#  @HildaNewton21 Hilda Newton Hilda Newton posts on X about tanzania, mambo, kenya, kwanza the most. They currently have [---------] followers and [----] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [-------] [#](/creator/twitter::2673303382/interactions)  - [--] Week [---------] +2,915% - [--] Month [---------] +1,320% - [--] Months [---------] +555% - [--] Year [---------] +36% ### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::2673303382/posts_active)  - [--] Week [--] +485% - [--] Month [--] +856% - [--] Months [---] +214% - [--] Year [---] -85% ### Followers: [---------] [#](/creator/twitter::2673303382/followers)  - [--] Week [-------] +0.05% - [--] Month [-------] +0.09% - [--] Months [-------] +1.90% - [--] Year [-------] +3.50% ### CreatorRank: [------] [#](/creator/twitter::2673303382/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [countries](/list/countries) [travel destinations](/list/travel-destinations) [currencies](/list/currencies) [social networks](/list/social-networks) [technology brands](/list/technology-brands) [finance](/list/finance) [musicians](/list/musicians) [stocks](/list/stocks) [automotive brands](/list/automotive-brands) [exchanges](/list/exchanges) **Social topic influence** [tanzania](/topic/tanzania), [mambo](/topic/mambo), [kenya](/topic/kenya), [kwanza](/topic/kwanza), [zanzibar](/topic/zanzibar), [genz](/topic/genz), [wa](/topic/wa), [mali](/topic/mali), [ipo](/topic/ipo), [bali](/topic/bali) **Top accounts mentioned or mentioned by** [@tundualissu](/creator/undefined) [@mwabuk2boniface](/creator/undefined) [@freemanmbowetz](/creator/undefined) [@mariastsehai](/creator/undefined) [@jumaabdukarim](/creator/undefined) [@sativa255](/creator/undefined) [@deusdedithsoka](/creator/undefined) [@hechejohn](/creator/undefined) [@oleshangay](/creator/undefined) [@jjmnyika](/creator/undefined) [@ananilean](/creator/undefined) [@bajabiri](/creator/undefined) [@godblesslema](/creator/undefined) [@lifeofmshaba](/creator/undefined) [@hermanmlale](/creator/undefined) [@mwaurarobert2](/creator/undefined) [@mdudechadematz](/creator/undefined) [@tanpol](/creator/undefined) [@suluhusamia](/creator/undefined) [@gwangwayyohani](/creator/undefined) **Top assets mentioned** [Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [RAFIKI (RAFIKI)](/topic/rafiki) [Alphabet Inc Class A (GOOGL)](/topic/$googl) [Mastercard, Inc. (MA)](/topic/$ma) [BETA Technologies, Inc. (BETA)](/topic/beta) [BODA (BODAV2)](/topic/boda) [Robot Consulting Co., Ltd. (LAWR)](/topic/robot) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "Nawakumbusha tu wale Wazee wa kusifia Serikali hadi kwenye vitu vya kipuuz. Mpaka sasa tayari tumesha tengwa na -; European Union World Bank United States of America Sweden Denmark Norway Canada" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1062998599213178881) 2018-11-15T09:19Z 896K followers, [---] engagements "There are some deficits in the Spinsters and Single Parent Protection Act because some teenage mothers do not return to school after delivery because their parents do not allow their daughters to continue with school after delivery #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1289434803624869890) 2020-08-01T05:36Z 895.8K followers, [--] engagements "Shikamoo 'Team ya Kampeni' ya Mhe. @halimamdee ๐๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1306589532268015617) 2020-09-17T13:43Z 933K followers, [---] engagements "Pepo tokaaaaaa. ๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1343959413749592065) 2020-12-29T16:37Z 896.5K followers, [---] engagements "Mataga bhana eti mnajaua yule Big Hamza hakuwa Gaidi maana kama angekuwa Gaidi angeuwa watu waliokuwa kwenye dala dala. Sawa asa why mlivopata picha ya Hamza mkaenda kufake kadi ya Chadema na kusema Hamza ni Gaidi na alikuwa mwanachama wa Chadema au hamkujua kuwa ni kada wenu" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1430825514814504967) 2021-08-26T09:32Z 893.7K followers, [--] engagements "@MariaSTsehai #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1458840651357986816) 2021-11-11T16:54Z 900.2K followers, [--] engagements "To date the government and its security agencies have been unable to establish the circumstances that surrounded the brutal assassination attempt of Opposition Presidential Candidate Tundu Lissu. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi https://youtu.be/N8nqNmiGNaU https://youtu.be/N8nqNmiGNaU" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1465992296726417409) 2021-12-01T10:32Z 896.6K followers, [--] engagements "Social networks such as Twitter Facebook and Google hold the potential to alter civic engagement thus essentially hijacking democracy by influencing individuals toward a particular way of thinking. #MariaSpaces https://x.com/i/spaces/1OwxWzAlbOpJQ https://x.com/i/spaces/1OwxWzAlbOpJQ" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1505992016567672832) 2022-03-21T19:37Z 896.6K followers, [--] engagements "@Tz_Kwanza @ChangeTanzania @MariaSTsehai @aikande @CatherineRuge @HecheJohn @freemanmbowetz @fatma_karume @ChademaTz @John_Pambalu Tuendelee kudai #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1568613619935449088) 2022-09-10T14:53Z 895.9K followers, [--] engagements "Mbappe ๐๐ฅ" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1596554385961717761) 2022-11-26T17:20Z 895.8K followers, [---] engagements "Mastercard Inc and Binance said that on Monday they are launching a prepaid card in Brazil Acc to a statement Binance Card is currently in beta testing and should be widely available in the next few weeks. Join me with Binance https://accounts.binance.me/en/registerref=XIL4743Y https://accounts.binance.me/en/registerref=XIL4743Y" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1620656856430682113) 2023-02-01T05:34Z 905.9K followers, [----] engagements "Police brutality is a big problem. January [----] Mtwara region Mussa Hamisi was allegedly beaten to death by police officers and robbed of more than [--] million Tanzanian shillings ($14300 ) @KamalaHarris @VP @USAmbTanzania #KaribuKamala #TellSamia To stop Police Brutality" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1641334105882124288) 2023-03-30T06:58Z 897K followers, [----] engagements "In Chad since February [----] there have been discontinuous interruptions in access to social media such as Facebook and Twitter or VoIP applications Tanzanians are still on VPN to access Twitter space and ClubHouse #InternetIsLife #KatibaMpya #InternetShutDown" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1647952996930600961) 2023-04-17T13:19Z 895.8K followers, [----] engagements "Ni kwa kiasi gani Mshikamano wa wananachi unaweza kuleta mabadiliko nchini hasa kupata mifumo bora ya utawala na haki. #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1659183524858019841) 2023-05-18T13:05Z 868.7K followers, [--] engagements "Pamoja na swala la bandari kuwa nyeti vyombo vya habari vimekuwa mashabiki wa DPW bila uchambuzi wa uchunguzi wa suala hili wamekwepa kundika ukweli maeneo ambayo DPW imesababisha hasara kama Djibouti kwa nini kuna udhibiti. #MariaSpaces #KatibaMpya #Twibatane" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1678394371987722241) 2023-07-10T13:22Z 867.3K followers, [--] engagements "Tujifunze kutoka kwa Yemen na Djibouti jinsi wananvyosumbuliwa na DPW kwa kesi kwa ajili ya mikataba mibovu tunatakiwa kuerkrbisha sheria zetu mkuu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : #Twibatane" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1682723749727019008) 2023-07-22T12:06Z 867.8K followers, [--] engagements "#Tanzania: Detained critics of UAE port deal must be immediately and unconditionally released" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1691306321025359872) 2023-08-15T04:30Z 833.6K followers, [----] engagements "Ukweli mchungu ๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695141470691373396) 2023-08-25T18:29Z 868.3K followers, [--] engagements "Kuna mikataba mingine kati ya Tanzania na UAE kama kweli ni Serikali ni wazalendo tunataka waweke hadharani hiyo mikataba"-; @TunduALissu" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695154687165469177) 2023-08-25T19:22Z 868.3K followers, [--] engagements "CCM na serikali yao wasiporuhusu utawala wa sheria basi wanajiandaa kuruhusu utawala wa ghasia ambao utakuwa hauepukiki @AbdulkarimJum10 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695377644022338022) 2023-08-26T10:08Z 868.3K followers, [--] engagements "Kwa katiba yetu ya sasa mihimili miwili bunge na mahakama iko katika mikono ya serikali. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695377780370759708) 2023-08-26T10:08Z 868.3K followers, [--] engagements "Ibara [---] ya katiba ya nchi yetu imetoa fursa kwa wananchi kutumia mahakama kama chombo cha kuweza kueleza hisia zao. @AbdulkarimJum10 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695377821999182258) 2023-08-26T10:09Z 868.3K followers, [--] engagements "Ifahamike kwamba kuongoza nchi hauwezi kuchukua nafasi ya demokrasia. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695377875430449341) 2023-08-26T10:09Z 868.3K followers, [--] engagements "Wananchi wameamua kwenda mahakamani kutafuta tafsiri ya kisheria kama njia ya kidemoksrasia ili kuelewa kuhusu mkataba wa DP World baada ya kuwa na sitofahmau na majibu yasioleweka mtaani @AbdulkarimJum10 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : https://www.youtube.com/watchv=e1gTwLU8Sng https://www.youtube.com/watchv=e1gTwLU8Sng" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695377919080648857) 2023-08-26T10:09Z 868.7K followers, [----] engagements "Tunahitaji spika wa bunge ambaye hafungamani na chama chochote. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695378206289780991) 2023-08-26T10:10Z 868.3K followers, [--] engagements "Wananchi wametumia mahakama ili kupata tafsiri ya kikatiba na sheria juu ya vifungu vya mkataba wa DP World ambayo vinaonekana vinapingana na sheria zetu lakini wanashughulikiwa na kunyamazishwa @AbdulkarimJum10 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695378316297912703) 2023-08-26T10:11Z 868.3K followers, [--] engagements "Swali lingine tunalouliza na tutaendelea kuuliza ni kuwa mtataba wa DP World ni mpaka lini Tusitoke kwenye hoja zetu za msingi katika suala hili la maliasili amabzo ni mali ya watanzania kikatiba @chacha_heche #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695378373734776893) 2023-08-26T10:11Z 868.3K followers, [--] engagements "Tupate Tume Huru ya uchaguzi ambyo itatuletea bunge la wananchi na kupitia bunge la wananchi tutapata katiba mpya kwa sababu ni hitaji la wananchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695378643952849283) 2023-08-26T10:12Z 868.3K followers, [--] engagements "Chimbuko la madaraka au mamlaka ya nchi yanatoka kwa wananchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1695378698566820173) 2023-08-26T10:12Z 868.3K followers, [--] engagements "Nikizingumzia Uhuru wa kiuchumi kupitia Mikataba hii aliyosaini Raisi Samia kwenye maonyesho huko Dubai ni wadhi tumeporwa Uhuru huo hatuna kabisa uhuru tumeporwa #Nicholus On #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1696241606733472143) 2023-08-28T19:21Z 869.9K followers, [--] engagements "Mbunge wa Wananchi wa jimbo la Musoma mjini @MwitaJulius2000 akizungumza na Wananchi wake jioni ya leo" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1698376744762281988) 2023-09-03T16:45Z 865.9K followers, [--] engagements "Musoma mjini - Tanzania โ" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1698377197780652540) 2023-09-03T16:47Z 865.9K followers, [--] engagements "Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe: Tundu Lissu (@TunduALissu) akizungumza na wananchi wa Mugumu Jimbo la Serengeti leo hii" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1699798887039737940) 2023-09-07T14:56Z 833.6K followers, [---] engagements "In [----] citizens who had been relocated from the Serengeti to Maasai community signed an agreement that guaranteed them the rights to occupy and use the land. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania https://bit.ly/3qWXp0g https://bit.ly/3qWXp0g" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1700433365269196974) 2023-09-09T08:58Z 896.9K followers, [----] engagements "Jana baada ya Polisi kumhoji Mhe. @TunduALissu mambo yalicheka sana -; OCD Karatu. Dhamana iko wazi ila leo ni jumapili Mhe. Lissu : Fungua PGO ukarasa wa [--] OCD. Sawa tafuta wadhamini wawili Mhe. Lissu : najidhamini mwenyewe OCD. Haiwezekani Mhe. Lissu :. Fungua PGO" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1701137524532400354) 2023-09-11T07:36Z 834.1K followers, [---] engagements ""Magufuli alinipa kesi [--] ndani ya mwaka mmoja na mama kwa sababu anataka tumuite mama na yeye pia sasa anaingia katika hiyo orodha ya waliojaribu kuninyamazisha"-; @TunduALissu" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1701174685457699226) 2023-09-11T10:03Z 833.6K followers, [----] engagements ""Chadema hatukubaliani na kauli ya Rais ya kwamba elimu kwanza kuhusu Katiba. Tunasisitiza Katiba Kwanza." Mhe. @jjmnyika" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1701621515941228894) 2023-09-12T15:39Z 813.9K followers, [----] engagements "Kwanini Serikali inawaumiza kiasi hiki Waamasai wa Ngorongoro Kumzuia mtu kuagiza chakula maana yake unataka afe na njaa so Serikali inaona bora Wamaasai wafe kwa kukosa Chakula kisa wamegoma kwenda Msomera Halafu si mlisema kuhama ni jambo la hiyari sasa kwanini mnawasumbua watu ambao hawaki kuhama huu Ukatili mnaowafanyia Wamaasai haukubaliki hawa ni Binadamu kama Binadamu wengine hawastahili kupitia haya maumivu wanayopitia" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1701888104120918227) 2023-09-13T09:18Z 826.2K followers, [----] engagements "Kwa lugha nyepesi Waziri Ummy Mwalim anasema bora watoto wenu wafe ila NHIF ibaki na kubaki kwake wameona ni kuondoa Package ya Toto Afya. Yani badala ya kuiboresha package na kuzuia mianya ya upigani hasa wale Viongozi ambao huwa wanajikopesha mabilioni kutoka kwenye Mfuko wa NHIF halafu hawalipi wao wameona solution ni kuiondoa Toto Afya" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1701915600325333297) 2023-09-13T11:07Z 833.6K followers, [----] engagements "#Vidioni ni Mwimbaji Sifa Boniventure Bujune Mkazi wa Isyesye Mbeya mjini Anashikiliwa na Jeshi la Polisi tangu juzi kwasababu ya hii nyimbo wanadai ina maudhui ya uchochezi dhidi ya Serikali Tanzania #FreeSifaBujuni #FreeSifaBujuni" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1703001008274567575) 2023-09-16T11:00Z 826.4K followers, [---] engagements "Ukimsoma Waziri @ummymwalimu between lines ni anatueleza kwamba malengo ya Serikali sio kutoa huduma bali ni kufanya biashara kupitia bima za afya" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1703018142652326099) 2023-09-16T12:09Z 825.2K followers, [---] engagements "Ujumbe wa Jumapili Kutoka kwa Almachius Vincent Rweyongeza Askofu Jimbo Katoliki la Kayanga-Kagera" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1703361407318683856) 2023-09-17T10:53Z 833.6K followers, [---] engagements "Rais wa Congo Brazaville kaenda USA akiwa zake huko huku Jeshi limempindua.๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1703475824203116590) 2023-09-17T18:27Z 833.4K followers, [----] engagements "Kama umeolewa mke wa pili na mwanaume Mkristo soma hapa kuna ujumbe kabla hajakukuta yaliyomkuta Mheshimiwa nanii.๐ค" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1703793275713306653) 2023-09-18T15:29Z 826.2K followers, [---] engagements "The Maasai people in northern Tanzania have a history of being pushed off ancestral land to make way for so-called protected areas including the famous Serengeti National Park. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1706932839013323102) 2023-09-27T07:24Z 833.4K followers, [---] engagements "In [----] [------] hectares of Loliondo division in Ngorongoro district were designated a game-controlled area set aside for hunting wildlife while the Maasai retained the right to live and graze their herds in the area. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1707791904987906486) 2023-09-29T16:18Z 833.6K followers, [----] engagements "Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na vya kati wanapaswa kuruhusiwa kujumuika kwenye mijadala mikubwa ya kisiasa kiuchumi na kijamii ili kuibua fikra mpya za vijana. Kudhibiti vijana kushiriki katika mambo ya kijamii ni kudumaza Taifa. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1712739030570242504) 2023-10-13T07:56Z 868K followers, [--] engagements "Kinachoendelea muda huu Soko la Mawasiliano Ubungo ni huzuni. Imagine Soko kubwa na tegemeo la Machinga zaidi ya [----] pale Mawasiliano (SIMU2000) ambao walitolewa Mandela road na Morogoro road wakapelekwa hapo tangu mwaka [----] Wakajenga mabanda yao kwa gharama kubwa leo Serikali ya CCM inawaambia waondoke wanaambiwa hapatakiwi kuwa na soko wala stand maana eneo lote hili wapewa DART wajenge karakana" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1715740037155807619) 2023-10-21T14:41Z 868.7K followers, [--] engagements "Yani DC wa Momba Kenan Kihongosi kawapa elfu kumi kumi Vijana wa UVCCM pamoja ili wakafanye vurugu kwenye Mkutano wa Chadema lakini Mungu alivokuwa mkubwa wakashtukiwa wametembezewa kipigo cha Mbwakoko. Katika kuwakagua wamekutwa na mapanga na "paper spray" silaha yenye gesi ya pilipili ya Kupuliza katikati ya umati wa watu. Kama siyo Polisi kuwahi eneo la tukio kuwaokoa saa hii tungekuwa tunaongea mengine. Yani kijana mzima unapewa [--] ili ukahatarishe maisha yako.๐ฎ" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1715763680514555959) 2023-10-21T16:15Z 868.7K followers, [--] engagements "@ThabitSenior ๐๐๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1715792371382636674) 2023-10-21T18:09Z 868.7K followers, [--] engagements "Kitu ambacho UVCCM hawajui ni kwamba huwezi kuitenganisha Tunduma na Chadema hata ufanyaje utafeli kama alivofeli Kenan Leo.๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1715793092853297277) 2023-10-21T18:12Z 868.7K followers, [--] engagements "Kuhamisha Maasai bila kuwashirikisha na kupata hiari yao ni uvunjifu wa haki ya kusikilizwa na kutoa maoni. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716005526062928215) 2023-10-22T08:16Z 868.7K followers, [--] engagements "Ngorongoro Conservation Area Act inasema lengo la Hifadhi hiyo ni kutunza maliasili kuendeleza utalii na kulinda na kuendeleza maslahi na matakwa ya raia wa jamii hizo wanaojishughulisha na ufugaji. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716005587958313261) 2023-10-22T08:16Z 868.7K followers, [--] engagements "Kenge huwahasikii mpaka aone damu inatoka kwenye masikio yake" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716008144571097573) 2023-10-22T08:26Z 868.7K followers, [--] engagements "Dalali wa Siasa akiwa Ikulu kushuhudia utiaji sahihi wa Mkataba wa uuzwaji wa Bandari za Tanganyika kwa DP World" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716020027122491666) 2023-10-22T09:13Z 868.7K followers, [--] engagements "@kashorgesh ๐๐๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716021167192952887) 2023-10-22T09:18Z 868.9K followers, [----] engagements "PeoplesPower ๐Laela Kwela kwa @NaftalDaniel1" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716129743471309045) 2023-10-22T16:29Z 868.9K followers, [----] engagements "Sasa hivi Rais Samia amekuwa Dalali wa kuuza Raslimali za Taifa letu amedalali Bandari amedalali hifadhi za Misitu na Ardhi yetu-; @TunduALissu Cc. @chiefodemba" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716150748667424937) 2023-10-22T17:53Z 868.7K followers, [--] engagements "Daudi Alberty Bashite kutoka Koromije amepewa rungu soon zitaanza kuokotwa maiti za wakosoaji wa Serikali kwenye mifuko ya sandarusi.๐ค" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716151845771452899) 2023-10-22T17:57Z 868.7K followers, [--] engagements "Kubadili sheria ya maliasili kimsingi inaondoa haki ya kikatiba ya wananchi kulinda rasilimali zao @Kadulyu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342165037559996) 2023-10-23T06:33Z 868.7K followers, [--] engagements "Kuwe na MALENGO NA MWONGOZO KWA SERIKALI. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342212634497036) 2023-10-23T06:34Z 868.7K followers, [--] engagements "Nchi yetu ina demokrasia ya uwakilishi kupitia bunge linalowakilisha wananchi lakini bunge limekuwa likipuuza maoni ya wananchi na kufuata ya utawala tutafute #KatibaMpya ambayo itaheshimu demokrasiac @Kadulyu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342354850848958) 2023-10-23T06:34Z 868.7K followers, [--] engagements "Mwongozo wa serikali utajenga mahusiano ya taasisi za umma. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342433041059983) 2023-10-23T06:34Z 868.7K followers, [--] engagements "Nchi ambazo serikali inafuata demokrasia na inasilikiza maoni ya wananchi ni lazima iwe na maendeleo ya kutosha demokrasia imara huletwa na katiba bora @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342493514551329) 2023-10-23T06:35Z 868.7K followers, [--] engagements "Mwongozo wa shughuli za serikali utapunguza rushwa katika ofisi za umma. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342568840265995) 2023-10-23T06:35Z 868.7K followers, [--] engagements "Nchi nyingi zenye rasilimali za kutosha Afrika zinazoongoza kuteseka kwa kuwa hazina demokrasia ya kweli na kuwaacha viongozi walafi madarakani ni wakati wa kupata #KatibaMpya ambayo italeta demokrasia @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342624460714216) 2023-10-23T06:35Z 868.7K followers, [--] engagements "Viongozi wa umma na sifa zao zitatambulika katika sheria ya mwongozo wa shughuli za serikali. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342681125753118) 2023-10-23T06:35Z 868.7K followers, [--] engagements "Viongozi wanaogawa rasilimali za nchi hii wanatakiwa kudhibituwa kwa #KatibaMpya pekee @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342748096115051) 2023-10-23T06:36Z 868.7K followers, [--] engagements "Kuingiliana Taasisi za umma katika majukumu kutapunguzwa na mwongozo wa utendaji wa serikali. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342804043940144) 2023-10-23T06:36Z 868.7K followers, [--] engagements "The natives of Ngorongoro have been politically and financially isolated and become poor in the midst of grace. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342954468450779) 2023-10-23T06:37Z 868.9K followers, [----] engagements "Kuna makubaliano ya kimataifa kama vile Tamko la Umoja wa Mataifa Juu ya Haki za Watu wa Asili (UNDRIP) ambayo Tanzania imekuwa ikiyakiuka zinazoelekeza kuwa watu wanaoishi katika eneo lenye maliasili wanufaike na maliasili hizo. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716342970041966992) 2023-10-23T06:37Z 868.7K followers, [--] engagements "Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh. @TunduALissu akiendelea na ziara yake huko ughaibuni huku akipata mapokezi makubwa ya Watanzania waishio nje ya nchi. Hapa alikuwa Houston Texas" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716344939913605380) 2023-10-23T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements "@LembrusMchome Sio Dar ni Mnyaturu wa Arusha huko ๐ค" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716473635320328273) 2023-10-23T15:16Z 868.7K followers, [--] engagements "@BOSSferdd Daah ๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716484477923233994) 2023-10-23T15:59Z 868.7K followers, [--] engagements ""Makonda ni muuaji na mtekaji" -; @TunduALissu" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716527139854410018) 2023-10-23T18:48Z 868.9K followers, 16.9K engagements "@GIVENALITY ๐๐๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716530292725264727) 2023-10-23T19:01Z 868.9K followers, [---] engagements "Huu mkataba kama tutafwata IGA hata kama wakimaliza miaka [--] lazima tumpe mkataba mwingine Kwa sababu kipengele kwenye IGA Inasema ni lazima umpatie nafasi ya Kwanza kwenye uwekezaji @nyanjewanyanje On #MariaSpaces #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716550328714174650) 2023-10-23T20:21Z 813.8K followers, [----] engagements "@ThabitSenior" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716552674122895802) 2023-10-23T20:30Z 868.9K followers, [---] engagements "Serikali ambayo mwananchi ndiye mwenye maamuzi ya mwisho haiwezi kamwe kukubali kuibiwa chochote @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : https://bit.ly/46w5712 https://bit.ly/46w5712" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716706646703935494) 2023-10-24T06:42Z 868.9K followers, [----] engagements "Wananchi wametoa maoni na kusisitizia umuhimu wa Dira ya Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716706725334552712) 2023-10-24T06:42Z 868.7K followers, [--] engagements "Tusipotumia sauti zetu kupambana na viongozi wanaoibakisha katiba mbovu kwa kuwa inawalinda ni wazi tutaangamia kama Taifa ni wakati wa kupata #KatibaMpya @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716706776811237705) 2023-10-24T06:42Z 868.7K followers, [--] engagements "Dira ya Taifa ndio msingi mama namna ambavyo Taifa linavyoweka vipaumbele vyake vya maendeleo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716706924731789352) 2023-10-24T06:43Z 868.7K followers, [--] engagements "Ni muhimu #KatibaMpya ikawa na serikali ya majimbo ili kuongeza zaidi uwajibikaji kwa viongozi wanaokuwepo madarakani na wananchi kuamua mambo ya majimbo yao na si serikali kuu @MwauraRobert2 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716707014796034285) 2023-10-24T06:43Z 868.7K followers, [--] engagements "Dira ya Taifa pia inaweka masharti ya aina ya viongozi ambayo wanaweza kupewa dhamana ya kuongoza Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716707068512440730) 2023-10-24T06:43Z 868.7K followers, [--] engagements "Watawala wanatakiwa kuonyesha ufanisi mkubwa kwenye matumizi ya maliasili na rasilimali zetu na wasipofanya hivyo #KatibaMpya itatakiwa kuwa na uwajibishaji @immachrislucas #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716707130797953184) 2023-10-24T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements "Dira ya Taifa husaidia kuimarisha Taasisi zinazo shugulika na maendeleo ya Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716707180634636316) 2023-10-24T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements "Kila kibaya kinachotokea nchi hii ni kwa ajili ya sheria yenye upenyo wa mabaya hayo kutokea upenyo huo upo kwenye kinga na madaraka ya baadhi ya watu yanahitajika kupunguzwa na #KatibaMpya @cycleclement #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716707233906507826) 2023-10-24T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements "Dira ya Taifa hutoa mwongozo wa namna ya kujenga sera imara za kiuchumi kwa Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716707296556851376) 2023-10-24T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements "Nchi hii ina tatizo la serikali kutokuwa na uwazi kusaini mikataba [--] bila kushirikisha wananchi ni kinyume cha katiba yetu @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716798028206494067) 2023-10-24T12:45Z 868.7K followers, [--] engagements "Kwa sasa kila kiongozi anayeingia madarakani anafanya mambo anayopenda yeye. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716798305521267111) 2023-10-24T12:46Z 868.7K followers, [--] engagements "Uhuru wetu umeguswa sana na mikataba hii ambayo Tanzania imeingia ambayo inakaa juu ya katiba na kupelekea pia kubadili sheria zetu @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716798498253820375) 2023-10-24T12:47Z 868.7K followers, [--] engagements "Moja ya suala baya tulilonalo sasa Dira ya Taifa inabebwa na ilani za uchaguzi lakini ilitakiwa Ilani za uchaguzi kufuata dira ya Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716798734132977695) 2023-10-24T12:48Z 868.7K followers, [--] engagements "Mikataba hii imeingilia uhuru wa wananchi kwa asilimia [---] kwa kuwa hakuna chombo kinacho eleweka kinacholinda wananchi inahatarisha usalama wa Taifa tutafute katiba kwa usalama wa nchi yetu @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716798789145506100) 2023-10-24T12:48Z 868.7K followers, [--] engagements "Lazima tuhakikishe tuna chombo imara kinachowajibika moja kwa moja kwenye ulinzi wa rasilimali na mtu akienda kinyume kiingile kati ili kunisuru rasiliamli kwa kupitia #KatibaMpya @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716800227456229714) 2023-10-24T12:54Z 868.7K followers, [--] engagements "Katika mazingira ambayo hakuna dira ya Taifa miradi ya ufisadi huibuka kama uyoga. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716800873211236690) 2023-10-24T12:56Z 868.7K followers, [--] engagements "The Ngorongoro community for more than six decades have been impoverished in the name of conservation. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716801543825969176) 2023-10-24T12:59Z 868.9K followers, [----] engagements "Maasai wana haki ya kuishi salama na kupata elimu pamoja na huduma za afya. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716801644891963781) 2023-10-24T12:59Z 868.7K followers, [--] engagements "Hapa ni Kirando - Nkasi Kaskazini Ndo maana nasema Chadema ni Dude moja kubwa โ" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716893831474692286) 2023-10-24T19:06Z 813.9K followers, [----] engagements "@LIldephonce Mno aisee" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716898767977468246) 2023-10-24T19:25Z 868.9K followers, [---] engagements "@MithunSaid ๐๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716898882502971703) 2023-10-24T19:26Z 868.9K followers, [---] engagements "@AlexSamoja @AlvinMakini Kabisa" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716899011146453366) 2023-10-24T19:26Z 868.7K followers, [--] engagements "@Elly_Ahmy Hatari na nusu.๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1716905175837970534) 2023-10-24T19:51Z 868.9K followers, [--] engagements "Suala la watu wachache kufanya mambo kwa maslahi ya watu wachache yatakomeshwa na #katibaMpya yenye meno @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717115743072915885) 2023-10-25T09:47Z 868.7K followers, [--] engagements "Nchi inakwenda kwa kufuata fikra za kiongozi mkuu wa serikali #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717115827051438573) 2023-10-25T09:48Z 868.7K followers, [--] engagements "Nchi hii ina utajiri wa kutosha lakini tuna shida kubwa ya uongozi ambao unadekezwa na katiba mbovu ya sasa ni muda wa #katibaMpya @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717116025689231464) 2023-10-25T09:48Z 868.7K followers, [--] engagements "Maendeleo tunayotafuta yanapatikana vipi bila Nchi kuwa na Dira #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717116038456692785) 2023-10-25T09:49Z 868.7K followers, [--] engagements "Uwezo wetu wa kuendesha mambo unapimwa na uwepo wa sheria nzuri lakini tumefeli katika kuwa na katiba bora ndio maana rasilimali zetu hazinufaishi Tafa letu @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717116896024174678) 2023-10-25T09:52Z 868.7K followers, [--] engagements "Katika mazingira ambayo hakuna dira ya Taifa miradi ya ufisadi huibuka kama uyoga. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717116958074646904) 2023-10-25T09:52Z 868.7K followers, [--] engagements "Kulingana na katiba mbovu yetu mataifa yenye akili yana kazi ya kuangalia ni rasilimali gani ambayo wanaweza kutuchukulia ni wazi tuamke kutafuta #KatibaMpya bora ili kukomesha hali hiyo @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717117022142697826) 2023-10-25T09:52Z 868.7K followers, [--] engagements "Dira ya Taifa huondoa nafasi ya upendeleo katika kupeleka maendeleo kwa wananchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717117094133743967) 2023-10-25T09:53Z 868.7K followers, [--] engagements "Mpaka sasa Tanzania hatuna uhuru wa kiuchumi tulipata uhuru wa kisiasa tu uhuru wa kiuchumi utategemea sana uwepo wa sheria na katiba bora za kuongoza mifumo ya kiuchumi @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717117158134604223) 2023-10-25T09:53Z 868.7K followers, [--] engagements "Wananchi walipendekeza mambo kadhaa. Kubwa ni kuweka dira ya Taifa - Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717117324891771237) 2023-10-25T09:54Z 868.7K followers, [--] engagements "Serikali imekuwa ikikanusha kuwa hakuna uvunjifu wa haki za binadamu Loliondo lakini wanaharakati na wananchi wameripoti uvunjifu mkubwa haki zao wengine hadi kupoteza maisha kwa ajili ya kupinga kuachia ardhi yao. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717117403836895514) 2023-10-25T09:54Z 868.7K followers, [--] engagements "Usalama wa maisha na ulinzi wa haki ya kuishi upo chini ya serikali yetu Maasai ni sehemu ya wananchi kukiuka haki zao ni kukiuka katiba na matamko ya kimataifa. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717117535240245543) 2023-10-25T09:54Z 868.7K followers, [--] engagements "Ukosefu wa katiba imara yenye kusimamia uwajibikaji wa viongozi na serikali ndio unasababisha kuwa na viongozi walanguzi wa rasilimali za umma na wasio waadiifu @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717180178592313815) 2023-10-25T14:03Z 868.7K followers, [--] engagements "Wananchi wanalalamika wanashindwa kufanya shughuli za kiuchumi kutokana kutokana na ugumu wa kupata umiliki wa ardhi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717180243272737279) 2023-10-25T14:04Z 868.7K followers, [--] engagements "Mfumo wa Kenya wa uongozi ni bora kwa uwepo wa katiba nzuri lakini hapa Tanzania tuna mfumo hodhi wa CCM ndio maana tunapata wawekezaji wa ovyo. @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717180319508435045) 2023-10-25T14:04Z 868.7K followers, [--] engagements "Wawekezaji wakubwa wanapata nafuu ya kupata ardhi kuliko wananchi wa kawaida .#KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717180476656439622) 2023-10-25T14:05Z 868.7K followers, [--] engagements "Rasilimali na maliasili vinawezwa kusimamiwa na Watanzania kwa umakini kama tutapata katiba bora kwa kuwa tunaelea kwenye umaskini ili hali nchi ni tajiri @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717186588109603148) 2023-10-25T14:29Z 868.7K followers, [--] engagements "Katiba hii imelea viongozi wa ovyo wasiojali utu wa Watanzania @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717187772061004118) 2023-10-25T14:34Z 868.7K followers, [--] engagements "Wananchi wanataka kuboresha mfumo wa umiliki ardhi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717188046435541114) 2023-10-25T14:35Z 868.7K followers, [--] engagements "Wapendwa Nimepata msiba nimempoteza Baba angu mzazi Mzee Newton. Naomba mniombee sipo sawa napitia maumivu makali sana nahisi kuchanganyikiwa.๐ญ๐ญ๐ญ" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1717412260975350131) 2023-10-26T05:26Z 814.1K followers, 46.1K engagements "Ayubu 41:11 ๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734499499618287712) 2023-12-12T09:04Z 824.2K followers, 44.6K engagements "@vyetifeki Nimerudi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734582778258137527) 2023-12-12T14:35Z 824.2K followers, [--] engagements "Kiongozi bora hupimwa na wananchi mifumo ya wananchi kushiriki katika kuamua uadilifu wa viongozi wao lazima ijengwe katika sheria zetu jamii zilizoendelea wananchi huwajibisha viongozi #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734843606232363213) 2023-12-13T07:52Z 824.2K followers, [---] engagements "Tamaa ya madaraka na mali ni jambo baya kwa viongozi huwezi kutawala nchi namna hii lazima tuzingatie haki ili tusogee mbele lazima tuchukue hatua za kutafuta #KatibaMpya kusawazisha mambo haya @Kadulyu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734843763946598768) 2023-12-13T07:52Z 824.2K followers, [---] engagements "Hakuna sababu za kuogopa kuwa na Tume inayokubalika na wadau wote wa uchaguzi Wananchi na wanasiasa wanaoshiriki kama wagombea lazima waridhike na muundo wa tume ya uchaguzi. #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734844186518487311) 2023-12-13T07:54Z 824.3K followers, [---] engagements "@bajabiri Thank you Shem lake" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734882618108194974) 2023-12-13T10:27Z 824.5K followers, [---] engagements "Shekh tulikwambia CCM ni ile ile na tabia zao ni zile zile hazijawai kubadilika" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734883230925402171) 2023-12-13T10:29Z 824.5K followers, [----] engagements "@AbdulrazaqMoghu Nilikuwa bado sijamaliza Msiba wa Mzee" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734885513574715490) 2023-12-13T10:38Z 824.3K followers, [--] engagements "Ukienda Moshi nenda sehemu inaitwa KUONANA wanajua sana kuchoma Kitimoto Halafu ukitoka hapo nenda Mbeya town kwa Mwairubi na Pork Joint Dodoma yani ukila utasema za Dar bado sana. Halafu kumbuka huko mdudu ni fresh sio zile nyama wanaweka kwenye freezer zinakaa wiki/ mwezi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734917871640220047) 2023-12-13T12:47Z 824.3K followers, [----] engagements "Hongera sana mdogo angu @DEUSDEDITHSOKA kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA jimbo la Temeke. Vijana wa Chadema jimbo la Temeke wameonyesha Imani kubwa kwako so jitaidi usiwaangushe. Nakuombea Mungu akusimamie na kukuongoza katika majukumu yako" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1734931917990936780) 2023-12-13T13:42Z 824.4K followers, [----] engagements "Hivi hiki kitabu naweza kukipata wapi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1735359089406885987) 2023-12-14T18:00Z 824.6K followers, [----] engagements "Uhuru wa Ukosoa hakuna mfano mdogo ni ule mkataba wa Bandari waliojitokeza kukosoa wamekutana na mambo mangopi ya kuumizwa @gwangwayyohani On #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1735370257194205623) 2023-12-14T18:44Z 824.6K followers, [---] engagements "TUME HURU YA UCHAGUZI #1 : Katiba ibainishe wazi kuwa Tume hii ya Uchaguzi itakuwa na wajibu wa kusimamia na kuendesha shughuli zote za uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736301506196918607) 2023-12-17T08:25Z 825K followers, [--] engagements "Theoretically Tanzania has three pillars of government but in reality #KatibaYa1977 has given the Executive pillar excessive and unilateral powers to interfere with other arms of government thus controlling/undermining state power and resources. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736302366222106814) 2023-12-17T08:28Z 825.6K followers, [---] engagements "Mtanzania mwenzetu Joshua Molel kauwawa kikatili sana tena bila hata kosa Duniani kuna watu wakatili sana.๐ Mungu awape faraja familia yake maana yeye pekee ndo mfariji wa kweli.๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736390713636520089) 2023-12-17T14:19Z 825.2K followers, 20.3K engagements "Tahadhari Video zinatisha. Hizi ni video za mtanzania mwenzetu Joshua Mollel ambae wanamgambo wa kundi la Hamas wamemuua huko Gaza Itoshe kusema Duniani kuna watu Wakatili sana.๐ญ Pole sana kwa familia Mungu awape faraja. R.I.P Joshua Mollel.๐ ๐ฅ @AdinHaykin1" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736398681811652880) 2023-12-17T14:51Z 893.5K followers, [--] engagements "Nawaza kwa sauti hivi Joshua Molel aliwakosea nini Wanamgambo wa Hamas mpaka wakaona anastahili kuuwawa Kikatili kiasi kile" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736404983355003108) 2023-12-17T15:16Z 825.2K followers, [----] engagements "#Pichani Ni Magina Ntugwa Makongolo makazi wa Kahama November [--] [----] watu wanaodhaniwa kuwa ni Polisi walimfuata Magina ofsini kwake (Gereji) kishawakaondoka nae tangu siku hiyo hadi leo hajulikani alipo family yake imemtafuta kila mahali bila mafanikio #FreeMagina" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736431646205718815) 2023-12-17T17:02Z 825.3K followers, 13.8K engagements "Kwahiyo kuna watu wanaona alichofanyiwa Joshua Molel ni sahihi kisa wanatetea dini๐ฅน" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736438966813941879) 2023-12-17T17:31Z 825.2K followers, [----] engagements "Tanzania tuna maeneo yanayojitosheleza kwa kilimo nishati na viwanda kama chuma Kwa mwaka [----] unaona kuna mikakati yoyote kuimarisha shughuli za kiuchumi nchini Tumeongeza ajira ngapi kwa vijana #MariaSapaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736711366562443406) 2023-12-18T11:33Z 825.3K followers, [---] engagements "Tanzania ina vyanzo vya umeme vya kutosha kulinganisha na nchi nyingi kwa nini tumeshindwa katika kuzalisha umeme wa kutosha nishati ni kitu muhimu katika maendeleo . Tunafanikisha vipi kuondokana na kero hii #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1736711415572910503) 2023-12-18T11:34Z 825.3K followers, [---] engagements "Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi ambao sio huru na Haki. Ili Kuhakikisha kwamba tunakuwa na uchanaguzi huru na haki ni lazima tupate KatibaMpya kwanza. Anasisitiza @DEUSDEDITHSOKA #MariaSpaces #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1736829917466169648) 2023-12-18T19:24Z [--] followers, [----] engagements "MKURUGENZI WA UCHAGUZI #2: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mkurugenzi awe ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737013809103917354) 2023-12-19T07:35Z 825.5K followers, [---] engagements "Ngoja tuitinzee hii picha maana January [----] ni kesho kutwa tu" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737018620616610265) 2023-12-19T07:54Z 825.6K followers, [----] engagements "Ukiangalia Wasanii wa Bongo wanavolalamika kuhusu Tanesco unaweza kudhan kwamba Tanesco ni Shirika linaongozwa na Chadema wanaogopa kulihusisha na Serikali kuna mahali nimesoma mmoja anasema Tanesco wanaigombanisha Serikali na Wananchi Wanaogopa wataonekana wanakosoa Serikali" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737132284547915998) 2023-12-19T15:26Z 833.6K followers, 11.1K engagements "Bado hujasema mpaka useme" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1737148140552085561) 2023-12-19T16:29Z [--] followers, [----] engagements "@LelloMmassy Soma hapa" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737153627125403814) 2023-12-19T16:51Z 825.8K followers, [----] engagements "@AbroadTanzania Mheshimiwa sana" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737153855454908441) 2023-12-19T16:52Z 825.6K followers, [--] engagements "Mwanzo TANESCO walisema umeme unakatika kwasababu ya ukame maji hakuna Mungu kaleta mvua zimenyesha mito imefurika lakin bado wanakata umeme @tanescoyetutz Tuambieni ukweli shida ni nini maana mnatutesa sana aisee" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737401453839270232) 2023-12-20T09:16Z 825.7K followers, [----] engagements "Mnamkosea sana marehemu wa watu Kwanza ukiangalia kwa makin frame no. [--] izo picha mbili ambazo mnazotaka kuaminisha watu kwamba Joshua alikuwa anashirikiana na Jeshi la Israel. Hao ni watu [--] tofauti angalia pua na masikio ya Joshua then linganisha na huyo jamaa hayafanani" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737473341361885687) 2023-12-20T14:01Z 825.8K followers, [----] engagements "Halafu wakitoka hapo wanaanza kulialia kwamba gharama za maisha zipo juu na mshara ni kiduchu" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737481356588744805) 2023-12-20T14:33Z 825.8K followers, [----] engagements "Hawa ni watu wawili tofauti angalia masikio. Pua macho na komwe hawafanani kwa chochote. Sijui mnapotosha ili mpate faida gani ๐ฎ" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737486557244760223) 2023-12-20T14:54Z 833.6K followers, [----] engagements "Leo Makolo walidhani tutafungwa toeni tu hizo meme zenu ambazo mliziandaa kwa ajili ya kutucheka tukifungwa.๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737487301591142597) 2023-12-20T14:57Z 825.8K followers, [----] engagements "TUME YA HAKI ZA BINADAMU #6: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe Wenye shahada ya Sheria kutoka chuo cha elimu ya juu kinachotambulika na Serikali. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749154158297511) 2023-12-21T08:17Z 826K followers, [---] engagements "Separation of power protects the rights and freedoms of citizens especially the minority by ensuring that the sovereign is not vested in the ambit of few people or interest groups. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749252502151362) 2023-12-21T08:18Z 826.4K followers, [----] engagements "TUME YA HAKI ZA BINADAMU #7: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe ni watu wenye kuheshimu haki za binadamu. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749311268458504) 2023-12-21T08:18Z 826K followers, [---] engagements "Separation of power helps promote and enhance efficiency in government because each arm of government works independently of each other. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749382856859944) 2023-12-21T08:18Z 826.4K followers, [----] engagements "TUME YA HAKI ZA BINADAMU #8: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe na uzoefu kwenye utumishi wa umma upeo mkubwa wa haki za binadamu utawala na Masuala ya kijamii. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749430126755880) 2023-12-21T08:18Z 826K followers, [---] engagements "Separation of powers establishes a balance of accountability within and between government institutions in order to manage their individual institutional responsibilities freely. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749502524596464) 2023-12-21T08:19Z 826.4K followers, [----] engagements "TUME YA HAKI ZA BINADAMU #9: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe Wenye heshima weledi uaminifu na uadilifu na wasiwe Wenye mienendo yenye kutiliwa shaka na jamii. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1737749590139412499) 2023-12-21T08:19Z [--] followers, [---] engagements "Separation of power ensures the three arms of government control their respective institutional budgets that guarantee financial independence devoid of external interference or influence from others. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749623358271860) 2023-12-21T08:19Z 826.4K followers, [----] engagements "TUME YA HAKI ZA BINADAMU #10 : Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe ni watu ambao hawajawahi kutiwa hatiani Kwa makosa yoyote ya jinai. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749689791832505) 2023-12-21T08:19Z 826K followers, [---] engagements "Separation of power empowers #WenyeNchiWananchi through @bunge_tz and the @judiciarytz to manage articulate and pass through their public interest issues and responsibilities. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737749754543472727) 2023-12-21T08:20Z 826.4K followers, [----] engagements "Sheria ya vyama vya Siasa ya mwaka [----] kifungu cha 6C kimeweka masharti Mtu kuwa Mwanachama wa Chama cha siasa moja wapo ni umri usio chin ya 18yrs Swali hao Chipkiz wamefika miaka [--] Halafu msajili wa vyama vya Siasa yupo kimya ila ingekuwa tumefanya Chadema angetoa mlio" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737793588895920240) 2023-12-21T11:14Z 826K followers, [---] engagements "@AD_Abinallah Soma kifungu cha 6C" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737795683027931445) 2023-12-21T11:22Z 826K followers, [--] engagements "@420Cousin ushaidi uliokuwa unataka huu hapa na kuonyesha Mwendazake alikuwa hataki hili jambo hadi kwenye Sheria ya vyama vya Siasa ya mwaka [----] aliweka umri ambao unatakiwa ili mtu aweze kujiunga na Chama ch Siasa. Kama inavosemaka hapa kwenye kifungu cha 6C" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737797095120159045) 2023-12-21T11:28Z 826K followers, [--] engagements "Maake hapo kwanza ncheke ๐ Kwamba unaweza kuwa UVCCM ila usiwe Mwanaccm Labda utuambie UVCCM ni nini Tuanzie hapo kabla hatujaenda mbele" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737813887410417820) 2023-12-21T12:34Z 826K followers, [----] engagements "@SophiaMfaume @thomasjkibwana @AD_Abinallah Ni Wig ya CCM ambayo ipo kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ya [----] So nyie Katiba yenu ya Chama hamkuifanyia marekebisho kama msajili wa vyama vya Siasa alivoagiza mara tu baada ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka [----] kupitishwa" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737819245977711015) 2023-12-21T12:56Z 826K followers, [--] engagements "@yahayaomary Halafu ni PhD holder ๐ฅน" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737819578984452332) 2023-12-21T12:57Z 826K followers, [--] engagements "@tully_yohana @thomasjkibwana @SophiaMfaume @AD_Abinallah ๐๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737819694936023272) 2023-12-21T12:57Z 826K followers, [--] engagements "Ni kweli kujifunza hakuishi Lakin Sheria ya Vyama vya Siasa iliyoweka umri wa mtu kujiunga na Chama inahusisha Chama kwa ujumla wake yani kuanzia Chama mpaka Jumuiya zake zote. Ndo maana nimekuuliza kwahiyo nyie wakat msajili anaagiza Vyama vibadili Katiba ili๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737823882638135716) 2023-12-21T13:14Z 826K followers, [----] engagements "kuendana na Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka [----] nyie hamkufanya maboresho ya Katiba yenu upande wa Vijana" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737823887805530506) 2023-12-21T13:14Z 826K followers, [---] engagements "@Mwabuk2Boniface @MariaSTsehai @fatma_karume @HecheJohn @Twaha_Mwaipaya @mdudechadematz @John_Pambalu @lifeofmshaba @OleMtetezi Kama nchi tunasafari ndefu sana" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737824964751888593) 2023-12-21T13:18Z 826K followers, [---] engagements "@lifeofmshaba Hilo hawezi kujibu" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737831633980698949) 2023-12-21T13:45Z 826.2K followers, [---] engagements "@PMungetengeko @Shabanishabanii @thomasjkibwana @AD_Abinallah Na unavaa nguo imeandikwa CCM ila wewe sio Mwanachama na hapo hapo unashiriki shughuli zote za CCM" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737832026504646824) 2023-12-21T13:46Z 826.4K followers, [--] engagements "@Advocate_Jebra Mpewe ila sasa hivi nchi iko na changamoto lukuki ambazo zinatakiwa kutafutiwa ufumbuzi sasa zote izo hajaziona ๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737852317821784376) 2023-12-21T15:07Z 826.2K followers, [---] engagements "Anasema ukweri in Mekos voice" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1737853147421491362) 2023-12-21T15:10Z 826.1K followers, 12.8K engagements "Tume ya Uchaguzi ( NEC ) na ile ya Zanzibar ( ZEC) zote zina changamoto ya kuwa Tume Huru kutokana na namna Tume hizo zinavyopatikana kwa kuteuliwa na Rais. #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738095862713143476) 2023-12-22T07:15Z 826.2K followers, [---] engagements "@Gibson44178359 Asante sana" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738211741505331708) 2023-12-22T14:55Z 826.2K followers, [--] engagements "@ZakayoPius Asante ๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738211806529585599) 2023-12-22T14:56Z 826.2K followers, [--] engagements "@BRAIGHTONELIAS4 Asante ๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738211870060781975) 2023-12-22T14:56Z 826.2K followers, [--] engagements "@bajabiri Asante Shem Darling๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738211938566390066) 2023-12-22T14:56Z 826.6K followers, [---] engagements "@KahimbiUnited Amina shukrani ๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212040559177942) 2023-12-22T14:56Z 826.2K followers, [--] engagements "@Mbobezi Asante tajiri.๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212121408856237) 2023-12-22T14:57Z 826.2K followers, [--] engagements "@Jonijoty Asante sana" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212169261498613) 2023-12-22T14:57Z 826.2K followers, [--] engagements "@LemaKennedyCDM Asante sana" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212217147765226) 2023-12-22T14:57Z 826.2K followers, [--] engagements "@MpaleMpoki Asante sana Senior ๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212297921733077) 2023-12-22T14:58Z 826.2K followers, [--] engagements "@shomari_omary Asante sana.๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212352758014342) 2023-12-22T14:58Z 826.2K followers, [--] engagements "@Chipson96_ Asante sana" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212426087022887) 2023-12-22T14:58Z 826.2K followers, [--] engagements "@danniephord ๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212472903921939) 2023-12-22T14:58Z 826.2K followers, [--] engagements "@Aminiel39175474 Asante sana.๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738212608115650720) 2023-12-22T14:59Z 826.2K followers, [--] engagements "Serikali ya Tanzania inakwama wapi" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738426028693803313) 2023-12-23T05:07Z 826.3K followers, [---] engagements "Baadhi ya Maasai walivuka mpaka na kwenda nchi ya Jirani Kenya ili kukimbia ukatili uliokuwa ukifanyika kaika maeneo yao hali hii inafanya kuwa watumwa katika ardhi yao. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738427393050653015) 2023-12-23T05:12Z 826.3K followers, [---] engagements "Happy birthday Kamanda @Ntobi_ Mungu akujalie uishi maisha marefu yenye baraka na amani tele.๐ฅ" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738795970958184819) 2023-12-24T05:37Z 826.5K followers, [---] engagements "Tulia watesi wakunyooshe.๐๐๐" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738814397101842651) 2023-12-24T06:50Z 826.6K followers, 44.4K engagements "@DEUSDEDITHSOKA @lifeofmshaba Tafuta hii movie uangalie kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa BIG GEORGE" [X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1738878543054950403) 2023-12-24T11:05Z 826.6K followers, [--] engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@HildaNewton21 Hilda NewtonHilda Newton posts on X about tanzania, mambo, kenya, kwanza the most. They currently have [---------] followers and [----] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries travel destinations currencies social networks technology brands finance musicians stocks automotive brands exchanges
Social topic influence tanzania, mambo, kenya, kwanza, zanzibar, genz, wa, mali, ipo, bali
Top accounts mentioned or mentioned by @tundualissu @mwabuk2boniface @freemanmbowetz @mariastsehai @jumaabdukarim @sativa255 @deusdedithsoka @hechejohn @oleshangay @jjmnyika @ananilean @bajabiri @godblesslema @lifeofmshaba @hermanmlale @mwaurarobert2 @mdudechadematz @tanpol @suluhusamia @gwangwayyohani
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) RAFIKI (RAFIKI) Alphabet Inc Class A (GOOGL) Mastercard, Inc. (MA) BETA Technologies, Inc. (BETA) BODA (BODAV2) Robot Consulting Co., Ltd. (LAWR)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Nawakumbusha tu wale Wazee wa kusifia Serikali hadi kwenye vitu vya kipuuz. Mpaka sasa tayari tumesha tengwa na -; European Union World Bank United States of America Sweden Denmark Norway Canada"
X Link 2018-11-15T09:19Z 896K followers, [---] engagements
"There are some deficits in the Spinsters and Single Parent Protection Act because some teenage mothers do not return to school after delivery because their parents do not allow their daughters to continue with school after delivery #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi"
X Link 2020-08-01T05:36Z 895.8K followers, [--] engagements
"Shikamoo 'Team ya Kampeni' ya Mhe. @halimamdee ๐๐๐๐"
X Link 2020-09-17T13:43Z 933K followers, [---] engagements
"Pepo tokaaaaaa. ๐๐๐"
X Link 2020-12-29T16:37Z 896.5K followers, [---] engagements
"Mataga bhana eti mnajaua yule Big Hamza hakuwa Gaidi maana kama angekuwa Gaidi angeuwa watu waliokuwa kwenye dala dala. Sawa asa why mlivopata picha ya Hamza mkaenda kufake kadi ya Chadema na kusema Hamza ni Gaidi na alikuwa mwanachama wa Chadema au hamkujua kuwa ni kada wenu"
X Link 2021-08-26T09:32Z 893.7K followers, [--] engagements
"@MariaSTsehai #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2021-11-11T16:54Z 900.2K followers, [--] engagements
"To date the government and its security agencies have been unable to establish the circumstances that surrounded the brutal assassination attempt of Opposition Presidential Candidate Tundu Lissu. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi https://youtu.be/N8nqNmiGNaU https://youtu.be/N8nqNmiGNaU"
X Link 2021-12-01T10:32Z 896.6K followers, [--] engagements
"Social networks such as Twitter Facebook and Google hold the potential to alter civic engagement thus essentially hijacking democracy by influencing individuals toward a particular way of thinking. #MariaSpaces https://x.com/i/spaces/1OwxWzAlbOpJQ https://x.com/i/spaces/1OwxWzAlbOpJQ"
X Link 2022-03-21T19:37Z 896.6K followers, [--] engagements
"@Tz_Kwanza @ChangeTanzania @MariaSTsehai @aikande @CatherineRuge @HecheJohn @freemanmbowetz @fatma_karume @ChademaTz @John_Pambalu Tuendelee kudai #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2022-09-10T14:53Z 895.9K followers, [--] engagements
"Mbappe ๐๐ฅ"
X Link 2022-11-26T17:20Z 895.8K followers, [---] engagements
"Mastercard Inc and Binance said that on Monday they are launching a prepaid card in Brazil Acc to a statement Binance Card is currently in beta testing and should be widely available in the next few weeks. Join me with Binance https://accounts.binance.me/en/registerref=XIL4743Y https://accounts.binance.me/en/registerref=XIL4743Y"
X Link 2023-02-01T05:34Z 905.9K followers, [----] engagements
"Police brutality is a big problem. January [----] Mtwara region Mussa Hamisi was allegedly beaten to death by police officers and robbed of more than [--] million Tanzanian shillings ($14300 ) @KamalaHarris @VP @USAmbTanzania #KaribuKamala #TellSamia To stop Police Brutality"
X Link 2023-03-30T06:58Z 897K followers, [----] engagements
"In Chad since February [----] there have been discontinuous interruptions in access to social media such as Facebook and Twitter or VoIP applications Tanzanians are still on VPN to access Twitter space and ClubHouse #InternetIsLife #KatibaMpya #InternetShutDown"
X Link 2023-04-17T13:19Z 895.8K followers, [----] engagements
"Ni kwa kiasi gani Mshikamano wa wananachi unaweza kuleta mabadiliko nchini hasa kupata mifumo bora ya utawala na haki. #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-05-18T13:05Z 868.7K followers, [--] engagements
"Pamoja na swala la bandari kuwa nyeti vyombo vya habari vimekuwa mashabiki wa DPW bila uchambuzi wa uchunguzi wa suala hili wamekwepa kundika ukweli maeneo ambayo DPW imesababisha hasara kama Djibouti kwa nini kuna udhibiti. #MariaSpaces #KatibaMpya #Twibatane"
X Link 2023-07-10T13:22Z 867.3K followers, [--] engagements
"Tujifunze kutoka kwa Yemen na Djibouti jinsi wananvyosumbuliwa na DPW kwa kesi kwa ajili ya mikataba mibovu tunatakiwa kuerkrbisha sheria zetu mkuu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : #Twibatane"
X Link 2023-07-22T12:06Z 867.8K followers, [--] engagements
"#Tanzania: Detained critics of UAE port deal must be immediately and unconditionally released"
X Link 2023-08-15T04:30Z 833.6K followers, [----] engagements
"Ukweli mchungu ๐"
X Link 2023-08-25T18:29Z 868.3K followers, [--] engagements
"Kuna mikataba mingine kati ya Tanzania na UAE kama kweli ni Serikali ni wazalendo tunataka waweke hadharani hiyo mikataba"-; @TunduALissu"
X Link 2023-08-25T19:22Z 868.3K followers, [--] engagements
"CCM na serikali yao wasiporuhusu utawala wa sheria basi wanajiandaa kuruhusu utawala wa ghasia ambao utakuwa hauepukiki @AbdulkarimJum10 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-08-26T10:08Z 868.3K followers, [--] engagements
"Kwa katiba yetu ya sasa mihimili miwili bunge na mahakama iko katika mikono ya serikali. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania"
X Link 2023-08-26T10:08Z 868.3K followers, [--] engagements
"Ibara [---] ya katiba ya nchi yetu imetoa fursa kwa wananchi kutumia mahakama kama chombo cha kuweza kueleza hisia zao. @AbdulkarimJum10 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-08-26T10:09Z 868.3K followers, [--] engagements
"Ifahamike kwamba kuongoza nchi hauwezi kuchukua nafasi ya demokrasia. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania"
X Link 2023-08-26T10:09Z 868.3K followers, [--] engagements
"Wananchi wameamua kwenda mahakamani kutafuta tafsiri ya kisheria kama njia ya kidemoksrasia ili kuelewa kuhusu mkataba wa DP World baada ya kuwa na sitofahmau na majibu yasioleweka mtaani @AbdulkarimJum10 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : https://www.youtube.com/watchv=e1gTwLU8Sng https://www.youtube.com/watchv=e1gTwLU8Sng"
X Link 2023-08-26T10:09Z 868.7K followers, [----] engagements
"Tunahitaji spika wa bunge ambaye hafungamani na chama chochote. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania"
X Link 2023-08-26T10:10Z 868.3K followers, [--] engagements
"Wananchi wametumia mahakama ili kupata tafsiri ya kikatiba na sheria juu ya vifungu vya mkataba wa DP World ambayo vinaonekana vinapingana na sheria zetu lakini wanashughulikiwa na kunyamazishwa @AbdulkarimJum10 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-08-26T10:11Z 868.3K followers, [--] engagements
"Swali lingine tunalouliza na tutaendelea kuuliza ni kuwa mtataba wa DP World ni mpaka lini Tusitoke kwenye hoja zetu za msingi katika suala hili la maliasili amabzo ni mali ya watanzania kikatiba @chacha_heche #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-08-26T10:11Z 868.3K followers, [--] engagements
"Tupate Tume Huru ya uchaguzi ambyo itatuletea bunge la wananchi na kupitia bunge la wananchi tutapata katiba mpya kwa sababu ni hitaji la wananchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania"
X Link 2023-08-26T10:12Z 868.3K followers, [--] engagements
"Chimbuko la madaraka au mamlaka ya nchi yanatoka kwa wananchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi #ChangeTanzania"
X Link 2023-08-26T10:12Z 868.3K followers, [--] engagements
"Nikizingumzia Uhuru wa kiuchumi kupitia Mikataba hii aliyosaini Raisi Samia kwenye maonyesho huko Dubai ni wadhi tumeporwa Uhuru huo hatuna kabisa uhuru tumeporwa #Nicholus On #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-08-28T19:21Z 869.9K followers, [--] engagements
"Mbunge wa Wananchi wa jimbo la Musoma mjini @MwitaJulius2000 akizungumza na Wananchi wake jioni ya leo"
X Link 2023-09-03T16:45Z 865.9K followers, [--] engagements
"Musoma mjini - Tanzania โ"
X Link 2023-09-03T16:47Z 865.9K followers, [--] engagements
"Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe: Tundu Lissu (@TunduALissu) akizungumza na wananchi wa Mugumu Jimbo la Serengeti leo hii"
X Link 2023-09-07T14:56Z 833.6K followers, [---] engagements
"In [----] citizens who had been relocated from the Serengeti to Maasai community signed an agreement that guaranteed them the rights to occupy and use the land. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania https://bit.ly/3qWXp0g https://bit.ly/3qWXp0g"
X Link 2023-09-09T08:58Z 896.9K followers, [----] engagements
"Jana baada ya Polisi kumhoji Mhe. @TunduALissu mambo yalicheka sana -; OCD Karatu. Dhamana iko wazi ila leo ni jumapili Mhe. Lissu : Fungua PGO ukarasa wa [--] OCD. Sawa tafuta wadhamini wawili Mhe. Lissu : najidhamini mwenyewe OCD. Haiwezekani Mhe. Lissu :. Fungua PGO"
X Link 2023-09-11T07:36Z 834.1K followers, [---] engagements
""Magufuli alinipa kesi [--] ndani ya mwaka mmoja na mama kwa sababu anataka tumuite mama na yeye pia sasa anaingia katika hiyo orodha ya waliojaribu kuninyamazisha"-; @TunduALissu"
X Link 2023-09-11T10:03Z 833.6K followers, [----] engagements
""Chadema hatukubaliani na kauli ya Rais ya kwamba elimu kwanza kuhusu Katiba. Tunasisitiza Katiba Kwanza." Mhe. @jjmnyika"
X Link 2023-09-12T15:39Z 813.9K followers, [----] engagements
"Kwanini Serikali inawaumiza kiasi hiki Waamasai wa Ngorongoro Kumzuia mtu kuagiza chakula maana yake unataka afe na njaa so Serikali inaona bora Wamaasai wafe kwa kukosa Chakula kisa wamegoma kwenda Msomera Halafu si mlisema kuhama ni jambo la hiyari sasa kwanini mnawasumbua watu ambao hawaki kuhama huu Ukatili mnaowafanyia Wamaasai haukubaliki hawa ni Binadamu kama Binadamu wengine hawastahili kupitia haya maumivu wanayopitia"
X Link 2023-09-13T09:18Z 826.2K followers, [----] engagements
"Kwa lugha nyepesi Waziri Ummy Mwalim anasema bora watoto wenu wafe ila NHIF ibaki na kubaki kwake wameona ni kuondoa Package ya Toto Afya. Yani badala ya kuiboresha package na kuzuia mianya ya upigani hasa wale Viongozi ambao huwa wanajikopesha mabilioni kutoka kwenye Mfuko wa NHIF halafu hawalipi wao wameona solution ni kuiondoa Toto Afya"
X Link 2023-09-13T11:07Z 833.6K followers, [----] engagements
"#Vidioni ni Mwimbaji Sifa Boniventure Bujune Mkazi wa Isyesye Mbeya mjini Anashikiliwa na Jeshi la Polisi tangu juzi kwasababu ya hii nyimbo wanadai ina maudhui ya uchochezi dhidi ya Serikali Tanzania #FreeSifaBujuni #FreeSifaBujuni"
X Link 2023-09-16T11:00Z 826.4K followers, [---] engagements
"Ukimsoma Waziri @ummymwalimu between lines ni anatueleza kwamba malengo ya Serikali sio kutoa huduma bali ni kufanya biashara kupitia bima za afya"
X Link 2023-09-16T12:09Z 825.2K followers, [---] engagements
"Ujumbe wa Jumapili Kutoka kwa Almachius Vincent Rweyongeza Askofu Jimbo Katoliki la Kayanga-Kagera"
X Link 2023-09-17T10:53Z 833.6K followers, [---] engagements
"Rais wa Congo Brazaville kaenda USA akiwa zake huko huku Jeshi limempindua.๐"
X Link 2023-09-17T18:27Z 833.4K followers, [----] engagements
"Kama umeolewa mke wa pili na mwanaume Mkristo soma hapa kuna ujumbe kabla hajakukuta yaliyomkuta Mheshimiwa nanii.๐ค"
X Link 2023-09-18T15:29Z 826.2K followers, [---] engagements
"The Maasai people in northern Tanzania have a history of being pushed off ancestral land to make way for so-called protected areas including the famous Serengeti National Park. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-27T07:24Z 833.4K followers, [---] engagements
"In [----] [------] hectares of Loliondo division in Ngorongoro district were designated a game-controlled area set aside for hunting wildlife while the Maasai retained the right to live and graze their herds in the area. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-29T16:18Z 833.6K followers, [----] engagements
"Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na vya kati wanapaswa kuruhusiwa kujumuika kwenye mijadala mikubwa ya kisiasa kiuchumi na kijamii ili kuibua fikra mpya za vijana. Kudhibiti vijana kushiriki katika mambo ya kijamii ni kudumaza Taifa. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-13T07:56Z 868K followers, [--] engagements
"Kinachoendelea muda huu Soko la Mawasiliano Ubungo ni huzuni. Imagine Soko kubwa na tegemeo la Machinga zaidi ya [----] pale Mawasiliano (SIMU2000) ambao walitolewa Mandela road na Morogoro road wakapelekwa hapo tangu mwaka [----] Wakajenga mabanda yao kwa gharama kubwa leo Serikali ya CCM inawaambia waondoke wanaambiwa hapatakiwi kuwa na soko wala stand maana eneo lote hili wapewa DART wajenge karakana"
X Link 2023-10-21T14:41Z 868.7K followers, [--] engagements
"Yani DC wa Momba Kenan Kihongosi kawapa elfu kumi kumi Vijana wa UVCCM pamoja ili wakafanye vurugu kwenye Mkutano wa Chadema lakini Mungu alivokuwa mkubwa wakashtukiwa wametembezewa kipigo cha Mbwakoko. Katika kuwakagua wamekutwa na mapanga na "paper spray" silaha yenye gesi ya pilipili ya Kupuliza katikati ya umati wa watu. Kama siyo Polisi kuwahi eneo la tukio kuwaokoa saa hii tungekuwa tunaongea mengine. Yani kijana mzima unapewa [--] ili ukahatarishe maisha yako.๐ฎ"
X Link 2023-10-21T16:15Z 868.7K followers, [--] engagements
"@ThabitSenior ๐๐๐๐๐"
X Link 2023-10-21T18:09Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kitu ambacho UVCCM hawajui ni kwamba huwezi kuitenganisha Tunduma na Chadema hata ufanyaje utafeli kama alivofeli Kenan Leo.๐"
X Link 2023-10-21T18:12Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kuhamisha Maasai bila kuwashirikisha na kupata hiari yao ni uvunjifu wa haki ya kusikilizwa na kutoa maoni. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-22T08:16Z 868.7K followers, [--] engagements
"Ngorongoro Conservation Area Act inasema lengo la Hifadhi hiyo ni kutunza maliasili kuendeleza utalii na kulinda na kuendeleza maslahi na matakwa ya raia wa jamii hizo wanaojishughulisha na ufugaji. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-22T08:16Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kenge huwahasikii mpaka aone damu inatoka kwenye masikio yake"
X Link 2023-10-22T08:26Z 868.7K followers, [--] engagements
"Dalali wa Siasa akiwa Ikulu kushuhudia utiaji sahihi wa Mkataba wa uuzwaji wa Bandari za Tanganyika kwa DP World"
X Link 2023-10-22T09:13Z 868.7K followers, [--] engagements
"@kashorgesh ๐๐๐๐๐"
X Link 2023-10-22T09:18Z 868.9K followers, [----] engagements
"PeoplesPower ๐Laela Kwela kwa @NaftalDaniel1"
X Link 2023-10-22T16:29Z 868.9K followers, [----] engagements
"Sasa hivi Rais Samia amekuwa Dalali wa kuuza Raslimali za Taifa letu amedalali Bandari amedalali hifadhi za Misitu na Ardhi yetu-; @TunduALissu Cc. @chiefodemba"
X Link 2023-10-22T17:53Z 868.7K followers, [--] engagements
"Daudi Alberty Bashite kutoka Koromije amepewa rungu soon zitaanza kuokotwa maiti za wakosoaji wa Serikali kwenye mifuko ya sandarusi.๐ค"
X Link 2023-10-22T17:57Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kubadili sheria ya maliasili kimsingi inaondoa haki ya kikatiba ya wananchi kulinda rasilimali zao @Kadulyu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-23T06:33Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kuwe na MALENGO NA MWONGOZO KWA SERIKALI. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-23T06:34Z 868.7K followers, [--] engagements
"Nchi yetu ina demokrasia ya uwakilishi kupitia bunge linalowakilisha wananchi lakini bunge limekuwa likipuuza maoni ya wananchi na kufuata ya utawala tutafute #KatibaMpya ambayo itaheshimu demokrasiac @Kadulyu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-23T06:34Z 868.7K followers, [--] engagements
"Mwongozo wa serikali utajenga mahusiano ya taasisi za umma. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-23T06:34Z 868.7K followers, [--] engagements
"Nchi ambazo serikali inafuata demokrasia na inasilikiza maoni ya wananchi ni lazima iwe na maendeleo ya kutosha demokrasia imara huletwa na katiba bora @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-23T06:35Z 868.7K followers, [--] engagements
"Mwongozo wa shughuli za serikali utapunguza rushwa katika ofisi za umma. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-23T06:35Z 868.7K followers, [--] engagements
"Nchi nyingi zenye rasilimali za kutosha Afrika zinazoongoza kuteseka kwa kuwa hazina demokrasia ya kweli na kuwaacha viongozi walafi madarakani ni wakati wa kupata #KatibaMpya ambayo italeta demokrasia @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-23T06:35Z 868.7K followers, [--] engagements
"Viongozi wa umma na sifa zao zitatambulika katika sheria ya mwongozo wa shughuli za serikali. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-23T06:35Z 868.7K followers, [--] engagements
"Viongozi wanaogawa rasilimali za nchi hii wanatakiwa kudhibituwa kwa #KatibaMpya pekee @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-23T06:36Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kuingiliana Taasisi za umma katika majukumu kutapunguzwa na mwongozo wa utendaji wa serikali. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-23T06:36Z 868.7K followers, [--] engagements
"The natives of Ngorongoro have been politically and financially isolated and become poor in the midst of grace. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-23T06:37Z 868.9K followers, [----] engagements
"Kuna makubaliano ya kimataifa kama vile Tamko la Umoja wa Mataifa Juu ya Haki za Watu wa Asili (UNDRIP) ambayo Tanzania imekuwa ikiyakiuka zinazoelekeza kuwa watu wanaoishi katika eneo lenye maliasili wanufaike na maliasili hizo. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-23T06:37Z 868.7K followers, [--] engagements
"Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh. @TunduALissu akiendelea na ziara yake huko ughaibuni huku akipata mapokezi makubwa ya Watanzania waishio nje ya nchi. Hapa alikuwa Houston Texas"
X Link 2023-10-23T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements
"@LembrusMchome Sio Dar ni Mnyaturu wa Arusha huko ๐ค"
X Link 2023-10-23T15:16Z 868.7K followers, [--] engagements
"@BOSSferdd Daah ๐๐๐"
X Link 2023-10-23T15:59Z 868.7K followers, [--] engagements
""Makonda ni muuaji na mtekaji" -; @TunduALissu"
X Link 2023-10-23T18:48Z 868.9K followers, 16.9K engagements
"@GIVENALITY ๐๐๐๐๐"
X Link 2023-10-23T19:01Z 868.9K followers, [---] engagements
"Huu mkataba kama tutafwata IGA hata kama wakimaliza miaka [--] lazima tumpe mkataba mwingine Kwa sababu kipengele kwenye IGA Inasema ni lazima umpatie nafasi ya Kwanza kwenye uwekezaji @nyanjewanyanje On #MariaSpaces #KatibaMpya"
X Link 2023-10-23T20:21Z 813.8K followers, [----] engagements
"@ThabitSenior"
X Link 2023-10-23T20:30Z 868.9K followers, [---] engagements
"Serikali ambayo mwananchi ndiye mwenye maamuzi ya mwisho haiwezi kamwe kukubali kuibiwa chochote @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : https://bit.ly/46w5712 https://bit.ly/46w5712"
X Link 2023-10-24T06:42Z 868.9K followers, [----] engagements
"Wananchi wametoa maoni na kusisitizia umuhimu wa Dira ya Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-24T06:42Z 868.7K followers, [--] engagements
"Tusipotumia sauti zetu kupambana na viongozi wanaoibakisha katiba mbovu kwa kuwa inawalinda ni wazi tutaangamia kama Taifa ni wakati wa kupata #KatibaMpya @Maratisa73 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-24T06:42Z 868.7K followers, [--] engagements
"Dira ya Taifa ndio msingi mama namna ambavyo Taifa linavyoweka vipaumbele vyake vya maendeleo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-24T06:43Z 868.7K followers, [--] engagements
"Ni muhimu #KatibaMpya ikawa na serikali ya majimbo ili kuongeza zaidi uwajibikaji kwa viongozi wanaokuwepo madarakani na wananchi kuamua mambo ya majimbo yao na si serikali kuu @MwauraRobert2 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-24T06:43Z 868.7K followers, [--] engagements
"Dira ya Taifa pia inaweka masharti ya aina ya viongozi ambayo wanaweza kupewa dhamana ya kuongoza Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-24T06:43Z 868.7K followers, [--] engagements
"Watawala wanatakiwa kuonyesha ufanisi mkubwa kwenye matumizi ya maliasili na rasilimali zetu na wasipofanya hivyo #KatibaMpya itatakiwa kuwa na uwajibishaji @immachrislucas #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-24T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements
"Dira ya Taifa husaidia kuimarisha Taasisi zinazo shugulika na maendeleo ya Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-24T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kila kibaya kinachotokea nchi hii ni kwa ajili ya sheria yenye upenyo wa mabaya hayo kutokea upenyo huo upo kwenye kinga na madaraka ya baadhi ya watu yanahitajika kupunguzwa na #KatibaMpya @cycleclement #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-24T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements
"Dira ya Taifa hutoa mwongozo wa namna ya kujenga sera imara za kiuchumi kwa Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-24T06:44Z 868.7K followers, [--] engagements
"Nchi hii ina tatizo la serikali kutokuwa na uwazi kusaini mikataba [--] bila kushirikisha wananchi ni kinyume cha katiba yetu @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-24T12:45Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kwa sasa kila kiongozi anayeingia madarakani anafanya mambo anayopenda yeye. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-24T12:46Z 868.7K followers, [--] engagements
"Uhuru wetu umeguswa sana na mikataba hii ambayo Tanzania imeingia ambayo inakaa juu ya katiba na kupelekea pia kubadili sheria zetu @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-24T12:47Z 868.7K followers, [--] engagements
"Moja ya suala baya tulilonalo sasa Dira ya Taifa inabebwa na ilani za uchaguzi lakini ilitakiwa Ilani za uchaguzi kufuata dira ya Taifa #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-24T12:48Z 868.7K followers, [--] engagements
"Mikataba hii imeingilia uhuru wa wananchi kwa asilimia [---] kwa kuwa hakuna chombo kinacho eleweka kinacholinda wananchi inahatarisha usalama wa Taifa tutafute katiba kwa usalama wa nchi yetu @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-24T12:48Z 868.7K followers, [--] engagements
"Lazima tuhakikishe tuna chombo imara kinachowajibika moja kwa moja kwenye ulinzi wa rasilimali na mtu akienda kinyume kiingile kati ili kunisuru rasiliamli kwa kupitia #KatibaMpya @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-24T12:54Z 868.7K followers, [--] engagements
"Katika mazingira ambayo hakuna dira ya Taifa miradi ya ufisadi huibuka kama uyoga. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-24T12:56Z 868.7K followers, [--] engagements
"The Ngorongoro community for more than six decades have been impoverished in the name of conservation. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-24T12:59Z 868.9K followers, [----] engagements
"Maasai wana haki ya kuishi salama na kupata elimu pamoja na huduma za afya. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-24T12:59Z 868.7K followers, [--] engagements
"Hapa ni Kirando - Nkasi Kaskazini Ndo maana nasema Chadema ni Dude moja kubwa โ"
X Link 2023-10-24T19:06Z 813.9K followers, [----] engagements
"@LIldephonce Mno aisee"
X Link 2023-10-24T19:25Z 868.9K followers, [---] engagements
"@MithunSaid ๐๐๐๐"
X Link 2023-10-24T19:26Z 868.9K followers, [---] engagements
"@AlexSamoja @AlvinMakini Kabisa"
X Link 2023-10-24T19:26Z 868.7K followers, [--] engagements
"@Elly_Ahmy Hatari na nusu.๐"
X Link 2023-10-24T19:51Z 868.9K followers, [--] engagements
"Suala la watu wachache kufanya mambo kwa maslahi ya watu wachache yatakomeshwa na #katibaMpya yenye meno @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T09:47Z 868.7K followers, [--] engagements
"Nchi inakwenda kwa kufuata fikra za kiongozi mkuu wa serikali #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-25T09:48Z 868.7K followers, [--] engagements
"Nchi hii ina utajiri wa kutosha lakini tuna shida kubwa ya uongozi ambao unadekezwa na katiba mbovu ya sasa ni muda wa #katibaMpya @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T09:48Z 868.7K followers, [--] engagements
"Maendeleo tunayotafuta yanapatikana vipi bila Nchi kuwa na Dira #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-25T09:49Z 868.7K followers, [--] engagements
"Uwezo wetu wa kuendesha mambo unapimwa na uwepo wa sheria nzuri lakini tumefeli katika kuwa na katiba bora ndio maana rasilimali zetu hazinufaishi Tafa letu @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T09:52Z 868.7K followers, [--] engagements
"Katika mazingira ambayo hakuna dira ya Taifa miradi ya ufisadi huibuka kama uyoga. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-25T09:52Z 868.7K followers, [--] engagements
"Kulingana na katiba mbovu yetu mataifa yenye akili yana kazi ya kuangalia ni rasilimali gani ambayo wanaweza kutuchukulia ni wazi tuamke kutafuta #KatibaMpya bora ili kukomesha hali hiyo @hugokimaryo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T09:52Z 868.7K followers, [--] engagements
"Dira ya Taifa huondoa nafasi ya upendeleo katika kupeleka maendeleo kwa wananchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-25T09:53Z 868.7K followers, [--] engagements
"Mpaka sasa Tanzania hatuna uhuru wa kiuchumi tulipata uhuru wa kisiasa tu uhuru wa kiuchumi utategemea sana uwepo wa sheria na katiba bora za kuongoza mifumo ya kiuchumi @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T09:53Z 868.7K followers, [--] engagements
"Wananchi walipendekeza mambo kadhaa. Kubwa ni kuweka dira ya Taifa - Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-25T09:54Z 868.7K followers, [--] engagements
"Serikali imekuwa ikikanusha kuwa hakuna uvunjifu wa haki za binadamu Loliondo lakini wanaharakati na wananchi wameripoti uvunjifu mkubwa haki zao wengine hadi kupoteza maisha kwa ajili ya kupinga kuachia ardhi yao. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-25T09:54Z 868.7K followers, [--] engagements
"Usalama wa maisha na ulinzi wa haki ya kuishi upo chini ya serikali yetu Maasai ni sehemu ya wananchi kukiuka haki zao ni kukiuka katiba na matamko ya kimataifa. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-25T09:54Z 868.7K followers, [--] engagements
"Ukosefu wa katiba imara yenye kusimamia uwajibikaji wa viongozi na serikali ndio unasababisha kuwa na viongozi walanguzi wa rasilimali za umma na wasio waadiifu @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T14:03Z 868.7K followers, [--] engagements
"Wananchi wanalalamika wanashindwa kufanya shughuli za kiuchumi kutokana kutokana na ugumu wa kupata umiliki wa ardhi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-25T14:04Z 868.7K followers, [--] engagements
"Mfumo wa Kenya wa uongozi ni bora kwa uwepo wa katiba nzuri lakini hapa Tanzania tuna mfumo hodhi wa CCM ndio maana tunapata wawekezaji wa ovyo. @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T14:04Z 868.7K followers, [--] engagements
"Wawekezaji wakubwa wanapata nafuu ya kupata ardhi kuliko wananchi wa kawaida .#KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-25T14:05Z 868.7K followers, [--] engagements
"Rasilimali na maliasili vinawezwa kusimamiwa na Watanzania kwa umakini kama tutapata katiba bora kwa kuwa tunaelea kwenye umaskini ili hali nchi ni tajiri @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T14:29Z 868.7K followers, [--] engagements
"Katiba hii imelea viongozi wa ovyo wasiojali utu wa Watanzania @Nicolasgabone #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-25T14:34Z 868.7K followers, [--] engagements
"Wananchi wanataka kuboresha mfumo wa umiliki ardhi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-25T14:35Z 868.7K followers, [--] engagements
"Wapendwa Nimepata msiba nimempoteza Baba angu mzazi Mzee Newton. Naomba mniombee sipo sawa napitia maumivu makali sana nahisi kuchanganyikiwa.๐ญ๐ญ๐ญ"
X Link 2023-10-26T05:26Z 814.1K followers, 46.1K engagements
"Ayubu 41:11 ๐"
X Link 2023-12-12T09:04Z 824.2K followers, 44.6K engagements
"@vyetifeki Nimerudi"
X Link 2023-12-12T14:35Z 824.2K followers, [--] engagements
"Kiongozi bora hupimwa na wananchi mifumo ya wananchi kushiriki katika kuamua uadilifu wa viongozi wao lazima ijengwe katika sheria zetu jamii zilizoendelea wananchi huwajibisha viongozi #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya"
X Link 2023-12-13T07:52Z 824.2K followers, [---] engagements
"Tamaa ya madaraka na mali ni jambo baya kwa viongozi huwezi kutawala nchi namna hii lazima tuzingatie haki ili tusogee mbele lazima tuchukue hatua za kutafuta #KatibaMpya kusawazisha mambo haya @Kadulyu #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-12-13T07:52Z 824.2K followers, [---] engagements
"Hakuna sababu za kuogopa kuwa na Tume inayokubalika na wadau wote wa uchaguzi Wananchi na wanasiasa wanaoshiriki kama wagombea lazima waridhike na muundo wa tume ya uchaguzi. #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya"
X Link 2023-12-13T07:54Z 824.3K followers, [---] engagements
"@bajabiri Thank you Shem lake"
X Link 2023-12-13T10:27Z 824.5K followers, [---] engagements
"Shekh tulikwambia CCM ni ile ile na tabia zao ni zile zile hazijawai kubadilika"
X Link 2023-12-13T10:29Z 824.5K followers, [----] engagements
"@AbdulrazaqMoghu Nilikuwa bado sijamaliza Msiba wa Mzee"
X Link 2023-12-13T10:38Z 824.3K followers, [--] engagements
"Ukienda Moshi nenda sehemu inaitwa KUONANA wanajua sana kuchoma Kitimoto Halafu ukitoka hapo nenda Mbeya town kwa Mwairubi na Pork Joint Dodoma yani ukila utasema za Dar bado sana. Halafu kumbuka huko mdudu ni fresh sio zile nyama wanaweka kwenye freezer zinakaa wiki/ mwezi"
X Link 2023-12-13T12:47Z 824.3K followers, [----] engagements
"Hongera sana mdogo angu @DEUSDEDITHSOKA kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA jimbo la Temeke. Vijana wa Chadema jimbo la Temeke wameonyesha Imani kubwa kwako so jitaidi usiwaangushe. Nakuombea Mungu akusimamie na kukuongoza katika majukumu yako"
X Link 2023-12-13T13:42Z 824.4K followers, [----] engagements
"Hivi hiki kitabu naweza kukipata wapi"
X Link 2023-12-14T18:00Z 824.6K followers, [----] engagements
"Uhuru wa Ukosoa hakuna mfano mdogo ni ule mkataba wa Bandari waliojitokeza kukosoa wamekutana na mambo mangopi ya kuumizwa @gwangwayyohani On #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-14T18:44Z 824.6K followers, [---] engagements
"TUME HURU YA UCHAGUZI #1 : Katiba ibainishe wazi kuwa Tume hii ya Uchaguzi itakuwa na wajibu wa kusimamia na kuendesha shughuli zote za uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-17T08:25Z 825K followers, [--] engagements
"Theoretically Tanzania has three pillars of government but in reality #KatibaYa1977 has given the Executive pillar excessive and unilateral powers to interfere with other arms of government thus controlling/undermining state power and resources. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-17T08:28Z 825.6K followers, [---] engagements
"Mtanzania mwenzetu Joshua Molel kauwawa kikatili sana tena bila hata kosa Duniani kuna watu wakatili sana.๐ Mungu awape faraja familia yake maana yeye pekee ndo mfariji wa kweli.๐"
X Link 2023-12-17T14:19Z 825.2K followers, 20.3K engagements
"Tahadhari Video zinatisha. Hizi ni video za mtanzania mwenzetu Joshua Mollel ambae wanamgambo wa kundi la Hamas wamemuua huko Gaza Itoshe kusema Duniani kuna watu Wakatili sana.๐ญ Pole sana kwa familia Mungu awape faraja. R.I.P Joshua Mollel.๐ ๐ฅ @AdinHaykin1"
X Link 2023-12-17T14:51Z 893.5K followers, [--] engagements
"Nawaza kwa sauti hivi Joshua Molel aliwakosea nini Wanamgambo wa Hamas mpaka wakaona anastahili kuuwawa Kikatili kiasi kile"
X Link 2023-12-17T15:16Z 825.2K followers, [----] engagements
"#Pichani Ni Magina Ntugwa Makongolo makazi wa Kahama November [--] [----] watu wanaodhaniwa kuwa ni Polisi walimfuata Magina ofsini kwake (Gereji) kishawakaondoka nae tangu siku hiyo hadi leo hajulikani alipo family yake imemtafuta kila mahali bila mafanikio #FreeMagina"
X Link 2023-12-17T17:02Z 825.3K followers, 13.8K engagements
"Kwahiyo kuna watu wanaona alichofanyiwa Joshua Molel ni sahihi kisa wanatetea dini๐ฅน"
X Link 2023-12-17T17:31Z 825.2K followers, [----] engagements
"Tanzania tuna maeneo yanayojitosheleza kwa kilimo nishati na viwanda kama chuma Kwa mwaka [----] unaona kuna mikakati yoyote kuimarisha shughuli za kiuchumi nchini Tumeongeza ajira ngapi kwa vijana #MariaSapaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-18T11:33Z 825.3K followers, [---] engagements
"Tanzania ina vyanzo vya umeme vya kutosha kulinganisha na nchi nyingi kwa nini tumeshindwa katika kuzalisha umeme wa kutosha nishati ni kitu muhimu katika maendeleo . Tunafanikisha vipi kuondokana na kero hii #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-18T11:34Z 825.3K followers, [---] engagements
"Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi ambao sio huru na Haki. Ili Kuhakikisha kwamba tunakuwa na uchanaguzi huru na haki ni lazima tupate KatibaMpya kwanza. Anasisitiza @DEUSDEDITHSOKA #MariaSpaces #KatibaMpya"
X Link 2023-12-18T19:24Z [--] followers, [----] engagements
"MKURUGENZI WA UCHAGUZI #2: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mkurugenzi awe ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-19T07:35Z 825.5K followers, [---] engagements
"Ngoja tuitinzee hii picha maana January [----] ni kesho kutwa tu"
X Link 2023-12-19T07:54Z 825.6K followers, [----] engagements
"Ukiangalia Wasanii wa Bongo wanavolalamika kuhusu Tanesco unaweza kudhan kwamba Tanesco ni Shirika linaongozwa na Chadema wanaogopa kulihusisha na Serikali kuna mahali nimesoma mmoja anasema Tanesco wanaigombanisha Serikali na Wananchi Wanaogopa wataonekana wanakosoa Serikali"
X Link 2023-12-19T15:26Z 833.6K followers, 11.1K engagements
"Bado hujasema mpaka useme"
X Link 2023-12-19T16:29Z [--] followers, [----] engagements
"@LelloMmassy Soma hapa"
X Link 2023-12-19T16:51Z 825.8K followers, [----] engagements
"@AbroadTanzania Mheshimiwa sana"
X Link 2023-12-19T16:52Z 825.6K followers, [--] engagements
"Mwanzo TANESCO walisema umeme unakatika kwasababu ya ukame maji hakuna Mungu kaleta mvua zimenyesha mito imefurika lakin bado wanakata umeme @tanescoyetutz Tuambieni ukweli shida ni nini maana mnatutesa sana aisee"
X Link 2023-12-20T09:16Z 825.7K followers, [----] engagements
"Mnamkosea sana marehemu wa watu Kwanza ukiangalia kwa makin frame no. [--] izo picha mbili ambazo mnazotaka kuaminisha watu kwamba Joshua alikuwa anashirikiana na Jeshi la Israel. Hao ni watu [--] tofauti angalia pua na masikio ya Joshua then linganisha na huyo jamaa hayafanani"
X Link 2023-12-20T14:01Z 825.8K followers, [----] engagements
"Halafu wakitoka hapo wanaanza kulialia kwamba gharama za maisha zipo juu na mshara ni kiduchu"
X Link 2023-12-20T14:33Z 825.8K followers, [----] engagements
"Hawa ni watu wawili tofauti angalia masikio. Pua macho na komwe hawafanani kwa chochote. Sijui mnapotosha ili mpate faida gani ๐ฎ"
X Link 2023-12-20T14:54Z 833.6K followers, [----] engagements
"Leo Makolo walidhani tutafungwa toeni tu hizo meme zenu ambazo mliziandaa kwa ajili ya kutucheka tukifungwa.๐๐๐"
X Link 2023-12-20T14:57Z 825.8K followers, [----] engagements
"TUME YA HAKI ZA BINADAMU #6: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe Wenye shahada ya Sheria kutoka chuo cha elimu ya juu kinachotambulika na Serikali. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:17Z 826K followers, [---] engagements
"Separation of power protects the rights and freedoms of citizens especially the minority by ensuring that the sovereign is not vested in the ambit of few people or interest groups. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:18Z 826.4K followers, [----] engagements
"TUME YA HAKI ZA BINADAMU #7: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe ni watu wenye kuheshimu haki za binadamu. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:18Z 826K followers, [---] engagements
"Separation of power helps promote and enhance efficiency in government because each arm of government works independently of each other. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:18Z 826.4K followers, [----] engagements
"TUME YA HAKI ZA BINADAMU #8: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe na uzoefu kwenye utumishi wa umma upeo mkubwa wa haki za binadamu utawala na Masuala ya kijamii. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:18Z 826K followers, [---] engagements
"Separation of powers establishes a balance of accountability within and between government institutions in order to manage their individual institutional responsibilities freely. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:19Z 826.4K followers, [----] engagements
"TUME YA HAKI ZA BINADAMU #9: Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe Wenye heshima weledi uaminifu na uadilifu na wasiwe Wenye mienendo yenye kutiliwa shaka na jamii. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:19Z [--] followers, [---] engagements
"Separation of power ensures the three arms of government control their respective institutional budgets that guarantee financial independence devoid of external interference or influence from others. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:19Z 826.4K followers, [----] engagements
"TUME YA HAKI ZA BINADAMU #10 : Tume ya Jaji Warioba ilipendekeza Mwenyekiti na Makamu Wa Tume hii wawe ni watu ambao hawajawahi kutiwa hatiani Kwa makosa yoyote ya jinai. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:19Z 826K followers, [---] engagements
"Separation of power empowers #WenyeNchiWananchi through @bunge_tz and the @judiciarytz to manage articulate and pass through their public interest issues and responsibilities. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-21T08:20Z 826.4K followers, [----] engagements
"Sheria ya vyama vya Siasa ya mwaka [----] kifungu cha 6C kimeweka masharti Mtu kuwa Mwanachama wa Chama cha siasa moja wapo ni umri usio chin ya 18yrs Swali hao Chipkiz wamefika miaka [--] Halafu msajili wa vyama vya Siasa yupo kimya ila ingekuwa tumefanya Chadema angetoa mlio"
X Link 2023-12-21T11:14Z 826K followers, [---] engagements
"@AD_Abinallah Soma kifungu cha 6C"
X Link 2023-12-21T11:22Z 826K followers, [--] engagements
"@420Cousin ushaidi uliokuwa unataka huu hapa na kuonyesha Mwendazake alikuwa hataki hili jambo hadi kwenye Sheria ya vyama vya Siasa ya mwaka [----] aliweka umri ambao unatakiwa ili mtu aweze kujiunga na Chama ch Siasa. Kama inavosemaka hapa kwenye kifungu cha 6C"
X Link 2023-12-21T11:28Z 826K followers, [--] engagements
"Maake hapo kwanza ncheke ๐ Kwamba unaweza kuwa UVCCM ila usiwe Mwanaccm Labda utuambie UVCCM ni nini Tuanzie hapo kabla hatujaenda mbele"
X Link 2023-12-21T12:34Z 826K followers, [----] engagements
"@SophiaMfaume @thomasjkibwana @AD_Abinallah Ni Wig ya CCM ambayo ipo kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa ya [----] So nyie Katiba yenu ya Chama hamkuifanyia marekebisho kama msajili wa vyama vya Siasa alivoagiza mara tu baada ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka [----] kupitishwa"
X Link 2023-12-21T12:56Z 826K followers, [--] engagements
"@yahayaomary Halafu ni PhD holder ๐ฅน"
X Link 2023-12-21T12:57Z 826K followers, [--] engagements
"@tully_yohana @thomasjkibwana @SophiaMfaume @AD_Abinallah ๐๐๐๐"
X Link 2023-12-21T12:57Z 826K followers, [--] engagements
"Ni kweli kujifunza hakuishi Lakin Sheria ya Vyama vya Siasa iliyoweka umri wa mtu kujiunga na Chama inahusisha Chama kwa ujumla wake yani kuanzia Chama mpaka Jumuiya zake zote. Ndo maana nimekuuliza kwahiyo nyie wakat msajili anaagiza Vyama vibadili Katiba ili๐"
X Link 2023-12-21T13:14Z 826K followers, [----] engagements
"kuendana na Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka [----] nyie hamkufanya maboresho ya Katiba yenu upande wa Vijana"
X Link 2023-12-21T13:14Z 826K followers, [---] engagements
"@Mwabuk2Boniface @MariaSTsehai @fatma_karume @HecheJohn @Twaha_Mwaipaya @mdudechadematz @John_Pambalu @lifeofmshaba @OleMtetezi Kama nchi tunasafari ndefu sana"
X Link 2023-12-21T13:18Z 826K followers, [---] engagements
"@lifeofmshaba Hilo hawezi kujibu"
X Link 2023-12-21T13:45Z 826.2K followers, [---] engagements
"@PMungetengeko @Shabanishabanii @thomasjkibwana @AD_Abinallah Na unavaa nguo imeandikwa CCM ila wewe sio Mwanachama na hapo hapo unashiriki shughuli zote za CCM"
X Link 2023-12-21T13:46Z 826.4K followers, [--] engagements
"@Advocate_Jebra Mpewe ila sasa hivi nchi iko na changamoto lukuki ambazo zinatakiwa kutafutiwa ufumbuzi sasa zote izo hajaziona ๐"
X Link 2023-12-21T15:07Z 826.2K followers, [---] engagements
"Anasema ukweri in Mekos voice"
X Link 2023-12-21T15:10Z 826.1K followers, 12.8K engagements
"Tume ya Uchaguzi ( NEC ) na ile ya Zanzibar ( ZEC) zote zina changamoto ya kuwa Tume Huru kutokana na namna Tume hizo zinavyopatikana kwa kuteuliwa na Rais. #WenyeNchiWananchi #KatibaMpya"
X Link 2023-12-22T07:15Z 826.2K followers, [---] engagements
"@Gibson44178359 Asante sana"
X Link 2023-12-22T14:55Z 826.2K followers, [--] engagements
"@ZakayoPius Asante ๐"
X Link 2023-12-22T14:56Z 826.2K followers, [--] engagements
"@BRAIGHTONELIAS4 Asante ๐"
X Link 2023-12-22T14:56Z 826.2K followers, [--] engagements
"@bajabiri Asante Shem Darling๐"
X Link 2023-12-22T14:56Z 826.6K followers, [---] engagements
"@KahimbiUnited Amina shukrani ๐"
X Link 2023-12-22T14:56Z 826.2K followers, [--] engagements
"@Mbobezi Asante tajiri.๐"
X Link 2023-12-22T14:57Z 826.2K followers, [--] engagements
"@Jonijoty Asante sana"
X Link 2023-12-22T14:57Z 826.2K followers, [--] engagements
"@LemaKennedyCDM Asante sana"
X Link 2023-12-22T14:57Z 826.2K followers, [--] engagements
"@MpaleMpoki Asante sana Senior ๐"
X Link 2023-12-22T14:58Z 826.2K followers, [--] engagements
"@shomari_omary Asante sana.๐"
X Link 2023-12-22T14:58Z 826.2K followers, [--] engagements
"@Chipson96_ Asante sana"
X Link 2023-12-22T14:58Z 826.2K followers, [--] engagements
"@danniephord ๐"
X Link 2023-12-22T14:58Z 826.2K followers, [--] engagements
"@Aminiel39175474 Asante sana.๐"
X Link 2023-12-22T14:59Z 826.2K followers, [--] engagements
"Serikali ya Tanzania inakwama wapi"
X Link 2023-12-23T05:07Z 826.3K followers, [---] engagements
"Baadhi ya Maasai walivuka mpaka na kwenda nchi ya Jirani Kenya ili kukimbia ukatili uliokuwa ukifanyika kaika maeneo yao hali hii inafanya kuwa watumwa katika ardhi yao. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-12-23T05:12Z 826.3K followers, [---] engagements
"Happy birthday Kamanda @Ntobi_ Mungu akujalie uishi maisha marefu yenye baraka na amani tele.๐ฅ"
X Link 2023-12-24T05:37Z 826.5K followers, [---] engagements
"Tulia watesi wakunyooshe.๐๐๐"
X Link 2023-12-24T06:50Z 826.6K followers, 44.4K engagements
"@DEUSDEDITHSOKA @lifeofmshaba Tafuta hii movie uangalie kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa BIG GEORGE"
X Link 2023-12-24T11:05Z 826.6K followers, [--] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/x::HildaNewton21