#  @MdemuPolycarp Polycarp The Bibliophile Polycarp The Bibliophile posts on X about tanzania, kwanza, kenya, mambo the most. They currently have [------] followers and [----] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [-------] [#](/creator/twitter::976090527237050368/interactions)  - [--] Week [-------] +9,714% - [--] Month [-------] +400% - [--] Months [----------] +851% - [--] Year [----------] -41% ### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::976090527237050368/posts_active)  - [--] Week [--] +250% - [--] Month [---] +255% - [--] Months [---] +406% - [--] Year [---] -61% ### Followers: [------] [#](/creator/twitter::976090527237050368/followers)  - [--] Week [------] +0.56% - [--] Month [------] +1.40% - [--] Months [------] +12% - [--] Year [------] +20% ### CreatorRank: [-------] [#](/creator/twitter::976090527237050368/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [countries](/list/countries) [currencies](/list/currencies) [travel destinations](/list/travel-destinations) [automotive brands](/list/automotive-brands) [technology brands](/list/technology-brands) [finance](/list/finance) [celebrities](/list/celebrities) [social networks](/list/social-networks) [luxury brands](/list/luxury-brands) [stocks](/list/stocks) **Social topic influence** [tanzania](/topic/tanzania) #131, [kwanza](/topic/kwanza), [kenya](/topic/kenya) #491, [mambo](/topic/mambo), [china](/topic/china), [ipo](/topic/ipo), [volvo](/topic/volvo), [uganda](/topic/uganda), [india](/topic/india), [nairobi](/topic/nairobi) **Top accounts mentioned or mentioned by** [@ericnjiiru](/creator/undefined) [@ayubumadenge](/creator/undefined) [@africafactszone](/creator/undefined) [@grok](/creator/undefined) [@mhdhamad](/creator/undefined) [@georgemwiga3](/creator/undefined) [@marekamalili](/creator/undefined) [@kenyans](/creator/undefined) [@phbhimself](/creator/undefined) [@prandodjprando](/creator/undefined) [@saumuyanga](/creator/undefined) [@siadevinci](/creator/undefined) [@zoomafrika1](/creator/undefined) [@atifnerd](/creator/undefined) [@oj2545](/creator/undefined) [@kunguru1657623](/creator/undefined) [@privaldinho](/creator/undefined) [@balyx](/creator/undefined) [@beingwalaga](/creator/undefined) [@kenmutuake](/creator/undefined) **Top assets mentioned** [Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [StarLink (STARL)](/topic/starlink) [BODA (BODAV2)](/topic/boda) [HILO (HILO)](/topic/hilo) [Toyota Motor Corporation (TM)](/topic/toyota) [Alphabet Inc Class A (GOOGL)](/topic/google) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "Huu wimbo walikutana magwiji TIESTO POST MALONE DZEKO PEME" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1558743374437433344) 2022-08-14T09:12Z 15.4K followers, [--] engagements "This happens when your father is from Kenya And your Mom is from Tanzania Unapata sura ya Baba 😂😂 #KenyaVsTanzania" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1694757747445707065) 2023-08-24T17:05Z [----] followers, [---] engagements "@_Mosflow @Dream99chaser Hatari sana" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1695669479525498923) 2023-08-27T05:28Z [----] followers, [---] engagements "@AfricaFactsZone Only my Tanzania maybe Seychelles" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1695881508865667280) 2023-08-27T19:30Z [----] followers, [----] engagements "@PabloYende @Dream_onlineshp @usedpointTz @anuskills3 Yes" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1697611928992952658) 2023-09-01T14:06Z [----] followers, [--] engagements "@Dream_onlineshp @PabloYende @usedpointTz @anuskills3 Uhakika masta" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1697611966720757968) 2023-09-01T14:06Z [----] followers, [--] engagements "Volkswagen original tyre production process. #Machinery" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1699809974774358167) 2023-09-07T15:40Z [----] followers, [---] engagements "On Top Of Burj khalifa Jamaa yuko juu kabisa ya jengo refu zaidi Duniani" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1700090687562125326) 2023-09-08T10:16Z [----] followers, [--] engagements "Is this real Rotating building in Abu Dhabi UAE #Construction" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1700101303299354767) 2023-09-08T10:58Z [----] followers, [----] engagements "Pre Fabricated bridge Deck Ikisafirishwa. Aisee hii machine ni Monster #Machinery #Construction" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1700169735298580563) 2023-09-08T15:30Z [----] followers, [---] engagements "Unveiling Volvo EC500 #Machinery" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1700183114612408660) 2023-09-08T16:23Z [----] followers, [--] engagements "Indian Local Manufacture 💪💪💪 Forging process of axle spindle #Machinery" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1701197895641248248) 2023-09-11T11:35Z [----] followers, [---] engagements "Cranes Power lifting vehicles into unbelievable heights 💪 #Machinery" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1701222385033077239) 2023-09-11T13:13Z [----] followers, [--] engagements "Mkuu Hii hapana Nauru ilikua tajiri mpaka mwaka [----] tu na hiyo ni kutokana na uwepo wa Phosphate Mining. Na ukifuatilia Vizuri Baadhi ya Hoteli (The Mercure Hotel na Nauru House) na Ndege Boeing737 za shirika zimepigwa Mnada mwaka [----] Ili kulipa baadhi ya madeni katika raia [-----] ni asilimia [--] hawana Ajira na serikali imeajiri 95% ya walioajiriwa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1701515169656868908) 2023-09-12T08:36Z [----] followers, [--] engagements "VOLVO EC380 loading #Macinery" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1701541274782728369) 2023-09-12T10:20Z [----] followers, [--] engagements "@trinhezron @Roma_Mkatoliki For sure" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1702163254066196515) 2023-09-14T03:31Z [----] followers, [--] engagements "Feed Pallet Machine for Poultry farm #Machinery" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1702322600511480291) 2023-09-14T14:05Z [----] followers, [--] engagements "Indian Local Manufacture making Slippers. Hivi viwanda Ukianzisha Tanzania kikwazo huwa ni OSHA TRA BRELLA na wengine kina nani tuwataje hapa 👇 #Machinery" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1702324737693880827) 2023-09-14T14:13Z [----] followers, [---] engagements "Hivi Kwanini Watanzania Wanapoteza Maisha Kwa Kuuwawa sana South Africa Nadhani Karibu Kila Wiki lazima Mtanzania Aanguke. Ninachoshangaa Wahusika wanajua kila siku Miili inapokelewa Airport na Hakuna Tamko lolote" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1703342280269074857) 2023-09-17T09:37Z [----] followers, [--] engagements "Good night to All Construction workers. 🌇" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1704557838083785204) 2023-09-20T18:07Z [----] followers, [----] engagements "Kwa Hili jengo pichani. Nani apewe Maua yake A. Architecture B. Engineer" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1704566172811681849) 2023-09-20T18:40Z [----] followers, [---] engagements "Good Morning to all Construction workers" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1704728194949992651) 2023-09-21T05:24Z [----] followers, [---] engagements "@sahouraxo Can you screenshot a post from any one of what you calling "MAINSTREAM MEDIA" who published this children who burned by Hamas" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1711756336810352735) 2023-10-10T14:51Z [----] followers, [----] engagements "@IsraelHamasWarr Lets reminds them footage of Saturday morning the time when Hamas was celebrating killing jews" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1712027696052765027) 2023-10-11T08:49Z [----] followers, 13.5K engagements "@KhaledBeydoun Its illegal in Palestine to carry Israel flag" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1712499326805852484) 2023-10-12T16:03Z [----] followers, 13.2K engagements "@bizzznSS @RealKendoza @ZMajdalawie @akillis21 Im from Tanzania who told you people with bed bugs was been in here" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1712501484473229694) 2023-10-12T16:12Z [----] followers, [--] engagements "@WaarrIsrael And people from Jihad religion act like Hamas are Angels they don't kill innocent people" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1712812311323570650) 2023-10-13T12:47Z [----] followers, [----] engagements "@jumanahamr @Timesofgaza Yes i will burn Hamas members" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1712872256907759631) 2023-10-13T16:45Z [----] followers, [--] engagements "Tom was the first guy losing his job because of artificial intelligence" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1714175051350634681) 2023-10-17T07:02Z [----] followers, [---] engagements "@EduTalkTz Marekani yenye Scientist wakutosha Maprofesa wakutosha na bado wanamwamini Mungu na Wanaamini Biblical. Ukija Tanzania mtu kasoma kitabu kimoja Elimu ya Kuunga unga hana research ya lugha yoyote ya biblia na anasema ni Hadithi na anataka kuaminiwa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1718367548784177572) 2023-10-28T20:42Z [----] followers, [---] engagements "Wale Ma 2k's hii ilikua cheque ya bank hapo zamani 😁" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1718958890656604462) 2023-10-30T11:51Z [----] followers, [---] engagements "@IddiHashimu Kuna kipindi ali shine sana Wenger alikua anajua kupika vijana" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1719070668711432303) 2023-10-30T19:16Z [----] followers, [--] engagements "@iamFallacy @azamtvtz Mpenja mbaya sana mtu akifungwa 😂😂 hakuna lingine" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1719335787517411708) 2023-10-31T12:49Z [----] followers, [---] engagements "Watoto wa 2ks watajua huu ni waya wa sabufa 😁 Muhenga sema hii nini" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1720775102826979657) 2023-11-04T12:08Z [----] followers, 36.2K engagements "HISTORIA YA WIMBO USINIPITE MWOKOZI: Tenzi namba [--] Wimbo huu wa usinipite ni moja kati ya nyimbo za kikristo maarufu sana Duniani. Na wimbo huu unaimbwa Na madhehebu karibu yote. HISTORIA YA MWANDISHI Mwandishi wa wimbo huu anaitwa FRANCES JANE CROSBY na alizaliwa huko New York mwaka [----] na kufariki katika umri mwema wa miaka [--] mwaka [----]. Majuma kati ya sita hadi nane tu baada ya kuzaliwa Daktari asiye na ujuzi alimfunika macho na plasta ya kemikali kimakosa kitendo kilichomsababishia upofu wa kudumu. Upofu alioishi nao toka akiwa Na wiki [--] mpaka maisha yake yote hakuweza kuona tena Na" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1721056557402640868) 2023-11-05T06:47Z [----] followers, [----] engagements "Hivi simba na Yanga haiwezekani zikaachana na mambo ya siasa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1721147888447652268) 2023-11-05T12:50Z [----] followers, [---] engagements "Mambo mengine yanauma sana Wanasiasa wanaiba fedha nyingi na wanatajwa na hawachukuliwi hatua yoyote Mama wa watu kwa muonekano tu inawezekana hana hata rungu ndani" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1721494818046591351) 2023-11-06T11:48Z [----] followers, [---] engagements "Nice view (PERU)" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1721811682673008731) 2023-11-07T08:47Z [----] followers, [---] engagements "Huku construction site huwa hatucomplicate mambo kabisa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1721947870591336849) 2023-11-07T17:48Z [----] followers, [---] engagements "@morgan_cal96486 ✅ hapo nimekupata" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1722183615721713984) 2023-11-08T09:25Z [----] followers, [--] engagements "Kulikua na Redio kule home ilikua inaitwa Up-Lands FM Ngoma ya "TANZANIA" inapotoka nakumbuka kama @Roma_Mkatoliki alipiga show kule Nakumbuka fans walibana jamaa ilibidi arudie mpaka mara Tatu. Imagine Jamaa wamemjua kwa Mara ya Kwanza Na Alipopanda alichoimba kiliwagusa mpaka wakakaza arudi mara tatu. JUST IMAGINE" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1722244536171442325) 2023-11-08T13:27Z [----] followers, [----] engagements "@bbcswahili Wapigwe waanze kulalamika wanauliwa watoto wao na wake zao Yaani kakikundi kanaionya Israel" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1722268847942869204) 2023-11-08T15:04Z [----] followers, [--] engagements "Mambo ya Kuvuna sumu ya nyoka hapana wazee" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1723010832261398828) 2023-11-10T16:12Z [----] followers, [--] engagements "Moja ya video bora kabisa kwenye ulimwengu wa Mabasi" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1726186854184317174) 2023-11-19T10:33Z [----] followers, [----] engagements "@fadhilikangusi hii ipo iringa ipi maana iringa ni kubwa. Alafu kwa Wauza miti ni Mufindi Wahehe huwa hawataki ujuaji Ukileta ujuaji ndio lazima uweke historia kama Kleruu au Ally Hapi" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1726282573243158868) 2023-11-19T16:53Z [----] followers, [--] engagements "Lebron ana miaka [--] au 28" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1726513444596142339) 2023-11-20T08:10Z [----] followers, [--] engagements "Lebron anapass kijiti kwa AD. 😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1726513768568373598) 2023-11-20T08:12Z [----] followers, [--] engagements "@bwanawille Aisee ipo siku nitawatimbia hawa watu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1726588318950039604) 2023-11-20T13:08Z [----] followers, [--] engagements "@siadevinci @MNgeleja73875 We jamaa mambo sio mepesi kiasi hicho Yaani Meli isindikizwe na Destroyer Frigates Cruiser alafu ipigwe na vikundi vya wahuni hiyo haiji tokea" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1726660581095350559) 2023-11-20T17:55Z [----] followers, [---] engagements "Video ya kwanza YouTube" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1726826313074557331) 2023-11-21T04:54Z [----] followers, [--] engagements "MANCHESTER UNITED MANAGERS SINCE [----] [--]. Sir Alex Ferguson [--]. David Moyes [--]. Louis Van Gaal [--]. Jose Mourinho [--]. Ole [--]. Rangnick [--]. Erik Ten Hag TOTAL Premier League trophy =20 ARSENAL MANAGERS SINCE [----] 1.Gerge Graham 2.Bruce Rioch 3.Arsene Wenger 4.Unai Emery 5.Arterta TOTAL Premier League trophy = [--] CHELSEA MANAGERS SINCE [----] 1.Bobby Campbell 2.Jan Borterfield 3.David Webb 4.Glenn Hoddle 5.Ruud Gullit 6.Gianluca Vialli 7.Ray Wilkins 8.Claudio Ranieri 9.Jose Mourinho 10.Avran Grant 11.Felip Scolari 12.Ray Wilkins 13.Guus Hidink 14.Carlos Ancelotti 15.Andrew Villas Boas 16.Robert Di Matteo" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1727556959765663915) 2023-11-23T05:17Z [----] followers, [---] engagements "November photo Dump yetu masikini. Let's have it" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1727764657178349909) 2023-11-23T19:02Z [----] followers, [---] engagements "Shambani hapo unaambiwa tukuchinjie kimoja 😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1727907153837535379) 2023-11-24T04:29Z [----] followers, [----] engagements "@mwijaofficial Hawajawahi lalamika hawa ni mazingaombwe ya utopolo kwanza mliwasha moto wa magunzi" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1728151210056696275) 2023-11-24T20:38Z [----] followers, [--] engagements "Wananchi tupate location ya Mnara huko Algeria 😂😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1728157762926895600) 2023-11-24T21:04Z [----] followers, [--] engagements "@Roma_Mkatoliki Mimi nasema hivi dunia hii hakuwahi tokea mchazaji kama GAUCHO" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1728854792561410077) 2023-11-26T19:14Z [----] followers, [----] engagements "@siadevinci Soon kuna kitu watakupata na utupe update hv hv" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1729567893057093724) 2023-11-28T18:28Z [----] followers, [---] engagements "@vennatz1 Ishakata aisee sijui kilitokea nn tumetumia service road mpaka korogwe" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1729573094786748522) 2023-11-28T18:48Z [----] followers, [--] engagements "@ItsYusufu Duh haya mambo kila mtu anapenda kuyajua" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1729584924116602926) 2023-11-28T19:35Z [----] followers, [--] engagements "Huu mtego nao umeenda shule akili tu mtu wangu 😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1729809731508641974) 2023-11-29T10:29Z [----] followers, [----] engagements "Hii ni ghana jamaa anatamba zake Majini na Nchi kavu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1729851135454789786) 2023-11-29T13:13Z [----] followers, [---] engagements "WAHINDI 🙌🙌 Hapa mtaani jamaa wanaunda Chassis yao fresh mpaka Kitipa kinatoka Local Manufacture imeenda shule" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1730588338548027528) 2023-12-01T14:03Z [----] followers, [--] engagements "@AfricaFactsZone Nyumbani kwetu Tanzania ♥" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1730993181150400706) 2023-12-02T16:51Z [----] followers, [----] engagements "@raisz @AfricaFactsZone West Africa those are far ahead of us Sub Saharan in every things" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1730998935735390554) 2023-12-02T17:14Z [----] followers, [---] engagements "@sayi3505 @Docktus_ @AfricaFactsZone We have this Bullet Train locomotive in the Hyundai Rotem industry. Tanzania Railways Authority order more than [--] of this Electric Multiple Unit - EMUs" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731001330892714379) 2023-12-02T17:24Z [----] followers, [---] engagements "@PrandoDjprando Changamoto gani mliyompa Ahly nyinyi 😂😂 hebu angalia stats" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731025409087586438) 2023-12-02T18:59Z [----] followers, [--] engagements "@YahyaIslam9 @babalao__ Wajinga hawa wanajipa moyo 😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731035667042299958) 2023-12-02T19:40Z [----] followers, [---] engagements "SIKU KAMA YA LEO Mwaka [----] kwa mara ya Kwanza Daktari Christiaan Barnard kutoka nchini Afrika Kusini aliandika historia ya Kuhamisha Moyo wa Binadamu kwenda kwa mwingine (human to human heart transplant) hii ilikuwa haijawahi tokea duniani. Tukio hili lilifanyika Mjini Cape Town katika hospital ya Groote Schuur ambapo alishirikiana na Madaktari wengine [--] wakitumia masaa [--]. Moyo huo ulihamishwa kutoka kwa Binti wa miaka [--] aliyeitwa Denise Darvall ambaye alikufa kwa ajali mapema asubuhi Kisha ukawekwa kwa baba yake Louis Washkansky mwenye miaka [--] ambaye alikuwa hapo hapo hospitali akiwa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731192057467695366) 2023-12-03T06:02Z [----] followers, [---] engagements "ADVENTUS Kwa Wakatoliki ulimwengu Mzima. Jumapili ya Leo (Jumapili ya kwanza ya Maajilio) ADVENTUS hapo kanisani kwenu lazima tuliandaliwa mishumaa minne Mishumaa mitatu ni ya rangi ya Urujuani (Purple Candle) na mmoja una rangi ya Rose au Pink. Tukio la mishumaa hii huitwa "Advent wreath" mishumaa hii huwakilisha upitaji wa majuma manne ya kipindi cha Maajilio (Advent) hivyo kila jumapili huwashwa mshumaa mmoja. Mishumaa hii minne ni ishara ya Matumaini Amani Furaha na Upendo lakini maana yake nyingine ni hivi Mshumaa ambao huwashwa siku ya kwenza unaitwa HOPE CANDLE yaani MATUMAINI mshumaa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731202903673552921) 2023-12-03T06:45Z [----] followers, [----] engagements "NDUGU ZANGU WATANZANIA MABAHARIA WATAFUTAJI PAMOJA NA WANAHARAKATI. NDUGU ZANGU.HUYU NI NDUGU YETU MTANZANIA MWEZETU ANAITWA SAIDI BOUNCER SAIDI BOUNCER YUPO JELA Nchini MOZAMBIQUE ALIFUNGWA MIAKA [--]. SASA BASI KIFUNGO CHAKE KILISHAKWISHA MUDA MREFU SANA.KWA SASA ANAKWENDA MIAKA [--] JELA MOZAMBIQUE SAIDI BOUNCER WALISHIKWA KTK MACHAFUKO YA MOZAMBIQUE YALE YA BOKO HARAM NDUGU ZETU WA KITANZANIA WENGI WALISHIKWA KIPINDI HICHO BILA HATIA NILIONGEA NA SAIDI YAPATA MWAKA MOJA KAMA NA NUSU JUU YA SWALA HILI ILI NIWEZE KUWASAIDIA KUTOKANA WALIKUWA WAMESHAMALIZA KIFUNGU CHA MIAKA [--] Walitaka nipeleke" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731208091054596098) 2023-12-03T07:05Z [----] followers, [---] engagements "BRT in Dar Es Salaam [--] Stations [--] Terminal" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731221931146252496) 2023-12-03T08:00Z [----] followers, [---] engagements "Habari za leo. Nina mwanangu anaitwa Dorcas Bryson (04) mwaka jana alipata tatizo la utumbo mpana kutoka nje wakati wa kujisaidia. Ulikua unatoka kidogo na baadae kurudi. Lakini kadri alivyoendelea kukua hali imeendelea kubadilika. Mwezi April mwaka huu sehemu hiyo ilitoka kwa kiasi kikubwa na haikurudi ndani. Imeendelea kuwa nje na kila anapojisaidia anapata maumivu makali sana. Mwezi wa July sehemu hiyo ilivimba na kutoa damu na usaha. Vipimo vilionesha ana tatizo lijulikanalo kama "rectal prolapse" ambalo huwapata zaidi watoto na wazee. Tumehangaika nae sana bila mafanikio. Baadae tukapewa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731226342635540647) 2023-12-03T08:18Z [----] followers, [---] engagements "Siku kama ya leo mwaka [----] Alizaliwa David Villa "El Guaje" Mwamba kabisa huyu kutoka Uhispania Ni mfungaji bora wa wakati wote katika timu ya Uhispania Unakumbuka tukio gani ukimuona" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731233578673909866) 2023-12-03T08:47Z [----] followers, [--] engagements "@NgomaNiaje Hivi sera ya Matibabu ya mtoto wa chini ya miaka mitano bure iliishia wapi au ina mipaka" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731274032245338477) 2023-12-03T11:27Z [----] followers, [----] engagements "Dorcas aliandikiwa kufanyiwa upasuaji tangu November [--] lakini kutokana na kukosa fedha amekaa hospitalini muda wote bila matumaini. Leo mama yake anasema wameruhusiwa kuondoka hadi watakapopata fedha ndipo warudi kwa ajili ya upasuaji. Hofu ya mama ni kuwa hata wakiondoka hawajui ni wapi watapata msaada na huenda mwanae akamfia. Kwa zaidi ya mwaka mmoja mama yake Dorcas amehangaika kutafuta msaada wa matibabu ya mwanae bila mafanikio. Amepita makanisani na misikitini lakini ameishia kupewa pesa ya kula tu. Dorcas anahitaji kufanyiwa upasuaji wa dharura (rectopexy) ili kurudisha ndani sehemu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731281606629900427) 2023-12-03T11:57Z [----] followers, [----] engagements "@vennatz1 Ohoooo" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731285292085117143) 2023-12-03T12:12Z [----] followers, [--] engagements "@AbroadTanzania Kaka ikitoa yupo hai utaweka wapi sura yako" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731405112558366864) 2023-12-03T20:08Z [----] followers, [----] engagements "Nilikua naijua Manyara ila Majina Hanang na Kateshi nimeyajua baada ya kufanya kazi huko mwaka [----] Toka Mdogo namiliki Atlasi Mbili nyumbani nilipoenda huko pia walikua hawaijui sehemu niliyotokea Yaani nilipowaambia wilaya ya Mufindi wengi hawakuijua Nilipowaambia mji wa Mafinga pia hawakuujua so haya mambo ya kuto kujua mahali wala sio ya ajabu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731523115014881737) 2023-12-04T03:57Z [----] followers, [----] engagements "Nilikua naijua Manyara ila Majina Hanang na Kateshi nimeyajua baada ya kufanya kazi huko mwaka [----] Toka Mdogo namiliki Atlasi Mbili nyumbani nilipoenda huko pia walikua hawaijui sehemu niliyotokea Yaani nilipowaambia wilaya ya Mufindi wengi hawakuijua Nilipowaambia mji wa Mafinga pia hawakuujua so haya mambo ya kuto kujua mahali wala sio ya ajabu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731523734421270946) 2023-12-04T04:00Z [----] followers, [---] engagements "NGOJA NIFUPISHE JIBU LAKO Kuna milima miwili mirefu Inayopatikana Manyara Mlima Hanang na Mlima Oldean (ManyaraArusha) Kuujua mlima Hanang sio Kuijua Hanang as a Place Au wewe unapajua Oldean sababu kuna Mlima Tena Isitoshe Tanzania hii kuna wimbo unataja milima yote na mbuga Tanzania na watoto wanaimba miaka yote lakini hizo sehemu hawazijui wanajua ni nyimbo tu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731527347000492257) 2023-12-04T04:14Z [----] followers, [---] engagements "@IamMsafiri @Karuhawe Ukisoma vizuri nimeitaja hapo isitoshe watu wengi wa Upande huo hawana idea kabisa na Sehemu nyingine Tanzania Yaani wengi wao hawajui hata Njombe ilijitenga na Iringa Ukimuuliza kuhusu ziwa Rungwe anajua" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731533383765733708) 2023-12-04T04:38Z [----] followers, [---] engagements "@Dom_equinox @SwedyJr2 @Karuhawe Kwani hujatajiwa mzee hizo pande zenu sio kila mtu anazijua hata nyinyi sio kwamba mnajua pande hizi" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731533874197328383) 2023-12-04T04:40Z [----] followers, [--] engagements "Mimi Nafanya Civil Hiyo Manyara yote naijua Singida Tabora Arusha hizo sehemu nimetembea sana. Najua hakuna watu hawana idea na TANZANIA hii kama watu wa Huko Kuna sehemu zinaitwa Mang'ora Matongo Mbuga Nyekundu mzee baba hao hawajui lolote kuhusu mbeya sasa kwanini watu wa mbeya wajue mambo ya Manyara Sema mi huwa namaindi sana watu wa Huko kuona kwao kunajulikana" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731535347115323705) 2023-12-04T04:46Z [----] followers, [--] engagements "Mtu haijui wilaya ya MPIMBWE wala haijui wilaya ya NSIMBO alafu anashangaa mwenzake haijui HANANG ujue kuna pande wanatokeaga watu wa ajabu sana 😂 mnaonaga kwenu anakujua kila mtu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731543645931643268) 2023-12-04T05:19Z [----] followers, [----] engagements "@mangileweri @funjojr Je watu wote wa HANANG wanazijua hizo wilaya" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731543988170281266) 2023-12-04T05:20Z [----] followers, [--] engagements "@Wana4life @BwanaShilingi Hizo tabia mnazofanya gizani usiku na wanaume wenzenu matokeo yake mnazifichua hadharani kama hivi Sio kila kitu ukifanya basi uje useme hapa au sio kila uchafu unaofanya wewe usiku basi kila mtu anafanya" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731544856428703975) 2023-12-04T05:23Z [----] followers, [--] engagements "@mangileweri @funjojr Geography ya TANZANIA inafundisha kilimo cha Chai Sri Lanka 😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731546226254844269) 2023-12-04T05:29Z [----] followers, [--] engagements "Ford F-450 Platinum 🔥🔥🔥" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1731967621812162606) 2023-12-05T09:23Z [----] followers, [---] engagements "Indian Local Manufacture wakiunda Sprocket Gear Kuna namna hivi vifaa tuvipate" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1732287641285177765) 2023-12-06T06:35Z [----] followers, [----] engagements "@nuru_yumyum Dah yaani mawaziri ambao huwa wanajibu humu wapo wawili tu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1732318430592712954) 2023-12-06T08:37Z [----] followers, [---] engagements "Nini Tofauti ya Hizi Road Sign mbili ambazo zote huonyesha Kivuko cha watembea kwa miguu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1732718352999546971) 2023-12-07T11:07Z [----] followers, 125.9K engagements "Monrovia Liberia (Elwa Junction)" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1732728422520983950) 2023-12-07T11:47Z [----] followers, [---] engagements "Anayejiita nabii Lovy Longomba kutoka California marekani (mwenye rasta) mwenye asili ya Congo akiwa ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama Dar es Salaam nabii huyu ameandaa mkesha mkubwa akishirikiana na anayejiita nabii clear Malisa (mwenye shati jeupe) Nabii Lovy Longomba alikuwa mwanamziki wa kundi la Longombas yeye pamoja na kaka yake aliyekuwa anaitwa Christian Longomba. Ni watoto wa Lovy Longomba mwanamziki kutoka Congo ambaye ni kaka yake Awilo Longomba. Mwanzoni mwa miaka [----] wawili hawa walitikisa soko la mziki wa Kenya na hata Afrika Mashariki. Hawa ndio walioimba wimbo wa Funguo." [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733007377127838025) 2023-12-08T06:15Z [----] followers, [----] engagements "@CattivaL @andreambonye1 @beingwalaga @CharleKillian Jamaa wangu kama kitu hukijui si bora ukae kimya yanini kuanza kuandika matusi ina maana gani Kulikua na ulazima" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733146457916489968) 2023-12-08T15:28Z [----] followers, [--] engagements "Kumbe Misomisondo alikua na Jamaa zake mahali 😂😂 jamaa popote wanakichafua" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733210867825557642) 2023-12-08T19:44Z [----] followers, 10.5K engagements "Luwinzo nilianza kupanda zamani sana Na nilikua mnazi sana enzi hizo Hii ilikua [----] natoka skul Moro 😁" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733371237718442099) 2023-12-09T06:21Z [----] followers, [---] engagements "HAPPY INDEPENDENCE DAY MY MOTHERLAND TANGANYIKA. Kabla ya Kuitwa Tanzania huko nyuma Tanzania ilipata kuwa na majina mengi sana Ambayo watu wengi hawakuyajua. Mwaka [----] - [----] iliitwa Tanganyika Territory hili Jina Tanganyika Lilitokana na Eneo hili kuwa na Ziwa kubwa lililoitwa hivyo Wanakijiji wengi wa Ujiji (Eneo la ziwa) hawakujua maana ya Jina hill "Tanganika" hivyo mwanahistoria HM Stanley mwaka [----] aliakosa maana ya neno Tanganika na Kusema inawezekana watu hawa wanamaanisha Ziwa kubwa ".meant something like the great lake spreading out like a plain". Hata hivyo Utawala wa Wakoloni" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733373947188523515) 2023-12-09T06:32Z [----] followers, [--] engagements "@Wodroff_Newtons @IamGibrim @MwauraRobert2 @Jizzlewantandu Nimemuelewa nini Nimekwambia hakuna Pavement kwenye barabara ambayo material yake ni Kokoto Kama ipo ilete" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733400372817875451) 2023-12-09T08:17Z [----] followers, [---] engagements "BENDERA YA NCHI YETU ENZI TUNAITWA DEUTSCH-OSTAFRICA - Hii ndio ilikuwa Bendera yetu Na Katikati ya bendera ni Ngao ya Jamii (Coat of arms) ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika (Ujerumani ya Afrika Mashariki) miaka ya [----] mpaka [----]. - Wakati huo nchi ilikuwa na Eneo la Mita Square [------] Km ndani yake kuna Burundi na Rwanda na Eneo la Nchi ya Msumbiji lililoitwa Kionga Triangle. - Yaani Kiufupi eneo la Nchi yetu lilikuwa kubwa mara tatu ya Eneo la Ujerumani Inayotutawala. - Katika Kipindi hicho Nchi yetu Ilibadili Mji mkuu mara tatu Ulianza Bagamoyo (18851890) Ikaja Dar es Salaam" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733403009021870328) 2023-12-09T08:27Z [----] followers, [----] engagements "Hii ndio ilikuwa Ngao ya Jamii ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika miaka ya [----] mpaka [----]. Wakati huo nchi ilikuwa na [------] Km ndani yake kuna Burundi na Rwanda Yaani eneo letu lilikuwa mara tatu ya Eneo la Ujerumani Iliyotutawala. Hapo Mji wetu Mkuu ulikuwa ni Bagamoyo 😃😃 Dar ilikuwa Bush tu Masta 😃 mwaka [----] mji wetu mkuu ukabadilishwa kwenda Dsm mwaka [----] Tabora Ikawa mji mkuu wetu (Naongelea Toronto). Sema Hii Ngao Iko Kigaidi sana Yaani Kimasta Sana" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733429421225201934) 2023-12-09T10:12Z [----] followers, [---] engagements "@Eng_ZSamsoni @MwauraRobert2 @Jizzlewantandu Try to explain how" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733439895153115582) 2023-12-09T10:54Z [----] followers, [--] engagements "Tamthilia Ya China Inayorekodiwa Tanzania Mchina Kapenda Africa 😁" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733488288248315918) 2023-12-09T14:06Z [----] followers, [---] engagements "MJENZI WA PYRAMID OF GIZA NI MWEUPE (MZUNGU) AU MWEUSI (MUAFRIKA) + Kabla ya kuanza kujadili jambo hili ni lazima tujue tunajadili kitengo/Uga upi wa makundi ya Wajenzi + Katika Ujenzi kuna makundi kadhaa pale hupangwa kulingana na Uzoefu na Elimu mtu aliyonayo lakini wote hubeba jina Mona "Wajenzi" + Makundi katika Ujenzi huwa kuna kuwa na 1.KEY PERSONNEL / KEY STAFFS hawa huwa ni wale wenye Taaluma katika Mradi Husika (Engineers Technicians Surveyor Architecture nk) Pia kuna kundi la [--]. LABOR'S (Skilled Labours and Unskilled Labor's) hawa huwa wale hasa wenye nguvu na Uzoefu Yaani watendaji" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733750268745990324) 2023-12-10T07:27Z [----] followers, [---] engagements "@keshoyakoOG 🙏🙏 ahsante kaka" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733763652967121055) 2023-12-10T08:20Z [----] followers, [--] engagements "@Nevada_255 @__abdulazack @andreambonye1 @beingwalaga @CharleKillian @ElimikaWikiendi @Noedson_tz Sikuizi mambo ni mengi kaka" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733765670578343943) 2023-12-10T08:28Z [----] followers, [--] engagements "@keshoyakoOG Yes Lakini nadhani vile vitabu vitatu vya Nyerere vingetumika mashuleni" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1733770772198326289) 2023-12-10T08:48Z [----] followers, [--] engagements "BUS LA MKOMBE LUXURY BUS LIMEPATA AJALI MAENEO YA ZAMBIA BUKOMBE LILIKUWA LINATOKA SOUTH AFRICA KUELEKEA TANZANIA" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734133595219091671) 2023-12-11T08:50Z [----] followers, [---] engagements "Scenery kama hizi Tanzania unazipata Nyanda za juu kusini tu (SOUTHERN HIGHLANDS ZONE)" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734141475259081153) 2023-12-11T09:22Z [----] followers, [---] engagements "I like this 💪" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734144084040704477) 2023-12-11T09:32Z [----] followers, [---] engagements "TURUDIE KUMSOMA OSCAR BAUMANN - Moja Ya Watu Muhimu katika Historia Ya Tanganyika na Zanzibar. - Jamaa alikua ni Mzaliwa wa Taifa La Austria Na Alikua Mjuzi katika Taaluma mbili tofauti Kwanza Alisoma Cartography elimu ambayo Mtu hubobea Katika Kusoma Ramani na Kutafsiri Ramani ama Kuchora Ramani Mtu ambaye anakua amesomea Mambo haya huitwa "cartographer" pia Jamaa Alisoma mambo ya Ethnography Hili ni somo la Tafiti za Tamaduni tofauti Ama utofauti wa Mienendo ya Watu Binafsi wa Eneo fulani na Jingine Hapa mtu hutafiti mpaka Matukio ya Kitamaduni ili Kulinganisha ama Kutofautisha Mtu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734260579483951548) 2023-12-11T17:15Z [----] followers, [---] engagements "@CharlieBihemo Huyo jamaa na watu aina yake wamechagua kuishi hivyo kwanza wanatafuta engagement kwa kuforce sana alafu mkijaa ndio wanawapiga sasa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734307125105500363) 2023-12-11T20:20Z [----] followers, [---] engagements "Mambo ya Elon na Cybertruck 💪" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734485998975746415) 2023-12-12T08:11Z [----] followers, [---] engagements "Hii kitu ilikua inaimba sana 😂😂 kila saa lina "Tone" yake" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734529094249848880) 2023-12-12T11:02Z [----] followers, [----] engagements "Mzee Local Manufacture wanatengeneza Njiti za viberiti simple sana hiki kiwanda Mbongo akianzisha kuna idara ni tatizo sitaki kuitaja" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734536184632590630) 2023-12-12T11:30Z [----] followers, [----] engagements "Trending in Tanzania 💪" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734574465063756035) 2023-12-12T14:02Z [----] followers, [----] engagements "Hii Brand Ilikua kubwa sana KASUKU akaja kuishusha ile Brand Siamini kama ni ya Tanzania" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734589325210157117) 2023-12-12T15:01Z [----] followers, [---] engagements "@Elinisaidie_TZ Kwanini kilifungwa" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734590847490855001) 2023-12-12T15:07Z [----] followers, [--] engagements "@iam_Mtalicy Huwezi fananisha na kununua Automated Manufacturing Machine complete za Uzalishaji unataka kunambia viwanda vya viberita Tanzania ni sawa na hiki yaani covered area" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734612948042109328) 2023-12-12T16:35Z [----] followers, [--] engagements "@unjuwathiongo Kwahiyo kwa content tu unaangalia watu walisoma nini Aisee ni shida sana Hiyo science uliyosoma O level Unai practice Upo kwenye Field ya Science Maana hizo content zako kwenye TL inaonekana ulisoma bookkeeping Hata kama ulisoma science inaonekana huijui" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734799332505796709) 2023-12-13T04:56Z [----] followers, [--] engagements "@Karuhawe Ndio ni simple Linganisha na viwanda vya viberiti vya Tanzania" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1734855182888980708) 2023-12-13T08:38Z [----] followers, [--] engagements "@IAMartin_ @Nnauye_Nape Mama anachota maji ama emulsion bitumen Aisee Viongozi wetu ni tatizo" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1735306785043468715) 2023-12-14T14:32Z [----] followers, [----] engagements "Hakuna waziri anayeweza kusema yeye ni mtaalamu wa satellite internet constellation hivyo akatupa sababu kwanini STARLINK bado haipatikani Tanzania. Mpaka sasa nchi ambazo zime approve internet ya Starlink ni KENYA NIGERIA ZAMBIA MALAWI BENIN MOZAMBIQUE RWANDA. Hapa siwezi kubali kwamba kuna waziri wa nchi hii ni mtaalamu wa mambo ya megaconstellations kuliko Kenya na Nigeria. Ninachoweza kukubali ni kuwa Kuna watu wanafaidika na huu mfumo mbovu wa Internet provider hasa hii mitandao Kuna watu wana commission zao humo" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1735334766897958999) 2023-12-14T16:23Z [----] followers, [---] engagements "@HopeTonito For sure yaani hii mitandao ni ya hovyo na hatuwezi kusema kitu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1735361638700654684) 2023-12-14T18:10Z [----] followers, [--] engagements "@HopeTonito Mzee baba hawa viongozi tulio nao ni viongozi wa Kurithi na hizo kura wanazopewa nyingi ni za wizi au wanapewa na wazazi ambao wanachagua mtu kulingana na ukoo matokeo yake ndio wanatujibu utumbo" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1735380397318406452) 2023-12-14T19:25Z [----] followers, [--] engagements "Tanzania siasa inazuia mpaka mambo ya kitaalamu Duniani tuko nyuma kila kitu NALA PAYPAL STARLINK vyote hivi havipatikani na tunaona ni sawa tu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1735519286121087104) 2023-12-15T04:36Z [----] followers, [--] engagements "Yaani kiufupi sisi Watanzania hatuna cha kuwafanya viongozi wetu wameshatujengea mazingira ya kuwaogopa Sema kizazi chetu ambacho ndio wazee wa baadae tutakua tumevurugwa sana hao watoto wao wanaowarithisha hawatatuweza kabisa na watajuta" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1735520574384885950) 2023-12-15T04:42Z [----] followers, [---] engagements "Indian local Manufacture making Electric Motor 💪💪" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1735564983851692249) 2023-12-15T07:38Z [----] followers, 17.6K engagements "@andy_jd3 Noma sana mkuu sijui wana commission kwenye bidhaa kutoka nje" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1736053370543390873) 2023-12-16T15:59Z [----] followers, [---] engagements "Indian Local Manufacture making Electric Bulb 💪💪" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1736099113798717690) 2023-12-16T19:00Z [----] followers, [----] engagements "@jeremykilato Sisi Palestine hatuna undugu nao hawa ni kuwafyeka wakionekana" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1736440724722172244) 2023-12-17T17:38Z [----] followers, [--] engagements "@jaliluzaid Iko upande wako ndio maana umeiita hoja hakuna hoja hapo" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1736467105564828026) 2023-12-17T19:23Z [----] followers, [----] engagements "Unayaona hayo maandishi kwenye label ya hii video and thats why we call them local Manufacture Hii Technology kwa USA ilikua ikitumika miaka ya [----] lakini kwa Tanzania hatuna hata uwezo wa kufanya hivi Hapa hawa jamaa wanatengeneza Industrial rollers. 💪💪💪" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1736679149777953177) 2023-12-18T09:25Z [----] followers, [---] engagements "Jamaa wanatengeneza kamba za Plastic (Plastic rope) local Manufacture 💪" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1736685847204737138) 2023-12-18T09:52Z [----] followers, [---] engagements "Wahindi wapewe Maua yao Huyu dogo kaenda na taa ya gari imevunjika Jamaa wamemfanyia restoration dakika kadhaa tu Hawa Local Manufacture wametisha. Then Gharama yake ni $2 tu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1736690452353421816) 2023-12-18T10:10Z [----] followers, 12K engagements "Jamaa anachukua vyuma vilivyochakaa Nondo zilizochakaa alafu anazalisha Hex Nuts & Bolts 💪💪💪 Local Manufacture wanatisha sana huko Asia" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1737020332723372156) 2023-12-19T08:01Z [----] followers, [---] engagements "@Abdoulbora1 Serikali yetu wanaenda dubai" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1737208507177304397) 2023-12-19T20:29Z [----] followers, [--] engagements "Excavator lina matumizi mengi sana haliwezi kukosa kazi 😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1737420561788371205) 2023-12-20T10:31Z [----] followers, [----] engagements "@mwigulunchemba1 Lakini haya mambo ipo siku yatafika mwisho" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1737530513793933355) 2023-12-20T17:48Z [----] followers, [---] engagements "Metal Works #Manufacturing" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1737762475662295059) 2023-12-21T09:10Z [----] followers, [---] engagements "@kidume266 @eastafricatv Nani kasema ameshindwa maisha" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1737772890475335988) 2023-12-21T09:51Z [--] followers, [--] engagements "@UmeingiaTarime @ayubu_madenge @nizzoforlove Azam Mmiliki ni Azam Grops 100% (Backresa) haya niambie mmiliki wa Simba au Yanga" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1738498364218499568) 2023-12-23T09:54Z [----] followers, [--] engagements "WaChina walivyotua Dar kutengeneza reli ya Tanzania/Zambia (TAZARA)" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1739296216121258398) 2023-12-25T14:45Z [----] followers, [----] engagements "Usafiri wa Treni chini ya ardhi huwa na abiria wengi sana during rush hours kule mjini Tokyo Japan Hivyo mamlaka iliajiri watu wanaojulikana kama OSHIYA "the pushers" hawa kazi yao ni kusukuma watu ndani ya treni ili mlango ugunge. Utaratibu huu ulianza mwaka [----] na kwa sasa wamepewa jina maalumu "PASSENGER ARRANGEMENTS STAFF"" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1739583461680160934) 2023-12-26T09:46Z [----] followers, [--] engagements "@KondooWabwana Yes Yes" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1739630194380444126) 2023-12-26T12:52Z [--] followers, [--] engagements "@edoEvans88 Mkuu uchindile ni mbali sana kijiji cha kwanza kutoka hapo ni Kitasengwa - Lugolofu - Site/Township - Idodi - Lugala - Uchindile 😂😂 mbali sana" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1739654063325696229) 2023-12-26T14:27Z [----] followers, [--] engagements "Kwa upande wako Ndani ya Tanzania eneo gani katika barabara kubwa "Trunk Road" unaweza kulipa cheo cha HIGH ACCIDENT PRONE AREA yaani hujawahi kupita ukakosa ajali imetokea Au Gari imeharibika ME: KITONGA" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1739997884710346827) 2023-12-27T13:13Z [--] followers, [--] engagements "@ayubu_madenge Bora angekua raia wa Burundi Raia wa Marekani huwa hana cha kufanywa Yaani wataishia maneno tu unakumbuka yule raia alishika simba kwa mkono Alifanywa chochote" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1740008280443834679) 2023-12-27T13:54Z [----] followers, [---] engagements "@chapo255 Sio Bongo duniani nchi asilimia [--] zinajifunza mambo mengi US na Canada kwenye ishu nzima ya Entertainment so sio Tz tu" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1740110302279323869) 2023-12-27T20:40Z [--] followers, [---] engagements "@Africanboy66 @MarekaMalili Uislamu tena 😂😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1740114471522103356) 2023-12-27T20:56Z [----] followers, [--] engagements "@MahengeMajor Hiyo tech ipo kwenye mashamba huko Mufindi hawa wajinga kweli wavivu 😂" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1740213693638668543) 2023-12-28T03:30Z [--] followers, [--] engagements "@JamiiForums Sasa si mtaje majina yao nyoko nyie watu wakikutwa na bangi mnataja majina watu wakikamatwa na nyama ya swala mnawaweka hadharani hapo kwenye madawa shida nn" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1740214978395922739) 2023-12-28T03:35Z [--] followers, [----] engagements "@Consolataally Yaani siri za Roman Catholic Moja ya Taasisi zilizopangiliwa Kiuongozi duniani siri zake azijue jamaa yuko Buza na Smartphone 😂😂" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1740716410400309270) 2023-12-29T12:48Z [--] followers, [--] engagements "TUMSAIDIE JAMAA Hi I'm zweli from Mpumalanga kwandebele I got your number from another guy at Pretoria Wegem originally he is from Tanzania. I'm looking for my father Cassian Baltazar he go long time ago and look for job he never come back . I'm his Son we lost communication around [----] .he is from Tanzania I don't know anyone else who can help me to find him I have his birth certificate and his pictures.The guy who gave me your number told me that you are the chairman of Tanzanian people around Pretoria. .HUYU MWENETU WETU ANAMTAFUTA BABA YAKE HUYU MTOTO WETU HAJUI KISWAHILI.NDIO MAANA" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1740723112008667628) 2023-12-29T13:15Z [--] followers, [----] engagements "Kaka Pole sana Na Kazi Hizi haziitwi Satellites Satellite kurusha sio rahisi kama kurusha mikono unavyotembea. Hizo zinaitwa "Balloon-borne telescope" ambazo hurushwa ndani ya Balloon ili kupata picha au hali ya hewa kwa matokeo yenye Uhalisia "Angular resolution" hii hurushwa kwa bei ndogo kuliko space Telescope Pia hutumika zaidi kugundua Bands za Masafa marefu zilizozuiw na Anga hewa. Oparesheni ya kwanza ya kurusha Balloon telescope ilifanyika mwaka [----] Mission iliitwa StratoscopeI nina uhakika ulikua haujazaliwa Oparesheni ya mwisho imefanyika mwaka [----] ikaitwa SuperBIT ambayo ndio" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1740795611610292270) 2023-12-29T18:03Z [----] followers, [----] engagements "@TillertheWorld @Exquisite_255 Brother bora asinijibu 😂😂 haya mambo nimefuatilia zamani kuliko yeye nikaona najaza ubongo vitu visivyo na maana" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1740798545660404196) 2023-12-29T18:14Z [----] followers, [---] engagements "Aloooooo 😂😂😂 Kumbe picha hujui hata zimepigwa Mwaka Gani Unayoiona ya Zamani ndio mpya Unayoiona mpya kumbe ndio ya zamani. Jamaa kazi yako ngumu sana humu ila Ingekua Facebook kazi ingekua rahisi sana 😂 Nini kimetokea Kwa Justin Bieber mbona Kawa kama Lesbian wa miaka 30+ kabisa Or may be ni Mwanamke anaejifanya mwanaume. She's a Trans https://t.co/aCqZOE56DW Nini kimetokea Kwa Justin Bieber mbona Kawa kama Lesbian wa miaka 30+ kabisa Or may be ni Mwanamke anaejifanya mwanaume. She's a Trans https://t.co/aCqZOE56DW" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1740800049817550910) 2023-12-29T18:20Z [----] followers, [---] engagements "@audaxharrison80 @Exquisite_255 Afu kuna wana utaskia "Ahsante kwa kutufungua" 😂" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1740815802759320059) 2023-12-29T19:23Z [--] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Jamaa hajibugi swali hata moja yeye mwenyewe anacopy na kupaste" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1740817410557362442) 2023-12-29T19:29Z [----] followers, [---] engagements ""Habari Chief. Sisi ni abiria wa basi la Kilimanjaro lenye namba T [---] DGQ. Tumetoka Moshi saa [--] asubuhi kuja Dar lakini mwendo wa gari ukatupa wasiwasi kwani ni kama gear zilikua zinakwama. Tumeenda kwa kujikokota mpaka kufika hotelini Korogwe ndipo dereva akakiri kuwa gari imepata hitilafu na tusubiri fundi aje kutengeneza. Fundi amefika na ametumia zaidi ya masaa mawili kutengeneza tukimsubiri. Lakini baada ya kuingia kwenye gari bado ilienda kwa kujikokota. Tukamwambia dereva kama hana uhakika na gari lake twende na fundi ili ikisumbua njiani tupate msaada. Akasema gharama za kutembea na" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1740984142337077651) 2023-12-30T06:32Z [----] followers, [---] engagements "Pakistan local Manufacture waki recycle Makopo yavinywaji kuwa Light Water Pipes 💪💪" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1741007110887149739) 2023-12-30T08:03Z [--] followers, 16K engagements "How Plastic chairs Are Made 💪" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1741103546916069764) 2023-12-30T14:26Z [--] followers, [---] engagements "Nchi ya Nauru ina eneo la KM [--] tu hivyo inaifanya kuwa moja ya nchi tatu zenye eneo dogo duniani ikitanguliwa na Vatican kisha Monaco. Kwa eneo hilo ndio inakuwa Jamhuri Ndogo zaidi duniani Pia Nauru Ina idadi ya watu [-----] tu hivyo inakuwa moja ya nchi zenye watu wachache duniani ikitanguliwa na Vatican. Watu wa Nauru Husifika Kwa Unene Yaani asilimia [--] ya watu wa Nchi hiyo ni Wanene sana Hii inafanya kuwa moja ya nchi zilizoathiriwa na Kisukari sana kwakuwa asilimia [--] ya watu wa Nauru wana Kisukari na Afya mbovu. Unaambiwa mpaka mwaka [----] nauru kulikuwa hakuna Kodi Elimu ilikuwa bure" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1741391690265468982) 2023-12-31T09:31Z 13.7K followers, [--] engagements "@VictoryTheCham1 jibu hili hapa" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1741395755389026436) 2023-12-31T09:47Z [--] followers, [--] engagements "SIKU KAMA YA LEO MWAKA [----] Siku ya Mwisho ya Mwaka huko uingereza mwaka [----] ilianzishwa Kodi ya madirisha "Window Tax" Kodi hio ilianzishwa na Mfalme William III huku kila nyumba kutakiwa kulipa Kodi kulingana na idadi ya madirisha ya nyumba. Kila Nyumba yenye madirisha chini ya [--] Dirisha moja lilitakiwa kulipia [--] yenye thamani sawa na [-----] kwa mwaka [----] (37000 Tsh) endapo unamadirisha zaidi ya [--] basi unaongezewa ziada ya shil [--]. Kodi hii ikafanya wamiliki wengi wa nyumba kuyaziba kwa Tofali kupunguza kodi" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1741500456172392688) 2023-12-31T16:43Z [--] followers, [---] engagements "@spectatorindex Tanzania" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1741593662306271376) 2023-12-31T22:54Z [--] followers, [--] engagements "@itsarhum @spectatorindex Continue standing we are sitting here for watching hamas pay for what they done in [--] October" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1741605524515258753) 2023-12-31T23:41Z [----] followers, [---] engagements "@AzadKhanPTI @spectatorindex Yes Both side to score and one btn them will cry more" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1741605888543060364) 2023-12-31T23:42Z [----] followers, [---] engagements "Hamas started the New Year by giving Israel a firework show" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1741609547842695217) 2023-12-31T23:57Z [----] followers, [---] engagements "Hamas wakituma salam za Mwaka mpya huko Israel nadhani watajibiwa muda si mrefu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1741610420488622258) 2024-01-01T00:00Z [----] followers, [--] engagements "Jana usiku 00:00 Majiji ya Nairobi na Lusail yalikua live CNN wakati fataki zinapigwa Hewani. Ni wazi kabisa Zile zilizopigwa Nairobi zilikuwa Low budget fireworks Maana Kwanza mishindo ilikua mikubwa Hazikua na mpangilio wa Kuwaka. Na baada ya Muda kidogo tu Serikali ya Kenya ilitoa onyo juu ya Uwashwaji holela wa Fataki Dakika kadhaa mbele jengo la CBD likashika moto 😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1741757073459679620) 2024-01-01T09:43Z [----] followers, [---] engagements "Huyu anaitwa "Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar 'Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan na Yang di-Pertuan" Hilo ndio jina lake. Ni Sultan/Mfalme wa nchi ya Brunei Pia yeye mwenyewe ni Waziri mkuu wa Brunei. Mwaka [----] alitajwa kama mtu mwenye utajiri mkubwa na Jarida la Forbes Na mpaka sasa anamiaka [--] kwenye kiti cha Enzi hivyo ni moja ya watawala waliokaa muda mrefu madarakani Mwaka [----] aliadhimisha Jubilei ya Dhahabu miaka [--] Madarakani" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1741763978697548193) 2024-01-01T10:11Z [--] followers, [---] engagements "Hili ni Jiji la Bandar Seri Begawan Huu ndio mji mkuu wa Nchi ya Brunei. Hapa ndio makazi ya asilimia 70% ya wakazi wa Brunei wengineo 30% ndio wanaishi nje ya jiji" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1741766385502458141) 2024-01-01T10:20Z [----] followers, [--] engagements "Sonifer its my favorite" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1741857413240701343) 2024-01-01T16:22Z [----] followers, [---] engagements "@bestus0101DUBU Kibaya zaidi hao watu pichani mambo wanayofanya hayaendani na umri" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1742108732207902737) 2024-01-02T09:01Z [----] followers, [--] engagements "@TillertheWorld @RahmaMwita Aah hii strike si ilitamba sana tiktok sasa leo nakutana na maelezo eti Finland 😂😂" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1742121746940231883) 2024-01-02T09:52Z [----] followers, [--] engagements "@beingwalaga Na Pakistan kaka" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1742458141818675591) 2024-01-03T08:09Z [----] followers, [--] engagements "Maisha Kusaidiana Kumbe Railroad haijafikaga Bandarini sie wa mikoani hatukujua" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1742521703870140646) 2024-01-03T12:22Z [----] followers, [---] engagements "@TheRealBonMushi Mombasa ipo mkuu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1742588370851598678) 2024-01-03T16:46Z [----] followers, [--] engagements "Miaka [--] iliyopita siku kama ya leo Satoshi Nakamoto @satoshi alinunua Bitcoin ya kwanza. Happy Bitcoin Day" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1742650182829855023) 2024-01-03T20:52Z [----] followers, [---] engagements "Exhaust Fan manufacturing 💪💪" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1742854834141728907) 2024-01-04T10:25Z [--] followers, [---] engagements "Fundi wenu wa Umeme mnayempa kazi ana vifaa kama hivi" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1742992275859185822) 2024-01-04T19:31Z [--] followers, 33.2K engagements "@lutherakyoo @mandomidina Kwanza atuelezee "Mandomidina" maana yake nini kule tutokako hajaandika 😁" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1743004420806234243) 2024-01-04T20:20Z [--] followers, [--] engagements "The actual price of Petrol in Tanzania 😂😂😂" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1743281332837638221) 2024-01-05T14:40Z [--] followers, [---] engagements "@PresenterNoah Kaka hizi njia sio mara ya kwanza Tz kuzitumia huwa hazina matokeo Kuroga na kukusanya machawa bora mda mtumie kuroga" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1743360109290442753) 2024-01-05T19:53Z [--] followers, [--] engagements "Tuambie hiyo mbinu ilifanikiwa kufanya hizo timu zipate ubingwa kwa nini mnajifunza kutoka kwa waliofeli Yaani unakaa unaiita Ethiopia Uganda na Kenya 😂 Uganda wana Kampeni ya Kitaifa inaitwa "Cranes Kabbo" kuchangia timu yao kufanikiwa kufuzu kombe la Dunia [----]. Kenya [----] walikua na Kampeni ya Kitaifa kuchangia timu yao ili kufanikiwa kufuzu kombe la Dunia [----]. Ethiopia pia walikuwa na kampeni kama hii [----] kufuzu AFCON. https://t.co/mYQ7IAPJqb Uganda wana Kampeni ya Kitaifa inaitwa "Cranes Kabbo" kuchangia timu yao kufanikiwa kufuzu kombe la Dunia [----]. Kenya [----] walikua na Kampeni ya" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1743601087649648717) 2024-01-06T11:51Z [----] followers, [--] engagements "Siku Kama ya leo alizaliwa Antonio Ghislieri ambaye alikuja kuwa head of the Catholic Church (Pope) na ruler of the Papal States kuanzia tarehe [--] January [----] mpaka kifo chake May [----]. Huyu anajulikana kwanza kwa Kumtangaza (Declare) Thomas Wa Akwino kuwa moja wa Walimu wa Kanisa (Doctor of the Church) neno Doctor kwa Kilatini humaanisha "Mwalimu" na mpaka mwaka [----] Kanisa Katoliki lina watu wenye cheo hicho [--] tu" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1743909895882109416) 2024-01-07T08:18Z [----] followers, [---] engagements "Jina rasmi la nchi ya BRUNEI ni "Negara Brunei Darussalaam" ikiwa na maana "Taifa la Brunei Nyumba ya Amani"" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1743970222460043313) 2024-01-07T12:17Z [--] followers, [---] engagements "Siku kama ya Leo mwaka [----] Pope Pius V alianza kutumikia Kiti cha Holy See. Kupitia wazo lake la kuunganisha Nchi za Kikatoliki za Ulaya kuikabili Ottoman Empire ndipo walipoweza kufanikiwa kulizuia dola hilo Kutawala ulaya kupitia mapigano yaliyopewa jina Battle of Lepanto mwaka [----]. Muunganiko wa Nchi hizo za Ulaya Ulipewa jina "Liga Sancta" kwa kilatini ambapo kwa kiswahili tunaweza kusema "Mshikamano mtakatifu" Vita Hii nchi za Ulaya zilishinda huku zikiwa na idadi ya Wanajeshi wachache katika mapigano hayo" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1744235257707032703) 2024-01-08T05:51Z [----] followers, [---] engagements "@UTDAbrezy_ @kibandiko04 Happy birthday to you brother" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1744249714860781591) 2024-01-08T06:48Z [----] followers, [--] engagements "Siku Kama ya Leo Mwaka [----] Dunia ilimpoteza Mpelelezi Nguli mzaliwa wa Italia aliyejulikana kwa jina lake halisi MARCO POLO. Anahesabiwa kama mpelelezi wa Kwanza Kabisa Duniani Akiwa Kama Mpelelezi wa Kwanza kutoka Ulaya na Kuingia Asia kupitia Silk Road. Huyu ndiye Mzungu wa Kwanza kutoa Chakula aina ya Tambi (Spaghetti) huko Uchina na Kupeleka Ulaya watu wakashangae. Utofauti wa Marco Polo na Christopher Columbus ni moja Marco Alipita Silk Road (Mashariki) wakati huo Columbus alipita Magharibi. Nitaandika machache kuhusu huyu leo makala Fupi fupi" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1744310562845057353) 2024-01-08T10:50Z [--] followers, [---] engagements "@Lizzie36021 bora wanaovaa nguo moja kuna mbichi pia cha muhimu wewe tuambie kakwambia nani" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1744413918963896557) 2024-01-08T17:41Z [----] followers, [---] engagements "@nyuki_malkia @Exquisite_255 Unamjua huyu kabla ya mambo ya matrix" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1744432356407046535) 2024-01-08T18:54Z [----] followers, [---] engagements "@PresenterNoah Huwa mna judge wachezaji kwa muda mfupi sana Ayoub Lamolisa walianza vibaya ila kwa mwisho walikubalika" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1744454251563130971) 2024-01-08T20:21Z [----] followers, [----] engagements "Mi nimuhehe ila kuna siku nilichukua boda mshikaki na mwana kutoka Mivinjeni Mpaka Wiloliesi Boda alisema buku [--] sisi hatukumsikia tukajua buku jamaa tulivyofika tukampa buku akasema alisema buku [--]. Tulivyoanza mbishia akazila akasema ye hana njaa akawasha chuma akasepa 😂😂 pale nilikubari" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1744784896021717245) 2024-01-09T18:15Z [----] followers, [--] engagements "Nimesoma haya mambo nimeona nanyinyi mnambie ni kweli au uongo [--]. Reli ya Kwanza Tanzania Bara - Tanga [----]. [--]. Shule ya kwanza ya Sekondari- Tanga [----] (Tanga Old School). [--]. Shule ya Kwanza (Anglikana) Tanzania [----] - Tanga Magila Muheza. [--]. Taasisi ya Kwanza ya Utafiti wa Malaria Duniani - Tanga Muheza Ubwari [----]. [--]. Hospitali ya Kwanza (1st Modern Hospital) - Tanga Cliff Block [----] [--]. Hoteli ya Kwanza ya Kisasa Tanzania - Tanga Kaiserhof Hotel [----]. [--]. Upandaji wa Mkonge wa Kwanza Afrika - Tanga Pangani [----]. [--]. Nembo ya Benki Kuu ya Tanzania ni msukumo kutoka kwa Kiwanda cha Mkonge" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1744790822170566898) 2024-01-09T18:38Z [--] followers, [---] engagements "@Singidafgfc Hata yanga walisema hawatashiriki Ligi na hatukushtuka" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1745178963679326406) 2024-01-10T20:21Z [----] followers, [----] engagements "@MarekaMalili Mara ya kwanza mlijionaga bora hivi hivi kibu akawapigisha Rege" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1745187723311259895) 2024-01-10T20:55Z [----] followers, [---] engagements "Picha hii inamuonesha mwanaume mmoja nchini Kenya ajulikanae kwa jina la Dan Shisia Matakhaya mwenye umri wa miaka [--] na ni Askari polisi nchini humo. Hakuzaliwa na sura ya kutisha namna hii. Unachokiona ni matokeo ya mabishano kati yake na mke wake. Siku moja Matakhaya na mke wake walipishana kuhusu masuala kadhaa ya kifamilia yeye alichukulia mtafaruko au mapishano hayo kama kitu cha kawaida tu na baadae siku hiyohiyo akaenda kazini. Aliingia zamu ya usiku na kurudi kesho yake majira ya saa kumi na moja na nusu alfajiri. Kwasababu alifanya kazi usiku kucha baada ya kurudi nyumbani alienda" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1745731622014496956) 2024-01-12T08:57Z [----] followers, 110.1K engagements "JINA LA BIBLIA. Jina hili "BIBLIA" limeenea dunia nzima limetumiwa karibu na lugha zote zilizopata kukubali kutafsiri biblia.Kwanza lilikuwa neno la Kigiriki cha kale au kiyunani. Linaonekana katika Mathayo 1:1 na Luka 4:17 na penginepo katika Agano jipya la Kiyunani. Kwa lugha hiyo liliandikwa "Biblos" maana yake ni "kitabu" au pengine"biblia" maana yake"vitabu". "BIBLIA" ni jina jema kwa kuwa biblia ni "kitabu cha vitabu" kwa maana ni kitabu bora kuliko vyote na tena ni "kitabu chenye vitabu" Yaani ni kusanyiko la vitabu vingi vinavyoungamana kuwa kitabu kimoja. Pengine Biblia huitwa "neno" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1745746065834267076) 2024-01-12T09:54Z [----] followers, [---] engagements "@AloyceGarani @ayubu_madenge Linajiandaa Kiteknolojia likiwa halina satellite hata moja Aircraft za miaka ya 1800" [X Link](https://x.com/MdemuPolycarp/status/1745888058858217820) 2024-01-12T19:18Z [----] followers, [---] engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@MdemuPolycarp Polycarp The BibliophilePolycarp The Bibliophile posts on X about tanzania, kwanza, kenya, mambo the most. They currently have [------] followers and [----] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries currencies travel destinations automotive brands technology brands finance celebrities social networks luxury brands stocks
Social topic influence tanzania #131, kwanza, kenya #491, mambo, china, ipo, volvo, uganda, india, nairobi
Top accounts mentioned or mentioned by @ericnjiiru @ayubumadenge @africafactszone @grok @mhdhamad @georgemwiga3 @marekamalili @kenyans @phbhimself @prandodjprando @saumuyanga @siadevinci @zoomafrika1 @atifnerd @oj2545 @kunguru1657623 @privaldinho @balyx @beingwalaga @kenmutuake
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) StarLink (STARL) BODA (BODAV2) HILO (HILO) Toyota Motor Corporation (TM) Alphabet Inc Class A (GOOGL)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Huu wimbo walikutana magwiji TIESTO POST MALONE DZEKO PEME"
X Link 2022-08-14T09:12Z 15.4K followers, [--] engagements
"This happens when your father is from Kenya And your Mom is from Tanzania Unapata sura ya Baba 😂😂 #KenyaVsTanzania"
X Link 2023-08-24T17:05Z [----] followers, [---] engagements
"@_Mosflow @Dream99chaser Hatari sana"
X Link 2023-08-27T05:28Z [----] followers, [---] engagements
"@AfricaFactsZone Only my Tanzania maybe Seychelles"
X Link 2023-08-27T19:30Z [----] followers, [----] engagements
"@PabloYende @Dream_onlineshp @usedpointTz @anuskills3 Yes"
X Link 2023-09-01T14:06Z [----] followers, [--] engagements
"@Dream_onlineshp @PabloYende @usedpointTz @anuskills3 Uhakika masta"
X Link 2023-09-01T14:06Z [----] followers, [--] engagements
"Volkswagen original tyre production process. #Machinery"
X Link 2023-09-07T15:40Z [----] followers, [---] engagements
"On Top Of Burj khalifa Jamaa yuko juu kabisa ya jengo refu zaidi Duniani"
X Link 2023-09-08T10:16Z [----] followers, [--] engagements
"Is this real Rotating building in Abu Dhabi UAE #Construction"
X Link 2023-09-08T10:58Z [----] followers, [----] engagements
"Pre Fabricated bridge Deck Ikisafirishwa. Aisee hii machine ni Monster #Machinery #Construction"
X Link 2023-09-08T15:30Z [----] followers, [---] engagements
"Unveiling Volvo EC500 #Machinery"
X Link 2023-09-08T16:23Z [----] followers, [--] engagements
"Indian Local Manufacture 💪💪💪 Forging process of axle spindle #Machinery"
X Link 2023-09-11T11:35Z [----] followers, [---] engagements
"Cranes Power lifting vehicles into unbelievable heights 💪 #Machinery"
X Link 2023-09-11T13:13Z [----] followers, [--] engagements
"Mkuu Hii hapana Nauru ilikua tajiri mpaka mwaka [----] tu na hiyo ni kutokana na uwepo wa Phosphate Mining. Na ukifuatilia Vizuri Baadhi ya Hoteli (The Mercure Hotel na Nauru House) na Ndege Boeing737 za shirika zimepigwa Mnada mwaka [----] Ili kulipa baadhi ya madeni katika raia [-----] ni asilimia [--] hawana Ajira na serikali imeajiri 95% ya walioajiriwa"
X Link 2023-09-12T08:36Z [----] followers, [--] engagements
"VOLVO EC380 loading #Macinery"
X Link 2023-09-12T10:20Z [----] followers, [--] engagements
"@trinhezron @Roma_Mkatoliki For sure"
X Link 2023-09-14T03:31Z [----] followers, [--] engagements
"Feed Pallet Machine for Poultry farm #Machinery"
X Link 2023-09-14T14:05Z [----] followers, [--] engagements
"Indian Local Manufacture making Slippers. Hivi viwanda Ukianzisha Tanzania kikwazo huwa ni OSHA TRA BRELLA na wengine kina nani tuwataje hapa 👇 #Machinery"
X Link 2023-09-14T14:13Z [----] followers, [---] engagements
"Hivi Kwanini Watanzania Wanapoteza Maisha Kwa Kuuwawa sana South Africa Nadhani Karibu Kila Wiki lazima Mtanzania Aanguke. Ninachoshangaa Wahusika wanajua kila siku Miili inapokelewa Airport na Hakuna Tamko lolote"
X Link 2023-09-17T09:37Z [----] followers, [--] engagements
"Good night to All Construction workers. 🌇"
X Link 2023-09-20T18:07Z [----] followers, [----] engagements
"Kwa Hili jengo pichani. Nani apewe Maua yake A. Architecture B. Engineer"
X Link 2023-09-20T18:40Z [----] followers, [---] engagements
"Good Morning to all Construction workers"
X Link 2023-09-21T05:24Z [----] followers, [---] engagements
"@sahouraxo Can you screenshot a post from any one of what you calling "MAINSTREAM MEDIA" who published this children who burned by Hamas"
X Link 2023-10-10T14:51Z [----] followers, [----] engagements
"@IsraelHamasWarr Lets reminds them footage of Saturday morning the time when Hamas was celebrating killing jews"
X Link 2023-10-11T08:49Z [----] followers, 13.5K engagements
"@KhaledBeydoun Its illegal in Palestine to carry Israel flag"
X Link 2023-10-12T16:03Z [----] followers, 13.2K engagements
"@bizzznSS @RealKendoza @ZMajdalawie @akillis21 Im from Tanzania who told you people with bed bugs was been in here"
X Link 2023-10-12T16:12Z [----] followers, [--] engagements
"@WaarrIsrael And people from Jihad religion act like Hamas are Angels they don't kill innocent people"
X Link 2023-10-13T12:47Z [----] followers, [----] engagements
"@jumanahamr @Timesofgaza Yes i will burn Hamas members"
X Link 2023-10-13T16:45Z [----] followers, [--] engagements
"Tom was the first guy losing his job because of artificial intelligence"
X Link 2023-10-17T07:02Z [----] followers, [---] engagements
"@EduTalkTz Marekani yenye Scientist wakutosha Maprofesa wakutosha na bado wanamwamini Mungu na Wanaamini Biblical. Ukija Tanzania mtu kasoma kitabu kimoja Elimu ya Kuunga unga hana research ya lugha yoyote ya biblia na anasema ni Hadithi na anataka kuaminiwa"
X Link 2023-10-28T20:42Z [----] followers, [---] engagements
"Wale Ma 2k's hii ilikua cheque ya bank hapo zamani 😁"
X Link 2023-10-30T11:51Z [----] followers, [---] engagements
"@IddiHashimu Kuna kipindi ali shine sana Wenger alikua anajua kupika vijana"
X Link 2023-10-30T19:16Z [----] followers, [--] engagements
"@iamFallacy @azamtvtz Mpenja mbaya sana mtu akifungwa 😂😂 hakuna lingine"
X Link 2023-10-31T12:49Z [----] followers, [---] engagements
"Watoto wa 2ks watajua huu ni waya wa sabufa 😁 Muhenga sema hii nini"
X Link 2023-11-04T12:08Z [----] followers, 36.2K engagements
"HISTORIA YA WIMBO USINIPITE MWOKOZI: Tenzi namba [--] Wimbo huu wa usinipite ni moja kati ya nyimbo za kikristo maarufu sana Duniani. Na wimbo huu unaimbwa Na madhehebu karibu yote. HISTORIA YA MWANDISHI Mwandishi wa wimbo huu anaitwa FRANCES JANE CROSBY na alizaliwa huko New York mwaka [----] na kufariki katika umri mwema wa miaka [--] mwaka [----]. Majuma kati ya sita hadi nane tu baada ya kuzaliwa Daktari asiye na ujuzi alimfunika macho na plasta ya kemikali kimakosa kitendo kilichomsababishia upofu wa kudumu. Upofu alioishi nao toka akiwa Na wiki [--] mpaka maisha yake yote hakuweza kuona tena Na"
X Link 2023-11-05T06:47Z [----] followers, [----] engagements
"Hivi simba na Yanga haiwezekani zikaachana na mambo ya siasa"
X Link 2023-11-05T12:50Z [----] followers, [---] engagements
"Mambo mengine yanauma sana Wanasiasa wanaiba fedha nyingi na wanatajwa na hawachukuliwi hatua yoyote Mama wa watu kwa muonekano tu inawezekana hana hata rungu ndani"
X Link 2023-11-06T11:48Z [----] followers, [---] engagements
"Nice view (PERU)"
X Link 2023-11-07T08:47Z [----] followers, [---] engagements
"Huku construction site huwa hatucomplicate mambo kabisa"
X Link 2023-11-07T17:48Z [----] followers, [---] engagements
"@morgan_cal96486 ✅ hapo nimekupata"
X Link 2023-11-08T09:25Z [----] followers, [--] engagements
"Kulikua na Redio kule home ilikua inaitwa Up-Lands FM Ngoma ya "TANZANIA" inapotoka nakumbuka kama @Roma_Mkatoliki alipiga show kule Nakumbuka fans walibana jamaa ilibidi arudie mpaka mara Tatu. Imagine Jamaa wamemjua kwa Mara ya Kwanza Na Alipopanda alichoimba kiliwagusa mpaka wakakaza arudi mara tatu. JUST IMAGINE"
X Link 2023-11-08T13:27Z [----] followers, [----] engagements
"@bbcswahili Wapigwe waanze kulalamika wanauliwa watoto wao na wake zao Yaani kakikundi kanaionya Israel"
X Link 2023-11-08T15:04Z [----] followers, [--] engagements
"Mambo ya Kuvuna sumu ya nyoka hapana wazee"
X Link 2023-11-10T16:12Z [----] followers, [--] engagements
"Moja ya video bora kabisa kwenye ulimwengu wa Mabasi"
X Link 2023-11-19T10:33Z [----] followers, [----] engagements
"@fadhilikangusi hii ipo iringa ipi maana iringa ni kubwa. Alafu kwa Wauza miti ni Mufindi Wahehe huwa hawataki ujuaji Ukileta ujuaji ndio lazima uweke historia kama Kleruu au Ally Hapi"
X Link 2023-11-19T16:53Z [----] followers, [--] engagements
"Lebron ana miaka [--] au 28"
X Link 2023-11-20T08:10Z [----] followers, [--] engagements
"Lebron anapass kijiti kwa AD. 😂"
X Link 2023-11-20T08:12Z [----] followers, [--] engagements
"@bwanawille Aisee ipo siku nitawatimbia hawa watu"
X Link 2023-11-20T13:08Z [----] followers, [--] engagements
"@siadevinci @MNgeleja73875 We jamaa mambo sio mepesi kiasi hicho Yaani Meli isindikizwe na Destroyer Frigates Cruiser alafu ipigwe na vikundi vya wahuni hiyo haiji tokea"
X Link 2023-11-20T17:55Z [----] followers, [---] engagements
"Video ya kwanza YouTube"
X Link 2023-11-21T04:54Z [----] followers, [--] engagements
"MANCHESTER UNITED MANAGERS SINCE [----] [--]. Sir Alex Ferguson [--]. David Moyes [--]. Louis Van Gaal [--]. Jose Mourinho [--]. Ole [--]. Rangnick [--]. Erik Ten Hag TOTAL Premier League trophy =20 ARSENAL MANAGERS SINCE [----] 1.Gerge Graham 2.Bruce Rioch 3.Arsene Wenger 4.Unai Emery 5.Arterta TOTAL Premier League trophy = [--] CHELSEA MANAGERS SINCE [----] 1.Bobby Campbell 2.Jan Borterfield 3.David Webb 4.Glenn Hoddle 5.Ruud Gullit 6.Gianluca Vialli 7.Ray Wilkins 8.Claudio Ranieri 9.Jose Mourinho 10.Avran Grant 11.Felip Scolari 12.Ray Wilkins 13.Guus Hidink 14.Carlos Ancelotti 15.Andrew Villas Boas 16.Robert Di Matteo"
X Link 2023-11-23T05:17Z [----] followers, [---] engagements
"November photo Dump yetu masikini. Let's have it"
X Link 2023-11-23T19:02Z [----] followers, [---] engagements
"Shambani hapo unaambiwa tukuchinjie kimoja 😂"
X Link 2023-11-24T04:29Z [----] followers, [----] engagements
"@mwijaofficial Hawajawahi lalamika hawa ni mazingaombwe ya utopolo kwanza mliwasha moto wa magunzi"
X Link 2023-11-24T20:38Z [----] followers, [--] engagements
"Wananchi tupate location ya Mnara huko Algeria 😂😂"
X Link 2023-11-24T21:04Z [----] followers, [--] engagements
"@Roma_Mkatoliki Mimi nasema hivi dunia hii hakuwahi tokea mchazaji kama GAUCHO"
X Link 2023-11-26T19:14Z [----] followers, [----] engagements
"@siadevinci Soon kuna kitu watakupata na utupe update hv hv"
X Link 2023-11-28T18:28Z [----] followers, [---] engagements
"@vennatz1 Ishakata aisee sijui kilitokea nn tumetumia service road mpaka korogwe"
X Link 2023-11-28T18:48Z [----] followers, [--] engagements
"@ItsYusufu Duh haya mambo kila mtu anapenda kuyajua"
X Link 2023-11-28T19:35Z [----] followers, [--] engagements
"Huu mtego nao umeenda shule akili tu mtu wangu 😂"
X Link 2023-11-29T10:29Z [----] followers, [----] engagements
"Hii ni ghana jamaa anatamba zake Majini na Nchi kavu"
X Link 2023-11-29T13:13Z [----] followers, [---] engagements
"WAHINDI 🙌🙌 Hapa mtaani jamaa wanaunda Chassis yao fresh mpaka Kitipa kinatoka Local Manufacture imeenda shule"
X Link 2023-12-01T14:03Z [----] followers, [--] engagements
"@AfricaFactsZone Nyumbani kwetu Tanzania ♥"
X Link 2023-12-02T16:51Z [----] followers, [----] engagements
"@raisz @AfricaFactsZone West Africa those are far ahead of us Sub Saharan in every things"
X Link 2023-12-02T17:14Z [----] followers, [---] engagements
"@sayi3505 @Docktus_ @AfricaFactsZone We have this Bullet Train locomotive in the Hyundai Rotem industry. Tanzania Railways Authority order more than [--] of this Electric Multiple Unit - EMUs"
X Link 2023-12-02T17:24Z [----] followers, [---] engagements
"@PrandoDjprando Changamoto gani mliyompa Ahly nyinyi 😂😂 hebu angalia stats"
X Link 2023-12-02T18:59Z [----] followers, [--] engagements
"@YahyaIslam9 @babalao__ Wajinga hawa wanajipa moyo 😂"
X Link 2023-12-02T19:40Z [----] followers, [---] engagements
"SIKU KAMA YA LEO Mwaka [----] kwa mara ya Kwanza Daktari Christiaan Barnard kutoka nchini Afrika Kusini aliandika historia ya Kuhamisha Moyo wa Binadamu kwenda kwa mwingine (human to human heart transplant) hii ilikuwa haijawahi tokea duniani. Tukio hili lilifanyika Mjini Cape Town katika hospital ya Groote Schuur ambapo alishirikiana na Madaktari wengine [--] wakitumia masaa [--]. Moyo huo ulihamishwa kutoka kwa Binti wa miaka [--] aliyeitwa Denise Darvall ambaye alikufa kwa ajali mapema asubuhi Kisha ukawekwa kwa baba yake Louis Washkansky mwenye miaka [--] ambaye alikuwa hapo hapo hospitali akiwa"
X Link 2023-12-03T06:02Z [----] followers, [---] engagements
"ADVENTUS Kwa Wakatoliki ulimwengu Mzima. Jumapili ya Leo (Jumapili ya kwanza ya Maajilio) ADVENTUS hapo kanisani kwenu lazima tuliandaliwa mishumaa minne Mishumaa mitatu ni ya rangi ya Urujuani (Purple Candle) na mmoja una rangi ya Rose au Pink. Tukio la mishumaa hii huitwa "Advent wreath" mishumaa hii huwakilisha upitaji wa majuma manne ya kipindi cha Maajilio (Advent) hivyo kila jumapili huwashwa mshumaa mmoja. Mishumaa hii minne ni ishara ya Matumaini Amani Furaha na Upendo lakini maana yake nyingine ni hivi Mshumaa ambao huwashwa siku ya kwenza unaitwa HOPE CANDLE yaani MATUMAINI mshumaa"
X Link 2023-12-03T06:45Z [----] followers, [----] engagements
"NDUGU ZANGU WATANZANIA MABAHARIA WATAFUTAJI PAMOJA NA WANAHARAKATI. NDUGU ZANGU.HUYU NI NDUGU YETU MTANZANIA MWEZETU ANAITWA SAIDI BOUNCER SAIDI BOUNCER YUPO JELA Nchini MOZAMBIQUE ALIFUNGWA MIAKA [--]. SASA BASI KIFUNGO CHAKE KILISHAKWISHA MUDA MREFU SANA.KWA SASA ANAKWENDA MIAKA [--] JELA MOZAMBIQUE SAIDI BOUNCER WALISHIKWA KTK MACHAFUKO YA MOZAMBIQUE YALE YA BOKO HARAM NDUGU ZETU WA KITANZANIA WENGI WALISHIKWA KIPINDI HICHO BILA HATIA NILIONGEA NA SAIDI YAPATA MWAKA MOJA KAMA NA NUSU JUU YA SWALA HILI ILI NIWEZE KUWASAIDIA KUTOKANA WALIKUWA WAMESHAMALIZA KIFUNGU CHA MIAKA [--] Walitaka nipeleke"
X Link 2023-12-03T07:05Z [----] followers, [---] engagements
"BRT in Dar Es Salaam [--] Stations [--] Terminal"
X Link 2023-12-03T08:00Z [----] followers, [---] engagements
"Habari za leo. Nina mwanangu anaitwa Dorcas Bryson (04) mwaka jana alipata tatizo la utumbo mpana kutoka nje wakati wa kujisaidia. Ulikua unatoka kidogo na baadae kurudi. Lakini kadri alivyoendelea kukua hali imeendelea kubadilika. Mwezi April mwaka huu sehemu hiyo ilitoka kwa kiasi kikubwa na haikurudi ndani. Imeendelea kuwa nje na kila anapojisaidia anapata maumivu makali sana. Mwezi wa July sehemu hiyo ilivimba na kutoa damu na usaha. Vipimo vilionesha ana tatizo lijulikanalo kama "rectal prolapse" ambalo huwapata zaidi watoto na wazee. Tumehangaika nae sana bila mafanikio. Baadae tukapewa"
X Link 2023-12-03T08:18Z [----] followers, [---] engagements
"Siku kama ya leo mwaka [----] Alizaliwa David Villa "El Guaje" Mwamba kabisa huyu kutoka Uhispania Ni mfungaji bora wa wakati wote katika timu ya Uhispania Unakumbuka tukio gani ukimuona"
X Link 2023-12-03T08:47Z [----] followers, [--] engagements
"@NgomaNiaje Hivi sera ya Matibabu ya mtoto wa chini ya miaka mitano bure iliishia wapi au ina mipaka"
X Link 2023-12-03T11:27Z [----] followers, [----] engagements
"Dorcas aliandikiwa kufanyiwa upasuaji tangu November [--] lakini kutokana na kukosa fedha amekaa hospitalini muda wote bila matumaini. Leo mama yake anasema wameruhusiwa kuondoka hadi watakapopata fedha ndipo warudi kwa ajili ya upasuaji. Hofu ya mama ni kuwa hata wakiondoka hawajui ni wapi watapata msaada na huenda mwanae akamfia. Kwa zaidi ya mwaka mmoja mama yake Dorcas amehangaika kutafuta msaada wa matibabu ya mwanae bila mafanikio. Amepita makanisani na misikitini lakini ameishia kupewa pesa ya kula tu. Dorcas anahitaji kufanyiwa upasuaji wa dharura (rectopexy) ili kurudisha ndani sehemu"
X Link 2023-12-03T11:57Z [----] followers, [----] engagements
"@vennatz1 Ohoooo"
X Link 2023-12-03T12:12Z [----] followers, [--] engagements
"@AbroadTanzania Kaka ikitoa yupo hai utaweka wapi sura yako"
X Link 2023-12-03T20:08Z [----] followers, [----] engagements
"Nilikua naijua Manyara ila Majina Hanang na Kateshi nimeyajua baada ya kufanya kazi huko mwaka [----] Toka Mdogo namiliki Atlasi Mbili nyumbani nilipoenda huko pia walikua hawaijui sehemu niliyotokea Yaani nilipowaambia wilaya ya Mufindi wengi hawakuijua Nilipowaambia mji wa Mafinga pia hawakuujua so haya mambo ya kuto kujua mahali wala sio ya ajabu"
X Link 2023-12-04T03:57Z [----] followers, [----] engagements
"Nilikua naijua Manyara ila Majina Hanang na Kateshi nimeyajua baada ya kufanya kazi huko mwaka [----] Toka Mdogo namiliki Atlasi Mbili nyumbani nilipoenda huko pia walikua hawaijui sehemu niliyotokea Yaani nilipowaambia wilaya ya Mufindi wengi hawakuijua Nilipowaambia mji wa Mafinga pia hawakuujua so haya mambo ya kuto kujua mahali wala sio ya ajabu"
X Link 2023-12-04T04:00Z [----] followers, [---] engagements
"NGOJA NIFUPISHE JIBU LAKO Kuna milima miwili mirefu Inayopatikana Manyara Mlima Hanang na Mlima Oldean (ManyaraArusha) Kuujua mlima Hanang sio Kuijua Hanang as a Place Au wewe unapajua Oldean sababu kuna Mlima Tena Isitoshe Tanzania hii kuna wimbo unataja milima yote na mbuga Tanzania na watoto wanaimba miaka yote lakini hizo sehemu hawazijui wanajua ni nyimbo tu"
X Link 2023-12-04T04:14Z [----] followers, [---] engagements
"@IamMsafiri @Karuhawe Ukisoma vizuri nimeitaja hapo isitoshe watu wengi wa Upande huo hawana idea kabisa na Sehemu nyingine Tanzania Yaani wengi wao hawajui hata Njombe ilijitenga na Iringa Ukimuuliza kuhusu ziwa Rungwe anajua"
X Link 2023-12-04T04:38Z [----] followers, [---] engagements
"@Dom_equinox @SwedyJr2 @Karuhawe Kwani hujatajiwa mzee hizo pande zenu sio kila mtu anazijua hata nyinyi sio kwamba mnajua pande hizi"
X Link 2023-12-04T04:40Z [----] followers, [--] engagements
"Mimi Nafanya Civil Hiyo Manyara yote naijua Singida Tabora Arusha hizo sehemu nimetembea sana. Najua hakuna watu hawana idea na TANZANIA hii kama watu wa Huko Kuna sehemu zinaitwa Mang'ora Matongo Mbuga Nyekundu mzee baba hao hawajui lolote kuhusu mbeya sasa kwanini watu wa mbeya wajue mambo ya Manyara Sema mi huwa namaindi sana watu wa Huko kuona kwao kunajulikana"
X Link 2023-12-04T04:46Z [----] followers, [--] engagements
"Mtu haijui wilaya ya MPIMBWE wala haijui wilaya ya NSIMBO alafu anashangaa mwenzake haijui HANANG ujue kuna pande wanatokeaga watu wa ajabu sana 😂 mnaonaga kwenu anakujua kila mtu"
X Link 2023-12-04T05:19Z [----] followers, [----] engagements
"@mangileweri @funjojr Je watu wote wa HANANG wanazijua hizo wilaya"
X Link 2023-12-04T05:20Z [----] followers, [--] engagements
"@Wana4life @BwanaShilingi Hizo tabia mnazofanya gizani usiku na wanaume wenzenu matokeo yake mnazifichua hadharani kama hivi Sio kila kitu ukifanya basi uje useme hapa au sio kila uchafu unaofanya wewe usiku basi kila mtu anafanya"
X Link 2023-12-04T05:23Z [----] followers, [--] engagements
"@mangileweri @funjojr Geography ya TANZANIA inafundisha kilimo cha Chai Sri Lanka 😂"
X Link 2023-12-04T05:29Z [----] followers, [--] engagements
"Ford F-450 Platinum 🔥🔥🔥"
X Link 2023-12-05T09:23Z [----] followers, [---] engagements
"Indian Local Manufacture wakiunda Sprocket Gear Kuna namna hivi vifaa tuvipate"
X Link 2023-12-06T06:35Z [----] followers, [----] engagements
"@nuru_yumyum Dah yaani mawaziri ambao huwa wanajibu humu wapo wawili tu"
X Link 2023-12-06T08:37Z [----] followers, [---] engagements
"Nini Tofauti ya Hizi Road Sign mbili ambazo zote huonyesha Kivuko cha watembea kwa miguu"
X Link 2023-12-07T11:07Z [----] followers, 125.9K engagements
"Monrovia Liberia (Elwa Junction)"
X Link 2023-12-07T11:47Z [----] followers, [---] engagements
"Anayejiita nabii Lovy Longomba kutoka California marekani (mwenye rasta) mwenye asili ya Congo akiwa ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama Dar es Salaam nabii huyu ameandaa mkesha mkubwa akishirikiana na anayejiita nabii clear Malisa (mwenye shati jeupe) Nabii Lovy Longomba alikuwa mwanamziki wa kundi la Longombas yeye pamoja na kaka yake aliyekuwa anaitwa Christian Longomba. Ni watoto wa Lovy Longomba mwanamziki kutoka Congo ambaye ni kaka yake Awilo Longomba. Mwanzoni mwa miaka [----] wawili hawa walitikisa soko la mziki wa Kenya na hata Afrika Mashariki. Hawa ndio walioimba wimbo wa Funguo."
X Link 2023-12-08T06:15Z [----] followers, [----] engagements
"@CattivaL @andreambonye1 @beingwalaga @CharleKillian Jamaa wangu kama kitu hukijui si bora ukae kimya yanini kuanza kuandika matusi ina maana gani Kulikua na ulazima"
X Link 2023-12-08T15:28Z [----] followers, [--] engagements
"Kumbe Misomisondo alikua na Jamaa zake mahali 😂😂 jamaa popote wanakichafua"
X Link 2023-12-08T19:44Z [----] followers, 10.5K engagements
"Luwinzo nilianza kupanda zamani sana Na nilikua mnazi sana enzi hizo Hii ilikua [----] natoka skul Moro 😁"
X Link 2023-12-09T06:21Z [----] followers, [---] engagements
"HAPPY INDEPENDENCE DAY MY MOTHERLAND TANGANYIKA. Kabla ya Kuitwa Tanzania huko nyuma Tanzania ilipata kuwa na majina mengi sana Ambayo watu wengi hawakuyajua. Mwaka [----] - [----] iliitwa Tanganyika Territory hili Jina Tanganyika Lilitokana na Eneo hili kuwa na Ziwa kubwa lililoitwa hivyo Wanakijiji wengi wa Ujiji (Eneo la ziwa) hawakujua maana ya Jina hill "Tanganika" hivyo mwanahistoria HM Stanley mwaka [----] aliakosa maana ya neno Tanganika na Kusema inawezekana watu hawa wanamaanisha Ziwa kubwa ".meant something like the great lake spreading out like a plain". Hata hivyo Utawala wa Wakoloni"
X Link 2023-12-09T06:32Z [----] followers, [--] engagements
"@Wodroff_Newtons @IamGibrim @MwauraRobert2 @Jizzlewantandu Nimemuelewa nini Nimekwambia hakuna Pavement kwenye barabara ambayo material yake ni Kokoto Kama ipo ilete"
X Link 2023-12-09T08:17Z [----] followers, [---] engagements
"BENDERA YA NCHI YETU ENZI TUNAITWA DEUTSCH-OSTAFRICA - Hii ndio ilikuwa Bendera yetu Na Katikati ya bendera ni Ngao ya Jamii (Coat of arms) ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika (Ujerumani ya Afrika Mashariki) miaka ya [----] mpaka [----]. - Wakati huo nchi ilikuwa na Eneo la Mita Square [------] Km ndani yake kuna Burundi na Rwanda na Eneo la Nchi ya Msumbiji lililoitwa Kionga Triangle. - Yaani Kiufupi eneo la Nchi yetu lilikuwa kubwa mara tatu ya Eneo la Ujerumani Inayotutawala. - Katika Kipindi hicho Nchi yetu Ilibadili Mji mkuu mara tatu Ulianza Bagamoyo (18851890) Ikaja Dar es Salaam"
X Link 2023-12-09T08:27Z [----] followers, [----] engagements
"Hii ndio ilikuwa Ngao ya Jamii ya Nchi yetu enzi tunaitwa Deutsch-Ostafrika miaka ya [----] mpaka [----]. Wakati huo nchi ilikuwa na [------] Km ndani yake kuna Burundi na Rwanda Yaani eneo letu lilikuwa mara tatu ya Eneo la Ujerumani Iliyotutawala. Hapo Mji wetu Mkuu ulikuwa ni Bagamoyo 😃😃 Dar ilikuwa Bush tu Masta 😃 mwaka [----] mji wetu mkuu ukabadilishwa kwenda Dsm mwaka [----] Tabora Ikawa mji mkuu wetu (Naongelea Toronto). Sema Hii Ngao Iko Kigaidi sana Yaani Kimasta Sana"
X Link 2023-12-09T10:12Z [----] followers, [---] engagements
"@Eng_ZSamsoni @MwauraRobert2 @Jizzlewantandu Try to explain how"
X Link 2023-12-09T10:54Z [----] followers, [--] engagements
"Tamthilia Ya China Inayorekodiwa Tanzania Mchina Kapenda Africa 😁"
X Link 2023-12-09T14:06Z [----] followers, [---] engagements
"MJENZI WA PYRAMID OF GIZA NI MWEUPE (MZUNGU) AU MWEUSI (MUAFRIKA) + Kabla ya kuanza kujadili jambo hili ni lazima tujue tunajadili kitengo/Uga upi wa makundi ya Wajenzi + Katika Ujenzi kuna makundi kadhaa pale hupangwa kulingana na Uzoefu na Elimu mtu aliyonayo lakini wote hubeba jina Mona "Wajenzi" + Makundi katika Ujenzi huwa kuna kuwa na 1.KEY PERSONNEL / KEY STAFFS hawa huwa ni wale wenye Taaluma katika Mradi Husika (Engineers Technicians Surveyor Architecture nk) Pia kuna kundi la [--]. LABOR'S (Skilled Labours and Unskilled Labor's) hawa huwa wale hasa wenye nguvu na Uzoefu Yaani watendaji"
X Link 2023-12-10T07:27Z [----] followers, [---] engagements
"@keshoyakoOG 🙏🙏 ahsante kaka"
X Link 2023-12-10T08:20Z [----] followers, [--] engagements
"@Nevada_255 @__abdulazack @andreambonye1 @beingwalaga @CharleKillian @ElimikaWikiendi @Noedson_tz Sikuizi mambo ni mengi kaka"
X Link 2023-12-10T08:28Z [----] followers, [--] engagements
"@keshoyakoOG Yes Lakini nadhani vile vitabu vitatu vya Nyerere vingetumika mashuleni"
X Link 2023-12-10T08:48Z [----] followers, [--] engagements
"BUS LA MKOMBE LUXURY BUS LIMEPATA AJALI MAENEO YA ZAMBIA BUKOMBE LILIKUWA LINATOKA SOUTH AFRICA KUELEKEA TANZANIA"
X Link 2023-12-11T08:50Z [----] followers, [---] engagements
"Scenery kama hizi Tanzania unazipata Nyanda za juu kusini tu (SOUTHERN HIGHLANDS ZONE)"
X Link 2023-12-11T09:22Z [----] followers, [---] engagements
"I like this 💪"
X Link 2023-12-11T09:32Z [----] followers, [---] engagements
"TURUDIE KUMSOMA OSCAR BAUMANN - Moja Ya Watu Muhimu katika Historia Ya Tanganyika na Zanzibar. - Jamaa alikua ni Mzaliwa wa Taifa La Austria Na Alikua Mjuzi katika Taaluma mbili tofauti Kwanza Alisoma Cartography elimu ambayo Mtu hubobea Katika Kusoma Ramani na Kutafsiri Ramani ama Kuchora Ramani Mtu ambaye anakua amesomea Mambo haya huitwa "cartographer" pia Jamaa Alisoma mambo ya Ethnography Hili ni somo la Tafiti za Tamaduni tofauti Ama utofauti wa Mienendo ya Watu Binafsi wa Eneo fulani na Jingine Hapa mtu hutafiti mpaka Matukio ya Kitamaduni ili Kulinganisha ama Kutofautisha Mtu"
X Link 2023-12-11T17:15Z [----] followers, [---] engagements
"@CharlieBihemo Huyo jamaa na watu aina yake wamechagua kuishi hivyo kwanza wanatafuta engagement kwa kuforce sana alafu mkijaa ndio wanawapiga sasa"
X Link 2023-12-11T20:20Z [----] followers, [---] engagements
"Mambo ya Elon na Cybertruck 💪"
X Link 2023-12-12T08:11Z [----] followers, [---] engagements
"Hii kitu ilikua inaimba sana 😂😂 kila saa lina "Tone" yake"
X Link 2023-12-12T11:02Z [----] followers, [----] engagements
"Mzee Local Manufacture wanatengeneza Njiti za viberiti simple sana hiki kiwanda Mbongo akianzisha kuna idara ni tatizo sitaki kuitaja"
X Link 2023-12-12T11:30Z [----] followers, [----] engagements
"Trending in Tanzania 💪"
X Link 2023-12-12T14:02Z [----] followers, [----] engagements
"Hii Brand Ilikua kubwa sana KASUKU akaja kuishusha ile Brand Siamini kama ni ya Tanzania"
X Link 2023-12-12T15:01Z [----] followers, [---] engagements
"@Elinisaidie_TZ Kwanini kilifungwa"
X Link 2023-12-12T15:07Z [----] followers, [--] engagements
"@iam_Mtalicy Huwezi fananisha na kununua Automated Manufacturing Machine complete za Uzalishaji unataka kunambia viwanda vya viberita Tanzania ni sawa na hiki yaani covered area"
X Link 2023-12-12T16:35Z [----] followers, [--] engagements
"@unjuwathiongo Kwahiyo kwa content tu unaangalia watu walisoma nini Aisee ni shida sana Hiyo science uliyosoma O level Unai practice Upo kwenye Field ya Science Maana hizo content zako kwenye TL inaonekana ulisoma bookkeeping Hata kama ulisoma science inaonekana huijui"
X Link 2023-12-13T04:56Z [----] followers, [--] engagements
"@Karuhawe Ndio ni simple Linganisha na viwanda vya viberiti vya Tanzania"
X Link 2023-12-13T08:38Z [----] followers, [--] engagements
"@IAMartin_ @Nnauye_Nape Mama anachota maji ama emulsion bitumen Aisee Viongozi wetu ni tatizo"
X Link 2023-12-14T14:32Z [----] followers, [----] engagements
"Hakuna waziri anayeweza kusema yeye ni mtaalamu wa satellite internet constellation hivyo akatupa sababu kwanini STARLINK bado haipatikani Tanzania. Mpaka sasa nchi ambazo zime approve internet ya Starlink ni KENYA NIGERIA ZAMBIA MALAWI BENIN MOZAMBIQUE RWANDA. Hapa siwezi kubali kwamba kuna waziri wa nchi hii ni mtaalamu wa mambo ya megaconstellations kuliko Kenya na Nigeria. Ninachoweza kukubali ni kuwa Kuna watu wanafaidika na huu mfumo mbovu wa Internet provider hasa hii mitandao Kuna watu wana commission zao humo"
X Link 2023-12-14T16:23Z [----] followers, [---] engagements
"@HopeTonito For sure yaani hii mitandao ni ya hovyo na hatuwezi kusema kitu"
X Link 2023-12-14T18:10Z [----] followers, [--] engagements
"@HopeTonito Mzee baba hawa viongozi tulio nao ni viongozi wa Kurithi na hizo kura wanazopewa nyingi ni za wizi au wanapewa na wazazi ambao wanachagua mtu kulingana na ukoo matokeo yake ndio wanatujibu utumbo"
X Link 2023-12-14T19:25Z [----] followers, [--] engagements
"Tanzania siasa inazuia mpaka mambo ya kitaalamu Duniani tuko nyuma kila kitu NALA PAYPAL STARLINK vyote hivi havipatikani na tunaona ni sawa tu"
X Link 2023-12-15T04:36Z [----] followers, [--] engagements
"Yaani kiufupi sisi Watanzania hatuna cha kuwafanya viongozi wetu wameshatujengea mazingira ya kuwaogopa Sema kizazi chetu ambacho ndio wazee wa baadae tutakua tumevurugwa sana hao watoto wao wanaowarithisha hawatatuweza kabisa na watajuta"
X Link 2023-12-15T04:42Z [----] followers, [---] engagements
"Indian local Manufacture making Electric Motor 💪💪"
X Link 2023-12-15T07:38Z [----] followers, 17.6K engagements
"@andy_jd3 Noma sana mkuu sijui wana commission kwenye bidhaa kutoka nje"
X Link 2023-12-16T15:59Z [----] followers, [---] engagements
"Indian Local Manufacture making Electric Bulb 💪💪"
X Link 2023-12-16T19:00Z [----] followers, [----] engagements
"@jeremykilato Sisi Palestine hatuna undugu nao hawa ni kuwafyeka wakionekana"
X Link 2023-12-17T17:38Z [----] followers, [--] engagements
"@jaliluzaid Iko upande wako ndio maana umeiita hoja hakuna hoja hapo"
X Link 2023-12-17T19:23Z [----] followers, [----] engagements
"Unayaona hayo maandishi kwenye label ya hii video and thats why we call them local Manufacture Hii Technology kwa USA ilikua ikitumika miaka ya [----] lakini kwa Tanzania hatuna hata uwezo wa kufanya hivi Hapa hawa jamaa wanatengeneza Industrial rollers. 💪💪💪"
X Link 2023-12-18T09:25Z [----] followers, [---] engagements
"Jamaa wanatengeneza kamba za Plastic (Plastic rope) local Manufacture 💪"
X Link 2023-12-18T09:52Z [----] followers, [---] engagements
"Wahindi wapewe Maua yao Huyu dogo kaenda na taa ya gari imevunjika Jamaa wamemfanyia restoration dakika kadhaa tu Hawa Local Manufacture wametisha. Then Gharama yake ni $2 tu"
X Link 2023-12-18T10:10Z [----] followers, 12K engagements
"Jamaa anachukua vyuma vilivyochakaa Nondo zilizochakaa alafu anazalisha Hex Nuts & Bolts 💪💪💪 Local Manufacture wanatisha sana huko Asia"
X Link 2023-12-19T08:01Z [----] followers, [---] engagements
"@Abdoulbora1 Serikali yetu wanaenda dubai"
X Link 2023-12-19T20:29Z [----] followers, [--] engagements
"Excavator lina matumizi mengi sana haliwezi kukosa kazi 😂"
X Link 2023-12-20T10:31Z [----] followers, [----] engagements
"@mwigulunchemba1 Lakini haya mambo ipo siku yatafika mwisho"
X Link 2023-12-20T17:48Z [----] followers, [---] engagements
"Metal Works #Manufacturing"
X Link 2023-12-21T09:10Z [----] followers, [---] engagements
"@kidume266 @eastafricatv Nani kasema ameshindwa maisha"
X Link 2023-12-21T09:51Z [--] followers, [--] engagements
"@UmeingiaTarime @ayubu_madenge @nizzoforlove Azam Mmiliki ni Azam Grops 100% (Backresa) haya niambie mmiliki wa Simba au Yanga"
X Link 2023-12-23T09:54Z [----] followers, [--] engagements
"WaChina walivyotua Dar kutengeneza reli ya Tanzania/Zambia (TAZARA)"
X Link 2023-12-25T14:45Z [----] followers, [----] engagements
"Usafiri wa Treni chini ya ardhi huwa na abiria wengi sana during rush hours kule mjini Tokyo Japan Hivyo mamlaka iliajiri watu wanaojulikana kama OSHIYA "the pushers" hawa kazi yao ni kusukuma watu ndani ya treni ili mlango ugunge. Utaratibu huu ulianza mwaka [----] na kwa sasa wamepewa jina maalumu "PASSENGER ARRANGEMENTS STAFF""
X Link 2023-12-26T09:46Z [----] followers, [--] engagements
"@KondooWabwana Yes Yes"
X Link 2023-12-26T12:52Z [--] followers, [--] engagements
"@edoEvans88 Mkuu uchindile ni mbali sana kijiji cha kwanza kutoka hapo ni Kitasengwa - Lugolofu - Site/Township - Idodi - Lugala - Uchindile 😂😂 mbali sana"
X Link 2023-12-26T14:27Z [----] followers, [--] engagements
"Kwa upande wako Ndani ya Tanzania eneo gani katika barabara kubwa "Trunk Road" unaweza kulipa cheo cha HIGH ACCIDENT PRONE AREA yaani hujawahi kupita ukakosa ajali imetokea Au Gari imeharibika ME: KITONGA"
X Link 2023-12-27T13:13Z [--] followers, [--] engagements
"@ayubu_madenge Bora angekua raia wa Burundi Raia wa Marekani huwa hana cha kufanywa Yaani wataishia maneno tu unakumbuka yule raia alishika simba kwa mkono Alifanywa chochote"
X Link 2023-12-27T13:54Z [----] followers, [---] engagements
"@chapo255 Sio Bongo duniani nchi asilimia [--] zinajifunza mambo mengi US na Canada kwenye ishu nzima ya Entertainment so sio Tz tu"
X Link 2023-12-27T20:40Z [--] followers, [---] engagements
"@Africanboy66 @MarekaMalili Uislamu tena 😂😂"
X Link 2023-12-27T20:56Z [----] followers, [--] engagements
"@MahengeMajor Hiyo tech ipo kwenye mashamba huko Mufindi hawa wajinga kweli wavivu 😂"
X Link 2023-12-28T03:30Z [--] followers, [--] engagements
"@JamiiForums Sasa si mtaje majina yao nyoko nyie watu wakikutwa na bangi mnataja majina watu wakikamatwa na nyama ya swala mnawaweka hadharani hapo kwenye madawa shida nn"
X Link 2023-12-28T03:35Z [--] followers, [----] engagements
"@Consolataally Yaani siri za Roman Catholic Moja ya Taasisi zilizopangiliwa Kiuongozi duniani siri zake azijue jamaa yuko Buza na Smartphone 😂😂"
X Link 2023-12-29T12:48Z [--] followers, [--] engagements
"TUMSAIDIE JAMAA Hi I'm zweli from Mpumalanga kwandebele I got your number from another guy at Pretoria Wegem originally he is from Tanzania. I'm looking for my father Cassian Baltazar he go long time ago and look for job he never come back . I'm his Son we lost communication around [----] .he is from Tanzania I don't know anyone else who can help me to find him I have his birth certificate and his pictures.The guy who gave me your number told me that you are the chairman of Tanzanian people around Pretoria. .HUYU MWENETU WETU ANAMTAFUTA BABA YAKE HUYU MTOTO WETU HAJUI KISWAHILI.NDIO MAANA"
X Link 2023-12-29T13:15Z [--] followers, [----] engagements
"Kaka Pole sana Na Kazi Hizi haziitwi Satellites Satellite kurusha sio rahisi kama kurusha mikono unavyotembea. Hizo zinaitwa "Balloon-borne telescope" ambazo hurushwa ndani ya Balloon ili kupata picha au hali ya hewa kwa matokeo yenye Uhalisia "Angular resolution" hii hurushwa kwa bei ndogo kuliko space Telescope Pia hutumika zaidi kugundua Bands za Masafa marefu zilizozuiw na Anga hewa. Oparesheni ya kwanza ya kurusha Balloon telescope ilifanyika mwaka [----] Mission iliitwa StratoscopeI nina uhakika ulikua haujazaliwa Oparesheni ya mwisho imefanyika mwaka [----] ikaitwa SuperBIT ambayo ndio"
X Link 2023-12-29T18:03Z [----] followers, [----] engagements
"@TillertheWorld @Exquisite_255 Brother bora asinijibu 😂😂 haya mambo nimefuatilia zamani kuliko yeye nikaona najaza ubongo vitu visivyo na maana"
X Link 2023-12-29T18:14Z [----] followers, [---] engagements
"Aloooooo 😂😂😂 Kumbe picha hujui hata zimepigwa Mwaka Gani Unayoiona ya Zamani ndio mpya Unayoiona mpya kumbe ndio ya zamani. Jamaa kazi yako ngumu sana humu ila Ingekua Facebook kazi ingekua rahisi sana 😂 Nini kimetokea Kwa Justin Bieber mbona Kawa kama Lesbian wa miaka 30+ kabisa Or may be ni Mwanamke anaejifanya mwanaume. She's a Trans https://t.co/aCqZOE56DW Nini kimetokea Kwa Justin Bieber mbona Kawa kama Lesbian wa miaka 30+ kabisa Or may be ni Mwanamke anaejifanya mwanaume. She's a Trans https://t.co/aCqZOE56DW"
X Link 2023-12-29T18:20Z [----] followers, [---] engagements
"@audaxharrison80 @Exquisite_255 Afu kuna wana utaskia "Ahsante kwa kutufungua" 😂"
X Link 2023-12-29T19:23Z [--] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Jamaa hajibugi swali hata moja yeye mwenyewe anacopy na kupaste"
X Link 2023-12-29T19:29Z [----] followers, [---] engagements
""Habari Chief. Sisi ni abiria wa basi la Kilimanjaro lenye namba T [---] DGQ. Tumetoka Moshi saa [--] asubuhi kuja Dar lakini mwendo wa gari ukatupa wasiwasi kwani ni kama gear zilikua zinakwama. Tumeenda kwa kujikokota mpaka kufika hotelini Korogwe ndipo dereva akakiri kuwa gari imepata hitilafu na tusubiri fundi aje kutengeneza. Fundi amefika na ametumia zaidi ya masaa mawili kutengeneza tukimsubiri. Lakini baada ya kuingia kwenye gari bado ilienda kwa kujikokota. Tukamwambia dereva kama hana uhakika na gari lake twende na fundi ili ikisumbua njiani tupate msaada. Akasema gharama za kutembea na"
X Link 2023-12-30T06:32Z [----] followers, [---] engagements
"Pakistan local Manufacture waki recycle Makopo yavinywaji kuwa Light Water Pipes 💪💪"
X Link 2023-12-30T08:03Z [--] followers, 16K engagements
"How Plastic chairs Are Made 💪"
X Link 2023-12-30T14:26Z [--] followers, [---] engagements
"Nchi ya Nauru ina eneo la KM [--] tu hivyo inaifanya kuwa moja ya nchi tatu zenye eneo dogo duniani ikitanguliwa na Vatican kisha Monaco. Kwa eneo hilo ndio inakuwa Jamhuri Ndogo zaidi duniani Pia Nauru Ina idadi ya watu [-----] tu hivyo inakuwa moja ya nchi zenye watu wachache duniani ikitanguliwa na Vatican. Watu wa Nauru Husifika Kwa Unene Yaani asilimia [--] ya watu wa Nchi hiyo ni Wanene sana Hii inafanya kuwa moja ya nchi zilizoathiriwa na Kisukari sana kwakuwa asilimia [--] ya watu wa Nauru wana Kisukari na Afya mbovu. Unaambiwa mpaka mwaka [----] nauru kulikuwa hakuna Kodi Elimu ilikuwa bure"
X Link 2023-12-31T09:31Z 13.7K followers, [--] engagements
"@VictoryTheCham1 jibu hili hapa"
X Link 2023-12-31T09:47Z [--] followers, [--] engagements
"SIKU KAMA YA LEO MWAKA [----] Siku ya Mwisho ya Mwaka huko uingereza mwaka [----] ilianzishwa Kodi ya madirisha "Window Tax" Kodi hio ilianzishwa na Mfalme William III huku kila nyumba kutakiwa kulipa Kodi kulingana na idadi ya madirisha ya nyumba. Kila Nyumba yenye madirisha chini ya [--] Dirisha moja lilitakiwa kulipia [--] yenye thamani sawa na [-----] kwa mwaka [----] (37000 Tsh) endapo unamadirisha zaidi ya [--] basi unaongezewa ziada ya shil [--]. Kodi hii ikafanya wamiliki wengi wa nyumba kuyaziba kwa Tofali kupunguza kodi"
X Link 2023-12-31T16:43Z [--] followers, [---] engagements
"@spectatorindex Tanzania"
X Link 2023-12-31T22:54Z [--] followers, [--] engagements
"@itsarhum @spectatorindex Continue standing we are sitting here for watching hamas pay for what they done in [--] October"
X Link 2023-12-31T23:41Z [----] followers, [---] engagements
"@AzadKhanPTI @spectatorindex Yes Both side to score and one btn them will cry more"
X Link 2023-12-31T23:42Z [----] followers, [---] engagements
"Hamas started the New Year by giving Israel a firework show"
X Link 2023-12-31T23:57Z [----] followers, [---] engagements
"Hamas wakituma salam za Mwaka mpya huko Israel nadhani watajibiwa muda si mrefu"
X Link 2024-01-01T00:00Z [----] followers, [--] engagements
"Jana usiku 00:00 Majiji ya Nairobi na Lusail yalikua live CNN wakati fataki zinapigwa Hewani. Ni wazi kabisa Zile zilizopigwa Nairobi zilikuwa Low budget fireworks Maana Kwanza mishindo ilikua mikubwa Hazikua na mpangilio wa Kuwaka. Na baada ya Muda kidogo tu Serikali ya Kenya ilitoa onyo juu ya Uwashwaji holela wa Fataki Dakika kadhaa mbele jengo la CBD likashika moto 😂"
X Link 2024-01-01T09:43Z [----] followers, [---] engagements
"Huyu anaitwa "Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar 'Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan na Yang di-Pertuan" Hilo ndio jina lake. Ni Sultan/Mfalme wa nchi ya Brunei Pia yeye mwenyewe ni Waziri mkuu wa Brunei. Mwaka [----] alitajwa kama mtu mwenye utajiri mkubwa na Jarida la Forbes Na mpaka sasa anamiaka [--] kwenye kiti cha Enzi hivyo ni moja ya watawala waliokaa muda mrefu madarakani Mwaka [----] aliadhimisha Jubilei ya Dhahabu miaka [--] Madarakani"
X Link 2024-01-01T10:11Z [--] followers, [---] engagements
"Hili ni Jiji la Bandar Seri Begawan Huu ndio mji mkuu wa Nchi ya Brunei. Hapa ndio makazi ya asilimia 70% ya wakazi wa Brunei wengineo 30% ndio wanaishi nje ya jiji"
X Link 2024-01-01T10:20Z [----] followers, [--] engagements
"Sonifer its my favorite"
X Link 2024-01-01T16:22Z [----] followers, [---] engagements
"@bestus0101DUBU Kibaya zaidi hao watu pichani mambo wanayofanya hayaendani na umri"
X Link 2024-01-02T09:01Z [----] followers, [--] engagements
"@TillertheWorld @RahmaMwita Aah hii strike si ilitamba sana tiktok sasa leo nakutana na maelezo eti Finland 😂😂"
X Link 2024-01-02T09:52Z [----] followers, [--] engagements
"@beingwalaga Na Pakistan kaka"
X Link 2024-01-03T08:09Z [----] followers, [--] engagements
"Maisha Kusaidiana Kumbe Railroad haijafikaga Bandarini sie wa mikoani hatukujua"
X Link 2024-01-03T12:22Z [----] followers, [---] engagements
"@TheRealBonMushi Mombasa ipo mkuu"
X Link 2024-01-03T16:46Z [----] followers, [--] engagements
"Miaka [--] iliyopita siku kama ya leo Satoshi Nakamoto @satoshi alinunua Bitcoin ya kwanza. Happy Bitcoin Day"
X Link 2024-01-03T20:52Z [----] followers, [---] engagements
"Exhaust Fan manufacturing 💪💪"
X Link 2024-01-04T10:25Z [--] followers, [---] engagements
"Fundi wenu wa Umeme mnayempa kazi ana vifaa kama hivi"
X Link 2024-01-04T19:31Z [--] followers, 33.2K engagements
"@lutherakyoo @mandomidina Kwanza atuelezee "Mandomidina" maana yake nini kule tutokako hajaandika 😁"
X Link 2024-01-04T20:20Z [--] followers, [--] engagements
"The actual price of Petrol in Tanzania 😂😂😂"
X Link 2024-01-05T14:40Z [--] followers, [---] engagements
"@PresenterNoah Kaka hizi njia sio mara ya kwanza Tz kuzitumia huwa hazina matokeo Kuroga na kukusanya machawa bora mda mtumie kuroga"
X Link 2024-01-05T19:53Z [--] followers, [--] engagements
"Tuambie hiyo mbinu ilifanikiwa kufanya hizo timu zipate ubingwa kwa nini mnajifunza kutoka kwa waliofeli Yaani unakaa unaiita Ethiopia Uganda na Kenya 😂 Uganda wana Kampeni ya Kitaifa inaitwa "Cranes Kabbo" kuchangia timu yao kufanikiwa kufuzu kombe la Dunia [----]. Kenya [----] walikua na Kampeni ya Kitaifa kuchangia timu yao ili kufanikiwa kufuzu kombe la Dunia [----]. Ethiopia pia walikuwa na kampeni kama hii [----] kufuzu AFCON. https://t.co/mYQ7IAPJqb Uganda wana Kampeni ya Kitaifa inaitwa "Cranes Kabbo" kuchangia timu yao kufanikiwa kufuzu kombe la Dunia [----]. Kenya [----] walikua na Kampeni ya"
X Link 2024-01-06T11:51Z [----] followers, [--] engagements
"Siku Kama ya leo alizaliwa Antonio Ghislieri ambaye alikuja kuwa head of the Catholic Church (Pope) na ruler of the Papal States kuanzia tarehe [--] January [----] mpaka kifo chake May [----]. Huyu anajulikana kwanza kwa Kumtangaza (Declare) Thomas Wa Akwino kuwa moja wa Walimu wa Kanisa (Doctor of the Church) neno Doctor kwa Kilatini humaanisha "Mwalimu" na mpaka mwaka [----] Kanisa Katoliki lina watu wenye cheo hicho [--] tu"
X Link 2024-01-07T08:18Z [----] followers, [---] engagements
"Jina rasmi la nchi ya BRUNEI ni "Negara Brunei Darussalaam" ikiwa na maana "Taifa la Brunei Nyumba ya Amani""
X Link 2024-01-07T12:17Z [--] followers, [---] engagements
"Siku kama ya Leo mwaka [----] Pope Pius V alianza kutumikia Kiti cha Holy See. Kupitia wazo lake la kuunganisha Nchi za Kikatoliki za Ulaya kuikabili Ottoman Empire ndipo walipoweza kufanikiwa kulizuia dola hilo Kutawala ulaya kupitia mapigano yaliyopewa jina Battle of Lepanto mwaka [----]. Muunganiko wa Nchi hizo za Ulaya Ulipewa jina "Liga Sancta" kwa kilatini ambapo kwa kiswahili tunaweza kusema "Mshikamano mtakatifu" Vita Hii nchi za Ulaya zilishinda huku zikiwa na idadi ya Wanajeshi wachache katika mapigano hayo"
X Link 2024-01-08T05:51Z [----] followers, [---] engagements
"@UTDAbrezy_ @kibandiko04 Happy birthday to you brother"
X Link 2024-01-08T06:48Z [----] followers, [--] engagements
"Siku Kama ya Leo Mwaka [----] Dunia ilimpoteza Mpelelezi Nguli mzaliwa wa Italia aliyejulikana kwa jina lake halisi MARCO POLO. Anahesabiwa kama mpelelezi wa Kwanza Kabisa Duniani Akiwa Kama Mpelelezi wa Kwanza kutoka Ulaya na Kuingia Asia kupitia Silk Road. Huyu ndiye Mzungu wa Kwanza kutoa Chakula aina ya Tambi (Spaghetti) huko Uchina na Kupeleka Ulaya watu wakashangae. Utofauti wa Marco Polo na Christopher Columbus ni moja Marco Alipita Silk Road (Mashariki) wakati huo Columbus alipita Magharibi. Nitaandika machache kuhusu huyu leo makala Fupi fupi"
X Link 2024-01-08T10:50Z [--] followers, [---] engagements
"@Lizzie36021 bora wanaovaa nguo moja kuna mbichi pia cha muhimu wewe tuambie kakwambia nani"
X Link 2024-01-08T17:41Z [----] followers, [---] engagements
"@nyuki_malkia @Exquisite_255 Unamjua huyu kabla ya mambo ya matrix"
X Link 2024-01-08T18:54Z [----] followers, [---] engagements
"@PresenterNoah Huwa mna judge wachezaji kwa muda mfupi sana Ayoub Lamolisa walianza vibaya ila kwa mwisho walikubalika"
X Link 2024-01-08T20:21Z [----] followers, [----] engagements
"Mi nimuhehe ila kuna siku nilichukua boda mshikaki na mwana kutoka Mivinjeni Mpaka Wiloliesi Boda alisema buku [--] sisi hatukumsikia tukajua buku jamaa tulivyofika tukampa buku akasema alisema buku [--]. Tulivyoanza mbishia akazila akasema ye hana njaa akawasha chuma akasepa 😂😂 pale nilikubari"
X Link 2024-01-09T18:15Z [----] followers, [--] engagements
"Nimesoma haya mambo nimeona nanyinyi mnambie ni kweli au uongo [--]. Reli ya Kwanza Tanzania Bara - Tanga [----]. [--]. Shule ya kwanza ya Sekondari- Tanga [----] (Tanga Old School). [--]. Shule ya Kwanza (Anglikana) Tanzania [----] - Tanga Magila Muheza. [--]. Taasisi ya Kwanza ya Utafiti wa Malaria Duniani - Tanga Muheza Ubwari [----]. [--]. Hospitali ya Kwanza (1st Modern Hospital) - Tanga Cliff Block [----] [--]. Hoteli ya Kwanza ya Kisasa Tanzania - Tanga Kaiserhof Hotel [----]. [--]. Upandaji wa Mkonge wa Kwanza Afrika - Tanga Pangani [----]. [--]. Nembo ya Benki Kuu ya Tanzania ni msukumo kutoka kwa Kiwanda cha Mkonge"
X Link 2024-01-09T18:38Z [--] followers, [---] engagements
"@Singidafgfc Hata yanga walisema hawatashiriki Ligi na hatukushtuka"
X Link 2024-01-10T20:21Z [----] followers, [----] engagements
"@MarekaMalili Mara ya kwanza mlijionaga bora hivi hivi kibu akawapigisha Rege"
X Link 2024-01-10T20:55Z [----] followers, [---] engagements
"Picha hii inamuonesha mwanaume mmoja nchini Kenya ajulikanae kwa jina la Dan Shisia Matakhaya mwenye umri wa miaka [--] na ni Askari polisi nchini humo. Hakuzaliwa na sura ya kutisha namna hii. Unachokiona ni matokeo ya mabishano kati yake na mke wake. Siku moja Matakhaya na mke wake walipishana kuhusu masuala kadhaa ya kifamilia yeye alichukulia mtafaruko au mapishano hayo kama kitu cha kawaida tu na baadae siku hiyohiyo akaenda kazini. Aliingia zamu ya usiku na kurudi kesho yake majira ya saa kumi na moja na nusu alfajiri. Kwasababu alifanya kazi usiku kucha baada ya kurudi nyumbani alienda"
X Link 2024-01-12T08:57Z [----] followers, 110.1K engagements
"JINA LA BIBLIA. Jina hili "BIBLIA" limeenea dunia nzima limetumiwa karibu na lugha zote zilizopata kukubali kutafsiri biblia.Kwanza lilikuwa neno la Kigiriki cha kale au kiyunani. Linaonekana katika Mathayo 1:1 na Luka 4:17 na penginepo katika Agano jipya la Kiyunani. Kwa lugha hiyo liliandikwa "Biblos" maana yake ni "kitabu" au pengine"biblia" maana yake"vitabu". "BIBLIA" ni jina jema kwa kuwa biblia ni "kitabu cha vitabu" kwa maana ni kitabu bora kuliko vyote na tena ni "kitabu chenye vitabu" Yaani ni kusanyiko la vitabu vingi vinavyoungamana kuwa kitabu kimoja. Pengine Biblia huitwa "neno"
X Link 2024-01-12T09:54Z [----] followers, [---] engagements
"@AloyceGarani @ayubu_madenge Linajiandaa Kiteknolojia likiwa halina satellite hata moja Aircraft za miaka ya 1800"
X Link 2024-01-12T19:18Z [----] followers, [---] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/x::PolycarpMDM