#  @zeanonymouspoet Babuu Babuu posts on X about kwanza, mambo, ipo, zanzibar the most. They currently have [-----] followers and [---] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [-------] [#](/creator/twitter::285683549/interactions)  - [--] Week [-----] +1,318% - [--] Month [-----] +1,477% - [--] Months [-----] +1,900% - [--] Year [-----] -35% ### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::285683549/posts_active)  ### Followers: [-----] [#](/creator/twitter::285683549/followers)  - [--] Week [-----] no change - [--] Month [-----] +1.60% - [--] Months [-----] +2.60% - [--] Year [-----] +6.10% ### CreatorRank: [---------] [#](/creator/twitter::285683549/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [currencies](/list/currencies) [celebrities](/list/celebrities) [countries](/list/countries) [travel destinations](/list/travel-destinations) [finance](/list/finance) [musicians](/list/musicians) [technology brands](/list/technology-brands) [stocks](/list/stocks) [social networks](/list/social-networks) [automotive brands](/list/automotive-brands) **Social topic influence** [kwanza](/topic/kwanza), [mambo](/topic/mambo), [ipo](/topic/ipo), [zanzibar](/topic/zanzibar), [madrid](/topic/madrid), [leo](/topic/leo), [hip hop](/topic/hip-hop), [bali](/topic/bali), [money](/topic/money), [diddy](/topic/diddy) **Top accounts mentioned or mentioned by** [@messiedonnah](/creator/undefined) [@noelisidore](/creator/undefined) [@barakamaviatu](/creator/undefined) [@patricph](/creator/undefined) [@moruoking](/creator/undefined) [@1travela](/creator/undefined) [@ngailo](/creator/undefined) [@mlevishemtoi](/creator/undefined) [@mwansasusnr](/creator/undefined) [@jhchurchill](/creator/undefined) [@iamkallah](/creator/undefined) [@dullahtheking2](/creator/undefined) [@balyx](/creator/undefined) [@ken3th](/creator/undefined) [@mkushibilly](/creator/undefined) [@rydx017](/creator/undefined) [@madvilianpablo](/creator/undefined) [@pelealphachalie](/creator/undefined) [@jayleenrickie](/creator/undefined) [@misschelsea1221](/creator/undefined) **Top assets mentioned** [Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [Spotify Technology (SPOT)](/topic/spotify) [BODA (BODAV2)](/topic/boda) [KUJI (KUJI)](/topic/kuji) [Pepe (PEPE)](/topic/pepe) [Alphabet Inc Class A (GOOGL)](/topic/$googl) [Prom (PROM)](/topic/prom) [Uber Technologies, Inc. (UBER)](/topic/uber) [Nike Inc (NKE)](/topic/nike) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "@tonyalfredk @RickyxLaw Anasema kazi ni Monday to Friday na mshahara per da ni 145k unafikaje 4495k per month Kuna mtu atalia au keshalia pahala๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1453081444239257604) 2021-10-26T19:29Z [----] followers, [--] engagements "You had to be there to witness this beef. Kulikua na Kinyago cha Mpapure - Mwanahawa Ally Sanamu la Michelini - Nasma Khamis Kidogo (R.I.P) Ngwinji & Mambo Iko Huku - Khadija Kopa Hii beef na hizi nyimbo zili solidify modern taarab" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1661685433858752512) 2023-05-25T10:47Z [---] followers, [--] engagements "Huyu mwana ni scapegoat tu TMZ unleashed a new photo showing Diddy interacting with the FEDS while the accused drug mule Brendan Paul was taken into custody. https://t.co/qV9nANGlHt TMZ unleashed a new photo showing Diddy interacting with the FEDS while the accused drug mule Brendan Paul was taken into custody. https://t.co/qV9nANGlHt" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1773040069533728910) 2024-03-27T17:31Z [---] followers, [---] engagements "@Barongo01 Jamaa bhana. Hawasomi tu alama za nyakati. Kinachowaweka mjini kwa % kubwa ni EPL with emerging companies serving unlimited internet bundles wanaenda kufa kifo cha mende. Ni suala la muda tu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1773045833459536270) 2024-03-27T17:54Z [---] followers, [--] engagements "Halafu kesho unakutana na Dotto Magari anakucheka na elimu yako unalalamika wakati mambo yenyewe ndo kama haya ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1773129375514316905) 2024-03-27T23:26Z [---] followers, [--] engagements "@nugu_digital @patric_ph Sisi tuna ushamba sana. Tuko radhi tucheze Singeli ya Sauzi (Amapiano) au ya US (HipHop) au ya Jamaica (Dancehall) ila tunaona noma kucheza ya kwetu. Ukionekana mtu wa singeli unaitwa mhuni na mswahili. Yani ni aibu kuwa mswahili" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1774521825973747962) 2024-03-31T19:39Z [---] followers, [--] engagements "@Madvilian_pablo Kwa level hii beef tayari ipo. Metro kataka kiijulisha Dunia ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1775111205176160322) 2024-04-02T10:41Z [---] followers, [--] engagements "@Ngailo Kiyosaki yuko Ulaya. Ulaya ambako Diddy ni bilionea lakini nyumba zake bado zina madeni ya mortgage. Bongo hakuna hilo. Hela unayopata hakikisha unai manage. Na cha kwanza kwa msanii ni kuwekeza kwenye mjengo. Haya magari kuna watu wanayachukuaga kwa wasanii bei ya kutupa" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1776243420882739275) 2024-04-05T13:40Z [---] followers, [--] engagements "Naomba umfatilie mtu anaitwa George Kiamunguana au Verckys Ana mchango mkubwa sana kwa music huu wa Congo tunao uona leo. Papa Wemba Koffi Nyboma Pepe Kale wote kawapika yeye. Alikua mwanamuziki na mmiliki wa bendi rec label and distro. Pia alikua na kumbi za starehe" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1776286794067136726) 2024-04-05T16:32Z [---] followers, [--] engagements "Alimiliki bendi za Zaiko Langa langa Lipua Lipua na nyingine nyingi. Verckys ndie aliemtoa Koffi (wakati huo Koffi ni ghostwriter wa Papa Wemba)" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1776286801025487331) 2024-04-05T16:32Z [---] followers, [--] engagements "Mtu mkubwa wakati huo kwa Congo alikua Franco ila Verckys alikuja kuanzisha band zilizowapa nafasi wasanii wengi ambao hawakupata nafasi kwa Franco" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1776286809149853857) 2024-04-05T16:32Z [---] followers, [--] engagements "Kwahiyo 2.4b inatoka kwenye hela ile ile ya kununua team. WTF is wrong with us. Yani tunaibiwa mchana kweupe. Uwekezaji gani huu. If this is true we are doomed" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1777870203679859036) 2024-04-10T01:24Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Tumalizane kwanza na "Vazi la Taifa" mwaka wa ngapi huu halijapatikana Tunataka kumpangia Rihanna kweli ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1777997481575342281) 2024-04-10T09:50Z [---] followers, [--] engagements "Hapa shida ni promoter. Yeye ndie anae mtafutia bondia mapambano. Azam ananunua viewership rights. Sidhani kama anakosa hapa. Tulaumi ma promota uchwara na mabondia wetu wanao penda slope" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1778317782628614249) 2024-04-11T07:02Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu @DadaConso Yeah man. Mambo yasiwe mengi. Kwa sasa Hollywood ina struggle sana. Story zao za kawaida mno so obviously waigizaji wazee lazima nao wapate changamoto" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1778950411354878129) 2024-04-13T00:56Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Serikali ina rasimisha. Mfano Brella wanasajili hadi majina ya bizz ndogo. Shida ukiambiwa ukasajili Baraka Maviatu huendi. Wala huna akaunti inayo endana na hiyi biashara. Mara boom bizz imekua kubwa unatuambia hii bizz ina miaka [--] wakati hakuna financial footprint hata 1" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779209813706125620) 2024-04-13T18:07Z [---] followers, [--] engagements "@EsquireMK @MoruoKing @IamNchaKALIH Mzee una amua tu kuwa mnazi. We give credits kwa taasisi iliyoweza ku embrace wazo masta. Ncha hajatoa idea moja pekee. Na hata mawingu ideas zimetolewa na watu tofauti lakini we give credits to mawingu not the person. So EFM wapewe maua yao kwa ku embrace hizi new ideas" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779586290905727485) 2024-04-14T19:03Z [---] followers, [--] engagements "@Chizzodrama Umetaja Patwa. Hiyo sio aina ya music ni muundo wa lugha. Salsa ni aina ya music ila haitambuliki kwa lugha inayotumika bali aina midundo na style yake ya uimbaji. Afrobeats sio Yoruba wala Igbo Amapiano sio kizulu Kwanini Bongofleva uwe muziki unao imbwa kwa Kiswahili" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779589762346606900) 2024-04-14T19:17Z [---] followers, [--] engagements "@EsquireMK @MoruoKing @IamNchaKALIH Nilijua umetoa ka historia kake kidogo. Natamani nipate wasifu wake ni moja ya musicians nawakubali" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779600832872296542) 2024-04-14T20:01Z [---] followers, [--] engagements "@Outset_Of_Omega @bonichengula Mwaka [--] mizani ilikua Ubungo pale na stendi ya mkoa ilikua Kisutu ๐ Mji unajengwa na serikali. Ukitaka malls ziende huko Bunju Tegeta ni lazima kwanza huduma za uhakika zifike kwanza huko. Hakuna mtu anaweza bet na hela yake" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779605686441140236) 2024-04-14T20:20Z [---] followers, [--] engagements "@Outset_Of_Omega @bonichengula Mada unaibadilisha badilisha sana hii. Kibaha wana uhitaji then wajenge ya kwao. Kusema watu wa Dar wawe wanaenda kufanya shopping nje ya mji is nonsensical. Kama kuna mfanyabiashara ataona uhitaji kama unavyo usema ataweka tu biashara kwa ajili ya watu wa huko" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779842904392892577) 2024-04-15T12:03Z [---] followers, [--] engagements "@Outset_Of_Omega @iam_chonya @bonichengula Mzee watu wanafata urahisi wa kufika na gharama pia. Mbagala to Mwenge nauli haizidi buku na Bus zimejaa kibao zinazoweza kukufikisha. Niambie how easily mtu yeyote anae ishi Dar anawezaje kufika Kibaha kwa urahisi na akanunua vitu akasafiri navyo mpaka Dar tena" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779847107760848980) 2024-04-15T12:19Z [---] followers, [--] engagements "I'm sure Masego did not expect Tadow to go this viral I'm sure Chike did not expect Egwu to go that viral too Social media has changed how we consume music. Lets embrace it ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779868972889800873) 2024-04-15T13:46Z [---] followers, [--] engagements "@ken3th_ Kakosea nini kwenye hili masta. Labda tusaidie sie wa back bencher" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1779900999513067921) 2024-04-15T15:54Z [---] followers, [--] engagements "@255Adili @mlevi_shemtoi Bora chai kama dozi vile kutwa mara tatu ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1780189786453557531) 2024-04-16T11:01Z [---] followers, [--] engagements "Wait WTF did Motsepe decide for us fans. Worst thing to have ever happened to African football The African Football League will now be the number one club competition in Africa. ๐โจ The CAF Champions League will be the second. Just as the Confederation Cup used to be but this time the clubs will be increased. The AFL will start next season where the winner will https://t.co/tbI3C1qAno The African Football League will now be the number one club competition in Africa. ๐โจ The CAF Champions League will be the second. Just as the Confederation Cup used to be but this time the clubs will be" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1780368384783172081) 2024-04-16T22:51Z [---] followers, [--] engagements "@Jimmychilipweli @BarakaMaviatu Kabla hatujaitoa unajua kama hilo eneo unalotaja kihistori palikua pana Ziwa pale. Yes Ziwa Magomeni so kabla hujaomba tulitoe kama mfano tumalizie Jangwani kwanza" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1781038501309366348) 2024-04-18T19:14Z [---] followers, [--] engagements "@Jimmychilipweli @BarakaMaviatu Hata hatujapata uhuru Nioneshe picha za hiyo ligi zikichezwa hapo kipindi cha masika. Nna miaka zaidi ya [--] sijawahi kuona kipindi cha Masika hakuna mafuriko. Nimesoma Tambaza na nilkua nakaa Magomeni kipindi cha masika boda la kukatia Muhimbili hapo ilkua halipitiki" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1781051800797241413) 2024-04-18T20:06Z [---] followers, [--] engagements "@Jimmychilipweli @BarakaMaviatu Barabara sa hivi inafunikwa na maji sababu ya ujenzi holela masta. Na ujenzi mbovu wa mwendokasi. Ila bado haibadilishi kuwa Jangwani ni basin miaka yote hiyo. Nimehama mitaa ya Magomeni mwaka [----] na kwenda town boda mguu ilkua Jangwani ila hakuna aliekua anakatiza Masika ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1781052566375121055) 2024-04-18T20:09Z [---] followers, [--] engagements "@Jimmychilipweli @BarakaMaviatu Kama siko sahihi niweke sawa. [--]. Wanaolipwa wako kwenye mitaa ya Kkoo [--]. Ramani ya mji wa Kkoo kabla ya hii ya [--] inaonesha mipaka iko wapi [--]. Kipindi Kkoo inapimwa watu wapewa maeneo Jangwani au walivamia tu Nisaidie hapo ili niwe sawa" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1781061572636422421) 2024-04-18T20:45Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph They was a time we could argue btn him and Hov but man look at Nas now. He has done everything and more to this HipHop culture. He single handedly shaped this culture in a form unimaginable. I swear there is no other rapper that has in depth discography like Nas" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1781583705435193844) 2024-04-20T07:20Z [---] followers, [--] engagements "@mlevi_shemtoi Pira statistics ๐๐๐ Watu wanakwambia EPL ni ligi ya kawaida sababu team zake zimetolewa UCL na Europa. Wanasahau team zilizotolewa zimepishana 2pts katika ligi na race ni ya moto balaa. Watu siku hizi hawana muda na kuangalia mpira man" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1781590006957474039) 2024-04-20T07:45Z [---] followers, [--] engagements "@mlevi_shemtoi Kipindi anachukua na points hizo alikua hana kombe lolote anakomaa nalo zaidi ya EPL ๐๐๐ Bayern msimu huu anagombea kombe gani zaidi ya UCL Madrid anaongoza points zaidi ya [--] anaemfuata Barca ambae ana msimu mbovu kuliko. PSG pia ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1781681585806569773) 2024-04-20T13:49Z [---] followers, [--] engagements "@mlevi_shemtoi Liver Arsenal na City wote wana nafasi sawa ya kubeba ubingwa msimu huu. Yani hata draw [--] tu zinaweza mfanya City akapoteza ubingwa msimu huu. Madrid kwa alipo sasa presha yake nini labda๐ Bayern msimu huu ndo kapoteza" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1781717658666213732) 2024-04-20T16:12Z [---] followers, [--] engagements "Kuna ile Made You Look na Made You Look Remix. Yo I get goosebumps every time I hear them You had to be there to feel this way Greatness" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782050596746396085) 2024-04-21T14:15Z [---] followers, [---] engagements "@MwansasuSnr Tumeibiana sana albums ๐๐๐ Safari za kwenda Posta na Kkoo pale Mwananchi vijana hawzijui. Hawajui ule mzuka wa kusibiria album (Sio Singo ๐) unataka uwe wa kwanza kuipata na mkienda kwenye vilinge kila mtu anakuja na uchambuzi wake uliotukuka wa album husika ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782057302775750685) 2024-04-21T14:42Z [---] followers, [--] engagements "@MwansasuSnr Kuna story [--] hivi. Kipindi cha Wapi pale British Council nilkua nakutana san na mwanao Nash MC na tulikua tunapiga ma story mengi sana ya HipHop. Mwana ndio alikua mtu wa kwanza kunipa album ya Immortal Technics. Much respect kwa Nash he's one of the realest ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782058916613947574) 2024-04-21T14:48Z [---] followers, [--] engagements "@MwansasuSnr Huyu mwamba angetafuta mtu wa kumpa hii kazi ya kuongea haya. Mtu ambae hajachafuka. Yeye hana legitimacy ya kuongea haya. Tofauti yake na Mo ni yeye anasema ukweli ili apate nafasi au mtu wake apate nafasi waibe wao. Sioni akiitakia jema Simba bali anataka tubadili mwizi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782327506458009703) 2024-04-22T08:36Z [---] followers, [--] engagements "@PeleAlphaChalie Maisha yalikua simple sana. Nakereka sana ma Dj wetu wa sasa waki play Old School playlist ni zile zile hardly unaweza usikia huu wimbo wakati ni bonge moja la Classic tune" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782699142428434712) 2024-04-23T09:12Z [---] followers, [--] engagements "@PeleAlphaChalie Ipo masta ๐ https://youtu.be/dmc-xxRof60si=IRr2fv16vm7zB4jd https://youtu.be/dmc-xxRof60si=IRr2fv16vm7zB4jd" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782701974573469759) 2024-04-23T09:24Z [---] followers, [--] engagements "@mlevi_shemtoi Mi mtu anae komaa na hayo mambo ya Forex sijui nini naona ana ishi kwa imani tu. Imani kwamba leo hiki kitashuka kile kitapanda. Hiki kitakua hivi hiki vile. Hakuna guarantee. Ni betting na probability hence IMANI ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782702788415250493) 2024-04-23T09:27Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah Na huoni Lake Natron ikiongelewa kwa ukubwa huo kwenye utalii kama Kilimanjaro na the likes. Hii ni sehemu ya kipekee Duniani. Tuitumie vizuri. Ngorongoro Crater na Serengeti ni excpetional places. Tunazo chache tusitumie vizuri" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782709829389476003) 2024-04-23T09:55Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah Hawawezi kuwa nayo. Ukiwa na taifa linaloendeshwa kama letu ni ngumu sana kusogea. We live for today. Hamna kitu kinaniuma kama the demolition of the Old Post and Kkoo. Dar kwa sasa haina kitu chochote ambacho ni monumental kwa sababu hii hii. No vision" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782816365704802568) 2024-04-23T16:58Z [---] followers, [--] engagements "NBC alikua na nafasi ya kutengeneza a [---] deal na TFF ambayo ingeweza kutumia teams na watu wake ku promote Bank yake but naah. Sahivi wenzie wanatumia watu wa kwenye ligi ambayo yeye anaifadhili na kuikuza kuji brand. NBC has that vantage point but he keeps missing the mark" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782817934101860677) 2024-04-23T17:04Z [---] followers, [--] engagements "@YourFrenchFry Huduma nyingi ni bure ila sio za ubora. Nna ndugu anasafiri kila mara kuja kupata tiba huku ana shida ya sukari na presha. Natamani nione Hospitals zao zikianza kutoa huduma bora zaidi so watu wasiwe wanasafiri tena" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782843130661741006) 2024-04-23T18:45Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph Unahisi wangeweka mezani hela ya kutosha hizi team zingekataa a [---] deal. Na pia hawasaini tu wanazungumza. Kwa sasa inabidi NBC atumie hela nyingi kuji promote wakati angeweza kuitumia PL kumtangaza. Nadhani wangejua kama hii ni option sahihi wangeweka hela" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782897815821144205) 2024-04-23T22:22Z [---] followers, [--] engagements "@McNgotonie @patric_ph ๐๐๐ avue kofia ya "Jangwani" kwanza" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1782898035137146943) 2024-04-23T22:23Z [---] followers, [--] engagements "Muungano ni kati ya Tanganyika na Zanzibar ukazaa nchi inaitwa Tanzania. Kama hatutaki malalamiko ni ama tukubaliane kuna serikali moja au serikali [--]. ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783149159299895456) 2024-04-24T15:01Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Mtu ana mshahara hauzidi 1m ila ana gari anajenga na ana save. Hayo ndio mambo anayotuambia Dr Matunguli inawezekana kama unaibia. Anaogopa tu kutoa sauti ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783211079306232026) 2024-04-24T19:07Z [---] followers, [--] engagements "@BabaPforreal @mlevi_shemtoi Baba akiwa kichwa cha Bar kwisha kazi masta ๐๐๐ No excuse" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783249012662964232) 2024-04-24T21:37Z [---] followers, [--] engagements "@SamakiOnline @Ngailo @Dejoli08 Ndio nasema jina linategemeana na mazingira. Maisha yangu yote a watu wanaonizunguka Uduvi kwao ni dagaa wadogo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783388295038194089) 2024-04-25T06:51Z [---] followers, [--] engagements "Ukiwa unakula kupitia njia zisizo halali; kula kimya kimya. Mambo ya kujifanya mshauri na kuona wanaovuja jasho ni wajinga yanakatisha tamaa vijana wengi wenye ndoto sahihi za kutoboa" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783410724473053349) 2024-04-25T08:20Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @iAmkallah @noel_isidore Wanaweka mifumo itakayo wafanya nyie mfeli na wao wafaulu. Ndio maana anatucheka ujinga sahivi sababu anajua namna tunaweza toboa. Fala ana ndugu zake wanapambana huko to make end meets yeye kapata nafasi ya kuiba anawaona wote wajinga ๐ฎ๐ฎ๐ฎ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783850185677762976) 2024-04-26T13:26Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @iAmkallah @noel_isidore Siku Elimu ya TZ ikiboreshwa siku madaraka ya namba moja yakipunguzwa siku watumishi wa umma wakiacha kuteuliwa siku Dini ikiacha na sayansi ya matunguli ikiacha kutumika kama kichaka TZ itakua kama Ulaya" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783891643151634758) 2024-04-26T16:11Z [---] followers, [--] engagements "@iboysean Mi sio mtu mzima ila ukiacha Prof J ntajie msanii mwenye classic albums zaidi ya Sugu. Ntajie msanii ambae kwa miaka hiyo ya [----] alikua anauza kama Sugu. Najua hawazidi [--]. Kizazi cha kusikiliza singles hakijui haya kina tamba na fake fame isio na hela" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783892468641026446) 2024-04-26T16:14Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA Kwangu mnara unasoma Tanzania Bara ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1783937752137969783) 2024-04-26T19:14Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Kwenye mpira nna Simba na UTD kwenye kikapu nna Lakers Nimeacha kufatilia michezo nakula maumivu back to back ๐ฎ๐จ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785092193104879950) 2024-04-29T23:41Z [---] followers, [--] engagements "Mlioko Dar mnajua kuwa huu Muungano ukivunjwa na kila mtu akarudishiwa chake sisi kwa % kubwa tutaenda Zanzibar Au mpo tu hapa kusapoti agenda ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785277149261320225) 2024-04-30T11:56Z [---] followers, [--] engagements "@255Adili Mambo ni mengi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785333093483663521) 2024-04-30T15:39Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA Zipo mzee ๐ Probably zipo nyingi ila changamoto ni ama wasanii waliosainiwa huko kushindwa kutobia au mambo yetu yale ya wasanii kuwa wasanii na kuvuruga mifumo ya kazi. Ila labels zipo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785334159222677827) 2024-04-30T15:43Z [---] followers, [--] engagements "When someone needs to explain to me a lot of stuffs on a diss track then that diss is just mid or weak Next ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785466534816567548) 2024-05-01T00:29Z [---] followers, [---] engagements "@mlevi_shemtoi Yani hype lipingue kwa mshabiki anae enda kuangalia game kibanda umiza wakati pale Munchen dimba limetapika mpaka mwisho ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785473162446291446) 2024-05-01T00:55Z [---] followers, [--] engagements "@ken3th_ Maelezo ni mengi kinoma mpaka unajiuliza why do I need school to understand a diss track. Mi ntakua nishazeeka" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785594955408294164) 2024-05-01T08:59Z [---] followers, [--] engagements "@mlevi_shemtoi Anaumia apambane team yake ipite. UCL ni ligi ya vigogo haina unga unga ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785598753522475330) 2024-05-01T09:14Z [---] followers, [--] engagements "@mlevi_shemtoi @patric_ph Madrid vs Bayern mzee ๐ Ingekua labda Porto na Sevilla sawa ila hao ni miamba hiyo game ni kubwa mno" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785599530030805035) 2024-05-01T09:17Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA @mlevi_shemtoi Sasa mtu unaujua mpira wa Ulaya unasemaje kombe limekosa mvuto kisa Man City aliepata ubingwa juzi wala hana effect yeyote kwenye UCL au Arsenal ambae hajawahi hata kubeba UCL. Watu wako serious kweli ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785604357875990696) 2024-05-01T09:37Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah Huu ni msimu wa pili kipindi kama hiki mnaanza kuleta mambo ya Imani ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1785636796602126458) 2024-05-01T11:46Z [---] followers, [--] engagements "@fivara_ Wataalamu wa mambo wanaiita hii mbinu "Poverty Porn" ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786150412539625788) 2024-05-02T21:46Z [---] followers, [--] engagements "Music ni biashara. Malipo ya collabo sio malipo ya promotion. Wenzetu wanajua kulinda brands zao. Kuna duet na feature. Duets nyingi zinakuwa promoted na pande zote mbili ila features sio lazima na hii sio bongo tu. Halafu mbona Ulaya haya mambo ya ku post wimbo hamna" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786166841875828803) 2024-05-02T22:52Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore Sikiliza hizi nyimbo na fanya guess work zipi zimefanywa na mtu mmoja. Bila ku google Invincible - Capone n Noriega Let me blow ur mind - Eve Beatiful - Snoop Doug Oops - Tweet U dont have to call - Usher Full Clip - Gangsta Big Pimpin - Jay Z Lost One - Jay Z" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786370380485087374) 2024-05-03T12:21Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Hamna cha kuongeza wala kupunguza hapo masta Sisi vijana wa leo tuna commitments kibao na hujui ipi ni priority A to Z. Bila kusahau vipato vyao vilikua vidogo mno" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786464229232373795) 2024-05-03T18:33Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @MwansasuSnr Not saaaanaa ila nikisema sifatilii pia ntakua muongo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786469461752418437) 2024-05-03T18:54Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah Spain ligi yao inawapa room ya kucheza man. EPL mpaka sasa top3 haina uhakika. Ila Spain mpka top6 ishajipanga. Mtu akiwa na pressure kama hii ni rahisi kukosea. Una set team kwa mfumo wa ligi unaenda kukutana na mwenzio kajipanga na tournament tu hana presha ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786495086961848730) 2024-05-03T20:36Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Mbona Iringa zipo kitambo sana hizi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786553430032388237) 2024-05-04T00:28Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @PeleAlphaChalie Rashford anapata namba on any given Sunday ila Saka asubiri. Na sio sababu ana uwezo sababu ni kipenzi na ile ni team ya Uingereza ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786665576267448808) 2024-05-04T07:54Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @MwansasuSnr Uendeshaji wa ligi unategemea matakwa ya team [--] za KKoo. That makes the leaugue biased. Huwezi kuwa na fair competition while team za KKoo zina mechi nyingi usiku na in good condition. Unawawekea mazingia ya wao kuwa bora na kutokua na usindani kila siku Uboreshaji unahitajika" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1786672721939587169) 2024-05-04T08:22Z [---] followers, [--] engagements "Pia tuangalie na factor ya kuwa na population ndogo ya watu wasio zidi 2.6m Ni rahisi kutoa huduma tajwa na mengi zaidi sababu madini na hela mnayopata haina pa kwenda Mkishakua na raia zaidi ya 50m inahitaji utawala bora kutoboa" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787187696709804466) 2024-05-05T18:28Z [---] followers, [--] engagements "@babawawil @MdemuPolycarp Botwsana imefanikiwa sababu wana Madini Population ndogo Utawala bora Haujaelewa tu ๐ณ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787278206963175687) 2024-05-06T00:28Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA @MoruoKing Weka sawa kidogo MADONNA AMEKUWA MEGA SUPERSTAR KABLA YA KUZALIWA KWA BONGOFLEVA Ila sisi tunawaona wasanii walioanza muziki juzi tu kuwa wamezeeka na wamepitwa na wakati ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787279760063680564) 2024-05-06T00:34Z [---] followers, [--] engagements "@babawawil @MdemuPolycarp Kujinasibu na kuwepo ni vitu viwili tofauti . Pia uchumi wa Botswana unategemea Dhahabu. Hizo huduma za bure na hela za kulipa wanafunzi wangezitoa wapi bila kitega uchumi. Na [--] mauzo yao ya almas ni makubwa mno hela wanayopata ukigawa na namba ya watu inawatosha. Hujaelewa tu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787339573346910463) 2024-05-06T04:32Z [---] followers, [--] engagements "Sema hizi diss track zinaenda kuwa vituko sasa ๐คฃ๐คฃ๐ Kama ni kweli mwana alimjaza kijeba kuhusu ishu ya binti yake na jamaa akaenda kuchora mistari kibao then daah ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Acha nicheke kwanza" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787344610928304381) 2024-05-06T04:52Z [---] followers, [--] engagements "@ken3th_ @1TraVeLA @MoruoKing [--]. No tunapenda muziki ila sanaa haikuwahi kuheshimika nchini. Ilikua ni kitu cha kujitolea na cha bure [--]. Bongo show za bure kibao na hazijawahi jaza watu hata 50k [--]. Sijaelewa unakataa hawafiki kwa kuangalia a clip au kwa data ulizonazo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787391829358354814) 2024-05-06T07:59Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Maviatu nifahamishe M3 chip si imetoka juzi kati au mimi ndio sijaelewa hapo. Au ilitakiwa kuwa Core I3" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787394117787382246) 2024-05-06T08:09Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Nimekusoma masta. Kuna utofauti gani kati ya hii Core M3 na zile M1 to M3 chip za apple. Na hiyo MacBook ndio ile version ipo katikati (sio Pro wala Air)" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787431989139619942) 2024-05-06T10:39Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu Maokoto kwanza ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787512267149279504) 2024-05-06T15:58Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA Yote hii ni sababu tume aminishana kuwa kazi bora ni ile yenye mauzo mengi. Ndio maana BlackCofee alipochukua tuzo mbele yao walitokwa povu sababu wengi wana amini kwenye trends na stream kupata ubora which is not" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787760684157026368) 2024-05-07T08:25Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA Huyu ni producer mkubwa na hajui kuwa namba of streams sio kipimo cha ubora Hapa hata ukielekeza vipi utaonekana we hater tu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1787878977354318014) 2024-05-07T16:15Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph I love customized ads They tend to breed a certain likeness of a product and the event. You would only think of Heineken during this time. Its not just any Heineken ad its a UCL Heineken ad. Messages laid fall deep into your brain and remain attached in your heart" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788050413435908359) 2024-05-08T03:36Z [---] followers, [---] engagements "@patric_ph Mambo yako yale ya kuchakata data mkuu ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788178816919126457) 2024-05-08T12:07Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph ๐๐๐ hakuna namna Ankoli alikua miyeyusho ila kwa mara ya kwanza tulijua shida sio kodi au umaskini tulionao; shida ni wana wanaotuzunguka wana take advantage. Kaenda zake tumerudi tulipozoea times 2" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788254211995545681) 2024-05-08T17:06Z [---] followers, [--] engagements "3. Secondary school; hii iwe level ambayo mtu anachagua anataka ku major kwenye masomo gani. Na pia itazingatiwa na ufaulu wake huko nyuma. Hapa labda kuongezea tu wapewe elimu zaidi ya biashara IT plus law" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788274751799955545) 2024-05-08T18:28Z [---] followers, [--] engagements "Baada ya Secondary school chuo *** kuna part muhimu ya mitihani na Veta [--]. Mitihani iwe kwa semister/terms kuanzia Primary mpaka secondary. Hakuna sababu ya kufanya mtihani wa Darasa la kwanza ukiwa la [--]. Pima uelewa kulingana na levels. Plus ufaulu upimwe kwa GPAs kama chuo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788274758640877871) 2024-05-08T18:28Z [---] followers, [--] engagements "Napata shida kati ya Germany na Italy ila [--]. Spain [--]. Portugal [--]. Netherlands Can some one tell me what achievements England managers have Which country has the best managers https://t.co/e0enDOfvCh Which country has the best managers https://t.co/e0enDOfvCh" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788279881266045309) 2024-05-08T18:48Z [---] followers, [--] engagements "@MkushiBilly Wengi wana utafsiri hivyo; which is good sometimes kuonesha ukubwa wa wimbo. Same as wimbo wa "I will always love you" wa Dolly Parton ambao Whitney alikuja kuurudia wengi wanajua kama ni wimbo mtu alimwimbia mpenzi wake. Kumbe Dolly alimtungia Boss wake alipohama lebo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788820801375854679) 2024-05-10T06:38Z [---] followers, [--] engagements "@Mimi_kwanza @Rydx_017 @__abdulazack @athanas_pius @JayleenRickie @MissChelsea1221 @kabigwa_78 @kapeto98 @Balyx_ @NjiwaFLow Nilikua na ubishi kama wako mpaka siku mwanangu walipo mlamba more than 300k ndio nikasema kunae mbinu nyingi za kuibiwa. Mpaka leo hatujui alipigwa vipi. Ila tukifatilia tunaona hela zimetolewa kwa wakala huyu na yule na yule. Na kuja kufatilia yeye sio wa kwanza" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788840014324904109) 2024-05-10T07:54Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore Kujua nini we mzee ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1788941047709511685) 2024-05-10T14:35Z [---] followers, [--] engagements "@MkushiBilly @patric_ph Kwani ya Azam si [---] tu masta. Na ipo ile Komando kipensi bei ya soda ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789011523811045424) 2024-05-10T19:16Z [---] followers, [--] engagements "@mlevi_shemtoi Oya sio poa. Au kwenye Extraction ya kwanza yule mwamba kamiminiwa njugu za kutosha na mpaka mwisho kala kitu cha sniper ila bado akaibuka Part [--] na miguvu ile ile ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789014789760430263) 2024-05-10T19:28Z [---] followers, [--] engagements "@Mimi_kwanza @Rydx_017 @__abdulazack @athanas_pius @JayleenRickie @MissChelsea1221 @kabigwa_78 @kapeto98 @Balyx_ @NjiwaFLow Kuna watu wana biashara na mizunguko mingi hawezi kutembea na cash ni risk kubwa" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789046225108349345) 2024-05-10T21:33Z [---] followers, [--] engagements "@NesiMkunga Simu ikiita tu chap ushakwea boda ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789046866379694284) 2024-05-10T21:36Z [---] followers, [--] engagements "@Mimi_kwanza @Rydx_017 @__abdulazack @athanas_pius @JayleenRickie @MissChelsea1221 @kabigwa_78 @kapeto98 @Balyx_ @NjiwaFLow Kuchanja mtu kakuletea mzigo wa kununua mkononi mnachanja wapi masta. Mzunguko wa hela ni mkubwa sana kwenye simu sababu ya urahisi wake" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789047392982970710) 2024-05-10T21:38Z [---] followers, [--] engagements "Showbizz is driven by trends. Mariah Carey hapati spotlight kama anayopewa Kim Kardashian na alichofanya Kim kikubwa nn zaidi ya kuvujisha sex tapes. So hio sio bongo ni Dunia nzima. Cha muhimu ni stay on your lane. And as Dotto Magari says "Ukihitajika utaitwa" ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789249328541745304) 2024-05-11T11:00Z [---] followers, [--] engagements "@VendyLM @patric_ph We acha tu. Yani tunaisifia FB au Linked In kwa kuwa platform nzuri ila tuna shindwa ku embrace na kuisadia Jamii Forum ikue Na hiyo Linked In wala hatuitumii zaidi ya kufungua akaunti na kuibwaga. Mi FB ipo kwa ajili ya kutafuta watu niliopotezana nao siku nyingi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789319972298035369) 2024-05-11T15:41Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @BarakaMaviatu @noel_isidore Wanakufa na tai shingoni. Ww ukibanwa kidogo uko kwa wana au ushaweka statu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789323137902895588) 2024-05-11T15:54Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu @IsayaYunge @KingDavid255 Hamuwezi kuelewana ๐๐๐ Mtu ana anza kwanza kutatua shida zake za msingi. Mchina mpaka anapata we chat alikua keshamalizana na shida zake za muhimu. Tunataka turuke stage ya maendeleo inawezekana vipi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789344851961528344) 2024-05-11T17:20Z [---] followers, [--] engagements "@IsayaYunge @BarakaMaviatu @KingDavid255 You just used an English word for "Kuruka Steji" which proves a point that you do not understand our priorities and issues. It's not that TZnians don't want Tech its guys like you that think we need things like We Chat while our environment needs something else" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789365369301250113) 2024-05-11T18:42Z [---] followers, [--] engagements "@abbleluv @chapo255 % kubwa ya wasanii wakubwa bongo wana budget ya ku promote nyimbo zao. Ni wonder unaziskia kirahisi. Ukiona inaenda viral fasta jua kuna prom imefanyika pahala. Sio lazima aina za promo zifanane ๐ค" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789370533684932815) 2024-05-11T19:02Z [---] followers, [--] engagements "@MoruoKing Noma sana mzee. Leo hii Rhumba Congolese ipo kwenye UNESCO Heritage. Leo hii Kavasha is studied. Kuna vitu tunaeza vichukulia poa ila huwa vina substantial impact" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1789536587602112825) 2024-05-12T06:02Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @tonyalfredk Mi wangenitoa maana ninge describe hapohapo maziwa ya binti yake yalivyo na kama angeona offensive ningemwambia that is how offensive wazazi wa kiTZ walioko nje huko wanajiskia kwa kauli yako. Hili jumba limekua miyeyusho sana siku hizi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1790671279214727374) 2024-05-15T09:11Z [---] followers, [--] engagements "Mambo ya ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1790694335308071062) 2024-05-15T10:42Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA @MoruoKing Hii ni list ya ngoma zilizo uza sana lakini hazijawahi kufika namba moja masta. I know Piano haijawahi fika namba moja ila Tshwala Bam na Jerusalem zime hit namba za juu. Acha tupambane" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1790809618014199999) 2024-05-15T18:20Z [---] followers, [---] engagements "If its for the greater future acha tupambane tu. Mwisho wa siku hakuna atakae kulipia bills. As long as hujaijivunjia heshima wala haujafanya mambo machafu pambana tu masta. Ukiona aibu hela nayo inakuonea aibu ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1790883603263476178) 2024-05-15T23:14Z [---] followers, [--] engagements "Kuna siku nilikaa na mwela mmoja akaniambia "kama mambo ya wizi sio yako acha tu. Sababu nchi hii tukikutaka tunakupata tu" Na ukienda mikoa tofauti na hii yenye watu wengi ndio ize kabisa. So ukiiba Dar heri ubaki Dar Tutafute hela halali tu ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791016663468425246) 2024-05-16T08:03Z [---] followers, [--] engagements "@FkManju City akafungwe na West Ham pale Etihad na ubingwa uko mbele yake ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Arsenal wenyewe wameshakata tamaa muda tu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791139220989288472) 2024-05-16T16:10Z [---] followers, [--] engagements "@MiriamMkanaka Hili swali unalojiuliza ndio kufanikiwa kwake sasa. Maana wengi kama ww wametaka kujua na wameenda ku camp kwenye page yake. Social media imebadili sana how we approach vitu tofauti" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791141625684435457) 2024-05-16T16:20Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore Yani una amini wosia utasaidia mali zisipotee ๐คฃ๐คฃ๐คฃ watu wakigawana tu kila mtu anaenda kuchoma mzigo upande wake. Maono ya baba na mama inabidi ya align. Ww uko tayar kumshirikisha mkeo 100% kwenye bizz zako ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791432716564500486) 2024-05-17T11:36Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore Hiyo 30k unayoficha ipo kwenye kila kitu unachofanya. Hadi contacts na ur dealings anazijua kwa 30%. So kama mtu unae share nae kitanda anajua 70% basi watoto tegemea watajua less than 50% now unaelewa tatizo liko wapi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791439345464795608) 2024-05-17T12:03Z [---] followers, [--] engagements "Huu wimbo ulitungwa na George Kiamungana na Vocals zilifanywa na Pepe Kale. Band ilikua Orchestre Veve Huu ndio wimbo uliomtambulisha Pepe Kale rasmi Nakumbuka juzi kati niliongelea mchango wa Mobutu kwenye muziki wa Congo Cc @MoruoKing @BarakaMaviatu @patric_ph @noel_isidore" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791487857607008596) 2024-05-17T15:16Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore @iAmkallah Alishaisha siku mingi ukiona mpaka jamaa wanakuvamia vile ujue wana uhakika na makosa yako na washanasa vitu vingi. Ishu inakuja allegations za Diddy kuwa na incriminating videos za watu wengi ndio nahisi zinafanya wamtafutie kesi nyepesi kama hizi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791665367925788675) 2024-05-18T03:01Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph @iboysean Wanasema The Godfather ndio blueprint ya movie za mambo ya crime na Drugs na Soparanos ndio blueprint ya series ya mambo hayo. Vitu vingi vina mfanano fulani wa Sopranos kwenye hizi series zingine za crime and drugs" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791674813150613857) 2024-05-18T03:38Z [---] followers, [---] engagements "@olesalekwa1 @EngJubel Mna uhakika na data zenu au ๐คฃ๐คฃ๐คฃ. Mnunuzi mkubwa wa Toyota ni USA ๐๐๐ https://www.statista.com/statistics/267314/vehicle-sales-of-toyota-by-region-since-2008/ https://www.statista.com/statistics/267314/vehicle-sales-of-toyota-by-region-since-2008/" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791710772445241790) 2024-05-18T06:01Z [---] followers, [--] engagements "@PhitMathematic Ukijifanya unakomaa na huyo msambwanda we unaweka buckets za kutosha dkk ya mwisho huyo gatekeeper anawaambia "tuondokeni uber ishafika" bila hata taarifa yoyote Masta una ambulia ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791744602451456032) 2024-05-18T08:16Z [---] followers, [--] engagements "@ksn__14 @patric_ph Zisingekua white ๐ projects kama mindset yetu ingekua kwenye kuboresha mji. Unajenga jengo bila kuwa na sera sahihi ya makazi hata lingekaa posta lisingekua na watu pia" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791887921907151311) 2024-05-18T17:45Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph @ksn__14 Well mi nimepita na maelezo yake kuwa kinachofanya Kigamboni iwe ghost project ni mbali ndio namwambia sio lazima ziwe ghost kama mpango ni mzuri" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791893880301883436) 2024-05-18T18:09Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph @ksn__14 Tukiachana na mindset za "kila jambo lazima lininufaishe mimi kwanza" tutafika huku. We are not ready for these dialogues sababu they do not benefit us now/ or we want to get everything just now. Success does not come overnight and easily" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791897135790670092) 2024-05-18T18:22Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu @ksn__14 @patric_ph Na sio lazima mjini iwe Upanga. India has New Delhi mbona kama tungewahi tungeweza kuwa na mji mpya bila shida kabisa and leave Upanga na Posta kama ilivyo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791899163581714823) 2024-05-18T18:30Z [---] followers, [--] engagements "Unaitwa nani Eeehhhh: Asante sana ndugu MC. Kwa majina naitwa Dokta Injiania Msomi. Dude wtf hilo sio jina lako hizo ni titles ๐ฎ๐ฎ๐ฎ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1791913203712069669) 2024-05-18T19:26Z [---] followers, [--] engagements "Mimi ni United kindakindaki.for some reason natamani kuona Arsenal hachukui ubingwa this season.acha tu ladha ya Premier league ipotee ๐ Mimi ni United kindakindaki.for some reason natamani kuona Arsenal anachukua ubingwa this season.for the sake of kurudisha ladha ya Premier league๐ Mimi ni United kindakindaki.for some reason natamani kuona Arsenal anachukua ubingwa this season.for the sake of kurudisha ladha ya Premier league๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792104612142387263) 2024-05-19T08:06Z [---] followers, [---] engagements "@Rydx_017 Kama wewe ni mkristo na unaona hizi ni imani za kishirikina nadhani pia inabidi utambue Mahari na Posa ipo kwenye Mila na Tamaduni za kiafrika na sio utaratibu wa kidini Huwa mna agizwa mlete hadi vibuyu vya bibi kwenye mahari na hamjawahi kuona ushirikina. Waafrika ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792436325406130484) 2024-05-20T06:04Z [---] followers, [--] engagements "Dunia hii kila mtu anataka awe wa kwanza kutoa taarifa. Watu mnaojua hivi vitu kuna chopa ina tails na mabawa ya hivi BREAKING: MANY BODIES OF THOSE DIED IN IRAN PRESIDENT RAISI HELICOPTER CRASH HAVE BEEN BURNT AND CANNOT BE IDENTIFIED https://t.co/ilM0ohOmnZ BREAKING: MANY BODIES OF THOSE DIED IN IRAN PRESIDENT RAISI HELICOPTER CRASH HAVE BEEN BURNT AND CANNOT BE IDENTIFIED https://t.co/ilM0ohOmnZ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792461573287755800) 2024-05-20T07:45Z [---] followers, [--] engagements "Ila kuna watu wazima kibao wa miaka [--] wanashabikia Man City na Chelsea tuko nao mjini hapa mbona fresh tu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792504038577111173) 2024-05-20T10:34Z [---] followers, [--] engagements "@iAmkallah @Messie_Donnah @noel_isidore Na ile Bafana Bafana ya [--] ilikuja kasi halafu ikazimika ghafla ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792559253644865660) 2024-05-20T14:13Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @iAmkallah @noel_isidore I heard you coming since 05'; are you guys crawling or lost ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792571848728666412) 2024-05-20T15:03Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @iAmkallah @noel_isidore Wala shida sio Pep. Shida ni team nyingi za kawaida mno kwa sasa. Pep anajikuta anapambana na mtu mmoja tu. Kuna kipindi huko nyuma all big [--] were big fours. Sasa hivi wala hustuki. Team kubwa zikikaa sawa hii story itakua vingine kabisa" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792580058319618322) 2024-05-20T15:36Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore @Messie_Donnah @iAmkallah Pia umeona kama maisha kule magumu anapata pesa ya kuja ku invest huku sio a invest kule ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Sasa kama nna uwezo wa ku save mdogo mdogo why not save and invest nikiwa hapa hapa. Kwangu mimi Bongo has so many opportunities hata kwa kamtaji kadogo kabisa. Acha nikomae" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792889064191938564) 2024-05-21T12:03Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore @Messie_Donnah @iAmkallah Swali lako unalikumbuka lakini au ๐คฃ๐คฃ๐ Hebu soma swali ulilo uliza kwanza. Unakuja bongo kufanya nini na umesema usigeuke nyuma. Mbona unakua kigeugeu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792891803613515809) 2024-05-21T12:14Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore @Messie_Donnah @iAmkallah Swali lako soma mzee. Unajua unakinzana na ulichosema ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Mi nimesimama kwenye hoja yako naona umekengeuka. Ww umesema wa Ughaibuni wa ughaibuni. Ila nashangaa unapiga hesabu za hela ya ughaibuni uje nayo bongo wakati ulisema ukienda hurudi ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792892500333494729) 2024-05-21T12:17Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore @Messie_Donnah @iAmkallah Kwani ukienda US unaenda kula ajira serikali ya US au una ajiriwa binafsi ๐คฃ๐๐ Shida yako masta kwa ughaibuni haujaweka limit ila kwa bongo unaweka limits ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1792892938684420214) 2024-05-21T12:19Z [---] followers, [--] engagements "@SulleMiraji @AmosCyprian4 Kuna mtu huwa ananiambia kuna kizazi fulani kikiisha tu haya mambo mengi yatabadilika sana. Nna hakika soon mambo ya extended families yataanza kupungua sana na utegemezi pia. So generations kama [--] zijazo zinaweza kuwa na maisha tofauti sana na tuliyonayo sasa" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1793214650923827633) 2024-05-22T09:37Z [---] followers, [--] engagements "Kuna wale wanakucheki wameona uko lets say kiwanja flani au eneo fulani la maana wanakutumia their snapchat credentials Anakwambia "ingia kwenye snap yangu record hayo mazingira kwa mbele and post" They would even ask you send pics za eneo husika without you being seen ๐ฎ๐จ๐ฎ๐จ๐ฎ๐จ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1793620635328884909) 2024-05-23T12:30Z [---] followers, [--] engagements "@nonstopfrale Kwanza anatufundisha money laundry anahisi mtu wa uwezo huo na mwenye kufanya michezo hiyo anaweza kufundishwa na yeye" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1794079638584512862) 2024-05-24T18:54Z [---] followers, [--] engagements "Music is universal music is timeless. If you limit yourself to your era and time then you are depriving yourself of immerse pleasures and experiences The idea that someone born in the 2000s could listen to Michael Jackson and declare him to be their all-time favorite musician still baffles me ๐ฅฑ The idea that someone born in the 2000s could listen to Michael Jackson and declare him to be their all-time favorite musician still baffles me ๐ฅฑ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1794389643632546142) 2024-05-25T15:26Z [---] followers, [--] engagements "@MoruoKing @StahmyJunior On that note. Kama hauja icheki The Heat iongeze kwenye list yako ya baada ya Con Air" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1794431238545019115) 2024-05-25T18:12Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph First of dude just picked so many NY albums and put a list of [---] And that list is not in order if it is then dahh. The Roots Warren G Ice T Juvenile LL Cool J Bone Thugs there are so many that I can name here Eminem GUnit first album Sijiui katumia kigezo kipi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1794457337178079513) 2024-05-25T19:55Z [---] followers, [--] engagements "@StahmyJunior @MoruoKing Pacino and De Niro are overhyped how" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1794816914146939378) 2024-05-26T19:44Z [---] followers, [--] engagements "Hawa wenzetu hawana mambo ya vyama ni interests za Taifa lao kwanza Mama anapambania kombe mwanzo mwisho Huku kwetu nafasi kama hii ungeitwa msaliti This Woman. Meg Whitman US ambassador to Kenya flew back to the US & accompanied Pres William Ruto each day of his state Visit. Wealthy politically appointed US ambassadors majorly land easy posts in Europe but Biden saw Kenya would be a better fit for her. Why โThread https://t.co/Yrvuo5vaAz This Woman. Meg Whitman US ambassador to Kenya flew back to the US & accompanied Pres William Ruto each day of his state Visit. Wealthy politically" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1794838679023677650) 2024-05-26T21:11Z [---] followers, [--] engagements "@StahmyJunior @MoruoKing Tunaongea vitu tofauti ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Ndio maana nilianza na huu mjadala ni kama mjadala wa Hashim Dogo Vipimo vya ubora kwako ni tuzo na wingi wa kazi maarufu. But kwangu mimi The Godfather inaeza tosha kuvuka ubora wa actors wenye movie nyingi kali. Uzito wa jambo sio wingi wa mambo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1795038537420603411) 2024-05-27T10:25Z [---] followers, [--] engagements "@Wakazi Anyways I have seen him extending his session beyond the time agreed. Narudia tena hiki ni kipande tu na simtetei MC wala Chiddi just stating scenarios. Kama muda umeisha na MC ka intervene ni sawa tu. Kama MC alidandia tu basi kazingua" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1796233160830894423) 2024-05-30T17:32Z [---] followers, [--] engagements "@patric_ph Noma masta Its becoming more and more popular. Na mwarabu anazipa team zote uwezo. Yani kaamua ku intervene ili ligi yake ikue. Kila team ina uwezo wa kuingia sokoni" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1796654603506778284) 2024-05-31T21:26Z [---] followers, [--] engagements "@MkushiBilly Yani najiulizaga ni kweli kasafiri hizo nchi anazosemaga alienda mbona hata mie ambae safari yangu ya nje ni kwenda Nchini Zanzibar si mshamba hivi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1796856808385982554) 2024-06-01T10:50Z [---] followers, [--] engagements "@Wakazi @Cliffordmajinji Jaymo kwenye mahojiano yake na Kuvi alisema "Unaweza kuwa bora wa muda wote ila huwezi kuwa bora kuliko wote" Vijana wengi wanadharau waliopita kwa kuamini wao ni bora kuliko wote. Kumbe wengi wao ni suala la nafasi na muda waliopo ndio lina wa favor" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1796907183524741537) 2024-06-01T14:10Z [---] followers, [--] engagements "@ken3th_ Sasa nilichosema si ndicho ulichosema yeye ana angalia hela tu. Movie zake nyingi sahivi zinamlipa vizuri ila sio kwamba kuna mtu alienda kuzifata sababu Samuel yumo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1796922467195162790) 2024-06-01T15:11Z [---] followers, [--] engagements "@ken3th_ Mzee one tweet ina characters ngapi niongee yote hayo. Na pia nobody watches Star Wars sababu ya Samuel. Story ya Star wars imejibeba yenyewe. So if I may add that too itakua Marvel na Star Wars franchise" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1796926611507261639) 2024-06-01T15:27Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA Style of play ni muhimu pia. Ndio maana mmeenda kumchukua Mbappe sababu mnataka uhakika wa mchezo. Kuna mechi nyingi zime amuliwa na uwezo binafsi wa mchezaji mmoja mmoja kuliko team work. Carvajal jana kafunga goli la uwezo binafsi na yako mengi msimu huu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1797283340325671053) 2024-06-02T15:05Z [---] followers, [--] engagements "@1TraVeLA Yote sio matukio sahihi ila hili la mchezaji linazuilika na nna hakika lina kanuni zake. Najua kwa huku kwetu huwezi kamata mashabiki waliofanya fujo Ila yote ni matukio mabaya. Mpira ni mchezo wa furaha na amani. Kuhama team ni jambo jema. Mbappe yule pale Real tutoke huku" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1797884027741024370) 2024-06-04T06:52Z [---] followers, [--] engagements "@DrMbowa @MoruoKing Sawa Mjuaji. Ila ungejua kama THT sio Mawingu ingesaidia kidogo. Na hizi deals hata kuruka stations nyingine alikua anahusika nazo so THT ndio ilkua inapanga nini kiende wapi nini kisiende. Kwa sasa iko tofauti. Watu wanataka exclusivity. Jasiri hakua anafanya hivyo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1798039365232583005) 2024-06-04T17:09Z [---] followers, [--] engagements "@MoruoKing Mambo ya documentation mzee ndo muda kama huu yanaonekana umuhimu wake ๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1798441524092604804) 2024-06-05T19:47Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah Mbona wako wengi sana na wengi ukiwaona huto amini kama ndio mambo yao. Masista doo wengi wanafanya hizi mambo. Na wengi wanatudaka ki urahisi sababu tunahisi tumewadaka kumbe wao wanatuwinda sie" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1798704398798831763) 2024-06-06T13:12Z [---] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah Oyaa kama mazuri vile ila kama hujakutana na mtu wako wa karibu au ww mwenyewe kwenye hizi mbanga unaeza hisi utani ila huyo dem anachofanya kuna pisi kali kibao ndio mambo zao na huwezi amini kama zinafanya hizi makitu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1798714185339068751) 2024-06-06T13:50Z [---] followers, [--] engagements "@MoruoKing Couple of weeks ago nilkua pahala na Bro SOS B ikapigwa "Piga Makofi" lile vibe la pale lilkua sio poa ๐คฃ So kuna muda wimbo bora unaeza pitwa na wimbo pendwa. Case ya KDot na Macklemore ndugu mchambuzi ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1798777275003048092) 2024-06-06T18:01Z [---] followers, [--] engagements "Yule Tajiri wa FX ni mshamba sana ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Wtf dude chill. Yani kabadili contena la kuwekea mchele anaona ndio maendeleo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Aibu naona mimi ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1799172776013496792) 2024-06-07T20:13Z [----] followers, [--] engagements "@MwansasuSnr Mjuaji huyu ๐คฃ Wapi panafaa kuwekeza kitu serious sasa. Halafu Kigamboni ni kale ka upande wa pili wa Ferry huko mbele sio Kigamboni na huitaji kuingia kwa Kivuko. Watu wana projects zinawalipa yeye na watu wake kama hawapati kitu akaushe tu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1799391810344890611) 2024-06-08T10:43Z [---] followers, [--] engagements "Sema my G unless you tell me this is just a banter I would understand. Ila hii haijakaa sawa. Tukiongelea kukaa ulaya kiwe ndio kipimo cha kuweza kufanya jambo kwa ufasaha then utakua at fault. Maana you are the most exposed artist and this character is of the opposite" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1799407772439831003) 2024-06-08T11:46Z [---] followers, [--] engagements "@ashu_bangs @siadevinci @Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 VAT wao pia wanalipa ila sie % kubwa tunaolipa kodi ni waajiriwa. Wenzetu wana income tax ambayo analipa kila raia aliefikisha umri wa kukatwa kodi na mwenye kuingiza kipato chochote. Uko tayari tukatwe income tax" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1799827958326329447) 2024-06-09T15:36Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu @Messie_Donnah Sie bhana. Yani imagine unavunja Statue of liberty ๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1800941957100753235) 2024-06-12T17:23Z [---] followers, [--] engagements "@BarakaMaviatu @Messie_Donnah Ipo au miluzi imekua mingi wamehairisha ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1801001935937348072) 2024-06-12T21:21Z [---] followers, [--] engagements "@hisnamefreddie Huna uhakika. Basi naomba nikutaarifu gen ya kwanza ilianzia kwenye KIBISA sio Radio. [--]. Mzee Jangala na wenzie [--]. Majuto na Small etc [--]. Mpoki Joti (Street and venues) [--] Bukuku [--]. Wakina Coy [--]. Ndio hawa wengine tuko nao sasa Yeye ni Gen ya [--] sio mwanzilishi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1801209309084209261) 2024-06-13T11:05Z [---] followers, [--] engagements "@jaxis__ @vaasutinasi Haisemekani ndio ukweli. Tena Joti na Mpoki wamefanya Stand Up comedy hadi za mtaani. Na pia wao sio wa kwanza ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1801242758180475206) 2024-06-13T13:18Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore Mzee kuna vitu vya ajabu hii Dunia" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1801675863026491722) 2024-06-14T17:59Z [---] followers, [--] engagements "@noel_isidore Nikapelekwa na Camp Madrid na Barcelona ule mji acha tu๐คฃ๐คฃ๐คฃ Wenyeji ndio wanauchangamsha na wala sio wanafki wanaishi maisha yao๐คฃ๐คฃ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1801688336580366365) 2024-06-14T18:49Z [---] followers, [--] engagements "@mlevi_shemtoi Namwelewa Ronaldinho aliposema hataki tena kucheki game za Brazil. Mi kwa sasa naona Football ina watu wengi waliokua hyped ila uwezo kisoda" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1802812071865962928) 2024-06-17T21:14Z [---] followers, [--] engagements "Ukute hapa tatizo ni mikataba. Wanajua vimeo vya Fifa wanaona bora wafute mikataba yote waanze upya. Kuna watu watakuja na madeni ya miaka [--] nyuma. Heri uwabwage wote uanze upya ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1803514936850579899) 2024-06-19T19:47Z [---] followers, [--] engagements "@JH_Churchill Monopolization is the only way because there is no other way to be rich in this country without government affiliation. Government decides everything. I don't know if this type of economic module works anywhere today. A nation cant wait for one person to decide everything" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1804564274498400565) 2024-06-22T17:17Z [---] followers, [--] engagements "@DannyBeamish Sijui kama wanaelewa implication za hii kitu. Au bora liende" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1805318393047744860) 2024-06-24T19:13Z [---] followers, [--] engagements "@FkManju @JH_Churchill Chochote mtu anachotaka ku push mzee. Damned if they do; damned if they dont. Let them be my G and enjoy good music. Kama turawa maindi hadi ku promote wanachofanya basi kazi ipo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1805334103652548777) 2024-06-24T20:16Z [---] followers, [--] engagements "Forbes watupe list za matajiri waachane na hizi mambo za GOATs ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Wtf is this Forbes has ranked Jay Z as the Greatest Rapper of All Time Ya'll agree https://t.co/DV5FgxDH0X Forbes has ranked Jay Z as the Greatest Rapper of All Time Ya'll agree https://t.co/DV5FgxDH0X" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1805660015510147572) 2024-06-25T17:51Z [---] followers, [--] engagements "@MkushiBilly @MwansasuSnr @siimasoud @_thefemalealpha Na Biriani yake ni Bata Kondoo au Ngamia watu wanakula vitu vya kuunga unga ndio maana hawaelewi ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1807140171114250251) 2024-06-29T19:52Z [---] followers, [--] engagements "@MwansasuSnr @siimasoud @_thefemalealpha @MkushiBilly Birian Bata nime enjoy kuliko Pilau Bata. Nakuelewa though. Watu wengi hawapati hizi options ndio maana wanahisi Beef ndio kitu poa" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1807142985475482101) 2024-06-29T20:03Z [---] followers, [--] engagements "@siimasoud @MkushiBilly @MwansasuSnr @_thefemalealpha Yes Bata. Ana nyama nzuri na tamu sana. Labda mpishi au mapenzi tu. Ila ile kitu ni tamu aisee" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1807144435194503197) 2024-06-29T20:09Z [----] followers, [--] engagements "@MwansasuSnr @_iamloui Haukupata promo nzuri ila ile ngoma ni kubwa sana" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1807144678640271844) 2024-06-29T20:10Z [----] followers, [--] engagements "@iGodmanHustler Hizo moka sina na ni kitu sina matumizi nacho. Itategemea naenda wapi. Fashion and trends zinategemeana na una deal na wakina nani. Nikivaa kama alivyo vaa yeye I will be overdressing. So Suits n Sneakers kwangu mimi all day everyday" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1807474218428244450) 2024-06-30T18:00Z [---] followers, [--] engagements "@Surangumu1 @iGodmanHustler Kama hupendi sneakers achana na sie washamba. Maisha sio magumu hivyo ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1807697972618280967) 2024-07-01T08:49Z [----] followers, [--] engagements "@toksik81 Kabisa mkuu. Hii wala halina chama wala nini. Jina lake lingetosha haya ya vyama vyao wabaki navyo wenyewe. Utaifa kwanza. Utu kwanza" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1807723195174182991) 2024-07-01T10:29Z [----] followers, [--] engagements "@Surangumu1 @iGodmanHustler Mi sio msanii tuanzie hapo. Na hakuna sheria ni mazoea tu mzee. So hiyo kuvaa leather shoes ni mazoea sio sheria usikaze sana fuvu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Unavaa unachojiskia na kinachokupendeza. Nguo ni utambulisho wako so unataka mi nitambulike kama wewe. Be free mzee ๐คฃ" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1807724914561982477) 2024-07-01T10:36Z [----] followers, [--] engagements "Wabarikiwe wote waliokua mstari wa mbele na waliopambana kufanikisha hili kwa nguvu moyo na mali ๐๐พ๐๐พ๐๐พ Utaifa kwanza. Utu kwanza" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1808144534116659445) 2024-07-02T14:23Z [----] followers, [--] engagements "Kuna PR team ya Jude Bellingham na ile ya Kendrick Lamar Zinafanya kazi kubwa sana. Milio ni mingi na mingine wala haina uzito huo. Ila ndo vile tuna fill in the gap ๐๐๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1808977674054087158) 2024-07-04T21:34Z [----] followers, [--] engagements "Mine introduced me to James Bond Films. I think my Mom was the one that introduced me to Eddie Murphy. Lets keep our loved ones close and celebrate their lives here and in heaven I wish my grandpa was here so we could watch Beverly Hill Cop : Axel F together. Like we used to when I was just a kid. ๐ฅบ He was the one who introduced me to Eddie Murphy and most of the action movies that I love. A good man he was. a good man ๐๐พ๐๐พ I wish my grandpa was here so we could watch Beverly Hill Cop : Axel F together. Like we used to when I was just a kid. ๐ฅบ He was the one who introduced me to Eddie" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1810033172744384988) 2024-07-07T19:28Z [----] followers, [--] engagements "@patric_ph Btw hii Lion King ni moja ya filamu ilio onesha how powerful companies can rip off anything from wazishaji wadogo. Theme song ya Lion King was stolen and paid off to a guy that did not originally write the song. Up until recently after a long lawsuit Disney started paying" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1810603295284625673) 2024-07-09T09:13Z [----] followers, [--] engagements "@patric_ph Ngoja nitatafuta zile documentary I think Citizen Ke na Masoud Masoud wamefanya hizi makala. Ngoja nizitafute. Ila sina kumbukumbu sahihi ya nyimbo ipi na ipi so you might be right" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1810605526805275110) 2024-07-09T09:22Z [----] followers, [--] engagements "@patric_ph Same goes to Malaika song it has been re sang by so many people but the original write hakuwahi kufaidika Kurudia au kufanya wimbo hakufanyi publisher akose rights zake. I will always love You ni wimbo maarufu sana wa Whitney ila hela anapata Dolly Parton mwenye wimbo wake" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1810610151558115537) 2024-07-09T09:41Z [----] followers, [--] engagements "It'll be so disrespectful if a dragon like this attacks and you take a phone and dial "hey.hello there's a huge dragon in front of me" ๐คฃ Like wtf how you gon do that This dragon attacks your city who you calling https://t.co/PAKYCG8kS0 This dragon attacks your city who you calling https://t.co/PAKYCG8kS0" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1810648334396170547) 2024-07-09T12:12Z [----] followers, [---] engagements "@Messie_Donnah Kwangu mimi ina anza ya Xavi then ya kina Rivaldo then BBC na MSN then ya kina Giggs Ya kina Xavi ilimfanya hata Messi a shine. And Bale wa Madrid sijui kwanini sikumkubali kivile. Benz pia naona ali shine sana after CR7 kusepa. Mtazamo binafsi tu" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1810714696447631779) 2024-07-09T16:36Z [----] followers, [--] engagements "@celestine_mat Ila treni ya SGR unaona ni sawa na MGR na bado unajiona mzima. Treni ya mwendokasi inafahamika kuwa ni usafiri wa aina gani. Na pia aliekwambia treni haina masharti ya kiusalama nani Una justify vitu havina logic. Haiwezekani kila mtu akapanda na sio lazima kila mtu apande" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1811840721382494555) 2024-07-12T19:11Z [----] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @manta_michael Yes. Hiyo ya trh [--] hawajataja venue. Ila ya Mi Casa itakua Warehouse on the 11th" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1813209582312837445) 2024-07-16T13:50Z [----] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @manta_michael Tbh natamani niupumzishe mwili wangu na Amapianos na hizi Bongofleva za kila weekend. Its the same songs and vibes mpaka najiona niko kifungoni. We need new experiences" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1813213280497783141) 2024-07-16T14:05Z [----] followers, [--] engagements "@Messie_Donnah @manta_michael M So looking forward for that RnB thing. Defo gon be a thing to remember" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1813217699696111803) 2024-07-16T14:22Z [----] followers, [--] engagements "@yose_hoza @PhentyKiria Spiritually sio sahihi kuoana mkiwa sio mabikira Kulala kitanda cha Hotel siku yenu ya kwanza ya harusi But hayo ndio mambo tunafanya karibia wote. So hilo la gauni sio kubwa kama la kulala kitanda watu zaidi ya [---] wamepigana miti hapo" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1813259722595697105) 2024-07-16T17:09Z [----] followers, [--] engagements "@k_h_a_lifa And here goes what I said๐คฃ Mpira ni biashara kama unacho amini watu wanafata mpira tu. Jaribu kujiuliza kwanini wengi wetu tuna angalia kwenye ma Bar. Experiences ndizo zinazojaza uwanja. Hicho wanachopata ndio cha wapenzi wa mpira ๐" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1813878908594655506) 2024-07-18T10:10Z [----] followers, [--] engagements "@RMbeyale Tbh hakuna mtu anasikiliza opinion za Wamarekani kwenye Sports. They are just ignorant. Wao wanachoweza ni kuchambua mchezo mmoja mmoja tena ile ya kwao ya ndani. Nje na hapo ni sifuri kabisa. Ndio maana unapata list kama hizi" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1814214087762428218) 2024-07-19T08:21Z [----] followers, [--] engagements "@RMbeyale Hapana hawaendeshi. Hawana influence yeyote. Basketball pekee ndio mchezo wana influence nao. Nike ni kampuni ya kimarekani hizi zingine sio za Marekani. TV rights na viewership ya michezo mikubwa sio michezo ya Marekani. Euro ni kubwa kuliko Copa America iliofanyika US" [X Link](https://x.com/zeanonymouspoet/status/1814236957922185221) 2024-07-19T09:52Z [----] followers, [--] engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@zeanonymouspoet BabuuBabuu posts on X about kwanza, mambo, ipo, zanzibar the most. They currently have [-----] followers and [---] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence currencies celebrities countries travel destinations finance musicians technology brands stocks social networks automotive brands
Social topic influence kwanza, mambo, ipo, zanzibar, madrid, leo, hip hop, bali, money, diddy
Top accounts mentioned or mentioned by @messiedonnah @noelisidore @barakamaviatu @patricph @moruoking @1travela @ngailo @mlevishemtoi @mwansasusnr @jhchurchill @iamkallah @dullahtheking2 @balyx @ken3th @mkushibilly @rydx017 @madvilianpablo @pelealphachalie @jayleenrickie @misschelsea1221
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) Spotify Technology (SPOT) BODA (BODAV2) KUJI (KUJI) Pepe (PEPE) Alphabet Inc Class A (GOOGL) Prom (PROM) Uber Technologies, Inc. (UBER) Nike Inc (NKE)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"@tonyalfredk @RickyxLaw Anasema kazi ni Monday to Friday na mshahara per da ni 145k unafikaje 4495k per month Kuna mtu atalia au keshalia pahala๐คฃ"
X Link 2021-10-26T19:29Z [----] followers, [--] engagements
"You had to be there to witness this beef. Kulikua na Kinyago cha Mpapure - Mwanahawa Ally Sanamu la Michelini - Nasma Khamis Kidogo (R.I.P) Ngwinji & Mambo Iko Huku - Khadija Kopa Hii beef na hizi nyimbo zili solidify modern taarab"
X Link 2023-05-25T10:47Z [---] followers, [--] engagements
"Huyu mwana ni scapegoat tu TMZ unleashed a new photo showing Diddy interacting with the FEDS while the accused drug mule Brendan Paul was taken into custody. https://t.co/qV9nANGlHt TMZ unleashed a new photo showing Diddy interacting with the FEDS while the accused drug mule Brendan Paul was taken into custody. https://t.co/qV9nANGlHt"
X Link 2024-03-27T17:31Z [---] followers, [---] engagements
"@Barongo01 Jamaa bhana. Hawasomi tu alama za nyakati. Kinachowaweka mjini kwa % kubwa ni EPL with emerging companies serving unlimited internet bundles wanaenda kufa kifo cha mende. Ni suala la muda tu"
X Link 2024-03-27T17:54Z [---] followers, [--] engagements
"Halafu kesho unakutana na Dotto Magari anakucheka na elimu yako unalalamika wakati mambo yenyewe ndo kama haya ๐๐๐"
X Link 2024-03-27T23:26Z [---] followers, [--] engagements
"@nugu_digital @patric_ph Sisi tuna ushamba sana. Tuko radhi tucheze Singeli ya Sauzi (Amapiano) au ya US (HipHop) au ya Jamaica (Dancehall) ila tunaona noma kucheza ya kwetu. Ukionekana mtu wa singeli unaitwa mhuni na mswahili. Yani ni aibu kuwa mswahili"
X Link 2024-03-31T19:39Z [---] followers, [--] engagements
"@Madvilian_pablo Kwa level hii beef tayari ipo. Metro kataka kiijulisha Dunia ๐๐๐"
X Link 2024-04-02T10:41Z [---] followers, [--] engagements
"@Ngailo Kiyosaki yuko Ulaya. Ulaya ambako Diddy ni bilionea lakini nyumba zake bado zina madeni ya mortgage. Bongo hakuna hilo. Hela unayopata hakikisha unai manage. Na cha kwanza kwa msanii ni kuwekeza kwenye mjengo. Haya magari kuna watu wanayachukuaga kwa wasanii bei ya kutupa"
X Link 2024-04-05T13:40Z [---] followers, [--] engagements
"Naomba umfatilie mtu anaitwa George Kiamunguana au Verckys Ana mchango mkubwa sana kwa music huu wa Congo tunao uona leo. Papa Wemba Koffi Nyboma Pepe Kale wote kawapika yeye. Alikua mwanamuziki na mmiliki wa bendi rec label and distro. Pia alikua na kumbi za starehe"
X Link 2024-04-05T16:32Z [---] followers, [--] engagements
"Alimiliki bendi za Zaiko Langa langa Lipua Lipua na nyingine nyingi. Verckys ndie aliemtoa Koffi (wakati huo Koffi ni ghostwriter wa Papa Wemba)"
X Link 2024-04-05T16:32Z [---] followers, [--] engagements
"Mtu mkubwa wakati huo kwa Congo alikua Franco ila Verckys alikuja kuanzisha band zilizowapa nafasi wasanii wengi ambao hawakupata nafasi kwa Franco"
X Link 2024-04-05T16:32Z [---] followers, [--] engagements
"Kwahiyo 2.4b inatoka kwenye hela ile ile ya kununua team. WTF is wrong with us. Yani tunaibiwa mchana kweupe. Uwekezaji gani huu. If this is true we are doomed"
X Link 2024-04-10T01:24Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Tumalizane kwanza na "Vazi la Taifa" mwaka wa ngapi huu halijapatikana Tunataka kumpangia Rihanna kweli ๐๐๐"
X Link 2024-04-10T09:50Z [---] followers, [--] engagements
"Hapa shida ni promoter. Yeye ndie anae mtafutia bondia mapambano. Azam ananunua viewership rights. Sidhani kama anakosa hapa. Tulaumi ma promota uchwara na mabondia wetu wanao penda slope"
X Link 2024-04-11T07:02Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu @DadaConso Yeah man. Mambo yasiwe mengi. Kwa sasa Hollywood ina struggle sana. Story zao za kawaida mno so obviously waigizaji wazee lazima nao wapate changamoto"
X Link 2024-04-13T00:56Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Serikali ina rasimisha. Mfano Brella wanasajili hadi majina ya bizz ndogo. Shida ukiambiwa ukasajili Baraka Maviatu huendi. Wala huna akaunti inayo endana na hiyi biashara. Mara boom bizz imekua kubwa unatuambia hii bizz ina miaka [--] wakati hakuna financial footprint hata 1"
X Link 2024-04-13T18:07Z [---] followers, [--] engagements
"@EsquireMK @MoruoKing @IamNchaKALIH Mzee una amua tu kuwa mnazi. We give credits kwa taasisi iliyoweza ku embrace wazo masta. Ncha hajatoa idea moja pekee. Na hata mawingu ideas zimetolewa na watu tofauti lakini we give credits to mawingu not the person. So EFM wapewe maua yao kwa ku embrace hizi new ideas"
X Link 2024-04-14T19:03Z [---] followers, [--] engagements
"@Chizzodrama Umetaja Patwa. Hiyo sio aina ya music ni muundo wa lugha. Salsa ni aina ya music ila haitambuliki kwa lugha inayotumika bali aina midundo na style yake ya uimbaji. Afrobeats sio Yoruba wala Igbo Amapiano sio kizulu Kwanini Bongofleva uwe muziki unao imbwa kwa Kiswahili"
X Link 2024-04-14T19:17Z [---] followers, [--] engagements
"@EsquireMK @MoruoKing @IamNchaKALIH Nilijua umetoa ka historia kake kidogo. Natamani nipate wasifu wake ni moja ya musicians nawakubali"
X Link 2024-04-14T20:01Z [---] followers, [--] engagements
"@Outset_Of_Omega @bonichengula Mwaka [--] mizani ilikua Ubungo pale na stendi ya mkoa ilikua Kisutu ๐ Mji unajengwa na serikali. Ukitaka malls ziende huko Bunju Tegeta ni lazima kwanza huduma za uhakika zifike kwanza huko. Hakuna mtu anaweza bet na hela yake"
X Link 2024-04-14T20:20Z [---] followers, [--] engagements
"@Outset_Of_Omega @bonichengula Mada unaibadilisha badilisha sana hii. Kibaha wana uhitaji then wajenge ya kwao. Kusema watu wa Dar wawe wanaenda kufanya shopping nje ya mji is nonsensical. Kama kuna mfanyabiashara ataona uhitaji kama unavyo usema ataweka tu biashara kwa ajili ya watu wa huko"
X Link 2024-04-15T12:03Z [---] followers, [--] engagements
"@Outset_Of_Omega @iam_chonya @bonichengula Mzee watu wanafata urahisi wa kufika na gharama pia. Mbagala to Mwenge nauli haizidi buku na Bus zimejaa kibao zinazoweza kukufikisha. Niambie how easily mtu yeyote anae ishi Dar anawezaje kufika Kibaha kwa urahisi na akanunua vitu akasafiri navyo mpaka Dar tena"
X Link 2024-04-15T12:19Z [---] followers, [--] engagements
"I'm sure Masego did not expect Tadow to go this viral I'm sure Chike did not expect Egwu to go that viral too Social media has changed how we consume music. Lets embrace it ๐๐๐"
X Link 2024-04-15T13:46Z [---] followers, [--] engagements
"@ken3th_ Kakosea nini kwenye hili masta. Labda tusaidie sie wa back bencher"
X Link 2024-04-15T15:54Z [---] followers, [--] engagements
"@255Adili @mlevi_shemtoi Bora chai kama dozi vile kutwa mara tatu ๐"
X Link 2024-04-16T11:01Z [---] followers, [--] engagements
"Wait WTF did Motsepe decide for us fans. Worst thing to have ever happened to African football The African Football League will now be the number one club competition in Africa. ๐โจ The CAF Champions League will be the second. Just as the Confederation Cup used to be but this time the clubs will be increased. The AFL will start next season where the winner will https://t.co/tbI3C1qAno The African Football League will now be the number one club competition in Africa. ๐โจ The CAF Champions League will be the second. Just as the Confederation Cup used to be but this time the clubs will be"
X Link 2024-04-16T22:51Z [---] followers, [--] engagements
"@Jimmychilipweli @BarakaMaviatu Kabla hatujaitoa unajua kama hilo eneo unalotaja kihistori palikua pana Ziwa pale. Yes Ziwa Magomeni so kabla hujaomba tulitoe kama mfano tumalizie Jangwani kwanza"
X Link 2024-04-18T19:14Z [---] followers, [--] engagements
"@Jimmychilipweli @BarakaMaviatu Hata hatujapata uhuru Nioneshe picha za hiyo ligi zikichezwa hapo kipindi cha masika. Nna miaka zaidi ya [--] sijawahi kuona kipindi cha Masika hakuna mafuriko. Nimesoma Tambaza na nilkua nakaa Magomeni kipindi cha masika boda la kukatia Muhimbili hapo ilkua halipitiki"
X Link 2024-04-18T20:06Z [---] followers, [--] engagements
"@Jimmychilipweli @BarakaMaviatu Barabara sa hivi inafunikwa na maji sababu ya ujenzi holela masta. Na ujenzi mbovu wa mwendokasi. Ila bado haibadilishi kuwa Jangwani ni basin miaka yote hiyo. Nimehama mitaa ya Magomeni mwaka [----] na kwenda town boda mguu ilkua Jangwani ila hakuna aliekua anakatiza Masika ๐"
X Link 2024-04-18T20:09Z [---] followers, [--] engagements
"@Jimmychilipweli @BarakaMaviatu Kama siko sahihi niweke sawa. [--]. Wanaolipwa wako kwenye mitaa ya Kkoo [--]. Ramani ya mji wa Kkoo kabla ya hii ya [--] inaonesha mipaka iko wapi [--]. Kipindi Kkoo inapimwa watu wapewa maeneo Jangwani au walivamia tu Nisaidie hapo ili niwe sawa"
X Link 2024-04-18T20:45Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph They was a time we could argue btn him and Hov but man look at Nas now. He has done everything and more to this HipHop culture. He single handedly shaped this culture in a form unimaginable. I swear there is no other rapper that has in depth discography like Nas"
X Link 2024-04-20T07:20Z [---] followers, [--] engagements
"@mlevi_shemtoi Pira statistics ๐๐๐ Watu wanakwambia EPL ni ligi ya kawaida sababu team zake zimetolewa UCL na Europa. Wanasahau team zilizotolewa zimepishana 2pts katika ligi na race ni ya moto balaa. Watu siku hizi hawana muda na kuangalia mpira man"
X Link 2024-04-20T07:45Z [---] followers, [--] engagements
"@mlevi_shemtoi Kipindi anachukua na points hizo alikua hana kombe lolote anakomaa nalo zaidi ya EPL ๐๐๐ Bayern msimu huu anagombea kombe gani zaidi ya UCL Madrid anaongoza points zaidi ya [--] anaemfuata Barca ambae ana msimu mbovu kuliko. PSG pia ๐๐๐"
X Link 2024-04-20T13:49Z [---] followers, [--] engagements
"@mlevi_shemtoi Liver Arsenal na City wote wana nafasi sawa ya kubeba ubingwa msimu huu. Yani hata draw [--] tu zinaweza mfanya City akapoteza ubingwa msimu huu. Madrid kwa alipo sasa presha yake nini labda๐ Bayern msimu huu ndo kapoteza"
X Link 2024-04-20T16:12Z [---] followers, [--] engagements
"Kuna ile Made You Look na Made You Look Remix. Yo I get goosebumps every time I hear them You had to be there to feel this way Greatness"
X Link 2024-04-21T14:15Z [---] followers, [---] engagements
"@MwansasuSnr Tumeibiana sana albums ๐๐๐ Safari za kwenda Posta na Kkoo pale Mwananchi vijana hawzijui. Hawajui ule mzuka wa kusibiria album (Sio Singo ๐) unataka uwe wa kwanza kuipata na mkienda kwenye vilinge kila mtu anakuja na uchambuzi wake uliotukuka wa album husika ๐"
X Link 2024-04-21T14:42Z [---] followers, [--] engagements
"@MwansasuSnr Kuna story [--] hivi. Kipindi cha Wapi pale British Council nilkua nakutana san na mwanao Nash MC na tulikua tunapiga ma story mengi sana ya HipHop. Mwana ndio alikua mtu wa kwanza kunipa album ya Immortal Technics. Much respect kwa Nash he's one of the realest ๐"
X Link 2024-04-21T14:48Z [---] followers, [--] engagements
"@MwansasuSnr Huyu mwamba angetafuta mtu wa kumpa hii kazi ya kuongea haya. Mtu ambae hajachafuka. Yeye hana legitimacy ya kuongea haya. Tofauti yake na Mo ni yeye anasema ukweli ili apate nafasi au mtu wake apate nafasi waibe wao. Sioni akiitakia jema Simba bali anataka tubadili mwizi"
X Link 2024-04-22T08:36Z [---] followers, [--] engagements
"@PeleAlphaChalie Maisha yalikua simple sana. Nakereka sana ma Dj wetu wa sasa waki play Old School playlist ni zile zile hardly unaweza usikia huu wimbo wakati ni bonge moja la Classic tune"
X Link 2024-04-23T09:12Z [---] followers, [--] engagements
"@PeleAlphaChalie Ipo masta ๐ https://youtu.be/dmc-xxRof60si=IRr2fv16vm7zB4jd https://youtu.be/dmc-xxRof60si=IRr2fv16vm7zB4jd"
X Link 2024-04-23T09:24Z [---] followers, [--] engagements
"@mlevi_shemtoi Mi mtu anae komaa na hayo mambo ya Forex sijui nini naona ana ishi kwa imani tu. Imani kwamba leo hiki kitashuka kile kitapanda. Hiki kitakua hivi hiki vile. Hakuna guarantee. Ni betting na probability hence IMANI ๐"
X Link 2024-04-23T09:27Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah Na huoni Lake Natron ikiongelewa kwa ukubwa huo kwenye utalii kama Kilimanjaro na the likes. Hii ni sehemu ya kipekee Duniani. Tuitumie vizuri. Ngorongoro Crater na Serengeti ni excpetional places. Tunazo chache tusitumie vizuri"
X Link 2024-04-23T09:55Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah Hawawezi kuwa nayo. Ukiwa na taifa linaloendeshwa kama letu ni ngumu sana kusogea. We live for today. Hamna kitu kinaniuma kama the demolition of the Old Post and Kkoo. Dar kwa sasa haina kitu chochote ambacho ni monumental kwa sababu hii hii. No vision"
X Link 2024-04-23T16:58Z [---] followers, [--] engagements
"NBC alikua na nafasi ya kutengeneza a [---] deal na TFF ambayo ingeweza kutumia teams na watu wake ku promote Bank yake but naah. Sahivi wenzie wanatumia watu wa kwenye ligi ambayo yeye anaifadhili na kuikuza kuji brand. NBC has that vantage point but he keeps missing the mark"
X Link 2024-04-23T17:04Z [---] followers, [--] engagements
"@YourFrenchFry Huduma nyingi ni bure ila sio za ubora. Nna ndugu anasafiri kila mara kuja kupata tiba huku ana shida ya sukari na presha. Natamani nione Hospitals zao zikianza kutoa huduma bora zaidi so watu wasiwe wanasafiri tena"
X Link 2024-04-23T18:45Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph Unahisi wangeweka mezani hela ya kutosha hizi team zingekataa a [---] deal. Na pia hawasaini tu wanazungumza. Kwa sasa inabidi NBC atumie hela nyingi kuji promote wakati angeweza kuitumia PL kumtangaza. Nadhani wangejua kama hii ni option sahihi wangeweka hela"
X Link 2024-04-23T22:22Z [---] followers, [--] engagements
"@McNgotonie @patric_ph ๐๐๐ avue kofia ya "Jangwani" kwanza"
X Link 2024-04-23T22:23Z [---] followers, [--] engagements
"Muungano ni kati ya Tanganyika na Zanzibar ukazaa nchi inaitwa Tanzania. Kama hatutaki malalamiko ni ama tukubaliane kuna serikali moja au serikali [--]. ๐๐๐"
X Link 2024-04-24T15:01Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Mtu ana mshahara hauzidi 1m ila ana gari anajenga na ana save. Hayo ndio mambo anayotuambia Dr Matunguli inawezekana kama unaibia. Anaogopa tu kutoa sauti ๐"
X Link 2024-04-24T19:07Z [---] followers, [--] engagements
"@BabaPforreal @mlevi_shemtoi Baba akiwa kichwa cha Bar kwisha kazi masta ๐๐๐ No excuse"
X Link 2024-04-24T21:37Z [---] followers, [--] engagements
"@SamakiOnline @Ngailo @Dejoli08 Ndio nasema jina linategemeana na mazingira. Maisha yangu yote a watu wanaonizunguka Uduvi kwao ni dagaa wadogo"
X Link 2024-04-25T06:51Z [---] followers, [--] engagements
"Ukiwa unakula kupitia njia zisizo halali; kula kimya kimya. Mambo ya kujifanya mshauri na kuona wanaovuja jasho ni wajinga yanakatisha tamaa vijana wengi wenye ndoto sahihi za kutoboa"
X Link 2024-04-25T08:20Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @iAmkallah @noel_isidore Wanaweka mifumo itakayo wafanya nyie mfeli na wao wafaulu. Ndio maana anatucheka ujinga sahivi sababu anajua namna tunaweza toboa. Fala ana ndugu zake wanapambana huko to make end meets yeye kapata nafasi ya kuiba anawaona wote wajinga ๐ฎ๐ฎ๐ฎ"
X Link 2024-04-26T13:26Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @iAmkallah @noel_isidore Siku Elimu ya TZ ikiboreshwa siku madaraka ya namba moja yakipunguzwa siku watumishi wa umma wakiacha kuteuliwa siku Dini ikiacha na sayansi ya matunguli ikiacha kutumika kama kichaka TZ itakua kama Ulaya"
X Link 2024-04-26T16:11Z [---] followers, [--] engagements
"@iboysean Mi sio mtu mzima ila ukiacha Prof J ntajie msanii mwenye classic albums zaidi ya Sugu. Ntajie msanii ambae kwa miaka hiyo ya [----] alikua anauza kama Sugu. Najua hawazidi [--]. Kizazi cha kusikiliza singles hakijui haya kina tamba na fake fame isio na hela"
X Link 2024-04-26T16:14Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA Kwangu mnara unasoma Tanzania Bara ๐๐๐"
X Link 2024-04-26T19:14Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Kwenye mpira nna Simba na UTD kwenye kikapu nna Lakers Nimeacha kufatilia michezo nakula maumivu back to back ๐ฎ๐จ"
X Link 2024-04-29T23:41Z [---] followers, [--] engagements
"Mlioko Dar mnajua kuwa huu Muungano ukivunjwa na kila mtu akarudishiwa chake sisi kwa % kubwa tutaenda Zanzibar Au mpo tu hapa kusapoti agenda ๐คฃ"
X Link 2024-04-30T11:56Z [---] followers, [--] engagements
"@255Adili Mambo ni mengi"
X Link 2024-04-30T15:39Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA Zipo mzee ๐ Probably zipo nyingi ila changamoto ni ama wasanii waliosainiwa huko kushindwa kutobia au mambo yetu yale ya wasanii kuwa wasanii na kuvuruga mifumo ya kazi. Ila labels zipo"
X Link 2024-04-30T15:43Z [---] followers, [--] engagements
"When someone needs to explain to me a lot of stuffs on a diss track then that diss is just mid or weak Next ๐"
X Link 2024-05-01T00:29Z [---] followers, [---] engagements
"@mlevi_shemtoi Yani hype lipingue kwa mshabiki anae enda kuangalia game kibanda umiza wakati pale Munchen dimba limetapika mpaka mwisho ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-01T00:55Z [---] followers, [--] engagements
"@ken3th_ Maelezo ni mengi kinoma mpaka unajiuliza why do I need school to understand a diss track. Mi ntakua nishazeeka"
X Link 2024-05-01T08:59Z [---] followers, [--] engagements
"@mlevi_shemtoi Anaumia apambane team yake ipite. UCL ni ligi ya vigogo haina unga unga ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-01T09:14Z [---] followers, [--] engagements
"@mlevi_shemtoi @patric_ph Madrid vs Bayern mzee ๐ Ingekua labda Porto na Sevilla sawa ila hao ni miamba hiyo game ni kubwa mno"
X Link 2024-05-01T09:17Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA @mlevi_shemtoi Sasa mtu unaujua mpira wa Ulaya unasemaje kombe limekosa mvuto kisa Man City aliepata ubingwa juzi wala hana effect yeyote kwenye UCL au Arsenal ambae hajawahi hata kubeba UCL. Watu wako serious kweli ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-01T09:37Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah Huu ni msimu wa pili kipindi kama hiki mnaanza kuleta mambo ya Imani ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-01T11:46Z [---] followers, [--] engagements
"@fivara_ Wataalamu wa mambo wanaiita hii mbinu "Poverty Porn" ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-02T21:46Z [---] followers, [--] engagements
"Music ni biashara. Malipo ya collabo sio malipo ya promotion. Wenzetu wanajua kulinda brands zao. Kuna duet na feature. Duets nyingi zinakuwa promoted na pande zote mbili ila features sio lazima na hii sio bongo tu. Halafu mbona Ulaya haya mambo ya ku post wimbo hamna"
X Link 2024-05-02T22:52Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore Sikiliza hizi nyimbo na fanya guess work zipi zimefanywa na mtu mmoja. Bila ku google Invincible - Capone n Noriega Let me blow ur mind - Eve Beatiful - Snoop Doug Oops - Tweet U dont have to call - Usher Full Clip - Gangsta Big Pimpin - Jay Z Lost One - Jay Z"
X Link 2024-05-03T12:21Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Hamna cha kuongeza wala kupunguza hapo masta Sisi vijana wa leo tuna commitments kibao na hujui ipi ni priority A to Z. Bila kusahau vipato vyao vilikua vidogo mno"
X Link 2024-05-03T18:33Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @MwansasuSnr Not saaaanaa ila nikisema sifatilii pia ntakua muongo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-03T18:54Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah Spain ligi yao inawapa room ya kucheza man. EPL mpaka sasa top3 haina uhakika. Ila Spain mpka top6 ishajipanga. Mtu akiwa na pressure kama hii ni rahisi kukosea. Una set team kwa mfumo wa ligi unaenda kukutana na mwenzio kajipanga na tournament tu hana presha ๐คฃ"
X Link 2024-05-03T20:36Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Mbona Iringa zipo kitambo sana hizi"
X Link 2024-05-04T00:28Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @PeleAlphaChalie Rashford anapata namba on any given Sunday ila Saka asubiri. Na sio sababu ana uwezo sababu ni kipenzi na ile ni team ya Uingereza ๐คฃ"
X Link 2024-05-04T07:54Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @MwansasuSnr Uendeshaji wa ligi unategemea matakwa ya team [--] za KKoo. That makes the leaugue biased. Huwezi kuwa na fair competition while team za KKoo zina mechi nyingi usiku na in good condition. Unawawekea mazingia ya wao kuwa bora na kutokua na usindani kila siku Uboreshaji unahitajika"
X Link 2024-05-04T08:22Z [---] followers, [--] engagements
"Pia tuangalie na factor ya kuwa na population ndogo ya watu wasio zidi 2.6m Ni rahisi kutoa huduma tajwa na mengi zaidi sababu madini na hela mnayopata haina pa kwenda Mkishakua na raia zaidi ya 50m inahitaji utawala bora kutoboa"
X Link 2024-05-05T18:28Z [---] followers, [--] engagements
"@babawawil @MdemuPolycarp Botwsana imefanikiwa sababu wana Madini Population ndogo Utawala bora Haujaelewa tu ๐ณ"
X Link 2024-05-06T00:28Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA @MoruoKing Weka sawa kidogo MADONNA AMEKUWA MEGA SUPERSTAR KABLA YA KUZALIWA KWA BONGOFLEVA Ila sisi tunawaona wasanii walioanza muziki juzi tu kuwa wamezeeka na wamepitwa na wakati ๐"
X Link 2024-05-06T00:34Z [---] followers, [--] engagements
"@babawawil @MdemuPolycarp Kujinasibu na kuwepo ni vitu viwili tofauti . Pia uchumi wa Botswana unategemea Dhahabu. Hizo huduma za bure na hela za kulipa wanafunzi wangezitoa wapi bila kitega uchumi. Na [--] mauzo yao ya almas ni makubwa mno hela wanayopata ukigawa na namba ya watu inawatosha. Hujaelewa tu"
X Link 2024-05-06T04:32Z [---] followers, [--] engagements
"Sema hizi diss track zinaenda kuwa vituko sasa ๐คฃ๐คฃ๐ Kama ni kweli mwana alimjaza kijeba kuhusu ishu ya binti yake na jamaa akaenda kuchora mistari kibao then daah ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Acha nicheke kwanza"
X Link 2024-05-06T04:52Z [---] followers, [--] engagements
"@ken3th_ @1TraVeLA @MoruoKing [--]. No tunapenda muziki ila sanaa haikuwahi kuheshimika nchini. Ilikua ni kitu cha kujitolea na cha bure [--]. Bongo show za bure kibao na hazijawahi jaza watu hata 50k [--]. Sijaelewa unakataa hawafiki kwa kuangalia a clip au kwa data ulizonazo"
X Link 2024-05-06T07:59Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Maviatu nifahamishe M3 chip si imetoka juzi kati au mimi ndio sijaelewa hapo. Au ilitakiwa kuwa Core I3"
X Link 2024-05-06T08:09Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Nimekusoma masta. Kuna utofauti gani kati ya hii Core M3 na zile M1 to M3 chip za apple. Na hiyo MacBook ndio ile version ipo katikati (sio Pro wala Air)"
X Link 2024-05-06T10:39Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu Maokoto kwanza ๐"
X Link 2024-05-06T15:58Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA Yote hii ni sababu tume aminishana kuwa kazi bora ni ile yenye mauzo mengi. Ndio maana BlackCofee alipochukua tuzo mbele yao walitokwa povu sababu wengi wana amini kwenye trends na stream kupata ubora which is not"
X Link 2024-05-07T08:25Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA Huyu ni producer mkubwa na hajui kuwa namba of streams sio kipimo cha ubora Hapa hata ukielekeza vipi utaonekana we hater tu"
X Link 2024-05-07T16:15Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph I love customized ads They tend to breed a certain likeness of a product and the event. You would only think of Heineken during this time. Its not just any Heineken ad its a UCL Heineken ad. Messages laid fall deep into your brain and remain attached in your heart"
X Link 2024-05-08T03:36Z [---] followers, [---] engagements
"@patric_ph Mambo yako yale ya kuchakata data mkuu ๐๐๐"
X Link 2024-05-08T12:07Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph ๐๐๐ hakuna namna Ankoli alikua miyeyusho ila kwa mara ya kwanza tulijua shida sio kodi au umaskini tulionao; shida ni wana wanaotuzunguka wana take advantage. Kaenda zake tumerudi tulipozoea times 2"
X Link 2024-05-08T17:06Z [---] followers, [--] engagements
"3. Secondary school; hii iwe level ambayo mtu anachagua anataka ku major kwenye masomo gani. Na pia itazingatiwa na ufaulu wake huko nyuma. Hapa labda kuongezea tu wapewe elimu zaidi ya biashara IT plus law"
X Link 2024-05-08T18:28Z [---] followers, [--] engagements
"Baada ya Secondary school chuo *** kuna part muhimu ya mitihani na Veta [--]. Mitihani iwe kwa semister/terms kuanzia Primary mpaka secondary. Hakuna sababu ya kufanya mtihani wa Darasa la kwanza ukiwa la [--]. Pima uelewa kulingana na levels. Plus ufaulu upimwe kwa GPAs kama chuo"
X Link 2024-05-08T18:28Z [---] followers, [--] engagements
"Napata shida kati ya Germany na Italy ila [--]. Spain [--]. Portugal [--]. Netherlands Can some one tell me what achievements England managers have Which country has the best managers https://t.co/e0enDOfvCh Which country has the best managers https://t.co/e0enDOfvCh"
X Link 2024-05-08T18:48Z [---] followers, [--] engagements
"@MkushiBilly Wengi wana utafsiri hivyo; which is good sometimes kuonesha ukubwa wa wimbo. Same as wimbo wa "I will always love you" wa Dolly Parton ambao Whitney alikuja kuurudia wengi wanajua kama ni wimbo mtu alimwimbia mpenzi wake. Kumbe Dolly alimtungia Boss wake alipohama lebo"
X Link 2024-05-10T06:38Z [---] followers, [--] engagements
"@Mimi_kwanza @Rydx_017 @_abdulazack @athanas_pius @JayleenRickie @MissChelsea1221 @kabigwa_78 @kapeto98 @Balyx @NjiwaFLow Nilikua na ubishi kama wako mpaka siku mwanangu walipo mlamba more than 300k ndio nikasema kunae mbinu nyingi za kuibiwa. Mpaka leo hatujui alipigwa vipi. Ila tukifatilia tunaona hela zimetolewa kwa wakala huyu na yule na yule. Na kuja kufatilia yeye sio wa kwanza"
X Link 2024-05-10T07:54Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore Kujua nini we mzee ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-10T14:35Z [---] followers, [--] engagements
"@MkushiBilly @patric_ph Kwani ya Azam si [---] tu masta. Na ipo ile Komando kipensi bei ya soda ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-10T19:16Z [---] followers, [--] engagements
"@mlevi_shemtoi Oya sio poa. Au kwenye Extraction ya kwanza yule mwamba kamiminiwa njugu za kutosha na mpaka mwisho kala kitu cha sniper ila bado akaibuka Part [--] na miguvu ile ile ๐คฃ"
X Link 2024-05-10T19:28Z [---] followers, [--] engagements
"@Mimi_kwanza @Rydx_017 @_abdulazack @athanas_pius @JayleenRickie @MissChelsea1221 @kabigwa_78 @kapeto98 @Balyx @NjiwaFLow Kuna watu wana biashara na mizunguko mingi hawezi kutembea na cash ni risk kubwa"
X Link 2024-05-10T21:33Z [---] followers, [--] engagements
"@NesiMkunga Simu ikiita tu chap ushakwea boda ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-10T21:36Z [---] followers, [--] engagements
"@Mimi_kwanza @Rydx_017 @_abdulazack @athanas_pius @JayleenRickie @MissChelsea1221 @kabigwa_78 @kapeto98 @Balyx @NjiwaFLow Kuchanja mtu kakuletea mzigo wa kununua mkononi mnachanja wapi masta. Mzunguko wa hela ni mkubwa sana kwenye simu sababu ya urahisi wake"
X Link 2024-05-10T21:38Z [---] followers, [--] engagements
"Showbizz is driven by trends. Mariah Carey hapati spotlight kama anayopewa Kim Kardashian na alichofanya Kim kikubwa nn zaidi ya kuvujisha sex tapes. So hio sio bongo ni Dunia nzima. Cha muhimu ni stay on your lane. And as Dotto Magari says "Ukihitajika utaitwa" ๐"
X Link 2024-05-11T11:00Z [---] followers, [--] engagements
"@VendyLM @patric_ph We acha tu. Yani tunaisifia FB au Linked In kwa kuwa platform nzuri ila tuna shindwa ku embrace na kuisadia Jamii Forum ikue Na hiyo Linked In wala hatuitumii zaidi ya kufungua akaunti na kuibwaga. Mi FB ipo kwa ajili ya kutafuta watu niliopotezana nao siku nyingi"
X Link 2024-05-11T15:41Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @BarakaMaviatu @noel_isidore Wanakufa na tai shingoni. Ww ukibanwa kidogo uko kwa wana au ushaweka statu"
X Link 2024-05-11T15:54Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu @IsayaYunge @KingDavid255 Hamuwezi kuelewana ๐๐๐ Mtu ana anza kwanza kutatua shida zake za msingi. Mchina mpaka anapata we chat alikua keshamalizana na shida zake za muhimu. Tunataka turuke stage ya maendeleo inawezekana vipi"
X Link 2024-05-11T17:20Z [---] followers, [--] engagements
"@IsayaYunge @BarakaMaviatu @KingDavid255 You just used an English word for "Kuruka Steji" which proves a point that you do not understand our priorities and issues. It's not that TZnians don't want Tech its guys like you that think we need things like We Chat while our environment needs something else"
X Link 2024-05-11T18:42Z [---] followers, [--] engagements
"@abbleluv @chapo255 % kubwa ya wasanii wakubwa bongo wana budget ya ku promote nyimbo zao. Ni wonder unaziskia kirahisi. Ukiona inaenda viral fasta jua kuna prom imefanyika pahala. Sio lazima aina za promo zifanane ๐ค"
X Link 2024-05-11T19:02Z [---] followers, [--] engagements
"@MoruoKing Noma sana mzee. Leo hii Rhumba Congolese ipo kwenye UNESCO Heritage. Leo hii Kavasha is studied. Kuna vitu tunaeza vichukulia poa ila huwa vina substantial impact"
X Link 2024-05-12T06:02Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @tonyalfredk Mi wangenitoa maana ninge describe hapohapo maziwa ya binti yake yalivyo na kama angeona offensive ningemwambia that is how offensive wazazi wa kiTZ walioko nje huko wanajiskia kwa kauli yako. Hili jumba limekua miyeyusho sana siku hizi"
X Link 2024-05-15T09:11Z [---] followers, [--] engagements
"Mambo ya ๐๐๐"
X Link 2024-05-15T10:42Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA @MoruoKing Hii ni list ya ngoma zilizo uza sana lakini hazijawahi kufika namba moja masta. I know Piano haijawahi fika namba moja ila Tshwala Bam na Jerusalem zime hit namba za juu. Acha tupambane"
X Link 2024-05-15T18:20Z [---] followers, [---] engagements
"If its for the greater future acha tupambane tu. Mwisho wa siku hakuna atakae kulipia bills. As long as hujaijivunjia heshima wala haujafanya mambo machafu pambana tu masta. Ukiona aibu hela nayo inakuonea aibu ๐"
X Link 2024-05-15T23:14Z [---] followers, [--] engagements
"Kuna siku nilikaa na mwela mmoja akaniambia "kama mambo ya wizi sio yako acha tu. Sababu nchi hii tukikutaka tunakupata tu" Na ukienda mikoa tofauti na hii yenye watu wengi ndio ize kabisa. So ukiiba Dar heri ubaki Dar Tutafute hela halali tu ๐"
X Link 2024-05-16T08:03Z [---] followers, [--] engagements
"@FkManju City akafungwe na West Ham pale Etihad na ubingwa uko mbele yake ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Arsenal wenyewe wameshakata tamaa muda tu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-16T16:10Z [---] followers, [--] engagements
"@MiriamMkanaka Hili swali unalojiuliza ndio kufanikiwa kwake sasa. Maana wengi kama ww wametaka kujua na wameenda ku camp kwenye page yake. Social media imebadili sana how we approach vitu tofauti"
X Link 2024-05-16T16:20Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore Yani una amini wosia utasaidia mali zisipotee ๐คฃ๐คฃ๐คฃ watu wakigawana tu kila mtu anaenda kuchoma mzigo upande wake. Maono ya baba na mama inabidi ya align. Ww uko tayar kumshirikisha mkeo 100% kwenye bizz zako ๐คฃ"
X Link 2024-05-17T11:36Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore Hiyo 30k unayoficha ipo kwenye kila kitu unachofanya. Hadi contacts na ur dealings anazijua kwa 30%. So kama mtu unae share nae kitanda anajua 70% basi watoto tegemea watajua less than 50% now unaelewa tatizo liko wapi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-05-17T12:03Z [---] followers, [--] engagements
"Huu wimbo ulitungwa na George Kiamungana na Vocals zilifanywa na Pepe Kale. Band ilikua Orchestre Veve Huu ndio wimbo uliomtambulisha Pepe Kale rasmi Nakumbuka juzi kati niliongelea mchango wa Mobutu kwenye muziki wa Congo Cc @MoruoKing @BarakaMaviatu @patric_ph @noel_isidore"
X Link 2024-05-17T15:16Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore @iAmkallah Alishaisha siku mingi ukiona mpaka jamaa wanakuvamia vile ujue wana uhakika na makosa yako na washanasa vitu vingi. Ishu inakuja allegations za Diddy kuwa na incriminating videos za watu wengi ndio nahisi zinafanya wamtafutie kesi nyepesi kama hizi"
X Link 2024-05-18T03:01Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph @iboysean Wanasema The Godfather ndio blueprint ya movie za mambo ya crime na Drugs na Soparanos ndio blueprint ya series ya mambo hayo. Vitu vingi vina mfanano fulani wa Sopranos kwenye hizi series zingine za crime and drugs"
X Link 2024-05-18T03:38Z [---] followers, [---] engagements
"@olesalekwa1 @EngJubel Mna uhakika na data zenu au ๐คฃ๐คฃ๐คฃ. Mnunuzi mkubwa wa Toyota ni USA ๐๐๐ https://www.statista.com/statistics/267314/vehicle-sales-of-toyota-by-region-since-2008/ https://www.statista.com/statistics/267314/vehicle-sales-of-toyota-by-region-since-2008/"
X Link 2024-05-18T06:01Z [---] followers, [--] engagements
"@PhitMathematic Ukijifanya unakomaa na huyo msambwanda we unaweka buckets za kutosha dkk ya mwisho huyo gatekeeper anawaambia "tuondokeni uber ishafika" bila hata taarifa yoyote Masta una ambulia ๐"
X Link 2024-05-18T08:16Z [---] followers, [--] engagements
"@ksn__14 @patric_ph Zisingekua white ๐ projects kama mindset yetu ingekua kwenye kuboresha mji. Unajenga jengo bila kuwa na sera sahihi ya makazi hata lingekaa posta lisingekua na watu pia"
X Link 2024-05-18T17:45Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph @ksn__14 Well mi nimepita na maelezo yake kuwa kinachofanya Kigamboni iwe ghost project ni mbali ndio namwambia sio lazima ziwe ghost kama mpango ni mzuri"
X Link 2024-05-18T18:09Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph @ksn__14 Tukiachana na mindset za "kila jambo lazima lininufaishe mimi kwanza" tutafika huku. We are not ready for these dialogues sababu they do not benefit us now/ or we want to get everything just now. Success does not come overnight and easily"
X Link 2024-05-18T18:22Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu @ksn__14 @patric_ph Na sio lazima mjini iwe Upanga. India has New Delhi mbona kama tungewahi tungeweza kuwa na mji mpya bila shida kabisa and leave Upanga na Posta kama ilivyo"
X Link 2024-05-18T18:30Z [---] followers, [--] engagements
"Unaitwa nani Eeehhhh: Asante sana ndugu MC. Kwa majina naitwa Dokta Injiania Msomi. Dude wtf hilo sio jina lako hizo ni titles ๐ฎ๐ฎ๐ฎ"
X Link 2024-05-18T19:26Z [---] followers, [--] engagements
"Mimi ni United kindakindaki.for some reason natamani kuona Arsenal hachukui ubingwa this season.acha tu ladha ya Premier league ipotee ๐ Mimi ni United kindakindaki.for some reason natamani kuona Arsenal anachukua ubingwa this season.for the sake of kurudisha ladha ya Premier league๐ Mimi ni United kindakindaki.for some reason natamani kuona Arsenal anachukua ubingwa this season.for the sake of kurudisha ladha ya Premier league๐"
X Link 2024-05-19T08:06Z [---] followers, [---] engagements
"@Rydx_017 Kama wewe ni mkristo na unaona hizi ni imani za kishirikina nadhani pia inabidi utambue Mahari na Posa ipo kwenye Mila na Tamaduni za kiafrika na sio utaratibu wa kidini Huwa mna agizwa mlete hadi vibuyu vya bibi kwenye mahari na hamjawahi kuona ushirikina. Waafrika ๐คฃ"
X Link 2024-05-20T06:04Z [---] followers, [--] engagements
"Dunia hii kila mtu anataka awe wa kwanza kutoa taarifa. Watu mnaojua hivi vitu kuna chopa ina tails na mabawa ya hivi BREAKING: MANY BODIES OF THOSE DIED IN IRAN PRESIDENT RAISI HELICOPTER CRASH HAVE BEEN BURNT AND CANNOT BE IDENTIFIED https://t.co/ilM0ohOmnZ BREAKING: MANY BODIES OF THOSE DIED IN IRAN PRESIDENT RAISI HELICOPTER CRASH HAVE BEEN BURNT AND CANNOT BE IDENTIFIED https://t.co/ilM0ohOmnZ"
X Link 2024-05-20T07:45Z [---] followers, [--] engagements
"Ila kuna watu wazima kibao wa miaka [--] wanashabikia Man City na Chelsea tuko nao mjini hapa mbona fresh tu"
X Link 2024-05-20T10:34Z [---] followers, [--] engagements
"@iAmkallah @Messie_Donnah @noel_isidore Na ile Bafana Bafana ya [--] ilikuja kasi halafu ikazimika ghafla ๐"
X Link 2024-05-20T14:13Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @iAmkallah @noel_isidore I heard you coming since 05'; are you guys crawling or lost ๐คฃ"
X Link 2024-05-20T15:03Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @iAmkallah @noel_isidore Wala shida sio Pep. Shida ni team nyingi za kawaida mno kwa sasa. Pep anajikuta anapambana na mtu mmoja tu. Kuna kipindi huko nyuma all big [--] were big fours. Sasa hivi wala hustuki. Team kubwa zikikaa sawa hii story itakua vingine kabisa"
X Link 2024-05-20T15:36Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore @Messie_Donnah @iAmkallah Pia umeona kama maisha kule magumu anapata pesa ya kuja ku invest huku sio a invest kule ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Sasa kama nna uwezo wa ku save mdogo mdogo why not save and invest nikiwa hapa hapa. Kwangu mimi Bongo has so many opportunities hata kwa kamtaji kadogo kabisa. Acha nikomae"
X Link 2024-05-21T12:03Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore @Messie_Donnah @iAmkallah Swali lako unalikumbuka lakini au ๐คฃ๐คฃ๐ Hebu soma swali ulilo uliza kwanza. Unakuja bongo kufanya nini na umesema usigeuke nyuma. Mbona unakua kigeugeu"
X Link 2024-05-21T12:14Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore @Messie_Donnah @iAmkallah Swali lako soma mzee. Unajua unakinzana na ulichosema ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Mi nimesimama kwenye hoja yako naona umekengeuka. Ww umesema wa Ughaibuni wa ughaibuni. Ila nashangaa unapiga hesabu za hela ya ughaibuni uje nayo bongo wakati ulisema ukienda hurudi ๐คฃ"
X Link 2024-05-21T12:17Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore @Messie_Donnah @iAmkallah Kwani ukienda US unaenda kula ajira serikali ya US au una ajiriwa binafsi ๐คฃ๐๐ Shida yako masta kwa ughaibuni haujaweka limit ila kwa bongo unaweka limits ๐คฃ"
X Link 2024-05-21T12:19Z [---] followers, [--] engagements
"@SulleMiraji @AmosCyprian4 Kuna mtu huwa ananiambia kuna kizazi fulani kikiisha tu haya mambo mengi yatabadilika sana. Nna hakika soon mambo ya extended families yataanza kupungua sana na utegemezi pia. So generations kama [--] zijazo zinaweza kuwa na maisha tofauti sana na tuliyonayo sasa"
X Link 2024-05-22T09:37Z [---] followers, [--] engagements
"Kuna wale wanakucheki wameona uko lets say kiwanja flani au eneo fulani la maana wanakutumia their snapchat credentials Anakwambia "ingia kwenye snap yangu record hayo mazingira kwa mbele and post" They would even ask you send pics za eneo husika without you being seen ๐ฎ๐จ๐ฎ๐จ๐ฎ๐จ"
X Link 2024-05-23T12:30Z [---] followers, [--] engagements
"@nonstopfrale Kwanza anatufundisha money laundry anahisi mtu wa uwezo huo na mwenye kufanya michezo hiyo anaweza kufundishwa na yeye"
X Link 2024-05-24T18:54Z [---] followers, [--] engagements
"Music is universal music is timeless. If you limit yourself to your era and time then you are depriving yourself of immerse pleasures and experiences The idea that someone born in the 2000s could listen to Michael Jackson and declare him to be their all-time favorite musician still baffles me ๐ฅฑ The idea that someone born in the 2000s could listen to Michael Jackson and declare him to be their all-time favorite musician still baffles me ๐ฅฑ"
X Link 2024-05-25T15:26Z [---] followers, [--] engagements
"@MoruoKing @StahmyJunior On that note. Kama hauja icheki The Heat iongeze kwenye list yako ya baada ya Con Air"
X Link 2024-05-25T18:12Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph First of dude just picked so many NY albums and put a list of [---] And that list is not in order if it is then dahh. The Roots Warren G Ice T Juvenile LL Cool J Bone Thugs there are so many that I can name here Eminem GUnit first album Sijiui katumia kigezo kipi"
X Link 2024-05-25T19:55Z [---] followers, [--] engagements
"@StahmyJunior @MoruoKing Pacino and De Niro are overhyped how"
X Link 2024-05-26T19:44Z [---] followers, [--] engagements
"Hawa wenzetu hawana mambo ya vyama ni interests za Taifa lao kwanza Mama anapambania kombe mwanzo mwisho Huku kwetu nafasi kama hii ungeitwa msaliti This Woman. Meg Whitman US ambassador to Kenya flew back to the US & accompanied Pres William Ruto each day of his state Visit. Wealthy politically appointed US ambassadors majorly land easy posts in Europe but Biden saw Kenya would be a better fit for her. Why โThread https://t.co/Yrvuo5vaAz This Woman. Meg Whitman US ambassador to Kenya flew back to the US & accompanied Pres William Ruto each day of his state Visit. Wealthy politically"
X Link 2024-05-26T21:11Z [---] followers, [--] engagements
"@StahmyJunior @MoruoKing Tunaongea vitu tofauti ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Ndio maana nilianza na huu mjadala ni kama mjadala wa Hashim Dogo Vipimo vya ubora kwako ni tuzo na wingi wa kazi maarufu. But kwangu mimi The Godfather inaeza tosha kuvuka ubora wa actors wenye movie nyingi kali. Uzito wa jambo sio wingi wa mambo"
X Link 2024-05-27T10:25Z [---] followers, [--] engagements
"@Wakazi Anyways I have seen him extending his session beyond the time agreed. Narudia tena hiki ni kipande tu na simtetei MC wala Chiddi just stating scenarios. Kama muda umeisha na MC ka intervene ni sawa tu. Kama MC alidandia tu basi kazingua"
X Link 2024-05-30T17:32Z [---] followers, [--] engagements
"@patric_ph Noma masta Its becoming more and more popular. Na mwarabu anazipa team zote uwezo. Yani kaamua ku intervene ili ligi yake ikue. Kila team ina uwezo wa kuingia sokoni"
X Link 2024-05-31T21:26Z [---] followers, [--] engagements
"@MkushiBilly Yani najiulizaga ni kweli kasafiri hizo nchi anazosemaga alienda mbona hata mie ambae safari yangu ya nje ni kwenda Nchini Zanzibar si mshamba hivi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-06-01T10:50Z [---] followers, [--] engagements
"@Wakazi @Cliffordmajinji Jaymo kwenye mahojiano yake na Kuvi alisema "Unaweza kuwa bora wa muda wote ila huwezi kuwa bora kuliko wote" Vijana wengi wanadharau waliopita kwa kuamini wao ni bora kuliko wote. Kumbe wengi wao ni suala la nafasi na muda waliopo ndio lina wa favor"
X Link 2024-06-01T14:10Z [---] followers, [--] engagements
"@ken3th_ Sasa nilichosema si ndicho ulichosema yeye ana angalia hela tu. Movie zake nyingi sahivi zinamlipa vizuri ila sio kwamba kuna mtu alienda kuzifata sababu Samuel yumo"
X Link 2024-06-01T15:11Z [---] followers, [--] engagements
"@ken3th_ Mzee one tweet ina characters ngapi niongee yote hayo. Na pia nobody watches Star Wars sababu ya Samuel. Story ya Star wars imejibeba yenyewe. So if I may add that too itakua Marvel na Star Wars franchise"
X Link 2024-06-01T15:27Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA Style of play ni muhimu pia. Ndio maana mmeenda kumchukua Mbappe sababu mnataka uhakika wa mchezo. Kuna mechi nyingi zime amuliwa na uwezo binafsi wa mchezaji mmoja mmoja kuliko team work. Carvajal jana kafunga goli la uwezo binafsi na yako mengi msimu huu"
X Link 2024-06-02T15:05Z [---] followers, [--] engagements
"@1TraVeLA Yote sio matukio sahihi ila hili la mchezaji linazuilika na nna hakika lina kanuni zake. Najua kwa huku kwetu huwezi kamata mashabiki waliofanya fujo Ila yote ni matukio mabaya. Mpira ni mchezo wa furaha na amani. Kuhama team ni jambo jema. Mbappe yule pale Real tutoke huku"
X Link 2024-06-04T06:52Z [---] followers, [--] engagements
"@DrMbowa @MoruoKing Sawa Mjuaji. Ila ungejua kama THT sio Mawingu ingesaidia kidogo. Na hizi deals hata kuruka stations nyingine alikua anahusika nazo so THT ndio ilkua inapanga nini kiende wapi nini kisiende. Kwa sasa iko tofauti. Watu wanataka exclusivity. Jasiri hakua anafanya hivyo"
X Link 2024-06-04T17:09Z [---] followers, [--] engagements
"@MoruoKing Mambo ya documentation mzee ndo muda kama huu yanaonekana umuhimu wake ๐๐"
X Link 2024-06-05T19:47Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah Mbona wako wengi sana na wengi ukiwaona huto amini kama ndio mambo yao. Masista doo wengi wanafanya hizi mambo. Na wengi wanatudaka ki urahisi sababu tunahisi tumewadaka kumbe wao wanatuwinda sie"
X Link 2024-06-06T13:12Z [---] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah Oyaa kama mazuri vile ila kama hujakutana na mtu wako wa karibu au ww mwenyewe kwenye hizi mbanga unaeza hisi utani ila huyo dem anachofanya kuna pisi kali kibao ndio mambo zao na huwezi amini kama zinafanya hizi makitu"
X Link 2024-06-06T13:50Z [---] followers, [--] engagements
"@MoruoKing Couple of weeks ago nilkua pahala na Bro SOS B ikapigwa "Piga Makofi" lile vibe la pale lilkua sio poa ๐คฃ So kuna muda wimbo bora unaeza pitwa na wimbo pendwa. Case ya KDot na Macklemore ndugu mchambuzi ๐คฃ"
X Link 2024-06-06T18:01Z [---] followers, [--] engagements
"Yule Tajiri wa FX ni mshamba sana ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Wtf dude chill. Yani kabadili contena la kuwekea mchele anaona ndio maendeleo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Aibu naona mimi ๐คฃ"
X Link 2024-06-07T20:13Z [----] followers, [--] engagements
"@MwansasuSnr Mjuaji huyu ๐คฃ Wapi panafaa kuwekeza kitu serious sasa. Halafu Kigamboni ni kale ka upande wa pili wa Ferry huko mbele sio Kigamboni na huitaji kuingia kwa Kivuko. Watu wana projects zinawalipa yeye na watu wake kama hawapati kitu akaushe tu"
X Link 2024-06-08T10:43Z [---] followers, [--] engagements
"Sema my G unless you tell me this is just a banter I would understand. Ila hii haijakaa sawa. Tukiongelea kukaa ulaya kiwe ndio kipimo cha kuweza kufanya jambo kwa ufasaha then utakua at fault. Maana you are the most exposed artist and this character is of the opposite"
X Link 2024-06-08T11:46Z [---] followers, [--] engagements
"@ashu_bangs @siadevinci @Rydx_017 @abdulazack @JayleenRickie @Balyx @babalao_ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 VAT wao pia wanalipa ila sie % kubwa tunaolipa kodi ni waajiriwa. Wenzetu wana income tax ambayo analipa kila raia aliefikisha umri wa kukatwa kodi na mwenye kuingiza kipato chochote. Uko tayari tukatwe income tax"
X Link 2024-06-09T15:36Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu @Messie_Donnah Sie bhana. Yani imagine unavunja Statue of liberty ๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-06-12T17:23Z [---] followers, [--] engagements
"@BarakaMaviatu @Messie_Donnah Ipo au miluzi imekua mingi wamehairisha ๐คฃ"
X Link 2024-06-12T21:21Z [---] followers, [--] engagements
"@hisnamefreddie Huna uhakika. Basi naomba nikutaarifu gen ya kwanza ilianzia kwenye KIBISA sio Radio. [--]. Mzee Jangala na wenzie [--]. Majuto na Small etc [--]. Mpoki Joti (Street and venues) [--] Bukuku [--]. Wakina Coy [--]. Ndio hawa wengine tuko nao sasa Yeye ni Gen ya [--] sio mwanzilishi"
X Link 2024-06-13T11:05Z [---] followers, [--] engagements
"@jaxis__ @vaasutinasi Haisemekani ndio ukweli. Tena Joti na Mpoki wamefanya Stand Up comedy hadi za mtaani. Na pia wao sio wa kwanza ๐"
X Link 2024-06-13T13:18Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore Mzee kuna vitu vya ajabu hii Dunia"
X Link 2024-06-14T17:59Z [---] followers, [--] engagements
"@noel_isidore Nikapelekwa na Camp Madrid na Barcelona ule mji acha tu๐คฃ๐คฃ๐คฃ Wenyeji ndio wanauchangamsha na wala sio wanafki wanaishi maisha yao๐คฃ๐คฃ๐คฃ"
X Link 2024-06-14T18:49Z [---] followers, [--] engagements
"@mlevi_shemtoi Namwelewa Ronaldinho aliposema hataki tena kucheki game za Brazil. Mi kwa sasa naona Football ina watu wengi waliokua hyped ila uwezo kisoda"
X Link 2024-06-17T21:14Z [---] followers, [--] engagements
"Ukute hapa tatizo ni mikataba. Wanajua vimeo vya Fifa wanaona bora wafute mikataba yote waanze upya. Kuna watu watakuja na madeni ya miaka [--] nyuma. Heri uwabwage wote uanze upya ๐"
X Link 2024-06-19T19:47Z [---] followers, [--] engagements
"@JH_Churchill Monopolization is the only way because there is no other way to be rich in this country without government affiliation. Government decides everything. I don't know if this type of economic module works anywhere today. A nation cant wait for one person to decide everything"
X Link 2024-06-22T17:17Z [---] followers, [--] engagements
"@DannyBeamish Sijui kama wanaelewa implication za hii kitu. Au bora liende"
X Link 2024-06-24T19:13Z [---] followers, [--] engagements
"@FkManju @JH_Churchill Chochote mtu anachotaka ku push mzee. Damned if they do; damned if they dont. Let them be my G and enjoy good music. Kama turawa maindi hadi ku promote wanachofanya basi kazi ipo"
X Link 2024-06-24T20:16Z [---] followers, [--] engagements
"Forbes watupe list za matajiri waachane na hizi mambo za GOATs ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Wtf is this Forbes has ranked Jay Z as the Greatest Rapper of All Time Ya'll agree https://t.co/DV5FgxDH0X Forbes has ranked Jay Z as the Greatest Rapper of All Time Ya'll agree https://t.co/DV5FgxDH0X"
X Link 2024-06-25T17:51Z [---] followers, [--] engagements
"@MkushiBilly @MwansasuSnr @siimasoud @_thefemalealpha Na Biriani yake ni Bata Kondoo au Ngamia watu wanakula vitu vya kuunga unga ndio maana hawaelewi ๐คฃ"
X Link 2024-06-29T19:52Z [---] followers, [--] engagements
"@MwansasuSnr @siimasoud @_thefemalealpha @MkushiBilly Birian Bata nime enjoy kuliko Pilau Bata. Nakuelewa though. Watu wengi hawapati hizi options ndio maana wanahisi Beef ndio kitu poa"
X Link 2024-06-29T20:03Z [---] followers, [--] engagements
"@siimasoud @MkushiBilly @MwansasuSnr @_thefemalealpha Yes Bata. Ana nyama nzuri na tamu sana. Labda mpishi au mapenzi tu. Ila ile kitu ni tamu aisee"
X Link 2024-06-29T20:09Z [----] followers, [--] engagements
"@MwansasuSnr @_iamloui Haukupata promo nzuri ila ile ngoma ni kubwa sana"
X Link 2024-06-29T20:10Z [----] followers, [--] engagements
"@iGodmanHustler Hizo moka sina na ni kitu sina matumizi nacho. Itategemea naenda wapi. Fashion and trends zinategemeana na una deal na wakina nani. Nikivaa kama alivyo vaa yeye I will be overdressing. So Suits n Sneakers kwangu mimi all day everyday"
X Link 2024-06-30T18:00Z [---] followers, [--] engagements
"@Surangumu1 @iGodmanHustler Kama hupendi sneakers achana na sie washamba. Maisha sio magumu hivyo ๐คฃ"
X Link 2024-07-01T08:49Z [----] followers, [--] engagements
"@toksik81 Kabisa mkuu. Hii wala halina chama wala nini. Jina lake lingetosha haya ya vyama vyao wabaki navyo wenyewe. Utaifa kwanza. Utu kwanza"
X Link 2024-07-01T10:29Z [----] followers, [--] engagements
"@Surangumu1 @iGodmanHustler Mi sio msanii tuanzie hapo. Na hakuna sheria ni mazoea tu mzee. So hiyo kuvaa leather shoes ni mazoea sio sheria usikaze sana fuvu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Unavaa unachojiskia na kinachokupendeza. Nguo ni utambulisho wako so unataka mi nitambulike kama wewe. Be free mzee ๐คฃ"
X Link 2024-07-01T10:36Z [----] followers, [--] engagements
"Wabarikiwe wote waliokua mstari wa mbele na waliopambana kufanikisha hili kwa nguvu moyo na mali ๐๐พ๐๐พ๐๐พ Utaifa kwanza. Utu kwanza"
X Link 2024-07-02T14:23Z [----] followers, [--] engagements
"Kuna PR team ya Jude Bellingham na ile ya Kendrick Lamar Zinafanya kazi kubwa sana. Milio ni mingi na mingine wala haina uzito huo. Ila ndo vile tuna fill in the gap ๐๐๐"
X Link 2024-07-04T21:34Z [----] followers, [--] engagements
"Mine introduced me to James Bond Films. I think my Mom was the one that introduced me to Eddie Murphy. Lets keep our loved ones close and celebrate their lives here and in heaven I wish my grandpa was here so we could watch Beverly Hill Cop : Axel F together. Like we used to when I was just a kid. ๐ฅบ He was the one who introduced me to Eddie Murphy and most of the action movies that I love. A good man he was. a good man ๐๐พ๐๐พ I wish my grandpa was here so we could watch Beverly Hill Cop : Axel F together. Like we used to when I was just a kid. ๐ฅบ He was the one who introduced me to Eddie"
X Link 2024-07-07T19:28Z [----] followers, [--] engagements
"@patric_ph Btw hii Lion King ni moja ya filamu ilio onesha how powerful companies can rip off anything from wazishaji wadogo. Theme song ya Lion King was stolen and paid off to a guy that did not originally write the song. Up until recently after a long lawsuit Disney started paying"
X Link 2024-07-09T09:13Z [----] followers, [--] engagements
"@patric_ph Ngoja nitatafuta zile documentary I think Citizen Ke na Masoud Masoud wamefanya hizi makala. Ngoja nizitafute. Ila sina kumbukumbu sahihi ya nyimbo ipi na ipi so you might be right"
X Link 2024-07-09T09:22Z [----] followers, [--] engagements
"@patric_ph Same goes to Malaika song it has been re sang by so many people but the original write hakuwahi kufaidika Kurudia au kufanya wimbo hakufanyi publisher akose rights zake. I will always love You ni wimbo maarufu sana wa Whitney ila hela anapata Dolly Parton mwenye wimbo wake"
X Link 2024-07-09T09:41Z [----] followers, [--] engagements
"It'll be so disrespectful if a dragon like this attacks and you take a phone and dial "hey.hello there's a huge dragon in front of me" ๐คฃ Like wtf how you gon do that This dragon attacks your city who you calling https://t.co/PAKYCG8kS0 This dragon attacks your city who you calling https://t.co/PAKYCG8kS0"
X Link 2024-07-09T12:12Z [----] followers, [---] engagements
"@Messie_Donnah Kwangu mimi ina anza ya Xavi then ya kina Rivaldo then BBC na MSN then ya kina Giggs Ya kina Xavi ilimfanya hata Messi a shine. And Bale wa Madrid sijui kwanini sikumkubali kivile. Benz pia naona ali shine sana after CR7 kusepa. Mtazamo binafsi tu"
X Link 2024-07-09T16:36Z [----] followers, [--] engagements
"@celestine_mat Ila treni ya SGR unaona ni sawa na MGR na bado unajiona mzima. Treni ya mwendokasi inafahamika kuwa ni usafiri wa aina gani. Na pia aliekwambia treni haina masharti ya kiusalama nani Una justify vitu havina logic. Haiwezekani kila mtu akapanda na sio lazima kila mtu apande"
X Link 2024-07-12T19:11Z [----] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @manta_michael Yes. Hiyo ya trh [--] hawajataja venue. Ila ya Mi Casa itakua Warehouse on the 11th"
X Link 2024-07-16T13:50Z [----] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @manta_michael Tbh natamani niupumzishe mwili wangu na Amapianos na hizi Bongofleva za kila weekend. Its the same songs and vibes mpaka najiona niko kifungoni. We need new experiences"
X Link 2024-07-16T14:05Z [----] followers, [--] engagements
"@Messie_Donnah @manta_michael M So looking forward for that RnB thing. Defo gon be a thing to remember"
X Link 2024-07-16T14:22Z [----] followers, [--] engagements
"@yose_hoza @PhentyKiria Spiritually sio sahihi kuoana mkiwa sio mabikira Kulala kitanda cha Hotel siku yenu ya kwanza ya harusi But hayo ndio mambo tunafanya karibia wote. So hilo la gauni sio kubwa kama la kulala kitanda watu zaidi ya [---] wamepigana miti hapo"
X Link 2024-07-16T17:09Z [----] followers, [--] engagements
"@k_h_a_lifa And here goes what I said๐คฃ Mpira ni biashara kama unacho amini watu wanafata mpira tu. Jaribu kujiuliza kwanini wengi wetu tuna angalia kwenye ma Bar. Experiences ndizo zinazojaza uwanja. Hicho wanachopata ndio cha wapenzi wa mpira ๐"
X Link 2024-07-18T10:10Z [----] followers, [--] engagements
"@RMbeyale Tbh hakuna mtu anasikiliza opinion za Wamarekani kwenye Sports. They are just ignorant. Wao wanachoweza ni kuchambua mchezo mmoja mmoja tena ile ya kwao ya ndani. Nje na hapo ni sifuri kabisa. Ndio maana unapata list kama hizi"
X Link 2024-07-19T08:21Z [----] followers, [--] engagements
"@RMbeyale Hapana hawaendeshi. Hawana influence yeyote. Basketball pekee ndio mchezo wana influence nao. Nike ni kampuni ya kimarekani hizi zingine sio za Marekani. TV rights na viewership ya michezo mikubwa sio michezo ya Marekani. Euro ni kubwa kuliko Copa America iliofanyika US"
X Link 2024-07-19T09:52Z [----] followers, [--] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/twitter::zeanonymouspoet