#  @TanzaniaLeaks Tanzania Leaks Tanzania Leaks posts on X about tanzania, breaking, mambo, tiktok the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [------] [#](/creator/twitter::1425093307378638848/interactions)  - [--] Week [-------] +291% - [--] Month [-------] +212% - [--] Months [---------] +78% - [--] Year [---------] -11% ### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::1425093307378638848/posts_active)  - [--] Week [--] +130% - [--] Month [--] +213% - [--] Months [--] +350% - [--] Year [--] -77% ### Followers: [-------] [#](/creator/twitter::1425093307378638848/followers)  - [--] Month [-------] +0.09% - [--] Months [-------] +6.50% - [--] Year [-------] +13% ### CreatorRank: [-------] [#](/creator/twitter::1425093307378638848/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [countries](/list/countries) 85% [finance](/list/finance) 3% [travel destinations](/list/travel-destinations) 2% [social networks](/list/social-networks) 2% [technology brands](/list/technology-brands) 2% [luxury brands](/list/luxury-brands) 1% [automotive brands](/list/automotive-brands) 1% **Social topic influence** [tanzania](/topic/tanzania) #27, [breaking](/topic/breaking) #3337, [mambo](/topic/mambo) 2%, [tiktok](/topic/tiktok) 2%, [bentley](/topic/bentley) 1%, [bank](/topic/bank) 1%, [kenya](/topic/kenya) 1%, [ccm](/topic/ccm) 1%, [dar](/topic/dar) 1%, [dada](/topic/dada) 1% **Top accounts mentioned or mentioned by** [@usembassytz](/creator/undefined) [@senateforeign](/creator/undefined) [@icloudcom](/creator/undefined) [@davido](/creator/undefined) [@suluhusamia](/creator/undefined) [@euintz](/creator/undefined) [@ortamisemitz](/creator/undefined) [@statedept](/creator/undefined) [@eucommission](/creator/undefined) [@williamsruto](/creator/undefined) [@dallasgop](/creator/undefined) [@celinepzaka](/creator/undefined) [@negussie1179104](/creator/undefined) [@joycehuru](/creator/undefined) [@kwetukwenu](/creator/undefined) [@chepe803675231](/creator/undefined) [@mashakaayo41927](/creator/undefined) [@fuadrubeya](/creator/undefined) [@gatheinc](/creator/undefined) [@kupurepure](/creator/undefined) **Top assets mentioned** [Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [HELA (HELA)](/topic/hela) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "Kwa kuwa tu Ally Tully ni ndugu yake IGP Camillus Wambura siyo kigezo cha yeye Kuendesha mambo ya kigaidi dhidi ya wananchi. Afande IGP Camilius Wambura lazima kuwepo mipaka ya uongozi na familia" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2020560345220210805) 2026-02-08T18:08Z 115K followers, 16.4K engagements "Daudi Albert Bashite akiwa na msafara wake. Bashite ametangulia na BENTLEY nyuma akifuatwa na walinzi wake kwenye Range Rover Autobiography. Utawala wa mafisadi uliolaaniwa. Hawa ni wa kunyonga tuu" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2022677835069166073) 2026-02-14T14:22Z 115K followers, 25K engagements "BREAKING: Mmoja wa mawaziri aliyewahi kuwa waziri wa nishati na Mambo ya nje amekamatwa baada ya kujaribu kutoa fedha nyingi bank. Waziri huyo alikuwa akihisiwa kutaka kutoroka nchini. Tutawapa taarifa zaidi kadri tutakapozipokea. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2017642805204484272) 2026-01-31T16:55Z 114.9K followers, 64.6K engagements "Dr. Nchimbi tumekuwa tukitoa maonyo ili uimarishe Ulinzi na kuwa makini. Maonyo yetu yanatoka kwenye mfumo. Kwa mfano Jenista RIP Simbachawene Mwambe Tulia Bashe Biteko nk. Ambao wanasadikiwa kuwa karibu na wewe Wanawindwa. Wanaokuunga mkono Chamani wanatishwa maisha" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2017649826331000886) 2026-01-31T17:22Z 114.9K followers, 32.8K engagements "SULEMAN JAFO alipambania sana swala la Wachina. Kama Taifa tuliafikiana kwamba kazi ambazo zinaweza kufwanya na wazawa Wageni wasifanye. Matokeo yake Jaffo Katemwa na Wachina wakazidi kuongezeka. Kariakoo hakutamaniki. Wachina wana hadi Beach yao Msasani. Wengine wanapiga BOLT" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2018388978869682569) 2026-02-02T18:20Z 114.9K followers, 49.8K engagements "Anaitwa Gaston Francis. Raia wa Kenya anayejiita mtanzania. Mtaalamu wa Kupora ardhi na kutengeneza migogoro kila Kona Viongozi wilaya Bagamoyo hasa kata ya Mapinga huyu jamaa ni Bomu. Anatembeza fedha za utapeli usiku. Nashangaa CCM inavumilia Majambazi kama haya" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2022688331167928534) 2026-02-14T15:04Z 115K followers, 12.2K engagements "BREAKING: Kuna matukio ya Utekaji yamekuwa yakiendelea Mabwepande. Hadi jana watu [--] wametekwa na Baadhi ya Polisi wa Mabwepande wametambulika kuwa sehemu ya utekaji. Tunakusanya taarifa zaidi ambazo tuwaanikia punde" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2019049348105945401) 2026-02-04T14:04Z 114.9K followers, 18.2K engagements "BREAKING: Dada mmoja aliyeshuhudia na kurekodi Mauaji ya Oktoba [--] ametoweka siku ya tatu baada ya kutoa ushahidi na kuikabidhi tume video inayo onyesha sura za polis walio kuwa wanaua raia. Dada huyo alikuwa anafanya kazi kwenye stationary karibu na Chuo cha NIT Dar" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2019239889309691969) 2026-02-05T02:41Z 114.9K followers, 73.8K engagements "BREAKING: Taarifa za Siri tulizozipata hivi punde ni kwamba Rais Samia ana hofu kubwa ya kukamatwa na ICC. Moja ya vitu alivyo jadili na Al Maktoum (Mtawala wa UAE) ni kupewa hifadhi yeye pamoja na familia yake kwenye moja ya falme za kiarabu mambo yakienda vibaya" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2019429260847452390) 2026-02-05T15:13Z 114.9K followers, 58.5K engagements "Afande IGP Wambura Msipokuwa makini mtaleta umwagikaji wa damu kwenye hii nchi. Huu utekaji na uonevu wa Polisi hadi lini Kwa nini Polisi wako wawatese wananchi na wazee wasiokuwa na hatia sababu ya Ardhi na Pesa Mtavuna matunda ya hizi chuki mnazopanda" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2019894889014521999) 2026-02-06T22:04Z 115K followers, 26.3K engagements "Masha Mshomba tunakujua kama mtu mwema sana na Mwadilifu. Hizi fedha zinazodaiwa kuwa za NSSF zinazowatesa wazee na masikini Mabwepande unaziidhinisha wewe au wahuni chini yako Angalia hii kashfa haitakuacha salama. Watu wanatekwa na kuteswa sababu ya feda za NSSF" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2019896001746669575) 2026-02-06T22:08Z 114.9K followers, 16.3K engagements "BREAKING: Jambo lingine lililompeleka Samia Dubai ni kujadiliana na Uongozi wa Dubai kuhusu kununua dhaabu ya Tanganyika kwa ajili ya Dubai Gold District. Huu ni mchongo wa mwanae Abdul. Dubai itakuwa inachukua sehemu kubwa ya dhaabu Tanganyika na Abdul atapata chake cha juu" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2020555527831368188) 2026-02-08T17:49Z 114.9K followers, 22.3K engagements "Serikali ya Samia kwa kushirikiana na serikali ya Yoweri Museveni wamejipanga kukabiliana na Serikali ya Donald Trump. Tanzania ina jeshi imara na Rais imara. Trump alete ushenzi wake akutane na Mwanamke wa shoka. Samia Siyo Maduro" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2020555947911811283) 2026-02-08T17:50Z 114.9K followers, 30.5K engagements "ALERT: Samia amepokea wito kutoka mahakama ya kimataifa ICC inayomtaka kuudhuria kesi yeye binafsi. Ametakwa afike kwa hiari kujibu shutuma dhidi yake zinazohusiana na mauaji ya alaiki. Akikataa mahakama itatoa amri ya kumkamata. Wito ulipokelewa zaidi ya wiki moja iliyopita" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2020562576661176598) 2026-02-08T18:17Z 114.9K followers, 60.6K engagements "Meja Jenerali Mkeremy aliyekuwa mkuu wa Intelejensia Jeshini pamoja na Mkuu wa utumishi Jeshini Meja Jenerali Gaguti wote wameondolewa Jeshini. Je sababu ni nini na nani atachukua nafasi zao Jiulizeni na kujijibu hayo maswali wenyewe. Watanganyika AMKENI" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2020927982391726579) 2026-02-09T18:29Z 114.9K followers, 75.2K engagements "Polisi wakishirikiana na Manispaa na NSSF walivamia eneo la Mabwepande usiku wa Jumatano wakiwapiga wananchi. Waliokuwa na polisi ni watu wa Manispaa ALFANI pamoja na MCHOPA aliyekuwa shahidi upande wa NSSF. Watu wamepigwa sana majumbani mwao. Kuna baadhi askari wameondoka nao" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2022678611426255239) 2026-02-14T14:25Z 114.9K followers, 17K engagements "Hawa watu hawana chembe ya aibu. Sasa kuteta na benki ya Dunia ndio nini wakati makampuni makubwa ya Marekani yenye fedha na teknolijia walikuja na hela ndefu mkawawekea vikwazo vya kijinga Mtabakia na Wachina wanaowaletea fedha kwenye shangazi kaja" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2022679422957154748) 2026-02-14T14:28Z 115K followers, [----] engagements "Hanifa Hamza kwa nini vita yenu ya Ardhi Mabwepande haiishi KHALFANI na MCHOPA wanazunguka usiku kupiga Watu wakidai unawatuma. Wewe Masha wa NSFF na Polisi mtaleta umwagikaji wa Damu Mabwepande. Endeleeni na haya mambo yenu ya Unyanyasaji kana kwamba Watanganyika ni wajinga" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2022680021220102382) 2026-02-14T14:31Z 115K followers, [----] engagements "Davido Hongera sana kwa ujasiri wako. Ulisimama na watanganyika kwenye shida na watanganyika wamejibu Millard Ayo Diamond nk mmeona wasanii wenye misimamo Pelekeni Unafiki wenu @davido Tanganzanias appreciate your courage and support during dark times. We love you Brother" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2022680523232125230) 2026-02-14T14:33Z 114.9K followers, 11.9K engagements "Watanganyika tumelaaniwa au ndio mwisho wetu wa kufikiri Hii ni Barabara ya Mwai Kibaki Mikocheni hadi Mbezi Beach kwenye makazi ya watu Wachina wanaanzisha viwanda Ni nchi gani inaruhusu viwanda kwenye makazi ya watu Kando tu ya Rais Hussen Mwinyi kuna kiwanda cha Mchina" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2022681360612364558) 2026-02-14T14:36Z 114.9K followers, 23.9K engagements "Tanganyika inaendelea kuchafuka kimataifa na kuna watu wapenda picha wakiongozwa na Thabeet Kombo (Mr. VANDALIST) Nyalandu Kikwete nk ambao kazi yao kubwa ni kutafuna kodi zetu bila mafanikio yoyote. Kikubwa ni kwamba ICC inawahusu wote walioshiriki kwenye mauaji ya Oktoba 2025" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2022800623821816010) 2026-02-14T22:30Z 115K followers, 18.1K engagements "Dr. Mwigulu umefikiwa. Kumbe ni wewe unayemlinda huyu Tapeli Gaston Francis Anatamba Samia anaondoka Madarakani soon na pia atawaondoa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Pamoja na Mkuu wa Wilaya Bagamoyo Fuatilieni issue yake ya Viwanja Mbweni. Kwa nini Magufuli alimfukuza Tanzania" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2023211383274230256) 2026-02-16T01:42Z 115K followers, 20.9K engagements "BREAKING: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya aibu akiwa mjini Addiss-Ababa kwenye mkutano wa viongozi wa AU Rais Samia hakutambuliwa kokote kama rais. Gabon Seychelles na Namibia wenye Marais wapya waliochaguliwa hivi karibuni walitambulishwa lakini siyo Samia" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/2023228745142653152) 2026-02-16T02:51Z 115K followers, 44.9K engagements "BREAKING: Dodoma: Mtandao wa kuhakiki mawakili ambao wanatakiwa kupiga kura kwenye uchaguzi wa TLS umezima na haufunguki muda huu. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1819233027962073158) 2024-08-02T04:45Z 79.2K followers, [--] engagements "BREAKING: Kura halali alizopigiwa Adv. Boniface Mwabukusi zimepatikana maeneo mbalimbali zikiwa zimetupwa. Hatuelewi kinachoendelea. Tunafuatilia kwa ukaribu chanzo cha hizi kura halali. Na ziliwezaje kutoka katika ukumbi wa kuhesabia kura. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1819420894181126636) 2024-08-02T17:11Z 79.2K followers, [--] engagements "BREAKING: Kijana aliyechoma picha ya Rais Samia na kuhukumiwa jela miaka [--] au faini 5million kabla ya wanaharakati kumlipia faini hiyo ametekwa nyumbani kwao Kyela na watu wanaosadikika kuwa Usalama wa Taifa. Tutaendelea kuwajuza. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1819421411833737453) 2024-08-02T17:14Z 79.2K followers, [--] engagements "BREAKING NEWS: Wakili Boniface Mwabukusi ashinda Urais wa TLS. #TanzaniaLeaks #TLSLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1819428675512946886) 2024-08-02T17:42Z 79.2K followers, [--] engagements "BREAKING NEWS: Mwenyeki wa kanda ya Victoria Ezekiel Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu mwenyekiti CHADEMA. Nimejitafakari na kuona naweza kuwa msaidizi wa Mwenyeki Freeman Mbowe Wenje" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1820456526693171678) 2024-08-05T13:47Z 79.1K followers, [--] engagements "ALERT: Makampuni yanayofanya kazi za serikali yanaelekea kufungwa kutokana na kutokulipwa. @TanzaniaLeaks imepokea malalamiko ya makampuni matatu yaliyopeleka barua za kufunga TRA yapaziwe sauti kwani mikopo waliyoomba kwenye Mabenki kukamilisha miradi yanazidi kuongezeka riba" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1820860009367908839) 2024-08-06T16:30Z 79.2K followers, [--] engagements "ALERT: Gen Z Tanzania wanajiandaa kwa jambo lao. Tuwaunge mkono watanzania kwa mamillioni. Nchi inaelekea kubaya hali ngumu ya maisha biashara kukwama na mengine kufungwa. Hali ni ngumu Watanzania wenzetu" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1821115890441629911) 2024-08-07T09:27Z 79.2K followers, [--] engagements "Tumekuwa tukizumgumzia hili swala kwa muda sasa. Hali siyo nzuri. Biashara zinakufa tungemuomba Mwigulu aje akanushe hizi taarifa maana wakandarasi wote wa serikali wanalia" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1821170720509964677) 2024-08-07T13:05Z 79.2K followers, [--] engagements "BREAKING: Tanzania's top opposition leaders Freeman Mbowe Tundu Lissu and John Mnyika have been arrested ahead of the planned Youth Day event in Mbeya" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1822936345465020499) 2024-08-12T10:01Z 92.7K followers, 35.4K engagements "The U.S. positions itself as a beacon of democracy & human rights. Yet the @usembassytz remains silent on the brutal actions of figures like Officer Awadh Haji the Press son Abdul & TISS-DGIS Suleiman Mombo. Why hasn't the U.S. taken a stand & declared them persona non grata" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1823534868967334051) 2024-08-14T01:39Z 92.3K followers, 29.2K engagements ". @usembassytz Your-statements fail to address the critical issue: why havent you barred the corrupt Abdul (the Presidents son) Awadhi Haji Nyahoza Mombo and other criminals from entering the US Since you are in bed with these criminals Tanzanians will fight on our own" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1823761922711232604) 2024-08-14T16:41Z 92.7K followers, [----] engagements "Tulia Betina $2.5million Dollar Ackson mla rushwa wa DP-WORLD anawaambia mjaribu muone" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1836090921282150791) 2024-09-17T17:12Z 92K followers, 17.5K engagements "Tarehe 31/12/2021 @TanzaniaLeaks iliandika juu ya utawala wa Magufuli kufanya mipango ya kumuua Lissu. The 5th government under Magufuli plotted to assassinate Tundu Lissu in Dodoma. #TellSamia #Tanzania demands independent investigation. @SuluhuSamia #TanzaniaLeaks https://t.co/lWwV0KhT1e The 5th government under Magufuli plotted to assassinate Tundu Lissu in Dodoma. #TellSamia #Tanzania demands independent investigation. @SuluhuSamia #TanzaniaLeaks https://t.co/lWwV0KhT1e" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1839649863903973531) 2024-09-27T12:54Z 91.9K followers, [----] engagements "Despite treachery intimidation torture& threats to your lives your resolve & loyalty to Tanzania remain an inspiration.Your commitment to Tanzanians is a testament to your patriotism. You are our HEROES& your names aren't only engraved in our hearts; are in heaven's front SEATS" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1840043010651811890) 2024-09-28T14:56Z 91.9K followers, [----] engagements "Rais Samia kwani shida ni nini Mbona nchi yetu imechafuka kwa kipindi kifupi sana Haya ndio mambo yanayokuondoa madarakani. Nadhani tulikwambia sana natukarudia #Wahuni wameamua kwamba mara 100% wapinzani kuliko wewe kitu ambacho ni hatari. The Biden-Harris Admin was quick to embrace Pres. Samia & believe she would democratize #Tanzania. However the admin has failed to confront the reality of the ruling party's repressive reflexes as it has shown it continues to prioritize its own survival over democracy. The Biden-Harris Admin was quick to embrace Pres. Samia & believe she would democratize" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1842011858510749711) 2024-10-04T01:20Z 92.7K followers, 21.5K engagements "Licha ya usaliti mateso na vitisho dhidi ya uhai wenu bidii na uzalendo wenu umekuwa mfano wa kuigwa. Mmekuwa mstari wa mbele kulipigania taifa lenu. Hamjauza nafsi zenu kwa vipande vya fedha mmesimama upande wa haki. Daima mtabaki kuwa mashujaa na katika historia ya Ukombozi" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1842039223232180521) 2024-10-04T03:09Z 90.7K followers, [--] engagements "ALERT: Tumepokea taarifa za kina na tunaendelea kuzipokea. Paulo Makonda unamjua huyu kijana Elpidius Kiiza Kuanzia wiki ijayo tutalipua bomu kubwa juu ya kikundi cha watekaji ambacho kimerudi kazini chini yako. Wazalendo tumeni Tanzania Leaks hapa: tanzanialeaks@iCloud.com" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1842057741277274511) 2024-10-04T04:22Z 90.7K followers, [--] engagements "ALERT: Tembea na kundi usitembee peke yako kichwa chako kinawindwa. Kuwa makini sana wakili Madeleka. Wanasema unaongea sana na kujidai mjuaji. Tumepokea taarifa mbaya sana juu yako. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1842540224573743234) 2024-10-05T12:19Z 90.7K followers, [--] engagements "Haya Watanzania mnamruhusu dalali wa Steve Nyererse kuendesha nchi na matunguri" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1842542351320785129) 2024-10-05T12:28Z 90.7K followers, [--] engagements "Afande: umelitumikia Taifa kwa uadilifu na weledi kwa muda mrefu. Unapoelekea kustaafu usikubali kuingizwa chaka. Usikubali Jina lako lichafuliwe au hata kufikishwa ICC. Mambo ni mengi nadhani umenipata Afande" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1843257447823323545) 2024-10-07T11:49Z 90.7K followers, [--] engagements "ALERT: Uchumi wa hii nchi unaelekea kuzimu. Hali mbaya sana kiuchumi. Anayejua tunakoelekea atuambie. Mzalendo na Mchumi namba moja Tanzania tuambie tuneanda wapi @TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1844072315539292629) 2024-10-09T17:47Z 90.7K followers, [--] engagements "ALERT: Faustine Mafwele Awadh Haji Suleiman Mombo Hamad Masauni Tulia Ackson Mohamed Mchengerwa Waziri Salum Rajabu & Paul Makonda. Kaeni kwa tahadhari. @TanzaniaLeaks mara nyingi inatoa onyo kama hizi lakini zinachukuliwa kimasihara. ACHENI HAYA MAUCHAFU YENU. Be WARNED" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1844305216008749197) 2024-10-10T09:13Z 90.7K followers, [--] engagements "BREAKING: Tumepokea taarifa ya kuogofya kidogo kwamba kontena [--] za futi [--] zimefika Tanzania zikiwa na Shehena ya baiskeli za Rais Samia. Chanzo kinatutaarifu kwamba hizo baiskeli zimetolewa na kampuni ya Adani anayepewa kazi wizara ya Nishati na Tanesco. @TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1845475419178340754) 2024-10-13T14:43Z 90.7K followers, [--] engagements "PART-1: Godwin Gondwe alisimamia uvunjwaji wa majumba ya wanainch Madale. Kuna wahanga walikufa na presha na kukosa haki zao. Historia ilianza na mzee Makamba akisema mapori hayo wapewe wananchi. Yanayoendelea ni sawa na Ngorongoro majina mazito yakiwa nyuma wakisingizia NSFF" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1845476543826395563) 2024-10-13T14:47Z 91.2K followers, [--] engagements "Shujaa aliitwa katili lakini sidhani alifika hatua ya kuwatumia watoto wadogo ili kushinda URAIS. Wazee wa Chama haya yote mnayaona na mko kimya. Asipoongea mzee Butiku au Warioba ni basi kanyaga twende. Kinana JK na Makamba wameufyata" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1845487890043662770) 2024-10-13T15:32Z 90.7K followers, [--] engagements "Ili kampuni au mtu apewe ardhi ni lazima kamati ya kijiji ikae na muhtasari uandikwe. Hawa wanaopewa ardhi kwa sasa muhtasari wao uko wapi Acheni kutumia madaraka yenu vibaya kuwanyang'anya watu haki zao. Godwin Gondwe acha kutumika. Ulitumika vibaya. Bishia na hizi nyaraka" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1846127232516845882) 2024-10-15T09:53Z 91.2K followers, [--] engagements "Hadi nasita kupost hizi taarifa. Yaani kama Chama tumefikaje hapa Hamuoni tunaelekea kubaya na tutafutika katika ramani ya dunia kama KANU Mchengerwa Kwa nini watoto wa shule" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1846257500154466658) 2024-10-15T18:31Z 91K followers, [--] engagements "Swala la Waziri kumtumia Steve kama Strategist tumelisema majuzi kati. La Korea na wasanii kupewa hela nyingi tulilizungumzia. Steve huyu wa kula hela za misiba ndio Billionaire leo Kweli Tanzania shamba la bibi" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1846366865985049081) 2024-10-16T01:45Z 91.1K followers, [--] engagements "Rais Samia huyu mama alikufa siku nne baada ya nyumba yake kuvunjwa na Godwin Gondwe kule Mabwepande. Unajitahidi lakini unahujumiwa na watu wanakuzunguka. Mabwepande ni hujuma maana waliokonyuma ni watu wazito wanaokuzunguka. Tutawaanika mmoja baada ya mwingine" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1846646381051891897) 2024-10-16T20:16Z 91.2K followers, [--] engagements "Hatua zote za uhakiki na upimaji wa viwanja vilifanyika. Mkandarasi alipatikana na kulipwa hela nyingi sana. Wananchi walilipa zaidi ya TZS 200M kabla ya Gondwe kutumika kuwavamia. Stanley Mahenge Hawa jamaa wanajaribu kukutoa mbuzi wa kafara. Hii kesi ni moto" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1846647094544912658) 2024-10-16T20:19Z 91.2K followers, [--] engagements "Hakuna watu wapumbavu kama Bashite. Anahangaika na Landrover Festival ila wanaomuongezea mapato hawana vyoo. Unatangazaje utalii wakati hauna choo. Dunia sasa inashuhudia Bashite alivyo mtu wa hovyo. Shame" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1847012021675741677) 2024-10-17T20:29Z 108.6K followers, [--] engagements "ALERT: Nchi ya ajabu sana. Wahuni ndani ya Manispaa ya Kinondoni wanatumika kudhulumu wananchi masiki wakijua wazi kabisa hizi nyaraka ni za kugushi. NSSF walipataje hati 22/07/2023 bila kupewa na serikali za mitaa Tunataka Muhtasari wa uongozi wa kijiji" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1847021667119223233) 2024-10-17T21:07Z 91.3K followers, [--] engagements "Nchi ya kipumbavu sana. Wananchi wamelipia kupimiwa viwanja vyao na kurasimishwa hela zao zimechukuliwa tarehe 13/07/2018. Tarehe 22/07/2023 Upendo Naburi Allen wa Mchongo anawauzia NSSF ardhi ya wananchi Masikini [---]. NSSF kwa nini mtumike vibaya hivi Mngeangalia hata tarehe" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1847022104211861706) 2024-10-17T21:09Z 108.6K followers, [--] engagements "Mchengerwa vipi ushapata salamu zako toka EU au USA Mbona wanachelewa kukutembelea kwa uchafu unaoufanya nchi nzima wa kuwaandikisha watoto @EUinTZ and @SenateForeign come and get your guy Tanzanian child; trafficking and labor expert. Forcing minors to register as voters" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1847318270497452184) 2024-10-18T16:46Z 108.6K followers, [--] engagements "Kudadadeki Tanzania yetu sote Zanzibar ni yetu wenyewe. Muflis nyie watanganyika Machogo amkeni. Nyie wapumbavu machogo someni katiba yenu mnatukatia umeme kwani Zanzibar yenu Hamuwezi kupiga kura Zanzibar. Zanzibar yetu wenyewe. Shwain" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1847330225400795490) 2024-10-18T17:33Z 108.6K followers, [--] engagements "Gen. Mkunda hebu weka vijana wako wachunguze kwa umakini kinachoendelea. Maj. Gen Mbuge katutoka majuzi. Maj. Gen Mbungo anaumwa sana na amekuwa akifuatiliwa na watu ambao hawajulikani. Hawa ni watu waliokuwa karibu sana na Shujaa JPM. Tunafahamu nyie hamna upande wa kisiasa" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1847361502824550664) 2024-10-18T19:37Z 108.6K followers, [--] engagements "If you are truly the defenders of Democracy @ortamisemitz Min. Mohammed Mchengerwa must be sanctioned for child labor. How can he spearhead the widespread registration of kids & ghost voters EU US Senate and @StateDept take a note. @SenateForeign @EU_COMMISSION @usembassytz" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1848373685519782048) 2024-10-21T14:40Z 92.2K followers, [----] engagements "BREAKING: Advance team ya Samia imetua IAD international Airport Washington DC Marekani. Aliyeonekana na Abdul Afidh ni mtoto wa Samia Wanu. Wakina Steve Nyerere Na wajinga wengine nao wako njiani. Kuna safari za New York na Iowa. Safari hii inafichwa sana kuogopa maandamano" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1850740528381308982) 2024-10-28T03:25Z 108.6K followers, 38.8K engagements "BREAKING NEWS: Ndege ya Tanzania iliyoenda ruti ya Mumbai India imepata itilafu mara tu baada ya kupaa jana kwa hiyo imelazimika kurudi Mumbai. Kwa maana hiyo ruti za India na China zote zimesitishwa hadi ndege itakapotengenezwa. 787-8 ingine ipo na Rais Caribbean kula bata" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1853727808997966262) 2024-11-05T09:15Z 96.5K followers, 39.3K engagements "BREAKING: Kwa kawaida @TanzaniaLeaks ikiongea tunaambiwa wazushi. Haya aliondoka Marekani kwenda kutibiwa Barbados anaumwa nini Eti Marekani watanzania watavujisha taarifa. Mbona sasa zimetufikia" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1854879965025644709) 2024-11-08T13:33Z 96.6K followers, 130K engagements "BREAKING: Rais Samia amelazwa Havana Cuba ambako amefanyiwa upasuaji. Anasumbuliwa na uti wa mgongo" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1854966998561660991) 2024-11-08T19:19Z 96.6K followers, 303.4K engagements "BREAKING: Lawrence Pumzika kwa Amani. Kazi yake Mola haina Makosa. Muumba kakupenda zaidi. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1855188607792726260) 2024-11-09T10:00Z 96.6K followers, 32.8K engagements "BREAKING: Hata kama ana madhaifu yake tutamkosoa lakini ubinadamu wake uko pale pale. Taarifa tunazozipata ni kwamba Rais hali siyo nzuri sana ingawa yuko Hai. Tumuombee. @TanzaniaLeaks itazidi kuwahabarisha kadri tutakavyoendelea kupokea taarifa. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1855227243842121766) 2024-11-09T12:33Z 96.6K followers, 101.8K engagements "BREAKING: Akiwa kwenye chumba cha upasuaji hali ya Rais ilikuwa siyo nzuri. Alikuwa nusu kaputi. Walilazimika kumuweka kwenye mitambo ya kupumulia. Tumuombee hali yake itengamae. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1855302654823469265) 2024-11-09T17:33Z 96.5K followers, 313.3K engagements "BREAKING: Rais Samia alilazimika kutumia ndege ya ATCL kwa sababu isingekuwa rahisi kwake kutingishwa tingishwa kwenye connections. Inawezekana arudi muda siyo mrefu kutokana na kelele zinazopigwa na wananchi. Anaumwa" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1855836467022426331) 2024-11-11T04:54Z 96.6K followers, 160.3K engagements "BREAKING: Mchengerwa Watanzania wanaanza kuamka. Pokea salama zao na uzifikishe panapohusika" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1855837555473702966) 2024-11-11T04:58Z 96.6K followers, 34.2K engagements "Sheikh Allah subhanahu wa ta'ala akujalie kwa kusimama na kuongea maandishi yake. Mara [---] nyie kuliko hawa Wagallatia wakina Askofu Shoo wanaonunuliwa kwa Magari na vipande vya fedha" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1855863177570816331) 2024-11-11T06:40Z 96.6K followers, 40.3K engagements "MCHENGERWA leo unalindwa na TISS lakini wakumbuke wakina Jecha Kivuitu Chebukati. Wote walijiona Wanalindwa na dola wakaamua kuvurugu matakwa ya wananchi wamekufa vifo vya kusikitisha. Chebukati ni kichaa anafungiwa ndani. Siyo muda utapata matokeo ya haya unayoyafanya" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1855904912133034396) 2024-11-11T09:26Z 96.5K followers, 40.4K engagements "Shujaa wetu JPM uliyoyatabiri yametokea na wote tumeshuhudia. Wamerudi wote na Wanyonge tunateseka. Majizi yanapora Mali za wanyonge. Wako Serikali kuu taasisi zote vyombo vya dola na hata mahakamani. Chamani ndio usiombe. Shujaa wengine wanalia machozi ya damu. Tunakukumbuka" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1856195165859299689) 2024-11-12T04:39Z 96.6K followers, 40K engagements "ALEART: Watawala wanawatumia wapumbavu wakiamini kwamba hawatakufa. Hawa watu wanaishi kati yetu. Nadhani muda unafika waTanzania wafanye maamuzi magumu. Walikuwa hawajulikani wameanza kujulikana" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1856527088385225149) 2024-11-13T02:38Z 96.5K followers, 25.2K engagements "ALERT: Mchengerwa Mchengerwa Mchengerwa. Matokeo ya kazi yako. Na hizi damu zikuandame wewe na uzao wako wote. Amani mliyotaka ipotee imeanza kupotea. CCM bado kuna wenye BUSARA. Rudisheni wagombea wote wa upinzani au Futeni huu mchakato wote uanze upya" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1856684345148248558) 2024-11-13T13:03Z 96.5K followers, 20.9K engagements "Mchengerwa Mchengerwa Mchengerwa na wote wanaokutuma chezea yote lakini usichezee Amani. Amani ikitoweka hakuna pa kuinunua. Fikiria sana maovu unayoyafanya" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1856688779395768708) 2024-11-13T13:21Z 96.5K followers, 17.3K engagements "Rais Samia Kuna watu ndani ya Chama chetu wamejiapia kwamba inyeshe mvua liwake Jua [----] hautoboi. Hela anazosambaza Steve Mengele hazitosaidia. Watu wameanza kujipanga tokea [---]. Jiandae maana Hawa watu washaamua na pesa wanayo" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1857762779047878877) 2024-11-16T12:28Z 96.5K followers, 44.1K engagements "BREAKING: Wananchi wanakufa wanaokolewa na wananchi wenzao. Mijinga iliyopora mamlaka inawaza kuiba na kumunua Gari za 500m. Nchi ya wapumbavu sana Tanzania" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1857776384434729411) 2024-11-16T13:23Z 96.9K followers, 53.4K engagements "Uchaguzi gani tena Huu ambao mmewaengua wapinzani MCHENGERWA umefanya madhambi mengi sana Rufiji ili kumuangusha Shujaa wetu JPM. Tunakusanya mafaili ili tukuanike. https://t.co/I9RSHbxY2F https://t.co/I9RSHbxY2F" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1857792858725425604) 2024-11-16T14:28Z 96.5K followers, [----] engagements "Who did this 🤦♂" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1859690579699040443) 2024-11-21T20:09Z 97.4K followers, [----] engagements "Raila Odinga is a Fraud. While Kenyans were protesting against Adani he was one of the top defenders of Adani. Raila Shame on you. You are one of the Kenyan political Fraudsters" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1859858288873234915) 2024-11-22T07:15Z 97.6K followers, [----] engagements "Tushakula hela za Adani katuhonga pikipiki tumenunua wapinzani nani atathubutu kumuondoa Adani" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1862490555948867593) 2024-11-29T13:35Z 98.1K followers, 19.4K engagements "ALERT: Mawaziri wa Samia tunaona mashtaka dhidi yenu yanafika kwetu maana hamtaki kuwasikiliza wananchi. Hivi mnafanya nini maofisini Kama wananchi wanaenda siku [--] bila maji Juma Aweso mauno yanakatiwa wapi mkubwa Wateja wako huku wanalia. https://shorturl.at/dpPAk https://shorturl.at/dpPAk" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1866150854807675158) 2024-12-10T05:42Z 98.1K followers, 22K engagements "President William Somoei Ruto- We want Maria Sarungi alive. We can't allow this hooliganism to continue. Please release her. @WilliamsRuto" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1878460693801791755) 2025-01-12T15:15Z 100.2K followers, 16.1K engagements "BREAKING: TikTok has been banned in the United States" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1880843011313328362) 2025-01-19T05:01Z 100.4K followers, 10.3K engagements "My esteemed colleague Peter Kibatala though we represent different political affiliations we share a unified vision. The divisive and subservient tendencies must end. We demand progress a renewed Tanzania and transformative leadership. Lets amplify this call for change" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1883099793515573457) 2025-01-25T10:29Z 101K followers, [----] engagements "Samia tumekuonya sana. NEVER MESS WITH CATHOLIC CHURCH. Andika kwa wino mwekundu. Umemwaga petrol kwenye moto. Haumalizi muda wako. Hakuna mtawala amewahi kupambana na kanisa katoliki akashinda. Kama ni washauri wamekuingiza choo cha kiume. "The Holy Alliance" is on your tail" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1917820707532112246) 2025-05-01T05:57Z 104K followers, 154.9K engagements "BREAKING: #NoReformsNoElection imetua Tiktok na Instagram" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1931523090955043002) 2025-06-08T01:26Z 106.2K followers, 26.9K engagements "BREAKING: Chinese Intelligence Officers in Tanzania are assisting the ruling party CCM in espionage work against the opposition and civil society. #TanzaniaLeaks" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1936116279238115752) 2025-06-20T17:37Z 106.7K followers, [----] engagements "BREAKING: Balthazar has been sentenced to [--] years in prison" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1940601577414537665) 2025-07-03T02:40Z 107.1K followers, 23.2K engagements "ALERT: It's so sad that Tanzania & DRC are for Chinese to loot. Mr. Mombo & the TISS are sitting baboons doing nothing.They are so good with their fake intelligence when it comes to the opposition. Chinese Communist Party & their security apparatus is now exposing their ineptness" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1940606099121754509) 2025-07-03T02:58Z 107.1K followers, 31.8K engagements "#KataaWahuni" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1944350093886329324) 2025-07-13T10:56Z 107.2K followers, 59.4K engagements "The Dream Team. Tanganyika inarudi kwa Watanganyika. #KataaWahuni" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1944364130162389497) 2025-07-13T11:51Z 107.1K followers, 26.4K engagements "Pres. Samia URANIUM dealing is a direct threat to the US national security. When you have Rostam Aziz an Iranian Spy & your son Abdul we are seeing nuclear proliferation. Kill this deal ASAP else they will chop-off your neck. Rostam is a threat to world security" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1952364227915587744) 2025-08-04T13:41Z 107.4K followers, [----] engagements "BREAKING NEWS: Job Ndugai amefariki dunia" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1953113456858808363) 2025-08-06T15:18Z 107.4K followers, 22.5K engagements "Amb. Polepole has set a heroic pace for generationsforsaking prestige and perks risking his very life to expose the rot within CCM for Tanzanias future. History will inscribe his name in gold among our bravest nobles and heroes" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1959097377609929199) 2025-08-23T03:36Z 107.8K followers, 18.9K engagements "🧵 US-Govt @SenateForeign has its attention on Tanzania a country whose notoriously corrupt-leaders are raping democracy persecuting political opponents framing some with treason so that they remain in power. Dallas-Mayor Eric Johnson on the other hand is" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1959601847255367799) 2025-08-24T13:01Z 108.1K followers, 12.1K engagements "legitimizing this regime using TEXANs hard earned DOLLARS by initiating doomed to fail Sister city initiative between Dallas & Dar-Es-Salaam. Johnson has lavishly squandered more than $40Kon First Class Flights 5-Star Hotels. Dallas deserves better. @DallasGOP deserves better" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1959601852028178683) 2025-08-24T13:01Z 108.1K followers, [----] engagements "Mzee wa Birthday Upoooooooooh" [X Link](https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1975986388626542617) 2025-10-08T18:07Z 109K followers, 27.4K engagements "Lengo letu ni kuokoa umma wa Tanzania dhidi ya ufisadi na utawala mbovu. Tunakaribisha nyaraka yoyote itakayoumbua ufisadi au chembe chembe za utawala mbovu. Tunakuhakikishia watoa taarifa wetu watalindwa kwa usiri wa hali ya juu. Tutumie Leaks inbox or: tanzanialeaks@iCloud.com" [X Link](https://x.com/anyuser/status/1906250631427313976) 2025-03-30T07:42Z 114.9K followers, 441.6K engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@TanzaniaLeaks Tanzania LeaksTanzania Leaks posts on X about tanzania, breaking, mambo, tiktok the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries 85% finance 3% travel destinations 2% social networks 2% technology brands 2% luxury brands 1% automotive brands 1%
Social topic influence tanzania #27, breaking #3337, mambo 2%, tiktok 2%, bentley 1%, bank 1%, kenya 1%, ccm 1%, dar 1%, dada 1%
Top accounts mentioned or mentioned by @usembassytz @senateforeign @icloudcom @davido @suluhusamia @euintz @ortamisemitz @statedept @eucommission @williamsruto @dallasgop @celinepzaka @negussie1179104 @joycehuru @kwetukwenu @chepe803675231 @mashakaayo41927 @fuadrubeya @gatheinc @kupurepure
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) HELA (HELA)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Kwa kuwa tu Ally Tully ni ndugu yake IGP Camillus Wambura siyo kigezo cha yeye Kuendesha mambo ya kigaidi dhidi ya wananchi. Afande IGP Camilius Wambura lazima kuwepo mipaka ya uongozi na familia"
X Link 2026-02-08T18:08Z 115K followers, 16.4K engagements
"Daudi Albert Bashite akiwa na msafara wake. Bashite ametangulia na BENTLEY nyuma akifuatwa na walinzi wake kwenye Range Rover Autobiography. Utawala wa mafisadi uliolaaniwa. Hawa ni wa kunyonga tuu"
X Link 2026-02-14T14:22Z 115K followers, 25K engagements
"BREAKING: Mmoja wa mawaziri aliyewahi kuwa waziri wa nishati na Mambo ya nje amekamatwa baada ya kujaribu kutoa fedha nyingi bank. Waziri huyo alikuwa akihisiwa kutaka kutoroka nchini. Tutawapa taarifa zaidi kadri tutakapozipokea. #TanzaniaLeaks"
X Link 2026-01-31T16:55Z 114.9K followers, 64.6K engagements
"Dr. Nchimbi tumekuwa tukitoa maonyo ili uimarishe Ulinzi na kuwa makini. Maonyo yetu yanatoka kwenye mfumo. Kwa mfano Jenista RIP Simbachawene Mwambe Tulia Bashe Biteko nk. Ambao wanasadikiwa kuwa karibu na wewe Wanawindwa. Wanaokuunga mkono Chamani wanatishwa maisha"
X Link 2026-01-31T17:22Z 114.9K followers, 32.8K engagements
"SULEMAN JAFO alipambania sana swala la Wachina. Kama Taifa tuliafikiana kwamba kazi ambazo zinaweza kufwanya na wazawa Wageni wasifanye. Matokeo yake Jaffo Katemwa na Wachina wakazidi kuongezeka. Kariakoo hakutamaniki. Wachina wana hadi Beach yao Msasani. Wengine wanapiga BOLT"
X Link 2026-02-02T18:20Z 114.9K followers, 49.8K engagements
"Anaitwa Gaston Francis. Raia wa Kenya anayejiita mtanzania. Mtaalamu wa Kupora ardhi na kutengeneza migogoro kila Kona Viongozi wilaya Bagamoyo hasa kata ya Mapinga huyu jamaa ni Bomu. Anatembeza fedha za utapeli usiku. Nashangaa CCM inavumilia Majambazi kama haya"
X Link 2026-02-14T15:04Z 115K followers, 12.2K engagements
"BREAKING: Kuna matukio ya Utekaji yamekuwa yakiendelea Mabwepande. Hadi jana watu [--] wametekwa na Baadhi ya Polisi wa Mabwepande wametambulika kuwa sehemu ya utekaji. Tunakusanya taarifa zaidi ambazo tuwaanikia punde"
X Link 2026-02-04T14:04Z 114.9K followers, 18.2K engagements
"BREAKING: Dada mmoja aliyeshuhudia na kurekodi Mauaji ya Oktoba [--] ametoweka siku ya tatu baada ya kutoa ushahidi na kuikabidhi tume video inayo onyesha sura za polis walio kuwa wanaua raia. Dada huyo alikuwa anafanya kazi kwenye stationary karibu na Chuo cha NIT Dar"
X Link 2026-02-05T02:41Z 114.9K followers, 73.8K engagements
"BREAKING: Taarifa za Siri tulizozipata hivi punde ni kwamba Rais Samia ana hofu kubwa ya kukamatwa na ICC. Moja ya vitu alivyo jadili na Al Maktoum (Mtawala wa UAE) ni kupewa hifadhi yeye pamoja na familia yake kwenye moja ya falme za kiarabu mambo yakienda vibaya"
X Link 2026-02-05T15:13Z 114.9K followers, 58.5K engagements
"Afande IGP Wambura Msipokuwa makini mtaleta umwagikaji wa damu kwenye hii nchi. Huu utekaji na uonevu wa Polisi hadi lini Kwa nini Polisi wako wawatese wananchi na wazee wasiokuwa na hatia sababu ya Ardhi na Pesa Mtavuna matunda ya hizi chuki mnazopanda"
X Link 2026-02-06T22:04Z 115K followers, 26.3K engagements
"Masha Mshomba tunakujua kama mtu mwema sana na Mwadilifu. Hizi fedha zinazodaiwa kuwa za NSSF zinazowatesa wazee na masikini Mabwepande unaziidhinisha wewe au wahuni chini yako Angalia hii kashfa haitakuacha salama. Watu wanatekwa na kuteswa sababu ya feda za NSSF"
X Link 2026-02-06T22:08Z 114.9K followers, 16.3K engagements
"BREAKING: Jambo lingine lililompeleka Samia Dubai ni kujadiliana na Uongozi wa Dubai kuhusu kununua dhaabu ya Tanganyika kwa ajili ya Dubai Gold District. Huu ni mchongo wa mwanae Abdul. Dubai itakuwa inachukua sehemu kubwa ya dhaabu Tanganyika na Abdul atapata chake cha juu"
X Link 2026-02-08T17:49Z 114.9K followers, 22.3K engagements
"Serikali ya Samia kwa kushirikiana na serikali ya Yoweri Museveni wamejipanga kukabiliana na Serikali ya Donald Trump. Tanzania ina jeshi imara na Rais imara. Trump alete ushenzi wake akutane na Mwanamke wa shoka. Samia Siyo Maduro"
X Link 2026-02-08T17:50Z 114.9K followers, 30.5K engagements
"ALERT: Samia amepokea wito kutoka mahakama ya kimataifa ICC inayomtaka kuudhuria kesi yeye binafsi. Ametakwa afike kwa hiari kujibu shutuma dhidi yake zinazohusiana na mauaji ya alaiki. Akikataa mahakama itatoa amri ya kumkamata. Wito ulipokelewa zaidi ya wiki moja iliyopita"
X Link 2026-02-08T18:17Z 114.9K followers, 60.6K engagements
"Meja Jenerali Mkeremy aliyekuwa mkuu wa Intelejensia Jeshini pamoja na Mkuu wa utumishi Jeshini Meja Jenerali Gaguti wote wameondolewa Jeshini. Je sababu ni nini na nani atachukua nafasi zao Jiulizeni na kujijibu hayo maswali wenyewe. Watanganyika AMKENI"
X Link 2026-02-09T18:29Z 114.9K followers, 75.2K engagements
"Polisi wakishirikiana na Manispaa na NSSF walivamia eneo la Mabwepande usiku wa Jumatano wakiwapiga wananchi. Waliokuwa na polisi ni watu wa Manispaa ALFANI pamoja na MCHOPA aliyekuwa shahidi upande wa NSSF. Watu wamepigwa sana majumbani mwao. Kuna baadhi askari wameondoka nao"
X Link 2026-02-14T14:25Z 114.9K followers, 17K engagements
"Hawa watu hawana chembe ya aibu. Sasa kuteta na benki ya Dunia ndio nini wakati makampuni makubwa ya Marekani yenye fedha na teknolijia walikuja na hela ndefu mkawawekea vikwazo vya kijinga Mtabakia na Wachina wanaowaletea fedha kwenye shangazi kaja"
X Link 2026-02-14T14:28Z 115K followers, [----] engagements
"Hanifa Hamza kwa nini vita yenu ya Ardhi Mabwepande haiishi KHALFANI na MCHOPA wanazunguka usiku kupiga Watu wakidai unawatuma. Wewe Masha wa NSFF na Polisi mtaleta umwagikaji wa Damu Mabwepande. Endeleeni na haya mambo yenu ya Unyanyasaji kana kwamba Watanganyika ni wajinga"
X Link 2026-02-14T14:31Z 115K followers, [----] engagements
"Davido Hongera sana kwa ujasiri wako. Ulisimama na watanganyika kwenye shida na watanganyika wamejibu Millard Ayo Diamond nk mmeona wasanii wenye misimamo Pelekeni Unafiki wenu @davido Tanganzanias appreciate your courage and support during dark times. We love you Brother"
X Link 2026-02-14T14:33Z 114.9K followers, 11.9K engagements
"Watanganyika tumelaaniwa au ndio mwisho wetu wa kufikiri Hii ni Barabara ya Mwai Kibaki Mikocheni hadi Mbezi Beach kwenye makazi ya watu Wachina wanaanzisha viwanda Ni nchi gani inaruhusu viwanda kwenye makazi ya watu Kando tu ya Rais Hussen Mwinyi kuna kiwanda cha Mchina"
X Link 2026-02-14T14:36Z 114.9K followers, 23.9K engagements
"Tanganyika inaendelea kuchafuka kimataifa na kuna watu wapenda picha wakiongozwa na Thabeet Kombo (Mr. VANDALIST) Nyalandu Kikwete nk ambao kazi yao kubwa ni kutafuna kodi zetu bila mafanikio yoyote. Kikubwa ni kwamba ICC inawahusu wote walioshiriki kwenye mauaji ya Oktoba 2025"
X Link 2026-02-14T22:30Z 115K followers, 18.1K engagements
"Dr. Mwigulu umefikiwa. Kumbe ni wewe unayemlinda huyu Tapeli Gaston Francis Anatamba Samia anaondoka Madarakani soon na pia atawaondoa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Pamoja na Mkuu wa Wilaya Bagamoyo Fuatilieni issue yake ya Viwanja Mbweni. Kwa nini Magufuli alimfukuza Tanzania"
X Link 2026-02-16T01:42Z 115K followers, 20.9K engagements
"BREAKING: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya aibu akiwa mjini Addiss-Ababa kwenye mkutano wa viongozi wa AU Rais Samia hakutambuliwa kokote kama rais. Gabon Seychelles na Namibia wenye Marais wapya waliochaguliwa hivi karibuni walitambulishwa lakini siyo Samia"
X Link 2026-02-16T02:51Z 115K followers, 44.9K engagements
"BREAKING: Dodoma: Mtandao wa kuhakiki mawakili ambao wanatakiwa kupiga kura kwenye uchaguzi wa TLS umezima na haufunguki muda huu. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-08-02T04:45Z 79.2K followers, [--] engagements
"BREAKING: Kura halali alizopigiwa Adv. Boniface Mwabukusi zimepatikana maeneo mbalimbali zikiwa zimetupwa. Hatuelewi kinachoendelea. Tunafuatilia kwa ukaribu chanzo cha hizi kura halali. Na ziliwezaje kutoka katika ukumbi wa kuhesabia kura. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-08-02T17:11Z 79.2K followers, [--] engagements
"BREAKING: Kijana aliyechoma picha ya Rais Samia na kuhukumiwa jela miaka [--] au faini 5million kabla ya wanaharakati kumlipia faini hiyo ametekwa nyumbani kwao Kyela na watu wanaosadikika kuwa Usalama wa Taifa. Tutaendelea kuwajuza. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-08-02T17:14Z 79.2K followers, [--] engagements
"BREAKING NEWS: Wakili Boniface Mwabukusi ashinda Urais wa TLS. #TanzaniaLeaks #TLSLeaks"
X Link 2024-08-02T17:42Z 79.2K followers, [--] engagements
"BREAKING NEWS: Mwenyeki wa kanda ya Victoria Ezekiel Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu mwenyekiti CHADEMA. Nimejitafakari na kuona naweza kuwa msaidizi wa Mwenyeki Freeman Mbowe Wenje"
X Link 2024-08-05T13:47Z 79.1K followers, [--] engagements
"ALERT: Makampuni yanayofanya kazi za serikali yanaelekea kufungwa kutokana na kutokulipwa. @TanzaniaLeaks imepokea malalamiko ya makampuni matatu yaliyopeleka barua za kufunga TRA yapaziwe sauti kwani mikopo waliyoomba kwenye Mabenki kukamilisha miradi yanazidi kuongezeka riba"
X Link 2024-08-06T16:30Z 79.2K followers, [--] engagements
"ALERT: Gen Z Tanzania wanajiandaa kwa jambo lao. Tuwaunge mkono watanzania kwa mamillioni. Nchi inaelekea kubaya hali ngumu ya maisha biashara kukwama na mengine kufungwa. Hali ni ngumu Watanzania wenzetu"
X Link 2024-08-07T09:27Z 79.2K followers, [--] engagements
"Tumekuwa tukizumgumzia hili swala kwa muda sasa. Hali siyo nzuri. Biashara zinakufa tungemuomba Mwigulu aje akanushe hizi taarifa maana wakandarasi wote wa serikali wanalia"
X Link 2024-08-07T13:05Z 79.2K followers, [--] engagements
"BREAKING: Tanzania's top opposition leaders Freeman Mbowe Tundu Lissu and John Mnyika have been arrested ahead of the planned Youth Day event in Mbeya"
X Link 2024-08-12T10:01Z 92.7K followers, 35.4K engagements
"The U.S. positions itself as a beacon of democracy & human rights. Yet the @usembassytz remains silent on the brutal actions of figures like Officer Awadh Haji the Press son Abdul & TISS-DGIS Suleiman Mombo. Why hasn't the U.S. taken a stand & declared them persona non grata"
X Link 2024-08-14T01:39Z 92.3K followers, 29.2K engagements
". @usembassytz Your-statements fail to address the critical issue: why havent you barred the corrupt Abdul (the Presidents son) Awadhi Haji Nyahoza Mombo and other criminals from entering the US Since you are in bed with these criminals Tanzanians will fight on our own"
X Link 2024-08-14T16:41Z 92.7K followers, [----] engagements
"Tulia Betina $2.5million Dollar Ackson mla rushwa wa DP-WORLD anawaambia mjaribu muone"
X Link 2024-09-17T17:12Z 92K followers, 17.5K engagements
"Tarehe 31/12/2021 @TanzaniaLeaks iliandika juu ya utawala wa Magufuli kufanya mipango ya kumuua Lissu. The 5th government under Magufuli plotted to assassinate Tundu Lissu in Dodoma. #TellSamia #Tanzania demands independent investigation. @SuluhuSamia #TanzaniaLeaks https://t.co/lWwV0KhT1e The 5th government under Magufuli plotted to assassinate Tundu Lissu in Dodoma. #TellSamia #Tanzania demands independent investigation. @SuluhuSamia #TanzaniaLeaks https://t.co/lWwV0KhT1e"
X Link 2024-09-27T12:54Z 91.9K followers, [----] engagements
"Despite treachery intimidation torture& threats to your lives your resolve & loyalty to Tanzania remain an inspiration.Your commitment to Tanzanians is a testament to your patriotism. You are our HEROES& your names aren't only engraved in our hearts; are in heaven's front SEATS"
X Link 2024-09-28T14:56Z 91.9K followers, [----] engagements
"Rais Samia kwani shida ni nini Mbona nchi yetu imechafuka kwa kipindi kifupi sana Haya ndio mambo yanayokuondoa madarakani. Nadhani tulikwambia sana natukarudia #Wahuni wameamua kwamba mara 100% wapinzani kuliko wewe kitu ambacho ni hatari. The Biden-Harris Admin was quick to embrace Pres. Samia & believe she would democratize #Tanzania. However the admin has failed to confront the reality of the ruling party's repressive reflexes as it has shown it continues to prioritize its own survival over democracy. The Biden-Harris Admin was quick to embrace Pres. Samia & believe she would democratize"
X Link 2024-10-04T01:20Z 92.7K followers, 21.5K engagements
"Licha ya usaliti mateso na vitisho dhidi ya uhai wenu bidii na uzalendo wenu umekuwa mfano wa kuigwa. Mmekuwa mstari wa mbele kulipigania taifa lenu. Hamjauza nafsi zenu kwa vipande vya fedha mmesimama upande wa haki. Daima mtabaki kuwa mashujaa na katika historia ya Ukombozi"
X Link 2024-10-04T03:09Z 90.7K followers, [--] engagements
"ALERT: Tumepokea taarifa za kina na tunaendelea kuzipokea. Paulo Makonda unamjua huyu kijana Elpidius Kiiza Kuanzia wiki ijayo tutalipua bomu kubwa juu ya kikundi cha watekaji ambacho kimerudi kazini chini yako. Wazalendo tumeni Tanzania Leaks hapa: tanzanialeaks@iCloud.com"
X Link 2024-10-04T04:22Z 90.7K followers, [--] engagements
"ALERT: Tembea na kundi usitembee peke yako kichwa chako kinawindwa. Kuwa makini sana wakili Madeleka. Wanasema unaongea sana na kujidai mjuaji. Tumepokea taarifa mbaya sana juu yako. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-10-05T12:19Z 90.7K followers, [--] engagements
"Haya Watanzania mnamruhusu dalali wa Steve Nyererse kuendesha nchi na matunguri"
X Link 2024-10-05T12:28Z 90.7K followers, [--] engagements
"Afande: umelitumikia Taifa kwa uadilifu na weledi kwa muda mrefu. Unapoelekea kustaafu usikubali kuingizwa chaka. Usikubali Jina lako lichafuliwe au hata kufikishwa ICC. Mambo ni mengi nadhani umenipata Afande"
X Link 2024-10-07T11:49Z 90.7K followers, [--] engagements
"ALERT: Uchumi wa hii nchi unaelekea kuzimu. Hali mbaya sana kiuchumi. Anayejua tunakoelekea atuambie. Mzalendo na Mchumi namba moja Tanzania tuambie tuneanda wapi @TanzaniaLeaks"
X Link 2024-10-09T17:47Z 90.7K followers, [--] engagements
"ALERT: Faustine Mafwele Awadh Haji Suleiman Mombo Hamad Masauni Tulia Ackson Mohamed Mchengerwa Waziri Salum Rajabu & Paul Makonda. Kaeni kwa tahadhari. @TanzaniaLeaks mara nyingi inatoa onyo kama hizi lakini zinachukuliwa kimasihara. ACHENI HAYA MAUCHAFU YENU. Be WARNED"
X Link 2024-10-10T09:13Z 90.7K followers, [--] engagements
"BREAKING: Tumepokea taarifa ya kuogofya kidogo kwamba kontena [--] za futi [--] zimefika Tanzania zikiwa na Shehena ya baiskeli za Rais Samia. Chanzo kinatutaarifu kwamba hizo baiskeli zimetolewa na kampuni ya Adani anayepewa kazi wizara ya Nishati na Tanesco. @TanzaniaLeaks"
X Link 2024-10-13T14:43Z 90.7K followers, [--] engagements
"PART-1: Godwin Gondwe alisimamia uvunjwaji wa majumba ya wanainch Madale. Kuna wahanga walikufa na presha na kukosa haki zao. Historia ilianza na mzee Makamba akisema mapori hayo wapewe wananchi. Yanayoendelea ni sawa na Ngorongoro majina mazito yakiwa nyuma wakisingizia NSFF"
X Link 2024-10-13T14:47Z 91.2K followers, [--] engagements
"Shujaa aliitwa katili lakini sidhani alifika hatua ya kuwatumia watoto wadogo ili kushinda URAIS. Wazee wa Chama haya yote mnayaona na mko kimya. Asipoongea mzee Butiku au Warioba ni basi kanyaga twende. Kinana JK na Makamba wameufyata"
X Link 2024-10-13T15:32Z 90.7K followers, [--] engagements
"Ili kampuni au mtu apewe ardhi ni lazima kamati ya kijiji ikae na muhtasari uandikwe. Hawa wanaopewa ardhi kwa sasa muhtasari wao uko wapi Acheni kutumia madaraka yenu vibaya kuwanyang'anya watu haki zao. Godwin Gondwe acha kutumika. Ulitumika vibaya. Bishia na hizi nyaraka"
X Link 2024-10-15T09:53Z 91.2K followers, [--] engagements
"Hadi nasita kupost hizi taarifa. Yaani kama Chama tumefikaje hapa Hamuoni tunaelekea kubaya na tutafutika katika ramani ya dunia kama KANU Mchengerwa Kwa nini watoto wa shule"
X Link 2024-10-15T18:31Z 91K followers, [--] engagements
"Swala la Waziri kumtumia Steve kama Strategist tumelisema majuzi kati. La Korea na wasanii kupewa hela nyingi tulilizungumzia. Steve huyu wa kula hela za misiba ndio Billionaire leo Kweli Tanzania shamba la bibi"
X Link 2024-10-16T01:45Z 91.1K followers, [--] engagements
"Rais Samia huyu mama alikufa siku nne baada ya nyumba yake kuvunjwa na Godwin Gondwe kule Mabwepande. Unajitahidi lakini unahujumiwa na watu wanakuzunguka. Mabwepande ni hujuma maana waliokonyuma ni watu wazito wanaokuzunguka. Tutawaanika mmoja baada ya mwingine"
X Link 2024-10-16T20:16Z 91.2K followers, [--] engagements
"Hatua zote za uhakiki na upimaji wa viwanja vilifanyika. Mkandarasi alipatikana na kulipwa hela nyingi sana. Wananchi walilipa zaidi ya TZS 200M kabla ya Gondwe kutumika kuwavamia. Stanley Mahenge Hawa jamaa wanajaribu kukutoa mbuzi wa kafara. Hii kesi ni moto"
X Link 2024-10-16T20:19Z 91.2K followers, [--] engagements
"Hakuna watu wapumbavu kama Bashite. Anahangaika na Landrover Festival ila wanaomuongezea mapato hawana vyoo. Unatangazaje utalii wakati hauna choo. Dunia sasa inashuhudia Bashite alivyo mtu wa hovyo. Shame"
X Link 2024-10-17T20:29Z 108.6K followers, [--] engagements
"ALERT: Nchi ya ajabu sana. Wahuni ndani ya Manispaa ya Kinondoni wanatumika kudhulumu wananchi masiki wakijua wazi kabisa hizi nyaraka ni za kugushi. NSSF walipataje hati 22/07/2023 bila kupewa na serikali za mitaa Tunataka Muhtasari wa uongozi wa kijiji"
X Link 2024-10-17T21:07Z 91.3K followers, [--] engagements
"Nchi ya kipumbavu sana. Wananchi wamelipia kupimiwa viwanja vyao na kurasimishwa hela zao zimechukuliwa tarehe 13/07/2018. Tarehe 22/07/2023 Upendo Naburi Allen wa Mchongo anawauzia NSSF ardhi ya wananchi Masikini [---]. NSSF kwa nini mtumike vibaya hivi Mngeangalia hata tarehe"
X Link 2024-10-17T21:09Z 108.6K followers, [--] engagements
"Mchengerwa vipi ushapata salamu zako toka EU au USA Mbona wanachelewa kukutembelea kwa uchafu unaoufanya nchi nzima wa kuwaandikisha watoto @EUinTZ and @SenateForeign come and get your guy Tanzanian child; trafficking and labor expert. Forcing minors to register as voters"
X Link 2024-10-18T16:46Z 108.6K followers, [--] engagements
"Kudadadeki Tanzania yetu sote Zanzibar ni yetu wenyewe. Muflis nyie watanganyika Machogo amkeni. Nyie wapumbavu machogo someni katiba yenu mnatukatia umeme kwani Zanzibar yenu Hamuwezi kupiga kura Zanzibar. Zanzibar yetu wenyewe. Shwain"
X Link 2024-10-18T17:33Z 108.6K followers, [--] engagements
"Gen. Mkunda hebu weka vijana wako wachunguze kwa umakini kinachoendelea. Maj. Gen Mbuge katutoka majuzi. Maj. Gen Mbungo anaumwa sana na amekuwa akifuatiliwa na watu ambao hawajulikani. Hawa ni watu waliokuwa karibu sana na Shujaa JPM. Tunafahamu nyie hamna upande wa kisiasa"
X Link 2024-10-18T19:37Z 108.6K followers, [--] engagements
"If you are truly the defenders of Democracy @ortamisemitz Min. Mohammed Mchengerwa must be sanctioned for child labor. How can he spearhead the widespread registration of kids & ghost voters EU US Senate and @StateDept take a note. @SenateForeign @EU_COMMISSION @usembassytz"
X Link 2024-10-21T14:40Z 92.2K followers, [----] engagements
"BREAKING: Advance team ya Samia imetua IAD international Airport Washington DC Marekani. Aliyeonekana na Abdul Afidh ni mtoto wa Samia Wanu. Wakina Steve Nyerere Na wajinga wengine nao wako njiani. Kuna safari za New York na Iowa. Safari hii inafichwa sana kuogopa maandamano"
X Link 2024-10-28T03:25Z 108.6K followers, 38.8K engagements
"BREAKING NEWS: Ndege ya Tanzania iliyoenda ruti ya Mumbai India imepata itilafu mara tu baada ya kupaa jana kwa hiyo imelazimika kurudi Mumbai. Kwa maana hiyo ruti za India na China zote zimesitishwa hadi ndege itakapotengenezwa. 787-8 ingine ipo na Rais Caribbean kula bata"
X Link 2024-11-05T09:15Z 96.5K followers, 39.3K engagements
"BREAKING: Kwa kawaida @TanzaniaLeaks ikiongea tunaambiwa wazushi. Haya aliondoka Marekani kwenda kutibiwa Barbados anaumwa nini Eti Marekani watanzania watavujisha taarifa. Mbona sasa zimetufikia"
X Link 2024-11-08T13:33Z 96.6K followers, 130K engagements
"BREAKING: Rais Samia amelazwa Havana Cuba ambako amefanyiwa upasuaji. Anasumbuliwa na uti wa mgongo"
X Link 2024-11-08T19:19Z 96.6K followers, 303.4K engagements
"BREAKING: Lawrence Pumzika kwa Amani. Kazi yake Mola haina Makosa. Muumba kakupenda zaidi. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-11-09T10:00Z 96.6K followers, 32.8K engagements
"BREAKING: Hata kama ana madhaifu yake tutamkosoa lakini ubinadamu wake uko pale pale. Taarifa tunazozipata ni kwamba Rais hali siyo nzuri sana ingawa yuko Hai. Tumuombee. @TanzaniaLeaks itazidi kuwahabarisha kadri tutakavyoendelea kupokea taarifa. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-11-09T12:33Z 96.6K followers, 101.8K engagements
"BREAKING: Akiwa kwenye chumba cha upasuaji hali ya Rais ilikuwa siyo nzuri. Alikuwa nusu kaputi. Walilazimika kumuweka kwenye mitambo ya kupumulia. Tumuombee hali yake itengamae. #TanzaniaLeaks"
X Link 2024-11-09T17:33Z 96.5K followers, 313.3K engagements
"BREAKING: Rais Samia alilazimika kutumia ndege ya ATCL kwa sababu isingekuwa rahisi kwake kutingishwa tingishwa kwenye connections. Inawezekana arudi muda siyo mrefu kutokana na kelele zinazopigwa na wananchi. Anaumwa"
X Link 2024-11-11T04:54Z 96.6K followers, 160.3K engagements
"BREAKING: Mchengerwa Watanzania wanaanza kuamka. Pokea salama zao na uzifikishe panapohusika"
X Link 2024-11-11T04:58Z 96.6K followers, 34.2K engagements
"Sheikh Allah subhanahu wa ta'ala akujalie kwa kusimama na kuongea maandishi yake. Mara [---] nyie kuliko hawa Wagallatia wakina Askofu Shoo wanaonunuliwa kwa Magari na vipande vya fedha"
X Link 2024-11-11T06:40Z 96.6K followers, 40.3K engagements
"MCHENGERWA leo unalindwa na TISS lakini wakumbuke wakina Jecha Kivuitu Chebukati. Wote walijiona Wanalindwa na dola wakaamua kuvurugu matakwa ya wananchi wamekufa vifo vya kusikitisha. Chebukati ni kichaa anafungiwa ndani. Siyo muda utapata matokeo ya haya unayoyafanya"
X Link 2024-11-11T09:26Z 96.5K followers, 40.4K engagements
"Shujaa wetu JPM uliyoyatabiri yametokea na wote tumeshuhudia. Wamerudi wote na Wanyonge tunateseka. Majizi yanapora Mali za wanyonge. Wako Serikali kuu taasisi zote vyombo vya dola na hata mahakamani. Chamani ndio usiombe. Shujaa wengine wanalia machozi ya damu. Tunakukumbuka"
X Link 2024-11-12T04:39Z 96.6K followers, 40K engagements
"ALEART: Watawala wanawatumia wapumbavu wakiamini kwamba hawatakufa. Hawa watu wanaishi kati yetu. Nadhani muda unafika waTanzania wafanye maamuzi magumu. Walikuwa hawajulikani wameanza kujulikana"
X Link 2024-11-13T02:38Z 96.5K followers, 25.2K engagements
"ALERT: Mchengerwa Mchengerwa Mchengerwa. Matokeo ya kazi yako. Na hizi damu zikuandame wewe na uzao wako wote. Amani mliyotaka ipotee imeanza kupotea. CCM bado kuna wenye BUSARA. Rudisheni wagombea wote wa upinzani au Futeni huu mchakato wote uanze upya"
X Link 2024-11-13T13:03Z 96.5K followers, 20.9K engagements
"Mchengerwa Mchengerwa Mchengerwa na wote wanaokutuma chezea yote lakini usichezee Amani. Amani ikitoweka hakuna pa kuinunua. Fikiria sana maovu unayoyafanya"
X Link 2024-11-13T13:21Z 96.5K followers, 17.3K engagements
"Rais Samia Kuna watu ndani ya Chama chetu wamejiapia kwamba inyeshe mvua liwake Jua [----] hautoboi. Hela anazosambaza Steve Mengele hazitosaidia. Watu wameanza kujipanga tokea [---]. Jiandae maana Hawa watu washaamua na pesa wanayo"
X Link 2024-11-16T12:28Z 96.5K followers, 44.1K engagements
"BREAKING: Wananchi wanakufa wanaokolewa na wananchi wenzao. Mijinga iliyopora mamlaka inawaza kuiba na kumunua Gari za 500m. Nchi ya wapumbavu sana Tanzania"
X Link 2024-11-16T13:23Z 96.9K followers, 53.4K engagements
"Uchaguzi gani tena Huu ambao mmewaengua wapinzani MCHENGERWA umefanya madhambi mengi sana Rufiji ili kumuangusha Shujaa wetu JPM. Tunakusanya mafaili ili tukuanike. https://t.co/I9RSHbxY2F https://t.co/I9RSHbxY2F"
X Link 2024-11-16T14:28Z 96.5K followers, [----] engagements
"Who did this 🤦♂"
X Link 2024-11-21T20:09Z 97.4K followers, [----] engagements
"Raila Odinga is a Fraud. While Kenyans were protesting against Adani he was one of the top defenders of Adani. Raila Shame on you. You are one of the Kenyan political Fraudsters"
X Link 2024-11-22T07:15Z 97.6K followers, [----] engagements
"Tushakula hela za Adani katuhonga pikipiki tumenunua wapinzani nani atathubutu kumuondoa Adani"
X Link 2024-11-29T13:35Z 98.1K followers, 19.4K engagements
"ALERT: Mawaziri wa Samia tunaona mashtaka dhidi yenu yanafika kwetu maana hamtaki kuwasikiliza wananchi. Hivi mnafanya nini maofisini Kama wananchi wanaenda siku [--] bila maji Juma Aweso mauno yanakatiwa wapi mkubwa Wateja wako huku wanalia. https://shorturl.at/dpPAk https://shorturl.at/dpPAk"
X Link 2024-12-10T05:42Z 98.1K followers, 22K engagements
"President William Somoei Ruto- We want Maria Sarungi alive. We can't allow this hooliganism to continue. Please release her. @WilliamsRuto"
X Link 2025-01-12T15:15Z 100.2K followers, 16.1K engagements
"BREAKING: TikTok has been banned in the United States"
X Link 2025-01-19T05:01Z 100.4K followers, 10.3K engagements
"My esteemed colleague Peter Kibatala though we represent different political affiliations we share a unified vision. The divisive and subservient tendencies must end. We demand progress a renewed Tanzania and transformative leadership. Lets amplify this call for change"
X Link 2025-01-25T10:29Z 101K followers, [----] engagements
"Samia tumekuonya sana. NEVER MESS WITH CATHOLIC CHURCH. Andika kwa wino mwekundu. Umemwaga petrol kwenye moto. Haumalizi muda wako. Hakuna mtawala amewahi kupambana na kanisa katoliki akashinda. Kama ni washauri wamekuingiza choo cha kiume. "The Holy Alliance" is on your tail"
X Link 2025-05-01T05:57Z 104K followers, 154.9K engagements
"BREAKING: #NoReformsNoElection imetua Tiktok na Instagram"
X Link 2025-06-08T01:26Z 106.2K followers, 26.9K engagements
"BREAKING: Chinese Intelligence Officers in Tanzania are assisting the ruling party CCM in espionage work against the opposition and civil society. #TanzaniaLeaks"
X Link 2025-06-20T17:37Z 106.7K followers, [----] engagements
"BREAKING: Balthazar has been sentenced to [--] years in prison"
X Link 2025-07-03T02:40Z 107.1K followers, 23.2K engagements
"ALERT: It's so sad that Tanzania & DRC are for Chinese to loot. Mr. Mombo & the TISS are sitting baboons doing nothing.They are so good with their fake intelligence when it comes to the opposition. Chinese Communist Party & their security apparatus is now exposing their ineptness"
X Link 2025-07-03T02:58Z 107.1K followers, 31.8K engagements
"#KataaWahuni"
X Link 2025-07-13T10:56Z 107.2K followers, 59.4K engagements
"The Dream Team. Tanganyika inarudi kwa Watanganyika. #KataaWahuni"
X Link 2025-07-13T11:51Z 107.1K followers, 26.4K engagements
"Pres. Samia URANIUM dealing is a direct threat to the US national security. When you have Rostam Aziz an Iranian Spy & your son Abdul we are seeing nuclear proliferation. Kill this deal ASAP else they will chop-off your neck. Rostam is a threat to world security"
X Link 2025-08-04T13:41Z 107.4K followers, [----] engagements
"BREAKING NEWS: Job Ndugai amefariki dunia"
X Link 2025-08-06T15:18Z 107.4K followers, 22.5K engagements
"Amb. Polepole has set a heroic pace for generationsforsaking prestige and perks risking his very life to expose the rot within CCM for Tanzanias future. History will inscribe his name in gold among our bravest nobles and heroes"
X Link 2025-08-23T03:36Z 107.8K followers, 18.9K engagements
"🧵 US-Govt @SenateForeign has its attention on Tanzania a country whose notoriously corrupt-leaders are raping democracy persecuting political opponents framing some with treason so that they remain in power. Dallas-Mayor Eric Johnson on the other hand is"
X Link 2025-08-24T13:01Z 108.1K followers, 12.1K engagements
"legitimizing this regime using TEXANs hard earned DOLLARS by initiating doomed to fail Sister city initiative between Dallas & Dar-Es-Salaam. Johnson has lavishly squandered more than $40Kon First Class Flights 5-Star Hotels. Dallas deserves better. @DallasGOP deserves better"
X Link 2025-08-24T13:01Z 108.1K followers, [----] engagements
"Mzee wa Birthday Upoooooooooh"
X Link 2025-10-08T18:07Z 109K followers, 27.4K engagements
"Lengo letu ni kuokoa umma wa Tanzania dhidi ya ufisadi na utawala mbovu. Tunakaribisha nyaraka yoyote itakayoumbua ufisadi au chembe chembe za utawala mbovu. Tunakuhakikishia watoa taarifa wetu watalindwa kwa usiri wa hali ya juu. Tutumie Leaks inbox or: tanzanialeaks@iCloud.com"
X Link 2025-03-30T07:42Z 114.9K followers, 441.6K engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/twitter::TanzaniaLeaks