Dark | Light
# ![@bajabiri Avatar](https://lunarcrush.com/gi/w:26/cr:twitter::861700170.png) @bajabiri The SPECIAL ONE ™️

The SPECIAL ONE ™️ posts on X about kwanza, al ahly, tanzania, ipo the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.

### Engagements: [------] [#](/creator/twitter::861700170/interactions)
![Engagements Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::861700170/c:line/m:interactions.svg)

- [--] Week [-------] +225%
- [--] Month [-------] +608%
- [--] Months [-------] -41%
- [--] Year [---------] -71%

### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::861700170/posts_active)
![Mentions Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::861700170/c:line/m:posts_active.svg)

- [--] Week [--] +153%
- [--] Month [---] +250%
- [--] Months [---] +154%
- [--] Year [---] -85%

### Followers: [-------] [#](/creator/twitter::861700170/followers)
![Followers Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::861700170/c:line/m:followers.svg)

- [--] Week [-------] +0.04%
- [--] Month [-------] +0.11%
- [--] Months [-------] +0.37%
- [--] Year [-------] +1.20%

### CreatorRank: [---------] [#](/creator/twitter::861700170/influencer_rank)
![CreatorRank Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::861700170/c:line/m:influencer_rank.svg)

### Social Influence

**Social category influence**
[countries](/list/countries)  16.58% [fashion brands](/list/fashion-brands)  6.42% [currencies](/list/currencies)  5.35% [stocks](/list/stocks)  4.81% [finance](/list/finance)  4.28% [technology brands](/list/technology-brands)  3.74% [travel destinations](/list/travel-destinations)  3.21% [automotive brands](/list/automotive-brands)  3.21% [luxury brands](/list/luxury-brands)  2.14% [social networks](/list/social-networks)  1.6%

**Social topic influence**
[kwanza](/topic/kwanza) #197, [al ahly](/topic/al-ahly) 4.81%, [tanzania](/topic/tanzania) #609, [ipo](/topic/ipo) 3.74%, [bora](/topic/bora) #835, [adidas](/topic/adidas) 3.74%, [kenya](/topic/kenya) 3.21%, [mali](/topic/mali) 2.67%, [bentley](/topic/bentley) #223, [leo](/topic/leo) 2.14%

**Top accounts mentioned or mentioned by**
[@bigotz001](/creator/undefined) [@mhdhamad](/creator/undefined) [@scholadecaprado](/creator/undefined) [@mkali26og](/creator/undefined) [@____the_truth](/creator/undefined) [@adidas](/creator/undefined) [@nike](/creator/undefined) [@wikolobilal](/creator/undefined) [@zephania_ndaki](/creator/undefined) [@fluconazole32](/creator/undefined) [@munyamambogo](/creator/undefined) [@prolearner77](/creator/undefined) [@moshijnr](/creator/undefined) [@allypapala](/creator/undefined) [@chapo255](/creator/undefined) [@ireneigora](/creator/undefined) [@flahisha](/creator/undefined) [@kiwirachief](/creator/undefined) [@mananajr_](/creator/undefined) [@benny_pascal](/creator/undefined)

**Top assets mentioned**
[BABE (BABE)](/topic/babe) [Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [Nani Coin (NANI)](/topic/nani) [MILIO (MILIO)](/topic/milio) [Alphabet Inc Class A (GOOGL)](/topic/$googl) [CVS Health Corp (CVS)](/topic/cvs)
### Top Social Posts
Top posts by engagements in the last [--] hours

"Sema Sina mwanasheria tu Hata uwe mla rushwa vipi huwezi wafikia watu wa TANESCO Hata uwe mla rushwa vipi huwezi wafikia watu wa TANESCO"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023079908466156018)  2026-02-15T17:00Z 437.7K followers, [----] engagements


"Kwa miaka mingi sasa #BajabirLogistics imekuwa ikiaminiwa na makampuni makubwa hapa Tanzania kwa kuwasafirishia mizigo yao kwenda nchi nzima. Tunajivunia kufanya kazi na Serengeti Breweries kwa mda mrefu na kwa uaminifu. Na wewe kuwa sehemu ya familia yetu. ☎ [----] [---] 100"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2017110441512587285)  2026-01-30T05:39Z 437.6K followers, [---] engagements


"Game ijayo Simba anakwenda Mali au Angola"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2017983882465862095)  2026-02-01T15:30Z 437.5K followers, [---] engagements


"Unakwenda jela kizembe kisa kumzonga mzee wa watu Mangungu ambaye wala hachezi"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2017991340248727945)  2026-02-01T16:00Z 437.5K followers, 22.1K engagements


"Kwani hilo Bus likija mashabiki wa Simba watalipanda Mbona madai yao hayana logic Kwa sasa wachezaji wa Simba wanapanda usafiri gani @bajabiri Wamlaumu mangungu sababu ya basi jipya kuchelewa. Ila suala la uwanjani wamwache kwanza @bajabiri Wamlaumu mangungu sababu ya basi jipya kuchelewa. Ila suala la uwanjani wamwache kwanza"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2018000163101385016)  2026-02-01T16:35Z 437.5K followers, [---] engagements


"Hiking shoes. #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2018607002310820335)  2026-02-03T08:46Z 437.6K followers, [---] engagements


"Akaunti ikiwa imekufaukitaka kuifufua unasumbuliwa kama unafungua akaunti mpya.tena inaweza chukua hata siku [--] ndo akaunti iwe active. Zama hizi Kuna namna fulani Selcom watakuja kuwatoa kwenye POS business haya mabenki. Unafungua akaunti unajaza taarifa zote wanakupa akaunti ya biashara. Kisha siku nyingine wanakupa fomu nyingine tena unajaza taarifa zote tena zilezile kuomba LipaNamba POS na kadhalika. Its a very Kuna namna fulani Selcom watakuja kuwatoa kwenye POS business haya mabenki. Unafungua akaunti unajaza taarifa zote wanakupa akaunti ya biashara. Kisha siku nyingine wanakupa fomu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2018608068217446635)  2026-02-03T08:50Z 437.6K followers, [----] engagements


"Podcasts za Kenya zimenyooka sana. Most of them hujadili hard issues. Ukisikiliza hukosi vitu muhimu vya kukujenga"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020099462866125117)  2026-02-07T11:36Z 437.5K followers, [---] engagements


"Yaani hata kusambaza umeme hadi wachina Miradi kama hii ingewekwa Sera kabisa inafanywa na kampuni za Kitanzania tu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima Februari [--] [----] amewapokea rasmi wakandarasi wawili kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao watafanya kazi ya kusambaza umeme katika vitongoji [---] vya mkoa huo mradi wenye thamani ya Sh. bilioni 91.https://t.co/5hdSkhpmKg https://t.co/4xtTkAYBqu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima Februari [--] [----] amewapokea rasmi wakandarasi wawili kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao watafanya kazi ya kusambaza umeme katika vitongoji [---] vya"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020124373370241314)  2026-02-07T13:15Z 437.6K followers, [----] engagements


"So Mfalme ni moja ya shareholder wa Taji Media.akoding to WADAU"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020163589458260285)  2026-02-07T15:51Z 437.7K followers, 22.6K engagements


"Sarafu ya Angola inaitwa #AngolanKwanza"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020182063643783562)  2026-02-07T17:05Z 437.7K followers, [---] engagements


"1.Maniema Pt [--] 2.Wydad Pt [--] 3.Azam Pt [--] 4.Nairobi Utd [--] Kundi limeshakuwa gumu. 🧤 by #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020199072377061636)  2026-02-07T18:12Z 437.7K followers, [---] engagements


"Elimu haina mwisho. [----] hakikisha unajifunza kitu kipya"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020384029082808479)  2026-02-08T06:27Z 437.5K followers, 31.9K engagements


"Yanga kwa uchezaji wa Jana haina uwezo wa kushinda bao [--] bila.ni Sawa na kuahidiwa maji siku ya uchaguzi @bajabiri Ishu iko kwenye kushika nafasi ya kwanza tichaafu kwa vurugu walizofanyiwa Al ahly Morocco ni ngumu sana kuwaachiaishu ni kua yanga anaweza kushinda 3-0 Guantanamo Bay @bajabiri Ishu iko kwenye kushika nafasi ya kwanza tichaafu kwa vurugu walizofanyiwa Al ahly Morocco ni ngumu sana kuwaachiaishu ni kua yanga anaweza kushinda 3-0 Guantanamo Bay"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020386855078986039)  2026-02-08T06:38Z 437.5K followers, [----] engagements


"HAWEZI kushinda bao [--] bhana. Ile believe ya Yanga kutinga hatua ya robo fainali ya CAFCL msimu huu bado ninayo naamini Yanga anakwenda robo fainali kabisa. why Mpaka sasa kwenye GD anadaiwa goli mbili ina maana game dhidi ya JS Kabylie ashinde goli [--] na anaweza kufanya hili " Football ". Hii inawezekana💪 https://t.co/qXh5zKegVp Ile believe ya Yanga kutinga hatua ya robo fainali ya CAFCL msimu huu bado ninayo naamini Yanga anakwenda robo fainali kabisa. why Mpaka sasa kwenye GD anadaiwa goli mbili ina maana game dhidi ya JS Kabylie ashinde goli [--] na anaweza kufanya hili " Football ". Hii"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020388142667149357)  2026-02-08T06:44Z 437.5K followers, [----] engagements


"Al Ahly anadroo. Rabat anakuwa na pointi 9"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020392546602741775)  2026-02-08T07:01Z 437.7K followers, [---] engagements


"Football inakwenda na umahiri wa wachezaji kwenye timu. Yanga imefanya makosa kudroo na AL Ahly na kufungwa na Rabat.wakati hizo games ilikuwa inaweza kushinda.nafasi zimepatikana wamezichezea @bajabiri Hii ni Football kaka hakuna kisichowezekana @bajabiri Hii ni Football kaka hakuna kisichowezekana"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020393073902006335)  2026-02-08T07:03Z 437.5K followers, [----] engagements


"Kama Al Ahly amedroo next game pia anaweza kudroo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020394117654618601)  2026-02-08T07:07Z 437.5K followers, [---] engagements


"JS Kabylie sio CR belozidadi useme utampiga 4"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020394708204417512)  2026-02-08T07:10Z 437.5K followers, [----] engagements


"JSK hawezi fungwa zaidi ya bao [--] na Yanga. AL Ahly hawezi kutoa jasho kwenye game yake na Rabat wakati ashafuzu 😁😁 @moshijnr @bajabiri Shida inakuja Yanga hesabu wameziwekea kwao tu. Sawa Mnasema Ahly hawez kumuachia na nyie mna hakika kabyle anaweza kubali kirahisi kufungwa chuma tatu kavu @moshijnr @bajabiri Shida inakuja Yanga hesabu wameziwekea kwao tu. Sawa Mnasema Ahly hawez kumuachia na nyie mna hakika kabyle anaweza kubali kirahisi kufungwa chuma tatu kavu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020409859120984461)  2026-02-08T08:10Z 437.5K followers, [---] engagements


"Al ahly ameshafuzu. Hatakuwa siriazi sana. Matokeo yeyote kwake ni faida.but "wanaweza kuyajenga" kwa maslahi mapana ya timu zao. Yanga ingekuwa na pointi [--] au [--] Sawa.tungesema nafasi anayo walau jwa 40%. Ila kwa sasa Yanga qna 0% ya kufuzu. @bajabiri Wewe ni fala sana kijana eti nafasi ipo kwa Rabat tu daah😂😂😂 kwamba kwa vurugu walizofanyiwa Al Ahly na AS Far wawaachie tu pointi zinagawane kirahisi Haya @bajabiri Wewe ni fala sana kijana eti nafasi ipo kwa Rabat tu daah😂😂😂 kwamba kwa vurugu walizofanyiwa Al Ahly na AS Far wawaachie tu pointi zinagawane kirahisi Haya"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020416321951875546)  2026-02-08T08:36Z 437.5K followers, [----] engagements


"So safari ya Yanga inategemea AL Ahly.wakati safari yao ilikuwa inawategemea wenyewe.kifupi Yanga inataka kwenda Robo kama mgombea wa VITI MAALUM. Haiwezekani @bajabiri Ticha Yanga sio lazima ashinde yeye goli [--] anaweza akashinda goli moja halaf Al Ahly ndio ashinde [--] @bajabiri Ticha Yanga sio lazima ashinde yeye goli [--] anaweza akashinda goli moja halaf Al Ahly ndio ashinde 3"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020502872962760940)  2026-02-08T14:19Z 437.5K followers, [---] engagements


"Mamelod anakwenda kuungana na Yanga Simba na Nairobi United Al Hilal [--] MC Alger [--] Mamelod Sundowns [--] Saint Eloi Lupopo 5"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020513514004070448)  2026-02-08T15:02Z 437.5K followers, [----] engagements


"@bhazenga_ @NgomeshaD Kwa jana hawajatengeneza 1.2Bila wameweza kuipa mileage brand yao na itafanya vizuri sokoni that was a marketing event sio event ya kuuza"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020525856746008940)  2026-02-08T15:51Z 437.5K followers, [---] engagements


"Jamaa amepata ajali kwenye bus akakimbizwa hospital as majeruhiambulance iliyombeba ikapata ajali amefariki"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020552409165021517)  2026-02-08T17:36Z 437.5K followers, 25K engagements


"Game ijayo Mamelod anakutana na kocha wake wa zamani. Halafu anapaswa amfunge ili aende Robo. Al Hilal anakutana na Lipopo Lipopo akishinda anakuwa na alama 8.MC Algers akidroo nae anakuwa na alama 8"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020553823274553365)  2026-02-08T17:42Z 437.5K followers, [---] engagements


"@Allypapala Iyovi hiyo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020555590339051782)  2026-02-08T17:49Z 437.5K followers, [--] engagements


"Ipi barabara nzuri ya kupita unapokwenda Songea kwa Private car kutokea Dar Via Masasi au Via Makambako Oil bora unapata #AutoManTraders 📍Kariakoo ☎+255625547323"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020767859681419600)  2026-02-09T07:52Z 437.5K followers, [----] engagements


"Kwa maelezo ya Kocha wa Al Ahly ni kwamba wamedhamiria kumpasua Rabat. Je Yanga amedhamiria kumpasua JSK"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020775802636476430)  2026-02-09T08:24Z 437.6K followers, [---] engagements


"Hakunaga "Kaya za MATAJIRI" Kuna "Kaya za Masikini" tu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020821529584447976)  2026-02-09T11:26Z 437.6K followers, 16K engagements


"@jose_stabo77930 Matajiri wana MAKAZI"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020823770999689619)  2026-02-09T11:35Z 437.6K followers, [---] engagements


"Kwanza hii unaweza kuta Horse ipo LUGONO tela lipo Msamvu linajikokota Mziki mkubwa CD [---] njoo kichwa kichwa ule za uso 😀 Hii pulling yake inafikia horsepower ngapi 🙌🏾🙌🏾🔥🔥 #VituVyaPeponi https://t.co/8eUxaiO10z Mziki mkubwa CD [---] njoo kichwa kichwa ule za uso 😀 Hii pulling yake inafikia horsepower ngapi 🙌🏾🙌🏾🔥🔥 #VituVyaPeponi https://t.co/8eUxaiO10z"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020824075409785054)  2026-02-09T11:36Z 437.5K followers, [----] engagements


"Walipa KODI ndo wa kusifiwa Mbona hamtoi sifa nzuri za soko letu la Kariakoo 😄😄 Tukifanya vizuri msione aibu kusifia au kutoa pongezi. Sio kila siku lawama na maneno hasi. Soko tumejenga aseee 🙌🏿🙌🏿 Mbona hamtoi sifa nzuri za soko letu la Kariakoo 😄😄 Tukifanya vizuri msione aibu kusifia au kutoa pongezi. Sio kila siku lawama na maneno hasi. Soko tumejenga aseee 🙌🏿🙌🏿"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021072749926772737)  2026-02-10T04:04Z 437.6K followers, [---] engagements


"Bongo hakuna Podcasts bhana. East Africa podcasts zipo Kenya tu. Moja ya Podcast bora kuwahi Kutokea East Africa ni Hii Chief Godlove na Gigy Money Kuna Madini kichizi humu Nenda YouTube Kwenye channel ya Chief G Media au link nimekuwekea kwa Comments hapo.🔥🔥 https://t.co/kjB0XahyWL Moja ya Podcast bora kuwahi Kutokea East Africa ni Hii Chief Godlove na Gigy Money Kuna Madini kichizi humu Nenda YouTube Kwenye channel ya Chief G Media au link nimekuwekea kwa Comments hapo.🔥🔥 https://t.co/kjB0XahyWL"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021083292083290225)  2026-02-10T04:46Z 437.6K followers, 14K engagements


"Mchakato wa kukaguana vyeti ukianza wengine wanaanza Kulia. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda amesema walimu wa michezo hawatosimamia michezo kama hawana vyeti. https://t.co/GNmpJK0cEM Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda amesema walimu wa michezo hawatosimamia michezo kama hawana vyeti. https://t.co/GNmpJK0cEM"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021083948697182264)  2026-02-10T04:48Z 437.6K followers, 15.2K engagements


"Ally anapiga FIKSI. .Unaendaje Robo na hatima yako imeshikwa na AL Ahly "Nazungumza kwa Confidence sina mashaka kabisa Jumapili Yanga inaenda kufuzu Robo Fainali kama kuna hesabu piga wewe jimalize mimi sina mahesabu. Saa moja nitaenda kumshona mtu pale Amaan Complex saa tatu tutaanza sherehe ya kwenda robo fainali" 🎙 Ally Kamwe https://t.co/JtLLBEebCW "Nazungumza kwa Confidence sina mashaka kabisa Jumapili Yanga inaenda kufuzu Robo Fainali kama kuna hesabu piga wewe jimalize mimi sina mahesabu. Saa moja nitaenda kumshona mtu pale Amaan Complex saa tatu tutaanza sherehe ya kwenda robo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021095940229108088)  2026-02-10T05:36Z 437.6K followers, [----] engagements


"Tata [--] zimebeba madereva wa mafunzoni. Barabarani kuna neema eeenh"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021112234030633035)  2026-02-10T06:41Z 437.6K followers, [----] engagements


"@bboy_ogast Tunasikikiza za kibongo zinazojadili sana mapenzi na umalaya tunasikiliza za Kenya ambazo wanajadili issues"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021144204924096742)  2026-02-10T08:48Z 437.6K followers, [--] engagements


"Bila Mnangagwa Zimbabwe itayumba. Nadhani kuna haja ya kuiga haya Mambo Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha rasimu ya sheria inayopendekeza mabadiliko makubwa ya kikatiba hatua itakayomruhusu Rais Emmerson Mnangagwa (83) kuendelea kusalia madarakani hadi mwaka [----] au zaidi. Chini ya mapendekezo hayo mapya mfumo wa kumchagua Rais https://t.co/vIrHN5SsY6 Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha rasimu ya sheria inayopendekeza mabadiliko makubwa ya kikatiba hatua itakayomruhusu Rais Emmerson Mnangagwa (83) kuendelea kusalia madarakani hadi mwaka [----] au zaidi. Chini ya mapendekezo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021497613724402000)  2026-02-11T08:12Z 437.6K followers, [---] engagements


"Boss wa Tik Tok amesema yeye ni raia wa Singapore na sio Mchina.amewajibu maseneta wa USA Tik Tok pamoja na kukata rufaa mahakama imetupilia mbali. So Tiktok hairuhusiwi USA. Tik Tok pamoja na kukata rufaa mahakama imetupilia mbali. So Tiktok hairuhusiwi USA"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021501268045582673)  2026-02-11T08:27Z 437.6K followers, [---] engagements


"Kwani Iran akiwa nayo kuna shida gani Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa makubaliano yoyote mapya kati ya nchi yake na Iran ni lazima yahusishe kusitishwa kwa mpango wa makombora ya masafa marefu pamoja na mpango wa nyuklia wa Tehran. Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Fox News Rais Trump https://t.co/HQj57zUVUe Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa makubaliano yoyote mapya kati ya nchi yake na Iran ni lazima yahusishe kusitishwa kwa mpango wa makombora ya masafa marefu pamoja na mpango wa nyuklia wa Tehran. Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Fox"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021504397101142489)  2026-02-11T08:39Z 437.7K followers, [----] engagements


"255000/= #JustFit New Arrivals"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021505618952245384)  2026-02-11T08:44Z 437.7K followers, [---] engagements


"Msisimko wa #LigiKuu unawezeshwa na mipira bora kutoka #JustFit ⚽"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021854602493407302)  2026-02-12T07:51Z 437.7K followers, [---] engagements


"😁😁😁😁 "msomi wa masuala ya siasa na maridhiano" Ila hii nchi. VIDEO: Msomi wa Masuala ya Siasa za Maridhiano mwandishi wa habari mwandamizi Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga ametoa dira mpya kuhusu mchakato wa maridhiano ya kisiasa nchini Tanzania akisisitiza kuwa hatua ya kwanza ni kujenga mtangamano wa tabaka la wanasiasa (Elite https://t.co/Q4BEoupMcg VIDEO: Msomi wa Masuala ya Siasa za Maridhiano mwandishi wa habari mwandamizi Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga ametoa dira mpya kuhusu mchakato wa maridhiano ya kisiasa nchini Tanzania akisisitiza kuwa hatua ya kwanza ni kujenga mtangamano"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021857887513944378)  2026-02-12T08:04Z 437.7K followers, [----] engagements


"Bora ualimu kuliko #USHAiDDY"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021860427106254954)  2026-02-12T08:14Z 437.7K followers, [----] engagements


"Mnangagwa tunaenda nae hadi [----]. Tunataka arudishe hadhi ya Zimbabwe yetu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2021863266113532083)  2026-02-12T08:25Z 437.7K followers, [----] engagements


""Shule za KATA" VIDEO: Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema wanafunzi wanaonufaika na mpango wa Samia Scholarship ikiwemo wanaopelekwa kusoma nje ya nchi wamepatikana kwa haki kwa kuzingatia vigezo vya ufaulu na sifa stahiki bila upendeleo. Kauli hiyo ameitoa leo https://t.co/FRTQJuatZ8 VIDEO: Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema wanafunzi wanaonufaika na mpango wa Samia Scholarship ikiwemo wanaopelekwa kusoma nje ya nchi wamepatikana kwa haki kwa kuzingatia vigezo vya ufaulu na sifa stahiki bila upendeleo. Kauli hiyo ameitoa leo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022271268507074996)  2026-02-13T11:26Z 437.7K followers, [---] engagements


"@mhdhamad @ScholaDecaprado Hapo kuna foleni pitia Jangwani kaka mie nipo Keko Magurumbasi biriani ya hapa bosi haoipendaimeshapowa"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022291840846700626)  2026-02-13T12:48Z 437.7K followers, [--] engagements


"@mhdhamad @ScholaDecaprado Naelekea hapo japo nna njaa ila wacha nimpambanie bosi wangu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022292487587377622)  2026-02-13T12:51Z 437.7K followers, [--] engagements


"DED alikuwa wapi DC alikuwa wapi DMO alikuwa wapi Mhandisi wa Halmashauri alikuwa wapi Kamati ya madiwani ilikuwa wapi DAS alikuwa wapi RC alikuwa wapi RAS alikuwa wapi Wazee wa Kitengo walikuwa wapi Msimamizi wa mradi alikuwa wapi Mkandarasi mshauri Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Kituo cha Afya Sindeni Handeni baada ya kubainika milango [--] iko chini ya kiwango. https://t.co/xzKuFYs6hj Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Kituo cha Afya Sindeni Handeni"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022313702163132457)  2026-02-13T14:15Z 437.7K followers, [----] engagements


"Ufunguzi Tanzania Mshindi wa [--] Kenya (maana wanasuasua sana) Fainali Uganda "Mashindano ya AFCON kuendelea kufanyika mwaka [----] kwa nchi za Tanzania Kenya na Uganda.Tarehe za mashindano kuwa mwezi Juni na Julai ila Marais wa Mashirikisho kuamua mchezo wa ufunguzi uwe wapi na Fainali itakuwa wapi." Rais wa CAF - Patrice Motsepe https://t.co/H4Ix7gUNEz "Mashindano ya AFCON kuendelea kufanyika mwaka [----] kwa nchi za Tanzania Kenya na Uganda.Tarehe za mashindano kuwa mwezi Juni na Julai ila Marais wa Mashirikisho kuamua mchezo wa ufunguzi uwe wapi na Fainali itakuwa wapi." Rais wa CAF - Patrice"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022314106447958339)  2026-02-13T14:17Z 437.7K followers, [---] engagements


"I was RIGHT Nimekutana na mwanafunzi wangu niliyemfundisha Advance.ameniambia now ni POLISI.tumeshindwa kubadilishana namba. Nimekutana na mwanafunzi wangu niliyemfundisha Advance.ameniambia now ni POLISI.tumeshindwa kubadilishana namba"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022341995851903391)  2026-02-13T16:07Z 437.7K followers, 15.5K engagements


"Mimk sio mnene Naomba niweke sawa. Mimi Bajabir sio MNENE.😂😂😂 Ila "nna mwili" https://t.co/Oak1twGn7h Naomba niweke sawa. Mimi Bajabir sio MNENE.😂😂😂 Ila "nna mwili" https://t.co/Oak1twGn7h"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022345594833129940)  2026-02-13T16:22Z 437.7K followers, [---] engagements


"Eti walimu tulaumiwe kuchemka kwa #MAshaIddy"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022347433804431687)  2026-02-13T16:29Z 437.7K followers, [----] engagements


"My Bentley. #Ubaoni TZS 1700000/= #JustFit Kijitonyama Sayansi Oil Com ⛽"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022550246836817923)  2026-02-14T05:55Z 437.7K followers, [---] engagements


"Vitu laini kama vya Jordan Nguruwe wakija(ga) Afrika wanajiachia sana kwanza wanashangaa namna uroda unapatikana kirahisi kuliko huko kwao. Nguruwe wakija(ga) Afrika wanajiachia sana kwanza wanashangaa namna uroda unapatikana kirahisi kuliko huko kwao"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022569671069962620)  2026-02-14T07:12Z 437.7K followers, [----] engagements


"Mchezaji akishaujua mpira hana kisingizio ataukontroo awezavyo. ⚽ by #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022579080315703721)  2026-02-14T07:50Z 437.7K followers, [----] engagements


"GSM hana konakona.tangu nianze kusikia mwekezaji wetu anajenga uwanjani kabla form IV wa mwaka huu hawajaanza form I😁 Rais wa Makampuni ya GSM Mfadhili na mdhamini wa Klabu ya Yanga Ghalib Said Mohamed katika mkutano wa majadiliano kati ya Kamati Maalum ya Ujenzi wa Uwanja wa Yanga na Mwekezaji unaofanyika Zanzibar. #KitengeSports https://t.co/PMKTiFWCgn Rais wa Makampuni ya GSM Mfadhili na mdhamini wa Klabu ya Yanga Ghalib Said Mohamed katika mkutano wa majadiliano kati ya Kamati Maalum ya Ujenzi wa Uwanja wa Yanga na Mwekezaji unaofanyika Zanzibar. #KitengeSports https://t.co/PMKTiFWCgn"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022665599705584091)  2026-02-14T13:33Z 437.7K followers, [----] engagements


"Ukiona clip za huyu na Simbachawene unaona kabisa huyu ndo alifaa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani VIDEO: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa ujasiri na uzalendo wa hali ya juu wa kujitoa kuwalinda raia na mali zao huku akionya kuwa ulimwengu wa sasa unakabiliwa na tishio jipya la uhalifu kupitia teknolojia. Akizungumza na https://t.co/1LmakbR7Yt VIDEO: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa ujasiri na uzalendo wa hali ya juu wa kujitoa kuwalinda raia na mali zao huku akionya kuwa ulimwengu wa sasa"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022665753590202383)  2026-02-14T13:34Z 437.7K followers, 16.8K engagements


"Tunaweza kutenga Bil [--] za msafara wa kumpokea Mzee wa Minyama kutoka Airport @bajabiri Bajeti Itakua Kama Bei Gani Yakumpokea Mzee Wa Minyama😂😂😂 @bajabiri Bajeti Itakua Kama Bei Gani Yakumpokea Mzee Wa Minyama😂😂😂"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022687053331272057)  2026-02-14T14:59Z 437.7K followers, [---] engagements


"Rwanda wana uwanja mzuri sanaila kwenye soka ni ZERO kabisa"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022687267286860240)  2026-02-14T14:59Z 437.7K followers, [----] engagements


"Haiwezi kwa sababu msimu huu wachezaji wame relax sana. Yanga ilibaki kidogo isiende Makundi iliposumbuliwa na kale katimu ka Malawi na hawajawahi kubadilika kuwa serious. Hivi kwanini watu hawaioni Yanga kama ina uwezo wa kushinda zaidi ya mabao mawili dhidi ya Kabylie. Hivi kwanini watu hawaioni Yanga kama ina uwezo wa kushinda zaidi ya mabao mawili dhidi ya Kabylie"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022691049647562882)  2026-02-14T15:15Z 437.7K followers, [----] engagements


"Duuh. Mabinti wana UJASIRI. Mtangazaji wa Michezo wa @wasafifm Mwanaid Suleiman (@bintisuleimani) akiwa katika usiku wake na Mume wake Brigedia Jenerali Hassan Rashid Mabena baada ya kufunga ndoa yao. #KitengeUpdates https://t.co/gzEobcM0tr Mtangazaji wa Michezo wa @wasafifm Mwanaid Suleiman (@bintisuleimani) akiwa katika usiku wake na Mume wake Brigedia Jenerali Hassan Rashid Mabena baada ya kufunga ndoa yao. #KitengeUpdates https://t.co/gzEobcM0tr"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022752968726949983)  2026-02-14T19:21Z 437.7K followers, 20.6K engagements


"Watu kama hao si wa kuwa entertain unamuacha aje mda wako Watanzania wengi tuna changamoto ya kwenda na muda Mtu mnakubaliana muonane saa 8:30 asubuhi Town mpaka sasa anakwambia niko njian na atokei mbali na hapo. Mimi nimetoka porini Mlandizi uko nishafika Town yeye bado anasema niko njian. Hatuwezi kwenda na muda kabisa 💔 Watanzania wengi tuna changamoto ya kwenda na muda Mtu mnakubaliana muonane saa 8:30 asubuhi Town mpaka sasa anakwambia niko njian na atokei mbali na hapo. Mimi nimetoka porini Mlandizi uko nishafika Town yeye bado anasema niko njian. Hatuwezi kwenda na muda kabisa 💔"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022921776276345175)  2026-02-15T06:31Z 437.7K followers, [---] engagements


"This season Michuano ya Klabu Bingwa Afrika imekua na msisimko sana kutokana na ushindani mkali sana hasa kwenye group stage. Timu zimekuwa kwenye wakati mgumu sana kwenda Robo. Pongezi kwa CAF"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022922522489164226)  2026-02-15T06:34Z 437.7K followers, [---] engagements


"Tuanze na Kiongozi bora ambaye ni Mangungu BAADA ya Simba kuondolewa Kimataifa Msimu huuNANI anastahili kuwa MCHEZAJI BORA wa Simba wa Klabu Bingwa Barani Afrika kwa msimu huu https://t.co/2p8SrvhiY9 BAADA ya Simba kuondolewa Kimataifa Msimu huuNANI anastahili kuwa MCHEZAJI BORA wa Simba wa Klabu Bingwa Barani Afrika kwa msimu huu https://t.co/2p8SrvhiY9"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022937583316312524)  2026-02-15T07:34Z 437.7K followers, [---] engagements


"Mangungu ndo kiongozi pekee wa Simba anayeweza kuongea Fluent English. Huyu lazima tumchague tena aiongoze Simba. Mwenyekiti wa Klabu na Makamu Mwenyekiti wa Bodi Murtaza Mangungu baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien. #NguvuMoja https://t.co/wHVVIgcsYx Mwenyekiti wa Klabu na Makamu Mwenyekiti wa Bodi Murtaza Mangungu baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien. #NguvuMoja https://t.co/wHVVIgcsYx"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022945343714005470)  2026-02-15T08:05Z 437.7K followers, [----] engagements


"Tafuta pesa umiliki Bentley Kanisani kwenu leo mmejifunza nini ili nasi tujifunze . Kanisani kwenu leo mmejifunza nini ili nasi tujifunze "  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022946057962107312)  2026-02-15T08:08Z 437.7K followers, [---] engagements


"Bora walimitangu uhuru inaeleweka wao wanalipwa UJIRA.ila MDs @bajabiri Kuna walimu wanalipwa 50K pia. Sijui hizi wizara za Kazi zinafanya kazi gani yaan. @bajabiri Kuna walimu wanalipwa 50K pia. Sijui hizi wizara za Kazi zinafanya kazi gani yaan"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022959539906376164)  2026-02-15T09:01Z 437.7K followers, [----] engagements


"Toyota zinaonewa Kama umeshindwa kupungua kwa mazoezi nunua hizi gari [--]. Mazda CX5 2.Rumion https://t.co/HX4I7sZdeK juke 4.Mercedes - Benz C class [--]. Volkswagen Tiguan [--]. Hyundai Tucson [--]. Nissan Xtrail [--]. Alphard model zote Izo Gari Ukiwa Nazo Tembea Na Mwamvuli kwenye Buti Mda Wowote Kama umeshindwa kupungua kwa mazoezi nunua hizi gari [--]. Mazda CX5 2.Rumion https://t.co/HX4I7sZdeK juke 4.Mercedes - Benz C class [--]. Volkswagen Tiguan [--]. Hyundai Tucson [--]. Nissan Xtrail [--]. Alphard model zote Izo Gari Ukiwa Nazo Tembea Na Mwamvuli kwenye Buti Mda Wowote"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023012604650958859)  2026-02-15T12:32Z 437.7K followers, [---] engagements


"Azam ameshikilia Bomba. Ila mbele hana finisha mzuri kama Simba. ⚽ by #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023047817686650964)  2026-02-15T14:52Z 437.7K followers, [---] engagements


"Bado dakika chache sana Simba ikadhihirishe umwamba wake Afrika. Mangungu akathibitishe umahiri wake kwenye uongozi. #MitanoTenaMangungu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020160101672231129)  2026-02-07T15:37Z 437.7K followers, [----] engagements


"#JustFit. Mavazi kwa wana michozo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022280365642039503)  2026-02-13T12:03Z 437.7K followers, [---] engagements


"Mifuko ya saruji [----] ya ujenzi wa Chuo cha VETA iliachwa ikaganda. #NipasheLeo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022565075530207667)  2026-02-14T06:54Z 437.7K followers, 19.5K engagements


"Yule Bosi wa DP WORLD ni mzembe sana. Unaachaje kazi kisa #Episteinfiles"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022667263971577929)  2026-02-14T13:40Z 437.7K followers, [----] engagements


"Naandaa utaratibu hapa tutakapoenda kumpokea Mzee wa Minyama pale Airport na Tuzo yake tutatumia Bentley ya Waziri ile @bajabiri Kwenye Msafara Wakumpokea Tusisahau V8 [--] Range Rover [--] Pamoja Na Bentley Flying Spur Hybrid Azure (2025) Ata Tatu. Na Ma Askari Kadhaa Wakumlinda Dhidi Ya Mashabiki Hii Imekaaje @bajabiri Kwenye Msafara Wakumpokea Tusisahau V8 [--] Range Rover [--] Pamoja Na Bentley Flying Spur Hybrid Azure (2025) Ata Tatu. Na Ma Askari Kadhaa Wakumlinda Dhidi Ya Mashabiki Hii Imekaaje"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022688692578697303)  2026-02-14T15:05Z 437.7K followers, [---] engagements


"Huyu Kocha ni muongo. Simba sio timu bora Afrika 🎙 Kocha wa Stade Malien Simba ni klabu bora sana barani Afrika. Kwa ubora wao na uzoefu wao kwenye mashindano nilitegemea wamalize nafasi ya kwanza kwenye kundi na sisi kufuata nyuma yao. Lakini soka lina matokeo yake ambayo wakati mwingine hayafuati matarajio. https://t.co/3zzlDfuqr3 🎙 Kocha wa Stade Malien Simba ni klabu bora sana barani Afrika. Kwa ubora wao na uzoefu wao kwenye mashindano nilitegemea wamalize nafasi ya kwanza kwenye kundi na sisi kufuata nyuma yao. Lakini soka lina matokeo yake ambayo wakati mwingine hayafuati matarajio."  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022692771740684384)  2026-02-14T15:21Z 437.7K followers, [----] engagements


"Mpanzu akifika kwenye [--] anapoteza zake mpira hana wasiwasi"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022716119715336257)  2026-02-14T16:54Z 437.7K followers, [----] engagements


"Hata wewe unaweza kumiliki hii Bentley kwa 1700000/= tu. #JustFit Kijitonyama"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2022718621819019486)  2026-02-14T17:04Z 437.7K followers, [----] engagements


"Manula.anaonesha jinsi mwajiri wake wa zamani alivyokuwa "mswahili""  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023043402481488243)  2026-02-15T14:35Z 437.7K followers, 19.2K engagements


"Huko Cairo hali ikoje Laurindo Dilson Maria Aurlio 'Depu' anaiandikia Young Africans Sc bao la uongozi kwa mkwaju wa penalti dhidi ya JS Kabylie ya Algeria katika dimba la New Amaan Complex Zanzibar. Yanga Sc 1-0 JS Kabylie ⚽ 35' Depu #KitengeSports https://t.co/TtWinNPzoD Laurindo Dilson Maria Aurlio 'Depu' anaiandikia Young Africans Sc bao la uongozi kwa mkwaju wa penalti dhidi ya JS Kabylie ya Algeria katika dimba la New Amaan Complex Zanzibar. Yanga Sc 1-0 JS Kabylie ⚽ 35' Depu #KitengeSports https://t.co/TtWinNPzoD"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023078076096172078)  2026-02-15T16:52Z 437.7K followers, [---] engagements


"#BajabirLogistics tunasafirisha Desktops na Laptops kutoka Dar kwenda mikoa yote Tanzania"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023268469064491461)  2026-02-16T05:29Z 437.7K followers, [---] engagements


"Dodoma Dar mbona mabasi yanapakia jamani.SGR haikubali shangazi kaja inataka wewe na kabegi kako watu wengi husafiri na mamizigo. Mabasi yatapakia bila shida. SGR ikimalika watu kutoka Dar kwenda Mwanza watatumia masaa sita tu. Hapa watu wa mabasi wajiandae SGR ikimalika watu kutoka Dar kwenda Mwanza watatumia masaa sita tu. Hapa watu wa mabasi wajiandae"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023279600747397344)  2026-02-16T06:13Z 437.7K followers, 13.8K engagements


"@chapo255 Huko Tunduma Songwe kuna jamaa alienda bank kutoa 54M Cash.alipokuwa anaelekea anakoenda wahuni wakamtandika Risasi wakampora hela (last week). So jana polisi wanasema wamemkamata mshukiwa mmoja. Alopigwa risasi bado yupo hospital"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2020814024540078423)  2026-02-09T10:56Z 437.7K followers, [---] engagements


"Tanzania hakuna manufaa yoyote itayapata kutoka Somalia. Kama jirani Kenya amefunga mpaka ba Somalia for [--] yrs.maana yake Kenya ameona Somalia haina faida kwake. Tanzania itanufaikaje na Somalia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya kiuhamiaji. Hati hiyo ya Makubaliano imelenga kuondoleana hitaji la visa kwa Pasipoti za kidiplomasia na za kiutumishi pamoja na https://t.co/CRGFYUoaky Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023619655588319594)  2026-02-17T04:44Z 437.7K followers, [---] engagements


"Siku hizi Potassium ndo mnaita SYSTEM. Hiki kizazi 😁"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023363959760339078)  2026-02-16T11:48Z 437.7K followers, [----] engagements


"Kwanini Kenya amefunga mipaka yake na Somalia Hiyo fursa hajaiona @bajabiri I meant importers. kuna soko kubwa sana la vitunguu na matunda @bajabiri I meant importers. kuna soko kubwa sana la vitunguu na matunda"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/2023660715471405127)  2026-02-17T07:28Z 437.7K followers, [--] engagements


"I have a special package for you my love. @bajabiri Babe umenipa ham🥲 @bajabiri Babe umenipa ham🥲"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1882308718500651270)  2025-01-23T06:05Z 432K followers, [----] engagements


"Reebok hiyo ni 395000/= @bajabiri How much s this shoe @bajabiri How much s this shoe"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1882682336371950004)  2025-01-24T06:50Z 432K followers, [----] engagements


"NBC Premier League irudi tuone panapovuja. Outfit by #StreetSoul Mlimani City Branch"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1882709638698950715)  2025-01-24T08:38Z 432K followers, [---] engagements


"Bodaboda leo kazi wanayo City Center.ndo mambo ya smart energy meeting nini"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1883093220542087279)  2025-01-25T10:03Z 432K followers, 10.5K engagements


"Nihamie mpwapwa sasa We don't have to be smarter than the rest rather more disciplined than the rest https://t.co/OkVxUazxbo We don't have to be smarter than the rest rather more disciplined than the rest https://t.co/OkVxUazxbo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1886385596773339624)  2025-02-03T12:05Z 432.1K followers, [----] engagements


"UNapenda mateke au yalokomaa Leo nikapike sihifud na bamia 😀 https://t.co/Pi4lO8XYG2 Leo nikapike sihifud na bamia 😀 https://t.co/Pi4lO8XYG2"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1886726085213102444)  2025-02-04T10:38Z 432.1K followers, [----] engagements


"Yanga ina muhaho"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1886839568311206049)  2025-02-04T18:09Z 432.1K followers, [----] engagements


"Mimi napenda Under Armour Caps 🧢 65000/= tu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1887359238566998104)  2025-02-06T04:34Z 432.1K followers, [--] engagements


"Rufiji tumeshaamua.form ni [--] tu.tunakwenda na Mzalendo MCHENGERWA. #Accountability #OurDemocracy"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1887732475117306014)  2025-02-07T05:17Z 432.2K followers, 25.3K engagements


"@Urukundo05 😁😁😁😁 Ipo.kwenye kundi lake.bado haijaanza makeke.ila March haiishi"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1888490048191918125)  2025-02-09T07:28Z 432.2K followers, [--] engagements


"Elon unajikuta nani Immediate sanctions for Malema and declaration of him as an international criminal Immediate sanctions for Malema and declaration of him as an international criminal"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1888609515009921247)  2025-02-09T15:22Z 432.3K followers, 10.8K engagements


"Milio ya Valentine Month Humu Leo milio ni mingi sana Humu Leo milio ni mingi sana"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1888655177973932242)  2025-02-09T18:24Z 432.3K followers, [---] engagements


"Kama upo Chuo na unasomea Ualimu tazama hii video itakupa way forward. #TeachingIsProfession"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1889546933225844868)  2025-02-12T05:27Z 432.8K followers, 56.8K engagements


"Napoli Vs Inter. Bonge ya game.m"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1895900874209411298)  2025-03-01T18:16Z 432.8K followers, [---] engagements


"Sold OUT . It was TZS 2900000/= #StreetSoul tunauza vitu Quality Bora upotezewe mda kuliko kupoteza saa. 2900000/= #StreetSoul. #ElimikaWikiendi https://t.co/KG7ZSD8tXM Bora upotezewe mda kuliko kupoteza saa. 2900000/= #StreetSoul. #ElimikaWikiendi https://t.co/KG7ZSD8tXM"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1900078952795754499)  2025-03-13T06:58Z 433.3K followers, [----] engagements


"@TBoundBuses"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1900535593974538660)  2025-03-14T13:12Z 433.4K followers, [----] engagements


"Humu kuna majungu sana"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1900595232892125541)  2025-03-14T17:09Z 433.4K followers, [----] engagements


"Posho za mwisho mwisho hizo KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza ziara ya kazi ya siku [--] mkoani Iringa ambapo itatembelea miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye Halmashauri [--] mkoani humo kama sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti https://t.co/MQQMPux4rC KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza ziara ya kazi ya siku [--] mkoani Iringa ambapo itatembelea miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye Halmashauri [--] mkoani humo kama sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria. Hayo yamesemwa na"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1901168254116081678)  2025-03-16T07:06Z 433.5K followers, [----] engagements


"Napiga Puma Teees 👕 kama Gamondi. Adidas cap 🧢 kama Kompani. Adidas 👟 Raba kama Klopp. Karibu #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1903408875421757741)  2025-03-22T11:30Z 433.6K followers, [---] engagements


"Hello @adidas lovers. Hizi zipo #JustFit Mbezi Beach Rainbow"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1903820503141245088)  2025-03-23T14:45Z 433.6K followers, [---] engagements


"Hii Game kukikucha ichambuliwe na media za TANGA tu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1904675557184319800)  2025-03-25T23:23Z 433.6K followers, [----] engagements


"Huwa nawaambiaga "CAG ndo msema kweli" Msema kweli ni CAG.nyie nyamazeni. Msema kweli ni CAG.nyie nyamazeni"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1905195104375030028)  2025-03-27T09:48Z 435.9K followers, 69K engagements


"#Accountability"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1905276989210062963)  2025-03-27T15:13Z 433.6K followers, [----] engagements


"The last day of ya kwanza ya 2025"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1906749488468725809)  2025-03-31T16:44Z 433.8K followers, [----] engagements


"Huyo wa nyuma yake ni nani Sema @CatherineRuge NI Mali https://t.co/HGs77zQp8u Sema @CatherineRuge NI Mali https://t.co/HGs77zQp8u"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1909127644605530556)  2025-04-07T06:14Z 433.7K followers, [----] engagements


"@winharder_ @ScholaDecaprado @ALugandu @sonnino123 @amprincess9 @Classickizito @Bwanashilingi Na gari inauzwa"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1909973394864423059)  2025-04-09T14:15Z 433.8K followers, [--] engagements


"3 leo yuko dimbani"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1911423385088799019)  2025-04-13T14:17Z 434.3K followers, [----] engagements


"Sera imeanza kuenea Afrika. #Accountability #OurDemocracy"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1914957291243123056)  2025-04-23T08:19Z 434.5K followers, 22.6K engagements


"Ma Apple 🍎 ya Makete ku replace ya SAUZI. #Accountability"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1915129413097628059)  2025-04-23T19:43Z 434.5K followers, [----] engagements


"Saucony. #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1919807978296713296)  2025-05-06T17:34Z 434.7K followers, [---] engagements


"Diadora. 175000/= #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1919808119040778285)  2025-05-06T17:34Z 434.7K followers, [---] engagements


"Swimming 🏊♀ accessories. #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1923379024157430191)  2025-05-16T14:04Z 434.7K followers, [---] engagements


"Heeeeee.Hawa Berkane washapata BAO"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1923818877206622705)  2025-05-17T19:12Z 434.7K followers, [----] engagements


"Hii Gameno doubt. #51mba anashinda bao 2-1 Nimefurahia sana Kuona Asilimia Kuwa ya wana Simba wana Iman kubwa sana na team Yao wanasema ata ikichezewa Morocco Ushindi Lazima. https://t.co/ZI6tAT9X0X Nimefurahia sana Kuona Asilimia Kuwa ya wana Simba wana Iman kubwa sana na team Yao wanasema ata ikichezewa Morocco Ushindi Lazima. https://t.co/ZI6tAT9X0X"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1924545862669119756)  2025-05-19T19:21Z 435.2K followers, [---] engagements


"Puma or ADIDAS"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1925242373539238383)  2025-05-21T17:28Z 434.7K followers, [---] engagements


"Mikanda 15000/= #JustFitYardSale"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1929128063079456883)  2025-06-01T10:49Z 435.5K followers, [----] engagements


"Musk ameanza kumbananga Trump"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1929997040999870679)  2025-06-03T20:22Z 434.9K followers, [----] engagements


"😁😁😁😁😁😁😁"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1934525276932706316)  2025-06-16T08:15Z 435K followers, [----] engagements


"Mr Kisesa anatrend hadi BBC"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1935002374009205029)  2025-06-17T15:51Z 435.1K followers, 19.8K engagements


"@kapeto98 @thomasjkibwana @KennedyMmari @AmosCyprian4 @AbdulAlly253493 @Rydx_017 @franklin_tissa @Amongofthem @babalao__ I don't know why Netanyahu ameingia vitaniamewapa shida sanaaaa Raia wake"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1936286246847889523)  2025-06-21T04:53Z 435K followers, [----] engagements


"Nike or Adidas Both are genuine goods. Karibuni #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1936371809697300975)  2025-06-21T10:33Z 435.1K followers, [----] engagements


"Netanyahu ameshatoa Speech ya kumshukuru Trump kwa kushambulia Nuclear Facilities za Iran. #IranIsraelConflict"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1936694896640848365)  2025-06-22T07:57Z 435K followers, [----] engagements


"Mnyama Puma. #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1936731505826365846)  2025-06-22T10:22Z 435K followers, [---] engagements


"Short on Target [--] na goli. Experience"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1936870899942052327)  2025-06-22T19:36Z 435K followers, [---] engagements


"Genuine Adidas goods na GYM Equipment 🏋♂ unapata #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1937143809214705909)  2025-06-23T13:40Z 435K followers, [---] engagements


"Thekla Mkuchika. Benjamin Samwel Sitta. TEUZI https://t.co/FZOvpa95Ku TEUZI https://t.co/FZOvpa95Ku"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1937225808323707068)  2025-06-23T19:06Z 435K followers, 53.4K engagements


"Kalulu kafunga goli zuri kama la Chasambi"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1938318039595782386)  2025-06-26T19:26Z 435K followers, [----] engagements


"Weekend ni shopping 🛍. #StreetSoul ipo wazi Arusha and Dar. Karibu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1939260091074478498)  2025-06-29T09:50Z 435K followers, [---] engagements


".ni Sawa na Barcelona .ni Sawa na Real Madrid .ni Sawa na Liverpool .ni Sawa na Bayani Munich #JustFit ni Sawa na @adidas"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1939684263601037619)  2025-06-30T13:55Z 435.1K followers, [---] engagements


"@Ireneigora @maipambomteta Muhurumie. Ana familia inamtegemea 😁"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1940700488376504825)  2025-07-03T09:13Z 435.1K followers, [--] engagements


"It doesn't make sense Unajisikiaje kumuona mtu uliyekuwa unamzidi alama darasani akikuzidi mafanikio miaka kadhaa badae Kwa nini wazazi wanakomaa watoto wao wawe wa kwanza darasani bila kujali wamepata alama ngapi Unajisikiaje kumuona mtu uliyekuwa unamzidi alama darasani akikuzidi mafanikio miaka kadhaa badae Kwa nini wazazi wanakomaa watoto wao wawe wa kwanza darasani bila kujali wamepata alama ngapi"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1940830456225976791)  2025-07-03T17:50Z 435K followers, [---] engagements


"@Mahmoudms01 Malawi"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1941818429704434026)  2025-07-06T11:16Z 435.2K followers, [--] engagements


"@MarekaMalili Kwanza Tanganyika Packers ni very prime area"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1942144149039268060)  2025-07-07T08:50Z 435.2K followers, [---] engagements


"Halaaaa Madrid. Leo Madrid fans mje #JustFit Mbezi Rainbow ntawapa discount kidooogo.kupooza machungu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1943172553100661213)  2025-07-10T04:56Z 435.3K followers, [---] engagements


"Kesho ntakucheki. Happy Sabbath Day Everyone Happy Sabbath Day Everyone"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1943898221211681002)  2025-07-12T05:00Z 435.7K followers, [---] engagements


"@Jumsyd255 @Nike @Eric__Bernard @PresenterNoah Mporipori ameajiriwa na Chelsea kitengo cha Propaganda Kaka humu ndani ni oa kukaa kitaalam. Agenda hazisukumwi burebure"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1944623575329128858)  2025-07-14T05:02Z 435.4K followers, [--] engagements


""Mali" ipi unamaanisha"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1945029775132701092)  2025-07-15T07:56Z 435.4K followers, [--] engagements


"325000/= unatupia na kadeti/jeans au kinjunga"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1945398077537267910)  2025-07-16T08:20Z 435.5K followers, [----] engagements


"@TumainiPaul3 @Nike @nikestore Karibu #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1946471732384285028)  2025-07-19T07:26Z 435.5K followers, [---] engagements


"@bajabiri Sasa kwanini unataka vyuo vifungwe na ishawahi kutokea hapo nyuma. Wafanyikazi wa DPP pia wanafanyiwa udahili hii isiwe sababu ya kufunga vyuo. @bajabiri Sasa kwanini unataka vyuo vifungwe na ishawahi kutokea hapo nyuma. Wafanyikazi wa DPP pia wanafanyiwa udahili hii isiwe sababu ya kufunga vyuo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1946581776287080771)  2025-07-19T14:43Z 435.6K followers, [----] engagements


"Bikes 1350000/= #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1947172154711351735)  2025-07-21T05:49Z 435.6K followers, [----] engagements


"@ScholaDecaprado @Ireneigora Password ya ATM card ni mwaka wake wa kuzaliwa.ipo kwenye dressing table hapo card"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1948298375205396809)  2025-07-24T08:25Z 435.6K followers, [--] engagements


"@mhdhamad @MrIbu77 Very true. Hiko chumba ni 200K pale"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1949377887389483167)  2025-07-27T07:54Z 435.7K followers, [--] engagements


"@FamWorld2025 Lubricant ipo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1949685529865265367)  2025-07-28T04:17Z 435.8K followers, [--] engagements


"Tutakumisi sana Ex JBL Ex JBL katoboa. Shida sasa basi pale Congwa Ex JBL katoboa. Shida sasa basi pale Congwa"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1953142503143620905)  2025-08-06T17:13Z 436K followers, [----] engagements


"@Geeee_123 Good night"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1954324728086454399)  2025-08-09T23:31Z 436K followers, [--] engagements


"Puma 👕 🧢👟 #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1955913346798252206)  2025-08-14T08:44Z 436.1K followers, [---] engagements


"Everything is available for you. #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1956036189829652514)  2025-08-14T16:52Z 436.1K followers, [----] engagements


"Let me prove wrong hawa wachawi @bajabiri Unaweza mpiga Mtu kipapai ujue 😂 @bajabiri Unaweza mpiga Mtu kipapai ujue 😂"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1956957359076491279)  2025-08-17T05:52Z 435.6K followers, [---] engagements


"Moroko ipi mlisema mtaifunga 📍Moroko hotel 📍Moroko skwea 📍Moroko Eateli"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1958968026419855867)  2025-08-22T19:02Z 436.1K followers, [----] engagements


"Kabila nae kapatwa na msala wa UHAINI. DW"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1959194333443510320)  2025-08-23T10:01Z 436.1K followers, 18.7K engagements


"Trump banned Associated Press from White House hadi mahakama itakapoamua iruhusiwe. Kifupi watu wa Associated press wamekwenda Mahakamani kupinga amri ya Rais #AlJazeera"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1961297384123572305)  2025-08-29T05:18Z 436.1K followers, [----] engagements


"Upo Northern Zone Pita #JustFit Arusha hapo AIM Mall ufanye shopping 🛍 ya Sports Gear"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1962511785229013108)  2025-09-01T13:44Z 436.1K followers, [---] engagements


"Kiingilio: Tsh 10000/= tu leo hapa #NyamaChomaFestival"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1964353311022465214)  2025-09-06T15:41Z 435.6K followers, [--] engagements


"Unaposti upate likes Likes doesn't bring bread on the table hasa kwa sie tusio na tiki @bajabiri Una followers 430k ila ukipost likes 10-30. Maana yake 92% mkubwa ni bots sio watu @bajabiri Una followers 430k ila ukipost likes 10-30. Maana yake 92% mkubwa ni bots sio watu"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1964625748721127788)  2025-09-07T09:44Z 435.7K followers, [----] engagements


"Manyoni nimeona TATA inaitwa Tema Mate #GANUTCOexpress Mwanza Kasulu @Gomajr41 📸 https://t.co/i3ibMM8Kev #GANUTCOexpress Mwanza Kasulu @Gomajr41 📸 https://t.co/i3ibMM8Kev"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1965344885688631637)  2025-09-09T09:21Z 435.6K followers, [----] engagements


"Changing the Narrative on Suicide: Empowering Youth Voices for Hope and Resilience Tuesday [--] September 3:00 5:00pm Time zone: Africa/Nairobi Google Meet joining info Video call link: #ElimikaWikiendi https://meet.google.com/ypw-xkei-pxv https://meet.google.com/ypw-xkei-pxv"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1965379657840410771)  2025-09-09T11:40Z 435.6K followers, [---] engagements


"We are official Club Kit Supplier. Bado siku [--] Tanzania kushuhudia Jezi badala ya Fulana. Powered by #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1966447721083998505)  2025-09-12T10:24Z 435.6K followers, [---] engagements


"#IpendeNchiYako 📍Itigi"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1966875760175804613)  2025-09-13T14:44Z 435.6K followers, [----] engagements


"Angebaki Liver tu . Out of pitch for [--] year 😂😂😂 https://t.co/r3HXtRUYr4 Out of pitch for [--] year 😂😂😂 https://t.co/r3HXtRUYr4"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1968538101225025698)  2025-09-18T04:50Z 435.6K followers, [----] engagements


"Gari ambayo ukiituma safari.inaitika bila kiburi. TOYOTA HARRIER [----] (EJB 2GR-FE) 28.9M TZS [----] [---] [---] [----] cc (2GR-FE V6 Petrol) Automatic AWD Colour:  Full AC Full Documentation Clean Condition Approx. [---] hp [---] Nm [----] km/h [---] s Fuel Consumption: [----] L/100 km (9.1 km/L) Fuel Tank: [--] L https://t.co/r36FTlJU96 TOYOTA HARRIER [----] (EJB 2GR-FE) 28.9M TZS [----] [---] [---] [----] cc (2GR-FE V6 Petrol) Automatic AWD Colour:  Full AC Full Documentation Clean Condition Approx. [---] hp [---] Nm [----] km/h [---] s Fuel Consumption: [----] L/100 km (9.1 km/L) Fuel Tank: [--] L https://t.co/r36FTlJU96"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1969395422629085271)  2025-09-20T13:37Z 435.7K followers, [----] engagements


"Official ⚽⚽⚽ for NBC Premier League. Powered by #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1970882801672335665)  2025-09-24T16:07Z 435.7K followers, [---] engagements


"Ipo Dom hapo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1971229810316935229)  2025-09-25T15:06Z 435.7K followers, [--] engagements


"Makocha [---] watuma CVs Man UTD"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1971935597565825214)  2025-09-27T13:50Z 435.8K followers, [---] engagements


"Marefa wa EPL wanavalishwa na Puma marefa wa NBC Premier League wanavalishwa na #JustFit. Then #JustFit na #Puma ni business partners"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1971970831439065457)  2025-09-27T16:10Z 435.8K followers, [---] engagements


"About Nike Gears. Only #JustFit. Official Business Partner wa Nike Tanzania"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1972597398842294415)  2025-09-29T09:40Z 435.7K followers, [---] engagements


"Weekends ni 🧢👕. Zipo #JustFit kwa 115000/= unapata 🧢 115000/= unapata 👕 from @adidas"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1974130648081412171)  2025-10-03T15:13Z 435.5K followers, [---] engagements


"Chimbo lako pendwa.twita hakuna mali humu @bajabiri Tiktok ni chimbo @bajabiri Tiktok ni chimbo"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1974876967091699995)  2025-10-05T16:38Z 435.5K followers, [----] engagements


"Surf 🏄♀ 🌊"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1976596632385802726)  2025-10-10T10:32Z 435.5K followers, [---] engagements


"Plain @Nike #JustFit"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1978485662753136798)  2025-10-15T15:38Z 435.5K followers, [---] engagements


"Aende VETA kwanza"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/1979566676170440720)  2025-10-18T15:14Z 435.5K followers, [--] engagements


""@JamiiForums: Migrants from Burundi crossing the border to Tanzania #burundichaos http://t.co/QgtsigA8Os"wanarud kwao sasa"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/596682829251084288)  2015-05-08T14:27Z 427.4K followers, [--] engagements


"Ipo chini ya Waislam tu. https://x.com/Ezekia_Lameck/status/981961325680218112 @bajabiri @kassimamari @TanzaniaMuslima @allysalehznz @1TraVeLA @SuphianJuma Na MUM University of Morogoro ipo chini ya nan https://x.com/Ezekia_Lameck/status/981961325680218112 @bajabiri @kassimamari @TanzaniaMuslima @allysalehznz @1TraVeLA @SuphianJuma Na MUM University of Morogoro ipo chini ya nan"  
[X Link](https://x.com/bajabiri/status/981962751731032066)  2018-04-05T18:32Z 427K followers, [--] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@bajabiri Avatar @bajabiri The SPECIAL ONE ™️

The SPECIAL ONE ™️ posts on X about kwanza, al ahly, tanzania, ipo the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [------] #

Engagements Line Chart

  • [--] Week [-------] +225%
  • [--] Month [-------] +608%
  • [--] Months [-------] -41%
  • [--] Year [---------] -71%

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

  • [--] Week [--] +153%
  • [--] Month [---] +250%
  • [--] Months [---] +154%
  • [--] Year [---] -85%

Followers: [-------] #

Followers Line Chart

  • [--] Week [-------] +0.04%
  • [--] Month [-------] +0.11%
  • [--] Months [-------] +0.37%
  • [--] Year [-------] +1.20%

CreatorRank: [---------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries 16.58% fashion brands 6.42% currencies 5.35% stocks 4.81% finance 4.28% technology brands 3.74% travel destinations 3.21% automotive brands 3.21% luxury brands 2.14% social networks 1.6%

Social topic influence kwanza #197, al ahly 4.81%, tanzania #609, ipo 3.74%, bora #835, adidas 3.74%, kenya 3.21%, mali 2.67%, bentley #223, leo 2.14%

Top accounts mentioned or mentioned by @bigotz001 @mhdhamad @scholadecaprado @mkali26og @____the_truth @adidas @nike @wikolobilal @zephania_ndaki @fluconazole32 @munyamambogo @prolearner77 @moshijnr @allypapala @chapo255 @ireneigora @flahisha @kiwirachief @mananajr_ @benny_pascal

Top assets mentioned BABE (BABE) Mambo (MAMBO) Nani Coin (NANI) MILIO (MILIO) Alphabet Inc Class A (GOOGL) CVS Health Corp (CVS)

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"Sema Sina mwanasheria tu Hata uwe mla rushwa vipi huwezi wafikia watu wa TANESCO Hata uwe mla rushwa vipi huwezi wafikia watu wa TANESCO"
X Link 2026-02-15T17:00Z 437.7K followers, [----] engagements

"Kwa miaka mingi sasa #BajabirLogistics imekuwa ikiaminiwa na makampuni makubwa hapa Tanzania kwa kuwasafirishia mizigo yao kwenda nchi nzima. Tunajivunia kufanya kazi na Serengeti Breweries kwa mda mrefu na kwa uaminifu. Na wewe kuwa sehemu ya familia yetu. ☎ [----] [---] 100"
X Link 2026-01-30T05:39Z 437.6K followers, [---] engagements

"Game ijayo Simba anakwenda Mali au Angola"
X Link 2026-02-01T15:30Z 437.5K followers, [---] engagements

"Unakwenda jela kizembe kisa kumzonga mzee wa watu Mangungu ambaye wala hachezi"
X Link 2026-02-01T16:00Z 437.5K followers, 22.1K engagements

"Kwani hilo Bus likija mashabiki wa Simba watalipanda Mbona madai yao hayana logic Kwa sasa wachezaji wa Simba wanapanda usafiri gani @bajabiri Wamlaumu mangungu sababu ya basi jipya kuchelewa. Ila suala la uwanjani wamwache kwanza @bajabiri Wamlaumu mangungu sababu ya basi jipya kuchelewa. Ila suala la uwanjani wamwache kwanza"
X Link 2026-02-01T16:35Z 437.5K followers, [---] engagements

"Hiking shoes. #JustFit"
X Link 2026-02-03T08:46Z 437.6K followers, [---] engagements

"Akaunti ikiwa imekufaukitaka kuifufua unasumbuliwa kama unafungua akaunti mpya.tena inaweza chukua hata siku [--] ndo akaunti iwe active. Zama hizi Kuna namna fulani Selcom watakuja kuwatoa kwenye POS business haya mabenki. Unafungua akaunti unajaza taarifa zote wanakupa akaunti ya biashara. Kisha siku nyingine wanakupa fomu nyingine tena unajaza taarifa zote tena zilezile kuomba LipaNamba POS na kadhalika. Its a very Kuna namna fulani Selcom watakuja kuwatoa kwenye POS business haya mabenki. Unafungua akaunti unajaza taarifa zote wanakupa akaunti ya biashara. Kisha siku nyingine wanakupa fomu"
X Link 2026-02-03T08:50Z 437.6K followers, [----] engagements

"Podcasts za Kenya zimenyooka sana. Most of them hujadili hard issues. Ukisikiliza hukosi vitu muhimu vya kukujenga"
X Link 2026-02-07T11:36Z 437.5K followers, [---] engagements

"Yaani hata kusambaza umeme hadi wachina Miradi kama hii ingewekwa Sera kabisa inafanywa na kampuni za Kitanzania tu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima Februari [--] [----] amewapokea rasmi wakandarasi wawili kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao watafanya kazi ya kusambaza umeme katika vitongoji [---] vya mkoa huo mradi wenye thamani ya Sh. bilioni 91.https://t.co/5hdSkhpmKg https://t.co/4xtTkAYBqu Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima Februari [--] [----] amewapokea rasmi wakandarasi wawili kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao watafanya kazi ya kusambaza umeme katika vitongoji [---] vya"
X Link 2026-02-07T13:15Z 437.6K followers, [----] engagements

"So Mfalme ni moja ya shareholder wa Taji Media.akoding to WADAU"
X Link 2026-02-07T15:51Z 437.7K followers, 22.6K engagements

"Sarafu ya Angola inaitwa #AngolanKwanza"
X Link 2026-02-07T17:05Z 437.7K followers, [---] engagements

"1.Maniema Pt [--] 2.Wydad Pt [--] 3.Azam Pt [--] 4.Nairobi Utd [--] Kundi limeshakuwa gumu. 🧤 by #JustFit"
X Link 2026-02-07T18:12Z 437.7K followers, [---] engagements

"Elimu haina mwisho. [----] hakikisha unajifunza kitu kipya"
X Link 2026-02-08T06:27Z 437.5K followers, 31.9K engagements

"Yanga kwa uchezaji wa Jana haina uwezo wa kushinda bao [--] bila.ni Sawa na kuahidiwa maji siku ya uchaguzi @bajabiri Ishu iko kwenye kushika nafasi ya kwanza tichaafu kwa vurugu walizofanyiwa Al ahly Morocco ni ngumu sana kuwaachiaishu ni kua yanga anaweza kushinda 3-0 Guantanamo Bay @bajabiri Ishu iko kwenye kushika nafasi ya kwanza tichaafu kwa vurugu walizofanyiwa Al ahly Morocco ni ngumu sana kuwaachiaishu ni kua yanga anaweza kushinda 3-0 Guantanamo Bay"
X Link 2026-02-08T06:38Z 437.5K followers, [----] engagements

"HAWEZI kushinda bao [--] bhana. Ile believe ya Yanga kutinga hatua ya robo fainali ya CAFCL msimu huu bado ninayo naamini Yanga anakwenda robo fainali kabisa. why Mpaka sasa kwenye GD anadaiwa goli mbili ina maana game dhidi ya JS Kabylie ashinde goli [--] na anaweza kufanya hili " Football ". Hii inawezekana💪 https://t.co/qXh5zKegVp Ile believe ya Yanga kutinga hatua ya robo fainali ya CAFCL msimu huu bado ninayo naamini Yanga anakwenda robo fainali kabisa. why Mpaka sasa kwenye GD anadaiwa goli mbili ina maana game dhidi ya JS Kabylie ashinde goli [--] na anaweza kufanya hili " Football ". Hii"
X Link 2026-02-08T06:44Z 437.5K followers, [----] engagements

"Al Ahly anadroo. Rabat anakuwa na pointi 9"
X Link 2026-02-08T07:01Z 437.7K followers, [---] engagements

"Football inakwenda na umahiri wa wachezaji kwenye timu. Yanga imefanya makosa kudroo na AL Ahly na kufungwa na Rabat.wakati hizo games ilikuwa inaweza kushinda.nafasi zimepatikana wamezichezea @bajabiri Hii ni Football kaka hakuna kisichowezekana @bajabiri Hii ni Football kaka hakuna kisichowezekana"
X Link 2026-02-08T07:03Z 437.5K followers, [----] engagements

"Kama Al Ahly amedroo next game pia anaweza kudroo"
X Link 2026-02-08T07:07Z 437.5K followers, [---] engagements

"JS Kabylie sio CR belozidadi useme utampiga 4"
X Link 2026-02-08T07:10Z 437.5K followers, [----] engagements

"JSK hawezi fungwa zaidi ya bao [--] na Yanga. AL Ahly hawezi kutoa jasho kwenye game yake na Rabat wakati ashafuzu 😁😁 @moshijnr @bajabiri Shida inakuja Yanga hesabu wameziwekea kwao tu. Sawa Mnasema Ahly hawez kumuachia na nyie mna hakika kabyle anaweza kubali kirahisi kufungwa chuma tatu kavu @moshijnr @bajabiri Shida inakuja Yanga hesabu wameziwekea kwao tu. Sawa Mnasema Ahly hawez kumuachia na nyie mna hakika kabyle anaweza kubali kirahisi kufungwa chuma tatu kavu"
X Link 2026-02-08T08:10Z 437.5K followers, [---] engagements

"Al ahly ameshafuzu. Hatakuwa siriazi sana. Matokeo yeyote kwake ni faida.but "wanaweza kuyajenga" kwa maslahi mapana ya timu zao. Yanga ingekuwa na pointi [--] au [--] Sawa.tungesema nafasi anayo walau jwa 40%. Ila kwa sasa Yanga qna 0% ya kufuzu. @bajabiri Wewe ni fala sana kijana eti nafasi ipo kwa Rabat tu daah😂😂😂 kwamba kwa vurugu walizofanyiwa Al Ahly na AS Far wawaachie tu pointi zinagawane kirahisi Haya @bajabiri Wewe ni fala sana kijana eti nafasi ipo kwa Rabat tu daah😂😂😂 kwamba kwa vurugu walizofanyiwa Al Ahly na AS Far wawaachie tu pointi zinagawane kirahisi Haya"
X Link 2026-02-08T08:36Z 437.5K followers, [----] engagements

"So safari ya Yanga inategemea AL Ahly.wakati safari yao ilikuwa inawategemea wenyewe.kifupi Yanga inataka kwenda Robo kama mgombea wa VITI MAALUM. Haiwezekani @bajabiri Ticha Yanga sio lazima ashinde yeye goli [--] anaweza akashinda goli moja halaf Al Ahly ndio ashinde [--] @bajabiri Ticha Yanga sio lazima ashinde yeye goli [--] anaweza akashinda goli moja halaf Al Ahly ndio ashinde 3"
X Link 2026-02-08T14:19Z 437.5K followers, [---] engagements

"Mamelod anakwenda kuungana na Yanga Simba na Nairobi United Al Hilal [--] MC Alger [--] Mamelod Sundowns [--] Saint Eloi Lupopo 5"
X Link 2026-02-08T15:02Z 437.5K followers, [----] engagements

"@bhazenga_ @NgomeshaD Kwa jana hawajatengeneza 1.2Bila wameweza kuipa mileage brand yao na itafanya vizuri sokoni that was a marketing event sio event ya kuuza"
X Link 2026-02-08T15:51Z 437.5K followers, [---] engagements

"Jamaa amepata ajali kwenye bus akakimbizwa hospital as majeruhiambulance iliyombeba ikapata ajali amefariki"
X Link 2026-02-08T17:36Z 437.5K followers, 25K engagements

"Game ijayo Mamelod anakutana na kocha wake wa zamani. Halafu anapaswa amfunge ili aende Robo. Al Hilal anakutana na Lipopo Lipopo akishinda anakuwa na alama 8.MC Algers akidroo nae anakuwa na alama 8"
X Link 2026-02-08T17:42Z 437.5K followers, [---] engagements

"@Allypapala Iyovi hiyo"
X Link 2026-02-08T17:49Z 437.5K followers, [--] engagements

"Ipi barabara nzuri ya kupita unapokwenda Songea kwa Private car kutokea Dar Via Masasi au Via Makambako Oil bora unapata #AutoManTraders 📍Kariakoo ☎+255625547323"
X Link 2026-02-09T07:52Z 437.5K followers, [----] engagements

"Kwa maelezo ya Kocha wa Al Ahly ni kwamba wamedhamiria kumpasua Rabat. Je Yanga amedhamiria kumpasua JSK"
X Link 2026-02-09T08:24Z 437.6K followers, [---] engagements

"Hakunaga "Kaya za MATAJIRI" Kuna "Kaya za Masikini" tu"
X Link 2026-02-09T11:26Z 437.6K followers, 16K engagements

"@jose_stabo77930 Matajiri wana MAKAZI"
X Link 2026-02-09T11:35Z 437.6K followers, [---] engagements

"Kwanza hii unaweza kuta Horse ipo LUGONO tela lipo Msamvu linajikokota Mziki mkubwa CD [---] njoo kichwa kichwa ule za uso 😀 Hii pulling yake inafikia horsepower ngapi 🙌🏾🙌🏾🔥🔥 #VituVyaPeponi https://t.co/8eUxaiO10z Mziki mkubwa CD [---] njoo kichwa kichwa ule za uso 😀 Hii pulling yake inafikia horsepower ngapi 🙌🏾🙌🏾🔥🔥 #VituVyaPeponi https://t.co/8eUxaiO10z"
X Link 2026-02-09T11:36Z 437.5K followers, [----] engagements

"Walipa KODI ndo wa kusifiwa Mbona hamtoi sifa nzuri za soko letu la Kariakoo 😄😄 Tukifanya vizuri msione aibu kusifia au kutoa pongezi. Sio kila siku lawama na maneno hasi. Soko tumejenga aseee 🙌🏿🙌🏿 Mbona hamtoi sifa nzuri za soko letu la Kariakoo 😄😄 Tukifanya vizuri msione aibu kusifia au kutoa pongezi. Sio kila siku lawama na maneno hasi. Soko tumejenga aseee 🙌🏿🙌🏿"
X Link 2026-02-10T04:04Z 437.6K followers, [---] engagements

"Bongo hakuna Podcasts bhana. East Africa podcasts zipo Kenya tu. Moja ya Podcast bora kuwahi Kutokea East Africa ni Hii Chief Godlove na Gigy Money Kuna Madini kichizi humu Nenda YouTube Kwenye channel ya Chief G Media au link nimekuwekea kwa Comments hapo.🔥🔥 https://t.co/kjB0XahyWL Moja ya Podcast bora kuwahi Kutokea East Africa ni Hii Chief Godlove na Gigy Money Kuna Madini kichizi humu Nenda YouTube Kwenye channel ya Chief G Media au link nimekuwekea kwa Comments hapo.🔥🔥 https://t.co/kjB0XahyWL"
X Link 2026-02-10T04:46Z 437.6K followers, 14K engagements

"Mchakato wa kukaguana vyeti ukianza wengine wanaanza Kulia. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda amesema walimu wa michezo hawatosimamia michezo kama hawana vyeti. https://t.co/GNmpJK0cEM Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda amesema walimu wa michezo hawatosimamia michezo kama hawana vyeti. https://t.co/GNmpJK0cEM"
X Link 2026-02-10T04:48Z 437.6K followers, 15.2K engagements

"Ally anapiga FIKSI. .Unaendaje Robo na hatima yako imeshikwa na AL Ahly "Nazungumza kwa Confidence sina mashaka kabisa Jumapili Yanga inaenda kufuzu Robo Fainali kama kuna hesabu piga wewe jimalize mimi sina mahesabu. Saa moja nitaenda kumshona mtu pale Amaan Complex saa tatu tutaanza sherehe ya kwenda robo fainali" 🎙 Ally Kamwe https://t.co/JtLLBEebCW "Nazungumza kwa Confidence sina mashaka kabisa Jumapili Yanga inaenda kufuzu Robo Fainali kama kuna hesabu piga wewe jimalize mimi sina mahesabu. Saa moja nitaenda kumshona mtu pale Amaan Complex saa tatu tutaanza sherehe ya kwenda robo"
X Link 2026-02-10T05:36Z 437.6K followers, [----] engagements

"Tata [--] zimebeba madereva wa mafunzoni. Barabarani kuna neema eeenh"
X Link 2026-02-10T06:41Z 437.6K followers, [----] engagements

"@bboy_ogast Tunasikikiza za kibongo zinazojadili sana mapenzi na umalaya tunasikiliza za Kenya ambazo wanajadili issues"
X Link 2026-02-10T08:48Z 437.6K followers, [--] engagements

"Bila Mnangagwa Zimbabwe itayumba. Nadhani kuna haja ya kuiga haya Mambo Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha rasimu ya sheria inayopendekeza mabadiliko makubwa ya kikatiba hatua itakayomruhusu Rais Emmerson Mnangagwa (83) kuendelea kusalia madarakani hadi mwaka [----] au zaidi. Chini ya mapendekezo hayo mapya mfumo wa kumchagua Rais https://t.co/vIrHN5SsY6 Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha rasimu ya sheria inayopendekeza mabadiliko makubwa ya kikatiba hatua itakayomruhusu Rais Emmerson Mnangagwa (83) kuendelea kusalia madarakani hadi mwaka [----] au zaidi. Chini ya mapendekezo"
X Link 2026-02-11T08:12Z 437.6K followers, [---] engagements

"Boss wa Tik Tok amesema yeye ni raia wa Singapore na sio Mchina.amewajibu maseneta wa USA Tik Tok pamoja na kukata rufaa mahakama imetupilia mbali. So Tiktok hairuhusiwi USA. Tik Tok pamoja na kukata rufaa mahakama imetupilia mbali. So Tiktok hairuhusiwi USA"
X Link 2026-02-11T08:27Z 437.6K followers, [---] engagements

"Kwani Iran akiwa nayo kuna shida gani Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa makubaliano yoyote mapya kati ya nchi yake na Iran ni lazima yahusishe kusitishwa kwa mpango wa makombora ya masafa marefu pamoja na mpango wa nyuklia wa Tehran. Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Fox News Rais Trump https://t.co/HQj57zUVUe Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa makubaliano yoyote mapya kati ya nchi yake na Iran ni lazima yahusishe kusitishwa kwa mpango wa makombora ya masafa marefu pamoja na mpango wa nyuklia wa Tehran. Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Fox"
X Link 2026-02-11T08:39Z 437.7K followers, [----] engagements

"255000/= #JustFit New Arrivals"
X Link 2026-02-11T08:44Z 437.7K followers, [---] engagements

"Msisimko wa #LigiKuu unawezeshwa na mipira bora kutoka #JustFit ⚽"
X Link 2026-02-12T07:51Z 437.7K followers, [---] engagements

"😁😁😁😁 "msomi wa masuala ya siasa na maridhiano" Ila hii nchi. VIDEO: Msomi wa Masuala ya Siasa za Maridhiano mwandishi wa habari mwandamizi Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga ametoa dira mpya kuhusu mchakato wa maridhiano ya kisiasa nchini Tanzania akisisitiza kuwa hatua ya kwanza ni kujenga mtangamano wa tabaka la wanasiasa (Elite https://t.co/Q4BEoupMcg VIDEO: Msomi wa Masuala ya Siasa za Maridhiano mwandishi wa habari mwandamizi Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga ametoa dira mpya kuhusu mchakato wa maridhiano ya kisiasa nchini Tanzania akisisitiza kuwa hatua ya kwanza ni kujenga mtangamano"
X Link 2026-02-12T08:04Z 437.7K followers, [----] engagements

"Bora ualimu kuliko #USHAiDDY"
X Link 2026-02-12T08:14Z 437.7K followers, [----] engagements

"Mnangagwa tunaenda nae hadi [----]. Tunataka arudishe hadhi ya Zimbabwe yetu"
X Link 2026-02-12T08:25Z 437.7K followers, [----] engagements

""Shule za KATA" VIDEO: Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema wanafunzi wanaonufaika na mpango wa Samia Scholarship ikiwemo wanaopelekwa kusoma nje ya nchi wamepatikana kwa haki kwa kuzingatia vigezo vya ufaulu na sifa stahiki bila upendeleo. Kauli hiyo ameitoa leo https://t.co/FRTQJuatZ8 VIDEO: Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema wanafunzi wanaonufaika na mpango wa Samia Scholarship ikiwemo wanaopelekwa kusoma nje ya nchi wamepatikana kwa haki kwa kuzingatia vigezo vya ufaulu na sifa stahiki bila upendeleo. Kauli hiyo ameitoa leo"
X Link 2026-02-13T11:26Z 437.7K followers, [---] engagements

"@mhdhamad @ScholaDecaprado Hapo kuna foleni pitia Jangwani kaka mie nipo Keko Magurumbasi biriani ya hapa bosi haoipendaimeshapowa"
X Link 2026-02-13T12:48Z 437.7K followers, [--] engagements

"@mhdhamad @ScholaDecaprado Naelekea hapo japo nna njaa ila wacha nimpambanie bosi wangu"
X Link 2026-02-13T12:51Z 437.7K followers, [--] engagements

"DED alikuwa wapi DC alikuwa wapi DMO alikuwa wapi Mhandisi wa Halmashauri alikuwa wapi Kamati ya madiwani ilikuwa wapi DAS alikuwa wapi RC alikuwa wapi RAS alikuwa wapi Wazee wa Kitengo walikuwa wapi Msimamizi wa mradi alikuwa wapi Mkandarasi mshauri Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Kituo cha Afya Sindeni Handeni baada ya kubainika milango [--] iko chini ya kiwango. https://t.co/xzKuFYs6hj Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa jengo la mama na mtoto katika Kituo cha Afya Sindeni Handeni"
X Link 2026-02-13T14:15Z 437.7K followers, [----] engagements

"Ufunguzi Tanzania Mshindi wa [--] Kenya (maana wanasuasua sana) Fainali Uganda "Mashindano ya AFCON kuendelea kufanyika mwaka [----] kwa nchi za Tanzania Kenya na Uganda.Tarehe za mashindano kuwa mwezi Juni na Julai ila Marais wa Mashirikisho kuamua mchezo wa ufunguzi uwe wapi na Fainali itakuwa wapi." Rais wa CAF - Patrice Motsepe https://t.co/H4Ix7gUNEz "Mashindano ya AFCON kuendelea kufanyika mwaka [----] kwa nchi za Tanzania Kenya na Uganda.Tarehe za mashindano kuwa mwezi Juni na Julai ila Marais wa Mashirikisho kuamua mchezo wa ufunguzi uwe wapi na Fainali itakuwa wapi." Rais wa CAF - Patrice"
X Link 2026-02-13T14:17Z 437.7K followers, [---] engagements

"I was RIGHT Nimekutana na mwanafunzi wangu niliyemfundisha Advance.ameniambia now ni POLISI.tumeshindwa kubadilishana namba. Nimekutana na mwanafunzi wangu niliyemfundisha Advance.ameniambia now ni POLISI.tumeshindwa kubadilishana namba"
X Link 2026-02-13T16:07Z 437.7K followers, 15.5K engagements

"Mimk sio mnene Naomba niweke sawa. Mimi Bajabir sio MNENE.😂😂😂 Ila "nna mwili" https://t.co/Oak1twGn7h Naomba niweke sawa. Mimi Bajabir sio MNENE.😂😂😂 Ila "nna mwili" https://t.co/Oak1twGn7h"
X Link 2026-02-13T16:22Z 437.7K followers, [---] engagements

"Eti walimu tulaumiwe kuchemka kwa #MAshaIddy"
X Link 2026-02-13T16:29Z 437.7K followers, [----] engagements

"My Bentley. #Ubaoni TZS 1700000/= #JustFit Kijitonyama Sayansi Oil Com ⛽"
X Link 2026-02-14T05:55Z 437.7K followers, [---] engagements

"Vitu laini kama vya Jordan Nguruwe wakija(ga) Afrika wanajiachia sana kwanza wanashangaa namna uroda unapatikana kirahisi kuliko huko kwao. Nguruwe wakija(ga) Afrika wanajiachia sana kwanza wanashangaa namna uroda unapatikana kirahisi kuliko huko kwao"
X Link 2026-02-14T07:12Z 437.7K followers, [----] engagements

"Mchezaji akishaujua mpira hana kisingizio ataukontroo awezavyo. ⚽ by #JustFit"
X Link 2026-02-14T07:50Z 437.7K followers, [----] engagements

"GSM hana konakona.tangu nianze kusikia mwekezaji wetu anajenga uwanjani kabla form IV wa mwaka huu hawajaanza form I😁 Rais wa Makampuni ya GSM Mfadhili na mdhamini wa Klabu ya Yanga Ghalib Said Mohamed katika mkutano wa majadiliano kati ya Kamati Maalum ya Ujenzi wa Uwanja wa Yanga na Mwekezaji unaofanyika Zanzibar. #KitengeSports https://t.co/PMKTiFWCgn Rais wa Makampuni ya GSM Mfadhili na mdhamini wa Klabu ya Yanga Ghalib Said Mohamed katika mkutano wa majadiliano kati ya Kamati Maalum ya Ujenzi wa Uwanja wa Yanga na Mwekezaji unaofanyika Zanzibar. #KitengeSports https://t.co/PMKTiFWCgn"
X Link 2026-02-14T13:33Z 437.7K followers, [----] engagements

"Ukiona clip za huyu na Simbachawene unaona kabisa huyu ndo alifaa kuwa Waziri wa Mambo ya ndani VIDEO: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa ujasiri na uzalendo wa hali ya juu wa kujitoa kuwalinda raia na mali zao huku akionya kuwa ulimwengu wa sasa unakabiliwa na tishio jipya la uhalifu kupitia teknolojia. Akizungumza na https://t.co/1LmakbR7Yt VIDEO: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelipongeza Jeshi la Polisi kwa ujasiri na uzalendo wa hali ya juu wa kujitoa kuwalinda raia na mali zao huku akionya kuwa ulimwengu wa sasa"
X Link 2026-02-14T13:34Z 437.7K followers, 16.8K engagements

"Tunaweza kutenga Bil [--] za msafara wa kumpokea Mzee wa Minyama kutoka Airport @bajabiri Bajeti Itakua Kama Bei Gani Yakumpokea Mzee Wa Minyama😂😂😂 @bajabiri Bajeti Itakua Kama Bei Gani Yakumpokea Mzee Wa Minyama😂😂😂"
X Link 2026-02-14T14:59Z 437.7K followers, [---] engagements

"Rwanda wana uwanja mzuri sanaila kwenye soka ni ZERO kabisa"
X Link 2026-02-14T14:59Z 437.7K followers, [----] engagements

"Haiwezi kwa sababu msimu huu wachezaji wame relax sana. Yanga ilibaki kidogo isiende Makundi iliposumbuliwa na kale katimu ka Malawi na hawajawahi kubadilika kuwa serious. Hivi kwanini watu hawaioni Yanga kama ina uwezo wa kushinda zaidi ya mabao mawili dhidi ya Kabylie. Hivi kwanini watu hawaioni Yanga kama ina uwezo wa kushinda zaidi ya mabao mawili dhidi ya Kabylie"
X Link 2026-02-14T15:15Z 437.7K followers, [----] engagements

"Duuh. Mabinti wana UJASIRI. Mtangazaji wa Michezo wa @wasafifm Mwanaid Suleiman (@bintisuleimani) akiwa katika usiku wake na Mume wake Brigedia Jenerali Hassan Rashid Mabena baada ya kufunga ndoa yao. #KitengeUpdates https://t.co/gzEobcM0tr Mtangazaji wa Michezo wa @wasafifm Mwanaid Suleiman (@bintisuleimani) akiwa katika usiku wake na Mume wake Brigedia Jenerali Hassan Rashid Mabena baada ya kufunga ndoa yao. #KitengeUpdates https://t.co/gzEobcM0tr"
X Link 2026-02-14T19:21Z 437.7K followers, 20.6K engagements

"Watu kama hao si wa kuwa entertain unamuacha aje mda wako Watanzania wengi tuna changamoto ya kwenda na muda Mtu mnakubaliana muonane saa 8:30 asubuhi Town mpaka sasa anakwambia niko njian na atokei mbali na hapo. Mimi nimetoka porini Mlandizi uko nishafika Town yeye bado anasema niko njian. Hatuwezi kwenda na muda kabisa 💔 Watanzania wengi tuna changamoto ya kwenda na muda Mtu mnakubaliana muonane saa 8:30 asubuhi Town mpaka sasa anakwambia niko njian na atokei mbali na hapo. Mimi nimetoka porini Mlandizi uko nishafika Town yeye bado anasema niko njian. Hatuwezi kwenda na muda kabisa 💔"
X Link 2026-02-15T06:31Z 437.7K followers, [---] engagements

"This season Michuano ya Klabu Bingwa Afrika imekua na msisimko sana kutokana na ushindani mkali sana hasa kwenye group stage. Timu zimekuwa kwenye wakati mgumu sana kwenda Robo. Pongezi kwa CAF"
X Link 2026-02-15T06:34Z 437.7K followers, [---] engagements

"Tuanze na Kiongozi bora ambaye ni Mangungu BAADA ya Simba kuondolewa Kimataifa Msimu huuNANI anastahili kuwa MCHEZAJI BORA wa Simba wa Klabu Bingwa Barani Afrika kwa msimu huu https://t.co/2p8SrvhiY9 BAADA ya Simba kuondolewa Kimataifa Msimu huuNANI anastahili kuwa MCHEZAJI BORA wa Simba wa Klabu Bingwa Barani Afrika kwa msimu huu https://t.co/2p8SrvhiY9"
X Link 2026-02-15T07:34Z 437.7K followers, [---] engagements

"Mangungu ndo kiongozi pekee wa Simba anayeweza kuongea Fluent English. Huyu lazima tumchague tena aiongoze Simba. Mwenyekiti wa Klabu na Makamu Mwenyekiti wa Bodi Murtaza Mangungu baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien. #NguvuMoja https://t.co/wHVVIgcsYx Mwenyekiti wa Klabu na Makamu Mwenyekiti wa Bodi Murtaza Mangungu baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien. #NguvuMoja https://t.co/wHVVIgcsYx"
X Link 2026-02-15T08:05Z 437.7K followers, [----] engagements

"Tafuta pesa umiliki Bentley Kanisani kwenu leo mmejifunza nini ili nasi tujifunze . Kanisani kwenu leo mmejifunza nini ili nasi tujifunze "
X Link 2026-02-15T08:08Z 437.7K followers, [---] engagements

"Bora walimitangu uhuru inaeleweka wao wanalipwa UJIRA.ila MDs @bajabiri Kuna walimu wanalipwa 50K pia. Sijui hizi wizara za Kazi zinafanya kazi gani yaan. @bajabiri Kuna walimu wanalipwa 50K pia. Sijui hizi wizara za Kazi zinafanya kazi gani yaan"
X Link 2026-02-15T09:01Z 437.7K followers, [----] engagements

"Toyota zinaonewa Kama umeshindwa kupungua kwa mazoezi nunua hizi gari [--]. Mazda CX5 2.Rumion https://t.co/HX4I7sZdeK juke 4.Mercedes - Benz C class [--]. Volkswagen Tiguan [--]. Hyundai Tucson [--]. Nissan Xtrail [--]. Alphard model zote Izo Gari Ukiwa Nazo Tembea Na Mwamvuli kwenye Buti Mda Wowote Kama umeshindwa kupungua kwa mazoezi nunua hizi gari [--]. Mazda CX5 2.Rumion https://t.co/HX4I7sZdeK juke 4.Mercedes - Benz C class [--]. Volkswagen Tiguan [--]. Hyundai Tucson [--]. Nissan Xtrail [--]. Alphard model zote Izo Gari Ukiwa Nazo Tembea Na Mwamvuli kwenye Buti Mda Wowote"
X Link 2026-02-15T12:32Z 437.7K followers, [---] engagements

"Azam ameshikilia Bomba. Ila mbele hana finisha mzuri kama Simba. ⚽ by #JustFit"
X Link 2026-02-15T14:52Z 437.7K followers, [---] engagements

"Bado dakika chache sana Simba ikadhihirishe umwamba wake Afrika. Mangungu akathibitishe umahiri wake kwenye uongozi. #MitanoTenaMangungu"
X Link 2026-02-07T15:37Z 437.7K followers, [----] engagements

"#JustFit. Mavazi kwa wana michozo"
X Link 2026-02-13T12:03Z 437.7K followers, [---] engagements

"Mifuko ya saruji [----] ya ujenzi wa Chuo cha VETA iliachwa ikaganda. #NipasheLeo"
X Link 2026-02-14T06:54Z 437.7K followers, 19.5K engagements

"Yule Bosi wa DP WORLD ni mzembe sana. Unaachaje kazi kisa #Episteinfiles"
X Link 2026-02-14T13:40Z 437.7K followers, [----] engagements

"Naandaa utaratibu hapa tutakapoenda kumpokea Mzee wa Minyama pale Airport na Tuzo yake tutatumia Bentley ya Waziri ile @bajabiri Kwenye Msafara Wakumpokea Tusisahau V8 [--] Range Rover [--] Pamoja Na Bentley Flying Spur Hybrid Azure (2025) Ata Tatu. Na Ma Askari Kadhaa Wakumlinda Dhidi Ya Mashabiki Hii Imekaaje @bajabiri Kwenye Msafara Wakumpokea Tusisahau V8 [--] Range Rover [--] Pamoja Na Bentley Flying Spur Hybrid Azure (2025) Ata Tatu. Na Ma Askari Kadhaa Wakumlinda Dhidi Ya Mashabiki Hii Imekaaje"
X Link 2026-02-14T15:05Z 437.7K followers, [---] engagements

"Huyu Kocha ni muongo. Simba sio timu bora Afrika 🎙 Kocha wa Stade Malien Simba ni klabu bora sana barani Afrika. Kwa ubora wao na uzoefu wao kwenye mashindano nilitegemea wamalize nafasi ya kwanza kwenye kundi na sisi kufuata nyuma yao. Lakini soka lina matokeo yake ambayo wakati mwingine hayafuati matarajio. https://t.co/3zzlDfuqr3 🎙 Kocha wa Stade Malien Simba ni klabu bora sana barani Afrika. Kwa ubora wao na uzoefu wao kwenye mashindano nilitegemea wamalize nafasi ya kwanza kwenye kundi na sisi kufuata nyuma yao. Lakini soka lina matokeo yake ambayo wakati mwingine hayafuati matarajio."
X Link 2026-02-14T15:21Z 437.7K followers, [----] engagements

"Mpanzu akifika kwenye [--] anapoteza zake mpira hana wasiwasi"
X Link 2026-02-14T16:54Z 437.7K followers, [----] engagements

"Hata wewe unaweza kumiliki hii Bentley kwa 1700000/= tu. #JustFit Kijitonyama"
X Link 2026-02-14T17:04Z 437.7K followers, [----] engagements

"Manula.anaonesha jinsi mwajiri wake wa zamani alivyokuwa "mswahili""
X Link 2026-02-15T14:35Z 437.7K followers, 19.2K engagements

"Huko Cairo hali ikoje Laurindo Dilson Maria Aurlio 'Depu' anaiandikia Young Africans Sc bao la uongozi kwa mkwaju wa penalti dhidi ya JS Kabylie ya Algeria katika dimba la New Amaan Complex Zanzibar. Yanga Sc 1-0 JS Kabylie ⚽ 35' Depu #KitengeSports https://t.co/TtWinNPzoD Laurindo Dilson Maria Aurlio 'Depu' anaiandikia Young Africans Sc bao la uongozi kwa mkwaju wa penalti dhidi ya JS Kabylie ya Algeria katika dimba la New Amaan Complex Zanzibar. Yanga Sc 1-0 JS Kabylie ⚽ 35' Depu #KitengeSports https://t.co/TtWinNPzoD"
X Link 2026-02-15T16:52Z 437.7K followers, [---] engagements

"#BajabirLogistics tunasafirisha Desktops na Laptops kutoka Dar kwenda mikoa yote Tanzania"
X Link 2026-02-16T05:29Z 437.7K followers, [---] engagements

"Dodoma Dar mbona mabasi yanapakia jamani.SGR haikubali shangazi kaja inataka wewe na kabegi kako watu wengi husafiri na mamizigo. Mabasi yatapakia bila shida. SGR ikimalika watu kutoka Dar kwenda Mwanza watatumia masaa sita tu. Hapa watu wa mabasi wajiandae SGR ikimalika watu kutoka Dar kwenda Mwanza watatumia masaa sita tu. Hapa watu wa mabasi wajiandae"
X Link 2026-02-16T06:13Z 437.7K followers, 13.8K engagements

"@chapo255 Huko Tunduma Songwe kuna jamaa alienda bank kutoa 54M Cash.alipokuwa anaelekea anakoenda wahuni wakamtandika Risasi wakampora hela (last week). So jana polisi wanasema wamemkamata mshukiwa mmoja. Alopigwa risasi bado yupo hospital"
X Link 2026-02-09T10:56Z 437.7K followers, [---] engagements

"Tanzania hakuna manufaa yoyote itayapata kutoka Somalia. Kama jirani Kenya amefunga mpaka ba Somalia for [--] yrs.maana yake Kenya ameona Somalia haina faida kwake. Tanzania itanufaikaje na Somalia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya kiuhamiaji. Hati hiyo ya Makubaliano imelenga kuondoleana hitaji la visa kwa Pasipoti za kidiplomasia na za kiutumishi pamoja na https://t.co/CRGFYUoaky Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya"
X Link 2026-02-17T04:44Z 437.7K followers, [---] engagements

"Siku hizi Potassium ndo mnaita SYSTEM. Hiki kizazi 😁"
X Link 2026-02-16T11:48Z 437.7K followers, [----] engagements

"Kwanini Kenya amefunga mipaka yake na Somalia Hiyo fursa hajaiona @bajabiri I meant importers. kuna soko kubwa sana la vitunguu na matunda @bajabiri I meant importers. kuna soko kubwa sana la vitunguu na matunda"
X Link 2026-02-17T07:28Z 437.7K followers, [--] engagements

"I have a special package for you my love. @bajabiri Babe umenipa ham🥲 @bajabiri Babe umenipa ham🥲"
X Link 2025-01-23T06:05Z 432K followers, [----] engagements

"Reebok hiyo ni 395000/= @bajabiri How much s this shoe @bajabiri How much s this shoe"
X Link 2025-01-24T06:50Z 432K followers, [----] engagements

"NBC Premier League irudi tuone panapovuja. Outfit by #StreetSoul Mlimani City Branch"
X Link 2025-01-24T08:38Z 432K followers, [---] engagements

"Bodaboda leo kazi wanayo City Center.ndo mambo ya smart energy meeting nini"
X Link 2025-01-25T10:03Z 432K followers, 10.5K engagements

"Nihamie mpwapwa sasa We don't have to be smarter than the rest rather more disciplined than the rest https://t.co/OkVxUazxbo We don't have to be smarter than the rest rather more disciplined than the rest https://t.co/OkVxUazxbo"
X Link 2025-02-03T12:05Z 432.1K followers, [----] engagements

"UNapenda mateke au yalokomaa Leo nikapike sihifud na bamia 😀 https://t.co/Pi4lO8XYG2 Leo nikapike sihifud na bamia 😀 https://t.co/Pi4lO8XYG2"
X Link 2025-02-04T10:38Z 432.1K followers, [----] engagements

"Yanga ina muhaho"
X Link 2025-02-04T18:09Z 432.1K followers, [----] engagements

"Mimi napenda Under Armour Caps 🧢 65000/= tu"
X Link 2025-02-06T04:34Z 432.1K followers, [--] engagements

"Rufiji tumeshaamua.form ni [--] tu.tunakwenda na Mzalendo MCHENGERWA. #Accountability #OurDemocracy"
X Link 2025-02-07T05:17Z 432.2K followers, 25.3K engagements

"@Urukundo05 😁😁😁😁 Ipo.kwenye kundi lake.bado haijaanza makeke.ila March haiishi"
X Link 2025-02-09T07:28Z 432.2K followers, [--] engagements

"Elon unajikuta nani Immediate sanctions for Malema and declaration of him as an international criminal Immediate sanctions for Malema and declaration of him as an international criminal"
X Link 2025-02-09T15:22Z 432.3K followers, 10.8K engagements

"Milio ya Valentine Month Humu Leo milio ni mingi sana Humu Leo milio ni mingi sana"
X Link 2025-02-09T18:24Z 432.3K followers, [---] engagements

"Kama upo Chuo na unasomea Ualimu tazama hii video itakupa way forward. #TeachingIsProfession"
X Link 2025-02-12T05:27Z 432.8K followers, 56.8K engagements

"Napoli Vs Inter. Bonge ya game.m"
X Link 2025-03-01T18:16Z 432.8K followers, [---] engagements

"Sold OUT . It was TZS 2900000/= #StreetSoul tunauza vitu Quality Bora upotezewe mda kuliko kupoteza saa. 2900000/= #StreetSoul. #ElimikaWikiendi https://t.co/KG7ZSD8tXM Bora upotezewe mda kuliko kupoteza saa. 2900000/= #StreetSoul. #ElimikaWikiendi https://t.co/KG7ZSD8tXM"
X Link 2025-03-13T06:58Z 433.3K followers, [----] engagements

"@TBoundBuses"
X Link 2025-03-14T13:12Z 433.4K followers, [----] engagements

"Humu kuna majungu sana"
X Link 2025-03-14T17:09Z 433.4K followers, [----] engagements

"Posho za mwisho mwisho hizo KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza ziara ya kazi ya siku [--] mkoani Iringa ambapo itatembelea miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye Halmashauri [--] mkoani humo kama sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti https://t.co/MQQMPux4rC KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza ziara ya kazi ya siku [--] mkoani Iringa ambapo itatembelea miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye Halmashauri [--] mkoani humo kama sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria. Hayo yamesemwa na"
X Link 2025-03-16T07:06Z 433.5K followers, [----] engagements

"Napiga Puma Teees 👕 kama Gamondi. Adidas cap 🧢 kama Kompani. Adidas 👟 Raba kama Klopp. Karibu #JustFit"
X Link 2025-03-22T11:30Z 433.6K followers, [---] engagements

"Hello @adidas lovers. Hizi zipo #JustFit Mbezi Beach Rainbow"
X Link 2025-03-23T14:45Z 433.6K followers, [---] engagements

"Hii Game kukikucha ichambuliwe na media za TANGA tu"
X Link 2025-03-25T23:23Z 433.6K followers, [----] engagements

"Huwa nawaambiaga "CAG ndo msema kweli" Msema kweli ni CAG.nyie nyamazeni. Msema kweli ni CAG.nyie nyamazeni"
X Link 2025-03-27T09:48Z 435.9K followers, 69K engagements

"#Accountability"
X Link 2025-03-27T15:13Z 433.6K followers, [----] engagements

"The last day of ya kwanza ya 2025"
X Link 2025-03-31T16:44Z 433.8K followers, [----] engagements

"Huyo wa nyuma yake ni nani Sema @CatherineRuge NI Mali https://t.co/HGs77zQp8u Sema @CatherineRuge NI Mali https://t.co/HGs77zQp8u"
X Link 2025-04-07T06:14Z 433.7K followers, [----] engagements

"@winharder_ @ScholaDecaprado @ALugandu @sonnino123 @amprincess9 @Classickizito @Bwanashilingi Na gari inauzwa"
X Link 2025-04-09T14:15Z 433.8K followers, [--] engagements

"3 leo yuko dimbani"
X Link 2025-04-13T14:17Z 434.3K followers, [----] engagements

"Sera imeanza kuenea Afrika. #Accountability #OurDemocracy"
X Link 2025-04-23T08:19Z 434.5K followers, 22.6K engagements

"Ma Apple 🍎 ya Makete ku replace ya SAUZI. #Accountability"
X Link 2025-04-23T19:43Z 434.5K followers, [----] engagements

"Saucony. #JustFit"
X Link 2025-05-06T17:34Z 434.7K followers, [---] engagements

"Diadora. 175000/= #JustFit"
X Link 2025-05-06T17:34Z 434.7K followers, [---] engagements

"Swimming 🏊♀ accessories. #JustFit"
X Link 2025-05-16T14:04Z 434.7K followers, [---] engagements

"Heeeeee.Hawa Berkane washapata BAO"
X Link 2025-05-17T19:12Z 434.7K followers, [----] engagements

"Hii Gameno doubt. #51mba anashinda bao 2-1 Nimefurahia sana Kuona Asilimia Kuwa ya wana Simba wana Iman kubwa sana na team Yao wanasema ata ikichezewa Morocco Ushindi Lazima. https://t.co/ZI6tAT9X0X Nimefurahia sana Kuona Asilimia Kuwa ya wana Simba wana Iman kubwa sana na team Yao wanasema ata ikichezewa Morocco Ushindi Lazima. https://t.co/ZI6tAT9X0X"
X Link 2025-05-19T19:21Z 435.2K followers, [---] engagements

"Puma or ADIDAS"
X Link 2025-05-21T17:28Z 434.7K followers, [---] engagements

"Mikanda 15000/= #JustFitYardSale"
X Link 2025-06-01T10:49Z 435.5K followers, [----] engagements

"Musk ameanza kumbananga Trump"
X Link 2025-06-03T20:22Z 434.9K followers, [----] engagements

"😁😁😁😁😁😁😁"
X Link 2025-06-16T08:15Z 435K followers, [----] engagements

"Mr Kisesa anatrend hadi BBC"
X Link 2025-06-17T15:51Z 435.1K followers, 19.8K engagements

"@kapeto98 @thomasjkibwana @KennedyMmari @AmosCyprian4 @AbdulAlly253493 @Rydx_017 @franklin_tissa @Amongofthem @babalao__ I don't know why Netanyahu ameingia vitaniamewapa shida sanaaaa Raia wake"
X Link 2025-06-21T04:53Z 435K followers, [----] engagements

"Nike or Adidas Both are genuine goods. Karibuni #JustFit"
X Link 2025-06-21T10:33Z 435.1K followers, [----] engagements

"Netanyahu ameshatoa Speech ya kumshukuru Trump kwa kushambulia Nuclear Facilities za Iran. #IranIsraelConflict"
X Link 2025-06-22T07:57Z 435K followers, [----] engagements

"Mnyama Puma. #JustFit"
X Link 2025-06-22T10:22Z 435K followers, [---] engagements

"Short on Target [--] na goli. Experience"
X Link 2025-06-22T19:36Z 435K followers, [---] engagements

"Genuine Adidas goods na GYM Equipment 🏋♂ unapata #JustFit"
X Link 2025-06-23T13:40Z 435K followers, [---] engagements

"Thekla Mkuchika. Benjamin Samwel Sitta. TEUZI https://t.co/FZOvpa95Ku TEUZI https://t.co/FZOvpa95Ku"
X Link 2025-06-23T19:06Z 435K followers, 53.4K engagements

"Kalulu kafunga goli zuri kama la Chasambi"
X Link 2025-06-26T19:26Z 435K followers, [----] engagements

"Weekend ni shopping 🛍. #StreetSoul ipo wazi Arusha and Dar. Karibu"
X Link 2025-06-29T09:50Z 435K followers, [---] engagements

".ni Sawa na Barcelona .ni Sawa na Real Madrid .ni Sawa na Liverpool .ni Sawa na Bayani Munich #JustFit ni Sawa na @adidas"
X Link 2025-06-30T13:55Z 435.1K followers, [---] engagements

"@Ireneigora @maipambomteta Muhurumie. Ana familia inamtegemea 😁"
X Link 2025-07-03T09:13Z 435.1K followers, [--] engagements

"It doesn't make sense Unajisikiaje kumuona mtu uliyekuwa unamzidi alama darasani akikuzidi mafanikio miaka kadhaa badae Kwa nini wazazi wanakomaa watoto wao wawe wa kwanza darasani bila kujali wamepata alama ngapi Unajisikiaje kumuona mtu uliyekuwa unamzidi alama darasani akikuzidi mafanikio miaka kadhaa badae Kwa nini wazazi wanakomaa watoto wao wawe wa kwanza darasani bila kujali wamepata alama ngapi"
X Link 2025-07-03T17:50Z 435K followers, [---] engagements

"@Mahmoudms01 Malawi"
X Link 2025-07-06T11:16Z 435.2K followers, [--] engagements

"@MarekaMalili Kwanza Tanganyika Packers ni very prime area"
X Link 2025-07-07T08:50Z 435.2K followers, [---] engagements

"Halaaaa Madrid. Leo Madrid fans mje #JustFit Mbezi Rainbow ntawapa discount kidooogo.kupooza machungu"
X Link 2025-07-10T04:56Z 435.3K followers, [---] engagements

"Kesho ntakucheki. Happy Sabbath Day Everyone Happy Sabbath Day Everyone"
X Link 2025-07-12T05:00Z 435.7K followers, [---] engagements

"@Jumsyd255 @Nike @Eric__Bernard @PresenterNoah Mporipori ameajiriwa na Chelsea kitengo cha Propaganda Kaka humu ndani ni oa kukaa kitaalam. Agenda hazisukumwi burebure"
X Link 2025-07-14T05:02Z 435.4K followers, [--] engagements

""Mali" ipi unamaanisha"
X Link 2025-07-15T07:56Z 435.4K followers, [--] engagements

"325000/= unatupia na kadeti/jeans au kinjunga"
X Link 2025-07-16T08:20Z 435.5K followers, [----] engagements

"@TumainiPaul3 @Nike @nikestore Karibu #JustFit"
X Link 2025-07-19T07:26Z 435.5K followers, [---] engagements

"@bajabiri Sasa kwanini unataka vyuo vifungwe na ishawahi kutokea hapo nyuma. Wafanyikazi wa DPP pia wanafanyiwa udahili hii isiwe sababu ya kufunga vyuo. @bajabiri Sasa kwanini unataka vyuo vifungwe na ishawahi kutokea hapo nyuma. Wafanyikazi wa DPP pia wanafanyiwa udahili hii isiwe sababu ya kufunga vyuo"
X Link 2025-07-19T14:43Z 435.6K followers, [----] engagements

"Bikes 1350000/= #JustFit"
X Link 2025-07-21T05:49Z 435.6K followers, [----] engagements

"@ScholaDecaprado @Ireneigora Password ya ATM card ni mwaka wake wa kuzaliwa.ipo kwenye dressing table hapo card"
X Link 2025-07-24T08:25Z 435.6K followers, [--] engagements

"@mhdhamad @MrIbu77 Very true. Hiko chumba ni 200K pale"
X Link 2025-07-27T07:54Z 435.7K followers, [--] engagements

"@FamWorld2025 Lubricant ipo"
X Link 2025-07-28T04:17Z 435.8K followers, [--] engagements

"Tutakumisi sana Ex JBL Ex JBL katoboa. Shida sasa basi pale Congwa Ex JBL katoboa. Shida sasa basi pale Congwa"
X Link 2025-08-06T17:13Z 436K followers, [----] engagements

"@Geeee_123 Good night"
X Link 2025-08-09T23:31Z 436K followers, [--] engagements

"Puma 👕 🧢👟 #JustFit"
X Link 2025-08-14T08:44Z 436.1K followers, [---] engagements

"Everything is available for you. #JustFit"
X Link 2025-08-14T16:52Z 436.1K followers, [----] engagements

"Let me prove wrong hawa wachawi @bajabiri Unaweza mpiga Mtu kipapai ujue 😂 @bajabiri Unaweza mpiga Mtu kipapai ujue 😂"
X Link 2025-08-17T05:52Z 435.6K followers, [---] engagements

"Moroko ipi mlisema mtaifunga 📍Moroko hotel 📍Moroko skwea 📍Moroko Eateli"
X Link 2025-08-22T19:02Z 436.1K followers, [----] engagements

"Kabila nae kapatwa na msala wa UHAINI. DW"
X Link 2025-08-23T10:01Z 436.1K followers, 18.7K engagements

"Trump banned Associated Press from White House hadi mahakama itakapoamua iruhusiwe. Kifupi watu wa Associated press wamekwenda Mahakamani kupinga amri ya Rais #AlJazeera"
X Link 2025-08-29T05:18Z 436.1K followers, [----] engagements

"Upo Northern Zone Pita #JustFit Arusha hapo AIM Mall ufanye shopping 🛍 ya Sports Gear"
X Link 2025-09-01T13:44Z 436.1K followers, [---] engagements

"Kiingilio: Tsh 10000/= tu leo hapa #NyamaChomaFestival"
X Link 2025-09-06T15:41Z 435.6K followers, [--] engagements

"Unaposti upate likes Likes doesn't bring bread on the table hasa kwa sie tusio na tiki @bajabiri Una followers 430k ila ukipost likes 10-30. Maana yake 92% mkubwa ni bots sio watu @bajabiri Una followers 430k ila ukipost likes 10-30. Maana yake 92% mkubwa ni bots sio watu"
X Link 2025-09-07T09:44Z 435.7K followers, [----] engagements

"Manyoni nimeona TATA inaitwa Tema Mate #GANUTCOexpress Mwanza Kasulu @Gomajr41 📸 https://t.co/i3ibMM8Kev #GANUTCOexpress Mwanza Kasulu @Gomajr41 📸 https://t.co/i3ibMM8Kev"
X Link 2025-09-09T09:21Z 435.6K followers, [----] engagements

"Changing the Narrative on Suicide: Empowering Youth Voices for Hope and Resilience Tuesday [--] September 3:00 5:00pm Time zone: Africa/Nairobi Google Meet joining info Video call link: #ElimikaWikiendi https://meet.google.com/ypw-xkei-pxv https://meet.google.com/ypw-xkei-pxv"
X Link 2025-09-09T11:40Z 435.6K followers, [---] engagements

"We are official Club Kit Supplier. Bado siku [--] Tanzania kushuhudia Jezi badala ya Fulana. Powered by #JustFit"
X Link 2025-09-12T10:24Z 435.6K followers, [---] engagements

"#IpendeNchiYako 📍Itigi"
X Link 2025-09-13T14:44Z 435.6K followers, [----] engagements

"Angebaki Liver tu . Out of pitch for [--] year 😂😂😂 https://t.co/r3HXtRUYr4 Out of pitch for [--] year 😂😂😂 https://t.co/r3HXtRUYr4"
X Link 2025-09-18T04:50Z 435.6K followers, [----] engagements

"Gari ambayo ukiituma safari.inaitika bila kiburi. TOYOTA HARRIER [----] (EJB 2GR-FE) 28.9M TZS [----] [---] [---] [----] cc (2GR-FE V6 Petrol) Automatic AWD Colour: Full AC Full Documentation Clean Condition Approx. [---] hp [---] Nm [----] km/h [---] s Fuel Consumption: [----] L/100 km (9.1 km/L) Fuel Tank: [--] L https://t.co/r36FTlJU96 TOYOTA HARRIER [----] (EJB 2GR-FE) 28.9M TZS [----] [---] [---] [----] cc (2GR-FE V6 Petrol) Automatic AWD Colour: Full AC Full Documentation Clean Condition Approx. [---] hp [---] Nm [----] km/h [---] s Fuel Consumption: [----] L/100 km (9.1 km/L) Fuel Tank: [--] L https://t.co/r36FTlJU96"
X Link 2025-09-20T13:37Z 435.7K followers, [----] engagements

"Official ⚽⚽⚽ for NBC Premier League. Powered by #JustFit"
X Link 2025-09-24T16:07Z 435.7K followers, [---] engagements

"Ipo Dom hapo"
X Link 2025-09-25T15:06Z 435.7K followers, [--] engagements

"Makocha [---] watuma CVs Man UTD"
X Link 2025-09-27T13:50Z 435.8K followers, [---] engagements

"Marefa wa EPL wanavalishwa na Puma marefa wa NBC Premier League wanavalishwa na #JustFit. Then #JustFit na #Puma ni business partners"
X Link 2025-09-27T16:10Z 435.8K followers, [---] engagements

"About Nike Gears. Only #JustFit. Official Business Partner wa Nike Tanzania"
X Link 2025-09-29T09:40Z 435.7K followers, [---] engagements

"Weekends ni 🧢👕. Zipo #JustFit kwa 115000/= unapata 🧢 115000/= unapata 👕 from @adidas"
X Link 2025-10-03T15:13Z 435.5K followers, [---] engagements

"Chimbo lako pendwa.twita hakuna mali humu @bajabiri Tiktok ni chimbo @bajabiri Tiktok ni chimbo"
X Link 2025-10-05T16:38Z 435.5K followers, [----] engagements

"Surf 🏄♀ 🌊"
X Link 2025-10-10T10:32Z 435.5K followers, [---] engagements

"Plain @Nike #JustFit"
X Link 2025-10-15T15:38Z 435.5K followers, [---] engagements

"Aende VETA kwanza"
X Link 2025-10-18T15:14Z 435.5K followers, [--] engagements

""@JamiiForums: Migrants from Burundi crossing the border to Tanzania #burundichaos http://t.co/QgtsigA8Os"wanarud kwao sasa"
X Link 2015-05-08T14:27Z 427.4K followers, [--] engagements

"Ipo chini ya Waislam tu. https://x.com/Ezekia_Lameck/status/981961325680218112 @bajabiri @kassimamari @TanzaniaMuslima @allysalehznz @1TraVeLA @SuphianJuma Na MUM University of Morogoro ipo chini ya nan https://x.com/Ezekia_Lameck/status/981961325680218112 @bajabiri @kassimamari @TanzaniaMuslima @allysalehznz @1TraVeLA @SuphianJuma Na MUM University of Morogoro ipo chini ya nan"
X Link 2018-04-05T18:32Z 427K followers, [--] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@bajabiri
/creator/twitter::bajabiri