#  @kwamekivaisi Kwame Kivaisi Kwame Kivaisi posts on X about tanzania, zanzibar, the world, mambo the most. They currently have [---------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [------] [#](/creator/twitter::1301238330718330883/interactions)  - [--] Week [-------] +3,447% - [--] Month [-------] +1,088% - [--] Months [---------] +3,296% - [--] Year [---------] +718% ### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::1301238330718330883/posts_active)  - [--] Week [--] +86% - [--] Month [---] +85% - [--] Months [---] +979% - [--] Year [---] +274% ### Followers: [---------] [#](/creator/twitter::1301238330718330883/followers)  - [--] Week [-------] +0% - [--] Month [-------] +0% - [--] Months [-------] -0.10% - [--] Year [-------] -1.20% ### CreatorRank: [---------] [#](/creator/twitter::1301238330718330883/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [countries](/list/countries) [travel destinations](/list/travel-destinations) [finance](/list/finance) [currencies](/list/currencies) [technology brands](/list/technology-brands) [social networks](/list/social-networks) [automotive brands](/list/automotive-brands) [celebrities](/list/celebrities) [luxury brands](/list/luxury-brands) [us election](/list/us-election) **Social topic influence** [tanzania](/topic/tanzania) #603, [zanzibar](/topic/zanzibar), [the world](/topic/the-world), [mambo](/topic/mambo), [kenya](/topic/kenya), [kwanza](/topic/kwanza), [nairobi](/topic/nairobi), [investment](/topic/investment), [zambia](/topic/zambia), [business](/topic/business) **Top accounts mentioned or mentioned by** [@suluhusamia](/creator/undefined) [@420cousin](/creator/undefined) [@abdulazack](/creator/undefined) [@larrymadowo](/creator/undefined) [@cnn](/creator/undefined) [@tanpol](/creator/undefined) [@kevkigos](/creator/undefined) [@freemanmbowetz](/creator/undefined) [@mariastsehai](/creator/undefined) [@mankinduwezo](/creator/undefined) [@skanyika](/creator/undefined) [@engmatarra](/creator/undefined) [@amenyanelson](/creator/undefined) [@eucommission](/creator/undefined) [@100](/creator/undefined) [@zittokabwe](/creator/undefined) [@godblesslema](/creator/undefined) [@tundualissu](/creator/undefined) [@kenyansays](/creator/undefined) [@lynnestactia](/creator/undefined) **Top assets mentioned** [Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [CannabisCoin (CANN)](/topic/cannabis) [Alphabet Inc Class A (GOOGL)](/topic/google) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "Prof Assad alindwe at all Costs" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1688938673067139073) 2023-08-08T15:42Z 124.9K followers, 33.2K engagements "We needed such hypes in East Africa the game was snoring thanks @KHALIGRAPH kwa kuliamsha game acha watoe ngoma tuburudike. All in all OG remains the best rapper in EA kwa sasa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1695056832065105925) 2023-08-25T12:53Z 125.7K followers, [---] engagements "Rais Samia aweka shada Mnara wa Uhuru wa Zambia na kaburi la Dkt. Kaunda. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameungana na Rais wa Zambia Hakainde Hichilema kuweka mashada ya maua kwenye Mnara wa uhuru wa Zambia. Rais Samia ameweka shada hilo ikiwa ni ishara ya kutoa heshima na kutambua walioongoza harakati za kuliltea uhuru Taifa hilo mwaka [----]. Baada ya kuweka shada kwa mashujaa Rais Samia pia ameweka shada la maua kwenye kaburi la Baba wa Taifa la Zambia Dk. Kenneth Kaunda jijini Lusaka. Leo Zambia inaadhimisha miaka [--] tangu ipate Uhuru kutoka kwa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1716769510005276790) 2023-10-24T10:52Z 126K followers, [---] engagements "Safi sana kuna mambo yanafanyika chinichini na mazuri kweli na hata hatuoni wanaharakati uchwara wakitoa pongezi kwa serikali yetu ya Mh Rais Samia Suluhu" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1729063891802656945) 2023-11-27T09:05Z 125.9K followers, [---] engagements "Mbowe anapenda sana attention. Imagine gharika imetokea tangu tarehe 2-3 Dec why Mbowe asiende hadi asikie Rais anataka kwenda Mbowe ameshtukiwa alitaka kutembelea upepo wa Rais Samia Suluhu. Mkiwa na Mwenyekiti kilaza kama Mbowe lazima muishi kwa tabu sana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1732741092351566213) 2023-12-07T12:37Z 125.9K followers, [----] engagements "Sema Katika Kitu ambacho chadema wanapaswa kujutia maisha yao yote ni kuwa na Mwenyekiti kama Mbowe. Mwenyekiti hana dira analipuka tu muda anaotaka yeye na kutafuta huruma" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1733795611600662609) 2023-12-10T10:27Z 125.9K followers, [---] engagements "Katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/24 yani kati ya July - Sept serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Tanzania imeingiza mapato ya USD 3B ambayo ni sawa na TZS Trilioni na [--]. Hii ni rekodi kubwa kuwahi kutokea kwenye nchi yetu tangu tupata uhuru. Na hii ndio maana tunasema kwamba royal tour revolutionized tourism in Tanzania" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1735598346046234742) 2023-12-15T09:51Z 125.9K followers, [---] engagements "@TanzaniaInsight Things we see in movies. The calmest water runs deep. Tanzania seems quite humble but from what I hear and see we have one of the most formidable forces in the world" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1745911540509749340) 2024-01-12T20:52Z 125.7K followers, [---] engagements "LISSU ANAJUA VIPAUMBELE VYAKE β‘Lissu sio mpumbavu anajua anachokifanya. Ina maana unataka kusema kwamba hakuna na taarifa na maandamano yao Sio kweli Kwenda Kwenye Ufunguzi wa Mashindano ya AFCON Ivory Coast ni kukwepa kwa makusudi mashindano haya ya kinafiki. β‘Mimi sijawahi kumuona Lissu akiwa passionate kiasi hiki kwenye mipira hadi amesafiri kabisa alikuwa na agenda maalumu. ππππ. β‘The Fall of Chadema is near kabla ya [----] tutashuhudia mpasuko mkubwa sana ndani ya chadema na chama kipya kinakwenda kuanzishwa" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1746562451414344137) 2024-01-14T15:58Z [--] followers, [---] engagements "Msingi wa kuundwa kwa Chadema ni Udini na Ukabila. Waasisis wa chama hicho ni Ndugu Edwin Mtei aliyekuwa Gavana Benki Kuu Tanzania Brown Ngululupi Dr Amani Warid Kabourou Ndesamburo na wadau wengine kutoka Marekani. Ukweli ni kwamba vijana wenye asili ya makabila kutoka Kaskazini mwa Tanzania kama Wachaga Wapare Wameru na Wamasai walioishi Ulaya na Marekani ndio waasisi wa Chadema kwa malengo ya kuwatumia Watanzania ili kutetea ajenda za makabila ya Kaskazini na udini hasa Ukristo. Hoja hii imekwisha kujadiliwa chuo kikuu cha Dar es Salaam na Marehemu Profesa Max Muya miaka [----]. Hata hivyo" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1748780749598097613) 2024-01-20T18:53Z [--] followers, [--] engagements "UDINI NDANI YA CHADEMA. Hii Imekaaje Ndani ya nchi yenye uwiano mkubwa wa kubwa mbili Uislamu na Ukristo yet unakuwa na over 80% ya viongozi wa dini moja ndani ya chombo kikuu cha kufanya maamuzi ndani ya chama. Lengo ni nini CCM inajitahidi sana kupunguza gap la udini kwenye uongozi wake uwiano ni mkubwa kwa maana wanazingatia hilo na hii inapunguza midomo na minongono kutoka kwa watu. Hata kama msiposema watu watasema tu mbona pale hivi mbona pale vile Hali hii ndani ya Chadema ipo kwa makusudi maalumu na mna malengo yenu. Kelele za kwamba nyie ni wadini hazimo tu mitaa tunamoishi bali hata" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1748972538070192478) 2024-01-21T07:35Z 125.9K followers, [--] engagements "WAZANZIBARI HAWANA NAFASI NDANI YA CHADEMA. Halmashauri Kuu Ya Chadema ina Wazanzibari watatu tu. Kwanini Kuna sababu ya msingi ya kuwatenga Wazanzibari Yani Zanzibar nzima na umuhimu wake kwenye siasa za nchi yetu ina watu watatu tu Mimi naijua sababu Chadema ni Wadini sana na wanajua kwamba Zanzibar predominantly in Waislamu so wanajua wakiwa na Wanzanzibar wengi ndani ya H/Kuu Chama kitakuwa ni cha Waislamu na Chadema hawalitaki hilo Abadan. Udini uko engraved kwenye mifupa na uko ndani ya DNA za Waasisi wa Chadema. Moja ya Kiapo cha Siri ya Chama ukiwa mwenyekiti ni kuulinda Ukristo hasa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1749052554552480131) 2024-01-21T12:53Z 125.9K followers, [--] engagements "CHADEMA kwanini Mnalipa Watu Waandamane β‘Unaweza Kujiuliza Bodaboda anawezaje kutumia mafuta yake kutoka Mbezi au Buguruni hadi ofisi za umoja wa Mataifa Haiingii akilini. β‘Kijana hapa ambaye ni bodaboda anakiri ya kwamba amalipwa fedha usiku jana ya kufanya maandamano na kuwekewa mafuta lakini hajui anaadamana kwa sababu gani π hii imekaaje wadau β‘Maandamano Haya ya UFIPA ni ya mchongo πππ. Vijana waliolipwa wako zaidi ya [---]. @420Cousin upo" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1750096664742813742) 2024-01-24T10:02Z 125.9K followers, [--] engagements "Vijana wamechafukwa akili πππ. Yani sio kwamba Wanataka Maandamano kwa ajili ya kudai sijui haki gani bali kwa ajili ya kutafuta maokoto. ππ. Kijana wa chuga huyu amenifurahisha sana Chadema mmetumia nguvu nyingi sana kufanya haya maandamano hadi kulipa watu. Ujingaππ #HesabuYaBosi" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1750123102552350862) 2024-01-24T11:47Z 125.9K followers, [--] engagements "Camera zetu zinawanasa vijana wa UFIPA wakiinga maeneo kujipongeza baada ya maandamano. ππ Yani UFIPA wanavijana wa hovyo sana hawa inaonesha ni wale waliolipwa hawa. Baada ya kupata maokoto yao wakaona sio mbaya kwenda kupigana misamba. ππ. @__abdulazack @420Cousin hebu nitafutieni sura za hawa watu. πππ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1750161827822989813) 2024-01-24T14:21Z 126K followers, [--] engagements "Idadi ndogo ya watu kwenye Maandamano ni ishara Chadema kupoteza mvuto na Mbowe kuchokwa. Katika historia ya Tanzania hapajapatapo tokea maandamano yenye watu wachache ya chama Kikuu cha upinzani kama maandamano ya leo ya Chadema. Sote tunafahamu namna vile maandamano ya CUF yalivyokuwa wakati CUF ikiwa chama kikuu cha upinzani mjini palikuwa hapapitiki kwa wingi wa watu. Siku ya leo Jan [--] [----] CDM imeingia kwenye historia ya kuwa chama kikuu cha upinzani kilichofanya maandamano ya kupata watu wachache zaidi. Hii sio hali ya kawaida hata kidogo lazima tujiulize na tupate majibu ya uhakika" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1750208783421149395) 2024-01-24T17:27Z 126K followers, [--] engagements "Badi Nazidi Kupokea Videos Kutoka Mitaani. Huu Ni Muendelezo Wa Waliolipwa Kushiriki Maandamano Yaliyobuma πππ Hali Ni mbaya. Sema huyu Mama ni gaidi sana alishindwa hata kufutia Tv au vyombo kaona afutie miguu kabisa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1750427213927752060) 2024-01-25T07:55Z 125.7K followers, [--] engagements "ACT Wazalendo ndio Chama Kikuu cha Upinzani kwa Sasa. Frame A ni maandamano ya ACT Wazalendo Feb [----] na Frame B ni maandamano ya Chadema Jan [----] hebu sema wewe mana wengine tukisema tunaambiwa hatuipendi Chadema. Kati ya vyama hivi viwili kipi kilijaza umati mkubwa zaidi Ni ukweli usiopingika kwamba Zitto's gap is still widely visible within Chadema bado Chadema hadi leo wanajitafuta kumpata mtu kama Zitto and @zittokabwe to prove that he deserved more ndani ya Chadema anaonesha what he can do ndani ya ACT. Ndani ya muda mchache tu ACT inaongoza serikali kule Zanzibar na huku bara its the" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1750440916446261735) 2024-01-25T08:50Z 125.7K followers, [--] engagements "Lengo la kwanza la chama cha siasa ni kushika dola. Maana yake ni kwamba chama cha siasa kazi yake ya kwanza ni kukusanya watu kama hakina watu basi hakuna chama hapo. Kama wanataka kupaza sauti kwa Wananchi basi wangekuwa NGO tu. Fumbo jifunze na soma siasa usiingilie tu mijadala ambayo huielewi" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1750535946640986209) 2024-01-25T15:07Z 125.7K followers, [--] engagements "Je ni kweli Chadema iko mioyoni mwa watu Kila ukiwaambia Chadema wajenge ofisi na waboreshe miundombinu yao majibu yao huwa kwa sasa hawana muda wa kujenga ofisi wala kufanya chochote kwani chama chao kipo mioyoni mwa watu na watu wanakipenda chama chao hivyohivyo hata kama hawana ofisi nzuri. Lakini swali linabakia je ni kweli Chadema imo mioyoni mwa Watanzania kama wao wanavyosema Jibu ni swali hilo ni hapa hasa kutokana na response ya tukio la maandamano ya Jan [----] jijini Dar es Salaam. Ili useme kwamba chako chako kimo kwenye mioyo ya watu basi ni lazima jana kungekuwa na umati wa kufa" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1750573181222416839) 2024-01-25T17:35Z [--] followers, [--] engagements "Ushahidi wa Kitafiti CHADEMA ni chama cha Kidini. Vyama vyote hivi vinaundwa na watu wa dini zote kubwa nchini. Kwa kuzingatia hilo chama kimoja kimezingatia usawa kwa kutazama namna gani tunaweza kudumisha amani utulivu umoja na upendo miongoni mwetu. Na chama kingine kimeamua kukumbatia udini ukabila udugu na ukanda. Chama hiki hakijali maisha yetu hakijali amani yetu wala upendo wetu tulio anza nao tangu enzi za Baba wa Taifa Mwalimu J.K Nyerere. CCM inaongozwa na sheria kanuni na tamaduni na matokeo yake ndio haya ya leo umoja na upendo miongoni mwetu. CCM imeweza kuonesha kwamba inaweza" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1751594220471661026) 2024-01-28T13:12Z 125.7K followers, [--] engagements "@RASHIDA14730264 @__abdulazack @420Cousin Tafuta ulete hapa tujadili hakuna wa kukujibu maswali yako ya kijinga" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1751599739504652524) 2024-01-28T13:34Z 126K followers, [--] engagements "Aibu huyu ni moja wa viongozi wa juu sana wa UFIPA anajibu maswali kitoto sana anazungumza vitu havieleweki. CHADEMA mna safari ndefu sana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1751886632532242854) 2024-01-29T08:34Z 126K followers, [--] engagements "Aibu: Dini ni Kigezo cha Uongozi Ndani ya Chadema. Ushahidi Mwingine Huu Hapa. Ndani ya miaka [--] ya Chadema imekuwa na Makatibu wakuu watano na kati ya hao Muislamu ni mmoja tu. Kule kwenye wenyeviti mlisema sana mnalazimisha ionekane haipagwi lakini hadi kwa makatibu wakuu wa chama Salum Mwalimu alikuwa na nafasi ya kuwa Katibu Mkuu wa Chama baada ya Dkt. Mashinji kutimkia CCM. Salum Mwalimu alistahili zaidi lakini Mbowe alipendelekeza jina la Mnyika na Mnyika akapita. Kwanini hakumpendekeza Salum Chadema wana udini na hili mtakuja kusadiki kuna siku. Kila wanachopanga kufanya dini inakuwa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1751894015937478983) 2024-01-29T09:04Z 125.9K followers, [--] engagements "Napata tabu sana kuona Chadema ina afisa habari kilaza kama wewe; Swali wakati anapewa nafasi ya ukatibu mkuu alikuwa tayari Muislamu Bob Makani alikuwa Mkristo wakati anashika nafasi hiyo na kama angalikuwa Muislamu wakati huo kati chama chenu kisingempa mtu anayeitwa Muhammad nafasi hiyo. Taarifa ya kwamba Bob alibadili dini sio ngeni bali swali ni wakati akiwa Katibu alikuwa dini gani" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1751907224362881372) 2024-01-29T09:56Z 125.9K followers, [--] engagements "Zanzibar is predominantly Muslim it makes sense having majority of leaders are Muslims unlike huku bara acheni ujinga. Ndani ya Chadema udini is by design" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1751909004136071278) 2024-01-29T10:03Z 125.9K followers, [--] engagements "Chadema acheni UDINI ni hatari kwa taifa letu. Dini isiwe kigezo cha kugawana vyeo. Wakati tunaelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu acheni udini mtatia taifa letu kwenye machafuko" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1751990976363557305) 2024-01-29T15:29Z 126K followers, [--] engagements "Mbowe uzalendo kwa chama chako uko wapi Chama kina umri wa miaka [--] hakina ofisi hata ya room [--] tu lakini Mwenyekiti wake anaonesha jumba lake la kifahari. Unaweza kusema kwamba nina wivu lakini ukweli ni kwamba Mbowe hana washauri hasa katika upande wa siasa. Kwanini Yeye kuwa Mwenyekiti wa chama kinachopitia kwenye crisis kila siku kutembeza bakuli ni vyema kama Mwenyekiti wake akabakia low key kwenye kuonesha mali zake basing on the mentality ya wafuasi kwa maana kwa vyovyote vile tutadhani kwamba unatumia michango yetu kwenye chama kujinufaisha which is true. Mbowe uzalendo wako kwenye" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1752004291835900333) 2024-01-29T16:22Z 126K followers, [--] engagements "Namna CHADEMA inavyodumisha mfumo Kristo. Ni mwiko ndani ya hiki kwenye nafasi za juu za uongozi kuwa mwenyekiti Muislamu. Hii sio by default bali ni by design. BAVICHA hii imeanza [----] John Heche akashika nafasi hii mara [--] kisha wakafuata wengine wa dini ile ile ina maana CHADEMA haina vijana waislamu Ukisema haya unaonekana mdini lakini vitendo vya kidini kama hivi wanavyofanya CHADEMA havikemewi hata kidogo watu wote wako kimya. Lakini sisi wakemeaji tunaitwa wadini. CHADEMA hamsemi tu ila agenda ya juu kabisa ya chama chenu kwenye nafasi za uongozi ni dini. Waislamu wengi walio ndani ya" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1752270848902242796) 2024-01-30T10:01Z 125.7K followers, [--] engagements "@Mjomba40510753 @420Cousin @__abdulazack @georgerugambwa Chadema ni chama kidini ambacho kimejivika joto la chama cha siasa ni bora mkafungua kanisa tu kuliko kujifanya ni chama cha siasa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1752274690284904842) 2024-01-30T10:16Z 126K followers, [--] engagements "Udini ni kama kivuli ndani ya Chadema hamwezi kukikimbia. β‘Hata mseme kitu gani data zinawaumbua takwimu haziwakubalii kwama chama cheni ni chama kilichokumbatia mfumo kristo. Ukiwa mkristo ndani ya Chadema una nafasi zaidi ya kushika madaraka ya juu na kupewa upendeleo wa hapa na pale kwenye baadhi ya mambo. β‘Ni asilimia [-----] tu ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chadema ndio Waislamu yani kati ya wajumbe [--] ni wajumbe watatu tu ndio Waislamu huu mgawanyo umekaaje Chadema sio chama kinachojali maslahi ya Waislamu. Zaidi ya 80% ni Wakristo na wengi wao ni KKKT is this by default hapana β‘Mbaya" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1752445091556335720) 2024-01-30T21:34Z 126K followers, [--] engagements "Lazima yapuuzwe kwa kiwango cha upuuzi mlicho nacho ningeshangaa sana kuona hayajapuuzwa" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1752458496308621603) 2024-01-30T22:27Z [--] followers, [--] engagements "@mytanzaniaone Tukana piga sarakasi" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1752567979718410447) 2024-01-31T05:42Z [--] followers, [--] engagements "Na bado mnajiuliza kwanini amekaa [--] kwenye kiti cha Mwenyekiti wa Chama yeye ni Supreme Leader ameshasema. Sasa na tabia ya watu hawa akitoka ataweka Mtoto wake au mtu wa kabila lake" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1752568985965506617) 2024-01-31T05:46Z [--] followers, [--] engagements "Jibu mnalo Chadema ni Chama Cha Kidini Waislamu Hawana Nafasi Ndani Ya Chadema. Na kwa Hili Nina Facts tupu na nishazimwaga sana. Amani ya nchi yetu itakuwa hatarini chini ya Chadema hawa watu watatugawa" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1752609397803499783) 2024-01-31T08:26Z [--] followers, [--] engagements "Tuwe Makini Sana na Hiki Chama. Haya maneno aliyasema Lissu kwa mdomo wake kwamba anaunga mkono ushoga kisha baadae akaja kukana kwamba hajasema hivyo. Kifupi Lissu ni 'Msenge'. Neno msenge ni neno la kiswahili fasaha lenye maana ya mtu anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja. cChadema ina unga mkono ushoga kwa 100% nyuma ya kivuli cha haki za binadamu na haki za raia. Wanajua kwamba Watanzania hawewezi kuvumilia huu upuuzi kwahiyo hawawi wazi moja kwa moja kusema kwamba wanaunga mkono ushoga lakini hiyo siku kiongozi wa Chadema anakwenda kuapishwa kuwa Rais wa nchi hii tukufu ndio siku hii" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1752646664257466657) 2024-01-31T10:55Z [--] followers, [--] engagements "Chadema Hawawapendi Waislamu Wa Zanzibar. Hii iko wazi kupitia maneno ya mwenyekit wao wenyewe. Mbowe ni Mbaguzi na amedhihirisha hilo si mara moja mara zote amekuwa akiongea kauli hizi hadharani na sirini" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1752672287357034599) 2024-01-31T12:36Z [--] followers, [--] engagements "Sihubiri udini napgia vita udini napiga vita udini. Kwa miaka mingi sana jamii imekuwa kimya juu ya udini unaotekelezwa na chama cha Chadema lakini sisi tukipiga kelele juu ya hayo tunaonekana hatufai. ukweli ni kwamba udini lazima upigwe vita na huu ni mwazo tu" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1752729393741406372) 2024-01-31T16:23Z [--] followers, [--] engagements "Kazi Imeisha hiki ndio tunakwenda kufanya [----] sema ACT ni mnafiki sana so unamleta mwenzio halafu we unasepa. ππ. @420Cousin unalipi la kusema mkuu. ππ" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1752731876458918105) 2024-01-31T16:33Z [--] followers, [--] engagements "CHADEMA inapanga kuchoma Vituo Vya Mafuta. Kwenye maandamano ya Mwanza Arusha na Mbeya Chadema imepanga kufanya vurugu kwa kuchoma vituo vya mafuta Hospitali na Kuharibu Miundombinu kama barabara na miradi ya maji. @tanpol nawapa hii Intel mkiipuuza msije mkasema kwamba wananchi tunayoipenda nchi yetu hatukusema. Lengo la Chadema wala sio hiyo Katiba Mpya wala kuishinika serikali kuweka mkakati wa kupunguza ugumu wa maisha bali lengo lao ni kuhakikisha kwamba nchi haikaliki. Hawa watu ni hatari sana. Wanafanya kila hila kuhakikisha kwamba nchi yetu haikaliliki kwanza ni wadini pili wana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1753004718618452339) 2024-02-01T10:37Z 125.7K followers, [--] engagements "Umeeleza vizuri sana comrade. safi sana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1753008916420534317) 2024-02-01T10:54Z 125.7K followers, [--] engagements "Chadema ni Wezi Na Mbowe Ni Jambazi KABISA. β‘Fedha Za Join Ze Chain Ziko Wapi na Ni Bei ganiββ β‘Fedha Za Watu Hanang Ziko Wapi Na Mlipata Kiasi Ganiββ β‘Mlichanga Hapa Fedha Za Matibabu Ya Prof. Jay Lakini Hatujui Zilipatikana Bei Gani Na Ziko Wapiββ. π΄Mnapenda Sana Ku-play Victim Kila Kitu Mnahisi Kuonewa Haya Kwenye Hili Semeni Kama Mnaonewa. Nyie Ni Ni Wezi Na MwenyeKiti Wenu Ni Mwizi. π΄Mbowe Anajenga Majumba Ya Kifahari Kwa Fedha Za Michango Yetu. Amefanya Hiki Chama Kama Kitega Uchumi Chake Na Ndio Maana Amekuwa Mwenyekiti Mwa Miaka [--] Na Hana Dalili ya Kutoka. Mbowe Ni Mwizi" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1753092049283248270) 2024-02-01T16:24Z 125.7K followers, [--] engagements "Asiyejua ni Nani Kwamba Chadema Mna support Ushogaββ β‘Mrengo Wa Chama Chenu Ni Mrengo Unaounga Ushoga Hamjawahi Kutoka Hadharani Hata Siku Kupinga Ushetani Huu. β‘Taifa Letu Jema Lenye Baraka Tele Ni Taifa Lenye Maadili Chini Ya Chadema Haya Yote Yanakwenda Kuteketea" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1753334612510884135) 2024-02-02T08:28Z 125.6K followers, [--] engagements "Iko Hivi. β‘Maandamano Haijawahi Kuwa Suluhu Ya Matatizo Hasa Tanzania. Mazungumzo Ya Mezani (Maridhiano) Ambayo Hamyataki Ndio Suluhu na Bahati Mbaya Zaidi Mchagua Njia Ngumu Zaidi Ambayo Kimsingi Haiwezi Kuwapa Matunda. β‘Waswahili Wanasema Ukicheka Sana Na Mbwa Utaingia Nae Msikitini Chadema Ni Kama Paka Mlipewa Fursa Ya Kufanya Maandamano Mwanzo Na Sasa Mmeona Dezo Mnataka Kuandamana Tena Sasa @tanpol Hawa Ni Mbwa Mkicheka Nao Mtaingia Nao Msikitini. Hawana Nia Njema Na Nchi hii Lengo Lao Kufanya Uchafuzi Ni Kuharibu Taswira Ya Nchi Yetu" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1753369863819546750) 2024-02-02T10:48Z 125.6K followers, [--] engagements "@NchiAhadi @Fulltenks @JonMrema @tanpol @TCRA_Tz Jifunze kuandika kwanza. heheheh" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1753463298169745820) 2024-02-02T17:00Z 125.6K followers, [--] engagements "Kwani ni mara moja au mbili imekiri kuunga mkono ushoga" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1753465338816037281) 2024-02-02T17:08Z 125.6K followers, [--] engagements "π¨π¨Hiki Chama Kimedhamiria Kulitia Taifa zima Motoniπ¨π¨ Msiwaone wako kimya kwenye hili hii ni moja ya agenda zao Kuu kabisa. Katu tusikubali kuwapa upenyo watu hawa ni wabaya. Sera za Chadema na Itikadi yao zinapigia chepuo mapenzi ya jinsia moja. HATUTAKI" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1753764865880002716) 2024-02-03T12:58Z 125.6K followers, [--] engagements "Chadema ni Ndumilakuwili. β Mtaamini tu kwamba hiki chama ni wafanyabiashara na sio wanasiasa siasa za Chadema zinalenga zaidi kujipatia fedha na kujaza matumbo yao na si kujali maisha ya Watanzania. β Watu hawa bwana [----] baada ya Uchaguzi Mkuu ambao walishindwa kama kawaida wakasema kabisa kwamba hatutochukua ruzuku kutokana na kwamba kufanya hivyo ni kuyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu ya [----]. β First forward [----] Mbowe kawazunguka wenzake akachukua mzigo na amekaa kimya. Amekula na wachache tu wajinga kama akina Mdude Kibonge Mayai Martin Pambalu na wengine wanaendelea kulamba kamasi as" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1754401310424580157) 2024-02-05T07:07Z 125.6K followers, [--] engagements "π¨WANANCHI WAHOJI MATUMIZI YA RUZUKU YA CHADEMAπ¨ β Tsh Bil. [---] za ruzuku ya Chadema zimepigwa kimya kimya na hata Wanachama hawajajulishwa. β Sema Watanzania wamewasanukia UFIPA ππ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1754759981209948283) 2024-02-06T06:52Z 125.6K followers, [--] engagements "Migogoro Ya Ruzuku Ndani ya Chadema Ilianza tangu [----]. Shida ya Matumizi Holela ya Ruzuku ndani ya Chadema ilianza mbali sana. Wizi ghiliba na uzandiki ndani ya Chadema ulianza zamani sana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1754778592385323152) 2024-02-06T08:06Z 125.6K followers, [--] engagements "Wananchi Wanauliza Kama Chadema Imeficha fedha za Ruzuku Kama Watapewa dola watu hawa si itakua ni hatari sana @__abdulazack @420Cousin huyu Dada atafutwe na apewe ulinzi thabiti sana kwa sababu ameongea point sana. Na hawa ndio Watanzania wengi sana tulio nao ambao mawazo yao ni yakini na thabiti kwa kile wanenacho" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1754794380823572682) 2024-02-06T09:09Z 125.6K followers, [--] engagements "βHili la Ruzuku Limewavua nguo Chademaβ Kwanini hili la ruzuku limewavua nguo π―Kwa sababu nyie ndio mnajifanya vinara wa demokrasia na kunadi uwazi kwenye shughuli za serikali hasa kwenye matumizi ya fedha utoaji wa taarifa za fedha pamoja na maendeleo ya miradi katika kila hatua. Lakini mlichofanya kwenye hili la ruzuku ni kinyume kabisa na kile mnachoubiri. Kiwango hiki cha unafiki anayeweza kukifanya ni Chadema pekee hakuna mwingine. π―Sababu nyingine ni kwamba mlisema hamzitaki mbichi hizi yaani hamuitaki ruzuku kumbe mnaitamani na mbaya zaidi mkajiapiza ya kwamba hamtoichukua ruzuku" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1754916524337271099) 2024-02-06T17:14Z 125.6K followers, [--] engagements "Suala la Umeme linafanyiwa kazi na ukitaka kujua mkakati uliopo tafuta bajeti ya Wizara ya Nishati 2022/23 lakini kwa ufupi tu moja ya kazi serikali inayofanya kumaliza tatizo la umeme ni; - Kuongeza vyanzo vya uzalishaji mfano kuna mradi wa Rusumo ambao utatupa MW [--]. - Kuna mradi wa umeme wa jua Kishapu Shinyanga Mwaka huu [----] unamalizika na utakuwa mradi wa kwanza Tanzania kuingia umeme wa jua kwenye gridi ya taifa. - Kati ya mwezi huu wa pili na wa tatu tutawasha mtambo mmoja JNHPP ambao utazalisha MW [---] na sisi tuna uhaba wa MW [---] kwa hiyo tutakuwa na ziada ya MW [---]. Zipo jitihada" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1754927192067260487) 2024-02-06T17:57Z 125.6K followers, [--] engagements "Bora hiyo ruzuku ya TZS Bil 2.7bn/- wangepokea wakafanya jambo la maana ila wamegawana watu wachache marafiki wa Mwenyekiti π1. Kuna watumishi wa Chadema wanajitolea na malipo kwa mwezi anaambiwa pambana kamanda. π2. Hawana ofisi makao makuu wamepanga kila mahali. π3. Katibu Mkuu amejikopesha ruzuku na malipo analipa kwenye akaunti ya mwenyekiti. π¨Wanahubiri uhuru wa kutoa maoni wakati wao wenyewe ndani ya Chadema wamefungwa midomo hakuna hata mmoja anayetakiwa kutoa sauti. Na Ukifanya hivyo yatakukuta ya Zitto Lijuakali Mashinjima wengine walioteswa kihisia kwenye mikono Mbowe. Cc:" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1754941753625370920) 2024-02-06T18:54Z 125.6K followers, [--] engagements "Tukisema sisi tunaambiwa wamelipwa. πππ Haya kumbe UFIPA ndio kazi zenu bwana. @420Cousin @__abdulazack" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1755149678708953359) 2024-02-07T08:41Z 125.6K followers, [--] engagements "@420Cousin lile ombi na wazo lake linakwenda kutimia mkuu. Haya wale wazee wa kupenda kesi nafasi ni yenu sasa. Hili kama litapita hakuna atakayeshinda. Kwanza mjue tu sarafu itatoka wakati kesi inaendelea so mtaamua muachane na kesi au muendelee nayo.π" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1755507578983890971) 2024-02-08T08:23Z 125.6K followers, [--] engagements "Congrats @SuluhuSamia. I see Tanzania is doing a good job in the DRC @JMakamba π" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1755924183643533494) 2024-02-09T11:58Z 125.6K followers, 144.8K engagements "Moja ya kitu kinaniumiza sana ni ukimya wa nchi yetu kwa matatizo wanayopitia watu wa Palestine. #FreePalestine" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1761637587846873331) 2024-02-25T06:21Z 125.6K followers, [--] engagements "Kikwete jana amesema kwamba CCM itashinda uchaguzi wa [----] [----] ujao na ujao. Yani maana yake ni kwamba hakuna hata chama kimoja cha siasa Tanzania nje ya CCM kitakuja kushika madaraka. Ushauri wangu vyama vyenu hivyo vibadilisheni ushajili viwe vyama vya kuweka na kukopa. Sasa achanani nayo" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1764191289556205876) 2024-03-03T07:29Z 125.6K followers, [--] engagements "π¨ π¨ βNi sawa kusema kwamba CDM chini ya Mbowe imekosa mipango na dira kwenye kuendesha chama hicho kikuu cha upinzani nchini. βTuko katika zama ambazo watu huendeshwa na matokea zaidi kuliko matukio. Ukiwa na chama chenye matukio zaidi kuliko matokeo ya matokeo ya matukio hayo ni wazi unapoteza jipange upya. βCDM kimekuwa chama cha operesheni nyingi ambazo kimsingi zimekuwa hazina tija kwa chama hicho au kama hiyo tija ipo wanachama hawaioni wala haitangazwi. βChini ya uongozi wa Mbowe kati ya [----] hadi [----] CDM imeanzisha operesheni sita tofauti na zote hizo hakuna hata moja ambayo" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1766310994207265234) 2024-03-09T03:52Z 125.6K followers, [--] engagements "Wewe ndo Mwenyekiti BAVICHA Unachambua mambo hivi Kwenye kulinganisha unatazama idadi ya watu tu [-----] ya mwaka [----] sio [-----] ya mwaka [----]. Basic Economics. Na Vipi kuhusu [--]. Design [--]. Thamani ya pesa miaka hiyo na sasa [--]. Amenities Hopeless kweli" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1771216625624076494) 2024-03-22T16:45Z 125.5K followers, [--] engagements "Tunaposema Chadema ni Chama Cha Kibaguzi sio ndani ya nchi tu hadi nje ya nchi. Kauli kama *Waarabu Wako* *Wewe na Waarabu* Hizi Ni kauli za Kibaguzi ambazo Dunia nzima inazipiga vita. Hawa unaowaita Waarabu Wana Utaifa wao Wana Kampuni Yao na Nao Ni Binadamu. Sishangai Kabisa Kauli Hizi Kutoka kwa Mfuasi wa Chadema @mdudechadematz Kwa sababu Tabia Hii iko Rooted kutoka Itikadi ya Chama Chao Chini ya @freemanmbowetz" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1773645936255733843) 2024-03-29T09:38Z 125.5K followers, [--] engagements "@_LionHead_ @Ranting4Canada @warfareanalysis @Haqiqatjou What is Algebra called in Hindu" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1778662029315960846) 2024-04-12T05:50Z 125.4K followers, [---] engagements "Kijana wa Tarime amegoma kwenda kwao anaogopa kuibiwa. ππ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779157164172472516) 2024-04-13T14:38Z 125.4K followers, [--] engagements "The Best President Ever. Samia Suluhu Hassan. #MamaYukoKazini Wakati dunia inapitia vita vya Ukraine na Urusi COVID-19 na majanga mengine yakudhoofisha uchumi yeye aliweza kudhibiti mfumuko wa bei chini ya 5% kwa mwaka mzima. Nani ameweza kama yeye Wakati huohuo aliweza kutoa na ruzuku kwenye mbolea ya TZS Bil. [---] kwa wakulima zaidi ya milioni [--] nchini na ruzuku ya TZS Bil. [---] kwenye mafuta. Nani alifanya kama hivi Ukitoa mama yangu mzazi huyu ni mwanamke mwingine anayenifanya natembea kifua mbele hapa Afrika kila ninapofika napewa heshima kubwa sana kutokana na yeye na kazi kubwa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779416269445386531) 2024-04-14T07:47Z 125.4K followers, [--] engagements "@kevkigos @__abdulazack @420Cousin Hebu tupe bei za mafuta za Zambia hapa tuweke mambo sawa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779418022584648008) 2024-04-14T07:54Z 125.4K followers, [--] engagements "@_abubakarmussa @JafariKass68851 Hii ni dunia nzima katika nchi zote ambazo zinaingiza mafuta mafuta yamepanda bei na naomba nikupe taarifa nyingine kama Iran na Israel zitaingia vitani mafuta yatazidi kupanda zaidi na hautokuwa na chakufanya na hata ukimlaumu Rais Samia Suluhu haitosaidia" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779423695129153581) 2024-04-14T08:17Z 125.4K followers, [--] engagements "It is okay kupiga bomu ndani sovereign country yani Tanzania tukisikia kwamba nchini Kenya kuna nyumba ina-host magaidi wenye nia ya kuidhurua Tanzania tutume Kombora nchini Kenya hadi kwenye nyuma ile na kuuwa watu Mbili tutakuwa na uhakika gani kwamba ni kweli waliokuwemo kwenye ubalozi ule walikuwa wakipanga njama dhidi ya Israel kwa wakati huo Kumbuka Israel ndio kinara wa uwongo wakati wote kuzusha mambo ili aweze kupiga sehemu nina mifano mingi sana kwenye hili. Tatu ndani ya Israel kuna nyumba ngapi zinafanya mipanga haramu dhidi ya wengine na Iran naye apige bomu Israel Acha ujinga" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779426571381535016) 2024-04-14T08:28Z 125.4K followers, [--] engagements "@kevkigos @skanyika_ @__abdulazack @420Cousin Umeweka hoja gani mzee" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779426773404430463) 2024-04-14T08:29Z 125.4K followers, [--] engagements "@kevkigos @skanyika_ @__abdulazack @420Cousin Statement yako ni subjective umeandika tu bila kufanya tafiti sema hapa bei ya Zambia ni bei gani kwa sasa na ilikuwa bei gani. Ukisema bei ya chini Kidogo utakuwa una shida. Kuwa Objective tafadhali do your research" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779428632819032477) 2024-04-14T08:37Z 125.4K followers, [--] engagements "@kevkigos @skanyika_ @__abdulazack @420Cousin Huna kitu nishakupoteza. Pole" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779429861150409127) 2024-04-14T08:41Z 125.3K followers, [--] engagements "chini ya Dkt. Samia Suluhu Tanzania imevunja rekodi zote katika makusanyo ya kodi tangu uhuru na kuweka rekodi kubwa ambazo hakuna Rais hapo nyuma amewahi kuzifikia. Decemba [----] pekee TRA imekusanya Trilioni [----] kiwango kikubwa zaidi kukusanywa ndani ya mwezi mmoja tangu TRA ianzishwe. Sasa unaposema kwamba Rais Samia Suluhu amezembea kwenye ukusanyaji wa kodi una maana gani #MamaYukoKazini Link:" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779430830252646609) 2024-04-14T08:45Z 125.4K followers, [--] engagements "Tofauti ya bei za mafuta ndani ya nchi inategemea vitu vingi sana kodi tozo na gharama za usafirishaji. Sijafahamu viwango vya tozo na kodi kwa Zambia kwenye uingizaji wa mafuta lakini bado tofauti ya Tanzania na Zambia kwenye bei za mafuta sio kubwa sana wa data hizi chini ya 300" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779432287630766407) 2024-04-14T08:51Z 125.4K followers, [--] engagements "@kevkigos Nina uhakika we una uhakika hawampendi" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1779432472968581510) 2024-04-14T08:52Z 125.4K followers, [--] engagements "It is simple as that Rais Samia Suluhu ni visionary kwa alichokifanya kwenye sekta ya kilimo it proves all that. Kwanza kabisa kati ya 2022/23-2024 bajeti ya Wizara ya Kilimo imepanda kwa zaidi ya 250%. Maafisa ugani zaidi ya [----] nchi nzima wamepewa pikipiki za kazi vishkwambi na vifaa vingine vya kisasa. Ameanzisha mradi wa BBT ambao una lengo kwanza la kufanya mapinduzi kwenye sekta ya kilimo na pia kuzalisha ajira milioni [--] ifikapo [----]. Serikali imedhamiria kuchimba visima zaidi ya [-----] nchi nzima kwa wakulima wadogo kwa melengo ya kuondoa adha ya wakulima kutegema kilimo cha mvua. Haya" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1780120348723118355) 2024-04-16T06:25Z 125.3K followers, [--] engagements "Rais Samia Suluhu ni Bingwa wa Zama Zote. Ukitazama sekta sekta zote kubwa kama vile afya maji umeme elimu na miundombinu yeye Samia Suluhu kutoka Kizimkazi Zanzibar amefanya mambo makubwa zaidi kuliko zama zote zilizowahi kupita hapo awali. βUkicheki afya ndani ya miaka mitatu sekta ya afya imetumia TZS trilioni [--] kuimarisha sekta afya kwa kununua dawa za kutosha na vifaa tiba. Mfano wakati anaingia madarakani nchi hii alikuta ina CT-Scan mbili tu lakini kwa sasa ina zaidi ya CT-Scan [--]. π¨πUkicheki elimu ndani ya miaka mitatu amejenga madarasa mapya zaidi ya [-----] ya shule za msingi na" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1780910293423411435) 2024-04-18T10:44Z 125.3K followers, [--] engagements "π¨ π¨ - Shahada ya nne hii imetolewa kwa Mh. Rais Samia Suluhu. β‘Tanzania UDSM: Shahada ya Udaktari wa heshima (PhD) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. β‘India: Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru. β‘Zanzibar: Shahada ya Heshima Ya Uzamivu Ya Usimamizi Wa Utalii Na Masoko Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA). β‘Turkey: Shahada ya Udaktari wa Heshima Katika Uchumi. #MamaYukoKazini" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1780916627824935126) 2024-04-18T11:09Z 125.3K followers, [--] engagements "Rais Samia Suluhu kwenye historia ya nchi yetu anakuwa Rais wa pili kutoka Tanzania kufanya ziara ya kikazi nchini Uturuki tangu Mh Jakaya Kikwete afanye hivyo [----]. Ziara hii ya Mama Samia Suluhu inakwenda kuwa na mafanikio makubwa sana kwenye uchumi wetu kwani nchi zetu zimedhamiria kukuza biashara mara tatu zaidi ya sasa. Hii inakwenda kuzalisha biashara zaidi ajira zaidi kwa vijana wetu na kuongeza vipato kwa watu wetu. #MamaYukoKazini" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1781278335542157536) 2024-04-19T11:07Z 125.3K followers, [--] engagements "@TweveDevota @ThatBoyKhalifax Ingetoshaje vipi kuhusu security ya kinachozungumzwa how do you trust zoom Kikao hiki ni nyeti sana na siri lazima watu wakutane. Kuna muda mnaleta ujuwaji kwenye mambo msiyoyajua" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1782379813699043728) 2024-04-22T12:03Z 125.3K followers, [--] engagements "Diplomasia ya Uchumi kama sera yetu ya mambo ya nje inatekelezwa vizuri sana na mabalozi katika nchi mbalimbali zenye uwakilishi wetu" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1782381152269144077) 2024-04-22T12:09Z 125.3K followers, [--] engagements "Shikamoo Profesa wa Siasa Uongozi na Uchumi @suluhusamia πππππππππππππππΎππΎππΎππΎ BK leo hiyo nyomi la @freemanmbowetz" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1782459753555268085) 2024-04-22T17:21Z 125.3K followers, [--] engagements "CHADEMA WATUMIA BARABARA ZILIZOJENGWA NA SERIKALI YA CCM KUFANYA MAANDAMANO. Chadema kweli nyie ni watu wa kukosa shukurani Kama sio Serikali ya Mama Samia Suluhu kujenga barabara hii mngefanya maandamano yenu vizuri kweli Licha ya hali ya mvua maeneo mbalimbali nchini lakini kutokana na hali nzuri ya miundombinu ya barabara iliyojengwa vizuri na serikali ya Rais Samia Suluhu wameweza kuandamana vizuri kabisa bila kuchafuka. Barabara hii chadema wangeweza kuandamana hata usiku kwani imefungwa taa zaidi ya [---]. Chadema mkimaliza maandamano muwe na shukurani. #MamaYukoKazini" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1783876938341163321) 2024-04-26T15:12Z 125.2K followers, [--] engagements "Huu ndio upumbavu wa watu wa Chadema. Hahaha like why Unajua kabisa yule na huyu sio mtu mmoja Sawa endele italeta Katiba Mpya" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1784117531814535226) 2024-04-27T07:09Z 125.2K followers, [--] engagements "Details nyingi ziko sawa lakini huyu pichani sio Hussein Shekilango. Huyo ni Balozi Faraji Ali Kilumanga ambaye alikuwa msaidizi wa Shekilango. Shekilango mwenyewe nimekuwekea picha hapa. Tanzania iliposhinda vita Uganda Shekilango alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu na alipewa jukumu la kuwa Mkuu wa Nchi ya Uganda kwa muda mfupi wa transition. Balozi Kilumanga alikuwa msaidizi wake kwenye jukumu hilo yeye akiwa pia Balozi wa Tanzania nchini Uganda. Ndege yao Cessna [---] ya JWTZ ilikuwa inatoka Kampala kwenda Arusha kumpa Mwalimu Nyerere taarifa. Watu [--] walifariki [--] wakiwa wanajeshi wa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1784169272039649281) 2024-04-27T10:34Z 125.2K followers, [--] engagements "Dodoma ina siasa katili sana. Mama atawala na viatu huu mwaka hadi uchaguzi mkuu. #MamaYukoKazini" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1785019600897188189) 2024-04-29T18:53Z 125.2K followers, [--] engagements "Nyomi la CHADEMA Moshi Mjini leo π" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1785370190684860561) 2024-04-30T18:06Z 125.2K followers, [--] engagements "Uchambuzi murua sana na hili ni swali la msingi sana kuuliza na kutaka kujua utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ya CHADEMA ukoje ni nani aliwahi kuona wakifanya hivyo si kwa jambo hili la Israel na Palestine tu bali hata mengineyo Mara kadhaa nimeona matamko ya @ACTwazalendo chini ya @zittokabwe wakitoa matamko dhidi ya uonevu na uvunjaji wa haki za binadamu mfano waliwahi kuikemea Morocco kwa kuikalia Sahara Magharibi wa mabavu na pia kwenye sakata hili la Israel na Palestine msimamo wa ACT uko wazi sana vipi CHADEMA Andiko safi sana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1789248821781766331) 2024-05-11T10:58Z 125.2K followers, [--] engagements "Mwenye Shati la light blue ni Mtoto wa Mbowe Mlevi wa kutupa. Jana alikuwa Bar ya Dela Franc Tabata Pombe Uzinzi kwenda mbele. Like father like son" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1790654043762630997) 2024-05-15T08:02Z 125.2K followers, [--] engagements "Kabla ya kuanza kutembeza bakuli kumchangia Lissu fedha za kumnunua gari mpya kwanza Chadema tuelezeni michango ifuatayo ilipatikana bei gani [--]. Michango kwa ajili ya mafuriko ya Hanang [--]. Fedha za Join the Chain [--]. Michango ya matibabu ya Prof. Jay Fedha hizi zilitoka kwa Watanzania na tuna haki ya kujua kiasi kilichokusanywa lakini miaka yote CHADEMA mmekuwa mkipiga marktime kukimbia kutoa hesabu ya fedha zilizopatikana kwenye michango tajwa. Leo hii mnakuja tena mbele yetu kuomba mchango wa kumnunulia Lissu gari ni haki kweli" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1792106779649728885) 2024-05-19T08:15Z 125.2K followers, [--] engagements "Mbaya zaidi chama hiki bado kinazidi kuitisha michango kwa Watanzania kila leo lakini hata siku moja hawajawahi kutoa hesabu za jumla ya kile kilichochangwa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1792583094534283549) 2024-05-20T15:48Z 125.2K followers, [--] engagements "Mimi ni moja ya watu wanaoamini huyu dada huenda anahitaji tiba ya akili. Rais anatakiwa aonekane hadharani daily Rais akisafiri shida asiposafiri shida. Akihudhuria matukio daily shida (utasikia hakai ofisini au anafanya siasa angetuma wawakilishi). Mtumishi wenu yupi Wewe sema mtumishi wenu Watanzania maana wewe ulishajikana unakula za wahisani kwa kutukana nyumbani. Halafu eti tutaelewana tu Uelewane na nani wakati nchi umehama π " [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1792767659009819032) 2024-05-21T04:01Z 125.2K followers, [--] engagements "RAIS WA AINA HII HUTOKEA MARA CHACHE SANA KATIKA MIAKA MINGI - SEHEMU YA KWANZA Anaandika Ngabero Nyangwine akiwa Mara Tanzania. [--]. Rais anayeingia madarakani na kuwa kama amewafungua kutoka utumwani na vitisho vya utawala na kujali misingi ya demokrasia. Ingekuwa mimi mbona mngeisoma namba na mbishi ndugu zake wangemuota kwenye kiroba Coco Beach au angepotea moja kwa moja. [--]. Rais anayeingia madarakani kuwakumbusha utakatifu wa Katiba mliyo nayo. Bila hii kuna watu hata Katiba hamjui ina mambo gani ya msingi. [--]. Rais anayeingia madarakani na kuwaambia ukweli. Mkikopa anasema mmekopa mkitumia" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1793352657278492925) 2024-05-22T18:46Z 125.2K followers, [--] engagements "@kapeto98 Congo Fiji" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1795094292433699035) 2024-05-27T14:06Z 125.2K followers, [---] engagements "@mangekimambi Wewe endelea na wao waendelee. Unalia lia nini. Wewe ni mhodari π" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1796764810518089849) 2024-06-01T04:44Z 125.2K followers, [--] engagements "Kwamba hujui Musiba ni mwanajeshi ambaye alifukuzwa kazi miaka ya nyuma inatosha tu kuona mapungufu ya hoja yako. Huenda anafuatilia mambo yake ya kazi ya zamani au mafao" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1798574891777868083) 2024-06-06T04:37Z 125.2K followers, [--] engagements "Lissu jamani anaumwa.π" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1799159831393116313) 2024-06-07T19:21Z 125.2K followers, [--] engagements "Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani tutapata tena fundisho kama la [----] kuwa kura haziko Twitani hapa ni changamsha genge siku ipite π" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1799301094612582595) 2024-06-08T04:43Z 125.2K followers, [--] engagements "Jambo la kuhuzunisha sana kuona Lissu amefikia hapa. Washed Finished. Matukio politics. Nani atake kumuhonga mtu asiye tishio lolote Ninyi mnapigwa fair n square [----]. Saa hizi zungukeni tu potezeni muda" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1799677826763030654) 2024-06-09T05:40Z 125.2K followers, [--] engagements "@TanzaniaLeaks Lissu has 0% impact on the ballot box. Lissu hana athari yoyote kwenye kura au utawala wa Samia. Tafuteni kazi nyingine" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1799681695077273852) 2024-06-09T05:55Z 125.2K followers, [--] engagements "Tayari watu wameshaanza kusema kwamba mambo ni mazuri tangu DPW aende pale mambo ni mazuri sana na mizigo bandari inatoka kwa haraka sana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1799717755480072548) 2024-06-09T08:18Z 125.2K followers, [--] engagements "Mange alianza na 400k+ views saa hizi anacheza na 50k views. Wabongo akili zao wanazijua wenyewe" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1800411831133196657) 2024-06-11T06:16Z 125.2K followers, [--] engagements "Happy Birthday Comandante Che Guevara June 14th βπΏ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1801649648173547737) 2024-06-14T16:15Z 125.1K followers, [----] engagements "President Samia meets Gautam Adani. The [--] years old Indian billionaire is the founder and chairman of the Adani Group a multinational conglomerate involved in port development and operations in India and now Tanzania. As of February [----] Adanis fortune was estimated to be US$82.3 billion (over [---] trillion shillings) placing him at the 16th place on the Forbes Real Time Billionaires list. #MamaYukoKazini" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1801651924455887061) 2024-06-14T16:24Z 125.1K followers, [----] engagements "IMF wamewapa jibu zuri mliosema Tanzania haitapewa hii loan facility sababu ya zoezi la kusaidia Wamasai kuondoka Ngorongoro na kwenda sehemu bora zaidi. Watu ambao muda wote mnaombea na kuwazia nchi yenu mabaya" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1804218055716721013) 2024-06-21T18:21Z 125.2K followers, [--] engagements "Mbali na kamari kijana ni msambazaji wa madawa ya kulevya kwa wanafunzi pale UDSM na zone ya Changanyikeni. Hizi biashara mnazoingia inabidi mjiandae kwa matokeo yake na msijifiche kwenye harakati. Ukimaliza matibabu kalipe pesa za mzigo wa watu" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806564107165860235) 2024-06-28T05:43Z 125.1K followers, [--] engagements "Hii inaitwa Female Cannabis SATIVA ambayo ni bangi. Mungu amsaidie apone atuambie kwa nini kajipa jina la bangi ya kike. π€²πΎππΎ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806567041060511823) 2024-06-28T05:55Z 125.1K followers, [--] engagements "@JiniKinyonga @SuluhuSamia @KumbushoDawson @__abdulazack Mbali na hiyo kazi yake ya kampuni ya kamari this man ni msambazaji wa dawa za kulevya kwa wanafunzi UDSM na Changanyikeni zone. Chimbeni mambo kiundani kwanza mtakuja kuumbuka" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806571168335360016) 2024-06-28T06:11Z 125K followers, [--] engagements "Mbali na hiyo kazi yake ya kampuni ya kamari this man ni msambazaji wa dawa za kulevya kwa wanafunzi UDSM na Changanyikeni zone. Chimbeni mambo kiundani kwanza mtakuja kuumbuka" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806571193677283758) 2024-06-28T06:11Z 125.1K followers, [--] engagements "@mfoi_sir Wewe una uhakika gani kwamba alipelekwa Oysterbay Neno lake tu Aisee hii nchi tuna shida" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806572622961930660) 2024-06-28T06:17Z 125.1K followers, [--] engagements "@godbless_lema Kaka huyu mtu ni mshenzi siku hizi. Fanya homework yako. Unajua kwamba mikoa yote ya kikodi Dar kaweka mameneja ndugu zake wa familia" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806704418605224420) 2024-06-28T15:01Z 124.9K followers, [--] engagements "Maria Sarungi amehost spaces mabadiliko kwa miaka miwili mfululizo kila siku maazimio tu amefanikiwa kitu gani Hakuna. Halafu watu kwa mihemko na hisia za kitoto wana host space ku-unfollow watu then what Kumchangia mtu atibiwe is well and good but running campaing ku-unfollow watu Is that even a working strategy ππ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806708768194908300) 2024-06-28T15:18Z 124.9K followers, [--] engagements "Kama ningekuwa SATIVA hadi muda huu ningekuwa nishafanya kitu gani - Kwanza ningeishukuru sana Serikali ya Rais Samia Suluhu kwa kuwekeza vyema kwenye sekta ya afya kwa sababu huduma zote tangu apatikane amepata kwenye hospitali za serikali. - Pili ningetafuta watu wote ambao bila niliwatukana matusi makali ya nguoni kwa sababu tu wameamua kuishi maisha yao kama yeye anavyoishi yake. Yeye ameamua kuuza Bangi UDSM na kusimamia kampuni za Kamari wengine kama wanapush ## awaache kama yeye alivyoachwa. - Cha tatu ningeshukuru tena na tena serikali kwa sababu hata rufaa ambayo atapewa atapelekwa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806742969350762888) 2024-06-28T17:34Z 124.9K followers, [--] engagements "Fisi wa Katavi ni habari nyingine kabisa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1806760297669243389) 2024-06-28T18:43Z 124.9K followers, [--] engagements "KWA NDUGU ZANGU MITANDAONI Juni [----] Mahakama ya Wilaya ya Moshi ilimuhukumu @Eng_Matarra kifungo cha miaka [--] jela kwa kosa la kuchapisha kiwango cha utajiri wa kila Rais wa Tanzania (1 hadi 6) bila kuwa na uhakika wa taarifa hizo na leseni ya kufanya kazi kama chombo cha habari. Wakati anaweka chapisho lake hapa alipata Likes RTs na maoni mamia kwa mamia ila alipotiwa ndani kila mtu alimkimbia kasoro mtu mmoja tu aliyempa mwanasheria bure ambaye baadaye alipoona mzigo akamtosa. Twitter Tanzania ikaenda kimya ikamuacha afe peke yake. Januari mwaka huu rufaa yake ikashindikana. Matarra yuko" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1807087937898549601) 2024-06-29T16:25Z 124.8K followers, [--] engagements "Kizazi cha kiki. Tunachangia promota wa kamari matusi na msambaza madawa kwa wanafunzi UDSM anayejiita Bangi ya Kike (Sativa) ambaye huenda alifanyiwa mbaya na wasambazaji wenzake lakini tukashindwa kuchanga milioni [--] ili @Eng_Matarra asiende jela miaka 5" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1807099184908050442) 2024-06-29T17:09Z 124.8K followers, [--] engagements "WANAFIKI Mnachangia Lissu kununua V8 na tapeli anayejiita Bangi ya Kike kutibiwa wakati kada wenu @Eng_Matarra mliuchuna kumchangia milioni [--] asifungwe miaka mitano jela saa hizi mke na watoto wako taabani hata hamjui wanakula na kulala wapi. Mitandao hii tuweni makini sana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1807105014587883538) 2024-06-29T17:33Z 124.7K followers, [--] engagements "GOOGLE HAWANA OFISI TANZANIA NA SIO SERA YAO KUWA NA OFISI KILA NCHI HATA ULAYA. WANA OFISI ZA KANDA. AKAUNTI YA KIPUUZI" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1807279712231620677) 2024-06-30T05:07Z 124.7K followers, [--] engagements "Familia ya Twitter a.k.a x naomba mnisikilize. Hawa vijana wawili Sativa na Matarra ambao walisaidiwa michango hapa pia wasaidiwe msaada wa wanasaikolojia. Mambo waliyopitia huenda wanahitaji huduma hiyo sana na wasipoipata kuna mahali inaweza kuwa changamoto kwao. Nawasilisha" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1810317456507834713) 2024-07-08T14:18Z 124.7K followers, [--] engagements "Huyu dada ameshapoteza kichwani. Kwamba anawatisha hawa wazee atawavua nguo ππππππππ Sijui nani ataweza kumsaidia kichwa kikae sawa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1810537940394684891) 2024-07-09T04:54Z 124.7K followers, [--] engagements "The attempted Donald Trump assassination was probably staged to pave his way to the White House. Re: sympathy votes + anti-establishment votes" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1813111533209108704) 2024-07-16T07:20Z 124.7K followers, [---] engagements "Mheshimiwa Rais Amiri Jeshi Kuu Mwenyekiti Mama" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1815298808420458535) 2024-07-22T08:12Z 124.7K followers, [--] engagements "ZA NDAAAAANI KABISA Tundu yuko vekesheni Italia Lake Como eneo maarufu zaidi kwa mashoga kula bata Italia" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1815976375242686864) 2024-07-24T05:04Z 124.7K followers, [--] engagements "Za ndani kabisa hizi" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1816744793726201880) 2024-07-26T07:58Z 124.7K followers, [--] engagements "Profesa wa Sayansi ya Siasa na Uongozi π" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1816745160631374198) 2024-07-26T07:59Z 124.6K followers, [--] engagements "BREAKING Tundu Lissu na wasaidizi wake wapata ajali wakitoka kuroga Gamboshi. Habari imefichwa hii wekeni wazi watu wawaombee Nikajua Lissu Mkristo π³π³" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1817183006064300427) 2024-07-27T12:59Z 124.6K followers, [--] engagements "AN OPEN MESSAGE TO THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA HER EXCELLENCY DR SAMIA SULUHU HASSAN Your Excellency the first duty of any government in the world is to maintain public order. The government must always fulfill this sacred duty as a foundation for the rest of the nations needs. Since coming to power you have done that. You have kept our nation safe strong and on the right path. I am writing this to plead with you to keep doing that. To never allow lawlessness for the name of freedom of speech. To never allow our country descending into chaos for the name of freedom of" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1822951246547824671) 2024-08-12T11:00Z 124.9K followers, [----] engagements "Arthur Chilipweli mzee wa Tambaza Sec ya 90s. Injinia naona umeingia chochoro za siasa. Token wote tuwaone kwanza ndo muongee. Msijifiche fiche. Open Letter To: Dr. Samia Suluhu Hassan Dear President Samia Suluhu Hassan We the members of Sauti ya Watanzania write to express our profound discontent and to demand an urgent action in response to the recent incidents of excessive use of force employed by the police https://t.co/zLkQkBD4JK Open Letter To: Dr. Samia Suluhu Hassan Dear President Samia Suluhu Hassan We the members of Sauti ya Watanzania write to express our profound discontent and to" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1823821449377014005) 2024-08-14T20:38Z 124.9K followers, [---] engagements "2025 #FomuNiMoja β " [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1826249355155705967) 2024-08-21T13:25Z 124.9K followers, [----] engagements "They know better. They know who they are. They know it has nothing to with Samia and they know even after she leaves office for retirement the decision for those villages will stay the same. Go dig I dont see anything honorable with President @SuluhuSamia mpaka sasa mumuite tu Samia itatosha sana. Mtu anayepora raia wake haki ya kuishi kutoa maoni kukusanyika na hata kulalamika wanapoumizwa hastahili kuitwa MHESHIMIWA. https://t.co/oDY09Qz2wp I dont see anything honorable with President @SuluhuSamia mpaka sasa mumuite tu Samia itatosha sana. Mtu anayepora raia wake haki ya kuishi kutoa maoni" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1826293102245531963) 2024-08-21T16:19Z 124.9K followers, [----] engagements "@Salym @SuluhuSamia @TunduALissu You should know refer to @SuluhuSamia as Her Excellency instead of Ms" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1828159713474748593) 2024-08-26T19:56Z 124.9K followers, [---] engagements "Nani anakumbuka historia ya Aboud Rogo" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1832711526785937424) 2024-09-08T09:24Z 124.9K followers, [----] engagements "Catherine Nyakao Ruge mke mdogo wa Freeman Mbowe Bapa Masta" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1834122626886750362) 2024-09-12T06:51Z 124.9K followers, 69.4K engagements "Mziki wa maninjaMziki wa Komando" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1834177269327135140) 2024-09-12T10:28Z 124.9K followers, 14.5K engagements "Happy Birthday Mangi Mkuu Mwenyekiti wa Kudumu Mwenye Chama @freemanmbowetz. More life Bapa King" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1834917865838829868) 2024-09-14T11:31Z 124.9K followers, [----] engagements "CCM ina miaka mingine zaidi ya [--] madarakani. Mark this tweet. I will pin it" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1835391134715072866) 2024-09-15T18:52Z 124.9K followers, 10.3K engagements "Tanzania and UK: A royal partnership The Citizen @UKinTanzania https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/oped/tanzania-and-uk-a-royal-partnership-4768952 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/oped/tanzania-and-uk-a-royal-partnership-4768952" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1837038441843896657) 2024-09-20T07:57Z 124.9K followers, [----] engagements "Lissu kaenda kuishtaki Tigo na Serikali ya Tanzania kwa Mahakama ya Mzungu na wakili mzungu then anarudi tena kuja kuomba uongozi kwenye nchi ile ile ambayo kaiweka mahakamani na kasema akishinda kesi anataka kukamata mali za Tanzania kama fidia. Yani nchi unayosema utaifisili kupitia mahakama za Uingereza hiyo hiyo ndo unatamani pia kuja kuwa kiongozi wake Lissu kichwani yuko sawa kweli" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1843677709055987955) 2024-10-08T15:39Z 124.9K followers, [--] engagements "Tsh [-------] toka kwangu kaka. Itasoma mchana huu. You arent begging you are sharing with family. This is a family. Those who will reach out etc consider them as family. Peace. MFICHA MARADHI KIFO HUMUUMBUA Nimekua na mazingira magumu sana ya kifedha tangu nimeanza uguza mzazi for 3+ years ago Nimeingia madeni umasikini/ufukara & a lot you can't even tell + Sikuweza fanya kazi yoyote Wakuu naomba msaada wa chochote [----------] (Paschal Nkololo) π MFICHA MARADHI KIFO HUMUUMBUA Nimekua na mazingira magumu sana ya kifedha tangu nimeanza uguza mzazi for 3+ years ago Nimeingia madeni" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1843945094610846207) 2024-10-09T09:22Z 124.9K followers, 40.9K engagements "For the records mimi ni mwana CCM ila Lissu nimechangia gari Matara nimechangia faini Mbowe nimewahi kumpa katoni nzima ya Konyagi mahali na ananifahamu. Kuna wapinzani kibao tumesaidiana humu. Msikubali wabaguzi kwa namna yoyote ile mtu akiwa na uhitaji kibinadamu" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1843961875803029698) 2024-10-09T10:29Z 124.9K followers, [--] engagements "USHAURI WA BURE KWA WAHUSIKA Anaandika Mwalimu Ken Mtibora βπ½βπ½ Mheshimiwa Rais Samia yuko madarakani Kikatiba na ana sapoti ya asilimia kubwa ya Watanzania wanaoamini katika utawala wa sheria amani na utulivu. Uko mchezo unaendelea kufanywa na baadhi ya watu waliowekwa kando serikalini kujaribu kumfanyia chokokocho kuanzia yeye familia wasaidizi wake maono yake na maamuzi yake. Wengine ni wafanyabiashara wakwepa kodi wakubwa. Walioko nyuma ya haya ni wale wanaodhani Serikali ya Tanzania bila wao sio Serikali kwamba wao ndio wana haki ya sana kuwemo ndani ya Serikali. Ushauri wangu ni" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1844610056613949697) 2024-10-11T05:24Z 124.9K followers, [--] engagements "Mange wewe ni toksikibuli na tapeli kwa watumiaji wengi wa mitandao unayejificha kujiita mwanaharakati. Hizi akaunti za Insta acha zikae kabatini na hata fb zitakaa.Kwa taarifa yake hata hapa x hiyo account tutainywa haina muda sana kama utaendelea na upuuzi" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1844962297107665288) 2024-10-12T04:44Z 124.9K followers, [--] engagements "TUREJEE ANDIKO LA MWALIMU KEN MTIBORA USHAURI WA BURE KWA WAHUSIKA Anaandika Mwalimu Ken Mtibora βπ½βπ½ Mheshimiwa Rais Samia yuko madarakani Kikatiba na ana sapoti ya asilimia kubwa ya Watanzania wanaoamini katika utawala wa sheria amani na utulivu. Uko mchezo unaendelea kufanywa na baadhi ya watu waliowekwa kando serikalini kujaribu kumfanyia chokokocho kuanzia yeye familia wasaidizi wake maono yake na maamuzi yake. Wengine ni wafanyabiashara wakwepa kodi wakubwa. Walioko nyuma ya haya ni wale wanaodhani Serikali ya Tanzania bila wao sio Serikali kwamba wao ndio wana haki ya sana kuwemo" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1846768209946448086) 2024-10-17T04:20Z 123.1K followers, [--] engagements "Chama hakina milioni [--] kumtoa jela kijana wake kwa kesi ya kuposti uongo ila [--]. Kina mabilioni ya kujenga jumba la Mwenyekiti kijijini kwao Machame [--]. Kina Mamilioni ya kumlipa Mwenyekiti na mtoto wake kwa kutumia nyumba yao kama ofisi kuu Mikocheni 3.Kina mamilioni Kumkatia Lissu tiketi kwenda Ulaya kila mwezi kutibiwa ugonjwa wa akili [--]. Kina mamilioni kulea vikosi vya red brigedi kutekana Mkiambiwa amkeni hiki chama ni biashara ya familia ninyi wengine ni uchafu hamuelewi.Acha mfungwe" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1847515543282102497) 2024-10-19T05:50Z 123.1K followers, [--] engagements "Hamfiki laki [--] nchi nzima πππππ siku tutachapisha majina yao wote mtandaoni πππππππππππππππππππππ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1851518896005656707) 2024-10-30T06:57Z 123.2K followers, [--] engagements "Sometimes ON sometimes OFF" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1854462709640700207) 2024-11-07T09:55Z 124.9K followers, [----] engagements "Maria saa hizi anaishi kwa ramli.Kutoka mwanaharakati uchwara aliyetamani kupata nafasi kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu akaangukia pua hadi kuwa mpira ramli mtandaoni.Maisha yako kasi sana" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1855109985677512948) 2024-11-09T04:47Z 124.9K followers, 17.1K engagements "Mnasikia na kuelewaKuna maeneo jamaa wameacha kuchukua fomu sababu wanajua wataangukia pua. Hii ni Serengeti πππππππππππππππ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1855306607367716878) 2024-11-09T17:48Z 123.2K followers, [--] engagements "Niliwapa ushauri mwaka jana kwamba mtaanguka [----] na [----] kwa hiyo rudini mjipange upya muwaze [----] na [----]. Naona hatimaye Lissu amekubali ushauriππΏWatu wanaona bora kuomba Mungu CCM ifanye vizuri na kuwa bora zaidi kuliko waweke imani yao kwa upinzani wenye mawenge.Game Over" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1856641770127343733) 2024-11-13T10:14Z 124.9K followers, [----] engagements "Huu ndio mwisho wa CHADEMA kwa sasa. Mnaweza kuprinti hii posti mkaweka kumbukumbu. Msikilizeni Lissu labda mtafufuka [----]. Mkikaza shingo zaidi hata hiyo [----] mtaisahau. Ukiona wananchi hawataki kusimama kugombea kwa jina la chama chako funga biashara jipange upya" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1856983326013194693) 2024-11-14T08:51Z 124.9K followers, [----] engagements "CHADEMA NI GENGE LA WAHUNI LENYE MAKAO YAKE MAKUU MACHAME KILIMANJARO. HAWA SIO WA KUPATA HATA HALMASHAURI MOJA. NEVER NEVER NEVER AGAIN" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1856989403404448020) 2024-11-14T09:15Z 124.9K followers, [----] engagements "Ninyi mlipojiuza [----] ndo stori iliishia hapo. HAMTAKAA MUAMINIKEMama kaja kawapa uwanja mfanye siasa mkaangukia pua mtaani. Mlijua atawapiga ban ili mpige kalala ila alivyo masta akawapa dimba mkapotea.Alijua hamna kituGame over Serikali ya CCM na washirika wake wanatumia nguvu kubwa sana kuiharibu CHADEMA lakini hawatafanikiwa zaidi wanaendelea kutufanya kuwa IMARA na BORA zaidi ya walivyo tarajia. Kama Jiwe hakufanikiwa Samia hataweza kabisa. https://t.co/avTYoj7GWF Serikali ya CCM na washirika wake wanatumia nguvu kubwa sana kuiharibu CHADEMA lakini hawatafanikiwa zaidi wanaendelea" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1857658137093738636) 2024-11-16T05:33Z 124.9K followers, [----] engagements "Tito sidhani kama ana muda mwingi sana wa amani mtaani. Suala la muda tu" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1857752476033646601) 2024-11-16T11:48Z 124.9K followers, 67.1K engagements "Prof Janabi anasema mpaka sasa hakuna maiti Kariakoo. Wengine humu wametengeneza RIP feki kupata pesa za Elon MuskMillard naye anaweka matangazo ya biashara kwenye video ya kuripoti majanga" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1857825113913073838) 2024-11-16T16:36Z 124.9K followers, 14.5K engagements "Ajali ya Kariakoo angani na Rio: Saa [--] za kwanza - Gazeti La Dunia" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1858154379045421422) 2024-11-17T14:25Z 123.2K followers, [--] engagements "Nimeliaππππππππππ" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1858814061921624064) 2024-11-19T10:06Z 124.9K followers, [----] engagements "Wife Huna adabu. Mkosee Mbowe heshima na siasa zenu za kipuuzi ila heshimu ndoa ya Dk Lilian sababu unajua maana/definition ya ndoa. Fala wewe. The best way to find yourself is to lose yourself in the service of others. Never in my life did I ever think that one day I will compete for a positionand my opponent will be @freemanmbowetz wife.This is a milestone in itself and in the history of our party. https://t.co/XOj8rat6h7 The best way to find yourself is to lose yourself in the service of others. Never in my life did I ever think that one day I will compete for a positionand my opponent" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1880265120884093195) 2025-01-17T14:45Z 124.9K followers, [----] engagements "Its trending worldwide kwa relevant audience. Birthday ya @SuluhuSamia took over the share of voice pia kwa hapa nyumbani. Tanzania Tunahitaji special team kwa jailli ya Branding Mkutano kama huu wa #PoweringAfrica ilipaswa tuwe rending Nchini na worldwide kama sio Africa Media za Ndani hawajauchangamkia na ni kam hawaelewi Agenda lakini influencers wa ndani nao hawako ila this was potential kwetu https://t.co/zZZJRlfohb Tanzania Tunahitaji special team kwa jailli ya Branding Mkutano kama huu wa #PoweringAfrica ilipaswa tuwe rending Nchini na worldwide kama sio Africa Media za Ndani" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1884179375194792168) 2025-01-28T09:59Z 124.7K followers, [---] engagements "This will be Lissus end. The clock is ticking. Mark this tweet. Tanzania's opposition party Chadema has reaffirmed its stance to not only boycott the general election but also prevent it from taking place if reforms are not implemented. The party's Chairman Tundu Lissu reaffirmed the commitment to pushing for electoral system reforms to https://t.co/b8iNhOQPkw Tanzania's opposition party Chadema has reaffirmed its stance to not only boycott the general election but also prevent it from taking place if reforms are not implemented. The party's Chairman Tundu Lissu reaffirmed the commitment to" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1896420412214677991) 2025-03-03T04:40Z 124.6K followers, [---] engagements "@NdamuAminiel Chapa drone" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1903831662468669574) 2025-03-23T15:30Z 124.5K followers, [----] engagements "Tanzania Revives Ties with Angola as Power Shifts in Southern Africa - The Chanzo https://thechanzo.com/2025/04/15/tanzania-revives-ties-with-angola-as-power-shifts-in-southern-africa/ https://thechanzo.com/2025/04/15/tanzania-revives-ties-with-angola-as-power-shifts-in-southern-africa/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1912110092503179268) 2025-04-15T11:45Z 123.9K followers, [---] engagements "Dar es salaam is better than Nairobi. Come we talk about pan africanism and some manners. I will host you. @kwamekivaisi What's stopping you from coming to Nairobi if you're man enough Can't wait for that face to face. @kwamekivaisi What's stopping you from coming to Nairobi if you're man enough Can't wait for that face to face" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1925789059479212057) 2025-05-23T05:41Z 123.4K followers, 23.2K engagements "Global Peacekeeping Operations Initiative" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1925791179754344889) 2025-05-23T05:49Z 123.4K followers, [----] engagements "@MarthaKarua @SuluhuSamia You can go to Barbados" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1931374586802614780) 2025-06-07T15:35Z 123.4K followers, [---] engagements "Where is Julian Assange The hypocrisy of the fat cats is stinking to the heavens. Tanzanian police have arrested two local YouTubers as President Samia Suluhu Hassans government steps up a crackdown on dissent ahead of elections https://t.co/UPCzS0Wx7B Tanzanian police have arrested two local YouTubers as President Samia Suluhu Hassans government steps up a crackdown on dissent ahead of elections https://t.co/UPCzS0Wx7B" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1937074190869463176) 2025-06-23T09:04Z 123.4K followers, [---] engagements "@business Where is Julian Assange The hypocrisy of the fat cats is stinking to the heavens" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1937074212000465028) 2025-06-23T09:04Z 123.4K followers, [----] engagements "Bonds of Blood And Strategic Brotherhood: The Enduring Relationship Between Tanzania And Mozambique The Chanzo https://thechanzo.com/2025/05/08/bonds-of-blood-and-strategic-brotherhood-the-enduring-relationship-between-tanzania-and-mozambique/ https://thechanzo.com/2025/05/08/bonds-of-blood-and-strategic-brotherhood-the-enduring-relationship-between-tanzania-and-mozambique/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1937796335719141458) 2025-06-25T08:53Z 123.4K followers, [---] engagements "Compare apples to apples. Get it right. The doubling has also happened at Dar es Salaam and Tanga ports. Reason A booming economy. Despite having its own ports such as Dar es Salaam and Tanga some Tanzanian cargo continues to flow through Kenya due to several factors. Tanzanias cargo passing through Kenya's Mombasa port has almost doubled from [------] tonnes in [----] to [------] tonnes in [----]. One major https://t.co/sxfkd9igg9 Despite having its own ports such as Dar es Salaam and Tanga some Tanzanian cargo continues to flow through Kenya due to several factors. Tanzanias cargo passing through" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1939219951061258378) 2025-06-29T07:10Z 123.4K followers, [---] engagements "Mr McAllister these are the same games you played to shape an anti Putin narratives when Alexei Navalny was in prison. We have seen this before and we know how it works. Get something better because this one wont work in Tanzania. I am deeply concerned by the alarming reports regarding possible attempts to poison Tanzanian opposition leader @TunduALissu in detention. I urge the Tanzanian authorities to ensure his safety health and human rights are fully protected. (1/2) I am deeply concerned by the alarming reports regarding possible attempts to poison Tanzanian opposition leader @TunduALissu" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1941046670034456751) 2025-07-04T08:09Z 123.4K followers, [----] engagements "Tanzania unveils vision 2050: A roadmap to prosperity and inclusion - Taifa Daily https://taifadaily.com/tanzania-unveils-vision-2050-a-roadmap-to-prosperity-and-inclusion/ https://taifadaily.com/tanzania-unveils-vision-2050-a-roadmap-to-prosperity-and-inclusion/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1942821058756616632) 2025-07-09T05:40Z 123.4K followers, [----] engagements "Additionally Lauriane is an active duty member of the French National Gendarmerie (one of the two national law enforcement forces of France). Their motto is For the fatherland honour and law. Guinea is in bed with France. Africans never learn. President of Guinea Mamady Doumbouya with his wife Lauriane Darboux from France. https://t.co/PY5yEMzjzr President of Guinea Mamady Doumbouya with his wife Lauriane Darboux from France. https://t.co/PY5yEMzjzr" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1943539063694246064) 2025-07-11T05:13Z 123.4K followers, [---] engagements "Tanzania cuts VAT rate on electronic payments - https://www.vatcalc.com/tanzania/tanzania-cuts-vat-rate-on-electronic-payments/ http://vatcalc.com https://www.vatcalc.com/tanzania/tanzania-cuts-vat-rate-on-electronic-payments/ http://vatcalc.com" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1943559066791412054) 2025-07-11T06:32Z 123.4K followers, [---] engagements "Tourism overtakes gold as Tanzanias top foreign exchange earner The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/business/tourism-overtakes-gold-as-tanzania-s-top-foreign-exchange-earner-5113614 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/business/tourism-overtakes-gold-as-tanzania-s-top-foreign-exchange-earner-5113614" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1943559391363412151) 2025-07-11T06:34Z 123.4K followers, [---] engagements "DRC Tanzania to Establish Committee to Advance Oil and Gas Cooperation https://energycapitalpower.com/drc-tanzania-to-establish-committee-to-advance-oil-and-gas-cooperation/ https://energycapitalpower.com/drc-tanzania-to-establish-committee-to-advance-oil-and-gas-cooperation/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1944862627429044439) 2025-07-14T20:52Z 123.4K followers, [---] engagements "Setting the stage for a complete take over of the continent. 50+ years plan. Its not even Trump its the CIA. US is executing operation Monkeys Treasure Island. Why is America deporting Yemenis Vietnamese and Cubans to Africa Nigeria & South Africa rejected U.S. pressure to accept criminals but Eswatini and South Sudan agreed. https://t.co/befAAs2bTS Why is America deporting Yemenis Vietnamese and Cubans to Africa Nigeria & South Africa rejected U.S. pressure to accept criminals but Eswatini and South Sudan agreed. https://t.co/befAAs2bTS" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1946116960745320575) 2025-07-18T07:56Z 123.4K followers, [---] engagements "Why Tanzania remains strategic partner for the European Union The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/why-tanzania-remains-strategic-partner-for-the-european-union-5119900 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/why-tanzania-remains-strategic-partner-for-the-european-union-5119900" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1946809065897669077) 2025-07-20T05:47Z 123.4K followers, [---] engagements "The most effective and strategic political party and political organization in Africa" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1946851826487497053) 2025-07-20T08:37Z 123.4K followers, [----] engagements "https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/business/tanzania-to-unveil-110m-logistics-hub-to-boost-jobs-trade-5131518 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/business/tanzania-to-unveil-110m-logistics-hub-to-boost-jobs-trade-5131518" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1949357164700590218) 2025-07-27T06:32Z 123.4K followers, [---] engagements "https://www.theeastafrican.co.ke/tea/business-tech/tanzania-ban-on-foreign-small-businesses-rattles-eac-5135790 https://www.theeastafrican.co.ke/tea/business-tech/tanzania-ban-on-foreign-small-businesses-rattles-eac-5135790" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1950276531369984373) 2025-07-29T19:25Z 123.4K followers, [---] engagements "CONGRATULATIONS H.E. @SuluhuSamia. WORLD NEWS NUCLEAR ENERGY https://www.world-nuclear-news.org/articles/pilot-uranium-processing-plant-launched-in-tanzania https://www.world-nuclear-news.org/articles/pilot-uranium-processing-plant-launched-in-tanzania" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1951590416303738993) 2025-08-02T10:26Z 123.4K followers, [----] engagements "https://www.opportunitiesforafricans.com/bank-of-tanzania-mwalimu-julius-nyerere-memorial-scholarship-fund-2025-2026-for-young-tanzanians/ https://www.opportunitiesforafricans.com/bank-of-tanzania-mwalimu-julius-nyerere-memorial-scholarship-fund-2025-2026-for-young-tanzanians/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1953885273538146429) 2025-08-08T18:25Z 123.4K followers, [---] engagements "Thank you @Madonna Politics Cannot affect Change. Only consciousness Can. Therefore I am Reaching out to a Man of God. Today is my Son Roccos birthday. I feel the best gift I can give to him as a Mother - is to ask everyone to do what they can to help save the innocent children caught in the https://t.co/y2B3BsXAMt Politics Cannot affect Change. Only consciousness Can. Therefore I am Reaching out to a Man of God. Today is my Son Roccos birthday. I feel the best gift I can give to him as a Mother - is to ask everyone to do what they can to help save the innocent children caught in the" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1954991723131924652) 2025-08-11T19:42Z 123.4K followers, [---] engagements "Lifezone Metals secures $60m bridge loan for Tanzania nickel project https://www.mining-technology.com/news/lifezone-metals-60m-bridge-loan-tanzania-nickel-project/ https://www.mining-technology.com/news/lifezone-metals-60m-bridge-loan-tanzania-nickel-project/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1955877114743545956) 2025-08-14T06:20Z 123.4K followers, [---] engagements "Tanzanias independence leader Julius Nyerere built a new army fit for African liberation: how he did it https://theconversation.com/tanzanias-independence-leader-julius-nyerere-built-a-new-army-fit-for-african-liberation-how-he-did-it-246688 https://theconversation.com/tanzanias-independence-leader-julius-nyerere-built-a-new-army-fit-for-african-liberation-how-he-did-it-246688" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1956215809954443343) 2025-08-15T04:46Z 123.3K followers, [---] engagements "Tanzania revives $3 billion Mchuchuma Liganga project @SuluhuSamia ππΎ https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-revives-3-billion-mchuchuma-liganga-project-5155356 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-revives-3-billion-mchuchuma-liganga-project-5155356" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1956255350069342662) 2025-08-15T07:23Z 123.3K followers, [---] engagements "Zitto is a political entrepreneur and cannot have a grand plan. How can you have a grand plan while your party is bankrolled by the very same people you preach to despise πππ Tapeli tu maneno mengi anamaliza miti Inside ACT Wazalendos grand plan for transport infrastructure overhaul https://t.co/hHMA1rT6th Inside ACT Wazalendos grand plan for transport infrastructure overhaul https://t.co/hHMA1rT6th" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1956681830180020634) 2025-08-16T11:37Z 123.4K followers, [---] engagements "Air Tanzania Launches Direct Flights Between Nairobi and Zanzibar to Boost Regional Connectivity - Travel And Tour World https://www.travelandtourworld.com/news/article/air-tanzania-launches-direct-flights-between-nairobi-and-zanzibar-to-boost-regional-connectivity/ https://www.travelandtourworld.com/news/article/air-tanzania-launches-direct-flights-between-nairobi-and-zanzibar-to-boost-regional-connectivity/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1956972425939194086) 2025-08-17T06:52Z 123.3K followers, [----] engagements "In Tanzania inflation holds steady as prices stabilise - The EastAfrican Excellent work Your Excellency @SuluhuSamia https://www.theeastafrican.co.ke/tea/business-tech/in-tanzania-inflation-holds-steady-as-prices-stabilise-5156284 https://www.theeastafrican.co.ke/tea/business-tech/in-tanzania-inflation-holds-steady-as-prices-stabilise-5156284" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1956973166686765184) 2025-08-17T06:55Z 123.3K followers, [----] engagements "Tanzania Burundi launch [----] bln USD cross-border railway project-Xinhua ππΎππΎππΎππΎππΎππΎ @SuluhuSamia @GeneralNeva https://english.news.cn/20250817/f2f17e2d468645dea30d370c4a881e89/c.html https://english.news.cn/20250817/f2f17e2d468645dea30d370c4a881e89/c.html" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1957329501139952067) 2025-08-18T06:31Z 123.3K followers, [---] engagements "10 key regions that will determine Tanzania's presidential election The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/10-key-regions-that-will-determine-tanzania-s-presidential-election-5160996 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/10-key-regions-that-will-determine-tanzania-s-presidential-election-5160996" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1958811990723366968) 2025-08-22T08:42Z 123.3K followers, [---] engagements "United States Appreciates Tanzanias Repatriation of Displaced Persons from Northeast Syria - United States Department of State https://www.state.gov/releases/office-of-the-spokesperson/2025/08/united-states-appreciates-tanzanias-repatriation-of-displaced-persons-from-northeast-syria https://www.state.gov/releases/office-of-the-spokesperson/2025/08/united-states-appreciates-tanzanias-repatriation-of-displaced-persons-from-northeast-syria" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1959837260389531875) 2025-08-25T04:36Z 123.3K followers, [---] engagements "Tanzania among four African nations set to access jobs skills in Japan's $5.5bn hometown initiative The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-among-four-african-nations-set-to-access-jobs-skills-in-japan-s-5-5bn-hometown-initiative-5165596 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-among-four-african-nations-set-to-access-jobs-skills-in-japan-s-5-5bn-hometown-initiative-5165596" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1959837795905687851) 2025-08-25T04:38Z 123.3K followers, [---] engagements "Saving Mothers and Babies: Tanzania Leads with AI and Care at Health Summit - The Chanzo https://thechanzo.com/2025/08/23/saving-mothers-and-babies-tanzania-leads-with-ai-and-care-at-health-summit/ https://thechanzo.com/2025/08/23/saving-mothers-and-babies-tanzania-leads-with-ai-and-care-at-health-summit/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1960582625501778293) 2025-08-27T05:58Z 123.3K followers, [--] engagements "Major winners as shilling rallies against dollar The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/major-winners-as-shilling-rallies-against-dollar-5167514 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/major-winners-as-shilling-rallies-against-dollar-5167514" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1960582708377116754) 2025-08-27T05:58Z 123.3K followers, [---] engagements "ATTA :: Tanzania to create modern Tourist Information Centres throughout the country. https://atta.travel/resource/tanzania-to-create-modern-tourist-information-centres-throughout-the-country-.html https://atta.travel/resource/tanzania-to-create-modern-tourist-information-centres-throughout-the-country-.html" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1960584467145482557) 2025-08-27T06:05Z 123.3K followers, [--] engagements "Thank you Dar es Salaam. Thank you Tanzania. [--] hours to the launch and its already fully packed. All the best @SuluhuSamia. A win for Tanzania" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1961039014682566848) 2025-08-28T12:11Z 123.3K followers, [---] engagements "Tanzania bets on compressed natural gas to cut oil imports - energynews https://energynews.pro/en/tanzania-bets-on-compressed-natural-gas-to-cut-oil-imports/ https://energynews.pro/en/tanzania-bets-on-compressed-natural-gas-to-cut-oil-imports/" [X Link](https://x.com/kwamekivaisi/status/1962940295688966618) 2025-09-02T18:06Z 123.3K followers, [---] engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@kwamekivaisi Kwame KivaisiKwame Kivaisi posts on X about tanzania, zanzibar, the world, mambo the most. They currently have [---------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries travel destinations finance currencies technology brands social networks automotive brands celebrities luxury brands us election
Social topic influence tanzania #603, zanzibar, the world, mambo, kenya, kwanza, nairobi, investment, zambia, business
Top accounts mentioned or mentioned by @suluhusamia @420cousin @abdulazack @larrymadowo @cnn @tanpol @kevkigos @freemanmbowetz @mariastsehai @mankinduwezo @skanyika @engmatarra @amenyanelson @eucommission @100 @zittokabwe @godblesslema @tundualissu @kenyansays @lynnestactia
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) CannabisCoin (CANN) Alphabet Inc Class A (GOOGL)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Prof Assad alindwe at all Costs"
X Link 2023-08-08T15:42Z 124.9K followers, 33.2K engagements
"We needed such hypes in East Africa the game was snoring thanks @KHALIGRAPH kwa kuliamsha game acha watoe ngoma tuburudike. All in all OG remains the best rapper in EA kwa sasa"
X Link 2023-08-25T12:53Z 125.7K followers, [---] engagements
"Rais Samia aweka shada Mnara wa Uhuru wa Zambia na kaburi la Dkt. Kaunda. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameungana na Rais wa Zambia Hakainde Hichilema kuweka mashada ya maua kwenye Mnara wa uhuru wa Zambia. Rais Samia ameweka shada hilo ikiwa ni ishara ya kutoa heshima na kutambua walioongoza harakati za kuliltea uhuru Taifa hilo mwaka [----]. Baada ya kuweka shada kwa mashujaa Rais Samia pia ameweka shada la maua kwenye kaburi la Baba wa Taifa la Zambia Dk. Kenneth Kaunda jijini Lusaka. Leo Zambia inaadhimisha miaka [--] tangu ipate Uhuru kutoka kwa"
X Link 2023-10-24T10:52Z 126K followers, [---] engagements
"Safi sana kuna mambo yanafanyika chinichini na mazuri kweli na hata hatuoni wanaharakati uchwara wakitoa pongezi kwa serikali yetu ya Mh Rais Samia Suluhu"
X Link 2023-11-27T09:05Z 125.9K followers, [---] engagements
"Mbowe anapenda sana attention. Imagine gharika imetokea tangu tarehe 2-3 Dec why Mbowe asiende hadi asikie Rais anataka kwenda Mbowe ameshtukiwa alitaka kutembelea upepo wa Rais Samia Suluhu. Mkiwa na Mwenyekiti kilaza kama Mbowe lazima muishi kwa tabu sana"
X Link 2023-12-07T12:37Z 125.9K followers, [----] engagements
"Sema Katika Kitu ambacho chadema wanapaswa kujutia maisha yao yote ni kuwa na Mwenyekiti kama Mbowe. Mwenyekiti hana dira analipuka tu muda anaotaka yeye na kutafuta huruma"
X Link 2023-12-10T10:27Z 125.9K followers, [---] engagements
"Katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/24 yani kati ya July - Sept serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Tanzania imeingiza mapato ya USD 3B ambayo ni sawa na TZS Trilioni na [--]. Hii ni rekodi kubwa kuwahi kutokea kwenye nchi yetu tangu tupata uhuru. Na hii ndio maana tunasema kwamba royal tour revolutionized tourism in Tanzania"
X Link 2023-12-15T09:51Z 125.9K followers, [---] engagements
"@TanzaniaInsight Things we see in movies. The calmest water runs deep. Tanzania seems quite humble but from what I hear and see we have one of the most formidable forces in the world"
X Link 2024-01-12T20:52Z 125.7K followers, [---] engagements
"LISSU ANAJUA VIPAUMBELE VYAKE β‘Lissu sio mpumbavu anajua anachokifanya. Ina maana unataka kusema kwamba hakuna na taarifa na maandamano yao Sio kweli Kwenda Kwenye Ufunguzi wa Mashindano ya AFCON Ivory Coast ni kukwepa kwa makusudi mashindano haya ya kinafiki. β‘Mimi sijawahi kumuona Lissu akiwa passionate kiasi hiki kwenye mipira hadi amesafiri kabisa alikuwa na agenda maalumu. ππππ. β‘The Fall of Chadema is near kabla ya [----] tutashuhudia mpasuko mkubwa sana ndani ya chadema na chama kipya kinakwenda kuanzishwa"
X Link 2024-01-14T15:58Z [--] followers, [---] engagements
"Msingi wa kuundwa kwa Chadema ni Udini na Ukabila. Waasisis wa chama hicho ni Ndugu Edwin Mtei aliyekuwa Gavana Benki Kuu Tanzania Brown Ngululupi Dr Amani Warid Kabourou Ndesamburo na wadau wengine kutoka Marekani. Ukweli ni kwamba vijana wenye asili ya makabila kutoka Kaskazini mwa Tanzania kama Wachaga Wapare Wameru na Wamasai walioishi Ulaya na Marekani ndio waasisi wa Chadema kwa malengo ya kuwatumia Watanzania ili kutetea ajenda za makabila ya Kaskazini na udini hasa Ukristo. Hoja hii imekwisha kujadiliwa chuo kikuu cha Dar es Salaam na Marehemu Profesa Max Muya miaka [----]. Hata hivyo"
X Link 2024-01-20T18:53Z [--] followers, [--] engagements
"UDINI NDANI YA CHADEMA. Hii Imekaaje Ndani ya nchi yenye uwiano mkubwa wa kubwa mbili Uislamu na Ukristo yet unakuwa na over 80% ya viongozi wa dini moja ndani ya chombo kikuu cha kufanya maamuzi ndani ya chama. Lengo ni nini CCM inajitahidi sana kupunguza gap la udini kwenye uongozi wake uwiano ni mkubwa kwa maana wanazingatia hilo na hii inapunguza midomo na minongono kutoka kwa watu. Hata kama msiposema watu watasema tu mbona pale hivi mbona pale vile Hali hii ndani ya Chadema ipo kwa makusudi maalumu na mna malengo yenu. Kelele za kwamba nyie ni wadini hazimo tu mitaa tunamoishi bali hata"
X Link 2024-01-21T07:35Z 125.9K followers, [--] engagements
"WAZANZIBARI HAWANA NAFASI NDANI YA CHADEMA. Halmashauri Kuu Ya Chadema ina Wazanzibari watatu tu. Kwanini Kuna sababu ya msingi ya kuwatenga Wazanzibari Yani Zanzibar nzima na umuhimu wake kwenye siasa za nchi yetu ina watu watatu tu Mimi naijua sababu Chadema ni Wadini sana na wanajua kwamba Zanzibar predominantly in Waislamu so wanajua wakiwa na Wanzanzibar wengi ndani ya H/Kuu Chama kitakuwa ni cha Waislamu na Chadema hawalitaki hilo Abadan. Udini uko engraved kwenye mifupa na uko ndani ya DNA za Waasisi wa Chadema. Moja ya Kiapo cha Siri ya Chama ukiwa mwenyekiti ni kuulinda Ukristo hasa"
X Link 2024-01-21T12:53Z 125.9K followers, [--] engagements
"CHADEMA kwanini Mnalipa Watu Waandamane β‘Unaweza Kujiuliza Bodaboda anawezaje kutumia mafuta yake kutoka Mbezi au Buguruni hadi ofisi za umoja wa Mataifa Haiingii akilini. β‘Kijana hapa ambaye ni bodaboda anakiri ya kwamba amalipwa fedha usiku jana ya kufanya maandamano na kuwekewa mafuta lakini hajui anaadamana kwa sababu gani π hii imekaaje wadau β‘Maandamano Haya ya UFIPA ni ya mchongo πππ. Vijana waliolipwa wako zaidi ya [---]. @420Cousin upo"
X Link 2024-01-24T10:02Z 125.9K followers, [--] engagements
"Vijana wamechafukwa akili πππ. Yani sio kwamba Wanataka Maandamano kwa ajili ya kudai sijui haki gani bali kwa ajili ya kutafuta maokoto. ππ. Kijana wa chuga huyu amenifurahisha sana Chadema mmetumia nguvu nyingi sana kufanya haya maandamano hadi kulipa watu. Ujingaππ #HesabuYaBosi"
X Link 2024-01-24T11:47Z 125.9K followers, [--] engagements
"Camera zetu zinawanasa vijana wa UFIPA wakiinga maeneo kujipongeza baada ya maandamano. ππ Yani UFIPA wanavijana wa hovyo sana hawa inaonesha ni wale waliolipwa hawa. Baada ya kupata maokoto yao wakaona sio mbaya kwenda kupigana misamba. ππ. @__abdulazack @420Cousin hebu nitafutieni sura za hawa watu. πππ"
X Link 2024-01-24T14:21Z 126K followers, [--] engagements
"Idadi ndogo ya watu kwenye Maandamano ni ishara Chadema kupoteza mvuto na Mbowe kuchokwa. Katika historia ya Tanzania hapajapatapo tokea maandamano yenye watu wachache ya chama Kikuu cha upinzani kama maandamano ya leo ya Chadema. Sote tunafahamu namna vile maandamano ya CUF yalivyokuwa wakati CUF ikiwa chama kikuu cha upinzani mjini palikuwa hapapitiki kwa wingi wa watu. Siku ya leo Jan [--] [----] CDM imeingia kwenye historia ya kuwa chama kikuu cha upinzani kilichofanya maandamano ya kupata watu wachache zaidi. Hii sio hali ya kawaida hata kidogo lazima tujiulize na tupate majibu ya uhakika"
X Link 2024-01-24T17:27Z 126K followers, [--] engagements
"Badi Nazidi Kupokea Videos Kutoka Mitaani. Huu Ni Muendelezo Wa Waliolipwa Kushiriki Maandamano Yaliyobuma πππ Hali Ni mbaya. Sema huyu Mama ni gaidi sana alishindwa hata kufutia Tv au vyombo kaona afutie miguu kabisa"
X Link 2024-01-25T07:55Z 125.7K followers, [--] engagements
"ACT Wazalendo ndio Chama Kikuu cha Upinzani kwa Sasa. Frame A ni maandamano ya ACT Wazalendo Feb [----] na Frame B ni maandamano ya Chadema Jan [----] hebu sema wewe mana wengine tukisema tunaambiwa hatuipendi Chadema. Kati ya vyama hivi viwili kipi kilijaza umati mkubwa zaidi Ni ukweli usiopingika kwamba Zitto's gap is still widely visible within Chadema bado Chadema hadi leo wanajitafuta kumpata mtu kama Zitto and @zittokabwe to prove that he deserved more ndani ya Chadema anaonesha what he can do ndani ya ACT. Ndani ya muda mchache tu ACT inaongoza serikali kule Zanzibar na huku bara its the"
X Link 2024-01-25T08:50Z 125.7K followers, [--] engagements
"Lengo la kwanza la chama cha siasa ni kushika dola. Maana yake ni kwamba chama cha siasa kazi yake ya kwanza ni kukusanya watu kama hakina watu basi hakuna chama hapo. Kama wanataka kupaza sauti kwa Wananchi basi wangekuwa NGO tu. Fumbo jifunze na soma siasa usiingilie tu mijadala ambayo huielewi"
X Link 2024-01-25T15:07Z 125.7K followers, [--] engagements
"Je ni kweli Chadema iko mioyoni mwa watu Kila ukiwaambia Chadema wajenge ofisi na waboreshe miundombinu yao majibu yao huwa kwa sasa hawana muda wa kujenga ofisi wala kufanya chochote kwani chama chao kipo mioyoni mwa watu na watu wanakipenda chama chao hivyohivyo hata kama hawana ofisi nzuri. Lakini swali linabakia je ni kweli Chadema imo mioyoni mwa Watanzania kama wao wanavyosema Jibu ni swali hilo ni hapa hasa kutokana na response ya tukio la maandamano ya Jan [----] jijini Dar es Salaam. Ili useme kwamba chako chako kimo kwenye mioyo ya watu basi ni lazima jana kungekuwa na umati wa kufa"
X Link 2024-01-25T17:35Z [--] followers, [--] engagements
"Ushahidi wa Kitafiti CHADEMA ni chama cha Kidini. Vyama vyote hivi vinaundwa na watu wa dini zote kubwa nchini. Kwa kuzingatia hilo chama kimoja kimezingatia usawa kwa kutazama namna gani tunaweza kudumisha amani utulivu umoja na upendo miongoni mwetu. Na chama kingine kimeamua kukumbatia udini ukabila udugu na ukanda. Chama hiki hakijali maisha yetu hakijali amani yetu wala upendo wetu tulio anza nao tangu enzi za Baba wa Taifa Mwalimu J.K Nyerere. CCM inaongozwa na sheria kanuni na tamaduni na matokeo yake ndio haya ya leo umoja na upendo miongoni mwetu. CCM imeweza kuonesha kwamba inaweza"
X Link 2024-01-28T13:12Z 125.7K followers, [--] engagements
"@RASHIDA14730264 @__abdulazack @420Cousin Tafuta ulete hapa tujadili hakuna wa kukujibu maswali yako ya kijinga"
X Link 2024-01-28T13:34Z 126K followers, [--] engagements
"Aibu huyu ni moja wa viongozi wa juu sana wa UFIPA anajibu maswali kitoto sana anazungumza vitu havieleweki. CHADEMA mna safari ndefu sana"
X Link 2024-01-29T08:34Z 126K followers, [--] engagements
"Aibu: Dini ni Kigezo cha Uongozi Ndani ya Chadema. Ushahidi Mwingine Huu Hapa. Ndani ya miaka [--] ya Chadema imekuwa na Makatibu wakuu watano na kati ya hao Muislamu ni mmoja tu. Kule kwenye wenyeviti mlisema sana mnalazimisha ionekane haipagwi lakini hadi kwa makatibu wakuu wa chama Salum Mwalimu alikuwa na nafasi ya kuwa Katibu Mkuu wa Chama baada ya Dkt. Mashinji kutimkia CCM. Salum Mwalimu alistahili zaidi lakini Mbowe alipendelekeza jina la Mnyika na Mnyika akapita. Kwanini hakumpendekeza Salum Chadema wana udini na hili mtakuja kusadiki kuna siku. Kila wanachopanga kufanya dini inakuwa"
X Link 2024-01-29T09:04Z 125.9K followers, [--] engagements
"Napata tabu sana kuona Chadema ina afisa habari kilaza kama wewe; Swali wakati anapewa nafasi ya ukatibu mkuu alikuwa tayari Muislamu Bob Makani alikuwa Mkristo wakati anashika nafasi hiyo na kama angalikuwa Muislamu wakati huo kati chama chenu kisingempa mtu anayeitwa Muhammad nafasi hiyo. Taarifa ya kwamba Bob alibadili dini sio ngeni bali swali ni wakati akiwa Katibu alikuwa dini gani"
X Link 2024-01-29T09:56Z 125.9K followers, [--] engagements
"Zanzibar is predominantly Muslim it makes sense having majority of leaders are Muslims unlike huku bara acheni ujinga. Ndani ya Chadema udini is by design"
X Link 2024-01-29T10:03Z 125.9K followers, [--] engagements
"Chadema acheni UDINI ni hatari kwa taifa letu. Dini isiwe kigezo cha kugawana vyeo. Wakati tunaelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu acheni udini mtatia taifa letu kwenye machafuko"
X Link 2024-01-29T15:29Z 126K followers, [--] engagements
"Mbowe uzalendo kwa chama chako uko wapi Chama kina umri wa miaka [--] hakina ofisi hata ya room [--] tu lakini Mwenyekiti wake anaonesha jumba lake la kifahari. Unaweza kusema kwamba nina wivu lakini ukweli ni kwamba Mbowe hana washauri hasa katika upande wa siasa. Kwanini Yeye kuwa Mwenyekiti wa chama kinachopitia kwenye crisis kila siku kutembeza bakuli ni vyema kama Mwenyekiti wake akabakia low key kwenye kuonesha mali zake basing on the mentality ya wafuasi kwa maana kwa vyovyote vile tutadhani kwamba unatumia michango yetu kwenye chama kujinufaisha which is true. Mbowe uzalendo wako kwenye"
X Link 2024-01-29T16:22Z 126K followers, [--] engagements
"Namna CHADEMA inavyodumisha mfumo Kristo. Ni mwiko ndani ya hiki kwenye nafasi za juu za uongozi kuwa mwenyekiti Muislamu. Hii sio by default bali ni by design. BAVICHA hii imeanza [----] John Heche akashika nafasi hii mara [--] kisha wakafuata wengine wa dini ile ile ina maana CHADEMA haina vijana waislamu Ukisema haya unaonekana mdini lakini vitendo vya kidini kama hivi wanavyofanya CHADEMA havikemewi hata kidogo watu wote wako kimya. Lakini sisi wakemeaji tunaitwa wadini. CHADEMA hamsemi tu ila agenda ya juu kabisa ya chama chenu kwenye nafasi za uongozi ni dini. Waislamu wengi walio ndani ya"
X Link 2024-01-30T10:01Z 125.7K followers, [--] engagements
"@Mjomba40510753 @420Cousin @__abdulazack @georgerugambwa Chadema ni chama kidini ambacho kimejivika joto la chama cha siasa ni bora mkafungua kanisa tu kuliko kujifanya ni chama cha siasa"
X Link 2024-01-30T10:16Z 126K followers, [--] engagements
"Udini ni kama kivuli ndani ya Chadema hamwezi kukikimbia. β‘Hata mseme kitu gani data zinawaumbua takwimu haziwakubalii kwama chama cheni ni chama kilichokumbatia mfumo kristo. Ukiwa mkristo ndani ya Chadema una nafasi zaidi ya kushika madaraka ya juu na kupewa upendeleo wa hapa na pale kwenye baadhi ya mambo. β‘Ni asilimia [-----] tu ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chadema ndio Waislamu yani kati ya wajumbe [--] ni wajumbe watatu tu ndio Waislamu huu mgawanyo umekaaje Chadema sio chama kinachojali maslahi ya Waislamu. Zaidi ya 80% ni Wakristo na wengi wao ni KKKT is this by default hapana β‘Mbaya"
X Link 2024-01-30T21:34Z 126K followers, [--] engagements
"Lazima yapuuzwe kwa kiwango cha upuuzi mlicho nacho ningeshangaa sana kuona hayajapuuzwa"
X Link 2024-01-30T22:27Z [--] followers, [--] engagements
"@mytanzaniaone Tukana piga sarakasi"
X Link 2024-01-31T05:42Z [--] followers, [--] engagements
"Na bado mnajiuliza kwanini amekaa [--] kwenye kiti cha Mwenyekiti wa Chama yeye ni Supreme Leader ameshasema. Sasa na tabia ya watu hawa akitoka ataweka Mtoto wake au mtu wa kabila lake"
X Link 2024-01-31T05:46Z [--] followers, [--] engagements
"Jibu mnalo Chadema ni Chama Cha Kidini Waislamu Hawana Nafasi Ndani Ya Chadema. Na kwa Hili Nina Facts tupu na nishazimwaga sana. Amani ya nchi yetu itakuwa hatarini chini ya Chadema hawa watu watatugawa"
X Link 2024-01-31T08:26Z [--] followers, [--] engagements
"Tuwe Makini Sana na Hiki Chama. Haya maneno aliyasema Lissu kwa mdomo wake kwamba anaunga mkono ushoga kisha baadae akaja kukana kwamba hajasema hivyo. Kifupi Lissu ni 'Msenge'. Neno msenge ni neno la kiswahili fasaha lenye maana ya mtu anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja. cChadema ina unga mkono ushoga kwa 100% nyuma ya kivuli cha haki za binadamu na haki za raia. Wanajua kwamba Watanzania hawewezi kuvumilia huu upuuzi kwahiyo hawawi wazi moja kwa moja kusema kwamba wanaunga mkono ushoga lakini hiyo siku kiongozi wa Chadema anakwenda kuapishwa kuwa Rais wa nchi hii tukufu ndio siku hii"
X Link 2024-01-31T10:55Z [--] followers, [--] engagements
"Chadema Hawawapendi Waislamu Wa Zanzibar. Hii iko wazi kupitia maneno ya mwenyekit wao wenyewe. Mbowe ni Mbaguzi na amedhihirisha hilo si mara moja mara zote amekuwa akiongea kauli hizi hadharani na sirini"
X Link 2024-01-31T12:36Z [--] followers, [--] engagements
"Sihubiri udini napgia vita udini napiga vita udini. Kwa miaka mingi sana jamii imekuwa kimya juu ya udini unaotekelezwa na chama cha Chadema lakini sisi tukipiga kelele juu ya hayo tunaonekana hatufai. ukweli ni kwamba udini lazima upigwe vita na huu ni mwazo tu"
X Link 2024-01-31T16:23Z [--] followers, [--] engagements
"Kazi Imeisha hiki ndio tunakwenda kufanya [----] sema ACT ni mnafiki sana so unamleta mwenzio halafu we unasepa. ππ. @420Cousin unalipi la kusema mkuu. ππ"
X Link 2024-01-31T16:33Z [--] followers, [--] engagements
"CHADEMA inapanga kuchoma Vituo Vya Mafuta. Kwenye maandamano ya Mwanza Arusha na Mbeya Chadema imepanga kufanya vurugu kwa kuchoma vituo vya mafuta Hospitali na Kuharibu Miundombinu kama barabara na miradi ya maji. @tanpol nawapa hii Intel mkiipuuza msije mkasema kwamba wananchi tunayoipenda nchi yetu hatukusema. Lengo la Chadema wala sio hiyo Katiba Mpya wala kuishinika serikali kuweka mkakati wa kupunguza ugumu wa maisha bali lengo lao ni kuhakikisha kwamba nchi haikaliki. Hawa watu ni hatari sana. Wanafanya kila hila kuhakikisha kwamba nchi yetu haikaliliki kwanza ni wadini pili wana"
X Link 2024-02-01T10:37Z 125.7K followers, [--] engagements
"Umeeleza vizuri sana comrade. safi sana"
X Link 2024-02-01T10:54Z 125.7K followers, [--] engagements
"Chadema ni Wezi Na Mbowe Ni Jambazi KABISA. β‘Fedha Za Join Ze Chain Ziko Wapi na Ni Bei ganiββ β‘Fedha Za Watu Hanang Ziko Wapi Na Mlipata Kiasi Ganiββ β‘Mlichanga Hapa Fedha Za Matibabu Ya Prof. Jay Lakini Hatujui Zilipatikana Bei Gani Na Ziko Wapiββ. π΄Mnapenda Sana Ku-play Victim Kila Kitu Mnahisi Kuonewa Haya Kwenye Hili Semeni Kama Mnaonewa. Nyie Ni Ni Wezi Na MwenyeKiti Wenu Ni Mwizi. π΄Mbowe Anajenga Majumba Ya Kifahari Kwa Fedha Za Michango Yetu. Amefanya Hiki Chama Kama Kitega Uchumi Chake Na Ndio Maana Amekuwa Mwenyekiti Mwa Miaka [--] Na Hana Dalili ya Kutoka. Mbowe Ni Mwizi"
X Link 2024-02-01T16:24Z 125.7K followers, [--] engagements
"Asiyejua ni Nani Kwamba Chadema Mna support Ushogaββ β‘Mrengo Wa Chama Chenu Ni Mrengo Unaounga Ushoga Hamjawahi Kutoka Hadharani Hata Siku Kupinga Ushetani Huu. β‘Taifa Letu Jema Lenye Baraka Tele Ni Taifa Lenye Maadili Chini Ya Chadema Haya Yote Yanakwenda Kuteketea"
X Link 2024-02-02T08:28Z 125.6K followers, [--] engagements
"Iko Hivi. β‘Maandamano Haijawahi Kuwa Suluhu Ya Matatizo Hasa Tanzania. Mazungumzo Ya Mezani (Maridhiano) Ambayo Hamyataki Ndio Suluhu na Bahati Mbaya Zaidi Mchagua Njia Ngumu Zaidi Ambayo Kimsingi Haiwezi Kuwapa Matunda. β‘Waswahili Wanasema Ukicheka Sana Na Mbwa Utaingia Nae Msikitini Chadema Ni Kama Paka Mlipewa Fursa Ya Kufanya Maandamano Mwanzo Na Sasa Mmeona Dezo Mnataka Kuandamana Tena Sasa @tanpol Hawa Ni Mbwa Mkicheka Nao Mtaingia Nao Msikitini. Hawana Nia Njema Na Nchi hii Lengo Lao Kufanya Uchafuzi Ni Kuharibu Taswira Ya Nchi Yetu"
X Link 2024-02-02T10:48Z 125.6K followers, [--] engagements
"@NchiAhadi @Fulltenks @JonMrema @tanpol @TCRA_Tz Jifunze kuandika kwanza. heheheh"
X Link 2024-02-02T17:00Z 125.6K followers, [--] engagements
"Kwani ni mara moja au mbili imekiri kuunga mkono ushoga"
X Link 2024-02-02T17:08Z 125.6K followers, [--] engagements
"π¨π¨Hiki Chama Kimedhamiria Kulitia Taifa zima Motoniπ¨π¨ Msiwaone wako kimya kwenye hili hii ni moja ya agenda zao Kuu kabisa. Katu tusikubali kuwapa upenyo watu hawa ni wabaya. Sera za Chadema na Itikadi yao zinapigia chepuo mapenzi ya jinsia moja. HATUTAKI"
X Link 2024-02-03T12:58Z 125.6K followers, [--] engagements
"Chadema ni Ndumilakuwili. β
Mtaamini tu kwamba hiki chama ni wafanyabiashara na sio wanasiasa siasa za Chadema zinalenga zaidi kujipatia fedha na kujaza matumbo yao na si kujali maisha ya Watanzania. β
Watu hawa bwana [----] baada ya Uchaguzi Mkuu ambao walishindwa kama kawaida wakasema kabisa kwamba hatutochukua ruzuku kutokana na kwamba kufanya hivyo ni kuyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu ya [----]. β
First forward [----] Mbowe kawazunguka wenzake akachukua mzigo na amekaa kimya. Amekula na wachache tu wajinga kama akina Mdude Kibonge Mayai Martin Pambalu na wengine wanaendelea kulamba kamasi as"
X Link 2024-02-05T07:07Z 125.6K followers, [--] engagements
"π¨WANANCHI WAHOJI MATUMIZI YA RUZUKU YA CHADEMAπ¨ β
Tsh Bil. [---] za ruzuku ya Chadema zimepigwa kimya kimya na hata Wanachama hawajajulishwa. β
Sema Watanzania wamewasanukia UFIPA ππ"
X Link 2024-02-06T06:52Z 125.6K followers, [--] engagements
"Migogoro Ya Ruzuku Ndani ya Chadema Ilianza tangu [----]. Shida ya Matumizi Holela ya Ruzuku ndani ya Chadema ilianza mbali sana. Wizi ghiliba na uzandiki ndani ya Chadema ulianza zamani sana"
X Link 2024-02-06T08:06Z 125.6K followers, [--] engagements
"Wananchi Wanauliza Kama Chadema Imeficha fedha za Ruzuku Kama Watapewa dola watu hawa si itakua ni hatari sana @__abdulazack @420Cousin huyu Dada atafutwe na apewe ulinzi thabiti sana kwa sababu ameongea point sana. Na hawa ndio Watanzania wengi sana tulio nao ambao mawazo yao ni yakini na thabiti kwa kile wanenacho"
X Link 2024-02-06T09:09Z 125.6K followers, [--] engagements
"βHili la Ruzuku Limewavua nguo Chademaβ Kwanini hili la ruzuku limewavua nguo π―Kwa sababu nyie ndio mnajifanya vinara wa demokrasia na kunadi uwazi kwenye shughuli za serikali hasa kwenye matumizi ya fedha utoaji wa taarifa za fedha pamoja na maendeleo ya miradi katika kila hatua. Lakini mlichofanya kwenye hili la ruzuku ni kinyume kabisa na kile mnachoubiri. Kiwango hiki cha unafiki anayeweza kukifanya ni Chadema pekee hakuna mwingine. π―Sababu nyingine ni kwamba mlisema hamzitaki mbichi hizi yaani hamuitaki ruzuku kumbe mnaitamani na mbaya zaidi mkajiapiza ya kwamba hamtoichukua ruzuku"
X Link 2024-02-06T17:14Z 125.6K followers, [--] engagements
"Suala la Umeme linafanyiwa kazi na ukitaka kujua mkakati uliopo tafuta bajeti ya Wizara ya Nishati 2022/23 lakini kwa ufupi tu moja ya kazi serikali inayofanya kumaliza tatizo la umeme ni; - Kuongeza vyanzo vya uzalishaji mfano kuna mradi wa Rusumo ambao utatupa MW [--]. - Kuna mradi wa umeme wa jua Kishapu Shinyanga Mwaka huu [----] unamalizika na utakuwa mradi wa kwanza Tanzania kuingia umeme wa jua kwenye gridi ya taifa. - Kati ya mwezi huu wa pili na wa tatu tutawasha mtambo mmoja JNHPP ambao utazalisha MW [---] na sisi tuna uhaba wa MW [---] kwa hiyo tutakuwa na ziada ya MW [---]. Zipo jitihada"
X Link 2024-02-06T17:57Z 125.6K followers, [--] engagements
"Bora hiyo ruzuku ya TZS Bil 2.7bn/- wangepokea wakafanya jambo la maana ila wamegawana watu wachache marafiki wa Mwenyekiti π1. Kuna watumishi wa Chadema wanajitolea na malipo kwa mwezi anaambiwa pambana kamanda. π2. Hawana ofisi makao makuu wamepanga kila mahali. π3. Katibu Mkuu amejikopesha ruzuku na malipo analipa kwenye akaunti ya mwenyekiti. π¨Wanahubiri uhuru wa kutoa maoni wakati wao wenyewe ndani ya Chadema wamefungwa midomo hakuna hata mmoja anayetakiwa kutoa sauti. Na Ukifanya hivyo yatakukuta ya Zitto Lijuakali Mashinjima wengine walioteswa kihisia kwenye mikono Mbowe. Cc:"
X Link 2024-02-06T18:54Z 125.6K followers, [--] engagements
"Tukisema sisi tunaambiwa wamelipwa. πππ Haya kumbe UFIPA ndio kazi zenu bwana. @420Cousin @__abdulazack"
X Link 2024-02-07T08:41Z 125.6K followers, [--] engagements
"@420Cousin lile ombi na wazo lake linakwenda kutimia mkuu. Haya wale wazee wa kupenda kesi nafasi ni yenu sasa. Hili kama litapita hakuna atakayeshinda. Kwanza mjue tu sarafu itatoka wakati kesi inaendelea so mtaamua muachane na kesi au muendelee nayo.π"
X Link 2024-02-08T08:23Z 125.6K followers, [--] engagements
"Congrats @SuluhuSamia. I see Tanzania is doing a good job in the DRC @JMakamba π"
X Link 2024-02-09T11:58Z 125.6K followers, 144.8K engagements
"Moja ya kitu kinaniumiza sana ni ukimya wa nchi yetu kwa matatizo wanayopitia watu wa Palestine. #FreePalestine"
X Link 2024-02-25T06:21Z 125.6K followers, [--] engagements
"Kikwete jana amesema kwamba CCM itashinda uchaguzi wa [----] [----] ujao na ujao. Yani maana yake ni kwamba hakuna hata chama kimoja cha siasa Tanzania nje ya CCM kitakuja kushika madaraka. Ushauri wangu vyama vyenu hivyo vibadilisheni ushajili viwe vyama vya kuweka na kukopa. Sasa achanani nayo"
X Link 2024-03-03T07:29Z 125.6K followers, [--] engagements
"π¨ π¨ βNi sawa kusema kwamba CDM chini ya Mbowe imekosa mipango na dira kwenye kuendesha chama hicho kikuu cha upinzani nchini. βTuko katika zama ambazo watu huendeshwa na matokea zaidi kuliko matukio. Ukiwa na chama chenye matukio zaidi kuliko matokeo ya matokeo ya matukio hayo ni wazi unapoteza jipange upya. βCDM kimekuwa chama cha operesheni nyingi ambazo kimsingi zimekuwa hazina tija kwa chama hicho au kama hiyo tija ipo wanachama hawaioni wala haitangazwi. βChini ya uongozi wa Mbowe kati ya [----] hadi [----] CDM imeanzisha operesheni sita tofauti na zote hizo hakuna hata moja ambayo"
X Link 2024-03-09T03:52Z 125.6K followers, [--] engagements
"Wewe ndo Mwenyekiti BAVICHA Unachambua mambo hivi Kwenye kulinganisha unatazama idadi ya watu tu [-----] ya mwaka [----] sio [-----] ya mwaka [----]. Basic Economics. Na Vipi kuhusu [--]. Design [--]. Thamani ya pesa miaka hiyo na sasa [--]. Amenities Hopeless kweli"
X Link 2024-03-22T16:45Z 125.5K followers, [--] engagements
"Tunaposema Chadema ni Chama Cha Kibaguzi sio ndani ya nchi tu hadi nje ya nchi. Kauli kama Waarabu Wako Wewe na Waarabu Hizi Ni kauli za Kibaguzi ambazo Dunia nzima inazipiga vita. Hawa unaowaita Waarabu Wana Utaifa wao Wana Kampuni Yao na Nao Ni Binadamu. Sishangai Kabisa Kauli Hizi Kutoka kwa Mfuasi wa Chadema @mdudechadematz Kwa sababu Tabia Hii iko Rooted kutoka Itikadi ya Chama Chao Chini ya @freemanmbowetz"
X Link 2024-03-29T09:38Z 125.5K followers, [--] engagements
"@LionHead @Ranting4Canada @warfareanalysis @Haqiqatjou What is Algebra called in Hindu"
X Link 2024-04-12T05:50Z 125.4K followers, [---] engagements
"Kijana wa Tarime amegoma kwenda kwao anaogopa kuibiwa. ππ"
X Link 2024-04-13T14:38Z 125.4K followers, [--] engagements
"The Best President Ever. Samia Suluhu Hassan. #MamaYukoKazini Wakati dunia inapitia vita vya Ukraine na Urusi COVID-19 na majanga mengine yakudhoofisha uchumi yeye aliweza kudhibiti mfumuko wa bei chini ya 5% kwa mwaka mzima. Nani ameweza kama yeye Wakati huohuo aliweza kutoa na ruzuku kwenye mbolea ya TZS Bil. [---] kwa wakulima zaidi ya milioni [--] nchini na ruzuku ya TZS Bil. [---] kwenye mafuta. Nani alifanya kama hivi Ukitoa mama yangu mzazi huyu ni mwanamke mwingine anayenifanya natembea kifua mbele hapa Afrika kila ninapofika napewa heshima kubwa sana kutokana na yeye na kazi kubwa"
X Link 2024-04-14T07:47Z 125.4K followers, [--] engagements
"@kevkigos @__abdulazack @420Cousin Hebu tupe bei za mafuta za Zambia hapa tuweke mambo sawa"
X Link 2024-04-14T07:54Z 125.4K followers, [--] engagements
"@_abubakarmussa @JafariKass68851 Hii ni dunia nzima katika nchi zote ambazo zinaingiza mafuta mafuta yamepanda bei na naomba nikupe taarifa nyingine kama Iran na Israel zitaingia vitani mafuta yatazidi kupanda zaidi na hautokuwa na chakufanya na hata ukimlaumu Rais Samia Suluhu haitosaidia"
X Link 2024-04-14T08:17Z 125.4K followers, [--] engagements
"It is okay kupiga bomu ndani sovereign country yani Tanzania tukisikia kwamba nchini Kenya kuna nyumba ina-host magaidi wenye nia ya kuidhurua Tanzania tutume Kombora nchini Kenya hadi kwenye nyuma ile na kuuwa watu Mbili tutakuwa na uhakika gani kwamba ni kweli waliokuwemo kwenye ubalozi ule walikuwa wakipanga njama dhidi ya Israel kwa wakati huo Kumbuka Israel ndio kinara wa uwongo wakati wote kuzusha mambo ili aweze kupiga sehemu nina mifano mingi sana kwenye hili. Tatu ndani ya Israel kuna nyumba ngapi zinafanya mipanga haramu dhidi ya wengine na Iran naye apige bomu Israel Acha ujinga"
X Link 2024-04-14T08:28Z 125.4K followers, [--] engagements
"@kevkigos @skanyika_ @__abdulazack @420Cousin Umeweka hoja gani mzee"
X Link 2024-04-14T08:29Z 125.4K followers, [--] engagements
"@kevkigos @skanyika_ @__abdulazack @420Cousin Statement yako ni subjective umeandika tu bila kufanya tafiti sema hapa bei ya Zambia ni bei gani kwa sasa na ilikuwa bei gani. Ukisema bei ya chini Kidogo utakuwa una shida. Kuwa Objective tafadhali do your research"
X Link 2024-04-14T08:37Z 125.4K followers, [--] engagements
"@kevkigos @skanyika_ @__abdulazack @420Cousin Huna kitu nishakupoteza. Pole"
X Link 2024-04-14T08:41Z 125.3K followers, [--] engagements
"chini ya Dkt. Samia Suluhu Tanzania imevunja rekodi zote katika makusanyo ya kodi tangu uhuru na kuweka rekodi kubwa ambazo hakuna Rais hapo nyuma amewahi kuzifikia. Decemba [----] pekee TRA imekusanya Trilioni [----] kiwango kikubwa zaidi kukusanywa ndani ya mwezi mmoja tangu TRA ianzishwe. Sasa unaposema kwamba Rais Samia Suluhu amezembea kwenye ukusanyaji wa kodi una maana gani #MamaYukoKazini Link:"
X Link 2024-04-14T08:45Z 125.4K followers, [--] engagements
"Tofauti ya bei za mafuta ndani ya nchi inategemea vitu vingi sana kodi tozo na gharama za usafirishaji. Sijafahamu viwango vya tozo na kodi kwa Zambia kwenye uingizaji wa mafuta lakini bado tofauti ya Tanzania na Zambia kwenye bei za mafuta sio kubwa sana wa data hizi chini ya 300"
X Link 2024-04-14T08:51Z 125.4K followers, [--] engagements
"@kevkigos Nina uhakika we una uhakika hawampendi"
X Link 2024-04-14T08:52Z 125.4K followers, [--] engagements
"It is simple as that Rais Samia Suluhu ni visionary kwa alichokifanya kwenye sekta ya kilimo it proves all that. Kwanza kabisa kati ya 2022/23-2024 bajeti ya Wizara ya Kilimo imepanda kwa zaidi ya 250%. Maafisa ugani zaidi ya [----] nchi nzima wamepewa pikipiki za kazi vishkwambi na vifaa vingine vya kisasa. Ameanzisha mradi wa BBT ambao una lengo kwanza la kufanya mapinduzi kwenye sekta ya kilimo na pia kuzalisha ajira milioni [--] ifikapo [----]. Serikali imedhamiria kuchimba visima zaidi ya [-----] nchi nzima kwa wakulima wadogo kwa melengo ya kuondoa adha ya wakulima kutegema kilimo cha mvua. Haya"
X Link 2024-04-16T06:25Z 125.3K followers, [--] engagements
"Rais Samia Suluhu ni Bingwa wa Zama Zote. Ukitazama sekta sekta zote kubwa kama vile afya maji umeme elimu na miundombinu yeye Samia Suluhu kutoka Kizimkazi Zanzibar amefanya mambo makubwa zaidi kuliko zama zote zilizowahi kupita hapo awali. βUkicheki afya ndani ya miaka mitatu sekta ya afya imetumia TZS trilioni [--] kuimarisha sekta afya kwa kununua dawa za kutosha na vifaa tiba. Mfano wakati anaingia madarakani nchi hii alikuta ina CT-Scan mbili tu lakini kwa sasa ina zaidi ya CT-Scan [--]. π¨πUkicheki elimu ndani ya miaka mitatu amejenga madarasa mapya zaidi ya [-----] ya shule za msingi na"
X Link 2024-04-18T10:44Z 125.3K followers, [--] engagements
"π¨ π¨ - Shahada ya nne hii imetolewa kwa Mh. Rais Samia Suluhu. β‘Tanzania UDSM: Shahada ya Udaktari wa heshima (PhD) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. β‘India: Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru. β‘Zanzibar: Shahada ya Heshima Ya Uzamivu Ya Usimamizi Wa Utalii Na Masoko Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA). β‘Turkey: Shahada ya Udaktari wa Heshima Katika Uchumi. #MamaYukoKazini"
X Link 2024-04-18T11:09Z 125.3K followers, [--] engagements
"Rais Samia Suluhu kwenye historia ya nchi yetu anakuwa Rais wa pili kutoka Tanzania kufanya ziara ya kikazi nchini Uturuki tangu Mh Jakaya Kikwete afanye hivyo [----]. Ziara hii ya Mama Samia Suluhu inakwenda kuwa na mafanikio makubwa sana kwenye uchumi wetu kwani nchi zetu zimedhamiria kukuza biashara mara tatu zaidi ya sasa. Hii inakwenda kuzalisha biashara zaidi ajira zaidi kwa vijana wetu na kuongeza vipato kwa watu wetu. #MamaYukoKazini"
X Link 2024-04-19T11:07Z 125.3K followers, [--] engagements
"@TweveDevota @ThatBoyKhalifax Ingetoshaje vipi kuhusu security ya kinachozungumzwa how do you trust zoom Kikao hiki ni nyeti sana na siri lazima watu wakutane. Kuna muda mnaleta ujuwaji kwenye mambo msiyoyajua"
X Link 2024-04-22T12:03Z 125.3K followers, [--] engagements
"Diplomasia ya Uchumi kama sera yetu ya mambo ya nje inatekelezwa vizuri sana na mabalozi katika nchi mbalimbali zenye uwakilishi wetu"
X Link 2024-04-22T12:09Z 125.3K followers, [--] engagements
"Shikamoo Profesa wa Siasa Uongozi na Uchumi @suluhusamia πππππππππππππππΎππΎππΎππΎ BK leo hiyo nyomi la @freemanmbowetz"
X Link 2024-04-22T17:21Z 125.3K followers, [--] engagements
"CHADEMA WATUMIA BARABARA ZILIZOJENGWA NA SERIKALI YA CCM KUFANYA MAANDAMANO. Chadema kweli nyie ni watu wa kukosa shukurani Kama sio Serikali ya Mama Samia Suluhu kujenga barabara hii mngefanya maandamano yenu vizuri kweli Licha ya hali ya mvua maeneo mbalimbali nchini lakini kutokana na hali nzuri ya miundombinu ya barabara iliyojengwa vizuri na serikali ya Rais Samia Suluhu wameweza kuandamana vizuri kabisa bila kuchafuka. Barabara hii chadema wangeweza kuandamana hata usiku kwani imefungwa taa zaidi ya [---]. Chadema mkimaliza maandamano muwe na shukurani. #MamaYukoKazini"
X Link 2024-04-26T15:12Z 125.2K followers, [--] engagements
"Huu ndio upumbavu wa watu wa Chadema. Hahaha like why Unajua kabisa yule na huyu sio mtu mmoja Sawa endele italeta Katiba Mpya"
X Link 2024-04-27T07:09Z 125.2K followers, [--] engagements
"Details nyingi ziko sawa lakini huyu pichani sio Hussein Shekilango. Huyo ni Balozi Faraji Ali Kilumanga ambaye alikuwa msaidizi wa Shekilango. Shekilango mwenyewe nimekuwekea picha hapa. Tanzania iliposhinda vita Uganda Shekilango alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu na alipewa jukumu la kuwa Mkuu wa Nchi ya Uganda kwa muda mfupi wa transition. Balozi Kilumanga alikuwa msaidizi wake kwenye jukumu hilo yeye akiwa pia Balozi wa Tanzania nchini Uganda. Ndege yao Cessna [---] ya JWTZ ilikuwa inatoka Kampala kwenda Arusha kumpa Mwalimu Nyerere taarifa. Watu [--] walifariki [--] wakiwa wanajeshi wa"
X Link 2024-04-27T10:34Z 125.2K followers, [--] engagements
"Dodoma ina siasa katili sana. Mama atawala na viatu huu mwaka hadi uchaguzi mkuu. #MamaYukoKazini"
X Link 2024-04-29T18:53Z 125.2K followers, [--] engagements
"Nyomi la CHADEMA Moshi Mjini leo π"
X Link 2024-04-30T18:06Z 125.2K followers, [--] engagements
"Uchambuzi murua sana na hili ni swali la msingi sana kuuliza na kutaka kujua utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ya CHADEMA ukoje ni nani aliwahi kuona wakifanya hivyo si kwa jambo hili la Israel na Palestine tu bali hata mengineyo Mara kadhaa nimeona matamko ya @ACTwazalendo chini ya @zittokabwe wakitoa matamko dhidi ya uonevu na uvunjaji wa haki za binadamu mfano waliwahi kuikemea Morocco kwa kuikalia Sahara Magharibi wa mabavu na pia kwenye sakata hili la Israel na Palestine msimamo wa ACT uko wazi sana vipi CHADEMA Andiko safi sana"
X Link 2024-05-11T10:58Z 125.2K followers, [--] engagements
"Mwenye Shati la light blue ni Mtoto wa Mbowe Mlevi wa kutupa. Jana alikuwa Bar ya Dela Franc Tabata Pombe Uzinzi kwenda mbele. Like father like son"
X Link 2024-05-15T08:02Z 125.2K followers, [--] engagements
"Kabla ya kuanza kutembeza bakuli kumchangia Lissu fedha za kumnunua gari mpya kwanza Chadema tuelezeni michango ifuatayo ilipatikana bei gani [--]. Michango kwa ajili ya mafuriko ya Hanang [--]. Fedha za Join the Chain [--]. Michango ya matibabu ya Prof. Jay Fedha hizi zilitoka kwa Watanzania na tuna haki ya kujua kiasi kilichokusanywa lakini miaka yote CHADEMA mmekuwa mkipiga marktime kukimbia kutoa hesabu ya fedha zilizopatikana kwenye michango tajwa. Leo hii mnakuja tena mbele yetu kuomba mchango wa kumnunulia Lissu gari ni haki kweli"
X Link 2024-05-19T08:15Z 125.2K followers, [--] engagements
"Mbaya zaidi chama hiki bado kinazidi kuitisha michango kwa Watanzania kila leo lakini hata siku moja hawajawahi kutoa hesabu za jumla ya kile kilichochangwa"
X Link 2024-05-20T15:48Z 125.2K followers, [--] engagements
"Mimi ni moja ya watu wanaoamini huyu dada huenda anahitaji tiba ya akili. Rais anatakiwa aonekane hadharani daily Rais akisafiri shida asiposafiri shida. Akihudhuria matukio daily shida (utasikia hakai ofisini au anafanya siasa angetuma wawakilishi). Mtumishi wenu yupi Wewe sema mtumishi wenu Watanzania maana wewe ulishajikana unakula za wahisani kwa kutukana nyumbani. Halafu eti tutaelewana tu Uelewane na nani wakati nchi umehama π
"
X Link 2024-05-21T04:01Z 125.2K followers, [--] engagements
"RAIS WA AINA HII HUTOKEA MARA CHACHE SANA KATIKA MIAKA MINGI - SEHEMU YA KWANZA Anaandika Ngabero Nyangwine akiwa Mara Tanzania. [--]. Rais anayeingia madarakani na kuwa kama amewafungua kutoka utumwani na vitisho vya utawala na kujali misingi ya demokrasia. Ingekuwa mimi mbona mngeisoma namba na mbishi ndugu zake wangemuota kwenye kiroba Coco Beach au angepotea moja kwa moja. [--]. Rais anayeingia madarakani kuwakumbusha utakatifu wa Katiba mliyo nayo. Bila hii kuna watu hata Katiba hamjui ina mambo gani ya msingi. [--]. Rais anayeingia madarakani na kuwaambia ukweli. Mkikopa anasema mmekopa mkitumia"
X Link 2024-05-22T18:46Z 125.2K followers, [--] engagements
"@kapeto98 Congo Fiji"
X Link 2024-05-27T14:06Z 125.2K followers, [---] engagements
"@mangekimambi Wewe endelea na wao waendelee. Unalia lia nini. Wewe ni mhodari π"
X Link 2024-06-01T04:44Z 125.2K followers, [--] engagements
"Kwamba hujui Musiba ni mwanajeshi ambaye alifukuzwa kazi miaka ya nyuma inatosha tu kuona mapungufu ya hoja yako. Huenda anafuatilia mambo yake ya kazi ya zamani au mafao"
X Link 2024-06-06T04:37Z 125.2K followers, [--] engagements
"Lissu jamani anaumwa.π"
X Link 2024-06-07T19:21Z 125.2K followers, [--] engagements
"Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani tutapata tena fundisho kama la [----] kuwa kura haziko Twitani hapa ni changamsha genge siku ipite π"
X Link 2024-06-08T04:43Z 125.2K followers, [--] engagements
"Jambo la kuhuzunisha sana kuona Lissu amefikia hapa. Washed Finished. Matukio politics. Nani atake kumuhonga mtu asiye tishio lolote Ninyi mnapigwa fair n square [----]. Saa hizi zungukeni tu potezeni muda"
X Link 2024-06-09T05:40Z 125.2K followers, [--] engagements
"@TanzaniaLeaks Lissu has 0% impact on the ballot box. Lissu hana athari yoyote kwenye kura au utawala wa Samia. Tafuteni kazi nyingine"
X Link 2024-06-09T05:55Z 125.2K followers, [--] engagements
"Tayari watu wameshaanza kusema kwamba mambo ni mazuri tangu DPW aende pale mambo ni mazuri sana na mizigo bandari inatoka kwa haraka sana"
X Link 2024-06-09T08:18Z 125.2K followers, [--] engagements
"Mange alianza na 400k+ views saa hizi anacheza na 50k views. Wabongo akili zao wanazijua wenyewe"
X Link 2024-06-11T06:16Z 125.2K followers, [--] engagements
"Happy Birthday Comandante Che Guevara June 14th βπΏ"
X Link 2024-06-14T16:15Z 125.1K followers, [----] engagements
"President Samia meets Gautam Adani. The [--] years old Indian billionaire is the founder and chairman of the Adani Group a multinational conglomerate involved in port development and operations in India and now Tanzania. As of February [----] Adanis fortune was estimated to be US$82.3 billion (over [---] trillion shillings) placing him at the 16th place on the Forbes Real Time Billionaires list. #MamaYukoKazini"
X Link 2024-06-14T16:24Z 125.1K followers, [----] engagements
"IMF wamewapa jibu zuri mliosema Tanzania haitapewa hii loan facility sababu ya zoezi la kusaidia Wamasai kuondoka Ngorongoro na kwenda sehemu bora zaidi. Watu ambao muda wote mnaombea na kuwazia nchi yenu mabaya"
X Link 2024-06-21T18:21Z 125.2K followers, [--] engagements
"Mbali na kamari kijana ni msambazaji wa madawa ya kulevya kwa wanafunzi pale UDSM na zone ya Changanyikeni. Hizi biashara mnazoingia inabidi mjiandae kwa matokeo yake na msijifiche kwenye harakati. Ukimaliza matibabu kalipe pesa za mzigo wa watu"
X Link 2024-06-28T05:43Z 125.1K followers, [--] engagements
"Hii inaitwa Female Cannabis SATIVA ambayo ni bangi. Mungu amsaidie apone atuambie kwa nini kajipa jina la bangi ya kike. π€²πΎππΎ"
X Link 2024-06-28T05:55Z 125.1K followers, [--] engagements
"@JiniKinyonga @SuluhuSamia @KumbushoDawson @__abdulazack Mbali na hiyo kazi yake ya kampuni ya kamari this man ni msambazaji wa dawa za kulevya kwa wanafunzi UDSM na Changanyikeni zone. Chimbeni mambo kiundani kwanza mtakuja kuumbuka"
X Link 2024-06-28T06:11Z 125K followers, [--] engagements
"Mbali na hiyo kazi yake ya kampuni ya kamari this man ni msambazaji wa dawa za kulevya kwa wanafunzi UDSM na Changanyikeni zone. Chimbeni mambo kiundani kwanza mtakuja kuumbuka"
X Link 2024-06-28T06:11Z 125.1K followers, [--] engagements
"@mfoi_sir Wewe una uhakika gani kwamba alipelekwa Oysterbay Neno lake tu Aisee hii nchi tuna shida"
X Link 2024-06-28T06:17Z 125.1K followers, [--] engagements
"@godbless_lema Kaka huyu mtu ni mshenzi siku hizi. Fanya homework yako. Unajua kwamba mikoa yote ya kikodi Dar kaweka mameneja ndugu zake wa familia"
X Link 2024-06-28T15:01Z 124.9K followers, [--] engagements
"Maria Sarungi amehost spaces mabadiliko kwa miaka miwili mfululizo kila siku maazimio tu amefanikiwa kitu gani Hakuna. Halafu watu kwa mihemko na hisia za kitoto wana host space ku-unfollow watu then what Kumchangia mtu atibiwe is well and good but running campaing ku-unfollow watu Is that even a working strategy ππ"
X Link 2024-06-28T15:18Z 124.9K followers, [--] engagements
"Kama ningekuwa SATIVA hadi muda huu ningekuwa nishafanya kitu gani - Kwanza ningeishukuru sana Serikali ya Rais Samia Suluhu kwa kuwekeza vyema kwenye sekta ya afya kwa sababu huduma zote tangu apatikane amepata kwenye hospitali za serikali. - Pili ningetafuta watu wote ambao bila niliwatukana matusi makali ya nguoni kwa sababu tu wameamua kuishi maisha yao kama yeye anavyoishi yake. Yeye ameamua kuuza Bangi UDSM na kusimamia kampuni za Kamari wengine kama wanapush ## awaache kama yeye alivyoachwa. - Cha tatu ningeshukuru tena na tena serikali kwa sababu hata rufaa ambayo atapewa atapelekwa"
X Link 2024-06-28T17:34Z 124.9K followers, [--] engagements
"Fisi wa Katavi ni habari nyingine kabisa"
X Link 2024-06-28T18:43Z 124.9K followers, [--] engagements
"KWA NDUGU ZANGU MITANDAONI Juni [----] Mahakama ya Wilaya ya Moshi ilimuhukumu @Eng_Matarra kifungo cha miaka [--] jela kwa kosa la kuchapisha kiwango cha utajiri wa kila Rais wa Tanzania (1 hadi 6) bila kuwa na uhakika wa taarifa hizo na leseni ya kufanya kazi kama chombo cha habari. Wakati anaweka chapisho lake hapa alipata Likes RTs na maoni mamia kwa mamia ila alipotiwa ndani kila mtu alimkimbia kasoro mtu mmoja tu aliyempa mwanasheria bure ambaye baadaye alipoona mzigo akamtosa. Twitter Tanzania ikaenda kimya ikamuacha afe peke yake. Januari mwaka huu rufaa yake ikashindikana. Matarra yuko"
X Link 2024-06-29T16:25Z 124.8K followers, [--] engagements
"Kizazi cha kiki. Tunachangia promota wa kamari matusi na msambaza madawa kwa wanafunzi UDSM anayejiita Bangi ya Kike (Sativa) ambaye huenda alifanyiwa mbaya na wasambazaji wenzake lakini tukashindwa kuchanga milioni [--] ili @Eng_Matarra asiende jela miaka 5"
X Link 2024-06-29T17:09Z 124.8K followers, [--] engagements
"WANAFIKI Mnachangia Lissu kununua V8 na tapeli anayejiita Bangi ya Kike kutibiwa wakati kada wenu @Eng_Matarra mliuchuna kumchangia milioni [--] asifungwe miaka mitano jela saa hizi mke na watoto wako taabani hata hamjui wanakula na kulala wapi. Mitandao hii tuweni makini sana"
X Link 2024-06-29T17:33Z 124.7K followers, [--] engagements
"GOOGLE HAWANA OFISI TANZANIA NA SIO SERA YAO KUWA NA OFISI KILA NCHI HATA ULAYA. WANA OFISI ZA KANDA. AKAUNTI YA KIPUUZI"
X Link 2024-06-30T05:07Z 124.7K followers, [--] engagements
"Familia ya Twitter a.k.a x naomba mnisikilize. Hawa vijana wawili Sativa na Matarra ambao walisaidiwa michango hapa pia wasaidiwe msaada wa wanasaikolojia. Mambo waliyopitia huenda wanahitaji huduma hiyo sana na wasipoipata kuna mahali inaweza kuwa changamoto kwao. Nawasilisha"
X Link 2024-07-08T14:18Z 124.7K followers, [--] engagements
"Huyu dada ameshapoteza kichwani. Kwamba anawatisha hawa wazee atawavua nguo ππππππππ Sijui nani ataweza kumsaidia kichwa kikae sawa"
X Link 2024-07-09T04:54Z 124.7K followers, [--] engagements
"The attempted Donald Trump assassination was probably staged to pave his way to the White House. Re: sympathy votes + anti-establishment votes"
X Link 2024-07-16T07:20Z 124.7K followers, [---] engagements
"Mheshimiwa Rais Amiri Jeshi Kuu Mwenyekiti Mama"
X Link 2024-07-22T08:12Z 124.7K followers, [--] engagements
"ZA NDAAAAANI KABISA Tundu yuko vekesheni Italia Lake Como eneo maarufu zaidi kwa mashoga kula bata Italia"
X Link 2024-07-24T05:04Z 124.7K followers, [--] engagements
"Za ndani kabisa hizi"
X Link 2024-07-26T07:58Z 124.7K followers, [--] engagements
"Profesa wa Sayansi ya Siasa na Uongozi π"
X Link 2024-07-26T07:59Z 124.6K followers, [--] engagements
"BREAKING Tundu Lissu na wasaidizi wake wapata ajali wakitoka kuroga Gamboshi. Habari imefichwa hii wekeni wazi watu wawaombee Nikajua Lissu Mkristo π³π³"
X Link 2024-07-27T12:59Z 124.6K followers, [--] engagements
"AN OPEN MESSAGE TO THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA HER EXCELLENCY DR SAMIA SULUHU HASSAN Your Excellency the first duty of any government in the world is to maintain public order. The government must always fulfill this sacred duty as a foundation for the rest of the nations needs. Since coming to power you have done that. You have kept our nation safe strong and on the right path. I am writing this to plead with you to keep doing that. To never allow lawlessness for the name of freedom of speech. To never allow our country descending into chaos for the name of freedom of"
X Link 2024-08-12T11:00Z 124.9K followers, [----] engagements
"Arthur Chilipweli mzee wa Tambaza Sec ya 90s. Injinia naona umeingia chochoro za siasa. Token wote tuwaone kwanza ndo muongee. Msijifiche fiche. Open Letter To: Dr. Samia Suluhu Hassan Dear President Samia Suluhu Hassan We the members of Sauti ya Watanzania write to express our profound discontent and to demand an urgent action in response to the recent incidents of excessive use of force employed by the police https://t.co/zLkQkBD4JK Open Letter To: Dr. Samia Suluhu Hassan Dear President Samia Suluhu Hassan We the members of Sauti ya Watanzania write to express our profound discontent and to"
X Link 2024-08-14T20:38Z 124.9K followers, [---] engagements
"2025 #FomuNiMoja β
"
X Link 2024-08-21T13:25Z 124.9K followers, [----] engagements
"They know better. They know who they are. They know it has nothing to with Samia and they know even after she leaves office for retirement the decision for those villages will stay the same. Go dig I dont see anything honorable with President @SuluhuSamia mpaka sasa mumuite tu Samia itatosha sana. Mtu anayepora raia wake haki ya kuishi kutoa maoni kukusanyika na hata kulalamika wanapoumizwa hastahili kuitwa MHESHIMIWA. https://t.co/oDY09Qz2wp I dont see anything honorable with President @SuluhuSamia mpaka sasa mumuite tu Samia itatosha sana. Mtu anayepora raia wake haki ya kuishi kutoa maoni"
X Link 2024-08-21T16:19Z 124.9K followers, [----] engagements
"@Salym @SuluhuSamia @TunduALissu You should know refer to @SuluhuSamia as Her Excellency instead of Ms"
X Link 2024-08-26T19:56Z 124.9K followers, [---] engagements
"Nani anakumbuka historia ya Aboud Rogo"
X Link 2024-09-08T09:24Z 124.9K followers, [----] engagements
"Catherine Nyakao Ruge mke mdogo wa Freeman Mbowe Bapa Masta"
X Link 2024-09-12T06:51Z 124.9K followers, 69.4K engagements
"Mziki wa maninjaMziki wa Komando"
X Link 2024-09-12T10:28Z 124.9K followers, 14.5K engagements
"Happy Birthday Mangi Mkuu Mwenyekiti wa Kudumu Mwenye Chama @freemanmbowetz. More life Bapa King"
X Link 2024-09-14T11:31Z 124.9K followers, [----] engagements
"CCM ina miaka mingine zaidi ya [--] madarakani. Mark this tweet. I will pin it"
X Link 2024-09-15T18:52Z 124.9K followers, 10.3K engagements
"Tanzania and UK: A royal partnership The Citizen @UKinTanzania https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/oped/tanzania-and-uk-a-royal-partnership-4768952 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/oped/tanzania-and-uk-a-royal-partnership-4768952"
X Link 2024-09-20T07:57Z 124.9K followers, [----] engagements
"Lissu kaenda kuishtaki Tigo na Serikali ya Tanzania kwa Mahakama ya Mzungu na wakili mzungu then anarudi tena kuja kuomba uongozi kwenye nchi ile ile ambayo kaiweka mahakamani na kasema akishinda kesi anataka kukamata mali za Tanzania kama fidia. Yani nchi unayosema utaifisili kupitia mahakama za Uingereza hiyo hiyo ndo unatamani pia kuja kuwa kiongozi wake Lissu kichwani yuko sawa kweli"
X Link 2024-10-08T15:39Z 124.9K followers, [--] engagements
"Tsh [-------] toka kwangu kaka. Itasoma mchana huu. You arent begging you are sharing with family. This is a family. Those who will reach out etc consider them as family. Peace. MFICHA MARADHI KIFO HUMUUMBUA Nimekua na mazingira magumu sana ya kifedha tangu nimeanza uguza mzazi for 3+ years ago Nimeingia madeni umasikini/ufukara & a lot you can't even tell + Sikuweza fanya kazi yoyote Wakuu naomba msaada wa chochote [----------] (Paschal Nkololo) π MFICHA MARADHI KIFO HUMUUMBUA Nimekua na mazingira magumu sana ya kifedha tangu nimeanza uguza mzazi for 3+ years ago Nimeingia madeni"
X Link 2024-10-09T09:22Z 124.9K followers, 40.9K engagements
"For the records mimi ni mwana CCM ila Lissu nimechangia gari Matara nimechangia faini Mbowe nimewahi kumpa katoni nzima ya Konyagi mahali na ananifahamu. Kuna wapinzani kibao tumesaidiana humu. Msikubali wabaguzi kwa namna yoyote ile mtu akiwa na uhitaji kibinadamu"
X Link 2024-10-09T10:29Z 124.9K followers, [--] engagements
"USHAURI WA BURE KWA WAHUSIKA Anaandika Mwalimu Ken Mtibora βπ½βπ½ Mheshimiwa Rais Samia yuko madarakani Kikatiba na ana sapoti ya asilimia kubwa ya Watanzania wanaoamini katika utawala wa sheria amani na utulivu. Uko mchezo unaendelea kufanywa na baadhi ya watu waliowekwa kando serikalini kujaribu kumfanyia chokokocho kuanzia yeye familia wasaidizi wake maono yake na maamuzi yake. Wengine ni wafanyabiashara wakwepa kodi wakubwa. Walioko nyuma ya haya ni wale wanaodhani Serikali ya Tanzania bila wao sio Serikali kwamba wao ndio wana haki ya sana kuwemo ndani ya Serikali. Ushauri wangu ni"
X Link 2024-10-11T05:24Z 124.9K followers, [--] engagements
"Mange wewe ni toksikibuli na tapeli kwa watumiaji wengi wa mitandao unayejificha kujiita mwanaharakati. Hizi akaunti za Insta acha zikae kabatini na hata fb zitakaa.Kwa taarifa yake hata hapa x hiyo account tutainywa haina muda sana kama utaendelea na upuuzi"
X Link 2024-10-12T04:44Z 124.9K followers, [--] engagements
"TUREJEE ANDIKO LA MWALIMU KEN MTIBORA USHAURI WA BURE KWA WAHUSIKA Anaandika Mwalimu Ken Mtibora βπ½βπ½ Mheshimiwa Rais Samia yuko madarakani Kikatiba na ana sapoti ya asilimia kubwa ya Watanzania wanaoamini katika utawala wa sheria amani na utulivu. Uko mchezo unaendelea kufanywa na baadhi ya watu waliowekwa kando serikalini kujaribu kumfanyia chokokocho kuanzia yeye familia wasaidizi wake maono yake na maamuzi yake. Wengine ni wafanyabiashara wakwepa kodi wakubwa. Walioko nyuma ya haya ni wale wanaodhani Serikali ya Tanzania bila wao sio Serikali kwamba wao ndio wana haki ya sana kuwemo"
X Link 2024-10-17T04:20Z 123.1K followers, [--] engagements
"Chama hakina milioni [--] kumtoa jela kijana wake kwa kesi ya kuposti uongo ila [--]. Kina mabilioni ya kujenga jumba la Mwenyekiti kijijini kwao Machame [--]. Kina Mamilioni ya kumlipa Mwenyekiti na mtoto wake kwa kutumia nyumba yao kama ofisi kuu Mikocheni 3.Kina mamilioni Kumkatia Lissu tiketi kwenda Ulaya kila mwezi kutibiwa ugonjwa wa akili [--]. Kina mamilioni kulea vikosi vya red brigedi kutekana Mkiambiwa amkeni hiki chama ni biashara ya familia ninyi wengine ni uchafu hamuelewi.Acha mfungwe"
X Link 2024-10-19T05:50Z 123.1K followers, [--] engagements
"Hamfiki laki [--] nchi nzima πππππ siku tutachapisha majina yao wote mtandaoni πππππππππππππππππππππ"
X Link 2024-10-30T06:57Z 123.2K followers, [--] engagements
"Sometimes ON sometimes OFF"
X Link 2024-11-07T09:55Z 124.9K followers, [----] engagements
"Maria saa hizi anaishi kwa ramli.Kutoka mwanaharakati uchwara aliyetamani kupata nafasi kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu akaangukia pua hadi kuwa mpira ramli mtandaoni.Maisha yako kasi sana"
X Link 2024-11-09T04:47Z 124.9K followers, 17.1K engagements
"Mnasikia na kuelewaKuna maeneo jamaa wameacha kuchukua fomu sababu wanajua wataangukia pua. Hii ni Serengeti πππππππππππππππ"
X Link 2024-11-09T17:48Z 123.2K followers, [--] engagements
"Niliwapa ushauri mwaka jana kwamba mtaanguka [----] na [----] kwa hiyo rudini mjipange upya muwaze [----] na [----]. Naona hatimaye Lissu amekubali ushauriππΏWatu wanaona bora kuomba Mungu CCM ifanye vizuri na kuwa bora zaidi kuliko waweke imani yao kwa upinzani wenye mawenge.Game Over"
X Link 2024-11-13T10:14Z 124.9K followers, [----] engagements
"Huu ndio mwisho wa CHADEMA kwa sasa. Mnaweza kuprinti hii posti mkaweka kumbukumbu. Msikilizeni Lissu labda mtafufuka [----]. Mkikaza shingo zaidi hata hiyo [----] mtaisahau. Ukiona wananchi hawataki kusimama kugombea kwa jina la chama chako funga biashara jipange upya"
X Link 2024-11-14T08:51Z 124.9K followers, [----] engagements
"CHADEMA NI GENGE LA WAHUNI LENYE MAKAO YAKE MAKUU MACHAME KILIMANJARO. HAWA SIO WA KUPATA HATA HALMASHAURI MOJA. NEVER NEVER NEVER AGAIN"
X Link 2024-11-14T09:15Z 124.9K followers, [----] engagements
"Ninyi mlipojiuza [----] ndo stori iliishia hapo. HAMTAKAA MUAMINIKEMama kaja kawapa uwanja mfanye siasa mkaangukia pua mtaani. Mlijua atawapiga ban ili mpige kalala ila alivyo masta akawapa dimba mkapotea.Alijua hamna kituGame over Serikali ya CCM na washirika wake wanatumia nguvu kubwa sana kuiharibu CHADEMA lakini hawatafanikiwa zaidi wanaendelea kutufanya kuwa IMARA na BORA zaidi ya walivyo tarajia. Kama Jiwe hakufanikiwa Samia hataweza kabisa. https://t.co/avTYoj7GWF Serikali ya CCM na washirika wake wanatumia nguvu kubwa sana kuiharibu CHADEMA lakini hawatafanikiwa zaidi wanaendelea"
X Link 2024-11-16T05:33Z 124.9K followers, [----] engagements
"Tito sidhani kama ana muda mwingi sana wa amani mtaani. Suala la muda tu"
X Link 2024-11-16T11:48Z 124.9K followers, 67.1K engagements
"Prof Janabi anasema mpaka sasa hakuna maiti Kariakoo. Wengine humu wametengeneza RIP feki kupata pesa za Elon MuskMillard naye anaweka matangazo ya biashara kwenye video ya kuripoti majanga"
X Link 2024-11-16T16:36Z 124.9K followers, 14.5K engagements
"Ajali ya Kariakoo angani na Rio: Saa [--] za kwanza - Gazeti La Dunia"
X Link 2024-11-17T14:25Z 123.2K followers, [--] engagements
"Nimeliaππππππππππ"
X Link 2024-11-19T10:06Z 124.9K followers, [----] engagements
"Wife Huna adabu. Mkosee Mbowe heshima na siasa zenu za kipuuzi ila heshimu ndoa ya Dk Lilian sababu unajua maana/definition ya ndoa. Fala wewe. The best way to find yourself is to lose yourself in the service of others. Never in my life did I ever think that one day I will compete for a positionand my opponent will be @freemanmbowetz wife.This is a milestone in itself and in the history of our party. https://t.co/XOj8rat6h7 The best way to find yourself is to lose yourself in the service of others. Never in my life did I ever think that one day I will compete for a positionand my opponent"
X Link 2025-01-17T14:45Z 124.9K followers, [----] engagements
"Its trending worldwide kwa relevant audience. Birthday ya @SuluhuSamia took over the share of voice pia kwa hapa nyumbani. Tanzania Tunahitaji special team kwa jailli ya Branding Mkutano kama huu wa #PoweringAfrica ilipaswa tuwe rending Nchini na worldwide kama sio Africa Media za Ndani hawajauchangamkia na ni kam hawaelewi Agenda lakini influencers wa ndani nao hawako ila this was potential kwetu https://t.co/zZZJRlfohb Tanzania Tunahitaji special team kwa jailli ya Branding Mkutano kama huu wa #PoweringAfrica ilipaswa tuwe rending Nchini na worldwide kama sio Africa Media za Ndani"
X Link 2025-01-28T09:59Z 124.7K followers, [---] engagements
"This will be Lissus end. The clock is ticking. Mark this tweet. Tanzania's opposition party Chadema has reaffirmed its stance to not only boycott the general election but also prevent it from taking place if reforms are not implemented. The party's Chairman Tundu Lissu reaffirmed the commitment to pushing for electoral system reforms to https://t.co/b8iNhOQPkw Tanzania's opposition party Chadema has reaffirmed its stance to not only boycott the general election but also prevent it from taking place if reforms are not implemented. The party's Chairman Tundu Lissu reaffirmed the commitment to"
X Link 2025-03-03T04:40Z 124.6K followers, [---] engagements
"@NdamuAminiel Chapa drone"
X Link 2025-03-23T15:30Z 124.5K followers, [----] engagements
"Tanzania Revives Ties with Angola as Power Shifts in Southern Africa - The Chanzo https://thechanzo.com/2025/04/15/tanzania-revives-ties-with-angola-as-power-shifts-in-southern-africa/ https://thechanzo.com/2025/04/15/tanzania-revives-ties-with-angola-as-power-shifts-in-southern-africa/"
X Link 2025-04-15T11:45Z 123.9K followers, [---] engagements
"Dar es salaam is better than Nairobi. Come we talk about pan africanism and some manners. I will host you. @kwamekivaisi What's stopping you from coming to Nairobi if you're man enough Can't wait for that face to face. @kwamekivaisi What's stopping you from coming to Nairobi if you're man enough Can't wait for that face to face"
X Link 2025-05-23T05:41Z 123.4K followers, 23.2K engagements
"Global Peacekeeping Operations Initiative"
X Link 2025-05-23T05:49Z 123.4K followers, [----] engagements
"@MarthaKarua @SuluhuSamia You can go to Barbados"
X Link 2025-06-07T15:35Z 123.4K followers, [---] engagements
"Where is Julian Assange The hypocrisy of the fat cats is stinking to the heavens. Tanzanian police have arrested two local YouTubers as President Samia Suluhu Hassans government steps up a crackdown on dissent ahead of elections https://t.co/UPCzS0Wx7B Tanzanian police have arrested two local YouTubers as President Samia Suluhu Hassans government steps up a crackdown on dissent ahead of elections https://t.co/UPCzS0Wx7B"
X Link 2025-06-23T09:04Z 123.4K followers, [---] engagements
"@business Where is Julian Assange The hypocrisy of the fat cats is stinking to the heavens"
X Link 2025-06-23T09:04Z 123.4K followers, [----] engagements
"Bonds of Blood And Strategic Brotherhood: The Enduring Relationship Between Tanzania And Mozambique The Chanzo https://thechanzo.com/2025/05/08/bonds-of-blood-and-strategic-brotherhood-the-enduring-relationship-between-tanzania-and-mozambique/ https://thechanzo.com/2025/05/08/bonds-of-blood-and-strategic-brotherhood-the-enduring-relationship-between-tanzania-and-mozambique/"
X Link 2025-06-25T08:53Z 123.4K followers, [---] engagements
"Compare apples to apples. Get it right. The doubling has also happened at Dar es Salaam and Tanga ports. Reason A booming economy. Despite having its own ports such as Dar es Salaam and Tanga some Tanzanian cargo continues to flow through Kenya due to several factors. Tanzanias cargo passing through Kenya's Mombasa port has almost doubled from [------] tonnes in [----] to [------] tonnes in [----]. One major https://t.co/sxfkd9igg9 Despite having its own ports such as Dar es Salaam and Tanga some Tanzanian cargo continues to flow through Kenya due to several factors. Tanzanias cargo passing through"
X Link 2025-06-29T07:10Z 123.4K followers, [---] engagements
"Mr McAllister these are the same games you played to shape an anti Putin narratives when Alexei Navalny was in prison. We have seen this before and we know how it works. Get something better because this one wont work in Tanzania. I am deeply concerned by the alarming reports regarding possible attempts to poison Tanzanian opposition leader @TunduALissu in detention. I urge the Tanzanian authorities to ensure his safety health and human rights are fully protected. (1/2) I am deeply concerned by the alarming reports regarding possible attempts to poison Tanzanian opposition leader @TunduALissu"
X Link 2025-07-04T08:09Z 123.4K followers, [----] engagements
"Tanzania unveils vision 2050: A roadmap to prosperity and inclusion - Taifa Daily https://taifadaily.com/tanzania-unveils-vision-2050-a-roadmap-to-prosperity-and-inclusion/ https://taifadaily.com/tanzania-unveils-vision-2050-a-roadmap-to-prosperity-and-inclusion/"
X Link 2025-07-09T05:40Z 123.4K followers, [----] engagements
"Additionally Lauriane is an active duty member of the French National Gendarmerie (one of the two national law enforcement forces of France). Their motto is For the fatherland honour and law. Guinea is in bed with France. Africans never learn. President of Guinea Mamady Doumbouya with his wife Lauriane Darboux from France. https://t.co/PY5yEMzjzr President of Guinea Mamady Doumbouya with his wife Lauriane Darboux from France. https://t.co/PY5yEMzjzr"
X Link 2025-07-11T05:13Z 123.4K followers, [---] engagements
"Tanzania cuts VAT rate on electronic payments - https://www.vatcalc.com/tanzania/tanzania-cuts-vat-rate-on-electronic-payments/ http://vatcalc.com https://www.vatcalc.com/tanzania/tanzania-cuts-vat-rate-on-electronic-payments/ http://vatcalc.com"
X Link 2025-07-11T06:32Z 123.4K followers, [---] engagements
"Tourism overtakes gold as Tanzanias top foreign exchange earner The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/business/tourism-overtakes-gold-as-tanzania-s-top-foreign-exchange-earner-5113614 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/business/tourism-overtakes-gold-as-tanzania-s-top-foreign-exchange-earner-5113614"
X Link 2025-07-11T06:34Z 123.4K followers, [---] engagements
"DRC Tanzania to Establish Committee to Advance Oil and Gas Cooperation https://energycapitalpower.com/drc-tanzania-to-establish-committee-to-advance-oil-and-gas-cooperation/ https://energycapitalpower.com/drc-tanzania-to-establish-committee-to-advance-oil-and-gas-cooperation/"
X Link 2025-07-14T20:52Z 123.4K followers, [---] engagements
"Setting the stage for a complete take over of the continent. 50+ years plan. Its not even Trump its the CIA. US is executing operation Monkeys Treasure Island. Why is America deporting Yemenis Vietnamese and Cubans to Africa Nigeria & South Africa rejected U.S. pressure to accept criminals but Eswatini and South Sudan agreed. https://t.co/befAAs2bTS Why is America deporting Yemenis Vietnamese and Cubans to Africa Nigeria & South Africa rejected U.S. pressure to accept criminals but Eswatini and South Sudan agreed. https://t.co/befAAs2bTS"
X Link 2025-07-18T07:56Z 123.4K followers, [---] engagements
"Why Tanzania remains strategic partner for the European Union The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/why-tanzania-remains-strategic-partner-for-the-european-union-5119900 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/why-tanzania-remains-strategic-partner-for-the-european-union-5119900"
X Link 2025-07-20T05:47Z 123.4K followers, [---] engagements
"The most effective and strategic political party and political organization in Africa"
X Link 2025-07-20T08:37Z 123.4K followers, [----] engagements
"https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/business/tanzania-to-unveil-110m-logistics-hub-to-boost-jobs-trade-5131518 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/business/tanzania-to-unveil-110m-logistics-hub-to-boost-jobs-trade-5131518"
X Link 2025-07-27T06:32Z 123.4K followers, [---] engagements
"https://www.theeastafrican.co.ke/tea/business-tech/tanzania-ban-on-foreign-small-businesses-rattles-eac-5135790 https://www.theeastafrican.co.ke/tea/business-tech/tanzania-ban-on-foreign-small-businesses-rattles-eac-5135790"
X Link 2025-07-29T19:25Z 123.4K followers, [---] engagements
"CONGRATULATIONS H.E. @SuluhuSamia. WORLD NEWS NUCLEAR ENERGY https://www.world-nuclear-news.org/articles/pilot-uranium-processing-plant-launched-in-tanzania https://www.world-nuclear-news.org/articles/pilot-uranium-processing-plant-launched-in-tanzania"
X Link 2025-08-02T10:26Z 123.4K followers, [----] engagements
"https://www.opportunitiesforafricans.com/bank-of-tanzania-mwalimu-julius-nyerere-memorial-scholarship-fund-2025-2026-for-young-tanzanians/ https://www.opportunitiesforafricans.com/bank-of-tanzania-mwalimu-julius-nyerere-memorial-scholarship-fund-2025-2026-for-young-tanzanians/"
X Link 2025-08-08T18:25Z 123.4K followers, [---] engagements
"Thank you @Madonna Politics Cannot affect Change. Only consciousness Can. Therefore I am Reaching out to a Man of God. Today is my Son Roccos birthday. I feel the best gift I can give to him as a Mother - is to ask everyone to do what they can to help save the innocent children caught in the https://t.co/y2B3BsXAMt Politics Cannot affect Change. Only consciousness Can. Therefore I am Reaching out to a Man of God. Today is my Son Roccos birthday. I feel the best gift I can give to him as a Mother - is to ask everyone to do what they can to help save the innocent children caught in the"
X Link 2025-08-11T19:42Z 123.4K followers, [---] engagements
"Lifezone Metals secures $60m bridge loan for Tanzania nickel project https://www.mining-technology.com/news/lifezone-metals-60m-bridge-loan-tanzania-nickel-project/ https://www.mining-technology.com/news/lifezone-metals-60m-bridge-loan-tanzania-nickel-project/"
X Link 2025-08-14T06:20Z 123.4K followers, [---] engagements
"Tanzanias independence leader Julius Nyerere built a new army fit for African liberation: how he did it https://theconversation.com/tanzanias-independence-leader-julius-nyerere-built-a-new-army-fit-for-african-liberation-how-he-did-it-246688 https://theconversation.com/tanzanias-independence-leader-julius-nyerere-built-a-new-army-fit-for-african-liberation-how-he-did-it-246688"
X Link 2025-08-15T04:46Z 123.3K followers, [---] engagements
"Tanzania revives $3 billion Mchuchuma Liganga project @SuluhuSamia ππΎ https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-revives-3-billion-mchuchuma-liganga-project-5155356 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-revives-3-billion-mchuchuma-liganga-project-5155356"
X Link 2025-08-15T07:23Z 123.3K followers, [---] engagements
"Zitto is a political entrepreneur and cannot have a grand plan. How can you have a grand plan while your party is bankrolled by the very same people you preach to despise πππ Tapeli tu maneno mengi anamaliza miti Inside ACT Wazalendos grand plan for transport infrastructure overhaul https://t.co/hHMA1rT6th Inside ACT Wazalendos grand plan for transport infrastructure overhaul https://t.co/hHMA1rT6th"
X Link 2025-08-16T11:37Z 123.4K followers, [---] engagements
"Air Tanzania Launches Direct Flights Between Nairobi and Zanzibar to Boost Regional Connectivity - Travel And Tour World https://www.travelandtourworld.com/news/article/air-tanzania-launches-direct-flights-between-nairobi-and-zanzibar-to-boost-regional-connectivity/ https://www.travelandtourworld.com/news/article/air-tanzania-launches-direct-flights-between-nairobi-and-zanzibar-to-boost-regional-connectivity/"
X Link 2025-08-17T06:52Z 123.3K followers, [----] engagements
"In Tanzania inflation holds steady as prices stabilise - The EastAfrican Excellent work Your Excellency @SuluhuSamia https://www.theeastafrican.co.ke/tea/business-tech/in-tanzania-inflation-holds-steady-as-prices-stabilise-5156284 https://www.theeastafrican.co.ke/tea/business-tech/in-tanzania-inflation-holds-steady-as-prices-stabilise-5156284"
X Link 2025-08-17T06:55Z 123.3K followers, [----] engagements
"Tanzania Burundi launch [----] bln USD cross-border railway project-Xinhua ππΎππΎππΎππΎππΎππΎ @SuluhuSamia @GeneralNeva https://english.news.cn/20250817/f2f17e2d468645dea30d370c4a881e89/c.html https://english.news.cn/20250817/f2f17e2d468645dea30d370c4a881e89/c.html"
X Link 2025-08-18T06:31Z 123.3K followers, [---] engagements
"10 key regions that will determine Tanzania's presidential election The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/10-key-regions-that-will-determine-tanzania-s-presidential-election-5160996 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/10-key-regions-that-will-determine-tanzania-s-presidential-election-5160996"
X Link 2025-08-22T08:42Z 123.3K followers, [---] engagements
"United States Appreciates Tanzanias Repatriation of Displaced Persons from Northeast Syria - United States Department of State https://www.state.gov/releases/office-of-the-spokesperson/2025/08/united-states-appreciates-tanzanias-repatriation-of-displaced-persons-from-northeast-syria https://www.state.gov/releases/office-of-the-spokesperson/2025/08/united-states-appreciates-tanzanias-repatriation-of-displaced-persons-from-northeast-syria"
X Link 2025-08-25T04:36Z 123.3K followers, [---] engagements
"Tanzania among four African nations set to access jobs skills in Japan's $5.5bn hometown initiative The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-among-four-african-nations-set-to-access-jobs-skills-in-japan-s-5-5bn-hometown-initiative-5165596 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-among-four-african-nations-set-to-access-jobs-skills-in-japan-s-5-5bn-hometown-initiative-5165596"
X Link 2025-08-25T04:38Z 123.3K followers, [---] engagements
"Saving Mothers and Babies: Tanzania Leads with AI and Care at Health Summit - The Chanzo https://thechanzo.com/2025/08/23/saving-mothers-and-babies-tanzania-leads-with-ai-and-care-at-health-summit/ https://thechanzo.com/2025/08/23/saving-mothers-and-babies-tanzania-leads-with-ai-and-care-at-health-summit/"
X Link 2025-08-27T05:58Z 123.3K followers, [--] engagements
"Major winners as shilling rallies against dollar The Citizen https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/major-winners-as-shilling-rallies-against-dollar-5167514 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/major-winners-as-shilling-rallies-against-dollar-5167514"
X Link 2025-08-27T05:58Z 123.3K followers, [---] engagements
"ATTA :: Tanzania to create modern Tourist Information Centres throughout the country. https://atta.travel/resource/tanzania-to-create-modern-tourist-information-centres-throughout-the-country-.html https://atta.travel/resource/tanzania-to-create-modern-tourist-information-centres-throughout-the-country-.html"
X Link 2025-08-27T06:05Z 123.3K followers, [--] engagements
"Thank you Dar es Salaam. Thank you Tanzania. [--] hours to the launch and its already fully packed. All the best @SuluhuSamia. A win for Tanzania"
X Link 2025-08-28T12:11Z 123.3K followers, [---] engagements
"Tanzania bets on compressed natural gas to cut oil imports - energynews https://energynews.pro/en/tanzania-bets-on-compressed-natural-gas-to-cut-oil-imports/ https://energynews.pro/en/tanzania-bets-on-compressed-natural-gas-to-cut-oil-imports/"
X Link 2025-09-02T18:06Z 123.3K followers, [---] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/twitter::kwamekivaisi