#  @Kilwafinest Kilwafinest π¦ Kilwafinest π¦ posts on X about tanzania, kwa, ethiopia, uganda the most. They currently have [-----] followers and [---] posts still getting attention that total [-----] engagements in the last [--] hours. ### Engagements: [-----] [#](/creator/twitter::1628280394889015298/interactions)  ### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::1628280394889015298/posts_active)  ### Followers: [-----] [#](/creator/twitter::1628280394889015298/followers)  ### CreatorRank: [---------] [#](/creator/twitter::1628280394889015298/influencer_rank)  ### Social Influence **Social category influence** [countries](/list/countries) 30.77% [travel destinations](/list/travel-destinations) 3.85% [currencies](/list/currencies) 1.92% [finance](/list/finance) 1.92% [celebrities](/list/celebrities) 0.96% **Social topic influence** [tanzania](/topic/tanzania) #1103, [kwa](/topic/kwa) #129, [ethiopia](/topic/ethiopia) 4.81%, [uganda](/topic/uganda) 2.88%, [bali](/topic/bali) 2.88%, [bora](/topic/bora) #1188, [$88m](/topic/$88m) 1.92%, [kwanza](/topic/kwanza) 1.92%, [serengeti](/topic/serengeti) 0.96%, [the end](/topic/the-end) 0.96% **Top accounts mentioned or mentioned by** [@donminja47](/creator/undefined) [@nguchiro47](/creator/undefined) [@mankinduwezo](/creator/undefined) [@daktariwasiasa](/creator/undefined) [@alfuratyalatiqe](/creator/undefined) [@salimoanne](/creator/undefined) [@dunguboy1](/creator/undefined) [@soughtoutiam](/creator/undefined) [@odoyo06849275](/creator/undefined) [@simkokotho36079](/creator/undefined) [@uzorsamuel96668](/creator/undefined) [@lagattke](/creator/undefined) [@lekoshoba](/creator/undefined) [@brianssaga](/creator/undefined) [@mizjim123](/creator/undefined) [@tweetbymusa](/creator/undefined) [@jaguar_455](/creator/undefined) [@zephania_ndaki](/creator/undefined) [@saidmushitz](/creator/undefined) [@grok](/creator/undefined) ### Top Social Posts Top posts by engagements in the last [--] hours "Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) *Aman Golugwa* na Katibu Mkuu wa BAWACHA Taifa *Pamela Maasay* wameandaa mpango wa siri wa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kupitia msaada wa ufadhili wa fedha kutoka Ubalozi wa Ulaya (EU). Awali wawili hao pasipo kuvishirikisha Vikao halali vya Chama walipeleka andiko katika Ubalozi huo wakiomba Ufadhili wa fedha kwa ajili ya kugharamia Sikukuu ya Wanawake inayofanyika kote duniani Machi [--]. Baada ya kukataliwa wamemshirikisha Mkurugenzi wa Digitali na Ubunifu wa Chama *Rems Kasanda* ili aandae andiko la Siri kuhusu" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2024101012747776512) 2026-02-18T12:37Z [----] followers, [---] engagements "Chadema kila mtu ni tapeli asee mpango wa katibu na naibu wake wastukiwa π" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2024108007794032641) 2026-02-18T13:05Z [----] followers, [---] engagements "Maandalizi ya Serengeti Award sio ya kitoto haya Taifa kubwa mambo makubwaKazi Na Utu Tunasongambele" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2017627586591883767) 2026-01-31T15:54Z [----] followers, [---] engagements "The End Of Ufipa ( CHADEMA) β°β°" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021227815882908035) 2026-02-10T14:20Z [----] followers, [---] engagements "Mama Is The Best One Tupo Nae Hadi [----] Hatutaki Ushauri wa Mtu" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021442529661682121) 2026-02-11T04:33Z [----] followers, [---] engagements "Dkt Samia Na Dkt Nchimbi = Perfect Combo inaifanya Tanzania iendeleeee Kung'ara Kimataifa "Kazi Na Utu Tunasongambele "" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021442831748038798) 2026-02-11T04:35Z [----] followers, [---] engagements "#TaifaKwanza #KataaVurugu Mheshimiwa Rais ndani ya siku [---] amezindua soko jipya la Kimataifa la Kariakoo ameshiriki kwenye Mkutano wa kilele wa Serikali za Dunia huko Falme za kiarabu na ameratibu na kushiriki ziara ya kimkakati ya kibiashara ya Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni. Rais wetu Anaweza na Anasonga mbele. Tuwakatae Wanaharakati Uchwara. #HakiNaWajibu https://twitter.com/i/web/status/2021463118417707490 https://twitter.com/i/web/status/2021463118417707490" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021463118417707490) 2026-02-11T05:55Z [----] followers, [---] engagements "ASANTE SANA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUREJESHA FURAHA KWA WANA KARIAKOO NA TANZANIA KWA UJUMLA π Uzinduzi wa soko la kimataifa la kariakoo likiwa wazi linatoa ajira za moja kwa moja (wauzaji wasafirishaji walinzi) na zisizo za moja kwa moja (wakulima wazalishaji wasambazaji) Ambapo Hatua Hii Itakuza Uchumi Wa Mtu Mmoja Mmoja Na Taifa Kwa Ujumla . https://twitter.com/i/web/status/2021469411069112405 https://twitter.com/i/web/status/2021469411069112405" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021469411069112405) 2026-02-11T06:20Z [----] followers, [---] engagements "Haijalishi zimekaa mtaani muda gani napenda kuwashukuru TAMISEMI kwa kutuletea hizi mali huku kilwa pande ndani ndani ππππ" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021480217366364642) 2026-02-11T07:03Z [----] followers, [---] engagements "TUNDU LISSU ANAPOJIKITA KWENYE TECHNICALITY NYEPESI NA KUSAHAU KESI YA MSINGI NI UHAINI. Mojawapo ya mambo yaliyojitokeza leo mahakamani ni kusikilizwa kwa Ushahidi wa shahidi P5 ambapo Tundu Lissu alipata nafasi ya kumuhoji shahidi huyu. Maswali yake mengi yaliegemea kutaka kuonyesha kuwa maelezo aliyoyaandika kituoni yako tofauti na maelezo aliyoyaeleza shahidi leo mahakamani. Baadhi ya mambo aliyokua akiyasema ni kuwa kwenye maelezo shahidi hakusema alikua na sony Xperia ila leo mahakamani amesema na kwenye maelezo hakusema kuwa Lissu alivaa nguo ya kaki ila leo amesema. Ukisikiliza hoja" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021919005846454645) 2026-02-12T12:07Z [----] followers, [----] engagements "Utalii: Siku [---] za Samia Utekelezaji Mia Fil Mia Anaandika βπ½βπ½Dkt. Hassan Abbasi Katibu Mkuu Maliasili na Utalii Februari [--] [----] Hifadhi ya Nyerere Mloka Rufiji Ni siku na jioni iliyokuwa na kijoto kikali pembeni ya Mto mkubwa Mto Rufiji napata mda wa kuvinjari maeneo ya kijiji cha Mloka Rufiji hatua chache tu kutoka lango muhimu la Mtemere kuingia Hifadhi kubwa kuliko zote nchini yaani Hifadhi ya Taifa ya Nyerere Mamabo kadhaa yanatokea lakini ghafla wakati nikiangalia jengo moja pale la kisasa la kulaza wageni linanikumbusha ile Diwani maarufu ya galacha wa Kiswahili Charles Mloka" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021925741147943067) 2026-02-12T12:33Z [----] followers, [---] engagements "na mitambo yenye picha nzuri bali nikirejea kwenye diwani ya Mloka napata jibu kuwa haya yote maana yake pana ni utu Mabilioni haya yangeweza kwenda kwingine kokote Yamekuja huku kwa nini lakini Napata jibu. Kama ambavyo Mloka amesema: Utu wowote wa Mtu Ni Kuwajali Wenzake. basi uamuzi kuhusu uwekezaji wote huu katika utalii ni kuwajali watanzania watakaoona pato la taifa na la mtu mmoja mmoja likikua; ni kwa ajili ya vijana waongoza watalii watakaopata ajira na ni kwa ajili ya kina Mama wa Mloka Msolwa Likuyu Sekamaganga na Liwale watakaonufaika na mnyororo wa thamani katika ukuaji huu wa" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021925784479281650) 2026-02-12T12:34Z [----] followers, [--] engagements "RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI ADDIS ABABA ETHIOPIA SALAMA Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili salama jijini Addis Ababa Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa [--] wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021942769275830585) 2026-02-12T13:41Z [----] followers, [---] engagements "New $8.8m PPE manufacturing plant launched in Tanzania. https://www.healthandsafetyinternational.com/article/1948209 https://www.healthandsafetyinternational.com/article/1948209" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021997738783859100) 2026-02-12T17:20Z [----] followers, [---] engagements "Tanzania coffee tops Africa ranks fourth globally by The intercontinental Coffee Exchange (ICE) report. https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-coffee-tops-africa-ranks-fourth-globally-5356902 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-coffee-tops-africa-ranks-fourth-globally-5356902" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021998297138049256) 2026-02-12T17:22Z [----] followers, [---] engagements "@BONGINKOSI14465 @UzorSamuel96668 Ffb asap asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022013999106433391) 2026-02-12T18:24Z [----] followers, [--] engagements "@tweetbyBeast Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022031949217317191) 2026-02-12T19:35Z [----] followers, [--] engagements "@TheEconomist Hakuna kitu mtasema mkaeleweka tunachojua ni kwamba Tanzania iko mikono salama chini ya Rais Samia Suluhu Hassan hao mabwana zenu wanaowatuma pesa zao mtazitapika" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022175885793841330) 2026-02-13T05:07Z [----] followers, [---] engagements "Maono Ya Dkt Samia Suluhu Hassan Yawakosha AU Apendekezwa Kinara Afya Ya Mama Na Mtoto . Ashiriki Mkutano Wa [--] Nchini Ethiopia. Kazi Na Utu Tunasongambele β" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022177462218895374) 2026-02-13T05:14Z [----] followers, [---] engagements "Tanzania coffee tops Africa ranks fourth globally by The intercontinental Coffee Exchange (ICE) report. https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-coffee-tops-africa-ranks-fourth-globally-5356902 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-coffee-tops-africa-ranks-fourth-globally-5356902" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022188090757185716) 2026-02-13T05:56Z [----] followers, [---] engagements "New $8.8m PPE manufacturing plant launched in Tanzania. https://www.healthandsafetyinternational.com/article/1948209/new-88m-ppe-manufacturing-plant-launched-tanzania https://www.healthandsafetyinternational.com/article/1948209/new-88m-ppe-manufacturing-plant-launched-tanzania" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022188427698221504) 2026-02-13T05:57Z [----] followers, [---] engagements "SIKU [---] ZA KWANZA ZA RAIS SAMIA Sekta Ya Elimu Neema Tupu 1.Mkakati wa Darasa LA Tatu (KKK) 2.Ajira walimu [----] 3.Ushirikiano wa TVETs na sekta binafsi . "Kazi Na Utu Tunasongambele "" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022231664915828792) 2026-02-13T08:49Z [----] followers, [---] engagements "LEO LEO KAZI IPO MUHAINI ATAOMBA MAJI YA KUNYWA. Shahidi wa leo P6 anaonekana kucheza mechi kwa kujiamini kama kiungo fundi anayejua kuupiga mpira kabla ya kutoa pasi ya mwisho. Amejiandaa vya kutosha. Katika hatua ya maswali ya utetezi Lissu alimuuliza shahidi kuhusu tofauti ya umri wake. Alisema kuwa kwenye maelezo ya polisi aliandika ana miaka [--] lakini leo mahakamani amesema ana miaka [--] hivyo aeleze tofauti hiyo. Shahidi akajibu kwa utulivu βΊβΊ Ni kweli niliandika miaka [--] mwaka jana. Sasa tupo [----] nina miaka [--]. Mhaini amebaki na mshangao kidogo kana kwamba kalenda imefanya kazi yake" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022249984247152798) 2026-02-13T10:02Z [----] followers, [---] engagements "Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mheshimiwa Abiy Ahmed pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika tarehe [--] Februari [----] jijini Addis Ababa Ethiopia" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022625228229124378) 2026-02-14T10:53Z [----] followers, [---] engagements "Bold and Visionary. Her Excellency President @SuluhuSamia πͺπΎπ" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022625530533601554) 2026-02-14T10:54Z [----] followers, [---] engagements "Ushiriki wa Rais Samia kwenye Mkutano wa [--] wa AU unakuza diplomasia ya Tanzania kuonyesha uongozi wa nchi na kuiweka Tanzania kama msemaji wa masuala ya maendeleo amani na ushirikiano barani Afrika. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mheshimiwa Abiy Ahmed pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa Ethiopia. https://t.co/WfTV31LP0Q Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mheshimiwa Abiy Ahmed pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika unaofanyika" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022628944436940973) 2026-02-14T11:08Z [----] followers, [--] engagements "@1ngadu1 Ushiriki wa Rais Samia kwenye Mkutano wa [--] wa AU unakuza diplomasia ya Tanzania kuonyesha uongozi wa nchi na kuiweka Tanzania kama msemaji wa masuala ya maendeleo amani na ushirikiano barani Afrika" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022628995549016278) 2026-02-14T11:08Z [----] followers, [--] engagements "@Bizydan Ushiriki wa Rais Samia una akisi Kutetea maslahi ya Tanzania katika masuala ya kimataifa na Kuongeza ushawishi wa nchi kwenye agenda zinazohusu maendeleo endelevu afya na mazingira" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022630842573689253) 2026-02-14T11:15Z [----] followers, [--] engagements "Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki picha ya pamoja na wakuu wa nchi kwenye mkutano wa [--] wa African Union unaoendelea huko Addis Ababa Ethiopia. "Kazi Na Utu Tunasongambele "" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022652235461882105) 2026-02-14T12:40Z [----] followers, [---] engagements "Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Angola Joo Loureno pembezoni mwa Mkutano wa African Union (AU)" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022677654751842347) 2026-02-14T14:21Z [----] followers, [---] engagements "MAMA YUKO KAZINI β Ushiriki wa Rais Samia kwenye mkutano wa [--] wa AU unakuza diplomasia ya Tanzania kuonyesha uongozi wa nchi na kuiweka Tanzania kama msemaji wa masuala ya maendeleo amani na ushirikiano barani Afrika" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022684815561314515) 2026-02-14T14:50Z [----] followers, [---] engagements "@ChefChelz Ifb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022689284076261486) 2026-02-14T15:07Z [----] followers, [--] engagements "Meeting with the International Criminal Court (ICC) is not evidence that there is any case or allegation against Tanzania. Such engagements are often routine and diplomatic in nature aimed at strengthening professional working relationships promoting dialogue and enhancing cooperation on matters of international law and justice. https://twitter.com/i/web/status/2022896314556514479 https://twitter.com/i/web/status/2022896314556514479" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022896314556514479) 2026-02-15T04:50Z [----] followers, [---] engagements "Good Morning Tanzania Good Morning Afrika Kwa Niaba Ya Professor Wa Siasa Dkt Samia Suluhu Hassan" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022897315137151172) 2026-02-15T04:54Z [----] followers, [---] engagements "SAMIA WETU SHUJAA WETU Hongera sana Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa rasmi kuwa Bingwa wa Umoja wa Afrika (AU Champion) kwa Afya ya Mama na Mtoto pamoja na Haki za Uzazi na Jinsia (SRHR). Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania na Afrika yote" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022898126596829274) 2026-02-15T04:57Z [----] followers, [---] engagements "Tanzania Mstari Wa Mbele Kutokomeza Malaria Afrika" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022920295510941888) 2026-02-15T06:25Z [----] followers, [---] engagements "Wapumbavu wakipata ajenda ya kupush ili wavute pesa kwa mabwana zao basi kwao kila kitu ni agenda Na bado mtaendelea kupata mhaho hivyo hivyo na Tanzania mtaendelea kuiona inasonga mbele" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022935306790633841) 2026-02-15T07:25Z [----] followers, [---] engagements "Mhaini Mandela Pori Aachiwi Na nyie @ChademaTZ2 mtaamua kushiriki au kutoshiriki maridhiano mnajifanya ma lastborn wa taifa wahuni Nyie" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022979274743980511) 2026-02-15T10:20Z [----] followers, [---] engagements "@babytinah12 Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2022984453161906633) 2026-02-15T10:40Z [----] followers, [--] engagements "Tunawaona CHADEMA wakihaha kutafuta huruma ya kimataifa. Wanachafua taswira ya nchi kwa kudai serikali si halali. Huku nyuma wanataka maridhiano ili wapate ruzuku na nafasi. Huu ni ubinafsi uliokithiri unaoumiza maslahi ya taifa letu. Tanzania ni kubwa kuliko chama chochote kile cha siasa. #UzalendoKwanza #SiasaChafu https://twitter.com/i/web/status/2023362251286052908 https://twitter.com/i/web/status/2023362251286052908" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023362251286052908) 2026-02-16T11:42Z [----] followers, [---] engagements "Tuhuma kuwa Kesi wanazokabikiwa nazo CHADEMA ni mbinu ya kupoteza muda wa umma. Wanajua fika kuwa madai yao hayana msingi wa kisheria. Ni mkakati wa kutaka kuonekana bado wapo hai kisiasa. Maridhiano yanahitaji moyo wa unyenyekevu na siyo kiburi. Kama mnakataa serikali kaeni pembeni na acheni nchi ijengeke. #MbinuZaGiza #KesiZaCHADEMA https://twitter.com/i/web/status/2023362400041185572 https://twitter.com/i/web/status/2023362400041185572" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023362400041185572) 2026-02-16T11:42Z [----] followers, [---] engagements "RT @daktariwasiasa: CHADEMA wanacheza mchezo wa kuigiza usio na mwisho. Wanadai serikali ya CCM haiko madarakani kihalali lakini kil" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023366064004829644) 2026-02-16T11:57Z [----] followers, [--] engagements "RT @daktariwasiasa: Maridhiano gani unayoyatafuta kwa mtu usiyemtambua CHADEMA wanajichanganya wenyewe mbele ya wafuasi wao. Kama CC" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023366076755849282) 2026-02-16T11:57Z [----] followers, [--] engagements "RT @daktariwasiasa: Huwezi kula keki ya serikali huku ukiitukana kuwa ni haramu. CHADEMA wanadai hawaitambui serikali lakini wanataka ma" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023366088965357896) 2026-02-16T11:57Z [----] followers, [--] engagements "Teknolojia imebadilisha soko kwa kasi kubwa kuliko kanuni zinavyoweza kulidhibiti soko lenyeweTuishi kufuatana na wakati Leo ukitembea katika mitaa ya Las Vegas utakuta majumba ya starehe na makazi ya kifahari yakiwa kimya kuliko ilivyokuwa zamani. Si kwamba hakuna mtaji au wateja la hasha bali zama zimebadilika. Anasa na kelele na kuparty kupindukia na ile hamu ya kuonekana hadharani Leo ukitembea katika mitaa ya Las Vegas utakuta majumba ya starehe na makazi ya kifahari yakiwa kimya kuliko ilivyokuwa zamani. Si kwamba hakuna mtaji au wateja la hasha bali zama zimebadilika. Anasa na kelele" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023366677581480217) 2026-02-16T11:59Z [----] followers, [--] engagements "RT @daktariwasiasa: Maridhiano gani unayoyatafuta kwa mtu usiyemtambua CHADEMA wanajichanganya wenyewe mbele ya wafuasi wao. Kama CC" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023367738107076777) 2026-02-16T12:03Z [----] followers, [--] engagements "TANZANIA LEO LAANDIKA Nia Njema Ya Samia Yageuka Kaa La Moto" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023619438008824227) 2026-02-17T04:44Z [----] followers, [---] engagements "Tanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika na ya nne duniani kwa uzalishaji wa kahawa Mafanikio hayo yametokana na jitihada za Serikali na wadau wa sekta ya kahawa katika kuboresha uzalishaji na ubora wa zao hilo. Kahawa ya Tanzania imetambulika" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023656279802020196) 2026-02-17T07:10Z [----] followers, [---] engagements "kimataifa kutokana na viwango vyake bora jambo linaloimarisha soko na kuongeza mapato kwa wakulima na Taifa kwa ujumla" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023656283425894611) 2026-02-17T07:10Z [----] followers, [--] engagements "Kampuni [---] za Tanzania zimepata usajili wa Mamlaka Kuu ya Forodha ya China (GACC) na kuruhusiwa kusafirisha mazao ya kilimo kwenda soko la China hatua itakayonufaisha maelfu ya wakulima na kuzalisha ajira nchini. Mafanikio haya yametokana na juhudi za Rais Dkt Samia kuimarisha diplomasia ya uchumi na kufungua masoko mapya ya kimataifa. Kupitia uongozi wake Tanzania imezidi kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na China na kuwapa wakulima wetu fursa ya kuuza mazao yao katika soko kubwa duniani. Mazao kama soya korosho ufuta pilipili mihogo mashudu ya pamba na alizeti parachichi kahawa karafuu" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023678548418961777) 2026-02-17T08:38Z [----] followers, [---] engagements "#TaifaKwanza #KataaVurugu Wanaharakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi wanakerwa na utulivu uliopo nchini na wameanza kutoa kauli chafu dhidi ya Wananchi kwa kuwaita Wananchi ni Waoga. Watanzania sio Waoga Watanzania wamekataa kutumika na Wanaharakati hao kwa kuwa hawana maslahi mapana na nchi yetu. Wao wapo nje ya nchi alafu wanachochea vurugu ndani ya nchi yetu. Wananchi Tumewakataa. #HakiNaWajibu" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023679831766954190) 2026-02-17T08:44Z [----] followers, [---] engagements "#TaifaKwanza #KataaVurugu Tunasisitiza kwamba Wanaharakati Uchwara wanaioshi nje ya nchi wanafanya makosa na upotoshaji kwa kulinganisha nchi yetu na nchi nyingine za Afrika kwa kurejea vurugu za Oktoba [--] mwaka [----]. Hii ni kwa sababu vurugu hizo zilikuwa na njama za kupindua Serikali na sio wanaochokiita wao kwamba yalikuwa ni Maandamano. Tumewakataa Wanaharakati Uchawara kwa kuwa lengo lao ni kuchoma nchi yetu. #HakiNaWajibu" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023679986045981142) 2026-02-17T08:44Z [----] followers, [---] engagements "Ifike wakati @MariaSTsehai na Wanaharakati wenzio muache uongo uongo maana kila mkitaka kusukuma agenda zenu zisizo na msingi huwa mnakurupuka tu kama Kuhusu fireside chat ya african female presidents Rais Samia alialikwa lakini bahati mbaya muda huo ulikuwa unaingiliana na kikao muhimu cha CAHOSCC (Committee of African Heads of State and Government on Climate Change) ambacho ni jukwaa la juu la viongozi wa nchi za Afrika linaloratibu msimamo wa pamoja wa bara kuhusu masuala ya mabadiliko ya tabianchi. Katika kikao hicho Rais Samia alikuwa na nafasi rasmi ya kuzungumza (speaking role) hivyo" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023686230064472181) 2026-02-17T09:09Z [----] followers, [---] engagements "URAMBO NA KALIUA ZIPO TAYARI KWA UWEKEZAJI Kukamilika kwa mradi wa njia ya kusafirisha umeme msongo wa Kilovoti [---] kutoka Tabora hadi Urambo na Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Uhuru - Urambo cha Megawati [--] kunazifungua wilaya hizo kwa uwekezaji hususani wa viwanda. #MguukwaMguu" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023687815138103434) 2026-02-17T09:15Z [----] followers, [---] engagements "Elimu bila ada imesaidia watoto wengi sana kutoka familia duni kupata fursa ya elimu Serikali kutumia trilioni [---] kwenye elimu bure ni uwekezaji bora zaidi kwa vizazi vijavyo. Zaidi ya hayo uwekezaji huu unaimarisha usawa wa kijamii kwa kuhakikisha kuwa kila mtoto bila kujali hali ya kipato cha familia yake anapata haki ya msingi ya elimu. Kupitia elimu bure vipaji vinaibuliwa na kuendelezwa ajira zinapatikana kwa urahisi zaidi na uchumi wa taifa unakua kwa kasi kutokana na rasilimali watu yenye ujuzi. Hivyo basi elimu si gharama bali ni mtaji muhimu unaojenga msingi imara wa maendeleo ya" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023688028665917490) 2026-02-17T09:16Z [----] followers, [---] engagements "Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) Wafikia Asilimia [--] Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ni bomba la urefu wa takribani km [----] kutoka Hoima (Uganda) hadi Bandari ya Tanga (Tanzania). Litasafirisha hadi mapipa [------] ya mafuta ghafi kwa siku na ni bomba la heated kusaidia mafuta kutiririka. Mradi unasimamiwa na EACOP Ltd kwa ubia wa TotalEnergies China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) Uganda National Oil Company na Tanzania Petroleum Development Corporation. Ujenzi umefikia takribani asilimia [--]. Mradi unatarajiwa kuongeza mapato na ajira" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023688166566203576) 2026-02-17T09:17Z [----] followers, [---] engagements "NJAMA ZA LISSU KUVURUGA UCHAGUZI ZAFICHUKA Katika kesi ya uhaini dhidi ya mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu inayoendelea leo tarehe 17/2/2026 Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam wakati wa kutoa ushahidi ACP Mtufye aliieleza mahakama kuwa tarehe 03/03/2025 akiwa kwenye doria pamoja na Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha ASP Bony Mgogo walipokea taarifa kupitia redio call kuhusu kundi la vijana waliokuwa Mromboo (kijiwe cha bajaji) wakijadili mpango wa kuzuia uchaguzi. Kwa mujibu wa shahidi huyo polisi walifika eneo hilo haraka kutoka Mbauda hadi Mromboo na kuwakuta vijana wakijadili wazi" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023709187730002035) 2026-02-17T10:40Z [----] followers, [---] engagements "@lagattke Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023761151050608674) 2026-02-17T14:07Z [----] followers, [--] engagements "Hatimaye Leo Vijana Tutakuwepo Space Muda ni ule ule saa 02:00 Wote Mnakaribishwa jahazi kama kawaida litaongozwa na Host @amina_hafidh na Co Host @IdrisaIddyTz KARIBUNI SANA" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023787263176712396) 2026-02-17T15:50Z [----] followers, [---] engagements "@Faelynnom Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023800710140236137) 2026-02-17T16:44Z [----] followers, [--] engagements "Kazi na utu tunasongambele mama anapambana kuitangaza Tanzania Nafasi ya Samia Suluhu Hassan ndani ya African Union ni heshima kubwa kwa Tanzania na ishara ya uongozi thabiti wa wanawake barani Africa. Ni sauti ya busara diplomasia na mshikamano wa Kiafrika akifungua milango ya ushirikiano wa kiuchumi uwekezaji biashara huria na . https://t.co/XM2EDDNM3C Nafasi ya Samia Suluhu Hassan ndani ya African Union ni heshima kubwa kwa Tanzania na ishara ya uongozi thabiti wa wanawake barani Africa. Ni sauti ya busara diplomasia na mshikamano wa Kiafrika akifungua milango ya ushirikiano wa kiuchumi" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023986057046360172) 2026-02-18T05:00Z [----] followers, [--] engagements "@leko__shoba Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2023999744230486156) 2026-02-18T05:55Z [----] followers, [--] engagements "@alfuratyalatiqe Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2024006306604917201) 2026-02-18T06:21Z [----] followers, [--] engagements "@Crypto_nest4U Ifb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2024013284781764807) 2026-02-18T06:49Z [----] followers, [--] engagements "@leko__shoba Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2024013325969822165) 2026-02-18T06:49Z [----] followers, [--] engagements "#TaifaKwanza #KataaVurugu Utawala wa Sheria na uwepo wa uhuru wa Mahakama nchini ni msingi mkuu wa utawala bora na kichocheo cha uwepo wa amani na utulivu katika Taifa letu. Pamoja na propaganda chafu zinazoenezwa na Wanaharakati Uchwara wanaioshi nje ya nchi dhidi ya Taifa letu Wanaharakati hao wanashangilia hukumu kadhaa zinazotolewa na Mahakama Kuu kuhusu mashauri ya kikatiba yanayoendelea. Uimarishaji wa mifumo ya utoaji haki nchini ni ahadi ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Tuwakatae Wanaharakati Uchwara. #HakiNaWajibu https://twitter.com/i/web/status/2024039570258464857" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2024039570258464857) 2026-02-18T08:33Z [----] followers, [--] engagements "Lissu ameibua malalamiko akieleza kuwa Makamu Mwenyekiti John Heche hajamtembelea gerezani tangu alipowekwa mahabusu. Kwa mujibu wa taarifa Lissu alitegemea kuona viongozi wenzake wakimtembelea Gerezani kama ishara ya mshikamano si tu wa kisiasa bali pia kumtia moyo katika kipindi hiki kigumu anachopitia" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2024099116242944330) 2026-02-18T12:30Z [----] followers, [---] engagements "Ujenzi wa Daraja la Jangwani unaendelea vizuri katika Jiji la Dar es Salaam ukiwa ni mradi muhimu wa kuimarisha miundombinu ya usafiri na kupunguza changamoto za msongamano pamoja na athari za mafuriko katika eneo hilo. Daraja hilo lina urefu wa mita [---] na upana wa mita [--] na kazi zinazoendelea sasa zinahusisha ujenzi wa misingi imara ya daraja (piles na pile caps) ujenzi wa nguzo kuu (piers) pamoja na maandalizi ya sehemu ya juu ya daraja (deck) itakayopitisha watumiaji. Kwa mujibu wa utekelezaji wa mradi daraja hilo litakuwa na jumla ya nguzo za msingi takribani [---] zenye kina cha mita 35" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2024121164021256545) 2026-02-18T13:57Z [----] followers, [---] engagements "TAARIFA KWA UMMA ππ" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2024148559298265146) 2026-02-18T15:46Z [----] followers, [---] engagements "Jamani mafipa yafwaaaaaaaaqa π π https://t.co/o2wDAEOtR0 π https://t.co/o2wDAEOtR0" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2024153997607854216) 2026-02-18T16:08Z [----] followers, [--] engagements "Jahazi la wafipa linazama taratibu kwa kifupi twaweza Sema bwana ametoa na bwana ametwaaa Chama cha wapiga deals kinazama na kwenda kupotea kabisa kwenye ramani ya siasa za nchi yetu. https://t.co/FwUzQuQ1kT Chama cha wapiga deals kinazama na kwenda kupotea kabisa kwenye ramani ya siasa za nchi yetu. https://t.co/FwUzQuQ1kT" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2024157990140490218) 2026-02-18T16:24Z [----] followers, [--] engagements "Rasmi Chadema Wamejifia Chama Kimepoteza Muelekeo" [X Link](https://x.com/anyuser/status/2024162852584497212) 2026-02-18T16:43Z [----] followers, [---] engagements "@AshaAmbedkar Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019479767423000956) 2026-02-05T18:34Z [----] followers, [--] engagements "@Image861 Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019482530391511341) 2026-02-05T18:45Z [----] followers, [--] engagements "@BrianSsaga Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019482604009853093) 2026-02-05T18:45Z [----] followers, [--] engagements "@xtakip44 Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019484169785508088) 2026-02-05T18:52Z [----] followers, [--] engagements "@miz_jim123 Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019484633704837488) 2026-02-05T18:53Z [----] followers, [--] engagements "@aweroshehu Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019485721124291014) 2026-02-05T18:58Z [----] followers, [--] engagements "@ElevenosixGH @Mwakina_ Let's connect asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019496685580234767) 2026-02-05T19:41Z [----] followers, [--] engagements "@BrianSsaga Let's connect asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019496766790361145) 2026-02-05T19:42Z [----] followers, [--] engagements "@Yo_Jorgi @Shelvesz87 Ifb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019629445636845702) 2026-02-06T04:29Z [----] followers, [--] engagements "@tweetbymusa Let's connect asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019791465459658885) 2026-02-06T15:13Z [----] followers, [--] engagements "@meikkp Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019866698724340124) 2026-02-06T20:12Z [----] followers, [--] engagements "@SalimoAnne Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019867992709034377) 2026-02-06T20:17Z [----] followers, [--] engagements "@obeydulX Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019868033100181910) 2026-02-06T20:17Z [----] followers, [--] engagements "@KalyaniAmbedkar Ifb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019983318964474028) 2026-02-07T03:55Z [----] followers, [--] engagements "@Victorsam2253 Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2019997817033630169) 2026-02-07T04:53Z [----] followers, [--] engagements "@SalimoAnne Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020053117824364930) 2026-02-07T08:32Z [----] followers, [--] engagements "@SalimoAnne Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020053921398730874) 2026-02-07T08:36Z [----] followers, [--] engagements "@alfuratyalatiqe Let's connect asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020054028911091777) 2026-02-07T08:36Z [----] followers, [--] engagements "@miz_jim123 Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020136320941568117) 2026-02-07T14:03Z [----] followers, [--] engagements "@nbirech3 Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020136533592801445) 2026-02-07T14:04Z [----] followers, [--] engagements "@alfuratyalatiqe @UzorSamuel96668 Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020529287346974905) 2026-02-08T16:04Z [----] followers, [--] engagements "Tanzania Economic Performance in [----] Records 6.4% GDP Growth in Q3 3.6% Inflation 23.5% Credit Growth 37.4% Gold Export Rise and [----] Million https://www.tanzaniainvest.com/economy/trade/bot-economic-review-december-2025 https://www.tanzaniainvest.com/economy/trade/bot-economic-review-december-2025" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020758810030149928) 2026-02-09T07:16Z [----] followers, [---] engagements "#TaifaKwanza #KataaVurugu Maria Sarungi hana uhalali wowote wa kiuadilifu (moral authority) kuendelea kulichafua Taifa letu huko nje. Anatakiwa kujibu tuhuma za Taasisi yake iliyokuwa inajihusisha na Miss Universe kutajwa kwenye kashfa ya Jeffrey Epstein huko Marekani. Kuendelea kuwachochea vijana kuleta vurugu nchini ni moja ya mikakati yake huku yeye akiishi nje ya nchi. Tumemstukia Tumewakataa. #HakiNaWajibu" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020760590717730881) 2026-02-09T07:24Z [----] followers, [---] engagements "Serikali ya Tanzania imeanzisha ufadhili maalum wa masomo ya Akili Bandia (AI) na Sayansi ya Takwimu (Data Science) kwa vijana wenye vipaji ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kujenga uchumi wa maarifa na kuandaa rasilimali watu kwa mahitaji ya soko la ajira la kisasa. Kupitia ufadhili huu wanafunzi wa Kitanzania wanapatiwa nafasi ya kusoma katika vyuo vikuu vya kimataifa katika fani za teknolojia ya juu zikiwemo AI uchambuzi wa data na mifumo ya kidijitali. Serikali inagharamia ada mafunzo na mahitaji muhimu ya masomo ili kuwajengea vijana ujuzi unaohitajika duniani. Kwa mwaka wa masomo 2025/2026" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020811914549276818) 2026-02-09T10:47Z [----] followers, [---] engagements "@lukandilwa We ni kipofu achana nayo uwezi ona" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020851503204880401) 2026-02-09T13:25Z [----] followers, [--] engagements "@oduk70 Let's connect asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2020942173529833900) 2026-02-09T19:25Z [----] followers, [--] engagements "DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KITAIFA YA AFCON [----]. WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia hatua mbalimbali zilizofikiwa katika maandalizi ya michuano hiyo mikubwa itakayofanyika mwaka [----] katika nchi za Tanzania Kenya na Uganda. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amefanya kikao hicho leo Jumanne (Februari [--] 2026) Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo hayo Waziri Mkuu amepongeza kazi kubwa inayofanywa na kamati hiyo akieleza kuridhishwa na kasi na" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021243315551695063) 2026-02-10T15:22Z [----] followers, [---] engagements "@BLEXGUY Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021286061331329401) 2026-02-10T18:12Z [----] followers, [--] engagements "@tweetbymusa Ifb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021286172782182828) 2026-02-10T18:12Z [----] followers, [--] engagements "@excelduru Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021674445291528407) 2026-02-11T19:55Z [----] followers, [--] engagements "@nuradeeeen Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021674661814354286) 2026-02-11T19:56Z [----] followers, [--] engagements "@LynPreferred @lagattke Ffb asap" [X Link](https://x.com/Kilwafinest/status/2021674803111805401) 2026-02-11T19:56Z [----] followers, [--] engagements Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
@Kilwafinest Kilwafinest π¦Kilwafinest π¦ posts on X about tanzania, kwa, ethiopia, uganda the most. They currently have [-----] followers and [---] posts still getting attention that total [-----] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries 30.77% travel destinations 3.85% currencies 1.92% finance 1.92% celebrities 0.96%
Social topic influence tanzania #1103, kwa #129, ethiopia 4.81%, uganda 2.88%, bali 2.88%, bora #1188, $88m 1.92%, kwanza 1.92%, serengeti 0.96%, the end 0.96%
Top accounts mentioned or mentioned by @donminja47 @nguchiro47 @mankinduwezo @daktariwasiasa @alfuratyalatiqe @salimoanne @dunguboy1 @soughtoutiam @odoyo06849275 @simkokotho36079 @uzorsamuel96668 @lagattke @lekoshoba @brianssaga @mizjim123 @tweetbymusa @jaguar_455 @zephania_ndaki @saidmushitz @grok
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Aman Golugwa na Katibu Mkuu wa BAWACHA Taifa Pamela Maasay wameandaa mpango wa siri wa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kupitia msaada wa ufadhili wa fedha kutoka Ubalozi wa Ulaya (EU). Awali wawili hao pasipo kuvishirikisha Vikao halali vya Chama walipeleka andiko katika Ubalozi huo wakiomba Ufadhili wa fedha kwa ajili ya kugharamia Sikukuu ya Wanawake inayofanyika kote duniani Machi [--]. Baada ya kukataliwa wamemshirikisha Mkurugenzi wa Digitali na Ubunifu wa Chama Rems Kasanda ili aandae andiko la Siri kuhusu"
X Link 2026-02-18T12:37Z [----] followers, [---] engagements
"Chadema kila mtu ni tapeli asee mpango wa katibu na naibu wake wastukiwa π"
X Link 2026-02-18T13:05Z [----] followers, [---] engagements
"Maandalizi ya Serengeti Award sio ya kitoto haya Taifa kubwa mambo makubwaKazi Na Utu Tunasongambele"
X Link 2026-01-31T15:54Z [----] followers, [---] engagements
"The End Of Ufipa ( CHADEMA) β°β°"
X Link 2026-02-10T14:20Z [----] followers, [---] engagements
"Mama Is The Best One Tupo Nae Hadi [----] Hatutaki Ushauri wa Mtu"
X Link 2026-02-11T04:33Z [----] followers, [---] engagements
"Dkt Samia Na Dkt Nchimbi = Perfect Combo inaifanya Tanzania iendeleeee Kung'ara Kimataifa "Kazi Na Utu Tunasongambele ""
X Link 2026-02-11T04:35Z [----] followers, [---] engagements
"#TaifaKwanza #KataaVurugu Mheshimiwa Rais ndani ya siku [---] amezindua soko jipya la Kimataifa la Kariakoo ameshiriki kwenye Mkutano wa kilele wa Serikali za Dunia huko Falme za kiarabu na ameratibu na kushiriki ziara ya kimkakati ya kibiashara ya Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni. Rais wetu Anaweza na Anasonga mbele. Tuwakatae Wanaharakati Uchwara. #HakiNaWajibu https://twitter.com/i/web/status/2021463118417707490 https://twitter.com/i/web/status/2021463118417707490"
X Link 2026-02-11T05:55Z [----] followers, [---] engagements
"ASANTE SANA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUREJESHA FURAHA KWA WANA KARIAKOO NA TANZANIA KWA UJUMLA π Uzinduzi wa soko la kimataifa la kariakoo likiwa wazi linatoa ajira za moja kwa moja (wauzaji wasafirishaji walinzi) na zisizo za moja kwa moja (wakulima wazalishaji wasambazaji) Ambapo Hatua Hii Itakuza Uchumi Wa Mtu Mmoja Mmoja Na Taifa Kwa Ujumla . https://twitter.com/i/web/status/2021469411069112405 https://twitter.com/i/web/status/2021469411069112405"
X Link 2026-02-11T06:20Z [----] followers, [---] engagements
"Haijalishi zimekaa mtaani muda gani napenda kuwashukuru TAMISEMI kwa kutuletea hizi mali huku kilwa pande ndani ndani ππππ"
X Link 2026-02-11T07:03Z [----] followers, [---] engagements
"TUNDU LISSU ANAPOJIKITA KWENYE TECHNICALITY NYEPESI NA KUSAHAU KESI YA MSINGI NI UHAINI. Mojawapo ya mambo yaliyojitokeza leo mahakamani ni kusikilizwa kwa Ushahidi wa shahidi P5 ambapo Tundu Lissu alipata nafasi ya kumuhoji shahidi huyu. Maswali yake mengi yaliegemea kutaka kuonyesha kuwa maelezo aliyoyaandika kituoni yako tofauti na maelezo aliyoyaeleza shahidi leo mahakamani. Baadhi ya mambo aliyokua akiyasema ni kuwa kwenye maelezo shahidi hakusema alikua na sony Xperia ila leo mahakamani amesema na kwenye maelezo hakusema kuwa Lissu alivaa nguo ya kaki ila leo amesema. Ukisikiliza hoja"
X Link 2026-02-12T12:07Z [----] followers, [----] engagements
"Utalii: Siku [---] za Samia Utekelezaji Mia Fil Mia Anaandika βπ½βπ½Dkt. Hassan Abbasi Katibu Mkuu Maliasili na Utalii Februari [--] [----] Hifadhi ya Nyerere Mloka Rufiji Ni siku na jioni iliyokuwa na kijoto kikali pembeni ya Mto mkubwa Mto Rufiji napata mda wa kuvinjari maeneo ya kijiji cha Mloka Rufiji hatua chache tu kutoka lango muhimu la Mtemere kuingia Hifadhi kubwa kuliko zote nchini yaani Hifadhi ya Taifa ya Nyerere Mamabo kadhaa yanatokea lakini ghafla wakati nikiangalia jengo moja pale la kisasa la kulaza wageni linanikumbusha ile Diwani maarufu ya galacha wa Kiswahili Charles Mloka"
X Link 2026-02-12T12:33Z [----] followers, [---] engagements
"na mitambo yenye picha nzuri bali nikirejea kwenye diwani ya Mloka napata jibu kuwa haya yote maana yake pana ni utu Mabilioni haya yangeweza kwenda kwingine kokote Yamekuja huku kwa nini lakini Napata jibu. Kama ambavyo Mloka amesema: Utu wowote wa Mtu Ni Kuwajali Wenzake. basi uamuzi kuhusu uwekezaji wote huu katika utalii ni kuwajali watanzania watakaoona pato la taifa na la mtu mmoja mmoja likikua; ni kwa ajili ya vijana waongoza watalii watakaopata ajira na ni kwa ajili ya kina Mama wa Mloka Msolwa Likuyu Sekamaganga na Liwale watakaonufaika na mnyororo wa thamani katika ukuaji huu wa"
X Link 2026-02-12T12:34Z [----] followers, [--] engagements
"RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI ADDIS ABABA ETHIOPIA SALAMA Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili salama jijini Addis Ababa Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa [--] wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika"
X Link 2026-02-12T13:41Z [----] followers, [---] engagements
"New $8.8m PPE manufacturing plant launched in Tanzania. https://www.healthandsafetyinternational.com/article/1948209 https://www.healthandsafetyinternational.com/article/1948209"
X Link 2026-02-12T17:20Z [----] followers, [---] engagements
"Tanzania coffee tops Africa ranks fourth globally by The intercontinental Coffee Exchange (ICE) report. https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-coffee-tops-africa-ranks-fourth-globally-5356902 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-coffee-tops-africa-ranks-fourth-globally-5356902"
X Link 2026-02-12T17:22Z [----] followers, [---] engagements
"@BONGINKOSI14465 @UzorSamuel96668 Ffb asap asap"
X Link 2026-02-12T18:24Z [----] followers, [--] engagements
"@tweetbyBeast Ffb asap"
X Link 2026-02-12T19:35Z [----] followers, [--] engagements
"@TheEconomist Hakuna kitu mtasema mkaeleweka tunachojua ni kwamba Tanzania iko mikono salama chini ya Rais Samia Suluhu Hassan hao mabwana zenu wanaowatuma pesa zao mtazitapika"
X Link 2026-02-13T05:07Z [----] followers, [---] engagements
"Maono Ya Dkt Samia Suluhu Hassan Yawakosha AU Apendekezwa Kinara Afya Ya Mama Na Mtoto . Ashiriki Mkutano Wa [--] Nchini Ethiopia. Kazi Na Utu Tunasongambele β"
X Link 2026-02-13T05:14Z [----] followers, [---] engagements
"Tanzania coffee tops Africa ranks fourth globally by The intercontinental Coffee Exchange (ICE) report. https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-coffee-tops-africa-ranks-fourth-globally-5356902 https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/national/tanzania-coffee-tops-africa-ranks-fourth-globally-5356902"
X Link 2026-02-13T05:56Z [----] followers, [---] engagements
"New $8.8m PPE manufacturing plant launched in Tanzania. https://www.healthandsafetyinternational.com/article/1948209/new-88m-ppe-manufacturing-plant-launched-tanzania https://www.healthandsafetyinternational.com/article/1948209/new-88m-ppe-manufacturing-plant-launched-tanzania"
X Link 2026-02-13T05:57Z [----] followers, [---] engagements
"SIKU [---] ZA KWANZA ZA RAIS SAMIA Sekta Ya Elimu Neema Tupu 1.Mkakati wa Darasa LA Tatu (KKK) 2.Ajira walimu [----] 3.Ushirikiano wa TVETs na sekta binafsi . "Kazi Na Utu Tunasongambele ""
X Link 2026-02-13T08:49Z [----] followers, [---] engagements
"LEO LEO KAZI IPO MUHAINI ATAOMBA MAJI YA KUNYWA. Shahidi wa leo P6 anaonekana kucheza mechi kwa kujiamini kama kiungo fundi anayejua kuupiga mpira kabla ya kutoa pasi ya mwisho. Amejiandaa vya kutosha. Katika hatua ya maswali ya utetezi Lissu alimuuliza shahidi kuhusu tofauti ya umri wake. Alisema kuwa kwenye maelezo ya polisi aliandika ana miaka [--] lakini leo mahakamani amesema ana miaka [--] hivyo aeleze tofauti hiyo. Shahidi akajibu kwa utulivu βΊβΊ Ni kweli niliandika miaka [--] mwaka jana. Sasa tupo [----] nina miaka [--]. Mhaini amebaki na mshangao kidogo kana kwamba kalenda imefanya kazi yake"
X Link 2026-02-13T10:02Z [----] followers, [---] engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mheshimiwa Abiy Ahmed pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika tarehe [--] Februari [----] jijini Addis Ababa Ethiopia"
X Link 2026-02-14T10:53Z [----] followers, [---] engagements
"Bold and Visionary. Her Excellency President @SuluhuSamia πͺπΎπ"
X Link 2026-02-14T10:54Z [----] followers, [---] engagements
"Ushiriki wa Rais Samia kwenye Mkutano wa [--] wa AU unakuza diplomasia ya Tanzania kuonyesha uongozi wa nchi na kuiweka Tanzania kama msemaji wa masuala ya maendeleo amani na ushirikiano barani Afrika. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mheshimiwa Abiy Ahmed pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa Ethiopia. https://t.co/WfTV31LP0Q Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mheshimiwa Abiy Ahmed pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika unaofanyika"
X Link 2026-02-14T11:08Z [----] followers, [--] engagements
"@1ngadu1 Ushiriki wa Rais Samia kwenye Mkutano wa [--] wa AU unakuza diplomasia ya Tanzania kuonyesha uongozi wa nchi na kuiweka Tanzania kama msemaji wa masuala ya maendeleo amani na ushirikiano barani Afrika"
X Link 2026-02-14T11:08Z [----] followers, [--] engagements
"@Bizydan Ushiriki wa Rais Samia una akisi Kutetea maslahi ya Tanzania katika masuala ya kimataifa na Kuongeza ushawishi wa nchi kwenye agenda zinazohusu maendeleo endelevu afya na mazingira"
X Link 2026-02-14T11:15Z [----] followers, [--] engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki picha ya pamoja na wakuu wa nchi kwenye mkutano wa [--] wa African Union unaoendelea huko Addis Ababa Ethiopia. "Kazi Na Utu Tunasongambele ""
X Link 2026-02-14T12:40Z [----] followers, [---] engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Angola Joo Loureno pembezoni mwa Mkutano wa African Union (AU)"
X Link 2026-02-14T14:21Z [----] followers, [---] engagements
"MAMA YUKO KAZINI β Ushiriki wa Rais Samia kwenye mkutano wa [--] wa AU unakuza diplomasia ya Tanzania kuonyesha uongozi wa nchi na kuiweka Tanzania kama msemaji wa masuala ya maendeleo amani na ushirikiano barani Afrika"
X Link 2026-02-14T14:50Z [----] followers, [---] engagements
"@ChefChelz Ifb asap"
X Link 2026-02-14T15:07Z [----] followers, [--] engagements
"Meeting with the International Criminal Court (ICC) is not evidence that there is any case or allegation against Tanzania. Such engagements are often routine and diplomatic in nature aimed at strengthening professional working relationships promoting dialogue and enhancing cooperation on matters of international law and justice. https://twitter.com/i/web/status/2022896314556514479 https://twitter.com/i/web/status/2022896314556514479"
X Link 2026-02-15T04:50Z [----] followers, [---] engagements
"Good Morning Tanzania Good Morning Afrika Kwa Niaba Ya Professor Wa Siasa Dkt Samia Suluhu Hassan"
X Link 2026-02-15T04:54Z [----] followers, [---] engagements
"SAMIA WETU SHUJAA WETU Hongera sana Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa rasmi kuwa Bingwa wa Umoja wa Afrika (AU Champion) kwa Afya ya Mama na Mtoto pamoja na Haki za Uzazi na Jinsia (SRHR). Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania na Afrika yote"
X Link 2026-02-15T04:57Z [----] followers, [---] engagements
"Tanzania Mstari Wa Mbele Kutokomeza Malaria Afrika"
X Link 2026-02-15T06:25Z [----] followers, [---] engagements
"Wapumbavu wakipata ajenda ya kupush ili wavute pesa kwa mabwana zao basi kwao kila kitu ni agenda Na bado mtaendelea kupata mhaho hivyo hivyo na Tanzania mtaendelea kuiona inasonga mbele"
X Link 2026-02-15T07:25Z [----] followers, [---] engagements
"Mhaini Mandela Pori Aachiwi Na nyie @ChademaTZ2 mtaamua kushiriki au kutoshiriki maridhiano mnajifanya ma lastborn wa taifa wahuni Nyie"
X Link 2026-02-15T10:20Z [----] followers, [---] engagements
"@babytinah12 Ffb asap"
X Link 2026-02-15T10:40Z [----] followers, [--] engagements
"Tunawaona CHADEMA wakihaha kutafuta huruma ya kimataifa. Wanachafua taswira ya nchi kwa kudai serikali si halali. Huku nyuma wanataka maridhiano ili wapate ruzuku na nafasi. Huu ni ubinafsi uliokithiri unaoumiza maslahi ya taifa letu. Tanzania ni kubwa kuliko chama chochote kile cha siasa. #UzalendoKwanza #SiasaChafu https://twitter.com/i/web/status/2023362251286052908 https://twitter.com/i/web/status/2023362251286052908"
X Link 2026-02-16T11:42Z [----] followers, [---] engagements
"Tuhuma kuwa Kesi wanazokabikiwa nazo CHADEMA ni mbinu ya kupoteza muda wa umma. Wanajua fika kuwa madai yao hayana msingi wa kisheria. Ni mkakati wa kutaka kuonekana bado wapo hai kisiasa. Maridhiano yanahitaji moyo wa unyenyekevu na siyo kiburi. Kama mnakataa serikali kaeni pembeni na acheni nchi ijengeke. #MbinuZaGiza #KesiZaCHADEMA https://twitter.com/i/web/status/2023362400041185572 https://twitter.com/i/web/status/2023362400041185572"
X Link 2026-02-16T11:42Z [----] followers, [---] engagements
"RT @daktariwasiasa: CHADEMA wanacheza mchezo wa kuigiza usio na mwisho. Wanadai serikali ya CCM haiko madarakani kihalali lakini kil"
X Link 2026-02-16T11:57Z [----] followers, [--] engagements
"RT @daktariwasiasa: Maridhiano gani unayoyatafuta kwa mtu usiyemtambua CHADEMA wanajichanganya wenyewe mbele ya wafuasi wao. Kama CC"
X Link 2026-02-16T11:57Z [----] followers, [--] engagements
"RT @daktariwasiasa: Huwezi kula keki ya serikali huku ukiitukana kuwa ni haramu. CHADEMA wanadai hawaitambui serikali lakini wanataka ma"
X Link 2026-02-16T11:57Z [----] followers, [--] engagements
"Teknolojia imebadilisha soko kwa kasi kubwa kuliko kanuni zinavyoweza kulidhibiti soko lenyeweTuishi kufuatana na wakati Leo ukitembea katika mitaa ya Las Vegas utakuta majumba ya starehe na makazi ya kifahari yakiwa kimya kuliko ilivyokuwa zamani. Si kwamba hakuna mtaji au wateja la hasha bali zama zimebadilika. Anasa na kelele na kuparty kupindukia na ile hamu ya kuonekana hadharani Leo ukitembea katika mitaa ya Las Vegas utakuta majumba ya starehe na makazi ya kifahari yakiwa kimya kuliko ilivyokuwa zamani. Si kwamba hakuna mtaji au wateja la hasha bali zama zimebadilika. Anasa na kelele"
X Link 2026-02-16T11:59Z [----] followers, [--] engagements
"RT @daktariwasiasa: Maridhiano gani unayoyatafuta kwa mtu usiyemtambua CHADEMA wanajichanganya wenyewe mbele ya wafuasi wao. Kama CC"
X Link 2026-02-16T12:03Z [----] followers, [--] engagements
"TANZANIA LEO LAANDIKA Nia Njema Ya Samia Yageuka Kaa La Moto"
X Link 2026-02-17T04:44Z [----] followers, [---] engagements
"Tanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika na ya nne duniani kwa uzalishaji wa kahawa Mafanikio hayo yametokana na jitihada za Serikali na wadau wa sekta ya kahawa katika kuboresha uzalishaji na ubora wa zao hilo. Kahawa ya Tanzania imetambulika"
X Link 2026-02-17T07:10Z [----] followers, [---] engagements
"kimataifa kutokana na viwango vyake bora jambo linaloimarisha soko na kuongeza mapato kwa wakulima na Taifa kwa ujumla"
X Link 2026-02-17T07:10Z [----] followers, [--] engagements
"Kampuni [---] za Tanzania zimepata usajili wa Mamlaka Kuu ya Forodha ya China (GACC) na kuruhusiwa kusafirisha mazao ya kilimo kwenda soko la China hatua itakayonufaisha maelfu ya wakulima na kuzalisha ajira nchini. Mafanikio haya yametokana na juhudi za Rais Dkt Samia kuimarisha diplomasia ya uchumi na kufungua masoko mapya ya kimataifa. Kupitia uongozi wake Tanzania imezidi kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na China na kuwapa wakulima wetu fursa ya kuuza mazao yao katika soko kubwa duniani. Mazao kama soya korosho ufuta pilipili mihogo mashudu ya pamba na alizeti parachichi kahawa karafuu"
X Link 2026-02-17T08:38Z [----] followers, [---] engagements
"#TaifaKwanza #KataaVurugu Wanaharakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi wanakerwa na utulivu uliopo nchini na wameanza kutoa kauli chafu dhidi ya Wananchi kwa kuwaita Wananchi ni Waoga. Watanzania sio Waoga Watanzania wamekataa kutumika na Wanaharakati hao kwa kuwa hawana maslahi mapana na nchi yetu. Wao wapo nje ya nchi alafu wanachochea vurugu ndani ya nchi yetu. Wananchi Tumewakataa. #HakiNaWajibu"
X Link 2026-02-17T08:44Z [----] followers, [---] engagements
"#TaifaKwanza #KataaVurugu Tunasisitiza kwamba Wanaharakati Uchwara wanaioshi nje ya nchi wanafanya makosa na upotoshaji kwa kulinganisha nchi yetu na nchi nyingine za Afrika kwa kurejea vurugu za Oktoba [--] mwaka [----]. Hii ni kwa sababu vurugu hizo zilikuwa na njama za kupindua Serikali na sio wanaochokiita wao kwamba yalikuwa ni Maandamano. Tumewakataa Wanaharakati Uchawara kwa kuwa lengo lao ni kuchoma nchi yetu. #HakiNaWajibu"
X Link 2026-02-17T08:44Z [----] followers, [---] engagements
"Ifike wakati @MariaSTsehai na Wanaharakati wenzio muache uongo uongo maana kila mkitaka kusukuma agenda zenu zisizo na msingi huwa mnakurupuka tu kama Kuhusu fireside chat ya african female presidents Rais Samia alialikwa lakini bahati mbaya muda huo ulikuwa unaingiliana na kikao muhimu cha CAHOSCC (Committee of African Heads of State and Government on Climate Change) ambacho ni jukwaa la juu la viongozi wa nchi za Afrika linaloratibu msimamo wa pamoja wa bara kuhusu masuala ya mabadiliko ya tabianchi. Katika kikao hicho Rais Samia alikuwa na nafasi rasmi ya kuzungumza (speaking role) hivyo"
X Link 2026-02-17T09:09Z [----] followers, [---] engagements
"URAMBO NA KALIUA ZIPO TAYARI KWA UWEKEZAJI Kukamilika kwa mradi wa njia ya kusafirisha umeme msongo wa Kilovoti [---] kutoka Tabora hadi Urambo na Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Uhuru - Urambo cha Megawati [--] kunazifungua wilaya hizo kwa uwekezaji hususani wa viwanda. #MguukwaMguu"
X Link 2026-02-17T09:15Z [----] followers, [---] engagements
"Elimu bila ada imesaidia watoto wengi sana kutoka familia duni kupata fursa ya elimu Serikali kutumia trilioni [---] kwenye elimu bure ni uwekezaji bora zaidi kwa vizazi vijavyo. Zaidi ya hayo uwekezaji huu unaimarisha usawa wa kijamii kwa kuhakikisha kuwa kila mtoto bila kujali hali ya kipato cha familia yake anapata haki ya msingi ya elimu. Kupitia elimu bure vipaji vinaibuliwa na kuendelezwa ajira zinapatikana kwa urahisi zaidi na uchumi wa taifa unakua kwa kasi kutokana na rasilimali watu yenye ujuzi. Hivyo basi elimu si gharama bali ni mtaji muhimu unaojenga msingi imara wa maendeleo ya"
X Link 2026-02-17T09:16Z [----] followers, [---] engagements
"Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) Wafikia Asilimia [--] Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ni bomba la urefu wa takribani km [----] kutoka Hoima (Uganda) hadi Bandari ya Tanga (Tanzania). Litasafirisha hadi mapipa [------] ya mafuta ghafi kwa siku na ni bomba la heated kusaidia mafuta kutiririka. Mradi unasimamiwa na EACOP Ltd kwa ubia wa TotalEnergies China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) Uganda National Oil Company na Tanzania Petroleum Development Corporation. Ujenzi umefikia takribani asilimia [--]. Mradi unatarajiwa kuongeza mapato na ajira"
X Link 2026-02-17T09:17Z [----] followers, [---] engagements
"NJAMA ZA LISSU KUVURUGA UCHAGUZI ZAFICHUKA Katika kesi ya uhaini dhidi ya mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu inayoendelea leo tarehe 17/2/2026 Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam wakati wa kutoa ushahidi ACP Mtufye aliieleza mahakama kuwa tarehe 03/03/2025 akiwa kwenye doria pamoja na Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha ASP Bony Mgogo walipokea taarifa kupitia redio call kuhusu kundi la vijana waliokuwa Mromboo (kijiwe cha bajaji) wakijadili mpango wa kuzuia uchaguzi. Kwa mujibu wa shahidi huyo polisi walifika eneo hilo haraka kutoka Mbauda hadi Mromboo na kuwakuta vijana wakijadili wazi"
X Link 2026-02-17T10:40Z [----] followers, [---] engagements
"@lagattke Ffb asap"
X Link 2026-02-17T14:07Z [----] followers, [--] engagements
"Hatimaye Leo Vijana Tutakuwepo Space Muda ni ule ule saa 02:00 Wote Mnakaribishwa jahazi kama kawaida litaongozwa na Host @amina_hafidh na Co Host @IdrisaIddyTz KARIBUNI SANA"
X Link 2026-02-17T15:50Z [----] followers, [---] engagements
"@Faelynnom Ffb asap"
X Link 2026-02-17T16:44Z [----] followers, [--] engagements
"Kazi na utu tunasongambele mama anapambana kuitangaza Tanzania Nafasi ya Samia Suluhu Hassan ndani ya African Union ni heshima kubwa kwa Tanzania na ishara ya uongozi thabiti wa wanawake barani Africa. Ni sauti ya busara diplomasia na mshikamano wa Kiafrika akifungua milango ya ushirikiano wa kiuchumi uwekezaji biashara huria na . https://t.co/XM2EDDNM3C Nafasi ya Samia Suluhu Hassan ndani ya African Union ni heshima kubwa kwa Tanzania na ishara ya uongozi thabiti wa wanawake barani Africa. Ni sauti ya busara diplomasia na mshikamano wa Kiafrika akifungua milango ya ushirikiano wa kiuchumi"
X Link 2026-02-18T05:00Z [----] followers, [--] engagements
"@leko__shoba Ffb asap"
X Link 2026-02-18T05:55Z [----] followers, [--] engagements
"@alfuratyalatiqe Ffb asap"
X Link 2026-02-18T06:21Z [----] followers, [--] engagements
"@Crypto_nest4U Ifb asap"
X Link 2026-02-18T06:49Z [----] followers, [--] engagements
"@leko__shoba Ffb asap"
X Link 2026-02-18T06:49Z [----] followers, [--] engagements
"#TaifaKwanza #KataaVurugu Utawala wa Sheria na uwepo wa uhuru wa Mahakama nchini ni msingi mkuu wa utawala bora na kichocheo cha uwepo wa amani na utulivu katika Taifa letu. Pamoja na propaganda chafu zinazoenezwa na Wanaharakati Uchwara wanaioshi nje ya nchi dhidi ya Taifa letu Wanaharakati hao wanashangilia hukumu kadhaa zinazotolewa na Mahakama Kuu kuhusu mashauri ya kikatiba yanayoendelea. Uimarishaji wa mifumo ya utoaji haki nchini ni ahadi ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Tuwakatae Wanaharakati Uchwara. #HakiNaWajibu https://twitter.com/i/web/status/2024039570258464857"
X Link 2026-02-18T08:33Z [----] followers, [--] engagements
"Lissu ameibua malalamiko akieleza kuwa Makamu Mwenyekiti John Heche hajamtembelea gerezani tangu alipowekwa mahabusu. Kwa mujibu wa taarifa Lissu alitegemea kuona viongozi wenzake wakimtembelea Gerezani kama ishara ya mshikamano si tu wa kisiasa bali pia kumtia moyo katika kipindi hiki kigumu anachopitia"
X Link 2026-02-18T12:30Z [----] followers, [---] engagements
"Ujenzi wa Daraja la Jangwani unaendelea vizuri katika Jiji la Dar es Salaam ukiwa ni mradi muhimu wa kuimarisha miundombinu ya usafiri na kupunguza changamoto za msongamano pamoja na athari za mafuriko katika eneo hilo. Daraja hilo lina urefu wa mita [---] na upana wa mita [--] na kazi zinazoendelea sasa zinahusisha ujenzi wa misingi imara ya daraja (piles na pile caps) ujenzi wa nguzo kuu (piers) pamoja na maandalizi ya sehemu ya juu ya daraja (deck) itakayopitisha watumiaji. Kwa mujibu wa utekelezaji wa mradi daraja hilo litakuwa na jumla ya nguzo za msingi takribani [---] zenye kina cha mita 35"
X Link 2026-02-18T13:57Z [----] followers, [---] engagements
"TAARIFA KWA UMMA ππ"
X Link 2026-02-18T15:46Z [----] followers, [---] engagements
"Jamani mafipa yafwaaaaaaaaqa π π https://t.co/o2wDAEOtR0 π https://t.co/o2wDAEOtR0"
X Link 2026-02-18T16:08Z [----] followers, [--] engagements
"Jahazi la wafipa linazama taratibu kwa kifupi twaweza Sema bwana ametoa na bwana ametwaaa Chama cha wapiga deals kinazama na kwenda kupotea kabisa kwenye ramani ya siasa za nchi yetu. https://t.co/FwUzQuQ1kT Chama cha wapiga deals kinazama na kwenda kupotea kabisa kwenye ramani ya siasa za nchi yetu. https://t.co/FwUzQuQ1kT"
X Link 2026-02-18T16:24Z [----] followers, [--] engagements
"Rasmi Chadema Wamejifia Chama Kimepoteza Muelekeo"
X Link 2026-02-18T16:43Z [----] followers, [---] engagements
"@AshaAmbedkar Ffb asap"
X Link 2026-02-05T18:34Z [----] followers, [--] engagements
"@Image861 Ffb asap"
X Link 2026-02-05T18:45Z [----] followers, [--] engagements
"@BrianSsaga Ffb asap"
X Link 2026-02-05T18:45Z [----] followers, [--] engagements
"@xtakip44 Ffb asap"
X Link 2026-02-05T18:52Z [----] followers, [--] engagements
"@miz_jim123 Ffb asap"
X Link 2026-02-05T18:53Z [----] followers, [--] engagements
"@aweroshehu Ffb asap"
X Link 2026-02-05T18:58Z [----] followers, [--] engagements
"@ElevenosixGH @Mwakina_ Let's connect asap"
X Link 2026-02-05T19:41Z [----] followers, [--] engagements
"@BrianSsaga Let's connect asap"
X Link 2026-02-05T19:42Z [----] followers, [--] engagements
"@Yo_Jorgi @Shelvesz87 Ifb asap"
X Link 2026-02-06T04:29Z [----] followers, [--] engagements
"@tweetbymusa Let's connect asap"
X Link 2026-02-06T15:13Z [----] followers, [--] engagements
"@meikkp Ffb asap"
X Link 2026-02-06T20:12Z [----] followers, [--] engagements
"@SalimoAnne Ffb asap"
X Link 2026-02-06T20:17Z [----] followers, [--] engagements
"@obeydulX Ffb asap"
X Link 2026-02-06T20:17Z [----] followers, [--] engagements
"@KalyaniAmbedkar Ifb asap"
X Link 2026-02-07T03:55Z [----] followers, [--] engagements
"@Victorsam2253 Ffb asap"
X Link 2026-02-07T04:53Z [----] followers, [--] engagements
"@SalimoAnne Ffb asap"
X Link 2026-02-07T08:32Z [----] followers, [--] engagements
"@SalimoAnne Ffb asap"
X Link 2026-02-07T08:36Z [----] followers, [--] engagements
"@alfuratyalatiqe Let's connect asap"
X Link 2026-02-07T08:36Z [----] followers, [--] engagements
"@miz_jim123 Ffb asap"
X Link 2026-02-07T14:03Z [----] followers, [--] engagements
"@nbirech3 Ffb asap"
X Link 2026-02-07T14:04Z [----] followers, [--] engagements
"@alfuratyalatiqe @UzorSamuel96668 Ffb asap"
X Link 2026-02-08T16:04Z [----] followers, [--] engagements
"Tanzania Economic Performance in [----] Records 6.4% GDP Growth in Q3 3.6% Inflation 23.5% Credit Growth 37.4% Gold Export Rise and [----] Million https://www.tanzaniainvest.com/economy/trade/bot-economic-review-december-2025 https://www.tanzaniainvest.com/economy/trade/bot-economic-review-december-2025"
X Link 2026-02-09T07:16Z [----] followers, [---] engagements
"#TaifaKwanza #KataaVurugu Maria Sarungi hana uhalali wowote wa kiuadilifu (moral authority) kuendelea kulichafua Taifa letu huko nje. Anatakiwa kujibu tuhuma za Taasisi yake iliyokuwa inajihusisha na Miss Universe kutajwa kwenye kashfa ya Jeffrey Epstein huko Marekani. Kuendelea kuwachochea vijana kuleta vurugu nchini ni moja ya mikakati yake huku yeye akiishi nje ya nchi. Tumemstukia Tumewakataa. #HakiNaWajibu"
X Link 2026-02-09T07:24Z [----] followers, [---] engagements
"Serikali ya Tanzania imeanzisha ufadhili maalum wa masomo ya Akili Bandia (AI) na Sayansi ya Takwimu (Data Science) kwa vijana wenye vipaji ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kujenga uchumi wa maarifa na kuandaa rasilimali watu kwa mahitaji ya soko la ajira la kisasa. Kupitia ufadhili huu wanafunzi wa Kitanzania wanapatiwa nafasi ya kusoma katika vyuo vikuu vya kimataifa katika fani za teknolojia ya juu zikiwemo AI uchambuzi wa data na mifumo ya kidijitali. Serikali inagharamia ada mafunzo na mahitaji muhimu ya masomo ili kuwajengea vijana ujuzi unaohitajika duniani. Kwa mwaka wa masomo 2025/2026"
X Link 2026-02-09T10:47Z [----] followers, [---] engagements
"@lukandilwa We ni kipofu achana nayo uwezi ona"
X Link 2026-02-09T13:25Z [----] followers, [--] engagements
"@oduk70 Let's connect asap"
X Link 2026-02-09T19:25Z [----] followers, [--] engagements
"DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KITAIFA YA AFCON [----]. WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia hatua mbalimbali zilizofikiwa katika maandalizi ya michuano hiyo mikubwa itakayofanyika mwaka [----] katika nchi za Tanzania Kenya na Uganda. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amefanya kikao hicho leo Jumanne (Februari [--] 2026) Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo hayo Waziri Mkuu amepongeza kazi kubwa inayofanywa na kamati hiyo akieleza kuridhishwa na kasi na"
X Link 2026-02-10T15:22Z [----] followers, [---] engagements
"@BLEXGUY Ffb asap"
X Link 2026-02-10T18:12Z [----] followers, [--] engagements
"@tweetbymusa Ifb asap"
X Link 2026-02-10T18:12Z [----] followers, [--] engagements
"@excelduru Ffb asap"
X Link 2026-02-11T19:55Z [----] followers, [--] engagements
"@nuradeeeen Ffb asap"
X Link 2026-02-11T19:56Z [----] followers, [--] engagements
"@LynPreferred @lagattke Ffb asap"
X Link 2026-02-11T19:56Z [----] followers, [--] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing
/creator/twitter::NyamaNyingi