisiwani Pemba Yanga walishinda kwa penalti baada ya timu zote kutoka sare. Kwa hivyo yanga ndio bingwa wa Mapinduzi Cup mwaka 2026"
YouTube Link 2026-01-14T06:52Z [----] followers, [--] engagements
"KUNA SHIDA GANI KUMUONDOSHA FAINA - OTHMAN Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameonesha kutokuwepo kwa ridhaa ya pande mbili katika kuendeshwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa huku akitoa mfano wa subira yao ya maamuzi ya kuondoshwa kwa Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina katika nafasi yake hiyo na kuwekwa mtu mwengine ili kuwa na imani na tume hiyo. Kutokuridhishwa kwa chama hicho juu ya Mkurugenzi huyo ni kumetokana uchaguzi wa October mwaka [----] ambao unaelezwa kuwa na maafa makubwa ya ukatili na mauaji yaliofanyika katika visiwa vya"
YouTube Link 2025-11-11T07:22Z [----] followers, [---] engagements
"SAMIA AZINDUA JENGO LA CHUO KIKUU Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Jengo la Taaluma na Utawala na Bweni la Wanafunzi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Taasisi ya Sayansi za Bahari Buyu Zanzibar tarehe [--] Januari 2026"
YouTube Link 2026-01-08T22:08Z [----] followers, [--] engagements
"BABU DUNI HAJAFA MSIZUE - BIMANI Katibu wa Habari na Uenezi Salum Bimani amesema kuna watu walifanya uchuro wa kumtangazia kifo Mwenyekiti Mstaafu Babu Juma Duni Haji. Bimani ameuarifu umma na wanachama kwamba Babu Duni yuhai na amehudhuria mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika viwanja vya Garagara katika Jimbo la Mwera ambapo haumi na afya yake nzuri kabisa"
YouTube Link 2025-10-18T14:41Z [----] followers, [---] engagements
"BAKWATA "IMEPORA MALI" - USTADH JUMA Bakwata tangu ilivyoundwa imekuwa ikitengeneza migogoro na mifarakano kwenye jamii ya kiislamkuna migogoro mingi na mengine ipo mahakamani" Ustadh Juma Hussein Kilaghai amewaambia waandishi wa habari. Kilaghai amesema yeye ni miongoni mwa waislam kumi na mbili (12) walioishtakiwa na Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA). Amesema BAKWATA imejaribu kwenda kwenye jumuiya na taasisi kwenda kufanya vurugu na kunyanganya mali zao na ushahidi wa hayo upo"
YouTube Link 2026-01-03T18:24Z [----] followers, [---] engagements
"CT WAPONGEZANA HATUA WALIOFIKIA Mwenyekiti wa ACT Wazalendo (Taifa) Othman Masoud Othman amesema mchakato wa mazungumzo ya kuupatia suluhu ya kudumu mgogoro wa kisiasa Zanzibar unakwenda vyema. Akizungumza na viongozi na wanachama wa chama chake kwenye mkutano wa ndani hivi leo kusini kwa kisiwa cha Pemba Mheshimiwa Othman amesema jumla ya vikao sita vimefanyika baina ya mwezi Novemba na Februari [--] chini ya usimamizi wa viongozi wanaoheshimika Zanzibar. Kwenye vikao hivi kila upande uliwasilisha hoja zake na kwa pamoja tumezipitia. Ziko ambazo kila upande uliomba ziondolewe na ziko ambazo"
YouTube Link 2026-02-11T19:09Z [----] followers, [---] engagements
"OMO APOKEWA KWA SHANGWE PEMBA/ MWIKO KUKATA TAMAA Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa Othman Masoud Othman amewasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya ziara ya kikazi. Alipowasili Uwanja wa Ndege Othman amelakiwa na Wafuasi Wanachama na Wapenzi wa Chama chake kutoka maeneo mbali mbali Kisiwani humo. Katika ziara hiyo ameambatana na Mke wake Mama Zainab Kombo Shaib ameongozana na Viongozi mbali mbali wakiwemo Makamu Mwenyekiti wa Chama na Naibu Katibu Mkuu wote upande wa Zanzibar Ismail Jussa na Omar Ali Shehe.Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO"
YouTube Link 2026-02-11T07:49Z [----] followers, [---] engagements
"BWEGE AWALILIA NA MAASKOFU/MASHEKHE Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Seleman Bungara maarufu kama Bwege ametoa wito kwa wadau wa kada mbalimbali wakiwemo wanasiasa viongozi wa dini wanaharakati na Watanzania kwa ujumla kuhakikisha wanamuombea na kumuunga mkono Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini. Bwege ametoa kauli hiyo leo Jumatatu [--] Februari [--] 2026Katika alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam alikokwenda kufuatilia mwenendo wa kesi hiyo. Amesema anaamini kuwa"
YouTube Link 2026-02-10T09:44Z [----] followers, [---] engagements
"BWEGE AMFUATA LISSU MAHAKAMANI Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini (CUF) Seleman Bungara 'Bwege' amefika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kusikiliza shauri Na. 19605/2026 la uhaini linalomkabili Tundu Lissu Mweyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)"
YouTube Link 2026-02-09T12:03Z [----] followers, [--] engagements
"HECHE BADO ANA HASIRA NA CCM John Heche Makamu Mwenyekiti wa Chadema. Hatutakubali Blackmail (kutishiwa) hii kesi wanataka kuitumia kama blackmail kwamba wamemkamata Mwenyekiti wanakaa naye halafu wanatengeneza masharti kwamba fanya hivi mara ya kwanza walisema kubali tukuachie kubali tukuachie uende Ulaya Mwenyekiti amewaambia hawezi kukubali wakae naye mpaka siku watakapomuachia bila masharti. Wanatumia hii wakifikiri kwamba wanatulazimisha tukubaliane na maagizo makubaliano au kitu wanachokiita maridhiano ya uongo hatutakubali Lissu aachiwe kwa masharti"
YouTube Link 2026-02-10T09:35Z [----] followers, [--] engagements
"BREAKING NEWS: MAPYA YAIBUKA MAHAKAMANI"
YouTube Link 2026-02-10T14:04Z [----] followers, [----] engagements
"LISSU AZIDIWA NGUVU NA VITABU Ni shangwe .Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimshangilia Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama hicho anayeshtakiwa kwa uhaini alipokuwa anaingia kwenye chumba Na.1 cha Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizaji wa shauri hilo"
YouTube Link 2026-02-12T13:02Z [----] followers, [--] engagements
"BAADA YA SIKU [--] LISSU AFIKISHWA MAHAKAMANI Baada ya siku [--] tangu kuahirishwa kwa shauri la uhaini Na. 19605/2025 linalomkabili Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo tarehe [--] Februari [----] amefikishwa kwa mara nyingine kwenye Mahakama kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kuendelea na usikilwaji wa kesi hiyo. Leo upande wa Jamhuri utawasilisha majibu yao dhidi ya pingamizi liliwasilishwa mahakamani hapo na Lissu. Awali Lissu aliibua pingamizi la uhalali wa kutumika kwa sheria ya kulinda mashahidi akidai kuwa sheria hiyo haijachapishwa kwenye"
YouTube Link 2026-02-09T07:47Z [----] followers, [---] engagements
"DK NSHALA KUPIGIA MSUMARI TENA DK. Rugemeleza Nshala Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesisitiza kuwa mwenendo wa kesi ya Lissu umedorora na kwamba umetumika muda mrefu bila kusikilizwa na kwamba kesi hiyo ina siku [---] lakini imesikilizwa siku [--] pekee"
YouTube Link 2026-02-10T10:08Z [----] followers, [--] engagements
"MAUWANI KIWANI WAWEKEWA MAMBO SAWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Hemed Suleiman Abdulla akikagua maendeleo ya uchimbaji wa Kisima katika kijiji cha Mauwani Kiwani Pemba"
YouTube Link 2026-02-08T13:01Z [----] followers, [--] engagements
"AYOUB AJITAMBULISHA ZANZIBAR Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi uliofika ofisini kwake Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar kwa ajili yakujitambulisha"
YouTube Link 2026-02-11T12:48Z [----] followers, [---] engagements
"CHAUMMA YATUPIWA LAWAMA Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) PatricK Assenga amesema kuwa chama chake kimepoteza uelekeo na kwamba hakitekelezi wajibu wake wa kisiasa . Wanamuimbia mapambio mtawala. Hatuana tunachokifanya kwenye siasa wajibu wa chama vya upinzani ni kuikosoa chama kilichokuwa madarakani kwa sera zake na namna wanavyoendesha nchi ndio wajibu wa chama cha siasa kinapaswa kusimama kwa niaba ya umma umma ambao unaoutaka kesho na kesho kutwa wakuamini wakupigie kura ndio maana sisi wengine tumejitanabaisha wazi kuwa Chaumma hawako sawa huu ndio msimamo wangu kwamba Chauma"
YouTube Link 2026-02-11T14:20Z [----] followers, [--] engagements
"TANZANIA INAONGOZA KWA USALAMA MITANDAONI - NAIBU AMJIBU DKT NASSRA Tanzania inaongoza kwa usalama mitandaoni kwa Afrika Mashariki na ni miongoni mwa nchi ya [--] zinazofanya vizuri duniani katika usalama mitandaoni. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano Teknolojia ya Habari na Ubunifu Mohammed Sijamini Mohammed katika kikao cha baraza la wawakilishi wakati akijibu suali lililo na Mwakilishi wa Viti Maalum Dkt Nassra Nassor Omar aliyetaka kujua kwa namna gani Serikali ina mikakati ya kupunguza udukuzi ndani ya wizara ili kulinda taarifa za wananchi"
YouTube Link 2026-02-14T05:13Z [----] followers, [---] engagements
"KATAMBI AWAPONGEZA POLISI ZANZIBAR Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi Visiwani Zanzibar kwa kupambana na uhalifu hali iliyopelekea kupungua kwa matukio [---] ambapo matukio [----] yaliripotiwa mwaka [----] huku mwaka [----] yakiripotiwa matukio [----]. Akizungumza na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi Visiwani humo Waziri Katambi alizungumzia pia kulindwa kwa watalii akikumbushia jitihada zilizofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hussein Ali Mwinyi katika kuutangaza na kuukuza utalii."
YouTube Link 2026-02-12T13:54Z [----] followers, [---] engagements
"BREAKING NEWS MAHAKAMA YATUPA MAOMBI YA ACT/WENYEWE WAFUNGUA MENGINE/ WAKILI ATOA NENO Mahakama Kuu ya Zanzibar leo imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa Uwakilishi kutoka Majimbo [--] yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchoma au kuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo (Affidavits) vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi kwa madai kuwa Mkuu wa Viapo (Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji hakuwa amehuisha leseni yake ya mwaka 2026"
YouTube Link 2026-02-13T12:15Z [----] followers, [----] engagements
"OMO ATOA DARSA ZITO MICHEWENI PEMBA Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea kushikamana na kuimarisha harakati za kukiendeleza chama. Akizungumza katika eneo la Wingwi Mapofu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Tawi la Mapofu A Mheshimiwa Othman alisema kuwa nguvu ya chama hicho inatokana na mshikamano wa wanachama wake. Umoja huu tulionao ndio unaowatia kiwewe wapinzani wetu alisema Othman. Aliongeza kuwa ujenzi wa matawi unaoendelea unaliweka chama katika nafasi bora zaidi ya"
YouTube Link 2026-02-14T12:23Z [----] followers, [----] engagements
"UWANJA WA NDEGE ZANZIBAR WARUKA KIMANGA WIZI WA MIZIGO Mamlaka ya uwanja wa Ndege Zanzibar imekanusha na kuruka kimanga kuhusiana na kuibiwa kwa mizigo ya wafanyabiashara waliosambaza kwneye mitandao ya kijamii Mkurugenzi Mamlaka ya uwanja wa Ndege Zanzibar Seif Abdalllah Juma aliwaambia waandishi wa habari kwamba uongozi wa mamlaka ya uwanja wa ndege umeunda kamati ya uchunguzi na kubaini mizigo hio haikutolewa katika uwanja huo hivyo kukanusha taarifa hizo zilizosambazwa na vyombo vya habari. Tukio la wafanyabiashara kulalamikiwa kuibiwa mizigo yao na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii"
YouTube Link 2026-02-12T07:27Z [----] followers, [---] engagements
"VIONGOZI WAFUNDISHWA MBINU ZA UONGOZI Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amesema ni jambo muhimu kwa viongozi wa Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zinazojitegemea kupatiwa mafunzo yatakayowajengea uwelewa mpana katika utekelezaji wa majukumu yao. Ameyasema hayo katika hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya wakuu wa Taasisi zinazojitegemea za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Zanzibar. Amesema mafunzo hayo kwa kiasi kikubwa yatawasaidia katika kutekeleza majukumu yao kutambua muelekeo sahihi wa Serikali"
YouTube Link 2026-02-12T13:54Z [----] followers, [---] engagements
"HAKI NA UADILIFU HAIPO KWENYE UONGOZI PEKEE - OMO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Alhaj Othman Masoud Othman amesema haki ya uadilifu haipo kwenye uongozi peke yake bali katika maisha ya yote ya muislamu. Amesema hayo leo Februari [--] [----] wakati akitoa salamu zake kwa Waumini wa Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Ikhtisam Msikiti uliopo Chambani Ukutini Mkoa wa Kusini Pemba. Amesema Changamoto za kisiasa na mitafaruku iliyopo kama itapewa nafasi ya kushamiri ni wazi hata thamani ya Ardhi hio tukufu itapotea. "Zanzibar ilijaaliwa tangu awali kuwa nchi"
YouTube Link 2026-02-13T20:16Z [----] followers, [---] engagements
""RAIS" ATINGA MAHAKAMANI Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amepanda kwenye kizimba katika Chumba cha [--] cha Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kuendelea na kesi ya uhaini inayomkabili. Wakati akipandishwa kizimbani baadhi ya watu waliokuwa mahakamani hapo walisikika wakishangilia kwa sauti za Rais Rais Rais"
YouTube Link 2026-02-11T14:56Z [----] followers, [----] engagements
"ULINZI WA LISSU KAMA MASHEIKH WA UAMSHO Ni shangwe .Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimshangilia Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama hicho anayeshtakiwa kwa uhaini alipokuwa anaingia kwenye chumba Na.1 cha Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizaji wa shauri hilo"
YouTube Link 2026-02-12T13:38Z [----] followers, [---] engagements
"VURUGU NYINGI ZINAANZIA MTANDAONI Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelitaka Jeshi la Polisi kutumia kitengo cha Makosa ya kimtandao katika kuthibiti matukio ya uhalifu ikiwemo utapeli wa mitandao na vitendo vya uvunjifu wa maadili na vitendo vinavyoenda kinyume na tamaduni za nchi yetu. Katambi ameyasema hayo leo Februari [------] wakati akizungumza na Maafisa Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali wa Mikoa mitatu ya Unguja Zanzibar. Amesema pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa katika kupambana na vitendo vya utapeli wa mtandao lakini bado wananchi wameendelea kutapeliwa hivyo"
YouTube Link 2026-02-11T20:27Z [----] followers, [--] engagements
"TUMESHAKUTANA MARA SITA KUSAKA MARIDHIANO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman amesema kwamba kinachozuia kuingia ama kutoingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) kwa sasa ni kutokana na kutokamilika na pia kuendelea mchakato wa mazungunzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiasa kati ya chama chake na CCM. Mhe. Othman ameyasema hayo huko ukumbi wa Baraza la wawakilishi wete Kaskazini Pemba alipozungunza na viongozi wa ngazi mbali wa chama chake kuelezea mwendendo wa mazungunzo hayo pamoja na mwelekeo wa Zanzibar kuendelea kuwepo ama kutokuwepo"
YouTube Link 2026-02-12T15:08Z [----] followers, [----] engagements
"KHARAMU HAIWEZI KUWA HALALI - OMO "Sisi Wazanzibari kuitafuta Amani ya kweli ya Nchi yetu ni jukumu letu la msingi". Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman leo Februari [--] [----] akitoa salamu zake kwa Waumini wa Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Ikhtisam Msikiti uliopo Chambani Ukutini Mkoa wa Kusini Pemba. Amesema Changamoto za kisiasa na mitafaruku iliyopo kama itapewa nafasi ya kushamiri ni wazi hata thamani ya Ardhi hio tukufu itapotea. "Zanzibar ilijaaliwa tangu awali kuwa nchi yenye neema ya"
YouTube Link 2026-02-13T21:00Z [----] followers, [---] engagements
"WAHIMIZWA KUCHANGIA KWA DAMU KWA AJILI YA RAMADHAN Jamii nchini imehimizwa kuendelea kujitolea kuchangia damu hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ili kuepuka uhaba wa damu katika benki ya damu salama. Wito huo umetolewa na Daktari Dhamana wa Wilaya ya Kati Bi. Amina Hussen Pandu mara baada ya kukamilika kwa zoezi la uchangiaji damu lililoandaliwa na Serikali ya Wilaya ya Kati kupitia Kitengo cha Damu Salama kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo Taasisi ya Direct Aid Zanzibar. Akizungumza baada ya zoezi hilo Daktari Pandu amesema kuwa katika kipindi cha Mwezi"
YouTube Link 2026-02-14T21:12Z [----] followers, [--] engagements
"ACT WALIA NA KUONDOSHWA BAKHRESSA Kampeni za uchaguzi mkuu wa ACT Wazalendo zimeendelea kuchukua kasi baada ya Meneja wa Kampeni za Urais wa chama hicho Ismail Jussa kufichua ufisadi mwengine mkubwa unaolikumba taifa katika sekta ya mafuta Zanzibar. Akihutubia wananchi waliofurika katika viwanja vya Kwa Geji Jimbo la Bububu Jussa adai Serikali iliyopo madarakani imekiuka kanuni za zabuni za uingizaji mafuta na kugeuza sekta hiyo kuwa sehemu ya manufaa ya wachache. Kanuni za Ununuzi wa Mafuta kwa Jumla (Petroleum Bulk Procurement Regulations 2017) ziko wazi kabisa. Zabuni ilitakiwa kupewa"
YouTube Link 2025-09-24T03:53Z [----] followers, [----] engagements
"CCM WAONYWA"
YouTube Link 2025-06-11T18:05Z [----] followers, [---] engagements
"TADEA WAIPA TANO ZEC - JUMA ALI KHATIB"
YouTube Link 2025-09-10T07:43Z [----] followers, [--] engagements
"ARAFA AKATAA KUVUNJA BANDA LAKE"
YouTube Link 2025-07-08T19:51Z [----] followers, [--] engagements
"WACHENI MAJUNGU - HEMED"
YouTube Link 2025-06-12T08:48Z [----] followers, [---] engagements
"CHUNGU NA TAMU -ALI HILAL"
YouTube Link 2025-07-09T04:26Z [----] followers, [---] engagements
"KIFO CHA MOHAMMED KIMENISHTUA - ALI SALEH AMWAMBIA SUDI MNETTE"
YouTube Link 2025-07-19T19:49Z [----] followers, [---] engagements
"MTIRIRIKO WA HIJJA"
YouTube Link 2025-06-05T10:48Z [----] followers, [---] engagements
"BENDERA CHUMA MLINGOTI CHUMA - OMO Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameahidi kuwa Serikali itakayoundwa chini ya uongozi wake itakuwa ya wananchi na kwa ajili ya wananchi. Amesema kipaumbele cha kwanza cha Serikali hiyo ni kuhakikisha wananchi wananufaika moja kwa moja na rasilimali za Taifa badala ya matunda ya uchumi kupotea mikononi mwa wachache. Ni wakati wa Zanzibar kurudishiwa heshima yake. Serikali yetu itahakikisha kila mwananchi ananufaika na rasilimali za ardhi bahari na mali asili. Hatutakubali wananchi wetu wabaki maskini wakati neema"
YouTube Link 2025-09-14T16:29Z [----] followers, [---] engagements
""I'M LOOKING FOR2ARD TO VISIT ZANZIBAR AGAIN" ABDALLAH KAYMAK"
YouTube Link 2025-09-09T03:39Z [----] followers, [--] engagements
"SALAMU ZA EID"
YouTube Link 2025-03-30T19:48Z [----] followers, [----] engagements
"TUKATIE UDHU TUENDELEE NA SAFARI- OMO"
YouTube Link 2025-09-01T06:58Z [----] followers, [----] engagements
"PEMBA YATENGENEZA UNGA WAKE"
YouTube Link 2025-07-22T18:49Z [----] followers, [---] engagements
"MZURI SANA NABIA - HASSAN UWESU Kasida ya Mzuri sana Nabia inewavutia watu wengi kutikana na mashairi yake yalivyotungwa na namna ya upigaji na usomaji wake katika Tamasha linalofanyika wakati wa kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad ambapo waislamu nchi nnyingi huadhimisha"
YouTube Link 2025-09-29T07:16Z [----] followers, [--] engagements
"CCM WANA HASHUO -OMO"
YouTube Link 2025-04-28T06:29Z [----] followers, [--] engagements
"SERIKALI YATOA ONYO"
YouTube Link 2025-07-12T05:19Z [----] followers, [--] engagements
"MPINA AKARIBISHWA PEMBA AHUTUBIA"
YouTube Link 2025-08-10T18:44Z [----] followers, [--] engagements
"MAPEMBE BASMATI MAPEMBE BEI CHEE"
YouTube Link 2025-08-13T09:40Z [----] followers, [---] engagements
"MAHUJAJI WAWEKWA HOTEL YA NDOTA TANO"
YouTube Link 2025-05-29T03:28Z [----] followers, [--] engagements
"OMO AKERWA KUTESWA AGATHER"
YouTube Link 2025-05-27T04:47Z [----] followers, [---] engagements
"SHEIKH ABUBAKAR ATOA NASAHA ZA ARAFA"
YouTube Link 2025-06-05T19:27Z [----] followers, [---] engagements
"JUSSA APINDUA HOJA ZA DK MWINYI Mwenyekiti wa Timu ya ushindi ya ACT WAZALENDO Ismail Jussa Ladhu amehoji ni kwa nini Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dkt Hussein Mwinyi hatekelezi ahadi zake alizoahidi miaka mitano iliyopita na badala yake anaahidi mengine wakato zile hajazitekeleza. Jussa amesema Dkt Mwinyi aliyempa jina la Bwamdogo kwamba hapaswi kuahidi kwa kuwa anapaswa kusema amefanya nini na nini kwa kuwa uwezo wa kutekeleza anao kwani yeye ndio aliyeshika mpini hivyo ana uwezo wa kufanya utekelezaji"
YouTube Link 2025-10-16T03:51Z [----] followers, [----] engagements
"OTHMAN ANAGUSWA - HASSAN JANI Mgombea wa ACT WAZALENDO Othman Masoud Othman ameelezwa kuwa ni mtu muadilifu na mwenye kuguswa na shida za watu"
YouTube Link 2025-10-01T14:31Z [----] followers, [---] engagements
"KAZI YA POLISI KULINDA MAISHA NA MALI"
YouTube Link 2025-08-07T14:59Z [----] followers, [--] engagements
"ZUBAYDA KACHOKA"
YouTube Link 2025-07-09T04:56Z [----] followers, [--] engagements
"KATA YA KYANG'OMBE WAIKUBALI ACT"
YouTube Link 2025-05-29T11:59Z [----] followers, [---] engagements
"HAJJAT RAYA HAMDAN ATOA YA MOYONI"
YouTube Link 2025-06-06T17:08Z [----] followers, [---] engagements
"ZANZIBAR TUMEKUPENDA - AT-TAAUN ISLAMIC GIRLS SEMINARY Wanafunzi [--] na walimu wao kutoka AT-TAAUN ISLAMIC GIRLS SEMINARY iliyopo Morogoro Tanzania wametembea maeneo ya vivutio vya kitalii katika maeneo mbali mbali ya Zanzibar. Katika ziara hiyo ya siku tatu walitembea maeneo ya Mji Mkongwe na kuona maeneo ya vivutio ikiwemo Makumbusho (Spices Musium) ya viungo iliyopo Hamamni walitembea pia Forodhani na kushuhudia vijana wa Makachu na kupita vichochoro vya Mji Mkongwe ambao ni Urithi wa Kimataifa. Maeneo mengine waliotembelea ni Maruhubi kuona kasri za Mfalme Sayyid Barghash walikwenda pia"
YouTube Link 2025-09-26T17:01Z [----] followers, [---] engagements
"QASIDA CONNECT US - ULE ZCAN"
YouTube Link 2025-09-09T03:48Z [----] followers, [--] engagements
"CCM TUTASHINDA BILA YA KURA GWAJIMA AHOJI"
YouTube Link 2025-08-23T12:04Z [----] followers, [---] engagements
"TULIPIGWA VITA SANA"
YouTube Link 2025-06-16T15:32Z [----] followers, [--] engagements
"ONLY FAIR POLLS GUARANTEE PEACE- OMO"
YouTube Link 2025-04-17T13:46Z [----] followers, [--] engagements
"KOMBO AMWAGIA SIFA RAIS SAMIA"
YouTube Link 2025-07-09T04:03Z [----] followers, [--] engagements
"OLE WAKE AISHINDE CCM - HEMED Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani (CCM) Hemed Suleiman Abdulla "Niwaombe sana wana Kiwani kutuunga mkono ilintuwaletee maendeleo huo ndio wasia wangu" amesema Hemed. Amesema kwa hali hii ole yenu kuwashinda CCM huna namna ya kuwashinda CCM. Aidha amesema katika kuwaletea maendeleo hakutakuwa na mtu kubaguliwa wananchi wote watatizamwa bila ya kubaguliwa muhimu wawe wananchi wa Kiwani. Amesema vijana wanaofaulu Kiwani ni wengi na wameamua kusaidiana na wazee ili kuwaendeleza kielimu. Amesema uchaguzi utapita salama CCM watashinda watamuapisha Rais na wataapishwa"
YouTube Link 2025-09-21T21:41Z [----] followers, [---] engagements
"RAIS APATIKANE KIHALALI - OMO"
YouTube Link 2025-09-01T07:42Z [----] followers, [----] engagements
"NASHUKURU TUMEMALIZA - KAZOBA"
YouTube Link 2025-06-06T17:33Z [----] followers, [---] engagements
"OMO AKUMBUSHA KILIO MATANGANI (PENNYROYAL) Zanzibar imejaaliwa kuwa na rasilimali nyingi zenye thamani kubwa ndani na nje ya nchi ikiwemo bahari ardhi utalii na biashara ya kimataifa ambazo zikisimamiwa ipasavyo zinaweza kuingiza mamilioni ya fedha na kufungua fursa za ajira na biashara. Hayo yameelezwa na Mgombea Urais wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman alipozungumza na wafanyabiashara katika Soko la Darajani Mjini Mkongwe wa Zanzibar ambapo amewaelezwa wafanyabiasha na wananchi aliokutana nao kwamba Serikali yake itakayoundwa iwapo atapewa ridhaa itaweka mfumo utakaowawezesha wafanyakazi"
YouTube Link 2025-09-20T13:10Z [----] followers, [----] engagements
"TUTAUWANA MPAKA LINI OMO AHOJI Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amehoji wanaopigania urais kwa hali na mali na kutaka kutoa roho za watu jee hicho cheo watu wanakwenda nacho Akhera hata iwe hata kwa kumwaga damu"
YouTube Link 2025-10-12T11:58Z [----] followers, [----] engagements
"ARAFA NI SIKU YA KUNYENYEKEA"
YouTube Link 2025-06-06T04:22Z [----] followers, [---] engagements
"PENCHENI [-----] NI AIBU - ACT Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amesema kwamba sera ya ACT katika suala la hifadhi ya jamii itakuja na mpango mpya wa Pencheni jamii itakayosaidia kuwatazama upya wastaafu ili waweze kuishi kwa kujiamini. Hayo ameyasema huko viwanja nyota nyekundu Mpapa Jimbo la Uzini wilaya ya Kati Mkoa wa kusini Unguja alipohutubia mkutano wa hadhara wa kampeni ya chama chake katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Othman amesema kwamba kiwango kinachotolewa sasa cha shilingi [--] kwa mwezi kuwapatia wazee ni kidogo nno"
YouTube Link 2025-09-24T20:04Z [----] followers, [---] engagements
"MATEMWE TUNANYANYASWA - MACHANO Machano Faki Juma Mkaazi wa Mtemwe amesema wao walidhani ukoloni umeshamaliza lakini bahati mbaya sana kwamba mpaka leo wananchi wa Matemwe wananyanyaswa wakati wanaambiwa hakuna ukoloni tena. Tunaonewa na wazee wetu wamesema hivi pamoja na nyie tunawaambia ukoloni umeondoka lakini Wallahi nasema huo ukoloni umezidi sasa hivi kuliko hiyo zamani sasa ndio ukoloni khasaa maana kunanyanyaswa kunateswa huna ruraha shida ya dunia Amesema. Amesema kuna watu wanakuja na bunduki haijulikani kunatafutwa nini lakini wananchi hawana furaha kwa kupitia shida mbali mbali"
YouTube Link 2025-09-22T07:58Z [----] followers, [---] engagements
"OMO ATUPIWA MADONGO NA HEMED Mgombea wa Uwakilishi wa jimbo a Kiwani Hemed Suleiman Abdullah amemrushia madongo kinamna Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cja ACT WAZALENDO Othman Masoud akitaka kama anataka kukosoa serikali kwanza ajiuzulu. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mkoani kusini mwa kisiwa cha Pemba Hemed amesema mtu huyo hafai uendelelea kuwepo serikalini kwa kuwa yeye ni sehemu ya serikali Ingawa Hemed hakumtaja kwa jina katika hutuba yake lakini ametaka atumie uungwana na hapaswi kukosoa serikali kwa sasa huku akiwashawisho wananchi wa Mkoani"
YouTube Link 2025-09-24T20:17Z [----] followers, [----] engagements
"IMAMU WA MASJID ASALAM MLANDEGE ZNZ"
YouTube Link 2025-06-05T20:24Z [----] followers, [---] engagements
"OMO AKUTANA NA WALIMU WA MADRASA Mgombea Urais wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameahidi kuwa Serikali atakayoiongoza itaweka historia mpya ya kuthamini walimu wa madrasa kwa kuwajumuisha rasmi katika mfumo wa malipo ya Serikali hatua itakayowaondoa kwenye maisha magumu wanayopitia kwa sasa. Akizungumza na walimu wa madrasa katika mkutano uliofanyika Wilaya ya Chake Chake Pemba Othman alisema walimu hao wamekuwa nguzo muhimu katika kujenga maadili misingi ya dini na malezi bora kwa watoto wa Zanzibar lakini Serikali iliyopo madarakani imeshindwa kuwaenzi_ ipasavyo. Alisema"
YouTube Link 2025-10-05T12:16Z [----] followers, [----] engagements
"WAZEE PEMBA WAMCHANGIA MILIONI SITA"
YouTube Link 2025-08-28T12:49Z [----] followers, [---] engagements
"KWA NINI OTHMAN - SEIF KHAMIS Mjumbe wa Kamati Kuu wa ACT Seif Khamis Mohammed amesema kwamba Zanzibar inamuhitaji Othman Kuwa Kiongozi mkuu wa Zanzibar kwa sababu ya Uzalendo wake na kutetea maslahi ya wanyonge wa Zanzibar. Amesema kwamba. Othman alisismama kidete kuinusuru Zanzibar katika bunge la katiba kwa kukataa katiba pendekezwa ambayo iliendelea kuimeza Zanzibar na kwamba wazanzibar wanamuhitaji Mhe. Othman ili awajenge nchi na uchaguzi isiwe sababu ya kuondosha uhai wa wamaninchi wa Zanzibar kila baada ya miaka mitano. Amesema kwamba kumekuwa na utitiri wa kodi na za ajabu mitaani"
YouTube Link 2025-10-02T20:17Z [----] followers, [---] engagements
"OUR MOTO IS A WIN-WIN PARTNERSHIP - BEKIR GEZER (TURKISH AMBASSADOR)"
YouTube Link 2025-09-09T04:40Z [----] followers, [--] engagements
"UNA AMANI NA ARDHI YAKO"
YouTube Link 2025-07-07T08:02Z [----] followers, [----] engagements
"WAHIMIZWA KUCHANGIA KWA DAMU KWA AJILI YA RAMADHAN Jamii nchini imehimizwa kuendelea kujitolea kuchangia damu hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ili kuepuka uhaba wa damu katika benki ya damu salama. Wito huo umetolewa na Daktari Dhamana wa Wilaya ya Kati Bi. Amina Hussen Pandu mara baada ya kukamilika kwa zoezi la uchangiaji damu lililoandaliwa na Serikali ya Wilaya ya Kati kupitia Kitengo cha Damu Salama kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo Taasisi ya Direct Aid Zanzibar. Akizungumza baada ya zoezi hilo Daktari Pandu amesema kuwa katika kipindi cha Mwezi"
YouTube Link 2026-02-14T21:12Z [----] followers, [--] engagements
"TUTUMIENI FURSA YA KISWAHILI - HEMED Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na viongozi mbali mbali na wadau wa lugha ya kiswahili katika Maadhimisho ya kutimia miaka kumi (10) ya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar"
YouTube Link 2026-02-14T12:42Z [----] followers, [--] engagements
"OMO ATOA DARSA ZITO MICHEWENI PEMBA Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea kushikamana na kuimarisha harakati za kukiendeleza chama. Akizungumza katika eneo la Wingwi Mapofu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Tawi la Mapofu A Mheshimiwa Othman alisema kuwa nguvu ya chama hicho inatokana na mshikamano wa wanachama wake. Umoja huu tulionao ndio unaowatia kiwewe wapinzani wetu alisema Othman. Aliongeza kuwa ujenzi wa matawi unaoendelea unaliweka chama katika nafasi bora zaidi ya"
YouTube Link 2026-02-14T12:23Z [----] followers, [----] engagements
"OMO AWASEMA CCM KINAMNA FULANI Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kuendelea kushikamana na kuimarisha harakati za kukiendeleza chama. Akizungumza katika eneo la Wingwi Mapofu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la Tawi la Mapofu A Mheshimiwa Othman alisema kuwa nguvu ya chama hicho inatokana na mshikamano wa wanachama wake. Umoja huu tulionao ndio unaowatia kiwewe wapinzani wetu alisema Othman. Aliongeza kuwa ujenzi wa matawi unaoendelea unaliweka chama katika nafasi bora zaidi ya kisiasa"
YouTube Link 2026-02-14T12:12Z [----] followers, [----] engagements
"JUSSA ATOA WITO KWA WANA ACT WOTE Makamo Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO Ismail Jussa Landu ametoa wito kwa wafuasi wa ACT kuendelea na kukiunga mkono chama hicho bila ya kuchoka"
YouTube Link 2026-02-14T06:24Z [----] followers, [----] engagements
"JUSSA APONGEZA LICHA YA YOTE PEMBA BADO MOTO WA MBALI Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha ACT Wazalendo Ismail Jussa akizingumza na wafuasi na wanachama wa chama hicho na kuwapongeza kwa kuonesha hamasa kwa chama chao hali inayodhihirisha kwamba wananchi wa Pemba bado wana imani na chama chao"
YouTube Link 2026-02-14T06:17Z [----] followers, [---] engagements
"TANZANIA INAONGOZA KWA USALAMA MITANDAONI - NAIBU AMJIBU DKT NASSRA Tanzania inaongoza kwa usalama mitandaoni kwa Afrika Mashariki na ni miongoni mwa nchi ya [--] zinazofanya vizuri duniani katika usalama mitandaoni. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano Teknolojia ya Habari na Ubunifu Mohammed Sijamini Mohammed katika kikao cha baraza la wawakilishi wakati akijibu suali lililo na Mwakilishi wa Viti Maalum Dkt Nassra Nassor Omar aliyetaka kujua kwa namna gani Serikali ina mikakati ya kupunguza udukuzi ndani ya wizara ili kulinda taarifa za wananchi"
YouTube Link 2026-02-14T05:13Z [----] followers, [---] engagements
"KHARAMU HAIWEZI KUWA HALALI - OMO "Sisi Wazanzibari kuitafuta Amani ya kweli ya Nchi yetu ni jukumu letu la msingi". Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman leo Februari [--] [----] akitoa salamu zake kwa Waumini wa Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Ikhtisam Msikiti uliopo Chambani Ukutini Mkoa wa Kusini Pemba. Amesema Changamoto za kisiasa na mitafaruku iliyopo kama itapewa nafasi ya kushamiri ni wazi hata thamani ya Ardhi hio tukufu itapotea. "Zanzibar ilijaaliwa tangu awali kuwa nchi yenye neema ya"
YouTube Link 2026-02-13T21:00Z [----] followers, [---] engagements
"HAKI NA UADILIFU HAIPO KWENYE UONGOZI PEKEE - OMO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Alhaj Othman Masoud Othman amesema haki ya uadilifu haipo kwenye uongozi peke yake bali katika maisha ya yote ya muislamu. Amesema hayo leo Februari [--] [----] wakati akitoa salamu zake kwa Waumini wa Kiislamu mara baada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Ikhtisam Msikiti uliopo Chambani Ukutini Mkoa wa Kusini Pemba. Amesema Changamoto za kisiasa na mitafaruku iliyopo kama itapewa nafasi ya kushamiri ni wazi hata thamani ya Ardhi hio tukufu itapotea. "Zanzibar ilijaaliwa tangu awali kuwa nchi"
YouTube Link 2026-02-13T20:16Z [----] followers, [---] engagements
"WAKILI WA ACT ATOA NENO BAADA YA UAMUZI WA MAHAKAMA Mahakama Kuu ya Zanzibar leo imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa Uwakilishi kutoka Majimbo [--] yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchoma au kuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo (Affidavits) vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi kwa madai kuwa Mkuu wa Viapo (Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji hakuwa amehuisha leseni yake ya mwaka [----]. ZEC watoa neno na ACT pia"
YouTube Link 2026-02-13T15:02Z [----] followers, [----] engagements
"BREAKING NEWS MAHAKAMA YATUPA MAOMBI YA ACT/WENYEWE WAFUNGUA MENGINE/ WAKILI ATOA NENO Mahakama Kuu ya Zanzibar leo imeyatupa maombi madogo ya dharura yaliyowasilishwa na wagombea wa Uwakilishi kutoka Majimbo [--] yaliyolenga kuzuia Wasimamizi wa Uchaguzi na Mwanasheria Mkuu kuchoma au kuharibu nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Uamuzi huo umetokana na hoja ya upande wa Serikali kuwa Viapo (Affidavits) vilivyotumika vilikuwa na kasoro ya kiufundi kwa madai kuwa Mkuu wa Viapo (Commissioner for Oaths) Wakili Ussi Khamis Haji hakuwa amehuisha leseni yake ya mwaka 2026"
YouTube Link 2026-02-13T12:15Z [----] followers, [----] engagements
"TUMESHAKUTANA MARA SITA KUSAKA MARIDHIANO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman amesema kwamba kinachozuia kuingia ama kutoingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) kwa sasa ni kutokana na kutokamilika na pia kuendelea mchakato wa mazungunzo ya kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiasa kati ya chama chake na CCM. Mhe. Othman ameyasema hayo huko ukumbi wa Baraza la wawakilishi wete Kaskazini Pemba alipozungunza na viongozi wa ngazi mbali wa chama chake kuelezea mwendendo wa mazungunzo hayo pamoja na mwelekeo wa Zanzibar kuendelea kuwepo ama kutokuwepo"
YouTube Link 2026-02-12T15:08Z [----] followers, [----] engagements
"VIONGOZI WAFUNDISHWA MBINU ZA UONGOZI Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amesema ni jambo muhimu kwa viongozi wa Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zinazojitegemea kupatiwa mafunzo yatakayowajengea uwelewa mpana katika utekelezaji wa majukumu yao. Ameyasema hayo katika hafla ya ufunguzi wa mafunzo ya wakuu wa Taasisi zinazojitegemea za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Zanzibar. Amesema mafunzo hayo kwa kiasi kikubwa yatawasaidia katika kutekeleza majukumu yao kutambua muelekeo sahihi wa Serikali"
YouTube Link 2026-02-12T13:54Z [----] followers, [---] engagements
"KATAMBI AWAPONGEZA POLISI ZANZIBAR Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi Visiwani Zanzibar kwa kupambana na uhalifu hali iliyopelekea kupungua kwa matukio [---] ambapo matukio [----] yaliripotiwa mwaka [----] huku mwaka [----] yakiripotiwa matukio [----]. Akizungumza na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi Visiwani humo Waziri Katambi alizungumzia pia kulindwa kwa watalii akikumbushia jitihada zilizofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hussein Ali Mwinyi katika kuutangaza na kuukuza utalii."
YouTube Link 2026-02-12T13:54Z [----] followers, [---] engagements
"ULINZI WA LISSU KAMA MASHEIKH WA UAMSHO Ni shangwe .Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimshangilia Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama hicho anayeshtakiwa kwa uhaini alipokuwa anaingia kwenye chumba Na.1 cha Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizaji wa shauri hilo"
YouTube Link 2026-02-12T13:38Z [----] followers, [---] engagements
"LISSU AZIDIWA NGUVU NA VITABU Ni shangwe .Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimshangilia Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama hicho anayeshtakiwa kwa uhaini alipokuwa anaingia kwenye chumba Na.1 cha Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizaji wa shauri hilo"
YouTube Link 2026-02-12T13:02Z [----] followers, [--] engagements
"UWANJA WA NDEGE ZANZIBAR WARUKA KIMANGA WIZI WA MIZIGO Mamlaka ya uwanja wa Ndege Zanzibar imekanusha na kuruka kimanga kuhusiana na kuibiwa kwa mizigo ya wafanyabiashara waliosambaza kwneye mitandao ya kijamii Mkurugenzi Mamlaka ya uwanja wa Ndege Zanzibar Seif Abdalllah Juma aliwaambia waandishi wa habari kwamba uongozi wa mamlaka ya uwanja wa ndege umeunda kamati ya uchunguzi na kubaini mizigo hio haikutolewa katika uwanja huo hivyo kukanusha taarifa hizo zilizosambazwa na vyombo vya habari. Tukio la wafanyabiashara kulalamikiwa kuibiwa mizigo yao na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii"
YouTube Link 2026-02-12T07:27Z [----] followers, [---] engagements
"VURUGU NYINGI ZINAANZIA MTANDAONI Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelitaka Jeshi la Polisi kutumia kitengo cha Makosa ya kimtandao katika kuthibiti matukio ya uhalifu ikiwemo utapeli wa mitandao na vitendo vya uvunjifu wa maadili na vitendo vinavyoenda kinyume na tamaduni za nchi yetu. Katambi ameyasema hayo leo Februari [------] wakati akizungumza na Maafisa Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali wa Mikoa mitatu ya Unguja Zanzibar. Amesema pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa katika kupambana na vitendo vya utapeli wa mtandao lakini bado wananchi wameendelea kutapeliwa hivyo"
YouTube Link 2026-02-11T20:27Z [----] followers, [--] engagements
"OMO ATOBOA SIRI YA MARIDHIANO PEMBA Mwenyekiti wa Chama cha ACT wazalendo Taifa Othman Masoud Othman amesema kwamba wananchi wa Zanzibar watarajie kwamba katika kipindi kifupi kijacho viongozi wa pande mbili za mazungunzo kati ya CCM na ACT watakuja hadharani kuelezea mambo ya msingi waliyokubaliana kwenye mazungunzo yao ya kisiasa. Othman ambaye pia ni makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu Zanzibar ameyasema katika ofisi za chama hicho zilizopo kijiji cha Ngazi Jimbo la Chambani mkoa wa kusini Pemba alipokzungunza na viongozi mbali mbali wa chama hicho kuelezea hatua iliyofikiwa katika kutafuta"
YouTube Link 2026-02-11T19:18Z [----] followers, [---] engagements
"CT WAPONGEZANA HATUA WALIOFIKIA Mwenyekiti wa ACT Wazalendo (Taifa) Othman Masoud Othman amesema mchakato wa mazungumzo ya kuupatia suluhu ya kudumu mgogoro wa kisiasa Zanzibar unakwenda vyema. Akizungumza na viongozi na wanachama wa chama chake kwenye mkutano wa ndani hivi leo kusini kwa kisiwa cha Pemba Mheshimiwa Othman amesema jumla ya vikao sita vimefanyika baina ya mwezi Novemba na Februari [--] chini ya usimamizi wa viongozi wanaoheshimika Zanzibar. Kwenye vikao hivi kila upande uliwasilisha hoja zake na kwa pamoja tumezipitia. Ziko ambazo kila upande uliomba ziondolewe na ziko ambazo"
YouTube Link 2026-02-11T19:09Z [----] followers, [---] engagements
""RAIS" ATINGA MAHAKAMANI Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amepanda kwenye kizimba katika Chumba cha [--] cha Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kuendelea na kesi ya uhaini inayomkabili. Wakati akipandishwa kizimbani baadhi ya watu waliokuwa mahakamani hapo walisikika wakishangilia kwa sauti za Rais Rais Rais"
YouTube Link 2026-02-11T14:56Z [----] followers, [----] engagements
"CHAUMMA YATUPIWA LAWAMA Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) PatricK Assenga amesema kuwa chama chake kimepoteza uelekeo na kwamba hakitekelezi wajibu wake wa kisiasa . Wanamuimbia mapambio mtawala. Hatuana tunachokifanya kwenye siasa wajibu wa chama vya upinzani ni kuikosoa chama kilichokuwa madarakani kwa sera zake na namna wanavyoendesha nchi ndio wajibu wa chama cha siasa kinapaswa kusimama kwa niaba ya umma umma ambao unaoutaka kesho na kesho kutwa wakuamini wakupigie kura ndio maana sisi wengine tumejitanabaisha wazi kuwa Chaumma hawako sawa huu ndio msimamo wangu kwamba Chauma"
YouTube Link 2026-02-11T14:20Z [----] followers, [--] engagements
"AYOUB AJITAMBULISHA ZANZIBAR Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi uliofika ofisini kwake Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar kwa ajili yakujitambulisha"
YouTube Link 2026-02-11T12:48Z [----] followers, [---] engagements
"OMO APOKEWA KWA SHANGWE PEMBA/ MWIKO KUKATA TAMAA Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa Othman Masoud Othman amewasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya ziara ya kikazi. Alipowasili Uwanja wa Ndege Othman amelakiwa na Wafuasi Wanachama na Wapenzi wa Chama chake kutoka maeneo mbali mbali Kisiwani humo. Katika ziara hiyo ameambatana na Mke wake Mama Zainab Kombo Shaib ameongozana na Viongozi mbali mbali wakiwemo Makamu Mwenyekiti wa Chama na Naibu Katibu Mkuu wote upande wa Zanzibar Ismail Jussa na Omar Ali Shehe.Mwenyekiti wa ACT WAZALENDO"
YouTube Link 2026-02-11T07:49Z [----] followers, [---] engagements
"BREAKING NEWS: MAPYA YAIBUKA MAHAKAMANI"
YouTube Link 2026-02-10T14:04Z [----] followers, [----] engagements
"DK NSHALA KUPIGIA MSUMARI TENA DK. Rugemeleza Nshala Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesisitiza kuwa mwenendo wa kesi ya Lissu umedorora na kwamba umetumika muda mrefu bila kusikilizwa na kwamba kesi hiyo ina siku [---] lakini imesikilizwa siku [--] pekee"
YouTube Link 2026-02-10T10:08Z [----] followers, [--] engagements
"BWEGE AWALILIA NA MAASKOFU/MASHEKHE Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Seleman Bungara maarufu kama Bwege ametoa wito kwa wadau wa kada mbalimbali wakiwemo wanasiasa viongozi wa dini wanaharakati na Watanzania kwa ujumla kuhakikisha wanamuombea na kumuunga mkono Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini. Bwege ametoa kauli hiyo leo Jumatatu [--] Februari [--] 2026Katika alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam alikokwenda kufuatilia mwenendo wa kesi hiyo. Amesema anaamini kuwa"
YouTube Link 2026-02-10T09:44Z [----] followers, [---] engagements
"HECHE BADO ANA HASIRA NA CCM John Heche Makamu Mwenyekiti wa Chadema. Hatutakubali Blackmail (kutishiwa) hii kesi wanataka kuitumia kama blackmail kwamba wamemkamata Mwenyekiti wanakaa naye halafu wanatengeneza masharti kwamba fanya hivi mara ya kwanza walisema kubali tukuachie kubali tukuachie uende Ulaya Mwenyekiti amewaambia hawezi kukubali wakae naye mpaka siku watakapomuachia bila masharti. Wanatumia hii wakifikiri kwamba wanatulazimisha tukubaliane na maagizo makubaliano au kitu wanachokiita maridhiano ya uongo hatutakubali Lissu aachiwe kwa masharti"
YouTube Link 2026-02-10T09:35Z [----] followers, [--] engagements
"BWEGE AMFUATA LISSU MAHAKAMANI Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini (CUF) Seleman Bungara 'Bwege' amefika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kusikiliza shauri Na. 19605/2026 la uhaini linalomkabili Tundu Lissu Mweyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)"
YouTube Link 2026-02-09T12:03Z [----] followers, [--] engagements
"BAADA YA SIKU [--] LISSU AFIKISHWA MAHAKAMANI Baada ya siku [--] tangu kuahirishwa kwa shauri la uhaini Na. 19605/2025 linalomkabili Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo tarehe [--] Februari [----] amefikishwa kwa mara nyingine kwenye Mahakama kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kuendelea na usikilwaji wa kesi hiyo. Leo upande wa Jamhuri utawasilisha majibu yao dhidi ya pingamizi liliwasilishwa mahakamani hapo na Lissu. Awali Lissu aliibua pingamizi la uhalali wa kutumika kwa sheria ya kulinda mashahidi akidai kuwa sheria hiyo haijachapishwa kwenye"
YouTube Link 2026-02-09T07:47Z [----] followers, [---] engagements
"MAUWANI KIWANI WAWEKEWA MAMBO SAWA Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Hemed Suleiman Abdulla akikagua maendeleo ya uchimbaji wa Kisima katika kijiji cha Mauwani Kiwani Pemba"
YouTube Link 2026-02-08T13:01Z [----] followers, [--] engagements
"MAHAKAMA ZANZIBAR KUACHANA NA MAKARATASI KUJA TEKNOLOJIA - MAKAMU Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amewataka wananchi kuendelea kuwa karibu na Mahkama katika kupata haki zao na ellimu ya sheria jambo ambalo litawasaidia kuondokana na changamoto na vikwazo mbalimbali vinavyotokea kwa kutokujua sheria. Ameyasema hayo katika matembezi ya wiki ya sheria yaliyoanzia Bank ya PBZ Chake Chake na kumalizia katika Uwanja wa Mpira Gombani Kisiwani Pemba. Amesema kuna umuhimu mkubwa wa kufanya mazoezi walau dakika thelathini ( [--] ) kwa siku kwa lengo la kutunza afya na kuepuka"
YouTube Link 2026-02-08T12:05Z [----] followers, [---] engagements
"JAJI MKUU APONGEZWA KWA UBUNIFU Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla akiongoza matembezi ya Wiki ya Sheria yaliyoanzia Benki ya PBZ Chake Chake na kumalizia katika Uwanja wa Mpira wa Gombani Chake Chake Pemba"
YouTube Link 2026-02-08T10:43Z [----] followers, [--] engagements
"KIWANI YAANZA KUBADILISHWA Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Hemed Suleiman Abdulla amesema kwa kushirikiana na viongozi wenzake watahakikisha wanalipa kipaombele suala la tahfidh qur-ani ndani ya Jimbo la Kiwani. Ameyasema hayo katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa madrasat Thamarat Jamii na madrasatu Thamarat Jannah zilizomo katika Shehia ya Mwambe Jimbo la Kiwani Pemba. Amesema katika kuhakikisha elimu ya Qur-an inaimarika zaidi jimboni humo uongozi wa Jimbo wamejipanga kuweka mazingira bora salama na rafiki kwa walimu"
YouTube Link 2026-02-07T17:08Z [----] followers, [--] engagements
"SAFARI YA KUTEKELEZA AHADI ZA CCM IMEANZIA KIWANI Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Hemed Suleiman Abdulla ametembelea Bonde la mpunga lililopo Mwambe kwa Shavuai kukagua namna wananchi wanavyopatiwa huduma ya kulimiwa mashamba yao kwa kutumia Trekta la Jimbo"
YouTube Link 2026-02-07T15:24Z [----] followers, [--] engagements
"BREAKING NEWS: ZEC WAPIGWA "STOP" KUTEKETEZA NYARAKA Mahakama Kuu Zanzibar mbele ya Jaji Salma Ali Hassan imetoa amri ya kumesitisha kitendo (Status Qou) katika maombi madogo ya madai Na. [--] ya mwaka [----] amri hiyo imesimamisha rasmi mpango wa Tumenya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wa kuharibu vifaa na nyaraka za uchaguzi mkuu wa October 2025"
YouTube Link 2026-02-06T19:20Z [----] followers, [----] engagements
"ZANZIBAR IKIGOMBEWA KWA HADHI YAKE- OMO Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amesema Uzuri wa Visiwa vya Zanzibar unatokana na akhlaki za watu wake Dini Ustaarabu na upendo uliojengeka tangu asili na zama; wala siyo mandhari ya fukwe kama isemwavyo sasa na baadhi ya watu"
YouTube Link 2026-02-06T14:04Z [----] followers, [---] engagements
"BILA YA ILMU NAFSI ITACHEZEWA TU - OMO Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo Mheshimiwa Alhaj Othman Masoud Othman leo Februari [--] [----] amejumuika na Waumini wa Kiislamu katika Sala ya Ijumaa iliyosaliwa hapo Masjid Huda Msikiti uliopo Chwaka Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja. Akitoa salamu zake mara baada ya Ibada hiyo Alhaj Othman amesema kukosekana kwa elimu sahihi uadilifu na kukinai kunapelekea kushindwa kuzichunga nafsi na hatimaye upotofu katika jamii. Ameitaja hali hiyo kwamba inakuja kwa kupuuza Misingi ya Dini; kisha kupoteza muelekeo wa nafsi na hatimaye kusababisha"
YouTube Link 2026-02-06T13:12Z [----] followers, [---] engagements
"TAMASHA HILI LINA IMPACT KUBWA - LORENZ HERMAN Meneja wa Busara Promotion Lorenz Herman amesema Tamasha la Sauti za Busara ni Tamasha kubwa na lenye impact kubwa kwani Matamasha kama hayo huwa yanasaidia kuitangaza Zanzibar kiuchumi na kuleta wageni wengi wa kila aina na kutoka mataifa tofauti"
YouTube Link 2026-02-05T19:47Z [----] followers, [--] engagements
"VIJANA CCM SOMENI HISTORIA YA CHAMA - HEMED Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Mlezi wa Mkoa wa Tanga Kichama ndugu Hemed Suleiman Abdulla amesema Chama cha Mapinduzi kikiwa kinatimiza miaka [--] tangu kuzaliwa kwake kuna umuhimu mkubwa wa vijana kupatiwa Elimu juu ya historia ya CCM tokea kuasisiwa kwake hadi kilipofikia. Ameyasema hayo katika maadhimisho ya Miaka [--] ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi yaliyofanyika katika Uwanja wa Stendi ya Bombani Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga. Amesema Ikiwa Serikali inaendelea kutekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo vijana"
YouTube Link 2026-02-05T15:02Z [----] followers, [--] engagements
"WANANCHI WAHIMIZWA KUTENDA KHERI Wazazi na walezi wametakiwa kushirikiana na walimu wa madrasa katika kuwalea vijana kwa kufuata misingi ya dini ya kiislamu na mafundisho ya Bwana Mtume Muhammad (S.A.W ) Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla katika maadhimisho ya Maulid ya kuzaliwa kwa mtume Muhammad (S.A.WA ) yaliyoyanyika katika Mtaa wa BAKWATA Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga. Amesema kuwalea vijana katika malezi bora yenye kufuata mafundisho yaliyomo ndani ya kitabu kitakatifu cha Qur-an pamoja na kuwapatia elimu yenye manufaa kutapelekea kupata"
YouTube Link 2026-02-05T14:09Z [----] followers, [--] engagements
"BUSARA HUCHAGIZA UCHUMI ZANZIBAR - SIMAI Mwenyekiti wa Tamasha la Sauti la Busara Zanzibar Simai Mohammed Said amesema tamasha hilo ni miongoni mwa Tamasha bora duniani na kwamba uwepo wake unachangia uchumi Zanzibar"
YouTube Link 2026-02-05T13:55Z [----] followers, [--] engagements
"NI TAMASHA LA AINA YAKE - JARNEY Mkurugenzi wa Tamasha la [--] la Sautibza Busara Jarney Ramadhani amesema matayarisho yote yamekamilika na leo ndio Tamasha litaanza kwa wasanii mbali mbali wa ndani na nje ambalo ameliita nibtamaa la kipelee ambalo kwa mwaka huu litafanyika viwanja vya Mnazi Mmoja badala ya Ngome Kongwe"
YouTube Link 2026-02-05T12:12Z [----] followers, [--] engagements
"SAUTI ZA BUSARA KUHAMIA MNAZI MMOJA - ZAKIA Zakia Lulu Mdemo mkuu wa mawasiliano wa Sauti za Busara amesema mwanzo walikuwa na khofu kwenye kushiriki Tamasha la Busara la [--] kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Manazi Mmoja ambapo ni kwa mara ya kwanza kufanyika katika Mji Mkongwe Ngome Kongwe. Amesema kutakuwa na Busara Bazaar ambalo ni la wajasiriamali mbali mbali kuuza bidhaa zao"
YouTube Link 2026-02-05T06:39Z [----] followers, [--] engagements
"LEO NI LEO TAMASHA LA BUSARA - GULAM Naibu waziri anayeshughulikia sanaa na michezo Ali Abdul Gulam amesema kwa mara ya kwanza tamasha la Sauti za Busara hivyo kila kitu kimekamilika na kuwakaribisha wazanzibari kushiriki katika tamasha hilo kutokana na kuwa haitakuwa vizuri kuja wageni huku wenyewe wakawa hawashiriki"
YouTube Link 2026-02-05T06:27Z [----] followers, [--] engagements
"UKWELI HAUCHOMWI MOTO - JUSSA Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha ACT Wazalendo Jussa Landu akijibu masuala ya Waandishi wa Habari amesema ukweli hauchomoki hivyo hata kama nyaraka zitachomwa ukweli utabaki"
YouTube Link 2026-02-05T04:59Z [----] followers, [--] engagements
"ZEC WANA "KIBURI" ASEMA JUSSA Makamu Mwenyekiti wa wa Chama Cha ACT Wazalendo Ismail Jussa Ladhu amesema Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inafanya kazi kwa kiburi na haiwashirikishi wadau wa siasa ikiwemo wao. Jussa amesema hayo wakati akijibu masuali ya waandishi wa habari kuhusiana na iwapo ACT imefanya mashauriano na ZEC kwenye masuala yanayoendelea kwenye tume hiyo"
YouTube Link 2026-02-05T04:40Z [----] followers, [---] engagements
"ZEC KUWAALIKA WADAU MAALUM KUSHUHUDIA KUTEKETEZA NYARAKA ZA UCHAGUZI Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar George Joseph Kazi amejibu ametoa maelezo juu ya kauli zilizotolewa na Chama Cha ACT Wazalendo juu ya hatua hiyo ya ZEC kutaka kuteketeza nyaraka zote za uchaguzi wa October [----] uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana"
YouTube Link 2026-02-04T17:35Z [----] followers, [---] engagements
"ZEC WAJIFICHA KWENYE KICHAKA - JUSSA Akizungumza leo na waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu ya chama cha ACT-Wazalendo zilizoko Vuga mjini Unguja Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Ismail Jussa amesema kwamba hatua ya kuazimia kuteketeza nyaraka za uchaguzi mkuu wa [----] ina maana kwamba tume inakusudia kuharibu maendeleo ya kesi [--] zilizofunguliwa na wagombea waliopitishwa na chama hicho kuwania viti vya uwakilishi"
YouTube Link 2026-02-04T16:17Z [----] followers, [----] engagements
"ACT YAPINGA ZEC KUTEKETEZA NYARAKA ZA UCHAGUZI Chama kikuu cha upinzani Zanzibar cha ACT-Wazalendo leo kimepinga hatua ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC kutekeleza mpango wa kuteketeza nyaraka zote za uchaguzi mkuu uliofanyika October [--] mwaka jana kikidai kuwa hatua hiyo ni kinyume cha sheria na inalenga kuhujumu haki ya msingi ya ushahidi unaohitajika mahakamani"
YouTube Link 2026-02-04T16:10Z [----] followers, [---] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/youtube::salmavoice_