Dark | Light
# ![@ayubu_madenge Avatar](https://lunarcrush.com/gi/w:26/cr:twitter::741669824682700800.png) @ayubu_madenge Ayubu Madenge

Ayubu Madenge posts on X about leo, elon musk, tanzania, burkina faso the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours.

### Engagements: [-------] [#](/creator/twitter::741669824682700800/interactions)
![Engagements Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::741669824682700800/c:line/m:interactions.svg)

- [--] Months [-------] +526%
- [--] Year [-------] -64%

### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::741669824682700800/posts_active)
![Mentions Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::741669824682700800/c:line/m:posts_active.svg)


### Followers: [-------] [#](/creator/twitter::741669824682700800/followers)
![Followers Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::741669824682700800/c:line/m:followers.svg)

- [--] Months [-------] +1.70%
- [--] Year [-------] +5.10%

### CreatorRank: [------] [#](/creator/twitter::741669824682700800/influencer_rank)
![CreatorRank Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::741669824682700800/c:line/m:influencer_rank.svg)

### Social Influence

**Social category influence**
[countries](/list/countries)  27% [travel destinations](/list/travel-destinations)  #6366 [celebrities](/list/celebrities)  #3220 [social networks](/list/social-networks)  9% [technology brands](/list/technology-brands)  9% [currencies](/list/currencies)  8% [luxury brands](/list/luxury-brands)  2% [fashion brands](/list/fashion-brands)  2% [products](/list/products)  2% [la liga](/list/la-liga)  1%

**Social topic influence**
[leo](/topic/leo) #42, [elon musk](/topic/elon-musk) 8%, [tanzania](/topic/tanzania) #244, [burkina faso](/topic/burkina-faso) 6%, [kwanza](/topic/kwanza) 6%, [russia](/topic/russia) 4%, [musk](/topic/musk) 4%, [sio](/topic/sio) 4%, [kenya](/topic/kenya) 3%, [spain](/topic/spain) 3%

**Top accounts mentioned or mentioned by**
[@sharb84](/creator/undefined) [@fahad_znz](/creator/undefined) [@paulbaita](/creator/undefined) [@mamgunda1](/creator/undefined) [@paulmganyizi1](/creator/undefined) [@kighera50](/creator/undefined) [@bigsyke20](/creator/undefined) [@lusomi24](/creator/undefined) [@rkishaija81715](/creator/undefined) [@kicheche_jr](/creator/undefined) [@farahom91196252](/creator/undefined) [@nestoryjovin](/creator/undefined) [@mwanamapinduz](/creator/undefined) [@fraasha2](/creator/undefined) [@daxmaga](/creator/undefined) [@flahisha](/creator/undefined) [@mrfixitharaka](/creator/undefined) [@momataula](/creator/undefined) [@ntibegelanajn](/creator/undefined) [@atkinson_eng](/creator/undefined)
### Top Social Posts
Top posts by engagements in the last [--] hours

"Mechi ya ufunguzi AFCON [----] itachezewa hapa Tanzania. Jambo hili ni sahihi si ndiyo Oh samahani ninaelezwa kuwa jambo hili bado linajadiliwa. Patrice Motsepe Rais wa CAF"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2022314612318769281)  2026-02-13T14:19Z 386.4K followers, 26.3K engagements


"Wazazi wa Clinton Mogesa waliuza shamba lao huko Kenya ili wampeleke Qatar akafanye kazi. Alipofika Qatar akaelekea Russia na akaamua kuipigani Russia hatimaye ameuawa huko Ukraine. Sasa Ukraine inasema Russia imeuacha mwili wake. Familia yake inaomba msaada wa kuupata mwili huo"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2018302051843821577)  2026-02-02T12:34Z 386.3K followers, 38.9K engagements


"Mjaluo wa Nairobi aliyepiga soka kipaji kikaonekana. Akiwa na miaka [--] watu wakachanga pesa wakamsafirisha kwenda Spain. Akiwa huko wakala wake akamtelekeza akakosa hadi nyumba ya kuishi ila akasaidiwa na timu yake ndogo. Leo hii Job Ochieng anachezea Real Sociedad ya La Liga"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2020422896879866230)  2026-02-08T09:02Z 386.4K followers, 35.4K engagements


"Waziri wa mambo ya nje wa Ethiopia ameandika barua na ameituhumu Eritrea kwa kuingiza jeshi lao Kaskazini mwa Ethiopia na Kushirikiana na vikundi vya waasi. Itakumbukwa kuwa Eritrea ilijitenga na Ethiopia miaka [--] iliyopita na kuwa taifa huru baada ya kupigana vita ya miaka 30"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2020509582397718565)  2026-02-08T14:46Z 386.3K followers, [----] engagements


"Hawa NMB wameliweka hili tangazo lao kimkakati sana. Wataalam najua washaelewa. 😀"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2017926832650084767)  2026-02-01T11:43Z 386.4K followers, 62.7K engagements


"Picha hii ilipigwa mwaka [----] wakati huo Salim Ahmed Salim alikuwa kijana wa miaka [--] tu na tayari alikuwa ni Balozi wa Tanzania nchini India. Siku hiyo kulikuwa na hafla kwenye makazi ya Balozi huko Delhi India. Je mimi na wewe tunakumbuka tulifanya nini wakati tuna miaka 24"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2022244082178031673)  2026-02-13T09:38Z 386.4K followers, 31.5K engagements


"Chaguo la Mwalimu mwaka [----] wakati anaachia madaraka lilikuwa ni Salim Ahmed Salim Mwalimu alitamani sana Salim awe Rais. Jambo hili hadi Rais Mwinyi aliliandika kwenye Kitabu chake. Mwalimu hakuchoka [----] alitamani tena Rais awe Salim jambo hili Mkapa aliliandika pia"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2022542207115579536)  2026-02-14T05:23Z 386.4K followers, 22.3K engagements


"@Sharb84 Umeandika Vema. Changamoto ni kwamba tuna kundi kubwa la watu ambao hawalielewi hili halafu wanaweka nadharia zao binafsi. [----] Mwalimu alimtaka Ila Wajumbe wa Zanzibar wakamkataa na [----] hakuwa tayari"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2022563765686763743)  2026-02-14T06:49Z 386.4K followers, [----] engagements


"Elon Musk amebadili kitufe cha like ili kusherekea siku ya Wapendanao yaani #ValentinesDay. Bonyeza Like kwenye Tweet hii uone jinsi ishara ya Love iliyopambwa vizuri itakavyo tokea"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2022614170907140445)  2026-02-14T10:09Z 386.4K followers, 17K engagements


"Licha ya kudumu kwenye Uhusiano kwa miaka [--] na kumpatia Ronaldo watoto wawili ila mpaka leo hii Cristiano Ronaldo ana miaka [--] na bado hajamuoa huyu binti. Wanaishi kwenye Uchumba sugu"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1717119727544258873)  2023-10-25T10:03Z 386.4K followers, 117.5K engagements


"Alisomea Umwagiliaji ila akakosa kazi akaingia Mererani Kuchimba madini na bado hakufanikiwa. Akasoma kozi fupi ya Utangazaji akapata kazi Channel Ten TBC ITV kisha BBC. Alipofika UK akasoma Chuo Kikuu huko London na akazidi kuwa mtaalamu. Salim Kikeke ametimiza miaka [--] leo"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1721405921451020798)  2023-11-06T05:55Z 386.4K followers, 78.2K engagements


"Nicole Freeman Mbowe Binti wa Mwenyekiti wa CHADEMA yani Freeman Mbowe amehitimu rasmi na amekuwa Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1731357154345447915)  2023-12-03T16:58Z 386.4K followers, 95.9K engagements


"Kenya imesema itazungumza na Russia kuhusu nchi hiyo kuacha kuajiri raia wa Kenya kupigana vita Ukraine. Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya amesema jambo hilo halikubaliki na anaitaka Russia isaini makubaliano ya kutochukua Wakenya. Kenya inasema raia wake [---] wanaipigania Russia"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2021226706376212516)  2026-02-10T14:16Z 386.4K followers, 13.9K engagements


"Ruto amejenga nyumba za bei nafuu amegawa Tsh Bilioni [----] kwa vijana kufanyia biashara. Anajenga SGR airports maelfu ya Kilomita za barabara ameimarisha uchumi anapeleka vijana nje ya nchi kufanya kazi lakini Gen-Z wanampiga Spana vibaya mnoo na jamaa anaishi nao fresh tu"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2022594628784927126)  2026-02-14T08:51Z 386.4K followers, 38.6K engagements


"Rais Mwinyi alieleza kuwa Mwalimu alitaka Salim awe Rais baada yake. Mwalimu akakaa na Wajumbe wa Zanzibar kuwasikiliza kabla ya Mkutano wa CCM 15/08/1985. Wajumbe hao wakamkataa Salim bila uoga na wakampa tuhuma. Mwalimu akaona akilazimisha jambo la Salim anaweza vunja muungano"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2022954539922448386)  2026-02-15T08:42Z 386.5K followers, [----] engagements


"Ukweli usemwe WATANI walistahili kufuzu hatua ya robo fainali. Wana timu nzuri na kikosi imara sana. Sema ndo hivyo wakati mwingine football ina matokeo ya kikatili mnoo. Wameshinda Kama walivyotaka Ila hawajafuzu"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2023097276747665567)  2026-02-15T18:09Z 386.4K followers, 13.7K engagements


"Mama Mzazi wa Pel bado yupo hai mpaka leo tena kwa sasa ana Umri wa Miaka [---]. Dada yake Pel anasema mama huyo hatambui Kama Mtoto wake amefariki"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1609506490926174208)  2023-01-01T11:07Z 386.4K followers, 111K engagements


"Amezaliwa amekulia na anaishi DSM akasoma Azania na Shaaban Robert kisha chuo akasoma Software Engineering. Akapata kazi ITV na baadaye Clouds kama mtaalam wa IT. Ruge akambadili kuwa Mtangazaji na baadaye akahamia EFM. Wengi wanahoji hatua waliyoichukua EFM Juu ya Gerald Hando"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1609821816603680774)  2023-01-02T08:00Z 386.4K followers, 258.3K engagements


"Kiwango cha Mepenzi na Uungwana nilichokuonesha haukuamini kama nitaweza kukuacha.Wewe haufai kuwa Mke wa mtu yeyote wewe ni Mtu katili na ninakuchukia. Ukiendelea kujaribu kunichafua mimi nitaitisha Press bibie utajuta. Aidha utakunywa Sumu au utarudi Shinyanga Haji Manara"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1613041477084676101)  2023-01-11T05:13Z 386.4K followers, 241.2K engagements


"Hapa bongo kuna Ma DJ halafu kuna DJ Ally B. Huyu jamaa huwa ana Vibe lake la la pekee sana hajui kukasirika hajui kununa muda wote yeye anapiga Mluzi kwa Shangwe tu. Halafu ana ule msemo wake"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1613847451797962753)  2023-01-13T10:36Z 386.4K followers, 238.9K engagements


"Alizaliwa Butiama akajiunga na jeshi la wakoloni akiwa na miaka [--]. Akapigana WWII kisha akapelekwa kufundisha Wanajeshi huko Kenya na Idd Amin akawa Mwanafunzi wake. Akarudi nchini na akaongoza vita ya Kagera. Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali David Musuguri sasa ana miaka 103"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1614493839988752384)  2023-01-15T05:25Z 386.4K followers, 127.6K engagements


"Tukubali tusikubali kwa sasa YANGA ni timu kubwa sana Ukanda huu. Leo wanatoa fundisho la namna ya Kushinda mechi za Kimataifa. Nafasi ya Kuiwakilisha nchi sasa ni yenu Hongera Watani"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1627349899791441920)  2023-02-19T16:50Z 386.4K followers, 137K engagements


"Aliitwa Pombe sababu alizaliwa siku bibi yake anapika Pombe. Akasoma Seminari kisha UDSM na Uingereza. Mtaalam wa Kemia aliyefundisha Sengerema kisha akaingia kwenye Siasa. Akawa Mbunge Waziri na Rais Leo ni Miaka Miwili tangu Dkt. John Magufuli afariki. Unamkumbuka kwa lipi"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1636587225453412354)  2023-03-17T04:36Z 386.4K followers, 210.9K engagements


"YANGA imetupa fundisho la namna ya kumfunga Mwarabu. Ukweli usemwe hii YANGA inaujua mpira kweli kweli. Ninawaona YANGA wakifika hatua ya fainali ya Shirikisho na sitashangaa wakibeba hili Kombe. Hongera Watani"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1637514849033809921)  2023-03-19T18:02Z 386.4K followers, 172.4K engagements


"Wakati Mwalimu yupo hai na Mwinyi akiwa Rais kabla ya uchaguzi wa vyama vingi kipindi ambacho USD [--] =Tsh [---]. Siku kama ya leo nilizaliwa ndani ya Nchi hii iliyojaaliwa watu wenye upendo. Leo ninapoazimisha siku hiininaomba dua zenu nizidi kuwa mtu mwenye mchango kwa Nchi hii"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1639856756980436995)  2023-03-26T05:08Z 386.4K followers, 121.5K engagements


"Gibson Kawago alisoma PCM Ilboru Chuo akasoma DIT. Sasa ni CEO wa Kampuni ya Teknolojia ya WAGA na anatangaza Wasafi FM. Teknolojia imemfungulia milango na kumfikisha nchi nyingi na hata Kufanya Miradi na UN. Gibson ndiyo kina Elon Musk wetu na leo anazungumza na Kamala Harris"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1641431826374746114)  2023-03-30T13:26Z 386.4K followers, 236.2K engagements


"YANGA hawakustahili kabisa kucheza haya Mashindano ilikuwa ni bahati mbaya tu. Ukweli ni kwamba Kiwango cha YANGA ni kikubwa mnoo na wanastahili kucheza Mashindano Makubwa kuliko hata ya Club bingwa Afrika. Siioni timu ya kuizuia YANGA kuwa mabingwa wa Shirikisho. Hongera Watani"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1642542489994141697)  2023-04-02T15:00Z 386.4K followers, 180.2K engagements


"Aliondoka kwao huko Spain Mwaka [----] akaja bongo akiwa hana Pesa. Akafanya kazi Bar akafundisha watu kuogelea kisha akaanzisha biashara nyingi ambazo zilifeli. Mwisho biashara ya Mgahawa wa Samaki ikakubali. Huyu ni Kalito mmiliki wa Samaki Samaki Kuku Kuku na Wavuvi Kempu"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1644333173961027587)  2023-04-07T13:35Z 386.4K followers, 199.9K engagements


"Tukubali tukatae ROMA Mkatoliki atabaki kuwa Mmoja tu na wala hakuna Copy yake kwenye hii Nchi. Baada ya Kumsubiri kwa Takribani Miaka Mwili na Nusu ROMA anakuja na Wimbo wa Dakika [--] na Sekunde [--]. Mashahiri yamenyooka na yanaeleweka kweli kweli hakika tumpe ROMA Maua yake"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1648688628690763776)  2023-04-19T14:02Z 386.4K followers, 84.1K engagements


"Mnatuambia mjiajiri mbona nyie hamkujiajiri. Nikupe boda yangu kisha we Unipe Uwaziri. Nikukabidhi vyeti vyangu hangaika navyo Mwezi mmoja niko pale nakungoja uje tuongee lugha Moja Roma Mkatoliki"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1648913022709104640)  2023-04-20T04:54Z 386.4K followers, 129.5K engagements


"Alisomea Umwagiliaji ila akakosa kazi akaingia Mererani Kuchimba madini na bado hakufanikiwa. Akasoma kozi fupi ya Utangazaji akapata kazi Chanel Ten TBC ITV kisha BBC. Alipofika UK akasoma Chuo Kikuu huko London. Salim Kikeke ameondoka BBC baada ya Kufanya kazi kwa miaka 20"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1652184050197581827)  2023-04-29T05:32Z 386.4K followers, 165.6K engagements


"Jana baada ya Victor Osimhen kuwapa Napoli Ubingwa Mashabiki wa Napoli walivamia Uwanja wakataka Kuondoka na Mchezaji huyo ili waende kushangilia naye Mtaani. Ikabidi Askari [--] waingilie Kati wakampeleka Osimhen kwenye vyumba vya Kubadili Nguo. Wazungu hawata msahau huyu Mwamba"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1654362362378330113)  2023-05-05T05:48Z 386.4K followers, 115.1K engagements


"Mmakonde wa Mtawara aliyesoma Ifunda Tech akaja Dar Kutafuta Maisha. Akaishi kwenye Kontena la Mafundi na akatumia mabafu na Vyoo vya Kulipia Mnazi Mmoja mwisho akapewa hifadhi na kina Crazy GK. Akafanya Muziki na Ukamtoa kiukweli A.Y ni Mfano wa Mtu aliyepambania ndoto yake"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1682282086214823937)  2023-07-21T06:51Z 386.4K followers, 211.9K engagements


"YANGA wametangaza Wiki yao SIMBA wameanzisha Safari ya KIBEGI. YANGA wanaitangaza Mechi na Kaizer Chiefs SIMBA wamezindua Jezi Mpya. Leo ni YANGA day SIMBA nao wanatangaza Mchezaji Mkubwa. SIMBA mmewabana sana YANGA na hamjawapa upenyo halafu matukio yenu ndo yana trend zaidi"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1682617555104481280)  2023-07-22T05:04Z 386.4K followers, 111.4K engagements


"Picha inayozungumza maneno Bilioni Moja. Fei Toto na Professor Nabi wakiwa Tunisia"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1683090811825582080)  2023-07-23T12:24Z 386.4K followers, 89.6K engagements


"Babu yake ni Mjerumani Baba yake alikuwa Polisi aliyeuawa na Idd Amin. Akaingia JWTZ akapigana Vita ya Kagera ila akakaa Miaka [--] Jela kwa Kujaribu Kumpindua Nyerere. Mke akamuacha yeye akapata Kazi ya Kuendesha daladala. Mwisho akawa tajiri Huyu ni Zakaria Hans Pope wa SIMBA"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1684065758534332416)  2023-07-26T04:58Z 386.4K followers, 113.4K engagements


"Ibrahim Traor Captain wa Jeshi na Rais wa Burkina Faso amepiga hotuba kali mpaka Putin akampigia makofi. Traor amesema viongozi wa Afrika waache kujipendekeza kwa Mataifa ambayo yanaendelea Kuinyonya Afrika.Baada ya hotuba Putin amesema atafungua Ubalozi wa Russia Burkina Faso"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1685523942482534400)  2023-07-30T05:33Z 386.4K followers, 158.8K engagements


"Hatuwezi kwenda Mbinguni sababu tulisali sana Tulifunga sana Tulinena kwa lugha Tulitoa Mapepo Tulisali Novena na Litania nyingi. Hukumu ya Mwisho itahusu ni kwa Kiasi gani tuliwajali wengine CDF Mstaafu Jenerali Venance Mabeyo"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1686037074221113346)  2023-07-31T15:32Z 386.4K followers, 155.4K engagements


"Captain Ibrahim Traor mwenye Miaka [--] 1.Rais Mdogo Kuliko wote Afrika 2.Amepewa tuzo na nchi za BRICS 3.Ameifanya Russia ifungue Ubalozi Burkina Faso 3.Ameondoa Vikosi vya Ufaransa huko Burkina Faso 4.Amezuia Usafirishaji wa Uranium kwenda Ufaransa na US"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1686255827533852672)  2023-08-01T06:01Z 386.4K followers, 245K engagements


"Msomi wa Chuo Kikuu aliyeonesha uwezo Mkubwa darasani kisha akaingia Jeshini Burkina Faso. Akapewa Mafunzo mpaka Morocco akaenda kwenye Mission hatari na akaonesha Ujasiri. Mwisho akafanya Mapinduzi akiwa na Miaka [--] na sasa Captain Ibrahim Traor ni Rais mdogo zaidi Duniani"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1687324684650438656)  2023-08-04T04:48Z 386.4K followers, 98.3K engagements


"Thomas Sankara Rais mwenye Miaka [--] 1.Alipunguza Mshahara wake 2.Akasomesha bure Raia wake 3.Akakataa Misaada ya Wazungu 4.Akajenga Reli na barabara bila Msaada 5.Akatunga Wimbo wa Taifa na Kubadili jina la Nchi 6.Akauza Magari ya Kifahari ya Serikali akawapa Magari ya Kawaida"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1687712974432075776)  2023-08-05T06:31Z 386.4K followers, 138.5K engagements


"Alisomea Umwagiliaji ila akakosa kazi akaingia Mererani Kuchimba madini na bado hakufanikiwa. Akasoma kozi fupi ya Utangazaji akapata kazi Chanel Ten TBC ITV kisha BBC. Alipofika UK akasoma Chuo Kikuu huko London. Imethibitishwa Salim Kikeke atakuwa MC Rasmi wa SIMBA Day kesho"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1687873826598846464)  2023-08-05T17:10Z 386.4K followers, 99.6K engagements


"Shati alilovaa Mwana FA kwenye wimbo wake wa Yalait ni langu na Gari lile alilokuwa anaendesha kwenye video ya wimbo huo pia ni langu. Lakini leo hii Mwana FA ni Waziri. Maisha yanabadilika Chidi Benz"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1691314831171649536)  2023-08-15T05:04Z 386.4K followers, 132K engagements


"Mbowe alikutana na mke wake yani Dkt.Lilian Mtei huko Maryland USA alipoenda kwenye biashara zake. Dkt Lilian ambaye pia ni Mtoto wa Muasisi na M/Kiti wa Kwanza wa CHADEMA alikuwa anasoma Marekani lakini akaja kumalizia masomo yake Muhimbili. Leo wametimiza miaka [--] ya Ndoa"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1692403228355256459)  2023-08-18T05:09Z 386.4K followers, 92.1K engagements


"Mtoto wa Askari aliyezaliwa Tanga akakulia Dar akasoma Swila Sec na Lutheran Junior Seminary. Chuo akataka kwenda Harvard ila akaishia SUA. Akasoma Vitabu vingi na biblia akaokoka na akawa Mchungaji. Kwa sasa Pastor Tony Kapola anasikilizwa sana na watu na leo ni birthday yake"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1698265642464375232)  2023-09-03T09:24Z 386.4K followers, 101.1K engagements


"Tweet ya heshima kwa Haji Mnoga kijana amepambana sana aisee. Sasa tunakiona kizazi kipya cha Taifa Stars Chenye Kiu ya Mafanikio. Kesho yetu ni bora sana"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1699889969727414616)  2023-09-07T20:58Z 386.4K followers, 38.2K engagements


"Leo Kampuni ya Apple inazindua rasmi simu Mpya aina ya iPhone [--]. Tajiri Elon Musk naye ameamua kubadili muonekano wa kitufe cha Like ili kuendana na Uzinduzi huu wa simu hii. Ukibofya kitufe cha Like kwenye Tweet hii utaona Muonekano mpya #iPhone15 #AppleEvent"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1701643655109312586)  2023-09-12T17:07Z 386.4K followers, 217.6K engagements


"Sio Askari wala hana Mafunzo rasmi ya Uokoaji. Ila anasukumwa na Moyo wa Kusaidia na kuokoa Maisha ya watu huko Hanang. Respect sana kwake"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1732084790944305253)  2023-12-05T17:09Z 386.4K followers, 104.1K engagements


"Alipata watoto [--] ndani ya miaka [--] akafuga kuku ili asaidie familia kiuchumi. Akakataa kuitwa First Lady na akarudisha zawadi ya mkufu wa Almasi aliopewa na meneja wa mgodi wa Mwadui. Tena akaishi kwenye ndoa na Mwalimu kwa Miaka [--]. Mama wa taifaMaria Nyerere ametimiza miaka 93"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1741325876178903338)  2023-12-31T05:10Z 386.4K followers, 145.4K engagements


"Elon Musk amebadilisha kitufe cha Like ili kusheherekea tukio la kuupokea mwaka Mpya. Ukibonyeza kitufe cha Like kwenye Tweet hii Utaona Mafataki ya Kuukaribisha Mwaka Mpya [----] yanatokea. #HappyNewYear"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1741451502265262255)  2023-12-31T13:29Z 386.4K followers, 207.6K engagements


"Kijana aliyezaliwa na kukulia DSM akasoma Azania na Shaaban Robert kisha chuo akasoma Software Engineering. Akapata kazi ITV na baadaye Clouds kama mtaalam wa IT. Ruge akambadili kuwa Mtangazaji na baadae akahamia EFM kisha Wasafi FM. Gerald Hando amefiwa na mke wake. Tumpe pole"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1746501346386170265)  2024-01-14T11:55Z 386.4K followers, 107.6K engagements


"Kila Mtu anahitaji rafiki wa kweli kama vile Bashe alivyokuwa kwa Lowassa. Bashe alikuwa rafiki mkubwa wa Lowassa tena leo alipoenda kwa Lowassa ameibua hisia sana kwenye familia ya Lowassa. Alipoingia kuaga mwili familia ya Lowassa ikalia sana na Bashe pia akalia kwa uchungu"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1758510197041926622)  2024-02-16T15:14Z 386.4K followers, 145.1K engagements


"SIMBA tuna mengi ya Kujifunza toka kwa hii YANGA ya Gamondi. Hawa jamaa kwanza wanawachezaji wenye Ubora Uwezo na Viwango vya Kimataifa halafu Wanacheza kwa Spirit ya ajabu wanajituma na wanakiu ya Kupata Mafanikio. WATANI leo mmetufunga Mdomo. Respect sana Kwenu"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1761450648443224374)  2024-02-24T17:58Z 386.4K followers, 83.5K engagements


"Mzaliwa wa Mkuranga aliyehamia Zanzibar akiwa Mtoto akasoma Zanzibar Mpaka Uingereza na akawa Mwalimu. Kisha akawa Balozi Waziri Rais wa Zanzibar na Rais wa Tanzania. Ali Hassan Mwinyi ambaye kwenye Maisha yake binafsi hajawahi Kukopa Pesa amefariki akiwa na miaka 98"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1763256495003619522)  2024-02-29T17:34Z 386.4K followers, 131.5K engagements


"Kutana na Mohammad Abdul Rahman Mfamasia kutoka Egypt ambaye ametaja Quran nzima kutoka kichwani kwake kwa saa [--] Mfululizo bila kukosea hata Mstari mmoja"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1771187094901162061)  2024-03-22T14:48Z 386.4K followers, 103.8K engagements


"Msomi mwenye Masters ya Sheria aliyeingia kwenye Siasa. Mwaka jana akafungwa na amekuja kuachiwa siku [--] tu kabla ya Uchaguzi na bado akashinda. Bassirou Faye kijana mwenye miaka [--] tu amechaguliwa kuwa Rais wa Senegal na ameahidi kubadili katiba na kupunguza Mamlaka ya Rais"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1772230616882315523)  2024-03-25T11:54Z 386.4K followers, 86.6K engagements


"Wakuu wa Mataifa ya Mali Niger na Burkina Faso ambao pia wote ni Wanajeshi waliochukua Madaraka kwa Mapinduzi wamekutana na Kuanzisha Shirikisho la Umoja wa nchi zao. Kuanzia sasa shambulizi kwa mmoja wao litakuwa ni shambulizi kwa wote"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1809815391360692361)  2024-07-07T05:03Z 386.4K followers, 89.7K engagements


"Barcelona ilikuwa na Utaratibu wa kupiga picha na watoto kwa ajili ya Calender ya UNICEF. Mwaka [----] Messi akiwa na Miaka [--] akapangiwa kupiga picha na mtoto mchanga wa Miezi [--] ambaye ni Lamine Yamal. Wakati huo hakuna alijua kuwa Yamal angekuja kuwa mchezaji hodari namna hii"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1810920604981194858)  2024-07-10T06:14Z 386.4K followers, 78.8K engagements


"Rais Ruto anaweza kuweka Historia kwa kuchagua Mama Muuza mboga mboga au dereva Bodaboda mmoja kuwa Waziri kwenye Serikali yake. Kwa sababu wapo wanaofanya kazi hizo na ni wasomi wa vyuo vikuu tena wenye ufaulu wa juu. Eric Omondi"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1811634007437627859)  2024-07-12T05:29Z 386.4K followers, 64.3K engagements


"Salim Kikeke amekuja na ule Ujuzi wake wa Uandishi wa habari wa Kimataifa na sasa anaibadilisha game ya hapa Bongo. Jamaa anafanya interview kubwa mnoo na watu wakubwa hii itazidi kuwainua sana Crown Media kwani wanaonekana wako tofauti na hizi media nyingine"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1812002274224242879)  2024-07-13T05:53Z 386.4K followers, 102.5K engagements


"Nenda kote duniani kutana na kila aina ya watu pata mafanikio yote na timiza kila aina ya ndoto lakini kamwe usisahau Nyumbani na asili yako. Nico Williams mchezaji wa Spain akiwa na familia yake huko kijijini kwao Ghana"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1814557671627858256)  2024-07-20T07:07Z 386.4K followers, 65.3K engagements


"Kiongozi wa Burkina Faso Captain Ibrahim Traor amezifutia leseni za Uchumbaji Madini kampuni zote za Kigeni nchini kwake. Captain Traor amesema hawanufaiki lolote na Uchimbaji unaofanywa na makampuni ya kigeni hivyo Madini watachimba wao wenyewe yaani watu wa Burkina Faso"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1815693050447827312)  2024-07-23T10:18Z 386.4K followers, 115.8K engagements


"Kijana aliyezaliwa Ngarenaro Kambi ya fisi Arusha tena akawa mcheza soka mzuri nafasi ya Kipa. Mtu anayekiri kuwa hakupata Ufaulu wa juu form [--] akaamua awe dereva daladala Arusha ila akasoma Open University. Baadaye akawa Wakili na leo Boniface Mwabukusi amechaguliwa Rais wa TLS"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1819472333155061897)  2024-08-02T20:36Z 386.4K followers, 116.7K engagements


"Baada ya Mpira kuisha Azizi Ki alitumia muda mrefu sana kuzungumza na Charles Ahoua wa SIMBA. Kuna kitu Aziz Ki anakiona ndani ya huyu kijana na ndani ya timu hii Mpya ya SIMBA kwa ujumla. Ni suala la Muda tu"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1821634700265263241)  2024-08-08T19:48Z 386.4K followers, 110.2K engagements


"Mtoto wa Tanga aliyesoma Korogwe Girls Chuo akasoma Sheria UDSM na Masters huko Afrika kusini. Akafanya Kazi Ubalozi wa Denmark kisha akiwa na miaka [--] tu akawa Mbunge na amehudumu kwa takribani miaka [--] sasa. Shabiki wa SIMBA Ummy Mwalimu ameondolewa kwenye Wizara ya Afya"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1823807061488230425)  2024-08-14T19:41Z 386.4K followers, 164.9K engagements


"Senegal wamerusha Satellite yao ya kwanza huko Angani na kuweka historia mpya. Rais wa Senegal yaani Bassirou Faye amesema kazi hiyo kubwa ya kurusha Satellite imefanywa kwa miaka [--] na Wahandisi pamoja na mafundi wao wa Senegal tena amesema jambo hili litawapa Uhuru wa Teknolojia"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1824676613532909810)  2024-08-17T05:16Z 386.4K followers, 87.4K engagements


"Azizi Ki ni miongoni mwa watu ambao wapo ndani ya uwanja wa KMC Complex kushuhudi mechi ya SIMBA dhidi ya Tabora. Azizi Ki ni Mwanamichezo kweli kweli anapenda kufuata burudani bila kujali ushabiki"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1825173143453151515)  2024-08-18T14:09Z 386.4K followers, 67K engagements


"Salim Kikeke anaendelea kuifanya Crown Media kuwa ya tofauti sana hasa kwa aina ya mahojiano anayoyafanya pamoja na watu anao wahoji"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1826531841488093277)  2024-08-22T08:08Z 386.4K followers, 101.8K engagements


"Mkuu wa Majeshi wa Kwanza wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Jenerali Mirisho Sarakikya yupo hai mpaka leo. Jenerali Sarakikya alikuwa mkuu wa Majeshi akiwa na miaka [--] tu na leo hii ana miaka [--]. Sarakikya alikuwa na madaraka makubwa katika umri mdogo ila alimudu"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1830161598226313381)  2024-09-01T08:31Z 386.4K followers, 94.4K engagements


"Heshima anayopewa Victor Osimhen na Waturuki wa Galatasaray sio ya kawaida hata kidogo jamaa wamempokea kwa namna ya pekee mnoo. Jana baada ya Mechi yake ya kwanza Mashabiki walimbeba wakaenda kukaa naye Jukwaani kisha wakaanza kushangilia na kuimba pamoja naye"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1835213540942123335)  2024-09-15T07:06Z 386.4K followers, 69.4K engagements


"P Diddy ameomba alipe Tsh Bilioni [---] na kutoruhusu tena mwanamke yeyote kuingia nyumbani kwake ila hakimu amegoma kumpa dhamana. P Diddy amewekwa kwenye moja kati ya jela hatari Brooklyn na atakua anaoga mara [--] kwa wiki kuamka saa [--] asubuhi kisha kudeki chumba chake kila siku"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1836758167297872055)  2024-09-19T13:24Z 386.4K followers, 259.3K engagements


"Sio siri Chama bado yupo vizuri sana na kiuhalisia kabisa hapa SIMBA tulipoteza mtu kweli kweli"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1837557075528110416)  2024-09-21T18:18Z 386.4K followers, 96.2K engagements


"Ukubali ukatae Ukweli unabaki kuwa ule ule Mechi za SIMBA za Kimataifa zinamvuto kuliko za timu yoyote ile ya ukanda wa Afrika Mashariki"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1837852676790386786)  2024-09-22T13:53Z 386.4K followers, 92.6K engagements


"Ameikuta timu haina muunganiko amekuta timu inawachezaji wengi wapya kuliko wa zamani na bado ametuvusha kuingia kwenye Makundi. Tumpe heshima Kocha Fadlu Davids"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1837875631842889876)  2024-09-22T15:24Z 386.4K followers, 65.4K engagements


"Salim Kikeke anaendelea kuiweka Crown media kwenye ulimwengu wa pekee kabisa linapokuja suala zima la Media hapa nchini. Interview zake anafanya na watu fulani hivi na leo amefanya mahojiano na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1843679492029792384)  2024-10-08T15:46Z 386.4K followers, 83.2K engagements


"January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki. Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka [--]. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka [--] na Mzee Makamba ambaye ni Muislam"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1847990266457674133)  2024-10-20T13:16Z 386.4K followers, 220.1K engagements


"Mtandao wa X umebadili muonekano wa kitufe cha like ili kuadhimisha siku ya halloween huko Marekani. Bonyeza kitufe cha like kwenye Tweet hii uone kitakavyoonekana. #Halloween"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1851891456174104642)  2024-10-31T07:38Z 386.4K followers, 98.3K engagements


"Tajiri Elon Musk akiendelea ku Tweet huku akiwa kwenye tafrija ya ushindi wa Trump. Yote kwa yote huyu jamaa amempambania sana Trump"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1854085083692515729)  2024-11-06T08:55Z 386.4K followers, 96.7K engagements


"Sio Askari wala hana Mafunzo rasmi ya Uokoaji. Ila amesukumwa na Moyo wa kusaidia na kuokoa maisha ya watu Kariakoo. Respect sana kwake na wale wote waliojitoa kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1858038423321272803)  2024-11-17T06:44Z 386.4K followers, 138.4K engagements


"Tajiri Elon Musk amebadili kitufe cha Like ili kusheherekea sikukuu hii ya Christmas. Ukibonyeza like kwenye Tweet hii utaona inatokea ishara ya Mnyama huyu anayeitwa Reindeer. #MerryChristmas"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1871831757928218977)  2024-12-25T08:14Z 386.4K followers, 92.3K engagements


"Dakika za jioniii kabisa. Hatimaye Mohammed Salah amefanya jambo ambalo analipenda kila mwaka jambo la kusheherekea Christmas na familia yake. Sio siri mwaka huu ametusubirisha sana kutuonesha hii picha"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1871984341682975025)  2024-12-25T18:20Z 386.4K followers, 119.6K engagements


"Alipata watoto [--] ndani ya miaka [--] akafuga kuku ili asaidie familia kiuchumi. Akakataa kuitwa First Lady na akarudisha zawadi ya mkufu wa Almasi aliopewa na meneja wa mgodi wa Mwadui. Tena akaishi kwenye ndoa na Mwalimu kwa Miaka [--]. Mama wa taifaMaria Nyerere ametimiza miaka 94"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1873958328218628187)  2024-12-31T05:04Z 386.4K followers, 124.1K engagements


"Mmoja kapokelewa kwa shangwe mwingine kapokelewa kimya kimya. Hii ni kama vile vijana wa CHADEMA walikusudia kutuma ujumbe mapema kabisa kabla ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chama chao"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1878787509712556360)  2025-01-13T12:53Z 386.4K followers, 273.4K engagements


"Kutoka Singida mpaka kusoma Iliboru na Galanos Sec kisha Sheria UDSM na baadaye akaenda Uingereza kwa masomo ya juu. Akawa mbunge kwa miaka [--] akanusurika kifo akaenda kwa matibabu Ughaibuni. Mtu aliyewania kiti cha Urais [----] Tundu Lissu ameshinda Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1881934904965152782)  2025-01-22T05:20Z 386.4K followers, 76.5K engagements


"Wengi wameona ushindi wa Lissu na kushindwa kwa Mbowe lakini ni wachache walioona kazi kubwa aliyoifanya John Mnyika. Huu uchaguzi ulimweka katika wakati mgumu sana lakini kwa Utulivu wake amesimamia mchakato mzima mpaka mshindi halali amepatikana. Respect sana kwake"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1881966833919840591)  2025-01-22T07:27Z 386.4K followers, 102K engagements


"Kijana aliyesoma Maua Seminary akapata Division [---] huku akiwa na alama A tisa kati ya Masomo [--] Chuo akasoma UDSM. Akawa miongoni mwa waasisi wa asasi za vijana kama YUNA na TYVA kisha akaingia kwenye siasa akawa mbunge. John Mnyika amechaguliwa tena kuwa Katibu Mkuu CHADEMA"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1882103846891348287)  2025-01-22T16:31Z 386.4K followers, 102.1K engagements


"Taarifa zinasema Captain Ibrahim Traor yaani kiongozi wa Burkina Faso atakuwepo Tanzania Tarehe [--] na [--] January kwa ajili ya Mkutano wa Nishati. Kwenye matukio ya namna hii Kiongozi huyu huwa anaingia na walinzi wake wanaovaa Kombati kama zake. Tunamkaribisha Tanzania"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1882350354467274834)  2025-01-23T08:51Z 386.4K followers, 131.4K engagements


"Boniface Jacob anasema alipoona Mbowe ameshindwa hakuhitaji ruhusa ya Mbowe ili asaini fomu ya kukubali matokeo bali alisani yeye mwenyewe. Pia alipoenda VIP Room kumpa Mbowe taarifa kuwa ameshindwa Wafuasi wa Mbowe walianza kulia ila Mbowe akamkumbatia Boni Yai akakubali matokeo"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1882422780693746016)  2025-01-23T13:38Z 386.4K followers, 87K engagements


"Elon Musk amebadili kitufe cha like ili kusherekea siku ya Wapendanao yaani #ValentinesDay. Bonyeza Like kwenye Tweet hii uone jinsi ishara ya Love na Maua itakavyo tokea"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1890259665789010109)  2025-02-14T04:39Z 386.4K followers, 113.9K engagements


"Tajiri Elon Musk amebadili tena kitufe cha like ili kusheherekea tukio la uzinduzi wa simu mpya ya IPhone toka kampuni ya Apple #AppleLaunch . Ukibonyeza like kwenye Tweet hii utaona nembo ya Apple inatokea"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1892136807229194616)  2025-02-19T08:59Z 386.4K followers, 107.5K engagements


"Leo Professor Mussa Assad aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ameenda kutoa mafunzo ya Uongozi kwa viongozi wa CHADEMA wa ngazi mbalimbali"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1899832115123941818)  2025-03-12T14:37Z 386.4K followers, 108.5K engagements


"Ukweli ni kwamba ukimkamata mtu kama Tundu Lissu na ukamfungulia kesi unakua haumshushi bali unazidi kumuongezea credibility kwa watu na anazidi kujikusanyia wafuasi. Kumkabili Tundu Lissu unahitaji watu Smart katika siasa magwiji wa kujenga hoja na wenye nguvu ya ushawishi"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1910274304417165733)  2025-04-10T10:11Z 386.4K followers, 101.2K engagements


"Vyombo vya habari vya kimataifa ikiwepo BBC vimeanza kuripoti taarifa za Lissu. Hili sakata linatufanya tu attract attention ya kimataifa ambayo kimsingi haiji kwa wema bali inakuja kuibagaza nchi yetu. Bado ninashauri kuwa namna bora ya kudili na Lissu ni kudili na hoja zake"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1910561665088729515)  2025-04-11T05:12Z 386.4K followers, 98.8K engagements


"Nani anaharibu amani anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani mfumo wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI.Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila Masharti Askofu Pisa Rais TEC"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1913855140399845586)  2025-04-20T07:19Z 386.4K followers, 189.8K engagements


"Rais wa Namibia Nandi-Ndaitwah; [--]. Anajenga viwanja [--] vya soka 2.Ametangaza Elimu bure Chuo Kikuu [--]. Amepunguza Wizara kutoka [--] hadi [--] 4.Amepunguza Manaibu waziri toka [--] hadi [--] 5.Amefuta madeni ya mikopo ya Wanafunzi wa Vyuo [--]. Anajenga nyumba [----] kwa watu wenye vipato duni"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1915801054995763298)  2025-04-25T16:12Z 386.4K followers, 163.2K engagements


"Mayele yule yule aliyewapeleka YANGA fainali yao ya kwanza ya shirikisho leo amewapeleka tena Pyramids fainali yao ya kwanza ya Club bingwa kwa kufunga magoli mawili muhimu yaliyoamua mchezo. Jamaa bado ni mtu hatari sana. Tena kwa sasa ndiye mfungaji bora wa mashindano"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1915858821035311293)  2025-04-25T20:01Z 386.4K followers, 83.6K engagements


"Alikuta timu haina muunganiko mzuri akakuta wachezaji wengi ni wapya lakini bado ametufikisha Fainali ya CAF. Respect sana kwa fundi wa Soka Maestro Don Fadlu Davids. Retweet mpaka imfikie huko alipo Durban Afrika kusini"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1916511114197635580)  2025-04-27T15:13Z 386.4K followers, 60.9K engagements


"Elimu ya Wolfgang Pisa Rais wa TEC; [--]. Bachelor degree in Philosophy- Zambia [--]. Bachelor degree in Divinity - Zambia [--]. Bachelor degree in Theology- Jordan [--]. Masters of Education - UDSM [--]. Masters in Social ethics- USA [--]. PhD in Social Ethics- USA"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1989613923763364014)  2025-11-15T08:38Z 386.4K followers, 243.8K engagements


"Mtengenezaji filamu mashuhuri wa India yaani S S Rajamouli anatajiria kurekodi filamu yake mpya hapa Tanzania mbugani Serengeti. Filamu hiyo itakayoitwa SSMB29 inasubiriwa kwa hamu na itahusisha waigizaji nguli akiwepo Priyanka Chopra. Bajeti ya Movie ni Tsh Bilioni 304"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/1945798899446243498)  2025-07-17T10:53Z 386.4K followers, 15.9K engagements


"Leo Man United mmefanya kazi iliyotukuka kazi ya kuikabidhi rasmi Arsenal ubingwa wa EPL 2025/26. Sisi mashabiki wa Arsenal kamwe hatusahau hili mlilolifanya. Tukisha chukua kombe letu tutalileta hadi jiji la Manchester ili tuwape wachezaji na mashabiki wenu nafasi ya kulibeba"  
[X Link](https://x.com/ayubu_madenge/status/2012534610324840811)  2026-01-17T14:36Z 386.3K followers, 10.3K engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@ayubu_madenge Avatar @ayubu_madenge Ayubu Madenge

Ayubu Madenge posts on X about leo, elon musk, tanzania, burkina faso the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [-------] #

Engagements Line Chart

  • [--] Months [-------] +526%
  • [--] Year [-------] -64%

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

Followers: [-------] #

Followers Line Chart

  • [--] Months [-------] +1.70%
  • [--] Year [-------] +5.10%

CreatorRank: [------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries 27% travel destinations #6366 celebrities #3220 social networks 9% technology brands 9% currencies 8% luxury brands 2% fashion brands 2% products 2% la liga 1%

Social topic influence leo #42, elon musk 8%, tanzania #244, burkina faso 6%, kwanza 6%, russia 4%, musk 4%, sio 4%, kenya 3%, spain 3%

Top accounts mentioned or mentioned by @sharb84 @fahad_znz @paulbaita @mamgunda1 @paulmganyizi1 @kighera50 @bigsyke20 @lusomi24 @rkishaija81715 @kicheche_jr @farahom91196252 @nestoryjovin @mwanamapinduz @fraasha2 @daxmaga @flahisha @mrfixitharaka @momataula @ntibegelanajn @atkinson_eng

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"Mechi ya ufunguzi AFCON [----] itachezewa hapa Tanzania. Jambo hili ni sahihi si ndiyo Oh samahani ninaelezwa kuwa jambo hili bado linajadiliwa. Patrice Motsepe Rais wa CAF"
X Link 2026-02-13T14:19Z 386.4K followers, 26.3K engagements

"Wazazi wa Clinton Mogesa waliuza shamba lao huko Kenya ili wampeleke Qatar akafanye kazi. Alipofika Qatar akaelekea Russia na akaamua kuipigani Russia hatimaye ameuawa huko Ukraine. Sasa Ukraine inasema Russia imeuacha mwili wake. Familia yake inaomba msaada wa kuupata mwili huo"
X Link 2026-02-02T12:34Z 386.3K followers, 38.9K engagements

"Mjaluo wa Nairobi aliyepiga soka kipaji kikaonekana. Akiwa na miaka [--] watu wakachanga pesa wakamsafirisha kwenda Spain. Akiwa huko wakala wake akamtelekeza akakosa hadi nyumba ya kuishi ila akasaidiwa na timu yake ndogo. Leo hii Job Ochieng anachezea Real Sociedad ya La Liga"
X Link 2026-02-08T09:02Z 386.4K followers, 35.4K engagements

"Waziri wa mambo ya nje wa Ethiopia ameandika barua na ameituhumu Eritrea kwa kuingiza jeshi lao Kaskazini mwa Ethiopia na Kushirikiana na vikundi vya waasi. Itakumbukwa kuwa Eritrea ilijitenga na Ethiopia miaka [--] iliyopita na kuwa taifa huru baada ya kupigana vita ya miaka 30"
X Link 2026-02-08T14:46Z 386.3K followers, [----] engagements

"Hawa NMB wameliweka hili tangazo lao kimkakati sana. Wataalam najua washaelewa. 😀"
X Link 2026-02-01T11:43Z 386.4K followers, 62.7K engagements

"Picha hii ilipigwa mwaka [----] wakati huo Salim Ahmed Salim alikuwa kijana wa miaka [--] tu na tayari alikuwa ni Balozi wa Tanzania nchini India. Siku hiyo kulikuwa na hafla kwenye makazi ya Balozi huko Delhi India. Je mimi na wewe tunakumbuka tulifanya nini wakati tuna miaka 24"
X Link 2026-02-13T09:38Z 386.4K followers, 31.5K engagements

"Chaguo la Mwalimu mwaka [----] wakati anaachia madaraka lilikuwa ni Salim Ahmed Salim Mwalimu alitamani sana Salim awe Rais. Jambo hili hadi Rais Mwinyi aliliandika kwenye Kitabu chake. Mwalimu hakuchoka [----] alitamani tena Rais awe Salim jambo hili Mkapa aliliandika pia"
X Link 2026-02-14T05:23Z 386.4K followers, 22.3K engagements

"@Sharb84 Umeandika Vema. Changamoto ni kwamba tuna kundi kubwa la watu ambao hawalielewi hili halafu wanaweka nadharia zao binafsi. [----] Mwalimu alimtaka Ila Wajumbe wa Zanzibar wakamkataa na [----] hakuwa tayari"
X Link 2026-02-14T06:49Z 386.4K followers, [----] engagements

"Elon Musk amebadili kitufe cha like ili kusherekea siku ya Wapendanao yaani #ValentinesDay. Bonyeza Like kwenye Tweet hii uone jinsi ishara ya Love iliyopambwa vizuri itakavyo tokea"
X Link 2026-02-14T10:09Z 386.4K followers, 17K engagements

"Licha ya kudumu kwenye Uhusiano kwa miaka [--] na kumpatia Ronaldo watoto wawili ila mpaka leo hii Cristiano Ronaldo ana miaka [--] na bado hajamuoa huyu binti. Wanaishi kwenye Uchumba sugu"
X Link 2023-10-25T10:03Z 386.4K followers, 117.5K engagements

"Alisomea Umwagiliaji ila akakosa kazi akaingia Mererani Kuchimba madini na bado hakufanikiwa. Akasoma kozi fupi ya Utangazaji akapata kazi Channel Ten TBC ITV kisha BBC. Alipofika UK akasoma Chuo Kikuu huko London na akazidi kuwa mtaalamu. Salim Kikeke ametimiza miaka [--] leo"
X Link 2023-11-06T05:55Z 386.4K followers, 78.2K engagements

"Nicole Freeman Mbowe Binti wa Mwenyekiti wa CHADEMA yani Freeman Mbowe amehitimu rasmi na amekuwa Wakili wa Mahakama kuu ya Tanzania"
X Link 2023-12-03T16:58Z 386.4K followers, 95.9K engagements

"Kenya imesema itazungumza na Russia kuhusu nchi hiyo kuacha kuajiri raia wa Kenya kupigana vita Ukraine. Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya amesema jambo hilo halikubaliki na anaitaka Russia isaini makubaliano ya kutochukua Wakenya. Kenya inasema raia wake [---] wanaipigania Russia"
X Link 2026-02-10T14:16Z 386.4K followers, 13.9K engagements

"Ruto amejenga nyumba za bei nafuu amegawa Tsh Bilioni [----] kwa vijana kufanyia biashara. Anajenga SGR airports maelfu ya Kilomita za barabara ameimarisha uchumi anapeleka vijana nje ya nchi kufanya kazi lakini Gen-Z wanampiga Spana vibaya mnoo na jamaa anaishi nao fresh tu"
X Link 2026-02-14T08:51Z 386.4K followers, 38.6K engagements

"Rais Mwinyi alieleza kuwa Mwalimu alitaka Salim awe Rais baada yake. Mwalimu akakaa na Wajumbe wa Zanzibar kuwasikiliza kabla ya Mkutano wa CCM 15/08/1985. Wajumbe hao wakamkataa Salim bila uoga na wakampa tuhuma. Mwalimu akaona akilazimisha jambo la Salim anaweza vunja muungano"
X Link 2026-02-15T08:42Z 386.5K followers, [----] engagements

"Ukweli usemwe WATANI walistahili kufuzu hatua ya robo fainali. Wana timu nzuri na kikosi imara sana. Sema ndo hivyo wakati mwingine football ina matokeo ya kikatili mnoo. Wameshinda Kama walivyotaka Ila hawajafuzu"
X Link 2026-02-15T18:09Z 386.4K followers, 13.7K engagements

"Mama Mzazi wa Pel bado yupo hai mpaka leo tena kwa sasa ana Umri wa Miaka [---]. Dada yake Pel anasema mama huyo hatambui Kama Mtoto wake amefariki"
X Link 2023-01-01T11:07Z 386.4K followers, 111K engagements

"Amezaliwa amekulia na anaishi DSM akasoma Azania na Shaaban Robert kisha chuo akasoma Software Engineering. Akapata kazi ITV na baadaye Clouds kama mtaalam wa IT. Ruge akambadili kuwa Mtangazaji na baadaye akahamia EFM. Wengi wanahoji hatua waliyoichukua EFM Juu ya Gerald Hando"
X Link 2023-01-02T08:00Z 386.4K followers, 258.3K engagements

"Kiwango cha Mepenzi na Uungwana nilichokuonesha haukuamini kama nitaweza kukuacha.Wewe haufai kuwa Mke wa mtu yeyote wewe ni Mtu katili na ninakuchukia. Ukiendelea kujaribu kunichafua mimi nitaitisha Press bibie utajuta. Aidha utakunywa Sumu au utarudi Shinyanga Haji Manara"
X Link 2023-01-11T05:13Z 386.4K followers, 241.2K engagements

"Hapa bongo kuna Ma DJ halafu kuna DJ Ally B. Huyu jamaa huwa ana Vibe lake la la pekee sana hajui kukasirika hajui kununa muda wote yeye anapiga Mluzi kwa Shangwe tu. Halafu ana ule msemo wake"
X Link 2023-01-13T10:36Z 386.4K followers, 238.9K engagements

"Alizaliwa Butiama akajiunga na jeshi la wakoloni akiwa na miaka [--]. Akapigana WWII kisha akapelekwa kufundisha Wanajeshi huko Kenya na Idd Amin akawa Mwanafunzi wake. Akarudi nchini na akaongoza vita ya Kagera. Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali David Musuguri sasa ana miaka 103"
X Link 2023-01-15T05:25Z 386.4K followers, 127.6K engagements

"Tukubali tusikubali kwa sasa YANGA ni timu kubwa sana Ukanda huu. Leo wanatoa fundisho la namna ya Kushinda mechi za Kimataifa. Nafasi ya Kuiwakilisha nchi sasa ni yenu Hongera Watani"
X Link 2023-02-19T16:50Z 386.4K followers, 137K engagements

"Aliitwa Pombe sababu alizaliwa siku bibi yake anapika Pombe. Akasoma Seminari kisha UDSM na Uingereza. Mtaalam wa Kemia aliyefundisha Sengerema kisha akaingia kwenye Siasa. Akawa Mbunge Waziri na Rais Leo ni Miaka Miwili tangu Dkt. John Magufuli afariki. Unamkumbuka kwa lipi"
X Link 2023-03-17T04:36Z 386.4K followers, 210.9K engagements

"YANGA imetupa fundisho la namna ya kumfunga Mwarabu. Ukweli usemwe hii YANGA inaujua mpira kweli kweli. Ninawaona YANGA wakifika hatua ya fainali ya Shirikisho na sitashangaa wakibeba hili Kombe. Hongera Watani"
X Link 2023-03-19T18:02Z 386.4K followers, 172.4K engagements

"Wakati Mwalimu yupo hai na Mwinyi akiwa Rais kabla ya uchaguzi wa vyama vingi kipindi ambacho USD [--] =Tsh [---]. Siku kama ya leo nilizaliwa ndani ya Nchi hii iliyojaaliwa watu wenye upendo. Leo ninapoazimisha siku hiininaomba dua zenu nizidi kuwa mtu mwenye mchango kwa Nchi hii"
X Link 2023-03-26T05:08Z 386.4K followers, 121.5K engagements

"Gibson Kawago alisoma PCM Ilboru Chuo akasoma DIT. Sasa ni CEO wa Kampuni ya Teknolojia ya WAGA na anatangaza Wasafi FM. Teknolojia imemfungulia milango na kumfikisha nchi nyingi na hata Kufanya Miradi na UN. Gibson ndiyo kina Elon Musk wetu na leo anazungumza na Kamala Harris"
X Link 2023-03-30T13:26Z 386.4K followers, 236.2K engagements

"YANGA hawakustahili kabisa kucheza haya Mashindano ilikuwa ni bahati mbaya tu. Ukweli ni kwamba Kiwango cha YANGA ni kikubwa mnoo na wanastahili kucheza Mashindano Makubwa kuliko hata ya Club bingwa Afrika. Siioni timu ya kuizuia YANGA kuwa mabingwa wa Shirikisho. Hongera Watani"
X Link 2023-04-02T15:00Z 386.4K followers, 180.2K engagements

"Aliondoka kwao huko Spain Mwaka [----] akaja bongo akiwa hana Pesa. Akafanya kazi Bar akafundisha watu kuogelea kisha akaanzisha biashara nyingi ambazo zilifeli. Mwisho biashara ya Mgahawa wa Samaki ikakubali. Huyu ni Kalito mmiliki wa Samaki Samaki Kuku Kuku na Wavuvi Kempu"
X Link 2023-04-07T13:35Z 386.4K followers, 199.9K engagements

"Tukubali tukatae ROMA Mkatoliki atabaki kuwa Mmoja tu na wala hakuna Copy yake kwenye hii Nchi. Baada ya Kumsubiri kwa Takribani Miaka Mwili na Nusu ROMA anakuja na Wimbo wa Dakika [--] na Sekunde [--]. Mashahiri yamenyooka na yanaeleweka kweli kweli hakika tumpe ROMA Maua yake"
X Link 2023-04-19T14:02Z 386.4K followers, 84.1K engagements

"Mnatuambia mjiajiri mbona nyie hamkujiajiri. Nikupe boda yangu kisha we Unipe Uwaziri. Nikukabidhi vyeti vyangu hangaika navyo Mwezi mmoja niko pale nakungoja uje tuongee lugha Moja Roma Mkatoliki"
X Link 2023-04-20T04:54Z 386.4K followers, 129.5K engagements

"Alisomea Umwagiliaji ila akakosa kazi akaingia Mererani Kuchimba madini na bado hakufanikiwa. Akasoma kozi fupi ya Utangazaji akapata kazi Chanel Ten TBC ITV kisha BBC. Alipofika UK akasoma Chuo Kikuu huko London. Salim Kikeke ameondoka BBC baada ya Kufanya kazi kwa miaka 20"
X Link 2023-04-29T05:32Z 386.4K followers, 165.6K engagements

"Jana baada ya Victor Osimhen kuwapa Napoli Ubingwa Mashabiki wa Napoli walivamia Uwanja wakataka Kuondoka na Mchezaji huyo ili waende kushangilia naye Mtaani. Ikabidi Askari [--] waingilie Kati wakampeleka Osimhen kwenye vyumba vya Kubadili Nguo. Wazungu hawata msahau huyu Mwamba"
X Link 2023-05-05T05:48Z 386.4K followers, 115.1K engagements

"Mmakonde wa Mtawara aliyesoma Ifunda Tech akaja Dar Kutafuta Maisha. Akaishi kwenye Kontena la Mafundi na akatumia mabafu na Vyoo vya Kulipia Mnazi Mmoja mwisho akapewa hifadhi na kina Crazy GK. Akafanya Muziki na Ukamtoa kiukweli A.Y ni Mfano wa Mtu aliyepambania ndoto yake"
X Link 2023-07-21T06:51Z 386.4K followers, 211.9K engagements

"YANGA wametangaza Wiki yao SIMBA wameanzisha Safari ya KIBEGI. YANGA wanaitangaza Mechi na Kaizer Chiefs SIMBA wamezindua Jezi Mpya. Leo ni YANGA day SIMBA nao wanatangaza Mchezaji Mkubwa. SIMBA mmewabana sana YANGA na hamjawapa upenyo halafu matukio yenu ndo yana trend zaidi"
X Link 2023-07-22T05:04Z 386.4K followers, 111.4K engagements

"Picha inayozungumza maneno Bilioni Moja. Fei Toto na Professor Nabi wakiwa Tunisia"
X Link 2023-07-23T12:24Z 386.4K followers, 89.6K engagements

"Babu yake ni Mjerumani Baba yake alikuwa Polisi aliyeuawa na Idd Amin. Akaingia JWTZ akapigana Vita ya Kagera ila akakaa Miaka [--] Jela kwa Kujaribu Kumpindua Nyerere. Mke akamuacha yeye akapata Kazi ya Kuendesha daladala. Mwisho akawa tajiri Huyu ni Zakaria Hans Pope wa SIMBA"
X Link 2023-07-26T04:58Z 386.4K followers, 113.4K engagements

"Ibrahim Traor Captain wa Jeshi na Rais wa Burkina Faso amepiga hotuba kali mpaka Putin akampigia makofi. Traor amesema viongozi wa Afrika waache kujipendekeza kwa Mataifa ambayo yanaendelea Kuinyonya Afrika.Baada ya hotuba Putin amesema atafungua Ubalozi wa Russia Burkina Faso"
X Link 2023-07-30T05:33Z 386.4K followers, 158.8K engagements

"Hatuwezi kwenda Mbinguni sababu tulisali sana Tulifunga sana Tulinena kwa lugha Tulitoa Mapepo Tulisali Novena na Litania nyingi. Hukumu ya Mwisho itahusu ni kwa Kiasi gani tuliwajali wengine CDF Mstaafu Jenerali Venance Mabeyo"
X Link 2023-07-31T15:32Z 386.4K followers, 155.4K engagements

"Captain Ibrahim Traor mwenye Miaka [--] 1.Rais Mdogo Kuliko wote Afrika 2.Amepewa tuzo na nchi za BRICS 3.Ameifanya Russia ifungue Ubalozi Burkina Faso 3.Ameondoa Vikosi vya Ufaransa huko Burkina Faso 4.Amezuia Usafirishaji wa Uranium kwenda Ufaransa na US"
X Link 2023-08-01T06:01Z 386.4K followers, 245K engagements

"Msomi wa Chuo Kikuu aliyeonesha uwezo Mkubwa darasani kisha akaingia Jeshini Burkina Faso. Akapewa Mafunzo mpaka Morocco akaenda kwenye Mission hatari na akaonesha Ujasiri. Mwisho akafanya Mapinduzi akiwa na Miaka [--] na sasa Captain Ibrahim Traor ni Rais mdogo zaidi Duniani"
X Link 2023-08-04T04:48Z 386.4K followers, 98.3K engagements

"Thomas Sankara Rais mwenye Miaka [--] 1.Alipunguza Mshahara wake 2.Akasomesha bure Raia wake 3.Akakataa Misaada ya Wazungu 4.Akajenga Reli na barabara bila Msaada 5.Akatunga Wimbo wa Taifa na Kubadili jina la Nchi 6.Akauza Magari ya Kifahari ya Serikali akawapa Magari ya Kawaida"
X Link 2023-08-05T06:31Z 386.4K followers, 138.5K engagements

"Alisomea Umwagiliaji ila akakosa kazi akaingia Mererani Kuchimba madini na bado hakufanikiwa. Akasoma kozi fupi ya Utangazaji akapata kazi Chanel Ten TBC ITV kisha BBC. Alipofika UK akasoma Chuo Kikuu huko London. Imethibitishwa Salim Kikeke atakuwa MC Rasmi wa SIMBA Day kesho"
X Link 2023-08-05T17:10Z 386.4K followers, 99.6K engagements

"Shati alilovaa Mwana FA kwenye wimbo wake wa Yalait ni langu na Gari lile alilokuwa anaendesha kwenye video ya wimbo huo pia ni langu. Lakini leo hii Mwana FA ni Waziri. Maisha yanabadilika Chidi Benz"
X Link 2023-08-15T05:04Z 386.4K followers, 132K engagements

"Mbowe alikutana na mke wake yani Dkt.Lilian Mtei huko Maryland USA alipoenda kwenye biashara zake. Dkt Lilian ambaye pia ni Mtoto wa Muasisi na M/Kiti wa Kwanza wa CHADEMA alikuwa anasoma Marekani lakini akaja kumalizia masomo yake Muhimbili. Leo wametimiza miaka [--] ya Ndoa"
X Link 2023-08-18T05:09Z 386.4K followers, 92.1K engagements

"Mtoto wa Askari aliyezaliwa Tanga akakulia Dar akasoma Swila Sec na Lutheran Junior Seminary. Chuo akataka kwenda Harvard ila akaishia SUA. Akasoma Vitabu vingi na biblia akaokoka na akawa Mchungaji. Kwa sasa Pastor Tony Kapola anasikilizwa sana na watu na leo ni birthday yake"
X Link 2023-09-03T09:24Z 386.4K followers, 101.1K engagements

"Tweet ya heshima kwa Haji Mnoga kijana amepambana sana aisee. Sasa tunakiona kizazi kipya cha Taifa Stars Chenye Kiu ya Mafanikio. Kesho yetu ni bora sana"
X Link 2023-09-07T20:58Z 386.4K followers, 38.2K engagements

"Leo Kampuni ya Apple inazindua rasmi simu Mpya aina ya iPhone [--]. Tajiri Elon Musk naye ameamua kubadili muonekano wa kitufe cha Like ili kuendana na Uzinduzi huu wa simu hii. Ukibofya kitufe cha Like kwenye Tweet hii utaona Muonekano mpya #iPhone15 #AppleEvent"
X Link 2023-09-12T17:07Z 386.4K followers, 217.6K engagements

"Sio Askari wala hana Mafunzo rasmi ya Uokoaji. Ila anasukumwa na Moyo wa Kusaidia na kuokoa Maisha ya watu huko Hanang. Respect sana kwake"
X Link 2023-12-05T17:09Z 386.4K followers, 104.1K engagements

"Alipata watoto [--] ndani ya miaka [--] akafuga kuku ili asaidie familia kiuchumi. Akakataa kuitwa First Lady na akarudisha zawadi ya mkufu wa Almasi aliopewa na meneja wa mgodi wa Mwadui. Tena akaishi kwenye ndoa na Mwalimu kwa Miaka [--]. Mama wa taifaMaria Nyerere ametimiza miaka 93"
X Link 2023-12-31T05:10Z 386.4K followers, 145.4K engagements

"Elon Musk amebadilisha kitufe cha Like ili kusheherekea tukio la kuupokea mwaka Mpya. Ukibonyeza kitufe cha Like kwenye Tweet hii Utaona Mafataki ya Kuukaribisha Mwaka Mpya [----] yanatokea. #HappyNewYear"
X Link 2023-12-31T13:29Z 386.4K followers, 207.6K engagements

"Kijana aliyezaliwa na kukulia DSM akasoma Azania na Shaaban Robert kisha chuo akasoma Software Engineering. Akapata kazi ITV na baadaye Clouds kama mtaalam wa IT. Ruge akambadili kuwa Mtangazaji na baadae akahamia EFM kisha Wasafi FM. Gerald Hando amefiwa na mke wake. Tumpe pole"
X Link 2024-01-14T11:55Z 386.4K followers, 107.6K engagements

"Kila Mtu anahitaji rafiki wa kweli kama vile Bashe alivyokuwa kwa Lowassa. Bashe alikuwa rafiki mkubwa wa Lowassa tena leo alipoenda kwa Lowassa ameibua hisia sana kwenye familia ya Lowassa. Alipoingia kuaga mwili familia ya Lowassa ikalia sana na Bashe pia akalia kwa uchungu"
X Link 2024-02-16T15:14Z 386.4K followers, 145.1K engagements

"SIMBA tuna mengi ya Kujifunza toka kwa hii YANGA ya Gamondi. Hawa jamaa kwanza wanawachezaji wenye Ubora Uwezo na Viwango vya Kimataifa halafu Wanacheza kwa Spirit ya ajabu wanajituma na wanakiu ya Kupata Mafanikio. WATANI leo mmetufunga Mdomo. Respect sana Kwenu"
X Link 2024-02-24T17:58Z 386.4K followers, 83.5K engagements

"Mzaliwa wa Mkuranga aliyehamia Zanzibar akiwa Mtoto akasoma Zanzibar Mpaka Uingereza na akawa Mwalimu. Kisha akawa Balozi Waziri Rais wa Zanzibar na Rais wa Tanzania. Ali Hassan Mwinyi ambaye kwenye Maisha yake binafsi hajawahi Kukopa Pesa amefariki akiwa na miaka 98"
X Link 2024-02-29T17:34Z 386.4K followers, 131.5K engagements

"Kutana na Mohammad Abdul Rahman Mfamasia kutoka Egypt ambaye ametaja Quran nzima kutoka kichwani kwake kwa saa [--] Mfululizo bila kukosea hata Mstari mmoja"
X Link 2024-03-22T14:48Z 386.4K followers, 103.8K engagements

"Msomi mwenye Masters ya Sheria aliyeingia kwenye Siasa. Mwaka jana akafungwa na amekuja kuachiwa siku [--] tu kabla ya Uchaguzi na bado akashinda. Bassirou Faye kijana mwenye miaka [--] tu amechaguliwa kuwa Rais wa Senegal na ameahidi kubadili katiba na kupunguza Mamlaka ya Rais"
X Link 2024-03-25T11:54Z 386.4K followers, 86.6K engagements

"Wakuu wa Mataifa ya Mali Niger na Burkina Faso ambao pia wote ni Wanajeshi waliochukua Madaraka kwa Mapinduzi wamekutana na Kuanzisha Shirikisho la Umoja wa nchi zao. Kuanzia sasa shambulizi kwa mmoja wao litakuwa ni shambulizi kwa wote"
X Link 2024-07-07T05:03Z 386.4K followers, 89.7K engagements

"Barcelona ilikuwa na Utaratibu wa kupiga picha na watoto kwa ajili ya Calender ya UNICEF. Mwaka [----] Messi akiwa na Miaka [--] akapangiwa kupiga picha na mtoto mchanga wa Miezi [--] ambaye ni Lamine Yamal. Wakati huo hakuna alijua kuwa Yamal angekuja kuwa mchezaji hodari namna hii"
X Link 2024-07-10T06:14Z 386.4K followers, 78.8K engagements

"Rais Ruto anaweza kuweka Historia kwa kuchagua Mama Muuza mboga mboga au dereva Bodaboda mmoja kuwa Waziri kwenye Serikali yake. Kwa sababu wapo wanaofanya kazi hizo na ni wasomi wa vyuo vikuu tena wenye ufaulu wa juu. Eric Omondi"
X Link 2024-07-12T05:29Z 386.4K followers, 64.3K engagements

"Salim Kikeke amekuja na ule Ujuzi wake wa Uandishi wa habari wa Kimataifa na sasa anaibadilisha game ya hapa Bongo. Jamaa anafanya interview kubwa mnoo na watu wakubwa hii itazidi kuwainua sana Crown Media kwani wanaonekana wako tofauti na hizi media nyingine"
X Link 2024-07-13T05:53Z 386.4K followers, 102.5K engagements

"Nenda kote duniani kutana na kila aina ya watu pata mafanikio yote na timiza kila aina ya ndoto lakini kamwe usisahau Nyumbani na asili yako. Nico Williams mchezaji wa Spain akiwa na familia yake huko kijijini kwao Ghana"
X Link 2024-07-20T07:07Z 386.4K followers, 65.3K engagements

"Kiongozi wa Burkina Faso Captain Ibrahim Traor amezifutia leseni za Uchumbaji Madini kampuni zote za Kigeni nchini kwake. Captain Traor amesema hawanufaiki lolote na Uchimbaji unaofanywa na makampuni ya kigeni hivyo Madini watachimba wao wenyewe yaani watu wa Burkina Faso"
X Link 2024-07-23T10:18Z 386.4K followers, 115.8K engagements

"Kijana aliyezaliwa Ngarenaro Kambi ya fisi Arusha tena akawa mcheza soka mzuri nafasi ya Kipa. Mtu anayekiri kuwa hakupata Ufaulu wa juu form [--] akaamua awe dereva daladala Arusha ila akasoma Open University. Baadaye akawa Wakili na leo Boniface Mwabukusi amechaguliwa Rais wa TLS"
X Link 2024-08-02T20:36Z 386.4K followers, 116.7K engagements

"Baada ya Mpira kuisha Azizi Ki alitumia muda mrefu sana kuzungumza na Charles Ahoua wa SIMBA. Kuna kitu Aziz Ki anakiona ndani ya huyu kijana na ndani ya timu hii Mpya ya SIMBA kwa ujumla. Ni suala la Muda tu"
X Link 2024-08-08T19:48Z 386.4K followers, 110.2K engagements

"Mtoto wa Tanga aliyesoma Korogwe Girls Chuo akasoma Sheria UDSM na Masters huko Afrika kusini. Akafanya Kazi Ubalozi wa Denmark kisha akiwa na miaka [--] tu akawa Mbunge na amehudumu kwa takribani miaka [--] sasa. Shabiki wa SIMBA Ummy Mwalimu ameondolewa kwenye Wizara ya Afya"
X Link 2024-08-14T19:41Z 386.4K followers, 164.9K engagements

"Senegal wamerusha Satellite yao ya kwanza huko Angani na kuweka historia mpya. Rais wa Senegal yaani Bassirou Faye amesema kazi hiyo kubwa ya kurusha Satellite imefanywa kwa miaka [--] na Wahandisi pamoja na mafundi wao wa Senegal tena amesema jambo hili litawapa Uhuru wa Teknolojia"
X Link 2024-08-17T05:16Z 386.4K followers, 87.4K engagements

"Azizi Ki ni miongoni mwa watu ambao wapo ndani ya uwanja wa KMC Complex kushuhudi mechi ya SIMBA dhidi ya Tabora. Azizi Ki ni Mwanamichezo kweli kweli anapenda kufuata burudani bila kujali ushabiki"
X Link 2024-08-18T14:09Z 386.4K followers, 67K engagements

"Salim Kikeke anaendelea kuifanya Crown Media kuwa ya tofauti sana hasa kwa aina ya mahojiano anayoyafanya pamoja na watu anao wahoji"
X Link 2024-08-22T08:08Z 386.4K followers, 101.8K engagements

"Mkuu wa Majeshi wa Kwanza wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Jenerali Mirisho Sarakikya yupo hai mpaka leo. Jenerali Sarakikya alikuwa mkuu wa Majeshi akiwa na miaka [--] tu na leo hii ana miaka [--]. Sarakikya alikuwa na madaraka makubwa katika umri mdogo ila alimudu"
X Link 2024-09-01T08:31Z 386.4K followers, 94.4K engagements

"Heshima anayopewa Victor Osimhen na Waturuki wa Galatasaray sio ya kawaida hata kidogo jamaa wamempokea kwa namna ya pekee mnoo. Jana baada ya Mechi yake ya kwanza Mashabiki walimbeba wakaenda kukaa naye Jukwaani kisha wakaanza kushangilia na kuimba pamoja naye"
X Link 2024-09-15T07:06Z 386.4K followers, 69.4K engagements

"P Diddy ameomba alipe Tsh Bilioni [---] na kutoruhusu tena mwanamke yeyote kuingia nyumbani kwake ila hakimu amegoma kumpa dhamana. P Diddy amewekwa kwenye moja kati ya jela hatari Brooklyn na atakua anaoga mara [--] kwa wiki kuamka saa [--] asubuhi kisha kudeki chumba chake kila siku"
X Link 2024-09-19T13:24Z 386.4K followers, 259.3K engagements

"Sio siri Chama bado yupo vizuri sana na kiuhalisia kabisa hapa SIMBA tulipoteza mtu kweli kweli"
X Link 2024-09-21T18:18Z 386.4K followers, 96.2K engagements

"Ukubali ukatae Ukweli unabaki kuwa ule ule Mechi za SIMBA za Kimataifa zinamvuto kuliko za timu yoyote ile ya ukanda wa Afrika Mashariki"
X Link 2024-09-22T13:53Z 386.4K followers, 92.6K engagements

"Ameikuta timu haina muunganiko amekuta timu inawachezaji wengi wapya kuliko wa zamani na bado ametuvusha kuingia kwenye Makundi. Tumpe heshima Kocha Fadlu Davids"
X Link 2024-09-22T15:24Z 386.4K followers, 65.4K engagements

"Salim Kikeke anaendelea kuiweka Crown media kwenye ulimwengu wa pekee kabisa linapokuja suala zima la Media hapa nchini. Interview zake anafanya na watu fulani hivi na leo amefanya mahojiano na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini"
X Link 2024-10-08T15:46Z 386.4K followers, 83.2K engagements

"January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki. Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka [--]. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka [--] na Mzee Makamba ambaye ni Muislam"
X Link 2024-10-20T13:16Z 386.4K followers, 220.1K engagements

"Mtandao wa X umebadili muonekano wa kitufe cha like ili kuadhimisha siku ya halloween huko Marekani. Bonyeza kitufe cha like kwenye Tweet hii uone kitakavyoonekana. #Halloween"
X Link 2024-10-31T07:38Z 386.4K followers, 98.3K engagements

"Tajiri Elon Musk akiendelea ku Tweet huku akiwa kwenye tafrija ya ushindi wa Trump. Yote kwa yote huyu jamaa amempambania sana Trump"
X Link 2024-11-06T08:55Z 386.4K followers, 96.7K engagements

"Sio Askari wala hana Mafunzo rasmi ya Uokoaji. Ila amesukumwa na Moyo wa kusaidia na kuokoa maisha ya watu Kariakoo. Respect sana kwake na wale wote waliojitoa kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu"
X Link 2024-11-17T06:44Z 386.4K followers, 138.4K engagements

"Tajiri Elon Musk amebadili kitufe cha Like ili kusheherekea sikukuu hii ya Christmas. Ukibonyeza like kwenye Tweet hii utaona inatokea ishara ya Mnyama huyu anayeitwa Reindeer. #MerryChristmas"
X Link 2024-12-25T08:14Z 386.4K followers, 92.3K engagements

"Dakika za jioniii kabisa. Hatimaye Mohammed Salah amefanya jambo ambalo analipenda kila mwaka jambo la kusheherekea Christmas na familia yake. Sio siri mwaka huu ametusubirisha sana kutuonesha hii picha"
X Link 2024-12-25T18:20Z 386.4K followers, 119.6K engagements

"Alipata watoto [--] ndani ya miaka [--] akafuga kuku ili asaidie familia kiuchumi. Akakataa kuitwa First Lady na akarudisha zawadi ya mkufu wa Almasi aliopewa na meneja wa mgodi wa Mwadui. Tena akaishi kwenye ndoa na Mwalimu kwa Miaka [--]. Mama wa taifaMaria Nyerere ametimiza miaka 94"
X Link 2024-12-31T05:04Z 386.4K followers, 124.1K engagements

"Mmoja kapokelewa kwa shangwe mwingine kapokelewa kimya kimya. Hii ni kama vile vijana wa CHADEMA walikusudia kutuma ujumbe mapema kabisa kabla ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chama chao"
X Link 2025-01-13T12:53Z 386.4K followers, 273.4K engagements

"Kutoka Singida mpaka kusoma Iliboru na Galanos Sec kisha Sheria UDSM na baadaye akaenda Uingereza kwa masomo ya juu. Akawa mbunge kwa miaka [--] akanusurika kifo akaenda kwa matibabu Ughaibuni. Mtu aliyewania kiti cha Urais [----] Tundu Lissu ameshinda Uchaguzi wa Uenyekiti CHADEMA"
X Link 2025-01-22T05:20Z 386.4K followers, 76.5K engagements

"Wengi wameona ushindi wa Lissu na kushindwa kwa Mbowe lakini ni wachache walioona kazi kubwa aliyoifanya John Mnyika. Huu uchaguzi ulimweka katika wakati mgumu sana lakini kwa Utulivu wake amesimamia mchakato mzima mpaka mshindi halali amepatikana. Respect sana kwake"
X Link 2025-01-22T07:27Z 386.4K followers, 102K engagements

"Kijana aliyesoma Maua Seminary akapata Division [---] huku akiwa na alama A tisa kati ya Masomo [--] Chuo akasoma UDSM. Akawa miongoni mwa waasisi wa asasi za vijana kama YUNA na TYVA kisha akaingia kwenye siasa akawa mbunge. John Mnyika amechaguliwa tena kuwa Katibu Mkuu CHADEMA"
X Link 2025-01-22T16:31Z 386.4K followers, 102.1K engagements

"Taarifa zinasema Captain Ibrahim Traor yaani kiongozi wa Burkina Faso atakuwepo Tanzania Tarehe [--] na [--] January kwa ajili ya Mkutano wa Nishati. Kwenye matukio ya namna hii Kiongozi huyu huwa anaingia na walinzi wake wanaovaa Kombati kama zake. Tunamkaribisha Tanzania"
X Link 2025-01-23T08:51Z 386.4K followers, 131.4K engagements

"Boniface Jacob anasema alipoona Mbowe ameshindwa hakuhitaji ruhusa ya Mbowe ili asaini fomu ya kukubali matokeo bali alisani yeye mwenyewe. Pia alipoenda VIP Room kumpa Mbowe taarifa kuwa ameshindwa Wafuasi wa Mbowe walianza kulia ila Mbowe akamkumbatia Boni Yai akakubali matokeo"
X Link 2025-01-23T13:38Z 386.4K followers, 87K engagements

"Elon Musk amebadili kitufe cha like ili kusherekea siku ya Wapendanao yaani #ValentinesDay. Bonyeza Like kwenye Tweet hii uone jinsi ishara ya Love na Maua itakavyo tokea"
X Link 2025-02-14T04:39Z 386.4K followers, 113.9K engagements

"Tajiri Elon Musk amebadili tena kitufe cha like ili kusheherekea tukio la uzinduzi wa simu mpya ya IPhone toka kampuni ya Apple #AppleLaunch . Ukibonyeza like kwenye Tweet hii utaona nembo ya Apple inatokea"
X Link 2025-02-19T08:59Z 386.4K followers, 107.5K engagements

"Leo Professor Mussa Assad aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ameenda kutoa mafunzo ya Uongozi kwa viongozi wa CHADEMA wa ngazi mbalimbali"
X Link 2025-03-12T14:37Z 386.4K followers, 108.5K engagements

"Ukweli ni kwamba ukimkamata mtu kama Tundu Lissu na ukamfungulia kesi unakua haumshushi bali unazidi kumuongezea credibility kwa watu na anazidi kujikusanyia wafuasi. Kumkabili Tundu Lissu unahitaji watu Smart katika siasa magwiji wa kujenga hoja na wenye nguvu ya ushawishi"
X Link 2025-04-10T10:11Z 386.4K followers, 101.2K engagements

"Vyombo vya habari vya kimataifa ikiwepo BBC vimeanza kuripoti taarifa za Lissu. Hili sakata linatufanya tu attract attention ya kimataifa ambayo kimsingi haiji kwa wema bali inakuja kuibagaza nchi yetu. Bado ninashauri kuwa namna bora ya kudili na Lissu ni kudili na hoja zake"
X Link 2025-04-11T05:12Z 386.4K followers, 98.8K engagements

"Nani anaharibu amani anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani mfumo wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI.Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila Masharti Askofu Pisa Rais TEC"
X Link 2025-04-20T07:19Z 386.4K followers, 189.8K engagements

"Rais wa Namibia Nandi-Ndaitwah; [--]. Anajenga viwanja [--] vya soka 2.Ametangaza Elimu bure Chuo Kikuu [--]. Amepunguza Wizara kutoka [--] hadi [--] 4.Amepunguza Manaibu waziri toka [--] hadi [--] 5.Amefuta madeni ya mikopo ya Wanafunzi wa Vyuo [--]. Anajenga nyumba [----] kwa watu wenye vipato duni"
X Link 2025-04-25T16:12Z 386.4K followers, 163.2K engagements

"Mayele yule yule aliyewapeleka YANGA fainali yao ya kwanza ya shirikisho leo amewapeleka tena Pyramids fainali yao ya kwanza ya Club bingwa kwa kufunga magoli mawili muhimu yaliyoamua mchezo. Jamaa bado ni mtu hatari sana. Tena kwa sasa ndiye mfungaji bora wa mashindano"
X Link 2025-04-25T20:01Z 386.4K followers, 83.6K engagements

"Alikuta timu haina muunganiko mzuri akakuta wachezaji wengi ni wapya lakini bado ametufikisha Fainali ya CAF. Respect sana kwa fundi wa Soka Maestro Don Fadlu Davids. Retweet mpaka imfikie huko alipo Durban Afrika kusini"
X Link 2025-04-27T15:13Z 386.4K followers, 60.9K engagements

"Elimu ya Wolfgang Pisa Rais wa TEC; [--]. Bachelor degree in Philosophy- Zambia [--]. Bachelor degree in Divinity - Zambia [--]. Bachelor degree in Theology- Jordan [--]. Masters of Education - UDSM [--]. Masters in Social ethics- USA [--]. PhD in Social Ethics- USA"
X Link 2025-11-15T08:38Z 386.4K followers, 243.8K engagements

"Mtengenezaji filamu mashuhuri wa India yaani S S Rajamouli anatajiria kurekodi filamu yake mpya hapa Tanzania mbugani Serengeti. Filamu hiyo itakayoitwa SSMB29 inasubiriwa kwa hamu na itahusisha waigizaji nguli akiwepo Priyanka Chopra. Bajeti ya Movie ni Tsh Bilioni 304"
X Link 2025-07-17T10:53Z 386.4K followers, 15.9K engagements

"Leo Man United mmefanya kazi iliyotukuka kazi ya kuikabidhi rasmi Arsenal ubingwa wa EPL 2025/26. Sisi mashabiki wa Arsenal kamwe hatusahau hili mlilolifanya. Tukisha chukua kombe letu tutalileta hadi jiji la Manchester ili tuwape wachezaji na mashabiki wenu nafasi ya kulibeba"
X Link 2026-01-17T14:36Z 386.3K followers, 10.3K engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

creator/x::ayubu_madenge
/creator/x::ayubu_madenge