#  @bbcnewsswahili BBC News Swahili BBC News Swahili posts on YouTube about youtube, tanzania, kenya, bbc the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [------] [#](/creator/youtube::UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw/interactions)  - [--] Week [---------] +5,850% - [--] Month [---------] +716% - [--] Months [---------] +184% - [--] Year [---------] +2,878% ### Mentions: [--] [#](/creator/youtube::UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw/posts_active)  - [--] Week [--] +400% - [--] Month [--] +686% - [--] Months [--] +83% - [--] Year [---] +340% ### Followers: [-------] [#](/creator/youtube::UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw/followers)  - [--] Month [-------] +1.40% - [--] Months [-------] +17% - [--] Year [-------] +34% ### CreatorRank: [-------] [#](/creator/youtube::UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [countries](/list/countries) 62.5% [social networks](/list/social-networks) 55.36% [technology brands](/list/technology-brands) 55.36% [travel destinations](/list/travel-destinations) 13.39% [currencies](/list/currencies) 8.93% [celebrities](/list/celebrities) 3.57% [finance](/list/finance) 1.79% [premier league](/list/premier-league) 0.89% [us election](/list/us-election) 0.89% **Social topic influence** [youtube](/topic/youtube) 54.46%, [tanzania](/topic/tanzania) 16.07%, [kenya](/topic/kenya) 13.39%, [bbc](/topic/bbc) 12.5%, [kwanza](/topic/kwanza) 8.93%, [donald trump](/topic/donald-trump) 8.93%, [israel](/topic/israel) 7.14%, [leo](/topic/leo) 6.25%, [uganda](/topic/uganda) 6.25%, [ukraine](/topic/ukraine) 5.36% **Top accounts mentioned or mentioned by** [@frankmavura](/creator/undefined) [@roncliffeodit](/creator/undefined) [@elizabethkazibure](/creator/undefined) [@hamidaabubakar](/creator/undefined) [@boshanyanje](/creator/undefined) [@jamiivoicetv](/creator/undefined) [@njorogemuigai](/creator/undefined) [@bobiwine](/creator/undefined) [@lizzymasinga](/creator/undefined) [@leila](/creator/undefined) [@lokoomi](/creator/undefined) [@lasteck2024](/creator/undefined) [@mariummjahid](/creator/undefined) [@roncliffe](/creator/undefined) [@sammyawami](/creator/undefined) [@zerobrainer0](/creator/undefined) [@enamuhisa](/creator/undefined) [@munienoor](/creator/undefined) [@eagansallagiftedsounds](/creator/undefined) [@agnes](/creator/undefined) **Top assets mentioned** [HILO (HILO)](/topic/hilo) [Nani Coin (NANI)](/topic/nani) [Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [TYSON (TYSON)](/topic/tyson) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "Burkina Faso yapiga marufuku vyama vyote vya siasa Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetangaza kupiga marufuku vyama vyote vya siasa ambavyo shughuli zake zilikuwa zimesitishwa tangu jeshi lilipochukua madaraka mwaka [----]. Laillah Mohammed anaelezea kwa kina #bbcswahili #burkinsafaso #siasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #burkinsafaso #siasa #upinzani #utawalawakijeshi #BBCNewsSwahili #burkinsafaso #siasa #upinzani #utawalawakijeshi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=DIXZtBI1c0A) 2026-02-11T08:00Z 890K followers, 12K engagements "Nini hutokea kwenye ubongo wa binadamu wakati anakufa Mwanasayansi alibobea kwenye Mishipa ya fahamu Jimo Borjigin kutoka Chuo Kikuu cha Michigan amejitolea muda wake mwingi kwenye kuchunguza kinachotokea katika ubongo wa binadamu tunapokaribia kufa. Uvumbuzi wa hivi karibuni upo kinyume na matarajio yote ya awali yaliyohusishwa juu ya kifo cha binadamu. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili sayansi kifo afya #BBCNewsSwahili sayansi kifo afya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=WNpLwHeYAZQ) 2026-02-11T17:34Z 890K followers, [----] engagements "Siku [---] za Rais Samia Suluhu Hassan: Mwanzo mpya na mgawanyiko Tanzania Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametimiza siku [---] ofisini tangu aanze muhula wake wa pili na wa mwisho.Swali ni je taifa limeanza kupona kutokana na ghasia za uchaguzi mkuu wa mwaka uliopita Msemaji wa serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amezungumza na BBC.na kuelezea ahadi za rais Samia. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #BBCNewsSwahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=84PZyIQzBrQ) 2026-02-10T19:24Z 890K followers, [----] engagements "Kenya yapinga usajili wa raia wake katika jeshi la Urusi Kenya imesema itazungumza na Urusi kuhusu ongezeko la raia wake wanaoajiriwa kupigana katika vita dhidi ya Ukraine ikikielezea kitendo hicho kama kisichokubalika. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #BBCNewsSwahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=FcVHv94yWwQ) 2026-02-10T19:38Z 890K followers, [----] engagements "Maandamano ya Gen-z yasababisha uchaguzi kuandaliwa Bangladesh. Katika Dira ya Dunia TV Taifa la Bangladesh linajiandaa kupiga kura wiki hii katika uchaguzi wake wa kwanza tangu vuguvugu la mapinduzi ya vijana lilipoiangusha serikali ya Awami League. Wanafunzi walijitokeza mwaka [----] huku wakikabiliana na msako mkali uliosababisha vifo vya hadi watu [----] kulingana na Umoja wa Mataifa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=MGlSin6wXPo) 2026-02-09T18:31Z 890K followers, 22.4K engagements "Utata kuhusu mashahidi wa siri Tundu Lissu akirejea mahakamani Kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama cha demokrasi na maendeleo CHADEMA Tundu Lissu imeahirishwa hadi siku ya jumatano tarehe [--] ya mwezi huu wa Februari ambapo itatajwa tena huku mahakama hiyo ikitarajiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi la Lissu la kuwaficha mashahidi wa siri. Lissu aliiambia mahakama mwaka jana kuwa kuwaficha mashahidi hao kunawanyima hata majaji nafasi ya kuwaona jambo ambalo ni kinyume cha sheria na kusisitiza kuwa yote hayo ni kwasababu kesi inayomkabili hukumu yake ni kunyongwa hadi kufa." [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Q--EiyCSXjo) 2026-02-09T19:20Z 890K followers, 14.3K engagements "Ifahamu ndege maya ya kivite ya J-20A China China imevutia macho ya dunia baada ya kuonyesha rasmi kwa mara ya kwanza ndege yake mpya ya kivita J-20A pamoja na J-20S yenye viti viwili katika maadhimisho ya miaka [--] tangu J-20 ifanye safari yake ya kwanza angani. Kwa mujibu wa wataalamu wa kijeshi J-20A si maboresho ya kawaida bali ni mabadiliko makubwa ya kimkakati yanayolenga kuimarisha uwezo wa anga wa China hasa katika eneo la Asia-Pasifiki. Maboresho hayo yanahusisha muundo teknolojia na uwezo wa kivita hatua inayoweza kubadilisha mizani ya nguvu za kijeshi duniani. Katika video hii" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=edB783RqWSk) 2026-02-05T08:01Z 890K followers, 26.4K engagements "Iran: 'Tutatetea maslahi yetu' Katika Dira ya Dunia TV Taifa la Iran limesema mazungumzo kati ya Tehran na Washington yamemalizika mjini Muscat huku pande hizo mbili zikikubali kuendeleza mazungumzo katika siku za usoni. Waziri wa mambo ya kigeni wa Iran Abbas Aragchi amesema wasiwasi wa kutoaminiana unafaa kuondolewa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ep012RCr4cE) 2026-02-06T18:31Z 890K followers, 27.7K engagements "Ushahidi wa kesi ya Lissu kuanza kusikilizwa Kesi ya uhaini imayomkabili mwenyekiti wa chama cha upinzani Tanzania Chadema Tundu lissu imeahirishwa hadi kesho Alhamis 12/02 baada ya mahakama kuu ya Tanzania kuridhia pingamizi moja kati ya matano yaliyokuwa yamewekwa na kiongozi huyo. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #BBCNewsSwahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Bds37lmMVJ4) 2026-02-11T18:56Z 890K followers, [----] engagements "Siku [---] za Rais Samia madarakani Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametimiza siku [---] ofisini tangu aanze muhula wake wa pili na wa mwisho pamoja na mambo mengine aliahidi kuliponya taifa baada ya ghasia za uchaguzi wa Oktoba [--] [----]. - - #bbcswahili #samia #uchaguzi2025 #Uongozi #siasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #BBCNewsSwahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=OYIGa4V7_3c) 2026-02-11T13:37Z 890K followers, [---] engagements "Nyaraka za Jeffrey Epstein: Ghislaine Maxwell akataa kutoa ushahidi bungeni. Katika Dira ya Dunia TV Mawakili wa Ghislaine Maxwell mshirika wa mhalifu wa makosa ya ngono Jeffrey Epstein wanasema mteja wao atazungumza ukweli kikamilifu ikiwa tu Rais wa Marekani Donald Trump atatoa msamaha kwake. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ad0zjcLq5l0) 2026-02-10T18:32Z 890K followers, 25.9K engagements "Mkutano wa Trump na Netanyahu utafaulu Katika Dira ya Dunia TV Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika Ikulu ya Marekani. Netanyahu anatarajiwa kumshawishi Trump kuendeleza makubaliano yatakayositisha uboreshaji wa uranium nchini Iran na pia kudhibiti hatua yake ya kuunga mkono makundi ya wapiganaji kama Hamas na Hezbollah. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=sP_cQEd8XQU) 2026-02-11T18:36Z 890K followers, 20K engagements "'Naukataa utekaji' Gwajima Unajua magumu yaliyokupata wewe yalikupata kwa sababu mimi nilikataa utekaji. Mpaka leo nakataa vilele Kiongozi wa makanisa ya Ufufuo na Uzima Askofu Josephat Gwajima ameibuka kanisani kwake katika mkesha wa mwaka mpya na kuwaeleza wafuasi wake kuwa angali anapinga vitendo vya utekaji nchini Tanzania. Gwajima alitoa mahubiri kwa mara ya mwisho atika kanisa hilo lililopo Ubungo jijini Dar Es Salaam mwezi Juni [----] kabla ya kanisa hilo kufungiwa na kuzingirwa na polisi. Kanisa hilo lilifunguliwa mwishoni mwa Novemba mwaka jana kwa maelekezo ya Waziri Mkuu Mwigulu" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=KtjiP-AhGv4) 2026-01-01T05:46Z 874K followers, 57.2K engagements "BBC News Swahili 'Sina ugomvi na mtu yeyote anayepigania amani. Lakini nikuambia kwamba kwa hakika huwezi kuwa na amani bila haki. Amani na haki ni vitu viwili vinavyotegemezana.'' - Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam Tanzania Juda Thaddeus Ruwa'ichi amesema Watanzania wengi hawashabikii haki wala siyo wadau wa haki. Askofu Ruwa'ichi aliyasema hayo katika misa ya mkesha wa Krismasi jijini humo. "Ewe Mtanzania kama utaka kujigamba kuwa mtu wa amani jitose kupigania haki jitose kusema kweli amani na mambo yanayompendeza Mungu" - Kumekuwa na mgawanyiko baina ya viongozi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=qmEHADhD3Gk) 2025-12-25T05:56Z 872K followers, 58.9K engagements "Lumumba wa AFCON [----] ni nani Matukio ya awali ya AFCON yamekuwa yakihusishwa na kumbukumbu zilizobaki milele. Iwe uwanjani au nje ya uwanja mengi yamejadiliwa hata baada ya mashindano kukamilika. Lakini sasa mtu mmoja amejihakikishia nafasi yake katika historia ya AFCON [----] nchini Morocco bila kusema neno hata moja na alifahamika kama Lumumba. Lakini Lumumba ni nani @njoroge.muigai anamuangazia mtu huyu - - #bbcswahili #foryou #DRC #Lumumba #afcon2025 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=74duxii1frQ) 2026-01-13T09:38Z 878K followers, 15.8K engagements "Kampeni za lala salama za Bobiwine Mgombea rais wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi Ssentamu @bobiwine maarufu kama Bobi Wine amewataka wafuasi wake kuungana na kumsaidia kuchukua uongozi wa nchi hiyo. - Licha ya mvua kubwa na ulinzi mkali maelfu ya wafuasi wa mwanasiasa walijitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano huo. Wengi wakipeperusha bendera ya taifa hilo - Aliandamana na mkewe Barbie Itungo Kyagulanyi pamoja na viongozi wandamizi wa chama cha NUP - - #bbcswahili #uganda #ugandaelections2026 #uongozi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=X7XUXp4Sk4Q) 2026-01-12T18:43Z 879K followers, 25.1K engagements "Kutana na ligi ya kipekee ya wabibi wanasoka barani Afrika Huenda wasiwe na ujuzi kama Lionel Messi au Cristiano Ronaldo lakini hilo halijawazuia Bibi hawa wa Kiafrika kujifunza kupiga penalti na mbinu za kukaba. - Hii imekuwa kazi ya Rebecca Ntsanwisi mwenye umri wa miaka [--] kutoka Afrika Kusini aliyeanzisha timu za Bibi wazee wanasoka katika nchi mbalimbali barani Afrika kwa lengo la kuboresha afya ya akili na mwili kwa wanawake wenye umri mkubwa. - Timu tano kutoka Afrika zinashiriki kwenye mashindano ya Kombe la Dunia la Soka la wabibi huko Limpopo ambapo mchezaji mkongwe zaidi ana zaidi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=cz3fItKCQWM) 2025-04-09T04:00Z 877K followers, [----] engagements "Bobi Wine yuko mafichoni" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=hLkJa1A-9K0) 2026-01-17T10:57Z 880K followers, 91.6K engagements "Yoweri Museveni asema alitarajia kura nyingi zaidi Rais mteule wa Uganda Yoweri Museveni anasema anashukuru kwa ushindi lakini alitarajia kura nyingi zaidi ya hizo. Uchaguzi wa rais wa Uganda umemalizika na Rais anayechaguliwa Yoweri Museveni alishinda kwa 71% ya kura. Mpinzani wake mkuu Bobi Wine alipata 24%. Museveni anaema alitarajia zaidi. Laillah Mohammed anaelezea zaidi #bbcswahili #uganda #uchaguziuganda2026 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=njNJu6r39MM) 2026-01-19T14:29Z 882K followers, 20.5K engagements "Je Tanzania na Uganda zitatamba AFCON [----] Katika Dira ya Dunia TV Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=vMOxbEKOSH0) 2025-12-23T18:31Z 883K followers, 16.8K engagements "Shambulizi la risasi Jerusalem Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la risasi mjini Jerusalem imeongezeka hadi sita kwa mujibu wa waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar. Tukio hilo limetokea kwenye kituo cha basi mjini Jerusalem siku ya Jumatatu huku polisi wakisema wahalifu hao wameuawa. Haikufahamika mara moja ni nani aliyetekeleza shambulio hilo. Lakini kundi la wanamgambo la Hamas limewasifu "wapiganaji" wawili wa Kipalestina ambao limesema wamefanya shambulio hilo ila Hamas haijadai kuhusika. Kwa mengi zaidi jiunge na @elizabethkazibure katika dira ya dunia TV saa tatu kamili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=-bHJ0XOxKWs) 2025-09-08T16:01Z 775K followers, [----] engagements "Namna vikosi vya Israel vilivyovamia nyumba Gaza kuokoa mateka. Polisi wa Israel wametoa video ambayo wanasema inaonesha vikosi vyao maalum vikivamia nyumba ya Gaza iliyokuwa na mateka wakati wa operesheni ya uokoaji ya Jumamosi. Uvamizi huo ulisababisha mateka wanne kuokolewa. Shirika la habari la Reuters limetoa video hiyo lakini linasema halijaweza kuthibitisha eneo au tarehe husika ya tukio hilo. #bbcswahili #gaza #hamas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=06Oc9IfghFk) 2024-06-12T14:14Z 602K followers, [--] engagements "Jaribio la saba la Roketi ya SpaceX Starship. Jaribio la saba la Roketi ya SpaceX Starship lilifanyika tarehe [--] Januari [----] na kufanikiwa kuruka ila baada ya dakika [--] kilipoteza mawasiliano. Hata hivyo sehemu ya roketi hiyo ilifanikiwa kurudi kwenye eneo la kurushia. kuanzisha. #bbcswahili #starship # spaceX" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=0A9RJSXuQkc) 2025-01-19T08:20Z 644K followers, [---] engagements "Houthi wa Yemen wazamisha meli ya pili Bahari ya shamu Shughuli za uokoaji zinaendelea katika bahari ya shamu baada ya kundi la Houthi Yemen kushambulia na kulipua meli ya pili ya mizigo Magic Seas. Mapema juma hili wapiganaji hao waliteka na kuzamisha meli kubwa ya mizigo Eternity C kwa madai kuwa ilikuwa ikipeleka mizigo Israel. @lizzymasinga ametuandalia taarifa hii. #bbcswahili #yemen #houthi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=10QRW3ANyGs) 2025-07-11T09:39Z 753K followers, 16.9K engagements "Matangazo ya Dira ya Dunia TV Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1GqcswskHIE) 2024-05-21T18:38Z 600K followers, [--] engagements "Piganeni hadi Kenya iwe huru Tamthilia ya Ngugi Wa Thiongo ya kimapinduzi yafufuliwa baada ya miaka [--] kwenye ukumbi wa kitaifa wa maonyesho ya tamthilia jijini Nairobi. Tamthilia hiyo Kesi ya Dedan Kimathi inaangazia kesi na hukumu ya kamanda wa kundi la kupigania uhuru wa Kenya MAU MAU na inaangazia mada tofauti ikiwemo ukatili wa polisi na mgawanyiko wa kikabila #bbcswahili #filamu #kenya #haki #riwayatpuasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1X8UqXZF1TU) 2025-06-18T14:58Z 739K followers, [----] engagements "BBC News Swahili Kifo cha kushtua cha msichana kutoka Uganda kilichosambaa mtandaoni kwa #DubaiPortaPotty" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=1zMF2y-TNOg) 2025-09-16T11:23Z 778K followers, [----] engagements "Wanaharakati wasema maandamano Kenya hayakulenga mapinduzi Waziri wa Mambo ya ndani wa Kenya Kipchumba Murkomen anasema kuwa maandamano yaliyofanyika katika maeneo tofauti nchini Kenya jana yalikuwa jaribio la mapinduzi. Lakini je waandamanaji wenyewe wanasemaje" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=20CYmUuy1P8) 2025-06-26T18:47Z 748K followers, 23.5K engagements "'Ligi hii ni kama NBA si mpira tu kuna muziki mitindo tamaduni watu maarufu' Ligi ya Mpira wa Kikapu Afrika inayojulikana zaidi kama BAL itapata bingwa mpya Jumamosi ambapo washindi wa kwanza Al Ahly Benghazi ya Libya itachuana Petro de Luanda ya Angola katika fainali ya mchujo msimu huu. Licha ya michuano hiyo kile ambacho kimekuwa kikifanyika nje ya uwanja kimeleta hamasa kubwa kwa mashabiki. #bbcswahili #rwanda #michezo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=2kTPkt_BDbA) 2024-06-01T05:00Z 601K followers, [--] engagements "ULIMWENGU WA SOKA Uchambuzi baada ya Mechi ya Manchester Utd vs Chelsea Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=34bKTwPyDT8) 2024-11-04T07:10Z 785K followers, [----] engagements "Polisi kutumia picha ya hologramu kufufua kesi ya mauaji Bernadette Betty Szabo aliuawa kwa kuchomwa kisu kwenye danguro moja huko Amsterdam mwaka wa [----]. Alikuwa na umri wa miaka [--] na alikuwa amejifungua miezi michache iliyopita. Mauaji yake katika moja ya maeneo yenye shughuli nyingi zaidi Uholanzi yamewashangaza polisi kwa miaka [--]. #bbcswahili #uholanzi #wanawake Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=3Dy097U1ryw) 2024-11-12T13:26Z 629K followers, [---] engagements "Assange aachiwa huru Jumanne Julian Assange alianza safari yake ya kurudi nyumbani Australia baada ya kufikia makubaliano na mamlaka za Marekani. Mwanzilishi huyo wa WikiLeaks ametumia miaka mitano iliyopita gerezani nchini Uingereza. Assange alishtakiwa kwa kula njama ya kupata na kufichua taarifa za ulinzi wa taifa baada ya tovuti ya Wikileaks kuchapisha rekodi za siri za kijeshi za Marekani. Kulingana na CBS Assange hatatumikia muda wowote chini ya ulinzi wa Marekani kama sehemu ya makubaliano na wizara ya sheria na atapewa msamaha kwa muda aliokaa jela nchini Uingereza. #bbcswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=3E6r2mBW954) 2024-06-26T10:04Z 604K followers, [--] engagements "'Natamani wazazi wangu wangekuwa hai' Omar mwenye umri wa miaka [--] ni mmoja wa mamia ya yatima huko Gaza ambao wazazi wao wamefariki. Wazazi wake wote wawili waliuawa katika shambulizi la Israel na kumwacha yeye na ndugu zake watano peke yao. Mtoto mdogo zaidi katika familia hiyo ana umri wa mwaka mmoja na mkubwa ana miaka [--]. Sasa wote wanaishi na mjomba wao ambaye nyumba yake pia imeharibiwa na kuwa kifusi kutokana na shambulio la bomu huko Gaza. #bbcswahili #gaza #hamas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4-9P1RVlVz8) 2023-12-10T06:00Z 582K followers, [--] engagements "Mchambuzi Ahmed Rajab aaga dunia Mtangazaji wa zamani wa BBC bwana Ahmed Rajab amefariki dunia leo alasiri huko London Uingereza. Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya [----]. Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC hadi siku chache ziliopita. Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia yake zikiwemo taratibu za maziko. Mara ya mwisho alifanya uchambuzi hapa katika Dira ya Dunia TV kuhusu mzozo wa Gaza Januari [--] mwaka huu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4Rh0khbYCqw) 2025-02-04T19:00Z 660K followers, [----] engagements "BBC News Swahili Israel imetekeleza shambulizi jipya mjini Doha Qatar na kusema kwamba ilikuwa inalenga viongozi wakuu wa Hamas. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran Esmail Baghaei amelaani shambulizi hilo. Je hatua hii inaweka wapi matumaini ya kusitisha mapigano huko Gaza Tunajadili hili mwendo wa saa tatu kamili katika Dira ya Dunia TV ukiwa naye Elizabeth Kazibure. Unaweza kufuatilia matangazo hayo mubashara katika mitandao yetu ya YouTube na Facebook ya BBC Swahili. #bbcswahili #israel #hamas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4VEaTOdMyNk) 2025-09-09T16:33Z 776K followers, [----] engagements "Je Ukraine itamudu vita bila Marekani Rais Donald Trump amesitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Kyiv siku chache baada ya majibizano makali na Rais wa Ukraine Volodomyr Zelensky katika Ofisi ya Rais wa Marekani. Ikulu ya White House imesema kwamba inasimamisha kwa muda msaada wakati ikifanya tathmini ya kina kuhusu shehena za silaha hadi pale Rais Zelensky ataonyesha kwamba yuko tayari kwa mazungumzo ya amani" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=4yJRTJ7tzxU) 2025-03-04T20:00Z 674K followers, [----] engagements "Michuano ya CHAN 2024: Je Sudan itatoboa Sudan ndiye mwakilishi wa pekee kutoka mashariki mwa Afrika ambaye yupo kwenye nusu fainali ya michuano ya CHAN [----]. Anashuka uwanjani dhidi ya Madagascar katika mechi ya mapema kabla ya mabingwa watetezi Senegal kuvaana na washindi mara mbili Morrocco kwenye mechi ya pili. Je Sudan itatoboa Na je Kenya ina matumaini katika kesi iliyowasilishwa na aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko @RoncliffeOdit anaangazia hili na mengine mengi katika Dira ya Dunia TV leo saa [--] usiku kwenye ukurasa wa YouTube wa BBC Swahili. - - #bbcswahili #chan #kandanda" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=5Jxrdf5ntg8) 2025-08-26T14:51Z 767K followers, [----] engagements "Je Abu Mohammed al-Jawlani ni nani haswa Abu Mohammed al-Jawlani ameongoza wanamgambo wa Kiislamu waliomwondoa madarakani Rais Bashar al-Assad tarehe [--] Disemba [----]. Alijitokeza hadharani huko Damascus baada ya waasi wa kundi analoongoza la Hayat Tahrir Al-Sham (HTS) kuudhibiti mji mkuu wa Syria. Amejaribu kujionesha kama mtu mwenye msimamo wa kawaida lakini Marekani inasema itatoa zawadi ya dola milioni [--] kwa kukamatwa kwake. #bbcswahili #syria #HTS Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=5uy_aGn7geE) 2024-12-12T14:22Z 633K followers, [----] engagements "Jinsi biashara ya bangi yenye faida kubwa Thailand inavyokabiliana na tishio Thailand imekuwa nchi ya kwanza barani Asia kuhalalisha matumizi ya bangi kwa ajili ya kujiburudisha kwa mwaka wa [----]. Sasa inatazamiwa kufanya mabadiliko ya ghafla na kuruhusu bangi kwa matumizi ya matibabu pekee. Uamuzi huo wa serikali unakuja baada ya uchunguzi kuonesha kuwa matumizi ya bangi kwa kujiburudisha miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka [--] yameongezeka mara [--] tangu tangu ilipohalalishwa. #bbcswahili #thailand #afya Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=5wJuiJW951U) 2024-03-14T13:45Z [--] followers, [--] engagements "Rais Vladimir Putin akaribishwa rasmi Korea Kaskazini Rais wa Urusi Vladimir Putin amekaribishwa rasmi na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un baada ya kuwasili nchini humo kwa ziara yake ya kwanza baada ya miaka [--]. Vyombo vya habari nchini humo vinaripoti kuwa viongozi hao wawili walijadili namna ya kuimarisha mahusiano na kile wanachokitaja kubadilishana mawazo. #bbcswahili #urusi #koreakaskazini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=6QArnxwLsAA) 2024-06-19T08:32Z [---] followers, [--] engagements "John Heche na Edwin Sifuna ni mapacha wa kisiasa Kama ni mgeni katika ukanda wa Afrika ya Mashariki basi ninapotaja majina yafuatayo mawili hautaelewa ni kwa nini yametajwa katika sentensi moja. John Heche na Edwin Sifuna wametengwa na mipaka ila kimsingi viongozi hawa waili huenda wakatajwa kama pacha wa siasa za uwajibikaji katika mataifa yao binafsi na vile vile Afrika Mashariki. Vuta kiti Laillah Mohammed @Leila Mohammed akupe maelezo kisha utafanya uamuzi ikiwa kuna tofauti nyingi kuliko kufanana kati yao. - - #bbcswahili #kenya #tanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=8uiLq1gJwbU) 2025-08-20T06:00Z 765K followers, 21.4K engagements "Maafa ya anga ya Munich: Tukio la kihistoria la Manchester United Tarehe [--] Februari [----] historia ya soka ilibadilika baada ya Ndege ya Manchester United ikiwa imetoka kushiriki mechi ya Kombe la Ulaya kuanguka mjini Munich Ujerumani. Ajali hiyo ilisababisha vifo vya watu [--] wakiwemo wachezaji nane wa kikosi chipukizi cha Busby Babes. Ilikuwa ni siku ya huzuni kubwa lakini pia mwanzo wa hadithi ya ustahimilivu ujenzi upya na ushindi wa kihistoria miaka [--] baadaye. Mwandishi wa BBC @loko_omi anasimulia zaidi kuhusu tukio hilo. Makala hii kwa urefu zaidi inapatikana katika ukurasa wa Youtub wa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=9nJsKDUnHzE) 2025-08-22T05:00Z 766K followers, [----] engagements "Safari ya binti anayetafuta mabaki ya baba yake Kenya Wanjugu Kimathi binti wa kiongozi wa waasi wa Mau Mau Dedan Kimathi anatafuta mabaki ya baba yake huku akipigania haki za ardhi kwa wanajeshi waliosahaulika waliokuwa wakipambana dhidi ya ukoloni. - BBC Africa Eye inaangazia safari binafsi yenye nguvu ambayo inafichua hadithi ya mapambano ya silaha Kenya wakati wa uhuru na inajumuisha ushahidi wa ukatili uliofanywa na Waingereza wakati wa kupigana na waasi. #bbcswahili #kenya #maumau Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=BAjzMD2Uavo) 2025-01-28T09:02Z 650K followers, [---] engagements "Humphrey Polepole: Amnesty International yaitaka Tanzania kufichua alipo Amnesty International ina wasiwasi mkubwa kwamba Humphrey Polepole huenda alitoweka kwa nguvu na pengine kushambuliwa. Serikali ya Tanzania haina budi kuweka kila juhudi kumtafuta na kumrejesha mahali salama. #bbcswahili #tanzania #humphreypolepole Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=BBYBNUUBvfU) 2025-10-09T11:08Z 795K followers, 43.8K engagements "Boti yaruka angani ziwani Tazama boti iliyokuwa kwenye mwendo kasi ilivyoruka angani kwa kasi ya 200mph kabla ya kutua chini katika Ziwa Havasu City Arizona Marekani. Tukio hilo lilitokea wakati wa onesho la mashindano ya boti huku watu wawili waliokuwa kwenye boti hiyo wakijaribu kuweka rekodi mpya ya kuendesha kwa kasi kwenye ziwa hilo. Walipata majeraha madogo tu. #bbcswahili #marekani #ajali Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=CEN0AZ4w86Q) 2025-04-29T14:22Z 700K followers, 13.2K engagements "Clara Luvanga kuipiga jeki Twiga stars WAFCON Leo ni kufa kupona kwa timu ya taifa ya soka ya Tanzania ya kinadada Twiga Stars katika michuno ya soka la kuwania ubingwa wa mataifa ya Afrika Wafcon [----] huko Morocco. Kikosi cha Tanzania kimepigwa jeki kwa kurejea kwa mshambuliaji wao nyota Clara Luvanga aliyekosa mechi ya kwanza" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=CoXU8atm9Ak) 2025-07-11T19:04Z 753K followers, [---] engagements "Wicknell Chivayo ni nani hasa Wicknell Chivayo si jina geni barani Afrika Hivi karibuni taarifa iliyodaiwa kutoka bodi ya kupambana na rushwa kutoka Zimbabwe ilisaambaa kupitia ukurasa wa X ikisema kuwa uchunguzi dhidi yake umefunguliwa juu ya madai ya Rushwa. Hata hivyo taarifa hiyo ilifutwa muda mfupi baadae lakini nakala za tangazo hilo bado zinaendelea kusambaa mitandaoni. Mwezi juni mwaka huu bodi hiyo ya kupambana na rushwa ilitoa taarifa kuwa ukurasa wake wa X ulidukuliwa. Lakini Wicknell Chivayo ni nani hasa - - #bbcswahili #zimbabwe #tanzania #kenya #uganda #tajiri #siasa" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=CyNpckE7aAc) 2025-09-23T11:37Z 783K followers, 83.3K engagements "Jinamizi la Shakahola limerejea Kenya Polisi nchini Kenya wanachunguza kupotea kwa watoto sita katika mazingira ya kutatanisha kwenye msitu wa Chakama katika kaunti ya Kilifi nchini Kenya. Kamishna wa kaunti ya kilifi ameiambia BBC kwamba waliwapata wazazi wa Watoto hao karibu na msitu wa Shakahola ambako kulishuhudiwa maafa ya zaidi ya watu [---] waliokuwa katika ibada ya kufunga. Wazazi hao Pamoja na watu wengine wawili walikuwa katika hali mbaya walipotiwa mbaroni na polisi nyumbani kwao siku ya jumamosi. Polisi pia wamepata mafuvu mawili ya binadamu na mwili wa mtu ambaye hajatambuliwa. Je" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=DnvYXxLhEZI) 2025-07-24T15:32Z 757K followers, 10K engagements "Tundu Lissu ni nani Hivi sasa akiwa amewekwa rumande kwa tuhuma za uhaini jina la kiongozi huyu wa chama kikuu cha upinzani limerudi tena kwenye vichwa vya habari lakini hii si mara ya kwanza. Lissu ni mtu wa historia ndefu. Ili kumuelewa kwa undani ni muhimu kumtazama kwa jicho pana: ni nani hasa huyu mtu @lasteck2024 anaelezea mambo saba muhimu yanayomtambulisha. 🎥: eagansalla_gifted_sounds #bbcswahili #tanzania #upinzani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ESI3miyQrXc) 2025-04-12T05:29Z 686K followers, 26.1K engagements "Je mkutano kati ya Trump na Putin utamaliza vita kati ya Urusi na Ukraine Katika Dira ya Dunia TV Macho yote sasa yanaelekezwa Alaska ambapo Rais Donald Trump na Vladmir Putin watakuwa na mkutano wao wa kwanza wa ana kwa ana katika muda wa miaka sita ili kujadili vita vya Ukraine. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=EqNnMKq2nE4) 2025-08-15T18:31Z 763K followers, 21.6K engagements "Mtoto chupuchupu kugongwa na gari Tazama jinsi mtoto mdogo alivyookolewa na dada yake mwenye umri wa miaka [--] nchini China baada ya kukoswa koswa na gari lililokosea njia na kuingia ndani ya mgahawa Picha za CCTV zinaonyesha gari hiyo ikibomoa milango ya vioo ya mgahawa huo ikielekea kwa kasi alipo mtoto huyo ambapo dada yake mwenye umri wa miaka 11alimuokoa kwakumbeba ghafla na kuacha gari hilo likigonga ukuta. Dereva aliomba msamaha na kulipia uharibifu wa mgahawa huo. #bbcswahili #china #ajali Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=FQN9o8q5zUw) 2025-06-05T15:30Z 729K followers, [----] engagements "Utofauti wa Kwaresma na Ramadhan ni upi Kwaresma na Ramadhani zimekutana mwaka huu kwa kupishana siku kadhaa tu - Katika msimu huu Kufunga ni muhimu kwa dini zote mbili ingawa ufungaji hutofautiana. Wakati wa Kwaresma Wakristo hufunga kwa kujiepusha na nyama siku ya Ijumaa Kuu na kupunguza ulaji wa vyakula vingine kwa siku [--]. - Wakati kwa upande wa Ramadhani Waislamu hujizuia kula kunywa kuvuta sigara na kufanya ngono kuanzia mawio hadi machweo kwa muda wa siku [--] au [--]. Ungana na @mariummjahid akikufafanulia zaidi; - - #bbcswahili #dini #ukristo #uislamu #ramadhan #Kwaresma Subscribe kupata" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=GCBdCfAlVC8) 2025-03-12T03:00Z 677K followers, 77.5K engagements "Je demokrasia ya Senegal ipo hatarini "Rais hawezi kuongeza muda wake wa uongozi hata kwa siku moja". Haya yalikuwa maneno ya rais wa Senegal Macky Sall kabla ya kuchaguliwa kwake mwaka [----] lakini je ametekeleza maneno haya Senegal imeingia katika sintofahamu kwa mara nyingine baada ya uchaguzi wa nchi hiyo kucheleweshwa kwa miezi kumi na rais anayemaliza muda wake ambaye aliahidi amani na utulivu kwa nchi yake. #bbcswahili #senegal #uchaguzi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=HJnsDJMhUUQ) 2024-02-09T14:42Z [---] followers, [--] engagements "Je nani anamiliki aktiki Nchi nane zina ardhi ndani ya Duara la Aktiki zikiwemo Marekani na Urusi. Mataifa haya mawili yanaongeza uwepo wao katika eneo la Aktiki licha ya juhudi za kulifanya eneo hilo lisiyo la kijeshi baada ya Vita Baridi. Maswali kuhusu nani anayepaswa kudhibiti Aktiki yanahusiana moja kwa moja na sababu ya kwa nini eneo hilo limekuwa mojawapo ya maeneo yanayogombaniwa zaidi duniani. 🎥: @frankmavura Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=HPx9gI9Crkc) 2025-10-04T12:00Z 791K followers, 23K engagements "Kizza Besigye afikishwa mahakamani Uganda Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye amefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya Makindye nchini Uganda akikabiliwa na makosa manne ikiwemo kupatikana na silaha katika hoteli moja jijini Nairobi na kujadiliana kuhusu silaha na wageni huko Geneva Athens na Nairobi. Yeye na mwenzake Obedi Lutale wamekanushwa mashtaka na amerejeshwa rumande hadi Desemba [--]. Martha Saranga anaelezea zaidi #bbcswahili #uganda #upinzani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=IJ0lnDlHveI) 2024-11-20T13:47Z 786K followers, [----] engagements "M23 yatangaza kusitisha vita M23 yatangaza kusitisha vita mashariki mwa DRC. M23 vilevile Wametaka kujiondoa kwa vikosi vya SADC wakisema kuwa misheni yao haina uhalali tena. Yaliyomo katika matangazo ya Dira ya Dunia TV leo 03/02/2025 na @Roncliffe Odit Usikose kuungana nasi leo saa tatu usiku saa za Afrika Mashariki katika mitandao ya YouTube na Facebook ya BBC Swahili. Pia unaweza kutupata kupitia Star TV Tanzania na K24 TV nchini Kenya. #bbcswahili #DRC #M23 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=JHx9dLVlidE) 2025-02-04T15:40Z 663K followers, 39.8K engagements "Kazi za kitumwa Saudi Arabia Ripoti mpya ya shirika la kutetea haki za binadamu Amnesty International inaonesha kuwa wanawake wa Kenya walioajiriwa kama wafanyakazi wa nyumbani nchini Saudi Arabia wanapitia changamoto mbalimbali ikiwemo unyanyasaji wa kingono kupigwa na hata kunyimwa chakula. Lakini mbali na hayo yote bado idadi kubwa ya vijana hukimbilia katika mataifa hayo ajira. Nini suluhu ya kudumu katika hili Kwa haya na mengine mengi ungana na @RoncliffeOdit katika Dira ya Dunia TV saa tatu kamili usiku kwenye ukurasa wetu wa YouTube BBC News Swahili. #bbcswahili #kenya #kazizandani" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=JMSGgeDtC0c) 2025-05-13T15:40Z 709K followers, 12.7K engagements "Epstein Files: Kashfa ya ngono inayomuandama Trump Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kuandamwa na kashfa ya urafiki wake na Bilionea Jeffrey Epstein hata katika safari yake ya Uskochi (Scotland) umbali mrefu kutoka nyumbani Marekani. Epstein alijiua August [----] akiwa katika gereza moja jijini New York ambako alikuwa akishikiliwa kwa kashfa ya kufanya ngono na watoto. Trump amekuwa akitajwa kuwa rafiki wa karibu wa Epstein lakini akiwa Scotland rais huyo wa Marekani amesema alivunja urafiki wake na Epstein miaka mingi baada ya Epstein kuwa anamuibia wafanyakazi wake. @sammyawami" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=JUUdKt0DLlg) 2025-07-31T06:00Z 758K followers, [----] engagements "BBC News Swahili Kutana na kijana wa Kitanzania Fanuel John Masamaki maarufu kama @zerobrainer0 anayefanya vizuri katika utengenezaji maudhui katika mtandao wa TikTok akiwawakilisha vyema CR7 na Messi wachezaji mashuhuri duniani kwa kuigiza jinsi wanavyofunga magoli na kushangilia. Zerobrainer anaelezea hapa kupitia ripoti ya mtangazaji kinara @roncliffeodit alipotembelea Tanzania. 🎥: @frankmavura #bbcswahili #tanzania #tiktoktanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=K1Pb_7ziSd0) 2025-04-19T06:00Z 688K followers, [----] engagements "'Mnaniita Zakayo na Kasongo'-Rais Ruto Sasa mimi nataka kuuliza mlianza na hustler na sasa mmefika Kasongo mnataka niwe na majina mangapi Rais William Ruto ahoji; - - #bbcswahili #kenya #siasa #williamruto Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=KrOkCyrEDzw) 2025-03-13T21:48Z 677K followers, [----] engagements "Funza wanaweza kusaidia kukabiliana na ongezeko la joto duniani Kutana na mjasiriamali wa Indonesia Markus Susanto ambaye anafuga funza na kuokoa maelfu ya tani za taka kila mwaka. Nzi chuma (Black Soldier) ni wadudu wanaotokana na taka za chakula zilizooza ambazo zikiachwa kwenye mashimo ya taka zinaweza kutoa gesi ya methane inayochangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa hewa chafu. #bbcswahili #mazingira #hewachafu Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=NXwP1Xzqs7o) 2024-10-28T13:26Z 784K followers, [--] engagements "Mwandishi wa BBC katika doria na polisi wa Kenya Haiti Ujumbe ulioidhinishwa na Umoja wa Mataifa nchini Haiti ulipaswa kuwa juhudi za mataifa mbalimbali yenye kikosi cha wanajeshi [----] kutoka nchi saba tofauti wakiongozwa na polisi wa Kenya. Miezi sita baadaye ni maafisa wa polisi [---] pekee wa Kenya ambao wametumwa na misheni hiyo inakabiliwa na uhaba wa fedha. #bbcswahili #kenya #haiti Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=O6SYc1Qu1ug) 2024-12-21T06:00Z 634K followers, [---] engagements "Je mwarobaini wa PSG umepatikana Katika kile kilichoonekana kama anguko la kifalme kwa mabingwa wa Ulaya na Ufaransa Paris Saint-Germain (PSG) Chelsea waliwasha moto New Jersey kwa ushindi wa kusisimua wa 3-0 kwenye fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu. Kwa ushindi huo vijana wa Enzo Maresca si tu walitwaa ubingwa wa dunia bali pia waliwapa PSG ladha ya kile ambacho wengi sasa wanakiita mwarobaini wao wa kweli. Mwandishi wa BBC @frankmavura ameuangazia mtanange huo kabambe Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=O_AanpNghko) 2025-07-14T15:13Z 753K followers, [----] engagements "Waridi wa BBC: Mesha Singolyo mwanamke wa mfano katika jamii ya Kimasai. Pamoja na kuhitimu shahada yake ya uzamili katika masuala ya maendeleo ya jamii hakuona haja ya kutafuta fursa nyingine kama vile kuajiriwa nje ya maeneo ya jamii yake bali aliamua kurejea kwa jamii yake ili kupitia taaluma yake awe na mchango kwao. Kwa sasa ni mwanaharakati anayewasaidia wajane kujikomboa kiuchumi kupitia vikundi vya akiba vya kijamii. Mwandishi wa BBC Esther Namuhisa amezungumza naye akiwa jijini Arusha kaskazini mwa Tanzania. 📹 @boshanyanje #bbcswahili #waridiwabbc #wanawake Subscribe kupata video" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=OnZabHN5WAo) 2024-10-23T12:11Z 784K followers, [--] engagements "Ibrahim Traor 'Shujaa wa Burkina Faso' Inasemekana alikuwa mnyenyekevu lakini mwerevu shuleni Kapteni Ibrahim Traor wa Burkina Faso ni afisa wa jeshi ambaye alichukua madaraka kwa mapinduzi katika moja ya makoloni ya zamani ya Ufaransa huko Afrika Magharibi mwaka [----]. - Alimpindua aliyekuwa mshirika wake Luteni Kanali Paul-Henri Damiba baada ya kumtuhumu kwa kushindwa kutimiza ahadi yake ya kukomesha uasi wa Waislamu ambao umekikumba Burkina Faso tangu [----]. - Amekuwa akifanya mabadiliko nchini humo na wananchi wakionesha kumkubali. Je ni mabadiliko gani - Lizy Masinga anaelezea - - -" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=PNfRpo_M4EI) 2025-04-06T04:00Z 685K followers, 116.7K engagements "Mzozo wa DRC: Hali mjini Goma Hali ya sintofahamu inazidi kushuhudiwa huku milio ya risasi ikisikika katika baadhi ya maeneo ya Goma. Kundi la waasi la M23 linakabiliwa na jeshi la FARDC linalosaidiana na makundi ya wapiganaji yanayounga mkono serikali. Mamlaka zimesema kwamba jeshi linadhibiti mji wa Goma ila kundi la waasi la M23 limepuuzilia mbali hili likisisitiza kwamba jeshi lipo katika maeneo machache pekee. #Goma #m23 #Rwanda #Ufaransa #Kenya #Uganda Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Q6JryDCe5g0) 2025-01-28T18:56Z 652K followers, 13K engagements "ULIMWENGU WA SOKA Manchester UTD vs Liverpool Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Q6RDurKpdFQ) 2024-09-02T05:33Z 678K followers, [----] engagements "Simba vs Al Masry : Je Simba ya Tanzania itaivunja laana ya Mwakarobo - "Simba ajiandae kutoka abakie Mwakarobo tuendele kubakia na lile jina na pale Mwakarobo hawezi kutoka ni Mwakarobo nusu haiwezekani Simba uwezo hana." - Katika soka la Tanzania majibizano ya mashabiki wa Yanga na Simba si jambo geni lakini jina la "Mwakarobo" limejikita zaidi katika simulizi ya maumivu ya mara kwa mara ya Simba kutolewa kwenye hatua ya robo fainali. Mwakarobo ni jina la kawaida tu la asili ya watu wa Mkoa wa Mbeya hasa Tukuyu. - Leo tarehe [--] Aprili [----] Simba itaingia dimbani Benjamin Mkapa kurudiana na" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=QOaUs3Yn9n0) 2025-04-09T08:31Z 685K followers, [----] engagements "Mafuriko Hispania Hispania inakabiliana na maafa makubwa zaidi ya mafuriko kuwahi kutokea katika miongo kadhaa huku takriban watu [--] wakifariki na wengine kupotea baada ya mvua kubwa kunyesha katika jimbo la mashariki la Valenica na maeneo mengine. Mvua iliyonyesha Jumanne ilisababisha mafuriko ambayo yalisomba madaraja na majengo na kuwalazimu watu kupanda juu ya paa au kung'ang'ania miti ili kunusurika Rais Pedro Snchez ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa huku ya mvua ikiendelea #bbcswahili #uhispania #haliyahewa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=QSd2lMfzuBA) 2024-10-31T16:16Z 784K followers, [--] engagements "Aponea chupuchupu kugongwa na gari Tazama Mwanaume huyu alivyoponea chupuchupu kugongwa na gari lililokuwa likiendeshwa kwa kasi na kuingia kwenye kituo cha mafuta alipokuwa mtu huyo. Dereva wa gari hilo pamoja na mwanaume aliyenusurika kugongwa walipata majeraha madogo tu. Kwa mujibu wa mamlaka za eneo hilo gari hilo lilikuwa likiendeshwa kwa maili [--] kwa saa (sawa na kilomita [---] kwa saa) katika eneo lenye kikomo cha maili [--] kwa saa (kilomita [--] kwa saa). Dereva atashtakiwa kwa kosa la kuendesha kwa uzembe na kuwa na bima ya gari uliyokwisha muda wake. #bbcswahili #ajali #ajaliyabarabara" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=Upvb3aXRNkw) 2025-09-19T12:11Z 780K followers, [----] engagements "'Kutuma pesa Korea Kaskazini ni kama filamu ya ujasusi' Raia walioondoka Korea Kaskazini na kuhamia Kusini wamekuwa wakitegemea "mawakala" kutuma pesa nyumbani kwa familia zao. Lakini sasa kutokana na kuongezeka kwa ukandamizaji kutoka Kaskazini na Kusini kutuma pesa kutoka kusini hadi kaskazini limekuwa ni jambo la hatari kubwa kwani hutumia njia isiyo halali kisheria ya kuhamisha fedha. #bbcswahili #koreakaskazini #koreakusini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=W-T9W1rq-TA) 2024-02-02T13:22Z 587K followers, [--] engagements "Mwanangu alitengwa kisa degedege Susan Muyoki mama wa Watoto watatu wenye maradhi tofauti akiwemo mwenye changamoto ya moyomwenye tatizo la kifafa pamoja na mwanae ambaye sasa ni marehemu aliyezaliwa na kichwa kikubwa na mgongo wazi. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=WYq_wSScMvk) 2025-02-27T19:42Z 672K followers, [----] engagements "Kim Jinping na Putin wanapanga nini Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amewasili China katika ziara adimu nje ya nchi yake wakati ambapo mwenyeji wake Rais Xi Jinping amemkaribisha Rais Vladimir Putin wa Urusi na viongozi wengine. Ziara hii inamaanisha nini kwao na inatuma ujumbe gani kwa ulimwengu Jiunge na @hamidaabubakar kwa haya na mengi kwenye Dira ya Dunia TV mubashara saa tatu usiku kupitia ukurasa wa youtube BBC Swahili. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=YoaNQ15VsmQ) 2025-09-02T15:57Z 773K followers, 23.6K engagements "BBC News Swahili Leo katika Waridi wa BBC kimemulika maisha na mchango wa Bi. Khadija Mwanamboka mwanamitindo mashuhuri kutoka Tanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya ndani ya tasnia ya mitindo. Kwa zaidi ya miaka [--] Khadija amejitokeza kama mfano wa kuigwa si tu kwa ubunifu wake bali pia kwa kazi yake ya kuwajengea uwezo wanawake nchini Tanzania. Ametumia majukwaa ya mitindo kama chombo cha kuwainua wanawake kiuchumi na kijamii kupitia miradi na mafunzo mbalimbali. Katika juhudi za Tanzania kupata utambulisho wake wa kitaifa kupitia vazi rasmi Bi. Khadija" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=_h9N_pY_z0M) 2025-06-11T13:03Z 731K followers, [---] engagements "Kanisa lenye uhusiano na Martin Luther King Jr lateketea kwa moto Moto wateketeza kanisa la kihistoria la Marekani lenye uhusiano na Martin Luther King Jr. Kanisa la kihistoria la Wamarekani Weusi lililopo Memphis Tennessee lilishika moto mapema asubuhi ya tarehe [--] Aprili na kuharibika vibaya. #bbcswahili #marekani #martinlutherkingjr Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=bsYPHdaY-Kw) 2025-05-03T11:01Z 702K followers, [----] engagements ""Naapa kuilinda Syria" Al sharaa. Katika Dira ya Dunia TV Rais wa Syria Ahmed Al Shraa amesema kulinda jamii ya Druze ambao ni raia wa Syria ndio jukumu lake kuu kwa sasa hasa bada ya makabiliano ya hivi maajuzi ambapo watu zaidi [---] walifariki" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=cEO4XNqMGA0) 2025-07-17T19:56Z 769K followers, 16.4K engagements "Shambulizi la Israel kwenye hospitali #bbcswahili #gaza #mlipuko Tazama Uchuguzi wa BBC dhidi ya shambulizi la anga la hospitali huko Gaza lilotekelezwa na Isreal. Wiki hii kumeendelea kuwa na mashambulizi makali katika maeneo mbalimbali Gaza na kusababisha vifo vya zaidi ya watu [---]. Munira hussein anaeleza zaidi. @munie_noor #bbcswahili #gaza #mlipuko Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=cTVH15Oz3_A) 2025-05-17T04:00Z 710K followers, [----] engagements "'Ningependa kuwa Papa' - Trump Msikilize Rais wa Marekani Donald Trump akitania kwamba angependa kuwa papa ajaye alipoulizwa na waandishi wa habari akisema "hilo litakuwa chaguo langu la kwanza." Trump alitoa maoni hayo alipokuwa akiondoka Ikulu ya White House kuelekea Michigan kufanya mkutano wa kusherehekea siku zake [---] za kwanza ofisini. Alipendekeza Kardinali Timothy Dolan askofu mkuu wa New York kama mrithi wa Papa Francis akisema Dolan ni "mwema sana" #bbcswahili #marekani #donaldtrump Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=cw9i4bBNBlQ) 2025-04-30T13:25Z 780K followers, 28.8K engagements ""Hali yetu ya maisha ipo hatarini mashamba yetu yote yameangamia na maji" Wakazi wa kata Mohoro wilayani Rufiji wanakabiliwa na hatari ya Magonjwa ya mlipuko kutokana na mafuriko yanayoendelea kuikumba wilaya hiyo Mpaka sasa tayari watu wawili wamepoteza maisha huku serikali mashirika na watu binafsi wakiendelea kupeleka misaada ya kibinadamu kuwasaidia waathirika 🎥: @eagansalla_gifted_sounds #bbcswahili #rufiji #mafurikorufiji Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=dXgLaHa0pDI) 2024-04-10T10:47Z 596K followers, [--] engagements "Ma-DJ wa kike wa Iran wanaovunja miiko kwa kupiga muziki Sherehe za watu wa jinsia tofauti ni kinyume cha sheria nchini Iran lakini hata hivyo zinafanyika kwa kificho mbali na macho ya polisi wa maadili Baadhi ya ma-DJ wa kike wanaochezesha umati pia wanavunja miiko na kuvuka mipaka ya kitamaduni. #bbcswahili #iran #sheria Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=e5xYp7Z9dP8) 2024-03-08T16:10Z [--] followers, [--] engagements "Je Electoral College ni nini Huku ulimwengu ukisubiri kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Marekani [----] maneno 'Electoral College' yanazidi kutumika hususan kwenye mjadala wa nani ataibuka mshindi katika kura ya urais baina ya Donald Trump na Kamalla Harris. - Je Electoral College ni nini - Na inahusika vipi kubaini mshindi wa kura ya urais katika uchaguzi wa Marekani [----] - Mwandishi wa BBCswahili Peter Mwangangi anadadavua Electoral College. - - - #uchaguzi2024 #Trump #bbcswahili #uchaguzimarekani2024 #KamalaHarris #Siasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ghsRrGMej_Y) 2024-11-06T07:16Z 628K followers, [----] engagements "Trump: Putin Ameniangusha Trump anadai ametatua migogoro saba mikubwa akiwa rais na alidhani vita vya Ukraine vingekuwa rahisi kumaliza kutokana na uhusiano wake na Putin. Hata hivyo baada ya kumkaribisha Putin Alaska mwezi uliopita anasema Putin amemvunja moyo na hakuna makubaliano yaliyofikiwa licha ya maendeleo kidogo. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=gwe_eF3J4Gg) 2025-09-18T18:32Z 780K followers, 12.9K engagements "BBC News Swahili Hawa ni watengeneza maudhui ya TikTok ambao wamekuwa wakisaidia familia zilizohamishwa kutokana na makombora katika maeneo ya kusini mwa Beirut kutathmini ni kwa namna gani nyumba zao zimeharibika. #bbcswahili #beirut #titok Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=h1J2FJG6JH4) 2024-11-27T06:00Z 631K followers, [---] engagements "Nani kuambatana na Donald Trump White House Kabla ya kurejea Ikulu ya White House tarehe [--] Januari [----] Donald Trump amekuwa akiteua timu atakayoambatana nayo katika uongozi wake kwa muhula wa pili kama rais. Je nani atakuwa kwenye timu yake Baldeen Waliaula anaelezea BBC Swahili itakuletea matangazo ya uapisho wa Donald Trump mubashara kupitia Kurasa zetu za mitandao ya kijamii ikiwemo Facebook Youtube na tovuti ya BBCSwahili pamoja na Dira ya Dunia radio na TV Jumatatu Januari [--] kuanzia majira ya saa moja na dakika [--] usiku kwa saa za Afrika Mashariki. #bbcswahili #marekani #donaldtrump" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ihTRbc1W3UE) 2025-01-20T08:08Z 645K followers, [----] engagements "'Bila kununua magari ya watendaji mambo haya yatakosa msimamizi" "Unajua kuna watu wanapitapita huko na kusema serikali hii kazi yake kufuja pesa inanunua magari ya watendaji badala ya kununua trekta" Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika kilele cha siku ya wakulima mkoani Dodoma #bbcswahili #tanzania #kilimo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=kSVzI4r54do) 2024-08-09T08:04Z 611K followers, [--] engagements "Je Raila Odinga ataibuka kidedea AUC Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga anaingia uwanjani kuminyana na wagombea wengine wawili kuwania uenyekiti wa AUC. Tunajadilia ikiwa atapita kati kati ya Richard Randriamandrato wa Madagascar na Mahamoud Ali Youssouf wa Djibouti kuchukua nafasi ya kumrithi Moussa Faki Mahamat anayeondoka. Haya na mengine mengi yataangaziwa kenye Dira ya Dunia TV naye Roncliffe Odit mubashara saa tatu usiku kwenye Kurasa ya YouTube ya BBC Swahili. #bbcswahili #AUC #UmojawaAfrika Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=kT0uPtZDjEc) 2025-02-14T16:09Z 798K followers, [----] engagements "Mapacha waliouzwa baada ya kuzaliwa waunganishwa kupitia TikTok Amy na Ano ni mapacha wanaofanana lakini baada tu ya kuzaliwa walichukuliwa kutoka kwa mama yao na kuuzwa kwa familia tofauti. Miaka kadhaa baadaye walijuana kwa bahati kupitia onesho la vipaji katika televisheni na video ya TikTok. Waligundua maelfu ya watoto wachanga huko Georgia waliibiwa kutoka hospitalini na kuuzwa. Walisafiri kutoka Georgia hadi Ujerumani kwa matumaini ya kumpata 'mama yao mzazi' #bbcswahili #georgia #mapacha Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=l-A_8-mazF4) 2024-01-28T06:00Z 580K followers, [--] engagements "Wenyeji wavuna matunda Ushindi wa AFCON [----] Uwekezaji wa zaidi ya dola 1bn (0.79bn) uliotumika kuandaa michuano ya Afcon [----] na nchi ya Ivory Coast katika kuboresha miundombinu nchini humo na Rais wa nchi hiyo Alassane Ouattara huenda umezaa matunda baada ya Tembo wa Ivory Coast kulibakiza kombe nyumbani. Tembo hao wanachukua dola 7m (5.54m) kama pesa za zawadi huku Nigeria wakikabidhiwa dola 4m na Shirikisho la Soka Afrika. Kubwa limekuwa ni furaha kwa wananchi ambao wamejitokeza barabarani kuupokea ushindi huo walioupata na kukamilisha idadi ya makombe matatu waliyoyapata katika michuano" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=lCzTPfsBYuk) 2024-02-12T16:07Z 589K followers, [--] engagements "Matangazo ya Dira ya Dunia TV Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=lX1dvA_I5Oo) 2024-11-15T18:33Z 629K followers, [----] engagements "Avuta treni ya tani [---] kwa meno Tazama namna Mwanamieleka huyu wa Misri alivyovuta treni kwa meno Mwanamieleka huyo amevunja rekodi ya dunia kwa kuivuta treni ya tani [---] kwa meno yake. Je wewe unaweza kuvuta kitu chenye uzito kiasi gani #bbcswahili #misri #rekodiyadunia Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=lxbL-CUQ8K0) 2025-03-19T06:00Z 678K followers, [----] engagements "Kifo Dubai #dubaiportapotty Nini kilimtokea Monic binti wa Uganda ambaye simulizi za kifo chake kilisambaa mtandaoni kwa #dubaiportapotty Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=mKViOubVG9c) 2025-09-16T22:25Z 779K followers, 12K engagements "BBC News Swahili Bonde la Chebloch nchini Kenya ni bonde lililo na kina cha mita [--] linawavutia watu wanaofika sio tu kuona kina hicho cha maji bali pia kufurahia maonyesho ya vijana kupiga makasia ama kuruka ndani ya maji hayo. Mmoja wao ni Ambrose Cherutich aliye na uwezo wa kuruka kwenye shimo hilo akiwa na mguu mmoja. Ambrose amefanya kazi ya kuruka makachu kwa zaidi ya miaka [--]. Miaka michache iliyopita alipata ajali na kukatika mguu lakini hilo halikumzuia kuendelea kufanya kazi hiyo kama alivyomsimulia @Agnes Penda Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=mRdT1nUMCMw) 2025-09-01T02:00Z 770K followers, [----] engagements "Kwaheri Charles Hillary Mwanahabari na mtangazaji nguli wa zamani wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC Charles Hillary amezikwa nyumbani kwake Kisiwani Zanzibar hii leo. Kwaheri ya kuonana Charles" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=nkbp9tseynY) 2025-05-14T19:40Z 710K followers, [----] engagements "Mafahali wa Kariakoo Joto linazidi kupanda nchini Tanzania kuhusu pambano maarufu la soka la watani wa jadi Yanga na Simba lililopangwa kufanyika Juni [--] jijini Dar es Salaam. - Mamlaka za soka zinasisitiza pambano kufanyika huku Yanga ikisema haichezi ikipinga inachokiita mchezo wa awali wa Machi [--] kuaihirishwa kiholela. - Sasa tuangalie badhi ya maamuzi magumu yaliyowahi kufikiwa kuhusu Yanga ama Simba ndani ya miaka [--] - - - 📸@simbascofficial 📸@Young Africans Sports Club #bbcswahili #michezo #soka#simba#mpira #yanga Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ptmhlow3DjM) 2025-06-11T03:01Z 735K followers, 92.3K engagements "Diamond Platnumz au Harmonise Sikiliza majibu ya mwanamuziki wa Tanzania @rayvanny alipokuwa akijibu mawali ya papo kwa papo - #bbcswahili #tanzania #bongofleva Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=q2T60LnE930) 2025-05-09T09:46Z 708K followers, [----] engagements "Je pilau la Tanzania na Kenya lipi tamu Pilau ni chakula maarufu Afrika Mashariki na kila mpishi ana aina yake ya upishi. Je ni kitu kinachofanya pilau liwe zuri na la tofauti - 🎥: @bosha_nyanje - - - #tanzania #kenya #pilau Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=qiZVCJdCORU) 2025-03-30T05:00Z 683K followers, [----] engagements "Safari ya kumchagua Papa mpya Papa mpya atachaguliwa hivi karibuni lakini safari hii ni ngumu kutabiri mshindi na huenda ikawa mojawapo ya mashindano ya Upapa yasiyotabirika zaidi katika historia ya kanisa Katoliki. Kwa nini mwandishi wetu @AntonyIrungu ambaye yuko Vatican ametuandalia habari hii #bbcswahili #vatikani #papafrancis Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=t2A2pvhwrJo) 2025-04-30T06:00Z 704K followers, 39.6K engagements "Robert Prevost ni nani Kuchaguliwa kwa Kardinali Robert Francis Prevost kuwa Papa Leo XIV kumeweka historia mpya ndani ya Kanisa Katoliki. Akiwa Papa wa kwanza kutoka Marekani yeye ni kiongozi anayetajwa kuwa na mwelekeo wa kuendeleza mageuzi ya hayati Papa Francis huku akisisitiza huduma kwa maskini na makundi yaliyo pembezoni. Ili kumfahamu kwa undani Papa mpya Leo XIV Florian Kaijage anatuelezea #bbcswahili #papa #vatcan Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=t8CIQstewu0) 2025-05-09T12:08Z 708K followers, 42.4K engagements "Nyota wa Afrika mashariki Asha Baraka maarufu kama Iron Lady ni mwanzilishi na mmiliki wa bendi maarufu ya muziki nchini Tanzania Twanga Pepeta . Je nini siri ya Twanga Pepeta kudumu kwa miaka mingi Je muziki wa bendi Tanzania unashuka Tazama Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=uI-0EGehdww) 2025-05-16T23:54Z 710K followers, [---] engagements "Gari yagonga treni Poland Tazama dereva huyu wa gari alivyonusurika kimiujiza baada ya Treni kuvamia gari lililokwama ndani ya kizuizi cha treni huko Polanda. Dereva wa gari hilo alikaribia kivuko cha treni muda mfupi tu kabla hakijafungwa na kushindwa kurudi alikotoka baada ya kuchelewa hivyo ikambidi kuweka gari pembeni lakini haikusaidia. Dereva alitoka bila kujeruhiwa kwa namna isiyo ya kawaida baada ya treni kuharibu gari hiyo vibaya kwenye kivuko. Maafisa wanawataka madereva kuwa makini sana wanapokaribia kivuko cha reli kwani treni haigongi bali inagongwa je hii ni kweli #bbcswahili" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=ubceNfzg094) 2025-08-08T12:37Z 761K followers, [----] engagements "BBC News Swahili Je kiongozi wa zamani wa Libya hayati kanali Maummar Gaddafi alikuwa ni shujaa wa Afrika au kiongozi wa mabavu Sammy Awami anakudadavulia kiongozi huyu ambaye aliongoza Libya kwa muda mrefu. #bbcswahili #maummargaddafi #libya Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=uddBXtn2c-U) 2025-05-27T11:46Z 724K followers, [----] engagements "BBC News Swahili Je uko tayari kubadilishiwa mtazamo wa uhalisia Basi weka kando dakika chache na ujiunge nasi kwenye safari ya kuvutia katika Makavazi ya kisasa ifahamikayo kama Museum of Illusions jijini Nairobi Kenya. Hii ni makavasi mpya zaidi katika mtandao ambapo ina maonesho ya kipekee kutoka kwa wabunifu wa Kenya. Mwandishi wa BBC Njoroge Muigai meandaa taarifa hii; Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=umbejn4Wcio) 2025-03-06T02:30Z 674K followers, [---] engagements "Familia ambayo watu wote wana upofu 'Tuliunda kikundi hiki baada ya kugundua ukiwa na upofu unatengwa' Kutana na Moses kiongozi wa kikundi cha jamii ya vipofu katika kijiji cha Luubu ambacho kina watu [--] wanaoishi katika eneo moja Kikundi hiki hukutana kila jumatatu chini ya mti ili kuzungumzia changamoto wanazopitia na kusaidiana. Mwandishi wa BBC Agnes Penda aliwatembelea huko Mashariki mwa Uganda na kuandaa taarifa hii #bbcswahili #uganda #upofu Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=vDbwKI36PPE) 2024-10-14T06:00Z 625K followers, [--] engagements "Nani atamrithi Papa Francis Makadinali [---] wa kanisa katoliki wamefungiwa ndani ya Kanisa la Sistine ili kuanza shughuli ya kumchagua Papa mpya. Viongozi hao wameombwa kumchagua Papa ambaye atalinda umoja wa kanisa katoliki hasa wakati ambapo unakabiliwa na mabadiliko makubwa katika historia yake. #bbcswahili #vatikani #papafrancis" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=wseUWt0mfs4) 2025-05-07T18:59Z 707K followers, 18.9K engagements "Raia wa Tehran na Tel Aviv wahama vita vikiendelea kati ya Israel na Iran katika Dira ya Dunia TV Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba anataka mwisho wa kweli wa makabiliano kati ya Iran na Israel na wala sio tu kusitishwa kwa vita wakati pande hizo mbili zikiendekea kushambuliana. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=xIgjdZw3N4U) 2025-06-17T18:34Z 739K followers, 76.6K engagements "Alex Iwobi ageuka Santa London Alex Iwobi: Nyota wa Fulham na Nigeria egeuka Santa na kugawa vyakula Krismasi Alex Iwobi anasherehekea sikukuu ya Krismasi huko London kwa namna ya kipekee amekuwa akitoa chakula cha bure ikiwa ni pamoja na batamzinga kwa wakazi wa eneo hilo wanaoshindwa kununua chakula kwa ajili ya Krismasi. #bbcswahili #london #krismas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=xJjY0IlVen0) 2024-12-25T06:00Z 634K followers, [---] engagements "Je Zelensky atakutana ana kwa ana na Putin Katika Dira ya Dunia TV Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema yuko tayari kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin ana kwa ana huko Istanbul Uturuki siku ya Alhamisi wiki hii. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=xJwsrvy7-2g) 2025-05-12T18:33Z 731K followers, 19.2K engagements "BBC News Swahili #bbcswahili #diratv #habari Japo mikutano kadhaa ya kujaribu kusitisha vita kati ya Ukraine na Urusi imekuwa ikiandaliwa na kusimamiwa na Marekani Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yameendelea kutokea hali ambayo imekasirisha Rais wa Marekani Donald Trump. Trump ambaye anakutana na uongozi wa jumuiya ya kujihami NATO leo anatarajiwa kutoa tamko kuhusu Urusi kuendeleza mashambulizi zaidi. Je unadhani huenda akaiwekea Urusi vikwazo zaidi Jiunge naye @martha_saranga saa tatu usiku wa leo mubashara kwenye Dira ya Dunia TV kupitia ukurasa wa YouTube BBC Swahili Subscribe" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=yM2Xo4WKZS4) 2025-07-14T15:11Z 753K followers, [----] engagements "Makovu ya shambulizi la kinyuklia Japan. Wiki hii dunia inaadhimisha miaka themanini tangu Marekani kuvamia Japani kwa mabomu ya kinyuklia kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki. Hilo ilikuwa shambulizi la mwanzo na mwisho kuwahi kutekelzwa duniani huku walionusurika wakielezea maovu waliyoyapitia wakati huo. Miaka hii yote baada ya tukio hilo kuna vita vinavyoendelea duniani ambapo inahofiwa kwamba silaha hizi kali huenda zikatumiwa. Je hatukujifunza kutokana na madhara ya shambulizi hilo la [----] Roncliffe Odit anangazia hili kwa kina leo saa tatu usiku mubashara kwenye Dira ya Dunia TV" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=z7Yu4exFSCE) 2025-08-04T14:20Z 759K followers, [----] engagements "BBC News Swahili Kutana na Ma DJ walemavu Vj robzy kimotho na Dj skylla ambao licha ya kwamba mmoja ana ugonjwa wa kupooza ubongo anatumia kidole kimoja kuburudisha watu katika matukio mbalimbali na mtandao wa TikTok. Mtangazaji wa BBC Christine Ntayiai aliwatembelea na kuandaa taarifa hii. 📹 Brian Mala. #bbcswahili #kenya #ulemavu Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=zCOoH9OuYLg) 2025-06-07T06:01Z 729K followers, [----] engagements "Mike Tyson amzaba kibao mpinzani wake wakati wa upimaji uzani Mike Tyson anatarajiwa kukutana na Jake Paul katika pambano litakalofanyika usiku wa Novemba [--]. Wakati wa kupima uzito kuelekea katika pambano hilo Mike Tyson alimpiga kofi Jake Paul na kuzua tafrani Paul [--] atamenyana na Tyson mwenye umri wa miaka [--] kwenye Uwanja wa AT&T mjini Dallas. Bingwa wa dunia mara mbili Tyson mara ya mwisho alipanda ulingoni mwaka [----]. #bbcswahili #ndondi #masumbwi See less Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=zkTzu77jEpE) 2024-11-15T10:01Z 630K followers, [----] engagements "Je ni nani amemshambulia Padri Kitima Polisi nchini Tanzania wanasema kwamba uchunguzi wa shambulizi dhidi ya Padri Kitima usiku wa jana unaendelea wakiwa katika harakati za kuhakikisha waliotekeleza shambulizi hilo wanakamatwa na kufunguliwa mashtaka mara moja. - Je ni nani alitekeleza shambulio hilo na kwa sababu gani - Hamida abubakar anachambua hilo mubashara saa tatu usiku kwenye ukurasa wa YouTube BBC Swahil - - - #bbcswahili #tanzania #diratv Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw" [YouTube Link](https://youtube.com/watch?v=zoQqAIMbkDQ) 2025-05-01T16:07Z 703K followers, 53.9K engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@bbcnewsswahili BBC News SwahiliBBC News Swahili posts on YouTube about youtube, tanzania, kenya, bbc the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries 62.5% social networks 55.36% technology brands 55.36% travel destinations 13.39% currencies 8.93% celebrities 3.57% finance 1.79% premier league 0.89% us election 0.89%
Social topic influence youtube 54.46%, tanzania 16.07%, kenya 13.39%, bbc 12.5%, kwanza 8.93%, donald trump 8.93%, israel 7.14%, leo 6.25%, uganda 6.25%, ukraine 5.36%
Top accounts mentioned or mentioned by @frankmavura @roncliffeodit @elizabethkazibure @hamidaabubakar @boshanyanje @jamiivoicetv @njorogemuigai @bobiwine @lizzymasinga @leila @lokoomi @lasteck2024 @mariummjahid @roncliffe @sammyawami @zerobrainer0 @enamuhisa @munienoor @eagansallagiftedsounds @agnes
Top assets mentioned HILO (HILO) Nani Coin (NANI) Mambo (MAMBO) TYSON (TYSON)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Burkina Faso yapiga marufuku vyama vyote vya siasa Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetangaza kupiga marufuku vyama vyote vya siasa ambavyo shughuli zake zilikuwa zimesitishwa tangu jeshi lilipochukua madaraka mwaka [----]. Laillah Mohammed anaelezea kwa kina #bbcswahili #burkinsafaso #siasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #burkinsafaso #siasa #upinzani #utawalawakijeshi #BBCNewsSwahili #burkinsafaso #siasa #upinzani #utawalawakijeshi"
YouTube Link 2026-02-11T08:00Z 890K followers, 12K engagements
"Nini hutokea kwenye ubongo wa binadamu wakati anakufa Mwanasayansi alibobea kwenye Mishipa ya fahamu Jimo Borjigin kutoka Chuo Kikuu cha Michigan amejitolea muda wake mwingi kwenye kuchunguza kinachotokea katika ubongo wa binadamu tunapokaribia kufa. Uvumbuzi wa hivi karibuni upo kinyume na matarajio yote ya awali yaliyohusishwa juu ya kifo cha binadamu. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili sayansi kifo afya #BBCNewsSwahili sayansi kifo afya"
YouTube Link 2026-02-11T17:34Z 890K followers, [----] engagements
"Siku [---] za Rais Samia Suluhu Hassan: Mwanzo mpya na mgawanyiko Tanzania Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametimiza siku [---] ofisini tangu aanze muhula wake wa pili na wa mwisho.Swali ni je taifa limeanza kupona kutokana na ghasia za uchaguzi mkuu wa mwaka uliopita Msemaji wa serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amezungumza na BBC.na kuelezea ahadi za rais Samia. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #BBCNewsSwahili"
YouTube Link 2026-02-10T19:24Z 890K followers, [----] engagements
"Kenya yapinga usajili wa raia wake katika jeshi la Urusi Kenya imesema itazungumza na Urusi kuhusu ongezeko la raia wake wanaoajiriwa kupigana katika vita dhidi ya Ukraine ikikielezea kitendo hicho kama kisichokubalika. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #BBCNewsSwahili"
YouTube Link 2026-02-10T19:38Z 890K followers, [----] engagements
"Maandamano ya Gen-z yasababisha uchaguzi kuandaliwa Bangladesh. Katika Dira ya Dunia TV Taifa la Bangladesh linajiandaa kupiga kura wiki hii katika uchaguzi wake wa kwanza tangu vuguvugu la mapinduzi ya vijana lilipoiangusha serikali ya Awami League. Wanafunzi walijitokeza mwaka [----] huku wakikabiliana na msako mkali uliosababisha vifo vya hadi watu [----] kulingana na Umoja wa Mataifa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2026-02-09T18:31Z 890K followers, 22.4K engagements
"Utata kuhusu mashahidi wa siri Tundu Lissu akirejea mahakamani Kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama cha demokrasi na maendeleo CHADEMA Tundu Lissu imeahirishwa hadi siku ya jumatano tarehe [--] ya mwezi huu wa Februari ambapo itatajwa tena huku mahakama hiyo ikitarajiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi la Lissu la kuwaficha mashahidi wa siri. Lissu aliiambia mahakama mwaka jana kuwa kuwaficha mashahidi hao kunawanyima hata majaji nafasi ya kuwaona jambo ambalo ni kinyume cha sheria na kusisitiza kuwa yote hayo ni kwasababu kesi inayomkabili hukumu yake ni kunyongwa hadi kufa."
YouTube Link 2026-02-09T19:20Z 890K followers, 14.3K engagements
"Ifahamu ndege maya ya kivite ya J-20A China China imevutia macho ya dunia baada ya kuonyesha rasmi kwa mara ya kwanza ndege yake mpya ya kivita J-20A pamoja na J-20S yenye viti viwili katika maadhimisho ya miaka [--] tangu J-20 ifanye safari yake ya kwanza angani. Kwa mujibu wa wataalamu wa kijeshi J-20A si maboresho ya kawaida bali ni mabadiliko makubwa ya kimkakati yanayolenga kuimarisha uwezo wa anga wa China hasa katika eneo la Asia-Pasifiki. Maboresho hayo yanahusisha muundo teknolojia na uwezo wa kivita hatua inayoweza kubadilisha mizani ya nguvu za kijeshi duniani. Katika video hii"
YouTube Link 2026-02-05T08:01Z 890K followers, 26.4K engagements
"Iran: 'Tutatetea maslahi yetu' Katika Dira ya Dunia TV Taifa la Iran limesema mazungumzo kati ya Tehran na Washington yamemalizika mjini Muscat huku pande hizo mbili zikikubali kuendeleza mazungumzo katika siku za usoni. Waziri wa mambo ya kigeni wa Iran Abbas Aragchi amesema wasiwasi wa kutoaminiana unafaa kuondolewa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2026-02-06T18:31Z 890K followers, 27.7K engagements
"Ushahidi wa kesi ya Lissu kuanza kusikilizwa Kesi ya uhaini imayomkabili mwenyekiti wa chama cha upinzani Tanzania Chadema Tundu lissu imeahirishwa hadi kesho Alhamis 12/02 baada ya mahakama kuu ya Tanzania kuridhia pingamizi moja kati ya matano yaliyokuwa yamewekwa na kiongozi huyo. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #BBCNewsSwahili"
YouTube Link 2026-02-11T18:56Z 890K followers, [----] engagements
"Siku [---] za Rais Samia madarakani Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametimiza siku [---] ofisini tangu aanze muhula wake wa pili na wa mwisho pamoja na mambo mengine aliahidi kuliponya taifa baada ya ghasia za uchaguzi wa Oktoba [--] [----]. - - #bbcswahili #samia #uchaguzi2025 #Uongozi #siasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw #BBCNewsSwahili #BBCNewsSwahili"
YouTube Link 2026-02-11T13:37Z 890K followers, [---] engagements
"Nyaraka za Jeffrey Epstein: Ghislaine Maxwell akataa kutoa ushahidi bungeni. Katika Dira ya Dunia TV Mawakili wa Ghislaine Maxwell mshirika wa mhalifu wa makosa ya ngono Jeffrey Epstein wanasema mteja wao atazungumza ukweli kikamilifu ikiwa tu Rais wa Marekani Donald Trump atatoa msamaha kwake. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2026-02-10T18:32Z 890K followers, 25.9K engagements
"Mkutano wa Trump na Netanyahu utafaulu Katika Dira ya Dunia TV Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika Ikulu ya Marekani. Netanyahu anatarajiwa kumshawishi Trump kuendeleza makubaliano yatakayositisha uboreshaji wa uranium nchini Iran na pia kudhibiti hatua yake ya kuunga mkono makundi ya wapiganaji kama Hamas na Hezbollah. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2026-02-11T18:36Z 890K followers, 20K engagements
"'Naukataa utekaji' Gwajima Unajua magumu yaliyokupata wewe yalikupata kwa sababu mimi nilikataa utekaji. Mpaka leo nakataa vilele Kiongozi wa makanisa ya Ufufuo na Uzima Askofu Josephat Gwajima ameibuka kanisani kwake katika mkesha wa mwaka mpya na kuwaeleza wafuasi wake kuwa angali anapinga vitendo vya utekaji nchini Tanzania. Gwajima alitoa mahubiri kwa mara ya mwisho atika kanisa hilo lililopo Ubungo jijini Dar Es Salaam mwezi Juni [----] kabla ya kanisa hilo kufungiwa na kuzingirwa na polisi. Kanisa hilo lilifunguliwa mwishoni mwa Novemba mwaka jana kwa maelekezo ya Waziri Mkuu Mwigulu"
YouTube Link 2026-01-01T05:46Z 874K followers, 57.2K engagements
"BBC News Swahili 'Sina ugomvi na mtu yeyote anayepigania amani. Lakini nikuambia kwamba kwa hakika huwezi kuwa na amani bila haki. Amani na haki ni vitu viwili vinavyotegemezana.'' - Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam Tanzania Juda Thaddeus Ruwa'ichi amesema Watanzania wengi hawashabikii haki wala siyo wadau wa haki. Askofu Ruwa'ichi aliyasema hayo katika misa ya mkesha wa Krismasi jijini humo. "Ewe Mtanzania kama utaka kujigamba kuwa mtu wa amani jitose kupigania haki jitose kusema kweli amani na mambo yanayompendeza Mungu" - Kumekuwa na mgawanyiko baina ya viongozi"
YouTube Link 2025-12-25T05:56Z 872K followers, 58.9K engagements
"Lumumba wa AFCON [----] ni nani Matukio ya awali ya AFCON yamekuwa yakihusishwa na kumbukumbu zilizobaki milele. Iwe uwanjani au nje ya uwanja mengi yamejadiliwa hata baada ya mashindano kukamilika. Lakini sasa mtu mmoja amejihakikishia nafasi yake katika historia ya AFCON [----] nchini Morocco bila kusema neno hata moja na alifahamika kama Lumumba. Lakini Lumumba ni nani @njoroge.muigai anamuangazia mtu huyu - - #bbcswahili #foryou #DRC #Lumumba #afcon2025 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2026-01-13T09:38Z 878K followers, 15.8K engagements
"Kampeni za lala salama za Bobiwine Mgombea rais wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi Ssentamu @bobiwine maarufu kama Bobi Wine amewataka wafuasi wake kuungana na kumsaidia kuchukua uongozi wa nchi hiyo. - Licha ya mvua kubwa na ulinzi mkali maelfu ya wafuasi wa mwanasiasa walijitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano huo. Wengi wakipeperusha bendera ya taifa hilo - Aliandamana na mkewe Barbie Itungo Kyagulanyi pamoja na viongozi wandamizi wa chama cha NUP - - #bbcswahili #uganda #ugandaelections2026 #uongozi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya"
YouTube Link 2026-01-12T18:43Z 879K followers, 25.1K engagements
"Kutana na ligi ya kipekee ya wabibi wanasoka barani Afrika Huenda wasiwe na ujuzi kama Lionel Messi au Cristiano Ronaldo lakini hilo halijawazuia Bibi hawa wa Kiafrika kujifunza kupiga penalti na mbinu za kukaba. - Hii imekuwa kazi ya Rebecca Ntsanwisi mwenye umri wa miaka [--] kutoka Afrika Kusini aliyeanzisha timu za Bibi wazee wanasoka katika nchi mbalimbali barani Afrika kwa lengo la kuboresha afya ya akili na mwili kwa wanawake wenye umri mkubwa. - Timu tano kutoka Afrika zinashiriki kwenye mashindano ya Kombe la Dunia la Soka la wabibi huko Limpopo ambapo mchezaji mkongwe zaidi ana zaidi"
YouTube Link 2025-04-09T04:00Z 877K followers, [----] engagements
"Bobi Wine yuko mafichoni"
YouTube Link 2026-01-17T10:57Z 880K followers, 91.6K engagements
"Yoweri Museveni asema alitarajia kura nyingi zaidi Rais mteule wa Uganda Yoweri Museveni anasema anashukuru kwa ushindi lakini alitarajia kura nyingi zaidi ya hizo. Uchaguzi wa rais wa Uganda umemalizika na Rais anayechaguliwa Yoweri Museveni alishinda kwa 71% ya kura. Mpinzani wake mkuu Bobi Wine alipata 24%. Museveni anaema alitarajia zaidi. Laillah Mohammed anaelezea zaidi #bbcswahili #uganda #uchaguziuganda2026 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2026-01-19T14:29Z 882K followers, 20.5K engagements
"Je Tanzania na Uganda zitatamba AFCON [----] Katika Dira ya Dunia TV Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-12-23T18:31Z 883K followers, 16.8K engagements
"Shambulizi la risasi Jerusalem Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la risasi mjini Jerusalem imeongezeka hadi sita kwa mujibu wa waziri wa mambo ya nje wa Israel Gideon Saar. Tukio hilo limetokea kwenye kituo cha basi mjini Jerusalem siku ya Jumatatu huku polisi wakisema wahalifu hao wameuawa. Haikufahamika mara moja ni nani aliyetekeleza shambulio hilo. Lakini kundi la wanamgambo la Hamas limewasifu "wapiganaji" wawili wa Kipalestina ambao limesema wamefanya shambulio hilo ila Hamas haijadai kuhusika. Kwa mengi zaidi jiunge na @elizabethkazibure katika dira ya dunia TV saa tatu kamili"
YouTube Link 2025-09-08T16:01Z 775K followers, [----] engagements
"Namna vikosi vya Israel vilivyovamia nyumba Gaza kuokoa mateka. Polisi wa Israel wametoa video ambayo wanasema inaonesha vikosi vyao maalum vikivamia nyumba ya Gaza iliyokuwa na mateka wakati wa operesheni ya uokoaji ya Jumamosi. Uvamizi huo ulisababisha mateka wanne kuokolewa. Shirika la habari la Reuters limetoa video hiyo lakini linasema halijaweza kuthibitisha eneo au tarehe husika ya tukio hilo. #bbcswahili #gaza #hamas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-06-12T14:14Z 602K followers, [--] engagements
"Jaribio la saba la Roketi ya SpaceX Starship. Jaribio la saba la Roketi ya SpaceX Starship lilifanyika tarehe [--] Januari [----] na kufanikiwa kuruka ila baada ya dakika [--] kilipoteza mawasiliano. Hata hivyo sehemu ya roketi hiyo ilifanikiwa kurudi kwenye eneo la kurushia. kuanzisha. #bbcswahili #starship # spaceX"
YouTube Link 2025-01-19T08:20Z 644K followers, [---] engagements
"Houthi wa Yemen wazamisha meli ya pili Bahari ya shamu Shughuli za uokoaji zinaendelea katika bahari ya shamu baada ya kundi la Houthi Yemen kushambulia na kulipua meli ya pili ya mizigo Magic Seas. Mapema juma hili wapiganaji hao waliteka na kuzamisha meli kubwa ya mizigo Eternity C kwa madai kuwa ilikuwa ikipeleka mizigo Israel. @lizzymasinga ametuandalia taarifa hii. #bbcswahili #yemen #houthi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-07-11T09:39Z 753K followers, 16.9K engagements
"Matangazo ya Dira ya Dunia TV Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-05-21T18:38Z 600K followers, [--] engagements
"Piganeni hadi Kenya iwe huru Tamthilia ya Ngugi Wa Thiongo ya kimapinduzi yafufuliwa baada ya miaka [--] kwenye ukumbi wa kitaifa wa maonyesho ya tamthilia jijini Nairobi. Tamthilia hiyo Kesi ya Dedan Kimathi inaangazia kesi na hukumu ya kamanda wa kundi la kupigania uhuru wa Kenya MAU MAU na inaangazia mada tofauti ikiwemo ukatili wa polisi na mgawanyiko wa kikabila #bbcswahili #filamu #kenya #haki #riwayatpuasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-06-18T14:58Z 739K followers, [----] engagements
"BBC News Swahili Kifo cha kushtua cha msichana kutoka Uganda kilichosambaa mtandaoni kwa #DubaiPortaPotty"
YouTube Link 2025-09-16T11:23Z 778K followers, [----] engagements
"Wanaharakati wasema maandamano Kenya hayakulenga mapinduzi Waziri wa Mambo ya ndani wa Kenya Kipchumba Murkomen anasema kuwa maandamano yaliyofanyika katika maeneo tofauti nchini Kenya jana yalikuwa jaribio la mapinduzi. Lakini je waandamanaji wenyewe wanasemaje"
YouTube Link 2025-06-26T18:47Z 748K followers, 23.5K engagements
"'Ligi hii ni kama NBA si mpira tu kuna muziki mitindo tamaduni watu maarufu' Ligi ya Mpira wa Kikapu Afrika inayojulikana zaidi kama BAL itapata bingwa mpya Jumamosi ambapo washindi wa kwanza Al Ahly Benghazi ya Libya itachuana Petro de Luanda ya Angola katika fainali ya mchujo msimu huu. Licha ya michuano hiyo kile ambacho kimekuwa kikifanyika nje ya uwanja kimeleta hamasa kubwa kwa mashabiki. #bbcswahili #rwanda #michezo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-06-01T05:00Z 601K followers, [--] engagements
"ULIMWENGU WA SOKA Uchambuzi baada ya Mechi ya Manchester Utd vs Chelsea Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-11-04T07:10Z 785K followers, [----] engagements
"Polisi kutumia picha ya hologramu kufufua kesi ya mauaji Bernadette Betty Szabo aliuawa kwa kuchomwa kisu kwenye danguro moja huko Amsterdam mwaka wa [----]. Alikuwa na umri wa miaka [--] na alikuwa amejifungua miezi michache iliyopita. Mauaji yake katika moja ya maeneo yenye shughuli nyingi zaidi Uholanzi yamewashangaza polisi kwa miaka [--]. #bbcswahili #uholanzi #wanawake Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-11-12T13:26Z 629K followers, [---] engagements
"Assange aachiwa huru Jumanne Julian Assange alianza safari yake ya kurudi nyumbani Australia baada ya kufikia makubaliano na mamlaka za Marekani. Mwanzilishi huyo wa WikiLeaks ametumia miaka mitano iliyopita gerezani nchini Uingereza. Assange alishtakiwa kwa kula njama ya kupata na kufichua taarifa za ulinzi wa taifa baada ya tovuti ya Wikileaks kuchapisha rekodi za siri za kijeshi za Marekani. Kulingana na CBS Assange hatatumikia muda wowote chini ya ulinzi wa Marekani kama sehemu ya makubaliano na wizara ya sheria na atapewa msamaha kwa muda aliokaa jela nchini Uingereza. #bbcswahili"
YouTube Link 2024-06-26T10:04Z 604K followers, [--] engagements
"'Natamani wazazi wangu wangekuwa hai' Omar mwenye umri wa miaka [--] ni mmoja wa mamia ya yatima huko Gaza ambao wazazi wao wamefariki. Wazazi wake wote wawili waliuawa katika shambulizi la Israel na kumwacha yeye na ndugu zake watano peke yao. Mtoto mdogo zaidi katika familia hiyo ana umri wa mwaka mmoja na mkubwa ana miaka [--]. Sasa wote wanaishi na mjomba wao ambaye nyumba yake pia imeharibiwa na kuwa kifusi kutokana na shambulio la bomu huko Gaza. #bbcswahili #gaza #hamas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2023-12-10T06:00Z 582K followers, [--] engagements
"Mchambuzi Ahmed Rajab aaga dunia Mtangazaji wa zamani wa BBC bwana Ahmed Rajab amefariki dunia leo alasiri huko London Uingereza. Ahmed Rajab alijiunga na BBC mwazoni mwa miaka ya [----]. Baada ya kustaafu Ahmed Rajab alikuwa mmoja wa wachambuzi wa kutegemewa wa masuala ya kimataifa wa BBC hadi siku chache ziliopita. Taarifa zaidi zinatarajiwa kutolewa baadaye na familia yake zikiwemo taratibu za maziko. Mara ya mwisho alifanya uchambuzi hapa katika Dira ya Dunia TV kuhusu mzozo wa Gaza Januari [--] mwaka huu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi"
YouTube Link 2025-02-04T19:00Z 660K followers, [----] engagements
"BBC News Swahili Israel imetekeleza shambulizi jipya mjini Doha Qatar na kusema kwamba ilikuwa inalenga viongozi wakuu wa Hamas. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran Esmail Baghaei amelaani shambulizi hilo. Je hatua hii inaweka wapi matumaini ya kusitisha mapigano huko Gaza Tunajadili hili mwendo wa saa tatu kamili katika Dira ya Dunia TV ukiwa naye Elizabeth Kazibure. Unaweza kufuatilia matangazo hayo mubashara katika mitandao yetu ya YouTube na Facebook ya BBC Swahili. #bbcswahili #israel #hamas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2025-09-09T16:33Z 776K followers, [----] engagements
"Je Ukraine itamudu vita bila Marekani Rais Donald Trump amesitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Kyiv siku chache baada ya majibizano makali na Rais wa Ukraine Volodomyr Zelensky katika Ofisi ya Rais wa Marekani. Ikulu ya White House imesema kwamba inasimamisha kwa muda msaada wakati ikifanya tathmini ya kina kuhusu shehena za silaha hadi pale Rais Zelensky ataonyesha kwamba yuko tayari kwa mazungumzo ya amani"
YouTube Link 2025-03-04T20:00Z 674K followers, [----] engagements
"Michuano ya CHAN 2024: Je Sudan itatoboa Sudan ndiye mwakilishi wa pekee kutoka mashariki mwa Afrika ambaye yupo kwenye nusu fainali ya michuano ya CHAN [----]. Anashuka uwanjani dhidi ya Madagascar katika mechi ya mapema kabla ya mabingwa watetezi Senegal kuvaana na washindi mara mbili Morrocco kwenye mechi ya pili. Je Sudan itatoboa Na je Kenya ina matumaini katika kesi iliyowasilishwa na aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko @RoncliffeOdit anaangazia hili na mengine mengi katika Dira ya Dunia TV leo saa [--] usiku kwenye ukurasa wa YouTube wa BBC Swahili. - - #bbcswahili #chan #kandanda"
YouTube Link 2025-08-26T14:51Z 767K followers, [----] engagements
"Je Abu Mohammed al-Jawlani ni nani haswa Abu Mohammed al-Jawlani ameongoza wanamgambo wa Kiislamu waliomwondoa madarakani Rais Bashar al-Assad tarehe [--] Disemba [----]. Alijitokeza hadharani huko Damascus baada ya waasi wa kundi analoongoza la Hayat Tahrir Al-Sham (HTS) kuudhibiti mji mkuu wa Syria. Amejaribu kujionesha kama mtu mwenye msimamo wa kawaida lakini Marekani inasema itatoa zawadi ya dola milioni [--] kwa kukamatwa kwake. #bbcswahili #syria #HTS Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-12-12T14:22Z 633K followers, [----] engagements
"Jinsi biashara ya bangi yenye faida kubwa Thailand inavyokabiliana na tishio Thailand imekuwa nchi ya kwanza barani Asia kuhalalisha matumizi ya bangi kwa ajili ya kujiburudisha kwa mwaka wa [----]. Sasa inatazamiwa kufanya mabadiliko ya ghafla na kuruhusu bangi kwa matumizi ya matibabu pekee. Uamuzi huo wa serikali unakuja baada ya uchunguzi kuonesha kuwa matumizi ya bangi kwa kujiburudisha miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka [--] yameongezeka mara [--] tangu tangu ilipohalalishwa. #bbcswahili #thailand #afya Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2024-03-14T13:45Z [--] followers, [--] engagements
"Rais Vladimir Putin akaribishwa rasmi Korea Kaskazini Rais wa Urusi Vladimir Putin amekaribishwa rasmi na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un baada ya kuwasili nchini humo kwa ziara yake ya kwanza baada ya miaka [--]. Vyombo vya habari nchini humo vinaripoti kuwa viongozi hao wawili walijadili namna ya kuimarisha mahusiano na kile wanachokitaja kubadilishana mawazo. #bbcswahili #urusi #koreakaskazini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-06-19T08:32Z [---] followers, [--] engagements
"John Heche na Edwin Sifuna ni mapacha wa kisiasa Kama ni mgeni katika ukanda wa Afrika ya Mashariki basi ninapotaja majina yafuatayo mawili hautaelewa ni kwa nini yametajwa katika sentensi moja. John Heche na Edwin Sifuna wametengwa na mipaka ila kimsingi viongozi hawa waili huenda wakatajwa kama pacha wa siasa za uwajibikaji katika mataifa yao binafsi na vile vile Afrika Mashariki. Vuta kiti Laillah Mohammed @Leila Mohammed akupe maelezo kisha utafanya uamuzi ikiwa kuna tofauti nyingi kuliko kufanana kati yao. - - #bbcswahili #kenya #tanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka"
YouTube Link 2025-08-20T06:00Z 765K followers, 21.4K engagements
"Maafa ya anga ya Munich: Tukio la kihistoria la Manchester United Tarehe [--] Februari [----] historia ya soka ilibadilika baada ya Ndege ya Manchester United ikiwa imetoka kushiriki mechi ya Kombe la Ulaya kuanguka mjini Munich Ujerumani. Ajali hiyo ilisababisha vifo vya watu [--] wakiwemo wachezaji nane wa kikosi chipukizi cha Busby Babes. Ilikuwa ni siku ya huzuni kubwa lakini pia mwanzo wa hadithi ya ustahimilivu ujenzi upya na ushindi wa kihistoria miaka [--] baadaye. Mwandishi wa BBC @loko_omi anasimulia zaidi kuhusu tukio hilo. Makala hii kwa urefu zaidi inapatikana katika ukurasa wa Youtub wa"
YouTube Link 2025-08-22T05:00Z 766K followers, [----] engagements
"Safari ya binti anayetafuta mabaki ya baba yake Kenya Wanjugu Kimathi binti wa kiongozi wa waasi wa Mau Mau Dedan Kimathi anatafuta mabaki ya baba yake huku akipigania haki za ardhi kwa wanajeshi waliosahaulika waliokuwa wakipambana dhidi ya ukoloni. - BBC Africa Eye inaangazia safari binafsi yenye nguvu ambayo inafichua hadithi ya mapambano ya silaha Kenya wakati wa uhuru na inajumuisha ushahidi wa ukatili uliofanywa na Waingereza wakati wa kupigana na waasi. #bbcswahili #kenya #maumau Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2025-01-28T09:02Z 650K followers, [---] engagements
"Humphrey Polepole: Amnesty International yaitaka Tanzania kufichua alipo Amnesty International ina wasiwasi mkubwa kwamba Humphrey Polepole huenda alitoweka kwa nguvu na pengine kushambuliwa. Serikali ya Tanzania haina budi kuweka kila juhudi kumtafuta na kumrejesha mahali salama. #bbcswahili #tanzania #humphreypolepole Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-10-09T11:08Z 795K followers, 43.8K engagements
"Boti yaruka angani ziwani Tazama boti iliyokuwa kwenye mwendo kasi ilivyoruka angani kwa kasi ya 200mph kabla ya kutua chini katika Ziwa Havasu City Arizona Marekani. Tukio hilo lilitokea wakati wa onesho la mashindano ya boti huku watu wawili waliokuwa kwenye boti hiyo wakijaribu kuweka rekodi mpya ya kuendesha kwa kasi kwenye ziwa hilo. Walipata majeraha madogo tu. #bbcswahili #marekani #ajali Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-04-29T14:22Z 700K followers, 13.2K engagements
"Clara Luvanga kuipiga jeki Twiga stars WAFCON Leo ni kufa kupona kwa timu ya taifa ya soka ya Tanzania ya kinadada Twiga Stars katika michuno ya soka la kuwania ubingwa wa mataifa ya Afrika Wafcon [----] huko Morocco. Kikosi cha Tanzania kimepigwa jeki kwa kurejea kwa mshambuliaji wao nyota Clara Luvanga aliyekosa mechi ya kwanza"
YouTube Link 2025-07-11T19:04Z 753K followers, [---] engagements
"Wicknell Chivayo ni nani hasa Wicknell Chivayo si jina geni barani Afrika Hivi karibuni taarifa iliyodaiwa kutoka bodi ya kupambana na rushwa kutoka Zimbabwe ilisaambaa kupitia ukurasa wa X ikisema kuwa uchunguzi dhidi yake umefunguliwa juu ya madai ya Rushwa. Hata hivyo taarifa hiyo ilifutwa muda mfupi baadae lakini nakala za tangazo hilo bado zinaendelea kusambaa mitandaoni. Mwezi juni mwaka huu bodi hiyo ya kupambana na rushwa ilitoa taarifa kuwa ukurasa wake wa X ulidukuliwa. Lakini Wicknell Chivayo ni nani hasa - - #bbcswahili #zimbabwe #tanzania #kenya #uganda #tajiri #siasa"
YouTube Link 2025-09-23T11:37Z 783K followers, 83.3K engagements
"Jinamizi la Shakahola limerejea Kenya Polisi nchini Kenya wanachunguza kupotea kwa watoto sita katika mazingira ya kutatanisha kwenye msitu wa Chakama katika kaunti ya Kilifi nchini Kenya. Kamishna wa kaunti ya kilifi ameiambia BBC kwamba waliwapata wazazi wa Watoto hao karibu na msitu wa Shakahola ambako kulishuhudiwa maafa ya zaidi ya watu [---] waliokuwa katika ibada ya kufunga. Wazazi hao Pamoja na watu wengine wawili walikuwa katika hali mbaya walipotiwa mbaroni na polisi nyumbani kwao siku ya jumamosi. Polisi pia wamepata mafuvu mawili ya binadamu na mwili wa mtu ambaye hajatambuliwa. Je"
YouTube Link 2025-07-24T15:32Z 757K followers, 10K engagements
"Tundu Lissu ni nani Hivi sasa akiwa amewekwa rumande kwa tuhuma za uhaini jina la kiongozi huyu wa chama kikuu cha upinzani limerudi tena kwenye vichwa vya habari lakini hii si mara ya kwanza. Lissu ni mtu wa historia ndefu. Ili kumuelewa kwa undani ni muhimu kumtazama kwa jicho pana: ni nani hasa huyu mtu @lasteck2024 anaelezea mambo saba muhimu yanayomtambulisha. 🎥: eagansalla_gifted_sounds #bbcswahili #tanzania #upinzani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-04-12T05:29Z 686K followers, 26.1K engagements
"Je mkutano kati ya Trump na Putin utamaliza vita kati ya Urusi na Ukraine Katika Dira ya Dunia TV Macho yote sasa yanaelekezwa Alaska ambapo Rais Donald Trump na Vladmir Putin watakuwa na mkutano wao wa kwanza wa ana kwa ana katika muda wa miaka sita ili kujadili vita vya Ukraine. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-08-15T18:31Z 763K followers, 21.6K engagements
"Mtoto chupuchupu kugongwa na gari Tazama jinsi mtoto mdogo alivyookolewa na dada yake mwenye umri wa miaka [--] nchini China baada ya kukoswa koswa na gari lililokosea njia na kuingia ndani ya mgahawa Picha za CCTV zinaonyesha gari hiyo ikibomoa milango ya vioo ya mgahawa huo ikielekea kwa kasi alipo mtoto huyo ambapo dada yake mwenye umri wa miaka 11alimuokoa kwakumbeba ghafla na kuacha gari hilo likigonga ukuta. Dereva aliomba msamaha na kulipia uharibifu wa mgahawa huo. #bbcswahili #china #ajali Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2025-06-05T15:30Z 729K followers, [----] engagements
"Utofauti wa Kwaresma na Ramadhan ni upi Kwaresma na Ramadhani zimekutana mwaka huu kwa kupishana siku kadhaa tu - Katika msimu huu Kufunga ni muhimu kwa dini zote mbili ingawa ufungaji hutofautiana. Wakati wa Kwaresma Wakristo hufunga kwa kujiepusha na nyama siku ya Ijumaa Kuu na kupunguza ulaji wa vyakula vingine kwa siku [--]. - Wakati kwa upande wa Ramadhani Waislamu hujizuia kula kunywa kuvuta sigara na kufanya ngono kuanzia mawio hadi machweo kwa muda wa siku [--] au [--]. Ungana na @mariummjahid akikufafanulia zaidi; - - #bbcswahili #dini #ukristo #uislamu #ramadhan #Kwaresma Subscribe kupata"
YouTube Link 2025-03-12T03:00Z 677K followers, 77.5K engagements
"Je demokrasia ya Senegal ipo hatarini "Rais hawezi kuongeza muda wake wa uongozi hata kwa siku moja". Haya yalikuwa maneno ya rais wa Senegal Macky Sall kabla ya kuchaguliwa kwake mwaka [----] lakini je ametekeleza maneno haya Senegal imeingia katika sintofahamu kwa mara nyingine baada ya uchaguzi wa nchi hiyo kucheleweshwa kwa miezi kumi na rais anayemaliza muda wake ambaye aliahidi amani na utulivu kwa nchi yake. #bbcswahili #senegal #uchaguzi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-02-09T14:42Z [---] followers, [--] engagements
"Je nani anamiliki aktiki Nchi nane zina ardhi ndani ya Duara la Aktiki zikiwemo Marekani na Urusi. Mataifa haya mawili yanaongeza uwepo wao katika eneo la Aktiki licha ya juhudi za kulifanya eneo hilo lisiyo la kijeshi baada ya Vita Baridi. Maswali kuhusu nani anayepaswa kudhibiti Aktiki yanahusiana moja kwa moja na sababu ya kwa nini eneo hilo limekuwa mojawapo ya maeneo yanayogombaniwa zaidi duniani. 🎥: @frankmavura Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-10-04T12:00Z 791K followers, 23K engagements
"Kizza Besigye afikishwa mahakamani Uganda Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye amefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya Makindye nchini Uganda akikabiliwa na makosa manne ikiwemo kupatikana na silaha katika hoteli moja jijini Nairobi na kujadiliana kuhusu silaha na wageni huko Geneva Athens na Nairobi. Yeye na mwenzake Obedi Lutale wamekanushwa mashtaka na amerejeshwa rumande hadi Desemba [--]. Martha Saranga anaelezea zaidi #bbcswahili #uganda #upinzani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-11-20T13:47Z 786K followers, [----] engagements
"M23 yatangaza kusitisha vita M23 yatangaza kusitisha vita mashariki mwa DRC. M23 vilevile Wametaka kujiondoa kwa vikosi vya SADC wakisema kuwa misheni yao haina uhalali tena. Yaliyomo katika matangazo ya Dira ya Dunia TV leo 03/02/2025 na @Roncliffe Odit Usikose kuungana nasi leo saa tatu usiku saa za Afrika Mashariki katika mitandao ya YouTube na Facebook ya BBC Swahili. Pia unaweza kutupata kupitia Star TV Tanzania na K24 TV nchini Kenya. #bbcswahili #DRC #M23 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-02-04T15:40Z 663K followers, 39.8K engagements
"Kazi za kitumwa Saudi Arabia Ripoti mpya ya shirika la kutetea haki za binadamu Amnesty International inaonesha kuwa wanawake wa Kenya walioajiriwa kama wafanyakazi wa nyumbani nchini Saudi Arabia wanapitia changamoto mbalimbali ikiwemo unyanyasaji wa kingono kupigwa na hata kunyimwa chakula. Lakini mbali na hayo yote bado idadi kubwa ya vijana hukimbilia katika mataifa hayo ajira. Nini suluhu ya kudumu katika hili Kwa haya na mengine mengi ungana na @RoncliffeOdit katika Dira ya Dunia TV saa tatu kamili usiku kwenye ukurasa wetu wa YouTube BBC News Swahili. #bbcswahili #kenya #kazizandani"
YouTube Link 2025-05-13T15:40Z 709K followers, 12.7K engagements
"Epstein Files: Kashfa ya ngono inayomuandama Trump Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kuandamwa na kashfa ya urafiki wake na Bilionea Jeffrey Epstein hata katika safari yake ya Uskochi (Scotland) umbali mrefu kutoka nyumbani Marekani. Epstein alijiua August [----] akiwa katika gereza moja jijini New York ambako alikuwa akishikiliwa kwa kashfa ya kufanya ngono na watoto. Trump amekuwa akitajwa kuwa rafiki wa karibu wa Epstein lakini akiwa Scotland rais huyo wa Marekani amesema alivunja urafiki wake na Epstein miaka mingi baada ya Epstein kuwa anamuibia wafanyakazi wake. @sammyawami"
YouTube Link 2025-07-31T06:00Z 758K followers, [----] engagements
"BBC News Swahili Kutana na kijana wa Kitanzania Fanuel John Masamaki maarufu kama @zerobrainer0 anayefanya vizuri katika utengenezaji maudhui katika mtandao wa TikTok akiwawakilisha vyema CR7 na Messi wachezaji mashuhuri duniani kwa kuigiza jinsi wanavyofunga magoli na kushangilia. Zerobrainer anaelezea hapa kupitia ripoti ya mtangazaji kinara @roncliffeodit alipotembelea Tanzania. 🎥: @frankmavura #bbcswahili #tanzania #tiktoktanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-04-19T06:00Z 688K followers, [----] engagements
"'Mnaniita Zakayo na Kasongo'-Rais Ruto Sasa mimi nataka kuuliza mlianza na hustler na sasa mmefika Kasongo mnataka niwe na majina mangapi Rais William Ruto ahoji; - - #bbcswahili #kenya #siasa #williamruto Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-03-13T21:48Z 677K followers, [----] engagements
"Funza wanaweza kusaidia kukabiliana na ongezeko la joto duniani Kutana na mjasiriamali wa Indonesia Markus Susanto ambaye anafuga funza na kuokoa maelfu ya tani za taka kila mwaka. Nzi chuma (Black Soldier) ni wadudu wanaotokana na taka za chakula zilizooza ambazo zikiachwa kwenye mashimo ya taka zinaweza kutoa gesi ya methane inayochangia kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa hewa chafu. #bbcswahili #mazingira #hewachafu Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-10-28T13:26Z 784K followers, [--] engagements
"Mwandishi wa BBC katika doria na polisi wa Kenya Haiti Ujumbe ulioidhinishwa na Umoja wa Mataifa nchini Haiti ulipaswa kuwa juhudi za mataifa mbalimbali yenye kikosi cha wanajeshi [----] kutoka nchi saba tofauti wakiongozwa na polisi wa Kenya. Miezi sita baadaye ni maafisa wa polisi [---] pekee wa Kenya ambao wametumwa na misheni hiyo inakabiliwa na uhaba wa fedha. #bbcswahili #kenya #haiti Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-12-21T06:00Z 634K followers, [---] engagements
"Je mwarobaini wa PSG umepatikana Katika kile kilichoonekana kama anguko la kifalme kwa mabingwa wa Ulaya na Ufaransa Paris Saint-Germain (PSG) Chelsea waliwasha moto New Jersey kwa ushindi wa kusisimua wa 3-0 kwenye fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu. Kwa ushindi huo vijana wa Enzo Maresca si tu walitwaa ubingwa wa dunia bali pia waliwapa PSG ladha ya kile ambacho wengi sasa wanakiita mwarobaini wao wa kweli. Mwandishi wa BBC @frankmavura ameuangazia mtanange huo kabambe Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2025-07-14T15:13Z 753K followers, [----] engagements
"Waridi wa BBC: Mesha Singolyo mwanamke wa mfano katika jamii ya Kimasai. Pamoja na kuhitimu shahada yake ya uzamili katika masuala ya maendeleo ya jamii hakuona haja ya kutafuta fursa nyingine kama vile kuajiriwa nje ya maeneo ya jamii yake bali aliamua kurejea kwa jamii yake ili kupitia taaluma yake awe na mchango kwao. Kwa sasa ni mwanaharakati anayewasaidia wajane kujikomboa kiuchumi kupitia vikundi vya akiba vya kijamii. Mwandishi wa BBC Esther Namuhisa amezungumza naye akiwa jijini Arusha kaskazini mwa Tanzania. 📹 @boshanyanje #bbcswahili #waridiwabbc #wanawake Subscribe kupata video"
YouTube Link 2024-10-23T12:11Z 784K followers, [--] engagements
"Ibrahim Traor 'Shujaa wa Burkina Faso' Inasemekana alikuwa mnyenyekevu lakini mwerevu shuleni Kapteni Ibrahim Traor wa Burkina Faso ni afisa wa jeshi ambaye alichukua madaraka kwa mapinduzi katika moja ya makoloni ya zamani ya Ufaransa huko Afrika Magharibi mwaka [----]. - Alimpindua aliyekuwa mshirika wake Luteni Kanali Paul-Henri Damiba baada ya kumtuhumu kwa kushindwa kutimiza ahadi yake ya kukomesha uasi wa Waislamu ambao umekikumba Burkina Faso tangu [----]. - Amekuwa akifanya mabadiliko nchini humo na wananchi wakionesha kumkubali. Je ni mabadiliko gani - Lizy Masinga anaelezea - - -"
YouTube Link 2025-04-06T04:00Z 685K followers, 116.7K engagements
"Mzozo wa DRC: Hali mjini Goma Hali ya sintofahamu inazidi kushuhudiwa huku milio ya risasi ikisikika katika baadhi ya maeneo ya Goma. Kundi la waasi la M23 linakabiliwa na jeshi la FARDC linalosaidiana na makundi ya wapiganaji yanayounga mkono serikali. Mamlaka zimesema kwamba jeshi linadhibiti mji wa Goma ila kundi la waasi la M23 limepuuzilia mbali hili likisisitiza kwamba jeshi lipo katika maeneo machache pekee. #Goma #m23 #Rwanda #Ufaransa #Kenya #Uganda Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-01-28T18:56Z 652K followers, 13K engagements
"ULIMWENGU WA SOKA Manchester UTD vs Liverpool Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-09-02T05:33Z 678K followers, [----] engagements
"Simba vs Al Masry : Je Simba ya Tanzania itaivunja laana ya Mwakarobo - "Simba ajiandae kutoka abakie Mwakarobo tuendele kubakia na lile jina na pale Mwakarobo hawezi kutoka ni Mwakarobo nusu haiwezekani Simba uwezo hana." - Katika soka la Tanzania majibizano ya mashabiki wa Yanga na Simba si jambo geni lakini jina la "Mwakarobo" limejikita zaidi katika simulizi ya maumivu ya mara kwa mara ya Simba kutolewa kwenye hatua ya robo fainali. Mwakarobo ni jina la kawaida tu la asili ya watu wa Mkoa wa Mbeya hasa Tukuyu. - Leo tarehe [--] Aprili [----] Simba itaingia dimbani Benjamin Mkapa kurudiana na"
YouTube Link 2025-04-09T08:31Z 685K followers, [----] engagements
"Mafuriko Hispania Hispania inakabiliana na maafa makubwa zaidi ya mafuriko kuwahi kutokea katika miongo kadhaa huku takriban watu [--] wakifariki na wengine kupotea baada ya mvua kubwa kunyesha katika jimbo la mashariki la Valenica na maeneo mengine. Mvua iliyonyesha Jumanne ilisababisha mafuriko ambayo yalisomba madaraja na majengo na kuwalazimu watu kupanda juu ya paa au kung'ang'ania miti ili kunusurika Rais Pedro Snchez ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa huku ya mvua ikiendelea #bbcswahili #uhispania #haliyahewa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya"
YouTube Link 2024-10-31T16:16Z 784K followers, [--] engagements
"Aponea chupuchupu kugongwa na gari Tazama Mwanaume huyu alivyoponea chupuchupu kugongwa na gari lililokuwa likiendeshwa kwa kasi na kuingia kwenye kituo cha mafuta alipokuwa mtu huyo. Dereva wa gari hilo pamoja na mwanaume aliyenusurika kugongwa walipata majeraha madogo tu. Kwa mujibu wa mamlaka za eneo hilo gari hilo lilikuwa likiendeshwa kwa maili [--] kwa saa (sawa na kilomita [---] kwa saa) katika eneo lenye kikomo cha maili [--] kwa saa (kilomita [--] kwa saa). Dereva atashtakiwa kwa kosa la kuendesha kwa uzembe na kuwa na bima ya gari uliyokwisha muda wake. #bbcswahili #ajali #ajaliyabarabara"
YouTube Link 2025-09-19T12:11Z 780K followers, [----] engagements
"'Kutuma pesa Korea Kaskazini ni kama filamu ya ujasusi' Raia walioondoka Korea Kaskazini na kuhamia Kusini wamekuwa wakitegemea "mawakala" kutuma pesa nyumbani kwa familia zao. Lakini sasa kutokana na kuongezeka kwa ukandamizaji kutoka Kaskazini na Kusini kutuma pesa kutoka kusini hadi kaskazini limekuwa ni jambo la hatari kubwa kwani hutumia njia isiyo halali kisheria ya kuhamisha fedha. #bbcswahili #koreakaskazini #koreakusini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-02-02T13:22Z 587K followers, [--] engagements
"Mwanangu alitengwa kisa degedege Susan Muyoki mama wa Watoto watatu wenye maradhi tofauti akiwemo mwenye changamoto ya moyomwenye tatizo la kifafa pamoja na mwanae ambaye sasa ni marehemu aliyezaliwa na kichwa kikubwa na mgongo wazi. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-02-27T19:42Z 672K followers, [----] engagements
"Kim Jinping na Putin wanapanga nini Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amewasili China katika ziara adimu nje ya nchi yake wakati ambapo mwenyeji wake Rais Xi Jinping amemkaribisha Rais Vladimir Putin wa Urusi na viongozi wengine. Ziara hii inamaanisha nini kwao na inatuma ujumbe gani kwa ulimwengu Jiunge na @hamidaabubakar kwa haya na mengi kwenye Dira ya Dunia TV mubashara saa tatu usiku kupitia ukurasa wa youtube BBC Swahili. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-09-02T15:57Z 773K followers, 23.6K engagements
"BBC News Swahili Leo katika Waridi wa BBC kimemulika maisha na mchango wa Bi. Khadija Mwanamboka mwanamitindo mashuhuri kutoka Tanzania ambaye amekuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya ndani ya tasnia ya mitindo. Kwa zaidi ya miaka [--] Khadija amejitokeza kama mfano wa kuigwa si tu kwa ubunifu wake bali pia kwa kazi yake ya kuwajengea uwezo wanawake nchini Tanzania. Ametumia majukwaa ya mitindo kama chombo cha kuwainua wanawake kiuchumi na kijamii kupitia miradi na mafunzo mbalimbali. Katika juhudi za Tanzania kupata utambulisho wake wa kitaifa kupitia vazi rasmi Bi. Khadija"
YouTube Link 2025-06-11T13:03Z 731K followers, [---] engagements
"Kanisa lenye uhusiano na Martin Luther King Jr lateketea kwa moto Moto wateketeza kanisa la kihistoria la Marekani lenye uhusiano na Martin Luther King Jr. Kanisa la kihistoria la Wamarekani Weusi lililopo Memphis Tennessee lilishika moto mapema asubuhi ya tarehe [--] Aprili na kuharibika vibaya. #bbcswahili #marekani #martinlutherkingjr Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-05-03T11:01Z 702K followers, [----] engagements
""Naapa kuilinda Syria" Al sharaa. Katika Dira ya Dunia TV Rais wa Syria Ahmed Al Shraa amesema kulinda jamii ya Druze ambao ni raia wa Syria ndio jukumu lake kuu kwa sasa hasa bada ya makabiliano ya hivi maajuzi ambapo watu zaidi [---] walifariki"
YouTube Link 2025-07-17T19:56Z 769K followers, 16.4K engagements
"Shambulizi la Israel kwenye hospitali #bbcswahili #gaza #mlipuko Tazama Uchuguzi wa BBC dhidi ya shambulizi la anga la hospitali huko Gaza lilotekelezwa na Isreal. Wiki hii kumeendelea kuwa na mashambulizi makali katika maeneo mbalimbali Gaza na kusababisha vifo vya zaidi ya watu [---]. Munira hussein anaeleza zaidi. @munie_noor #bbcswahili #gaza #mlipuko Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-05-17T04:00Z 710K followers, [----] engagements
"'Ningependa kuwa Papa' - Trump Msikilize Rais wa Marekani Donald Trump akitania kwamba angependa kuwa papa ajaye alipoulizwa na waandishi wa habari akisema "hilo litakuwa chaguo langu la kwanza." Trump alitoa maoni hayo alipokuwa akiondoka Ikulu ya White House kuelekea Michigan kufanya mkutano wa kusherehekea siku zake [---] za kwanza ofisini. Alipendekeza Kardinali Timothy Dolan askofu mkuu wa New York kama mrithi wa Papa Francis akisema Dolan ni "mwema sana" #bbcswahili #marekani #donaldtrump Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2025-04-30T13:25Z 780K followers, 28.8K engagements
""Hali yetu ya maisha ipo hatarini mashamba yetu yote yameangamia na maji" Wakazi wa kata Mohoro wilayani Rufiji wanakabiliwa na hatari ya Magonjwa ya mlipuko kutokana na mafuriko yanayoendelea kuikumba wilaya hiyo Mpaka sasa tayari watu wawili wamepoteza maisha huku serikali mashirika na watu binafsi wakiendelea kupeleka misaada ya kibinadamu kuwasaidia waathirika 🎥: @eagansalla_gifted_sounds #bbcswahili #rufiji #mafurikorufiji Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-04-10T10:47Z 596K followers, [--] engagements
"Ma-DJ wa kike wa Iran wanaovunja miiko kwa kupiga muziki Sherehe za watu wa jinsia tofauti ni kinyume cha sheria nchini Iran lakini hata hivyo zinafanyika kwa kificho mbali na macho ya polisi wa maadili Baadhi ya ma-DJ wa kike wanaochezesha umati pia wanavunja miiko na kuvuka mipaka ya kitamaduni. #bbcswahili #iran #sheria Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-03-08T16:10Z [--] followers, [--] engagements
"Je Electoral College ni nini Huku ulimwengu ukisubiri kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Marekani [----] maneno 'Electoral College' yanazidi kutumika hususan kwenye mjadala wa nani ataibuka mshindi katika kura ya urais baina ya Donald Trump na Kamalla Harris. - Je Electoral College ni nini - Na inahusika vipi kubaini mshindi wa kura ya urais katika uchaguzi wa Marekani [----] - Mwandishi wa BBCswahili Peter Mwangangi anadadavua Electoral College. - - - #uchaguzi2024 #Trump #bbcswahili #uchaguzimarekani2024 #KamalaHarris #Siasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya"
YouTube Link 2024-11-06T07:16Z 628K followers, [----] engagements
"Trump: Putin Ameniangusha Trump anadai ametatua migogoro saba mikubwa akiwa rais na alidhani vita vya Ukraine vingekuwa rahisi kumaliza kutokana na uhusiano wake na Putin. Hata hivyo baada ya kumkaribisha Putin Alaska mwezi uliopita anasema Putin amemvunja moyo na hakuna makubaliano yaliyofikiwa licha ya maendeleo kidogo. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-09-18T18:32Z 780K followers, 12.9K engagements
"BBC News Swahili Hawa ni watengeneza maudhui ya TikTok ambao wamekuwa wakisaidia familia zilizohamishwa kutokana na makombora katika maeneo ya kusini mwa Beirut kutathmini ni kwa namna gani nyumba zao zimeharibika. #bbcswahili #beirut #titok Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-11-27T06:00Z 631K followers, [---] engagements
"Nani kuambatana na Donald Trump White House Kabla ya kurejea Ikulu ya White House tarehe [--] Januari [----] Donald Trump amekuwa akiteua timu atakayoambatana nayo katika uongozi wake kwa muhula wa pili kama rais. Je nani atakuwa kwenye timu yake Baldeen Waliaula anaelezea BBC Swahili itakuletea matangazo ya uapisho wa Donald Trump mubashara kupitia Kurasa zetu za mitandao ya kijamii ikiwemo Facebook Youtube na tovuti ya BBCSwahili pamoja na Dira ya Dunia radio na TV Jumatatu Januari [--] kuanzia majira ya saa moja na dakika [--] usiku kwa saa za Afrika Mashariki. #bbcswahili #marekani #donaldtrump"
YouTube Link 2025-01-20T08:08Z 645K followers, [----] engagements
"'Bila kununua magari ya watendaji mambo haya yatakosa msimamizi" "Unajua kuna watu wanapitapita huko na kusema serikali hii kazi yake kufuja pesa inanunua magari ya watendaji badala ya kununua trekta" Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika kilele cha siku ya wakulima mkoani Dodoma #bbcswahili #tanzania #kilimo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-08-09T08:04Z 611K followers, [--] engagements
"Je Raila Odinga ataibuka kidedea AUC Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga anaingia uwanjani kuminyana na wagombea wengine wawili kuwania uenyekiti wa AUC. Tunajadilia ikiwa atapita kati kati ya Richard Randriamandrato wa Madagascar na Mahamoud Ali Youssouf wa Djibouti kuchukua nafasi ya kumrithi Moussa Faki Mahamat anayeondoka. Haya na mengine mengi yataangaziwa kenye Dira ya Dunia TV naye Roncliffe Odit mubashara saa tatu usiku kwenye Kurasa ya YouTube ya BBC Swahili. #bbcswahili #AUC #UmojawaAfrika Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2025-02-14T16:09Z 798K followers, [----] engagements
"Mapacha waliouzwa baada ya kuzaliwa waunganishwa kupitia TikTok Amy na Ano ni mapacha wanaofanana lakini baada tu ya kuzaliwa walichukuliwa kutoka kwa mama yao na kuuzwa kwa familia tofauti. Miaka kadhaa baadaye walijuana kwa bahati kupitia onesho la vipaji katika televisheni na video ya TikTok. Waligundua maelfu ya watoto wachanga huko Georgia waliibiwa kutoka hospitalini na kuuzwa. Walisafiri kutoka Georgia hadi Ujerumani kwa matumaini ya kumpata 'mama yao mzazi' #bbcswahili #georgia #mapacha Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2024-01-28T06:00Z 580K followers, [--] engagements
"Wenyeji wavuna matunda Ushindi wa AFCON [----] Uwekezaji wa zaidi ya dola 1bn (0.79bn) uliotumika kuandaa michuano ya Afcon [----] na nchi ya Ivory Coast katika kuboresha miundombinu nchini humo na Rais wa nchi hiyo Alassane Ouattara huenda umezaa matunda baada ya Tembo wa Ivory Coast kulibakiza kombe nyumbani. Tembo hao wanachukua dola 7m (5.54m) kama pesa za zawadi huku Nigeria wakikabidhiwa dola 4m na Shirikisho la Soka Afrika. Kubwa limekuwa ni furaha kwa wananchi ambao wamejitokeza barabarani kuupokea ushindi huo walioupata na kukamilisha idadi ya makombe matatu waliyoyapata katika michuano"
YouTube Link 2024-02-12T16:07Z 589K followers, [--] engagements
"Matangazo ya Dira ya Dunia TV Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-11-15T18:33Z 629K followers, [----] engagements
"Avuta treni ya tani [---] kwa meno Tazama namna Mwanamieleka huyu wa Misri alivyovuta treni kwa meno Mwanamieleka huyo amevunja rekodi ya dunia kwa kuivuta treni ya tani [---] kwa meno yake. Je wewe unaweza kuvuta kitu chenye uzito kiasi gani #bbcswahili #misri #rekodiyadunia Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-03-19T06:00Z 678K followers, [----] engagements
"Kifo Dubai #dubaiportapotty Nini kilimtokea Monic binti wa Uganda ambaye simulizi za kifo chake kilisambaa mtandaoni kwa #dubaiportapotty Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-09-16T22:25Z 779K followers, 12K engagements
"BBC News Swahili Bonde la Chebloch nchini Kenya ni bonde lililo na kina cha mita [--] linawavutia watu wanaofika sio tu kuona kina hicho cha maji bali pia kufurahia maonyesho ya vijana kupiga makasia ama kuruka ndani ya maji hayo. Mmoja wao ni Ambrose Cherutich aliye na uwezo wa kuruka kwenye shimo hilo akiwa na mguu mmoja. Ambrose amefanya kazi ya kuruka makachu kwa zaidi ya miaka [--]. Miaka michache iliyopita alipata ajali na kukatika mguu lakini hilo halikumzuia kuendelea kufanya kazi hiyo kama alivyomsimulia @Agnes Penda Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2025-09-01T02:00Z 770K followers, [----] engagements
"Kwaheri Charles Hillary Mwanahabari na mtangazaji nguli wa zamani wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC Charles Hillary amezikwa nyumbani kwake Kisiwani Zanzibar hii leo. Kwaheri ya kuonana Charles"
YouTube Link 2025-05-14T19:40Z 710K followers, [----] engagements
"Mafahali wa Kariakoo Joto linazidi kupanda nchini Tanzania kuhusu pambano maarufu la soka la watani wa jadi Yanga na Simba lililopangwa kufanyika Juni [--] jijini Dar es Salaam. - Mamlaka za soka zinasisitiza pambano kufanyika huku Yanga ikisema haichezi ikipinga inachokiita mchezo wa awali wa Machi [--] kuaihirishwa kiholela. - Sasa tuangalie badhi ya maamuzi magumu yaliyowahi kufikiwa kuhusu Yanga ama Simba ndani ya miaka [--] - - - 📸@simbascofficial 📸@Young Africans Sports Club #bbcswahili #michezo #soka#simba#mpira #yanga Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili"
YouTube Link 2025-06-11T03:01Z 735K followers, 92.3K engagements
"Diamond Platnumz au Harmonise Sikiliza majibu ya mwanamuziki wa Tanzania @rayvanny alipokuwa akijibu mawali ya papo kwa papo - #bbcswahili #tanzania #bongofleva Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-05-09T09:46Z 708K followers, [----] engagements
"Je pilau la Tanzania na Kenya lipi tamu Pilau ni chakula maarufu Afrika Mashariki na kila mpishi ana aina yake ya upishi. Je ni kitu kinachofanya pilau liwe zuri na la tofauti - 🎥: @bosha_nyanje - - - #tanzania #kenya #pilau Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-03-30T05:00Z 683K followers, [----] engagements
"Safari ya kumchagua Papa mpya Papa mpya atachaguliwa hivi karibuni lakini safari hii ni ngumu kutabiri mshindi na huenda ikawa mojawapo ya mashindano ya Upapa yasiyotabirika zaidi katika historia ya kanisa Katoliki. Kwa nini mwandishi wetu @AntonyIrungu ambaye yuko Vatican ametuandalia habari hii #bbcswahili #vatikani #papafrancis Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-04-30T06:00Z 704K followers, 39.6K engagements
"Robert Prevost ni nani Kuchaguliwa kwa Kardinali Robert Francis Prevost kuwa Papa Leo XIV kumeweka historia mpya ndani ya Kanisa Katoliki. Akiwa Papa wa kwanza kutoka Marekani yeye ni kiongozi anayetajwa kuwa na mwelekeo wa kuendeleza mageuzi ya hayati Papa Francis huku akisisitiza huduma kwa maskini na makundi yaliyo pembezoni. Ili kumfahamu kwa undani Papa mpya Leo XIV Florian Kaijage anatuelezea #bbcswahili #papa #vatcan Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-05-09T12:08Z 708K followers, 42.4K engagements
"Nyota wa Afrika mashariki Asha Baraka maarufu kama Iron Lady ni mwanzilishi na mmiliki wa bendi maarufu ya muziki nchini Tanzania Twanga Pepeta . Je nini siri ya Twanga Pepeta kudumu kwa miaka mingi Je muziki wa bendi Tanzania unashuka Tazama Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-05-16T23:54Z 710K followers, [---] engagements
"Gari yagonga treni Poland Tazama dereva huyu wa gari alivyonusurika kimiujiza baada ya Treni kuvamia gari lililokwama ndani ya kizuizi cha treni huko Polanda. Dereva wa gari hilo alikaribia kivuko cha treni muda mfupi tu kabla hakijafungwa na kushindwa kurudi alikotoka baada ya kuchelewa hivyo ikambidi kuweka gari pembeni lakini haikusaidia. Dereva alitoka bila kujeruhiwa kwa namna isiyo ya kawaida baada ya treni kuharibu gari hiyo vibaya kwenye kivuko. Maafisa wanawataka madereva kuwa makini sana wanapokaribia kivuko cha reli kwani treni haigongi bali inagongwa je hii ni kweli #bbcswahili"
YouTube Link 2025-08-08T12:37Z 761K followers, [----] engagements
"BBC News Swahili Je kiongozi wa zamani wa Libya hayati kanali Maummar Gaddafi alikuwa ni shujaa wa Afrika au kiongozi wa mabavu Sammy Awami anakudadavulia kiongozi huyu ambaye aliongoza Libya kwa muda mrefu. #bbcswahili #maummargaddafi #libya Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-05-27T11:46Z 724K followers, [----] engagements
"BBC News Swahili Je uko tayari kubadilishiwa mtazamo wa uhalisia Basi weka kando dakika chache na ujiunge nasi kwenye safari ya kuvutia katika Makavazi ya kisasa ifahamikayo kama Museum of Illusions jijini Nairobi Kenya. Hii ni makavasi mpya zaidi katika mtandao ambapo ina maonesho ya kipekee kutoka kwa wabunifu wa Kenya. Mwandishi wa BBC Njoroge Muigai meandaa taarifa hii; Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-03-06T02:30Z 674K followers, [---] engagements
"Familia ambayo watu wote wana upofu 'Tuliunda kikundi hiki baada ya kugundua ukiwa na upofu unatengwa' Kutana na Moses kiongozi wa kikundi cha jamii ya vipofu katika kijiji cha Luubu ambacho kina watu [--] wanaoishi katika eneo moja Kikundi hiki hukutana kila jumatatu chini ya mti ili kuzungumzia changamoto wanazopitia na kusaidiana. Mwandishi wa BBC Agnes Penda aliwatembelea huko Mashariki mwa Uganda na kuandaa taarifa hii #bbcswahili #uganda #upofu Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-10-14T06:00Z 625K followers, [--] engagements
"Nani atamrithi Papa Francis Makadinali [---] wa kanisa katoliki wamefungiwa ndani ya Kanisa la Sistine ili kuanza shughuli ya kumchagua Papa mpya. Viongozi hao wameombwa kumchagua Papa ambaye atalinda umoja wa kanisa katoliki hasa wakati ambapo unakabiliwa na mabadiliko makubwa katika historia yake. #bbcswahili #vatikani #papafrancis"
YouTube Link 2025-05-07T18:59Z 707K followers, 18.9K engagements
"Raia wa Tehran na Tel Aviv wahama vita vikiendelea kati ya Israel na Iran katika Dira ya Dunia TV Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba anataka mwisho wa kweli wa makabiliano kati ya Iran na Israel na wala sio tu kusitishwa kwa vita wakati pande hizo mbili zikiendekea kushambuliana. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-06-17T18:34Z 739K followers, 76.6K engagements
"Alex Iwobi ageuka Santa London Alex Iwobi: Nyota wa Fulham na Nigeria egeuka Santa na kugawa vyakula Krismasi Alex Iwobi anasherehekea sikukuu ya Krismasi huko London kwa namna ya kipekee amekuwa akitoa chakula cha bure ikiwa ni pamoja na batamzinga kwa wakazi wa eneo hilo wanaoshindwa kununua chakula kwa ajili ya Krismasi. #bbcswahili #london #krismas Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-12-25T06:00Z 634K followers, [---] engagements
"Je Zelensky atakutana ana kwa ana na Putin Katika Dira ya Dunia TV Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema yuko tayari kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin ana kwa ana huko Istanbul Uturuki siku ya Alhamisi wiki hii. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-05-12T18:33Z 731K followers, 19.2K engagements
"BBC News Swahili #bbcswahili #diratv #habari Japo mikutano kadhaa ya kujaribu kusitisha vita kati ya Ukraine na Urusi imekuwa ikiandaliwa na kusimamiwa na Marekani Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yameendelea kutokea hali ambayo imekasirisha Rais wa Marekani Donald Trump. Trump ambaye anakutana na uongozi wa jumuiya ya kujihami NATO leo anatarajiwa kutoa tamko kuhusu Urusi kuendeleza mashambulizi zaidi. Je unadhani huenda akaiwekea Urusi vikwazo zaidi Jiunge naye @martha_saranga saa tatu usiku wa leo mubashara kwenye Dira ya Dunia TV kupitia ukurasa wa YouTube BBC Swahili Subscribe"
YouTube Link 2025-07-14T15:11Z 753K followers, [----] engagements
"Makovu ya shambulizi la kinyuklia Japan. Wiki hii dunia inaadhimisha miaka themanini tangu Marekani kuvamia Japani kwa mabomu ya kinyuklia kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki. Hilo ilikuwa shambulizi la mwanzo na mwisho kuwahi kutekelzwa duniani huku walionusurika wakielezea maovu waliyoyapitia wakati huo. Miaka hii yote baada ya tukio hilo kuna vita vinavyoendelea duniani ambapo inahofiwa kwamba silaha hizi kali huenda zikatumiwa. Je hatukujifunza kutokana na madhara ya shambulizi hilo la [----] Roncliffe Odit anangazia hili kwa kina leo saa tatu usiku mubashara kwenye Dira ya Dunia TV"
YouTube Link 2025-08-04T14:20Z 759K followers, [----] engagements
"BBC News Swahili Kutana na Ma DJ walemavu Vj robzy kimotho na Dj skylla ambao licha ya kwamba mmoja ana ugonjwa wa kupooza ubongo anatumia kidole kimoja kuburudisha watu katika matukio mbalimbali na mtandao wa TikTok. Mtangazaji wa BBC Christine Ntayiai aliwatembelea na kuandaa taarifa hii. 📹 Brian Mala. #bbcswahili #kenya #ulemavu Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-06-07T06:01Z 729K followers, [----] engagements
"Mike Tyson amzaba kibao mpinzani wake wakati wa upimaji uzani Mike Tyson anatarajiwa kukutana na Jake Paul katika pambano litakalofanyika usiku wa Novemba [--]. Wakati wa kupima uzito kuelekea katika pambano hilo Mike Tyson alimpiga kofi Jake Paul na kuzua tafrani Paul [--] atamenyana na Tyson mwenye umri wa miaka [--] kwenye Uwanja wa AT&T mjini Dallas. Bingwa wa dunia mara mbili Tyson mara ya mwisho alipanda ulingoni mwaka [----]. #bbcswahili #ndondi #masumbwi See less Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2024-11-15T10:01Z 630K followers, [----] engagements
"Je ni nani amemshambulia Padri Kitima Polisi nchini Tanzania wanasema kwamba uchunguzi wa shambulizi dhidi ya Padri Kitima usiku wa jana unaendelea wakiwa katika harakati za kuhakikisha waliotekeleza shambulizi hilo wanakamatwa na kufunguliwa mashtaka mara moja. - Je ni nani alitekeleza shambulio hilo na kwa sababu gani - Hamida abubakar anachambua hilo mubashara saa tatu usiku kwenye ukurasa wa YouTube BBC Swahil - - - #bbcswahili #tanzania #diratv Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw"
YouTube Link 2025-05-01T16:07Z 703K followers, 53.9K engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/youtube::bbcnewsswahili