Dark | Light
# ![@Jambotv_ Avatar](https://lunarcrush.com/gi/w:26/cr:twitter::570641129.png) @Jambotv_ Jambo TV

Jambo TV posts on X about tanzania, leo, wa, mali the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.

### Engagements: [------] [#](/creator/twitter::570641129/interactions)
![Engagements Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::570641129/c:line/m:interactions.svg)

- [--] Months [-------] +791%
- [--] Year [-------] -61%

### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::570641129/posts_active)
![Mentions Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::570641129/c:line/m:posts_active.svg)


### Followers: [-------] [#](/creator/twitter::570641129/followers)
![Followers Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::570641129/c:line/m:followers.svg)

- [--] Months [-------] -0.19%
- [--] Year [-------] +0.44%

### CreatorRank: [-------] [#](/creator/twitter::570641129/influencer_rank)
![CreatorRank Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::570641129/c:line/m:influencer_rank.svg)

### Social Influence

**Social category influence**
[countries](/list/countries)  65% [travel destinations](/list/travel-destinations)  5% [technology brands](/list/technology-brands)  3% [celebrities](/list/celebrities)  2% [currencies](/list/currencies)  2% [social networks](/list/social-networks)  1% [automotive brands](/list/automotive-brands)  1%

**Social topic influence**
[tanzania](/topic/tanzania) #126, [leo](/topic/leo) #511, [wa](/topic/wa) #42, [mali](/topic/mali) 5%, [dar](/topic/dar) 4%, [zanzibar](/topic/zanzibar) 3%, [bara](/topic/bara) #685, [cha](/topic/cha) #37, [breaking news](/topic/breaking-news) 2%, [kwanza](/topic/kwanza) 2%

**Top accounts mentioned or mentioned by**
[@chadematz2](/creator/undefined) [@pmadeleka](/creator/undefined) [@granitinho85459](/creator/undefined) [@ezekielkamwaga](/creator/undefined) [@daxmaga](/creator/undefined) [@hechejohn](/creator/undefined) [@sharb84](/creator/undefined) [@j_camavinga](/creator/undefined) [@baharyy25](/creator/undefined) [@biddalmask](/creator/undefined) [@magoigas](/creator/undefined) [@zephania_ndaki](/creator/undefined) [@pushathetruth](/creator/undefined) [@jaguar_455](/creator/undefined) [@busaratupu](/creator/undefined) [@nhctanzania](/creator/undefined) [@jambotv](/creator/undefined) [@rugemeleza](/creator/undefined) [@tzrailways](/creator/undefined) [@sotesawa2025](/creator/undefined)
### Top Social Posts
Top posts by engagements in the last [--] hours

"VIDEO: Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kusisitiza kuwa amri ya Mahakama iliyokuwa imeweka zuio dhidi yao la kutojihusisha na Shughuli zozote za kisiasa na kiutendaji hapo kesi ya madai inayoendelea kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam itakapotolewa uamuzi imefikia tamati Akizungumza kwenye mahojiano maalum na Jambo TV mapema leo Jumatatu Februari [-------] Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa chama hicho Wakili Gaston Garubindi amesema kwa mujibu wa sheria amri ya zuio kama hilo linadumu kwa muda wa miezi sita (6) pekee na endapo waleta"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2018275907979366646)  2026-02-02T10:50Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Mtaalamu na mchambuzi maarufu wa masuala ya siasa nchini Deus Kibamba amekosoa namna Serikali ya Tanzania inavyoshughulikia migogoro iliyotokana na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] akidai kuwa Tanzania imeruka hatua muhimu za kisayansi za utatuzi wa migogoro na badala yake inatumia "miujiza ya kisiasa" na matamko kuzima mijadala ya vifo uharibifu wa mali na majeraha katika maisha ya watu. Katika uchambuzi wake akizungumza na televisheni ya mtandao ya SAUT DIGITAL Kibamba amebainisha kuwa mgogoro wowote uliofikia hatua ya kumwaga damu hauwezi kutatuliwa kwa rungu panga wala kuzima"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2018949886545219697)  2026-02-04T07:28Z 958.9K followers, [----] engagements


"Nyaraka mpya zilizowekwa wazi hivi karibuni kuhusu mfanyabiashara na mhalifu wa makosa ya kingono wa Marekani marehemu Jeffrey Epstein zimeibua madai ya kuwepo kwa uhusiano wa kifedha kati yake na aliyekuwa Rais wa Zimbabwe marehemu Robert Mugabe. Kwa mujibu wa nyaraka hizo mawasiliano ya barua pepe ya mwaka [----] kati ya Epstein na mjasiriamali wa Kijapani Joi Ito yanaonesha kuwa Epstein alipendekeza mpango wa kukutana na Rais Mugabe. Lengo la mpango huo lilikuwa ni kuanzisha sarafu mpya nchini Zimbabwe kufuatia kuporomoka kwa dola ya nchi hiyo kutokana na mfumuko wa bei uliokithiri. Nyaraka"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2019293821918441943)  2026-02-05T06:15Z 958.8K followers, 18.5K engagements


"VIDEO: Chama cha ACT Wazalendo kimeingia kwenye mzozo mzito na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kufuatia mpango wa tume hiyo kuteketeza nyaraka zote za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] hatua ambayo upinzani umeitaja kama jaribio la kuharibu ushahidi wa kesi zilizopo mahakamani. Akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho Vuga siku ya Jumatano Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Ismail Jussa amesema kuwa kuanzia Januari [--] [----] chama hicho kilishawasilisha maombi ya kisheria mahakamani ili nyaraka hizo zihifadhiwe kama ushahidi kwa ajili ya kesi [--] za wagombea uwakilishi."  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2019318605423190461)  2026-02-05T07:54Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amekata mzizi wa fitina kuhusu madai ya baadhi ya wabunge kuitwa kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) akisisitiza kuwa hakuna mbunge atakayehojiwa nje ya utaratibu wa Bunge kwa kauli aliyoitoa ndani ya ukumbi wa mjadala. Akitoa mwongozo bungeni leo Februari [--] [----] Spika Zungu amebainisha kuwa ofisi yake haijapokea wito wowote na wala hajatoa kibali kwa mbunge yeyote kuhojiwa. Amesema uhuru wa mbunge kutoa maoni yake bungeni unalindwa kikatiba na kisheria ili kuruhusu uwakilishi wa wananchi bila"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2019339603228987477)  2026-02-05T09:17Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Mchakato wa kuwapata wajumbe watakaoliwakilisha Bunge la Tanzania katika jumuiya za kimataifa umechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Ukonga kupitia chama cha ACT Wazalendo Bakari Shingo kulazimika kuachana na lugha ya Kiingereza na kutumia Kiswahili wakati akijinadi kuomba kura. Tukio hilo limetokea leo jijini Dodoma wakati wabunge mbalimbali wakichuana kuwania nafasi za uwakilishi katika taasisi kama Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Jukwaa la Wabunge wa SADC (SADC-PF). Shingo ambaye alikuwa akijaribu kufafanua vipaumbele vyake alitatizika kuelezea hoja zake kwa Kiingereza kabla ya"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2019359581621666044)  2026-02-05T10:36Z 958.9K followers, 15.6K engagements


"Rais Donald Trump amelazimika kufuta video fupi kwenye mitandao yake ya kijamii iliyowaonesha Rais mstaafu Barack Obama na mkewe Michelle Obama katika sura ya nyani baada ya kuibuka kwa wimbi kubwa la ukosoaji kutoka kwa wanachama wa vyama vyote viwili (Republicans na Democrats). Video hiyo ambayo inaonekana kutengenezwa kwa teknolojia ya Akili Mnemba (AI) iliwaonesha wanandoa hao wa zamani wa Marekani wakicheza wimbo maarufu wa "The Lion Sleeps Tonight". Kitendo cha kuwafananisha watu mweusi na nyani kimekosolewa vikali kama matumizi ya taswira za kibaguzi zilizopitwa na wakati. Ukosoaji"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020028084242497970)  2026-02-07T06:53Z 958.9K followers, 14.7K engagements


"Utafiti mpya uliotolewa hivi karibuni umebaini kuwa Tanzania inapoteza takribani shilingi trilioni [-----] kila mwaka kutokana na kodi zisizokusanywa katika soko la pombe haramu. Ripoti hiyo iliyozinduliwa na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) kwa ushirikiano na kampuni ya Euromonitor International inaonesha kuwa asilimia [--] ya pombe yote inayotumiwa nchini ni haramu. Utafiti huo unaonesha kuwa pombe za kienyeji zisizo halali maarufu kama gongo ndizo zinazoongoza kwa kusababisha hasara zikichangia kupotea kwa shilingi bilioni [---] kwa mwaka. Sababu kuu ya wananchi kukimbilia pombe hizi ni bei"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020067823402267118)  2026-02-07T09:31Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito mzito kwa viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kuendelea kumlinda Rais Samia Suluhu Hassan kwa maombi akionya kuwa usalama wa Rais ndio msingi wa utulivu wa nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Februari [--] [----] Dkt. Nchimbi amesisitiza kuwa nafasi ya Rais ni ya kipekee na inayohitaji ulinzi wa kiungu dhidi ya watu wenye nia mbaya. Katika hafla ya usimikaji wa uongozi wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) Dkt. Nchimbi amekumbusha falsafa ya Baba wa Taifa kuwa unaweza kumtikisa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020121196847665293)  2026-02-07T13:03Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara amekutana na Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] na kutoa ushahidi wa kina kuhusu madhara yaliyowapata wananchi wake ikiwemo watu kupotea vifo na uharibifu wa mali. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukutana na Tume hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake Jaji Chande Waitara amesema amepata fursa ya kuzungumza "uso kwa uso" na kuelezea kila kitu kilichotokea Tarime kabla wakati na baada ya uchaguzi. Waitara amebainisha maeneo kadhaa nyeti ambayo ameyatolea maelezo kwa Tume ikiwamo watu kupotea ambapo amesema"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020165564849672701)  2026-02-07T15:59Z 958.9K followers, [----] engagements


"Jambo TV inakusogezea kuona kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za baadhi ya magazeti ya Tanzania yanayochapisha habari za siasa jamii na uchumi leo Jumatatu Februari [-------]. Usikose kufuatilia kipindi cha Jambo Asubuhi cha Jambo TV kinachokujia kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 03:00 hadi 05:00 asubuhi kwa ajili ya uchambuzi wa kina wa kilichopo magazetini na masuala mengine yaliyochukua nafasi kwenye nyanja za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani ya ndani na nje ya mipaka ya Tanzania"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020708045848768749)  2026-02-09T03:55Z 958.8K followers, [----] engagements


"Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu inaendelea tena leo Jumatatu Februari [-------] Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Kesi hiyo No. 19605/2025 inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru imepangwa kusikilizwa kwa muda wa siku [--] mfululizo kuanzia leo hadi Machi [-------] Ikumbukwe kuwa kesi hiyo kwa sasa ipo kwenye hatua ya mashahidi wa Jamhuri kuendelea kutoa ushahidi wao Mahakamani hapo hata hivyo mara ya mwisho kutajwa Mahakamani hapo mashtakiwa (Tundu Lissu)"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020708616072732974)  2026-02-09T03:57Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga ametoa onyo kali dhidi ya kile alichokiita "ujinga na maigizo" ya baadhi ya viongozi wanaojaribu kuingiza siasa ndani ya Kanisa Katoliki. Akizungumza kwa ukali kuhusu taratibu za kikanisa Askofu Rweyongeza amewashangaa watu wanaoruka ngazi za uongozi na kwenda kumshtaki Askofu au Baraza la Maaskofu moja kwa moja kwa Baba Mtakatifu (Papa) bila kufuata utaratibu. Askofu ameeleza kuwa Kanisa lina mifumo madhubuti ya kisheria na kikanisa ambayo haiongozwi kwa kukurupuka au shinikizo la kisiasa. Amebainisha kuwa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020746949587009842)  2026-02-09T06:29Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Taasisi yetu ya Kanisa Katoliki ni ya miaka mingi taasisi ya Katoliki ndio mama wa taasisi zote ndio mama wa serikali zote. Imekuwapo haijaanguka tangu Yesu zaidi ya miaka elfu mbili na hakuna taifa lolote litakaloweza kuiangusha Kanisa Katoliki. Warusi walijitahidi kuangamiza Kanisa Katoliki kuanzia kufundisha watu kwamba Mungu amekufa God is dead taifa lao ndio limesambaratika Mungu wetu bado yupo na kanisa bado lipo Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza Askofu wa Jimbo Katoliki Kayanga"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020748662498861253)  2026-02-09T06:36Z 958.8K followers, 18.4K engagements


"VIDEO: Furaha na kelele za shangwe zimeibuka katika chumba cha Mahakama wakati Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alipoingia ndani ya chumba hicho kwa ajili ya kufuatilia na kusikiliza shauri la Uhaini linalomkabili ambapo leo ushahidi unaendelea kutolewa huku akijitetea peke yake"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020760474371924466)  2026-02-09T07:23Z 958.8K followers, [----] engagements


"Kesi ya uhaini No. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu inaendelea sasa kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumatatu Februari [-------] Kesi hiyo inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru inaendelea leo kufuatia kuahirishwa mara ya mwisho Novemba [-------] Kesi hiyo inaendelea leo kwaajili ya upande wa Jamhuri kujibu mapingamizi yaliyowasilishwa Mahakamani hapo na mshtakiwa (Tundu Lissu) ambaye anajitetea mwenyewe kwenye kesi hiyo Hata hivyo kabla upande wa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020794591696310488)  2026-02-09T09:39Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amempa nasaha nzito Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti akimkumbusha kuwa uteuzi wake wa kuwa Balozi unamaanisha kuwa sasa amebeba taswira na heshima ya nchi nzima mabegani mwake. Akizungumza Ikulu jijini Dar es Salaam leo Februari [--] [----] Rais Samia amemuagiza Balozi huyo mpya kupitia mafunzo maalum ya muda mfupi kabla ya kupangiwa kituo chake cha kazi nje ya nchi. Wakati mwingine ubalozi mimi huona kama mnafanya uvivu maana zile protocol ufundishwe sijuivifungo sijui kidole kikaeje sijui ukikaa juu ya meza ufanyeje. Lakini"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020795600392843385)  2026-02-09T09:43Z 958.9K followers, 19.8K engagements


"Kesi ya uhaini No. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeendelea leo Jumatatu Februari [-------] kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Kesi hiyo inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru leo imekuja kwaajili ya upande wa Jamhuri kujibu hoja za mapingamizi yaliyowekwa na mshtakiwa Novemba [-------] kesi hiyo ilipotajwa mara ya mwisho Mahakamani hapo Msingi wa mapingamizi hayo unatokana na shahidi wa siri wa Jamhuri (PW11) na kizimba cha siri cha kuongelea shahidi"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020822005503729842)  2026-02-09T11:28Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Rais wa Chama cha Mawakili Afrika Mashariki (East Africa Law Society) Ramadhan Abubakar ni miongoni mwa 'wageni' waliofika kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumatatu Februari [-------] kwaajili ya kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu Akizungumza na Waandishi wa Habari akiwa Mahakamani hapo Ramadhan amesema ni jukumu la chama hicho kufuatilia na kuangalia ustawi wa siasa demokrasia na utawala bora kwa nchi wanachama wa EAC lakini hata hivyo kumekuwa na wimbi la ukiukwaji wa kisheria mfululizo wa kesi"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020848503610548261)  2026-02-09T13:13Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Mchungaji Rose Masesa ambaye ni Dada mkubwa wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia serikali anayoiongoza kuangalia upya kesi ya uhaini inayomkabili mdogo wake kwani kwa namna anavyomfahamu mara zote Tundu Lissu amekuwa na kipaumbele cha kupigania Taifa na kudai utawala wa Sheria na ulinzi wa Haki za Binadamu na kwamba kama familia walishangazwa waliposikia ndugu yao anashtakiwa kwa uhaini Akizungumza na Waandishi wa Habari akiwa kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020861257629266273)  2026-02-09T14:04Z 958.8K followers, 10.7K engagements


"VIDEO: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda ameagiza kuchukuliwa hatua za haraka za kinidhamu na kisheria dhidi ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Wilaya ya Ukerewe anayedaiwa kujihusisha na mgongano wa maslahi kwa kuchukua tenda ya kusambaza kokoto kupitia kampuni yake ya Nosa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Mkoa yenye hadhi ya rufaa unaotekelezwa wilayani humo. Akizungumza leo wakati wa ukaguzi wa mradi huo Mtanda amesema changamoto ilianza pale ambapo kampuni ya Nosa inayomilikiwa na mtumishi wa Serikali ilipewa tenda ya kusambaza kokoto kwa aili ya mradi huo bila"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020863214125211715)  2026-02-09T14:11Z 958.8K followers, [----] engagements


"HABARI PICHA: Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameongoza mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji Bi Rose Zakaria Ambrose aliyeteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hasaan mapokezi yaliyofanyika mapema leo katika ofisi za DAWASA Mkoani Dar es Salaam. Katika mapokezi hayo Waziri Aweso aliambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Mhandisi Mwajuma Waziri Menejimenti ya Wizara Wakuu wa Taasisi chini ya Wizara ya Maji na Viongozi waandamizi kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) na kueleza mipango mikakati ya kuimarisha"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020879266376761438)  2026-02-09T15:15Z 958.8K followers, [----] engagements


"Serikali ya Uingereza imeingia katika misukosuko mizito baada ya Kiongozi wa Chama cha Labour nchini Scotland Anas Sarwar kutarajiwa kutoa wito rasmi kwa Waziri Mkuu Keir Starmer kujiuzulu nyadhifa zake zote. Sarwar ameitisha mkutano wa dharura na waandishi wa habari jijini Glasgow leo Februari [--] [----] ambapo anatarajiwa kuweka wazi msimamo wake dhidi ya Starmer. Msuguano huu unachochewa na uteuzi wenye utata wa Peter Mandelson kuwa Balozi wa Uingereza nchini Marekani (Washington) hatua ambayo Sarwar aliipinga vikali wiki iliyopita kutokana na uhusiano wa Mandelson na marehemu Jeffrey Epstein."  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020886141621153963)  2026-02-09T15:42Z 958.8K followers, 12.3K engagements


"VIDEO: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi.ametoa wito kwa taasisi binafsi kushirikiana kwa karibu na vyuo vya elimu ya juu kwa kuwekeza katika tafiti za sayansi na teknolojia pamoja na kuhimiza ubunifu katika ufundishaji na ujifundishaji Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Februari [-------] wakati wa uzinduzi wa mpango wa pamoja wa ushirikiano kati ya waajiri na vyuo Balozi Dkt. Nchimbi amesema taasisi binafsi zinapaswa pia kufadhili tafiti mbalimbali kutoa ufadhili kwa wanafunzi wa fani tofauti kulingana na mahitaji ya soko la ajira pamoja"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020911948351918252)  2026-02-09T17:25Z 958.8K followers, [----] engagements


"Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema limeanza kufanya uchunguzi kuhusiana na picha mjengeo inayosambazwa kupitia mitandao ya kijamii wakionekana wanawake wawili wakimpiga mwanamke mmoja kwa kutumia mwiko na kumshambulia kwa maneno kwa madai ya kudhalilishwa na mhanga wa tukio hilo kupitia mtandao Facebook. Taarifa ya Polisi iliyotolewa leo Jumatatu Februari [--] [----] na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini DCP David Misime imeeleza kuwa katika Picha hiyo mjongeo wanawake hao wamesikika wakihoji sababu za mmoja wao kudhalilishwa kwenye Mitandao ya kijamii kuwa amekuwa akiiba mabwana (Waume) za"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020914377201733805)  2026-02-09T17:35Z 958.8K followers, 10.9K engagements


"Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma imewaachilia huru viongozi wawili na wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka mazito ya ugaidi. Viongozi hao walioingia mikononi mwa vyombo vya dola kati ya Novemba [--] na [--] [----] awali walituhumiwa kwa uchochezi kabla ya mashitaka hayo kubadilishwa kuwa ya ugaidi. Walidaiwa kupanga njama za kuingiza silaha kutoka nchi jirani kwa ajili ya kusababisha vurugu na machafuko nchini. Akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa mahakama muda mfupi baada ya uamuzi huo Wakili wa utetezi Dickson"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021168190701658600)  2026-02-10T10:23Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Kesi ya Ardhi Na. 6075/2025 imeendelea tena leo Jumanne Februari [-------] Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Ardhi Dar es Salaam Kesi hiyo ya madai iliyofunguliwa na Kanali Naftali Swai na wenzake [--] dhidi ya Ashour Ashour na wenzake watano (5) imeitwa leo Mahakamani hapo mbele ya Jaji Mohamed Gwai ambapo kesi hiyo imetajwa leo kwaajili ya kutolewa amri muhimu ikiwemo amri ya kupanga kikao cha majadiliano ya kwanza Akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye viunga vya Mahakama hiyo Wakili Peter Madeleka anayewawakilisha waleta maombi amesema Mahakama leo imetoa amri kwamba wadaiwa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021208001353232403)  2026-02-10T13:01Z 958.8K followers, [----] engagements


"Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu kadhaa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo udukuzi wa mifumo ya kibiashara ya simu za mikononi biashara ya dawa za kulevya na mauaji yanayotokana na migogoro ya ardhi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya SACP Benjamin Kuzaga amesema wanamshikilia Charles Oden Mwakasege (32) fundi simu Mkazi wa Meta Jijini Mbeya na Bw. Isack Charles 'Bebwa' mkazi wa Shewa kwa tuhuma za kuingilia mdumo wa kibiashara wa makampuni ya ukopeshaji wa simu. Kuzaga katika taarifa yake ya leo Jumanne Februari [--] [----] kwa vyombo vya habari amesema watuhumiwa hao walikamatwa katika"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021250927118684521)  2026-02-10T15:52Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi Joseph Selasini ametoa tathmini kali kuhusu utendaji wa Bunge la sasa akidai kuwa chombo hicho kimepoteza hadhi ya kuwa sauti ya wananchi na kugeuka kuwa "kikao cha chama." Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi kupitia Jambo TV leo Jumanne Februari [--] [----] Selasini amebainisha kuwa mchakato uliotumika kupata wabunge wa sasa unatia shaka jambo linalofanya chombo hicho kushindwa kutekeleza wajibu wake wa kuisimamia serikali ipasavyo. Alipoulizwa kulinganisha mabunge ya nyuma na Bunge la sasa Selasini amesema tofauti hiyo iko wazi hata"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021272687071592769)  2026-02-10T17:18Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Jeshi la Polisi la Uganda limesema litaendelea kuwa karibu na makazi ya kiongozi wa Chama cha National Unity Platform NUP Kyagulanyi Ssentamu (Bobi Wine) kwa maslahi ya usalama wa taifa. Taarifa hiyo imetolewa leo Februari [--] [----] na Msemaji wa Jeshi hilo ACP Rusoke Kituuma akizungumza na vyombo vya habari na kueleza kuwa jeshi hilo kwa sasa halina jambo na Bobi Wine na kama likimhitaji kama ametenda makosa litamuita au kumkamata. https://twitter.com/i/web/status/2021295657286291782 https://twitter.com/i/web/status/2021295657286291782"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021295657286291782)  2026-02-10T18:50Z 958.8K followers, [----] engagements


"Karibu kufuatilia kilichoandikwa leo Jumatano Februari [-------] kwenye magazeti ya Tanzania yanayochapisha habari za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani Ili kupata uchambuzi wa kina wa kilichopo magazetini leo na mengine mengi yaliyojili kwenye nyanja mbalimbali ndani na nje ya nchi usikose kufuatilia kipindi cha 'Jambo Asubuhi' ya Jambo TV kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 03:00 hadi 05:00 asubuhi. https://twitter.com/i/web/status/2021440944738893861 https://twitter.com/i/web/status/2021440944738893861"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021440944738893861)  2026-02-11T04:27Z 958.8K followers, [---] engagements


"Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumatano Februari [-------] inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu mapingamizi yaliyowekwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu katika kesi ya uhaini inayomkabili Katika kesi hiyo Na. 19605/2025 inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru mshtakiwa Tundu Lissu ambaye anajitetea mwenyewe anapinga uhalali wa kizimba cha kilichopo ndani ya chumba cha Mahakama kilichoandaliwa kwaajili ya kutumiwa na shahidi wa siri (PW11) na mashahidi wengine wa siri watakaofuata akidai"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021441239497785791)  2026-02-11T04:28Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala ameeleza masikitiko yake kufuatia uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam mapema leo Jumatano Februari [-------] wa kutupilia mbali mapingamizi yaliyokuwa yamewekwa na chama hicho katika kesi ya usawa kwenye 'mgawanyo wa mali' kati ya Tanzania Bara na Zanzibar Akizungumza na Waandishi wa Habari muda mfupi baada ya Mahakama kupitia Jaji Hamidu Mwanga kutoa uamuzi huo Wakili Dkt. Nshala amesema chama hicho kimepokea maamuzi hayo lakini hakijakubali hivyo baada"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021487843881705518)  2026-02-11T07:33Z 958.8K followers, [----] engagements


"Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limetoa ufafanuzi juu ya tukio la kifo cha mwanamume mmoja Mohamed Mohamed Kisingwe (30) aliyefariki dunia wakati akijaribu kuwakimbia maafisa wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya (DCEA). Tukio hilo limetokea Februari [--] [----] katika eneo la Maandakini Kata ya Nayomboni wilayani Mkinga wakati maafisa wa DCEA walipokuwa wakifuatilia taarifa za usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya mirungi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga ACP Almachius Mchunguzi Februari [--] [----] marehemu alikuwa akiendesha pikipiki yenye namba za"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021500775613006033)  2026-02-11T08:25Z 958.8K followers, 20.9K engagements


"VIDEO: Kutoka chumba na.3 cha Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amepanda kwenye kizimba kwa ajili ya kesi ya uhaini inayomkabili. Wakati akipandishwa zimesikika kelele za shangwe "Rais Rais Rais""  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021503099827835354)  2026-02-11T08:34Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Patrick Assenga ni miongoni mwa waliofika katika Mahakamani Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam kufuatilia kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Akiwa hapa mahakamani ameonyesha ishara ya vidole viwili ambayo CHADEMA wamekuwa wakiitumia huku wakisema 'people's power'. Ikumbukwe mwaka jana Assenga alikihama chama cha CHADEMA. https://twitter.com/i/web/status/2021505793946681439 https://twitter.com/i/web/status/2021505793946681439"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021505793946681439)  2026-02-11T08:45Z 958.8K followers, 13.8K engagements


"Breaking News: Kutoka kwenye chumba Namba moja (1) cha Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Mahakama imetupilia mbali mapingamizi manne (4) kati ya matano (5) yaliyokuwa yamewasilishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu katika kesi ya uhaini inayomkabili Akitoa uamuzi wa mapingamizi hayo muda mfupi uliopita kiongozi wa jopo la Majaji wanayesikiliza kesi hiyo Na. 19605/2025 Jaji Dastan Ndunguru amesema pingamizi lililokubaliwa ni lile linalohusu kizimba kilichojengwa kwaajili ya kutumiwa na mashahidi wa siri kutokidhi matakwa ya"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021510395639316760)  2026-02-11T09:03Z 958.9K followers, 14K engagements


"VIDEO: Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika Wakili Msomi Boniface Mwabukusi akiwasili katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo kwa ajili ya kufuatilia kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021512615902818741)  2026-02-11T09:12Z 958.8K followers, [----] engagements


"Sekta ya Madini Tanzania kupitia Kongamano la Mining Indaba [----] imeendelea kuimarisha nafasi yake kimataifa huku Tanzania ikiendelea kujidhihirisha kama kimbilio la uwekezaji katika Sekta ya Madini kwa kuvutia mashirika ya kimataifa kampuni mbalimbali na wawakilishi wa kidiplomasia. Februari [--] [----] Waziri wa Madini alikutana na wadau muhimu ikiwemo Benki ya Dunia katika vikao vya pembeni vya kongamano linaloendelea jijini Cape Town Afrika Kusini pamoja na kushiriki Mkutano wa Mawaziri wa Madini wa SADC. Katika kikao kilichofanyika baina ya ujumbe wa Australia na Tanzania Naibu Balozi wa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021523179965956525)  2026-02-11T09:54Z 958.8K followers, [----] engagements


"MAKALA: Katika uongozi wa kisasa thamani ya Serikali haipimwi kwa ukubwa wa ahadi zake bali kwa uzito wa matokeo yake na ndiyo maana siku [---] za utekelezaji chini ya Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan zimejijenga kama kioo kinachoakisi dira uthubutu wa maamuzi na kasi ya utekelezaji inayolenga kugusa maisha ya wananchi kwa vitendo. Kipindi hiki hakijabeba tu takwimu na miradi bali kimebeba ujumbe mpana wa Taifa linaloongozwa kwa misingi ya uwajibikaji ufanisi na matumaini mapya ambapo sekta ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021602275706232867)  2026-02-11T15:08Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Ikiwa ni zaidi ya miezi sita (6) tangu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipigwe marufuku na Mahakama kuendesha shughuli zote za kisiasa na kiutendaji leo Jumatano Februari [-------] chama hicho kimetangaza kuanza rasmi 'oparesheni' zake za kisiasa na kiutendaji Akizungumza na Waandishi wa Habari akiwa kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam muda mfupi baada ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu kuhairishwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Tanzania Bara Amani Golugwa ameagiza viongozi na makada wa chama hicho"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021614936095387962)  2026-02-11T15:58Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Msomi wa Masuala ya Siasa za Maridhiano mwandishi wa habari mwandamizi Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga ametoa dira mpya kuhusu mchakato wa maridhiano ya kisiasa nchini Tanzania akisisitiza kuwa hatua ya kwanza ni kujenga mtangamano wa tabaka la wanasiasa (Elite Cohesion). Katika uchambuzi wake ulioenea mitandaoni Kamwaga amebainisha kuwa nchi imefika hatua ambayo maridhiano hayakwepeki kufuatia matukio ya kisiasa ya kabla na baada ya uchaguzi wa Oktoba [--] mwaka jana. Amesema kuwa bila viongozi wa vyama hasimu kukutanishwa na kuanza kuaminiana juhudi nyingine zozote zinaweza kugonga"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021645506590781758)  2026-02-11T18:00Z 958.9K followers, 36.4K engagements


"Karibu kufuatilia kilichoandikwa leo Alhamisi Februari [-------] kwenye magazeti ya Tanzania yanayochapisha habari za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani Ili kupata uchambuzi wa kina wa kilichopo magazetini leo na mengine mengi yaliyojili kwenye nyanja mbalimbali ndani na nje ya nchi usikose kufuatilia kipindi cha 'Jambo Asubuhi' ya Jambo TV kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 03:00 hadi 05:00 asubuhi. https://twitter.com/i/web/status/2021805990195105837 https://twitter.com/i/web/status/2021805990195105837"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021805990195105837)  2026-02-12T04:38Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Hivi ndivyo Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alivyofikishwa Mahakama Kuu asubuhi ya leo kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa kesi inayomkabili. Inatarajiwa kuwa shahidi wa siri anayedaiwa kuwa askari atapanda kizimbani na kutoa ushahidi wake katika shauri hilo"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021820840036172127)  2026-02-12T05:37Z 958.9K followers, 13.1K engagements


"Kisiwa cha Madagascar kimeingia katika hali ya majonzi na taharuki baada ya Kimbunga kikali cha Gezani kupiga pwani ya mashariki ya nchi hiyo na kusababisha vifo vya watu wasiopungua [--] na uharibifu mkubwa wa miundombinu. Kimbunga hicho kilichotua Jumanne Februari [--] [----] kilipiga bandari kuu ya Toamasina kikiwa na kasi ya upepo ya kilomita [---] kwa saa. Ripoti kutoka kwa mamlaka za maafa zinaeleza kuwa hali ni ya "machafuko makubwa" huku asilimia [--] ya mji huo wa pili kwa ukubwa nchini Madagascar ikiwa imeharibiwa vibaya. Takriban asilimia [--] ya paa za nyumba mjini Toamasina zimeezuliwa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021835092104970326)  2026-02-12T06:33Z 958.9K followers, [----] engagements


"Serikali za Kenya na Afrika Kusini zimetoa shutuma kali dhidi ya kile kilichoitwa "mtandao wa udanganyifu" unaowarubuni vijana wasio na ajira kwenda Urusi kwa ahadi za kazi lakini badala yake wanajikuta wakilazimishwa kupigana mstari wa mbele nchini Ukraine. Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Musalia Mudavadi amelaani vikali kitendo hicho akisema "haikubaliki kamwe." Uchunguzi umebaini kuwa vijana wengi husaini mikataba ya Kirusi wasiyoielewa wakiamini wanakwenda kufanya kazi za ulinzi ufundi au mauzo lakini huishia kupelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi na kutupwa vitani. Mkasa huu umeacha simanzi"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021840711847428266)  2026-02-12T06:56Z 958.9K followers, [----] engagements


"Kesi ya uhaini Na. 19605/2026 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeanza rasmi kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Alhamisi Februari [-------] Kesi hiyo inaendelea leo baada ya hapo jana (Jumatano Februari 11.2026) Mahakama kutoa uamuzi wake kufuatia mapingamizi yaliyokuwa yamewekwa na mshtakiwa Tundu Lissu ambaye anajitetea mwenyewe ambapo pamoja na mambo mengine Mahakama iliagiza kurekebishwa kwa kizimba maalum kilichojengwa kwenye chumba cha Mahakama kwaajili ya kutumiwa na mashahidi wa siri Baada ya Majaji"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021847224284570035)  2026-02-12T07:21Z 958.9K followers, [----] engagements


"Sekta ya Madini Tanzania imeendelea kudhihirisha mwelekeo chanya wa ukuaji na uimarikaji wa kimkakati kufuatia mwendelezo wa vikao vya Wizara ya Madini na wadau wa kimataifa katika Kongamano la Mining Indaba [----] linaloendelea jijini Cape Town nchini Afrika Kusini. Majadiliano mbalimbali yaliyofanyika Februari [--] [----] yameakisi dhamira thabiti ya Serikali ya kuboresha mazingira ya uwekezaji kukuza ushiriki wa wazawa wanawake na vijana pamoja na kuhakikisha rasilimali za madini zinachangia kwa tija katika uchumi wa Taifa na maendeleo endelevu. Umoja wa Ulaya (EU) umeonesha nia ya kuendelea"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021866067841163718)  2026-02-12T08:36Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Wakili wa Mahakama Kuu Peter Madeleka (@PMadeleka) amesema asingetarajia na angeshangaa kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kingeshiriki katika Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika jana mkoani Morogoro. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi Madeleka amesema kama kuna dhamira ya kulirudisha taifa pamoja kisiasa kupitia Baraza la Vyama vya Siasa na mikutano inayoendelea kufanyika ni muhimu kuangalia kwanza ustawi na hali halisi ya kila chama cha siasa. Kama tunataka kulirudisha taifa pamoja kisiasa kupitia kwa mfano kwenye Baraza hilo la Vyama vya Siasa na"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021885327304986993)  2026-02-12T09:53Z 958.8K followers, 12.7K engagements


"Na; Mwandisi wetu Shahidi wa siri wa Jamhuri (P5) katika kesi Na.19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu ametoa ushahidi wake leo Alhamisi Februari [-------] kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Akitoa ushahidi wake mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wanaosikiliza kesi hiyo wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru shahidi huyo ameieleza Mahakama kuwa yeye ana umri wa miaka [--] anaishi Kibangu -Ubungo jijini Dar es Salaam akijishughulisha na Ujasiriamali/ machinga wa kuuza nguo na viatu kwa kutembeza maeneo"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021897636215730555)  2026-02-12T10:42Z 958.8K followers, 11.4K engagements


"VIDEO: Katika hali isiyokuwa ya kawaida jopo la Majaji watatu (3) wanaosikiliza kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu wamelazimika kuahirisha kesi hiyo kwa muda wa dakika [--] hiyo ni baada ya mshtakiwa ambaye anajitetea mwenyewe kulalamikia kutopewa chakula Awali kesi hiyo iliahirishwa kwa muda wa karibu Saa [--] ili kutoa nafasi ya watu kupata chakula na kutoa nafasi kwa upande wa Jamhuri kumleta shahidi wa mwingine baada ya yule wa awali (P5) kukamilisha kutoa ushahidi wake Baada ya Mahakama kurejea mshtakiwa Tundu Lissu aliieleza Mahakama kuwa yuko tayari"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021923717623034170)  2026-02-12T12:25Z 958.9K followers, 14.5K engagements


"VIDEO: Wakili msomi Peter Madeleka @PMadeleka ametoa mtazamo wake kuhusu mchakato wa maridhiano ya kitaifa nchini Tanzania akisisitiza kuwa maridhiano ya kweli hayawezi kufikiwa ikiwa kundi lolote muhimu la kijamii au kisiasa litaachwa nje ya meza ya mazungumzo. Akizungumza katika mahojiano maalum na Jambo TV leo Februari [--] [----] Madeleka amejibu kauli ya Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa aliyekaririwa akisema kuwa maridhiano yatafanywa na wale walio tayari pekee. Madeleka amebainisha kuwa dhana hiyo inaweza kudhoofisha lengo kuu la kuunganisha taifa. Wakili Madeleka"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021954232467730888)  2026-02-12T14:27Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Wakili msomi Peter Madeleka @PMadeleka ameeleza imani yake thabiti kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akisema kuwa mkuu huyo wa nchi ana uwezo na dhamira ya dhati ya kuirudisha nchi kwenye mstari kufuatia machafuko yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba [--] [----]. Akizungumza katika mahojiano na Jambo TV leo Februari [--] [----] Madeleka amebainisha kuwa nchi imepitia kipindi kigumu lakini uongozi wa busara wa Rais Samia umekuwa mhimili wa kuzuia taifa lisiingie kwenye maafa makubwa zaidi. Madeleka amesisitiza kuwa yeye ni mmoja wa watu wanaoamini"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021963516471554428)  2026-02-12T15:04Z 958.9K followers, [----] engagements


"Kesho Ijumaa Februari [--] [----] kwenye Jambo Asubuhi msomi na mchambuzi wa siasa za Afrika Ezekiel Kamwaga atakuwa hewani ambapo atajadili siku [---] za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na suala la maridhiano ya kitaifa tafadhali usikose. Kama una swali lolote la kumuuliza liwasilishe kwenye uwanja wa maoni hapo chini. https://twitter.com/i/web/status/2021976809626034679 https://twitter.com/i/web/status/2021976809626034679"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021976809626034679)  2026-02-12T15:56Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Wakili msomi Peter Madeleka @PMadeleka ametoa wito kwa Serikali ya Tanzania na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kutumia mamlaka yao ya kisheria kuifuta kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA @ChademaTZ2 Tundu Lissu ili kurejesha umoja na mshikamano nchini. Akizungumza na Jambo TV leo Februari [--] [----] Madeleka amesema kuwa kuendelea kwa kesi hiyo ni "aibu kwa taifa" na kikwazo kikubwa cha maridhiano ya kweli. Wakili Madeleka amebainisha kuwa taifa kwa sasa limegawanyika na sababu mojawapo ni kushikiliwa kwa kiongozi huyo mwenye wafuasi wengi ambao ni Watanzania. Amesema juhudi za"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021990954769547302)  2026-02-12T16:53Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Waziri Mku wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Fedha kusimamia na kuhakikisha bidhaa ambazo zinazalishwa nchini na tumejitosheleza kiuzalishaji endapo zikiagizwa nje basi waagizaji wasipate msamaha wa kodi. Ametoa agizo hilo leo Februari [--] [----] akiwa Mkuranga mkoani Pwani alipozindua kiwanda cha kuzalisha mabati cha Lodhia Industries LTD. Leo hii tunapokuwa na kiwanda kikubwa kama hiki kila mmoja anawajibika kuhakikisha uzalishaji unakuwa endelevu. Nitoe melekezo kwa Wizara ya Fedha hakikisheni maeneo yote ambayo tuna bidhaa za ndani za"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021996201986359750)  2026-02-12T17:13Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Sakata la mgogoro wa ardhi uliopo kwenye Kijiji cha Lupunga kilichopo Kata ya Kikongo Halmashauri ya Wilaya Kibaha Mkoani Pwani limeendelea kuchukua sura mpya kila siku kufuatia Mzee Omari Kikwembe kujitokeza na kudai kuwa mwekezaji (Tarick Saleh) anayelalamikiwa na wananchi wakidai kubwa amepora ardhi yao ni mmiliki halali wa eneo linalobishaniwa Mzee Kikwembe ameieleza Jambo TV kuwa mwekezaji huyo ambaye ni raia wa kigeni alifika kijijini hapo kwenye kipindi cha miaka ya 1980+ akiwa ameambatana na maafisa wa serikali wa ngazi ya Wilaya na Mkoa wakati huo yeye (Mzee Kikwembe) akiwa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020140567041122387)  2026-02-07T14:20Z 958.8K followers, [----] engagements


"Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitimiza siku [---] ofisini tangu kuanza kwa muhula wake wa pili Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) @ChademaTZ2 kimesema kuwa hakitambui mamlaka yaliyopo madarakani na kinadai uchaguzi mkuu mpya. Akizungumza katika mahojiano maalum na BBC Swahili leo Februari [--] [----] Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara John Heche @HecheJohn ametoa msimamo mkali wa chama hicho akidai kuwa mchakato wa Oktoba [--] [----] haukuwa uchaguzi halali. Heche amebainisha kuwa CHADEMA haihesabu wala kuitambua kalenda ya siku [---] za Rais Samia kwa hoja"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021114659860828587)  2026-02-10T06:51Z 958.8K followers, 13.6K engagements


"Serikali ya Tanzania imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuunga mkono juhudi za Tanzania katika kuimarisha miundombinu ya kisasa ili kujiandaa vyema na uenyeji wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027). Wito huo umetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki James Millya wakati wa hafla ya kusherehekea Mwaka Mpya wa China iliyofanyika katika Ubalozi wa nchi hiyo jijini Dar es Salaam. Millya amesisitiza kuwa maandalizi ya AFCON [----] ni zaidi ya michezo akiyataja mashindano hayo kama fursa ya kimkakati kwa ajili ya mabadiliko ya kiuchumi kwa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021121999351787902)  2026-02-10T07:20Z 958.8K followers, 28.3K engagements


"VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi Joseph Selasini ameeleza msimamo wake kuhusu mchakato wa maridhiano nchini akisisitiza kuwa hakuna maridhiano ya kweli yanayoweza kupatikana bila kuwepo kwa ukweli wa kile kilichotokea katika ghasia za uchaguzi wa Oktoba [--] [----]. Akizungumza katika kipindi Jambo Asubuhi kupitia Jambo TV leo Jumanne Februari [--] [----] Selasini amekosoa viongozi wa mamlaka wanaohimiza watu kutozungumzia matukio ya uchaguzi kwa kisingizio cha "kuamsha hisia" akibainisha kuwa kuzungumza ndiyo njia pekee ya kuponya majeraha na "kutoa madonge" mioyoni mwa watu."  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021296180505051470)  2026-02-10T18:52Z 958.9K followers, [----] engagements


"Serikali ya Ujerumani imetangaza rasmi nia yake ya kuwa daraja la kidiplomasia kati ya Marekani na Iran ili kupata suluhu ya kudumu kuhusu mpango wa nyuklia na makombora ya masafa marefu ya Tehran. Akizungumza pembezoni mwa mkutano na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Asia ya Kati mwanadiplomasia mwandamizi wa Ujerumani Johann Wadful amebainisha kuwa nchi yake inaona umuhimu wa dharura wa kutatua masuala hayo kwa njia ya mazungumzo. Wadful amesisitiza kuwa mradi wa Iran wa kutengeneza makombora ya balistiki si tishio kwa Israel pekee bali pia kwa usalama wa bara la Ulaya. Licha ya jitihada"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021829578512044427)  2026-02-12T06:11Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema wanafunzi wanaonufaika na mpango wa Samia Scholarship ikiwemo wanaopelekwa kusoma nje ya nchi wamepatikana kwa haki kwa kuzingatia vigezo vya ufaulu na sifa stahiki bila upendeleo. Kauli hiyo ameitoa leo Februari [--] [----] jijini Dodoma wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo wa siku mbili unaolenga kujadili mipango ya bajeti ya wizara hiyo. Amesema matarajio ya Watanzania kwa sekta ya elimu ni makubwa hivyo kuna wajibu wa kuhakikisha bajeti inaakisi vipaumbele vilivyowekwa kwenye Sera ya Elimu"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021989720192889096)  2026-02-12T16:48Z 958.8K followers, [----] engagements


"Kesi ya uhaini Na. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu inaendelea tena leo Ijumaa Februari [-------] kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Kesi hiyo ya jinai inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ntdunguru kama ilivyo kawaida mshtakiwa Tundu Lissu anajitetea mwenyewe ambapo leo inatarajiwa shahidi wa Tano (5) wa Jamhuri ataanza kutoa ushahidi wake Ikumbukwe kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwa mfululizo hadi Machi [-------] ambapo hapo jana (Alhamisi Februari 12.2026) shahidi wa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022165813323505968)  2026-02-13T04:27Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu tayari amefikishwa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam msafara wake ukiwa na magari [--] ya Jeshi la Polisi pamoja na Magereza(ambayo yalibeba pia askari na wafungwa) Wakati akishushwa kupitia mlango wa nyuma wa gari aina ya Land cruiser Hardtop askari [--] walikuwa eneo hilo ambalo ni karibu kabisa na mlango mkuu wa kuingia mahakamani hapo https://twitter.com/i/web/status/2022195380247834873 https://twitter.com/i/web/status/2022195380247834873"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022195380247834873)  2026-02-13T06:25Z 958.8K followers, 10.1K engagements


"VIDEO: 📍JAMBO ASUBUHI - "Lissu ni mtu anayeitwa 'vocal' wale waongeaji wazungumzaji. Kwa hiyo kuna sehemu nyingine ukimwingiza 'Vocal' gerezani yale madudu na mauchafu yote yanayotokea gerezani yatatoka nje. Yaani kuna vitu ambayo vinafanywa kwenye magereza yetu sio vya kibinadamu lakini ndio nature za magereza havisemwi huku nje" Paschal Mayalla Mwandishi Mwandamizi Mchambuzi Mbobezi na Mtangazaji wa kipindi cha Jambo Asubuhi akichambua tukio la jana la kuahirishwa kwa kesi ya Uhaini dhidi ya Tundu Lissu baada ya kusema hajala ambapo Mahakama iliamuru apatiwe chakula Kufuatilia zaidi"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022233592315658304)  2026-02-13T08:57Z 958.8K followers, 17.1K engagements


"Katika kuendeleza Kampeni ya Kitaifa ya Kuhamasisha Uwekezaji wa Ndani Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) inaendelea kuonesha mifano halisi ya Watanzania wanaothubutu kuwekeza na kufanikiwa nyumbani. Mfano bora ni kiwanda cha L & N Standard Packaging Solution Ltd kinachojihusisha na uzalishaji wa vifungashio kilichopo Wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera. Kiwanda hiki kimeanzishwa kwa mtaji wa shilingi bilioni [---] na tayari kimezalisha ajira [--] za moja kwa moja kwa Watanzania kikichangia kukuza uchumi wa ndani na kuongeza thamani ya uzalishaji wa viwandani nchini."  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2020039061520392548)  2026-02-07T07:36Z 958.9K followers, [----] engagements


"Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa nchi imebaki salama na yenye umoja katika kipindi cha siku [---] tangu kuhitimishwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] ambao ulimshuhudia Samia Suluhu Hassan kama mshindi wa Urais. Akizungumza na BBC Swahili leo Februari [--] [----] Msigwa amesema kuwa licha ya changamoto na ghasia zilizojitokeza baada ya uchaguzi serikali imefanikiwa kurejesha utulivu na kuendelea na utekelezaji wa mipango ya maendeleo. "Kwa ujumla taifa liko salama katika siku hizi [---] kwa mara nyingine Tanzania imeonesha namna ambavyo inaweza"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021102660812742755)  2026-02-10T06:03Z 958.9K followers, 15.9K engagements


"Breaking News: Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam mapingamizi yaliyowekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kesi ya 'mgawanyo wa mali' iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar Said Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA yametupiliwa mbali Uamuzi uliotolewa na Mahakama hiyo kupitia kwa Jaji Hamidu Mwanga umebainisha hoja za kwamba Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo sio sahihi kutokana na hoja mbalimbali za kisheria zilizorejewa na Mahakama nk"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021478916347544012)  2026-02-11T06:58Z 958.9K followers, 22.1K engagements


"VIDEO: Maafisa wa usalama wa Rais wa Kenya William Ruto wamelazimika kuingilia kati kuzuia kijana mmoja aliyetaka kulisogelea jukwaa wakati Rais akiwahutubia washiriki wa kongamano la kibiashara la NYOTA Business Forum. Tukio hilo limetokea wakati wa hafla ya kutoa mitaji kwa wafanyabiashara wapya (start-ups) ambapo maafisa walimnasa mwanamume huyo kwa haraka kabla ya kufika jukwaani na kumdhibiti. Baada ya hali ya utulivu kurejea Rais Ruto alitoa maelekezo kwa timu yake ya ulinzi kumshikilia mwanamume huyo kwa muda akiahidi kushughulikia jambo lake baadaye. Mradi wa NYOTA (National Youth"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2021971989225689387)  2026-02-12T15:37Z 958.9K followers, 10.8K engagements


"Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) @ChademaTZ2 Bara John Heche @HecheJohn ameweka wazi kuwa chama hicho hakitashiriki katika mchakato wowote wa maridhiano ya kitaifa hadi hapo Mwenyekiti wao Tundu Lissu atakapoachiwa huru kutoka gerezani. Akizungumza na Mwananchi Digital Heche amesema kuwa maridhiano yaliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa ufunguzi wa Bunge la [--] hayawezi kufanikiwa kupitia "njia za mkato" huku viongozi wa upinzani wakiwa gerezani. Kwa mujibu wa Heche Tundu Lissu ndiye kiongozi mkuu wa vikao vya chama na bila uwepo wake hakuna"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022236811213283521)  2026-02-13T09:10Z 958.9K followers, [----] engagements


"USHAHIDI WA SHAHIDI WA NNE KWENYE KESI YA LISSU BODABODA MWANACHADEMA via @jambotv_ https://jambo.co.tz/ushahidi-wa-shahidi-wa-nne-kwenye-kesi-ya-lissu-bodaboda-mwanachadema/ https://jambo.co.tz/ushahidi-wa-shahidi-wa-nne-kwenye-kesi-ya-lissu-bodaboda-mwanachadema/"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022240061102911898)  2026-02-13T09:22Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Msomi na mchambuzi wa siasa za Afrika Ezekiel Kamwaga amesema kuwa mchakato wa kupata Katiba Mpya nchini Tanzania tayari umeanza licha ya kuwepo kwa hisia kuwa ahadi ya Rais ya kuanza mchakato huo ndani ya siku [---] haijatekelezwa. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi kupitia Jambo TV leo Ijumaa Februari [--] [----] Kamwaga ametoa ufafanuzi wa kina kuhusu dhana ya "mchakato" akibainisha kuwa hatua ya Rais kuitumia Tume ya Jaji Chande kutengeneza barabara ya maridhiano ndio mwanzo wa safari ya kuelekea kwenye Katiba Mpya. Kamwaga amefafanua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amepanua"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022260497664331954)  2026-02-13T10:44Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Siku chache baada ya viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA @ChademaTZ2) wakiongozwa na Mwanasheria Mkuu wa chama hicho Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala @rugemeleza kuutangazia umma kuwa zuio la Mahakama Kuu lililokuwa limetolewa Juni [-------] likipiga marufuku chama hicho kuendelea na shughuli zote za kisiasa na kiutendaji hadi hapo kesi ya msingi inayohusu usawa kwenye 'mgawanyo wa mali' itakapotolewa maamuzi hatimaye tamko hilo la CHADEMA limepingwa rasmi Wakili Gido Semfukwe anayeongoza jopo la Mawakili wa waleta maombi (aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022268720844812394)  2026-02-13T11:16Z 958.8K followers, 13K engagements


"VIDEO: Msomi na mchambuzi wa siasa Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga amesema kuwa madai ya kutaka watu wawajibishwe mara moja kutokana na mauaji na ghasia za Oktoba [--] [----] hayawezi kutekelezeka bila ripoti ya Tume ya uchunguzi kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko wa nani hasa anayehusika. Akizungumza kupitia Jambo TV leo Ijumaa Februari [--] [----] Kamwaga amebainisha kuwa nchi iko katika kipindi ambacho kila upande unanyooshea kidole upande mwingine hali inayofanya uwepo wa Tume ya Jaji Chande kuwa njia sahihi ya kisheria na kidunia. Kamwaga amefafanua kuwa kuna mvutano wa hoja ambapo serikali"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022270412806131808)  2026-02-13T11:23Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: 📍JAMBO ASUBUHI - Ezekiel Kamwaga Msomi na Mchambuzi wa Siasa amesema suala la Polisi kupiga risasi watu waliokuwa wakiangalia mpira haliingii akili na kuwa kuna baadhi ya tabia aliziona wakati wa matukio ya Oktoba [--] ambazo haamini kama ni za Mtanzania wa kawaida Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi Kamwaga amesema "Kuna vitu vingi viliingia kwenye Oktoba [--] kwa sababu kuna baadhi ya tabia ambazo nimeziona kwenye lile tukio ambalo mimi siamini kusema ukweli kama ni tabia za Mtanzania wa kawaida" "Kuna mtu mmoja.alionesha picha za Watanzania waliokuwa wanaangalia mpira sijui"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022282997160919440)  2026-02-13T12:13Z 958.8K followers, 14K engagements


"VIDEO: Leo Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekutana na Baraza la Madini Duniani chini ya rais wake David Taita katika majadiliano ya kuhakikisha sekta ya madini nchini inakua kwa njia endelevu huku wakijali manufaa ya wachimbaji wadogo na uhifadhi wa mazingira. Mawaziri waliohudhuria kikao hicho ni Profesa Kitila Mkumbo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji; Anthony Mavunde Waziri wa Madini; Joel Nanauka Waziri wa Vijana; na Dkt. Dorothy Gwajima Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum. Akizungumza Profesa Kitila Mkumbo amesema"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022302123094856165)  2026-02-13T13:29Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Wakati wa kipindi cha Jambo Asubuhi leo Ijumaa Februari [--] [----] kuimebuka mjadala juu ya uwezekano wa kufifia kwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kwa kuangazia jukumu muhimu la rasilimali fedha katika uhai wa kisiasa na mambo yanayoendelea nchini kwa chama hicho. Msomi na mchambuzi wa siasa za Afrika Ezekiel Kamwaga amejenga hoja kuwa ingawa kufutwa rasmi kwa chama na serikali hakuna uwezekano mkubwa chama hicho kinakabiliwa na tishio la kuwepo kwake kutokana na kupoteza ruzuku za serikali na ukosefu wa wafadhili matajiri wenye uwezo wa kugharamia operesheni za"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022324895846391877)  2026-02-13T15:00Z 958.8K followers, [----] engagements


"Shauri la uhaini linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu limeahirishwa mpaka jumatatu kwa ajili ya kuendelea kutolewa kwa ushahidi. Ambapo leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam mbele ya majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru mashahidi wawili walitoa ushahidi wao. Shahidi wa kwanza ambae analindwa alitambulika kama P6 mwenye miaka [--] bodaboda na shahidi wa pili ambae ni shahidi wa sita kwenye kesi hii alikuwa Askari Mpelelezi H.3923 Koplo Michael mkazi wa Moshi ambae anafanya kazi ofisi ya RCO Mkoa wa Kilimanjaro. Kuhusu shahidi wa kwanza P6"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022340331761508736)  2026-02-13T16:01Z 958.8K followers, 19K engagements


"VIDEO: Shauri la uhaini linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu limeahirishwa mpaka jumatatu kwa ajili ya kuendelea kutolewa kwa ushahidi. Ambapo leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam mbele ya majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru mashahidi wawili walitoa ushahidi wao. Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Dkt. Rugemeleza Nshala akiwa nje ya Mahakama ameeleza kusikitishwa na ushahidi unaotolewa katika keshi hiyo akisema 'intaia hasira na uchungu' huku akieleza kuwa rasilimali za nchi hazitumiki vizuri kwa kuendesha mashauri ambayo mashahidi wanaenda"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022341749658579233)  2026-02-13T16:07Z 958.8K followers, [----] engagements


"HABARI PICHA: Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Wanu Hafidh Ameir amesema Mfuko wa Samia wa Biasharishaji Ubunifu umeanzishwa kusaidia vijana wabunifu wanaofikia hatua ya kupeleka bidhaa au huduma zao sokoni lakini hawana mtajina kuwa mfuko huu ni mwendelezo wa juhudi za Serikali kutambua na kuendeleza dhana ya ubunifu huku COSTECH na CRDB Bank Foundation wakichangia jumla ya shilingi bilioni [---] kusaidia uwekezaji wa vijana. Naibu waziri ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kuangazia mustakabali wa kuwatambua wanufaika wa Mfuko wa Samia wa Biasharishaji"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022372632084000949)  2026-02-13T18:09Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Msomi na mchambuzi wa siasa za Afrika Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga ameeleza kuwa uchaguzi mkuu wa Oktoba [--] [----] ulifanyika katika mazingira ya migogoro kwa sababu ya kukosekana kwa mwafaka wa kisiasa huku akizitaja kambi za wahafidhina ndani ya CCM na CHADEMA kama chanzo cha mkwamo huo. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi Kamwaga amebainisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan aliingia madarakani akiwa na nia ya dhati ya kufanya marekebisho (reforms) lakini alikumbana na upinzani wa ndani na nje. Kamwaga amefichua kuwa baadhi ya viongozi na wabunge ndani ya CCM walikuwa na hofu"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022548247063953609)  2026-02-14T05:47Z 958.9K followers, [----] engagements


"*MWIGULU AIBUA WIZI HUJUMA -Nipashe *LISSU ALIVYOMUHOJI MASWALI SHAHIDI FICHE WA JAMHURI -Mwananchi *SIKU [---] ZA KAZI NA UTU ZAIKOSHA CCM -Uhuru *IN GOD WE TRUST -Mwanaspoti Ni sehemu ya 'Headline' zilizopo kwenye baadhi ya magazeti ya Tanzania yaliyochapisha habari za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani leo Jumamosi Februari [-------] karibu upitie #HappyValentineDay"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022555544859316239)  2026-02-14T06:16Z 958.9K followers, [----] engagements


"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imetangaza kuwa matokeo ya uchaguzi wa viongozi wa kitaifa wa Chama cha Wananchi (CUF) uliofanyika Desemba [----] ni batili na kuelekeza chama hicho kurudia uchaguzi wa nafasi za juu za uongozi mara moja. Katika barua ya tarehe [--] Februari [----] iliyotiwa saini na Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Sisty Nyahoza kwa niaba ya Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi ambayo Jambo TV tumeiona na ambayo imetumwa kwa Katibu Mkuu wa CUF na walalamikaji ofisi hiyo imetoa uamuzi huo baada ya kufanyia kazi malalamiko yaliyowasilishwa na wanachama akiwemo"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022564183326195850)  2026-02-14T06:50Z 958.8K followers, 16K engagements


"VIDEO: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa ujasiri na uzalendo wa hali ya juu wa kujitoa kuwalinda raia na mali zao huku akionya kuwa ulimwengu wa sasa unakabiliwa na tishio jipya la uhalifu kupitia teknolojia. Akizungumza na uongozi wa juu wa jeshi hilo maafisa na askari katika Chuo cha Polisi Ziwani Zanzibar Waziri Katambi amesema kuwa jeshi imara ndio sababu ya Watanzania kumiliki mali na kuishi kwa amani. Waziri Katambi ametoa tahadhari maalum kuhusu matumizi ya teknolojia ya kisasa ikiwemo Akili Mnemba (Artificial Intelligence) na mitandao"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022627103741559177)  2026-02-14T11:00Z 958.8K followers, 23.8K engagements


"VIDEO: Wizara ya Uchukuzi imesema itahakikisha inaulinda mradi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) unaotekelezwa na Shirika la Reli Tanzania @tzrailways kama ambavyo imetakiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu. Kauli hiyo imetolewa Februari [--] [----] na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile wakati wa ziara ya kamati hiyo iliyotembelea mradi wa SGR kwa lengo la kupata ufahamu na uelewa wa majukumu ya Shirika la Reli nchini (TRC) pamoja na hatua mbalimbali zilizofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya reli. Kihenzile amesema kwa niaba ya serikali na Waziri wa"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022676459253321886)  2026-02-14T14:17Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Mrisho Masoud ni mwanafunzi wa kidato cha tatu kutoka shule ya Sekondari Pugu ya jijini Dar Es Salaam ambaye ana ndoto za kuwa Mhandisi(Engineer). Anaamini katika ndoto zake na ni mwenye jitihada darasani kwani matokeo ya kidato cha pili alipata daraja la kwanza(Division one) pamoja na changamoto ya ulemavu aliyonayo bado haijamkatisha tamaa. Anasema kwenye familia yao yeye ndiye kasoma sana jambo ambalo linamsukuma kufanya jitihada kwa wingi darasani kwa ajili ya kuiokomboa familia yake. Leo Februai [--] [----] Tasisi ya Sisi Sote ni Sawa @SoteSawa2025 ikiongozwa na Mkurugenzi wake Judith"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022712972708102504)  2026-02-14T16:42Z 958.9K followers, [----] engagements


"VIDEO: Hali ya sintofahamu inaonekana kutanda katika Soko la Mbagala Zakhiem wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam kufuatia mpango wa Serikali wa kupunguza ukubwa wa meza na vizimba vya biashara na kuanzisha mfumo wa meza za futi nne kwa nne (4x4) kwa wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao pembezoni mwa soko hilo eneo lililo karibu na barabara hatua inayolalamikiwa na wafanyabiashara kuwa ni ya "unyonyaji" na inayolenga kutoa mianya ya rushwa. Wafanyabiashara hao wameeleza kushtushwa na agizo la kupunguzwa kwa maeneo yao wakati wengi wao wakidai kuwa na uhalali wa kufanya kazi katika maeneo"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022717533078307087)  2026-02-14T17:00Z 958.9K followers, [----] engagements


"Kampuni ya GN ECO SOLUTION COMPANY imefanikiwa kuandaa na kuratibu programu maalumu ya ujenzi wa timu (Team Building) kwa wafanyakazi wa National Board of Accountants and Auditors (NBAA) iliyofanyika katika mazingira ya asili na utulivu wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Programu hiyo imefanyika siku ya Jumamosi ikihusisha mazoezi na michezo mbalimbali ya kiutendaji iliyolenga kuimarisha mshikamano kazini kuendeleza mawasiliano bora kujenga uaminifu baina ya wafanyakazi pamoja na kukuza misingi ya uongozi na ushirikiano wa pamoja. Kupitia mbinu shirikishi na za vitendo washiriki wamehamasishwa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/2022717649235374239)  2026-02-14T17:00Z 958.9K followers, [----] engagements


"*RAIS SAMIA AGEUKIA VITA DHIDI YA MALARIA -Mzalendo *TANZANIA IKO IMARA MABADILIKO TABIANCHI -Habari Leo *FIGHT AGAINST MALARIA: SAMIA DEMANDS OWNERSHIP -Sunday News *HAKUNA NAMNA: PEDRO AWASHTUKIA WAARABU MASTAA AZAM WALA KIAPO -Mwanaspoti Ni sehemu ya 'Headline' zilizopo kwenye baadhi ya magazeti ya Tanzania yaliyochapisha habari za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani leo Jumapili Februari [-------] karibu upitie #UweNaJumapiliNjema https://twitter.com/i/web/status/2022896546442821892 https://twitter.com/i/web/status/2022896546442821892"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022896546442821892)  2026-02-15T04:51Z 958.8K followers, [----] engagements


"Hofu imetajwa kuibuka kuhusu uwezekano wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kutofikishwa mahakamani kama ilivyopangwa Aprili [--] [----] katika kesi ya uhaini inayomkabili hali iliyosababisha wito wa wazi kutoka kwa wakili Peter Kibatala akisisitiza kuwa jaribio lolote la aina hiyo litakumbana na upinzani mkali wa kisheria. Akizungumza kupitia taarifa maalum aliyoichapisha katika kurasa za mitandao yake ya kijamii Kibatala amesema wanahofia mipango isiyo rasmi ya kuzuia au kuchelewesha kufikishwa kwa Lissu mahakamani jambo ambalo litakuwa ni ukiukwaji mkubwa wa haki za kisheria na uhuru wa"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1914359209237283131)  2025-04-21T16:42Z 958.9K followers, 71.5K engagements


"📍Katoro - Geita Juni [--] 2025"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1935222718447702370)  2025-06-18T06:27Z 960.4K followers, [----] engagements


"#OKTOBATUNATIKI"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1958448870452588574)  2025-08-21T08:39Z 960.5K followers, 16.8K engagements


"PICHA ZAIDI"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1968943490433179779)  2025-09-19T07:41Z 959.8K followers, [--] engagements


"HABARI: Hatimaye mabaki ya mwili wa kijana Joshua Mollel aliyeuwawa nchini Israel na wapiganaji wa Hamas Oktoba [--] [----] yamewasili leo Novemba [--] [----] katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Mabaki ya mwili wa Joshua yalipokelewa na Ujumbe wa Serikali ya https://t.co/ZmQhHGYVj0 HABARI: Hatimaye mabaki ya mwili wa kijana Joshua Mollel aliyeuwawa nchini Israel na wapiganaji wa Hamas Oktoba [--] [----] yamewasili leo Novemba [--] [----] katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Mabaki ya mwili wa Joshua yalipokelewa na Ujumbe wa Serikali ya https://t.co/ZmQhHGYVj0"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1991165126712401975)  2025-11-19T15:22Z 959.1K followers, [----] engagements


"https://www.youtube.com/live/oslG_il-O-Esi=03YfrnkclphKa1z4 https://www.youtube.com/live/oslG_il-O-Esi=03YfrnkclphKa1z4"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1995458389728444604)  2025-12-01T11:42Z 959.1K followers, [----] engagements


"VIDEO: Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba Humphrey Polepole Jana Agosti [--] [----] akizungumza kupitia mitandao ya kijamii alisema bei ya gesi ya kupikia kwa mtungi wa kilogram ishirini (20kg) nchini Cuba ni shilingi elfu mbili za Kitanzania (2000/=TZS) ukilinganisha na bei ya mtungi wa gesi ya kupikia wa kilogram kumi na tano (15kg) nchini ambao ni kuanzia elfu hamsini na sita(56000/=) mpaka elfu sitini za kitanzania(60000/=). Leo Agosti [--] Mwandishi na Mchambuzi wa siasa Ezeckiel Kamwaga akichangia mada katika mjadala ulioandaliwa na Jukwaa la Wachanbuzi na PPPC amesema kuwa bei ya gesi"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1961753824580063694)  2025-08-30T11:32Z 958.8K followers, 19.3K engagements


"Andrew Tate anakabiliwa na mashtaka [--] ya uhalifu nchini Uingereza ikiwa ni pamoja na ubakaji kudhuru mwili biashara ya binadamu na utumwa wa kingono imesema Ofisi ya Mashtaka ya Crown (CPS). CPS imesema imeidhinisha mashtaka dhidi ya Andrew Tate ambayo ni kutoka kwa walalamikaji watatu kabla ya kibali cha kurejeshwa Uingereza kutoka Romania kutolewa mwaka [----]. Kaka yake Tristan Tate anakabiliwa na mashtaka [--] ikiwa ni pamoja na ubakaji kudhuru mwili na biashara ya binadamu kutoka kwa mlalamikaji mmoja. Ndugu hao daima wamekanusha makosa yoyote. CPS ilisema katika taarifa yake kwamba"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1928076876347486635)  2025-05-29T13:12Z 958.8K followers, [----] engagements


"VIDEO: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema vurugu zilizojitokeza siku na baada ya uchaguzi zilichochewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani aliowaita waliokosa uzalendo na ambao amesema wamepanga kwa makusudi kusababisha machafuko licha ya kupewa fursa za kufanya siasa kwa uhuru na kuheshimiwa na serikali. Akizungumza Desemba [--] [----] kwenye mkutano na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC) Rais Samia amesema baadhi ya viongozi wa upinzani wanapandikiza misimamo ya uchochezi"  
[X Link](https://x.com/Jambotv_/status/1995799035374960698)  2025-12-02T10:15Z 958.8K followers, 17.2K engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@Jambotv_ Avatar @Jambotv_ Jambo TV

Jambo TV posts on X about tanzania, leo, wa, mali the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [------] #

Engagements Line Chart

  • [--] Months [-------] +791%
  • [--] Year [-------] -61%

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

Followers: [-------] #

Followers Line Chart

  • [--] Months [-------] -0.19%
  • [--] Year [-------] +0.44%

CreatorRank: [-------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries 65% travel destinations 5% technology brands 3% celebrities 2% currencies 2% social networks 1% automotive brands 1%

Social topic influence tanzania #126, leo #511, wa #42, mali 5%, dar 4%, zanzibar 3%, bara #685, cha #37, breaking news 2%, kwanza 2%

Top accounts mentioned or mentioned by @chadematz2 @pmadeleka @granitinho85459 @ezekielkamwaga @daxmaga @hechejohn @sharb84 @j_camavinga @baharyy25 @biddalmask @magoigas @zephania_ndaki @pushathetruth @jaguar_455 @busaratupu @nhctanzania @jambotv @rugemeleza @tzrailways @sotesawa2025

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"VIDEO: Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea kusisitiza kuwa amri ya Mahakama iliyokuwa imeweka zuio dhidi yao la kutojihusisha na Shughuli zozote za kisiasa na kiutendaji hapo kesi ya madai inayoendelea kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam itakapotolewa uamuzi imefikia tamati Akizungumza kwenye mahojiano maalum na Jambo TV mapema leo Jumatatu Februari [-------] Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa chama hicho Wakili Gaston Garubindi amesema kwa mujibu wa sheria amri ya zuio kama hilo linadumu kwa muda wa miezi sita (6) pekee na endapo waleta"
X Link 2026-02-02T10:50Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Mtaalamu na mchambuzi maarufu wa masuala ya siasa nchini Deus Kibamba amekosoa namna Serikali ya Tanzania inavyoshughulikia migogoro iliyotokana na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] akidai kuwa Tanzania imeruka hatua muhimu za kisayansi za utatuzi wa migogoro na badala yake inatumia "miujiza ya kisiasa" na matamko kuzima mijadala ya vifo uharibifu wa mali na majeraha katika maisha ya watu. Katika uchambuzi wake akizungumza na televisheni ya mtandao ya SAUT DIGITAL Kibamba amebainisha kuwa mgogoro wowote uliofikia hatua ya kumwaga damu hauwezi kutatuliwa kwa rungu panga wala kuzima"
X Link 2026-02-04T07:28Z 958.9K followers, [----] engagements

"Nyaraka mpya zilizowekwa wazi hivi karibuni kuhusu mfanyabiashara na mhalifu wa makosa ya kingono wa Marekani marehemu Jeffrey Epstein zimeibua madai ya kuwepo kwa uhusiano wa kifedha kati yake na aliyekuwa Rais wa Zimbabwe marehemu Robert Mugabe. Kwa mujibu wa nyaraka hizo mawasiliano ya barua pepe ya mwaka [----] kati ya Epstein na mjasiriamali wa Kijapani Joi Ito yanaonesha kuwa Epstein alipendekeza mpango wa kukutana na Rais Mugabe. Lengo la mpango huo lilikuwa ni kuanzisha sarafu mpya nchini Zimbabwe kufuatia kuporomoka kwa dola ya nchi hiyo kutokana na mfumuko wa bei uliokithiri. Nyaraka"
X Link 2026-02-05T06:15Z 958.8K followers, 18.5K engagements

"VIDEO: Chama cha ACT Wazalendo kimeingia kwenye mzozo mzito na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kufuatia mpango wa tume hiyo kuteketeza nyaraka zote za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] hatua ambayo upinzani umeitaja kama jaribio la kuharibu ushahidi wa kesi zilizopo mahakamani. Akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho Vuga siku ya Jumatano Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Ismail Jussa amesema kuwa kuanzia Januari [--] [----] chama hicho kilishawasilisha maombi ya kisheria mahakamani ili nyaraka hizo zihifadhiwe kama ushahidi kwa ajili ya kesi [--] za wagombea uwakilishi."
X Link 2026-02-05T07:54Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amekata mzizi wa fitina kuhusu madai ya baadhi ya wabunge kuitwa kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) akisisitiza kuwa hakuna mbunge atakayehojiwa nje ya utaratibu wa Bunge kwa kauli aliyoitoa ndani ya ukumbi wa mjadala. Akitoa mwongozo bungeni leo Februari [--] [----] Spika Zungu amebainisha kuwa ofisi yake haijapokea wito wowote na wala hajatoa kibali kwa mbunge yeyote kuhojiwa. Amesema uhuru wa mbunge kutoa maoni yake bungeni unalindwa kikatiba na kisheria ili kuruhusu uwakilishi wa wananchi bila"
X Link 2026-02-05T09:17Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Mchakato wa kuwapata wajumbe watakaoliwakilisha Bunge la Tanzania katika jumuiya za kimataifa umechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Ukonga kupitia chama cha ACT Wazalendo Bakari Shingo kulazimika kuachana na lugha ya Kiingereza na kutumia Kiswahili wakati akijinadi kuomba kura. Tukio hilo limetokea leo jijini Dodoma wakati wabunge mbalimbali wakichuana kuwania nafasi za uwakilishi katika taasisi kama Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Jukwaa la Wabunge wa SADC (SADC-PF). Shingo ambaye alikuwa akijaribu kufafanua vipaumbele vyake alitatizika kuelezea hoja zake kwa Kiingereza kabla ya"
X Link 2026-02-05T10:36Z 958.9K followers, 15.6K engagements

"Rais Donald Trump amelazimika kufuta video fupi kwenye mitandao yake ya kijamii iliyowaonesha Rais mstaafu Barack Obama na mkewe Michelle Obama katika sura ya nyani baada ya kuibuka kwa wimbi kubwa la ukosoaji kutoka kwa wanachama wa vyama vyote viwili (Republicans na Democrats). Video hiyo ambayo inaonekana kutengenezwa kwa teknolojia ya Akili Mnemba (AI) iliwaonesha wanandoa hao wa zamani wa Marekani wakicheza wimbo maarufu wa "The Lion Sleeps Tonight". Kitendo cha kuwafananisha watu mweusi na nyani kimekosolewa vikali kama matumizi ya taswira za kibaguzi zilizopitwa na wakati. Ukosoaji"
X Link 2026-02-07T06:53Z 958.9K followers, 14.7K engagements

"Utafiti mpya uliotolewa hivi karibuni umebaini kuwa Tanzania inapoteza takribani shilingi trilioni [-----] kila mwaka kutokana na kodi zisizokusanywa katika soko la pombe haramu. Ripoti hiyo iliyozinduliwa na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) kwa ushirikiano na kampuni ya Euromonitor International inaonesha kuwa asilimia [--] ya pombe yote inayotumiwa nchini ni haramu. Utafiti huo unaonesha kuwa pombe za kienyeji zisizo halali maarufu kama gongo ndizo zinazoongoza kwa kusababisha hasara zikichangia kupotea kwa shilingi bilioni [---] kwa mwaka. Sababu kuu ya wananchi kukimbilia pombe hizi ni bei"
X Link 2026-02-07T09:31Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito mzito kwa viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kuendelea kumlinda Rais Samia Suluhu Hassan kwa maombi akionya kuwa usalama wa Rais ndio msingi wa utulivu wa nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Februari [--] [----] Dkt. Nchimbi amesisitiza kuwa nafasi ya Rais ni ya kipekee na inayohitaji ulinzi wa kiungu dhidi ya watu wenye nia mbaya. Katika hafla ya usimikaji wa uongozi wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) Dkt. Nchimbi amekumbusha falsafa ya Baba wa Taifa kuwa unaweza kumtikisa"
X Link 2026-02-07T13:03Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara amekutana na Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] na kutoa ushahidi wa kina kuhusu madhara yaliyowapata wananchi wake ikiwemo watu kupotea vifo na uharibifu wa mali. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukutana na Tume hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake Jaji Chande Waitara amesema amepata fursa ya kuzungumza "uso kwa uso" na kuelezea kila kitu kilichotokea Tarime kabla wakati na baada ya uchaguzi. Waitara amebainisha maeneo kadhaa nyeti ambayo ameyatolea maelezo kwa Tume ikiwamo watu kupotea ambapo amesema"
X Link 2026-02-07T15:59Z 958.9K followers, [----] engagements

"Jambo TV inakusogezea kuona kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za baadhi ya magazeti ya Tanzania yanayochapisha habari za siasa jamii na uchumi leo Jumatatu Februari [-------]. Usikose kufuatilia kipindi cha Jambo Asubuhi cha Jambo TV kinachokujia kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 03:00 hadi 05:00 asubuhi kwa ajili ya uchambuzi wa kina wa kilichopo magazetini na masuala mengine yaliyochukua nafasi kwenye nyanja za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani ya ndani na nje ya mipaka ya Tanzania"
X Link 2026-02-09T03:55Z 958.8K followers, [----] engagements

"Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu inaendelea tena leo Jumatatu Februari [-------] Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Kesi hiyo No. 19605/2025 inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru imepangwa kusikilizwa kwa muda wa siku [--] mfululizo kuanzia leo hadi Machi [-------] Ikumbukwe kuwa kesi hiyo kwa sasa ipo kwenye hatua ya mashahidi wa Jamhuri kuendelea kutoa ushahidi wao Mahakamani hapo hata hivyo mara ya mwisho kutajwa Mahakamani hapo mashtakiwa (Tundu Lissu)"
X Link 2026-02-09T03:57Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga ametoa onyo kali dhidi ya kile alichokiita "ujinga na maigizo" ya baadhi ya viongozi wanaojaribu kuingiza siasa ndani ya Kanisa Katoliki. Akizungumza kwa ukali kuhusu taratibu za kikanisa Askofu Rweyongeza amewashangaa watu wanaoruka ngazi za uongozi na kwenda kumshtaki Askofu au Baraza la Maaskofu moja kwa moja kwa Baba Mtakatifu (Papa) bila kufuata utaratibu. Askofu ameeleza kuwa Kanisa lina mifumo madhubuti ya kisheria na kikanisa ambayo haiongozwi kwa kukurupuka au shinikizo la kisiasa. Amebainisha kuwa"
X Link 2026-02-09T06:29Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Taasisi yetu ya Kanisa Katoliki ni ya miaka mingi taasisi ya Katoliki ndio mama wa taasisi zote ndio mama wa serikali zote. Imekuwapo haijaanguka tangu Yesu zaidi ya miaka elfu mbili na hakuna taifa lolote litakaloweza kuiangusha Kanisa Katoliki. Warusi walijitahidi kuangamiza Kanisa Katoliki kuanzia kufundisha watu kwamba Mungu amekufa God is dead taifa lao ndio limesambaratika Mungu wetu bado yupo na kanisa bado lipo Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza Askofu wa Jimbo Katoliki Kayanga"
X Link 2026-02-09T06:36Z 958.8K followers, 18.4K engagements

"VIDEO: Furaha na kelele za shangwe zimeibuka katika chumba cha Mahakama wakati Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alipoingia ndani ya chumba hicho kwa ajili ya kufuatilia na kusikiliza shauri la Uhaini linalomkabili ambapo leo ushahidi unaendelea kutolewa huku akijitetea peke yake"
X Link 2026-02-09T07:23Z 958.8K followers, [----] engagements

"Kesi ya uhaini No. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu inaendelea sasa kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumatatu Februari [-------] Kesi hiyo inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru inaendelea leo kufuatia kuahirishwa mara ya mwisho Novemba [-------] Kesi hiyo inaendelea leo kwaajili ya upande wa Jamhuri kujibu mapingamizi yaliyowasilishwa Mahakamani hapo na mshtakiwa (Tundu Lissu) ambaye anajitetea mwenyewe kwenye kesi hiyo Hata hivyo kabla upande wa"
X Link 2026-02-09T09:39Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amempa nasaha nzito Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti akimkumbusha kuwa uteuzi wake wa kuwa Balozi unamaanisha kuwa sasa amebeba taswira na heshima ya nchi nzima mabegani mwake. Akizungumza Ikulu jijini Dar es Salaam leo Februari [--] [----] Rais Samia amemuagiza Balozi huyo mpya kupitia mafunzo maalum ya muda mfupi kabla ya kupangiwa kituo chake cha kazi nje ya nchi. Wakati mwingine ubalozi mimi huona kama mnafanya uvivu maana zile protocol ufundishwe sijuivifungo sijui kidole kikaeje sijui ukikaa juu ya meza ufanyeje. Lakini"
X Link 2026-02-09T09:43Z 958.9K followers, 19.8K engagements

"Kesi ya uhaini No. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeendelea leo Jumatatu Februari [-------] kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Kesi hiyo inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru leo imekuja kwaajili ya upande wa Jamhuri kujibu hoja za mapingamizi yaliyowekwa na mshtakiwa Novemba [-------] kesi hiyo ilipotajwa mara ya mwisho Mahakamani hapo Msingi wa mapingamizi hayo unatokana na shahidi wa siri wa Jamhuri (PW11) na kizimba cha siri cha kuongelea shahidi"
X Link 2026-02-09T11:28Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Rais wa Chama cha Mawakili Afrika Mashariki (East Africa Law Society) Ramadhan Abubakar ni miongoni mwa 'wageni' waliofika kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumatatu Februari [-------] kwaajili ya kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu Akizungumza na Waandishi wa Habari akiwa Mahakamani hapo Ramadhan amesema ni jukumu la chama hicho kufuatilia na kuangalia ustawi wa siasa demokrasia na utawala bora kwa nchi wanachama wa EAC lakini hata hivyo kumekuwa na wimbi la ukiukwaji wa kisheria mfululizo wa kesi"
X Link 2026-02-09T13:13Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Mchungaji Rose Masesa ambaye ni Dada mkubwa wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia serikali anayoiongoza kuangalia upya kesi ya uhaini inayomkabili mdogo wake kwani kwa namna anavyomfahamu mara zote Tundu Lissu amekuwa na kipaumbele cha kupigania Taifa na kudai utawala wa Sheria na ulinzi wa Haki za Binadamu na kwamba kama familia walishangazwa waliposikia ndugu yao anashtakiwa kwa uhaini Akizungumza na Waandishi wa Habari akiwa kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es"
X Link 2026-02-09T14:04Z 958.8K followers, 10.7K engagements

"VIDEO: Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda ameagiza kuchukuliwa hatua za haraka za kinidhamu na kisheria dhidi ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Wilaya ya Ukerewe anayedaiwa kujihusisha na mgongano wa maslahi kwa kuchukua tenda ya kusambaza kokoto kupitia kampuni yake ya Nosa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Mkoa yenye hadhi ya rufaa unaotekelezwa wilayani humo. Akizungumza leo wakati wa ukaguzi wa mradi huo Mtanda amesema changamoto ilianza pale ambapo kampuni ya Nosa inayomilikiwa na mtumishi wa Serikali ilipewa tenda ya kusambaza kokoto kwa aili ya mradi huo bila"
X Link 2026-02-09T14:11Z 958.8K followers, [----] engagements

"HABARI PICHA: Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameongoza mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji Bi Rose Zakaria Ambrose aliyeteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hasaan mapokezi yaliyofanyika mapema leo katika ofisi za DAWASA Mkoani Dar es Salaam. Katika mapokezi hayo Waziri Aweso aliambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Mhandisi Mwajuma Waziri Menejimenti ya Wizara Wakuu wa Taasisi chini ya Wizara ya Maji na Viongozi waandamizi kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) na kueleza mipango mikakati ya kuimarisha"
X Link 2026-02-09T15:15Z 958.8K followers, [----] engagements

"Serikali ya Uingereza imeingia katika misukosuko mizito baada ya Kiongozi wa Chama cha Labour nchini Scotland Anas Sarwar kutarajiwa kutoa wito rasmi kwa Waziri Mkuu Keir Starmer kujiuzulu nyadhifa zake zote. Sarwar ameitisha mkutano wa dharura na waandishi wa habari jijini Glasgow leo Februari [--] [----] ambapo anatarajiwa kuweka wazi msimamo wake dhidi ya Starmer. Msuguano huu unachochewa na uteuzi wenye utata wa Peter Mandelson kuwa Balozi wa Uingereza nchini Marekani (Washington) hatua ambayo Sarwar aliipinga vikali wiki iliyopita kutokana na uhusiano wa Mandelson na marehemu Jeffrey Epstein."
X Link 2026-02-09T15:42Z 958.8K followers, 12.3K engagements

"VIDEO: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi.ametoa wito kwa taasisi binafsi kushirikiana kwa karibu na vyuo vya elimu ya juu kwa kuwekeza katika tafiti za sayansi na teknolojia pamoja na kuhimiza ubunifu katika ufundishaji na ujifundishaji Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Februari [-------] wakati wa uzinduzi wa mpango wa pamoja wa ushirikiano kati ya waajiri na vyuo Balozi Dkt. Nchimbi amesema taasisi binafsi zinapaswa pia kufadhili tafiti mbalimbali kutoa ufadhili kwa wanafunzi wa fani tofauti kulingana na mahitaji ya soko la ajira pamoja"
X Link 2026-02-09T17:25Z 958.8K followers, [----] engagements

"Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema limeanza kufanya uchunguzi kuhusiana na picha mjengeo inayosambazwa kupitia mitandao ya kijamii wakionekana wanawake wawili wakimpiga mwanamke mmoja kwa kutumia mwiko na kumshambulia kwa maneno kwa madai ya kudhalilishwa na mhanga wa tukio hilo kupitia mtandao Facebook. Taarifa ya Polisi iliyotolewa leo Jumatatu Februari [--] [----] na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini DCP David Misime imeeleza kuwa katika Picha hiyo mjongeo wanawake hao wamesikika wakihoji sababu za mmoja wao kudhalilishwa kwenye Mitandao ya kijamii kuwa amekuwa akiiba mabwana (Waume) za"
X Link 2026-02-09T17:35Z 958.8K followers, 10.9K engagements

"Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma imewaachilia huru viongozi wawili na wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka mazito ya ugaidi. Viongozi hao walioingia mikononi mwa vyombo vya dola kati ya Novemba [--] na [--] [----] awali walituhumiwa kwa uchochezi kabla ya mashitaka hayo kubadilishwa kuwa ya ugaidi. Walidaiwa kupanga njama za kuingiza silaha kutoka nchi jirani kwa ajili ya kusababisha vurugu na machafuko nchini. Akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa mahakama muda mfupi baada ya uamuzi huo Wakili wa utetezi Dickson"
X Link 2026-02-10T10:23Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Kesi ya Ardhi Na. 6075/2025 imeendelea tena leo Jumanne Februari [-------] Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Ardhi Dar es Salaam Kesi hiyo ya madai iliyofunguliwa na Kanali Naftali Swai na wenzake [--] dhidi ya Ashour Ashour na wenzake watano (5) imeitwa leo Mahakamani hapo mbele ya Jaji Mohamed Gwai ambapo kesi hiyo imetajwa leo kwaajili ya kutolewa amri muhimu ikiwemo amri ya kupanga kikao cha majadiliano ya kwanza Akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye viunga vya Mahakama hiyo Wakili Peter Madeleka anayewawakilisha waleta maombi amesema Mahakama leo imetoa amri kwamba wadaiwa"
X Link 2026-02-10T13:01Z 958.8K followers, [----] engagements

"Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu kadhaa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo udukuzi wa mifumo ya kibiashara ya simu za mikononi biashara ya dawa za kulevya na mauaji yanayotokana na migogoro ya ardhi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya SACP Benjamin Kuzaga amesema wanamshikilia Charles Oden Mwakasege (32) fundi simu Mkazi wa Meta Jijini Mbeya na Bw. Isack Charles 'Bebwa' mkazi wa Shewa kwa tuhuma za kuingilia mdumo wa kibiashara wa makampuni ya ukopeshaji wa simu. Kuzaga katika taarifa yake ya leo Jumanne Februari [--] [----] kwa vyombo vya habari amesema watuhumiwa hao walikamatwa katika"
X Link 2026-02-10T15:52Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi Joseph Selasini ametoa tathmini kali kuhusu utendaji wa Bunge la sasa akidai kuwa chombo hicho kimepoteza hadhi ya kuwa sauti ya wananchi na kugeuka kuwa "kikao cha chama." Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi kupitia Jambo TV leo Jumanne Februari [--] [----] Selasini amebainisha kuwa mchakato uliotumika kupata wabunge wa sasa unatia shaka jambo linalofanya chombo hicho kushindwa kutekeleza wajibu wake wa kuisimamia serikali ipasavyo. Alipoulizwa kulinganisha mabunge ya nyuma na Bunge la sasa Selasini amesema tofauti hiyo iko wazi hata"
X Link 2026-02-10T17:18Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Jeshi la Polisi la Uganda limesema litaendelea kuwa karibu na makazi ya kiongozi wa Chama cha National Unity Platform NUP Kyagulanyi Ssentamu (Bobi Wine) kwa maslahi ya usalama wa taifa. Taarifa hiyo imetolewa leo Februari [--] [----] na Msemaji wa Jeshi hilo ACP Rusoke Kituuma akizungumza na vyombo vya habari na kueleza kuwa jeshi hilo kwa sasa halina jambo na Bobi Wine na kama likimhitaji kama ametenda makosa litamuita au kumkamata. https://twitter.com/i/web/status/2021295657286291782 https://twitter.com/i/web/status/2021295657286291782"
X Link 2026-02-10T18:50Z 958.8K followers, [----] engagements

"Karibu kufuatilia kilichoandikwa leo Jumatano Februari [-------] kwenye magazeti ya Tanzania yanayochapisha habari za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani Ili kupata uchambuzi wa kina wa kilichopo magazetini leo na mengine mengi yaliyojili kwenye nyanja mbalimbali ndani na nje ya nchi usikose kufuatilia kipindi cha 'Jambo Asubuhi' ya Jambo TV kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 03:00 hadi 05:00 asubuhi. https://twitter.com/i/web/status/2021440944738893861 https://twitter.com/i/web/status/2021440944738893861"
X Link 2026-02-11T04:27Z 958.8K followers, [---] engagements

"Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumatano Februari [-------] inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu mapingamizi yaliyowekwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu katika kesi ya uhaini inayomkabili Katika kesi hiyo Na. 19605/2025 inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru mshtakiwa Tundu Lissu ambaye anajitetea mwenyewe anapinga uhalali wa kizimba cha kilichopo ndani ya chumba cha Mahakama kilichoandaliwa kwaajili ya kutumiwa na shahidi wa siri (PW11) na mashahidi wengine wa siri watakaofuata akidai"
X Link 2026-02-11T04:28Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala ameeleza masikitiko yake kufuatia uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam mapema leo Jumatano Februari [-------] wa kutupilia mbali mapingamizi yaliyokuwa yamewekwa na chama hicho katika kesi ya usawa kwenye 'mgawanyo wa mali' kati ya Tanzania Bara na Zanzibar Akizungumza na Waandishi wa Habari muda mfupi baada ya Mahakama kupitia Jaji Hamidu Mwanga kutoa uamuzi huo Wakili Dkt. Nshala amesema chama hicho kimepokea maamuzi hayo lakini hakijakubali hivyo baada"
X Link 2026-02-11T07:33Z 958.8K followers, [----] engagements

"Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limetoa ufafanuzi juu ya tukio la kifo cha mwanamume mmoja Mohamed Mohamed Kisingwe (30) aliyefariki dunia wakati akijaribu kuwakimbia maafisa wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya (DCEA). Tukio hilo limetokea Februari [--] [----] katika eneo la Maandakini Kata ya Nayomboni wilayani Mkinga wakati maafisa wa DCEA walipokuwa wakifuatilia taarifa za usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya mirungi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga ACP Almachius Mchunguzi Februari [--] [----] marehemu alikuwa akiendesha pikipiki yenye namba za"
X Link 2026-02-11T08:25Z 958.8K followers, 20.9K engagements

"VIDEO: Kutoka chumba na.3 cha Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amepanda kwenye kizimba kwa ajili ya kesi ya uhaini inayomkabili. Wakati akipandishwa zimesikika kelele za shangwe "Rais Rais Rais""
X Link 2026-02-11T08:34Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Patrick Assenga ni miongoni mwa waliofika katika Mahakamani Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam kufuatilia kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Akiwa hapa mahakamani ameonyesha ishara ya vidole viwili ambayo CHADEMA wamekuwa wakiitumia huku wakisema 'people's power'. Ikumbukwe mwaka jana Assenga alikihama chama cha CHADEMA. https://twitter.com/i/web/status/2021505793946681439 https://twitter.com/i/web/status/2021505793946681439"
X Link 2026-02-11T08:45Z 958.8K followers, 13.8K engagements

"Breaking News: Kutoka kwenye chumba Namba moja (1) cha Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Mahakama imetupilia mbali mapingamizi manne (4) kati ya matano (5) yaliyokuwa yamewasilishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu katika kesi ya uhaini inayomkabili Akitoa uamuzi wa mapingamizi hayo muda mfupi uliopita kiongozi wa jopo la Majaji wanayesikiliza kesi hiyo Na. 19605/2025 Jaji Dastan Ndunguru amesema pingamizi lililokubaliwa ni lile linalohusu kizimba kilichojengwa kwaajili ya kutumiwa na mashahidi wa siri kutokidhi matakwa ya"
X Link 2026-02-11T09:03Z 958.9K followers, 14K engagements

"VIDEO: Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika Wakili Msomi Boniface Mwabukusi akiwasili katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo kwa ajili ya kufuatilia kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu"
X Link 2026-02-11T09:12Z 958.8K followers, [----] engagements

"Sekta ya Madini Tanzania kupitia Kongamano la Mining Indaba [----] imeendelea kuimarisha nafasi yake kimataifa huku Tanzania ikiendelea kujidhihirisha kama kimbilio la uwekezaji katika Sekta ya Madini kwa kuvutia mashirika ya kimataifa kampuni mbalimbali na wawakilishi wa kidiplomasia. Februari [--] [----] Waziri wa Madini alikutana na wadau muhimu ikiwemo Benki ya Dunia katika vikao vya pembeni vya kongamano linaloendelea jijini Cape Town Afrika Kusini pamoja na kushiriki Mkutano wa Mawaziri wa Madini wa SADC. Katika kikao kilichofanyika baina ya ujumbe wa Australia na Tanzania Naibu Balozi wa"
X Link 2026-02-11T09:54Z 958.8K followers, [----] engagements

"MAKALA: Katika uongozi wa kisasa thamani ya Serikali haipimwi kwa ukubwa wa ahadi zake bali kwa uzito wa matokeo yake na ndiyo maana siku [---] za utekelezaji chini ya Serikali ya Awamu ya Sita ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan zimejijenga kama kioo kinachoakisi dira uthubutu wa maamuzi na kasi ya utekelezaji inayolenga kugusa maisha ya wananchi kwa vitendo. Kipindi hiki hakijabeba tu takwimu na miradi bali kimebeba ujumbe mpana wa Taifa linaloongozwa kwa misingi ya uwajibikaji ufanisi na matumaini mapya ambapo sekta ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi"
X Link 2026-02-11T15:08Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Ikiwa ni zaidi ya miezi sita (6) tangu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipigwe marufuku na Mahakama kuendesha shughuli zote za kisiasa na kiutendaji leo Jumatano Februari [-------] chama hicho kimetangaza kuanza rasmi 'oparesheni' zake za kisiasa na kiutendaji Akizungumza na Waandishi wa Habari akiwa kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam muda mfupi baada ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu kuhairishwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Tanzania Bara Amani Golugwa ameagiza viongozi na makada wa chama hicho"
X Link 2026-02-11T15:58Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Msomi wa Masuala ya Siasa za Maridhiano mwandishi wa habari mwandamizi Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga ametoa dira mpya kuhusu mchakato wa maridhiano ya kisiasa nchini Tanzania akisisitiza kuwa hatua ya kwanza ni kujenga mtangamano wa tabaka la wanasiasa (Elite Cohesion). Katika uchambuzi wake ulioenea mitandaoni Kamwaga amebainisha kuwa nchi imefika hatua ambayo maridhiano hayakwepeki kufuatia matukio ya kisiasa ya kabla na baada ya uchaguzi wa Oktoba [--] mwaka jana. Amesema kuwa bila viongozi wa vyama hasimu kukutanishwa na kuanza kuaminiana juhudi nyingine zozote zinaweza kugonga"
X Link 2026-02-11T18:00Z 958.9K followers, 36.4K engagements

"Karibu kufuatilia kilichoandikwa leo Alhamisi Februari [-------] kwenye magazeti ya Tanzania yanayochapisha habari za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani Ili kupata uchambuzi wa kina wa kilichopo magazetini leo na mengine mengi yaliyojili kwenye nyanja mbalimbali ndani na nje ya nchi usikose kufuatilia kipindi cha 'Jambo Asubuhi' ya Jambo TV kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 03:00 hadi 05:00 asubuhi. https://twitter.com/i/web/status/2021805990195105837 https://twitter.com/i/web/status/2021805990195105837"
X Link 2026-02-12T04:38Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Hivi ndivyo Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu alivyofikishwa Mahakama Kuu asubuhi ya leo kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa kesi inayomkabili. Inatarajiwa kuwa shahidi wa siri anayedaiwa kuwa askari atapanda kizimbani na kutoa ushahidi wake katika shauri hilo"
X Link 2026-02-12T05:37Z 958.9K followers, 13.1K engagements

"Kisiwa cha Madagascar kimeingia katika hali ya majonzi na taharuki baada ya Kimbunga kikali cha Gezani kupiga pwani ya mashariki ya nchi hiyo na kusababisha vifo vya watu wasiopungua [--] na uharibifu mkubwa wa miundombinu. Kimbunga hicho kilichotua Jumanne Februari [--] [----] kilipiga bandari kuu ya Toamasina kikiwa na kasi ya upepo ya kilomita [---] kwa saa. Ripoti kutoka kwa mamlaka za maafa zinaeleza kuwa hali ni ya "machafuko makubwa" huku asilimia [--] ya mji huo wa pili kwa ukubwa nchini Madagascar ikiwa imeharibiwa vibaya. Takriban asilimia [--] ya paa za nyumba mjini Toamasina zimeezuliwa"
X Link 2026-02-12T06:33Z 958.9K followers, [----] engagements

"Serikali za Kenya na Afrika Kusini zimetoa shutuma kali dhidi ya kile kilichoitwa "mtandao wa udanganyifu" unaowarubuni vijana wasio na ajira kwenda Urusi kwa ahadi za kazi lakini badala yake wanajikuta wakilazimishwa kupigana mstari wa mbele nchini Ukraine. Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Musalia Mudavadi amelaani vikali kitendo hicho akisema "haikubaliki kamwe." Uchunguzi umebaini kuwa vijana wengi husaini mikataba ya Kirusi wasiyoielewa wakiamini wanakwenda kufanya kazi za ulinzi ufundi au mauzo lakini huishia kupelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi na kutupwa vitani. Mkasa huu umeacha simanzi"
X Link 2026-02-12T06:56Z 958.9K followers, [----] engagements

"Kesi ya uhaini Na. 19605/2026 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu imeanza rasmi kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Alhamisi Februari [-------] Kesi hiyo inaendelea leo baada ya hapo jana (Jumatano Februari 11.2026) Mahakama kutoa uamuzi wake kufuatia mapingamizi yaliyokuwa yamewekwa na mshtakiwa Tundu Lissu ambaye anajitetea mwenyewe ambapo pamoja na mambo mengine Mahakama iliagiza kurekebishwa kwa kizimba maalum kilichojengwa kwenye chumba cha Mahakama kwaajili ya kutumiwa na mashahidi wa siri Baada ya Majaji"
X Link 2026-02-12T07:21Z 958.9K followers, [----] engagements

"Sekta ya Madini Tanzania imeendelea kudhihirisha mwelekeo chanya wa ukuaji na uimarikaji wa kimkakati kufuatia mwendelezo wa vikao vya Wizara ya Madini na wadau wa kimataifa katika Kongamano la Mining Indaba [----] linaloendelea jijini Cape Town nchini Afrika Kusini. Majadiliano mbalimbali yaliyofanyika Februari [--] [----] yameakisi dhamira thabiti ya Serikali ya kuboresha mazingira ya uwekezaji kukuza ushiriki wa wazawa wanawake na vijana pamoja na kuhakikisha rasilimali za madini zinachangia kwa tija katika uchumi wa Taifa na maendeleo endelevu. Umoja wa Ulaya (EU) umeonesha nia ya kuendelea"
X Link 2026-02-12T08:36Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Wakili wa Mahakama Kuu Peter Madeleka (@PMadeleka) amesema asingetarajia na angeshangaa kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kingeshiriki katika Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika jana mkoani Morogoro. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi Madeleka amesema kama kuna dhamira ya kulirudisha taifa pamoja kisiasa kupitia Baraza la Vyama vya Siasa na mikutano inayoendelea kufanyika ni muhimu kuangalia kwanza ustawi na hali halisi ya kila chama cha siasa. Kama tunataka kulirudisha taifa pamoja kisiasa kupitia kwa mfano kwenye Baraza hilo la Vyama vya Siasa na"
X Link 2026-02-12T09:53Z 958.8K followers, 12.7K engagements

"Na; Mwandisi wetu Shahidi wa siri wa Jamhuri (P5) katika kesi Na.19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu ametoa ushahidi wake leo Alhamisi Februari [-------] kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Akitoa ushahidi wake mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wanaosikiliza kesi hiyo wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru shahidi huyo ameieleza Mahakama kuwa yeye ana umri wa miaka [--] anaishi Kibangu -Ubungo jijini Dar es Salaam akijishughulisha na Ujasiriamali/ machinga wa kuuza nguo na viatu kwa kutembeza maeneo"
X Link 2026-02-12T10:42Z 958.8K followers, 11.4K engagements

"VIDEO: Katika hali isiyokuwa ya kawaida jopo la Majaji watatu (3) wanaosikiliza kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu wamelazimika kuahirisha kesi hiyo kwa muda wa dakika [--] hiyo ni baada ya mshtakiwa ambaye anajitetea mwenyewe kulalamikia kutopewa chakula Awali kesi hiyo iliahirishwa kwa muda wa karibu Saa [--] ili kutoa nafasi ya watu kupata chakula na kutoa nafasi kwa upande wa Jamhuri kumleta shahidi wa mwingine baada ya yule wa awali (P5) kukamilisha kutoa ushahidi wake Baada ya Mahakama kurejea mshtakiwa Tundu Lissu aliieleza Mahakama kuwa yuko tayari"
X Link 2026-02-12T12:25Z 958.9K followers, 14.5K engagements

"VIDEO: Wakili msomi Peter Madeleka @PMadeleka ametoa mtazamo wake kuhusu mchakato wa maridhiano ya kitaifa nchini Tanzania akisisitiza kuwa maridhiano ya kweli hayawezi kufikiwa ikiwa kundi lolote muhimu la kijamii au kisiasa litaachwa nje ya meza ya mazungumzo. Akizungumza katika mahojiano maalum na Jambo TV leo Februari [--] [----] Madeleka amejibu kauli ya Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa aliyekaririwa akisema kuwa maridhiano yatafanywa na wale walio tayari pekee. Madeleka amebainisha kuwa dhana hiyo inaweza kudhoofisha lengo kuu la kuunganisha taifa. Wakili Madeleka"
X Link 2026-02-12T14:27Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Wakili msomi Peter Madeleka @PMadeleka ameeleza imani yake thabiti kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akisema kuwa mkuu huyo wa nchi ana uwezo na dhamira ya dhati ya kuirudisha nchi kwenye mstari kufuatia machafuko yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba [--] [----]. Akizungumza katika mahojiano na Jambo TV leo Februari [--] [----] Madeleka amebainisha kuwa nchi imepitia kipindi kigumu lakini uongozi wa busara wa Rais Samia umekuwa mhimili wa kuzuia taifa lisiingie kwenye maafa makubwa zaidi. Madeleka amesisitiza kuwa yeye ni mmoja wa watu wanaoamini"
X Link 2026-02-12T15:04Z 958.9K followers, [----] engagements

"Kesho Ijumaa Februari [--] [----] kwenye Jambo Asubuhi msomi na mchambuzi wa siasa za Afrika Ezekiel Kamwaga atakuwa hewani ambapo atajadili siku [---] za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na suala la maridhiano ya kitaifa tafadhali usikose. Kama una swali lolote la kumuuliza liwasilishe kwenye uwanja wa maoni hapo chini. https://twitter.com/i/web/status/2021976809626034679 https://twitter.com/i/web/status/2021976809626034679"
X Link 2026-02-12T15:56Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Wakili msomi Peter Madeleka @PMadeleka ametoa wito kwa Serikali ya Tanzania na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kutumia mamlaka yao ya kisheria kuifuta kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA @ChademaTZ2 Tundu Lissu ili kurejesha umoja na mshikamano nchini. Akizungumza na Jambo TV leo Februari [--] [----] Madeleka amesema kuwa kuendelea kwa kesi hiyo ni "aibu kwa taifa" na kikwazo kikubwa cha maridhiano ya kweli. Wakili Madeleka amebainisha kuwa taifa kwa sasa limegawanyika na sababu mojawapo ni kushikiliwa kwa kiongozi huyo mwenye wafuasi wengi ambao ni Watanzania. Amesema juhudi za"
X Link 2026-02-12T16:53Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Waziri Mku wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Fedha kusimamia na kuhakikisha bidhaa ambazo zinazalishwa nchini na tumejitosheleza kiuzalishaji endapo zikiagizwa nje basi waagizaji wasipate msamaha wa kodi. Ametoa agizo hilo leo Februari [--] [----] akiwa Mkuranga mkoani Pwani alipozindua kiwanda cha kuzalisha mabati cha Lodhia Industries LTD. Leo hii tunapokuwa na kiwanda kikubwa kama hiki kila mmoja anawajibika kuhakikisha uzalishaji unakuwa endelevu. Nitoe melekezo kwa Wizara ya Fedha hakikisheni maeneo yote ambayo tuna bidhaa za ndani za"
X Link 2026-02-12T17:13Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Sakata la mgogoro wa ardhi uliopo kwenye Kijiji cha Lupunga kilichopo Kata ya Kikongo Halmashauri ya Wilaya Kibaha Mkoani Pwani limeendelea kuchukua sura mpya kila siku kufuatia Mzee Omari Kikwembe kujitokeza na kudai kuwa mwekezaji (Tarick Saleh) anayelalamikiwa na wananchi wakidai kubwa amepora ardhi yao ni mmiliki halali wa eneo linalobishaniwa Mzee Kikwembe ameieleza Jambo TV kuwa mwekezaji huyo ambaye ni raia wa kigeni alifika kijijini hapo kwenye kipindi cha miaka ya 1980+ akiwa ameambatana na maafisa wa serikali wa ngazi ya Wilaya na Mkoa wakati huo yeye (Mzee Kikwembe) akiwa"
X Link 2026-02-07T14:20Z 958.8K followers, [----] engagements

"Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitimiza siku [---] ofisini tangu kuanza kwa muhula wake wa pili Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) @ChademaTZ2 kimesema kuwa hakitambui mamlaka yaliyopo madarakani na kinadai uchaguzi mkuu mpya. Akizungumza katika mahojiano maalum na BBC Swahili leo Februari [--] [----] Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara John Heche @HecheJohn ametoa msimamo mkali wa chama hicho akidai kuwa mchakato wa Oktoba [--] [----] haukuwa uchaguzi halali. Heche amebainisha kuwa CHADEMA haihesabu wala kuitambua kalenda ya siku [---] za Rais Samia kwa hoja"
X Link 2026-02-10T06:51Z 958.8K followers, 13.6K engagements

"Serikali ya Tanzania imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuunga mkono juhudi za Tanzania katika kuimarisha miundombinu ya kisasa ili kujiandaa vyema na uenyeji wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027). Wito huo umetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki James Millya wakati wa hafla ya kusherehekea Mwaka Mpya wa China iliyofanyika katika Ubalozi wa nchi hiyo jijini Dar es Salaam. Millya amesisitiza kuwa maandalizi ya AFCON [----] ni zaidi ya michezo akiyataja mashindano hayo kama fursa ya kimkakati kwa ajili ya mabadiliko ya kiuchumi kwa"
X Link 2026-02-10T07:20Z 958.8K followers, 28.3K engagements

"VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi Joseph Selasini ameeleza msimamo wake kuhusu mchakato wa maridhiano nchini akisisitiza kuwa hakuna maridhiano ya kweli yanayoweza kupatikana bila kuwepo kwa ukweli wa kile kilichotokea katika ghasia za uchaguzi wa Oktoba [--] [----]. Akizungumza katika kipindi Jambo Asubuhi kupitia Jambo TV leo Jumanne Februari [--] [----] Selasini amekosoa viongozi wa mamlaka wanaohimiza watu kutozungumzia matukio ya uchaguzi kwa kisingizio cha "kuamsha hisia" akibainisha kuwa kuzungumza ndiyo njia pekee ya kuponya majeraha na "kutoa madonge" mioyoni mwa watu."
X Link 2026-02-10T18:52Z 958.9K followers, [----] engagements

"Serikali ya Ujerumani imetangaza rasmi nia yake ya kuwa daraja la kidiplomasia kati ya Marekani na Iran ili kupata suluhu ya kudumu kuhusu mpango wa nyuklia na makombora ya masafa marefu ya Tehran. Akizungumza pembezoni mwa mkutano na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Asia ya Kati mwanadiplomasia mwandamizi wa Ujerumani Johann Wadful amebainisha kuwa nchi yake inaona umuhimu wa dharura wa kutatua masuala hayo kwa njia ya mazungumzo. Wadful amesisitiza kuwa mradi wa Iran wa kutengeneza makombora ya balistiki si tishio kwa Israel pekee bali pia kwa usalama wa bara la Ulaya. Licha ya jitihada"
X Link 2026-02-12T06:11Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema wanafunzi wanaonufaika na mpango wa Samia Scholarship ikiwemo wanaopelekwa kusoma nje ya nchi wamepatikana kwa haki kwa kuzingatia vigezo vya ufaulu na sifa stahiki bila upendeleo. Kauli hiyo ameitoa leo Februari [--] [----] jijini Dodoma wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo wa siku mbili unaolenga kujadili mipango ya bajeti ya wizara hiyo. Amesema matarajio ya Watanzania kwa sekta ya elimu ni makubwa hivyo kuna wajibu wa kuhakikisha bajeti inaakisi vipaumbele vilivyowekwa kwenye Sera ya Elimu"
X Link 2026-02-12T16:48Z 958.8K followers, [----] engagements

"Kesi ya uhaini Na. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu inaendelea tena leo Ijumaa Februari [-------] kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam Kesi hiyo ya jinai inayosikilizwa mbele ya jopo la Majaji watatu (3) wakiongozwa na Jaji Dastan Ntdunguru kama ilivyo kawaida mshtakiwa Tundu Lissu anajitetea mwenyewe ambapo leo inatarajiwa shahidi wa Tano (5) wa Jamhuri ataanza kutoa ushahidi wake Ikumbukwe kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwa mfululizo hadi Machi [-------] ambapo hapo jana (Alhamisi Februari 12.2026) shahidi wa"
X Link 2026-02-13T04:27Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu tayari amefikishwa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam msafara wake ukiwa na magari [--] ya Jeshi la Polisi pamoja na Magereza(ambayo yalibeba pia askari na wafungwa) Wakati akishushwa kupitia mlango wa nyuma wa gari aina ya Land cruiser Hardtop askari [--] walikuwa eneo hilo ambalo ni karibu kabisa na mlango mkuu wa kuingia mahakamani hapo https://twitter.com/i/web/status/2022195380247834873 https://twitter.com/i/web/status/2022195380247834873"
X Link 2026-02-13T06:25Z 958.8K followers, 10.1K engagements

"VIDEO: 📍JAMBO ASUBUHI - "Lissu ni mtu anayeitwa 'vocal' wale waongeaji wazungumzaji. Kwa hiyo kuna sehemu nyingine ukimwingiza 'Vocal' gerezani yale madudu na mauchafu yote yanayotokea gerezani yatatoka nje. Yaani kuna vitu ambayo vinafanywa kwenye magereza yetu sio vya kibinadamu lakini ndio nature za magereza havisemwi huku nje" Paschal Mayalla Mwandishi Mwandamizi Mchambuzi Mbobezi na Mtangazaji wa kipindi cha Jambo Asubuhi akichambua tukio la jana la kuahirishwa kwa kesi ya Uhaini dhidi ya Tundu Lissu baada ya kusema hajala ambapo Mahakama iliamuru apatiwe chakula Kufuatilia zaidi"
X Link 2026-02-13T08:57Z 958.8K followers, 17.1K engagements

"Katika kuendeleza Kampeni ya Kitaifa ya Kuhamasisha Uwekezaji wa Ndani Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) inaendelea kuonesha mifano halisi ya Watanzania wanaothubutu kuwekeza na kufanikiwa nyumbani. Mfano bora ni kiwanda cha L & N Standard Packaging Solution Ltd kinachojihusisha na uzalishaji wa vifungashio kilichopo Wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera. Kiwanda hiki kimeanzishwa kwa mtaji wa shilingi bilioni [---] na tayari kimezalisha ajira [--] za moja kwa moja kwa Watanzania kikichangia kukuza uchumi wa ndani na kuongeza thamani ya uzalishaji wa viwandani nchini."
X Link 2026-02-07T07:36Z 958.9K followers, [----] engagements

"Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa nchi imebaki salama na yenye umoja katika kipindi cha siku [---] tangu kuhitimishwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] ambao ulimshuhudia Samia Suluhu Hassan kama mshindi wa Urais. Akizungumza na BBC Swahili leo Februari [--] [----] Msigwa amesema kuwa licha ya changamoto na ghasia zilizojitokeza baada ya uchaguzi serikali imefanikiwa kurejesha utulivu na kuendelea na utekelezaji wa mipango ya maendeleo. "Kwa ujumla taifa liko salama katika siku hizi [---] kwa mara nyingine Tanzania imeonesha namna ambavyo inaweza"
X Link 2026-02-10T06:03Z 958.9K followers, 15.9K engagements

"Breaking News: Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam mapingamizi yaliyowekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kesi ya 'mgawanyo wa mali' iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar Said Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Bodi ya Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA yametupiliwa mbali Uamuzi uliotolewa na Mahakama hiyo kupitia kwa Jaji Hamidu Mwanga umebainisha hoja za kwamba Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo sio sahihi kutokana na hoja mbalimbali za kisheria zilizorejewa na Mahakama nk"
X Link 2026-02-11T06:58Z 958.9K followers, 22.1K engagements

"VIDEO: Maafisa wa usalama wa Rais wa Kenya William Ruto wamelazimika kuingilia kati kuzuia kijana mmoja aliyetaka kulisogelea jukwaa wakati Rais akiwahutubia washiriki wa kongamano la kibiashara la NYOTA Business Forum. Tukio hilo limetokea wakati wa hafla ya kutoa mitaji kwa wafanyabiashara wapya (start-ups) ambapo maafisa walimnasa mwanamume huyo kwa haraka kabla ya kufika jukwaani na kumdhibiti. Baada ya hali ya utulivu kurejea Rais Ruto alitoa maelekezo kwa timu yake ya ulinzi kumshikilia mwanamume huyo kwa muda akiahidi kushughulikia jambo lake baadaye. Mradi wa NYOTA (National Youth"
X Link 2026-02-12T15:37Z 958.9K followers, 10.8K engagements

"Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) @ChademaTZ2 Bara John Heche @HecheJohn ameweka wazi kuwa chama hicho hakitashiriki katika mchakato wowote wa maridhiano ya kitaifa hadi hapo Mwenyekiti wao Tundu Lissu atakapoachiwa huru kutoka gerezani. Akizungumza na Mwananchi Digital Heche amesema kuwa maridhiano yaliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa ufunguzi wa Bunge la [--] hayawezi kufanikiwa kupitia "njia za mkato" huku viongozi wa upinzani wakiwa gerezani. Kwa mujibu wa Heche Tundu Lissu ndiye kiongozi mkuu wa vikao vya chama na bila uwepo wake hakuna"
X Link 2026-02-13T09:10Z 958.9K followers, [----] engagements

"USHAHIDI WA SHAHIDI WA NNE KWENYE KESI YA LISSU BODABODA MWANACHADEMA via @jambotv_ https://jambo.co.tz/ushahidi-wa-shahidi-wa-nne-kwenye-kesi-ya-lissu-bodaboda-mwanachadema/ https://jambo.co.tz/ushahidi-wa-shahidi-wa-nne-kwenye-kesi-ya-lissu-bodaboda-mwanachadema/"
X Link 2026-02-13T09:22Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Msomi na mchambuzi wa siasa za Afrika Ezekiel Kamwaga amesema kuwa mchakato wa kupata Katiba Mpya nchini Tanzania tayari umeanza licha ya kuwepo kwa hisia kuwa ahadi ya Rais ya kuanza mchakato huo ndani ya siku [---] haijatekelezwa. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi kupitia Jambo TV leo Ijumaa Februari [--] [----] Kamwaga ametoa ufafanuzi wa kina kuhusu dhana ya "mchakato" akibainisha kuwa hatua ya Rais kuitumia Tume ya Jaji Chande kutengeneza barabara ya maridhiano ndio mwanzo wa safari ya kuelekea kwenye Katiba Mpya. Kamwaga amefafanua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amepanua"
X Link 2026-02-13T10:44Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Siku chache baada ya viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA @ChademaTZ2) wakiongozwa na Mwanasheria Mkuu wa chama hicho Wakili Dkt. Rugemeleza Nshala @rugemeleza kuutangazia umma kuwa zuio la Mahakama Kuu lililokuwa limetolewa Juni [-------] likipiga marufuku chama hicho kuendelea na shughuli zote za kisiasa na kiutendaji hadi hapo kesi ya msingi inayohusu usawa kwenye 'mgawanyo wa mali' itakapotolewa maamuzi hatimaye tamko hilo la CHADEMA limepingwa rasmi Wakili Gido Semfukwe anayeongoza jopo la Mawakili wa waleta maombi (aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa"
X Link 2026-02-13T11:16Z 958.8K followers, 13K engagements

"VIDEO: Msomi na mchambuzi wa siasa Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga amesema kuwa madai ya kutaka watu wawajibishwe mara moja kutokana na mauaji na ghasia za Oktoba [--] [----] hayawezi kutekelezeka bila ripoti ya Tume ya uchunguzi kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko wa nani hasa anayehusika. Akizungumza kupitia Jambo TV leo Ijumaa Februari [--] [----] Kamwaga amebainisha kuwa nchi iko katika kipindi ambacho kila upande unanyooshea kidole upande mwingine hali inayofanya uwepo wa Tume ya Jaji Chande kuwa njia sahihi ya kisheria na kidunia. Kamwaga amefafanua kuwa kuna mvutano wa hoja ambapo serikali"
X Link 2026-02-13T11:23Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: 📍JAMBO ASUBUHI - Ezekiel Kamwaga Msomi na Mchambuzi wa Siasa amesema suala la Polisi kupiga risasi watu waliokuwa wakiangalia mpira haliingii akili na kuwa kuna baadhi ya tabia aliziona wakati wa matukio ya Oktoba [--] ambazo haamini kama ni za Mtanzania wa kawaida Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi Kamwaga amesema "Kuna vitu vingi viliingia kwenye Oktoba [--] kwa sababu kuna baadhi ya tabia ambazo nimeziona kwenye lile tukio ambalo mimi siamini kusema ukweli kama ni tabia za Mtanzania wa kawaida" "Kuna mtu mmoja.alionesha picha za Watanzania waliokuwa wanaangalia mpira sijui"
X Link 2026-02-13T12:13Z 958.8K followers, 14K engagements

"VIDEO: Leo Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekutana na Baraza la Madini Duniani chini ya rais wake David Taita katika majadiliano ya kuhakikisha sekta ya madini nchini inakua kwa njia endelevu huku wakijali manufaa ya wachimbaji wadogo na uhifadhi wa mazingira. Mawaziri waliohudhuria kikao hicho ni Profesa Kitila Mkumbo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji; Anthony Mavunde Waziri wa Madini; Joel Nanauka Waziri wa Vijana; na Dkt. Dorothy Gwajima Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum. Akizungumza Profesa Kitila Mkumbo amesema"
X Link 2026-02-13T13:29Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Wakati wa kipindi cha Jambo Asubuhi leo Ijumaa Februari [--] [----] kuimebuka mjadala juu ya uwezekano wa kufifia kwa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kwa kuangazia jukumu muhimu la rasilimali fedha katika uhai wa kisiasa na mambo yanayoendelea nchini kwa chama hicho. Msomi na mchambuzi wa siasa za Afrika Ezekiel Kamwaga amejenga hoja kuwa ingawa kufutwa rasmi kwa chama na serikali hakuna uwezekano mkubwa chama hicho kinakabiliwa na tishio la kuwepo kwake kutokana na kupoteza ruzuku za serikali na ukosefu wa wafadhili matajiri wenye uwezo wa kugharamia operesheni za"
X Link 2026-02-13T15:00Z 958.8K followers, [----] engagements

"Shauri la uhaini linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu limeahirishwa mpaka jumatatu kwa ajili ya kuendelea kutolewa kwa ushahidi. Ambapo leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam mbele ya majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru mashahidi wawili walitoa ushahidi wao. Shahidi wa kwanza ambae analindwa alitambulika kama P6 mwenye miaka [--] bodaboda na shahidi wa pili ambae ni shahidi wa sita kwenye kesi hii alikuwa Askari Mpelelezi H.3923 Koplo Michael mkazi wa Moshi ambae anafanya kazi ofisi ya RCO Mkoa wa Kilimanjaro. Kuhusu shahidi wa kwanza P6"
X Link 2026-02-13T16:01Z 958.8K followers, 19K engagements

"VIDEO: Shauri la uhaini linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu limeahirishwa mpaka jumatatu kwa ajili ya kuendelea kutolewa kwa ushahidi. Ambapo leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam mbele ya majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru mashahidi wawili walitoa ushahidi wao. Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Dkt. Rugemeleza Nshala akiwa nje ya Mahakama ameeleza kusikitishwa na ushahidi unaotolewa katika keshi hiyo akisema 'intaia hasira na uchungu' huku akieleza kuwa rasilimali za nchi hazitumiki vizuri kwa kuendesha mashauri ambayo mashahidi wanaenda"
X Link 2026-02-13T16:07Z 958.8K followers, [----] engagements

"HABARI PICHA: Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Wanu Hafidh Ameir amesema Mfuko wa Samia wa Biasharishaji Ubunifu umeanzishwa kusaidia vijana wabunifu wanaofikia hatua ya kupeleka bidhaa au huduma zao sokoni lakini hawana mtajina kuwa mfuko huu ni mwendelezo wa juhudi za Serikali kutambua na kuendeleza dhana ya ubunifu huku COSTECH na CRDB Bank Foundation wakichangia jumla ya shilingi bilioni [---] kusaidia uwekezaji wa vijana. Naibu waziri ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kuangazia mustakabali wa kuwatambua wanufaika wa Mfuko wa Samia wa Biasharishaji"
X Link 2026-02-13T18:09Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Msomi na mchambuzi wa siasa za Afrika Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga ameeleza kuwa uchaguzi mkuu wa Oktoba [--] [----] ulifanyika katika mazingira ya migogoro kwa sababu ya kukosekana kwa mwafaka wa kisiasa huku akizitaja kambi za wahafidhina ndani ya CCM na CHADEMA kama chanzo cha mkwamo huo. Akizungumza katika kipindi cha Jambo Asubuhi Kamwaga amebainisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan aliingia madarakani akiwa na nia ya dhati ya kufanya marekebisho (reforms) lakini alikumbana na upinzani wa ndani na nje. Kamwaga amefichua kuwa baadhi ya viongozi na wabunge ndani ya CCM walikuwa na hofu"
X Link 2026-02-14T05:47Z 958.9K followers, [----] engagements

"*MWIGULU AIBUA WIZI HUJUMA -Nipashe *LISSU ALIVYOMUHOJI MASWALI SHAHIDI FICHE WA JAMHURI -Mwananchi *SIKU [---] ZA KAZI NA UTU ZAIKOSHA CCM -Uhuru *IN GOD WE TRUST -Mwanaspoti Ni sehemu ya 'Headline' zilizopo kwenye baadhi ya magazeti ya Tanzania yaliyochapisha habari za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani leo Jumamosi Februari [-------] karibu upitie #HappyValentineDay"
X Link 2026-02-14T06:16Z 958.9K followers, [----] engagements

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imetangaza kuwa matokeo ya uchaguzi wa viongozi wa kitaifa wa Chama cha Wananchi (CUF) uliofanyika Desemba [----] ni batili na kuelekeza chama hicho kurudia uchaguzi wa nafasi za juu za uongozi mara moja. Katika barua ya tarehe [--] Februari [----] iliyotiwa saini na Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Sisty Nyahoza kwa niaba ya Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi ambayo Jambo TV tumeiona na ambayo imetumwa kwa Katibu Mkuu wa CUF na walalamikaji ofisi hiyo imetoa uamuzi huo baada ya kufanyia kazi malalamiko yaliyowasilishwa na wanachama akiwemo"
X Link 2026-02-14T06:50Z 958.8K followers, 16K engagements

"VIDEO: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa ujasiri na uzalendo wa hali ya juu wa kujitoa kuwalinda raia na mali zao huku akionya kuwa ulimwengu wa sasa unakabiliwa na tishio jipya la uhalifu kupitia teknolojia. Akizungumza na uongozi wa juu wa jeshi hilo maafisa na askari katika Chuo cha Polisi Ziwani Zanzibar Waziri Katambi amesema kuwa jeshi imara ndio sababu ya Watanzania kumiliki mali na kuishi kwa amani. Waziri Katambi ametoa tahadhari maalum kuhusu matumizi ya teknolojia ya kisasa ikiwemo Akili Mnemba (Artificial Intelligence) na mitandao"
X Link 2026-02-14T11:00Z 958.8K followers, 23.8K engagements

"VIDEO: Wizara ya Uchukuzi imesema itahakikisha inaulinda mradi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) unaotekelezwa na Shirika la Reli Tanzania @tzrailways kama ambavyo imetakiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu. Kauli hiyo imetolewa Februari [--] [----] na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile wakati wa ziara ya kamati hiyo iliyotembelea mradi wa SGR kwa lengo la kupata ufahamu na uelewa wa majukumu ya Shirika la Reli nchini (TRC) pamoja na hatua mbalimbali zilizofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya reli. Kihenzile amesema kwa niaba ya serikali na Waziri wa"
X Link 2026-02-14T14:17Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Mrisho Masoud ni mwanafunzi wa kidato cha tatu kutoka shule ya Sekondari Pugu ya jijini Dar Es Salaam ambaye ana ndoto za kuwa Mhandisi(Engineer). Anaamini katika ndoto zake na ni mwenye jitihada darasani kwani matokeo ya kidato cha pili alipata daraja la kwanza(Division one) pamoja na changamoto ya ulemavu aliyonayo bado haijamkatisha tamaa. Anasema kwenye familia yao yeye ndiye kasoma sana jambo ambalo linamsukuma kufanya jitihada kwa wingi darasani kwa ajili ya kuiokomboa familia yake. Leo Februai [--] [----] Tasisi ya Sisi Sote ni Sawa @SoteSawa2025 ikiongozwa na Mkurugenzi wake Judith"
X Link 2026-02-14T16:42Z 958.9K followers, [----] engagements

"VIDEO: Hali ya sintofahamu inaonekana kutanda katika Soko la Mbagala Zakhiem wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam kufuatia mpango wa Serikali wa kupunguza ukubwa wa meza na vizimba vya biashara na kuanzisha mfumo wa meza za futi nne kwa nne (4x4) kwa wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao pembezoni mwa soko hilo eneo lililo karibu na barabara hatua inayolalamikiwa na wafanyabiashara kuwa ni ya "unyonyaji" na inayolenga kutoa mianya ya rushwa. Wafanyabiashara hao wameeleza kushtushwa na agizo la kupunguzwa kwa maeneo yao wakati wengi wao wakidai kuwa na uhalali wa kufanya kazi katika maeneo"
X Link 2026-02-14T17:00Z 958.9K followers, [----] engagements

"Kampuni ya GN ECO SOLUTION COMPANY imefanikiwa kuandaa na kuratibu programu maalumu ya ujenzi wa timu (Team Building) kwa wafanyakazi wa National Board of Accountants and Auditors (NBAA) iliyofanyika katika mazingira ya asili na utulivu wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Programu hiyo imefanyika siku ya Jumamosi ikihusisha mazoezi na michezo mbalimbali ya kiutendaji iliyolenga kuimarisha mshikamano kazini kuendeleza mawasiliano bora kujenga uaminifu baina ya wafanyakazi pamoja na kukuza misingi ya uongozi na ushirikiano wa pamoja. Kupitia mbinu shirikishi na za vitendo washiriki wamehamasishwa"
X Link 2026-02-14T17:00Z 958.9K followers, [----] engagements

"*RAIS SAMIA AGEUKIA VITA DHIDI YA MALARIA -Mzalendo *TANZANIA IKO IMARA MABADILIKO TABIANCHI -Habari Leo *FIGHT AGAINST MALARIA: SAMIA DEMANDS OWNERSHIP -Sunday News *HAKUNA NAMNA: PEDRO AWASHTUKIA WAARABU MASTAA AZAM WALA KIAPO -Mwanaspoti Ni sehemu ya 'Headline' zilizopo kwenye baadhi ya magazeti ya Tanzania yaliyochapisha habari za siasa jamii uchumi michezo sanaa na burudani leo Jumapili Februari [-------] karibu upitie #UweNaJumapiliNjema https://twitter.com/i/web/status/2022896546442821892 https://twitter.com/i/web/status/2022896546442821892"
X Link 2026-02-15T04:51Z 958.8K followers, [----] engagements

"Hofu imetajwa kuibuka kuhusu uwezekano wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kutofikishwa mahakamani kama ilivyopangwa Aprili [--] [----] katika kesi ya uhaini inayomkabili hali iliyosababisha wito wa wazi kutoka kwa wakili Peter Kibatala akisisitiza kuwa jaribio lolote la aina hiyo litakumbana na upinzani mkali wa kisheria. Akizungumza kupitia taarifa maalum aliyoichapisha katika kurasa za mitandao yake ya kijamii Kibatala amesema wanahofia mipango isiyo rasmi ya kuzuia au kuchelewesha kufikishwa kwa Lissu mahakamani jambo ambalo litakuwa ni ukiukwaji mkubwa wa haki za kisheria na uhuru wa"
X Link 2025-04-21T16:42Z 958.9K followers, 71.5K engagements

"📍Katoro - Geita Juni [--] 2025"
X Link 2025-06-18T06:27Z 960.4K followers, [----] engagements

"#OKTOBATUNATIKI"
X Link 2025-08-21T08:39Z 960.5K followers, 16.8K engagements

"PICHA ZAIDI"
X Link 2025-09-19T07:41Z 959.8K followers, [--] engagements

"HABARI: Hatimaye mabaki ya mwili wa kijana Joshua Mollel aliyeuwawa nchini Israel na wapiganaji wa Hamas Oktoba [--] [----] yamewasili leo Novemba [--] [----] katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Mabaki ya mwili wa Joshua yalipokelewa na Ujumbe wa Serikali ya https://t.co/ZmQhHGYVj0 HABARI: Hatimaye mabaki ya mwili wa kijana Joshua Mollel aliyeuwawa nchini Israel na wapiganaji wa Hamas Oktoba [--] [----] yamewasili leo Novemba [--] [----] katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Mabaki ya mwili wa Joshua yalipokelewa na Ujumbe wa Serikali ya https://t.co/ZmQhHGYVj0"
X Link 2025-11-19T15:22Z 959.1K followers, [----] engagements

"https://www.youtube.com/live/oslG_il-O-Esi=03YfrnkclphKa1z4 https://www.youtube.com/live/oslG_il-O-Esi=03YfrnkclphKa1z4"
X Link 2025-12-01T11:42Z 959.1K followers, [----] engagements

"VIDEO: Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba Humphrey Polepole Jana Agosti [--] [----] akizungumza kupitia mitandao ya kijamii alisema bei ya gesi ya kupikia kwa mtungi wa kilogram ishirini (20kg) nchini Cuba ni shilingi elfu mbili za Kitanzania (2000/=TZS) ukilinganisha na bei ya mtungi wa gesi ya kupikia wa kilogram kumi na tano (15kg) nchini ambao ni kuanzia elfu hamsini na sita(56000/=) mpaka elfu sitini za kitanzania(60000/=). Leo Agosti [--] Mwandishi na Mchambuzi wa siasa Ezeckiel Kamwaga akichangia mada katika mjadala ulioandaliwa na Jukwaa la Wachanbuzi na PPPC amesema kuwa bei ya gesi"
X Link 2025-08-30T11:32Z 958.8K followers, 19.3K engagements

"Andrew Tate anakabiliwa na mashtaka [--] ya uhalifu nchini Uingereza ikiwa ni pamoja na ubakaji kudhuru mwili biashara ya binadamu na utumwa wa kingono imesema Ofisi ya Mashtaka ya Crown (CPS). CPS imesema imeidhinisha mashtaka dhidi ya Andrew Tate ambayo ni kutoka kwa walalamikaji watatu kabla ya kibali cha kurejeshwa Uingereza kutoka Romania kutolewa mwaka [----]. Kaka yake Tristan Tate anakabiliwa na mashtaka [--] ikiwa ni pamoja na ubakaji kudhuru mwili na biashara ya binadamu kutoka kwa mlalamikaji mmoja. Ndugu hao daima wamekanusha makosa yoyote. CPS ilisema katika taarifa yake kwamba"
X Link 2025-05-29T13:12Z 958.8K followers, [----] engagements

"VIDEO: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema vurugu zilizojitokeza siku na baada ya uchaguzi zilichochewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani aliowaita waliokosa uzalendo na ambao amesema wamepanga kwa makusudi kusababisha machafuko licha ya kupewa fursa za kufanya siasa kwa uhuru na kuheshimiwa na serikali. Akizungumza Desemba [--] [----] kwenye mkutano na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC) Rais Samia amesema baadhi ya viongozi wa upinzani wanapandikiza misimamo ya uchochezi"
X Link 2025-12-02T10:15Z 958.8K followers, 17.2K engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

creator/x::Jambotv_
/creator/x::Jambotv_