Dark | Light
# ![@TanzaniaLeaks Avatar](https://lunarcrush.com/gi/w:26/cr:twitter::1425093307378638848.png) @TanzaniaLeaks Tanzania Leaks

Tanzania Leaks posts on X about tanzania, mambo, dubai, zanzibar the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.

### Engagements: [------] [#](/creator/twitter::1425093307378638848/interactions)
![Engagements Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::1425093307378638848/c:line/m:interactions.svg)

- [--] Week [-------] +291%
- [--] Month [-------] +212%
- [--] Months [---------] +78%
- [--] Year [---------] -11%

### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::1425093307378638848/posts_active)
![Mentions Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::1425093307378638848/c:line/m:posts_active.svg)

- [--] Week [--] +130%
- [--] Month [--] +213%
- [--] Months [--] +350%
- [--] Year [--] -77%

### Followers: [-------] [#](/creator/twitter::1425093307378638848/followers)
![Followers Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::1425093307378638848/c:line/m:followers.svg)

- [--] Month [-------] +0.09%
- [--] Months [-------] +6.50%
- [--] Year [-------] +13%

### CreatorRank: [-------] [#](/creator/twitter::1425093307378638848/influencer_rank)
![CreatorRank Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::1425093307378638848/c:line/m:influencer_rank.svg)

### Social Influence

**Social category influence**
[countries](/list/countries)  [travel destinations](/list/travel-destinations)  [finance](/list/finance)  [currencies](/list/currencies)  [technology brands](/list/technology-brands)  [social networks](/list/social-networks)  [celebrities](/list/celebrities)  [us election](/list/us-election)  [luxury brands](/list/luxury-brands)  [automotive brands](/list/automotive-brands) 

**Social topic influence**
[tanzania](/topic/tanzania) #55, [mambo](/topic/mambo), [dubai](/topic/dubai), [zanzibar](/topic/zanzibar), [kenya](/topic/kenya), [breaking](/topic/breaking), [korea](/topic/korea), [dp world](/topic/dp-world), [mali](/topic/mali), [donald trump](/topic/donald-trump)

**Top assets mentioned**
[Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [StarLink (STARL)](/topic/starlink) [HAPI (HAPI)](/topic/hapi) [April (APRIL)](/topic/april) [Nani Coin (NANI)](/topic/nani) [Alphabet Inc Class A (GOOGL)](/topic/google) [Zetacoin (ZET)](/topic/zeta) [HELA (HELA)](/topic/hela)
### Top Social Posts
Top posts by engagements in the last [--] hours

"The failed assassination attempt of @TunduALissu in Dodoma was discussed at the highest level of the Tanzania government. The plan was: assassinate him- send his body to his home & BURY HIM RIGHT AWAY. The goal was to instill fear to the rest of the opposition. #TzWikiLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1462059822719844359)  2021-11-20T14:06Z 92.5K followers, [---] engagements


"UFISADI: SSH alifanya kikao na mmiliki wa Gran Melia Hotel siku alipofungua hotel hiyo Arusha. Sasa SSH yuko Ngorongoro kumalizia deal na Albwardy Investment kumiliki hotel ya Ngorongoro Crater Lodge. MPANGO: Albwardy Investment kumiliki Ngorongoro Crater Lodge na SSH kupewa hisa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1475009279950266368)  2021-12-26T07:43Z 92.2K followers, [----] engagements


"The failed assassination attempt of @TunduALissu in Dodoma was discussed at the highest level of the Tanzania government. The plan was: assassinate him- send his body to his home & BURY HIM RIGHT AWAY. The goal was to instill fear to the rest of the opposition. #TanzaniaLeaks When conman @RailaOdinga yells that he wants to RULE Kenya like the late John Pombe Magufuli TERRORIZED Tanzania we must remind him that Kenyans do not want a tyrant in power. We must remind him of how Maguguli RIDDLED @TunduALissu's body with 16-bullets. https://t.co/nad2QtC9KH When conman @RailaOdinga yells that he"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1475841398595362821)  2021-12-28T14:49Z 93K followers, [--] engagements


"Russia has added Vice President Kamala Harris and Facebook founder Mark Zuckerberg to its list of Americans who are now banned from entering the country. #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1517329382259544066)  2022-04-22T02:28Z 92.5K followers, [--] engagements


"BREAKING: United States President Joe Biden says American troops would defend Taiwan if invaded by China"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1571682172439826432)  2022-09-19T02:06Z 92.5K followers, [---] engagements


"Our Objective is to Save #Tanzania Public from the Chronic Corruption and miss management. We are welcoming any document or news that will expose those vises. Be assured that your privacy is of Paramount importance. Submit Leaks inbox or: tanzanialeaks@iCloud.com #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1596572252761620480)  2022-11-26T18:31Z 91.8K followers, [---] engagements


"BREAKING: President Joe Biden says he will run again for President in 2024"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1647033928241299457)  2023-04-15T00:27Z 93.1K followers, [----] engagements


"Ma Samia decided that Tanzania in collaboration with SES was to launch it's own satellite that wouldve covered the entire Africa & Middle East.Sadly Bwana Yule & Wahuni at Napes ministry sabotaged the project to protect Vodacom bse SES was going to offer the cheapest Internet"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1647361798536941568)  2023-04-15T22:10Z 92.5K followers, 14.9K engagements


"DP World amekuwa kama ugonjwa wa Ukoma katika mataifa mengi ya kiAfrika na hata Ulaya kutokana na mikataba yake ya kinyonyaji. Somalia wamefukuzwa. Djibouti hawatakiwi. Kenya hawatakiwi. Tanzania Rais Samia Speaker Tulia na Wahuni wa CCM wanawapigania. Wazalendo wetu mpo wapi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1680252621968359424)  2023-07-15T16:26Z 74.9K followers, [--] engagements


"Chama changu CCM unachukulia kwa wepesi vitu vizito vyenye maslahi mapana ya kitaifa kwa wepesi wa kutisha. Kumtuma Steve Nyerere na Jerry Silaa ni kujidhalilisha na kuwakejeli watanzania. Kwa nini umetufikisha huku Kama huu ndio mwanzo na mwisho wako basi ni mipango ya Mungu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1680686500302782466)  2023-07-16T21:11Z 85K followers, [--] engagements


"1-2 President Samia Suluhu Hassan has arrested several lawyers who publicly opposed his selling of our ports to the UAE DP World. Consequently Lawyers Mwabukusi Rugemeleza Nshala Madeleka Lissu & other critics lives are in Danger"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1681395348185522189)  2023-07-18T20:07Z 63.7K followers, 29K engagements


"Nape is a typical idiotic moron. A crook who believes their reign will never end. It is just the beginning DP World is bringing your house crumbling and soon you will know that you didn't know anything in the first place. JPM was such a smart guy to contain these morons"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1681646789378678790)  2023-07-19T19:02Z 64.3K followers, [----] engagements


"Sharjah Safari Park was officially opened on Sep [--] [----] that was after cargo planes were spotted shuttling in & out of Loliondo. This was close to [--] years after JPM's Demise. Today if you want a malaria free Safari outside Africa Sharjah is the Place. Thank you Samia Suluhu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1686503617660854272)  2023-08-02T21:38Z 63.7K followers, 14.2K engagements


"Our president is becoming a global laughing stock. It is now obvious that our plane is being held in Saudi Arabia. Amidst the DP World Scandal here comes the Presidential jet scandal"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1687857195915137024)  2023-08-05T16:04Z 63.6K followers, 31.6K engagements


"Considering what Dr. Tulia Ackson has done to the defenseless Tanzanians we are yet to see what @IPUparliament is going to do inlight of serious corruption allegations blatant & flagrant infringement of Tanzanias democratic rights. We are bracing to boycott IPU. @IPUPresident"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1687877550075494401)  2023-08-05T17:25Z 64K followers, [----] engagements


"IPU your Tulia Ackson is now uttering intimidations to peaceful protesters. public is enraged by a dubious contract they entered with Dubai's DP world. Instead of Executive oversight The Speaker is assuming a chief of Police Role by threatening anybody who dare to protest"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1689974161039396865)  2023-08-11T12:16Z 64K followers, 20.2K engagements


"Leaks hainunuliki na haitaweza kununulika. Hizo hela mnazohonga nendeni mkajenge mahospitali na mashule. Njaa yetu kubwa ni uhuru wa Tanzania kutoka kwa #Wahuni na wapumbavu kama nyie mnaouza utu wenu kwa warabu sababu ya pesa. Ukiendelea kuleta huu ujinga tutakulipua.Kafie mbele"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1689989842044616707)  2023-08-11T13:19Z 64K followers, 70.8K engagements


"IPU Tulia Ackson along with other evil officials within the government have arrested their shoddy and corrupt deal critics. Now they are charging them with treason which attracts death penalty. @IPUparliament we can now see your true colors by embracing this wicked woman"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1691163779520765952)  2023-08-14T19:03Z 63.7K followers, [----] engagements


"The DP World is unearthing them one by one. Dumb Wambura is talking of Treason. Mkumbo is Singing Criminality. Brain Dead Nape and Comic Chalamila don't even know what the crimes committed. Good thing they have announced to the global community that Tanzania is not a safe place"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1691961835031814386)  2023-08-16T23:55Z [--] followers, [----] engagements


"Madame President hope in your todays CC meeting with top brass wisdom will reign Supreme. Unconditionally release Dr. Slaa Mwabukusi & Mdude languishing in jail on trumpt-up charges. Remember to fire those mendacious advisors. Else you are drowning into the abyss of history"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1691977706886336543)  2023-08-17T00:58Z 64K followers, [----] engagements


"Cohort of Dumb Retards Comics and gluttonous Idiots. Only on Samia's watch"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1691997404059283660)  2023-08-17T02:16Z 63.9K followers, [----] engagements


"Wambura is a classical depiction of Police cluelessness and stupidity. Announcing to the world that Tanzania is not a safe place. He uses a bullet to think instead of his brain. Doesn't know what makes a treason charge"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1692148810900730324)  2023-08-17T12:18Z 64.3K followers, [----] engagements


"Nape a retarded loud mouth undoubtedly depicts vyeti feki. This bogus corrupt idiot doesn't even know the boundaries his responsibilities as Minister. How can he confidently go public with such a poorly written grammatically subpar letter addressing the international community"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1692151411587285274)  2023-08-17T12:28Z 63.8K followers, [----] engagements


"Kitila academic credentials ought to be scrutinized. This dumb snitch was all over BBC with broken English trumpeting "Criminality & Incitement" not Treason; Means our GovT is a crumbling Babylonian tower. Idiots are either inside moles sabotaging the regime or simply inept"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1692153546764931410)  2023-08-17T12:36Z 64K followers, [----] engagements


"Albert Chalamila a windbag comedian and a clueless idiot has told us that Dr. Slaa and the rest never committed a treason but incited the public to protest. Crumbling Babylonian tower. These idiots are either inside moles sabotaging the regime or simply government of inept "  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1692154617235116363)  2023-08-17T12:41Z 64.2K followers, [----] engagements


"Mrs. Maua Kitenge nakupa onyo na siri. Umetumika vya kutosha. Unadhani CCM tunapenda huu ujinga [--] days is enough. Don't make a mistake else people are going to make a good example out of you"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1692620465930395729)  2023-08-18T19:32Z 64K followers, 26.5K engagements


"BREAKING: Taarifa za uhakika tulizopata hivi punde ni kwamba Kuna mkakati wa TISS na CCM kuwatumia agents wa DP World kuwanunua wapinzani. Wapinzani wenye misimamo mikali watahujumiwa. Hela za DP World zinasambazwa siyo tu ndani ya chama ACT na CUF tayari wameshapokea mgao"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1695067135779729821)  2023-08-25T13:34Z 64K followers, 44.2K engagements


"BREAKING: Ingawa Massoro DG Tiss ana makosa yake lakini pia figisu za wahuni wa MSOGA zimemuondoa . Massoro aliwazibia zile briefing walizozoea. Kwani baadhi ya watu waliokuwa kwenye payroll walipigwa chini. RA na Kipara wakaingia kumsagia kunguni Msoga hatimaye kaliwa kichwa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1696342958692499710)  2023-08-29T02:04Z 63.6K followers, 10.2K engagements


"Anachozungumzia Tabasamu ni impact ya inflation. Mfumko wa bei ni contagious na inachukua muda. Tulionya lakini BoT wanaendelea na denials zao. Watanzania mjiandae na mfumko wa bei. Mishahara haitaendana na gharama za maisha. Let's brace for unprecedented level of inflation"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1697302312161542568)  2023-08-31T17:36Z 63.1K followers, 11.1K engagements


"Elvis Tuyizere Yohanne. Uliingia Tanzania Kama Mkimbizi ukabadilisha majina umesomea shule zetu na kujifanya mtanzania kumbe Mrundi. Unajifanya jasusi mbobevu unaifuatilia TanzaniaLeaks. Ujue Leaks nao wanakufuatilia mbuzi wewe. Reports zako idarani tunaziona. So be careful"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1697308632759808500)  2023-08-31T18:01Z 64K followers, 10.5K engagements


"Mama- Rais. Mtoto wa kike: Wanu Hafidh Ameir- Mbunge viti Maalum. Mtoto wa kiume: Abdul Hafidh Ameir- anaongoza negotiations kimataifa kwenye deals zote za Energy Bandari uwekezaji nk. Mkwe: Mohamed Mchengerwa- waziri wa TAMISEMI. Huyu kwaajili ya chaguzi [----] & 2025"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1697644800982364497)  2023-09-01T16:17Z 63.7K followers, [----] engagements


"Rais Samia unakosea wapi Kosa kubwa ulilolifanya ni kumkamata Dr. Slaa na Kumpa kesi ya UHAINI. Umekuja kurudia kosa kubwa zaidi la kumvua Ubalozi. Kataa hawa washauri wako. Hili ni kosa kubwa sana la kimkakati. Umemfanya Dr. Slaa kuwa na nguvu sana. [----] ndiye King Maker"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1697936691703480550)  2023-09-02T11:37Z 63.9K followers, [----] engagements


"BREAKING: Tanzania is headed to HELL. Its leaders are heartless. Neither do they have apathy nor sympathy. Comes a time the public say enough is enough let's Get rid of these corrupt despotic idiots. Read for yourself"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1698778639179936151)  2023-09-04T19:22Z 64K followers, 17.7K engagements


"The Lumumba Wacky Retarded fools have no common sense of deceiving even an infant. If you want to deceive those that are intellectually superior to you at least reason a bit. #TanzaniaLeaks is not VERIFIED you little blockhead"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1699027333158470105)  2023-09-05T11:50Z 64K followers, [----] engagements


"Tokea mtoto wa Samia Abdul alipo kwenda Uganda kukutana na Mseven tuliwaambia hawa watu wanatengeneza CRISIS ya mafuta. Vijana wa Lumumba mkaitukana #TanzaniaLeaks. Tunarudia tena kuna uhaba wa mafuta na dola"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1699040226738422260)  2023-09-05T12:42Z 63.6K followers, [---] engagements


"Dr. Mwigulu Nchemba a man of the people. We are quite impressed that you are coming into sync with the reality. Finally what we described as a CRISIS is being treated as such. World Bank kindly assist with USD it is a national crisis that could easily trash our economy"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1699501711214186580)  2023-09-06T19:15Z 63.7K followers, 11.6K engagements


"While supply & prices of oil have remained relatively stable in the global market artificial scarcity in Tanzania is emanating from this powerful cartel bent to sabotage the economy.Dr. Biteko carry a thorough investigation on what happened with bulk procurement. OMANIS save us"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1699796418293301703)  2023-09-07T14:47Z 64K followers, 11.1K engagements


"Tunaviongozi wa ajabu sana wananunua Magari ya TZS 500M huku kwenye ofisi zao vyoo havina maji. Nimeingia ofisi za Tamisemi makao makuu chooni hakuna maji corridor yote harufu. Hivi Waziri au KM unaingiaje kwenye V8 Unasalimianaje na watu mikono inanuka mavi Shame on you"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1699856531674542093)  2023-09-07T18:45Z 64K followers, 58.1K engagements


"BREAKING: Wanafungua dhamana ya Wakili Peter Madeleka leo na kumkamata tena. Msifurahi sana. Wakili Peter Madeleka bado hayupo huru. Lengo lao ni kuendelea kuwavuruga. Msitoke kwenye DP World na maandamano mliyoyapanga. Jeshi lipo nyuma yenu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1700077418810048908)  2023-09-08T09:23Z 64K followers, [---] engagements


"BREAKING: Kuna njama za kumkamata tena Wakili Madeleka baada tu ya kupewa dhamana. Askari wameongezeka na wamefunga geti za kutoka mahakamani ili iwe rahisi kumkamata tena. #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1700095154705600850)  2023-09-08T10:34Z 64K followers, 27.8K engagements


"BREAKING: Tanzania TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1700409553697804715)  2023-09-09T07:23Z 64K followers, [---] engagements


"BREAKING: Kutoka kitengo tumedokezwa usiku huu kuwa DPP anabadili mashtaka ya Wakili Peter Madeleka kesho asubuhi na kumpa kesi isiyo na dhamana. Mnaziba huku wanatoboa kule"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1701312228723454330)  2023-09-11T19:10Z 63.7K followers, [----] engagements


"Morani huyu Rasta mwenye vidole viwili mkono moja atawabaka mama zenu na kuwaua ndugu zenu Ngorongoro hadi lini Mnaweza kupambana na Simba lakini hamuwezi kumtendea haki huyu KIBAKA Wamasai acheni kuwa wapumbavu kwenye ardhi yenu. AMKENI"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1701331444793037301)  2023-09-11T20:26Z 64K followers, 45.2K engagements


"Rais Samia. Unajimaliza mwenyewe. Kitakachofuata hapa hakitakuwa kizuri. Na dhahiri unautangazia umma na dunia kwa ujumla kwamba kuna mabaya serikali imeyafanya Kule Ngorongoro. Haya mfupa wako huo mama Abdul utafune"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1701543346777260434)  2023-09-12T10:28Z 64K followers, [----] engagements


"Kassim mosi unaonekana ni mfuasi mtiifu wa Shujaa JPM na nje ya Kipara unaonekana unajipanga [----]. Lazima wakudhoofishe. Kukudhoofisha umepewa msaidizi. Pili msaidizi wako amewekwa ili akusanye kura za Kanda ya ziwa. Ziara za Chadema zimechafua. Lissu kawavuruga balaa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1703775676434731255)  2023-09-18T14:19Z 63.1K followers, [---] engagements


"During the gulf War that dethroned Sadam Hussein there was someone called Tariq Aziz famously known Bob Baghdad This man deceived Saddam that All American forces had been buried in the desert by Iraq forces yet they were 10Km from Baghdad. Pres Samia this idiot is dangerous"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1704356496119677029)  2023-09-20T04:47Z 63.7K followers, [----] engagements


"Jerry Silaa is another loud mouth dramatic ZERO brain DP-World agent who is ready to utter anything in order to remain relevant. If he is that good he needs to deal with the real CARTEL in Dar-es-Salaam instead of these small defenseless fishes"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1704615987658592439)  2023-09-20T21:58Z 64K followers, 11K engagements


"1-2 Oh my motherland My tears for thee. I am sobing uncontrollably hearing this emotional story of a life cut short and lives left in despair. Tanzania government do you care for the downtrodden What can we do for this family"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1705915258504655072)  2023-09-24T12:01Z 63.7K followers, 11.9K engagements


"2-2 Oh my motherland My tears for thee. I am sobing uncontrollably hearing this emotional story of a life cut short and lives left in despair. Tanzania government do you care for the downtrodden What can we do for this family"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1705915297192874350)  2023-09-24T12:01Z 64K followers, [----] engagements


"You are indeed a true testimony of a living miracle. We could be miles apart when it comes to political ideologies we are rather still humans and Tanzanians. Me being a CCM doesn't mean I should wish ill I am rather wishing Good health. May GOD shield you. #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1707109950713938073)  2023-09-27T19:08Z 64K followers, 20.7K engagements


"Tanzania haiwezi kupata maendeleo kwa kuwa na viongozi wenye akili mgando kiasi hii. Foleni kuanzia St. Peter Masaki hadi Lugalo kwa masaa mawili ili kiongozi mmoja apite. Uzalishaji wa hawa watu unakuwa compromised na mtu mmoja na wapambe wake. Huyu ni Dotto Biteko anapita"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1716866304563687600)  2023-10-24T17:16Z 62.4K followers, [----] engagements


"BREAKING: Uteuzi wa Makonda umeleta mpasuko mkubwa sana. #Wahuni au kundi la wakina Nape wamefanya kikao majuzi Masaki na kuafikiana kwamba ni lazima uteuzi wa Makonda utenguliwe au uongozi wa nchi ubadilike [----]. Rais Samia Wahuni wako na wewe na hii kitu tumeizungumzia sana"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1717049933927252003)  2023-10-25T05:26Z 89.3K followers, [--] engagements


"MORE ALERT: If @IPUparliament can't act then as citizens we have nothing else to say or do. We have done our part. Other candidates must protest and demand the disqualification of Tulia Ackson. @RalphyChims @IPUPresident"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1717238216108183998)  2023-10-25T17:54Z 62.6K followers, [----] engagements


"BREAKING: Kikosi kazi cha utekaji kimerudi kwa ushauri wa Paul Makonda ili kukabiliana na upinzani. Kikosi hicho kimeundwa na watu zaidi ya [--] kutoka vyombo viwili vya dola ambavyo ni jeshi la polisi na usalama wa taifa. Mdude na Mwabukusi ni sehemu ya target. Kuweni makini"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1721640012389740752)  2023-11-06T21:25Z 62.7K followers, [----] engagements


"ALERT #TanzaniaLeaks siku zote ina ripoti ukweli na mambo ya uhakika. Jana tumeondoa post baada ya kugundua ni chuki binafsi. Tafadhali mtu mwenye chuki binafsi zimalize. Usilete story za kutunga au Nyaraka za Uongo. Tunaomba radhi. Tushirikiane kupambana na ufisadi Tanzania"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1722719025099137208)  2023-11-09T20:53Z 64K followers, [----] engagements


"Kunawaka moto. Kinana hana furaha. Bashite katuvuruga. Chongolo kaamua kucheza kwa uangalifu lakini kakalia kuti kavu. Sabaya na Hapi wanarudi. Ridhiwani na January wanapasha kwaajili ya [----]. Mama hesabu haziendi. JK anataka kutimiza lengo lake la kumuweka kijana wake Magogoni"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1727402349789126712)  2023-11-22T19:03Z 63.1K followers, [----] engagements


"#TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1728308532414460060)  2023-11-25T07:03Z 63.4K followers, [----] engagements


"ALERT: Rais Samia tunakuomba kwa heshima na taadhima uutangazie umma kinachoendelea na VP Dr. Philipo Mpango. Tunakupa siku [--] vinginevyo #TanzaniaLeaks itachukua Jukumu la kutangaza kinachoendelea maana kuna mchezo umeanza wa kucheza na wafuasi wa shujaa JPM"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1729338856535646279)  2023-11-28T03:18Z 63.6K followers, 11.1K engagements


"Kuchangia kanisa siyo jambo baya ila tumeonya sana kwa muda mrefu. #Wahuni wanajipanga [----]. Wameamua Rais Samia lazima aondoke. January anapanga kubadilisha na Dini awe mkristo for [----]. Maandalizi ni mazito sana maana watu wamechefukwa na Samia na wameamua lazima aondoke"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1730180390684381596)  2023-11-30T11:02Z 63.6K followers, 12.3K engagements


"ALERT ⚠: Tunaanza kutoa tahadhari kubwa kwa wafuasi wote wa JPM. Waziri Mkuu kuwa makini sana sana sana. Narudia kuwa makini sana maana hawa watu wanakutafutia kitu. Kukung'oa ni risk kubwa kwao kisiasa Wanatafuta njia mbadala ya kukuangusha. #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1730765492686561350)  2023-12-02T01:47Z 63.7K followers, 10.7K engagements


"ALERT ⚠. Tunatoa tahadhari nyingine. Wafuasi wa JPM kuweni makini. Hii tumewaambia wiki chache zilizopita msitupuuzie. PM kuwa Makini. Wahuni wako kazini. Yeyote anayeweza kuwa kikwazo kwa #Wahuni akae makini"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1731336136264388709)  2023-12-03T15:34Z 63.7K followers, [----] engagements


"ALERT⚠: Kwa kawaida Rais aliyemakini anakuwepo nchini kwake kukabiliana na majanga makubwa ya kitaifa. Kinachotokea Hanang ni janga la kitaifa lakini Rais anaendelea kukaa Dubai kula bata na watu wake zaidi ya [---] huku watanzania wakisombwa na mafuriko.Ndio utawala wetu pendwa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1731547347224518709)  2023-12-04T05:33Z 63.8K followers, [----] engagements


"BREAKING: Kwa nini viongozi wanaolipwa kwa kodi zetu wanatuona kama mazezeta Rais Hussein Mwinyi alikuwa USA juzi kaondoka jana. Atupe taarifa VP Mpango anaendeleaje Mara yupo Korea mara USA Kuna mengi yanaendelea na tunafichwa. Mwinyi alikwenda USA kimya kimya kufanya nini"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1731548542043320499)  2023-12-04T05:38Z 63.8K followers, [----] engagements


"ALERT⚠: Kinachofanyika siyo siri tena. Waarabu na waislamu wanapewa kipaumbele kwenye rasilimali au fursa zilizopo. Mabalozi wanalalamika Kwamba wanaleta wawekezaji matokeo yake ni Wachina na Waarabu wanapewa fursa kwa vigezo vya Udini na rushwa. Hii italeta shida kubwa mbeleni"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1733338607467835881)  2023-12-09T04:11Z 63.9K followers, 13.3K engagements


"Baada ya JPM sasa tuna serikali ya wenye nazo. Nauli zimeongezwa kuna maeneo nauli imeongezeka kwa 50%. Kwenda Bukoba kuongeza nauli kwa [-----] ni haki kwa house girl ambaye mshahara wake ni [-----] Naiona "Revolution " mbele yetu. Endeleeni kuweka pamba masikioni mtajua hamjui"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1734560119575228438)  2023-12-12T13:05Z 64K followers, [---] engagements


"Undugu wa mtawala na Waarabu unatuletea ukoloni mamboleo.Tukikosoa tunaitwa wadini. Mama Samia acha kuifanyia Tanganyika maovu kwenye mgongo wa Uislamu.Uislamu haupendi dhulma.Kumbuka mtume Muhammad ibn Abdullah ibn Abd al-Muttalib ibn Hashim alitufundisha nini kuhusiana na haki"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1734562269869043714)  2023-12-12T13:14Z 64K followers, [----] engagements


"ALERT: Hivi CCM ni ya Watanzania au ni Warundi Bandarini hali ni mbaya. Mizigo haitoki tangu October system imekorofisha. Dollar hakuna. Dollar kupata ni mtaani tena kwa bei ya kutisha TZS [----] kwa dola [--]. Viongozi chamani wanafanya uchawa. Hawahoji . TUSUBIRIE mfumuko wa BEI"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1734564973974536380)  2023-12-12T13:24Z 64K followers, [----] engagements


"BREAKING: Kuna ugonjwa umezuka kwa kasi kubwa sana. Watu kwa maelfu wanaumwa.Corona imerudi. Inaonekana ni mafua ya kawaida ila ni COVID-19.Siyo kawaida mtu aumwe mafua karibia wiki [--]. Dalili zote ni za COVID. Watanzania chukueni tahadhari maana viongozi wenu mnawajua vichwa vyao"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1734566844751544514)  2023-12-12T13:32Z 64K followers, [----] engagements


"NAPE katika viongozi wajinga na wapumbavu Tanzania imebarikiwa kuwapata ni wewe. Kuwa mnafiki na kujipendekeza pia ni Kipaji. Wewe ni mpumbavu. Hao unaojikomba kwao ndio wale unaojipanga kuwaondoa [----] ukidhania hawakujui. Baada ya kumvua Chongolo uchi umeona haitoshi Subiri"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1734573418538815864)  2023-12-12T13:58Z 64K followers, [----] engagements


"ANGALIZO: Mbio za Mwenge inabidi zisitishwe kwani hadi leo hatujaona matunda yake zaidi ya kutuletea watoto haramu ambao wanakidhalilisha chama. Nape kwa nini kila siku anatisha watu Shujaa JPM aliona mbali kuhusiana na #Wahuni wakina NAPE. Leo wamerudi anaangalia tumbo lake"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1734574289167229427)  2023-12-12T14:01Z 64K followers, [----] engagements


"BREAKING: Mahakama Kuu ya Colorado imemuondoa Donald Trump kwenye kura za maoni za Republican [----] kwenye jimbo hilo"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1737254060724564385)  2023-12-19T23:30Z 85.1K followers, [--] engagements


"BREAKING: Colorado Supreme Court removes Trump from states [----] ballot"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1737254326098112811)  2023-12-19T23:31Z 64.3K followers, [----] engagements


"Nchi yangu Tanzania nakulilia kwa machozi ya damu. Mwigulu ametembeza Rushwa kiasi cha kuogopesha ili tu mwanaye achaguliwe. Hivi kama taifa tunaelekea wapi Kuna siku watanzania wataamka usingizini na utakuwa mwamko mbaya kwa watawala. Hadi mjukuu wa Kova Ndani kama mwenyekiti"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1737610124804682119)  2023-12-20T23:05Z 64.2K followers, [----] engagements


"1-2Wanafiki wanasema wao na shujaa wetu JPM ni kitu kimoja. Msijisahaulishe. JPM alikataa kubinafsisha bandari zetu. Alisema ni kichaa tu ndiye angempa mchina Bandari ya Bagamoyo au Dar kwa miaka [--]. JPM alikataa hata watoto kuwa chipukizi. JPM hakukata umeme"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1738044637548310632)  2023-12-22T03:51Z 64.3K followers, [----] engagements


"2-2 Hata kabla ya Kaburi lake halijakauka mmeuza kila kitu. Bandari zetu mmewapa waarabu Wamasai mmewafukuza na hata mapori yetu mmewapa waarabu. Acheni unafiki. Nyinyi na JPM sio kitu kimoja. Ipo siku tutaeleza namna mlivyo mpoteza shujaa wetu JPM. RIP Shujaa wetu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1738044644150173966)  2023-12-22T03:51Z 64.3K followers, [---] engagements


"Our son. MUST BE. Stay tuned"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1738358795238076819)  2023-12-23T00:40Z [--] followers, 12.9K engagements


"BREAKING: Chanzo chetu ndani ya Takukuru ni kwamba Jerry Silaa kukataa 300M ni Geresha tu. Jerry alitaka 1B mwenye kituo akamwambia hiyo hela hana. Wakavutana hadi 700M ambayo Jerry alisema ndio mwisho wake. Jamaa wakashindwa na kugomea 300M. Pakawa pagumu hadi Jerry kuwalipua"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1738949265504784837)  2023-12-24T15:46Z 64.3K followers, [----] engagements


"Heart wreaking to see Israeli Govt flouting the idea of resettling the helpless Palestinians into DRC from their motherland.This is another insult to Africans by trying to make Africa a dumping ground. This supremacist approach has #TonyBlair shuttling to facilitate the injustice"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1743102767432904975)  2024-01-05T02:50Z 64.2K followers, 10.5K engagements


"BREAKING: Serikali ya Tanzania iliuziwa ndege ya zamani sana ambayo ilishaondolewa kwenye air worthiness. Ndege hiyo Bombardier Q300 imekwama nchini Malta kwa miaka mitatu sasa tokea [----] kwa sababu spare zake hazipatikani. Asante serikali yetu sikivu ya CCM. Kazi iendelee"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1743265158326071650)  2024-01-05T13:36Z 64K followers, [----] engagements


"BREAKING: Kinachofanyika TRA kinaogopesha. Makampuni yanakamuliwa vibaya mno. Accounts zinazuiliwa zikidaiwa kubeba hela haramu hayajalipa kodi nk. Mwisho wa siku hela zinakwenda au unaombwa rushwa kubwa sana ili hela zako ziachiliwe. Watanzania wanaumizwa. Kuna shida kubwa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1743320038327582820)  2024-01-05T17:14Z 64.3K followers, [----] engagements


"Tanzania haiwezi kuendelea na haitaendelea ikiendekeza mawazo finyu ya watu kama Wassira. Huyu mzee yuko Madarakani tangu enzi za Nyerere. Cha maana alichokifanya hakuna. Wanachofanya ni kuwaweka watoto wao waendelee kula nchi. Inabidi wapumzishwe. Hovyo kabisa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1743370363726078283)  2024-01-05T20:34Z 63.7K followers, [----] engagements


"BREAKING: Tanzania's opposition leader Mr. Freeman Mbowe has called on his PARTY Chadema followers to come out in large numbers to protest against the government's refusal to accept electoral reforms. The countrywide protests are scheduled to commence on January [--] 2024"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1746248066833744309)  2024-01-13T19:09Z 63.7K followers, [----] engagements


"BREAKING: Kabla ya Chadema kutoa tamko la maandamano wajinga fulani ndani ya chama chetu wakiongozwa na Bashite na Nape waliwapigia simu wapumbavu kama Steve Nyerere kuwatishia waandishi wa habari ili wasihudhurie mkutano wa Mbowe na wamadishi wa habari jana"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1746607481575334001)  2024-01-14T18:57Z 64.2K followers, [----] engagements


"Ni kituko Kumsikia ZERO Brain Bashite akijidai kwamba yuko tayari kufanya mdahalo na Mnyika Mbowe na Lissu. Mambo ya ajabu sana. Bashite unatudhalilisha kama chama. Sijui ulifikaje huko juu. Naona kama anguko la CCM maana unatengeneza mpasuko mkubwa sana"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1746611601325670675)  2024-01-14T19:13Z 64K followers, [----] engagements


"Kuna taarifa za ndani kutoka ikulu kwamba huyu mtu ni kipenzi chako na unamuamini sana. Kuna siku atakupa maji na ukawa hauna maisha. Asihusishwe kwenye mipango yenu ya ndani. Yuko kwenye payroll ya Kizimkazi. Mkipuuza ushauri huu mipango yenu itaendelea kuvuja. #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1746655222192030097)  2024-01-14T22:07Z 63.8K followers, [----] engagements


"Kwa mfano itokee tumevamiwa tarehe [--] au [--] na nchi Jirani. Itakuwaje ikiwa wanajeshi wetu wanaokota takataka barabarani Nadhani huu uwe mjadala wa kuangalia uhalisia wa mambo"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1747344575251812558)  2024-01-16T19:46Z 64K followers, [----] engagements


"Tanzania kuna mambo na vijimambo. Kumbe kuandamana ni lazima uwe na bima Hatukujua kwamba watu wa Ikulu nao watakuwepo kwenye maandamano Inabidi wote tukaandamane. Rais Samia na wana CCM wote watakuwepo. Kwa maana hiyo CCM maandamano haya ni haki yetu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1748180005216022696)  2024-01-19T03:06Z 62.4K followers, [----] engagements


"Comrade ni mwanzo mzuri. Ila na wewe ulikuwa kundi la mamvi. Sidhani kama una ubavu wa kupambana na #Wahuni. Wamejipanga hasa wana network na hela wanayo. Tunawasiwasi mkubwa kama mama atatoboa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1748437455714328646)  2024-01-19T20:09Z 64.2K followers, [--] engagements


"BREAKING: Kuna vijana wa CCM ambao wamedhaminiwa na kundi la #Wahuni wamekuwa wakipita maeneo ya Ilala na Buguruni wakigawa Elfu [--] kwa kila mtu ili washiriki maandano ya Chadema tarehe [--]. Nape hizi hela zinatoka wapi Rais Samia tunarudia kila siku. [----] siyo lelemama"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1748877106447097909)  2024-01-21T01:16Z 64.2K followers, [--] engagements


"Luaga Mpina Bashiru Kigwangalla Polepole ni baadhi ya watanzania wachache wanaoonyesha juhudi za kulitetea taifa katika wakati mgumu huku Wakina Nape January wakipitisha hela mtaani ili wananchi waandamane na Chadema dhidi ya Samia. Bashe mbona na wewe unatuangusha"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1749201102623408623)  2024-01-21T22:43Z [--] followers, [--] engagements


"Hiki Chama tunakivuruga wenyewe. Makonda anapokuwa na msafara wa magari [--] na ving'ora juu ni swala la kufikirisha sana. Hadi mkuu wa Mkoa anamfuata Makonda. Kwa lipi Huyu mtu anakuwaje na nguvu zaidi ya Waziri mkuu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1749657646158745644)  2024-01-23T04:57Z 64K followers, [--] engagements


"BREAKING: Taarifa nyingi za Chini chini ni kwamba Dotto Biteko ni Mrundi aliyepata kuteuliwa kwenye nafasi ya Naibu Waziri Mkuu. Hili ni swala la kuogopesha kidogo. Tunashindwa kuelewa tunakoelekea. This is absolute insanity. Nadhani Jasusi naye kathibitisha hili swala"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1749783254478033273)  2024-01-23T13:16Z 64K followers, [--] engagements


"ALERTS ⚠: Tumemkomalia Dotto Biteko. Sasa mbona tuko Kimya swala la Philip Mpango Tusiwe waonevu. Na bila CDF kuwa jasiri hawa wangeendelea kutuburuza"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1749788726186668038)  2024-01-23T13:38Z 64K followers, [--] engagements


"NEWS ALERT ⚠: Watanzania bila kujali itikadi zetu kesho tuungane kwenye maandamano ya Chadema. Hali siyo nzuri hapa kwetu kumechafuka. Yaani wageni ni wengi sana kwenye serikali yetu. Wafia Chama wametelekezwa. Tuseme hapana. Kesho ni maanadamano"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1749879146509979815)  2024-01-23T19:37Z 63.4K followers, [--] engagements


"Rais Samia baada ya Kauli ya CDF tunapenda kukushauri kwamba ni muda muafaka wa kuvunja baraza la mawaziri. Hii ni aibu. Vunja serikali. Itakupa heshima kubwa maana baraza jipya utakaloliunda litafanya mabadiliko kwenye taasisi husika. Tuko uchi kama taifa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1749882617518870674)  2024-01-23T19:51Z 66.3K followers, [--] engagements


"BREAKING: Taarifa kutoka chanzo chetu cha uhakika ni kwamba akiwa waziri wa nishati January kupitia dadake Mwamvita walinunua jumba la kifahari kubwa sana nje ya nchi lililogharimu zaidi ya USD $4M.Pia yupo kigogo mwingine ambaye jina lake litatajwa baadae.Nchi ina pigwa sana"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1750294961554169925)  2024-01-24T23:10Z 64K followers, [--] engagements


"Ni swala la aibu na fedhea kubwa kumuona ntumishi wa umma hasa kwenye Level ya RPC kuwa mjinga na mpuuzi kiasi hiki. Nadhani ni muda wa kudai katiba mpya ili wapuuzi kama Hawa tusiwe nao kwenye ofisi za Umma. Wengine ndani ya CCM tunakerwa na viongozi wenye akili mgando kama hawa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1750296062449905691)  2024-01-24T23:14Z 64.2K followers, [--] engagements


"Jasusi report zako zimekuwa za ukweli mara nyingi. Tulionya kwamba ni bora JWTZ wachukue nchi badala ya kuiacha nchi kwa maharamia. Tumepata DM nyingi zikitoa tahadhari kwamba wanajaribu kumsukia CDF exit. Hadi CDF anatoa tahadhari ni kwamba siri za nchi zinaripotiwa nchi jirani"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1750742982670643312)  2024-01-26T04:50Z 64.2K followers, [--] engagements


"BREAKING: Kuna baadhi ya Wazalendo wameanza kutoa taarifa za kujiuzulu kwa Mh. Simai waziri wa Utalii Zanzibar. Inaonekana Ufisadi wa mwinyi umefanya maisha magumu. Tunaendelea kupokea taarifa kwa wazalendo. Endeleeni na tutayaweka yote wazi tukishayachambua"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1750756010329804931)  2024-01-26T05:42Z 64.2K followers, [--] engagements


"BREAKING: Chanzo chetu cha uhakika kinatutaarifu kwamba Mh. Simai amejiuzulu kutokana na swala la ufutwaji wa leseni za kampuni [--] za vileo. Huu ni uamuzi ambao umefanywa na Rais Hussen Mwinyi ili makampuni yake yachukue hizo nafasi. Tuna taarifiwa kuwa Mwinyi ana ikamua Zanzibar"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1750956904384217472)  2024-01-26T19:00Z 64K followers, [--] engagements


"Catherine unaishi ndani ya vioo. Tukianza kuanika uchafu wako utajifichia wapi Ni kitu gani unachangia ndani ya chama kiasi cha kupambana na Mpina Kwa nini uthubutu kumsemea Mbovu Luaga Siyo tu mdangaji unatoa watu kafara. Hauwezi kuwa na Samia vile vile ukawa na Team Msoga"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1751232721098006681)  2024-01-27T13:16Z 64K followers, [--] engagements


"Sherehe zako hizi za kuzaliwa zitumie kutafakari hali ya kisiasa na uchumi wa Mtanzania mmoja mmoja. Walichokifanya Chadema 24.1.2024 wiki hii ni WAKE UP CALL. Usipuuze madai ya wananchi. Hali ni ngumu. Viongozi mnaishi kwa anasa. Happy birthday Rais wetu mpendwa @SuluhuSamia"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1751235108051275783)  2024-01-27T13:26Z 63.7K followers, [--] engagements


"Kuna Wazanzibar Wazalendo wameanza kututumia taarifa juu ya ufisadi wa Mwinyi. Tunaendelea kupokea taarifa kwa wazalendo. Endeleeni kututumia taarifa na sisi tutaziweka zote wazi tukishayachambua"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1751338474400006286)  2024-01-27T20:16Z 64.2K followers, [--] engagements


"ALERT: J Makamba ni mmoja wa mawaziri walionunua majumba nje ya nchi. Kuna nyumba SA na Dubai zote ni za gharama kubwa sana zinasimamiwa na Mwamvita. Baada ya Kigwangala kuzungumzia hili swala wako mbioni kuziuza kupoteza ushahidi.Hatuongei mengi tukitegemea vyombo husika vipo"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1751818461720752497)  2024-01-29T04:04Z 63.7K followers, [--] engagements


"Bashite leo anashangaa watu wanaotekwa na kupotea Shinyaga Kipindi cha JPM Bashite aliteka na kuua watu sana. Leo anashangaa nini au ni yeye mwenye anajishangaa Bashite inabidi akatubu kwa Mungu wake"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1752065542289039719)  2024-01-29T20:25Z 63.1K followers, [--] engagements


"Hivi hii nchi tunaishi maisha gani Kama chama tunasababisha matatizo kisha tunakimbilia majukwaani kuyasuluhisha. Tutambue kwamba wananchi watatuchoka na haitakuwa Jambo jema.Utekaji Shinyanga ni matunda ya Sera Zetu.Ndani ya chama Makonda amesimamia operation nyingi za utekaji"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1752066501849620760)  2024-01-29T20:29Z 64K followers, [--] engagements


"Ni swala la aibu kwa Rais kuwa mchambaji. Anajaribu kujiondoa kwenye swala la yeye kuwa muagizaji pombe Zanzibar Wanzazibari kwa makumi wanatutumia taarifa chafu sana za huyu wanayemuita mtalii kutoka Bara. Ni kwamba hawamtaki Rais Mwinyi. Anyway hii ya kuwa mchambaji ni mpya"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1753129177237062138)  2024-02-01T18:52Z 65.2K followers, [--] engagements


"Watanzania huu ni kuonekana kama vile sisi ni Mazezeta. Kipindi cha jua tunaambiwa maji hakuna Mtela. Kipindi cha mvua ni miundombinu au Kunguru kusababisha Mgao. Hawa watendaji wa serikali hawawezi kuwajibika. Itabidi tuwawajibishe. This is too much and an insult to us"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1754860721374961960)  2024-02-06T13:32Z 65.3K followers, [--] engagements


"ALERT ⚠ Hili ni onyo ya Mwisho. Tumekuwa tukiongea kila siku lakini tumepuuzwa sana. Kundi la #Wahuni ndani ya Chama wameapa kwamba [----] Samia lazima aondoke. #TeamMsoga imedhamiria kweli kweli kwamba Samia MUST go. Subirini mtaona"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1754941772856193229)  2024-02-06T18:54Z 65.3K followers, [--] engagements


"Alert: Bashite aka Paul Makonda Kichwa chako kinawindwa. #Wahuni wakiongozwa na Nape chini ya Usimamizi wa Jangili wanakuwinda. Kuwa makini na wanaokuzunguka chakula na hizo Microphone. Umekuwa tishio kwa wenye chama. Wanadai umewafunika"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1755072846244520095)  2024-02-07T03:35Z 65.3K followers, [--] engagements


". @Boeing @PeterSGreenberg with serious ethical issues has been talking trash about your planes. He forgets that he has been defrauding many African nations in the name of Royal Tour. It is time @CBSNews @PBS and other networks sever ties with him. Stay tuned for more"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1755744744662028783)  2024-02-09T00:05Z 66.5K followers, 11.7K engagements


"ALERT. Rais Samia issue ya Dollar siyo kwamba hakuna fedha kwenye mzunguko ni watumishi wako kuficha hela. Mawaziri na viongozi wengine wameficha fedha nyingi sana. Kwa nini kijana mdogo wa TRA atembee na Dollar 1million kwenye Crown Kuna tatizo watu hawana uwoga tena"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1755872036163875202)  2024-02-09T08:31Z 65.7K followers, [--] engagements


"Jamii yetu inaelekea kubaya. Haya ni makundi ndani ya chama chetu (CCM). Inabidi tutafute namna ya kubadilika Kimbisa amekuwa viongozi mwandamizi inapofika anadhalilishwa hivi na makundi yanayosaka urais [----] basi tutambue hali ni mbaya"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1756213864511766716)  2024-02-10T07:09Z 65.7K followers, [--] engagements


"Kuna mnyukano mkubwa ndani ya familia ya Rais Mwinyi. Mzee aliandika wosia kwamba akifa azikwe nyumbani kwao Mkuranga ila mtalii wa Zanzibar Hussen Mwinyi anataka babake akazikwe Zanzibar ili alinde urais wake. Tunasubiria kengele tu. Hatuji mshindi atakuwa mama Sitti au Hussen"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1756354701077970957)  2024-02-10T16:29Z 66K followers, [--] engagements


"Comrades wenzangu wanaCCM tusifukie vichwa kwenye mchanga. Hali ni mbaya. Huu ndio uhalisia inabidi tubadilike tukabiliane na ukweli. Maisha ni magumu kwa wananchi. Mikutano ya Bashite haitusaidii chochote zaidi ya kutuongezea chuki na wananchi. Tutafakari ground mambo magumu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1756356193134449091)  2024-02-10T16:35Z 65.9K followers, [--] engagements


"BREAKING: Kuna kitu hakiko sawa kwenye taifa letu. Mkuranga kuna maandalizi makubwa barabara zinachongwa. Je kulikoni"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1756360364168511978)  2024-02-10T16:51Z 65.9K followers, [--] engagements


"TETESI: Vyanzo vyetu viwili ndani ya System vina tutaarifu kwamba kuna msiba mzito wa kitaifa. Kiongozi mstaafu amefariki dunia usiku wa Jana jijini Dar. Tunafuatilia kwa ukaribu taarifa hizi na tutawajuza pindi tutakapopata uhakika wa 100%"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1756907253230117276)  2024-02-12T05:05Z 66.2K followers, [--] engagements


"ALERT: Mchezo anaojaribu kuucheza Rais Samia ni hatari sana. Miezi michache iliyopita kipindi cha DP World wakatoliki walikashifiwa sana. Leo kwa sababu ameona uchaguzi unakuja na Wakatoliki wanahitajika ameamua kutua Vatican. Huu mchezo wa usini ni hatari ambao lazima ukemewe"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1757279631202226619)  2024-02-13T05:44Z 66.4K followers, [--] engagements


"Mzee Mengi alisema ROSTAM ni mtu hatari kwenye hili taifa. Usalama na Samia wanacheka naye wanamfanyia Briefing kama vile ndiye Rais. Subirin muone. Kina Kipara wanajiamini kuchukua Madaraka sababu ya Rostam. Lakini Samia bado anambeba kila aendako.Vatican kaenda kufanya nini"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1757281228040929579)  2024-02-13T05:51Z 66.5K followers, [--] engagements


"Familia ya Rais Samia inachukulia taasisi ya Urais kama mali yao binafsi. Mwanaye Samia Wanu Ameir Hafidh kwenye msafara wa Italy kama nani hapa Tanzania Kwa matumizi haya mabaya ya fedha za umma USD itakauka tu. Kulia kwa Wanu ni Rabia Abdallah Himid- Katibu wa NEC siasa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1758649164584382531)  2024-02-17T00:26Z 66.5K followers, [--] engagements


"Samia unachokwa kwa kasi kubwa. Unaonyesha kutokujali kabisa. Watu wanaiba na hawafanywi chochote. Kitengo cha uchunguzi TRA wanaua biashara. Kuna Muhindi walimfanyia audit hadi ya [----] akakubaliana nao akalipa.Baadae wakaja TRA wakaanza upya sasa wanataka 150m. Watu wanaporwa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1759648683413344566)  2024-02-19T18:38Z 66.6K followers, [--] engagements


"Rais Samia Fungua masikio. Watanzania wanalia Hakuna umeme hakuna sukari wala maji. Hakuna Dollar TRA inaua biashara. Wanabambikiza kodi za kuogopesha. Kitengo cha Investigation ni majanga Watanzania watachoka na hatutakuwa na pakujificha kama chama tawala. Maisha ni magumu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1760760536017355188)  2024-02-22T20:16Z 66.6K followers, [--] engagements


"Rais Samia inabidi sasa tuanze kupiga mayowe. Tegeta tangu jana hatuna umeme maji hakuna Sukari hakuna. Maisha ni magumu. Tunakupigia kelele ili uchukue hatua kabla ya wananchi kuchukua hatua. Ndg. Yangu Biteko hafai hana tofauti na Kipara huku anazunguka na magari 40"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1760761412865986878)  2024-02-22T20:20Z 66.6K followers, [--] engagements


"Shujaa tunakulilia baba. Umetuacha na majonzi. Nchi yako inatafunwa na #Wahuni. Hatuna umeme hatuna maji hatuna sukari na hatuna dollar. Baba maisha ni magumu wanyonge wanalia baba. Samia ametugeuka anazurura kwa mabeberu huku nchi ikiangamia"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1760770085952643102)  2024-02-22T20:54Z 66.6K followers, [--] engagements


"BREAKING: Kuna kamati ya msiba inaendelea kisirisiri Zanzibar na huku Dar. Hii kamati ni ya msiba wa nani Haya mambo ya kuficha hayana faida. Tangazieni watanzania. Hivi vikao ni vya nini"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1760770462240403678)  2024-02-22T20:56Z 66.6K followers, [--] engagements


"Huyu sasa ndio Hayati Baba Wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Yule wa Addis Ababa hatujui ni Nyerere wa wapi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1760893337135981019)  2024-02-23T05:04Z 66.6K followers, [--] engagements


"Nipo hapa Arusha namsikiliza Lissu. Huyu jamaa anatufanyia damage kubwa sana kama Chama. Maneno ya Chiba ni mazito sana. Anasema WAMECHOKA. Anasema wataandamana tena na tena na tena ndio kwanza wameanza. Anawasisitiza wafanyabiashara na wafanyakazi nao waanzishe migomo"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1762483033901343008)  2024-02-27T14:21Z 66.6K followers, [--] engagements


"Kama Chama tuweni makini. Tusikurupuke kumjibu Lissu. Jamaa anatuvuruga na sisi kichwa kichwa tunamjibu kwa maigizo ya Makonda. Inahitaji Busara na matendo. Tutatueni kero za wananchi. Tumalize rushwa na Urasimu lasivyo [----] hatuna chetu. Siyo kwa nyomi hii hakuna malori"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1762488381211132393)  2024-02-27T14:42Z 66.8K followers, [--] engagements


"Mbowe anasema kila sehemu Samia akienda na Kikwete yupo. Hili ni kweli kabisa. Samia akiwa New York- Kikwete yupo Samia akienda Dubai- yupo. Samia akienda Ethiopia- yupo. Yaani kila sehemu. Mbowe anahoji Kikwete ni msaidizi wa Samia Yaani Mbowe wakusema CCM tumeishiwa pumzi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1762490472205893949)  2024-02-27T14:50Z 66.6K followers, [--] engagements


"Hivi kwa nini kama chama tunawatumia hawa Bakwata Ifahamike moja kwamba Bakwata ni sehemu ya CCM au ni taasisi ya kidini maana wapo zaidi kukitetea chama na Serikali badala ya kuwatetea wananchi. Bakwata ni takataka"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1763084081133158898)  2024-02-29T06:09Z 66.8K followers, [--] engagements


"ALERT: Kati ya viongozi wetu wakuu [--] wapo wawili wanafanya kazi za kijasusi kwa niaba ya nchi jirani. Viongozi wetu toeni pamba masikioni. CDF aliongea cha maana sana naona mmempuuza. Tujiulize kinchi kama Jimbo la Kawe kinatuendesha Rais anapuuzia Ngojeni Mr. Tall atubutue"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1763227475520212999)  2024-02-29T15:39Z 66.8K followers, [--] engagements


"BREAKING: Nchi ya hovyo. Mwinyi alifariki muda mrefu wakamficha kwa manufaa yao ya kisiasa. Mmefanya sana vikao vya siri tukisema sisi waongo. RiP Mwinyi. Umeacha nyuma taifa la hovyo na huyo mtalii wa Zanzibar naye aende Mkuranga.Wazanzibari hawamtaki kutokana na ufisadi wake"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1763258303239377197)  2024-02-29T17:41Z 66.9K followers, [--] engagements


"BREAKING: Hussen Mwinyi amelazimisha babake azikwe Zanzibar na kabla mzee hajalala fukuto limekuwa kubwa. Mzee Mwinyi alikuwa mpenda Amani. Kwanini MTALII kalazimisha akazikwe Zanzibar tofauti na wosia wake Baada ya Urais itabidi umfukue na kumzika Mkuranga alikotaka marehemu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1764000688286130296)  2024-03-02T18:51Z 67.2K followers, [--] engagements


"WENZA WA MARAIS WALIPWE MAFAO Mama Salma #TanzaniaLeaks hatuna sababu wala tabia ya kuwaonea wanawake lakini mama yetu Mumeo analipwa 80% ya mshahara wake na marupirupu kibao. Mshahara wako wa Ubunge hautoshi kumtunza mumeo Watanzania kwa mamillioni wanakula mlo moja moja"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1764197541845860651)  2024-03-03T07:54Z 67.1K followers, [--] engagements


"ALERT: Taarifa toka idarani ni kwamba White House ya Marekani uenda ikapunguza ushirikiano na Serikali ya Tanzania kutokana na urasimu.Miradi mikubwa ambayo ingekuwa na manufaa kwa uchumi wa nchi inazuiliwa na mafisadi.Zaidi ni vizingiti wanavyowekewa Wamarekani kuwekeza Tanzania"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1764307004628083094)  2024-03-03T15:09Z 67.2K followers, [--] engagements


"ALERT: Tumefika hatua ya kupewa tahadhari; Marekani wametoa tahadhari kwa sababu makampuni yao yanayotaka kuwekeza Tanzania yanaletewa figisu na kuzuiliwa kimizengwe. USA wamenyoka hawanaga dili. Nape alimkimbiza Elon- Starlink Samia anawakimbiza Exxon Mobil na kusujudu Waarabu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1764454207011119392)  2024-03-04T00:53Z 67.2K followers, [--] engagements


"Rostam na timu yake kukosa rushwa inakuwa adhabu kwa watanzania wote. Ajira zaidi ya 10K zingepatikana kwenye miradi kama hii. Nape na wajinga wengine wanaangalia matumbo yao badala ya maslahi ya nchi. Hii ya Wamarekani inakuja kuwa kimbembe. Na mnavyopenda Marekani tutayasikia"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1764890667237458137)  2024-03-05T05:48Z 67.2K followers, [--] engagements


"Tunatumia busara kwa sababu tukianika taarifa zote tunazopokea kuna watu wasiokuwa na hatia watauwawa. Rais Samia tunakushauri swala la uwekezaji liangalie kwa umakini. Kubebana na Rostam kwa sababu anambeba mwanao Abdul unajichimbia kaburi. Rostam ni Godfather wa #Wahuni"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1765167407704776917)  2024-03-06T00:07Z 67.2K followers, [--] engagements


"Mambo ya kipumbavu. Makonda anaposema Dhulma imekithiri ardhi ya Tanzania tumeielewaje Kwani chama gani kiko madarakani Serikali ni ya CCM. Lawama ziende wapi Kama hatuwezi kuisimamia serikali basi tusiwe madarakani. Tuwaachie wapinzani badala ya kukivua chama nguo hadharani"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1765495959083995567)  2024-03-06T21:53Z 67.2K followers, [--] engagements


"WAAMBIE. Kuna wajinga mjini wanajiita vijana wa mama. Wengine watoto wa mama Kizimkazi. Tena special groups kabisa. Ukizima hizi chokochoko hata wakina kipara watatulia. Hii watoto wa mama imewafanya wanawanunua wa NEC mchana kweupe. Wahuni wa Msoga umewakata kabisa Shobo"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1768055223900110967)  2024-03-13T23:23Z 67.3K followers, [--] engagements


"Mzee Ramadhani Ntunzwe mfanyabiashara wa Kariakoo ametoweka katika uso wa Dunia. Viongozi wetu walijua kadhia ya huyu mtu mikononi mwa majambazi ya TRA lakini wakaweka pamba masikioni. Leo amjiua. TRA Kwanini mumnyanganye mtu karibia 1B kwa sababu tu kawanyima rushwa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1768605664790675530)  2024-03-15T11:50Z 67.3K followers, [--] engagements


"Tanzania siku zote ni nchi ya kukosa. Majuha wabinafsi na wenye tamaa. Huduma mbovu na tamaa ya TRA ndio chimbuko la haya yote. Wewe mzigo unafika bandarini unakaa mwezi haujashushwa. Shujaa JPM milele tutakukumbuka"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1768606185278586949)  2024-03-15T11:52Z 67.3K followers, [--] engagements


"BREAKING: RAIS Samia na Waziri mkuu Majaliwa. Ramadhani Ntunzwe amekufa ameuwawa alikokuwa amejificha Tabora. Inawezekana vipi mtu anawaletea kesi ya Ujambazi mkubwa wa TRA mkampuuzia anatishiwa mali na fedha zake hajarudishiwa hadi anauwawa. Watanzania wakimbilie wapi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1769085706452812232)  2024-03-16T19:37Z 67.6K followers, [--] engagements


"Thread 🧵 1-2 Minister @HusseinBashe I suppose you are addressing the Americans knowing quite well that we will not headed there to beg for anything. Maybe they decided to offer the commodities based on our stupidity"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1769449283604930834)  2024-03-17T19:42Z 67.9K followers, [----] engagements


"CDF Mstaafu kaongea mazito kubwa ni uhitaji wa KATIBA MPYA. Kwa lugha ya kistaarabu kasema Katiba ya sasa ina mapungufu makubwa. Tunahitaji Katiba Mpya hakuna muhimili ulifahamu juu ya Kifo cha Rais zaidi ya Kina Diwani Siro & Mabeyo. Wangeamua kuchukua nchi nani angewazuia"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1769931983289733489)  2024-03-19T03:40Z 67.8K followers, [--] engagements


"BREAKING: Kuna tatizo kubwa sana bandarini. Mizigo inayofika inachukua wiki [--] hadi mwezi kushushwa. Kuna baadhi ya waagizaji ambao wanachukua miezi hadi mitatu kabla ya kupata mizigo yao. Hadi tunatoa hii taarifa kuna mizigo imefika December bado imekwamba bandarini"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1770020497398419552)  2024-03-19T09:32Z 67.8K followers, [--] engagements


"Tanzania nchi ngumu sana. Inawezekana vipi waziri anunue nyumba Dubai South Africa USA- kadhalika amnunulie kimada wake aliyemzalisha gari la million [---] Hii nchi inaelekea wapi Wakina Mabeyo badala ya kutumika wangewaondoa hawa #Wahuni. January anatoa wapi hizi fedha"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1770941520851374251)  2024-03-21T22:32Z 67.9K followers, [--] engagements


"Tanzania ni nchi ya Kipumbavu sana. Hakuna Sukari hakuna dollar hakuna umeme hakuna maji hakuna madawati hakuna vyoo mashuleni lakini ZERO brain muigizaji Bashite anatembea na Gari la million [---] na msafara wa magari [--]. Inabidi tukatae. Nitaunga mkono maandamano"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1770943224841933176)  2024-03-21T22:39Z 67.9K followers, [--] engagements


"Mabeyo kaongea mengi sana kuna maswali mengi ya kuuliza: Yale mahojiano ni kwa manufaa ya nani na lengo lake ni nini Kwa nini Samia alipelekwa Tanga Waliotaka kupindua nchi ni wakina nani Muhimu ni umma ujue kilichomuua Shujaa Magufuli kiasi cha familia haikujua chochote"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1770945670477734154)  2024-03-21T22:48Z 67.9K followers, [--] engagements


"BREAKING: Rais Samia na Serikali yake wameingiza rasmi udini kwenye elimu yetu. Hizi ni baadhi ya combination mpya kwenye kidato cha tano kuanzia July [----]. Hii ni hatari siyo tu kwa umoja wa Taifa letu ila hatari kwa Usalama wa nchi. TISS mpo wapi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1771017892743577872)  2024-03-22T03:35Z 67.9K followers, [--] engagements


"Moja ya masharti ambayo Samia alipewa na Waarabu wa DP World ni kukiingiza Kiarabu kwenye mitaala ya shule. Sharti hili amelitekeleza. Namkumbuka sana Shujaa wetu JPM haya mambo aliyakataa. Alisema ni kichaa tu anaweza kusaini mkataba wa bandari"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1772452848271348004)  2024-03-26T02:37Z 67.9K followers, [--] engagements


"Ni aibu kubwa sana kwa Gavana wa Benki kuu kushiriki kwenye dollarizatin ya uchumi wa nchi. Kwa nini serikali Itumie USD wakati kuna TZS. Vinginevyo inaainisha kwamba uchumi wa Tanzania unakufa. Kila idara na Shirika ina charge USD. Clueless Governor. #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1772654527763693827)  2024-03-26T15:59Z 67.9K followers, [--] engagements


"BREAKING: Baadhi ya wabunge tuliowasiliana nao hawajataka majina yao kutajwa wamekiri kwamba ni kweli fedha hizo 18m wanalipwa kama mshahara kila mwezi. Malipo hayo yaliongezwa kipindi cha kelele za DP-WORLD. Kwa lugha nyingine waliongezewa mshahara kupitisha mkata wa DP-WORLD"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1772981951198028171)  2024-03-27T13:40Z 67.9K followers, [--] engagements


"BREAKING: Ifike sehemu watanzania tuondoe pamba masikioni. Tunaonekana kama wapumbavu. Wamewapa Bandari Loliondo KIA Mwanza airport na sasa DART. CCM inabidi tuchukue maamuzi magumu kuhusiana na hawa Waarabu. Nini kinaendelea na Hawa waarabu Tanzania"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1773112675599323170)  2024-03-27T22:19Z 67.9K followers, [--] engagements


"Wafuasi wa shujaa JPM ndani ya chama tunataka kujua kilichomuua Shujaa wetu. Jeneral Mabeyo anajua kitu. Haikuwa bahati mbaya yeye kufanya Interview na Daily News (TSN). Na baada ya kifo chake waarabu wanaitafuna nchi. Tunataka uchunguzi huru kuhusu kifo cha Magufuli"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1773311926073696324)  2024-03-28T11:31Z 67.9K followers, [--] engagements


"BREAKING: Ni mtindo wa kula kwa urefu wa kamba yako. Miaka yote ripoti za CAG zinapuuziwa wengine wanaona nani wa kuwakamata kama kila mtu ni mwizi CCM hasa #Wahuni tuko tayari kushirikina nanyi kwa maslahi ya nchi. Maana Samia hana maana tena. Amebaki kuwauzia waarabu nchi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1773315957890412898)  2024-03-28T11:47Z 67.9K followers, [--] engagements


"Kwani muungano una ulazima gani Hii kitu ivunjwe tubakie majirani tuu. Chao ni Chao chetu Chao. Watanganyika kwa sasa hatutaki muungano. Uvunjwe. Huyu kijana ananyanyaswa sababu yeye kuwa mbara Hawa watu wamezidi ubaguzi. Waachiwe Zanzibar yao"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1773666799172653442)  2024-03-29T11:01Z 67.9K followers, [--] engagements


"Believe it or not. Ndio hivyo"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1774478989890916506)  2024-03-31T16:48Z 67.9K followers, 13.8K engagements


"BoT nyie wapumbavu kabisa. Baada ya kuvuruga uchumi wa nchi mafisadi yanawashinda nguvu ndio mnaleta hivi virojo. Dollar wameficha MAFISADI ndani ya Serikali. Rushwa za Matrilioni zinanunua dollar kama Karanga na hadi mambo yawe sawa siyo leo wala kesho. Endeleeni kucheza"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1775181137909850343)  2024-04-02T15:18Z 67.9K followers, [--] engagements


"Mrs. Maua Kitenge ulipokuwa unashirikiana na Wadhulumati kuwaumiza wamasai na Kuuza bandari zetu kwa DP-WORLD haya yote tuliyasema. Unatumia single mothers kujinufaisha. Tulionekana tuna chuki kumbe tulikuwa tunawaambia watanzania uchafu wako. Haya sasa pambana na Mange Kimambi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1776885705186189382)  2024-04-07T08:12Z 67.9K followers, [--] engagements


"Huyu mama anatuvurugia chama. Haya ni mambo ya aibu. Kwa hiyo watu wananunuliwa kwa 5k Aisee Rais tumempata. Upinzani jipangeni mkishindwa basi hamtawahi kupata fursa nyingine ya kuchukua dola"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1777734645787856944)  2024-04-09T16:25Z 67.9K followers, [--] engagements


"Inawezekana vipi Idara ya ujasusi iwe mfukoni mwa wafanyabiashara wakati Rais yupo Jasusi @Chahali hebu tushauri. Maofisa wengi idarani wanaripoti vipi kwa watu nje ya mamlaka. Samia ajiandae kisaikolojia DGIS pekee hawezi kumuokoa. Nusu ya Idara iko mtaani. [----] wanamuondoa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1777738859893154288)  2024-04-09T16:42Z 67.9K followers, [--] engagements


"Najua mko wengi. Wengine hawawezi kuwekwa kwa sasa. Ila na sisi pia team Shujaa tuna jambo letu Thumbs up. 👍 #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1777775811212259658)  2024-04-09T19:09Z 67.9K followers, [--] engagements


"Kipara na #Wahuni wenzako Salamu yenu hiyo. Mwambie na Vuvuzela na Campaign manager [----] Mwamvita. Salamu zenu hizo toka kwa Le Generale Field Marshall Daudi Albert Bashite. Nani atashinda vita #TanzaniaLeaks"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1778805174879793576)  2024-04-12T15:19Z 67.9K followers, [--] engagements


"Jamani hii nchi ni ngumu sana. Kumbe Maliyamungu Bashite anatumwa Kuropoka Ni kama Maliyamungu Bashite alitumwa kuongea kwa Niaba ya Rais kuwaonya #Wahuni. Angalieni Mikono ya Samia: Mama anatoa maelekezo mwambieni BASHITE basi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1778814838564704529)  2024-04-12T15:58Z 67.9K followers, [--] engagements


"Rais Samia CCM tunaweza kuwa na makundi na kila kundi likawa na agenda yake. Nadhani cha Muhimu hapa ni kuangalia matakwa ya wananchi. Wananchi wanataka KATIBA mpya. Usidanganywe na uliowateua bila Katiba mpya nchi inaenda kukushinda. Wape wananchi KATIBA uone watakavyofurahi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1779697719197462926)  2024-04-15T02:26Z 67.9K followers, [--] engagements


"Hahahahaha. Vuvuzela Hatulii. Kila dakika statement kabla Mallyamungu Daud Albert Bashite hajawaibua kutoka uvunguni mbona mlikuwa hamtoi haya ma statements #Wahuni bwana Haya pambaneni na Bashite"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1780325147011867073)  2024-04-16T19:59Z 67.9K followers, [--] engagements


"Hivi muungano una faida gani kwetu sisi watanganyika Kwa kauli hizi kuna watu wanafaidika ndio maana wanazidi kuukumbatia huu muungano. Matajiri wakubwa Zanzibar wametajirika kutokana na rasilimali za watanganyika. Muungano UFE. Au nao pia waje Tanganyika kwa Passport"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1782918206690148692)  2024-04-23T23:43Z 67.8K followers, [--] engagements


"Mmechukia JPM kupigiwa kura Yaani maoni yasiyokuwa na madhara kama ya kupigia kura ni Raisi yupi alikuwa na Sera nzuri za kiuchumi inapelekea watu kutishwa kiasi hiki Mbona Samia anaanza kuogopa kivuli chake Awaogope Kipara na wahuni siyo maoni. Katiba mpya ndio dawa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1783701562239427068)  2024-04-26T03:36Z 67.9K followers, [--] engagements


"Mna mtafuta Luhaga Mpina Acheni kutuchezea. Acheni msithubutu. Kama mnataka vita vianze na chama kipasuke katikati basi endeleeni. Tumekuwa tukimsitiri Rais na kuwa Upande wake. Shemsha nyamaza kabisa. Tutakuanika hadi utajitundika kamba na uchafu wako unapata wapi jeuri"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1783826554709258353)  2024-04-26T11:52Z 67.9K followers, [--] engagements


"Tanzania ni nchi ngumu sana. Huyu Jasusi muuza madafu alitrend sana watu wakahoji iweje muuza madafu kuingia eneo la Ikulu Leo kajiumuia sijui walijisahau Waendelee kutuchezea shere. Siku ya siku inakuja"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1783916384692420629)  2024-04-26T17:49Z 68K followers, [--] engagements


"Bwana Hamisi Haya mambo siyo level yako. Endelea kuwapa mimba vitoto vya CBE na Wadangaji wa Rainbow Dodoma. Haya hayakuhusu. Kumbuka #Wahuni hawakutaki na hata Samia hakutaki kutokana na unafiki wako. Punguza unafiki na kujikomba"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1784198261164638255)  2024-04-27T12:29Z 68K followers, [--] engagements


"Rais Samia haya ndio mambo ya kupigania. Pambana na mafuriko Pambana na #Wahuni wanaotaka kukuondoa madarakani Siyo wafuasi wa Shujaa wanaopigania wananchi. Hivi kwa nini unawaogopa kina JK Mzee Makamba Bulembo Kinana nk. Unabakia kuwatuma wajinga kuwatukana wakina Mpina"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1784199923715437055)  2024-04-27T12:36Z 68K followers, [--] engagements


"President Samia what further evidence do you need to realize that you are being sabotaged Please dissolve the cabinet. Mwigulu January Nape Ummi Mkumbo and [--] others are not with you. They are serving their own interests and masters elsewhere"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1784394585151623337)  2024-04-28T01:29Z 68.2K followers, 13.5K engagements


"Mawaziri Makatibu wakuu wakuu wa mikoa na wilaya mwezi wa tano siyo mwezi salama kwenu. Dira yangu inanionyesha mambo siyo mazuri kabisa. Mamlaka imekereka na mambo mengi sana. Kaeni kwa tahadhari. Huu mwezi siyo mzuri mkeka unakuja"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1784774252362715248)  2024-04-29T02:38Z 68.1K followers, [--] engagements


"Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Huyu ni waziri mwenye dhamana kusimamia wizara ya elimu. Aisee sielewi tunakoelekea wala tunakotoka. Jamani kwa lugha yenu wana jamvi huyu anaitwaje na alipapataeje u-professor na waziri"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1786961579130359910)  2024-05-05T03:30Z 68.2K followers, [--] engagements


"Enzi za shujaa wapumbavu kama Hawa walikuwa wanajificha. Mtu hana biashara hana kazi popote lakini anajitangaza ana pesa nyingi za utapeli mitandaoni na serikali ipo inamuangalia lakini TRA inavamia biashara zinazolipa kodi na kuwabambikia kodi ili tu wapate rushwa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1787274524918010351)  2024-05-06T00:13Z 68.2K followers, [--] engagements


"Samia anaimaliza Tanganyika na AL Makhtoum wake. Loliondo wamepewa Ngorongoro wamepewa Misitu yetu wamepewa Bandari wamepewa. Bado nafsi zetu maana Watanganyika tayari watumwa wa waarabu. Samia aondoke na kurudi zake Zanzibari"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1787497768199569848)  2024-05-06T15:00Z 68.8K followers, [--] engagements


"Jangili Mkuu Mzee wa Kuua Tembo na Patron wa wahuni Mzee Kinana muda wa kujiengua ndani ya CCM umefika. Unajifanya unamsaidia Rais kumjibu Lissu kumbe unaharibu zaidi makusudi. Huu ni mkakati mliopanga na #Wahuni wenzako kukoleza moto ili kumhujumu Rais"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1787625153687343570)  2024-05-06T23:27Z 68.3K followers, [--] engagements


"BREAKING NEWS: Taarifa za uhakika toka Idarani ni kwamba Tarehe [--] April Usiku Rais Samia akiwa Nairobi Kenya aliugua Ghafla ugonjwa wa Moyo. Madaktari wake wakishirikiana na wakenya walijaribu kumuokoa Nairobi Hospital ila baadae alikimbizwa UAE kwa matibabu zaidi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1787868744024289393)  2024-05-07T15:35Z 68.4K followers, [--] engagements


"Hawa Takukuru BOGUS Kabisa. Kwa hiyo wataweza kuwakamata watoa rushwa na wapokea Rushwa ndani ya Chadema wakati madudu ya CAG hayajawahi kumkamatisha mtu Hili taasisi na TRA hazina faida yoyote kwa taifa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1787924593585381433)  2024-05-07T19:16Z 68.6K followers, [--] engagements


"BREAKING: Baada ya kutoa taarifa kuhusu Rais kuwa Dubai kwa matibabu tumepenyezewa taarifa mpya kwamba Ndege ya Tanzania imeonekana Terminal [--] (VIP) Dubai ikiwa na ulinzi mkali; inaashiria kuwepo Kiongozi wa Nchi anayeondoka.Bila Shaka Rais atawasili Dar leo usiku kimya kimya"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1787982010771800216)  2024-05-07T23:05Z 68.6K followers, [--] engagements


"ALERT: Mheshimiwa Lissu shikilia hapo hapo. Shindilia msumari. Team Samia watu hawajui pa kushikilia wamepoteana. #Wahuni nao wanachochea kuni na Team Shujaa JPM tuko na wewe. Kuwa tuu makini kwenye kila ufanyacho. Tumechoka mambo ya Abdul na mamake kutafuna nchi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1788392831058415699)  2024-05-09T02:17Z 69.8K followers, [--] engagements


"BREAKING: Wakati Rais Samia anajiandaa kuondoka nchini wiki Ijayo kwenda Barani Asia Ndege ya Tanzania mpya DREAMLINER inaoza Malaysia. Uzembe na ufisadi ndani ya serikali inaendelea kuitafuna taifa. Hapa ndipo tunamkumbuka Shujaa JPM. May his soul rest in eternal peaceful place"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1789007360666542296)  2024-05-10T18:59Z 70K followers, [--] engagements


"Mama Abdul kama mama Abdul. Anataka kutengeneza Chato ya Pili iitwayo Kizimkazi. Huyo mama ifikapo December kama atakuwa anaendelea na haya mambo tutajiunga na #TeamWahuni. Mara [---] #Wahuni kuliko huyu mama"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1789264988961398811)  2024-05-11T12:03Z 70.3K followers, [--] engagements


"BREAKING: Hatimaye mmiliki wa Bandari ya Zanzibar amefahamika. Huyu Jamaa amepandikizwa na Rais Mwinyi kusimamia umiliki huku wakiwahadaa Wazanzibari kwamba inasimamiwa na Wafaransa. Mwinyi na Samia hapana"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1789291028714840523)  2024-05-11T13:46Z 70.1K followers, [--] engagements


"Leo nchi yote hiko Gizani. Muhuni Nape akishikiliwa kama remote na Rostam Aziz aliwazuia Starlink na SES kuwekeza Tanzania. Leo ndio mnajiona mlivyo wajinga. Nyie ndio mnaotuchafulia chama na serikali. Mna mhujumu Mh. Rais. Hovyo kabisa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1789675652729180454)  2024-05-12T15:15Z 70.3K followers, [--] engagements


"Kwa taarifa tulilozipata toka wizarani SES ilikuwa ishirikiane na Tanzania kurusha satellite. Capacity ingekuwepo ya kutosha ya kuuza barani Africa gharama ya mawasiliano Ingeshuka kwa 70%. NAPE na tumbo lake la njaa kafanya fitna SES ambayo ndio namba moja duniani wakafukuzwa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1789821613220737425)  2024-05-13T00:55Z 70.3K followers, [--] engagements


"BREAKING: Kutoka wizarani SES ambayo ndio namba moja duniani ilikuwa ishirikiane na Tanzania kurusha satellite. Capacity ingekuwepo ya kutosha ya kuuza barani Africa kote na gharama ya mawasiliano Ingeshuka kwa 70%. NAPE na tumbo lake la njaa alifanya fitna na SES wakafukuzwa"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1789826606657138871)  2024-05-13T01:14Z 70.3K followers, [--] engagements


"KIPINDI cha Samia mawaziri wamekuwa wapumbavu wasiokuwa na adabu. Hawana uwoga wa chochote. Tunataka katiba mpya ili hawa wapuuzi wakina January waombe kazi na wapate uwaziri kwa Mikataba. Na wapitishwe na Bunge"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1790030756623814995)  2024-05-13T14:46Z 70.4K followers, [--] engagements


"Inabidi tuanze sasa kujiuliza uwezo wa Rais Samia. Kwa nini anakumbatia watu wapumbavu Kama January Nape Mwigulu Bashe nk. Kwa nini anawaogopa hawa watu January amekuja na Mbinu mpya Rais asikae nyumbani huku nyuma mambo yanaharibika na watu hawaelewi hizi safari nyingi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1790031902084092258)  2024-05-13T14:50Z 70.4K followers, [--] engagements


"BREAKING: Taifa limegeuka uwanja wa ushabiki na kujipendekeza. Mambo muhimu ya kitaifa yanageuzwa ya kisiasa kama hawana Chao. Haya sasa wanaumbuka. Wote walioshiriki kwenye majadiliano ya SES na StarLink wanyongwe maana ni waahini"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1790437009271492623)  2024-05-14T17:40Z 70.5K followers, [--] engagements


"Umi Mwalimu Jerry Silaa Bashungwa Nape na wanafiki wengine. Huu upumbavu wa kujipendekeza unaliangamiza taifa. Leo nchi imefika hapa gizani kutokana na kujipendekeza kwenu. Kwanini mumuhusishe Rais kwenye kila kitu Kwani taifa halina watu Rais tu ndiye anayefanya kazi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1790453326279999782)  2024-05-14T18:45Z 70.5K followers, [--] engagements


"Mzee Kinana mambo mengine ni bora kunyamaza na kutokuyajibu. Unajivua nguo. Sidhani kama kuna chochote wanachokisema Chadema ni uongo. Chama kitumie busara kuyashugulikia mambo wanayoongea Chadema maana huku mtaani hayo hayo wananchi wanaongea.Chadema imewasaidia kupasa sauti tu"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1790984781200494887)  2024-05-16T05:57Z 70.7K followers, [--] engagements


"Tunaonya lakini tunapuuzwa. Kuna kundi ndani ya CCM linamwaga hela ili RAIS azomewe. Taarifa tulilozipata ni kwamba madhara yameanza kuonekana pale Chalamila alipojaribu kumsifia Rais Samia pale Mbagala. Tunaona marudio ya CCM ya JK. Dhahiri wahuni watasimamisha mgombea 2025"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1792424197366714645)  2024-05-20T05:16Z 70.6K followers, [--] engagements


"BREAKING: Mei [--] #TanzaniaLeaks ilivujisha siri kuhusu Rais kuugua akiwa Nairobi na kupelekwa Dubai Ghafla. Usiku usiku wakampleka Dodoma kutuzuga. Akiwa Ufaransa hali yake ilibadilika ghafla. Tunafuatilia tetesi za kurudi Dubai ila hali ya Rais siyo nzuri. Tumuombee"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1792614756031017211)  2024-05-20T17:53Z 70.6K followers, [--] engagements


"Star TV debate reveals a stark contrast between a leader and a comedic relief. Sugu's performance showcased his Uchawa and unwavering loyalty to Abdul. It is imperative for Sugu to recognize the shifting political landscape as the political tide in Mbeya is favoring Mwabukusi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1794630722919231531)  2024-05-26T07:24Z 71.1K followers, 11.8K engagements


"Haya ni mambo ya kipuuzi na ya Kijinga sana. Rais anawabeba wakina Lulu kwenda Korea kwa gharama za nani Anajisahaulisha kwamba baadhi ya Watanzania hawana hata milo miwili Sasa nakubaliana na @mangekimambi"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1796984709655740528)  2024-06-01T19:18Z 70.7K followers, [--] engagements


"BREAKING: Taarifa tulizopata toka CHAMANI ni kwamba wahuni wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa kumtengenezea Rais Samia safari za nje ili asipate muda wa kuonana na wananchi. Lengo ikiwa ni kuhakikisha hapiti kuwa mgombea [----]. Hongera Kipara na Wahuni Wenzako"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1797449339784352043)  2024-06-03T02:04Z 70.8K followers, [--] engagements


"Despite receiving millions of dollars from the Tanzanian Govt @PeterSGreenberg relied on Govt resources for transportation meals/ hotel accommodations for himself his wife and his crew. This exemplifies how he defrauds African taxpayers in the name of his Royal-Corruption"  
[X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1797450999000600686)  2024-06-03T02:11Z 71.9K followers, 11.9K engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@TanzaniaLeaks Avatar @TanzaniaLeaks Tanzania Leaks

Tanzania Leaks posts on X about tanzania, mambo, dubai, zanzibar the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [------] #

Engagements Line Chart

  • [--] Week [-------] +291%
  • [--] Month [-------] +212%
  • [--] Months [---------] +78%
  • [--] Year [---------] -11%

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

  • [--] Week [--] +130%
  • [--] Month [--] +213%
  • [--] Months [--] +350%
  • [--] Year [--] -77%

Followers: [-------] #

Followers Line Chart

  • [--] Month [-------] +0.09%
  • [--] Months [-------] +6.50%
  • [--] Year [-------] +13%

CreatorRank: [-------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries travel destinations finance currencies technology brands social networks celebrities us election luxury brands automotive brands

Social topic influence tanzania #55, mambo, dubai, zanzibar, kenya, breaking, korea, dp world, mali, donald trump

Top assets mentioned Mambo (MAMBO) StarLink (STARL) HAPI (HAPI) April (APRIL) Nani Coin (NANI) Alphabet Inc Class A (GOOGL) Zetacoin (ZET) HELA (HELA)

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"The failed assassination attempt of @TunduALissu in Dodoma was discussed at the highest level of the Tanzania government. The plan was: assassinate him- send his body to his home & BURY HIM RIGHT AWAY. The goal was to instill fear to the rest of the opposition. #TzWikiLeaks"
X Link 2021-11-20T14:06Z 92.5K followers, [---] engagements

"UFISADI: SSH alifanya kikao na mmiliki wa Gran Melia Hotel siku alipofungua hotel hiyo Arusha. Sasa SSH yuko Ngorongoro kumalizia deal na Albwardy Investment kumiliki hotel ya Ngorongoro Crater Lodge. MPANGO: Albwardy Investment kumiliki Ngorongoro Crater Lodge na SSH kupewa hisa"
X Link 2021-12-26T07:43Z 92.2K followers, [----] engagements

"The failed assassination attempt of @TunduALissu in Dodoma was discussed at the highest level of the Tanzania government. The plan was: assassinate him- send his body to his home & BURY HIM RIGHT AWAY. The goal was to instill fear to the rest of the opposition. #TanzaniaLeaks When conman @RailaOdinga yells that he wants to RULE Kenya like the late John Pombe Magufuli TERRORIZED Tanzania we must remind him that Kenyans do not want a tyrant in power. We must remind him of how Maguguli RIDDLED @TunduALissu's body with 16-bullets. https://t.co/nad2QtC9KH When conman @RailaOdinga yells that he"
X Link 2021-12-28T14:49Z 93K followers, [--] engagements

"Russia has added Vice President Kamala Harris and Facebook founder Mark Zuckerberg to its list of Americans who are now banned from entering the country. #TanzaniaLeaks"
X Link 2022-04-22T02:28Z 92.5K followers, [--] engagements

"BREAKING: United States President Joe Biden says American troops would defend Taiwan if invaded by China"
X Link 2022-09-19T02:06Z 92.5K followers, [---] engagements

"Our Objective is to Save #Tanzania Public from the Chronic Corruption and miss management. We are welcoming any document or news that will expose those vises. Be assured that your privacy is of Paramount importance. Submit Leaks inbox or: tanzanialeaks@iCloud.com #TanzaniaLeaks"
X Link 2022-11-26T18:31Z 91.8K followers, [---] engagements

"BREAKING: President Joe Biden says he will run again for President in 2024"
X Link 2023-04-15T00:27Z 93.1K followers, [----] engagements

"Ma Samia decided that Tanzania in collaboration with SES was to launch it's own satellite that wouldve covered the entire Africa & Middle East.Sadly Bwana Yule & Wahuni at Napes ministry sabotaged the project to protect Vodacom bse SES was going to offer the cheapest Internet"
X Link 2023-04-15T22:10Z 92.5K followers, 14.9K engagements

"DP World amekuwa kama ugonjwa wa Ukoma katika mataifa mengi ya kiAfrika na hata Ulaya kutokana na mikataba yake ya kinyonyaji. Somalia wamefukuzwa. Djibouti hawatakiwi. Kenya hawatakiwi. Tanzania Rais Samia Speaker Tulia na Wahuni wa CCM wanawapigania. Wazalendo wetu mpo wapi"
X Link 2023-07-15T16:26Z 74.9K followers, [--] engagements

"Chama changu CCM unachukulia kwa wepesi vitu vizito vyenye maslahi mapana ya kitaifa kwa wepesi wa kutisha. Kumtuma Steve Nyerere na Jerry Silaa ni kujidhalilisha na kuwakejeli watanzania. Kwa nini umetufikisha huku Kama huu ndio mwanzo na mwisho wako basi ni mipango ya Mungu"
X Link 2023-07-16T21:11Z 85K followers, [--] engagements

"1-2 President Samia Suluhu Hassan has arrested several lawyers who publicly opposed his selling of our ports to the UAE DP World. Consequently Lawyers Mwabukusi Rugemeleza Nshala Madeleka Lissu & other critics lives are in Danger"
X Link 2023-07-18T20:07Z 63.7K followers, 29K engagements

"Nape is a typical idiotic moron. A crook who believes their reign will never end. It is just the beginning DP World is bringing your house crumbling and soon you will know that you didn't know anything in the first place. JPM was such a smart guy to contain these morons"
X Link 2023-07-19T19:02Z 64.3K followers, [----] engagements

"Sharjah Safari Park was officially opened on Sep [--] [----] that was after cargo planes were spotted shuttling in & out of Loliondo. This was close to [--] years after JPM's Demise. Today if you want a malaria free Safari outside Africa Sharjah is the Place. Thank you Samia Suluhu"
X Link 2023-08-02T21:38Z 63.7K followers, 14.2K engagements

"Our president is becoming a global laughing stock. It is now obvious that our plane is being held in Saudi Arabia. Amidst the DP World Scandal here comes the Presidential jet scandal"
X Link 2023-08-05T16:04Z 63.6K followers, 31.6K engagements

"Considering what Dr. Tulia Ackson has done to the defenseless Tanzanians we are yet to see what @IPUparliament is going to do inlight of serious corruption allegations blatant & flagrant infringement of Tanzanias democratic rights. We are bracing to boycott IPU. @IPUPresident"
X Link 2023-08-05T17:25Z 64K followers, [----] engagements

"IPU your Tulia Ackson is now uttering intimidations to peaceful protesters. public is enraged by a dubious contract they entered with Dubai's DP world. Instead of Executive oversight The Speaker is assuming a chief of Police Role by threatening anybody who dare to protest"
X Link 2023-08-11T12:16Z 64K followers, 20.2K engagements

"Leaks hainunuliki na haitaweza kununulika. Hizo hela mnazohonga nendeni mkajenge mahospitali na mashule. Njaa yetu kubwa ni uhuru wa Tanzania kutoka kwa #Wahuni na wapumbavu kama nyie mnaouza utu wenu kwa warabu sababu ya pesa. Ukiendelea kuleta huu ujinga tutakulipua.Kafie mbele"
X Link 2023-08-11T13:19Z 64K followers, 70.8K engagements

"IPU Tulia Ackson along with other evil officials within the government have arrested their shoddy and corrupt deal critics. Now they are charging them with treason which attracts death penalty. @IPUparliament we can now see your true colors by embracing this wicked woman"
X Link 2023-08-14T19:03Z 63.7K followers, [----] engagements

"The DP World is unearthing them one by one. Dumb Wambura is talking of Treason. Mkumbo is Singing Criminality. Brain Dead Nape and Comic Chalamila don't even know what the crimes committed. Good thing they have announced to the global community that Tanzania is not a safe place"
X Link 2023-08-16T23:55Z [--] followers, [----] engagements

"Madame President hope in your todays CC meeting with top brass wisdom will reign Supreme. Unconditionally release Dr. Slaa Mwabukusi & Mdude languishing in jail on trumpt-up charges. Remember to fire those mendacious advisors. Else you are drowning into the abyss of history"
X Link 2023-08-17T00:58Z 64K followers, [----] engagements

"Cohort of Dumb Retards Comics and gluttonous Idiots. Only on Samia's watch"
X Link 2023-08-17T02:16Z 63.9K followers, [----] engagements

"Wambura is a classical depiction of Police cluelessness and stupidity. Announcing to the world that Tanzania is not a safe place. He uses a bullet to think instead of his brain. Doesn't know what makes a treason charge"
X Link 2023-08-17T12:18Z 64.3K followers, [----] engagements

"Nape a retarded loud mouth undoubtedly depicts vyeti feki. This bogus corrupt idiot doesn't even know the boundaries his responsibilities as Minister. How can he confidently go public with such a poorly written grammatically subpar letter addressing the international community"
X Link 2023-08-17T12:28Z 63.8K followers, [----] engagements

"Kitila academic credentials ought to be scrutinized. This dumb snitch was all over BBC with broken English trumpeting "Criminality & Incitement" not Treason; Means our GovT is a crumbling Babylonian tower. Idiots are either inside moles sabotaging the regime or simply inept"
X Link 2023-08-17T12:36Z 64K followers, [----] engagements

"Albert Chalamila a windbag comedian and a clueless idiot has told us that Dr. Slaa and the rest never committed a treason but incited the public to protest. Crumbling Babylonian tower. These idiots are either inside moles sabotaging the regime or simply government of inept "
X Link 2023-08-17T12:41Z 64.2K followers, [----] engagements

"Mrs. Maua Kitenge nakupa onyo na siri. Umetumika vya kutosha. Unadhani CCM tunapenda huu ujinga [--] days is enough. Don't make a mistake else people are going to make a good example out of you"
X Link 2023-08-18T19:32Z 64K followers, 26.5K engagements

"BREAKING: Taarifa za uhakika tulizopata hivi punde ni kwamba Kuna mkakati wa TISS na CCM kuwatumia agents wa DP World kuwanunua wapinzani. Wapinzani wenye misimamo mikali watahujumiwa. Hela za DP World zinasambazwa siyo tu ndani ya chama ACT na CUF tayari wameshapokea mgao"
X Link 2023-08-25T13:34Z 64K followers, 44.2K engagements

"BREAKING: Ingawa Massoro DG Tiss ana makosa yake lakini pia figisu za wahuni wa MSOGA zimemuondoa . Massoro aliwazibia zile briefing walizozoea. Kwani baadhi ya watu waliokuwa kwenye payroll walipigwa chini. RA na Kipara wakaingia kumsagia kunguni Msoga hatimaye kaliwa kichwa"
X Link 2023-08-29T02:04Z 63.6K followers, 10.2K engagements

"Anachozungumzia Tabasamu ni impact ya inflation. Mfumko wa bei ni contagious na inachukua muda. Tulionya lakini BoT wanaendelea na denials zao. Watanzania mjiandae na mfumko wa bei. Mishahara haitaendana na gharama za maisha. Let's brace for unprecedented level of inflation"
X Link 2023-08-31T17:36Z 63.1K followers, 11.1K engagements

"Elvis Tuyizere Yohanne. Uliingia Tanzania Kama Mkimbizi ukabadilisha majina umesomea shule zetu na kujifanya mtanzania kumbe Mrundi. Unajifanya jasusi mbobevu unaifuatilia TanzaniaLeaks. Ujue Leaks nao wanakufuatilia mbuzi wewe. Reports zako idarani tunaziona. So be careful"
X Link 2023-08-31T18:01Z 64K followers, 10.5K engagements

"Mama- Rais. Mtoto wa kike: Wanu Hafidh Ameir- Mbunge viti Maalum. Mtoto wa kiume: Abdul Hafidh Ameir- anaongoza negotiations kimataifa kwenye deals zote za Energy Bandari uwekezaji nk. Mkwe: Mohamed Mchengerwa- waziri wa TAMISEMI. Huyu kwaajili ya chaguzi [----] & 2025"
X Link 2023-09-01T16:17Z 63.7K followers, [----] engagements

"Rais Samia unakosea wapi Kosa kubwa ulilolifanya ni kumkamata Dr. Slaa na Kumpa kesi ya UHAINI. Umekuja kurudia kosa kubwa zaidi la kumvua Ubalozi. Kataa hawa washauri wako. Hili ni kosa kubwa sana la kimkakati. Umemfanya Dr. Slaa kuwa na nguvu sana. [----] ndiye King Maker"
X Link 2023-09-02T11:37Z 63.9K followers, [----] engagements

"BREAKING: Tanzania is headed to HELL. Its leaders are heartless. Neither do they have apathy nor sympathy. Comes a time the public say enough is enough let's Get rid of these corrupt despotic idiots. Read for yourself"
X Link 2023-09-04T19:22Z 64K followers, 17.7K engagements

"The Lumumba Wacky Retarded fools have no common sense of deceiving even an infant. If you want to deceive those that are intellectually superior to you at least reason a bit. #TanzaniaLeaks is not VERIFIED you little blockhead"
X Link 2023-09-05T11:50Z 64K followers, [----] engagements

"Tokea mtoto wa Samia Abdul alipo kwenda Uganda kukutana na Mseven tuliwaambia hawa watu wanatengeneza CRISIS ya mafuta. Vijana wa Lumumba mkaitukana #TanzaniaLeaks. Tunarudia tena kuna uhaba wa mafuta na dola"
X Link 2023-09-05T12:42Z 63.6K followers, [---] engagements

"Dr. Mwigulu Nchemba a man of the people. We are quite impressed that you are coming into sync with the reality. Finally what we described as a CRISIS is being treated as such. World Bank kindly assist with USD it is a national crisis that could easily trash our economy"
X Link 2023-09-06T19:15Z 63.7K followers, 11.6K engagements

"While supply & prices of oil have remained relatively stable in the global market artificial scarcity in Tanzania is emanating from this powerful cartel bent to sabotage the economy.Dr. Biteko carry a thorough investigation on what happened with bulk procurement. OMANIS save us"
X Link 2023-09-07T14:47Z 64K followers, 11.1K engagements

"Tunaviongozi wa ajabu sana wananunua Magari ya TZS 500M huku kwenye ofisi zao vyoo havina maji. Nimeingia ofisi za Tamisemi makao makuu chooni hakuna maji corridor yote harufu. Hivi Waziri au KM unaingiaje kwenye V8 Unasalimianaje na watu mikono inanuka mavi Shame on you"
X Link 2023-09-07T18:45Z 64K followers, 58.1K engagements

"BREAKING: Wanafungua dhamana ya Wakili Peter Madeleka leo na kumkamata tena. Msifurahi sana. Wakili Peter Madeleka bado hayupo huru. Lengo lao ni kuendelea kuwavuruga. Msitoke kwenye DP World na maandamano mliyoyapanga. Jeshi lipo nyuma yenu"
X Link 2023-09-08T09:23Z 64K followers, [---] engagements

"BREAKING: Kuna njama za kumkamata tena Wakili Madeleka baada tu ya kupewa dhamana. Askari wameongezeka na wamefunga geti za kutoka mahakamani ili iwe rahisi kumkamata tena. #TanzaniaLeaks"
X Link 2023-09-08T10:34Z 64K followers, 27.8K engagements

"BREAKING: Tanzania TUMELIWA. Taarifa tulizozipokea ni kwamba bwala la kufulia umeme la Mwl. Nyerere limeanza kutoa nyufa kabla ya kujazwa maji. Mara nyingi hii inatokana na watu kupiga hela mkandarasi anabaki hana cha kufanya zaidi ya kulipua kazi. Hii picha inajielezea"
X Link 2023-09-09T07:23Z 64K followers, [---] engagements

"BREAKING: Kutoka kitengo tumedokezwa usiku huu kuwa DPP anabadili mashtaka ya Wakili Peter Madeleka kesho asubuhi na kumpa kesi isiyo na dhamana. Mnaziba huku wanatoboa kule"
X Link 2023-09-11T19:10Z 63.7K followers, [----] engagements

"Morani huyu Rasta mwenye vidole viwili mkono moja atawabaka mama zenu na kuwaua ndugu zenu Ngorongoro hadi lini Mnaweza kupambana na Simba lakini hamuwezi kumtendea haki huyu KIBAKA Wamasai acheni kuwa wapumbavu kwenye ardhi yenu. AMKENI"
X Link 2023-09-11T20:26Z 64K followers, 45.2K engagements

"Rais Samia. Unajimaliza mwenyewe. Kitakachofuata hapa hakitakuwa kizuri. Na dhahiri unautangazia umma na dunia kwa ujumla kwamba kuna mabaya serikali imeyafanya Kule Ngorongoro. Haya mfupa wako huo mama Abdul utafune"
X Link 2023-09-12T10:28Z 64K followers, [----] engagements

"Kassim mosi unaonekana ni mfuasi mtiifu wa Shujaa JPM na nje ya Kipara unaonekana unajipanga [----]. Lazima wakudhoofishe. Kukudhoofisha umepewa msaidizi. Pili msaidizi wako amewekwa ili akusanye kura za Kanda ya ziwa. Ziara za Chadema zimechafua. Lissu kawavuruga balaa"
X Link 2023-09-18T14:19Z 63.1K followers, [---] engagements

"During the gulf War that dethroned Sadam Hussein there was someone called Tariq Aziz famously known Bob Baghdad This man deceived Saddam that All American forces had been buried in the desert by Iraq forces yet they were 10Km from Baghdad. Pres Samia this idiot is dangerous"
X Link 2023-09-20T04:47Z 63.7K followers, [----] engagements

"Jerry Silaa is another loud mouth dramatic ZERO brain DP-World agent who is ready to utter anything in order to remain relevant. If he is that good he needs to deal with the real CARTEL in Dar-es-Salaam instead of these small defenseless fishes"
X Link 2023-09-20T21:58Z 64K followers, 11K engagements

"1-2 Oh my motherland My tears for thee. I am sobing uncontrollably hearing this emotional story of a life cut short and lives left in despair. Tanzania government do you care for the downtrodden What can we do for this family"
X Link 2023-09-24T12:01Z 63.7K followers, 11.9K engagements

"2-2 Oh my motherland My tears for thee. I am sobing uncontrollably hearing this emotional story of a life cut short and lives left in despair. Tanzania government do you care for the downtrodden What can we do for this family"
X Link 2023-09-24T12:01Z 64K followers, [----] engagements

"You are indeed a true testimony of a living miracle. We could be miles apart when it comes to political ideologies we are rather still humans and Tanzanians. Me being a CCM doesn't mean I should wish ill I am rather wishing Good health. May GOD shield you. #TanzaniaLeaks"
X Link 2023-09-27T19:08Z 64K followers, 20.7K engagements

"Tanzania haiwezi kupata maendeleo kwa kuwa na viongozi wenye akili mgando kiasi hii. Foleni kuanzia St. Peter Masaki hadi Lugalo kwa masaa mawili ili kiongozi mmoja apite. Uzalishaji wa hawa watu unakuwa compromised na mtu mmoja na wapambe wake. Huyu ni Dotto Biteko anapita"
X Link 2023-10-24T17:16Z 62.4K followers, [----] engagements

"BREAKING: Uteuzi wa Makonda umeleta mpasuko mkubwa sana. #Wahuni au kundi la wakina Nape wamefanya kikao majuzi Masaki na kuafikiana kwamba ni lazima uteuzi wa Makonda utenguliwe au uongozi wa nchi ubadilike [----]. Rais Samia Wahuni wako na wewe na hii kitu tumeizungumzia sana"
X Link 2023-10-25T05:26Z 89.3K followers, [--] engagements

"MORE ALERT: If @IPUparliament can't act then as citizens we have nothing else to say or do. We have done our part. Other candidates must protest and demand the disqualification of Tulia Ackson. @RalphyChims @IPUPresident"
X Link 2023-10-25T17:54Z 62.6K followers, [----] engagements

"BREAKING: Kikosi kazi cha utekaji kimerudi kwa ushauri wa Paul Makonda ili kukabiliana na upinzani. Kikosi hicho kimeundwa na watu zaidi ya [--] kutoka vyombo viwili vya dola ambavyo ni jeshi la polisi na usalama wa taifa. Mdude na Mwabukusi ni sehemu ya target. Kuweni makini"
X Link 2023-11-06T21:25Z 62.7K followers, [----] engagements

"ALERT #TanzaniaLeaks siku zote ina ripoti ukweli na mambo ya uhakika. Jana tumeondoa post baada ya kugundua ni chuki binafsi. Tafadhali mtu mwenye chuki binafsi zimalize. Usilete story za kutunga au Nyaraka za Uongo. Tunaomba radhi. Tushirikiane kupambana na ufisadi Tanzania"
X Link 2023-11-09T20:53Z 64K followers, [----] engagements

"Kunawaka moto. Kinana hana furaha. Bashite katuvuruga. Chongolo kaamua kucheza kwa uangalifu lakini kakalia kuti kavu. Sabaya na Hapi wanarudi. Ridhiwani na January wanapasha kwaajili ya [----]. Mama hesabu haziendi. JK anataka kutimiza lengo lake la kumuweka kijana wake Magogoni"
X Link 2023-11-22T19:03Z 63.1K followers, [----] engagements

"#TanzaniaLeaks"
X Link 2023-11-25T07:03Z 63.4K followers, [----] engagements

"ALERT: Rais Samia tunakuomba kwa heshima na taadhima uutangazie umma kinachoendelea na VP Dr. Philipo Mpango. Tunakupa siku [--] vinginevyo #TanzaniaLeaks itachukua Jukumu la kutangaza kinachoendelea maana kuna mchezo umeanza wa kucheza na wafuasi wa shujaa JPM"
X Link 2023-11-28T03:18Z 63.6K followers, 11.1K engagements

"Kuchangia kanisa siyo jambo baya ila tumeonya sana kwa muda mrefu. #Wahuni wanajipanga [----]. Wameamua Rais Samia lazima aondoke. January anapanga kubadilisha na Dini awe mkristo for [----]. Maandalizi ni mazito sana maana watu wamechefukwa na Samia na wameamua lazima aondoke"
X Link 2023-11-30T11:02Z 63.6K followers, 12.3K engagements

"ALERT ⚠: Tunaanza kutoa tahadhari kubwa kwa wafuasi wote wa JPM. Waziri Mkuu kuwa makini sana sana sana. Narudia kuwa makini sana maana hawa watu wanakutafutia kitu. Kukung'oa ni risk kubwa kwao kisiasa Wanatafuta njia mbadala ya kukuangusha. #TanzaniaLeaks"
X Link 2023-12-02T01:47Z 63.7K followers, 10.7K engagements

"ALERT ⚠. Tunatoa tahadhari nyingine. Wafuasi wa JPM kuweni makini. Hii tumewaambia wiki chache zilizopita msitupuuzie. PM kuwa Makini. Wahuni wako kazini. Yeyote anayeweza kuwa kikwazo kwa #Wahuni akae makini"
X Link 2023-12-03T15:34Z 63.7K followers, [----] engagements

"ALERT⚠: Kwa kawaida Rais aliyemakini anakuwepo nchini kwake kukabiliana na majanga makubwa ya kitaifa. Kinachotokea Hanang ni janga la kitaifa lakini Rais anaendelea kukaa Dubai kula bata na watu wake zaidi ya [---] huku watanzania wakisombwa na mafuriko.Ndio utawala wetu pendwa"
X Link 2023-12-04T05:33Z 63.8K followers, [----] engagements

"BREAKING: Kwa nini viongozi wanaolipwa kwa kodi zetu wanatuona kama mazezeta Rais Hussein Mwinyi alikuwa USA juzi kaondoka jana. Atupe taarifa VP Mpango anaendeleaje Mara yupo Korea mara USA Kuna mengi yanaendelea na tunafichwa. Mwinyi alikwenda USA kimya kimya kufanya nini"
X Link 2023-12-04T05:38Z 63.8K followers, [----] engagements

"ALERT⚠: Kinachofanyika siyo siri tena. Waarabu na waislamu wanapewa kipaumbele kwenye rasilimali au fursa zilizopo. Mabalozi wanalalamika Kwamba wanaleta wawekezaji matokeo yake ni Wachina na Waarabu wanapewa fursa kwa vigezo vya Udini na rushwa. Hii italeta shida kubwa mbeleni"
X Link 2023-12-09T04:11Z 63.9K followers, 13.3K engagements

"Baada ya JPM sasa tuna serikali ya wenye nazo. Nauli zimeongezwa kuna maeneo nauli imeongezeka kwa 50%. Kwenda Bukoba kuongeza nauli kwa [-----] ni haki kwa house girl ambaye mshahara wake ni [-----] Naiona "Revolution " mbele yetu. Endeleeni kuweka pamba masikioni mtajua hamjui"
X Link 2023-12-12T13:05Z 64K followers, [---] engagements

"Undugu wa mtawala na Waarabu unatuletea ukoloni mamboleo.Tukikosoa tunaitwa wadini. Mama Samia acha kuifanyia Tanganyika maovu kwenye mgongo wa Uislamu.Uislamu haupendi dhulma.Kumbuka mtume Muhammad ibn Abdullah ibn Abd al-Muttalib ibn Hashim alitufundisha nini kuhusiana na haki"
X Link 2023-12-12T13:14Z 64K followers, [----] engagements

"ALERT: Hivi CCM ni ya Watanzania au ni Warundi Bandarini hali ni mbaya. Mizigo haitoki tangu October system imekorofisha. Dollar hakuna. Dollar kupata ni mtaani tena kwa bei ya kutisha TZS [----] kwa dola [--]. Viongozi chamani wanafanya uchawa. Hawahoji . TUSUBIRIE mfumuko wa BEI"
X Link 2023-12-12T13:24Z 64K followers, [----] engagements

"BREAKING: Kuna ugonjwa umezuka kwa kasi kubwa sana. Watu kwa maelfu wanaumwa.Corona imerudi. Inaonekana ni mafua ya kawaida ila ni COVID-19.Siyo kawaida mtu aumwe mafua karibia wiki [--]. Dalili zote ni za COVID. Watanzania chukueni tahadhari maana viongozi wenu mnawajua vichwa vyao"
X Link 2023-12-12T13:32Z 64K followers, [----] engagements

"NAPE katika viongozi wajinga na wapumbavu Tanzania imebarikiwa kuwapata ni wewe. Kuwa mnafiki na kujipendekeza pia ni Kipaji. Wewe ni mpumbavu. Hao unaojikomba kwao ndio wale unaojipanga kuwaondoa [----] ukidhania hawakujui. Baada ya kumvua Chongolo uchi umeona haitoshi Subiri"
X Link 2023-12-12T13:58Z 64K followers, [----] engagements

"ANGALIZO: Mbio za Mwenge inabidi zisitishwe kwani hadi leo hatujaona matunda yake zaidi ya kutuletea watoto haramu ambao wanakidhalilisha chama. Nape kwa nini kila siku anatisha watu Shujaa JPM aliona mbali kuhusiana na #Wahuni wakina NAPE. Leo wamerudi anaangalia tumbo lake"
X Link 2023-12-12T14:01Z 64K followers, [----] engagements

"BREAKING: Mahakama Kuu ya Colorado imemuondoa Donald Trump kwenye kura za maoni za Republican [----] kwenye jimbo hilo"
X Link 2023-12-19T23:30Z 85.1K followers, [--] engagements

"BREAKING: Colorado Supreme Court removes Trump from states [----] ballot"
X Link 2023-12-19T23:31Z 64.3K followers, [----] engagements

"Nchi yangu Tanzania nakulilia kwa machozi ya damu. Mwigulu ametembeza Rushwa kiasi cha kuogopesha ili tu mwanaye achaguliwe. Hivi kama taifa tunaelekea wapi Kuna siku watanzania wataamka usingizini na utakuwa mwamko mbaya kwa watawala. Hadi mjukuu wa Kova Ndani kama mwenyekiti"
X Link 2023-12-20T23:05Z 64.2K followers, [----] engagements

"1-2Wanafiki wanasema wao na shujaa wetu JPM ni kitu kimoja. Msijisahaulishe. JPM alikataa kubinafsisha bandari zetu. Alisema ni kichaa tu ndiye angempa mchina Bandari ya Bagamoyo au Dar kwa miaka [--]. JPM alikataa hata watoto kuwa chipukizi. JPM hakukata umeme"
X Link 2023-12-22T03:51Z 64.3K followers, [----] engagements

"2-2 Hata kabla ya Kaburi lake halijakauka mmeuza kila kitu. Bandari zetu mmewapa waarabu Wamasai mmewafukuza na hata mapori yetu mmewapa waarabu. Acheni unafiki. Nyinyi na JPM sio kitu kimoja. Ipo siku tutaeleza namna mlivyo mpoteza shujaa wetu JPM. RIP Shujaa wetu"
X Link 2023-12-22T03:51Z 64.3K followers, [---] engagements

"Our son. MUST BE. Stay tuned"
X Link 2023-12-23T00:40Z [--] followers, 12.9K engagements

"BREAKING: Chanzo chetu ndani ya Takukuru ni kwamba Jerry Silaa kukataa 300M ni Geresha tu. Jerry alitaka 1B mwenye kituo akamwambia hiyo hela hana. Wakavutana hadi 700M ambayo Jerry alisema ndio mwisho wake. Jamaa wakashindwa na kugomea 300M. Pakawa pagumu hadi Jerry kuwalipua"
X Link 2023-12-24T15:46Z 64.3K followers, [----] engagements

"Heart wreaking to see Israeli Govt flouting the idea of resettling the helpless Palestinians into DRC from their motherland.This is another insult to Africans by trying to make Africa a dumping ground. This supremacist approach has #TonyBlair shuttling to facilitate the injustice"
X Link 2024-01-05T02:50Z 64.2K followers, 10.5K engagements

"BREAKING: Serikali ya Tanzania iliuziwa ndege ya zamani sana ambayo ilishaondolewa kwenye air worthiness. Ndege hiyo Bombardier Q300 imekwama nchini Malta kwa miaka mitatu sasa tokea [----] kwa sababu spare zake hazipatikani. Asante serikali yetu sikivu ya CCM. Kazi iendelee"
X Link 2024-01-05T13:36Z 64K followers, [----] engagements

"BREAKING: Kinachofanyika TRA kinaogopesha. Makampuni yanakamuliwa vibaya mno. Accounts zinazuiliwa zikidaiwa kubeba hela haramu hayajalipa kodi nk. Mwisho wa siku hela zinakwenda au unaombwa rushwa kubwa sana ili hela zako ziachiliwe. Watanzania wanaumizwa. Kuna shida kubwa"
X Link 2024-01-05T17:14Z 64.3K followers, [----] engagements

"Tanzania haiwezi kuendelea na haitaendelea ikiendekeza mawazo finyu ya watu kama Wassira. Huyu mzee yuko Madarakani tangu enzi za Nyerere. Cha maana alichokifanya hakuna. Wanachofanya ni kuwaweka watoto wao waendelee kula nchi. Inabidi wapumzishwe. Hovyo kabisa"
X Link 2024-01-05T20:34Z 63.7K followers, [----] engagements

"BREAKING: Tanzania's opposition leader Mr. Freeman Mbowe has called on his PARTY Chadema followers to come out in large numbers to protest against the government's refusal to accept electoral reforms. The countrywide protests are scheduled to commence on January [--] 2024"
X Link 2024-01-13T19:09Z 63.7K followers, [----] engagements

"BREAKING: Kabla ya Chadema kutoa tamko la maandamano wajinga fulani ndani ya chama chetu wakiongozwa na Bashite na Nape waliwapigia simu wapumbavu kama Steve Nyerere kuwatishia waandishi wa habari ili wasihudhurie mkutano wa Mbowe na wamadishi wa habari jana"
X Link 2024-01-14T18:57Z 64.2K followers, [----] engagements

"Ni kituko Kumsikia ZERO Brain Bashite akijidai kwamba yuko tayari kufanya mdahalo na Mnyika Mbowe na Lissu. Mambo ya ajabu sana. Bashite unatudhalilisha kama chama. Sijui ulifikaje huko juu. Naona kama anguko la CCM maana unatengeneza mpasuko mkubwa sana"
X Link 2024-01-14T19:13Z 64K followers, [----] engagements

"Kuna taarifa za ndani kutoka ikulu kwamba huyu mtu ni kipenzi chako na unamuamini sana. Kuna siku atakupa maji na ukawa hauna maisha. Asihusishwe kwenye mipango yenu ya ndani. Yuko kwenye payroll ya Kizimkazi. Mkipuuza ushauri huu mipango yenu itaendelea kuvuja. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-01-14T22:07Z 63.8K followers, [----] engagements

"Kwa mfano itokee tumevamiwa tarehe [--] au [--] na nchi Jirani. Itakuwaje ikiwa wanajeshi wetu wanaokota takataka barabarani Nadhani huu uwe mjadala wa kuangalia uhalisia wa mambo"
X Link 2024-01-16T19:46Z 64K followers, [----] engagements

"Tanzania kuna mambo na vijimambo. Kumbe kuandamana ni lazima uwe na bima Hatukujua kwamba watu wa Ikulu nao watakuwepo kwenye maandamano Inabidi wote tukaandamane. Rais Samia na wana CCM wote watakuwepo. Kwa maana hiyo CCM maandamano haya ni haki yetu"
X Link 2024-01-19T03:06Z 62.4K followers, [----] engagements

"Comrade ni mwanzo mzuri. Ila na wewe ulikuwa kundi la mamvi. Sidhani kama una ubavu wa kupambana na #Wahuni. Wamejipanga hasa wana network na hela wanayo. Tunawasiwasi mkubwa kama mama atatoboa"
X Link 2024-01-19T20:09Z 64.2K followers, [--] engagements

"BREAKING: Kuna vijana wa CCM ambao wamedhaminiwa na kundi la #Wahuni wamekuwa wakipita maeneo ya Ilala na Buguruni wakigawa Elfu [--] kwa kila mtu ili washiriki maandano ya Chadema tarehe [--]. Nape hizi hela zinatoka wapi Rais Samia tunarudia kila siku. [----] siyo lelemama"
X Link 2024-01-21T01:16Z 64.2K followers, [--] engagements

"Luaga Mpina Bashiru Kigwangalla Polepole ni baadhi ya watanzania wachache wanaoonyesha juhudi za kulitetea taifa katika wakati mgumu huku Wakina Nape January wakipitisha hela mtaani ili wananchi waandamane na Chadema dhidi ya Samia. Bashe mbona na wewe unatuangusha"
X Link 2024-01-21T22:43Z [--] followers, [--] engagements

"Hiki Chama tunakivuruga wenyewe. Makonda anapokuwa na msafara wa magari [--] na ving'ora juu ni swala la kufikirisha sana. Hadi mkuu wa Mkoa anamfuata Makonda. Kwa lipi Huyu mtu anakuwaje na nguvu zaidi ya Waziri mkuu"
X Link 2024-01-23T04:57Z 64K followers, [--] engagements

"BREAKING: Taarifa nyingi za Chini chini ni kwamba Dotto Biteko ni Mrundi aliyepata kuteuliwa kwenye nafasi ya Naibu Waziri Mkuu. Hili ni swala la kuogopesha kidogo. Tunashindwa kuelewa tunakoelekea. This is absolute insanity. Nadhani Jasusi naye kathibitisha hili swala"
X Link 2024-01-23T13:16Z 64K followers, [--] engagements

"ALERTS ⚠: Tumemkomalia Dotto Biteko. Sasa mbona tuko Kimya swala la Philip Mpango Tusiwe waonevu. Na bila CDF kuwa jasiri hawa wangeendelea kutuburuza"
X Link 2024-01-23T13:38Z 64K followers, [--] engagements

"NEWS ALERT ⚠: Watanzania bila kujali itikadi zetu kesho tuungane kwenye maandamano ya Chadema. Hali siyo nzuri hapa kwetu kumechafuka. Yaani wageni ni wengi sana kwenye serikali yetu. Wafia Chama wametelekezwa. Tuseme hapana. Kesho ni maanadamano"
X Link 2024-01-23T19:37Z 63.4K followers, [--] engagements

"Rais Samia baada ya Kauli ya CDF tunapenda kukushauri kwamba ni muda muafaka wa kuvunja baraza la mawaziri. Hii ni aibu. Vunja serikali. Itakupa heshima kubwa maana baraza jipya utakaloliunda litafanya mabadiliko kwenye taasisi husika. Tuko uchi kama taifa"
X Link 2024-01-23T19:51Z 66.3K followers, [--] engagements

"BREAKING: Taarifa kutoka chanzo chetu cha uhakika ni kwamba akiwa waziri wa nishati January kupitia dadake Mwamvita walinunua jumba la kifahari kubwa sana nje ya nchi lililogharimu zaidi ya USD $4M.Pia yupo kigogo mwingine ambaye jina lake litatajwa baadae.Nchi ina pigwa sana"
X Link 2024-01-24T23:10Z 64K followers, [--] engagements

"Ni swala la aibu na fedhea kubwa kumuona ntumishi wa umma hasa kwenye Level ya RPC kuwa mjinga na mpuuzi kiasi hiki. Nadhani ni muda wa kudai katiba mpya ili wapuuzi kama Hawa tusiwe nao kwenye ofisi za Umma. Wengine ndani ya CCM tunakerwa na viongozi wenye akili mgando kama hawa"
X Link 2024-01-24T23:14Z 64.2K followers, [--] engagements

"Jasusi report zako zimekuwa za ukweli mara nyingi. Tulionya kwamba ni bora JWTZ wachukue nchi badala ya kuiacha nchi kwa maharamia. Tumepata DM nyingi zikitoa tahadhari kwamba wanajaribu kumsukia CDF exit. Hadi CDF anatoa tahadhari ni kwamba siri za nchi zinaripotiwa nchi jirani"
X Link 2024-01-26T04:50Z 64.2K followers, [--] engagements

"BREAKING: Kuna baadhi ya Wazalendo wameanza kutoa taarifa za kujiuzulu kwa Mh. Simai waziri wa Utalii Zanzibar. Inaonekana Ufisadi wa mwinyi umefanya maisha magumu. Tunaendelea kupokea taarifa kwa wazalendo. Endeleeni na tutayaweka yote wazi tukishayachambua"
X Link 2024-01-26T05:42Z 64.2K followers, [--] engagements

"BREAKING: Chanzo chetu cha uhakika kinatutaarifu kwamba Mh. Simai amejiuzulu kutokana na swala la ufutwaji wa leseni za kampuni [--] za vileo. Huu ni uamuzi ambao umefanywa na Rais Hussen Mwinyi ili makampuni yake yachukue hizo nafasi. Tuna taarifiwa kuwa Mwinyi ana ikamua Zanzibar"
X Link 2024-01-26T19:00Z 64K followers, [--] engagements

"Catherine unaishi ndani ya vioo. Tukianza kuanika uchafu wako utajifichia wapi Ni kitu gani unachangia ndani ya chama kiasi cha kupambana na Mpina Kwa nini uthubutu kumsemea Mbovu Luaga Siyo tu mdangaji unatoa watu kafara. Hauwezi kuwa na Samia vile vile ukawa na Team Msoga"
X Link 2024-01-27T13:16Z 64K followers, [--] engagements

"Sherehe zako hizi za kuzaliwa zitumie kutafakari hali ya kisiasa na uchumi wa Mtanzania mmoja mmoja. Walichokifanya Chadema 24.1.2024 wiki hii ni WAKE UP CALL. Usipuuze madai ya wananchi. Hali ni ngumu. Viongozi mnaishi kwa anasa. Happy birthday Rais wetu mpendwa @SuluhuSamia"
X Link 2024-01-27T13:26Z 63.7K followers, [--] engagements

"Kuna Wazanzibar Wazalendo wameanza kututumia taarifa juu ya ufisadi wa Mwinyi. Tunaendelea kupokea taarifa kwa wazalendo. Endeleeni kututumia taarifa na sisi tutaziweka zote wazi tukishayachambua"
X Link 2024-01-27T20:16Z 64.2K followers, [--] engagements

"ALERT: J Makamba ni mmoja wa mawaziri walionunua majumba nje ya nchi. Kuna nyumba SA na Dubai zote ni za gharama kubwa sana zinasimamiwa na Mwamvita. Baada ya Kigwangala kuzungumzia hili swala wako mbioni kuziuza kupoteza ushahidi.Hatuongei mengi tukitegemea vyombo husika vipo"
X Link 2024-01-29T04:04Z 63.7K followers, [--] engagements

"Bashite leo anashangaa watu wanaotekwa na kupotea Shinyaga Kipindi cha JPM Bashite aliteka na kuua watu sana. Leo anashangaa nini au ni yeye mwenye anajishangaa Bashite inabidi akatubu kwa Mungu wake"
X Link 2024-01-29T20:25Z 63.1K followers, [--] engagements

"Hivi hii nchi tunaishi maisha gani Kama chama tunasababisha matatizo kisha tunakimbilia majukwaani kuyasuluhisha. Tutambue kwamba wananchi watatuchoka na haitakuwa Jambo jema.Utekaji Shinyanga ni matunda ya Sera Zetu.Ndani ya chama Makonda amesimamia operation nyingi za utekaji"
X Link 2024-01-29T20:29Z 64K followers, [--] engagements

"Ni swala la aibu kwa Rais kuwa mchambaji. Anajaribu kujiondoa kwenye swala la yeye kuwa muagizaji pombe Zanzibar Wanzazibari kwa makumi wanatutumia taarifa chafu sana za huyu wanayemuita mtalii kutoka Bara. Ni kwamba hawamtaki Rais Mwinyi. Anyway hii ya kuwa mchambaji ni mpya"
X Link 2024-02-01T18:52Z 65.2K followers, [--] engagements

"Watanzania huu ni kuonekana kama vile sisi ni Mazezeta. Kipindi cha jua tunaambiwa maji hakuna Mtela. Kipindi cha mvua ni miundombinu au Kunguru kusababisha Mgao. Hawa watendaji wa serikali hawawezi kuwajibika. Itabidi tuwawajibishe. This is too much and an insult to us"
X Link 2024-02-06T13:32Z 65.3K followers, [--] engagements

"ALERT ⚠ Hili ni onyo ya Mwisho. Tumekuwa tukiongea kila siku lakini tumepuuzwa sana. Kundi la #Wahuni ndani ya Chama wameapa kwamba [----] Samia lazima aondoke. #TeamMsoga imedhamiria kweli kweli kwamba Samia MUST go. Subirini mtaona"
X Link 2024-02-06T18:54Z 65.3K followers, [--] engagements

"Alert: Bashite aka Paul Makonda Kichwa chako kinawindwa. #Wahuni wakiongozwa na Nape chini ya Usimamizi wa Jangili wanakuwinda. Kuwa makini na wanaokuzunguka chakula na hizo Microphone. Umekuwa tishio kwa wenye chama. Wanadai umewafunika"
X Link 2024-02-07T03:35Z 65.3K followers, [--] engagements

". @Boeing @PeterSGreenberg with serious ethical issues has been talking trash about your planes. He forgets that he has been defrauding many African nations in the name of Royal Tour. It is time @CBSNews @PBS and other networks sever ties with him. Stay tuned for more"
X Link 2024-02-09T00:05Z 66.5K followers, 11.7K engagements

"ALERT. Rais Samia issue ya Dollar siyo kwamba hakuna fedha kwenye mzunguko ni watumishi wako kuficha hela. Mawaziri na viongozi wengine wameficha fedha nyingi sana. Kwa nini kijana mdogo wa TRA atembee na Dollar 1million kwenye Crown Kuna tatizo watu hawana uwoga tena"
X Link 2024-02-09T08:31Z 65.7K followers, [--] engagements

"Jamii yetu inaelekea kubaya. Haya ni makundi ndani ya chama chetu (CCM). Inabidi tutafute namna ya kubadilika Kimbisa amekuwa viongozi mwandamizi inapofika anadhalilishwa hivi na makundi yanayosaka urais [----] basi tutambue hali ni mbaya"
X Link 2024-02-10T07:09Z 65.7K followers, [--] engagements

"Kuna mnyukano mkubwa ndani ya familia ya Rais Mwinyi. Mzee aliandika wosia kwamba akifa azikwe nyumbani kwao Mkuranga ila mtalii wa Zanzibar Hussen Mwinyi anataka babake akazikwe Zanzibar ili alinde urais wake. Tunasubiria kengele tu. Hatuji mshindi atakuwa mama Sitti au Hussen"
X Link 2024-02-10T16:29Z 66K followers, [--] engagements

"Comrades wenzangu wanaCCM tusifukie vichwa kwenye mchanga. Hali ni mbaya. Huu ndio uhalisia inabidi tubadilike tukabiliane na ukweli. Maisha ni magumu kwa wananchi. Mikutano ya Bashite haitusaidii chochote zaidi ya kutuongezea chuki na wananchi. Tutafakari ground mambo magumu"
X Link 2024-02-10T16:35Z 65.9K followers, [--] engagements

"BREAKING: Kuna kitu hakiko sawa kwenye taifa letu. Mkuranga kuna maandalizi makubwa barabara zinachongwa. Je kulikoni"
X Link 2024-02-10T16:51Z 65.9K followers, [--] engagements

"TETESI: Vyanzo vyetu viwili ndani ya System vina tutaarifu kwamba kuna msiba mzito wa kitaifa. Kiongozi mstaafu amefariki dunia usiku wa Jana jijini Dar. Tunafuatilia kwa ukaribu taarifa hizi na tutawajuza pindi tutakapopata uhakika wa 100%"
X Link 2024-02-12T05:05Z 66.2K followers, [--] engagements

"ALERT: Mchezo anaojaribu kuucheza Rais Samia ni hatari sana. Miezi michache iliyopita kipindi cha DP World wakatoliki walikashifiwa sana. Leo kwa sababu ameona uchaguzi unakuja na Wakatoliki wanahitajika ameamua kutua Vatican. Huu mchezo wa usini ni hatari ambao lazima ukemewe"
X Link 2024-02-13T05:44Z 66.4K followers, [--] engagements

"Mzee Mengi alisema ROSTAM ni mtu hatari kwenye hili taifa. Usalama na Samia wanacheka naye wanamfanyia Briefing kama vile ndiye Rais. Subirin muone. Kina Kipara wanajiamini kuchukua Madaraka sababu ya Rostam. Lakini Samia bado anambeba kila aendako.Vatican kaenda kufanya nini"
X Link 2024-02-13T05:51Z 66.5K followers, [--] engagements

"Familia ya Rais Samia inachukulia taasisi ya Urais kama mali yao binafsi. Mwanaye Samia Wanu Ameir Hafidh kwenye msafara wa Italy kama nani hapa Tanzania Kwa matumizi haya mabaya ya fedha za umma USD itakauka tu. Kulia kwa Wanu ni Rabia Abdallah Himid- Katibu wa NEC siasa"
X Link 2024-02-17T00:26Z 66.5K followers, [--] engagements

"Samia unachokwa kwa kasi kubwa. Unaonyesha kutokujali kabisa. Watu wanaiba na hawafanywi chochote. Kitengo cha uchunguzi TRA wanaua biashara. Kuna Muhindi walimfanyia audit hadi ya [----] akakubaliana nao akalipa.Baadae wakaja TRA wakaanza upya sasa wanataka 150m. Watu wanaporwa"
X Link 2024-02-19T18:38Z 66.6K followers, [--] engagements

"Rais Samia Fungua masikio. Watanzania wanalia Hakuna umeme hakuna sukari wala maji. Hakuna Dollar TRA inaua biashara. Wanabambikiza kodi za kuogopesha. Kitengo cha Investigation ni majanga Watanzania watachoka na hatutakuwa na pakujificha kama chama tawala. Maisha ni magumu"
X Link 2024-02-22T20:16Z 66.6K followers, [--] engagements

"Rais Samia inabidi sasa tuanze kupiga mayowe. Tegeta tangu jana hatuna umeme maji hakuna Sukari hakuna. Maisha ni magumu. Tunakupigia kelele ili uchukue hatua kabla ya wananchi kuchukua hatua. Ndg. Yangu Biteko hafai hana tofauti na Kipara huku anazunguka na magari 40"
X Link 2024-02-22T20:20Z 66.6K followers, [--] engagements

"Shujaa tunakulilia baba. Umetuacha na majonzi. Nchi yako inatafunwa na #Wahuni. Hatuna umeme hatuna maji hatuna sukari na hatuna dollar. Baba maisha ni magumu wanyonge wanalia baba. Samia ametugeuka anazurura kwa mabeberu huku nchi ikiangamia"
X Link 2024-02-22T20:54Z 66.6K followers, [--] engagements

"BREAKING: Kuna kamati ya msiba inaendelea kisirisiri Zanzibar na huku Dar. Hii kamati ni ya msiba wa nani Haya mambo ya kuficha hayana faida. Tangazieni watanzania. Hivi vikao ni vya nini"
X Link 2024-02-22T20:56Z 66.6K followers, [--] engagements

"Huyu sasa ndio Hayati Baba Wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Yule wa Addis Ababa hatujui ni Nyerere wa wapi"
X Link 2024-02-23T05:04Z 66.6K followers, [--] engagements

"Nipo hapa Arusha namsikiliza Lissu. Huyu jamaa anatufanyia damage kubwa sana kama Chama. Maneno ya Chiba ni mazito sana. Anasema WAMECHOKA. Anasema wataandamana tena na tena na tena ndio kwanza wameanza. Anawasisitiza wafanyabiashara na wafanyakazi nao waanzishe migomo"
X Link 2024-02-27T14:21Z 66.6K followers, [--] engagements

"Kama Chama tuweni makini. Tusikurupuke kumjibu Lissu. Jamaa anatuvuruga na sisi kichwa kichwa tunamjibu kwa maigizo ya Makonda. Inahitaji Busara na matendo. Tutatueni kero za wananchi. Tumalize rushwa na Urasimu lasivyo [----] hatuna chetu. Siyo kwa nyomi hii hakuna malori"
X Link 2024-02-27T14:42Z 66.8K followers, [--] engagements

"Mbowe anasema kila sehemu Samia akienda na Kikwete yupo. Hili ni kweli kabisa. Samia akiwa New York- Kikwete yupo Samia akienda Dubai- yupo. Samia akienda Ethiopia- yupo. Yaani kila sehemu. Mbowe anahoji Kikwete ni msaidizi wa Samia Yaani Mbowe wakusema CCM tumeishiwa pumzi"
X Link 2024-02-27T14:50Z 66.6K followers, [--] engagements

"Hivi kwa nini kama chama tunawatumia hawa Bakwata Ifahamike moja kwamba Bakwata ni sehemu ya CCM au ni taasisi ya kidini maana wapo zaidi kukitetea chama na Serikali badala ya kuwatetea wananchi. Bakwata ni takataka"
X Link 2024-02-29T06:09Z 66.8K followers, [--] engagements

"ALERT: Kati ya viongozi wetu wakuu [--] wapo wawili wanafanya kazi za kijasusi kwa niaba ya nchi jirani. Viongozi wetu toeni pamba masikioni. CDF aliongea cha maana sana naona mmempuuza. Tujiulize kinchi kama Jimbo la Kawe kinatuendesha Rais anapuuzia Ngojeni Mr. Tall atubutue"
X Link 2024-02-29T15:39Z 66.8K followers, [--] engagements

"BREAKING: Nchi ya hovyo. Mwinyi alifariki muda mrefu wakamficha kwa manufaa yao ya kisiasa. Mmefanya sana vikao vya siri tukisema sisi waongo. RiP Mwinyi. Umeacha nyuma taifa la hovyo na huyo mtalii wa Zanzibar naye aende Mkuranga.Wazanzibari hawamtaki kutokana na ufisadi wake"
X Link 2024-02-29T17:41Z 66.9K followers, [--] engagements

"BREAKING: Hussen Mwinyi amelazimisha babake azikwe Zanzibar na kabla mzee hajalala fukuto limekuwa kubwa. Mzee Mwinyi alikuwa mpenda Amani. Kwanini MTALII kalazimisha akazikwe Zanzibar tofauti na wosia wake Baada ya Urais itabidi umfukue na kumzika Mkuranga alikotaka marehemu"
X Link 2024-03-02T18:51Z 67.2K followers, [--] engagements

"WENZA WA MARAIS WALIPWE MAFAO Mama Salma #TanzaniaLeaks hatuna sababu wala tabia ya kuwaonea wanawake lakini mama yetu Mumeo analipwa 80% ya mshahara wake na marupirupu kibao. Mshahara wako wa Ubunge hautoshi kumtunza mumeo Watanzania kwa mamillioni wanakula mlo moja moja"
X Link 2024-03-03T07:54Z 67.1K followers, [--] engagements

"ALERT: Taarifa toka idarani ni kwamba White House ya Marekani uenda ikapunguza ushirikiano na Serikali ya Tanzania kutokana na urasimu.Miradi mikubwa ambayo ingekuwa na manufaa kwa uchumi wa nchi inazuiliwa na mafisadi.Zaidi ni vizingiti wanavyowekewa Wamarekani kuwekeza Tanzania"
X Link 2024-03-03T15:09Z 67.2K followers, [--] engagements

"ALERT: Tumefika hatua ya kupewa tahadhari; Marekani wametoa tahadhari kwa sababu makampuni yao yanayotaka kuwekeza Tanzania yanaletewa figisu na kuzuiliwa kimizengwe. USA wamenyoka hawanaga dili. Nape alimkimbiza Elon- Starlink Samia anawakimbiza Exxon Mobil na kusujudu Waarabu"
X Link 2024-03-04T00:53Z 67.2K followers, [--] engagements

"Rostam na timu yake kukosa rushwa inakuwa adhabu kwa watanzania wote. Ajira zaidi ya 10K zingepatikana kwenye miradi kama hii. Nape na wajinga wengine wanaangalia matumbo yao badala ya maslahi ya nchi. Hii ya Wamarekani inakuja kuwa kimbembe. Na mnavyopenda Marekani tutayasikia"
X Link 2024-03-05T05:48Z 67.2K followers, [--] engagements

"Tunatumia busara kwa sababu tukianika taarifa zote tunazopokea kuna watu wasiokuwa na hatia watauwawa. Rais Samia tunakushauri swala la uwekezaji liangalie kwa umakini. Kubebana na Rostam kwa sababu anambeba mwanao Abdul unajichimbia kaburi. Rostam ni Godfather wa #Wahuni"
X Link 2024-03-06T00:07Z 67.2K followers, [--] engagements

"Mambo ya kipumbavu. Makonda anaposema Dhulma imekithiri ardhi ya Tanzania tumeielewaje Kwani chama gani kiko madarakani Serikali ni ya CCM. Lawama ziende wapi Kama hatuwezi kuisimamia serikali basi tusiwe madarakani. Tuwaachie wapinzani badala ya kukivua chama nguo hadharani"
X Link 2024-03-06T21:53Z 67.2K followers, [--] engagements

"WAAMBIE. Kuna wajinga mjini wanajiita vijana wa mama. Wengine watoto wa mama Kizimkazi. Tena special groups kabisa. Ukizima hizi chokochoko hata wakina kipara watatulia. Hii watoto wa mama imewafanya wanawanunua wa NEC mchana kweupe. Wahuni wa Msoga umewakata kabisa Shobo"
X Link 2024-03-13T23:23Z 67.3K followers, [--] engagements

"Mzee Ramadhani Ntunzwe mfanyabiashara wa Kariakoo ametoweka katika uso wa Dunia. Viongozi wetu walijua kadhia ya huyu mtu mikononi mwa majambazi ya TRA lakini wakaweka pamba masikioni. Leo amjiua. TRA Kwanini mumnyanganye mtu karibia 1B kwa sababu tu kawanyima rushwa"
X Link 2024-03-15T11:50Z 67.3K followers, [--] engagements

"Tanzania siku zote ni nchi ya kukosa. Majuha wabinafsi na wenye tamaa. Huduma mbovu na tamaa ya TRA ndio chimbuko la haya yote. Wewe mzigo unafika bandarini unakaa mwezi haujashushwa. Shujaa JPM milele tutakukumbuka"
X Link 2024-03-15T11:52Z 67.3K followers, [--] engagements

"BREAKING: RAIS Samia na Waziri mkuu Majaliwa. Ramadhani Ntunzwe amekufa ameuwawa alikokuwa amejificha Tabora. Inawezekana vipi mtu anawaletea kesi ya Ujambazi mkubwa wa TRA mkampuuzia anatishiwa mali na fedha zake hajarudishiwa hadi anauwawa. Watanzania wakimbilie wapi"
X Link 2024-03-16T19:37Z 67.6K followers, [--] engagements

"Thread 🧵 1-2 Minister @HusseinBashe I suppose you are addressing the Americans knowing quite well that we will not headed there to beg for anything. Maybe they decided to offer the commodities based on our stupidity"
X Link 2024-03-17T19:42Z 67.9K followers, [----] engagements

"CDF Mstaafu kaongea mazito kubwa ni uhitaji wa KATIBA MPYA. Kwa lugha ya kistaarabu kasema Katiba ya sasa ina mapungufu makubwa. Tunahitaji Katiba Mpya hakuna muhimili ulifahamu juu ya Kifo cha Rais zaidi ya Kina Diwani Siro & Mabeyo. Wangeamua kuchukua nchi nani angewazuia"
X Link 2024-03-19T03:40Z 67.8K followers, [--] engagements

"BREAKING: Kuna tatizo kubwa sana bandarini. Mizigo inayofika inachukua wiki [--] hadi mwezi kushushwa. Kuna baadhi ya waagizaji ambao wanachukua miezi hadi mitatu kabla ya kupata mizigo yao. Hadi tunatoa hii taarifa kuna mizigo imefika December bado imekwamba bandarini"
X Link 2024-03-19T09:32Z 67.8K followers, [--] engagements

"Tanzania nchi ngumu sana. Inawezekana vipi waziri anunue nyumba Dubai South Africa USA- kadhalika amnunulie kimada wake aliyemzalisha gari la million [---] Hii nchi inaelekea wapi Wakina Mabeyo badala ya kutumika wangewaondoa hawa #Wahuni. January anatoa wapi hizi fedha"
X Link 2024-03-21T22:32Z 67.9K followers, [--] engagements

"Tanzania ni nchi ya Kipumbavu sana. Hakuna Sukari hakuna dollar hakuna umeme hakuna maji hakuna madawati hakuna vyoo mashuleni lakini ZERO brain muigizaji Bashite anatembea na Gari la million [---] na msafara wa magari [--]. Inabidi tukatae. Nitaunga mkono maandamano"
X Link 2024-03-21T22:39Z 67.9K followers, [--] engagements

"Mabeyo kaongea mengi sana kuna maswali mengi ya kuuliza: Yale mahojiano ni kwa manufaa ya nani na lengo lake ni nini Kwa nini Samia alipelekwa Tanga Waliotaka kupindua nchi ni wakina nani Muhimu ni umma ujue kilichomuua Shujaa Magufuli kiasi cha familia haikujua chochote"
X Link 2024-03-21T22:48Z 67.9K followers, [--] engagements

"BREAKING: Rais Samia na Serikali yake wameingiza rasmi udini kwenye elimu yetu. Hizi ni baadhi ya combination mpya kwenye kidato cha tano kuanzia July [----]. Hii ni hatari siyo tu kwa umoja wa Taifa letu ila hatari kwa Usalama wa nchi. TISS mpo wapi"
X Link 2024-03-22T03:35Z 67.9K followers, [--] engagements

"Moja ya masharti ambayo Samia alipewa na Waarabu wa DP World ni kukiingiza Kiarabu kwenye mitaala ya shule. Sharti hili amelitekeleza. Namkumbuka sana Shujaa wetu JPM haya mambo aliyakataa. Alisema ni kichaa tu anaweza kusaini mkataba wa bandari"
X Link 2024-03-26T02:37Z 67.9K followers, [--] engagements

"Ni aibu kubwa sana kwa Gavana wa Benki kuu kushiriki kwenye dollarizatin ya uchumi wa nchi. Kwa nini serikali Itumie USD wakati kuna TZS. Vinginevyo inaainisha kwamba uchumi wa Tanzania unakufa. Kila idara na Shirika ina charge USD. Clueless Governor. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-03-26T15:59Z 67.9K followers, [--] engagements

"BREAKING: Baadhi ya wabunge tuliowasiliana nao hawajataka majina yao kutajwa wamekiri kwamba ni kweli fedha hizo 18m wanalipwa kama mshahara kila mwezi. Malipo hayo yaliongezwa kipindi cha kelele za DP-WORLD. Kwa lugha nyingine waliongezewa mshahara kupitisha mkata wa DP-WORLD"
X Link 2024-03-27T13:40Z 67.9K followers, [--] engagements

"BREAKING: Ifike sehemu watanzania tuondoe pamba masikioni. Tunaonekana kama wapumbavu. Wamewapa Bandari Loliondo KIA Mwanza airport na sasa DART. CCM inabidi tuchukue maamuzi magumu kuhusiana na hawa Waarabu. Nini kinaendelea na Hawa waarabu Tanzania"
X Link 2024-03-27T22:19Z 67.9K followers, [--] engagements

"Wafuasi wa shujaa JPM ndani ya chama tunataka kujua kilichomuua Shujaa wetu. Jeneral Mabeyo anajua kitu. Haikuwa bahati mbaya yeye kufanya Interview na Daily News (TSN). Na baada ya kifo chake waarabu wanaitafuna nchi. Tunataka uchunguzi huru kuhusu kifo cha Magufuli"
X Link 2024-03-28T11:31Z 67.9K followers, [--] engagements

"BREAKING: Ni mtindo wa kula kwa urefu wa kamba yako. Miaka yote ripoti za CAG zinapuuziwa wengine wanaona nani wa kuwakamata kama kila mtu ni mwizi CCM hasa #Wahuni tuko tayari kushirikina nanyi kwa maslahi ya nchi. Maana Samia hana maana tena. Amebaki kuwauzia waarabu nchi"
X Link 2024-03-28T11:47Z 67.9K followers, [--] engagements

"Kwani muungano una ulazima gani Hii kitu ivunjwe tubakie majirani tuu. Chao ni Chao chetu Chao. Watanganyika kwa sasa hatutaki muungano. Uvunjwe. Huyu kijana ananyanyaswa sababu yeye kuwa mbara Hawa watu wamezidi ubaguzi. Waachiwe Zanzibar yao"
X Link 2024-03-29T11:01Z 67.9K followers, [--] engagements

"Believe it or not. Ndio hivyo"
X Link 2024-03-31T16:48Z 67.9K followers, 13.8K engagements

"BoT nyie wapumbavu kabisa. Baada ya kuvuruga uchumi wa nchi mafisadi yanawashinda nguvu ndio mnaleta hivi virojo. Dollar wameficha MAFISADI ndani ya Serikali. Rushwa za Matrilioni zinanunua dollar kama Karanga na hadi mambo yawe sawa siyo leo wala kesho. Endeleeni kucheza"
X Link 2024-04-02T15:18Z 67.9K followers, [--] engagements

"Mrs. Maua Kitenge ulipokuwa unashirikiana na Wadhulumati kuwaumiza wamasai na Kuuza bandari zetu kwa DP-WORLD haya yote tuliyasema. Unatumia single mothers kujinufaisha. Tulionekana tuna chuki kumbe tulikuwa tunawaambia watanzania uchafu wako. Haya sasa pambana na Mange Kimambi"
X Link 2024-04-07T08:12Z 67.9K followers, [--] engagements

"Huyu mama anatuvurugia chama. Haya ni mambo ya aibu. Kwa hiyo watu wananunuliwa kwa 5k Aisee Rais tumempata. Upinzani jipangeni mkishindwa basi hamtawahi kupata fursa nyingine ya kuchukua dola"
X Link 2024-04-09T16:25Z 67.9K followers, [--] engagements

"Inawezekana vipi Idara ya ujasusi iwe mfukoni mwa wafanyabiashara wakati Rais yupo Jasusi @Chahali hebu tushauri. Maofisa wengi idarani wanaripoti vipi kwa watu nje ya mamlaka. Samia ajiandae kisaikolojia DGIS pekee hawezi kumuokoa. Nusu ya Idara iko mtaani. [----] wanamuondoa"
X Link 2024-04-09T16:42Z 67.9K followers, [--] engagements

"Najua mko wengi. Wengine hawawezi kuwekwa kwa sasa. Ila na sisi pia team Shujaa tuna jambo letu Thumbs up. 👍 #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-04-09T19:09Z 67.9K followers, [--] engagements

"Kipara na #Wahuni wenzako Salamu yenu hiyo. Mwambie na Vuvuzela na Campaign manager [----] Mwamvita. Salamu zenu hizo toka kwa Le Generale Field Marshall Daudi Albert Bashite. Nani atashinda vita #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-04-12T15:19Z 67.9K followers, [--] engagements

"Jamani hii nchi ni ngumu sana. Kumbe Maliyamungu Bashite anatumwa Kuropoka Ni kama Maliyamungu Bashite alitumwa kuongea kwa Niaba ya Rais kuwaonya #Wahuni. Angalieni Mikono ya Samia: Mama anatoa maelekezo mwambieni BASHITE basi"
X Link 2024-04-12T15:58Z 67.9K followers, [--] engagements

"Rais Samia CCM tunaweza kuwa na makundi na kila kundi likawa na agenda yake. Nadhani cha Muhimu hapa ni kuangalia matakwa ya wananchi. Wananchi wanataka KATIBA mpya. Usidanganywe na uliowateua bila Katiba mpya nchi inaenda kukushinda. Wape wananchi KATIBA uone watakavyofurahi"
X Link 2024-04-15T02:26Z 67.9K followers, [--] engagements

"Hahahahaha. Vuvuzela Hatulii. Kila dakika statement kabla Mallyamungu Daud Albert Bashite hajawaibua kutoka uvunguni mbona mlikuwa hamtoi haya ma statements #Wahuni bwana Haya pambaneni na Bashite"
X Link 2024-04-16T19:59Z 67.9K followers, [--] engagements

"Hivi muungano una faida gani kwetu sisi watanganyika Kwa kauli hizi kuna watu wanafaidika ndio maana wanazidi kuukumbatia huu muungano. Matajiri wakubwa Zanzibar wametajirika kutokana na rasilimali za watanganyika. Muungano UFE. Au nao pia waje Tanganyika kwa Passport"
X Link 2024-04-23T23:43Z 67.8K followers, [--] engagements

"Mmechukia JPM kupigiwa kura Yaani maoni yasiyokuwa na madhara kama ya kupigia kura ni Raisi yupi alikuwa na Sera nzuri za kiuchumi inapelekea watu kutishwa kiasi hiki Mbona Samia anaanza kuogopa kivuli chake Awaogope Kipara na wahuni siyo maoni. Katiba mpya ndio dawa"
X Link 2024-04-26T03:36Z 67.9K followers, [--] engagements

"Mna mtafuta Luhaga Mpina Acheni kutuchezea. Acheni msithubutu. Kama mnataka vita vianze na chama kipasuke katikati basi endeleeni. Tumekuwa tukimsitiri Rais na kuwa Upande wake. Shemsha nyamaza kabisa. Tutakuanika hadi utajitundika kamba na uchafu wako unapata wapi jeuri"
X Link 2024-04-26T11:52Z 67.9K followers, [--] engagements

"Tanzania ni nchi ngumu sana. Huyu Jasusi muuza madafu alitrend sana watu wakahoji iweje muuza madafu kuingia eneo la Ikulu Leo kajiumuia sijui walijisahau Waendelee kutuchezea shere. Siku ya siku inakuja"
X Link 2024-04-26T17:49Z 68K followers, [--] engagements

"Bwana Hamisi Haya mambo siyo level yako. Endelea kuwapa mimba vitoto vya CBE na Wadangaji wa Rainbow Dodoma. Haya hayakuhusu. Kumbuka #Wahuni hawakutaki na hata Samia hakutaki kutokana na unafiki wako. Punguza unafiki na kujikomba"
X Link 2024-04-27T12:29Z 68K followers, [--] engagements

"Rais Samia haya ndio mambo ya kupigania. Pambana na mafuriko Pambana na #Wahuni wanaotaka kukuondoa madarakani Siyo wafuasi wa Shujaa wanaopigania wananchi. Hivi kwa nini unawaogopa kina JK Mzee Makamba Bulembo Kinana nk. Unabakia kuwatuma wajinga kuwatukana wakina Mpina"
X Link 2024-04-27T12:36Z 68K followers, [--] engagements

"President Samia what further evidence do you need to realize that you are being sabotaged Please dissolve the cabinet. Mwigulu January Nape Ummi Mkumbo and [--] others are not with you. They are serving their own interests and masters elsewhere"
X Link 2024-04-28T01:29Z 68.2K followers, 13.5K engagements

"Mawaziri Makatibu wakuu wakuu wa mikoa na wilaya mwezi wa tano siyo mwezi salama kwenu. Dira yangu inanionyesha mambo siyo mazuri kabisa. Mamlaka imekereka na mambo mengi sana. Kaeni kwa tahadhari. Huu mwezi siyo mzuri mkeka unakuja"
X Link 2024-04-29T02:38Z 68.1K followers, [--] engagements

"Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Huyu ni waziri mwenye dhamana kusimamia wizara ya elimu. Aisee sielewi tunakoelekea wala tunakotoka. Jamani kwa lugha yenu wana jamvi huyu anaitwaje na alipapataeje u-professor na waziri"
X Link 2024-05-05T03:30Z 68.2K followers, [--] engagements

"Enzi za shujaa wapumbavu kama Hawa walikuwa wanajificha. Mtu hana biashara hana kazi popote lakini anajitangaza ana pesa nyingi za utapeli mitandaoni na serikali ipo inamuangalia lakini TRA inavamia biashara zinazolipa kodi na kuwabambikia kodi ili tu wapate rushwa"
X Link 2024-05-06T00:13Z 68.2K followers, [--] engagements

"Samia anaimaliza Tanganyika na AL Makhtoum wake. Loliondo wamepewa Ngorongoro wamepewa Misitu yetu wamepewa Bandari wamepewa. Bado nafsi zetu maana Watanganyika tayari watumwa wa waarabu. Samia aondoke na kurudi zake Zanzibari"
X Link 2024-05-06T15:00Z 68.8K followers, [--] engagements

"Jangili Mkuu Mzee wa Kuua Tembo na Patron wa wahuni Mzee Kinana muda wa kujiengua ndani ya CCM umefika. Unajifanya unamsaidia Rais kumjibu Lissu kumbe unaharibu zaidi makusudi. Huu ni mkakati mliopanga na #Wahuni wenzako kukoleza moto ili kumhujumu Rais"
X Link 2024-05-06T23:27Z 68.3K followers, [--] engagements

"BREAKING NEWS: Taarifa za uhakika toka Idarani ni kwamba Tarehe [--] April Usiku Rais Samia akiwa Nairobi Kenya aliugua Ghafla ugonjwa wa Moyo. Madaktari wake wakishirikiana na wakenya walijaribu kumuokoa Nairobi Hospital ila baadae alikimbizwa UAE kwa matibabu zaidi"
X Link 2024-05-07T15:35Z 68.4K followers, [--] engagements

"Hawa Takukuru BOGUS Kabisa. Kwa hiyo wataweza kuwakamata watoa rushwa na wapokea Rushwa ndani ya Chadema wakati madudu ya CAG hayajawahi kumkamatisha mtu Hili taasisi na TRA hazina faida yoyote kwa taifa"
X Link 2024-05-07T19:16Z 68.6K followers, [--] engagements

"BREAKING: Baada ya kutoa taarifa kuhusu Rais kuwa Dubai kwa matibabu tumepenyezewa taarifa mpya kwamba Ndege ya Tanzania imeonekana Terminal [--] (VIP) Dubai ikiwa na ulinzi mkali; inaashiria kuwepo Kiongozi wa Nchi anayeondoka.Bila Shaka Rais atawasili Dar leo usiku kimya kimya"
X Link 2024-05-07T23:05Z 68.6K followers, [--] engagements

"ALERT: Mheshimiwa Lissu shikilia hapo hapo. Shindilia msumari. Team Samia watu hawajui pa kushikilia wamepoteana. #Wahuni nao wanachochea kuni na Team Shujaa JPM tuko na wewe. Kuwa tuu makini kwenye kila ufanyacho. Tumechoka mambo ya Abdul na mamake kutafuna nchi"
X Link 2024-05-09T02:17Z 69.8K followers, [--] engagements

"BREAKING: Wakati Rais Samia anajiandaa kuondoka nchini wiki Ijayo kwenda Barani Asia Ndege ya Tanzania mpya DREAMLINER inaoza Malaysia. Uzembe na ufisadi ndani ya serikali inaendelea kuitafuna taifa. Hapa ndipo tunamkumbuka Shujaa JPM. May his soul rest in eternal peaceful place"
X Link 2024-05-10T18:59Z 70K followers, [--] engagements

"Mama Abdul kama mama Abdul. Anataka kutengeneza Chato ya Pili iitwayo Kizimkazi. Huyo mama ifikapo December kama atakuwa anaendelea na haya mambo tutajiunga na #TeamWahuni. Mara [---] #Wahuni kuliko huyu mama"
X Link 2024-05-11T12:03Z 70.3K followers, [--] engagements

"BREAKING: Hatimaye mmiliki wa Bandari ya Zanzibar amefahamika. Huyu Jamaa amepandikizwa na Rais Mwinyi kusimamia umiliki huku wakiwahadaa Wazanzibari kwamba inasimamiwa na Wafaransa. Mwinyi na Samia hapana"
X Link 2024-05-11T13:46Z 70.1K followers, [--] engagements

"Leo nchi yote hiko Gizani. Muhuni Nape akishikiliwa kama remote na Rostam Aziz aliwazuia Starlink na SES kuwekeza Tanzania. Leo ndio mnajiona mlivyo wajinga. Nyie ndio mnaotuchafulia chama na serikali. Mna mhujumu Mh. Rais. Hovyo kabisa"
X Link 2024-05-12T15:15Z 70.3K followers, [--] engagements

"Kwa taarifa tulilozipata toka wizarani SES ilikuwa ishirikiane na Tanzania kurusha satellite. Capacity ingekuwepo ya kutosha ya kuuza barani Africa gharama ya mawasiliano Ingeshuka kwa 70%. NAPE na tumbo lake la njaa kafanya fitna SES ambayo ndio namba moja duniani wakafukuzwa"
X Link 2024-05-13T00:55Z 70.3K followers, [--] engagements

"BREAKING: Kutoka wizarani SES ambayo ndio namba moja duniani ilikuwa ishirikiane na Tanzania kurusha satellite. Capacity ingekuwepo ya kutosha ya kuuza barani Africa kote na gharama ya mawasiliano Ingeshuka kwa 70%. NAPE na tumbo lake la njaa alifanya fitna na SES wakafukuzwa"
X Link 2024-05-13T01:14Z 70.3K followers, [--] engagements

"KIPINDI cha Samia mawaziri wamekuwa wapumbavu wasiokuwa na adabu. Hawana uwoga wa chochote. Tunataka katiba mpya ili hawa wapuuzi wakina January waombe kazi na wapate uwaziri kwa Mikataba. Na wapitishwe na Bunge"
X Link 2024-05-13T14:46Z 70.4K followers, [--] engagements

"Inabidi tuanze sasa kujiuliza uwezo wa Rais Samia. Kwa nini anakumbatia watu wapumbavu Kama January Nape Mwigulu Bashe nk. Kwa nini anawaogopa hawa watu January amekuja na Mbinu mpya Rais asikae nyumbani huku nyuma mambo yanaharibika na watu hawaelewi hizi safari nyingi"
X Link 2024-05-13T14:50Z 70.4K followers, [--] engagements

"BREAKING: Taifa limegeuka uwanja wa ushabiki na kujipendekeza. Mambo muhimu ya kitaifa yanageuzwa ya kisiasa kama hawana Chao. Haya sasa wanaumbuka. Wote walioshiriki kwenye majadiliano ya SES na StarLink wanyongwe maana ni waahini"
X Link 2024-05-14T17:40Z 70.5K followers, [--] engagements

"Umi Mwalimu Jerry Silaa Bashungwa Nape na wanafiki wengine. Huu upumbavu wa kujipendekeza unaliangamiza taifa. Leo nchi imefika hapa gizani kutokana na kujipendekeza kwenu. Kwanini mumuhusishe Rais kwenye kila kitu Kwani taifa halina watu Rais tu ndiye anayefanya kazi"
X Link 2024-05-14T18:45Z 70.5K followers, [--] engagements

"Mzee Kinana mambo mengine ni bora kunyamaza na kutokuyajibu. Unajivua nguo. Sidhani kama kuna chochote wanachokisema Chadema ni uongo. Chama kitumie busara kuyashugulikia mambo wanayoongea Chadema maana huku mtaani hayo hayo wananchi wanaongea.Chadema imewasaidia kupasa sauti tu"
X Link 2024-05-16T05:57Z 70.7K followers, [--] engagements

"Tunaonya lakini tunapuuzwa. Kuna kundi ndani ya CCM linamwaga hela ili RAIS azomewe. Taarifa tulilozipata ni kwamba madhara yameanza kuonekana pale Chalamila alipojaribu kumsifia Rais Samia pale Mbagala. Tunaona marudio ya CCM ya JK. Dhahiri wahuni watasimamisha mgombea 2025"
X Link 2024-05-20T05:16Z 70.6K followers, [--] engagements

"BREAKING: Mei [--] #TanzaniaLeaks ilivujisha siri kuhusu Rais kuugua akiwa Nairobi na kupelekwa Dubai Ghafla. Usiku usiku wakampleka Dodoma kutuzuga. Akiwa Ufaransa hali yake ilibadilika ghafla. Tunafuatilia tetesi za kurudi Dubai ila hali ya Rais siyo nzuri. Tumuombee"
X Link 2024-05-20T17:53Z 70.6K followers, [--] engagements

"Star TV debate reveals a stark contrast between a leader and a comedic relief. Sugu's performance showcased his Uchawa and unwavering loyalty to Abdul. It is imperative for Sugu to recognize the shifting political landscape as the political tide in Mbeya is favoring Mwabukusi"
X Link 2024-05-26T07:24Z 71.1K followers, 11.8K engagements

"Haya ni mambo ya kipuuzi na ya Kijinga sana. Rais anawabeba wakina Lulu kwenda Korea kwa gharama za nani Anajisahaulisha kwamba baadhi ya Watanzania hawana hata milo miwili Sasa nakubaliana na @mangekimambi"
X Link 2024-06-01T19:18Z 70.7K followers, [--] engagements

"BREAKING: Taarifa tulizopata toka CHAMANI ni kwamba wahuni wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa kumtengenezea Rais Samia safari za nje ili asipate muda wa kuonana na wananchi. Lengo ikiwa ni kuhakikisha hapiti kuwa mgombea [----]. Hongera Kipara na Wahuni Wenzako"
X Link 2024-06-03T02:04Z 70.8K followers, [--] engagements

"Despite receiving millions of dollars from the Tanzanian Govt @PeterSGreenberg relied on Govt resources for transportation meals/ hotel accommodations for himself his wife and his crew. This exemplifies how he defrauds African taxpayers in the name of his Royal-Corruption"
X Link 2024-06-03T02:11Z 71.9K followers, 11.9K engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

creator/x::TanzaniaLeaks
/creator/x::TanzaniaLeaks