#  @lifeofmshaba Think Different Think Different posts on X about mambo, tanzania, kwanza, zanzibar the most. They currently have [-------] followers and [----] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [------] [#](/creator/twitter::253815675/interactions)  - [--] Week [-------] +663% - [--] Month [-------] +35% - [--] Months [---------] +48% - [--] Year [---------] -60% ### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::253815675/posts_active)  - [--] Week [--] -55% - [--] Month [--] +16% - [--] Months [---] +62% - [--] Year [---] -88% ### Followers: [-------] [#](/creator/twitter::253815675/followers)  - [--] Week [-------] +0.01% - [--] Month [-------] +0.03% - [--] Months [-------] +1.10% - [--] Year [-------] +2.30% ### CreatorRank: [-------] [#](/creator/twitter::253815675/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [countries](/list/countries) [travel destinations](/list/travel-destinations) [currencies](/list/currencies) [finance](/list/finance) [social networks](/list/social-networks) [celebrities](/list/celebrities) [technology brands](/list/technology-brands) [automotive brands](/list/automotive-brands) [us election](/list/us-election) [musicians](/list/musicians) **Social topic influence** [mambo](/topic/mambo), [tanzania](/topic/tanzania) #183, [kwanza](/topic/kwanza), [zanzibar](/topic/zanzibar), [kenya](/topic/kenya), [mali](/topic/mali), [bali](/topic/bali), [uganda](/topic/uganda), [ipo](/topic/ipo), [israel](/topic/israel) **Top accounts mentioned or mentioned by** [@oleshangay](/creator/undefined) [@mwabuk2boniface](/creator/undefined) [@suluhusamia](/creator/undefined) [@godblesslema](/creator/undefined) [@hrw](/creator/undefined) [@ananilean](/creator/undefined) [@mariastsehai](/creator/undefined) [@shamaskitchenet](/creator/undefined) [@tundualissu](/creator/undefined) [@mwaurarobert2](/creator/undefined) [@jumaabdukarim](/creator/undefined) [@pmadeleka](/creator/undefined) [@amnestyearo](/creator/undefined) [@ummymwalimu](/creator/undefined) [@hechejohn](/creator/undefined) [@tanpol](/creator/undefined) [@deusdedithsoka](/creator/undefined) [@hermanmlale](/creator/undefined) [@rugemeleza](/creator/undefined) [@gwangwayyohani](/creator/undefined) **Top assets mentioned** [Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [BODA (BODAV2)](/topic/boda) [StarLink (STARL)](/topic/starlink) [Rally (RLY)](/topic/rally) [Alphabet Inc Class A (GOOGL)](/topic/google) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "Violence at Malema hearing shows divide within South Africa's ANC http://t.co/uGR05Pn http://nblo.gs/mlwhE http://nblo.gs/mlwhE" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/108637211485941762) 2011-08-30T20:28Z 436.4K followers, [--] engagements "The EU issued a statement expressing our concern over the human rights situation and the shrinking of civic space in Tanzania at the 45th session of the Human Rights Council . @JosepBorrellF @davidmcallister #ChangeTanzania #DemokrasiaYetu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1355076717526835200) 2021-01-29T08:54Z 436.5K followers, [--] engagements "There are EU development cooperation instruments dedicated explicitly to Democracy and Human Rights and we raise human rights in our dialogue with Tanzanian authorities including of course for development policy. @JosepBorrellF @davidmcallister #ChangeTanzania #DemokrasiaYetu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1355107168249286661) 2021-01-29T10:55Z 436.4K followers, [--] engagements "Were is your mask Amb. Regine Hess with Permanent Secretary of Ministry of Education Hon. Dr. Leonard Akwilapo Deputy PS (Education) Mr. Gerald Mweli jointly launched the program Support for Adult Education System Building in during a workshop at the University of Dar es Salaam. https://t.co/G7FmYhudHU Amb. Regine Hess with Permanent Secretary of Ministry of Education Hon. Dr. Leonard Akwilapo Deputy PS (Education) Mr. Gerald Mweli jointly launched the program Support for Adult Education System Building in during a workshop at the University of Dar es Salaam. https://t.co/G7FmYhudHU" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1356943643517595654) 2021-02-03T12:32Z 448.1K followers, [--] engagements "To date the government and its security agencies have been unable to establish the circumstances that surrounded the brutal assassination attempt of Opposition Presidential Candidate Tundu Lissu. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi https://youtu.be/N8nqNmiGNaU https://youtu.be/N8nqNmiGNaU" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1465992326736752641) 2021-12-01T10:33Z 436.4K followers, [--] engagements "US Presidential candidate Ron Paul on WikiLeaks (defended WikiLeaks as a Messenger ) ''Lying is Not Patriotic'' http://t.co/0nJAT4Qs http://nblo.gs/rxxdq http://nblo.gs/rxxdq" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/147045958516080642) 2011-12-14T20:11Z 436.9K followers, [--] engagements "Mount Kilimanjaro is the tallest mountain on the African continent and the highest free-standing mountain in the world. #MountainsMatter #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1601807986535563264) 2022-12-11T05:15Z 436.5K followers, [--] engagements "Mkopo barabarani" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1613388388958101505) 2023-01-12T04:12Z 452.3K followers, [--] engagements "New York City" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1617763123246813184) 2023-01-24T05:55Z 436.5K followers, 26.5K engagements "Governance has to be guaranteed with transparent systems that deliver outcomes. The strengthening of democratic governance empowers the population to become active partners in the growth process. Narendra Modi (Indias Prime Minister) #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1623566133868609536) 2023-02-09T06:15Z 436.4K followers, [---] engagements "Police brutality is a big problem. January [----] Mtwara region Mussa Hamisi was allegedly beaten to death by police officers and robbed of more than [--] million Tanzanian shillings ($14300 ) @KamalaHarris @VP @USAmbTanzania #KaribuKamala #TellSamia To stop Police Brutality" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1641330718621007876) 2023-03-30T06:45Z 436.9K followers, [---] engagements "On 18/8/2022 Chande Kizenga was captured in his shop in Machinga Complex by people claiming to be police officers in a Land Cruiser with civil number plates. Chande's whereabouts are unknown for more than [--] months now. @KamalaHarris @VP @usembassytz #KaribuKamala #TellSamia" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1641402519468273665) 2023-03-30T11:30Z 436.5K followers, [---] engagements "Maasai communities and individuals have been victims of excessive use of force by law enforcement officials during operations to forcibly uproot them from their ancestral lands this is against the law.#ChangeTanzania #StopMaasaiEviction" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1658724290185904128) 2023-05-17T06:41Z 407.8K followers, 11.1K engagements "The Maasai livestock have been killed by security forces and their properties burned by rangers of the Serengeti National Park and the Ngorongoro Conservation area assisted by anti-riot police. This is injustice. #ChangeTanzania #StopMaasaiEviction" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1659072591770836994) 2023-05-18T05:45Z 414.6K followers, [----] engagements "The Internet is the hope of an integrated world without frontiers a common world without controlling owners a world of opportunities and equality. Laura Chinchilla (Former President of Costa Rica) #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1662704013995851776) 2023-05-28T06:15Z 427.9K followers, [----] engagements "Mwinyi alikiri kwenye kitabu chake kuwaleta Waarabu Ngorongoro ilikuwa ni kosa je na Rais Samia anasubiri kujuta kwenye kitabu hili tulikatae na tupate sheria za kulinda mali zetu @JumaAbdukarim #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1672545207181623297) 2023-06-24T10:00Z 427.7K followers, [--] engagements "Pamoja na swala la bandari kuwa nyeti vyombo vya habari vimekuwa mashabiki wa DPW bila uchambuzi wa uchunguzi wa suala hili wamekwepa kundika ukweli maeneo ambayo DPW imesababisha hasara kama Djibouti kwa nini kuna udhibiti. #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1678396285097844740) 2023-07-10T13:30Z 427K followers, [--] engagements "Government officials have power to shut down the internet by ordering service providers to shut down the internet or block access to website services this method is used to deprive people of their rights in various areas. #MaishaNiMtandao #InternetIsLife #InternetShutDown" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1684096326332452868) 2023-07-26T07:00Z 436.5K followers, [---] engagements "The government is taking action to turn off the internet during the election to bring serious harm to the citizens' participation in the election for their benefit and the ruling party (CCM. #MaishaNiMtandao #InternetIsLife #InternetShutDown" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1684130236995186688) 2023-07-26T09:15Z 436.7K followers, [---] engagements "The internet has created new avenues for political participation and activism. Online petitions social media campaigns and virtual town halls have all made it easier for citizens to engage with their elected representatives. #MaishaNiMtandao #InternetIsLife #InternetShutDown" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1686236641529139200) 2023-08-01T04:45Z 414.5K followers, [---] engagements "Government's first duty and highest obligation is public safety. Arnold Schwarzenegger (Austrian-American actor businessman filmmaker & politician) #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1693507020744241202) 2023-08-21T06:15Z 410.6K followers, [----] engagements "Democracy is when the people keep a government in check. Aung San Suu Kyi (State Counsellor of Myanmar and Minister of Foreign Affairs from [----] to 2021). #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1693869417652785342) 2023-08-22T06:15Z 414.5K followers, [---] engagements "When politics is no longer a mission but a profession politicians become more self-serving than public servants. Emmanuel Macron (President of France) #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1694594186584916061) 2023-08-24T06:15Z 409.6K followers, [----] engagements "Yevgeny Prigozhin aliwai kufa miaka ya nyuma amekufa tena hivi Rusia wanatuchukuliaje" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1695797828088389924) 2023-08-27T13:58Z 414.5K followers, [--] engagements "The Dubai Connection" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1696293551879962969) 2023-08-28T22:47Z 428.1K followers, [--] engagements "Baada ya kula dili halafu mwenzio anakugeuka wakati yeye ndiye alikuletea mchongo Halafu bado kuna watu wana mashaka na maombi ya watanzania Kwa sasa tunaomba na kufunga huyu mama yenu ananyooshwa tumechokaa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1696606297779487228) 2023-08-29T19:30Z 408.1K followers, [----] engagements "We need to create safe learning spaces that empower girls to make decisions about their own lives removing any social and economic barriers standing in the way of their education. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1697908492374364481) 2023-09-02T09:45Z 414.5K followers, [---] engagements "No country in the world should bar women and girls from receiving an education. Education is a universal human right that must be respected. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1698195394520383568) 2023-09-03T04:45Z 436.4K followers, [----] engagements "The best government rests on the people and not on the few on persons and not on property on the free development of public opinion and not on authority. George Bancroft (Former American Democratic politician who was prominent in promoting education) #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1699667581353738555) 2023-09-07T06:15Z 414.6K followers, [---] engagements "Kwa kifupi sana kuhusu alichosema Samia Leo Vijana kumkosoa ni kukosa maadili na taifa linatupotea Mwanasiasa kumpinga ni kuwa juu ya sheria Wanaharakati Twitter Republic hawana adabu wako kama ngombe Lissu ni mjeuri amepewa mikutano amekosa shukurani kwa mama" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1701182709979124217) 2023-09-11T10:35Z 414.5K followers, [---] engagements "Education is everyones basic right. We lack a policy guiding girls to return to school after giving birth It is about time for Tanzania to devise this as we move towards goal [--] of the Sustainable Development Goals. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1701456897419665613) 2023-09-12T04:45Z 414.5K followers, [---] engagements "Pole sana mzee Warioba Tunajua unaitakia nchi mema iwe na #KatibaMpya nzuri Unaambiwa mambo ya Elimu ukachokq kabisa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1701485656189419912) 2023-09-12T06:39Z 414.5K followers, [----] engagements "Mama Mkwe anauma hasa kama ana vihofa vya kutoa Huyu jamaa anaongea kama hana kichwa anasema hakuna mtu wa kutoa CCM madarakani na kufikiria kuitoa CCM madarakani lazima wakushughulikia watawashughulikia watu wote wanaopingana na CCM Huyu ndiye msimamisi wa uchaguzi 2024" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1701583661722685878) 2023-09-12T13:08Z 414.5K followers, [----] engagements "Hii shule hali yake bado ni mbaya Japo ililipotiwa mwaka jana mpaka leo hakuna kitu cha maana kimefanyika na serikali ya CCM Ila sanawaza kuongezeana posho kwa wenza wao nao watafune nchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1701901769045942384) 2023-09-13T10:12Z 409.5K followers, [---] engagements "Lissu ni mwanasiasa asiyeyumba kisiasa alirejea Tanzania mwaka [----] na kuwania urais ambapo alishindwa dhidi ya Marehemu John Magufuli aliyekuwa akiwania muhula wake wa pili kupitia chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1702981935000092755) 2023-09-16T09:45Z 410.1K followers, [---] engagements "Africa Court orders Tanzania to end corporal punishment in jail sentences" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1703054368168165606) 2023-09-16T14:32Z 409.3K followers, [--] engagements "Maasai communities of Loliondo in the Ngorongoro District of Tanzania are facing egregious levels of human rights abuses including harassment violent eviction from and seizure of lands and arrest by the government. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1703283916998619423) 2023-09-17T05:45Z 414.6K followers, [----] engagements "Kutoka KANU JUBILEE KENYA KWANZA kifupi Kenya mpaka imeongozwa na vyama [--] na mashirikisho [--] - CCM uwa anatutisha kwamba watamwaga damu tukiwatoa madarakani Balozi wa Marekani anasema Kenya ina maendeleo na Demokrasia kwa East Africa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1703436351331344422) 2023-09-17T15:50Z 410.3K followers, [--] engagements "Kama ingekuwa China Tunisia Morocco Egypt Leo tusingekuwa na hii story ya Mangu Ingekuwa imeisha kabisa kitambo China taka ukipewa TIP ya kumbebea mtu bag serikali ikujua umeisha Samia ana Mpipa Mangu kama Mjumbe wa Tume ya kamati ya mfumo wa haki jinai Mangu is Dirty" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1703439891760091154) 2023-09-17T16:04Z 411.5K followers, [--] engagements "Ila JK Hivi hawa wazee awazeeki wakatuheshimu walau kidogo 😂 Huyu JK anaweza hata kukaa na minister wa USA kumpiga lecture kuhusu nini Na media inatoa story ya kipwagu kabisa namna hii Kuna minister wa nini hapo Minister wa USA wana supporting department za kufa mtu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1703441907307704545) 2023-09-17T16:12Z 408K followers, [--] engagements "The Maasai people in northern Tanzania have a history of being pushed off ancestral land to make way for so-called protected areas including the famous Serengeti National Park. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1706892707744903579) 2023-09-27T04:45Z 410.4K followers, [----] engagements "Many countries have abandoned restrictions imposed on girls to get education after giving birth. As a society do we stand with the government to continue excluding girls from getting education because of pregnancy #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1707692992696287716) 2023-09-29T09:45Z 427.5K followers, [---] engagements "CCM wamekuwa wakitoa mfano KUSHINDWA kuchunguza aliyepiga Lissu risasi tafuteni kisingizio kingine US police have charged a former gang leader with the [----] murder of rapper Tupac Shakur a breakthrough in a long-running case still gripping the public" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1708082264242843714) 2023-09-30T11:32Z 414.5K followers, [--] engagements "Girls in Africa today are respected and valued far less than boys and are denied the same life chances. Inequality and discrimination remain the norm. This has to change and change now. ACPF executive director Joan Nyanyuki. #ArudiShule #ElimuNilaUbaguzi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1708780168435614191) 2023-10-02T09:45Z 409.3K followers, [---] engagements "How will Hezbollah and Iran respond once Israel enters Gaza It is a matter of time before Israel gets in Gaza Hii vita sio ndogo tena" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1711628484173353222) 2023-10-10T06:23Z 414.5K followers, [----] engagements "US Defense Secretary Lloyd Austin announced the USS Gerald R. Ford Carrier Strike Group is moving toward the coast of Israel as a show of support for one of its closest allies - and overall the biggest recipient of US military aid after an attack by Hamas. Ishakuwa mbaya hii" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1711646292286337323) 2023-10-10T07:34Z 427.4K followers, [----] engagements "Pentagon: - working quickly to provide needed and critical ammunition to Israel with other equipment. - deployed aircraft carrier and fighter jets intended to act as deterrent to Iran Hezbollah &other in the region that might take advantage of the situation and 'think twice'" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1711650267278499931) 2023-10-10T07:49Z 411.4K followers, [---] engagements "US Air Force C-17 Globemaster arrived in Israel with a shipment of ammunition" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1711797829935792625) 2023-10-10T17:36Z 414.5K followers, [----] engagements "Israel imeiambia UN kuondoa raia kaskazini mwa Gaza Imetoa masaa [--] A few minutes ago Israel requested the UN to inform Gaza residents in the North to evacuate to the South" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1712701824514277830) 2023-10-13T05:28Z 414.5K followers, [----] engagements "Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na vya kati wanapaswa kuruhusiwa kujumuika kwenye mijadala mikubwa ya kisiasa kiuchumi na kijamii ili kuibua fikra mpya za vijana. Kudhibiti vijana kushiriki katika mambo ya kijamii ni kudumaza Taifa. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1712740125212348731) 2023-10-13T08:00Z 427.4K followers, [--] engagements "Ulipotoka waraka wa TEC kuhusu kuzuia mkataba wa bandari tulitakiwa wananchi kujiuliza nini cha kufanya kama yasingetekelezeka yaliyomo ni wazi umoja wetu ndio utaleta mambo mema kama #KatibaMpya na kuzuia mkataba huu Furaha #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1712762681780764778) 2023-10-13T09:30Z 427.4K followers, [--] engagements "Conservation policies and laws in the country should be consistent with international and regional agreements and declarations that Tanzania has ratified or signed to protect the rights of citizens including the Maasai. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1713766836100030970) 2023-10-16T04:00Z 414.5K followers, [----] engagements "Hivi kwa sasa tunatofauti gani na North Korea wakizungumza kwenye dinner usiku kwenye yake mkwe anakusanyana na kina mwigulu wanashika askofu mmoja haya sema awe mama wa Taifa Mara chief wa Taifa Samia ajakomboa mtu yeyote ameleta umaskini ameharibu huduma Nyingi ametuuza" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1714144715858120848) 2023-10-17T05:02Z 407.6K followers, [----] engagements "Makonda ndiye alinipendekeza niwe makamu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1716114693545181220) 2023-10-22T15:30Z 407.7K followers, 72.6K engagements "British Prime Minister Rishi Sunak who met with leaders in Israel Saudi Arabia and Egypt Hamas have already proven who they are they must be defeated This is a moment when humanity must defeat the scourge of terrorism and break the cycle of tragedy" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1716116375490412985) 2023-10-22T15:36Z 407.7K followers, [----] engagements "Mimi naangalia anavyoongea na body language Ni mimi naona kuna mental issue hapo" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1716845391168037257) 2023-10-24T15:53Z 407.7K followers, [----] engagements "Tumekosa kabisa mtu wa mipango Kwa nini Zambia inapewa eneo Kwala hapa Pwani badala ya kupewa heka [--] Hapo Tunduma mpakani Why tunataka wafanyabiashara wa Zambia waangaike na logistic ndani ya Tanzania Hakuna watu wa logistic strategy Hudumieni majira Mipakani" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1716886637253439658) 2023-10-24T18:37Z 407.7K followers, [----] engagements "Kwa sasa ni sawa Bara kutafunwa ila sio Zanzibar ONYO Hakuna namna mtaikomboa Zanzibar mkijenga ccm bara sababu ya chuki tu na watu wa bara CCM ni ile ile kwa kadri inavyoimarika bara ndivyo inavyofisha pia Zanzibar Sasa endeleni na huu uvimbe kwenye ubongo Mnamsaidia Samia ni sawa na kuisaidia CCM hizo ahadi amewapatia nendeni nazo msalani yes anaweza leta maendeleo ya vitu Zanzibar kwa upendeleo kama ilo ndio la muhimu sawa mmepata mnaweza furahi ila msilete story za haki mara wizi wote wezi tu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1717405245469311321) 2023-10-26T04:58Z 407.8K followers, [----] engagements "RUSSIA TESTS WEAPON with NUCLEAR STRIKE Russia successfully tested its ability to deliver a massive retaliatory nuclear strike by land sea and air missiles was from a land-based silo a nuclear submarine and from long-range bomber aircraft. Defense Minister Sergei Shoigu called it a rehearsal for "a massive nuclear strike" " [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1717408319562743893) 2023-10-26T05:10Z 408K followers, [----] engagements "Mwanga gani Ntobi kwamba kugusa moto ili kuungua hali unajua moto unachoma kuna mwanga CCM ni matapeli nyie mlitaka confirm nini kuwapa benefit of doubt ni mabaya mangapi ccm wamefanya Mara ngapi walimcheza Maalimu huko Zanzibar Sasa tunatokaje kwenye huu mwanga wa umeme" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1717493839848456405) 2023-10-26T10:50Z 407.8K followers, [----] engagements "Kampeni manager wa Dr Tulia anaanza kulia kwamba kuna TARGETING kampeni 😂😂😂😂 kama ujatuma message kwa wajumbe wa IPU tuwasiliane huyu alijifanya katili Ni wakati kwa kwa yeyote anayejua kundika kiingereza tuwasiliana kupambana na huyu katili AMESHALEMEWA" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1717557194768470289) 2023-10-26T15:02Z 407.8K followers, 36.5K engagements "The crisis of modern democracy is a profound one. Free elections a free press and an independent judiciary mean little when the free market has reduced them to commodities available on sale to the highest bidder. Arundhati Roy #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1717787010390229047) 2023-10-27T06:15Z 407.8K followers, [----] engagements "Yaani Samia amefikia hatua ya kuingiza mjini maaskofu Haya mambo ya ajabu ni muhimu kuwa sensitive sio sawa kudhalilisha kanisa kwa kuwapa mialiko mkijua mnakwenda watukana Fr Kitima hakutengewa haki na Serikali ya Samia" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1717944629243314401) 2023-10-27T16:41Z 408.3K followers, 17.9K engagements "Rais Samia bado amezuia gharama za matibabu ya @TunduALissu ameshikilia kiinua mgongo chake Lakini amenunua magoli ya timu za mpira ni utapeli na kudanganga watu Ameweka Mabango yuko na Lissu anasema mama anaponya nchi Kivipi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718249689399627808) 2023-10-28T12:53Z 407.9K followers, [----] engagements "TEC hatuungi mkono mkataba wa Bandari na DP World Nji ya uchumi lazima zibaki mikononi mwa Watanzania msimamo wetu bado ni ule ule Maboresho yafanyike ila kwa maslahi ya Watanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718250160386355631) 2023-10-28T12:55Z 407.9K followers, [----] engagements "Haya ndio mambo anapenda Rais Samia masifa kama haya Ndio maana hakuna mwizi anashughulikiwa Kuna nchi gani haina wizi Waziri anaongea mambo ya ajabu kama haya sababu mteuzi anataka hizo story #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718318610202972598) 2023-10-28T17:27Z 408.3K followers, 12.8K engagements "@RehemaNM2 Ipo ila ni kama facebook tu Unaweza control kiasi na ukiona inakuwa shida unaizima kabisa anytime" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718319734632919438) 2023-10-28T17:32Z 407.9K followers, [---] engagements "Tufulu ya Mwinyi na Samia sasa imegeukia huku Ndio shida ya kuto deliver ukiwa kwenye ofisi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718338305157115956) 2023-10-28T18:45Z 407.9K followers, [----] engagements "Kuna kisa cha Mbwa wa Rais wa Marekani President Joe Bidens younger dog Commander bit another #US Secret Service agent at the White House Monday evening the media has learned the 11th known biting incident involving the 2-year-old German Shepherd. Huyu Mbwa wa Rais alifundishwa kazi moja tu kushambulia yeyote ambaye ni hatari kwa Rais kwa bahati mbaya akuelewa mafunzo vizuri akaanza kung'ata hata walinzi wa Rais mwenyewe Huyu Mbwa kwa akili yake anafikilia kwamba anaweza mlinda Rais wa Marekani pekee yake Mbaya zaidi Mbwa alianza kung'ata hata watu muhimu kwenye ofisi ya Rais wale hasa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718617510835073305) 2023-10-29T13:15Z 408.1K followers, 13K engagements "Kwani MATAGA iko wapi Nyie chawa tunawatambuaje" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718698378660282679) 2023-10-29T18:36Z 407.9K followers, [---] engagements "Ilikuwa Weekend yenye manyunyu Rai kwa wadau mind training ni kitu muhimu sana shangazi @MariaSTsehai wale individuals hawapoteze mpira toka [----] working with her apotezi mpira Binafsi Magufuli alinijenga nawezi vunjika ila sio kwa wepesi Wanasiasa i am rich with information i am invisible 🫥 my style is Japanise sword 🗡 nagawa mara mbili kutoka kichwani na sina mchezo na mbwa ila mwenye mbwa no negative energy Tuanze tulipoishia adui ni CCM na mafisadi wa nchi hii Bandari yetu haiko salama na tunataka #KatibaMpya ndio mwaarobainj MARIDHIANO ni changamoto ya kupumua If fact Maridhiano =" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718744859115237529) 2023-10-29T21:41Z 408K followers, 55.3K engagements "i come from Tanzania the Kingdom of WOMAN KING Kumbe Mwijaku ameambiwa sisi ni nchi ya kifalme na Mfalme wetu ni Samia 😂😂😂 Tunaishangaza Dunia tuna mfalme mwanamke Kuwa na chawa ni gharama sana wanaweza kukuchafua namna hii" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718925227483152890) 2023-10-30T09:38Z 408K followers, 10K engagements "@PamBelinda Kwa hiyo Pam unashauri bora kuoa wawili hata wewe unaweza bariki kabisa kuwa sehemu ya wawili na dodosa ili walau niwe na facts kwa usahihi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718925990716424333) 2023-10-30T09:41Z 408K followers, [---] engagements "Wananchi wamekuwa wakiumizwa kwenye kila chaguzi watu wameuwawa na mali zao kuharibiwa hii ni kutokana na sheria za sasa kutowajibisha wanaofanya haya mambo wakati wa uchaguzi kutojenga taasisi huru za uchaguzi na ulinzi. #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1718968554123296982) 2023-10-30T12:30Z 408K followers, [----] engagements "Education is the key to unlocking other human rights. Katarina Tomasevski Croatia UN Special Rapporteur #ActiveCitizens" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719236533897625960) 2023-10-31T06:15Z 408.1K followers, [---] engagements "Education is the key to unlocking other human rights. Katarina Tomasevski Croatia UN Special Rapporteur #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719236534413471918) 2023-10-31T06:15Z 408.1K followers, [---] engagements "Jana kulikuwa na kikoa Gran Meria hotel hapo Arusha Makonda na Sabaya wamekutana kikao kilikuwa cha muda mrefu kiasi wakati tunapambana kujenga demokrasia kupitia maridhiano na kadhalika ( kwa tumaini kwamba CCM watakuwa waungwana ) Kikao katili kinajikusanya for CCM PICHA HAIHUSIANI NA TUKIO LA JANA" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719627112993234983) 2023-11-01T08:07Z 408.1K followers, [----] engagements "Haya mchujo umeanza ndani ya CCM UKIENDA sehemu unatakiwa kusema unaenda kufanya nini Hii itasambaa kwa kila mwanasiasa mdogo mdogo Kwa sasa wanakata kwanza magugu yasiyomtaka mama JIWE style" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719698684462379256) 2023-11-01T12:51Z 408.1K followers, [----] engagements "Safi sana Tujipe mwezi kisha tutaita kikao cha thamini" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719719826229227590) 2023-11-01T14:15Z 408.1K followers, 17.4K engagements "Waziri Mkuu tayari amepewa miezi Sita kumaliza migogoro ya Ardhi nchi Hapa bando Mpango kisha mama Abdul tunampinduka kinyama ndicho atafanya He will be strong than all of them sababu amefungua pandora Box ya sukuma gang na boda boda Jipe muda kwa sasa anawanyonya nguvu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719721019739345319) 2023-11-01T14:20Z 408.2K followers, [----] engagements "Wafute madeni wanayotudai na Walipe Fidia Kama wanapeleka vita matrion ya fedha watulipe [--] trilion as investment (DFI) kwa sector za afya ICT Elimu Hospitality na Banking Hatutaki Grant waje wawekeze kwenye private sector" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719731691315413475) 2023-11-01T15:02Z 408.1K followers, [---] engagements "Phase [--] : imeanza kwanza wanaotaka urais nadani ya ccm na makundi yao Phase [--] : Wanaochukua hela ya SSH Kutoka media house NGOs vyama vya siasa na Taasisi binafsi eti kumpigania Phase [--] : Shutdown civil spaces hapa tunaumizwa wote mpaka madalali" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719732401633472544) 2023-11-01T15:05Z 408.1K followers, [----] engagements "Kwa siku miili [--] ilikuwa inaokotwa Mpaka watu wakakimbia ufukwe Tulihoji haya mambo watu wakateteana" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719735318214005133) 2023-11-01T15:17Z 408.1K followers, [----] engagements "Shida ni wanapambana na Wagombea wa [----] Wanataka kuwadhalilisha na kuondoa heshima kwa wote wabaki na form moja Hawa wanaangaika na kuvuruga democracy akimaliza CCM anakuja nje waliochukua hela ya mama kupoza mambo wajipange sana" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719960924847587467) 2023-11-02T06:13Z 408.3K followers, [----] engagements "Vitani kuna mambo mawili uchukue maamuzi au usite ufe Naona kuna watoto wanatumika kurushia mawe wanajeshi wa Israel Sasa tayari kuna vita unarushia jiwe mwanajeshi mwenye silaha Ni kipande kipi cha neno WAR watu hawaelewi Pande zote mbili wanatuchezea akili kupata huruma Kwenye mara ya kwanza linaweza rushwa jiwe ikizoeleka next unarushiwa bomb 💣 unakufa Mwanajeshi yoyote aliyekatika vita maamuzi yake yanaweza changiwa na hofu kujiami au ukatili Ndio maana maeneo yaliyo na machafuko sio salama hakuna urafiki binadamu anageuka target 🎯 ya weapons zote" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1719971608255766923) 2023-11-02T06:56Z 408.3K followers, 27.3K engagements "Via @MwanzoTvPlus Zambia wameondoa posho za Rais Lungu sababu amerudi kwenye siasa Hii sheria imeshelewa sana nchi Kuna watu wanakula ustaafu huko wamebeba vyama vya siasa JK Pinda ni mifano ya chapu Zambia's government has withdrawn retirement benefits and privileges from former President Edgar Lungu following his decision to return to active politics. Mr Lungu lost the presidency to Hakainde Hichilema in [----] after which he announced his retirement" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1720018228821315784) 2023-11-02T10:01Z 408.6K followers, 29.5K engagements "Urgent release/Sambaza habari hii haraka [--]. Tumepokea taarifa sasa hivi kuwa Wakili Mwabukusi Mdude Nyangali na Waandishi wa Habari wamekamatwa na Polisi na kupelekwa ofisi ya RPC jijini Mbeya. [--]. Mwabukusi na wenzake wamekamatwa katika mkutano na Waandishi wa Habari uliokuwa ukifanyika jijini Mbeya kuhabarisha umma juu ya maandalizi ya maandamano makubwa ya wananchi kupinga mkataba wa Bandari (IGA) Kushinikiza Watanzania kuandika Katiba Mpya na Kuitaka Serikali kusitisha ukiukwaji wa haki za Binadamu za jamii za Wamaasai Ngorongoro na Loliondo. [--]. Maandamano yanayoandaliwa na vuguvugu la" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1720363880126324738) 2023-11-03T08:54Z 408.2K followers, 20.9K engagements "Katika eneo la Ndalo nchini KENYA kuna familia nyingi za Maasai ambazo zinapewa msaada wa chakula na vitu muhimu ili kukidhi mahitaji yao. Si sahihi kwa Serikali ya Tanzania kuruhusu hili kwa kusudi. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1720376564251029852) 2023-11-03T09:45Z 408.2K followers, [---] engagements "Hii ni Train ya Gongo La Mboto Pugu MaCCM yameshindwa hata kuwa na safari [--] za [--] kwa siku kila upande au kila saa train moja Yanatumia train moja wakati demand ipo Wanashindwa nini kuwa na Train mbili zilizo busy kwenye hii Route Mpaka watu wafe yanapenda damu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1720453705240117702) 2023-11-03T14:51Z 408.2K followers, [----] engagements "Mama yenu amelemewa hivi mpaka mmeona target pekee kwa sasa ni kujaribu mashabiki wa mpira MaCCM yanapeana hii kuisambaza wametengeneza wao ila haya mavilabu ya Mpira hayawezi kemea huu mchezo wa kijinga Hii imetoka kwa wao wenyewe MaCCM" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1720746111550304487) 2023-11-04T10:13Z 408.3K followers, 37.4K engagements "Diaspora wa UK wataandamana tarehe [--] November [----] zimebaki Siku [--] Kuelekea maandamano ambayo yatafanyikia London Kwenye Ubalozi wa UAE #OkoaBandariZetu #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1720801908418281705) 2023-11-04T13:55Z 408.3K followers, [----] engagements "Katiba bora inatakiwa kuweka usawa mbele ya sheria haki ya kulindwa na kufaidika sawa na sheria. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1721165602843177249) 2023-11-05T14:00Z 408.3K followers, [---] engagements "Miaka [--] iliyopita niliuliza kuna sera au sheria ya kuanzisha social media serikalini Utaratibu wa hizi social media ukoje masharti ya wanaozisimamia wana device za hizo social media yako au mtu ana log tu kwenye device yake anayotaka Na kile wizara inakwenda itakavyo CCM hawawezi hata kuna manage social media kuna siku wataziuza au kubinafsisha kwa mwaarabu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1721242792209326236) 2023-11-05T19:07Z 408.3K followers, [----] engagements "Tunalipa wenza ila walimu wako humu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1721415013351436293) 2023-11-06T06:31Z 408.4K followers, 19.2K engagements "Kuna WITO Mbeya Tarehe [--] November [----] #WenyeNchiWananchi ili kupata Nguvu ya Umma itakayotusaidia kuokoa Taifa letu kutokana na mazingira magumu tuliyofikishwa kisiasa na kiuchumi. Taifa halina mfumo bora kulinda maliasili zetu #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1721512897841422605) 2023-11-06T13:00Z 408.4K followers, [---] engagements "Kwa hii sebure Ramani Yake ikoje kuna maswali mengi sana najiuliza Waziri wa Fedha ameshindwa kupanga sebure sio lazima afuatishe hayo madirisha napata wasiwasi sana huyu jamaa kama wezi panga sebule with logic anapangaje Uchumi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1721599914541486314) 2023-11-06T18:46Z 408.4K followers, [----] engagements "Haki ya faragha ni muhimu ikalindwa na katiba ambayo inajumuisha haki ya kutopekuliwa au nyumba mali au mali zake kuchukuliwa au faragha ya mawasiliano ya wananchi kuingiliwa bila amri ya mahakama. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1721875260000158077) 2023-11-07T13:00Z 408.4K followers, [---] engagements "Halafu mtu asema mahakama ni safi zina usafi gari kama mambo ni namna hii" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1722196080170086650) 2023-11-08T10:15Z 408.5K followers, [----] engagements "Tanzania kama nchi ya kidemokrasia tuna haki ya kufanya maandamano kupinga mambo tusiyo yataka tunawezaje kukomesha tabia ya mamlaka kuvunja katiba kwa kutumia jeshi la polisi pale wananchi wanapoitisha migomo na maandamano #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1722615140363948262) 2023-11-09T14:00Z 408.6K followers, [---] engagements "Dunia ina mambo mengi lakini UFC BOXING KICK BOXING Iko kwenye kundi la michezo sio violence Lakini Kwa Afrika African thieve wako kwenye category ya wanasiasa FAKE hope ni pastors wanafanya haya waziwazi Ni aje haya yanawezekana kwenye dunia" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1723292110651273410) 2023-11-11T10:50Z 408.6K followers, [----] engagements "JK is very visible kwani hatuna balozi hapo FINLAND JK ana uzito gani sasa naye ni mstaafu tu Tuambieni cheo cha sasa cha JK serikalini" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1723399938233815097) 2023-11-11T17:58Z 408.8K followers, 90.5K engagements "@MariaSTsehai @tarimo_reginald Kwanza kuna video hapo imejieleza vizuri tu analeta kelele ambazo haziko kwenye content yenyewe ni kama anatafuta pa kusema jambo lake" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1723427773270966737) 2023-11-11T19:49Z 408.7K followers, [---] engagements "The Maasai livestock have been killed by security forces and their properties burned by rangers of the Serengeti National Park and the Ngorongoro Conservation area assisted by anti-riot police. This is injustice. #ChangeTanzania #StopMaasaiEviction" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1724355273911853335) 2023-11-14T09:15Z 409.6K followers, [---] engagements "Moja ya Mahubiri ya Moto sana Haya mahubiri yalipigwa Jiwe akiwa hai na alichukizwa sana Kuna sehemu nchi inaelekea na kuna siku itafika wote tutaongea lugha moja ya ukombozi kwa Taifa letu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1724446991579590700) 2023-11-14T15:19Z 409.2K followers, 25.2K engagements "Waziri unapigiwa simu na Makonda anakupiga Mikwara na kukudhalilisha unakubari kufanyiwa hivyo Huyo ni boya wenu tu kutokana na kupewa vyeo bila sifa ni kama vile nchi haina waziri waziri mwenye akili timamu unapelekwa vipi mpelampela na mwenezi wa chama" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1724830403205214715) 2023-11-15T16:43Z 414.6K followers, 17.6K engagements "Baba mwenye upendo MANYAMA 😂😂😂😂 Bora mmeuita Manyama maana kweli tunajua ana manyama 🙌🙌🙌 Hii inakamilisha ile story ya kumsifia mfalme aliye uchi yaani katika majina yote mmeona mtoe Manyama na mnajua linashida 😂 hii CODE ni kabambe" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1724831966208422321) 2023-11-15T16:49Z 408.8K followers, [---] engagements "Nape anasema ni bora anazungumziwa amekutwa ana follow maaccount ya ngono anazozuia maana hiyo inamfanya ajisikie Hai Kwamba asipozungumziwa anashangaa kama amekufa Kumbe ndio maana serikali ni kama ime disconnect yaani majibu ya tuhuma ya kipumbavu kama ile 😂😂😂" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1724904859122700757) 2023-11-15T21:39Z 427.4K followers, [--] engagements "Missed opportunity On Tourism industry Tanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1725035509129314561) 2023-11-16T06:18Z 409K followers, [----] engagements "Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika Damu ya mtu ni nzito bana" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1725090050516357307) 2023-11-16T09:54Z 408.9K followers, 72.4K engagements "Je mifumo yetu kukosa haki inaweza kuwa imechangia Wanasiasa kudumaza uchumi ili kuwarubuni Watanzania kwamba usipotafuta Ugali ukaanza kudai haki na mifumo bora familia yako itateseka Je wanaotafuta ugali hawateseki #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1725114040601444467) 2023-11-16T11:30Z 427.4K followers, [--] engagements "Elimu imekuwa ikisemwa kwamba ni eneo ambalo CCM wamelivuruga ili kuua weledi wakiwa na malengo kwamba wananchi wasiamke na kuwajibisha serikali na kuanzisha misemo kama Tafuta ugali wa familia hii propaganda tunaishinda vipi #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1725121649706508739) 2023-11-16T12:00Z 408.9K followers, [---] engagements "Mambo mema ya nchi hayatashushwa kutoka mbinguni bali ni kwa kupiginania #KatibaMpya ambayo itawezesha nchi kupata mambo mema kwa kuwepo kwa mifumo bora @shamaskitchenet #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1725355593735528535) 2023-11-17T03:30Z 408.9K followers, [---] engagements "Tanzania confirmed the Convention on The Rights of the Child (CRC) emphasizes that all children have the right to education on an equal basis and the government is responsible for releasing this obligation. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726099269759725632) 2023-11-19T04:45Z 414.5K followers, [---] engagements "President George Weah's defeated Speech: ADDRESS TO THE NATION BY HIS EXCELLENCY DR. GEORGE MANNEH WEAH PRESIDENT OF THE REPUBLIC OF LIBERIA CONCERNING THE RESULTS OF THE RUN-OFF PRESIDENTIAL ELECTIONS HELD ON NOVEMBER [--] [----] MONROVIA LIBERIA NOVEMBER [--] [----] MY FELLOW LIBERIANS DISTINGUISHED LADIES AND GENTLEMEN: I stand before you tonight with a grateful heart but with the utmost respect for the democratic process that has defined our nation. As your President and the leader of the Coalition for Democratic Change I want to address you on the outcome of the run-off elections held on" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726106394737225877) 2023-11-19T05:13Z 409.3K followers, 22.2K engagements "Hii nayo inakera mtu 😂😂😂 nadhani milembe ina wagonjwa wengi mtaani" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726116527324205136) 2023-11-19T05:53Z 409.1K followers, [----] engagements "Tusitegemee mabadiliko kwenye serikali isiyo na uwazi maadiliko ya kweli hutegemea sana ushiriki wa wananchi katika mambo yote ya serikali tupate #KatibaMpya itayoweesha suala hili @Oleshangay #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726140788717871271) 2023-11-19T07:30Z 409.1K followers, [---] engagements "Ibada iliyo njema ni kuleta mambo mazuri katika Taifa kama #KatibaMpya msingi wa haki ndio msingi wa dini zetu @Twaha_Mwaipaya #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726170999584915883) 2023-11-19T09:30Z 409.1K followers, [---] engagements "Mkwe mambo magumu kuna waka moto" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726255600424620348) 2023-11-19T15:06Z 409.1K followers, [----] engagements "Kwenye nchi za kidemokrasia Spika na Jaji Mkuu awatakiwa kuwa na mazungumzo ya aina hii Hii sio podium wala Audience ya kispika Suala ili likienda Bungeni atasimama wapi Sio wajibu wa spiak kufafanua masuala haya hata kama ni mwanasheria" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726289390442574049) 2023-11-19T17:20Z 409.1K followers, [----] engagements "Tanzania should take measures to protect Maasai communities against reported acts of excessive use of force. #ChangeTanzania #StopMaasaiEviction" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726454084025127414) 2023-11-20T04:15Z 409.2K followers, [---] engagements "The CEDAW Committee has urged the Government of Tanzania to retain girls in school and strengthen the implementation of re-entry policies so that girls return to school after delivery of their children. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726461659626037603) 2023-11-20T04:45Z 409.2K followers, [---] engagements "KUPATA MIMBA TANZANIA MATESO NI MENGI @ummymwalimu mbona mna sera za kizamani na zinazoleta shida isiyo na ulazima Kwa watu wakipeana mimba lazima wawe na mahusiano mazuri au wawe wanaishi pamoja mnaleta changamoto zisizo na maana Mtu anaweza pata mimba na asijue baba ni nani kuna shida Acheni Kutesa wanawake wenzenu Masuala ya mimba angalieani afya magonjwa na kadharika ili kutoa ushauri mtu amepewa mimba akikimbiwa akifika hospital anaulizwa baba yuko wapi au alibakwa maybe Kwa nini mnachanganya mimba na msauala ya dini au aina furani ya maadili Kuna wadada wanaweza amua tu kuzaa na mtu ila" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726492328062337107) 2023-11-20T06:47Z 408.3K followers, [----] engagements "Maslahi bora ya mtoto ni ya umuhimu mkubwa katika kila jambo linalomhusu mtoto. #KatibaMpya iweke mifumo bora kulinda watoto . #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726510805821039048) 2023-11-20T08:00Z 409.1K followers, [---] engagements "Kuna mgomo wa Madereva huko Congo DRC madai waliyonayo ni kuhusu maslahi yao wametoa hoja zao na zimewakilishwa serikalini lakini serikali imewapuuza Hii ina maana gani kwa madereva na wananchi wengine #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726549718338011178) 2023-11-20T10:35Z 409.1K followers, [---] engagements "Mbunge : Dereva wa GSM ya Congo analipowa Milioni [--] lakini GSM Tanzania analipwa laki [--] mpaka millioni [--] na wote mnafanyakazi kazi hiyo hiyo moja Mtanzania analipwa kidogo #MariaSpaces #KatibaMpya LIVE YT X" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726662462949241252) 2023-11-20T18:03Z 409.2K followers, [----] engagements "Tunatakiwa kuweka orodha ya wasaliti huyu bado kijana tutakuwa naye tu hapo mbeleni Mtu anaongeaje kijinga hivi Sababu amemewa ubunge na Polepole au anadhani mchakato haujulikani Mchakato wote unajulikana" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726718932940366061) 2023-11-20T21:47Z 409.2K followers, [----] engagements "Katiba bora inabainisha utaratibu wa kurekebisha katiba kwa kuweka mfumo ambao wananchi watatoa maoni juu ya mapendekezo ya marekebisho pamoja na kuhakikisha ni wananchi wanapata nafasi ya kupitia kura ya maamuzi (referendum). #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1726873140637176248) 2023-11-21T08:00Z 409.2K followers, [---] engagements "Uchaguzi huru na haki utegemeana na TUME HURU YA UCHAGUZI Tanzania haina tume huru ya uchaguzi itokanayo na kuridhika kwa pande zote zinazoshiriki uchaguzi yaani vyama vya siasa na wananchi kama wadau #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1727190230619296105) 2023-11-22T05:00Z 409.2K followers, [---] engagements "Tunashituliwa Afrika Siasa ni Biashara Wafanyabiashara ni wanasiasa kwa ujumla ni kwamba Afrika inaibiwa 70% ya mtaji wake au fedha zimefichwa Ulaya Asia na nje ya bara Serikali za sasa zinafanya kile walichofanya wakoloni Kuiba mali za Afrika na kupeleka NJE YA BARA" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1727261848997957673) 2023-11-22T09:44Z 409.3K followers, 38.2K engagements "Atakayetusaidia kupata #KatibaMpya si serikali bali ni wananchi wenyewe kufanya maamuzi na kuchagua wawakilishi ambao wataandika katiba bora @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1727288365274341653) 2023-11-22T11:30Z 409.2K followers, [---] engagements "Hapo lazima mtu amechukua pesa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1727538646310400158) 2023-11-23T04:04Z 409.3K followers, [----] engagements "High schooo kweli" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1727630607805538670) 2023-11-23T10:10Z 409.3K followers, 10.9K engagements "Tanzania lacks a positive policy guideline to allow pregnant girls to continue with their education. Without a lucrative guideline pregnant girls and adolescent mothers continue to face social barriers in continuing education. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1727911222970851755) 2023-11-24T04:45Z 409.5K followers, [----] engagements "Kwa nini kuna Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mpaka leo cha kwanza kukataa ni hiyo SMZ maana ni msingi wa uvamizi Na suala la mapinduzi linatakiwa kupingwa lote kama ilivyo Tanganyika ni nani kwa sasa hivi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728149399291699507) 2023-11-24T20:31Z 409.4K followers, [----] engagements "Katiba ni muongozo wa Taifa linavyojiendesha na kujiamulia mambo yake. Bahati mbaya Tanzania Rais ameshikiria mamalaka ya lini anaweza fanya mabadiliko ya katiba kwa anavyoona au penda #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728262303106154725) 2023-11-25T04:00Z 409.4K followers, [----] engagements "Katiba ni muafaka wa makubaliano katika ya wananchi wa wawakilishi wao bila kuondoa nguvu ya wananchi kwenye mifumo ya maamuzi Tanzania tuna katiba ambayo wawakilishi wanaweza kingwa kuwajibishwa . #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728277436863775124) 2023-11-25T05:00Z 409.4K followers, [---] engagements "Wananchi wanajua mambo yote ya hovyo yanayofanywa na serikali lakini hawajaamua kuchukua hatua wananchi tunahitajika kuiwajibisha serikali na kupigania #KatibaMpya yenye uwajibishaji @HecheJohn #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728284922798878785) 2023-11-25T05:30Z 409.4K followers, [---] engagements "Waziri atuhumiwa kumfanyia unyama kijana huko Babati alikuwa mafanyakazi wake ni unyama mtupu kwenye hizi tuhuma tunategemea mamlaka kuchukua hatua za uchunguzi haraka iwekanavyo na kutoa taarifa kwa umma" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728300018526797893) 2023-11-25T06:30Z 409.4K followers, [----] engagements "Serikali imekuwa ikinyonga haki za Maasai na hawataki watu waone hayo serikali ya kibabe hukomeshwa na uwepo wa #KatibaMpya bora ambayo itazingatia maslahi ya wananchi @Oleshangay #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728315126699196650) 2023-11-25T07:30Z 409.4K followers, [---] engagements "Baba Mzazi wa huyu kijana amekwenda @tanpol wamefukuzwa wameambiwa watatafutwa wakiitajika Yaani Nchi hii kumuingizia chupa mtu matakoni ukienda polisi unaambiwa katembee tembee tutakuita The audacity Ndio maana kuna matendo mabaya hivi Hongera kwa DAGI TV kufuatilia" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728366104538501166) 2023-11-25T10:52Z 409.5K followers, 54.2K engagements "Bunge huwakilisha wananchi kwa kutoa jukwaa la kitaifa kwa ajili ya kuzingatia masuala ya umma kwa kupitisha sheria na kwa kuchunguza na kusimamia hatua za utendaji wa serikali. Bila KATIBA BORA Bunge letu litaendelea kuwa kibebeo cha serikali kupitisha mambo yake #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728383141159575788) 2023-11-25T12:00Z 409.4K followers, [---] engagements "Haya ndio mambo sasa ila msiwe mnachelewe sana mchuzi wa mbwa uliwa wa moto Walau kidogo hapa mmejitahidi Next time iwe siku hiyo hiyo" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728454618353373395) 2023-11-25T16:44Z 409.5K followers, 10.8K engagements "Ukichukua picha za utupu za mtu au video ukaweka kwenye blog yako pay per view unatakiwa kumlipa uliyeweka video zake tusiwaibie watu fedha zao tuwalipe kama tumeamua kutumia video au picha zao uwezi profit bila kumlipa mtu ni maadili au sio maadili hiyo ni issue tofauti" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728500533852311639) 2023-11-25T19:46Z 409.5K followers, [----] engagements "Bunge la CCM watupu kila mtu amelichoka limekuwa la ajabu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728502402649886765) 2023-11-25T19:54Z 409.5K followers, 28.1K engagements "Huyu Emma yeye anadhani anaweza tumika kutisha wananchi kwa sababu aombi KURA Polisi BABATI kuna udhaifu mkubwa sana au wanakula rushwa za Pauline haiwezekana huyu kijana akawa anatishia kukata vichwa watu kiasa Dada yake ni Naibu waziri Huu uhuni lazima ukome" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728502875263754700) 2023-11-25T19:56Z 435.9K followers, [--] engagements "Emma mdogo wa Pauli Gekul akitishia watu wanaotoa taarifa kuhusu ukatili wa dada yake" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728503301291806951) 2023-11-25T19:57Z 409.6K followers, [----] engagements "Watanzania kama tunataka kitu ambacho hatujawahi kuwa nacho ni lazima tufanye mambo ambayo hatujawahi kufanya tukitaka #KatibaMpya bora ni lazima tuchukue hatua za ziada @CatherineRuge #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728617096626483366) 2023-11-26T03:30Z 409.5K followers, [---] engagements "It is the duty of every citizen according to his best capacities to give validity to his convictions in political affairs. Albert Einstein #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728658614808637712) 2023-11-26T06:15Z 409.7K followers, [----] engagements "Polisi Manyara imeoza kuanzia kwa RPC mwenyewe Polisi inatumika kuumiza watu Sio tu Pauline Gekul alikuwa akitumia polisi kuweka watu ndani kwa call moja tu unakaa miezi au siku RPC Manyara ameoza hafai kusimamia Polisi popote anapenda sana vipande vya fedha Ovyo kabisa Watu wenye fedha Babati na Manyala kutishia wananchi vifo na kuwaweka ndani ni suala la kawaida sana Kama huna pesa muda wowote tajiri anaweza kukuumiza kisha kukuweka jela watu wanapelekwa rumande wakiwa wameumizwa kwa kipigo au mateso Ukifungua biashara sana na mkubwa polisi wanatumika kukushughulikia Wabunge na wanasiasa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728665084791021693) 2023-11-26T06:40Z 409.5K followers, [----] engagements "Tumeshindwa kuzalisha haya mavijiti tuna import Tunaongozwa na watu wamechoka sana kuna bidhaa zilitakiwa kuwa local tuna import mchele na kuna wakati samaki 😂 na ngano" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728672180051792206) 2023-11-26T07:08Z 409.5K followers, [----] engagements "Ukiwasikiza MATAGA hapa mtandao uwa wanasema ukamatwa na kulawitiwa magereza au kituo cha polisi Aliyofanya Pauline Gekul ni hayo hayo wanasema MATAGA kila sio dhahabu kuwa ya chama tawala ni hiyo Kuna wakati walitishia waziwazi wanasiasa hata Musiba alikuwa akisema Chama kimejaa magaidi na wamewajaza wahuni hawa kwenye vyombo vya dola kufanya udhalilishaji ndio maana Polisi waliona issue ya Gekul ni ya kawaida sana awakuangaika naye hakuna hata kumhoji na alikuwa hapo jimboni muda wote Mapolisi wanajua hii ni adhabu inayokubarika" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728684336570830952) 2023-11-26T07:57Z 409.6K followers, [----] engagements "Mwamposa Anafunga barabara kama nani Kuna malalamiko kutoka kwa wananchi kwamba @PolisiTz wanafunga barabara kwa sababu ya Mwamposa hivyo kusababisha msongamano mkubwa wa magari Hizi ni barabara za umma kama mtu anabiashara yake anawahi na muhimu anunue Chopa sio kuleta usumbufu kwa wananchi Huu mchezo wa kutoa kipaumbele kwa wenye fedha sio sawa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728741368963490212) 2023-11-26T11:43Z 409.6K followers, 39.8K engagements "@CRDBBankPlc hii taarifa muhimu Ila jifunzeni kufunga taarifa vizuri basi mwisho unajimwambafai kama bank yenye standard nyie mnalilia Mambo kama haya ni opportunity ya marketing Changamoto kama hizi zipo tu ila exposure ya kudili nazo ni muhimu sana aliyeandika hii ame miss opportunity big time Mentality iliyotumika imepitwa sana na wakati kwenye mazingira ya digital platform" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728805774606889108) 2023-11-26T15:59Z 409.6K followers, [---] engagements "Haya mambo yote aliyofanya na polisi wamo wametumika sana na huyu mama tunataka #KatibaMpya kuziba haya magap Lakini kulinda taasisi zisitumike na wahuni" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728810299543945245) 2023-11-26T16:17Z 409.6K followers, [----] engagements "Walio share video za huyu Dada online Futeni haiku sawa kila mtu anafanya haya mambo in private yanapoibwa na kutumika kibiashara sio sawa There must be rules Ukifuatilia History ya Giggy uwezi post video yake au pic haya mambo yana limit kila mtu anataka privacy" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728819862108303808) 2023-11-26T16:55Z 409.6K followers, [----] engagements "CCM kila kitu kimewashinda Channel Ten kama media ya CCM inaandika Zanzibar imekusabya trilion [---] Hayo ni mapato ya Jumla ya nchi mbili tatu za Africa zile tajiri kabisa au mapato ya Tanzania kwa [--] years" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728843357454258427) 2023-11-26T18:29Z 409.6K followers, [----] engagements "@GileadTeri TIC ingekuwa na channel ya kupokea maoni ya wadau au hub lakini iwe ICT base kupokea maoni ya wadau kwenye msuala mbalimbali au changamoto ikiwezekana iwe na platform ki sector kama kuna mambo mnashughulikia watu wayaone mnayotaka maoni watu watoe maoni yao sio rahisi sana watu kuja ofisi na kutoa maelezo ya kutosha ila kuandika kama platform inawezekana sana na iwe yeney udhibiti kiasi kupokea maoni yeney weledi na inaweza kuwa reference ya wawekezaji wapi sio muda wote TIC iwe inadili na kila mtu toka mwanzo wakati imeshatatua tatizo kama ili kwa mtu mwingine TEHAMA inaweza" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728852148639674619) 2023-11-26T19:04Z 409.6K followers, [--] engagements "Hii imefutwa Jamaa alitaka kutetea class Mate kumbe Gekul ni class mate wa Mwijaku kuna mambo naanza kuelewa USDM imeharibu sana nchi hii basi tu ngoja tunyamaze" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1728855620114317617) 2023-11-26T19:17Z 409.6K followers, 13.2K engagements "KAULI ZA GEORGE HUKO MANYARA NI AIBU KWA POLISI Hakukamatwa na Polisi hatuna uwezo wa kumkamata mheshimiwa au mtu tajiri ila alitumiwa wito kwa ajili ya mahojiano na alifika." - ACP George Kumbe Manji alikuwa masikini tu akapimwa mpaka mkojo George anachosema Polisi inaogopa GEKUL sababu ana pesa maana ametoa hii kauli leo wakati ameshavuliwa uwaziri Jeshi la Polisi Manyara bado liko mfukoni mwa Gekul hii ni hatari sana kwa waanga Ukiona polisi wanazungumza hivi jua wana amri ya kutofanya chochote kwa Pauline huyu jamaa anaongea kwa niaba ya serikali ndio maana RC wa Manyara ajasogea kwenye" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729045026137690451) 2023-11-27T07:50Z 409.6K followers, [----] engagements "George ametoboa siri Mapolisi awakamati matajiri kitu ambacho anamalizia tu ni kwamba matajiri wa CCM hawakamatwi na polisi wanafanya ujinga watakao hata kuingizia mtu chupa matakoni wanapelekewa wito tu yaani hata wakikushikia bastora watapewa wito mtu akilawiti anapewa wito" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729051997389885594) 2023-11-27T08:18Z 409.7K followers, [----] engagements "Paulina aliwezaje kuwa Mbunge na Waziri Mbona hakuna kitu kichwani waliomshauri ku leak hivi VIDEO ana confirm tuhuma zote alizopewa na kijana kwanza kijana suruali iko chini japo wamejaribu kuikata hivyo viteo kwa chini Waziri anahoji mtu kwa mambo ya kishirikina si angemkatalia kazi tu Kulikuwa na ulazima gani yeye kuanza haya mahojiano kisha baadaye kumpeleka polisi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729054562764366270) 2023-11-27T08:28Z 409.7K followers, [----] engagements "@MariaSTsehai Ndio kwanza anaiongeza moto aangalie mavideo ya vijana ya utupu aliyokuwa anachukua Cyber crime iko kwa simu Simu kibao za watu wamechukua kwa tuhuma za kawaida kabisa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729137871079256454) 2023-11-27T13:59Z 409.7K followers, [---] engagements "Roho mbaya kina kona Hii ndio Tanzania na Watanzania tuko hivyo kuharibu vitu na roho mbaya" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729376159379390750) 2023-11-28T05:46Z 409.8K followers, [----] engagements "Jana niliwaaambia Maccm yanashambulia Chongolo ni maagizo ya mwenyekiti wao ndio ana mchezo wa kupaka watu matope kabla ya kuwatoa Alianza na Magufuli akamchafua kwa kutumia media Akaja na wale mawaziri akawatoa kwa maneno wanataka uraisi Ndugai naye akamsema mineno ya ovyo Chongolo goes same way hasa baada ya kutofautiana na Bashite Bashite yeye anataka fweza tu apige kupitia ziara sasa wanamchafua Watuma mapicha ya utupu na kusema ni yake mmemsikia Nape anaongea chochote Ni kazi ya mwenyekiti amepata chungu kipya Leo wanatuletea mpaka ajali walizoficha kwenye daraja la Tanzanite sio wahuni" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729382916222751229) 2023-11-28T06:13Z 409.8K followers, 12.8K engagements "Kuna ile story ya B [---] lakini habari za zana za kivita ni kwamba B - [--] ni game changer -- Ina software zinaji update na ina AI na cloud technology with Neclear weapons The U.S Air Force's top-secret B-21 Raider stealth bomber completes its first flight equipped with advanced AI capabilities The B-21 a sixth-generation stealth aircraft possesses the range and stealth needed to counter China's mobile missiles and engage in nuclear deterrence. As the B-21's AI capabilities give the U.S. a significant advantage in long-range airpower and electronic warfare. Vita imechukua shape mpya kabisa ni" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729416598669136137) 2023-11-28T08:27Z 410.2K followers, [----] engagements "Tumsaidie kijana wetu wa Babati apete matibabu na haki zake Anayakiwa kupitia matibabu muhimu kimwilo na kiakili Tume chochote unachoweza na omba wengine kufanya hivyo pia #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729442614326272478) 2023-11-28T10:10Z 409.9K followers, [---] engagements "KATIBA; Katiba zote tangu [----] hazijawahi kutokana na wananchi. Wananchi hawakushirikishwa katika kuzitunga katiba hizo wakati wa ukoloni na baada ya wakoloni kuondoka. #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729470280278405256) 2023-11-28T12:00Z 409.9K followers, [----] engagements "Huyu naye ni Rais wa nchi na anamipango kuifikisha nchi yake uchumi wa kupaaaa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729573778298912903) 2023-11-28T18:51Z 410K followers, [----] engagements "DEMOKRASIA NA HAKI 1; Tunahiaji katiba mpya kwa sababu mambo ya demokrasia na haki za binadamu ni mambo ambayo yana umuhimu sana katika kuleta maendeleo kwa Taifa lolote lile .#KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729711839670407465) 2023-11-29T04:00Z 410K followers, [---] engagements "NCHI IMEJAA HATARI HII @TCRA_Tz @wizarahmth @TanganyikaLaw @Mwabuk2Boniface @Oleshangay @MariaSTsehai Inawezekana vipi tuna nchi yenye sheria sahihi lakini namba ya simu inapokaa miezi [--]. Uwe unaumwa umesafiri kibiashara umefirika una simu ya mkononi kwa wakati huo au huko maeneo hakuna Network kwa muda huo Laini yako ya simu anauziwa mtu mwingine Nimejaribu kufanya tafakari sana kwa nini @Tigo_TZZ @VodacomTanzania @airtel_tanzania @Haloteltz wamepwa mamlama haya makubwa hivi Kwa bank usipotumia account inafungwa lakini file zinabaki kuwa lako unaweza charge fedha kurudisha hiyo account baada" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729737266971427230) 2023-11-29T05:41Z 410K followers, 23.5K engagements "Swali kwa @mwigulunchemba1 na @BankOfTanzania Bank zote zinataka OTP kwa namba ya simu baadhi zinatumia App ( ni suala zuri) Lakini mnashinikiza VIP OTP iwe lazima kwa simu sio email wakati simu mnazifuta Na hii kwa kwa mambo mengi ya mifumo mnataka namba ya simu lakini zina changamoto nyingi mkisoma kwa comment hapo chini Kwa nini option ya email isianze kuheshimika Baadhi ya Bank zinasema shida ni sheria za BoT" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729884527823384704) 2023-11-29T15:26Z 410.1K followers, [----] engagements "Zanzibar watu wamekasirika" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1729902432367288497) 2023-11-29T16:37Z 410.1K followers, [----] engagements "Maisha ya Maasai Mapya huko Msomera mkoani Tanga hayaendani na ulinzi wa mazingira walikwisha zoea. Maasai watakuwa huru ikiwa tu wataridishwa katika ardhi zao. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730077962282627122) 2023-11-30T04:15Z 410.1K followers, [----] engagements "Mbona unapiga hattrick kwenye mchezo wa kirafiki Richard Quest is openly gay. Not sure a local gay presenter will be treated the same in #Zanzibar Plenty for Maadili Republic to ponder Richard Quest is openly gay. Not sure a local gay presenter will be treated the same in #Zanzibar Plenty for Maadili Republic to ponder" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730115580722561146) 2023-11-30T06:44Z 435.9K followers, [----] engagements "UKORA NI MWINGI NCHI HII Kulipia LUKU kuna charge ya kufanya hivyo kwenye digital Economy @tanescoyetutz @VodacomTanzania Huu ni wizi wa mchana kweupe Kwani kununua umeme wa [-----] na umeme wa [-----] ni cost gani inaongezeka kwa VODA kuprocess hiyo transaction Mfumo ni ule ule na utaratibu ni kwamba pesa inatoka kwa mteja sio mkopo kwa nini charge zinakuwa tofauti A23T6ewiHYA9 Confirmed. Tsh200000.00 sent to LUKU for account [----] on 29/11/23 at (edited) PM Total fee Tsh4000.00 (M-Pesa fee Tsh4000.00 + Government Levy Tsh0.00). Why Huu ni wizi wa mchana kweupe sh [----] kama fee kweli kulipa umeme" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730119753304293684) 2023-11-30T07:01Z 410.1K followers, 30.3K engagements "Ukiwa Mkoa wa CHALAMILA ukavaa nguo fupi polisi wake watakupiga bunduki Ukikutwa bar na nguo fupi utapigwa bunduki Lakini ASASI za kiraia wanawake na haki za binadamu haya wanaona ni sawa tu sio mambo ya kuw ana concern Hivi tumefika hatua nguo fupi ni kosa la kupiga mtu RISASI mbona Gekul yuko mtaani ana anapiga vijana chupa za makario Kama issue ni kwamba mnataka damu semeni ili msisingizie wadada wanajiuza muwamwage DAMU Kwa mtu kama ameuzia mtu mwili wake linakuwaje tatizo la kijamii mpaka kupigana risasi tuseme ukweli tu tusikwepe tatizo la maadili mabovu yanayotokana na elimu mbovu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730160736410726789) 2023-11-30T09:43Z 410.1K followers, [----] engagements "@Mwabuk2Boniface : Nchi yetu imekuwa na mambo ya ajabu sana kila mtu anaitafuna akiwa jikoni kama hatuna kesho #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi YT X Telegram Channel" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730299403699695707) 2023-11-30T18:54Z 410.2K followers, [--] engagements "Mpango nadhani kuna shida kubwa wanatuficha wangeshamtoa mbona wakati wa Covid walimtoa na ma drip 💧 akiwa na nguo za wodini Huyu Mpango aliyezungumza na media akiwa very sick anawezaje uchuna sasa kuna shida kubwa mno" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730483002482786563) 2023-12-01T07:04Z 410.2K followers, 27.1K engagements "@tzrailways kwa nini hiki kichwa kina honi sawa na boda boda Mnataka kuganga watu kisha msema wamegonga train Kama inatembea kweli 160km wekeni honi ya boom 💥 kubwa ili watu wasikie Hata honi tu mnashindwa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730484863344488577) 2023-12-01T07:11Z 410.2K followers, [---] engagements "Familia ya Marehemu wanaweza shitaki Board Room kwa fidia maana hawakuchukua hatua zozote kwa huyo askari wanasema wanajua alikuwa anakwenda hapo na kutishia watu Waajiri wana wajibu kwa wafanyakazi kuwa salama wamekiri uzembe na kusababisha kifo" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730644652749992003) 2023-12-01T17:46Z 410.3K followers, 10.4K engagements "Majadiliano kwenye bunge maalumu wametia kifungu wanasema baada ya kupitishwa katiba pendekezwa katika kipindi cha mpito Zanzibar lazima ibadili katiba yake ili iweze kuuwiana na katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka [----]. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730829213605745025) 2023-12-02T06:00Z 410.3K followers, [---] engagements "Human rights and rule of law are inseparably connected. Aung San Suu Kyi (Burmese politician diplomat author and a [----] Nobel Peace Prize laureate) #ChangeTanzania" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730832940030964223) 2023-12-02T06:15Z 410.3K followers, [---] engagements "Kunatakiwa kuwa na uwazi mkubwa juu ya matumizi ya rasilimali zetu uwajibikaji huo ni matokeo ya kuwa na katiba bora tutafute #KatibaMpya ili kufurahia haki hizi @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730836723104415998) 2023-12-02T06:30Z 410.2K followers, [---] engagements "Wakati ule wa kupendekeza serikali tatu moja ya sababu ilikuwa ni kuwa zanzibar imejichukulia madaraka na tukaona haiwezekani zanzibar kuwanyanganya madaraka waliyonayo sasa tuache wabaki nayo. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730844309748850832) 2023-12-02T07:00Z 410.3K followers, [---] engagements "Kiongozi asiyeheshimu na kulinda katiba ni msaliti katika nchi hii ni wajibu wa kiongozi kufikiri kuleta sheria bora zinazoleta haki kwa wananchi @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730851819226575204) 2023-12-02T07:30Z 410.2K followers, [---] engagements "Kuondoa madaraka ya serikali ya Zanzibar Hii inanipa wasiwasi tuliopita tukawasikiliza wananchi hasa wananchi wa zanzibar hawawezi kuacha katiba yao. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730859454231462015) 2023-12-02T08:00Z 410.3K followers, [----] engagements "Tanzania tuna watu [---] wamekwanda Dubai kwenye masuala ya hali ya hewani COP28 Hii ni sawa na dreamline [--] kusafirisha watu hao au train [--] za kwenda mwanza au Kigoma Hotel [--] kubwa zitakotiwa na Ugeni huu wa Tanzania Ukipiga kwa haraka ni kama Tzs [---] billion zimetumika Lakini serikali imeshindwa kulipa fedha kwa shule toka mwezi October na November baadhi ya maeneo hakuna chaki Hii idati yote inachukua pia dola kwenye uchumi hapo tunaweka matumizi ya million [---] dola kwa safari moja tu Tunapata nini kuhutupia COP28 kwa nini msafara n mkubwa hivi Yaani tumekwenda COP28 na train mbili za abili" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730895463979659407) 2023-12-02T10:23Z 410.2K followers, [----] engagements "Orodho ya maafisa serikali [---] wanaokuba bata Dubai kwa kisingizio cha mkutano wa mazingira kuna wizara zimepeleka mpaka wa [--] kwenye mkutano mmoja pakua hapa" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730942867558793226) 2023-12-02T13:31Z 410.3K followers, [----] engagements "Balaa linaanza hapa Office ya Rais na Makamu wa Rais zimepeleka watu [---] Dubai kwenye mkutano wa mazingira Ikulu watu [---] na makamu [--] tunaliwa kama pelemende" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730951934406701194) 2023-12-02T14:07Z 410.3K followers, [----] engagements "Kwenye biashara ya kuuza misitu kupitia Carbon Credit hawa ndio wa kuangalia kwa makini sana siku zote JK ajasema kwamba anafanya hizo shughuli ndio kwanza Mkwe analio kulipwa hela kama mke wa rais lakini kumbe wana mabiashara mengine kwenye misitu yetu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730962113227628583) 2023-12-02T14:48Z 410.3K followers, [----] engagements "Dubai tumekwenda na Wapiga Picha [--] na wapishi [--] Maisha kama ya Oprah or Billionea wapiga picha [--] mbona kuna makampuni mengi tu hapo Dubai kama tungetaka picha wangetupiga za kutosha tu na ingekuwa nafuu" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730970617908711623) 2023-12-02T15:22Z 410.3K followers, [----] engagements "Ila JK ana mambo ya kizamani sana hapa ameona amejificha sana Kumbe Remote ilo Msoga make all sense nao This is one deal" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1730976707526463764) 2023-12-02T15:46Z 410.3K followers, [----] engagements "SGR is not in operation in Tanzania cc @RobertAlai @bonifacemwangi Waelimisheni Wakenya Boat and Train are different our SGR is not functioning delayed for 3yrs constructing 300km section took [--] yrs not completed She is on Boat Zanzibar to Dar Wakenya hajui boat 🚤 😂" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1731032044451311688) 2023-12-02T19:26Z 410.4K followers, [----] engagements "Neema kuna siku tutakutana juani tutazunguma hivi habari unatetea haya mambo ya watu [---] Dubai usichojua ni kwamba kwa Dubai hii ni biashara mmekwenda wengi kuacha dola zetu hapo" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1731073403375800336) 2023-12-02T22:10Z 410.3K followers, [---] engagements "Kukosekana kwa utawala bora kumesababisha maisha magumu kwa wananchi ni wazi tunahitaji mabadiliko ya #KatibaMpya ambayo italeta utawala na mfumo bora wa nchi @godbless_lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1731153803364180281) 2023-12-03T03:30Z 410.3K followers, [---] engagements "Mambo yaliyo katika rasimu ya tume na ambayo yalichukuliwa na bunge maalum la katiba yametokana na maoni ya wananchi. Kwahiyo kazi hii imefanyikaa. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1731191593577726271) 2023-12-03T06:00Z 410.3K followers, [---] engagements "Kupitia Tume hii Kwa mara kwanza ndio tulipata maoni ya wananchi. Katiba za huko nyuma hatukuwa tunawauliza wananchi. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1731206698428232063) 2023-12-03T07:00Z 410.3K followers, [---] engagements "Kama wanaweka wabunge wa mchongo basi Safari za Samia zina mambo mengi nadhani amezoea kufanya hizi Marekani alikwenda na watu mpaka akafunga hotel mbili" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1731216189840343433) 2023-12-03T07:37Z 410.3K followers, [----] engagements "Kumbe Musukuma naye ana nyege kiasi iki si ni mzee wa Miaka [--] huyu anafanya haya mambo sababu ya kamwili kadogo au kukosa haki Huyu ni babu kabisa sio wa kwenda bar kufanya mambo ya form [--] Kutopita shule haina maana usikue pia" [X Link](https://x.com/lifeofmshaba/status/1731257715400335666) 2023-12-03T10:22Z 410.3K followers, [----] engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@lifeofmshaba Think DifferentThink Different posts on X about mambo, tanzania, kwanza, zanzibar the most. They currently have [-------] followers and [----] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries travel destinations currencies finance social networks celebrities technology brands automotive brands us election musicians
Social topic influence mambo, tanzania #183, kwanza, zanzibar, kenya, mali, bali, uganda, ipo, israel
Top accounts mentioned or mentioned by @oleshangay @mwabuk2boniface @suluhusamia @godblesslema @hrw @ananilean @mariastsehai @shamaskitchenet @tundualissu @mwaurarobert2 @jumaabdukarim @pmadeleka @amnestyearo @ummymwalimu @hechejohn @tanpol @deusdedithsoka @hermanmlale @rugemeleza @gwangwayyohani
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) BODA (BODAV2) StarLink (STARL) Rally (RLY) Alphabet Inc Class A (GOOGL)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Violence at Malema hearing shows divide within South Africa's ANC http://t.co/uGR05Pn http://nblo.gs/mlwhE http://nblo.gs/mlwhE"
X Link 2011-08-30T20:28Z 436.4K followers, [--] engagements
"The EU issued a statement expressing our concern over the human rights situation and the shrinking of civic space in Tanzania at the 45th session of the Human Rights Council . @JosepBorrellF @davidmcallister #ChangeTanzania #DemokrasiaYetu"
X Link 2021-01-29T08:54Z 436.5K followers, [--] engagements
"There are EU development cooperation instruments dedicated explicitly to Democracy and Human Rights and we raise human rights in our dialogue with Tanzanian authorities including of course for development policy. @JosepBorrellF @davidmcallister #ChangeTanzania #DemokrasiaYetu"
X Link 2021-01-29T10:55Z 436.4K followers, [--] engagements
"Were is your mask Amb. Regine Hess with Permanent Secretary of Ministry of Education Hon. Dr. Leonard Akwilapo Deputy PS (Education) Mr. Gerald Mweli jointly launched the program Support for Adult Education System Building in during a workshop at the University of Dar es Salaam. https://t.co/G7FmYhudHU Amb. Regine Hess with Permanent Secretary of Ministry of Education Hon. Dr. Leonard Akwilapo Deputy PS (Education) Mr. Gerald Mweli jointly launched the program Support for Adult Education System Building in during a workshop at the University of Dar es Salaam. https://t.co/G7FmYhudHU"
X Link 2021-02-03T12:32Z 448.1K followers, [--] engagements
"To date the government and its security agencies have been unable to establish the circumstances that surrounded the brutal assassination attempt of Opposition Presidential Candidate Tundu Lissu. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi https://youtu.be/N8nqNmiGNaU https://youtu.be/N8nqNmiGNaU"
X Link 2021-12-01T10:33Z 436.4K followers, [--] engagements
"US Presidential candidate Ron Paul on WikiLeaks (defended WikiLeaks as a Messenger ) ''Lying is Not Patriotic'' http://t.co/0nJAT4Qs http://nblo.gs/rxxdq http://nblo.gs/rxxdq"
X Link 2011-12-14T20:11Z 436.9K followers, [--] engagements
"Mount Kilimanjaro is the tallest mountain on the African continent and the highest free-standing mountain in the world. #MountainsMatter #ChangeTanzania"
X Link 2022-12-11T05:15Z 436.5K followers, [--] engagements
"Mkopo barabarani"
X Link 2023-01-12T04:12Z 452.3K followers, [--] engagements
"New York City"
X Link 2023-01-24T05:55Z 436.5K followers, 26.5K engagements
"Governance has to be guaranteed with transparent systems that deliver outcomes. The strengthening of democratic governance empowers the population to become active partners in the growth process. Narendra Modi (Indias Prime Minister) #ChangeTanzania"
X Link 2023-02-09T06:15Z 436.4K followers, [---] engagements
"Police brutality is a big problem. January [----] Mtwara region Mussa Hamisi was allegedly beaten to death by police officers and robbed of more than [--] million Tanzanian shillings ($14300 ) @KamalaHarris @VP @USAmbTanzania #KaribuKamala #TellSamia To stop Police Brutality"
X Link 2023-03-30T06:45Z 436.9K followers, [---] engagements
"On 18/8/2022 Chande Kizenga was captured in his shop in Machinga Complex by people claiming to be police officers in a Land Cruiser with civil number plates. Chande's whereabouts are unknown for more than [--] months now. @KamalaHarris @VP @usembassytz #KaribuKamala #TellSamia"
X Link 2023-03-30T11:30Z 436.5K followers, [---] engagements
"Maasai communities and individuals have been victims of excessive use of force by law enforcement officials during operations to forcibly uproot them from their ancestral lands this is against the law.#ChangeTanzania #StopMaasaiEviction"
X Link 2023-05-17T06:41Z 407.8K followers, 11.1K engagements
"The Maasai livestock have been killed by security forces and their properties burned by rangers of the Serengeti National Park and the Ngorongoro Conservation area assisted by anti-riot police. This is injustice. #ChangeTanzania #StopMaasaiEviction"
X Link 2023-05-18T05:45Z 414.6K followers, [----] engagements
"The Internet is the hope of an integrated world without frontiers a common world without controlling owners a world of opportunities and equality. Laura Chinchilla (Former President of Costa Rica) #ChangeTanzania"
X Link 2023-05-28T06:15Z 427.9K followers, [----] engagements
"Mwinyi alikiri kwenye kitabu chake kuwaleta Waarabu Ngorongoro ilikuwa ni kosa je na Rais Samia anasubiri kujuta kwenye kitabu hili tulikatae na tupate sheria za kulinda mali zetu @JumaAbdukarim #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-06-24T10:00Z 427.7K followers, [--] engagements
"Pamoja na swala la bandari kuwa nyeti vyombo vya habari vimekuwa mashabiki wa DPW bila uchambuzi wa uchunguzi wa suala hili wamekwepa kundika ukweli maeneo ambayo DPW imesababisha hasara kama Djibouti kwa nini kuna udhibiti. #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-07-10T13:30Z 427K followers, [--] engagements
"Government officials have power to shut down the internet by ordering service providers to shut down the internet or block access to website services this method is used to deprive people of their rights in various areas. #MaishaNiMtandao #InternetIsLife #InternetShutDown"
X Link 2023-07-26T07:00Z 436.5K followers, [---] engagements
"The government is taking action to turn off the internet during the election to bring serious harm to the citizens' participation in the election for their benefit and the ruling party (CCM. #MaishaNiMtandao #InternetIsLife #InternetShutDown"
X Link 2023-07-26T09:15Z 436.7K followers, [---] engagements
"The internet has created new avenues for political participation and activism. Online petitions social media campaigns and virtual town halls have all made it easier for citizens to engage with their elected representatives. #MaishaNiMtandao #InternetIsLife #InternetShutDown"
X Link 2023-08-01T04:45Z 414.5K followers, [---] engagements
"Government's first duty and highest obligation is public safety. Arnold Schwarzenegger (Austrian-American actor businessman filmmaker & politician) #ChangeTanzania"
X Link 2023-08-21T06:15Z 410.6K followers, [----] engagements
"Democracy is when the people keep a government in check. Aung San Suu Kyi (State Counsellor of Myanmar and Minister of Foreign Affairs from [----] to 2021). #ChangeTanzania"
X Link 2023-08-22T06:15Z 414.5K followers, [---] engagements
"When politics is no longer a mission but a profession politicians become more self-serving than public servants. Emmanuel Macron (President of France) #ChangeTanzania"
X Link 2023-08-24T06:15Z 409.6K followers, [----] engagements
"Yevgeny Prigozhin aliwai kufa miaka ya nyuma amekufa tena hivi Rusia wanatuchukuliaje"
X Link 2023-08-27T13:58Z 414.5K followers, [--] engagements
"The Dubai Connection"
X Link 2023-08-28T22:47Z 428.1K followers, [--] engagements
"Baada ya kula dili halafu mwenzio anakugeuka wakati yeye ndiye alikuletea mchongo Halafu bado kuna watu wana mashaka na maombi ya watanzania Kwa sasa tunaomba na kufunga huyu mama yenu ananyooshwa tumechokaa"
X Link 2023-08-29T19:30Z 408.1K followers, [----] engagements
"We need to create safe learning spaces that empower girls to make decisions about their own lives removing any social and economic barriers standing in the way of their education. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-02T09:45Z 414.5K followers, [---] engagements
"No country in the world should bar women and girls from receiving an education. Education is a universal human right that must be respected. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-03T04:45Z 436.4K followers, [----] engagements
"The best government rests on the people and not on the few on persons and not on property on the free development of public opinion and not on authority. George Bancroft (Former American Democratic politician who was prominent in promoting education) #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-07T06:15Z 414.6K followers, [---] engagements
"Kwa kifupi sana kuhusu alichosema Samia Leo Vijana kumkosoa ni kukosa maadili na taifa linatupotea Mwanasiasa kumpinga ni kuwa juu ya sheria Wanaharakati Twitter Republic hawana adabu wako kama ngombe Lissu ni mjeuri amepewa mikutano amekosa shukurani kwa mama"
X Link 2023-09-11T10:35Z 414.5K followers, [---] engagements
"Education is everyones basic right. We lack a policy guiding girls to return to school after giving birth It is about time for Tanzania to devise this as we move towards goal [--] of the Sustainable Development Goals. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-12T04:45Z 414.5K followers, [---] engagements
"Pole sana mzee Warioba Tunajua unaitakia nchi mema iwe na #KatibaMpya nzuri Unaambiwa mambo ya Elimu ukachokq kabisa"
X Link 2023-09-12T06:39Z 414.5K followers, [----] engagements
"Mama Mkwe anauma hasa kama ana vihofa vya kutoa Huyu jamaa anaongea kama hana kichwa anasema hakuna mtu wa kutoa CCM madarakani na kufikiria kuitoa CCM madarakani lazima wakushughulikia watawashughulikia watu wote wanaopingana na CCM Huyu ndiye msimamisi wa uchaguzi 2024"
X Link 2023-09-12T13:08Z 414.5K followers, [----] engagements
"Hii shule hali yake bado ni mbaya Japo ililipotiwa mwaka jana mpaka leo hakuna kitu cha maana kimefanyika na serikali ya CCM Ila sanawaza kuongezeana posho kwa wenza wao nao watafune nchi"
X Link 2023-09-13T10:12Z 409.5K followers, [---] engagements
"Lissu ni mwanasiasa asiyeyumba kisiasa alirejea Tanzania mwaka [----] na kuwania urais ambapo alishindwa dhidi ya Marehemu John Magufuli aliyekuwa akiwania muhula wake wa pili kupitia chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-09-16T09:45Z 410.1K followers, [---] engagements
"Africa Court orders Tanzania to end corporal punishment in jail sentences"
X Link 2023-09-16T14:32Z 409.3K followers, [--] engagements
"Maasai communities of Loliondo in the Ngorongoro District of Tanzania are facing egregious levels of human rights abuses including harassment violent eviction from and seizure of lands and arrest by the government. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-17T05:45Z 414.6K followers, [----] engagements
"Kutoka KANU JUBILEE KENYA KWANZA kifupi Kenya mpaka imeongozwa na vyama [--] na mashirikisho [--] - CCM uwa anatutisha kwamba watamwaga damu tukiwatoa madarakani Balozi wa Marekani anasema Kenya ina maendeleo na Demokrasia kwa East Africa"
X Link 2023-09-17T15:50Z 410.3K followers, [--] engagements
"Kama ingekuwa China Tunisia Morocco Egypt Leo tusingekuwa na hii story ya Mangu Ingekuwa imeisha kabisa kitambo China taka ukipewa TIP ya kumbebea mtu bag serikali ikujua umeisha Samia ana Mpipa Mangu kama Mjumbe wa Tume ya kamati ya mfumo wa haki jinai Mangu is Dirty"
X Link 2023-09-17T16:04Z 411.5K followers, [--] engagements
"Ila JK Hivi hawa wazee awazeeki wakatuheshimu walau kidogo 😂 Huyu JK anaweza hata kukaa na minister wa USA kumpiga lecture kuhusu nini Na media inatoa story ya kipwagu kabisa namna hii Kuna minister wa nini hapo Minister wa USA wana supporting department za kufa mtu"
X Link 2023-09-17T16:12Z 408K followers, [--] engagements
"The Maasai people in northern Tanzania have a history of being pushed off ancestral land to make way for so-called protected areas including the famous Serengeti National Park. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-27T04:45Z 410.4K followers, [----] engagements
"Many countries have abandoned restrictions imposed on girls to get education after giving birth. As a society do we stand with the government to continue excluding girls from getting education because of pregnancy #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania"
X Link 2023-09-29T09:45Z 427.5K followers, [---] engagements
"CCM wamekuwa wakitoa mfano KUSHINDWA kuchunguza aliyepiga Lissu risasi tafuteni kisingizio kingine US police have charged a former gang leader with the [----] murder of rapper Tupac Shakur a breakthrough in a long-running case still gripping the public"
X Link 2023-09-30T11:32Z 414.5K followers, [--] engagements
"Girls in Africa today are respected and valued far less than boys and are denied the same life chances. Inequality and discrimination remain the norm. This has to change and change now. ACPF executive director Joan Nyanyuki. #ArudiShule #ElimuNilaUbaguzi #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-02T09:45Z 409.3K followers, [---] engagements
"How will Hezbollah and Iran respond once Israel enters Gaza It is a matter of time before Israel gets in Gaza Hii vita sio ndogo tena"
X Link 2023-10-10T06:23Z 414.5K followers, [----] engagements
"US Defense Secretary Lloyd Austin announced the USS Gerald R. Ford Carrier Strike Group is moving toward the coast of Israel as a show of support for one of its closest allies - and overall the biggest recipient of US military aid after an attack by Hamas. Ishakuwa mbaya hii"
X Link 2023-10-10T07:34Z 427.4K followers, [----] engagements
"Pentagon: - working quickly to provide needed and critical ammunition to Israel with other equipment. - deployed aircraft carrier and fighter jets intended to act as deterrent to Iran Hezbollah &other in the region that might take advantage of the situation and 'think twice'"
X Link 2023-10-10T07:49Z 411.4K followers, [---] engagements
"US Air Force C-17 Globemaster arrived in Israel with a shipment of ammunition"
X Link 2023-10-10T17:36Z 414.5K followers, [----] engagements
"Israel imeiambia UN kuondoa raia kaskazini mwa Gaza Imetoa masaa [--] A few minutes ago Israel requested the UN to inform Gaza residents in the North to evacuate to the South"
X Link 2023-10-13T05:28Z 414.5K followers, [----] engagements
"Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na vya kati wanapaswa kuruhusiwa kujumuika kwenye mijadala mikubwa ya kisiasa kiuchumi na kijamii ili kuibua fikra mpya za vijana. Kudhibiti vijana kushiriki katika mambo ya kijamii ni kudumaza Taifa. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-13T08:00Z 427.4K followers, [--] engagements
"Ulipotoka waraka wa TEC kuhusu kuzuia mkataba wa bandari tulitakiwa wananchi kujiuliza nini cha kufanya kama yasingetekelezeka yaliyomo ni wazi umoja wetu ndio utaleta mambo mema kama #KatibaMpya na kuzuia mkataba huu Furaha #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-10-13T09:30Z 427.4K followers, [--] engagements
"Conservation policies and laws in the country should be consistent with international and regional agreements and declarations that Tanzania has ratified or signed to protect the rights of citizens including the Maasai. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-16T04:00Z 414.5K followers, [----] engagements
"Hivi kwa sasa tunatofauti gani na North Korea wakizungumza kwenye dinner usiku kwenye yake mkwe anakusanyana na kina mwigulu wanashika askofu mmoja haya sema awe mama wa Taifa Mara chief wa Taifa Samia ajakomboa mtu yeyote ameleta umaskini ameharibu huduma Nyingi ametuuza"
X Link 2023-10-17T05:02Z 407.6K followers, [----] engagements
"Makonda ndiye alinipendekeza niwe makamu"
X Link 2023-10-22T15:30Z 407.7K followers, 72.6K engagements
"British Prime Minister Rishi Sunak who met with leaders in Israel Saudi Arabia and Egypt Hamas have already proven who they are they must be defeated This is a moment when humanity must defeat the scourge of terrorism and break the cycle of tragedy"
X Link 2023-10-22T15:36Z 407.7K followers, [----] engagements
"Mimi naangalia anavyoongea na body language Ni mimi naona kuna mental issue hapo"
X Link 2023-10-24T15:53Z 407.7K followers, [----] engagements
"Tumekosa kabisa mtu wa mipango Kwa nini Zambia inapewa eneo Kwala hapa Pwani badala ya kupewa heka [--] Hapo Tunduma mpakani Why tunataka wafanyabiashara wa Zambia waangaike na logistic ndani ya Tanzania Hakuna watu wa logistic strategy Hudumieni majira Mipakani"
X Link 2023-10-24T18:37Z 407.7K followers, [----] engagements
"Kwa sasa ni sawa Bara kutafunwa ila sio Zanzibar ONYO Hakuna namna mtaikomboa Zanzibar mkijenga ccm bara sababu ya chuki tu na watu wa bara CCM ni ile ile kwa kadri inavyoimarika bara ndivyo inavyofisha pia Zanzibar Sasa endeleni na huu uvimbe kwenye ubongo Mnamsaidia Samia ni sawa na kuisaidia CCM hizo ahadi amewapatia nendeni nazo msalani yes anaweza leta maendeleo ya vitu Zanzibar kwa upendeleo kama ilo ndio la muhimu sawa mmepata mnaweza furahi ila msilete story za haki mara wizi wote wezi tu"
X Link 2023-10-26T04:58Z 407.8K followers, [----] engagements
"RUSSIA TESTS WEAPON with NUCLEAR STRIKE Russia successfully tested its ability to deliver a massive retaliatory nuclear strike by land sea and air missiles was from a land-based silo a nuclear submarine and from long-range bomber aircraft. Defense Minister Sergei Shoigu called it a rehearsal for "a massive nuclear strike" "
X Link 2023-10-26T05:10Z 408K followers, [----] engagements
"Mwanga gani Ntobi kwamba kugusa moto ili kuungua hali unajua moto unachoma kuna mwanga CCM ni matapeli nyie mlitaka confirm nini kuwapa benefit of doubt ni mabaya mangapi ccm wamefanya Mara ngapi walimcheza Maalimu huko Zanzibar Sasa tunatokaje kwenye huu mwanga wa umeme"
X Link 2023-10-26T10:50Z 407.8K followers, [----] engagements
"Kampeni manager wa Dr Tulia anaanza kulia kwamba kuna TARGETING kampeni 😂😂😂😂 kama ujatuma message kwa wajumbe wa IPU tuwasiliane huyu alijifanya katili Ni wakati kwa kwa yeyote anayejua kundika kiingereza tuwasiliana kupambana na huyu katili AMESHALEMEWA"
X Link 2023-10-26T15:02Z 407.8K followers, 36.5K engagements
"The crisis of modern democracy is a profound one. Free elections a free press and an independent judiciary mean little when the free market has reduced them to commodities available on sale to the highest bidder. Arundhati Roy #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-27T06:15Z 407.8K followers, [----] engagements
"Yaani Samia amefikia hatua ya kuingiza mjini maaskofu Haya mambo ya ajabu ni muhimu kuwa sensitive sio sawa kudhalilisha kanisa kwa kuwapa mialiko mkijua mnakwenda watukana Fr Kitima hakutengewa haki na Serikali ya Samia"
X Link 2023-10-27T16:41Z 408.3K followers, 17.9K engagements
"Rais Samia bado amezuia gharama za matibabu ya @TunduALissu ameshikilia kiinua mgongo chake Lakini amenunua magoli ya timu za mpira ni utapeli na kudanganga watu Ameweka Mabango yuko na Lissu anasema mama anaponya nchi Kivipi"
X Link 2023-10-28T12:53Z 407.9K followers, [----] engagements
"TEC hatuungi mkono mkataba wa Bandari na DP World Nji ya uchumi lazima zibaki mikononi mwa Watanzania msimamo wetu bado ni ule ule Maboresho yafanyike ila kwa maslahi ya Watanzania"
X Link 2023-10-28T12:55Z 407.9K followers, [----] engagements
"Haya ndio mambo anapenda Rais Samia masifa kama haya Ndio maana hakuna mwizi anashughulikiwa Kuna nchi gani haina wizi Waziri anaongea mambo ya ajabu kama haya sababu mteuzi anataka hizo story #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-28T17:27Z 408.3K followers, 12.8K engagements
"@RehemaNM2 Ipo ila ni kama facebook tu Unaweza control kiasi na ukiona inakuwa shida unaizima kabisa anytime"
X Link 2023-10-28T17:32Z 407.9K followers, [---] engagements
"Tufulu ya Mwinyi na Samia sasa imegeukia huku Ndio shida ya kuto deliver ukiwa kwenye ofisi"
X Link 2023-10-28T18:45Z 407.9K followers, [----] engagements
"Kuna kisa cha Mbwa wa Rais wa Marekani President Joe Bidens younger dog Commander bit another #US Secret Service agent at the White House Monday evening the media has learned the 11th known biting incident involving the 2-year-old German Shepherd. Huyu Mbwa wa Rais alifundishwa kazi moja tu kushambulia yeyote ambaye ni hatari kwa Rais kwa bahati mbaya akuelewa mafunzo vizuri akaanza kung'ata hata walinzi wa Rais mwenyewe Huyu Mbwa kwa akili yake anafikilia kwamba anaweza mlinda Rais wa Marekani pekee yake Mbaya zaidi Mbwa alianza kung'ata hata watu muhimu kwenye ofisi ya Rais wale hasa"
X Link 2023-10-29T13:15Z 408.1K followers, 13K engagements
"Kwani MATAGA iko wapi Nyie chawa tunawatambuaje"
X Link 2023-10-29T18:36Z 407.9K followers, [---] engagements
"Ilikuwa Weekend yenye manyunyu Rai kwa wadau mind training ni kitu muhimu sana shangazi @MariaSTsehai wale individuals hawapoteze mpira toka [----] working with her apotezi mpira Binafsi Magufuli alinijenga nawezi vunjika ila sio kwa wepesi Wanasiasa i am rich with information i am invisible 🫥 my style is Japanise sword 🗡 nagawa mara mbili kutoka kichwani na sina mchezo na mbwa ila mwenye mbwa no negative energy Tuanze tulipoishia adui ni CCM na mafisadi wa nchi hii Bandari yetu haiko salama na tunataka #KatibaMpya ndio mwaarobainj MARIDHIANO ni changamoto ya kupumua If fact Maridhiano ="
X Link 2023-10-29T21:41Z 408K followers, 55.3K engagements
"i come from Tanzania the Kingdom of WOMAN KING Kumbe Mwijaku ameambiwa sisi ni nchi ya kifalme na Mfalme wetu ni Samia 😂😂😂 Tunaishangaza Dunia tuna mfalme mwanamke Kuwa na chawa ni gharama sana wanaweza kukuchafua namna hii"
X Link 2023-10-30T09:38Z 408K followers, 10K engagements
"@PamBelinda Kwa hiyo Pam unashauri bora kuoa wawili hata wewe unaweza bariki kabisa kuwa sehemu ya wawili na dodosa ili walau niwe na facts kwa usahihi"
X Link 2023-10-30T09:41Z 408K followers, [---] engagements
"Wananchi wamekuwa wakiumizwa kwenye kila chaguzi watu wameuwawa na mali zao kuharibiwa hii ni kutokana na sheria za sasa kutowajibisha wanaofanya haya mambo wakati wa uchaguzi kutojenga taasisi huru za uchaguzi na ulinzi. #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-10-30T12:30Z 408K followers, [----] engagements
"Education is the key to unlocking other human rights. Katarina Tomasevski Croatia UN Special Rapporteur #ActiveCitizens"
X Link 2023-10-31T06:15Z 408.1K followers, [---] engagements
"Education is the key to unlocking other human rights. Katarina Tomasevski Croatia UN Special Rapporteur #ChangeTanzania"
X Link 2023-10-31T06:15Z 408.1K followers, [---] engagements
"Jana kulikuwa na kikoa Gran Meria hotel hapo Arusha Makonda na Sabaya wamekutana kikao kilikuwa cha muda mrefu kiasi wakati tunapambana kujenga demokrasia kupitia maridhiano na kadhalika ( kwa tumaini kwamba CCM watakuwa waungwana ) Kikao katili kinajikusanya for CCM PICHA HAIHUSIANI NA TUKIO LA JANA"
X Link 2023-11-01T08:07Z 408.1K followers, [----] engagements
"Haya mchujo umeanza ndani ya CCM UKIENDA sehemu unatakiwa kusema unaenda kufanya nini Hii itasambaa kwa kila mwanasiasa mdogo mdogo Kwa sasa wanakata kwanza magugu yasiyomtaka mama JIWE style"
X Link 2023-11-01T12:51Z 408.1K followers, [----] engagements
"Safi sana Tujipe mwezi kisha tutaita kikao cha thamini"
X Link 2023-11-01T14:15Z 408.1K followers, 17.4K engagements
"Waziri Mkuu tayari amepewa miezi Sita kumaliza migogoro ya Ardhi nchi Hapa bando Mpango kisha mama Abdul tunampinduka kinyama ndicho atafanya He will be strong than all of them sababu amefungua pandora Box ya sukuma gang na boda boda Jipe muda kwa sasa anawanyonya nguvu"
X Link 2023-11-01T14:20Z 408.2K followers, [----] engagements
"Wafute madeni wanayotudai na Walipe Fidia Kama wanapeleka vita matrion ya fedha watulipe [--] trilion as investment (DFI) kwa sector za afya ICT Elimu Hospitality na Banking Hatutaki Grant waje wawekeze kwenye private sector"
X Link 2023-11-01T15:02Z 408.1K followers, [---] engagements
"Phase [--] : imeanza kwanza wanaotaka urais nadani ya ccm na makundi yao Phase [--] : Wanaochukua hela ya SSH Kutoka media house NGOs vyama vya siasa na Taasisi binafsi eti kumpigania Phase [--] : Shutdown civil spaces hapa tunaumizwa wote mpaka madalali"
X Link 2023-11-01T15:05Z 408.1K followers, [----] engagements
"Kwa siku miili [--] ilikuwa inaokotwa Mpaka watu wakakimbia ufukwe Tulihoji haya mambo watu wakateteana"
X Link 2023-11-01T15:17Z 408.1K followers, [----] engagements
"Shida ni wanapambana na Wagombea wa [----] Wanataka kuwadhalilisha na kuondoa heshima kwa wote wabaki na form moja Hawa wanaangaika na kuvuruga democracy akimaliza CCM anakuja nje waliochukua hela ya mama kupoza mambo wajipange sana"
X Link 2023-11-02T06:13Z 408.3K followers, [----] engagements
"Vitani kuna mambo mawili uchukue maamuzi au usite ufe Naona kuna watoto wanatumika kurushia mawe wanajeshi wa Israel Sasa tayari kuna vita unarushia jiwe mwanajeshi mwenye silaha Ni kipande kipi cha neno WAR watu hawaelewi Pande zote mbili wanatuchezea akili kupata huruma Kwenye mara ya kwanza linaweza rushwa jiwe ikizoeleka next unarushiwa bomb 💣 unakufa Mwanajeshi yoyote aliyekatika vita maamuzi yake yanaweza changiwa na hofu kujiami au ukatili Ndio maana maeneo yaliyo na machafuko sio salama hakuna urafiki binadamu anageuka target 🎯 ya weapons zote"
X Link 2023-11-02T06:56Z 408.3K followers, 27.3K engagements
"Via @MwanzoTvPlus Zambia wameondoa posho za Rais Lungu sababu amerudi kwenye siasa Hii sheria imeshelewa sana nchi Kuna watu wanakula ustaafu huko wamebeba vyama vya siasa JK Pinda ni mifano ya chapu Zambia's government has withdrawn retirement benefits and privileges from former President Edgar Lungu following his decision to return to active politics. Mr Lungu lost the presidency to Hakainde Hichilema in [----] after which he announced his retirement"
X Link 2023-11-02T10:01Z 408.6K followers, 29.5K engagements
"Urgent release/Sambaza habari hii haraka [--]. Tumepokea taarifa sasa hivi kuwa Wakili Mwabukusi Mdude Nyangali na Waandishi wa Habari wamekamatwa na Polisi na kupelekwa ofisi ya RPC jijini Mbeya. [--]. Mwabukusi na wenzake wamekamatwa katika mkutano na Waandishi wa Habari uliokuwa ukifanyika jijini Mbeya kuhabarisha umma juu ya maandalizi ya maandamano makubwa ya wananchi kupinga mkataba wa Bandari (IGA) Kushinikiza Watanzania kuandika Katiba Mpya na Kuitaka Serikali kusitisha ukiukwaji wa haki za Binadamu za jamii za Wamaasai Ngorongoro na Loliondo. [--]. Maandamano yanayoandaliwa na vuguvugu la"
X Link 2023-11-03T08:54Z 408.2K followers, 20.9K engagements
"Katika eneo la Ndalo nchini KENYA kuna familia nyingi za Maasai ambazo zinapewa msaada wa chakula na vitu muhimu ili kukidhi mahitaji yao. Si sahihi kwa Serikali ya Tanzania kuruhusu hili kwa kusudi. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-11-03T09:45Z 408.2K followers, [---] engagements
"Hii ni Train ya Gongo La Mboto Pugu MaCCM yameshindwa hata kuwa na safari [--] za [--] kwa siku kila upande au kila saa train moja Yanatumia train moja wakati demand ipo Wanashindwa nini kuwa na Train mbili zilizo busy kwenye hii Route Mpaka watu wafe yanapenda damu"
X Link 2023-11-03T14:51Z 408.2K followers, [----] engagements
"Mama yenu amelemewa hivi mpaka mmeona target pekee kwa sasa ni kujaribu mashabiki wa mpira MaCCM yanapeana hii kuisambaza wametengeneza wao ila haya mavilabu ya Mpira hayawezi kemea huu mchezo wa kijinga Hii imetoka kwa wao wenyewe MaCCM"
X Link 2023-11-04T10:13Z 408.3K followers, 37.4K engagements
"Diaspora wa UK wataandamana tarehe [--] November [----] zimebaki Siku [--] Kuelekea maandamano ambayo yatafanyikia London Kwenye Ubalozi wa UAE #OkoaBandariZetu #KatibaMpya"
X Link 2023-11-04T13:55Z 408.3K followers, [----] engagements
"Katiba bora inatakiwa kuweka usawa mbele ya sheria haki ya kulindwa na kufaidika sawa na sheria. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-05T14:00Z 408.3K followers, [---] engagements
"Miaka [--] iliyopita niliuliza kuna sera au sheria ya kuanzisha social media serikalini Utaratibu wa hizi social media ukoje masharti ya wanaozisimamia wana device za hizo social media yako au mtu ana log tu kwenye device yake anayotaka Na kile wizara inakwenda itakavyo CCM hawawezi hata kuna manage social media kuna siku wataziuza au kubinafsisha kwa mwaarabu"
X Link 2023-11-05T19:07Z 408.3K followers, [----] engagements
"Tunalipa wenza ila walimu wako humu"
X Link 2023-11-06T06:31Z 408.4K followers, 19.2K engagements
"Kuna WITO Mbeya Tarehe [--] November [----] #WenyeNchiWananchi ili kupata Nguvu ya Umma itakayotusaidia kuokoa Taifa letu kutokana na mazingira magumu tuliyofikishwa kisiasa na kiuchumi. Taifa halina mfumo bora kulinda maliasili zetu #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-06T13:00Z 408.4K followers, [---] engagements
"Kwa hii sebure Ramani Yake ikoje kuna maswali mengi sana najiuliza Waziri wa Fedha ameshindwa kupanga sebure sio lazima afuatishe hayo madirisha napata wasiwasi sana huyu jamaa kama wezi panga sebule with logic anapangaje Uchumi"
X Link 2023-11-06T18:46Z 408.4K followers, [----] engagements
"Haki ya faragha ni muhimu ikalindwa na katiba ambayo inajumuisha haki ya kutopekuliwa au nyumba mali au mali zake kuchukuliwa au faragha ya mawasiliano ya wananchi kuingiliwa bila amri ya mahakama. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-07T13:00Z 408.4K followers, [---] engagements
"Halafu mtu asema mahakama ni safi zina usafi gari kama mambo ni namna hii"
X Link 2023-11-08T10:15Z 408.5K followers, [----] engagements
"Tanzania kama nchi ya kidemokrasia tuna haki ya kufanya maandamano kupinga mambo tusiyo yataka tunawezaje kukomesha tabia ya mamlaka kuvunja katiba kwa kutumia jeshi la polisi pale wananchi wanapoitisha migomo na maandamano #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-09T14:00Z 408.6K followers, [---] engagements
"Dunia ina mambo mengi lakini UFC BOXING KICK BOXING Iko kwenye kundi la michezo sio violence Lakini Kwa Afrika African thieve wako kwenye category ya wanasiasa FAKE hope ni pastors wanafanya haya waziwazi Ni aje haya yanawezekana kwenye dunia"
X Link 2023-11-11T10:50Z 408.6K followers, [----] engagements
"JK is very visible kwani hatuna balozi hapo FINLAND JK ana uzito gani sasa naye ni mstaafu tu Tuambieni cheo cha sasa cha JK serikalini"
X Link 2023-11-11T17:58Z 408.8K followers, 90.5K engagements
"@MariaSTsehai @tarimo_reginald Kwanza kuna video hapo imejieleza vizuri tu analeta kelele ambazo haziko kwenye content yenyewe ni kama anatafuta pa kusema jambo lake"
X Link 2023-11-11T19:49Z 408.7K followers, [---] engagements
"The Maasai livestock have been killed by security forces and their properties burned by rangers of the Serengeti National Park and the Ngorongoro Conservation area assisted by anti-riot police. This is injustice. #ChangeTanzania #StopMaasaiEviction"
X Link 2023-11-14T09:15Z 409.6K followers, [---] engagements
"Moja ya Mahubiri ya Moto sana Haya mahubiri yalipigwa Jiwe akiwa hai na alichukizwa sana Kuna sehemu nchi inaelekea na kuna siku itafika wote tutaongea lugha moja ya ukombozi kwa Taifa letu"
X Link 2023-11-14T15:19Z 409.2K followers, 25.2K engagements
"Waziri unapigiwa simu na Makonda anakupiga Mikwara na kukudhalilisha unakubari kufanyiwa hivyo Huyo ni boya wenu tu kutokana na kupewa vyeo bila sifa ni kama vile nchi haina waziri waziri mwenye akili timamu unapelekwa vipi mpelampela na mwenezi wa chama"
X Link 2023-11-15T16:43Z 414.6K followers, 17.6K engagements
"Baba mwenye upendo MANYAMA 😂😂😂😂 Bora mmeuita Manyama maana kweli tunajua ana manyama 🙌🙌🙌 Hii inakamilisha ile story ya kumsifia mfalme aliye uchi yaani katika majina yote mmeona mtoe Manyama na mnajua linashida 😂 hii CODE ni kabambe"
X Link 2023-11-15T16:49Z 408.8K followers, [---] engagements
"Nape anasema ni bora anazungumziwa amekutwa ana follow maaccount ya ngono anazozuia maana hiyo inamfanya ajisikie Hai Kwamba asipozungumziwa anashangaa kama amekufa Kumbe ndio maana serikali ni kama ime disconnect yaani majibu ya tuhuma ya kipumbavu kama ile 😂😂😂"
X Link 2023-11-15T21:39Z 427.4K followers, [--] engagements
"Missed opportunity On Tourism industry Tanzania"
X Link 2023-11-16T06:18Z 409K followers, [----] engagements
"Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika Damu ya mtu ni nzito bana"
X Link 2023-11-16T09:54Z 408.9K followers, 72.4K engagements
"Je mifumo yetu kukosa haki inaweza kuwa imechangia Wanasiasa kudumaza uchumi ili kuwarubuni Watanzania kwamba usipotafuta Ugali ukaanza kudai haki na mifumo bora familia yako itateseka Je wanaotafuta ugali hawateseki #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-16T11:30Z 427.4K followers, [--] engagements
"Elimu imekuwa ikisemwa kwamba ni eneo ambalo CCM wamelivuruga ili kuua weledi wakiwa na malengo kwamba wananchi wasiamke na kuwajibisha serikali na kuanzisha misemo kama Tafuta ugali wa familia hii propaganda tunaishinda vipi #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-16T12:00Z 408.9K followers, [---] engagements
"Mambo mema ya nchi hayatashushwa kutoka mbinguni bali ni kwa kupiginania #KatibaMpya ambayo itawezesha nchi kupata mambo mema kwa kuwepo kwa mifumo bora @shamaskitchenet #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-11-17T03:30Z 408.9K followers, [---] engagements
"Tanzania confirmed the Convention on The Rights of the Child (CRC) emphasizes that all children have the right to education on an equal basis and the government is responsible for releasing this obligation. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania"
X Link 2023-11-19T04:45Z 414.5K followers, [---] engagements
"President George Weah's defeated Speech: ADDRESS TO THE NATION BY HIS EXCELLENCY DR. GEORGE MANNEH WEAH PRESIDENT OF THE REPUBLIC OF LIBERIA CONCERNING THE RESULTS OF THE RUN-OFF PRESIDENTIAL ELECTIONS HELD ON NOVEMBER [--] [----] MONROVIA LIBERIA NOVEMBER [--] [----] MY FELLOW LIBERIANS DISTINGUISHED LADIES AND GENTLEMEN: I stand before you tonight with a grateful heart but with the utmost respect for the democratic process that has defined our nation. As your President and the leader of the Coalition for Democratic Change I want to address you on the outcome of the run-off elections held on"
X Link 2023-11-19T05:13Z 409.3K followers, 22.2K engagements
"Hii nayo inakera mtu 😂😂😂 nadhani milembe ina wagonjwa wengi mtaani"
X Link 2023-11-19T05:53Z 409.1K followers, [----] engagements
"Tusitegemee mabadiliko kwenye serikali isiyo na uwazi maadiliko ya kweli hutegemea sana ushiriki wa wananchi katika mambo yote ya serikali tupate #KatibaMpya itayoweesha suala hili @Oleshangay #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-11-19T07:30Z 409.1K followers, [---] engagements
"Ibada iliyo njema ni kuleta mambo mazuri katika Taifa kama #KatibaMpya msingi wa haki ndio msingi wa dini zetu @Twaha_Mwaipaya #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-11-19T09:30Z 409.1K followers, [---] engagements
"Mkwe mambo magumu kuna waka moto"
X Link 2023-11-19T15:06Z 409.1K followers, [----] engagements
"Kwenye nchi za kidemokrasia Spika na Jaji Mkuu awatakiwa kuwa na mazungumzo ya aina hii Hii sio podium wala Audience ya kispika Suala ili likienda Bungeni atasimama wapi Sio wajibu wa spiak kufafanua masuala haya hata kama ni mwanasheria"
X Link 2023-11-19T17:20Z 409.1K followers, [----] engagements
"Tanzania should take measures to protect Maasai communities against reported acts of excessive use of force. #ChangeTanzania #StopMaasaiEviction"
X Link 2023-11-20T04:15Z 409.2K followers, [---] engagements
"The CEDAW Committee has urged the Government of Tanzania to retain girls in school and strengthen the implementation of re-entry policies so that girls return to school after delivery of their children. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania"
X Link 2023-11-20T04:45Z 409.2K followers, [---] engagements
"KUPATA MIMBA TANZANIA MATESO NI MENGI @ummymwalimu mbona mna sera za kizamani na zinazoleta shida isiyo na ulazima Kwa watu wakipeana mimba lazima wawe na mahusiano mazuri au wawe wanaishi pamoja mnaleta changamoto zisizo na maana Mtu anaweza pata mimba na asijue baba ni nani kuna shida Acheni Kutesa wanawake wenzenu Masuala ya mimba angalieani afya magonjwa na kadharika ili kutoa ushauri mtu amepewa mimba akikimbiwa akifika hospital anaulizwa baba yuko wapi au alibakwa maybe Kwa nini mnachanganya mimba na msauala ya dini au aina furani ya maadili Kuna wadada wanaweza amua tu kuzaa na mtu ila"
X Link 2023-11-20T06:47Z 408.3K followers, [----] engagements
"Maslahi bora ya mtoto ni ya umuhimu mkubwa katika kila jambo linalomhusu mtoto. #KatibaMpya iweke mifumo bora kulinda watoto . #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-20T08:00Z 409.1K followers, [---] engagements
"Kuna mgomo wa Madereva huko Congo DRC madai waliyonayo ni kuhusu maslahi yao wametoa hoja zao na zimewakilishwa serikalini lakini serikali imewapuuza Hii ina maana gani kwa madereva na wananchi wengine #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-20T10:35Z 409.1K followers, [---] engagements
"Mbunge : Dereva wa GSM ya Congo analipowa Milioni [--] lakini GSM Tanzania analipwa laki [--] mpaka millioni [--] na wote mnafanyakazi kazi hiyo hiyo moja Mtanzania analipwa kidogo #MariaSpaces #KatibaMpya LIVE YT X"
X Link 2023-11-20T18:03Z 409.2K followers, [----] engagements
"Tunatakiwa kuweka orodha ya wasaliti huyu bado kijana tutakuwa naye tu hapo mbeleni Mtu anaongeaje kijinga hivi Sababu amemewa ubunge na Polepole au anadhani mchakato haujulikani Mchakato wote unajulikana"
X Link 2023-11-20T21:47Z 409.2K followers, [----] engagements
"Katiba bora inabainisha utaratibu wa kurekebisha katiba kwa kuweka mfumo ambao wananchi watatoa maoni juu ya mapendekezo ya marekebisho pamoja na kuhakikisha ni wananchi wanapata nafasi ya kupitia kura ya maamuzi (referendum). #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-21T08:00Z 409.2K followers, [---] engagements
"Uchaguzi huru na haki utegemeana na TUME HURU YA UCHAGUZI Tanzania haina tume huru ya uchaguzi itokanayo na kuridhika kwa pande zote zinazoshiriki uchaguzi yaani vyama vya siasa na wananchi kama wadau #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-22T05:00Z 409.2K followers, [---] engagements
"Tunashituliwa Afrika Siasa ni Biashara Wafanyabiashara ni wanasiasa kwa ujumla ni kwamba Afrika inaibiwa 70% ya mtaji wake au fedha zimefichwa Ulaya Asia na nje ya bara Serikali za sasa zinafanya kile walichofanya wakoloni Kuiba mali za Afrika na kupeleka NJE YA BARA"
X Link 2023-11-22T09:44Z 409.3K followers, 38.2K engagements
"Atakayetusaidia kupata #KatibaMpya si serikali bali ni wananchi wenyewe kufanya maamuzi na kuchagua wawakilishi ambao wataandika katiba bora @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-11-22T11:30Z 409.2K followers, [---] engagements
"Hapo lazima mtu amechukua pesa"
X Link 2023-11-23T04:04Z 409.3K followers, [----] engagements
"High schooo kweli"
X Link 2023-11-23T10:10Z 409.3K followers, 10.9K engagements
"Tanzania lacks a positive policy guideline to allow pregnant girls to continue with their education. Without a lucrative guideline pregnant girls and adolescent mothers continue to face social barriers in continuing education. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania"
X Link 2023-11-24T04:45Z 409.5K followers, [----] engagements
"Kwa nini kuna Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mpaka leo cha kwanza kukataa ni hiyo SMZ maana ni msingi wa uvamizi Na suala la mapinduzi linatakiwa kupingwa lote kama ilivyo Tanganyika ni nani kwa sasa hivi"
X Link 2023-11-24T20:31Z 409.4K followers, [----] engagements
"Katiba ni muongozo wa Taifa linavyojiendesha na kujiamulia mambo yake. Bahati mbaya Tanzania Rais ameshikiria mamalaka ya lini anaweza fanya mabadiliko ya katiba kwa anavyoona au penda #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-25T04:00Z 409.4K followers, [----] engagements
"Katiba ni muafaka wa makubaliano katika ya wananchi wa wawakilishi wao bila kuondoa nguvu ya wananchi kwenye mifumo ya maamuzi Tanzania tuna katiba ambayo wawakilishi wanaweza kingwa kuwajibishwa . #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-25T05:00Z 409.4K followers, [---] engagements
"Wananchi wanajua mambo yote ya hovyo yanayofanywa na serikali lakini hawajaamua kuchukua hatua wananchi tunahitajika kuiwajibisha serikali na kupigania #KatibaMpya yenye uwajibishaji @HecheJohn #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-11-25T05:30Z 409.4K followers, [---] engagements
"Waziri atuhumiwa kumfanyia unyama kijana huko Babati alikuwa mafanyakazi wake ni unyama mtupu kwenye hizi tuhuma tunategemea mamlaka kuchukua hatua za uchunguzi haraka iwekanavyo na kutoa taarifa kwa umma"
X Link 2023-11-25T06:30Z 409.4K followers, [----] engagements
"Serikali imekuwa ikinyonga haki za Maasai na hawataki watu waone hayo serikali ya kibabe hukomeshwa na uwepo wa #KatibaMpya bora ambayo itazingatia maslahi ya wananchi @Oleshangay #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-11-25T07:30Z 409.4K followers, [---] engagements
"Baba Mzazi wa huyu kijana amekwenda @tanpol wamefukuzwa wameambiwa watatafutwa wakiitajika Yaani Nchi hii kumuingizia chupa mtu matakoni ukienda polisi unaambiwa katembee tembee tutakuita The audacity Ndio maana kuna matendo mabaya hivi Hongera kwa DAGI TV kufuatilia"
X Link 2023-11-25T10:52Z 409.5K followers, 54.2K engagements
"Bunge huwakilisha wananchi kwa kutoa jukwaa la kitaifa kwa ajili ya kuzingatia masuala ya umma kwa kupitisha sheria na kwa kuchunguza na kusimamia hatua za utendaji wa serikali. Bila KATIBA BORA Bunge letu litaendelea kuwa kibebeo cha serikali kupitisha mambo yake #KatibaMpya"
X Link 2023-11-25T12:00Z 409.4K followers, [---] engagements
"Haya ndio mambo sasa ila msiwe mnachelewe sana mchuzi wa mbwa uliwa wa moto Walau kidogo hapa mmejitahidi Next time iwe siku hiyo hiyo"
X Link 2023-11-25T16:44Z 409.5K followers, 10.8K engagements
"Ukichukua picha za utupu za mtu au video ukaweka kwenye blog yako pay per view unatakiwa kumlipa uliyeweka video zake tusiwaibie watu fedha zao tuwalipe kama tumeamua kutumia video au picha zao uwezi profit bila kumlipa mtu ni maadili au sio maadili hiyo ni issue tofauti"
X Link 2023-11-25T19:46Z 409.5K followers, [----] engagements
"Bunge la CCM watupu kila mtu amelichoka limekuwa la ajabu"
X Link 2023-11-25T19:54Z 409.5K followers, 28.1K engagements
"Huyu Emma yeye anadhani anaweza tumika kutisha wananchi kwa sababu aombi KURA Polisi BABATI kuna udhaifu mkubwa sana au wanakula rushwa za Pauline haiwezekana huyu kijana akawa anatishia kukata vichwa watu kiasa Dada yake ni Naibu waziri Huu uhuni lazima ukome"
X Link 2023-11-25T19:56Z 435.9K followers, [--] engagements
"Emma mdogo wa Pauli Gekul akitishia watu wanaotoa taarifa kuhusu ukatili wa dada yake"
X Link 2023-11-25T19:57Z 409.6K followers, [----] engagements
"Watanzania kama tunataka kitu ambacho hatujawahi kuwa nacho ni lazima tufanye mambo ambayo hatujawahi kufanya tukitaka #KatibaMpya bora ni lazima tuchukue hatua za ziada @CatherineRuge #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-11-26T03:30Z 409.5K followers, [---] engagements
"It is the duty of every citizen according to his best capacities to give validity to his convictions in political affairs. Albert Einstein #ChangeTanzania"
X Link 2023-11-26T06:15Z 409.7K followers, [----] engagements
"Polisi Manyara imeoza kuanzia kwa RPC mwenyewe Polisi inatumika kuumiza watu Sio tu Pauline Gekul alikuwa akitumia polisi kuweka watu ndani kwa call moja tu unakaa miezi au siku RPC Manyara ameoza hafai kusimamia Polisi popote anapenda sana vipande vya fedha Ovyo kabisa Watu wenye fedha Babati na Manyala kutishia wananchi vifo na kuwaweka ndani ni suala la kawaida sana Kama huna pesa muda wowote tajiri anaweza kukuumiza kisha kukuweka jela watu wanapelekwa rumande wakiwa wameumizwa kwa kipigo au mateso Ukifungua biashara sana na mkubwa polisi wanatumika kukushughulikia Wabunge na wanasiasa"
X Link 2023-11-26T06:40Z 409.5K followers, [----] engagements
"Tumeshindwa kuzalisha haya mavijiti tuna import Tunaongozwa na watu wamechoka sana kuna bidhaa zilitakiwa kuwa local tuna import mchele na kuna wakati samaki 😂 na ngano"
X Link 2023-11-26T07:08Z 409.5K followers, [----] engagements
"Ukiwasikiza MATAGA hapa mtandao uwa wanasema ukamatwa na kulawitiwa magereza au kituo cha polisi Aliyofanya Pauline Gekul ni hayo hayo wanasema MATAGA kila sio dhahabu kuwa ya chama tawala ni hiyo Kuna wakati walitishia waziwazi wanasiasa hata Musiba alikuwa akisema Chama kimejaa magaidi na wamewajaza wahuni hawa kwenye vyombo vya dola kufanya udhalilishaji ndio maana Polisi waliona issue ya Gekul ni ya kawaida sana awakuangaika naye hakuna hata kumhoji na alikuwa hapo jimboni muda wote Mapolisi wanajua hii ni adhabu inayokubarika"
X Link 2023-11-26T07:57Z 409.6K followers, [----] engagements
"Mwamposa Anafunga barabara kama nani Kuna malalamiko kutoka kwa wananchi kwamba @PolisiTz wanafunga barabara kwa sababu ya Mwamposa hivyo kusababisha msongamano mkubwa wa magari Hizi ni barabara za umma kama mtu anabiashara yake anawahi na muhimu anunue Chopa sio kuleta usumbufu kwa wananchi Huu mchezo wa kutoa kipaumbele kwa wenye fedha sio sawa"
X Link 2023-11-26T11:43Z 409.6K followers, 39.8K engagements
"@CRDBBankPlc hii taarifa muhimu Ila jifunzeni kufunga taarifa vizuri basi mwisho unajimwambafai kama bank yenye standard nyie mnalilia Mambo kama haya ni opportunity ya marketing Changamoto kama hizi zipo tu ila exposure ya kudili nazo ni muhimu sana aliyeandika hii ame miss opportunity big time Mentality iliyotumika imepitwa sana na wakati kwenye mazingira ya digital platform"
X Link 2023-11-26T15:59Z 409.6K followers, [---] engagements
"Haya mambo yote aliyofanya na polisi wamo wametumika sana na huyu mama tunataka #KatibaMpya kuziba haya magap Lakini kulinda taasisi zisitumike na wahuni"
X Link 2023-11-26T16:17Z 409.6K followers, [----] engagements
"Walio share video za huyu Dada online Futeni haiku sawa kila mtu anafanya haya mambo in private yanapoibwa na kutumika kibiashara sio sawa There must be rules Ukifuatilia History ya Giggy uwezi post video yake au pic haya mambo yana limit kila mtu anataka privacy"
X Link 2023-11-26T16:55Z 409.6K followers, [----] engagements
"CCM kila kitu kimewashinda Channel Ten kama media ya CCM inaandika Zanzibar imekusabya trilion [---] Hayo ni mapato ya Jumla ya nchi mbili tatu za Africa zile tajiri kabisa au mapato ya Tanzania kwa [--] years"
X Link 2023-11-26T18:29Z 409.6K followers, [----] engagements
"@GileadTeri TIC ingekuwa na channel ya kupokea maoni ya wadau au hub lakini iwe ICT base kupokea maoni ya wadau kwenye msuala mbalimbali au changamoto ikiwezekana iwe na platform ki sector kama kuna mambo mnashughulikia watu wayaone mnayotaka maoni watu watoe maoni yao sio rahisi sana watu kuja ofisi na kutoa maelezo ya kutosha ila kuandika kama platform inawezekana sana na iwe yeney udhibiti kiasi kupokea maoni yeney weledi na inaweza kuwa reference ya wawekezaji wapi sio muda wote TIC iwe inadili na kila mtu toka mwanzo wakati imeshatatua tatizo kama ili kwa mtu mwingine TEHAMA inaweza"
X Link 2023-11-26T19:04Z 409.6K followers, [--] engagements
"Hii imefutwa Jamaa alitaka kutetea class Mate kumbe Gekul ni class mate wa Mwijaku kuna mambo naanza kuelewa USDM imeharibu sana nchi hii basi tu ngoja tunyamaze"
X Link 2023-11-26T19:17Z 409.6K followers, 13.2K engagements
"KAULI ZA GEORGE HUKO MANYARA NI AIBU KWA POLISI Hakukamatwa na Polisi hatuna uwezo wa kumkamata mheshimiwa au mtu tajiri ila alitumiwa wito kwa ajili ya mahojiano na alifika." - ACP George Kumbe Manji alikuwa masikini tu akapimwa mpaka mkojo George anachosema Polisi inaogopa GEKUL sababu ana pesa maana ametoa hii kauli leo wakati ameshavuliwa uwaziri Jeshi la Polisi Manyara bado liko mfukoni mwa Gekul hii ni hatari sana kwa waanga Ukiona polisi wanazungumza hivi jua wana amri ya kutofanya chochote kwa Pauline huyu jamaa anaongea kwa niaba ya serikali ndio maana RC wa Manyara ajasogea kwenye"
X Link 2023-11-27T07:50Z 409.6K followers, [----] engagements
"George ametoboa siri Mapolisi awakamati matajiri kitu ambacho anamalizia tu ni kwamba matajiri wa CCM hawakamatwi na polisi wanafanya ujinga watakao hata kuingizia mtu chupa matakoni wanapelekewa wito tu yaani hata wakikushikia bastora watapewa wito mtu akilawiti anapewa wito"
X Link 2023-11-27T08:18Z 409.7K followers, [----] engagements
"Paulina aliwezaje kuwa Mbunge na Waziri Mbona hakuna kitu kichwani waliomshauri ku leak hivi VIDEO ana confirm tuhuma zote alizopewa na kijana kwanza kijana suruali iko chini japo wamejaribu kuikata hivyo viteo kwa chini Waziri anahoji mtu kwa mambo ya kishirikina si angemkatalia kazi tu Kulikuwa na ulazima gani yeye kuanza haya mahojiano kisha baadaye kumpeleka polisi"
X Link 2023-11-27T08:28Z 409.7K followers, [----] engagements
"@MariaSTsehai Ndio kwanza anaiongeza moto aangalie mavideo ya vijana ya utupu aliyokuwa anachukua Cyber crime iko kwa simu Simu kibao za watu wamechukua kwa tuhuma za kawaida kabisa"
X Link 2023-11-27T13:59Z 409.7K followers, [---] engagements
"Roho mbaya kina kona Hii ndio Tanzania na Watanzania tuko hivyo kuharibu vitu na roho mbaya"
X Link 2023-11-28T05:46Z 409.8K followers, [----] engagements
"Jana niliwaaambia Maccm yanashambulia Chongolo ni maagizo ya mwenyekiti wao ndio ana mchezo wa kupaka watu matope kabla ya kuwatoa Alianza na Magufuli akamchafua kwa kutumia media Akaja na wale mawaziri akawatoa kwa maneno wanataka uraisi Ndugai naye akamsema mineno ya ovyo Chongolo goes same way hasa baada ya kutofautiana na Bashite Bashite yeye anataka fweza tu apige kupitia ziara sasa wanamchafua Watuma mapicha ya utupu na kusema ni yake mmemsikia Nape anaongea chochote Ni kazi ya mwenyekiti amepata chungu kipya Leo wanatuletea mpaka ajali walizoficha kwenye daraja la Tanzanite sio wahuni"
X Link 2023-11-28T06:13Z 409.8K followers, 12.8K engagements
"Kuna ile story ya B [---] lakini habari za zana za kivita ni kwamba B - [--] ni game changer -- Ina software zinaji update na ina AI na cloud technology with Neclear weapons The U.S Air Force's top-secret B-21 Raider stealth bomber completes its first flight equipped with advanced AI capabilities The B-21 a sixth-generation stealth aircraft possesses the range and stealth needed to counter China's mobile missiles and engage in nuclear deterrence. As the B-21's AI capabilities give the U.S. a significant advantage in long-range airpower and electronic warfare. Vita imechukua shape mpya kabisa ni"
X Link 2023-11-28T08:27Z 410.2K followers, [----] engagements
"Tumsaidie kijana wetu wa Babati apete matibabu na haki zake Anayakiwa kupitia matibabu muhimu kimwilo na kiakili Tume chochote unachoweza na omba wengine kufanya hivyo pia #ChangeTanzania"
X Link 2023-11-28T10:10Z 409.9K followers, [---] engagements
"KATIBA; Katiba zote tangu [----] hazijawahi kutokana na wananchi. Wananchi hawakushirikishwa katika kuzitunga katiba hizo wakati wa ukoloni na baada ya wakoloni kuondoka. #KatibaMpya"
X Link 2023-11-28T12:00Z 409.9K followers, [----] engagements
"Huyu naye ni Rais wa nchi na anamipango kuifikisha nchi yake uchumi wa kupaaaa"
X Link 2023-11-28T18:51Z 410K followers, [----] engagements
"DEMOKRASIA NA HAKI 1; Tunahiaji katiba mpya kwa sababu mambo ya demokrasia na haki za binadamu ni mambo ambayo yana umuhimu sana katika kuleta maendeleo kwa Taifa lolote lile .#KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-11-29T04:00Z 410K followers, [---] engagements
"NCHI IMEJAA HATARI HII @TCRA_Tz @wizarahmth @TanganyikaLaw @Mwabuk2Boniface @Oleshangay @MariaSTsehai Inawezekana vipi tuna nchi yenye sheria sahihi lakini namba ya simu inapokaa miezi [--]. Uwe unaumwa umesafiri kibiashara umefirika una simu ya mkononi kwa wakati huo au huko maeneo hakuna Network kwa muda huo Laini yako ya simu anauziwa mtu mwingine Nimejaribu kufanya tafakari sana kwa nini @Tigo_TZZ @VodacomTanzania @airtel_tanzania @Haloteltz wamepwa mamlama haya makubwa hivi Kwa bank usipotumia account inafungwa lakini file zinabaki kuwa lako unaweza charge fedha kurudisha hiyo account baada"
X Link 2023-11-29T05:41Z 410K followers, 23.5K engagements
"Swali kwa @mwigulunchemba1 na @BankOfTanzania Bank zote zinataka OTP kwa namba ya simu baadhi zinatumia App ( ni suala zuri) Lakini mnashinikiza VIP OTP iwe lazima kwa simu sio email wakati simu mnazifuta Na hii kwa kwa mambo mengi ya mifumo mnataka namba ya simu lakini zina changamoto nyingi mkisoma kwa comment hapo chini Kwa nini option ya email isianze kuheshimika Baadhi ya Bank zinasema shida ni sheria za BoT"
X Link 2023-11-29T15:26Z 410.1K followers, [----] engagements
"Zanzibar watu wamekasirika"
X Link 2023-11-29T16:37Z 410.1K followers, [----] engagements
"Maisha ya Maasai Mapya huko Msomera mkoani Tanga hayaendani na ulinzi wa mazingira walikwisha zoea. Maasai watakuwa huru ikiwa tu wataridishwa katika ardhi zao. #StopMaasaiEviction #ChangeTanzania"
X Link 2023-11-30T04:15Z 410.1K followers, [----] engagements
"Mbona unapiga hattrick kwenye mchezo wa kirafiki Richard Quest is openly gay. Not sure a local gay presenter will be treated the same in #Zanzibar Plenty for Maadili Republic to ponder Richard Quest is openly gay. Not sure a local gay presenter will be treated the same in #Zanzibar Plenty for Maadili Republic to ponder"
X Link 2023-11-30T06:44Z 435.9K followers, [----] engagements
"UKORA NI MWINGI NCHI HII Kulipia LUKU kuna charge ya kufanya hivyo kwenye digital Economy @tanescoyetutz @VodacomTanzania Huu ni wizi wa mchana kweupe Kwani kununua umeme wa [-----] na umeme wa [-----] ni cost gani inaongezeka kwa VODA kuprocess hiyo transaction Mfumo ni ule ule na utaratibu ni kwamba pesa inatoka kwa mteja sio mkopo kwa nini charge zinakuwa tofauti A23T6ewiHYA9 Confirmed. Tsh200000.00 sent to LUKU for account [----] on 29/11/23 at (edited) PM Total fee Tsh4000.00 (M-Pesa fee Tsh4000.00 + Government Levy Tsh0.00). Why Huu ni wizi wa mchana kweupe sh [----] kama fee kweli kulipa umeme"
X Link 2023-11-30T07:01Z 410.1K followers, 30.3K engagements
"Ukiwa Mkoa wa CHALAMILA ukavaa nguo fupi polisi wake watakupiga bunduki Ukikutwa bar na nguo fupi utapigwa bunduki Lakini ASASI za kiraia wanawake na haki za binadamu haya wanaona ni sawa tu sio mambo ya kuw ana concern Hivi tumefika hatua nguo fupi ni kosa la kupiga mtu RISASI mbona Gekul yuko mtaani ana anapiga vijana chupa za makario Kama issue ni kwamba mnataka damu semeni ili msisingizie wadada wanajiuza muwamwage DAMU Kwa mtu kama ameuzia mtu mwili wake linakuwaje tatizo la kijamii mpaka kupigana risasi tuseme ukweli tu tusikwepe tatizo la maadili mabovu yanayotokana na elimu mbovu"
X Link 2023-11-30T09:43Z 410.1K followers, [----] engagements
"@Mwabuk2Boniface : Nchi yetu imekuwa na mambo ya ajabu sana kila mtu anaitafuna akiwa jikoni kama hatuna kesho #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi YT X Telegram Channel"
X Link 2023-11-30T18:54Z 410.2K followers, [--] engagements
"Mpango nadhani kuna shida kubwa wanatuficha wangeshamtoa mbona wakati wa Covid walimtoa na ma drip 💧 akiwa na nguo za wodini Huyu Mpango aliyezungumza na media akiwa very sick anawezaje uchuna sasa kuna shida kubwa mno"
X Link 2023-12-01T07:04Z 410.2K followers, 27.1K engagements
"@tzrailways kwa nini hiki kichwa kina honi sawa na boda boda Mnataka kuganga watu kisha msema wamegonga train Kama inatembea kweli 160km wekeni honi ya boom 💥 kubwa ili watu wasikie Hata honi tu mnashindwa"
X Link 2023-12-01T07:11Z 410.2K followers, [---] engagements
"Familia ya Marehemu wanaweza shitaki Board Room kwa fidia maana hawakuchukua hatua zozote kwa huyo askari wanasema wanajua alikuwa anakwenda hapo na kutishia watu Waajiri wana wajibu kwa wafanyakazi kuwa salama wamekiri uzembe na kusababisha kifo"
X Link 2023-12-01T17:46Z 410.3K followers, 10.4K engagements
"Majadiliano kwenye bunge maalumu wametia kifungu wanasema baada ya kupitishwa katiba pendekezwa katika kipindi cha mpito Zanzibar lazima ibadili katiba yake ili iweze kuuwiana na katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka [----]. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya"
X Link 2023-12-02T06:00Z 410.3K followers, [---] engagements
"Human rights and rule of law are inseparably connected. Aung San Suu Kyi (Burmese politician diplomat author and a [----] Nobel Peace Prize laureate) #ChangeTanzania"
X Link 2023-12-02T06:15Z 410.3K followers, [---] engagements
"Kunatakiwa kuwa na uwazi mkubwa juu ya matumizi ya rasilimali zetu uwajibikaji huo ni matokeo ya kuwa na katiba bora tutafute #KatibaMpya ili kufurahia haki hizi @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-12-02T06:30Z 410.2K followers, [---] engagements
"Wakati ule wa kupendekeza serikali tatu moja ya sababu ilikuwa ni kuwa zanzibar imejichukulia madaraka na tukaona haiwezekani zanzibar kuwanyanganya madaraka waliyonayo sasa tuache wabaki nayo. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-02T07:00Z 410.3K followers, [---] engagements
"Kiongozi asiyeheshimu na kulinda katiba ni msaliti katika nchi hii ni wajibu wa kiongozi kufikiri kuleta sheria bora zinazoleta haki kwa wananchi @rugemeleza #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-12-02T07:30Z 410.2K followers, [---] engagements
"Kuondoa madaraka ya serikali ya Zanzibar Hii inanipa wasiwasi tuliopita tukawasikiliza wananchi hasa wananchi wa zanzibar hawawezi kuacha katiba yao. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-02T08:00Z 410.3K followers, [----] engagements
"Tanzania tuna watu [---] wamekwanda Dubai kwenye masuala ya hali ya hewani COP28 Hii ni sawa na dreamline [--] kusafirisha watu hao au train [--] za kwenda mwanza au Kigoma Hotel [--] kubwa zitakotiwa na Ugeni huu wa Tanzania Ukipiga kwa haraka ni kama Tzs [---] billion zimetumika Lakini serikali imeshindwa kulipa fedha kwa shule toka mwezi October na November baadhi ya maeneo hakuna chaki Hii idati yote inachukua pia dola kwenye uchumi hapo tunaweka matumizi ya million [---] dola kwa safari moja tu Tunapata nini kuhutupia COP28 kwa nini msafara n mkubwa hivi Yaani tumekwenda COP28 na train mbili za abili"
X Link 2023-12-02T10:23Z 410.2K followers, [----] engagements
"Orodho ya maafisa serikali [---] wanaokuba bata Dubai kwa kisingizio cha mkutano wa mazingira kuna wizara zimepeleka mpaka wa [--] kwenye mkutano mmoja pakua hapa"
X Link 2023-12-02T13:31Z 410.3K followers, [----] engagements
"Balaa linaanza hapa Office ya Rais na Makamu wa Rais zimepeleka watu [---] Dubai kwenye mkutano wa mazingira Ikulu watu [---] na makamu [--] tunaliwa kama pelemende"
X Link 2023-12-02T14:07Z 410.3K followers, [----] engagements
"Kwenye biashara ya kuuza misitu kupitia Carbon Credit hawa ndio wa kuangalia kwa makini sana siku zote JK ajasema kwamba anafanya hizo shughuli ndio kwanza Mkwe analio kulipwa hela kama mke wa rais lakini kumbe wana mabiashara mengine kwenye misitu yetu"
X Link 2023-12-02T14:48Z 410.3K followers, [----] engagements
"Dubai tumekwenda na Wapiga Picha [--] na wapishi [--] Maisha kama ya Oprah or Billionea wapiga picha [--] mbona kuna makampuni mengi tu hapo Dubai kama tungetaka picha wangetupiga za kutosha tu na ingekuwa nafuu"
X Link 2023-12-02T15:22Z 410.3K followers, [----] engagements
"Ila JK ana mambo ya kizamani sana hapa ameona amejificha sana Kumbe Remote ilo Msoga make all sense nao This is one deal"
X Link 2023-12-02T15:46Z 410.3K followers, [----] engagements
"SGR is not in operation in Tanzania cc @RobertAlai @bonifacemwangi Waelimisheni Wakenya Boat and Train are different our SGR is not functioning delayed for 3yrs constructing 300km section took [--] yrs not completed She is on Boat Zanzibar to Dar Wakenya hajui boat 🚤 😂"
X Link 2023-12-02T19:26Z 410.4K followers, [----] engagements
"Neema kuna siku tutakutana juani tutazunguma hivi habari unatetea haya mambo ya watu [---] Dubai usichojua ni kwamba kwa Dubai hii ni biashara mmekwenda wengi kuacha dola zetu hapo"
X Link 2023-12-02T22:10Z 410.3K followers, [---] engagements
"Kukosekana kwa utawala bora kumesababisha maisha magumu kwa wananchi ni wazi tunahitaji mabadiliko ya #KatibaMpya ambayo italeta utawala na mfumo bora wa nchi @godbless_lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO :"
X Link 2023-12-03T03:30Z 410.3K followers, [---] engagements
"Mambo yaliyo katika rasimu ya tume na ambayo yalichukuliwa na bunge maalum la katiba yametokana na maoni ya wananchi. Kwahiyo kazi hii imefanyikaa. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-03T06:00Z 410.3K followers, [---] engagements
"Kupitia Tume hii Kwa mara kwanza ndio tulipata maoni ya wananchi. Katiba za huko nyuma hatukuwa tunawauliza wananchi. Jaji Joseph Warioba #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi"
X Link 2023-12-03T07:00Z 410.3K followers, [---] engagements
"Kama wanaweka wabunge wa mchongo basi Safari za Samia zina mambo mengi nadhani amezoea kufanya hizi Marekani alikwenda na watu mpaka akafunga hotel mbili"
X Link 2023-12-03T07:37Z 410.3K followers, [----] engagements
"Kumbe Musukuma naye ana nyege kiasi iki si ni mzee wa Miaka [--] huyu anafanya haya mambo sababu ya kamwili kadogo au kukosa haki Huyu ni babu kabisa sio wa kwenda bar kufanya mambo ya form [--] Kutopita shule haina maana usikue pia"
X Link 2023-12-03T10:22Z 410.3K followers, [----] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/twitter::lifeofmshaba