Dark | Light
# ![@RadioJamboKenya Avatar](https://lunarcrush.com/gi/w:26/cr:twitter::2515401066.png) @RadioJamboKenya Radio Jambo

Radio Jambo posts on X about kwanza, kenya, mambo, nairobi the most. They currently have [-------] followers and [----] posts still getting attention that total [-----] engagements in the last [--] hours.

### Engagements: [-----] [#](/creator/twitter::2515401066/interactions)
![Engagements Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::2515401066/c:line/m:interactions.svg)

- [--] Week [-----] +202%
- [--] Month [-----] +18,957%
- [--] Months [-----] +148%
- [--] Year [-----] -86%

### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::2515401066/posts_active)
![Mentions Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::2515401066/c:line/m:posts_active.svg)


### Followers: [-------] [#](/creator/twitter::2515401066/followers)
![Followers Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::2515401066/c:line/m:followers.svg)

- [--] Week [-------] -0%
- [--] Month [-------] +0.03%
- [--] Months [-------] -0.34%
- [--] Year [-------] +0.64%

### CreatorRank: [---------] [#](/creator/twitter::2515401066/influencer_rank)
![CreatorRank Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::2515401066/c:line/m:influencer_rank.svg)

### Social Influence

**Social category influence**
[countries](/list/countries)  [currencies](/list/currencies)  [travel destinations](/list/travel-destinations)  [technology brands](/list/technology-brands)  [social networks](/list/social-networks)  [celebrities](/list/celebrities)  [premier league](/list/premier-league)  [finance](/list/finance)  [la liga](/list/la-liga)  [automotive brands](/list/automotive-brands) 

**Social topic influence**
[kwanza](/topic/kwanza), [kenya](/topic/kenya), [mambo](/topic/mambo), [nairobi](/topic/nairobi), [madrid](/topic/madrid), [tanzania](/topic/tanzania), [tiktok](/topic/tiktok), [moses](/topic/moses), [tottenham](/topic/tottenham), [leo](/topic/leo)

**Top accounts mentioned or mentioned by**
[@massawejapanni](/creator/undefined) [@naomnyaboke](/creator/undefined) [@martinjnr13](/creator/undefined) [@ghostmulee](/creator/undefined) [@gidiogidi](/creator/undefined) [@sheikhmuhusin](/creator/undefined) [@hemstonendibile](/creator/undefined) [@majuliahkelani](/creator/undefined) [@mbusii](/creator/undefined) [@mwarikirimi](/creator/undefined) [@tinamasika](/creator/undefined) [@godihnowilliams](/creator/undefined) [@liondeh](/creator/undefined) [@daphineogera](/creator/undefined) [@marymbaya2](/creator/undefined) [@boysuzzie](/creator/undefined) [@loyalalbert2](/creator/undefined) [@manchestergyal](/creator/undefined) [@harryshosh](/creator/undefined) [@spartasharon](/creator/undefined)

**Top assets mentioned**
[Mambo (MAMBO)](/topic/mambo) [Premia (PREMIA)](/topic/premia) [Pepe (PEPE)](/topic/pepe) [BODA (BODAV2)](/topic/boda) [Alphabet Inc Class A (GOOGL)](/topic/google) [Handshake (HNS)](/topic/handshake) [Uber Technologies, Inc. (UBER)](/topic/uber)
### Top Social Posts
Top posts by engagements in the last [--] hours

"Kipindi cha pili Goodison Park @Everton [--] @ManUtd [--]. Mashetani wekundu watashinda ama watapepetwa tena #EVEMUN #RadioJamboFootball #KandandaNiSisi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1325069575055159307)  2020-11-07T13:36Z 256.1K followers, [--] engagements


"Twende naloooo. πŸ™πŸ™ #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike @RadioJamboKenya Pamoja #GidiNaGhostAsubuhi @RadioJamboKenya Pamoja #GidiNaGhostAsubuhi"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1373843715538759681)  2021-03-22T03:47Z 256.1K followers, [--] engagements


"Mourinho alitambulishwa kama kocha wa [--] wa Giallorossi Mei [----]. #OngeaUsikike https://radiojambo.co.ke/michezo/football/2024-01-16-as-roma-yamfuta-kazi-kocha-jos-mourinho-baada-ya-mfululizo-wa-kadi-nyekundu/ https://radiojambo.co.ke/michezo/football/2024-01-16-as-roma-yamfuta-kazi-kocha-jos-mourinho-baada-ya-mfululizo-wa-kadi-nyekundu/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1747185104974176620)  2024-01-16T09:12Z 256.1K followers, [---] engagements


"AS Roma yamfuta kazi kocha Jose Mourinho https://radiojambo.co.ke/michezo/football/2024-01-16-as-roma-yamfuta-kazi-kocha-jos-mourinho-baada-ya-mfululizo-wa-kadi-nyekundu/ https://radiojambo.co.ke/michezo/football/2024-01-16-as-roma-yamfuta-kazi-kocha-jos-mourinho-baada-ya-mfululizo-wa-kadi-nyekundu/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1747239267535905058)  2024-01-16T12:47Z 256.1K followers, [---] engagements


"Paul Pogba akutana na David Beckham na Serena Williams Miami. #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1893915593134236086)  2025-02-24T06:47Z 254.8K followers, [---] engagements


"Je unakubaliana na kocha mkuu wa Manchester United Rben Amorim #WeekendWarmUp #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1982021750893281789)  2025-10-25T09:49Z 257.1K followers, [---] engagements


"Je ungekuwa Marcus Rashford ungeamua kurudi Manchester United au kubaki Barcelona #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1987766915582808459)  2025-11-10T06:18Z 256.9K followers, [---] engagements


"Shusha stress na upate pure vibes za #Galdemwednesday ndani ya temple ya warasta na #MbusiinaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1988592636643660278)  2025-11-12T13:00Z 256.9K followers, [---] engagements


"Perfect vibes ikiwa ni #ZilizovumaThursday ndani ya temple ya warasta na #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1988969067370483735)  2025-11-13T13:55Z 256.1K followers, [---] engagements


"Experience ni international ndani ya temple ikiwa ni #ChapaWaxMonday na #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1992953092489556181)  2025-11-24T13:46Z 256.4K followers, [---] engagements


"Mapoz deadly deadly na #MbusiiNaLionTekeTeke #MapozTuesday #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1993303749436358774)  2025-11-25T13:00Z 256.4K followers, [---] engagements


"Midweek queen moods ziko juu ka lashes. #GaldemWednesday #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1993672986101264455)  2025-11-26T13:27Z 256.4K followers, [---] engagements


"Na kakimea #ChapaWaxMonday kanatamba ukiwa wapi #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1995484242613088644)  2025-12-01T13:24Z 256.1K followers, [---] engagements


"#GaldemWednesday in style na #MbusiiNaLionTekeTeke ndani ya temple zikidunda na @djnyckenya #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1998739665478635707)  2025-12-10T13:00Z 256.1K followers, [----] engagements


"Msimu wa ngeche ngeche umeanza officialy kwenye temple ya wa rasta na #MbusiiNaLionTekeTeke #ZilizovumaThursday #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1999104459243143397)  2025-12-11T13:10Z 256.1K followers, [---] engagements


"Je unakubaliana na maneno ya rasi kuwa drug and alcohol is a national emergency #MazungumzoWaziWazi @mwendemacharia1 #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2007137161091658111)  2026-01-02T17:09Z 256.1K followers, [---] engagements


"Nani atakae ibuka simba wa Afrika kwenye AFCON kati ya Senegal na Morocco Saa ni saa [--] usikose. #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2012861403913191481)  2026-01-18T12:15Z 256.1K followers, [--] engagements


"Kipa Andr Onana ataka kurudi Manchester to help them kushinda ligi msimu ujao. #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2020763294810669162)  2026-02-09T07:34Z 256.2K followers, [---] engagements


"Just a day after making his LaLiga debut with Real Sociedad mshambulizi wa Harambee Stars Job Ochieng amekubali a two-year contract extension with the club. He is expected kuchukua jukumu kubwa katika AFCON ya mwaka [----]. #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2021111764763513231)  2026-02-10T06:39Z 256.2K followers, [---] engagements


"Karibu kwenye #GidiNaGhostAsubuhi mpaka saa nne. Ijumaa yako ikoje @GidiOgidi @Ghost_Mulee @_naomnyaboke @MartinJnr13 #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1481832907870244866)  2022-01-14T03:37Z 256.2K followers, [---] engagements


"Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka [--] amepata karibu pauni milioni [---] za mshahara tangu [----] na kukaa kwa karibu miaka minane katika jiji la Uchina.#KituoChaWakenya https://radiojambo.co.ke/michezo/2024-12-07-oscar-aondoka-uchina-baada-ya-kujikusanyika-ksh-289bn-katika-kipindi-cha-miaka-7 https://radiojambo.co.ke/michezo/2024-12-07-oscar-aondoka-uchina-baada-ya-kujikusanyika-ksh-289bn-katika-kipindi-cha-miaka-7"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1865305245024395533)  2024-12-07T08:00Z 256.2K followers, [---] engagements


"EACC inachunguza miamala ya zaidi ya Sh42 milioni kupitia simu. Mshukiwa mmoja amekamatwa na Sh171000 kupatikana kwake. Tume imeahidi kuendelea kupambana na ufisadi na kuwahimiza wananchi kuripoti tuhuma kupitia njia zake rasmi. #HabariZaJambo #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1995550658540282116)  2025-12-01T17:48Z 256.2K followers, [---] engagements


"Prime Cabinet Secretary Mudavadi amuaga Khalid Abdullah Al Salman the outgoing Ambassador wa Ufalme wa Saudi Arabia to Kenya πŸ“Έ PCS #JamboMassawe #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2019338843636527538)  2026-02-05T09:14Z 256.2K followers, [--] engagements


"41 and [--] years young CR7 and Neymar Jr washerehekea birthdays zao leo πŸͺ…πŸ₯³πŸŽ‚πŸŽ‰πŸŽŠ #HappyBirthday #JamboMassawe #KituoChawakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2019394811774791859)  2026-02-05T12:56Z 256.2K followers, [---] engagements


"Gavana wa Kilifi Gideon Mungaro and Italys Anna Maria Bernini launched a new 40-bed maternity wing katika Hospitali ya Kaunti Ndogo ya Malindi complete with two fully equipped theatres. #GidiNGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2020762868786848226)  2026-02-09T07:33Z 256.2K followers, [---] engagements


"Rose Njoki narrates masaibu amepitia living with HIV. From selling na using drugs to kijiuza licha ya kujua alikuwa anaishi na virusi vya UKIMWI. Watch full video on Radio Jambo Kenya YouTube. #ILIKUAJE #JamboMassawe #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2020846069790163053)  2026-02-09T13:03Z 256.2K followers, [---] engagements


"Mashabiki wa Wydad Casablanca waliosafiri all the way to Kenya kushuhudia mchuano wa timu yao again Nairobi United. Fans wa Nairobi United wakoπŸ™†πŸ½β™€ πŸŽ₯ @ourafricanfooty / @irungu_gitau1 (IG) #JamboMassawe #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2020848604311675371)  2026-02-09T13:13Z 256.2K followers, [---] engagements


"Inheritance Law in Kenya explained wazi wazi.Join the conversation na Hon.Pauline Mbulikah wakiwa na @MwololoBramwell on #MazungumzoWaziWazi leo saa moja katika #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2021222106080444640)  2026-02-10T13:57Z 256.2K followers, [--] engagements


"Sheria ya urithi na umuhimu wa will jinsi ya kuandika wosia sahihi kwa familia kuhusu malihaki za warithi na kuepuka migogoro.Ikielezwa waziwazi na Hon.Pauline Mbulikah pamoja na @mwololobramwell Je unasikiliza ukiwa wapi #MazungumzoWaziWazi #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2021268966744731795)  2026-02-10T17:04Z 256.2K followers, [---] engagements


"No shaving yet Man United wakatisha mpango wa shabiki sugu wa kunyoa baada ya kudraw na West Ham United. #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2021482890517938265)  2026-02-11T07:14Z 256.2K followers, [---] engagements


"Wachezaji wa Real Madrid at a surprise dinner for a final months pact. Inaripotiwa kwamba chajio hicho kilihudhuriwa na wachezaji tu without any member from the techical staff/managers na kililipiwa na players;  na ambao walisplit bill 50/50"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2021500401330291092)  2026-02-11T08:23Z 256.2K followers, [---] engagements


"Rais William Ruto amemkosoa vikali aliyekuwa Deputy President Rigathi Gachagua akisema hana sifa ya kuzungumzia masuala ya distribution ya relief food. Ruto alitoa kauli hiyo Mandera baada ya Gachagua kuishutumu serikali. #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/2021917544781951031)  2026-02-12T12:01Z 256.2K followers, [---] engagements


"Mwanaume aliyemkimbilia Rais William Ruto alipokuwa akitoa hotuba mjini Wajir amezungumza akiexplain as to what happened. #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022200572947104236)  2026-02-13T06:46Z 256.2K followers, [---] engagements


"Ile design @mwendemacharia1 anawachanganya hapa nje itabidi muanze kutuma maua sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Kumbuka savings tunafanya na @KCBInKenya to stand a chance of winning amazing prizes. #RevvvishaNaKCB2026 #FeelTheRoar #ForPeopleForBetter #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022285046422405380)  2026-02-13T12:21Z 256.2K followers, [---] engagements


"Wafanyikazi wa muda mrefu wa Tata kama vile mpishi wake Rajan Shaw na mnyweshaji Subbiah ni miongoni mwa wanufaika pia. #KituoChaWakenya https://radiojambo.co.ke/habari/2024-10-30-ratan-tata-marehemu-bilionea-wa-india-aachia-mbwa-wake-mgao-wa-mali-ya-urithi-ya-ksh-152bn https://radiojambo.co.ke/habari/2024-10-30-ratan-tata-marehemu-bilionea-wa-india-aachia-mbwa-wake-mgao-wa-mali-ya-urithi-ya-ksh-152bn"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1851579807512879544)  2024-10-30T11:00Z 256.2K followers, [---] engagements


"Your one and only @MassaweJapanni out here spreading LOVE siku hii ya #valentinesday❀ . Tunahope yako inakubamba pia. #happyvalentines #day timu RJ #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022747598910828785)  2026-02-14T18:59Z 256.2K followers, [---] engagements


"Karibu kwenye# MazungumzoWaziWazi @BramwellMwololo #KituoChaWakenya"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2023430937586143376)  2026-02-16T16:15Z 256.2K followers, [--] engagements


"Meet Philipp Mwene a Kenyan footballer who plays for top Bundesliga team https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/ https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1000451507186106369)  2018-05-26T19:00Z 252.8K followers, [--] engagements


"Meet Philipp Mwene a Kenyan footballer who plays for top Bundesliga team https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/ https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1000602499039092736)  2018-05-27T05:00Z 252.7K followers, [--] engagements


"William Ruto says that judiciary is derailing fight against graft http://ow.ly/GboQ30kcv5F http://ow.ly/GboQ30kcv5F"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1000798794102050817)  2018-05-27T18:00Z 252.6K followers, [--] engagements


"Meet Philipp Mwene a Kenyan footballer who plays for top Bundesliga team https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/ https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1001161178675105792)  2018-05-28T18:00Z 252.8K followers, [--] engagements


"Baringo womans plans to meet DP Ruto gets second blow as Governor Kiptis chases her away like a dog https://radiojambo.co.ke/baringo-womans-plans-meet-dp-ruto-gets-second-blow-governor-kiptis-chases-away-like-dog/ https://radiojambo.co.ke/baringo-womans-plans-meet-dp-ruto-gets-second-blow-governor-kiptis-chases-away-like-dog/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1001463168428752896)  2018-05-29T14:00Z 252.8K followers, [--] engagements


"William Ruto says that judiciary is derailing fight against graft https://radiojambo.co.ke/william-ruto-judiciary-derailing-fight/ https://radiojambo.co.ke/william-ruto-judiciary-derailing-fight/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1001493374287806465)  2018-05-29T16:00Z 252.8K followers, [--] engagements


"AFC leopards stalk Mathare as battle for Kenya Premier League hots up https://radiojambo.co.ke/afc-stalk-mathare-kenya-premier-league/ https://radiojambo.co.ke/afc-stalk-mathare-kenya-premier-league/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1025811104935501825)  2018-08-04T18:30Z 252.8K followers, [--] engagements


"William Ruto supports motion to protect local jobs from Chinese https://radiojambo.co.ke/william-ruto-protect-local-jobs-chinese/ https://radiojambo.co.ke/william-ruto-protect-local-jobs-chinese/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1056485727452549121)  2018-10-28T10:00Z 252.7K followers, [--] engagements


"Borussia Dortmund beat Bayern Munich in [--] goal thriller https://radiojambo.co.ke/dortmund-beat-bayern-munich-thriller/ https://radiojambo.co.ke/dortmund-beat-bayern-munich-thriller/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1061533841364578305)  2018-11-11T08:19Z 252.7K followers, [--] engagements


"No one will distract me William Ruto declares https://radiojambo.co.ke/no-one-will-distract-me-william-ruto-declares/ https://radiojambo.co.ke/no-one-will-distract-me-william-ruto-declares/"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1069275001013092352)  2018-12-02T17:00Z 252.8K followers, [--] engagements


"Matokeo ya baadhi ya mechi za jana. Real Madrid 0-3 Barcelona. Chelsea 2-0 Tottenham Arsenal 5-1 Bournemouth Crystal Palace 1-3 Manchester United. Liverpool 5-0 Watford. Manchester City 1-0 West Ham United. Southampton 2-0 Fulham"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1101053363054133248)  2019-02-28T09:35Z 252.9K followers, [--] engagements


"It's now easier and quicker to know your status with the new HIV self-testing kit. #ChukuaSelfie Available at all leading pharmacies and outlets. @ChukuaSelfie"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1171687508297605120)  2019-09-11T07:30Z 252.7K followers, [--] engagements


"Inauma 😭😭😭 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1390510841259233280)  2021-05-07T03:36Z 253.7K followers, [--] engagements


"Tumeingia kipindini ki-timu kubwa ki-Arsenal mpaka saa nne asubuhi. Uko sawa uliko [----------] [-----] @GidiOgidi @_naomnyaboke @MartinJnr13 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1392687075145752584)  2021-05-13T03:44Z 253.7K followers, [--] engagements


"Everything nice ndani ya temple hadi githa #GyalDemWednesday edition. Unaikemba ukiwa mtaa gani Kurugushu. Ku Irie. @Mbusii @Liondeh @_naomnyaboke @djnyckenya @papa_rais #MbusiiNaLionTekeTeke #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1407686444336955394)  2021-06-23T13:06Z 253.7K followers, [---] engagements


"Issa Tuesday ndani ya temple ya warasta na tunahope show inakupeleka ki irie. Zidi kutinguka ukitukemba adi magithaa juu show iko ndakas kinoma πŸ”₯ @Mbusii @Liondeh @djslimikenya @papa_rais @adams_ovinne #MapozTuesday #MbusiiNaLionTekeTeke #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1427635450408210446)  2021-08-17T14:16Z 254.1K followers, [--] engagements


"#Tamu @macvoice_tz ft @Rayvanny πŸ”₯πŸ”₯. Enjoy #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1448274152419471363)  2021-10-13T13:07Z 252.8K followers, [--] engagements


"Karibu kipindini mpaka saa nne. Umeamkaje Nambari ya simu [----------] na ya 'sms' [-----]. @Ghost_Mulee @_naomnyaboke @MartinJnr13 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1457910843862093830)  2021-11-09T03:20Z 253.7K followers, [--] engagements


"Salama. Habari za Kisii #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1483279298828148738)  2022-01-18T03:25Z 253.7K followers, [--] engagements


"Utachagua nani kuwa seneta wa Nairobi kati ya wawaniaji hawa wa wadhifa huo [--]. Rufftone [--]. Karen Nyamu [--]. Maina Kamanda [--]. Edwin Sifuna #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1486657649823387651)  2022-01-27T11:09Z 252.7K followers, [--] engagements


"#JamboMassawe #OngeaUsikike @RadioJamboKenya Ipo salama saliminituned in till nane kamili @RadioJamboKenya Ipo salama saliminituned in till nane kamili"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1501459107571765248)  2022-03-09T07:25Z 253.7K followers, [--] engagements


"Wagwan deh rasta pipo Tuko ndani ya temple ya waras bila mbrrrrrrcha. Ikembe kama itakuwa lualalah. Eish.Kurugushu . Ku @Liondeh @Mbusii @_naomnyaboke @papa_rais @djslimikenya #MapozTuesday #MbusiiNaLionTekeTeke #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1569670456797499394)  2022-09-13T12:52Z 254.1K followers, [--] engagements


"Friday freshili #rombosafriday kwenye temple ya warasta na @Mbusii @Liondeh @deejay_dickie Je unafurahia wikendi kutoka wapi #MbusiiNaLionTekeTeke #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1573308785002745857)  2022-09-23T13:50Z 254.1K followers, [--] engagements


"Wolaanyesaaiya #MapoziTuesday kasonge kasonge @Liondeh #MbussiNaLionTekeTeke #MapoziTuesday #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1655932932681531393)  2023-05-09T13:49Z 254.1K followers, [---] engagements


"Kinara wa upinzani Raila Odinga atoa mapendekezo kumi kwa serikali ambayo yataisaidia kutekeleza wajibu wake bila ya kuongezea wananchi ushuru. #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1667025997693083654)  2023-06-09T04:29Z 250K followers, [--] engagements


"Je unaunga mkono maandamano ya kesho na utashiriki #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike https://www.instagram.com/reel/Cu1Gvgqgy77/igshid=YmM0MjE2YWMzOA== https://www.instagram.com/reel/Cu1Gvgqgy77/igshid=YmM0MjE2YWMzOA=="  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1681199679302692864)  2023-07-18T07:10Z 250.1K followers, [---] engagements


"Ukiambiwa hivi unadhani utalala kwa siku ngapi 🀣🀣🀣 #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1681240089790128130)  2023-07-18T09:50Z 250K followers, [--] engagements


"Habari za asubuhi. Tutumai ulikuwa na wikendi njema na yenye amani. karibu kwa siku nyingine ya GidiNaGhostAsubui. ☎ [----------] βœ‰ [-----] #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1696000047429619880)  2023-08-28T03:21Z 242K followers, [---] engagements


"#PATANISHO: Hallo Radio Jambo naitwa Adamson Momanyi 26yrs kutoka Kisii. Naomba mnipatanishe na mke wangu Catherine Kerubo 24yrs. Tumekaa na yeye miaka [--] kwa ndoa na tuko na mtoto moja. #Patanisho #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1696034272518324559)  2023-08-28T05:37Z 242K followers, [---] engagements


"Tungeomba mashabiki tafadhali mtuelewe. Poleni sana. Hatujaribu kuwachukulia poa lakini pia tunawapatia miaka [--] ya maisha yetu ya kimuziki pamoja. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1696447608447979576)  2023-08-29T09:00Z 242.4K followers, [---] engagements


"Mwanamuziki huyo alishtumiwa kwa kupewa pesa na seneta Nyamu ambaye ni mama ya watoto wake wawili. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1696806210153201669)  2023-08-30T08:45Z 241.4K followers, [---] engagements


"Picha kutoka eneo la tukio zilionyesha miili iliyofunikwa ikiwa imejipanga karibu na jengo lililoungua. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1697149777090146427)  2023-08-31T07:30Z 241.5K followers, [---] engagements


"MICHEZO Sakaja: "Uwanja wa Dandora umekamilika kusubiri kufunguliwa rasmi. mahitaji yote ya FIFA yametimizwa na darasa la itsa word hivi karibuni walizindua sakaja super cup na washindi watatu wa kwanza kutia 3m 2m na 1m mtawalia." #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikikdd"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1697479090956116191)  2023-09-01T05:18Z 242.8K followers, [---] engagements


"Diamond tena bila aibu alijibu kwamba hajawahi tembea na mwanamke mwingine kimapenzi Zaidi ya Zuchu tu. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1701475728338895046)  2023-09-12T06:00Z 243.9K followers, [---] engagements


"Baadhi ya maeneo ya eneo la Njiru na eneo la shule ya Mwangaza ya jiji la Nairobi pia yatakuwa bila umeme kwa muda mwingi wa siku. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1701487872375763040)  2023-09-12T06:48Z 243.9K followers, [---] engagements


"Sama kwa huzuni alisema kwamba lilikuwa ni pigo ambalo halitokuja kusahaulika katika moyo wake lakini vile vile akakiri kwamba licha ya yote yaliyotokea hakuwahi kupoteza Imani. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1701498379056910675)  2023-09-12T07:30Z 241.9K followers, [---] engagements


"Sama aliandika hayo na kusema kwamba hivi karibuni watafunga harusi pamoja na mwanamume huyo aliyemtaja kama mpenzi wake wa kwanza. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1701543676416020867)  2023-09-12T10:30Z 242K followers, [---] engagements


"Kevin alisema ilikuwa mara ya kwanza kumpiga mkewe. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1701557374115262578)  2023-09-12T11:24Z 241.7K followers, [---] engagements


"Mwalimu alipata kazi hii inayompa malipo ya shilingi elfu sita kwa mwezi ambayo anakiri kuwa inatimiza mahitaji yake na mwanaye. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1701909838849065371)  2023-09-13T10:45Z 241.2K followers, [--] engagements


"Jalango alisema kama kweli yeye na wenzake waliotimuliwa chamani ni makahaba wa kisiasa basi kila mtu aliyekutana na uto vile vile ni kahaba. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1701913614897369265)  2023-09-13T11:00Z 241.5K followers, [--] engagements


"Nchini Afrika Kusini wasanii AKA na Costa Titch walifariki kwa njia tatanishi huku Kenya wasanii Kunguru na mwinjilisti Ilagosa Wa Ilagosa akifariki kifo cha ghafla. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1702011760696545537)  2023-09-13T17:30Z 242.7K followers, [--] engagements


"Ripoti zinasema wafuasi wengi waliomiminika katika mahakama hiyo pia walipinga uamuzi huo wakielezea mashaka yao kuhusu madai ya mlalamishi. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1702272257739948269)  2023-09-14T10:45Z 242K followers, [--] engagements


"Tunatumai umeamka poa karibu kwenye shoo mpaka saa nne. Ijumaa yako imeanza vipi ☎ [----------] βœ‰ [-----] @GidiOgidi @Ghost_Mulee @_naomnyaboke @MartinJnr13 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1702528565256876252)  2023-09-15T03:43Z 243.9K followers, [--] engagements


"Uchunguzi wa baada ya maiti uligundua alikuwa amepata "majeraha mengi na makubwa". #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1702559165971935728)  2023-09-15T05:45Z 242.7K followers, [--] engagements


"Msichana huyo aliokolewa lakini alifariki kutokana na majeraha hospitalini. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1702619515362947159)  2023-09-15T09:45Z 243.9K followers, [--] engagements


".@obayipatrick asifia wanawake wa Kenya. Anasema hata kama wa Uganda na Tanzania wananyenyekea anapenda wa Kenya. Vile vile amefichua sababu ya kuacha kazi. Zaidi Radio Jambo Kenya YouTube. #ILIKUAJE #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1702656834912342329)  2023-09-15T12:13Z 241.5K followers, [--] engagements


"Kulingana na yeye wanachovaa hudumu kwa miezi michache tu kwani hupata kutu kwa urahisi. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1702721439701639373)  2023-09-15T16:30Z 242.7K followers, [--] engagements


"Polisi walidai kuwa bunge la kitaifa ni jumba ambalo hujiususha na mjadala wa mambo yanahuyu Taifa na hivy halitakiwi kuwa na usumbufu wowote. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1702925285249737188)  2023-09-16T06:00Z 241.5K followers, [--] engagements


"Hello Peter Crouch πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸŽ₯ @tntsports #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1703361960824225981)  2023-09-17T10:55Z 242K followers, [---] engagements


"#Amen wimbo wa @babalevotz ft @diamondplatnumz πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯. Unaombea nini leo #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1703450197638914084)  2023-09-17T16:45Z 242.7K followers, [--] engagements


"Kauli ya Makamu wa Rais imekuja baada ya Brian Mwenda anayedaiwa kujifanya wakili feki kufikishwa mahakamani. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716434592645742916)  2023-10-23T12:41Z 241.3K followers, [---] engagements


"Alisema kwamba angependa baada ya uchunguzi na sakata lote kutulia angemtafuta ili wapate kufanya mazungumzo ya kusameheana. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716443102423232915)  2023-10-23T13:15Z 241.3K followers, [---] engagements


"Kulingana na yeyeafisa huyo wa kanjo aliingia ndani ya gari lake kwa lazima akitaka kumkamata kwa sababu ya kuegeza gari. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716446879863492984)  2023-10-23T13:30Z 241.3K followers, [---] engagements


"Mrembo huyo mjasiriamali wa maduka mawili ya vipodozi jijini Nairobi alifichua kwamba ana miaka [--]. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716454429249998943)  2023-10-23T14:00Z 241.3K followers, [---] engagements


""Nina akademia yangu ya mpira Marekani. Ninataka kuongoza kabumbu hapa nchini kwa sababu ya hali ya mpira wetu ambayo imeharibika sana. Ninataka nije nijaribu kuigeuza kwa sababu tusipoibadilisha itabaki vivyo hivyo. Nina ujuzi na uwezo." Sammy #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716676475355549880)  2023-10-24T04:42Z 241.2K followers, [---] engagements


"Alisema hali ilikuwa imebeba shinikizo la ziada kwa Mhispania huyo ingawa alitambua udhibiti wa kihisia kama "ufunguo kabisa" katika mashindano ya Ulaya. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716677144867393619)  2023-10-24T04:45Z 241.2K followers, [--] engagements


""Nikiwa rais wa shirikisho FKF kuna vitu ambavyo ninaweza kufanya sasa hivi vingine vitachukua muda. Kwanza ni kupata kocha mzuri wa timu ya taifa tuwe na mechi za kirafiki. Usimamizi uwe unatoa vitu kama posho (allowances) kwa wachezaji." Sammy #GidiNaGhostAsubuhi"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716677758649020655)  2023-10-24T04:47Z 241.2K followers, [---] engagements


"Vera Pia alilalamika jinsi alivyotumia pesa nyingi katika maandalizi ya kufichua uso wa mtoto wake lakini mzazi mwenzake akaharibu mipango yake. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716680920114344314)  2023-10-24T05:00Z 241.2K followers, [--] engagements


""Huwezi kuendeleza kabumbu na pesa za mtu binafsi. Uaminifu ndio hakuna kwa FKF. Tukifanya kazi pamoja turekebishe masuala ya pesa kwenye kabumbu tutasuluhisha. Ninajua mahali roho yangu iko. Vyote vinavyotakikana kuongoza shirikisho ninavyo." #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1716681216290636059)  2023-10-24T05:01Z 241.2K followers, [--] engagements


"Talaka nyingi za wachumba uchangiwa na muingiliano wa familia zao. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717156557388136620)  2023-10-25T12:30Z 241.3K followers, [---] engagements


"#galdemwednesday @djnyckenya amesafisha temple kirastaKaribu kwa #hiisishowhiiniexperience ya @mbusiidehhsc @deh_lion ndani ya Kituo cha kwanza wakenya hadi saa Moja inshallah. Kaa radaosis bila pressure. #mbusinalionteketeke #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717162123040637105)  2023-10-25T12:52Z 241.3K followers, [---] engagements


"Shida ni kwamba watoto wa mbwa wamekua kabisa na wanazaliana. Kila puppy jike anapozaa huwapa watoto hao majina ya familia yangu yote. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717164106870927662)  2023-10-25T13:00Z 241.3K followers, [--] engagements


"Ndio muda wetu sasa Bustani la MJ mpaka saa nane mchana karibu kabisa. Umeamka vipi @MassaweJapanni @_naomnyaboke @MartinJnr13 #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717441761750999244)  2023-10-26T07:23Z 241.3K followers, [---] engagements


"Yetu shwari hatujui yako. Umeamkaje #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717444643632160783)  2023-10-26T07:34Z 241.3K followers, [--] engagements


"#JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717445607252431234)  2023-10-26T07:38Z 241.3K followers, [--] engagements


"Vile inafaa au sio #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717445980969111980)  2023-10-26T07:40Z 241.3K followers, [--] engagements


"Mpaka saa nane. Isonge sana. #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717446358251016357)  2023-10-26T07:41Z 241.3K followers, [---] engagements


"Hili ni kwa sababu ya madai ya ufujaji wa fedha ambapo wamedaiwa kukiuka sheria za fedha. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717450998833442831)  2023-10-26T08:00Z 241.3K followers, [--] engagements


"Madaktari walinifanyia utafiti ili kudhibitisha akili yangu ni timamu Embarambamba aeleza. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717503845985562960)  2023-10-26T11:30Z 241.3K followers, [---] engagements


"Rais Mstaafu alitupilia mbali maswali kuhusu umri wake kutoka kwa mtangazaji. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717594440217633113)  2023-10-26T17:30Z 241.3K followers, [---] engagements


"Kuligana na Khadija Kopa katika utamanduni wao jambo la mahusiano ya ndoa lazima lifanyike kwa taratibu za kimila. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717768088211636389)  2023-10-27T05:00Z 241.3K followers, [---] engagements


"Mamake Vishy alilalamika kwamba watu waliyaelewa visivyo matamshi yake kuhusu Ben 10s. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717873785464869252)  2023-10-27T12:00Z 241.3K followers, [---] engagements


"FIFA ilitoa orodha mpya ya timu kulingana na jumla ya pointi mnamo Oktoba [--]. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717888881100575214)  2023-10-27T13:00Z 241.3K followers, [--] engagements


"#rombosafriday tuko ndakas experience tosha ya @Mbusii @Liondeh na @papa_rais #MbusiNalionteketeke #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717889443162435685)  2023-10-27T13:02Z 241.3K followers, [--] engagements


"Rema alisema kuwa anafanya kazi kwa bidii ili kutengeneza muziki wa hali ya juu na anatarajia mashabiki wake kutoa sifa inapostahili badala ya illuminati. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717919092160561575)  2023-10-27T15:00Z 241.3K followers, [---] engagements


"Wakati huo huo shirika la ndege Kenya Airways liliteuliwa kama shirika bora kwa wasafiri wa Economy Class katika bara zima la Afrika. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1717926627521556830)  2023-10-27T15:30Z 241.3K followers, [--] engagements


"Idara ya hali ya hewa nchini Kenya imetoa taarifa ya ushauri kuhusu kunyesha kwa mvua kubwa. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718255042174853220)  2023-10-28T13:15Z 241.3K followers, [---] engagements


".@JButlerGuitar ali enjoy Brunch leo mkahawani Sirwo Coffee Kama bado hujanunua tiketi ingia kwenye uipate kwa shilingi [----] PEKEE @radioafricagroup @RAEventsKe @SafaricomPLC @TwaTrust #RadioAfricaEvents #JonathanButlerInKenya #NIJF #NIJFestival"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718259866836287641)  2023-10-28T13:34Z 241.3K followers, [---] engagements


"Mitihani itaendelea Kapindasum na Baringo; tumedhibiti hali tete katika ukanda huo licha ya mashambulizi ya hivi majuzi. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718273915938845169)  2023-10-28T14:30Z 241.3K followers, [---] engagements


"Luku gani ndio best hapaπŸ˜πŸ‘Œ @radioafricagroup @RAEventsKe @SafaricomPLC @TwaTrust @JButlerGuitar @TicketYetu #RadioAfricaEvents #JonathanBtlutlerInKenya #NIJF #NIJFestival #jazzmusic #ongeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718313999345778791)  2023-10-28T17:09Z 241.3K followers, [---] engagements


"Timu @SafaricomPLC wako kwenye mjengo πŸ”₯πŸ”₯. Kama hujawaona hujafika jibidiishe ufike 😁. Kama umewaona ushatua tayari😎😎. @nijfkenya @radioafricagroup @RAEventsKe @TwaTrust @JButlerGuitar #JonathanButlerInKenya #NIJF #NIJFestival #RadioAfricaEvents"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718351839836377478)  2023-10-28T19:39Z 241.3K followers, [--] engagements


"Kulingana na ripoti ya polisi watano hao walikuwa sehemu ya kikundi cha wanafunzi wa Darasa la Sita na Darasa la Nane walioandamana na walimu hadi hotelini kwa shughuli za burudani. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718553372742086681)  2023-10-29T09:00Z 241.4K followers, [---] engagements


"Mshukiwa alivutia hisia kutokana na kuhusika kwake kwenye mgogoro wa mapenzi na mwanamume aliyeoa pamoja na Mwende. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718568356293599285)  2023-10-29T10:00Z 241.3K followers, [--] engagements


"Ungependa kuona Jadon Sancho akijiunga na klabu gani Januari iwapo ataondoka Old Trafford [--]. Juventus [--]. Borussia Dortmund [--]. Tottenham Hotspur #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718598555286573387)  2023-10-29T12:00Z 241.3K followers, [---] engagements


"Tunatumai umeamka poa karibu kwenye kipindi mpaka saa nne. Timu Manchester United msijali siku itajipa au sio πŸ˜‚πŸ˜‚ @Ghost_Mulee @_naomnyaboke #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718840420992516098)  2023-10-30T04:01Z 241.4K followers, [---] engagements


"Mapenzi ya Marioo kwa mrembo Paula Kajala Masanja yanazidi kukwea kwenda viwango vingine. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1718968492718739584)  2023-10-30T12:30Z 241.4K followers, [--] engagements


".@Starchebet atakuwa nasi saa sita. Juzi aliwakosoa vikali wanaomshambulia mitandaoni akisema watu hao hawajui kinachoendelea katika maisha ya mtu. Alimpoteza mamake mwaka uliopita na amekuwa akipambana na matatizo ya afya ya akili. @MassaweJapanni #ILIKUAJE #JamboMassawe"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719277491305447777)  2023-10-31T08:57Z 241.4K followers, [---] engagements


"Malengo yangu ya kununua ndege ya kibinafsi ni kuwapa motisha vijana kwamba yote yawezekana. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719278035348983869)  2023-10-31T09:00Z 241.4K followers, [--] engagements


".@RealBrianMwenda amekiri kuwa mshauri wa sheria na anafanya kazi na [--] law firms. Moja ipo Ulaya na nyingine Marekani. Ana viongozi [--] wa kisiasa ambao wanamshika mkono na mmoja wao ni Mike Sonko. Zaidi Radio Jambo Kenya YouTube @MassaweJapanni #ILIKUAJE @JamboMassawe"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719280993301909962)  2023-10-31T09:11Z 241.4K followers, [--] engagements


"Kombe la Dunia la [----] litafanyika Marekani Mexico na Canada. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719376179680141552)  2023-10-31T15:30Z 241.4K followers, [---] engagements


"Akitumia ukurasa wake ulioidhinishwa kwenye jukwaa la X lililokuwa likiitwa Twitter leo Davido anashiriki ishara ya njiwa kama njia ya kuomboleza kifo cha mwanawe Ifeanyi. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719602672024572083)  2023-11-01T06:30Z 241.4K followers, [--] engagements


"Maafisa wa polisi zaidi ya elfu [-----] walitumwa sehemu tofauti kuhakikisha ulinzi wa mitihani unaimarishwa. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719606446416114014)  2023-11-01T06:45Z 241.4K followers, [--] engagements


"Nilifanya harusi yangu siku moja na ile yangu ya kuzaliwa ili tu kwamba mambo yakienda mvange kama ambavyo yamekwenda basi nitakuwa kwamba nilijibamba. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719625324776902865)  2023-11-01T08:00Z 241.4K followers, [--] engagements


"Baadhi walihisi ni ushirikina lakini wengine wakikanusha dhana hiyo wakisema nyuki walikuwa tu katika harakati zao za kutafuta mzinga. b#OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719965059320095147)  2023-11-02T06:30Z 241.4K followers, [--] engagements


"MATOKEO YA KOMBE LA CARABAO: West Ham United 3-1 Arsenal. Chelsea 2-0 Blackburn Rovers. AFC Bournemouth 1-2 Liverpool. Everton 3-0 Burnley. Ipswich Town 1-3 Fulham. Je mshangao wa usiku ulikuwa gani na kutoka kwa timu gani #RadioJamboFootball #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1719993528774713370)  2023-11-02T08:23Z 241.5K followers, [---] engagements


"Tetesi za uwezekano wa kuwa na chuki kati ya wawili hao zimeibua hisia tofauti miongoni mwa mashabiki wao. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720002807942512772)  2023-11-02T09:00Z 241.4K followers, [--] engagements


"Alidai kuwa dola milioni [--] hazikuwa muhimu kwake kwa sababu aliepuka hali ambazo hangeweza kumpa uhuru wa kuvuta "unyasi" wake. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720033020403474626)  2023-11-02T11:00Z 241.5K followers, [---] engagements


"Millioni mbili ndio zimebaki kukamilisha nyumba yangu asema Mulamwah. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720040558263984487)  2023-11-02T11:30Z 241.5K followers, [---] engagements


"Kampuni hiyo Afi Farma ilishutumiwa kwa kutengeneza dawa za kikohozi zenye viungo vya sumu"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720093406095958220)  2023-11-02T15:00Z 241.5K followers, [---] engagements


"Nitafutie apo Mkamba mmoja mrembo nitulie Mimi ni mkisii @GidiOgidi @Ghost_Mulee @MartinJnr13 #patanisho #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720337400050708945)  2023-11-03T07:09Z 241.5K followers, [---] engagements


"Natumai tunaweza kutembea pamoja na kwa pamoja tutafanikiwa. Tutashinda. Aluta continua alisema Odinga. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720342151945425152)  2023-11-03T07:28Z 241.5K followers, [--] engagements


"Ghafla densi ikiwa imeshika kasi makalio feki ya mrembo yule yaliporomoka na kutawanyika kwenye sakafu ya kucheza densi na kuwaacha wengi kwa vicheko. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720350099585589468)  2023-11-03T08:00Z 241.5K followers, [---] engagements


"Alipoulizwa kwa nini Edday alikataa kurudi nyumbani baada ya kuja Marekani kumtembelea alisema. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720357646169993274)  2023-11-03T08:30Z 241.5K followers, [---] engagements


"Ally B anafahamika sana kwa nyimbo zake maarufu kama vile Maria na Bembea. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720372745987387739)  2023-11-03T09:30Z 241.5K followers, [--] engagements


"Huwa hatupangwi na mnajua hivo. Mbona weather itupange #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720393078018605265)  2023-11-03T10:50Z 241.5K followers, [---] engagements


"Dk. Kayo alianzisha Kanisa la Deliverance Kenya na Uganda Juba Pentecostal Church na kusaidia kuanzisha Makanisa ya Familia ya Mungu ya Zimbabwe. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720395407132700871)  2023-11-03T11:00Z 241.5K followers, [--] engagements


"Bien alimwinua haraka na hafla ikaendelea vizuri huku mashabiki wakishangilia. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720421819356786896)  2023-11-03T12:45Z 241.5K followers, [--] engagements


"Meneja huyo wa zamani wa Celtic alikariri kwamba angependa kuona Pochettino akipata kutambuliwa anakostahili lakini akaongeza haraka hakutakuwa na ulinzi wa heshima. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720478444461682835)  2023-11-03T16:30Z 241.5K followers, [---] engagements


"Alihojiwa na baadaye kukabidhiwa kwa Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Ugaidi kwa maelezo zaidi. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720501095435321549)  2023-11-03T18:00Z 241.5K followers, [---] engagements


"Mila na Desturi. Kamuti hufanya kazi kwa mapenzi mambo mengine .ni kweli Mwanamke aambiwa na mganga kuwa kamuti si ya kupandisha cheo kazini. Mila na desturi yako inasemaje kuhusu hili [-----] πŸ“ž [----------] #MazungumzoWaziWazi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720671801049514210)  2023-11-04T05:18Z 241.3K followers, [--] engagements


"Sasa atakuwa mwamuzi wa mechi ya Mashindano kati ya Preston na Coventry Jumamosi - mara yake ya kwanza kuchezesha katika daraja la pili tangu [----]. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1720689836632482075)  2023-11-04T06:30Z 241.5K followers, [---] engagements


"Kando na marufuku ya kutojihusisha na muziki kwa miezi mitatu watatu hao pia kila mmoja alitakiwa kulipa fiani ya shilingi milioni [--] za kitanzania. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721112623188791548)  2023-11-05T10:30Z 241.5K followers, [--] engagements


"@priscillandanu Nilipata jina urembo creationsnikiwa shule ya upili. @val_ludiema #midundoyakikenya #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721148261967278463)  2023-11-05T12:51Z 241.5K followers, [--] engagements


"Tonto alionyesha kutoridhishwa kwake na kutokuwa na msaidizi wa kibinafsi na kusema kwamba hakuwa na mavazi ya kuvaa. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721157921063465244)  2023-11-05T13:30Z 241.5K followers, [--] engagements


"Msanii huyo aliwataka wanahabari na wanablogu wote kufanya mkutano ili kujadili bei maalum atakayowalipa ili wakome kabisa kumtaja popote katika habari zao mitandaoni na kwenye vyombo vya habari. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721188118362046694)  2023-11-05T15:30Z 241.5K followers, [--] engagements


"Gari lake jipya ni Range Rover Autobiography ambalo ni modeli ya juu zaidi ya safu ya Range Rover. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721191893185556560)  2023-11-05T15:45Z 241.5K followers, [---] engagements


"Amekuwa akitafutia nani huko Nairobi Saa hii maisha imemlea ndio anataka arudi nimlishe siwezi @GidiOgidi @Ghost_Mulee @MartinJnr13 #patanisho #GidiNaGhistAsubuhi #IngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721422484434571399)  2023-11-06T07:01Z 241.5K followers, [---] engagements


"Kwa sasa Stevo anafanya kazi na meneja Chingiboy Msado na produsa chipukizi Freshi Kid Onthe Beat. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721429711031533995)  2023-11-06T07:30Z 241.5K followers, [--] engagements


"Katika kitengo hicho Diamond alikuwa anamenyana na wasanii kama vile Burna Boy Asake wote kutoka Nigeria na mrembo chipukizi kutoka Cameroon Libianca pamoja na Tyler ICU. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721452367889981519)  2023-11-06T09:00Z 241.5K followers, [---] engagements


"Konde Boy alisema kuwa sababu moja ya wasanii wengi kutapeliwa ni ukosefu wa elimu ya kutosha. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721475010085228909)  2023-11-06T10:30Z 241.5K followers, [---] engagements


"Romy Jones huwa kando na kuwa DJ rasmi wa Diamond pia anatumia kurasa zake mitandaoni kutangaza dawa za kiasili na huduma za waganga kwa wateja. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721482571014447193)  2023-11-06T11:00Z 241.5K followers, [--] engagements


"Juan Jumalon anayejulikana kama DJ Johnny Walker alipigwa risasi ndani ya studio yake ya nyumbani polisi walisema. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721542965317763168)  2023-11-06T15:00Z 241.6K followers, [---] engagements


"Nichinjie hii Ice cube kwa busaa jameni watu wa nairobi @GidiOgidi @Ghost_Mulee #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1721774495285784836)  2023-11-07T06:20Z 241.5K followers, [---] engagements


"Unatarajia nini kutoka kwa hotuba ya rais William Ruto leo kuhusu mustakabali wa taifa @MassaweJapanni #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1722535793573482958)  2023-11-09T08:45Z 241.6K followers, [---] engagements


"Tangu ujio wa ugatuzi mwaka [----] magavana kadhaa wamejipata katika hali ngumu ya kujitetea mbele ya seneti baada ya MCAs wa kaunti zao kupitisha hoja ya kuwabandua. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1722569730832159090)  2023-11-09T11:00Z 241.6K followers, [---] engagements


"Karen alisema wakati alipokutana na mpenzi wake huyo alicheza naye mchezo wa kujificha na kutafuta kwa mara ya kwanza huku akimpuuza. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1722833964061294951)  2023-11-10T04:30Z 241.6K followers, [--] engagements


"Mwanaharakati wa walemavu na mwanasiasa @mikemakarina yupo nasi studioni. Je Gavana Kawira Mwangaza alichaguliwa vipi iwapo MCAs wanampiga vita @MassaweJapanni #Ilikuaje #jambomassawe #ongeausikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1722899836750483878)  2023-11-10T08:51Z 241.7K followers, [---] engagements


"Huu ni uteuzi wa kwanza wa Davido Olamide Asake na Ayra Starr katika kile kinachobainisha kutawala kwa muziki wa Nigeria katika bara la Afrika. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1723385103470997834)  2023-11-11T17:00Z 241.7K followers, [---] engagements


"Je wadhani Tottenham watamaliza kwenye top [--] ya English premier league @michaelindeku @GregoryMulemi #Worldofsports #Spotinareggae #radiojambo #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1723648584698982747)  2023-11-12T10:27Z 241.7K followers, [---] engagements


"Dadake Mary: "Mary hayuko ameshaoleka na alisema hataki mambo yako. Huyo Brian ana tabia mbaya. Amekaa na Mary kwa miaka mitano na hajawahi kuja nyumbani ni kumtesa tu. Amsahau dadangu." #OngeaUsikike #GidiNaGhostAsubuhi #Patanisho"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1723949501763768802)  2023-11-13T06:22Z 241.7K followers, [---] engagements


"Katika video hiyo ambayo Nyamu aliipakia katika ukurasa wake wa Instragram alikuwa ameketi nyuma tu ya mwendesha boda huku Samidoh akiwa kama nguzo nyuma kabisa. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1725831217373691995)  2023-11-18T11:00Z 241.9K followers, [--] engagements


"Uko na @michaelindeku na @gregmulemi kwa #SportsWrap. @Harambee__Stars wanafaa kufanya nini ili kufuzu kwa kombe la dunia mwaka [----] Stars walipoteza kwa 2-1 dhidi ya Gabon na watachuana na Ushelisheli waliopepetwa mabao 9-0 na Ivory Coast Jumatatu . #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1725889122743595024)  2023-11-18T14:50Z 241.9K followers, [---] engagements


"Uko na @val_ludiema kwenye #midundoyakikenya mpaka saa kumi na mbili jioni. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726199065698775329)  2023-11-19T11:21Z 241.9K followers, [---] engagements


"Jopokazi lililobuniwa kuangazia mabadiliko katika idara ya polisi likiongozwa na aliyekuwa jaji mkuu David Maraga linapendekeza alama ya chini kabisa kuajiriwa kama polisi iwe C-. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726201152621203809)  2023-11-19T11:30Z 241.9K followers, [--] engagements


"Jinsi Cristiano anavyosonga na jinsi alivyoweza kuendeleza mchezo wake. Unakumbuka wakati akicheza Manchester United na miaka ya kwanza huko Real Madrid alisema. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726202590600589609)  2023-11-19T11:35Z 241.9K followers, [--] engagements


"Hata hivyo kiongozi wa taifa alikiri kwamba mambo ni magumu lakini akasema hakuna namna nyingine zaidi ya kuyashughulikia akisema Kenya itaanza kulipa madeni yake mwezi ujao wa Desemba. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726203557488230619)  2023-11-19T11:39Z 241.9K followers, [--] engagements


"Daktari wake alimwambia kwamba ana tatizo kidogo la emphysema na kwamba uvutaji sigara unapunguza mstari wake wa maisha yake kwa nusu. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726204925426929923)  2023-11-19T11:45Z 241.9K followers, [--] engagements


"Karibu kwenye shoo mpaka saa nne. Umeamkaje ☎ [----------] βœ‰ [-----] @GidiOgidi @Ghost_Mulee @_naomnyaboke @MartinJnr13 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726444044740641114)  2023-11-20T03:35Z 241.9K followers, [---] engagements


"Mchungaji huyo alisimulia hayo huku akisema kuwa matukio hayo yalitokea kabla ya kuokoka na kuyaacha mambo ya dunia. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726472941234479423)  2023-11-20T05:30Z 241.9K followers, [---] engagements


"Rayvanny alisema kwamba hana uhakika ni wapi atamfuata Harmonize ili kuzichukua tuzo zake kati ya kumwahi katika uwanja wa ndege au kumfuata nyumbani kwake Konde Village. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726495590853267939)  2023-11-20T07:00Z 241.9K followers, [--] engagements


"Mama wa taifa Rachel Chebet Ruto aadhimisha miaka [--] ya kuzaliwa. #Happybirthday Rachel Ruto πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰ #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726519228914925659)  2023-11-20T08:33Z 241.9K followers, [---] engagements


"Salama sana. Vipi mambo #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726823165484237104)  2023-11-21T04:41Z 241.9K followers, [--] engagements


"Mimi sitaki mambo yake Jonathan #Patanisho #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726862690696769707)  2023-11-21T07:18Z 241.9K followers, [---] engagements


"#ContentCreator @babushkakenya atakuwa nasi kwa #ILIKUAJE saa saba. Usikose mahojiano na @MassaweJapanni @_naomnyaboke @MartinJnr13 #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726880646390583777)  2023-11-21T08:30Z 241.9K followers, [---] engagements


"Mada ya sasa hivi: Je ni ujumbe gani ambao ukiupokea kutoka kwa mtu yeyote utakukwaza ☎ [----------] βœ‰ [-----] #JamboMassawe #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726882693844279598)  2023-11-21T08:38Z 241.9K followers, [---] engagements


"Awali vijana hao wa Kocha Engin Firat walikuwa wamepoteza mechi yao ya ufunguzi kwa mabao 2-1 dhidi ya Gabon. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726889317769839016)  2023-11-21T09:04Z 242K followers, [---] engagements


"Hii ni baada ya mchezaji huyo kukosa kufunga mkwaju wa penalty dhidi ya North Macedonia usiku wa Ijumaa wiki iliyopita. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726903279794467076)  2023-11-21T10:00Z 241.9K followers, [--] engagements


"Alisema kwamba skendo za kutoka kimapenzi za Rayvanny ndizo huonesha kwamba kweli ni mwanamume kamili. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1726918385764831324)  2023-11-21T11:00Z 241.9K followers, [--] engagements


"Ipo siku moja tu ndio maana nasema tunakua kila siku unajua kila siku unakuwa na mawazo mapya. Ipo siku huwezi jua nitafika niseme unajua lazima nimtafute kwa simu. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1727265668490461340)  2023-11-22T10:00Z 242K followers, [---] engagements


"Katibu Susan hata hivyo alimtaka Gavana Sakaja kuweka mazingira bora ya biashara ndogo ndogo jijini ili kuepuka visa kama hivi. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1727286252028793165)  2023-11-22T11:21Z 242K followers, [--] engagements


"Mashabiki wa Manchester United wamekuwa wakizozana mara kadhaa wakipinga familia ya Glazers ambayo wanaituhumu kwa kupuuza mahitaji ya klabu hiyo. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1727363815250272434)  2023-11-22T16:30Z 242K followers, [--] engagements


"Machogu alisema mwaka huu mwanafunzi aliyeongoza amepata alama [---]. Aidha alisema ni watahiniwa wawili tu waliohusika katika wizi wa mitihani. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1727618996009152790)  2023-11-23T09:24Z 242K followers, [--] engagements


"Mfumo wa SMS unapatikana kwa huduma zote za simu na itatozwa Sh25 kila moja. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1727619342408273929)  2023-11-23T09:25Z 242.1K followers, [--] engagements


"Machogu hata hivyo alisema Wizara ya Elimu itatoa nafasi kwa watahiniwa wote waliofanya mitihani yao kujiunga na shule za upili. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1727619937412272540)  2023-11-23T09:27Z 242K followers, [--] engagements


"Kutokana na ugumu wa maisha Wakenya wengi wamepoteza matumaini katika harakati zao za kujitafutia riziki Pasta Nganga amechukua fursa hii kuwaahidi Baraka za kimiujiza ambazo hazina mashiko" walisema. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1727620506512445558)  2023-11-23T09:30Z 242K followers, [--] engagements


"Unafiki miongoni mwa Wasomali wasomi uko katika ngazi nyingine watafanya Sala [--] na wasiwe na tatizo la kuwaibia maskini.Ukora mwingi huku wakinukuu Quran TukufuMwangi alisema. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1727997993511493824)  2023-11-24T10:30Z 242K followers, [---] engagements


"Itakumbukwa ni hivi majuzi tu ilibainika kwamba Zuchu amesitiza urafiki na Diamond katika mtandao wa Instagram jambo ambalo liliwafanya wengi kuhisi huenda kuna tatizo katika mapenzi yao. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1728050852659945674)  2023-11-24T14:00Z 242K followers, [---] engagements


"Wanafamilia hao walitokea katika mtindo huo kuadhimisha siku kuu ya Thanksgiving ambayo hufanyika nchini Marekani kila Alhamisi ya nne ya mwezi Novemba. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1728058388821774747)  2023-11-24T14:30Z 242K followers, [--] engagements


"Jumuiya ya Afrika Mashariki imekubali ombi la Somalia kujiunga nao. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1728315080138522687)  2023-11-25T07:30Z 242.1K followers, [---] engagements


"Alifichua kuwa ana familia ambayo angependa kuiona wikendi hata anapoendelea na masomo yake ya shule ya upili. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1728375478224892108)  2023-11-25T11:30Z 242.1K followers, [---] engagements


"Edday alidai kwamba ikiwa Bernice hangemsaidia labda kufikia sasa angekuwa amekufa na binti yake angekuwa katika hali mbaya. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1728383030027510048)  2023-11-25T12:00Z 242.1K followers, [---] engagements


"Wakati akijibu madai hayo Edday Nderitu alidai kuwa seneta huyo wa kuteuliwa wa UDA ni mwongo sana. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1728700122870272507)  2023-11-26T09:00Z 242.1K followers, [---] engagements


"Wafungwa wametoroshwa kutoka gereza moja nchini Sierra Leone kufuatia milio ya risasi katika mji mkuu Freetown. #OngeaUsikike"  
[X Link](https://x.com/RadioJamboKenya/status/1728730322882441467)  2023-11-26T11:00Z 242.1K followers, [---] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@RadioJamboKenya Avatar @RadioJamboKenya Radio Jambo

Radio Jambo posts on X about kwanza, kenya, mambo, nairobi the most. They currently have [-------] followers and [----] posts still getting attention that total [-----] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [-----] #

Engagements Line Chart

  • [--] Week [-----] +202%
  • [--] Month [-----] +18,957%
  • [--] Months [-----] +148%
  • [--] Year [-----] -86%

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

Followers: [-------] #

Followers Line Chart

  • [--] Week [-------] -0%
  • [--] Month [-------] +0.03%
  • [--] Months [-------] -0.34%
  • [--] Year [-------] +0.64%

CreatorRank: [---------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries currencies travel destinations technology brands social networks celebrities premier league finance la liga automotive brands

Social topic influence kwanza, kenya, mambo, nairobi, madrid, tanzania, tiktok, moses, tottenham, leo

Top accounts mentioned or mentioned by @massawejapanni @naomnyaboke @martinjnr13 @ghostmulee @gidiogidi @sheikhmuhusin @hemstonendibile @majuliahkelani @mbusii @mwarikirimi @tinamasika @godihnowilliams @liondeh @daphineogera @marymbaya2 @boysuzzie @loyalalbert2 @manchestergyal @harryshosh @spartasharon

Top assets mentioned Mambo (MAMBO) Premia (PREMIA) Pepe (PEPE) BODA (BODAV2) Alphabet Inc Class A (GOOGL) Handshake (HNS) Uber Technologies, Inc. (UBER)

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"Kipindi cha pili Goodison Park @Everton [--] @ManUtd [--]. Mashetani wekundu watashinda ama watapepetwa tena #EVEMUN #RadioJamboFootball #KandandaNiSisi #OngeaUsikike"
X Link 2020-11-07T13:36Z 256.1K followers, [--] engagements

"Twende naloooo. πŸ™πŸ™ #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike @RadioJamboKenya Pamoja #GidiNaGhostAsubuhi @RadioJamboKenya Pamoja #GidiNaGhostAsubuhi"
X Link 2021-03-22T03:47Z 256.1K followers, [--] engagements

"Mourinho alitambulishwa kama kocha wa [--] wa Giallorossi Mei [----]. #OngeaUsikike https://radiojambo.co.ke/michezo/football/2024-01-16-as-roma-yamfuta-kazi-kocha-jos-mourinho-baada-ya-mfululizo-wa-kadi-nyekundu/ https://radiojambo.co.ke/michezo/football/2024-01-16-as-roma-yamfuta-kazi-kocha-jos-mourinho-baada-ya-mfululizo-wa-kadi-nyekundu/"
X Link 2024-01-16T09:12Z 256.1K followers, [---] engagements

"AS Roma yamfuta kazi kocha Jose Mourinho https://radiojambo.co.ke/michezo/football/2024-01-16-as-roma-yamfuta-kazi-kocha-jos-mourinho-baada-ya-mfululizo-wa-kadi-nyekundu/ https://radiojambo.co.ke/michezo/football/2024-01-16-as-roma-yamfuta-kazi-kocha-jos-mourinho-baada-ya-mfululizo-wa-kadi-nyekundu/"
X Link 2024-01-16T12:47Z 256.1K followers, [---] engagements

"Paul Pogba akutana na David Beckham na Serena Williams Miami. #KituoChaWakenya"
X Link 2025-02-24T06:47Z 254.8K followers, [---] engagements

"Je unakubaliana na kocha mkuu wa Manchester United Rben Amorim #WeekendWarmUp #KituoChaWakenya"
X Link 2025-10-25T09:49Z 257.1K followers, [---] engagements

"Je ungekuwa Marcus Rashford ungeamua kurudi Manchester United au kubaki Barcelona #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"
X Link 2025-11-10T06:18Z 256.9K followers, [---] engagements

"Shusha stress na upate pure vibes za #Galdemwednesday ndani ya temple ya warasta na #MbusiinaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"
X Link 2025-11-12T13:00Z 256.9K followers, [---] engagements

"Perfect vibes ikiwa ni #ZilizovumaThursday ndani ya temple ya warasta na #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"
X Link 2025-11-13T13:55Z 256.1K followers, [---] engagements

"Experience ni international ndani ya temple ikiwa ni #ChapaWaxMonday na #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"
X Link 2025-11-24T13:46Z 256.4K followers, [---] engagements

"Mapoz deadly deadly na #MbusiiNaLionTekeTeke #MapozTuesday #KituoChaWakenya"
X Link 2025-11-25T13:00Z 256.4K followers, [---] engagements

"Midweek queen moods ziko juu ka lashes. #GaldemWednesday #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"
X Link 2025-11-26T13:27Z 256.4K followers, [---] engagements

"Na kakimea #ChapaWaxMonday kanatamba ukiwa wapi #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"
X Link 2025-12-01T13:24Z 256.1K followers, [---] engagements

"#GaldemWednesday in style na #MbusiiNaLionTekeTeke ndani ya temple zikidunda na @djnyckenya #KituoChaWakenya"
X Link 2025-12-10T13:00Z 256.1K followers, [----] engagements

"Msimu wa ngeche ngeche umeanza officialy kwenye temple ya wa rasta na #MbusiiNaLionTekeTeke #ZilizovumaThursday #KituoChaWakenya"
X Link 2025-12-11T13:10Z 256.1K followers, [---] engagements

"Je unakubaliana na maneno ya rasi kuwa drug and alcohol is a national emergency #MazungumzoWaziWazi @mwendemacharia1 #KituoChaWakenya"
X Link 2026-01-02T17:09Z 256.1K followers, [---] engagements

"Nani atakae ibuka simba wa Afrika kwenye AFCON kati ya Senegal na Morocco Saa ni saa [--] usikose. #KituoChaWakenya"
X Link 2026-01-18T12:15Z 256.1K followers, [--] engagements

"Kipa Andr Onana ataka kurudi Manchester to help them kushinda ligi msimu ujao. #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-09T07:34Z 256.2K followers, [---] engagements

"Just a day after making his LaLiga debut with Real Sociedad mshambulizi wa Harambee Stars Job Ochieng amekubali a two-year contract extension with the club. He is expected kuchukua jukumu kubwa katika AFCON ya mwaka [----]. #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-10T06:39Z 256.2K followers, [---] engagements

"Karibu kwenye #GidiNaGhostAsubuhi mpaka saa nne. Ijumaa yako ikoje @GidiOgidi @Ghost_Mulee @_naomnyaboke @MartinJnr13 #OngeaUsikike"
X Link 2022-01-14T03:37Z 256.2K followers, [---] engagements

"Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka [--] amepata karibu pauni milioni [---] za mshahara tangu [----] na kukaa kwa karibu miaka minane katika jiji la Uchina.#KituoChaWakenya https://radiojambo.co.ke/michezo/2024-12-07-oscar-aondoka-uchina-baada-ya-kujikusanyika-ksh-289bn-katika-kipindi-cha-miaka-7 https://radiojambo.co.ke/michezo/2024-12-07-oscar-aondoka-uchina-baada-ya-kujikusanyika-ksh-289bn-katika-kipindi-cha-miaka-7"
X Link 2024-12-07T08:00Z 256.2K followers, [---] engagements

"EACC inachunguza miamala ya zaidi ya Sh42 milioni kupitia simu. Mshukiwa mmoja amekamatwa na Sh171000 kupatikana kwake. Tume imeahidi kuendelea kupambana na ufisadi na kuwahimiza wananchi kuripoti tuhuma kupitia njia zake rasmi. #HabariZaJambo #KituoChaWakenya"
X Link 2025-12-01T17:48Z 256.2K followers, [---] engagements

"Prime Cabinet Secretary Mudavadi amuaga Khalid Abdullah Al Salman the outgoing Ambassador wa Ufalme wa Saudi Arabia to Kenya πŸ“Έ PCS #JamboMassawe #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-05T09:14Z 256.2K followers, [--] engagements

"41 and [--] years young CR7 and Neymar Jr washerehekea birthdays zao leo πŸͺ…πŸ₯³πŸŽ‚πŸŽ‰πŸŽŠ #HappyBirthday #JamboMassawe #KituoChawakenya"
X Link 2026-02-05T12:56Z 256.2K followers, [---] engagements

"Gavana wa Kilifi Gideon Mungaro and Italys Anna Maria Bernini launched a new 40-bed maternity wing katika Hospitali ya Kaunti Ndogo ya Malindi complete with two fully equipped theatres. #GidiNGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-09T07:33Z 256.2K followers, [---] engagements

"Rose Njoki narrates masaibu amepitia living with HIV. From selling na using drugs to kijiuza licha ya kujua alikuwa anaishi na virusi vya UKIMWI. Watch full video on Radio Jambo Kenya YouTube. #ILIKUAJE #JamboMassawe #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-09T13:03Z 256.2K followers, [---] engagements

"Mashabiki wa Wydad Casablanca waliosafiri all the way to Kenya kushuhudia mchuano wa timu yao again Nairobi United. Fans wa Nairobi United wakoπŸ™†πŸ½β™€ πŸŽ₯ @ourafricanfooty / @irungu_gitau1 (IG) #JamboMassawe #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-09T13:13Z 256.2K followers, [---] engagements

"Inheritance Law in Kenya explained wazi wazi.Join the conversation na Hon.Pauline Mbulikah wakiwa na @MwololoBramwell on #MazungumzoWaziWazi leo saa moja katika #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-10T13:57Z 256.2K followers, [--] engagements

"Sheria ya urithi na umuhimu wa will jinsi ya kuandika wosia sahihi kwa familia kuhusu malihaki za warithi na kuepuka migogoro.Ikielezwa waziwazi na Hon.Pauline Mbulikah pamoja na @mwololobramwell Je unasikiliza ukiwa wapi #MazungumzoWaziWazi #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-10T17:04Z 256.2K followers, [---] engagements

"No shaving yet Man United wakatisha mpango wa shabiki sugu wa kunyoa baada ya kudraw na West Ham United. #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-11T07:14Z 256.2K followers, [---] engagements

"Wachezaji wa Real Madrid at a surprise dinner for a final months pact. Inaripotiwa kwamba chajio hicho kilihudhuriwa na wachezaji tu without any member from the techical staff/managers na kililipiwa na players; na ambao walisplit bill 50/50"
X Link 2026-02-11T08:23Z 256.2K followers, [---] engagements

"Rais William Ruto amemkosoa vikali aliyekuwa Deputy President Rigathi Gachagua akisema hana sifa ya kuzungumzia masuala ya distribution ya relief food. Ruto alitoa kauli hiyo Mandera baada ya Gachagua kuishutumu serikali. #MbusiiNaLionTekeTeke #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-12T12:01Z 256.2K followers, [---] engagements

"Mwanaume aliyemkimbilia Rais William Ruto alipokuwa akitoa hotuba mjini Wajir amezungumza akiexplain as to what happened. #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-13T06:46Z 256.2K followers, [---] engagements

"Ile design @mwendemacharia1 anawachanganya hapa nje itabidi muanze kutuma maua sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Kumbuka savings tunafanya na @KCBInKenya to stand a chance of winning amazing prizes. #RevvvishaNaKCB2026 #FeelTheRoar #ForPeopleForBetter #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-13T12:21Z 256.2K followers, [---] engagements

"Wafanyikazi wa muda mrefu wa Tata kama vile mpishi wake Rajan Shaw na mnyweshaji Subbiah ni miongoni mwa wanufaika pia. #KituoChaWakenya https://radiojambo.co.ke/habari/2024-10-30-ratan-tata-marehemu-bilionea-wa-india-aachia-mbwa-wake-mgao-wa-mali-ya-urithi-ya-ksh-152bn https://radiojambo.co.ke/habari/2024-10-30-ratan-tata-marehemu-bilionea-wa-india-aachia-mbwa-wake-mgao-wa-mali-ya-urithi-ya-ksh-152bn"
X Link 2024-10-30T11:00Z 256.2K followers, [---] engagements

"Your one and only @MassaweJapanni out here spreading LOVE siku hii ya #valentinesday❀ . Tunahope yako inakubamba pia. #happyvalentines #day timu RJ #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-14T18:59Z 256.2K followers, [---] engagements

"Karibu kwenye# MazungumzoWaziWazi @BramwellMwololo #KituoChaWakenya"
X Link 2026-02-16T16:15Z 256.2K followers, [--] engagements

"Meet Philipp Mwene a Kenyan footballer who plays for top Bundesliga team https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/ https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/"
X Link 2018-05-26T19:00Z 252.8K followers, [--] engagements

"Meet Philipp Mwene a Kenyan footballer who plays for top Bundesliga team https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/ https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/"
X Link 2018-05-27T05:00Z 252.7K followers, [--] engagements

"William Ruto says that judiciary is derailing fight against graft http://ow.ly/GboQ30kcv5F http://ow.ly/GboQ30kcv5F"
X Link 2018-05-27T18:00Z 252.6K followers, [--] engagements

"Meet Philipp Mwene a Kenyan footballer who plays for top Bundesliga team https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/ https://radiojambo.co.ke/philipp-mwene-kenyan-bundesliga/"
X Link 2018-05-28T18:00Z 252.8K followers, [--] engagements

"Baringo womans plans to meet DP Ruto gets second blow as Governor Kiptis chases her away like a dog https://radiojambo.co.ke/baringo-womans-plans-meet-dp-ruto-gets-second-blow-governor-kiptis-chases-away-like-dog/ https://radiojambo.co.ke/baringo-womans-plans-meet-dp-ruto-gets-second-blow-governor-kiptis-chases-away-like-dog/"
X Link 2018-05-29T14:00Z 252.8K followers, [--] engagements

"William Ruto says that judiciary is derailing fight against graft https://radiojambo.co.ke/william-ruto-judiciary-derailing-fight/ https://radiojambo.co.ke/william-ruto-judiciary-derailing-fight/"
X Link 2018-05-29T16:00Z 252.8K followers, [--] engagements

"AFC leopards stalk Mathare as battle for Kenya Premier League hots up https://radiojambo.co.ke/afc-stalk-mathare-kenya-premier-league/ https://radiojambo.co.ke/afc-stalk-mathare-kenya-premier-league/"
X Link 2018-08-04T18:30Z 252.8K followers, [--] engagements

"William Ruto supports motion to protect local jobs from Chinese https://radiojambo.co.ke/william-ruto-protect-local-jobs-chinese/ https://radiojambo.co.ke/william-ruto-protect-local-jobs-chinese/"
X Link 2018-10-28T10:00Z 252.7K followers, [--] engagements

"Borussia Dortmund beat Bayern Munich in [--] goal thriller https://radiojambo.co.ke/dortmund-beat-bayern-munich-thriller/ https://radiojambo.co.ke/dortmund-beat-bayern-munich-thriller/"
X Link 2018-11-11T08:19Z 252.7K followers, [--] engagements

"No one will distract me William Ruto declares https://radiojambo.co.ke/no-one-will-distract-me-william-ruto-declares/ https://radiojambo.co.ke/no-one-will-distract-me-william-ruto-declares/"
X Link 2018-12-02T17:00Z 252.8K followers, [--] engagements

"Matokeo ya baadhi ya mechi za jana. Real Madrid 0-3 Barcelona. Chelsea 2-0 Tottenham Arsenal 5-1 Bournemouth Crystal Palace 1-3 Manchester United. Liverpool 5-0 Watford. Manchester City 1-0 West Ham United. Southampton 2-0 Fulham"
X Link 2019-02-28T09:35Z 252.9K followers, [--] engagements

"It's now easier and quicker to know your status with the new HIV self-testing kit. #ChukuaSelfie Available at all leading pharmacies and outlets. @ChukuaSelfie"
X Link 2019-09-11T07:30Z 252.7K followers, [--] engagements

"Inauma 😭😭😭 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2021-05-07T03:36Z 253.7K followers, [--] engagements

"Tumeingia kipindini ki-timu kubwa ki-Arsenal mpaka saa nne asubuhi. Uko sawa uliko [----------] [-----] @GidiOgidi @_naomnyaboke @MartinJnr13 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2021-05-13T03:44Z 253.7K followers, [--] engagements

"Everything nice ndani ya temple hadi githa #GyalDemWednesday edition. Unaikemba ukiwa mtaa gani Kurugushu. Ku Irie. @Mbusii @Liondeh @_naomnyaboke @djnyckenya @papa_rais #MbusiiNaLionTekeTeke #OngeaUsikike"
X Link 2021-06-23T13:06Z 253.7K followers, [---] engagements

"Issa Tuesday ndani ya temple ya warasta na tunahope show inakupeleka ki irie. Zidi kutinguka ukitukemba adi magithaa juu show iko ndakas kinoma πŸ”₯ @Mbusii @Liondeh @djslimikenya @papa_rais @adams_ovinne #MapozTuesday #MbusiiNaLionTekeTeke #OngeaUsikike"
X Link 2021-08-17T14:16Z 254.1K followers, [--] engagements

"#Tamu @macvoice_tz ft @Rayvanny πŸ”₯πŸ”₯. Enjoy #OngeaUsikike"
X Link 2021-10-13T13:07Z 252.8K followers, [--] engagements

"Karibu kipindini mpaka saa nne. Umeamkaje Nambari ya simu [----------] na ya 'sms' [-----]. @Ghost_Mulee @_naomnyaboke @MartinJnr13 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2021-11-09T03:20Z 253.7K followers, [--] engagements

"Salama. Habari za Kisii #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2022-01-18T03:25Z 253.7K followers, [--] engagements

"Utachagua nani kuwa seneta wa Nairobi kati ya wawaniaji hawa wa wadhifa huo [--]. Rufftone [--]. Karen Nyamu [--]. Maina Kamanda [--]. Edwin Sifuna #OngeaUsikike"
X Link 2022-01-27T11:09Z 252.7K followers, [--] engagements

"#JamboMassawe #OngeaUsikike @RadioJamboKenya Ipo salama saliminituned in till nane kamili @RadioJamboKenya Ipo salama saliminituned in till nane kamili"
X Link 2022-03-09T07:25Z 253.7K followers, [--] engagements

"Wagwan deh rasta pipo Tuko ndani ya temple ya waras bila mbrrrrrrcha. Ikembe kama itakuwa lualalah. Eish.Kurugushu . Ku @Liondeh @Mbusii @_naomnyaboke @papa_rais @djslimikenya #MapozTuesday #MbusiiNaLionTekeTeke #OngeaUsikike"
X Link 2022-09-13T12:52Z 254.1K followers, [--] engagements

"Friday freshili #rombosafriday kwenye temple ya warasta na @Mbusii @Liondeh @deejay_dickie Je unafurahia wikendi kutoka wapi #MbusiiNaLionTekeTeke #OngeaUsikike"
X Link 2022-09-23T13:50Z 254.1K followers, [--] engagements

"Wolaanyesaaiya #MapoziTuesday kasonge kasonge @Liondeh #MbussiNaLionTekeTeke #MapoziTuesday #OngeaUsikike"
X Link 2023-05-09T13:49Z 254.1K followers, [---] engagements

"Kinara wa upinzani Raila Odinga atoa mapendekezo kumi kwa serikali ambayo yataisaidia kutekeleza wajibu wake bila ya kuongezea wananchi ushuru. #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-06-09T04:29Z 250K followers, [--] engagements

"Je unaunga mkono maandamano ya kesho na utashiriki #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike https://www.instagram.com/reel/Cu1Gvgqgy77/igshid=YmM0MjE2YWMzOA== https://www.instagram.com/reel/Cu1Gvgqgy77/igshid=YmM0MjE2YWMzOA=="
X Link 2023-07-18T07:10Z 250.1K followers, [---] engagements

"Ukiambiwa hivi unadhani utalala kwa siku ngapi 🀣🀣🀣 #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-07-18T09:50Z 250K followers, [--] engagements

"Habari za asubuhi. Tutumai ulikuwa na wikendi njema na yenye amani. karibu kwa siku nyingine ya GidiNaGhostAsubui. ☎ [----------] βœ‰ [-----] #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-08-28T03:21Z 242K followers, [---] engagements

"#PATANISHO: Hallo Radio Jambo naitwa Adamson Momanyi 26yrs kutoka Kisii. Naomba mnipatanishe na mke wangu Catherine Kerubo 24yrs. Tumekaa na yeye miaka [--] kwa ndoa na tuko na mtoto moja. #Patanisho #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-08-28T05:37Z 242K followers, [---] engagements

"Tungeomba mashabiki tafadhali mtuelewe. Poleni sana. Hatujaribu kuwachukulia poa lakini pia tunawapatia miaka [--] ya maisha yetu ya kimuziki pamoja. #OngeaUsikike"
X Link 2023-08-29T09:00Z 242.4K followers, [---] engagements

"Mwanamuziki huyo alishtumiwa kwa kupewa pesa na seneta Nyamu ambaye ni mama ya watoto wake wawili. #OngeaUsikike"
X Link 2023-08-30T08:45Z 241.4K followers, [---] engagements

"Picha kutoka eneo la tukio zilionyesha miili iliyofunikwa ikiwa imejipanga karibu na jengo lililoungua. #OngeaUsikike"
X Link 2023-08-31T07:30Z 241.5K followers, [---] engagements

"MICHEZO Sakaja: "Uwanja wa Dandora umekamilika kusubiri kufunguliwa rasmi. mahitaji yote ya FIFA yametimizwa na darasa la itsa word hivi karibuni walizindua sakaja super cup na washindi watatu wa kwanza kutia 3m 2m na 1m mtawalia." #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikikdd"
X Link 2023-09-01T05:18Z 242.8K followers, [---] engagements

"Diamond tena bila aibu alijibu kwamba hajawahi tembea na mwanamke mwingine kimapenzi Zaidi ya Zuchu tu. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-12T06:00Z 243.9K followers, [---] engagements

"Baadhi ya maeneo ya eneo la Njiru na eneo la shule ya Mwangaza ya jiji la Nairobi pia yatakuwa bila umeme kwa muda mwingi wa siku. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-12T06:48Z 243.9K followers, [---] engagements

"Sama kwa huzuni alisema kwamba lilikuwa ni pigo ambalo halitokuja kusahaulika katika moyo wake lakini vile vile akakiri kwamba licha ya yote yaliyotokea hakuwahi kupoteza Imani. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-12T07:30Z 241.9K followers, [---] engagements

"Sama aliandika hayo na kusema kwamba hivi karibuni watafunga harusi pamoja na mwanamume huyo aliyemtaja kama mpenzi wake wa kwanza. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-12T10:30Z 242K followers, [---] engagements

"Kevin alisema ilikuwa mara ya kwanza kumpiga mkewe. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-12T11:24Z 241.7K followers, [---] engagements

"Mwalimu alipata kazi hii inayompa malipo ya shilingi elfu sita kwa mwezi ambayo anakiri kuwa inatimiza mahitaji yake na mwanaye. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-13T10:45Z 241.2K followers, [--] engagements

"Jalango alisema kama kweli yeye na wenzake waliotimuliwa chamani ni makahaba wa kisiasa basi kila mtu aliyekutana na uto vile vile ni kahaba. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-13T11:00Z 241.5K followers, [--] engagements

"Nchini Afrika Kusini wasanii AKA na Costa Titch walifariki kwa njia tatanishi huku Kenya wasanii Kunguru na mwinjilisti Ilagosa Wa Ilagosa akifariki kifo cha ghafla. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-13T17:30Z 242.7K followers, [--] engagements

"Ripoti zinasema wafuasi wengi waliomiminika katika mahakama hiyo pia walipinga uamuzi huo wakielezea mashaka yao kuhusu madai ya mlalamishi. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-14T10:45Z 242K followers, [--] engagements

"Tunatumai umeamka poa karibu kwenye shoo mpaka saa nne. Ijumaa yako imeanza vipi ☎ [----------] βœ‰ [-----] @GidiOgidi @Ghost_Mulee @_naomnyaboke @MartinJnr13 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-15T03:43Z 243.9K followers, [--] engagements

"Uchunguzi wa baada ya maiti uligundua alikuwa amepata "majeraha mengi na makubwa". #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-15T05:45Z 242.7K followers, [--] engagements

"Msichana huyo aliokolewa lakini alifariki kutokana na majeraha hospitalini. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-15T09:45Z 243.9K followers, [--] engagements

".@obayipatrick asifia wanawake wa Kenya. Anasema hata kama wa Uganda na Tanzania wananyenyekea anapenda wa Kenya. Vile vile amefichua sababu ya kuacha kazi. Zaidi Radio Jambo Kenya YouTube. #ILIKUAJE #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-15T12:13Z 241.5K followers, [--] engagements

"Kulingana na yeye wanachovaa hudumu kwa miezi michache tu kwani hupata kutu kwa urahisi. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-15T16:30Z 242.7K followers, [--] engagements

"Polisi walidai kuwa bunge la kitaifa ni jumba ambalo hujiususha na mjadala wa mambo yanahuyu Taifa na hivy halitakiwi kuwa na usumbufu wowote. #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-16T06:00Z 241.5K followers, [--] engagements

"Hello Peter Crouch πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸŽ₯ @tntsports #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-17T10:55Z 242K followers, [---] engagements

"#Amen wimbo wa @babalevotz ft @diamondplatnumz πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯. Unaombea nini leo #OngeaUsikike"
X Link 2023-09-17T16:45Z 242.7K followers, [--] engagements

"Kauli ya Makamu wa Rais imekuja baada ya Brian Mwenda anayedaiwa kujifanya wakili feki kufikishwa mahakamani. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-23T12:41Z 241.3K followers, [---] engagements

"Alisema kwamba angependa baada ya uchunguzi na sakata lote kutulia angemtafuta ili wapate kufanya mazungumzo ya kusameheana. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-23T13:15Z 241.3K followers, [---] engagements

"Kulingana na yeyeafisa huyo wa kanjo aliingia ndani ya gari lake kwa lazima akitaka kumkamata kwa sababu ya kuegeza gari. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-23T13:30Z 241.3K followers, [---] engagements

"Mrembo huyo mjasiriamali wa maduka mawili ya vipodozi jijini Nairobi alifichua kwamba ana miaka [--]. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-23T14:00Z 241.3K followers, [---] engagements

""Nina akademia yangu ya mpira Marekani. Ninataka kuongoza kabumbu hapa nchini kwa sababu ya hali ya mpira wetu ambayo imeharibika sana. Ninataka nije nijaribu kuigeuza kwa sababu tusipoibadilisha itabaki vivyo hivyo. Nina ujuzi na uwezo." Sammy #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-24T04:42Z 241.2K followers, [---] engagements

"Alisema hali ilikuwa imebeba shinikizo la ziada kwa Mhispania huyo ingawa alitambua udhibiti wa kihisia kama "ufunguo kabisa" katika mashindano ya Ulaya. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-24T04:45Z 241.2K followers, [--] engagements

""Nikiwa rais wa shirikisho FKF kuna vitu ambavyo ninaweza kufanya sasa hivi vingine vitachukua muda. Kwanza ni kupata kocha mzuri wa timu ya taifa tuwe na mechi za kirafiki. Usimamizi uwe unatoa vitu kama posho (allowances) kwa wachezaji." Sammy #GidiNaGhostAsubuhi"
X Link 2023-10-24T04:47Z 241.2K followers, [---] engagements

"Vera Pia alilalamika jinsi alivyotumia pesa nyingi katika maandalizi ya kufichua uso wa mtoto wake lakini mzazi mwenzake akaharibu mipango yake. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-24T05:00Z 241.2K followers, [--] engagements

""Huwezi kuendeleza kabumbu na pesa za mtu binafsi. Uaminifu ndio hakuna kwa FKF. Tukifanya kazi pamoja turekebishe masuala ya pesa kwenye kabumbu tutasuluhisha. Ninajua mahali roho yangu iko. Vyote vinavyotakikana kuongoza shirikisho ninavyo." #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-24T05:01Z 241.2K followers, [--] engagements

"Talaka nyingi za wachumba uchangiwa na muingiliano wa familia zao. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-25T12:30Z 241.3K followers, [---] engagements

"#galdemwednesday @djnyckenya amesafisha temple kirastaKaribu kwa #hiisishowhiiniexperience ya @mbusiidehhsc @deh_lion ndani ya Kituo cha kwanza wakenya hadi saa Moja inshallah. Kaa radaosis bila pressure. #mbusinalionteketeke #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-25T12:52Z 241.3K followers, [---] engagements

"Shida ni kwamba watoto wa mbwa wamekua kabisa na wanazaliana. Kila puppy jike anapozaa huwapa watoto hao majina ya familia yangu yote. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-25T13:00Z 241.3K followers, [--] engagements

"Ndio muda wetu sasa Bustani la MJ mpaka saa nane mchana karibu kabisa. Umeamka vipi @MassaweJapanni @_naomnyaboke @MartinJnr13 #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-26T07:23Z 241.3K followers, [---] engagements

"Yetu shwari hatujui yako. Umeamkaje #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-26T07:34Z 241.3K followers, [--] engagements

"#JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-26T07:38Z 241.3K followers, [--] engagements

"Vile inafaa au sio #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-26T07:40Z 241.3K followers, [--] engagements

"Mpaka saa nane. Isonge sana. #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-26T07:41Z 241.3K followers, [---] engagements

"Hili ni kwa sababu ya madai ya ufujaji wa fedha ambapo wamedaiwa kukiuka sheria za fedha. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-26T08:00Z 241.3K followers, [--] engagements

"Madaktari walinifanyia utafiti ili kudhibitisha akili yangu ni timamu Embarambamba aeleza. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-26T11:30Z 241.3K followers, [---] engagements

"Rais Mstaafu alitupilia mbali maswali kuhusu umri wake kutoka kwa mtangazaji. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-26T17:30Z 241.3K followers, [---] engagements

"Kuligana na Khadija Kopa katika utamanduni wao jambo la mahusiano ya ndoa lazima lifanyike kwa taratibu za kimila. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-27T05:00Z 241.3K followers, [---] engagements

"Mamake Vishy alilalamika kwamba watu waliyaelewa visivyo matamshi yake kuhusu Ben 10s. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-27T12:00Z 241.3K followers, [---] engagements

"FIFA ilitoa orodha mpya ya timu kulingana na jumla ya pointi mnamo Oktoba [--]. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-27T13:00Z 241.3K followers, [--] engagements

"#rombosafriday tuko ndakas experience tosha ya @Mbusii @Liondeh na @papa_rais #MbusiNalionteketeke #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-27T13:02Z 241.3K followers, [--] engagements

"Rema alisema kuwa anafanya kazi kwa bidii ili kutengeneza muziki wa hali ya juu na anatarajia mashabiki wake kutoa sifa inapostahili badala ya illuminati. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-27T15:00Z 241.3K followers, [---] engagements

"Wakati huo huo shirika la ndege Kenya Airways liliteuliwa kama shirika bora kwa wasafiri wa Economy Class katika bara zima la Afrika. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-27T15:30Z 241.3K followers, [--] engagements

"Idara ya hali ya hewa nchini Kenya imetoa taarifa ya ushauri kuhusu kunyesha kwa mvua kubwa. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-28T13:15Z 241.3K followers, [---] engagements

".@JButlerGuitar ali enjoy Brunch leo mkahawani Sirwo Coffee Kama bado hujanunua tiketi ingia kwenye uipate kwa shilingi [----] PEKEE @radioafricagroup @RAEventsKe @SafaricomPLC @TwaTrust #RadioAfricaEvents #JonathanButlerInKenya #NIJF #NIJFestival"
X Link 2023-10-28T13:34Z 241.3K followers, [---] engagements

"Mitihani itaendelea Kapindasum na Baringo; tumedhibiti hali tete katika ukanda huo licha ya mashambulizi ya hivi majuzi. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-28T14:30Z 241.3K followers, [---] engagements

"Luku gani ndio best hapaπŸ˜πŸ‘Œ @radioafricagroup @RAEventsKe @SafaricomPLC @TwaTrust @JButlerGuitar @TicketYetu #RadioAfricaEvents #JonathanBtlutlerInKenya #NIJF #NIJFestival #jazzmusic #ongeaUsikike"
X Link 2023-10-28T17:09Z 241.3K followers, [---] engagements

"Timu @SafaricomPLC wako kwenye mjengo πŸ”₯πŸ”₯. Kama hujawaona hujafika jibidiishe ufike 😁. Kama umewaona ushatua tayari😎😎. @nijfkenya @radioafricagroup @RAEventsKe @TwaTrust @JButlerGuitar #JonathanButlerInKenya #NIJF #NIJFestival #RadioAfricaEvents"
X Link 2023-10-28T19:39Z 241.3K followers, [--] engagements

"Kulingana na ripoti ya polisi watano hao walikuwa sehemu ya kikundi cha wanafunzi wa Darasa la Sita na Darasa la Nane walioandamana na walimu hadi hotelini kwa shughuli za burudani. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-29T09:00Z 241.4K followers, [---] engagements

"Mshukiwa alivutia hisia kutokana na kuhusika kwake kwenye mgogoro wa mapenzi na mwanamume aliyeoa pamoja na Mwende. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-29T10:00Z 241.3K followers, [--] engagements

"Ungependa kuona Jadon Sancho akijiunga na klabu gani Januari iwapo ataondoka Old Trafford [--]. Juventus [--]. Borussia Dortmund [--]. Tottenham Hotspur #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-29T12:00Z 241.3K followers, [---] engagements

"Tunatumai umeamka poa karibu kwenye kipindi mpaka saa nne. Timu Manchester United msijali siku itajipa au sio πŸ˜‚πŸ˜‚ @Ghost_Mulee @_naomnyaboke #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-30T04:01Z 241.4K followers, [---] engagements

"Mapenzi ya Marioo kwa mrembo Paula Kajala Masanja yanazidi kukwea kwenda viwango vingine. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-30T12:30Z 241.4K followers, [--] engagements

".@Starchebet atakuwa nasi saa sita. Juzi aliwakosoa vikali wanaomshambulia mitandaoni akisema watu hao hawajui kinachoendelea katika maisha ya mtu. Alimpoteza mamake mwaka uliopita na amekuwa akipambana na matatizo ya afya ya akili. @MassaweJapanni #ILIKUAJE #JamboMassawe"
X Link 2023-10-31T08:57Z 241.4K followers, [---] engagements

"Malengo yangu ya kununua ndege ya kibinafsi ni kuwapa motisha vijana kwamba yote yawezekana. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-31T09:00Z 241.4K followers, [--] engagements

".@RealBrianMwenda amekiri kuwa mshauri wa sheria na anafanya kazi na [--] law firms. Moja ipo Ulaya na nyingine Marekani. Ana viongozi [--] wa kisiasa ambao wanamshika mkono na mmoja wao ni Mike Sonko. Zaidi Radio Jambo Kenya YouTube @MassaweJapanni #ILIKUAJE @JamboMassawe"
X Link 2023-10-31T09:11Z 241.4K followers, [--] engagements

"Kombe la Dunia la [----] litafanyika Marekani Mexico na Canada. #OngeaUsikike"
X Link 2023-10-31T15:30Z 241.4K followers, [---] engagements

"Akitumia ukurasa wake ulioidhinishwa kwenye jukwaa la X lililokuwa likiitwa Twitter leo Davido anashiriki ishara ya njiwa kama njia ya kuomboleza kifo cha mwanawe Ifeanyi. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-01T06:30Z 241.4K followers, [--] engagements

"Maafisa wa polisi zaidi ya elfu [-----] walitumwa sehemu tofauti kuhakikisha ulinzi wa mitihani unaimarishwa. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-01T06:45Z 241.4K followers, [--] engagements

"Nilifanya harusi yangu siku moja na ile yangu ya kuzaliwa ili tu kwamba mambo yakienda mvange kama ambavyo yamekwenda basi nitakuwa kwamba nilijibamba. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-01T08:00Z 241.4K followers, [--] engagements

"Baadhi walihisi ni ushirikina lakini wengine wakikanusha dhana hiyo wakisema nyuki walikuwa tu katika harakati zao za kutafuta mzinga. b#OngeaUsikike"
X Link 2023-11-02T06:30Z 241.4K followers, [--] engagements

"MATOKEO YA KOMBE LA CARABAO: West Ham United 3-1 Arsenal. Chelsea 2-0 Blackburn Rovers. AFC Bournemouth 1-2 Liverpool. Everton 3-0 Burnley. Ipswich Town 1-3 Fulham. Je mshangao wa usiku ulikuwa gani na kutoka kwa timu gani #RadioJamboFootball #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-02T08:23Z 241.5K followers, [---] engagements

"Tetesi za uwezekano wa kuwa na chuki kati ya wawili hao zimeibua hisia tofauti miongoni mwa mashabiki wao. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-02T09:00Z 241.4K followers, [--] engagements

"Alidai kuwa dola milioni [--] hazikuwa muhimu kwake kwa sababu aliepuka hali ambazo hangeweza kumpa uhuru wa kuvuta "unyasi" wake. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-02T11:00Z 241.5K followers, [---] engagements

"Millioni mbili ndio zimebaki kukamilisha nyumba yangu asema Mulamwah. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-02T11:30Z 241.5K followers, [---] engagements

"Kampuni hiyo Afi Farma ilishutumiwa kwa kutengeneza dawa za kikohozi zenye viungo vya sumu"
X Link 2023-11-02T15:00Z 241.5K followers, [---] engagements

"Nitafutie apo Mkamba mmoja mrembo nitulie Mimi ni mkisii @GidiOgidi @Ghost_Mulee @MartinJnr13 #patanisho #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T07:09Z 241.5K followers, [---] engagements

"Natumai tunaweza kutembea pamoja na kwa pamoja tutafanikiwa. Tutashinda. Aluta continua alisema Odinga. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T07:28Z 241.5K followers, [--] engagements

"Ghafla densi ikiwa imeshika kasi makalio feki ya mrembo yule yaliporomoka na kutawanyika kwenye sakafu ya kucheza densi na kuwaacha wengi kwa vicheko. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T08:00Z 241.5K followers, [---] engagements

"Alipoulizwa kwa nini Edday alikataa kurudi nyumbani baada ya kuja Marekani kumtembelea alisema. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T08:30Z 241.5K followers, [---] engagements

"Ally B anafahamika sana kwa nyimbo zake maarufu kama vile Maria na Bembea. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T09:30Z 241.5K followers, [--] engagements

"Huwa hatupangwi na mnajua hivo. Mbona weather itupange #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T10:50Z 241.5K followers, [---] engagements

"Dk. Kayo alianzisha Kanisa la Deliverance Kenya na Uganda Juba Pentecostal Church na kusaidia kuanzisha Makanisa ya Familia ya Mungu ya Zimbabwe. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T11:00Z 241.5K followers, [--] engagements

"Bien alimwinua haraka na hafla ikaendelea vizuri huku mashabiki wakishangilia. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T12:45Z 241.5K followers, [--] engagements

"Meneja huyo wa zamani wa Celtic alikariri kwamba angependa kuona Pochettino akipata kutambuliwa anakostahili lakini akaongeza haraka hakutakuwa na ulinzi wa heshima. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T16:30Z 241.5K followers, [---] engagements

"Alihojiwa na baadaye kukabidhiwa kwa Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Ugaidi kwa maelezo zaidi. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-03T18:00Z 241.5K followers, [---] engagements

"Mila na Desturi. Kamuti hufanya kazi kwa mapenzi mambo mengine .ni kweli Mwanamke aambiwa na mganga kuwa kamuti si ya kupandisha cheo kazini. Mila na desturi yako inasemaje kuhusu hili [-----] πŸ“ž [----------] #MazungumzoWaziWazi #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-04T05:18Z 241.3K followers, [--] engagements

"Sasa atakuwa mwamuzi wa mechi ya Mashindano kati ya Preston na Coventry Jumamosi - mara yake ya kwanza kuchezesha katika daraja la pili tangu [----]. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-04T06:30Z 241.5K followers, [---] engagements

"Kando na marufuku ya kutojihusisha na muziki kwa miezi mitatu watatu hao pia kila mmoja alitakiwa kulipa fiani ya shilingi milioni [--] za kitanzania. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-05T10:30Z 241.5K followers, [--] engagements

"@priscillandanu Nilipata jina urembo creationsnikiwa shule ya upili. @val_ludiema #midundoyakikenya #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-05T12:51Z 241.5K followers, [--] engagements

"Tonto alionyesha kutoridhishwa kwake na kutokuwa na msaidizi wa kibinafsi na kusema kwamba hakuwa na mavazi ya kuvaa. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-05T13:30Z 241.5K followers, [--] engagements

"Msanii huyo aliwataka wanahabari na wanablogu wote kufanya mkutano ili kujadili bei maalum atakayowalipa ili wakome kabisa kumtaja popote katika habari zao mitandaoni na kwenye vyombo vya habari. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-05T15:30Z 241.5K followers, [--] engagements

"Gari lake jipya ni Range Rover Autobiography ambalo ni modeli ya juu zaidi ya safu ya Range Rover. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-05T15:45Z 241.5K followers, [---] engagements

"Amekuwa akitafutia nani huko Nairobi Saa hii maisha imemlea ndio anataka arudi nimlishe siwezi @GidiOgidi @Ghost_Mulee @MartinJnr13 #patanisho #GidiNaGhistAsubuhi #IngeaUsikike"
X Link 2023-11-06T07:01Z 241.5K followers, [---] engagements

"Kwa sasa Stevo anafanya kazi na meneja Chingiboy Msado na produsa chipukizi Freshi Kid Onthe Beat. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-06T07:30Z 241.5K followers, [--] engagements

"Katika kitengo hicho Diamond alikuwa anamenyana na wasanii kama vile Burna Boy Asake wote kutoka Nigeria na mrembo chipukizi kutoka Cameroon Libianca pamoja na Tyler ICU. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-06T09:00Z 241.5K followers, [---] engagements

"Konde Boy alisema kuwa sababu moja ya wasanii wengi kutapeliwa ni ukosefu wa elimu ya kutosha. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-06T10:30Z 241.5K followers, [---] engagements

"Romy Jones huwa kando na kuwa DJ rasmi wa Diamond pia anatumia kurasa zake mitandaoni kutangaza dawa za kiasili na huduma za waganga kwa wateja. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-06T11:00Z 241.5K followers, [--] engagements

"Juan Jumalon anayejulikana kama DJ Johnny Walker alipigwa risasi ndani ya studio yake ya nyumbani polisi walisema. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-06T15:00Z 241.6K followers, [---] engagements

"Nichinjie hii Ice cube kwa busaa jameni watu wa nairobi @GidiOgidi @Ghost_Mulee #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-07T06:20Z 241.5K followers, [---] engagements

"Unatarajia nini kutoka kwa hotuba ya rais William Ruto leo kuhusu mustakabali wa taifa @MassaweJapanni #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-09T08:45Z 241.6K followers, [---] engagements

"Tangu ujio wa ugatuzi mwaka [----] magavana kadhaa wamejipata katika hali ngumu ya kujitetea mbele ya seneti baada ya MCAs wa kaunti zao kupitisha hoja ya kuwabandua. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-09T11:00Z 241.6K followers, [---] engagements

"Karen alisema wakati alipokutana na mpenzi wake huyo alicheza naye mchezo wa kujificha na kutafuta kwa mara ya kwanza huku akimpuuza. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-10T04:30Z 241.6K followers, [--] engagements

"Mwanaharakati wa walemavu na mwanasiasa @mikemakarina yupo nasi studioni. Je Gavana Kawira Mwangaza alichaguliwa vipi iwapo MCAs wanampiga vita @MassaweJapanni #Ilikuaje #jambomassawe #ongeausikike"
X Link 2023-11-10T08:51Z 241.7K followers, [---] engagements

"Huu ni uteuzi wa kwanza wa Davido Olamide Asake na Ayra Starr katika kile kinachobainisha kutawala kwa muziki wa Nigeria katika bara la Afrika. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-11T17:00Z 241.7K followers, [---] engagements

"Je wadhani Tottenham watamaliza kwenye top [--] ya English premier league @michaelindeku @GregoryMulemi #Worldofsports #Spotinareggae #radiojambo #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-12T10:27Z 241.7K followers, [---] engagements

"Dadake Mary: "Mary hayuko ameshaoleka na alisema hataki mambo yako. Huyo Brian ana tabia mbaya. Amekaa na Mary kwa miaka mitano na hajawahi kuja nyumbani ni kumtesa tu. Amsahau dadangu." #OngeaUsikike #GidiNaGhostAsubuhi #Patanisho"
X Link 2023-11-13T06:22Z 241.7K followers, [---] engagements

"Katika video hiyo ambayo Nyamu aliipakia katika ukurasa wake wa Instragram alikuwa ameketi nyuma tu ya mwendesha boda huku Samidoh akiwa kama nguzo nyuma kabisa. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-18T11:00Z 241.9K followers, [--] engagements

"Uko na @michaelindeku na @gregmulemi kwa #SportsWrap. @Harambee__Stars wanafaa kufanya nini ili kufuzu kwa kombe la dunia mwaka [----] Stars walipoteza kwa 2-1 dhidi ya Gabon na watachuana na Ushelisheli waliopepetwa mabao 9-0 na Ivory Coast Jumatatu . #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-18T14:50Z 241.9K followers, [---] engagements

"Uko na @val_ludiema kwenye #midundoyakikenya mpaka saa kumi na mbili jioni. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-19T11:21Z 241.9K followers, [---] engagements

"Jopokazi lililobuniwa kuangazia mabadiliko katika idara ya polisi likiongozwa na aliyekuwa jaji mkuu David Maraga linapendekeza alama ya chini kabisa kuajiriwa kama polisi iwe C-. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-19T11:30Z 241.9K followers, [--] engagements

"Jinsi Cristiano anavyosonga na jinsi alivyoweza kuendeleza mchezo wake. Unakumbuka wakati akicheza Manchester United na miaka ya kwanza huko Real Madrid alisema. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-19T11:35Z 241.9K followers, [--] engagements

"Hata hivyo kiongozi wa taifa alikiri kwamba mambo ni magumu lakini akasema hakuna namna nyingine zaidi ya kuyashughulikia akisema Kenya itaanza kulipa madeni yake mwezi ujao wa Desemba. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-19T11:39Z 241.9K followers, [--] engagements

"Daktari wake alimwambia kwamba ana tatizo kidogo la emphysema na kwamba uvutaji sigara unapunguza mstari wake wa maisha yake kwa nusu. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-19T11:45Z 241.9K followers, [--] engagements

"Karibu kwenye shoo mpaka saa nne. Umeamkaje ☎ [----------] βœ‰ [-----] @GidiOgidi @Ghost_Mulee @_naomnyaboke @MartinJnr13 #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-20T03:35Z 241.9K followers, [---] engagements

"Mchungaji huyo alisimulia hayo huku akisema kuwa matukio hayo yalitokea kabla ya kuokoka na kuyaacha mambo ya dunia. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-20T05:30Z 241.9K followers, [---] engagements

"Rayvanny alisema kwamba hana uhakika ni wapi atamfuata Harmonize ili kuzichukua tuzo zake kati ya kumwahi katika uwanja wa ndege au kumfuata nyumbani kwake Konde Village. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-20T07:00Z 241.9K followers, [--] engagements

"Mama wa taifa Rachel Chebet Ruto aadhimisha miaka [--] ya kuzaliwa. #Happybirthday Rachel Ruto πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰ #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-20T08:33Z 241.9K followers, [---] engagements

"Salama sana. Vipi mambo #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-21T04:41Z 241.9K followers, [--] engagements

"Mimi sitaki mambo yake Jonathan #Patanisho #GidiNaGhostAsubuhi #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-21T07:18Z 241.9K followers, [---] engagements

"#ContentCreator @babushkakenya atakuwa nasi kwa #ILIKUAJE saa saba. Usikose mahojiano na @MassaweJapanni @_naomnyaboke @MartinJnr13 #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-21T08:30Z 241.9K followers, [---] engagements

"Mada ya sasa hivi: Je ni ujumbe gani ambao ukiupokea kutoka kwa mtu yeyote utakukwaza ☎ [----------] βœ‰ [-----] #JamboMassawe #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-21T08:38Z 241.9K followers, [---] engagements

"Awali vijana hao wa Kocha Engin Firat walikuwa wamepoteza mechi yao ya ufunguzi kwa mabao 2-1 dhidi ya Gabon. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-21T09:04Z 242K followers, [---] engagements

"Hii ni baada ya mchezaji huyo kukosa kufunga mkwaju wa penalty dhidi ya North Macedonia usiku wa Ijumaa wiki iliyopita. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-21T10:00Z 241.9K followers, [--] engagements

"Alisema kwamba skendo za kutoka kimapenzi za Rayvanny ndizo huonesha kwamba kweli ni mwanamume kamili. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-21T11:00Z 241.9K followers, [--] engagements

"Ipo siku moja tu ndio maana nasema tunakua kila siku unajua kila siku unakuwa na mawazo mapya. Ipo siku huwezi jua nitafika niseme unajua lazima nimtafute kwa simu. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-22T10:00Z 242K followers, [---] engagements

"Katibu Susan hata hivyo alimtaka Gavana Sakaja kuweka mazingira bora ya biashara ndogo ndogo jijini ili kuepuka visa kama hivi. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-22T11:21Z 242K followers, [--] engagements

"Mashabiki wa Manchester United wamekuwa wakizozana mara kadhaa wakipinga familia ya Glazers ambayo wanaituhumu kwa kupuuza mahitaji ya klabu hiyo. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-22T16:30Z 242K followers, [--] engagements

"Machogu alisema mwaka huu mwanafunzi aliyeongoza amepata alama [---]. Aidha alisema ni watahiniwa wawili tu waliohusika katika wizi wa mitihani. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-23T09:24Z 242K followers, [--] engagements

"Mfumo wa SMS unapatikana kwa huduma zote za simu na itatozwa Sh25 kila moja. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-23T09:25Z 242.1K followers, [--] engagements

"Machogu hata hivyo alisema Wizara ya Elimu itatoa nafasi kwa watahiniwa wote waliofanya mitihani yao kujiunga na shule za upili. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-23T09:27Z 242K followers, [--] engagements

"Kutokana na ugumu wa maisha Wakenya wengi wamepoteza matumaini katika harakati zao za kujitafutia riziki Pasta Nganga amechukua fursa hii kuwaahidi Baraka za kimiujiza ambazo hazina mashiko" walisema. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-23T09:30Z 242K followers, [--] engagements

"Unafiki miongoni mwa Wasomali wasomi uko katika ngazi nyingine watafanya Sala [--] na wasiwe na tatizo la kuwaibia maskini.Ukora mwingi huku wakinukuu Quran TukufuMwangi alisema. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-24T10:30Z 242K followers, [---] engagements

"Itakumbukwa ni hivi majuzi tu ilibainika kwamba Zuchu amesitiza urafiki na Diamond katika mtandao wa Instagram jambo ambalo liliwafanya wengi kuhisi huenda kuna tatizo katika mapenzi yao. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-24T14:00Z 242K followers, [---] engagements

"Wanafamilia hao walitokea katika mtindo huo kuadhimisha siku kuu ya Thanksgiving ambayo hufanyika nchini Marekani kila Alhamisi ya nne ya mwezi Novemba. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-24T14:30Z 242K followers, [--] engagements

"Jumuiya ya Afrika Mashariki imekubali ombi la Somalia kujiunga nao. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-25T07:30Z 242.1K followers, [---] engagements

"Alifichua kuwa ana familia ambayo angependa kuiona wikendi hata anapoendelea na masomo yake ya shule ya upili. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-25T11:30Z 242.1K followers, [---] engagements

"Edday alidai kwamba ikiwa Bernice hangemsaidia labda kufikia sasa angekuwa amekufa na binti yake angekuwa katika hali mbaya. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-25T12:00Z 242.1K followers, [---] engagements

"Wakati akijibu madai hayo Edday Nderitu alidai kuwa seneta huyo wa kuteuliwa wa UDA ni mwongo sana. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-26T09:00Z 242.1K followers, [---] engagements

"Wafungwa wametoroshwa kutoka gereza moja nchini Sierra Leone kufuatia milio ya risasi katika mji mkuu Freetown. #OngeaUsikike"
X Link 2023-11-26T11:00Z 242.1K followers, [---] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@RadioJamboKenya
/creator/twitter::RadioJamboKenya