Dark | Light
# ![@joeselasini Avatar](https://lunarcrush.com/gi/w:26/cr:twitter::911560798375378945.png) @joeselasini Mamwavi_Nkabasia

Mamwavi_Nkabasia posts on X about mambo, bali, tanzania, kwanza the most. They currently have [------] followers and [---] posts still getting attention that total [-----] engagements in the last [--] hours.

### Engagements: [-----] [#](/creator/twitter::911560798375378945/interactions)
![Engagements Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::911560798375378945/c:line/m:interactions.svg)

- [--] Week [------] +13,046%
- [--] Month [------] +207%
- [--] Months [-------] +39,101%
- [--] Year [-------] -4.10%

### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::911560798375378945/posts_active)
![Mentions Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::911560798375378945/c:line/m:posts_active.svg)


### Followers: [------] [#](/creator/twitter::911560798375378945/followers)
![Followers Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::911560798375378945/c:line/m:followers.svg)

- [--] Month [------] +0.26%
- [--] Months [------] +2.20%
- [--] Year [------] +4.20%

### CreatorRank: [---------] [#](/creator/twitter::911560798375378945/influencer_rank)
![CreatorRank Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::911560798375378945/c:line/m:influencer_rank.svg)

### Social Influence

**Social category influence**
[countries](/list/countries)  [travel destinations](/list/travel-destinations)  [currencies](/list/currencies)  [finance](/list/finance)  [technology brands](/list/technology-brands)  [automotive brands](/list/automotive-brands)  [social networks](/list/social-networks)  [celebrities](/list/celebrities) 

**Social topic influence**
[mambo](/topic/mambo), [bali](/topic/bali) #837, [tanzania](/topic/tanzania), [kwanza](/topic/kwanza), [sana](/topic/sana), [ipo](/topic/ipo), [leo](/topic/leo), [cha](/topic/cha), [zanzibar](/topic/zanzibar), [mali](/topic/mali)

**Top assets mentioned**
[Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [Jesus Coin (JESUS)](/topic/jesus) [Terra (LUNA)](/topic/terra)
### Top Social Posts
Top posts by engagements in the last [--] hours

"CDF aliamua kuweka mguu chini ile figisu ya kutaka SSH asirithi kiti cha urais isifanikiwe. CDF aliilinda katiba kwa nguvu zote. Sasa SSH amekubali kudanganywa mahakama inayumbishwa ilhali kuna msimamo wa mwanasheria mkuu ambae kauli yake ndio msimamo wa serikali"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1673957199586942976)  2023-06-28T07:31Z 76.5K followers, [--] engagements


"Wakatoliki hatufanyi siasa ktk mambo yanayohusiana na ibada. Kufika Vaticankusali St Peters au kuongea na Papa dk. [--] sio kufika peponi. Wapo wengi wanaofanya hija hawajitangazi. Huna tofauti na Farisayo aliyejisifu mbele ya Yesu. Imeandikwa msalipo ingieni chumba cha siri"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1695811530023985427)  2023-08-27T14:52Z 68.8K followers, [----] engagements


"Mungu alimnyangua kitandani Nairobi hosp; ndie anayempa ujasiri wa kutembea ktk ktk ya mamia ya watesi hawa bila hofu. Kupita kwake wananchi wanaendelea kupata ujasiri. @tanpol acheni hii michezi mtaliingiza taifa ktk balaa. TZ na Rwanda pekee tumesakia kuchezea demokrasia"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1701043525985456584)  2023-09-11T01:22Z 68.4K followers, [--] engagements


""EWURA INASHIRIKIANA NA WEZI KUTUIBIA WATZ" 6.9.2023 Ewura ilitangaza kupanda bei ya Mafuta ya Petroli Diesel TZ bara. Sababu kupanda kwa bei ya mafuta soko la dunia. 8.9.2023 Mamlaka kama hiyo ZNZ (ZURA) ilishusha bei kwa [--] sababu ya kushuka bei soko la dunia"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1701084881525072084)  2023-09-11T04:06Z 68.4K followers, [---] engagements


"Somalia Northern Nigeria Wakristu na Mapadre wanauwawa na makanisa kuchomwa. Sudani huko Darfur; Lohinja Burma Misri wakristu wanachinjwa. Zaire watu mil [--] kwa taarifa za UN wameuwawa Siera LeoneVijiji vya wakristo Niger vinashambuliwa kila siku nk. Mbona sijasikia tamko"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1715256287351525389)  2023-10-20T06:39Z 66.2K followers, [----] engagements


"Angalia kwa makini; gari imewasha taa (indicator) kuashiria inakoelekea lakini dereva wa bodaboda sio mwangalifu. Hata hivyo chanzo cha ajali kitaonekana mwishoni. Hawa viumbe wanawachanganya sana baadhi yetu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1717774855624376369)  2023-10-27T05:26Z 66.2K followers, [----] engagements


"Mradi wa mwendo kasi ni wazo jema lililochelewa lingeondoa kero za usafiri na kuinua uchumi wa nchi. LEO nimeamua kufuatilia hii kero. Mradi umekuwa jipu. Mabus yanachelewa sana ni machache na tayari vandalism ni kubwa baadhi ya vituo. Hatiwezii kusimamia mabus tutaweza nini"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1720381664629543052)  2023-11-03T10:05Z 66.5K followers, [----] engagements


"Kwenye hafla Johannesburg SA Rais wa Young ASC Eng Hersi amekutana na Rais wa FIFA Gianni Infantino na mwenyeji wake Rais wa CAF Motsepe. Miongoni mwa mambo ambayo Gianni Infantino aliyauliza ni matokeo ya Derby ya Kariakoo iliyochezwa Novemba [-----]. BOOM FIVE🖐😂"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1723575634830487600)  2023-11-12T05:37Z 66.8K followers, [---] engagements


"Angeuliza hivyo angeeleweka; kufananisha na nyumba ya familia amekosea. Tunaoifahamu familia yao iliyoshiriki kumchangia Mwl. Nyerere kwenda UNO kudai uhuru wa Tanganyika ina nyumbani London na maeneo mengi duniani. Wanazo ndio maana Free anajitoa ktk baadhi ya mambo ya chama"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1723943031886282843)  2023-11-13T05:57Z 70.2K followers, [---] engagements


"Tuliokulia vijijini tulifundishwa kugawana chochote tulichopata. Hakukuwa na uchoyo wala udanganyifu. Baada ya kusoma mambo yamebadilika chetu kinabaki chetu na cha umma nacho kinakuwa chetu. Ufisadi rushwa na kujilimbikizia mali na pesa. Vijana wasipoamua nchi itabaki ukiwa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1724680656385413441)  2023-11-15T06:48Z 66.9K followers, [---] engagements


"Bi Laura ADSHEAD girlfriend wa zamani wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameroon; ameacha maisha ya ulevi na kubwia unga. Sasa ni Mtawa ktk Kanisa Katoliki. Tuwaombea na kuwapa ushauri nasaha watoto na ndugu zetu wenye uraibu wakati wa Mungu ukifika watabadilika"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1726210492702879985)  2023-11-19T12:07Z 70.3K followers, [---] engagements


"Acha yapigwe marufuku unafiki umekuwa jadi yetu. Sudan Kusini kundi la "Janjaweed" linauwa watu kama kumbikumbi kila siku. Wiki mbili zilizopita ilikuwa balaa. Congo Libya Eritrea nk. "Prof charity begins at home." Kuna maana gani kumpambania jirani wakati kwako unateketea"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1726221495062417834)  2023-11-19T12:50Z 67.1K followers, [---] engagements


"@EliahTugara 😂😂😂 Jaribu kuelewa kilichoandikwa basi dogo. Hata huko Congo pamoja na vita wanaoamini Wakristu kwa Waislam hawajaacha kusali"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1726259797316739075)  2023-11-19T15:23Z 67.1K followers, [--] engagements


"Bila kumtanguliza Mungu hakuna kinachowezekana. Kiongozi awe mstari wa mbele aonyeshe mfano. Natamani safu ya wachezaji Wakikristu na watu wote kuiga mfano huu. Mungu awape hitaji la mioyo yenu awafungulie mafundo yote ktk njia zenu na awaepushe na shari zote. Amina. @EngHersi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1726462906764824711)  2023-11-20T04:50Z 67.1K followers, [---] engagements


"@siyagaenock1 Endelea kukataa maana huna taarifa za kutosha. Huujui mkutano wa tarehe [----]. [----] Diamond jubilee chini ya Uenyekiti wa Marehemu Pro. Mwesiga Barefu uliotoa maazimio yaliyomfanya Mwinyi kukatisha ziara yake Berlin na kurudi TZ.kunda tume ya Nyalali. Elimu nusu ni sumu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1726494040894693783)  2023-11-20T06:53Z 67.1K followers, [--] engagements


"@palamasya @yahayaomary Mwaka [----] akiwa Waziri wa Mambo ya ndani baada ya polisi kufanya mauwaji Shinyanga. Nani ktk uongozi aliyewahi kufanya hivyo"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1726498442988704243)  2023-11-20T07:11Z 67.1K followers, [--] engagements


"@mussa2014_ Pope Francis in his leadership has coursed confusion and there are now conflicting interpretations of some basic issues which can cause division. @BishStrickland removal from the office is one of the biggest discussions in the church"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1726877033228079171)  2023-11-21T08:15Z 67.2K followers, [--] engagements


"@mussa2014_ @BishStrickland Infallibility of the Pope does not mean to swallow everything even heresy or accepting abominations because Rome has said. @BishStrickland stood in the traditional teachings of the church and scripture on humanity"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1726882269485580406)  2023-11-21T08:36Z 67.2K followers, [--] engagements


"Hizi za wavaa utupu na beti ambazo ujumbe ni mapenzi na siasa peke yake; au zile za kina Mbaraka Mwinshehe Kilaza Sikinde Msondo Twanga Pepeta Kilwa Jazz Tabora Jazz nk"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1727583257116520487)  2023-11-23T07:02Z 67.2K followers, [---] engagements


"@Mryok56 @DullahTheking2 @__abdulazack @athanas_pius @AsiahSalum @ANDREA_M_JF0UR @AmourMudi @ALugandu @ceefk_ @chevi_masta Huo ni wivu na character assassination. Inaonyesha tabia ya hovyo uliyo nayo. MZEE TILISHO ni mtu mzima mwenye heshima na staha. Hata mtoto wake JOHN ni kijana serious ktk biashara hawezi kufanya huo upuuzi. Makondakta wake ni mabinti wanaojihemu na wenye bidii ktk kazi yao"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1727692119001751800)  2023-11-23T14:14Z 67.2K followers, [----] engagements


"@Charlesmarwa_ @Mryok56 @DullahTheking2 @__abdulazack @athanas_pius @AsiahSalum @ANDREA_M_JF0UR @AmourMudi @ALugandu @ceefk_ @chevi_masta Hspana uncle sasa hao ndugu zangu wanadhalilishwa kweli niwe coward bila kusema chochote"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1727697966914302060)  2023-11-23T14:37Z 67.2K followers, [--] engagements


"@MaranduVicente @IAMartin_ Ni kweli alimtesa sana mumewe Bwana kumfanyia mambo ya aibu ambayo hayaandikiki. Tabia ni hiyo hiyo ya kuwatumia polisi kunyanyasa. Fikiria mkeo anakwenda polisi ili uteseke baada ya kukunyima kila kitu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1728263193108312432)  2023-11-25T04:03Z 67.4K followers, [---] engagements


"@EmmanuelMasonga @ChademaTz Mnapolichukulia kama chama wao nao wataona ni siasa na hatua hazitachukuliwa. Kama mna taarifa zozote zipelekeni polisi na kwenye taasisi za kutetea haki za binadamu. Mambo mengi yalipochukuliwa kisiasa hayakufika mbali. Huyu ni muovu inakulikana acheni vyombo vifanye kazi yake"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1728284402629898505)  2023-11-25T05:28Z 67.3K followers, [---] engagements


"@EmmanuelMasonga Mimi nipo hapa Babati kila raia analaani na kijana ameshatafutwa kutoa maelezo. Wasiwasi wangu Chadema kama taasisi mkiingilia watapuuza na kusema ni chuki za kisiasa kama walivyozoea ktk mambo mengi. Kama polisi watapuuza atafutiwe wanasheria wa haki za binadamu kumsaidia"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1728302541690028229)  2023-11-25T06:40Z 67.3K followers, [---] engagements


"@AmossonMlenzi @fumbokhanJr @fumbokhan @AlbertChalamila Ushauri wangu kwake ulikuwa kuwawezesha kiuchumi ili waache. Hakuna dola iliyofanikiwa kuondoa ukahaba. Hata ktk biblia agano la kale mambo ya Sodoma na Gomora; ktk agano jipya Yesu alikutana na madanguro kule Jerusalem; yeye hakuwakamata aliwapa ushauri nasaha baadhi wakaacha"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1728315499983831311)  2023-11-25T07:31Z 67.3K followers, [--] engagements


"@kighera50 @RoseMakei @GekulPauline Uncle ktk mambo tunayokosea baadhi yetu ambao hatuko serikalini ni kutengeneza picha kwamba kila kinachofanywa kina kasoro na hakuna chochote cha kupongeza. Umesema vema ukamilifu wa binadamu ni kuwa na mema na mabaya; mwenye mema tu au mabaya tu sio wa kawaida"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1728729461124895027)  2023-11-26T10:56Z 67.4K followers, [--] engagements


"@hakaido2 @MariaSTsehai 😂😂😂 Kumbe unajijua rafiki yangu. Kuna wakati unarusha kuombora hadi simu zinatikisika. Nimecheka sana. Huyu dada Mungu amlinde maana amesaidia sana uelewa wa mambo mengi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1728772886620782669)  2023-11-26T13:49Z 67.4K followers, [--] engagements


"@privaldinho Ubinafsi ndio tabia yetu. Baadhi yettu hatutaki kujihusisha na mambo ya jamii zaidi ya yale yanayotuhusu. Ndio maana Tanzania hatuwezi kuwa na mabadiliko. Jambo kubwa kama hili la NW Sheria asingepashwa kuuliza. Unaona hata kelele za katiba kuna ambao hawajui kinachoendelea"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1728985308409294962)  2023-11-27T03:53Z 67.4K followers, [--] engagements


"@privaldinho Katika hili bora ungekaa kimya. Unatuaibisha Yanga wenzako. Mtu wa habari huwezi kujificha ktk matukio ya Yanga na mpira na kuyaancha yanayowahusu unaowatumikia. Tukio hili hadi Rais kuchukua hatua limezunguka sana. Ofisi yako inatakiwa kuwa broad ndio maana Yanga iko ktk jamii"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1728994103063621827)  2023-11-27T04:28Z 67.4K followers, [---] engagements


"@HescoKabunda nauli huwa zinapangwa kwa kuwashirikisha wamiliki. Ni kweli mafuta yamepanda. LATRA ni regulator. Haiwezekani wakae ofisini na kuwaacha wamiliki kila kampuni ikijipangia nauli na bila ufuatiliaji. Adhari za kupanda mafuta au inflation mwananchi ni mlipaji wa mwisho"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1729175620696097229)  2023-11-27T16:29Z 67.5K followers, [--] engagements


"Alichosema; wasipigwe wasitengwe bali wasaidiwe kama wagonjwa. BBC ni mawakala wa mashoga. Papa kupitia "Secretary of state" ni kama Waziri wa Mambo ya Nje aliwaandikia maaskofu wa Ujerumani kanisa halitaruhusu mjadala wa mashoga au wanawake kuwa mapadri. Mbona mko kimya"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1729421852412440954)  2023-11-28T08:47Z 67.5K followers, [---] engagements


"Viongozi ambao hawajawahi kusikika kuwa na kashfa wakijiuzulu ghafla lazima ombwe la mashaka litazuka. Kinachoonekana haraka mitandaoni ni mahusiano yake wanasema yasiyofaa. Ni nani anaeidukua simu yake Hatuna tena haki na faragha Kama limetokea kwa huyu wengine je"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1729455017386537005)  2023-11-28T10:59Z 67.5K followers, [----] engagements


"Ni nani huyu aliyeamua kuwa wa kwanza kumtupia jiwe Viongozi wa siasa tutazamane; dhambi ya mahusiano msafi nani Hivi kwanini Dodoma inajaa kina dada poa wakati wa vikao vya bunge na chama Ndani ya CCM kuna makubwa zaidi ya kinachosemwa kuwa tabia isiyofaa ya KM. Acha tuone"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1729455030355345453)  2023-11-28T10:59Z 67.5K followers, [---] engagements


"@Sharb84 Hajui huku mtandaoni kuna Maaskofu Mapadre Mashemasi na wasomi wa daraja la juu ktk Scripture traditions na Magisterium tangu mtaguso wa kwanza baada ya kifo cha Petro. Hili ni kanisa; MOJA TAKATIFU KATOLIKI(universe-la wote) La MITUME na uinjilishaji"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1730093188008792534)  2023-11-30T05:15Z 67.6K followers, [--] engagements


"@donald_mutegeki Hatubishanii magari hapa iwe IST au corona hoja ni hicho kitendo kinachoendelea"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1730485591836446818)  2023-12-01T07:14Z 67.7K followers, [---] engagements


"Je wakivaa hivi sehemu za starehe(tena zenye vibali) Risasi zitawahusu kwa kisingizio cha vita dhidi ya wauza miili Je wauzaji na wanunuzi wa nguo kama hizo watapigwa risasi Au je TRA wataacha kutoza kodi mizigo ya aina hiyo au itazuiwa forodha 🤔🤔🤔"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1730585974822822158)  2023-12-01T13:53Z 67.7K followers, [----] engagements


"Mapambano yote ya maisha; Uzuri na majivuno yote; dharau na mateso kwa wengine; majeshi na ulinzi wenye silaha nzito; miliki ya pesa na mali zote za dunia; sharehe zote na warembo wote mwisho wa hayo yote ni huu. Tupendane na kumpenda Mungu maana mwisho ni MUNGU au Hakuna kitu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1730604573981556890)  2023-12-01T15:07Z 67.7K followers, [---] engagements


"@WhymelordMai Alaa Kumbe kufundisha na kuhoji kuna umri Vijana hawataki kuhoji mambo ya jamii. Lazima watupe majibu wazee ndio tunakaaga wengi bar wasije wakatuuwa wakati wanasaka hao wauzaji wa mapenzi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1730671570245308728)  2023-12-01T19:33Z 67.7K followers, [--] engagements


"Haya ni baadhi ya mafundisho polisi wanayopashwa kufanya ktk jamii sio kujifanya TRA na mashine za kutoza fine. Fikirial mtu ana "overtake" baadala ya kupunguza mwendo apite unamwashia taa au kuongeza mwendo. Ajali ikitokea wote si mtaumia. Hongera kwa kamanda kazi nzuri sana"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1731182085027622920)  2023-12-03T05:22Z 67.8K followers, [---] engagements


"Huyu ni Makamu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa muda haonekani hadharani wala kanisani alipozoea na nafasi yake iko empty. Sio busara mamlaka kukaa kimya maana ukimya huo utazalisha hisia nzuri na mbaya. Kama anaumwa liambieni taifa kwa pamoja tumuombee afya njema"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1731184609189114356)  2023-12-03T05:32Z 88.5K followers, 53K engagements


"Nafikiri hawa vingozi wa hizi dini kubwa ktk jamii hawana desturi ya kukaa na kuisikiliza jamii vinginevyo wasingefanya haya. Viongozi wa dini wakitumika kuwakweza kuwasafisha na kuwajengea umaarufu wanasiasa; kazi zao zitadharauliwa na kushawishi dini kukashifiwa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1731191823429701727)  2023-12-03T06:01Z 67.8K followers, [---] engagements


"Bwana harusi anatisha sana. Vijana mna mambo mengi. Sijui kama mtakumbuka kuidai katiba"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1731357955134509265)  2023-12-03T17:01Z 67.8K followers, [----] engagements


"Mambo makubwa yanafanywa na club kubwa wengine wanafuata. Hongera sana Yanga"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1732082979755765765)  2023-12-05T17:02Z 67.9K followers, [---] engagements


"@EduTalkTz Kwanini unateseka kama sio imani yako Waache waendelee na heshima waliyoamua kumpatia. Sio "kupalizwa mbinguni" pekee bali; " aliumbwa pasipo dhambi ya asili na amewekwa kuwa malkia mbinguni na duniani. Bila Maria unaupataje Utatu Mtakatifu @MundiVir usisahau kusali rozari"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1732268602663854260)  2023-12-06T05:19Z 67.9K followers, [----] engagements


"@Paulmganyizi1 @EduTalkTz @MundiVir 😂😂😂 Kumbe hata mama yangu aliponizaa kazi yake iliishia hapo Ok sawa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1732459587247186294)  2023-12-06T17:58Z 67.9K followers, [--] engagements


"@MariaSTsehai Our prayers to Dr. Philip Isidori Mpango VP of the United Republic of Tanzania. May the Almighty God grant him good health and come back to his normal duties"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1732489505980965248)  2023-12-06T19:57Z 68K followers, [----] engagements


"Hata wapagani wa sasa wanamwabudu Mungu. Mungu amejifunua kwa wanadamu kwa njia nyingi. Maandiko Matakatifu Bibila na Quran ni Ufunuo wa Mungu kwa wote na waliousambaza ndio walioifiwa kwanza. Wapagani babu zetu na ambao neno la Mungu halijawafikia wataokolewa kwa NATURAL LAW"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1733345763092996297)  2023-12-09T04:40Z 68K followers, [--] engagements


"Thanks be to God at last the boy was rescued. We must not disperse even in impossible situations an invisible hand of God shall hold us in the name of Jesus"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1733376181171302514)  2023-12-09T06:41Z 68.1K followers, [----] engagements


"@AlesandroJR Pater noster qui in caelis est glorifi nomencetur tuum veniat regnum tuum fiat in terra sicut in caelo da nobis hodie panem nostrum quotidianum dimitte nobis peccata nostra sicut et nos dimittimus peccantibus in nos. ne nos inducit in tentationes sed libera nos a malo"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1735175189015539916)  2023-12-14T05:49Z 68.1K followers, [--] engagements


""Kama kipaumbele chetu cha kwanza sio MUNGU; basi mengine yote ni upuuzi na kushindwa.""  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1735388447127245302)  2023-12-14T19:57Z 68.2K followers, [----] engagements


"Mahindi yamekatwa Mpanda hotel karibu kubeba. Sababu iliyotolewa; yanaficha wezi. Hiyo ndio mbinu ya kukabiliana na wezi Ni vizuri Wizara ya Kilimo na Mambo ya ndani kutoa tamko na kuwachukulia hatua wahusika. Huu ni UNYAMA; ni kuhujumu jitihada za kupambana na umaskini ma njaa"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1735644536280359023)  2023-12-15T12:54Z 88.5K followers, 82.7K engagements


"@SirPius15 @mbuga_paul Sasa ambacho DC angefanya sio kuharibu chakula angesubiri mahindi yakaukeavune kisha akamatwe mahindi yataifishwe walishwe wafungwa wanafunzi au yagawiwe kwa maskini wasio na chakula. Kwanini kuharibu chakula ambacho jamii inakihitaji Vinginevyo angeharibu pale tu yalipomea"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1735949293880557921)  2023-12-16T09:05Z 68.3K followers, [--] engagements


"@SirPius15 @mbuga_paul Najua mambo za huko. Nilikaa sana Mpanda hapo Kashaulili nikiwa nafundisha Milala sec. Wakati ikimilikiwa na kanisa katoliki jimbo la S'wanga chini ya Askofu Karolo Msakila. Huyu DC labda ameaga vizuri huko kwao"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736022670142013868)  2023-12-16T13:57Z 68.3K followers, [--] engagements


"Mazingira yamebadilika ndio maana kuna kilio cha KATIBA MPYA. Yapo mambo ambayo lazima yatungiwe sheria na yaachwe. Fikiria CCM Chadema ACT CUF NCCR nk wote wanapigishana vikumbo kutafuta chipukizi mashuleni na mitaani. Maadili na uzalendo utafundishwa na kusimamiwa vipi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736043765968568487)  2023-12-16T15:21Z 68.3K followers, [---] engagements


"@ReganTesha_ Kama unadhani maisha yako au ya familia yako mkeo na watoto yana kasoro usishubutu kujaribu siasa maana huko sio sera tu zinazoshindaniwa bali sifa za viongozi pia hujadiliwa. Unawezaje kugushi vyeti usiwe mla rushwa Utakuwaje malaya au mlevi kisha uwe makini kazini"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736195983149588517)  2023-12-17T01:25Z 68.3K followers, [--] engagements


"@cw_pedro @ReganTesha_ 🙏🙏🙏 Wewe una akili sana na mchokozi sana. Unajua mambo mengi ila inahitaji uvumilivu kukujibu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736202057508368735)  2023-12-17T01:50Z 68.4K followers, [--] engagements


"@Sharb84 @PunchMzee @ayubu_madenge Tatizo ni kulifananisha kanisa hili mojatakatifu katoliki na la mitume liloenea kila nchi dunia nzima na lile nililoanzisha kwa uzio wa magunia pale kijijini kwangu ambalo wafuasi wangu wanasema kanisa la " Selasini la "Christ salvation ministry.""  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736268402480578673)  2023-12-17T06:13Z 68.3K followers, [--] engagements


"Mungu amsamehe na ampatie pumziko la milele mbinguni. Astarehe kwa amani.Amina"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736437755167592765)  2023-12-17T17:26Z 68.3K followers, [---] engagements


"@ShauriSiyantemi Halafu eti kuna watu Tanzania wanataka kuandamana kuwaunga mkono Hamas"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736445352222282229)  2023-12-17T17:56Z 68.3K followers, [---] engagements


"@MariaSTsehai @Deuscharlestar There is no reason for any defence that can be given for torturing and ultimately killing these young people who were studying. The international community human rights organizations and people of good will have a responsibility to condemn"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736467873046950065)  2023-12-17T19:26Z 68.8K followers, [----] engagements


"This is evidence that on 7.11.2023 Hamas attacked and killed many innocent people from several countries in the world. The world must unite to eradicate this group. Life is a gift from God and no human has the authority to give it away"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736469883347505653)  2023-12-17T19:34Z 68.5K followers, 12.4K engagements


"Tanzanians are hurt we cry and mourn our innocent children. They have been abused of their lives. As a human being I should not be blamed for supporting anybody whose intention is to erase the Hamas terrorists group. May the almighty God rest our children in eternal peace"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736478089117335986)  2023-12-17T20:06Z 68.4K followers, [----] engagements


"@siadevinci @nestlaudfas @VaticanNews Unadhani hawahubiriwi kuacha Mgonjwa anahubiriwa apone au anapewa tiba na huduma ya upendo Kazi ya kanisa ni UKUHANI; UNABII na UFALME. Kuomba na kuponya kiroho kufundisha mambo ya Mungu na kuongoza ktk njia ya Mungu. Kanisa halifanyi kazi ya kulaani na kuwatenga wadhambi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736958130297159960)  2023-12-19T03:54Z 68.4K followers, [--] engagements


"@matinamayunga @Blessedgeniuss @nestlaudfas @siadevinci @VaticanNews Unapoteza mada. Hatuongelei madhehebu hapa. Amini na tekeleza unachoamini wala hapa hakuna anaekusudia kumbadilisha mtu imani yake bali WAKATOLIKI tunakataa uzushi na propaganda dhidi ya imani na viongozi wetu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1736966976625369153)  2023-12-19T04:29Z 68.4K followers, [--] engagements


"Usitafute habari za kanisa katoliki kutoka ktk vyombo vya habari vya jamii au (FOX CNN ABC BBC CSBC nk)hawajui au hawalielewi kanisa. Daima nenda moja kwa moja shinani: VATICAN NEWS USCCH nk"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737188977935851824)  2023-12-19T19:11Z 68.4K followers, [----] engagements


"@DonatusNyamizi Utaratibu wa kanisa. Kauli ya Papa kama haijatolewa akiwa kwenye EX CATHEDRA ni maoni yake sio ya kanisa. Ndio maana maaskofu maeneo mbalimbali wanaipinga kama hao wa malawi na wengine wa Ulaya na Marekani kama"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737362860383088733)  2023-12-20T06:42Z 68.4K followers, [--] engagements


"Huu ndio msimamo na ufafanuzi kwa njia rahisi wa barua ya kanisa kuhusu baraka kwa watu wanaohisiwa kuwa mashoga"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737367539326369838)  2023-12-20T07:01Z 68.4K followers, [----] engagements


"1.I charge you in the presence of God and of Christ Jesus.preach the word be urgent in season and out of season convince rebuke and exhort be unfailing in patience and in teaching. For the future will come when people will not endure sound teaching but having itching ears"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737415522252144682)  2023-12-20T10:11Z 68.5K followers, [---] engagements


"@Sharb84 Bishop Schneider in conjunction with his Archbishop have banned any 'blessings' for irregular or homosexual couples. They also admonish Francis who they say 'does not walk uprightly according to the truth of the Gospel.'"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737420174926496070)  2023-12-20T10:30Z 68.8K followers, [--] engagements


"Kauli ya Askofu Mkuu wa jimbo kuu la Dar-es-salaam kuhusu baraka kwa mashoga"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737439088972530067)  2023-12-20T11:45Z 68.4K followers, 25.3K engagements


"@LovyDallas Una mizani gani ya kupima moyo ya mtu Nia na ibada ya mtu aijuae Mungu aonae sirini"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737445519121580380)  2023-12-20T12:11Z 68.4K followers, [--] engagements


"@MwajaPeter @allawi_mshana Na wengine wa dini na madhehebu mengine wakidhani watawafundisha cha kufanya. Mbona hawatuambii mashoga kwenye dini zao na madhehebu yao huwa wanawafanya nini Wangesoma kwanza historia ya madhehebu yao kujitenga na Ukatoliki"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737448509295501507)  2023-12-20T12:22Z 68.4K followers, [--] engagements


"MEADEMA dhaifu imepigwa na Yanga 3-0; nikumbusheni Simba imara ilipigwa na Yanga ngapi Meadema kwenye ligi ya kwao ni ya [--] imepigwa tatu. Simba ktk msimamo ilikuwa ya [--] ilipigwa ngapi Acheni propaganda dhaifu. Yanga inashinda kwa mpira safi; Simba inashinda kwa hekaheka"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737536032382349650)  2023-12-20T18:10Z 68.4K followers, [---] engagements


"@EduTalkTz Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Watoto wa wenzetu wanatazamwa vipaji vyao tangu wakiwa wadogo na kusomeshwa kwa mwelekeo huo. Sisi hatuna njia ya kugundua vipaji vyao wakiwa na umri mdogo wala academy za kuwapeleka. Tangu uhuru tunawabebesha daftari [--] na kucheza chipukizi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737698796895719498)  2023-12-21T04:57Z 68.8K followers, [----] engagements


"Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI) huduma ipo na itaendelea kwani wataalamu wapo. Huduma inatolewa bure kwa watoto wenye matatizo hayo. Tusiwafiche watoto wenye matatizo haya. Tuwaibue kipindi hiki ktk mapumziko tukiwa vijijini ili wahudumiwe"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1737823005537923463)  2023-12-21T13:11Z 68.8K followers, [---] engagements


"Sawa lakini kama Mkatoliki TEC mnakwaza. Hadi sasa mabaraza mengi ya maaskofu Afrika; Malawi Zambia Nigeria Ghana Cameroon nk yametoa msimamo wa pamoja kukataa upuuzi huu. Nilikuwa nategemea waraka utatoka Christmas lakini ni Askofu mmoja mmoja anajisemea; nini kinawakwaza"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1739242614866448472)  2023-12-25T11:12Z 68.9K followers, [----] engagements


"@furaha_nzunda Wasichojua watu wa dini nyingine ni kwamba kwa mujibu wa sheria za kanisa(canon law) kila Askofu ana mamlaka ktk jimbo lake yasiyoingiliwa na Askofu yeyote. Kwa hivyo wanaosema wanayasemea majimbo yao. Msemaji wa kanisa la TZ ni TEC kupitia rais wake"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1739305962349990235)  2023-12-25T15:23Z 68.9K followers, [---] engagements


"@furaha_nzunda @DonatusNyamizi Sio kutolewa tu hata kutamkwa. Kwenye ule waraka kinachokwaza ni "COULPES." Naomba radhi; yaani mfiraji na mfirwaji wanashikana kwenda kuomba baraka. Tulicho unga mkono ni kama mmoja akienda peke yake huyo unaona ipo dhamira ya kuacha na ni vema asaidiwe kama mgonjwa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1739320533710184712)  2023-12-25T16:21Z 68.9K followers, [--] engagements


"@SamsonErnest_ @PapaaMandevu Ongeza Zambia Malawi Ghana Nigeria Ukraine kote mabaraza yametoa matamko kama Taifa sio Askofu mmoja mmoja"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1739512897514905871)  2023-12-26T05:06Z 68.9K followers, [--] engagements


"@Paulmganyizi1 Wewe endelea na mafundisho yako huko Philippines kuna dini wanaabudu sanamu ya uume na wanatembea nayo barabarani. Kawahubirie wao"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1739548423576031393)  2023-12-26T07:27Z 68.9K followers, [--] engagements


"Hizo ni kauli za kuchanganyikiwa tu. Hivi ukiangalia TV unaona watu halisi au picha(sanamu) ambazo zinakupa taswira ya kitu halali unachojua au kuhisi. Picha ya baba au mama unaweka sebuleni au ktk profile ni yeye(wao) au ni sanamu zao Au unadhani sanamu lazima iwe ya zege"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1739552135698645060)  2023-12-26T07:42Z 68.9K followers, [---] engagements


"@edmund79632671 Humuoni jaji mkuu hapo Iko chini ya mahakama"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1740989959534735513)  2023-12-30T06:55Z 70.2K followers, [--] engagements


"Leo Mama Maria Nyerere mke wa Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa huruma na kibali cha Mungu ametimiza miaka [--]. Tunampongeza na kumrudishia Mungu sifa na Shukrani"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1741351823284277618)  2023-12-31T06:53Z 66.8K followers, [----] engagements


"Tunaanza mwaka mpya; kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina. We begin the New Year in the name of the Father and of the Son and of the Holy Spirit. Amen Incipimus novus annus; in nomine Patris et Filii et Spiritus Sancti. Amen"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1741768563910688944)  2024-01-01T10:29Z 67.4K followers, [----] engagements


"Ukiachana na mshahara wake au marupurupu yake; Urais ni nafasi inayomwezesha kuwa na marafiki ndani na nje ya nchi. Anaweza kuomba kuchangiwa na marafiki zake na akapata nyingi kuliko hizo. Wanasiasa wote wanafanya hivyo. Fedha wanazoahidi ni pamoja na michango ya rafiki zao. @ccm_tanzania Mshahara wa Rais Sh. Ngapi plus marupurupu Average anachukua KIADI GANI JUMLA KWA MWEZI FEDHA HARAMU TUSIZIENDEKEZE KWENYE NYUMBA ZA IBADA MGAO WA @DP_World NI HARAMU HIYO DHAMBI WAIBEBE WALIOHONGWA TUU @ccm_tanzania Mshahara wa Rais Sh. Ngapi plus marupurupu Average anachukua KIADI GANI JUMLA KWA MWEZI"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1741815545639436293)  2024-01-01T13:36Z 68.3K followers, [---] engagements


"@Patrice19907019 @ccm_tanzania @DP_World Hakuna mwanasiasa anaechanga pesa za mshahara wake. Kama yupo tambua huyo hana mizizi. Unapopewa kadi ya harambee ni kama unaombwa kuwachangisha marafiki zako ambao kamati ya harambee haiwezi kuwafikia au kuwajua hicho ndicho kinachofanyika"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1741816256393597198)  2024-01-01T13:38Z 67.2K followers, [--] engagements


"@Patrice19907019 @ccm_tanzania @DP_World Sio lazima awaorodheshe. Vitu vingine tuwe wapole tu. Hata Mhe. Mbowe kwenye chama anapambana na wabunge waliopewa jina la Covid-19 Mhe Halima Mdee Ester Bulaya nk lakini kwenye harambee aliwaalika kwa kuwa ni watu wake wa karibu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1741821223057695089)  2024-01-01T13:58Z 67.1K followers, [--] engagements


"@comanchechiefIV @ForexTanzania @IsraelYudea @Blessedgeniuss @Hamadbakari2 Huko mwanamke ni chombo cha starehe tu hana haki yoyote. Hapo utaambiwa ameshachafuka hafai kwa kuwa bikra yake itakuwa imeondolewa. Kwao mwanamke ni kwa ajili tu ya kuolewa na kumtumikia mume. Sharti mojawapo ya mwanamke kuolewa awe na bikra"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1741955138703548461)  2024-01-01T22:50Z 70.6K followers, [--] engagements


"@ForexTanzania @comanchechiefIV @IsraelYudea @Blessedgeniuss @Hamadbakari2 Taarifa inaweza kuwa haina ukweli ndio. Sasa tafuta sheria za Afgsnistan zinazo govern maisha ya mwanamke dhidi ya mwanamme. Kwa hili usiweze dini maana sheria ni kwa wote"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1741957102711566627)  2024-01-01T22:58Z [--] followers, [--] engagements


"@ForexTanzania @comanchechiefIV @IsraelYudea @Blessedgeniuss @Hamadbakari2 Walijuaje kama alizini kama hawakumfumania Hao wanaume aliozini nao mbona hawaonekani Ukweli utabaki wanawake wananyanyasika"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1742060076918083975)  2024-01-02T05:47Z 70.2K followers, [--] engagements


"Kumekucha bado miezi [--]. Tatizo WaTZ hawajui kukaa chonjo. Mgao wa jezi na mipira karamu na kulisha wapiga kura Tshirts kanga vikoi kofia nk msimu umefika. WaTZ mnastahili zaidi ya hivyo. Miundo mbinu maji ajiramadarasa miradi ya maendeleo katiba sheria nzuri nk"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1742604895998316998)  2024-01-03T17:52Z [--] followers, [----] engagements


"Mimba sio jambo la bahati mbaya. Ni mpango wa wanandoa kulingana na uwezo wa kulea mimba na watoto. Kuwapa makazi kuwalishalisha na kuwasomesha. Hatuzai kwa bahati mbaya bali kwa mpango. Ni kwa uchumi upi na mipango ipi itakayowezesha serikali kuhudumia kila ujauzito Bado naendelea kutafakari yale maneno ya @Nkololotz sijajua alikuwa anawaza nini mpaka akasema MIMBA SIO EMERGENCY NI WAKATI SASA TUKUBALI KUWA RESPONSIBLE KWA MATENDO YETU. Hii ni sawa na kusema maskini hana haki ya kuzaa. https://t.co/Uyafxtvto6 Bado naendelea kutafakari yale maneno ya @Nkololotz sijajua alikuwa anawaza nini"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1743149297535733989)  2024-01-05T05:55Z 68.3K followers, [---] engagements


"Heavenly Father I ask You today to bless my Twitter friends and their families. Grant them peace joy and happiness and deliver them from all the dangers they may face. I pray that they are never alone and are always covered in Your blanket of grace and protection. Amen"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1743154278506676241)  2024-01-05T06:15Z [--] followers, [----] engagements


"@AlbertShirima1 Barua iliyoleta mtafaruku kuhusu baraka kwa mashoga "FIDUCIA SUPPLICANS" iliyotoka VATICAN DICASYERY FOR DOCTRINE OF FAITH(idara ya mafundisho ya imani); na kusainiwa na Papa ni ushahidi ktk ushindi wao kwa maana ni kinyume kabisa na mafundisho msingi ya kanisa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1743273293900108077)  2024-01-05T14:08Z 67.1K followers, [--] engagements


"@elyneema @Bdam24Adam Ktk nchi yenye katiba nzuri hilo sio shida na wakikataa kukosolewa unasimama na hoja yako na kutoka. Hapa nchini Edwin Mtei akiwa waziri wa fedha alitofautiana na Nyerere na akatoka na ipo mifano mingi mingine"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1743543339704586333)  2024-01-06T08:01Z 68.8K followers, [--] engagements


"@elyneema @organkajula1 Katiba na sheria ndio kiongozi. Engagement hazifanywi na mtu bali na mifumo iliyowekwa kisheria. Ndio maana hitaji la katiba ni paramount"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1743554761754824905)  2024-01-06T08:47Z 68.3K followers, [--] engagements


"Kinachofikirisha ktk waraka huo ni:- " Blessings for Homosexual or Irregular Couples." Tangu lini kanisa likabariki dhambi Hilo neno "couples" ni mtego. Mashoga wawili washikane mikono kuomba baraka ukijua wakitoka hapo wanakwenda kuendeleza upuuzi wao Baadae si watataka ndoa @joeselasini Mimi sijui kwa nini umechukuliwa vibaya kiasi hiki. Waraka umeweka wazi [--]. Ndoa ni kati ya mume na mke [--]. Sexual activity ni halali ndani ya ndoa tu [--]. Kanisa haliwezi na Halina mamlaka ya kubariki dhambi Haya yote hatuyaoni tunajadili vichwa vya habari vya circular media.🙆♂ @joeselasini Mimi sijui kwa nini"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1743711910694908313)  2024-01-06T19:11Z 67.6K followers, [---] engagements


"Bus lina kosa gani Kama ni ukiukaji aliyefanya kosa ni mmiliki. Akamatwe yeye na kufunguliwa shauri la kukiuka huo utaratibu wao. Kwanini uwaadhibu wafanyakazi na wafanyabiashara wote wa chakula na mafuta nk. wasio na hatia wanaotegemea biashara hiyo Toa mapendekezo ya adhabu waliostahili Kumbuka tupo kila siku kuhubiri sheria ni msumeno na wamevunja sheria toa mapendekezo ya adhabu Toa mapendekezo ya adhabu waliostahili Kumbuka tupo kila siku kuhubiri sheria ni msumeno na wamevunja sheria toa mapendekezo ya adhabu"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1743922189110247879)  2024-01-07T09:07Z [--] followers, [---] engagements


"@Bdam24Adam Ndio maana wadau wanatoa maoni kurekebisha sheria mbovu kama hiyo. Kwanza tuambiwe kati ya mabus [--] walikagua mangapi Yaani unagundua dosari bus moja au matano unahukumu mengine [--] kwa dhambi hiyo hiyo Si ni yale ya mjinga mmoja kuuwa watu kwa jina la dini unahukumu dini yote"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1743931538276745524)  2024-01-07T09:44Z [--] followers, [--] engagements


""The final battle between the Lord and the kingdom of Satan will be about marriage and the family. Don't be afraid. Our Lady has already crushed his head." Sister Lucia of Fatima"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1743997588586565982)  2024-01-07T14:06Z 67.4K followers, [----] engagements


"Nasubiri comments za feminist"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1744080104458780993)  2024-01-07T19:34Z [--] followers, 10.5K engagements


"@MaluluFrank @sindai_mabula Jadili hoja hiyo picha inaweza kutokuwa na uhusiano. Hoja inahusu mambo yanayotokea ndani ya jamii"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1744085806212362646)  2024-01-07T19:57Z [--] followers, [--] engagements


"@abdulkareemtz95 Imani zetu sisi wengine ni kwamba Mungu ni roho tupu na wote watakaofika kwake watafanana nae milele. Sasa roho ambazo hazina mwili zinafanyaje activities za kibinadamu kama kujamiiana"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1744274007052914863)  2024-01-08T08:25Z [--] followers, [--] engagements


"Cardinal Robert Sarah firmly rejects Fiducia Supplicans saying: To maintain peace and unity in truth we must refuse to argue with the divider we must respond to confusion with the word of God. (cont)"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1744306753607553264)  2024-01-08T10:35Z 68.8K followers, [----] engagements


"Kwanini baadhi yetu tunawapost Maaskofu wakiwa wamevalia nguo rasmi za ibada(liturgical vestments) ktk mambo ya kijamii Walipotoa maoni kwenye kamati ya walikuwa wamevalia kaunda suti kwa kuwa wanajua ni nyakati zipi mavazi hayo huvaliwa. Jamii inapelekewa ujumbe gani"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1745023445916701066)  2024-01-10T10:03Z 70.2K followers, [----] engagements


"@elyneema @rotciv_leon Lazima kubishana mambo usiyoyajua Kuhusu mambo ya kanisa nimekaa darasani miaka mingi; najua tofati ya mavazi ya ibada na mavazi ya kawaida ya Maaskofu. Waulize wenzako kwanini wananiita baba Paroko. Sasa nitabishana na wewe wakati sina hakika kama unajua chochote eneo hilo"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1745063120874111096)  2024-01-10T12:40Z 68.8K followers, [--] engagements


"@5ketngya Basi acha kiherehere. Kila mtu ana hiari ya kuchagua anachokitaka"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1745355960200106178)  2024-01-11T08:04Z [--] followers, [--] engagements


"Kumbe tatizo ni kubwa kiasa hiki; limeingia hadi kwenye familia. Tuombe nusra ya Mungu dunia imefika pahala pabaya sana"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1746061531706503326)  2024-01-13T06:48Z 68.8K followers, 15.1K engagements


"@BabaMwita @PMadeleka @Mwabuk2Boniface @LusakoAlphonce @SuluhuSamia @ikulumawasliano @MariaSTsehai @IAMartin_ @ExMayorUbungo @YerickoNyerereT @Liberatus80 Nadhani jeshi lina wanasheria. Vinginevyo umewasaidia na umesaidia wengi kujua msimamo wa sheria kuhusu jambo hili. Kuna wanasiasa wanaotamani nchi yetu kuwa "banana republic" nchi yenye sheria lakini kila kiongozi anaibuka na jambo lake kinyume na sheria"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1746758835681812915)  2024-01-15T04:58Z 68.4K followers, [---] engagements


"@milkail Kila mtu atakushangaa mawe yanapotupwa nyumbani; unaongeza mawe upande wa warushaji. Hatuna nchi zaidi ya hii na tunapoingia ktk mtanzuko na majirani muhimu tujitazame na kutafuta tiba kabla ya kushabikia hoja zao"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1747129263902409176)  2024-01-16T05:30Z 68.8K followers, [--] engagements


""Some moral precepts are so obvious that they require no instruction at all such as the commands to love God and neighbour." (ST 1-2.110.11). Mambo mengine ya kimaadili yako wazi hayahitaji maelekezo kama amri ya kumpenda Mungu na jirani"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1747453881313837515)  2024-01-17T03:00Z 68.5K followers, [---] engagements


"Kama unafuatilia siasa hutakosa kujua - Kiongozi wa chipukizi. - Mkiti wa Taifa UVCCM -Mjumbe wa halmashauri/ kamati kuu. - Mbunge na Waziri. - Balozi. Anakijua chama chake hafanani na mwingine nje ya chama. Muhimu uzoefu na maarifa yake yakuze demokrasia nchini. @joeselasini Sawaaa. Lakini ni kwa kumbukumbu zipi ambazo zinaonyesha uwezo huo wa Bwana Nchimbi Sibishi lakini ni vyema nasi tungezijua. Maana jamii yetu imekuwa na ushabiki usiokuwa na evidence. Unapewa sifa za mtu "Yule jamaa jembe". Ukimfuatilia ni porojo wizi na viingereza tu @joeselasini Sawaaa. Lakini ni kwa kumbukumbu zipi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1747511719537045548)  2024-01-17T06:50Z 66.2K followers, [---] engagements


"Unaweza kumuona hapa alipokuwa chipukizi; ndio maana nilisema amekulia CCM. Huyu ni tofauti na Prof. MwanaCCM aliechomolewa chuo kikuu na kupewa chama. Ni mtulivu sana na mtaratibu nilikuwa nae bungeni akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Kwake CCM ni maisha yake. Atatusumbua sana"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1747516880011559245)  2024-01-17T07:11Z 67.7K followers, [---] engagements


"Hivi ndivyo makampuni na bank kadhaa nchini zilivyofilisika. Hawa wameshindwa kutofautisha siasa na biashara. Bila shaka wana mawazo kwamba bank itawaacha kwa kuwa ni wakereketwa wa chama. Tutajifunza lini kuheshimu kulinda na kuogopa kufuja mali ya umma"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1748344619065119148)  2024-01-19T14:00Z 67.8K followers, [----] engagements


"ZNZ ni nchi. Ina Rais serikali na bunge lake(Baraza la Wawakilishi) Hoja iwe kushusha au kuondoa kabisa sio kufananisha na ZNZ kufanya hivyo ni sawa na kufananisha na Malawi. Sera za afya ni tofauti. ZNZ wazee wanapewa posho kwa mwezi. Hiyo ni kazi ya bunge kuishauri serikali"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1748947628392415345)  2024-01-21T05:56Z 67.9K followers, [--] engagements


"Ni afadhali mmelisema ninyi (JWTZ); wapo wanazagaa kinao miaka mingi kila sekta hata kwenye siasa na wengine wamenunua ardhi kinyume na sheria. Hili la kuteuliwa linatisha maana ni dhahiri wanaofanya upekuzi miongoni mwao ni hao hao sasa wanaipotosha mamlaka ya uteuzi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1749688649459827007)  2024-01-23T07:00Z 68.8K followers, [--] engagements


"@MundiVir Kweli kabisa walinzi wetu wakilalamika hivi tuna usalama gani Kutuambia inasaidia nini zaidi ya kuongeza hofu. Hapa Moshi Manispaa enzi za JPM kuna Warundi walikuwa watumishi wa halmashauri"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1749691208694174199)  2024-01-23T07:11Z [--] followers, [--] engagements


"@Comrade_Aku Mkuu wa Majeshi (CDF) ahisi tu. Unafahamu ana vyombo gani wa wataalam gani wa uchunguzi nyuma yake"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1749716340640780389)  2024-01-23T08:50Z 70.3K followers, [--] engagements


"Mapokezi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM mjini Moshi 22.1.2024. NI KWELI Moshi ni pagumu. Waliojitokeza ktk mapokezi ni viongozi na bodaboda. Ktk hali hii utasikia CCM imeshinda kwa kishindo. Iko siku tutalia na kusaga meno tusipoheshimu maoni ya wananchi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1749740573819363825)  2024-01-23T10:27Z 68.8K followers, [--] engagements


"Hivi karibuni vyombo vya habari vilitoa taarifa za kukamatwa kwa mabinti wenye asili ya Kiasia Masaki. Kazi yao kucheza ngoma za kwao wakiwa watupu. Je Waliingia vipi nchini Nani aliwaleta Walipata vipi vibali vya kazi Wameshaondoka nchini Ni hao tu au wapo wengine"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1749855728213324086)  2024-01-23T18:04Z 70.2K followers, [--] engagements


"Mizaha tunayofanya kuendekeza rushwa na kuvunja sheria za nchi kwa tamaa kunaweza kuiingiza nchi pabaya. Kwa njia hiyo watu wanatusona na kupeleka taarifa wanakotaka. Tumekuwa na tabia ya kutoa taarifa kwamba mipaka ipo salama lakini vyombo kama"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1749855734127317159)  2024-01-23T18:04Z 68.4K followers, [--] engagements


"@Kaijagechange @kighera50 Mjomba anajua huku ukisema mauwa utaletewa kata ya mbege kwanza baadae mapande ya nyama ya mbuzi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1750163306352877977)  2024-01-24T14:27Z 67.3K followers, [--] engagements


"Tanzania tuna 'haki' ya kufungwa au kutoingia kwenye the best [--]. Tuna mzaha sana; baadhi yetu kutekwa akili na wasanii au comedians kana kwamba ndio wajuzi wa kila kitu; ktk siasa na michezo. Kwa kifupi "we are not serious" kwenye Mambo ya msingi .God forbid"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1750559039082188891)  2024-01-25T16:39Z 67.7K followers, [--] engagements


"@Mwalim_Junior Kwani hujui ZFF sio mwanachama wa FIFA na CAF kwa kuwa huko inatambuliwa Tanzania kama nchi Kwani kuuna ligi ya JMT kama nchi nani anazuia ili kupata vipaji kutoka ZNZ"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1750796827073339405)  2024-01-26T08:24Z 70.2K followers, [--] engagements


"Enzi za"hapa kazi tu" watumishi walibadilika sana. Wakati huu wa " kazi iendelee" wameamua kutengeneza urasimu na uzembe wa kutosha ktk sekta zinazowahusu wananchi"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1750891788145922510)  2024-01-26T14:41Z [--] followers, [--] engagements


"@Paulmganyizi1 @Dr_DGwajima Tunaharibu sana maadili ya taifa kwa ujinga kama huu. Wangehamasisha akinamama wenye matatizo na wazazi wenza waende:- [--]. Kwa wasuluhishi ndani ya familia. [--]. Taasisi ktk dini zao. Ikishindikana; [--]. Ustawi wa jamii. [--]. Polisi jamii. [--]. Taasisi za kisheria zenye dhamana hiyo"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1750912603163955547)  2024-01-26T16:04Z 68.8K followers, [--] engagements


"@Kilua_Musa @maendeleoyajami @mkandamizaji @rollymsouth @ElionaKimaro Unaeleweka lakini kwa njaa zetu tayari wapo watu wanatajirishwa na ujinga huu. Hao Wazungu wanaingiaje nchini na mzigo wa vitabu vyenye maudhui hayo bila kuhijiwa Tupige vita vya rohoni na tudhibiti njaa zetu pia. Watu wanauza nchi kwa kutafuta pesa za anasa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1752979006658380185)  2024-02-01T08:55Z 70.2K followers, [--] engagements


"@cosmas_kayamba @MwlMusa 😀😀😀😀😀 Kama anaona sawa aende hapo Nairobi na suruali na shati la pinck kama hajakumbatiwa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1753032548962210165)  2024-02-01T12:28Z 70.3K followers, [--] engagements


"@fatma_karume Unachotaka kusema siku tukilikamata shoga moja la Kizanzibari Kariakoo basi tusema Wazanzibari wote ni mashoga wanaeneza ushoga bara sio Kwanini kama kuna kosa lililofanywa na mmoja lihusishe kabila zima Zamani wizi ukotokea ZNZ mlikuwa mnadema ni watu wa bara. Huu ni ubaguzi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1753212545408618650)  2024-02-02T00:23Z 70.3K followers, [--] engagements


"Haki haiombwi inapiganiwa. Unamkamata mtu bila kujitambulisha kutaja kosa lake kumeambia unampeleka wapi kama sheria inavyotaka lazima kinuke. Watanzania wote mjue hivyo. PGO inamtaka polisi afanye hivyo. Wamasai wanawakumbusha tu. WANAUSALAMA fanyeni kazi kwa mujibu wa sheria"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1753280177130410074)  2024-02-02T04:52Z 70.3K followers, [--] engagements


"Silaha za Maasai sio za shari. Nyingine ni ishara ya yasiyoonekana lakini yanayoendelea. Waacheni na mapambo yao. Kama hapa ni wakubwa tu wataelewa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1753815668980334716)  2024-02-03T16:20Z 70.3K followers, [--] engagements


"Mhe Rais @SuluhuSamia vijana Tongolani Mavura Victor Tesha Godlisten Malisa Joram kumbi. wanafaa kutumikia zaidi ktk Taifa. Ni wenye hoja objective na wanaojua ku-interact na kila kundi. Hawa ni nyara na hazina kwa Taifa. Tusisubiri kulia kama kwa Thadeus Ole Mushi. Asante"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1755923714560934065)  2024-02-09T11:56Z 70.5K followers, [--] engagements


"Umevipiga vita vingi kwa ajili ya nchi yako hadi kuhamia upinzani kabla ya kurudi tena ktk chama chako. Ulionyesha mfano wa kuwajibika kama kiongozi mambo yanapoharibika. Umetuachia mengi ya kujifunza. Mungu akupe furaha ya milele mbinguni"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1756329833645138376)  2024-02-10T14:50Z 70.6K followers, [--] engagements


"Kamati ya Richmond ya Mhe Dr. Mwakyembe haikumtia hatiani kwa ufisadi. Hata hivyo alijiuzulu kumwokoa Rais Kikwete na chama chake ktk aibu. Waliomtangaza na kuimba nyimbo za ufisadi walikurupuka. Ukweli usemwe tu. Lowasa alikuwa statesman. Apumzike kwa amani. Amina"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1756660401805103508)  2024-02-11T12:44Z 70.7K followers, [--] engagements


"😭😭😭 Hili ni darasa la kutosha kwa wote"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1757409489433526457)  2024-02-13T14:20Z 88.5K followers, 20.7K engagements


"@davitheempire Nadhani anajutia kwa kukosa nafasi ya kuomba radhi. Umefika wakati tuachane na siasa za kuchafuana. Tupambane na wazushi wenye kazi ya kutangaza mambo yasio na ushahidi wala ukweli ili kuwachafua wengine. Kuwa na pesa au tajiri sio kukosa uzalendo wizi au kukosa sifa ya uongozi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1757776489724920123)  2024-02-14T14:39Z 70.7K followers, [--] engagements


"@YerickoNyerereT @PascalMinja4 Masoko makuu yakiwa Bagamoyo na Zanzibar. Wazungu wao walikuwa wezi wa madini na vito lakini Waarabu waliwakamata ndugu zetu na kuwauza(kuwapiga mnada kwa hao wazungu)"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1757779143054254265)  2024-02-14T14:49Z 70.7K followers, [--] engagements


"@ayubu_madenge Hata sasa atapumzika kwa amani kwa kuwa roho yake inaishi milele ikisubiri kuvikwa na Mungu mwili mtukufu hivyo hakuna kinachoipita ingawa haijihudishi tena na mambo ya kidunia"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1757787086881485045)  2024-02-14T15:21Z 70.7K followers, [--] engagements


"Upadre wa Dr. Slaa ni historia ya cheo alichowahi kuwa nacho. Papa JohnPaul II alikubali maombi yake kiacha upadre ili kufunga ndoa. Pili hakuna anaeweza kumuingiza mtu mbinguni. Mt. Augustino alisema; "Mungu aliyekuumba bila kutaka hawezi kukuokoa bila kutaka." Angetulia tu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1757830833929359481)  2024-02-14T18:15Z 70.8K followers, [--] engagements


"@Sharb84 Kama ulivyomjibu @omary777770 kwamba sio mkatoliki unajua Dr. Slaa mkatoliki amamuongelea Lowassa ambae ni Mluteri na Waluteri hawaamini ktk kuombea marehemu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1757844456961724704)  2024-02-14T19:09Z 70.7K followers, [--] engagements


"@Pendojory @ayubu_madenge Hata kama zipo na pia entitlement zake kama waziri mkuu mstaafu lakini kuna processes zinazoweza kuchelewesha. Pesa za serikali hazichotwi kama maandazi. Pia tambua nchi zote jina la Rais lina fast track jambo lolote hata upatikanaji wa madaktari"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1759084156238143810)  2024-02-18T05:15Z 70.9K followers, [--] engagements


"Na ndio maana alipata matatizo. Kuna msemo wa kiingerexa "Always don't outshine your master." Lowassa alikataa ujinga huo. Kama master ni mtupu piga kazi akikuzingua mwachie kazi yake. ELIMU imeacha shule za kata UDOM vyuo vya elimu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1759088635620499695)  2024-02-18T05:33Z 70.9K followers, [--] engagements


"Vijana wengi wanateseka; wanateswa na baadhi yao wanapata msongo wa mawazo. Wengine hasa walio kazini wanageuka wala rushwa wabadhirifu wa mali za umma hata wezi ili kuridhisha viumbe hawa. Waliojiajiri mitaani mitaji inakata kwa ajili ya usumbufu huu. Badilikeni hayo yanapita"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1759611826013188583)  2024-02-19T16:12Z 71K followers, [--] engagements


"@YohanaLulyeho Sasa alieweka hiyo atuonyeshe pia ushahidi kwamba hiyo saa imenunuliwa kwa bajeti ya serikali. Rais ana mshahara na marupurupu yake; na pengine investment zake na za familia yake. Anakatazwa kununua chochote anachotaka"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1760306828246749394)  2024-02-21T14:13Z 71K followers, [--] engagements


"Bei ya sukari na uhaba wa sukari unatengenezwa na watu wasiozidi wanne wakishirikiana na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Kilimo wanaohodhi vibali. Nadhani hata Shirika la Sukari ni mbwa asie na meno. Bora serikali ije na mfumo mpya kuondoa huu wizi na unyonyaji"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1760668114620915756)  2024-02-22T14:09Z 71.1K followers, [--] engagements


"@lawrenceElix @EduTalkTz @mrembo_og Baba mtumishi ni kutokana na uchumi wa nchi hizo na dhamira ya kuachana na matumizi ya hovyo. Ondoa magari ya kifahari ondoa semina na safari zisizo za lazima ndani na nje ya nchi nk hivi unajua hata hapo ZNZ wazee zaidi ya miaka [--] wanapata posho"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1760675242694099454)  2024-02-22T14:37Z 71.1K followers, [--] engagements


"Ushauri wa kijinga na kitoto kutolewa na msomi. [--]. Bashe alitumia Ramadhan kama reference point tu. [--]. Kauli dhidi yake sio msimamo wa Wakristu. [--]. Viongozi wanashauriwa kuchagua maneno na wakati. [--]. Sukari inahitajika uhaba wake ni kero. [--]. Bashe umeeleweka Fatma ni mchochezi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1760970791586509247)  2024-02-23T10:12Z 71.1K followers, [--] engagements


"Sisi wakatoliki hatuna nyongeza ya vyakula kama wenzetu wakati wa kufuturu au kula daku. Msingi wetu mkuu ni kuutiisha mwili na kuupa niidhamu na kutambua wapo ambao hawapati hata mlo mmoja hivyo tuwasaidie tunachojinyima baadala ya kujiongezea"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1761291557884264726)  2024-02-24T07:26Z 71.1K followers, [--] engagements


"Ukimaliza ubishi huo ujue Yesu hakuja na Biblia wala hakuhubiri na kufundisha kwa kutumia Biblia. Biblia unayofanya rejea ni kitabu cha Wakatoliki na huwezi kukijua kuliko wao walio ki- compile"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1761433191066325038)  2024-02-24T16:49Z 71.1K followers, [--] engagements


"@JoelJam10926275 Yeye ndio rejea yenyewe. Wakatoliki waliandika alichodmfanya"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1761442869171179605)  2024-02-24T17:28Z 71.1K followers, [--] engagements


"Naheshimu mawazo na akili yako; una wajibu wa kujua kila mmoja humu ana akili na yuko huru kwa kile anachoamini. Hakuna mkamilifu na siamini kuwa mpinzani mzuri ni lazima kupinga hata kinachoonekana au kutafuta mababaya kila mara. Hata aliyejenga uwanja peke yake haukutoa matokeo"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1761986429033574802)  2024-02-26T05:27Z 71.2K followers, [--] engagements


"@ExMayorUbungo Umeandika vizuri sana. Watu wavivu wanapupia mambo bila kujua wanaharibu biashara au heshima za wengine. Mzee Basilei Khatibu Mrema ni Mjomba wangu alihamia hapo pakiwa pori akitokea kwenye hoteli yake mtaa wa Swahili Kariakoo miaka ya [--]. Kituo cha changudoa kilikuwa ZAMBEZI"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1762031969473356167)  2024-02-26T08:28Z 71.2K followers, [--] engagements


"Nchi yetu ina uwezo wa kuanzisha viwanda vya sukari kila mkoa. Sukari inadhibitiwa na wafanyabiashara wachache wanaojulikana na ndio wanaozuia kila kitu. Hali hiyo iko hata kwenye ngano. Kwanini mashamba ya Basuto na kitulo Mbeya yasilime ngano ya kuitosheleza nchi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1762117151953957200)  2024-02-26T14:07Z 71.2K followers, [--] engagements


"@siadevinci Kuna mwekezaji alichukoa Kilombero aa nadhani ILOVO akataka kuongeza uzalishaji akafanyiwa figisu akakimbilia Zambia. Sasa hivi sukari Zambia kg moja haivuki 2000"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1762163150407774398)  2024-02-26T17:10Z 71.2K followers, [--] engagements


"Huku ikiwasumbua sana hamieni Burundi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1762175639602221352)  2024-02-26T17:59Z 71.3K followers, [--] engagements


"JNHPP aliiacha ikiwa imefikia 35% SGR inasuasua mwezi huu WB na ADB wametukopesha. JPM alianzisha akitegemea kupora matajiri akisema tunajenga wenyewe miradi ikakwama. Hata mtu anaichukia serikali hii hawezi kuacha kupongeza juhudi za kuiendeleza miradi hii hadi kukamilika"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1762342114719842775)  2024-02-27T05:01Z 71.2K followers, [--] engagements


"Kwa hiyo Waziri Mkuu atazunguka nchi nzima Sasa haishangazi kwanini Waziri anakwenda kujagua ujenzi wa kisima wakati DC yupo kazini. Fukuza wote iwe fundisho. Ktk hali kama hiyo hata nchi akipewa malaika atahujumiwa tu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1762589482870510070)  2024-02-27T21:24Z 71.2K followers, [--] engagements


"@hakaido2 Nchi zote zinazotuzunguka;tena landlocked countries sukari imejaa tena kwa bei isiyozidi 2500/= Zanzibar ni 2500/= na Rais ameondoa kodi ya VAT. Sisi mazoea ya wizi rushwa kuogopana nk vinatufanya kulialia tu na kuwaonea wafanyabiashara wadogo"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1762717473806184468)  2024-02-28T05:52Z 71.2K followers, [--] engagements


"@lifeofmshaba @VijanaTzz Huyu ni katili hasa. Akiwa DC Serengeti bila huruma alichoma nyumba kibao za wakazi. Sishangai kusema hivyo na bado atasema mengi. "Jasiri haachi asili." Aibu kubwa ktk kipindi ambacho Rais anahubiri maridhiano"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1763874958432698422)  2024-03-02T10:32Z 71.3K followers, [--] engagements


"@thomasjkibwana Huko Arusha baba yake anafoka maeneo waliyochagua wapinzani yasipelekewe huduma. Ameshasahau ukatili aliowaganyia watu wa Hai kama babake alivyosahau ukatili aliofanya kwa watu wa Serengeti"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1764153260061950258)  2024-03-03T04:58Z 71.4K followers, [--] engagements


"@motatiirho @TanzaniaInsight Mkoa wa Kaskazini Unguja. Zanzibar city ni mkoa wa Mjini Magharibi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1764156414514114904)  2024-03-03T05:10Z 71.4K followers, [--] engagements


"Kumbukumbu za ziara ya Baba Mtakatifu Yohanne Paulo II nchini Tanzania. Rais Ali Hassan Mwinyi ndiye aliyemwalika nchini. Ilikuwa historia kwa kuwa hakujawahi kutokea ziara ya Baba Mtakatifu nchini kabla hata baada ya Mwinyi. Apumzike kwa amani. Amina"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1764186198476574918)  2024-03-03T07:09Z 71.3K followers, [--] engagements


"@nyuki_malkia Utaalam wako wa kuongelea ngono umekufanya kukosa hoja hadi kuingia kanisani Waacheni watumishi hao wa Mungu endeleeni na ngono zenu mtakavyo maeneo mengine"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1764525243719172261)  2024-03-04T05:36Z 71.4K followers, [--] engagements


"@Sharb84 @Jambotv_ Vyama nchini vimechukua baadhi ya mambo ktk katiba ya CCM. Hilo la vipindi viwili vya miaka mitano ni mojawapo. Ina maana CCM wakiamua miaka saba bendera itafuata upepo Kila chama kina uhuru kuwa na utaratibu wake hadi hapo mhusika atakapovunja katiba yenyewe au kukosa maadili"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1764556187024982067)  2024-03-04T07:39Z 71.4K followers, [--] engagements


"@Sharb84 @dsonthegm @kighera50 @SnrDirector Humezidisha mbwembwe bro. Vihamba vyenyewe kama kiatu baadalq ya kuwaachia watoto ardhi tutawaachia makaburi ya zege"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1764896341145112639)  2024-03-05T06:10Z 71.4K followers, [--] engagements


"@Sirjeff_D "Aliwachinja" una maana gani Mbona baadhi yao wanajulikana na walifariki vifo vya kawaida Mambo mengine mnatafuta kujengea wengine chuki kwa sababu ya dhana na uchochezi wa kiimani usio na faida yoyote kwa jamii"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1765180438039888103)  2024-03-06T00:59Z 71.4K followers, [--] engagements


"Mnadhani hili ni jambo la sifa kwa mke wa Rais Mstaafu anaelipwa posho kibao kwa mujibu wa sheria nje ya posho anazolipwa mumewe Ni nini kinachomsumbua Au huko jimboni hakuna mwakilishi bora zaidi yake"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1766513523738239289)  2024-03-09T17:16Z 71.6K followers, [--] engagements


"@DChevichenko @IAMartin_ Sasa mbona koo nyingi mabinamu wanafunga ndoa kabisa Laana ni yule wa mama au baba mmoja. Hebu fanya utafiti kwa Wahindi na Waarabu. Vijana fanyeni mambo ya kujenga nchi. Hilo unalotaka kufanya tayari umeanza vibaya. Huku Pwani huwa wanasema binamu ni nyama ya hamu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1766736469274587594)  2024-03-10T08:02Z 71.6K followers, [--] engagements


"Huyu kifo ndicho kitakachomwondoa madarakani au watokee waasi ndani ya jeshi wamwondoe kwa nguvu kama yeye alivyofanya. Hii ndio typical mentality ya viongozi wengi Afrika"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1766775097128325192)  2024-03-10T10:36Z 71.6K followers, [--] engagements


"Haki sawa imemtokea puani.😂😂😂😂😂"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1766795238985683075)  2024-03-10T11:56Z 71.6K followers, [--] engagements


"@TitoMagoti Chama chochote cha siasa kinajengwa na kuchangiwa na wanachama wake wenye moyo mapenzi na wenye kuijua dhamira yake. Hebu fikiria umati ulioandamana kuitikia wito wa Chadema ktk majiji yote TZ kila mmoja angelipwa ingekuwaje"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1767211515352920365)  2024-03-11T15:30Z 71.6K followers, [--] engagements


"Can you imagine what Americans and Europeans are teaching their students in school This is Erasmus university in Netherlands. How I wish this will get to the ears of our kids & parents I wept inside for the future of Africans & the generation unborn when I listen to this"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1768499114050818517)  2024-03-15T04:47Z 72K followers, [----] engagements


"@ReganTesha_ @ummymwalimu Waziri @ummymwalimu yuko wizara ya afya. Kama uliikusudia wizara ya kilimo waziri wake ni @HusseinBashe"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1768660470901117059)  2024-03-15T15:28Z 71.8K followers, [--] engagements


"Ukustaajabu ya Mussa subiri ya Firauni. Labda ni mambo ya virutubisho haya. Ya Rabbi wanusuru watoto na wajukuu zetu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1769589514547143085)  2024-03-18T04:59Z 71.9K followers, [--] engagements


"Una maoni gani"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1770714261389467738)  2024-03-21T07:29Z 71.9K followers, [--] engagements


"@Shirazi293 @Jemedari_ @millardayo @giantrjh Sawa kwa hivyo Makamu wa Raia ni muongo sio Unadhani kila kitu ni lazima ucomment Tafuta hotuba na maagizo ya Makamu wa Rais kabla ya utetezi wako"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1771406874094747792)  2024-03-23T05:21Z 72K followers, [--] engagements


"@Ndolezi_Petro @Sangetison @zittokabwe Hapo alikataa au alielekeza ipelekwe kwenye taasisi yake Yaani baadala ya kupitia ktk acct yake ipitie kwenye NGO yake tofauti iko wapi"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1771590044978946301)  2024-03-23T17:29Z 72K followers, [--] engagements


"@Paulmganyizi1 Ni ujinga mkubwa kuhangaika na imani isiyo yako. Waache walioamua kuamini hayo waendelee na mambo yao"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1772074460763275613)  2024-03-25T01:34Z 72.1K followers, [--] engagements


"Ni jambo jema ku-retweet hii hadi iwafikie wenye mamlaka taasisi za elimu ya juu na za technolojia ili huyu kijana aibuliwe na kusaidiwa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1772185072692535766)  2024-03-25T08:53Z 72.1K followers, [--] engagements


"Huu ni uhalifu sio dini. Wanazuoni wanajua hakuna anaefunga kwa ajili ya jamii bali mfungaji anatekeleza nguzo ya dini na maagizo ya Mungu anaemuwamini; ni uhusiano wa mfungaji na Mungu sio jamii. Hii isipokemewa inaweza kuzua tafrani mitaani"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1773579119806054646)  2024-03-29T05:13Z 72.2K followers, [--] engagements


"@hakaido2 Mbona hushangai hao wanaopiga wenzao kwa ajili ya kula na wanaosema futari ni ibada ya waamini; wakati futari na chakula kingine mwisho wake ni chooni Mungu fundi ujue"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1773957891243884584)  2024-03-30T06:18Z 72.2K followers, [--] engagements


"@bellius_ba82387 Hebu sema kwa Kiswahili una maana gani Hii lugha ya kuletwa ya Malkia utadhalilika. Hayo ni maneno ya Kiingereza lakini sio Kiingereza"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1774365204412862792)  2024-03-31T09:16Z 72.3K followers, [--] engagements


""Bali sasa mkiisha kumjua Mungu au zaidi kujulikana na Mungu kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge yenye upungufu ambayo mnataka kuyatumikia tena Mnashika siku na miezi na nyakati na miaka." Wagalatia 4: 9-10"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1774789070830367088)  2024-04-01T13:21Z 72.5K followers, [--] engagements


"Muulizeni kilichotokea hadi akavamiwa na kutaka kupigwa hadharani baada ya jaribio la risasi. Huyu amejijengea chuki na watu wengi sasa anataka kujificha ktk koti la siasa ili kutafuta sympathy"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1775070243506852323)  2024-04-02T07:58Z 72.3K followers, [--] engagements


"Ile radio yao ORS-TERRET bado ipo Tunapashwa kuacha kuchanganya siasa na mambo mengine mitaani. Ndio maana polisi wanatakiwa kuwa makini ktk kuchunguza kila tukia. Kuna matukio:- [--]. Uzushi. [--]. Kutafuta politicsl millage. [--]. Visasi. [--]. Matukio ya kijsmbazi. [--]. Yale ya kisiasa"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1775078069524472006)  2024-04-02T08:29Z 72.3K followers, [--] engagements


"Hao wageni nao walikuwa mitaani wakivuta bangi Utawala wa sheria ni muhimu ktk nchi acheni siasa; mlifanya makosa waombeni radhi na kurejesha pesa zao"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1775100548947030455)  2024-04-02T09:58Z 72.3K followers, [--] engagements


"@jemedarisaid Kuna mambo ya ajabu sana yanafanywa na watu wenye akili. Hamkuwa na mpango. Hamkuomba. Mnakurupuka kubaguliwa baada ya wenzenu kuomba na kupewa. Sababu za kuomba hamzijui labda wenzenu wamefulia. Kwani hii ni mara ya kwanza uwakilishi kufanywa na Simba bila msaada wa serikali"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1775421316587262351)  2024-04-03T07:13Z 72.4K followers, [--] engagements


"@Jambotv_ 😂😂😂 Huyu Monaban si ni yule mfanyabiashara ambae JPM alimnyanganya yale ma-godown ya NMC Si ni yule aliyejenga juu ya reli ya Moshi-Arusha mjengo aliojenga ukabomolewa Si yule alieshindwa kura za maoni za ubunge wa AR-Mjini chini ya CCM Kumbe sasa ni Askofu 😂😂😂"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1776998991902724249)  2024-04-07T15:42Z 72.5K followers, [--] engagements


"@kighera50 @Jambotv_ Anafundisha Ukristu gani huyo Pale Arushasijui kama kuna wa kumsikiliza. Hawa ndio watakuwa washauri. Wa RC Makonda sio. 😂😂😂"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1776999954818457674)  2024-04-07T15:46Z 72.5K followers, [--] engagements


"@CarolNdosi Graduate anapokuwa chawa kiasi hiki unadhani sababu ni nini Ni lazima kumtangaza kila unaemuombea au anaeombewa Wakatoliki wenzangu wanajua ni wajibu kuwaombea viongozi ijumaa kuu kulikuwa na maombi maalum; lakini tukitoka makanisani tumemwachia Mungu afanyie kazi maombi yetu"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1777027757488116056)  2024-04-07T17:36Z 72.5K followers, [--] engagements


"@k3nzoE @CarolNdosi Ukiachana na huyu ulikwishawahi kuona mtu yeyote aliyetoka kanisani au msikitini akatangaza maombi yake hadharani"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1777044146366124301)  2024-04-07T18:41Z 72.5K followers, [--] engagements


"Na ukizingatia yeye na kundi lake baada ya kuangusha ile ndege ya Marais wa Rwanda na Burundi na kuwauwa na baada ya kumuuwa yule Mama Makamu wa rais aliyeshika nafasi ya Urais kwa saa [--] ndipo chuki na mauwaji ya kimbari yalipoanza. Kwangu Kagame ni miongoni mwa wauwaji"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1777246870303014954)  2024-04-08T08:07Z 72.5K followers, [--] engagements


"@Sharb84 Inaweza kuwafanya wachambuzi kuwatilia shaka viongozi na watendaji kwamba ajira zao hazitokani na uwezo au weledi bali zina walakini"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1777401702808752419)  2024-04-08T18:22Z 72.5K followers, [--] engagements


"@Pilato63837Jr Najielewa kuliko unavyodhani. Labda hujasoma hayo matusi. Natamani yaelekezwe kwa mama yako. Hakuna raia yeyote mwenye haki ya kumtukana mtu yeyote matusi ya nguoni kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au kiutendaji"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1777705353385218228)  2024-04-09T14:29Z 72.5K followers, [--] engagements


"@Kirikuu20 Mimi sio Muislam naweza kusema hakuna ubaguzi hapo. Kitendo cha kubusu mkono kwa huyo mzee ambae katoka hija hawezi kukikubali kwa kuwa kinaashiria utukufu. Mtukufu ni Mungu pekee. Mwijaku amekurupuka na mambo yake ya bongo"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1777778059178856450)  2024-04-09T19:18Z 72.5K followers, [--] engagements


"Kwa ufasaha wa rejea soma hiyo sehemu ya katiba"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1778509508676886866)  2024-04-11T19:44Z 72.6K followers, [--] engagements


"Sasa utaratibu ni lazima bunge liondoe hicho kifungu kwa theluthi mbili za wabunge wa bara na theluthi mbili za wabunge wa ZNZ. Baada ya hapo sheria irudi bungeni maana marekebisho yaliyofanywa ni batili. Bunge lenye mwanasheria mkuu wa serikali na majaji ktk tume hawakuona hili"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1778510615239086399)  2024-04-11T19:49Z 72.6K followers, [--] engagements


"Hii ni dharau kubwa kwa dola. Nadhani imefika hatua huyu awekwe chini na wazee wamkanye. Tusema Makonda ana uwezo wa kiuchunguzi kuliko vyombo vya dola vinavyomlinda Rais Au vinaripoti kwake Hapana this is too much. Hawezi kumfikishia Rais kama ni kweli hadi aseme hadharani"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1778761386610307516)  2024-04-12T12:25Z 72.7K followers, [--] engagements


"@Sharb84 😂😂😂 Hii ni hatari yaani Makonda ana information kuliko usalama"  
[X Link](https://x.com/joeselasini/status/1778774858450563074)  2024-04-12T13:19Z 72.6K followers, [--] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@joeselasini Avatar @joeselasini Mamwavi_Nkabasia

Mamwavi_Nkabasia posts on X about mambo, bali, tanzania, kwanza the most. They currently have [------] followers and [---] posts still getting attention that total [-----] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [-----] #

Engagements Line Chart

  • [--] Week [------] +13,046%
  • [--] Month [------] +207%
  • [--] Months [-------] +39,101%
  • [--] Year [-------] -4.10%

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

Followers: [------] #

Followers Line Chart

  • [--] Month [------] +0.26%
  • [--] Months [------] +2.20%
  • [--] Year [------] +4.20%

CreatorRank: [---------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries travel destinations currencies finance technology brands automotive brands social networks celebrities

Social topic influence mambo, bali #837, tanzania, kwanza, sana, ipo, leo, cha, zanzibar, mali

Top assets mentioned Mambo (MAMBO) Jesus Coin (JESUS) Terra (LUNA)

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"CDF aliamua kuweka mguu chini ile figisu ya kutaka SSH asirithi kiti cha urais isifanikiwe. CDF aliilinda katiba kwa nguvu zote. Sasa SSH amekubali kudanganywa mahakama inayumbishwa ilhali kuna msimamo wa mwanasheria mkuu ambae kauli yake ndio msimamo wa serikali"
X Link 2023-06-28T07:31Z 76.5K followers, [--] engagements

"Wakatoliki hatufanyi siasa ktk mambo yanayohusiana na ibada. Kufika Vaticankusali St Peters au kuongea na Papa dk. [--] sio kufika peponi. Wapo wengi wanaofanya hija hawajitangazi. Huna tofauti na Farisayo aliyejisifu mbele ya Yesu. Imeandikwa msalipo ingieni chumba cha siri"
X Link 2023-08-27T14:52Z 68.8K followers, [----] engagements

"Mungu alimnyangua kitandani Nairobi hosp; ndie anayempa ujasiri wa kutembea ktk ktk ya mamia ya watesi hawa bila hofu. Kupita kwake wananchi wanaendelea kupata ujasiri. @tanpol acheni hii michezi mtaliingiza taifa ktk balaa. TZ na Rwanda pekee tumesakia kuchezea demokrasia"
X Link 2023-09-11T01:22Z 68.4K followers, [--] engagements

""EWURA INASHIRIKIANA NA WEZI KUTUIBIA WATZ" 6.9.2023 Ewura ilitangaza kupanda bei ya Mafuta ya Petroli Diesel TZ bara. Sababu kupanda kwa bei ya mafuta soko la dunia. 8.9.2023 Mamlaka kama hiyo ZNZ (ZURA) ilishusha bei kwa [--] sababu ya kushuka bei soko la dunia"
X Link 2023-09-11T04:06Z 68.4K followers, [---] engagements

"Somalia Northern Nigeria Wakristu na Mapadre wanauwawa na makanisa kuchomwa. Sudani huko Darfur; Lohinja Burma Misri wakristu wanachinjwa. Zaire watu mil [--] kwa taarifa za UN wameuwawa Siera LeoneVijiji vya wakristo Niger vinashambuliwa kila siku nk. Mbona sijasikia tamko"
X Link 2023-10-20T06:39Z 66.2K followers, [----] engagements

"Angalia kwa makini; gari imewasha taa (indicator) kuashiria inakoelekea lakini dereva wa bodaboda sio mwangalifu. Hata hivyo chanzo cha ajali kitaonekana mwishoni. Hawa viumbe wanawachanganya sana baadhi yetu"
X Link 2023-10-27T05:26Z 66.2K followers, [----] engagements

"Mradi wa mwendo kasi ni wazo jema lililochelewa lingeondoa kero za usafiri na kuinua uchumi wa nchi. LEO nimeamua kufuatilia hii kero. Mradi umekuwa jipu. Mabus yanachelewa sana ni machache na tayari vandalism ni kubwa baadhi ya vituo. Hatiwezii kusimamia mabus tutaweza nini"
X Link 2023-11-03T10:05Z 66.5K followers, [----] engagements

"Kwenye hafla Johannesburg SA Rais wa Young ASC Eng Hersi amekutana na Rais wa FIFA Gianni Infantino na mwenyeji wake Rais wa CAF Motsepe. Miongoni mwa mambo ambayo Gianni Infantino aliyauliza ni matokeo ya Derby ya Kariakoo iliyochezwa Novemba [-----]. BOOM FIVE🖐😂"
X Link 2023-11-12T05:37Z 66.8K followers, [---] engagements

"Angeuliza hivyo angeeleweka; kufananisha na nyumba ya familia amekosea. Tunaoifahamu familia yao iliyoshiriki kumchangia Mwl. Nyerere kwenda UNO kudai uhuru wa Tanganyika ina nyumbani London na maeneo mengi duniani. Wanazo ndio maana Free anajitoa ktk baadhi ya mambo ya chama"
X Link 2023-11-13T05:57Z 70.2K followers, [---] engagements

"Tuliokulia vijijini tulifundishwa kugawana chochote tulichopata. Hakukuwa na uchoyo wala udanganyifu. Baada ya kusoma mambo yamebadilika chetu kinabaki chetu na cha umma nacho kinakuwa chetu. Ufisadi rushwa na kujilimbikizia mali na pesa. Vijana wasipoamua nchi itabaki ukiwa"
X Link 2023-11-15T06:48Z 66.9K followers, [---] engagements

"Bi Laura ADSHEAD girlfriend wa zamani wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameroon; ameacha maisha ya ulevi na kubwia unga. Sasa ni Mtawa ktk Kanisa Katoliki. Tuwaombea na kuwapa ushauri nasaha watoto na ndugu zetu wenye uraibu wakati wa Mungu ukifika watabadilika"
X Link 2023-11-19T12:07Z 70.3K followers, [---] engagements

"Acha yapigwe marufuku unafiki umekuwa jadi yetu. Sudan Kusini kundi la "Janjaweed" linauwa watu kama kumbikumbi kila siku. Wiki mbili zilizopita ilikuwa balaa. Congo Libya Eritrea nk. "Prof charity begins at home." Kuna maana gani kumpambania jirani wakati kwako unateketea"
X Link 2023-11-19T12:50Z 67.1K followers, [---] engagements

"@EliahTugara 😂😂😂 Jaribu kuelewa kilichoandikwa basi dogo. Hata huko Congo pamoja na vita wanaoamini Wakristu kwa Waislam hawajaacha kusali"
X Link 2023-11-19T15:23Z 67.1K followers, [--] engagements

"Bila kumtanguliza Mungu hakuna kinachowezekana. Kiongozi awe mstari wa mbele aonyeshe mfano. Natamani safu ya wachezaji Wakikristu na watu wote kuiga mfano huu. Mungu awape hitaji la mioyo yenu awafungulie mafundo yote ktk njia zenu na awaepushe na shari zote. Amina. @EngHersi"
X Link 2023-11-20T04:50Z 67.1K followers, [---] engagements

"@siyagaenock1 Endelea kukataa maana huna taarifa za kutosha. Huujui mkutano wa tarehe [----]. [----] Diamond jubilee chini ya Uenyekiti wa Marehemu Pro. Mwesiga Barefu uliotoa maazimio yaliyomfanya Mwinyi kukatisha ziara yake Berlin na kurudi TZ.kunda tume ya Nyalali. Elimu nusu ni sumu"
X Link 2023-11-20T06:53Z 67.1K followers, [--] engagements

"@palamasya @yahayaomary Mwaka [----] akiwa Waziri wa Mambo ya ndani baada ya polisi kufanya mauwaji Shinyanga. Nani ktk uongozi aliyewahi kufanya hivyo"
X Link 2023-11-20T07:11Z 67.1K followers, [--] engagements

"@mussa2014_ Pope Francis in his leadership has coursed confusion and there are now conflicting interpretations of some basic issues which can cause division. @BishStrickland removal from the office is one of the biggest discussions in the church"
X Link 2023-11-21T08:15Z 67.2K followers, [--] engagements

"@mussa2014_ @BishStrickland Infallibility of the Pope does not mean to swallow everything even heresy or accepting abominations because Rome has said. @BishStrickland stood in the traditional teachings of the church and scripture on humanity"
X Link 2023-11-21T08:36Z 67.2K followers, [--] engagements

"Hizi za wavaa utupu na beti ambazo ujumbe ni mapenzi na siasa peke yake; au zile za kina Mbaraka Mwinshehe Kilaza Sikinde Msondo Twanga Pepeta Kilwa Jazz Tabora Jazz nk"
X Link 2023-11-23T07:02Z 67.2K followers, [---] engagements

"@Mryok56 @DullahTheking2 @_abdulazack @athanas_pius @AsiahSalum @ANDREA_M_JF0UR @AmourMudi @ALugandu @ceefk @chevi_masta Huo ni wivu na character assassination. Inaonyesha tabia ya hovyo uliyo nayo. MZEE TILISHO ni mtu mzima mwenye heshima na staha. Hata mtoto wake JOHN ni kijana serious ktk biashara hawezi kufanya huo upuuzi. Makondakta wake ni mabinti wanaojihemu na wenye bidii ktk kazi yao"
X Link 2023-11-23T14:14Z 67.2K followers, [----] engagements

"@Charlesmarwa_ @Mryok56 @DullahTheking2 @_abdulazack @athanas_pius @AsiahSalum @ANDREA_M_JF0UR @AmourMudi @ALugandu @ceefk @chevi_masta Hspana uncle sasa hao ndugu zangu wanadhalilishwa kweli niwe coward bila kusema chochote"
X Link 2023-11-23T14:37Z 67.2K followers, [--] engagements

"@MaranduVicente @IAMartin_ Ni kweli alimtesa sana mumewe Bwana kumfanyia mambo ya aibu ambayo hayaandikiki. Tabia ni hiyo hiyo ya kuwatumia polisi kunyanyasa. Fikiria mkeo anakwenda polisi ili uteseke baada ya kukunyima kila kitu"
X Link 2023-11-25T04:03Z 67.4K followers, [---] engagements

"@EmmanuelMasonga @ChademaTz Mnapolichukulia kama chama wao nao wataona ni siasa na hatua hazitachukuliwa. Kama mna taarifa zozote zipelekeni polisi na kwenye taasisi za kutetea haki za binadamu. Mambo mengi yalipochukuliwa kisiasa hayakufika mbali. Huyu ni muovu inakulikana acheni vyombo vifanye kazi yake"
X Link 2023-11-25T05:28Z 67.3K followers, [---] engagements

"@EmmanuelMasonga Mimi nipo hapa Babati kila raia analaani na kijana ameshatafutwa kutoa maelezo. Wasiwasi wangu Chadema kama taasisi mkiingilia watapuuza na kusema ni chuki za kisiasa kama walivyozoea ktk mambo mengi. Kama polisi watapuuza atafutiwe wanasheria wa haki za binadamu kumsaidia"
X Link 2023-11-25T06:40Z 67.3K followers, [---] engagements

"@AmossonMlenzi @fumbokhanJr @fumbokhan @AlbertChalamila Ushauri wangu kwake ulikuwa kuwawezesha kiuchumi ili waache. Hakuna dola iliyofanikiwa kuondoa ukahaba. Hata ktk biblia agano la kale mambo ya Sodoma na Gomora; ktk agano jipya Yesu alikutana na madanguro kule Jerusalem; yeye hakuwakamata aliwapa ushauri nasaha baadhi wakaacha"
X Link 2023-11-25T07:31Z 67.3K followers, [--] engagements

"@kighera50 @RoseMakei @GekulPauline Uncle ktk mambo tunayokosea baadhi yetu ambao hatuko serikalini ni kutengeneza picha kwamba kila kinachofanywa kina kasoro na hakuna chochote cha kupongeza. Umesema vema ukamilifu wa binadamu ni kuwa na mema na mabaya; mwenye mema tu au mabaya tu sio wa kawaida"
X Link 2023-11-26T10:56Z 67.4K followers, [--] engagements

"@hakaido2 @MariaSTsehai 😂😂😂 Kumbe unajijua rafiki yangu. Kuna wakati unarusha kuombora hadi simu zinatikisika. Nimecheka sana. Huyu dada Mungu amlinde maana amesaidia sana uelewa wa mambo mengi"
X Link 2023-11-26T13:49Z 67.4K followers, [--] engagements

"@privaldinho Ubinafsi ndio tabia yetu. Baadhi yettu hatutaki kujihusisha na mambo ya jamii zaidi ya yale yanayotuhusu. Ndio maana Tanzania hatuwezi kuwa na mabadiliko. Jambo kubwa kama hili la NW Sheria asingepashwa kuuliza. Unaona hata kelele za katiba kuna ambao hawajui kinachoendelea"
X Link 2023-11-27T03:53Z 67.4K followers, [--] engagements

"@privaldinho Katika hili bora ungekaa kimya. Unatuaibisha Yanga wenzako. Mtu wa habari huwezi kujificha ktk matukio ya Yanga na mpira na kuyaancha yanayowahusu unaowatumikia. Tukio hili hadi Rais kuchukua hatua limezunguka sana. Ofisi yako inatakiwa kuwa broad ndio maana Yanga iko ktk jamii"
X Link 2023-11-27T04:28Z 67.4K followers, [---] engagements

"@HescoKabunda nauli huwa zinapangwa kwa kuwashirikisha wamiliki. Ni kweli mafuta yamepanda. LATRA ni regulator. Haiwezekani wakae ofisini na kuwaacha wamiliki kila kampuni ikijipangia nauli na bila ufuatiliaji. Adhari za kupanda mafuta au inflation mwananchi ni mlipaji wa mwisho"
X Link 2023-11-27T16:29Z 67.5K followers, [--] engagements

"Alichosema; wasipigwe wasitengwe bali wasaidiwe kama wagonjwa. BBC ni mawakala wa mashoga. Papa kupitia "Secretary of state" ni kama Waziri wa Mambo ya Nje aliwaandikia maaskofu wa Ujerumani kanisa halitaruhusu mjadala wa mashoga au wanawake kuwa mapadri. Mbona mko kimya"
X Link 2023-11-28T08:47Z 67.5K followers, [---] engagements

"Viongozi ambao hawajawahi kusikika kuwa na kashfa wakijiuzulu ghafla lazima ombwe la mashaka litazuka. Kinachoonekana haraka mitandaoni ni mahusiano yake wanasema yasiyofaa. Ni nani anaeidukua simu yake Hatuna tena haki na faragha Kama limetokea kwa huyu wengine je"
X Link 2023-11-28T10:59Z 67.5K followers, [----] engagements

"Ni nani huyu aliyeamua kuwa wa kwanza kumtupia jiwe Viongozi wa siasa tutazamane; dhambi ya mahusiano msafi nani Hivi kwanini Dodoma inajaa kina dada poa wakati wa vikao vya bunge na chama Ndani ya CCM kuna makubwa zaidi ya kinachosemwa kuwa tabia isiyofaa ya KM. Acha tuone"
X Link 2023-11-28T10:59Z 67.5K followers, [---] engagements

"@Sharb84 Hajui huku mtandaoni kuna Maaskofu Mapadre Mashemasi na wasomi wa daraja la juu ktk Scripture traditions na Magisterium tangu mtaguso wa kwanza baada ya kifo cha Petro. Hili ni kanisa; MOJA TAKATIFU KATOLIKI(universe-la wote) La MITUME na uinjilishaji"
X Link 2023-11-30T05:15Z 67.6K followers, [--] engagements

"@donald_mutegeki Hatubishanii magari hapa iwe IST au corona hoja ni hicho kitendo kinachoendelea"
X Link 2023-12-01T07:14Z 67.7K followers, [---] engagements

"Je wakivaa hivi sehemu za starehe(tena zenye vibali) Risasi zitawahusu kwa kisingizio cha vita dhidi ya wauza miili Je wauzaji na wanunuzi wa nguo kama hizo watapigwa risasi Au je TRA wataacha kutoza kodi mizigo ya aina hiyo au itazuiwa forodha 🤔🤔🤔"
X Link 2023-12-01T13:53Z 67.7K followers, [----] engagements

"Mapambano yote ya maisha; Uzuri na majivuno yote; dharau na mateso kwa wengine; majeshi na ulinzi wenye silaha nzito; miliki ya pesa na mali zote za dunia; sharehe zote na warembo wote mwisho wa hayo yote ni huu. Tupendane na kumpenda Mungu maana mwisho ni MUNGU au Hakuna kitu"
X Link 2023-12-01T15:07Z 67.7K followers, [---] engagements

"@WhymelordMai Alaa Kumbe kufundisha na kuhoji kuna umri Vijana hawataki kuhoji mambo ya jamii. Lazima watupe majibu wazee ndio tunakaaga wengi bar wasije wakatuuwa wakati wanasaka hao wauzaji wa mapenzi"
X Link 2023-12-01T19:33Z 67.7K followers, [--] engagements

"Haya ni baadhi ya mafundisho polisi wanayopashwa kufanya ktk jamii sio kujifanya TRA na mashine za kutoza fine. Fikirial mtu ana "overtake" baadala ya kupunguza mwendo apite unamwashia taa au kuongeza mwendo. Ajali ikitokea wote si mtaumia. Hongera kwa kamanda kazi nzuri sana"
X Link 2023-12-03T05:22Z 67.8K followers, [---] engagements

"Huyu ni Makamu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa muda haonekani hadharani wala kanisani alipozoea na nafasi yake iko empty. Sio busara mamlaka kukaa kimya maana ukimya huo utazalisha hisia nzuri na mbaya. Kama anaumwa liambieni taifa kwa pamoja tumuombee afya njema"
X Link 2023-12-03T05:32Z 88.5K followers, 53K engagements

"Nafikiri hawa vingozi wa hizi dini kubwa ktk jamii hawana desturi ya kukaa na kuisikiliza jamii vinginevyo wasingefanya haya. Viongozi wa dini wakitumika kuwakweza kuwasafisha na kuwajengea umaarufu wanasiasa; kazi zao zitadharauliwa na kushawishi dini kukashifiwa"
X Link 2023-12-03T06:01Z 67.8K followers, [---] engagements

"Bwana harusi anatisha sana. Vijana mna mambo mengi. Sijui kama mtakumbuka kuidai katiba"
X Link 2023-12-03T17:01Z 67.8K followers, [----] engagements

"Mambo makubwa yanafanywa na club kubwa wengine wanafuata. Hongera sana Yanga"
X Link 2023-12-05T17:02Z 67.9K followers, [---] engagements

"@EduTalkTz Kwanini unateseka kama sio imani yako Waache waendelee na heshima waliyoamua kumpatia. Sio "kupalizwa mbinguni" pekee bali; " aliumbwa pasipo dhambi ya asili na amewekwa kuwa malkia mbinguni na duniani. Bila Maria unaupataje Utatu Mtakatifu @MundiVir usisahau kusali rozari"
X Link 2023-12-06T05:19Z 67.9K followers, [----] engagements

"@Paulmganyizi1 @EduTalkTz @MundiVir 😂😂😂 Kumbe hata mama yangu aliponizaa kazi yake iliishia hapo Ok sawa"
X Link 2023-12-06T17:58Z 67.9K followers, [--] engagements

"@MariaSTsehai Our prayers to Dr. Philip Isidori Mpango VP of the United Republic of Tanzania. May the Almighty God grant him good health and come back to his normal duties"
X Link 2023-12-06T19:57Z 68K followers, [----] engagements

"Hata wapagani wa sasa wanamwabudu Mungu. Mungu amejifunua kwa wanadamu kwa njia nyingi. Maandiko Matakatifu Bibila na Quran ni Ufunuo wa Mungu kwa wote na waliousambaza ndio walioifiwa kwanza. Wapagani babu zetu na ambao neno la Mungu halijawafikia wataokolewa kwa NATURAL LAW"
X Link 2023-12-09T04:40Z 68K followers, [--] engagements

"Thanks be to God at last the boy was rescued. We must not disperse even in impossible situations an invisible hand of God shall hold us in the name of Jesus"
X Link 2023-12-09T06:41Z 68.1K followers, [----] engagements

"@AlesandroJR Pater noster qui in caelis est glorifi nomencetur tuum veniat regnum tuum fiat in terra sicut in caelo da nobis hodie panem nostrum quotidianum dimitte nobis peccata nostra sicut et nos dimittimus peccantibus in nos. ne nos inducit in tentationes sed libera nos a malo"
X Link 2023-12-14T05:49Z 68.1K followers, [--] engagements

""Kama kipaumbele chetu cha kwanza sio MUNGU; basi mengine yote ni upuuzi na kushindwa.""
X Link 2023-12-14T19:57Z 68.2K followers, [----] engagements

"Mahindi yamekatwa Mpanda hotel karibu kubeba. Sababu iliyotolewa; yanaficha wezi. Hiyo ndio mbinu ya kukabiliana na wezi Ni vizuri Wizara ya Kilimo na Mambo ya ndani kutoa tamko na kuwachukulia hatua wahusika. Huu ni UNYAMA; ni kuhujumu jitihada za kupambana na umaskini ma njaa"
X Link 2023-12-15T12:54Z 88.5K followers, 82.7K engagements

"@SirPius15 @mbuga_paul Sasa ambacho DC angefanya sio kuharibu chakula angesubiri mahindi yakaukeavune kisha akamatwe mahindi yataifishwe walishwe wafungwa wanafunzi au yagawiwe kwa maskini wasio na chakula. Kwanini kuharibu chakula ambacho jamii inakihitaji Vinginevyo angeharibu pale tu yalipomea"
X Link 2023-12-16T09:05Z 68.3K followers, [--] engagements

"@SirPius15 @mbuga_paul Najua mambo za huko. Nilikaa sana Mpanda hapo Kashaulili nikiwa nafundisha Milala sec. Wakati ikimilikiwa na kanisa katoliki jimbo la S'wanga chini ya Askofu Karolo Msakila. Huyu DC labda ameaga vizuri huko kwao"
X Link 2023-12-16T13:57Z 68.3K followers, [--] engagements

"Mazingira yamebadilika ndio maana kuna kilio cha KATIBA MPYA. Yapo mambo ambayo lazima yatungiwe sheria na yaachwe. Fikiria CCM Chadema ACT CUF NCCR nk wote wanapigishana vikumbo kutafuta chipukizi mashuleni na mitaani. Maadili na uzalendo utafundishwa na kusimamiwa vipi"
X Link 2023-12-16T15:21Z 68.3K followers, [---] engagements

"@ReganTesha_ Kama unadhani maisha yako au ya familia yako mkeo na watoto yana kasoro usishubutu kujaribu siasa maana huko sio sera tu zinazoshindaniwa bali sifa za viongozi pia hujadiliwa. Unawezaje kugushi vyeti usiwe mla rushwa Utakuwaje malaya au mlevi kisha uwe makini kazini"
X Link 2023-12-17T01:25Z 68.3K followers, [--] engagements

"@cw_pedro @ReganTesha_ 🙏🙏🙏 Wewe una akili sana na mchokozi sana. Unajua mambo mengi ila inahitaji uvumilivu kukujibu"
X Link 2023-12-17T01:50Z 68.4K followers, [--] engagements

"@Sharb84 @PunchMzee @ayubu_madenge Tatizo ni kulifananisha kanisa hili mojatakatifu katoliki na la mitume liloenea kila nchi dunia nzima na lile nililoanzisha kwa uzio wa magunia pale kijijini kwangu ambalo wafuasi wangu wanasema kanisa la " Selasini la "Christ salvation ministry.""
X Link 2023-12-17T06:13Z 68.3K followers, [--] engagements

"Mungu amsamehe na ampatie pumziko la milele mbinguni. Astarehe kwa amani.Amina"
X Link 2023-12-17T17:26Z 68.3K followers, [---] engagements

"@ShauriSiyantemi Halafu eti kuna watu Tanzania wanataka kuandamana kuwaunga mkono Hamas"
X Link 2023-12-17T17:56Z 68.3K followers, [---] engagements

"@MariaSTsehai @Deuscharlestar There is no reason for any defence that can be given for torturing and ultimately killing these young people who were studying. The international community human rights organizations and people of good will have a responsibility to condemn"
X Link 2023-12-17T19:26Z 68.8K followers, [----] engagements

"This is evidence that on 7.11.2023 Hamas attacked and killed many innocent people from several countries in the world. The world must unite to eradicate this group. Life is a gift from God and no human has the authority to give it away"
X Link 2023-12-17T19:34Z 68.5K followers, 12.4K engagements

"Tanzanians are hurt we cry and mourn our innocent children. They have been abused of their lives. As a human being I should not be blamed for supporting anybody whose intention is to erase the Hamas terrorists group. May the almighty God rest our children in eternal peace"
X Link 2023-12-17T20:06Z 68.4K followers, [----] engagements

"@siadevinci @nestlaudfas @VaticanNews Unadhani hawahubiriwi kuacha Mgonjwa anahubiriwa apone au anapewa tiba na huduma ya upendo Kazi ya kanisa ni UKUHANI; UNABII na UFALME. Kuomba na kuponya kiroho kufundisha mambo ya Mungu na kuongoza ktk njia ya Mungu. Kanisa halifanyi kazi ya kulaani na kuwatenga wadhambi"
X Link 2023-12-19T03:54Z 68.4K followers, [--] engagements

"@matinamayunga @Blessedgeniuss @nestlaudfas @siadevinci @VaticanNews Unapoteza mada. Hatuongelei madhehebu hapa. Amini na tekeleza unachoamini wala hapa hakuna anaekusudia kumbadilisha mtu imani yake bali WAKATOLIKI tunakataa uzushi na propaganda dhidi ya imani na viongozi wetu"
X Link 2023-12-19T04:29Z 68.4K followers, [--] engagements

"Usitafute habari za kanisa katoliki kutoka ktk vyombo vya habari vya jamii au (FOX CNN ABC BBC CSBC nk)hawajui au hawalielewi kanisa. Daima nenda moja kwa moja shinani: VATICAN NEWS USCCH nk"
X Link 2023-12-19T19:11Z 68.4K followers, [----] engagements

"@DonatusNyamizi Utaratibu wa kanisa. Kauli ya Papa kama haijatolewa akiwa kwenye EX CATHEDRA ni maoni yake sio ya kanisa. Ndio maana maaskofu maeneo mbalimbali wanaipinga kama hao wa malawi na wengine wa Ulaya na Marekani kama"
X Link 2023-12-20T06:42Z 68.4K followers, [--] engagements

"Huu ndio msimamo na ufafanuzi kwa njia rahisi wa barua ya kanisa kuhusu baraka kwa watu wanaohisiwa kuwa mashoga"
X Link 2023-12-20T07:01Z 68.4K followers, [----] engagements

"1.I charge you in the presence of God and of Christ Jesus.preach the word be urgent in season and out of season convince rebuke and exhort be unfailing in patience and in teaching. For the future will come when people will not endure sound teaching but having itching ears"
X Link 2023-12-20T10:11Z 68.5K followers, [---] engagements

"@Sharb84 Bishop Schneider in conjunction with his Archbishop have banned any 'blessings' for irregular or homosexual couples. They also admonish Francis who they say 'does not walk uprightly according to the truth of the Gospel.'"
X Link 2023-12-20T10:30Z 68.8K followers, [--] engagements

"Kauli ya Askofu Mkuu wa jimbo kuu la Dar-es-salaam kuhusu baraka kwa mashoga"
X Link 2023-12-20T11:45Z 68.4K followers, 25.3K engagements

"@LovyDallas Una mizani gani ya kupima moyo ya mtu Nia na ibada ya mtu aijuae Mungu aonae sirini"
X Link 2023-12-20T12:11Z 68.4K followers, [--] engagements

"@MwajaPeter @allawi_mshana Na wengine wa dini na madhehebu mengine wakidhani watawafundisha cha kufanya. Mbona hawatuambii mashoga kwenye dini zao na madhehebu yao huwa wanawafanya nini Wangesoma kwanza historia ya madhehebu yao kujitenga na Ukatoliki"
X Link 2023-12-20T12:22Z 68.4K followers, [--] engagements

"MEADEMA dhaifu imepigwa na Yanga 3-0; nikumbusheni Simba imara ilipigwa na Yanga ngapi Meadema kwenye ligi ya kwao ni ya [--] imepigwa tatu. Simba ktk msimamo ilikuwa ya [--] ilipigwa ngapi Acheni propaganda dhaifu. Yanga inashinda kwa mpira safi; Simba inashinda kwa hekaheka"
X Link 2023-12-20T18:10Z 68.4K followers, [---] engagements

"@EduTalkTz Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Watoto wa wenzetu wanatazamwa vipaji vyao tangu wakiwa wadogo na kusomeshwa kwa mwelekeo huo. Sisi hatuna njia ya kugundua vipaji vyao wakiwa na umri mdogo wala academy za kuwapeleka. Tangu uhuru tunawabebesha daftari [--] na kucheza chipukizi"
X Link 2023-12-21T04:57Z 68.8K followers, [----] engagements

"Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI) huduma ipo na itaendelea kwani wataalamu wapo. Huduma inatolewa bure kwa watoto wenye matatizo hayo. Tusiwafiche watoto wenye matatizo haya. Tuwaibue kipindi hiki ktk mapumziko tukiwa vijijini ili wahudumiwe"
X Link 2023-12-21T13:11Z 68.8K followers, [---] engagements

"Sawa lakini kama Mkatoliki TEC mnakwaza. Hadi sasa mabaraza mengi ya maaskofu Afrika; Malawi Zambia Nigeria Ghana Cameroon nk yametoa msimamo wa pamoja kukataa upuuzi huu. Nilikuwa nategemea waraka utatoka Christmas lakini ni Askofu mmoja mmoja anajisemea; nini kinawakwaza"
X Link 2023-12-25T11:12Z 68.9K followers, [----] engagements

"@furaha_nzunda Wasichojua watu wa dini nyingine ni kwamba kwa mujibu wa sheria za kanisa(canon law) kila Askofu ana mamlaka ktk jimbo lake yasiyoingiliwa na Askofu yeyote. Kwa hivyo wanaosema wanayasemea majimbo yao. Msemaji wa kanisa la TZ ni TEC kupitia rais wake"
X Link 2023-12-25T15:23Z 68.9K followers, [---] engagements

"@furaha_nzunda @DonatusNyamizi Sio kutolewa tu hata kutamkwa. Kwenye ule waraka kinachokwaza ni "COULPES." Naomba radhi; yaani mfiraji na mfirwaji wanashikana kwenda kuomba baraka. Tulicho unga mkono ni kama mmoja akienda peke yake huyo unaona ipo dhamira ya kuacha na ni vema asaidiwe kama mgonjwa"
X Link 2023-12-25T16:21Z 68.9K followers, [--] engagements

"@SamsonErnest_ @PapaaMandevu Ongeza Zambia Malawi Ghana Nigeria Ukraine kote mabaraza yametoa matamko kama Taifa sio Askofu mmoja mmoja"
X Link 2023-12-26T05:06Z 68.9K followers, [--] engagements

"@Paulmganyizi1 Wewe endelea na mafundisho yako huko Philippines kuna dini wanaabudu sanamu ya uume na wanatembea nayo barabarani. Kawahubirie wao"
X Link 2023-12-26T07:27Z 68.9K followers, [--] engagements

"Hizo ni kauli za kuchanganyikiwa tu. Hivi ukiangalia TV unaona watu halisi au picha(sanamu) ambazo zinakupa taswira ya kitu halali unachojua au kuhisi. Picha ya baba au mama unaweka sebuleni au ktk profile ni yeye(wao) au ni sanamu zao Au unadhani sanamu lazima iwe ya zege"
X Link 2023-12-26T07:42Z 68.9K followers, [---] engagements

"@edmund79632671 Humuoni jaji mkuu hapo Iko chini ya mahakama"
X Link 2023-12-30T06:55Z 70.2K followers, [--] engagements

"Leo Mama Maria Nyerere mke wa Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa huruma na kibali cha Mungu ametimiza miaka [--]. Tunampongeza na kumrudishia Mungu sifa na Shukrani"
X Link 2023-12-31T06:53Z 66.8K followers, [----] engagements

"Tunaanza mwaka mpya; kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina. We begin the New Year in the name of the Father and of the Son and of the Holy Spirit. Amen Incipimus novus annus; in nomine Patris et Filii et Spiritus Sancti. Amen"
X Link 2024-01-01T10:29Z 67.4K followers, [----] engagements

"Ukiachana na mshahara wake au marupurupu yake; Urais ni nafasi inayomwezesha kuwa na marafiki ndani na nje ya nchi. Anaweza kuomba kuchangiwa na marafiki zake na akapata nyingi kuliko hizo. Wanasiasa wote wanafanya hivyo. Fedha wanazoahidi ni pamoja na michango ya rafiki zao. @ccm_tanzania Mshahara wa Rais Sh. Ngapi plus marupurupu Average anachukua KIADI GANI JUMLA KWA MWEZI FEDHA HARAMU TUSIZIENDEKEZE KWENYE NYUMBA ZA IBADA MGAO WA @DP_World NI HARAMU HIYO DHAMBI WAIBEBE WALIOHONGWA TUU @ccm_tanzania Mshahara wa Rais Sh. Ngapi plus marupurupu Average anachukua KIADI GANI JUMLA KWA MWEZI"
X Link 2024-01-01T13:36Z 68.3K followers, [---] engagements

"@Patrice19907019 @ccm_tanzania @DP_World Hakuna mwanasiasa anaechanga pesa za mshahara wake. Kama yupo tambua huyo hana mizizi. Unapopewa kadi ya harambee ni kama unaombwa kuwachangisha marafiki zako ambao kamati ya harambee haiwezi kuwafikia au kuwajua hicho ndicho kinachofanyika"
X Link 2024-01-01T13:38Z 67.2K followers, [--] engagements

"@Patrice19907019 @ccm_tanzania @DP_World Sio lazima awaorodheshe. Vitu vingine tuwe wapole tu. Hata Mhe. Mbowe kwenye chama anapambana na wabunge waliopewa jina la Covid-19 Mhe Halima Mdee Ester Bulaya nk lakini kwenye harambee aliwaalika kwa kuwa ni watu wake wa karibu"
X Link 2024-01-01T13:58Z 67.1K followers, [--] engagements

"@comanchechiefIV @ForexTanzania @IsraelYudea @Blessedgeniuss @Hamadbakari2 Huko mwanamke ni chombo cha starehe tu hana haki yoyote. Hapo utaambiwa ameshachafuka hafai kwa kuwa bikra yake itakuwa imeondolewa. Kwao mwanamke ni kwa ajili tu ya kuolewa na kumtumikia mume. Sharti mojawapo ya mwanamke kuolewa awe na bikra"
X Link 2024-01-01T22:50Z 70.6K followers, [--] engagements

"@ForexTanzania @comanchechiefIV @IsraelYudea @Blessedgeniuss @Hamadbakari2 Taarifa inaweza kuwa haina ukweli ndio. Sasa tafuta sheria za Afgsnistan zinazo govern maisha ya mwanamke dhidi ya mwanamme. Kwa hili usiweze dini maana sheria ni kwa wote"
X Link 2024-01-01T22:58Z [--] followers, [--] engagements

"@ForexTanzania @comanchechiefIV @IsraelYudea @Blessedgeniuss @Hamadbakari2 Walijuaje kama alizini kama hawakumfumania Hao wanaume aliozini nao mbona hawaonekani Ukweli utabaki wanawake wananyanyasika"
X Link 2024-01-02T05:47Z 70.2K followers, [--] engagements

"Kumekucha bado miezi [--]. Tatizo WaTZ hawajui kukaa chonjo. Mgao wa jezi na mipira karamu na kulisha wapiga kura Tshirts kanga vikoi kofia nk msimu umefika. WaTZ mnastahili zaidi ya hivyo. Miundo mbinu maji ajiramadarasa miradi ya maendeleo katiba sheria nzuri nk"
X Link 2024-01-03T17:52Z [--] followers, [----] engagements

"Mimba sio jambo la bahati mbaya. Ni mpango wa wanandoa kulingana na uwezo wa kulea mimba na watoto. Kuwapa makazi kuwalishalisha na kuwasomesha. Hatuzai kwa bahati mbaya bali kwa mpango. Ni kwa uchumi upi na mipango ipi itakayowezesha serikali kuhudumia kila ujauzito Bado naendelea kutafakari yale maneno ya @Nkololotz sijajua alikuwa anawaza nini mpaka akasema MIMBA SIO EMERGENCY NI WAKATI SASA TUKUBALI KUWA RESPONSIBLE KWA MATENDO YETU. Hii ni sawa na kusema maskini hana haki ya kuzaa. https://t.co/Uyafxtvto6 Bado naendelea kutafakari yale maneno ya @Nkololotz sijajua alikuwa anawaza nini"
X Link 2024-01-05T05:55Z 68.3K followers, [---] engagements

"Heavenly Father I ask You today to bless my Twitter friends and their families. Grant them peace joy and happiness and deliver them from all the dangers they may face. I pray that they are never alone and are always covered in Your blanket of grace and protection. Amen"
X Link 2024-01-05T06:15Z [--] followers, [----] engagements

"@AlbertShirima1 Barua iliyoleta mtafaruku kuhusu baraka kwa mashoga "FIDUCIA SUPPLICANS" iliyotoka VATICAN DICASYERY FOR DOCTRINE OF FAITH(idara ya mafundisho ya imani); na kusainiwa na Papa ni ushahidi ktk ushindi wao kwa maana ni kinyume kabisa na mafundisho msingi ya kanisa"
X Link 2024-01-05T14:08Z 67.1K followers, [--] engagements

"@elyneema @Bdam24Adam Ktk nchi yenye katiba nzuri hilo sio shida na wakikataa kukosolewa unasimama na hoja yako na kutoka. Hapa nchini Edwin Mtei akiwa waziri wa fedha alitofautiana na Nyerere na akatoka na ipo mifano mingi mingine"
X Link 2024-01-06T08:01Z 68.8K followers, [--] engagements

"@elyneema @organkajula1 Katiba na sheria ndio kiongozi. Engagement hazifanywi na mtu bali na mifumo iliyowekwa kisheria. Ndio maana hitaji la katiba ni paramount"
X Link 2024-01-06T08:47Z 68.3K followers, [--] engagements

"Kinachofikirisha ktk waraka huo ni:- " Blessings for Homosexual or Irregular Couples." Tangu lini kanisa likabariki dhambi Hilo neno "couples" ni mtego. Mashoga wawili washikane mikono kuomba baraka ukijua wakitoka hapo wanakwenda kuendeleza upuuzi wao Baadae si watataka ndoa @joeselasini Mimi sijui kwa nini umechukuliwa vibaya kiasi hiki. Waraka umeweka wazi [--]. Ndoa ni kati ya mume na mke [--]. Sexual activity ni halali ndani ya ndoa tu [--]. Kanisa haliwezi na Halina mamlaka ya kubariki dhambi Haya yote hatuyaoni tunajadili vichwa vya habari vya circular media.🙆♂ @joeselasini Mimi sijui kwa nini"
X Link 2024-01-06T19:11Z 67.6K followers, [---] engagements

"Bus lina kosa gani Kama ni ukiukaji aliyefanya kosa ni mmiliki. Akamatwe yeye na kufunguliwa shauri la kukiuka huo utaratibu wao. Kwanini uwaadhibu wafanyakazi na wafanyabiashara wote wa chakula na mafuta nk. wasio na hatia wanaotegemea biashara hiyo Toa mapendekezo ya adhabu waliostahili Kumbuka tupo kila siku kuhubiri sheria ni msumeno na wamevunja sheria toa mapendekezo ya adhabu Toa mapendekezo ya adhabu waliostahili Kumbuka tupo kila siku kuhubiri sheria ni msumeno na wamevunja sheria toa mapendekezo ya adhabu"
X Link 2024-01-07T09:07Z [--] followers, [---] engagements

"@Bdam24Adam Ndio maana wadau wanatoa maoni kurekebisha sheria mbovu kama hiyo. Kwanza tuambiwe kati ya mabus [--] walikagua mangapi Yaani unagundua dosari bus moja au matano unahukumu mengine [--] kwa dhambi hiyo hiyo Si ni yale ya mjinga mmoja kuuwa watu kwa jina la dini unahukumu dini yote"
X Link 2024-01-07T09:44Z [--] followers, [--] engagements

""The final battle between the Lord and the kingdom of Satan will be about marriage and the family. Don't be afraid. Our Lady has already crushed his head." Sister Lucia of Fatima"
X Link 2024-01-07T14:06Z 67.4K followers, [----] engagements

"Nasubiri comments za feminist"
X Link 2024-01-07T19:34Z [--] followers, 10.5K engagements

"@MaluluFrank @sindai_mabula Jadili hoja hiyo picha inaweza kutokuwa na uhusiano. Hoja inahusu mambo yanayotokea ndani ya jamii"
X Link 2024-01-07T19:57Z [--] followers, [--] engagements

"@abdulkareemtz95 Imani zetu sisi wengine ni kwamba Mungu ni roho tupu na wote watakaofika kwake watafanana nae milele. Sasa roho ambazo hazina mwili zinafanyaje activities za kibinadamu kama kujamiiana"
X Link 2024-01-08T08:25Z [--] followers, [--] engagements

"Cardinal Robert Sarah firmly rejects Fiducia Supplicans saying: To maintain peace and unity in truth we must refuse to argue with the divider we must respond to confusion with the word of God. (cont)"
X Link 2024-01-08T10:35Z 68.8K followers, [----] engagements

"Kwanini baadhi yetu tunawapost Maaskofu wakiwa wamevalia nguo rasmi za ibada(liturgical vestments) ktk mambo ya kijamii Walipotoa maoni kwenye kamati ya walikuwa wamevalia kaunda suti kwa kuwa wanajua ni nyakati zipi mavazi hayo huvaliwa. Jamii inapelekewa ujumbe gani"
X Link 2024-01-10T10:03Z 70.2K followers, [----] engagements

"@elyneema @rotciv_leon Lazima kubishana mambo usiyoyajua Kuhusu mambo ya kanisa nimekaa darasani miaka mingi; najua tofati ya mavazi ya ibada na mavazi ya kawaida ya Maaskofu. Waulize wenzako kwanini wananiita baba Paroko. Sasa nitabishana na wewe wakati sina hakika kama unajua chochote eneo hilo"
X Link 2024-01-10T12:40Z 68.8K followers, [--] engagements

"@5ketngya Basi acha kiherehere. Kila mtu ana hiari ya kuchagua anachokitaka"
X Link 2024-01-11T08:04Z [--] followers, [--] engagements

"Kumbe tatizo ni kubwa kiasa hiki; limeingia hadi kwenye familia. Tuombe nusra ya Mungu dunia imefika pahala pabaya sana"
X Link 2024-01-13T06:48Z 68.8K followers, 15.1K engagements

"@BabaMwita @PMadeleka @Mwabuk2Boniface @LusakoAlphonce @SuluhuSamia @ikulumawasliano @MariaSTsehai @IAMartin_ @ExMayorUbungo @YerickoNyerereT @Liberatus80 Nadhani jeshi lina wanasheria. Vinginevyo umewasaidia na umesaidia wengi kujua msimamo wa sheria kuhusu jambo hili. Kuna wanasiasa wanaotamani nchi yetu kuwa "banana republic" nchi yenye sheria lakini kila kiongozi anaibuka na jambo lake kinyume na sheria"
X Link 2024-01-15T04:58Z 68.4K followers, [---] engagements

"@milkail Kila mtu atakushangaa mawe yanapotupwa nyumbani; unaongeza mawe upande wa warushaji. Hatuna nchi zaidi ya hii na tunapoingia ktk mtanzuko na majirani muhimu tujitazame na kutafuta tiba kabla ya kushabikia hoja zao"
X Link 2024-01-16T05:30Z 68.8K followers, [--] engagements

""Some moral precepts are so obvious that they require no instruction at all such as the commands to love God and neighbour." (ST 1-2.110.11). Mambo mengine ya kimaadili yako wazi hayahitaji maelekezo kama amri ya kumpenda Mungu na jirani"
X Link 2024-01-17T03:00Z 68.5K followers, [---] engagements

"Kama unafuatilia siasa hutakosa kujua - Kiongozi wa chipukizi. - Mkiti wa Taifa UVCCM -Mjumbe wa halmashauri/ kamati kuu. - Mbunge na Waziri. - Balozi. Anakijua chama chake hafanani na mwingine nje ya chama. Muhimu uzoefu na maarifa yake yakuze demokrasia nchini. @joeselasini Sawaaa. Lakini ni kwa kumbukumbu zipi ambazo zinaonyesha uwezo huo wa Bwana Nchimbi Sibishi lakini ni vyema nasi tungezijua. Maana jamii yetu imekuwa na ushabiki usiokuwa na evidence. Unapewa sifa za mtu "Yule jamaa jembe". Ukimfuatilia ni porojo wizi na viingereza tu @joeselasini Sawaaa. Lakini ni kwa kumbukumbu zipi"
X Link 2024-01-17T06:50Z 66.2K followers, [---] engagements

"Unaweza kumuona hapa alipokuwa chipukizi; ndio maana nilisema amekulia CCM. Huyu ni tofauti na Prof. MwanaCCM aliechomolewa chuo kikuu na kupewa chama. Ni mtulivu sana na mtaratibu nilikuwa nae bungeni akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Kwake CCM ni maisha yake. Atatusumbua sana"
X Link 2024-01-17T07:11Z 67.7K followers, [---] engagements

"Hivi ndivyo makampuni na bank kadhaa nchini zilivyofilisika. Hawa wameshindwa kutofautisha siasa na biashara. Bila shaka wana mawazo kwamba bank itawaacha kwa kuwa ni wakereketwa wa chama. Tutajifunza lini kuheshimu kulinda na kuogopa kufuja mali ya umma"
X Link 2024-01-19T14:00Z 67.8K followers, [----] engagements

"ZNZ ni nchi. Ina Rais serikali na bunge lake(Baraza la Wawakilishi) Hoja iwe kushusha au kuondoa kabisa sio kufananisha na ZNZ kufanya hivyo ni sawa na kufananisha na Malawi. Sera za afya ni tofauti. ZNZ wazee wanapewa posho kwa mwezi. Hiyo ni kazi ya bunge kuishauri serikali"
X Link 2024-01-21T05:56Z 67.9K followers, [--] engagements

"Ni afadhali mmelisema ninyi (JWTZ); wapo wanazagaa kinao miaka mingi kila sekta hata kwenye siasa na wengine wamenunua ardhi kinyume na sheria. Hili la kuteuliwa linatisha maana ni dhahiri wanaofanya upekuzi miongoni mwao ni hao hao sasa wanaipotosha mamlaka ya uteuzi"
X Link 2024-01-23T07:00Z 68.8K followers, [--] engagements

"@MundiVir Kweli kabisa walinzi wetu wakilalamika hivi tuna usalama gani Kutuambia inasaidia nini zaidi ya kuongeza hofu. Hapa Moshi Manispaa enzi za JPM kuna Warundi walikuwa watumishi wa halmashauri"
X Link 2024-01-23T07:11Z [--] followers, [--] engagements

"@Comrade_Aku Mkuu wa Majeshi (CDF) ahisi tu. Unafahamu ana vyombo gani wa wataalam gani wa uchunguzi nyuma yake"
X Link 2024-01-23T08:50Z 70.3K followers, [--] engagements

"Mapokezi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM mjini Moshi 22.1.2024. NI KWELI Moshi ni pagumu. Waliojitokeza ktk mapokezi ni viongozi na bodaboda. Ktk hali hii utasikia CCM imeshinda kwa kishindo. Iko siku tutalia na kusaga meno tusipoheshimu maoni ya wananchi"
X Link 2024-01-23T10:27Z 68.8K followers, [--] engagements

"Hivi karibuni vyombo vya habari vilitoa taarifa za kukamatwa kwa mabinti wenye asili ya Kiasia Masaki. Kazi yao kucheza ngoma za kwao wakiwa watupu. Je Waliingia vipi nchini Nani aliwaleta Walipata vipi vibali vya kazi Wameshaondoka nchini Ni hao tu au wapo wengine"
X Link 2024-01-23T18:04Z 70.2K followers, [--] engagements

"Mizaha tunayofanya kuendekeza rushwa na kuvunja sheria za nchi kwa tamaa kunaweza kuiingiza nchi pabaya. Kwa njia hiyo watu wanatusona na kupeleka taarifa wanakotaka. Tumekuwa na tabia ya kutoa taarifa kwamba mipaka ipo salama lakini vyombo kama"
X Link 2024-01-23T18:04Z 68.4K followers, [--] engagements

"@Kaijagechange @kighera50 Mjomba anajua huku ukisema mauwa utaletewa kata ya mbege kwanza baadae mapande ya nyama ya mbuzi"
X Link 2024-01-24T14:27Z 67.3K followers, [--] engagements

"Tanzania tuna 'haki' ya kufungwa au kutoingia kwenye the best [--]. Tuna mzaha sana; baadhi yetu kutekwa akili na wasanii au comedians kana kwamba ndio wajuzi wa kila kitu; ktk siasa na michezo. Kwa kifupi "we are not serious" kwenye Mambo ya msingi .God forbid"
X Link 2024-01-25T16:39Z 67.7K followers, [--] engagements

"@Mwalim_Junior Kwani hujui ZFF sio mwanachama wa FIFA na CAF kwa kuwa huko inatambuliwa Tanzania kama nchi Kwani kuuna ligi ya JMT kama nchi nani anazuia ili kupata vipaji kutoka ZNZ"
X Link 2024-01-26T08:24Z 70.2K followers, [--] engagements

"Enzi za"hapa kazi tu" watumishi walibadilika sana. Wakati huu wa " kazi iendelee" wameamua kutengeneza urasimu na uzembe wa kutosha ktk sekta zinazowahusu wananchi"
X Link 2024-01-26T14:41Z [--] followers, [--] engagements

"@Paulmganyizi1 @Dr_DGwajima Tunaharibu sana maadili ya taifa kwa ujinga kama huu. Wangehamasisha akinamama wenye matatizo na wazazi wenza waende:- [--]. Kwa wasuluhishi ndani ya familia. [--]. Taasisi ktk dini zao. Ikishindikana; [--]. Ustawi wa jamii. [--]. Polisi jamii. [--]. Taasisi za kisheria zenye dhamana hiyo"
X Link 2024-01-26T16:04Z 68.8K followers, [--] engagements

"@Kilua_Musa @maendeleoyajami @mkandamizaji @rollymsouth @ElionaKimaro Unaeleweka lakini kwa njaa zetu tayari wapo watu wanatajirishwa na ujinga huu. Hao Wazungu wanaingiaje nchini na mzigo wa vitabu vyenye maudhui hayo bila kuhijiwa Tupige vita vya rohoni na tudhibiti njaa zetu pia. Watu wanauza nchi kwa kutafuta pesa za anasa"
X Link 2024-02-01T08:55Z 70.2K followers, [--] engagements

"@cosmas_kayamba @MwlMusa 😀😀😀😀😀 Kama anaona sawa aende hapo Nairobi na suruali na shati la pinck kama hajakumbatiwa"
X Link 2024-02-01T12:28Z 70.3K followers, [--] engagements

"@fatma_karume Unachotaka kusema siku tukilikamata shoga moja la Kizanzibari Kariakoo basi tusema Wazanzibari wote ni mashoga wanaeneza ushoga bara sio Kwanini kama kuna kosa lililofanywa na mmoja lihusishe kabila zima Zamani wizi ukotokea ZNZ mlikuwa mnadema ni watu wa bara. Huu ni ubaguzi"
X Link 2024-02-02T00:23Z 70.3K followers, [--] engagements

"Haki haiombwi inapiganiwa. Unamkamata mtu bila kujitambulisha kutaja kosa lake kumeambia unampeleka wapi kama sheria inavyotaka lazima kinuke. Watanzania wote mjue hivyo. PGO inamtaka polisi afanye hivyo. Wamasai wanawakumbusha tu. WANAUSALAMA fanyeni kazi kwa mujibu wa sheria"
X Link 2024-02-02T04:52Z 70.3K followers, [--] engagements

"Silaha za Maasai sio za shari. Nyingine ni ishara ya yasiyoonekana lakini yanayoendelea. Waacheni na mapambo yao. Kama hapa ni wakubwa tu wataelewa"
X Link 2024-02-03T16:20Z 70.3K followers, [--] engagements

"Mhe Rais @SuluhuSamia vijana Tongolani Mavura Victor Tesha Godlisten Malisa Joram kumbi. wanafaa kutumikia zaidi ktk Taifa. Ni wenye hoja objective na wanaojua ku-interact na kila kundi. Hawa ni nyara na hazina kwa Taifa. Tusisubiri kulia kama kwa Thadeus Ole Mushi. Asante"
X Link 2024-02-09T11:56Z 70.5K followers, [--] engagements

"Umevipiga vita vingi kwa ajili ya nchi yako hadi kuhamia upinzani kabla ya kurudi tena ktk chama chako. Ulionyesha mfano wa kuwajibika kama kiongozi mambo yanapoharibika. Umetuachia mengi ya kujifunza. Mungu akupe furaha ya milele mbinguni"
X Link 2024-02-10T14:50Z 70.6K followers, [--] engagements

"Kamati ya Richmond ya Mhe Dr. Mwakyembe haikumtia hatiani kwa ufisadi. Hata hivyo alijiuzulu kumwokoa Rais Kikwete na chama chake ktk aibu. Waliomtangaza na kuimba nyimbo za ufisadi walikurupuka. Ukweli usemwe tu. Lowasa alikuwa statesman. Apumzike kwa amani. Amina"
X Link 2024-02-11T12:44Z 70.7K followers, [--] engagements

"😭😭😭 Hili ni darasa la kutosha kwa wote"
X Link 2024-02-13T14:20Z 88.5K followers, 20.7K engagements

"@davitheempire Nadhani anajutia kwa kukosa nafasi ya kuomba radhi. Umefika wakati tuachane na siasa za kuchafuana. Tupambane na wazushi wenye kazi ya kutangaza mambo yasio na ushahidi wala ukweli ili kuwachafua wengine. Kuwa na pesa au tajiri sio kukosa uzalendo wizi au kukosa sifa ya uongozi"
X Link 2024-02-14T14:39Z 70.7K followers, [--] engagements

"@YerickoNyerereT @PascalMinja4 Masoko makuu yakiwa Bagamoyo na Zanzibar. Wazungu wao walikuwa wezi wa madini na vito lakini Waarabu waliwakamata ndugu zetu na kuwauza(kuwapiga mnada kwa hao wazungu)"
X Link 2024-02-14T14:49Z 70.7K followers, [--] engagements

"@ayubu_madenge Hata sasa atapumzika kwa amani kwa kuwa roho yake inaishi milele ikisubiri kuvikwa na Mungu mwili mtukufu hivyo hakuna kinachoipita ingawa haijihudishi tena na mambo ya kidunia"
X Link 2024-02-14T15:21Z 70.7K followers, [--] engagements

"Upadre wa Dr. Slaa ni historia ya cheo alichowahi kuwa nacho. Papa JohnPaul II alikubali maombi yake kiacha upadre ili kufunga ndoa. Pili hakuna anaeweza kumuingiza mtu mbinguni. Mt. Augustino alisema; "Mungu aliyekuumba bila kutaka hawezi kukuokoa bila kutaka." Angetulia tu"
X Link 2024-02-14T18:15Z 70.8K followers, [--] engagements

"@Sharb84 Kama ulivyomjibu @omary777770 kwamba sio mkatoliki unajua Dr. Slaa mkatoliki amamuongelea Lowassa ambae ni Mluteri na Waluteri hawaamini ktk kuombea marehemu"
X Link 2024-02-14T19:09Z 70.7K followers, [--] engagements

"@Pendojory @ayubu_madenge Hata kama zipo na pia entitlement zake kama waziri mkuu mstaafu lakini kuna processes zinazoweza kuchelewesha. Pesa za serikali hazichotwi kama maandazi. Pia tambua nchi zote jina la Rais lina fast track jambo lolote hata upatikanaji wa madaktari"
X Link 2024-02-18T05:15Z 70.9K followers, [--] engagements

"Na ndio maana alipata matatizo. Kuna msemo wa kiingerexa "Always don't outshine your master." Lowassa alikataa ujinga huo. Kama master ni mtupu piga kazi akikuzingua mwachie kazi yake. ELIMU imeacha shule za kata UDOM vyuo vya elimu"
X Link 2024-02-18T05:33Z 70.9K followers, [--] engagements

"Vijana wengi wanateseka; wanateswa na baadhi yao wanapata msongo wa mawazo. Wengine hasa walio kazini wanageuka wala rushwa wabadhirifu wa mali za umma hata wezi ili kuridhisha viumbe hawa. Waliojiajiri mitaani mitaji inakata kwa ajili ya usumbufu huu. Badilikeni hayo yanapita"
X Link 2024-02-19T16:12Z 71K followers, [--] engagements

"@YohanaLulyeho Sasa alieweka hiyo atuonyeshe pia ushahidi kwamba hiyo saa imenunuliwa kwa bajeti ya serikali. Rais ana mshahara na marupurupu yake; na pengine investment zake na za familia yake. Anakatazwa kununua chochote anachotaka"
X Link 2024-02-21T14:13Z 71K followers, [--] engagements

"Bei ya sukari na uhaba wa sukari unatengenezwa na watu wasiozidi wanne wakishirikiana na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Kilimo wanaohodhi vibali. Nadhani hata Shirika la Sukari ni mbwa asie na meno. Bora serikali ije na mfumo mpya kuondoa huu wizi na unyonyaji"
X Link 2024-02-22T14:09Z 71.1K followers, [--] engagements

"@lawrenceElix @EduTalkTz @mrembo_og Baba mtumishi ni kutokana na uchumi wa nchi hizo na dhamira ya kuachana na matumizi ya hovyo. Ondoa magari ya kifahari ondoa semina na safari zisizo za lazima ndani na nje ya nchi nk hivi unajua hata hapo ZNZ wazee zaidi ya miaka [--] wanapata posho"
X Link 2024-02-22T14:37Z 71.1K followers, [--] engagements

"Ushauri wa kijinga na kitoto kutolewa na msomi. [--]. Bashe alitumia Ramadhan kama reference point tu. [--]. Kauli dhidi yake sio msimamo wa Wakristu. [--]. Viongozi wanashauriwa kuchagua maneno na wakati. [--]. Sukari inahitajika uhaba wake ni kero. [--]. Bashe umeeleweka Fatma ni mchochezi"
X Link 2024-02-23T10:12Z 71.1K followers, [--] engagements

"Sisi wakatoliki hatuna nyongeza ya vyakula kama wenzetu wakati wa kufuturu au kula daku. Msingi wetu mkuu ni kuutiisha mwili na kuupa niidhamu na kutambua wapo ambao hawapati hata mlo mmoja hivyo tuwasaidie tunachojinyima baadala ya kujiongezea"
X Link 2024-02-24T07:26Z 71.1K followers, [--] engagements

"Ukimaliza ubishi huo ujue Yesu hakuja na Biblia wala hakuhubiri na kufundisha kwa kutumia Biblia. Biblia unayofanya rejea ni kitabu cha Wakatoliki na huwezi kukijua kuliko wao walio ki- compile"
X Link 2024-02-24T16:49Z 71.1K followers, [--] engagements

"@JoelJam10926275 Yeye ndio rejea yenyewe. Wakatoliki waliandika alichodmfanya"
X Link 2024-02-24T17:28Z 71.1K followers, [--] engagements

"Naheshimu mawazo na akili yako; una wajibu wa kujua kila mmoja humu ana akili na yuko huru kwa kile anachoamini. Hakuna mkamilifu na siamini kuwa mpinzani mzuri ni lazima kupinga hata kinachoonekana au kutafuta mababaya kila mara. Hata aliyejenga uwanja peke yake haukutoa matokeo"
X Link 2024-02-26T05:27Z 71.2K followers, [--] engagements

"@ExMayorUbungo Umeandika vizuri sana. Watu wavivu wanapupia mambo bila kujua wanaharibu biashara au heshima za wengine. Mzee Basilei Khatibu Mrema ni Mjomba wangu alihamia hapo pakiwa pori akitokea kwenye hoteli yake mtaa wa Swahili Kariakoo miaka ya [--]. Kituo cha changudoa kilikuwa ZAMBEZI"
X Link 2024-02-26T08:28Z 71.2K followers, [--] engagements

"Nchi yetu ina uwezo wa kuanzisha viwanda vya sukari kila mkoa. Sukari inadhibitiwa na wafanyabiashara wachache wanaojulikana na ndio wanaozuia kila kitu. Hali hiyo iko hata kwenye ngano. Kwanini mashamba ya Basuto na kitulo Mbeya yasilime ngano ya kuitosheleza nchi"
X Link 2024-02-26T14:07Z 71.2K followers, [--] engagements

"@siadevinci Kuna mwekezaji alichukoa Kilombero aa nadhani ILOVO akataka kuongeza uzalishaji akafanyiwa figisu akakimbilia Zambia. Sasa hivi sukari Zambia kg moja haivuki 2000"
X Link 2024-02-26T17:10Z 71.2K followers, [--] engagements

"Huku ikiwasumbua sana hamieni Burundi"
X Link 2024-02-26T17:59Z 71.3K followers, [--] engagements

"JNHPP aliiacha ikiwa imefikia 35% SGR inasuasua mwezi huu WB na ADB wametukopesha. JPM alianzisha akitegemea kupora matajiri akisema tunajenga wenyewe miradi ikakwama. Hata mtu anaichukia serikali hii hawezi kuacha kupongeza juhudi za kuiendeleza miradi hii hadi kukamilika"
X Link 2024-02-27T05:01Z 71.2K followers, [--] engagements

"Kwa hiyo Waziri Mkuu atazunguka nchi nzima Sasa haishangazi kwanini Waziri anakwenda kujagua ujenzi wa kisima wakati DC yupo kazini. Fukuza wote iwe fundisho. Ktk hali kama hiyo hata nchi akipewa malaika atahujumiwa tu"
X Link 2024-02-27T21:24Z 71.2K followers, [--] engagements

"@hakaido2 Nchi zote zinazotuzunguka;tena landlocked countries sukari imejaa tena kwa bei isiyozidi 2500/= Zanzibar ni 2500/= na Rais ameondoa kodi ya VAT. Sisi mazoea ya wizi rushwa kuogopana nk vinatufanya kulialia tu na kuwaonea wafanyabiashara wadogo"
X Link 2024-02-28T05:52Z 71.2K followers, [--] engagements

"@lifeofmshaba @VijanaTzz Huyu ni katili hasa. Akiwa DC Serengeti bila huruma alichoma nyumba kibao za wakazi. Sishangai kusema hivyo na bado atasema mengi. "Jasiri haachi asili." Aibu kubwa ktk kipindi ambacho Rais anahubiri maridhiano"
X Link 2024-03-02T10:32Z 71.3K followers, [--] engagements

"@thomasjkibwana Huko Arusha baba yake anafoka maeneo waliyochagua wapinzani yasipelekewe huduma. Ameshasahau ukatili aliowaganyia watu wa Hai kama babake alivyosahau ukatili aliofanya kwa watu wa Serengeti"
X Link 2024-03-03T04:58Z 71.4K followers, [--] engagements

"@motatiirho @TanzaniaInsight Mkoa wa Kaskazini Unguja. Zanzibar city ni mkoa wa Mjini Magharibi"
X Link 2024-03-03T05:10Z 71.4K followers, [--] engagements

"Kumbukumbu za ziara ya Baba Mtakatifu Yohanne Paulo II nchini Tanzania. Rais Ali Hassan Mwinyi ndiye aliyemwalika nchini. Ilikuwa historia kwa kuwa hakujawahi kutokea ziara ya Baba Mtakatifu nchini kabla hata baada ya Mwinyi. Apumzike kwa amani. Amina"
X Link 2024-03-03T07:09Z 71.3K followers, [--] engagements

"@nyuki_malkia Utaalam wako wa kuongelea ngono umekufanya kukosa hoja hadi kuingia kanisani Waacheni watumishi hao wa Mungu endeleeni na ngono zenu mtakavyo maeneo mengine"
X Link 2024-03-04T05:36Z 71.4K followers, [--] engagements

"@Sharb84 @Jambotv_ Vyama nchini vimechukua baadhi ya mambo ktk katiba ya CCM. Hilo la vipindi viwili vya miaka mitano ni mojawapo. Ina maana CCM wakiamua miaka saba bendera itafuata upepo Kila chama kina uhuru kuwa na utaratibu wake hadi hapo mhusika atakapovunja katiba yenyewe au kukosa maadili"
X Link 2024-03-04T07:39Z 71.4K followers, [--] engagements

"@Sharb84 @dsonthegm @kighera50 @SnrDirector Humezidisha mbwembwe bro. Vihamba vyenyewe kama kiatu baadalq ya kuwaachia watoto ardhi tutawaachia makaburi ya zege"
X Link 2024-03-05T06:10Z 71.4K followers, [--] engagements

"@Sirjeff_D "Aliwachinja" una maana gani Mbona baadhi yao wanajulikana na walifariki vifo vya kawaida Mambo mengine mnatafuta kujengea wengine chuki kwa sababu ya dhana na uchochezi wa kiimani usio na faida yoyote kwa jamii"
X Link 2024-03-06T00:59Z 71.4K followers, [--] engagements

"Mnadhani hili ni jambo la sifa kwa mke wa Rais Mstaafu anaelipwa posho kibao kwa mujibu wa sheria nje ya posho anazolipwa mumewe Ni nini kinachomsumbua Au huko jimboni hakuna mwakilishi bora zaidi yake"
X Link 2024-03-09T17:16Z 71.6K followers, [--] engagements

"@DChevichenko @IAMartin_ Sasa mbona koo nyingi mabinamu wanafunga ndoa kabisa Laana ni yule wa mama au baba mmoja. Hebu fanya utafiti kwa Wahindi na Waarabu. Vijana fanyeni mambo ya kujenga nchi. Hilo unalotaka kufanya tayari umeanza vibaya. Huku Pwani huwa wanasema binamu ni nyama ya hamu"
X Link 2024-03-10T08:02Z 71.6K followers, [--] engagements

"Huyu kifo ndicho kitakachomwondoa madarakani au watokee waasi ndani ya jeshi wamwondoe kwa nguvu kama yeye alivyofanya. Hii ndio typical mentality ya viongozi wengi Afrika"
X Link 2024-03-10T10:36Z 71.6K followers, [--] engagements

"Haki sawa imemtokea puani.😂😂😂😂😂"
X Link 2024-03-10T11:56Z 71.6K followers, [--] engagements

"@TitoMagoti Chama chochote cha siasa kinajengwa na kuchangiwa na wanachama wake wenye moyo mapenzi na wenye kuijua dhamira yake. Hebu fikiria umati ulioandamana kuitikia wito wa Chadema ktk majiji yote TZ kila mmoja angelipwa ingekuwaje"
X Link 2024-03-11T15:30Z 71.6K followers, [--] engagements

"Can you imagine what Americans and Europeans are teaching their students in school This is Erasmus university in Netherlands. How I wish this will get to the ears of our kids & parents I wept inside for the future of Africans & the generation unborn when I listen to this"
X Link 2024-03-15T04:47Z 72K followers, [----] engagements

"@ReganTesha_ @ummymwalimu Waziri @ummymwalimu yuko wizara ya afya. Kama uliikusudia wizara ya kilimo waziri wake ni @HusseinBashe"
X Link 2024-03-15T15:28Z 71.8K followers, [--] engagements

"Ukustaajabu ya Mussa subiri ya Firauni. Labda ni mambo ya virutubisho haya. Ya Rabbi wanusuru watoto na wajukuu zetu"
X Link 2024-03-18T04:59Z 71.9K followers, [--] engagements

"Una maoni gani"
X Link 2024-03-21T07:29Z 71.9K followers, [--] engagements

"@Shirazi293 @Jemedari_ @millardayo @giantrjh Sawa kwa hivyo Makamu wa Raia ni muongo sio Unadhani kila kitu ni lazima ucomment Tafuta hotuba na maagizo ya Makamu wa Rais kabla ya utetezi wako"
X Link 2024-03-23T05:21Z 72K followers, [--] engagements

"@Ndolezi_Petro @Sangetison @zittokabwe Hapo alikataa au alielekeza ipelekwe kwenye taasisi yake Yaani baadala ya kupitia ktk acct yake ipitie kwenye NGO yake tofauti iko wapi"
X Link 2024-03-23T17:29Z 72K followers, [--] engagements

"@Paulmganyizi1 Ni ujinga mkubwa kuhangaika na imani isiyo yako. Waache walioamua kuamini hayo waendelee na mambo yao"
X Link 2024-03-25T01:34Z 72.1K followers, [--] engagements

"Ni jambo jema ku-retweet hii hadi iwafikie wenye mamlaka taasisi za elimu ya juu na za technolojia ili huyu kijana aibuliwe na kusaidiwa"
X Link 2024-03-25T08:53Z 72.1K followers, [--] engagements

"Huu ni uhalifu sio dini. Wanazuoni wanajua hakuna anaefunga kwa ajili ya jamii bali mfungaji anatekeleza nguzo ya dini na maagizo ya Mungu anaemuwamini; ni uhusiano wa mfungaji na Mungu sio jamii. Hii isipokemewa inaweza kuzua tafrani mitaani"
X Link 2024-03-29T05:13Z 72.2K followers, [--] engagements

"@hakaido2 Mbona hushangai hao wanaopiga wenzao kwa ajili ya kula na wanaosema futari ni ibada ya waamini; wakati futari na chakula kingine mwisho wake ni chooni Mungu fundi ujue"
X Link 2024-03-30T06:18Z 72.2K followers, [--] engagements

"@bellius_ba82387 Hebu sema kwa Kiswahili una maana gani Hii lugha ya kuletwa ya Malkia utadhalilika. Hayo ni maneno ya Kiingereza lakini sio Kiingereza"
X Link 2024-03-31T09:16Z 72.3K followers, [--] engagements

""Bali sasa mkiisha kumjua Mungu au zaidi kujulikana na Mungu kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge yenye upungufu ambayo mnataka kuyatumikia tena Mnashika siku na miezi na nyakati na miaka." Wagalatia 4: 9-10"
X Link 2024-04-01T13:21Z 72.5K followers, [--] engagements

"Muulizeni kilichotokea hadi akavamiwa na kutaka kupigwa hadharani baada ya jaribio la risasi. Huyu amejijengea chuki na watu wengi sasa anataka kujificha ktk koti la siasa ili kutafuta sympathy"
X Link 2024-04-02T07:58Z 72.3K followers, [--] engagements

"Ile radio yao ORS-TERRET bado ipo Tunapashwa kuacha kuchanganya siasa na mambo mengine mitaani. Ndio maana polisi wanatakiwa kuwa makini ktk kuchunguza kila tukia. Kuna matukio:- [--]. Uzushi. [--]. Kutafuta politicsl millage. [--]. Visasi. [--]. Matukio ya kijsmbazi. [--]. Yale ya kisiasa"
X Link 2024-04-02T08:29Z 72.3K followers, [--] engagements

"Hao wageni nao walikuwa mitaani wakivuta bangi Utawala wa sheria ni muhimu ktk nchi acheni siasa; mlifanya makosa waombeni radhi na kurejesha pesa zao"
X Link 2024-04-02T09:58Z 72.3K followers, [--] engagements

"@jemedarisaid Kuna mambo ya ajabu sana yanafanywa na watu wenye akili. Hamkuwa na mpango. Hamkuomba. Mnakurupuka kubaguliwa baada ya wenzenu kuomba na kupewa. Sababu za kuomba hamzijui labda wenzenu wamefulia. Kwani hii ni mara ya kwanza uwakilishi kufanywa na Simba bila msaada wa serikali"
X Link 2024-04-03T07:13Z 72.4K followers, [--] engagements

"@Jambotv_ 😂😂😂 Huyu Monaban si ni yule mfanyabiashara ambae JPM alimnyanganya yale ma-godown ya NMC Si ni yule aliyejenga juu ya reli ya Moshi-Arusha mjengo aliojenga ukabomolewa Si yule alieshindwa kura za maoni za ubunge wa AR-Mjini chini ya CCM Kumbe sasa ni Askofu 😂😂😂"
X Link 2024-04-07T15:42Z 72.5K followers, [--] engagements

"@kighera50 @Jambotv_ Anafundisha Ukristu gani huyo Pale Arushasijui kama kuna wa kumsikiliza. Hawa ndio watakuwa washauri. Wa RC Makonda sio. 😂😂😂"
X Link 2024-04-07T15:46Z 72.5K followers, [--] engagements

"@CarolNdosi Graduate anapokuwa chawa kiasi hiki unadhani sababu ni nini Ni lazima kumtangaza kila unaemuombea au anaeombewa Wakatoliki wenzangu wanajua ni wajibu kuwaombea viongozi ijumaa kuu kulikuwa na maombi maalum; lakini tukitoka makanisani tumemwachia Mungu afanyie kazi maombi yetu"
X Link 2024-04-07T17:36Z 72.5K followers, [--] engagements

"@k3nzoE @CarolNdosi Ukiachana na huyu ulikwishawahi kuona mtu yeyote aliyetoka kanisani au msikitini akatangaza maombi yake hadharani"
X Link 2024-04-07T18:41Z 72.5K followers, [--] engagements

"Na ukizingatia yeye na kundi lake baada ya kuangusha ile ndege ya Marais wa Rwanda na Burundi na kuwauwa na baada ya kumuuwa yule Mama Makamu wa rais aliyeshika nafasi ya Urais kwa saa [--] ndipo chuki na mauwaji ya kimbari yalipoanza. Kwangu Kagame ni miongoni mwa wauwaji"
X Link 2024-04-08T08:07Z 72.5K followers, [--] engagements

"@Sharb84 Inaweza kuwafanya wachambuzi kuwatilia shaka viongozi na watendaji kwamba ajira zao hazitokani na uwezo au weledi bali zina walakini"
X Link 2024-04-08T18:22Z 72.5K followers, [--] engagements

"@Pilato63837Jr Najielewa kuliko unavyodhani. Labda hujasoma hayo matusi. Natamani yaelekezwe kwa mama yako. Hakuna raia yeyote mwenye haki ya kumtukana mtu yeyote matusi ya nguoni kwa sababu ya msimamo wake kisiasa au kiutendaji"
X Link 2024-04-09T14:29Z 72.5K followers, [--] engagements

"@Kirikuu20 Mimi sio Muislam naweza kusema hakuna ubaguzi hapo. Kitendo cha kubusu mkono kwa huyo mzee ambae katoka hija hawezi kukikubali kwa kuwa kinaashiria utukufu. Mtukufu ni Mungu pekee. Mwijaku amekurupuka na mambo yake ya bongo"
X Link 2024-04-09T19:18Z 72.5K followers, [--] engagements

"Kwa ufasaha wa rejea soma hiyo sehemu ya katiba"
X Link 2024-04-11T19:44Z 72.6K followers, [--] engagements

"Sasa utaratibu ni lazima bunge liondoe hicho kifungu kwa theluthi mbili za wabunge wa bara na theluthi mbili za wabunge wa ZNZ. Baada ya hapo sheria irudi bungeni maana marekebisho yaliyofanywa ni batili. Bunge lenye mwanasheria mkuu wa serikali na majaji ktk tume hawakuona hili"
X Link 2024-04-11T19:49Z 72.6K followers, [--] engagements

"Hii ni dharau kubwa kwa dola. Nadhani imefika hatua huyu awekwe chini na wazee wamkanye. Tusema Makonda ana uwezo wa kiuchunguzi kuliko vyombo vya dola vinavyomlinda Rais Au vinaripoti kwake Hapana this is too much. Hawezi kumfikishia Rais kama ni kweli hadi aseme hadharani"
X Link 2024-04-12T12:25Z 72.7K followers, [--] engagements

"@Sharb84 😂😂😂 Hii ni hatari yaani Makonda ana information kuliko usalama"
X Link 2024-04-12T13:19Z 72.6K followers, [--] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

creator/x::joeselasini
/creator/x::joeselasini