Dark | Light
# ![@HildaNewton21 Avatar](https://lunarcrush.com/gi/w:26/cr:twitter::2673303382.png) @HildaNewton21 Hilda Newton

Hilda Newton posts on X about wa, leo, youtube, tanzania the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours.

### Engagements: [-------] [#](/creator/twitter::2673303382/interactions)
![Engagements Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::2673303382/c:line/m:interactions.svg)

- [--] Week [---------] +2,915%
- [--] Month [---------] +1,320%
- [--] Months [---------] +555%
- [--] Year [---------] +36%

### Mentions: [--] [#](/creator/twitter::2673303382/posts_active)
![Mentions Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::2673303382/c:line/m:posts_active.svg)

- [--] Week [--] +485%
- [--] Month [--] +856%
- [--] Months [---] +214%
- [--] Year [---] -85%

### Followers: [-------] [#](/creator/twitter::2673303382/followers)
![Followers Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::2673303382/c:line/m:followers.svg)

- [--] Week [-------] +0.05%
- [--] Month [-------] +0.09%
- [--] Months [-------] +1.90%
- [--] Year [-------] +3.50%

### CreatorRank: [------] [#](/creator/twitter::2673303382/influencer_rank)
![CreatorRank Line Chart](https://lunarcrush.com/gi/w:600/cr:twitter::2673303382/c:line/m:influencer_rank.svg)

### Social Influence

**Social category influence**
[countries](/list/countries)  8% [technology brands](/list/technology-brands)  6% [social networks](/list/social-networks)  5% [currencies](/list/currencies)  2%

**Social topic influence**
[wa](/topic/wa) #31, [leo](/topic/leo) #169, [youtube](/topic/youtube) 5%, [tanzania](/topic/tanzania) #612, [tu](/topic/tu) 3%, [sana](/topic/sana) 3%, [cross](/topic/cross) #172, [newton](/topic/newton) #45, [kwanza](/topic/kwanza) 2%, [nao](/topic/nao) #1019

**Top accounts mentioned or mentioned by**
[@grok](/creator/undefined) [@tundualissu](/creator/undefined) [@markseventz](/creator/undefined) [@hechejohn](/creator/undefined) [@tnerei34894](/creator/undefined) [@freedata462](/creator/undefined) [@uzao_mteule_jr](/creator/undefined) [@firstborn06](/creator/undefined) [@sharb84](/creator/undefined) [@bbcafrica](/creator/undefined) [@zephafx](/creator/undefined) [@myhope04](/creator/undefined) [@richardmwalwib4](/creator/undefined) [@makorokochoe](/creator/undefined) [@tonnyadamms](/creator/undefined) [@nchimbiras](/creator/undefined) [@plagiarised_](/creator/undefined) [@barakawamb](/creator/undefined) [@mariastsehai](/creator/undefined) [@bonifacemwangi](/creator/undefined)
### Top Social Posts
Top posts by engagements in the last [--] hours

"Comments ziwe fupi fupi"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2016953913291776143)  2026-01-29T19:17Z 950.2K followers, 95K engagements


"State of Fear : Inside Tanzanias Enforced Disappearances - BBC Africa Eye Documentary @MariaSTsehai : Utekaji umekuwa ugonjwa sugu ndani ya serikali ya CCM ilinza kwa kiasi wakati wa Kikwete kutekwa na Ulimboka kisha Magufuli naye akaendeleza Lakini wakati huu wa Samia kuna zaidi ya watu [---] wametekwa na watu [---] wamepotea kabisa toka walipotekwa awajaonekana tena wengi wa hawa watu ni wakosoaji wa serikali au mtu mwenye maoni tofauti na serikali https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=p00IBP23Bsazy0RF https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=p00IBP23Bsazy0RF"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2018251750860296478)  2026-02-02T09:14Z 950.3K followers, [----] engagements


""They told me to take off all my clothes then they lifted me up and handcuffed me to a long stick between two tables they greased my feet and then started beating me. They opened my buttocks and greased me and then started inserting I don't know if it was a stick or what but they inserted it all the way in Then they took my underwear out of my mouth and told me to cut my waist saying THANK YOU SAMIA".-; @bonifacemwangi Kenyan activist describing the brutality he suffered from the security forces in Tanzania. #BBCAfricaEye @BBCAfrica"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2018354378940305587)  2026-02-02T16:02Z 950.1K followers, 14.6K engagements


"Hatuwezi kukalia kimya mauaji ya utekaji-; Mhe. @HecheJohn Leo akiwa kwenye msiba wa Mama Mzazi wa Sinda Geteba ambae alitekwa miezi kadhaa iliyopita"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2018717352200716320)  2026-02-03T16:04Z 950.3K followers, 19.4K engagements


"Kama ulipitwa na hii Documentary hakikisha unaangalia ๐Ÿ“ฝ You can now watch the full documentary 'State of Fear' here: https://t.co/Hmp9W7IMMT https://t.co/fSl3PyKIJp ๐Ÿ“ฝ You can now watch the full documentary 'State of Fear' here: https://t.co/Hmp9W7IMMT https://t.co/fSl3PyKIJp"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2018955938439602618)  2026-02-04T07:53Z 950.3K followers, [----] engagements


"Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu imepangwa kuendelea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----]. Zimebaki siku tano tu tujitokeze kwa wingi kupata darasa la sheria kutoka kwa Mhe. Lissu. #FreeTunduLissu"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2018956932141252630)  2026-02-04T07:56Z 950.3K followers, [----] engagements


"Sauti inatosha. https://t.co/8OvdHKq3AQ https://t.co/8OvdHKq3AQ"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2019096148213162073)  2026-02-04T17:10Z 950.3K followers, 15.5K engagements


"Tulikubaliana hakuna kushirikiana na maccm hawa waandishi walienda kutafuta nini uko kama sio uchawa na kujipendekeza"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2019471061264294151)  2026-02-05T17:59Z 950.3K followers, 13.5K engagements


"Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu imepangwa kuendelea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----]. Zimebaki siku tatu tu tujitokeze kwa wingi kupata darasa la sheria kutoka kwa Mhe. Lissu. #FreeTunduLissu"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2019764304606593413)  2026-02-06T13:25Z 950.3K followers, [----] engagements


"Leo tangu nimeamka asubuhi hii nyimbo inaimba sana kichwani kwangu. Limama liuaaaajiiiiii ๐Ÿ˜ญ"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020077318518231367)  2026-02-07T10:08Z 950.3K followers, 17.6K engagements


"Huyu Dereva Bajaji ni Familia kabisa Mungu amlinde. R. I. P wote Oktoba [--] 2025๐Ÿ™"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020096456712155477)  2026-02-07T11:25Z 950.3K followers, 32.9K engagements


"Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu imepangwa kuendelea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----]. Kesho Jumatatu tujitokeze kwa wingi kupata darasa la sheria kutoka kwa Mhe. Lissu. #FreeLissu"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020428824694120476)  2026-02-08T09:25Z 950.3K followers, [----] engagements


"Nduli Idd Amin Mama muoga sana yani leo anaenda kufungua Soko la Kariakoo lakin Wafanyabiasha wote wamelazimishwa wafunge maduka yao halafu hapo hapo Maccm yote ya Mkoa wa Dar yameambiwa yatapewa elfu [--] ili yaende yakajazane kwenye Uzinduzi maana wanaogopa aibu ya kukosa watu wa kwenda kumsikiliza. Damu za Watanganyika zaidi ya elfu kumi alizomwaga zitaendelea kumuandama yeye na washirika wake mpaka siku wanaingia kaburini. https://twitter.com/i/web/status/2020433139638685714 https://twitter.com/i/web/status/2020433139638685714"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020433139638685714)  2026-02-08T09:42Z 950.3K followers, 36.5K engagements


"Ujinga umefikisha Taifa kubaya Viongozi wanatetea uwongo ufisadi na upuuzi"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020537082213486882)  2026-02-08T16:35Z 950.3K followers, 20.1K engagements


"State of Fear: Inside Tanzanias Enforced Disappearances - BBC Africa Ey. via @YouTube https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=geWz43i9fvQ37eKu https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=geWz43i9fvQ37eKu"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020712832762073106)  2026-02-09T04:14Z 950.3K followers, [----] engagements


"Tunamshukuru Mungu kwa kutuamsha salama sasa uelekeo ni Mahakama Kuu kwenye kesi ya Mhe. Lissu kesi itakuwa LIVE kwenye ukurasa huu kama kawaida"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020713782234997116)  2026-02-09T04:18Z 950.2K followers, 14K engagements


"Hali ilivo njee ya Mahakama Kuu Polisi wamejazana sana yani mtu ukiwa mgeni unaweza kudhani hapa ni Darfur-Sudan"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020740180022370330)  2026-02-09T06:02Z 950.3K followers, 14.6K engagements


"Mhe. Lissu akiwasili Mahakamani muda huu"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020743210046283792)  2026-02-09T06:14Z 950.3K followers, 14.3K engagements


"Ukumbi wa Mahakama tayari umejaa sasa anasubiriwa Mhe. Lissu na Majaji waingie ili kesi iweze kuanza"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020747145771471126)  2026-02-09T06:30Z 950.3K followers, 13.3K engagements


"UTANGULIZI KUHUSU KESI YA MHE.LISSU. Leo ni February [--] [----] tunaendelea na Kesi ya Uhaini Na. [-----] inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa itaendelea Katika Mahakama kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dar es salaam. Kama mnakumbuka vizuri tuliishia shahidi Na. [--] ambae ni P11 yaani shahidi wa siri. Alivyoingia Mahakamani Novemba [--] [----] shahidi huyu wa siri hakuonekana kokote hata kwa Majaji ndio Mheshimiwa Lissu akaweka pingamizi kuhusu kibox kilivyowekwa na namna ambavyo sheria inahitaji shahidi wa siri kutoa ushahidi wake. Lakini pia katika pingamizi lake alielezea kuhusu kanuni za"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020751513740607663)  2026-02-09T06:47Z 950.3K followers, 26.3K engagements


"Shangwe la WanaCHADEMA wakati Mhe. Lissu akiingia katika ukumbi wa Mahakama kuu asubuhi hii"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020756572029235540)  2026-02-09T07:08Z 950.3K followers, 21.4K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo February [--] [----] Last time tuliishia Part [---] so leo tutaendelea na-; Part [---]. Ameingia Mheshimiwa Lissu zimepigwa kelele nyingi sana hapa Mahakamani ni kelele za Rais Rais Rais Mhe. Lissu amepiga kombati ya kaki ameingia kwa vibe sana. Amebeba makabrasha yake mavifurushi mengi sana ya vitabu. Imepigwa sauti ya Courttttt ikiwa na ukali watu hawanyamazi wanaendelea na minong'ono fulani ya kushangilia. Wameingia Majaji na kuketi eneo lao. Jaji anasema tuendelee Karani anasoma namba ya shauri. Anasimama Renatus Mkude wakili wa Serikali Mkuu yuko na Ajuaye Nasoro"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020759808610091109)  2026-02-09T07:20Z 950.2K followers, 75.1K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu. Tuna haki yakutembelewa waheshimiwa Majaji kuna masharti kwenye hiyo kanuni ikiwemo sharti la kutembelewa na mfungwa mwenzako sharti lingine ni askari magereza wakuone na kukusikiliza ila kwa Mawakili kanuni haisemi hivyo. Waheshimiwa Majaji tangu tarehe 10/04/2025 mpaka 12/11/2025 nilikuwa natembelewa bila tatizo. Na ndugu familia marafiki na Mimi ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa walikuwa wananitembelea wana Chadema Tanzania nzima. Niliitwa kwa Bwana Jela nikaambiwa ni marufu kwa viongozi na wanaChadema kukutembelea Gerezani. Chadema ni"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020769266346197204)  2026-02-09T07:58Z 950.3K followers, 52.5K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu Hili ni kosa la kipekeee angalieni ibara ya 28(4) ya Katiba ya JMT ndo kosa pekee la Jinai lililotajwa kwenye Katiba kwasababu sio kosa la kawaida. Kama hiyo ndio hoja kosa hili pia la Uhaini linapaswa kuwa na kipaumbele maana ni tofauti na makosa mengine yote. Kwenye kuthibitisha hilo hii sio kesi ya kwanza ni kesi ya tatu toka tumepata uhuru. Kesi ya Grey Likungu miaka [--] iliyopita ilikuwa na washitakiwa [--] lakini ilichukua miezi [--] tu hadi kufika Mahakama ya Rufani. Kwasababu uhaini ni kosa kuu kuliko mengine yote ilipewa uzito huo."  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020778222955225245)  2026-02-09T08:34Z 950.3K followers, 40K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---]. Anaendelea Wakili wa Serikali Katuga. Mahakama hii tukufu ijiulize je shahidi huyu P11 ni mashahidi ambao wamelindwa akirejea kanuni ya [--] ya Kanuni za ulinzi wa Mashahidi akiwaambia pia Shahidi anayelindwa ni shahidi ambae yupo kwenye amri ya Ulinzi. Pia amewarejesha kanuni ya [--] inamuelezea shahidi gani ambae anapewa ulinzi au analindwa au amri ya ulinzi inatolewa kwake. Naomba mrejee uamuzi wa Jaji Mtembwa wa Mahakama hii juu ya uamuzi wa kulinda mashahidi wa kesi hii. Hoja hii ina majibu mawili kama ifuatavyo. Jibu la kwanza ni kwamba kanuni ya [--] za ulinzi"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020787906458054678)  2026-02-09T09:12Z 950.3K followers, 41.5K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Naomba nimalizie kwa upande wetu wa Serikali na tumuachie mwenzetu aweze kujibu na kuwasilisha Rejoinder yake. Jaji anawauliza mmemaliza Upande wa Mashitaka. Wanajibu wamemaliza. Mhe. Lissu anajiandaa kufanya rejoinder hapa. Anasimama Mh. Lissu. Nawashukuru Waheshimiwa Majaji. Nimesikiliza hoja za Majibu ya Mawakili wa Serikali na nitajibu kama zilivyoletwa na Wakili wa Serikali. Hoja ya kuhusu kizimba maalumu cha mashahidi. Swali nililouliza je hicho kizimba kinaendana na matakwa ya sheria Sheria inasema kizimba ni eneo ambalo sisi wengine haturuhusiwi"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020799191778222510)  2026-02-09T09:57Z 950.3K followers, 49.3K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu Kifungu cha [---] cha CPA amekisoma Katuga hapa kwamba Mahakama inaweza ku regulate taratibu zake wakati wa kutekeleza wajibu wake wa jinai. Msifungwe sana na hizi kanuni maana mnaweza kuregulate procedure zenu. Sasa kifungu cha [---] sio kichaka cha kujificha ili kukiuka sheria na taratibu zilizowekwa wazi. Utaratibu wa kulinda mashahidi umewekwa wazi kifungu cha [---] cha CPA na kanuni za ulinzi wa mashahidi. Huu mualiko wa kwamba muache sheria inasemaje mtafute busara zenu nawashauri msikubali huu mwaliko wa Katuga wa kudharau sheria."  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020811923982320073)  2026-02-09T10:48Z 950.3K followers, 47.8K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anamalizia Mhe. Lissu Vinginevyo haitakuwa Mahakama ya Haki na kanuni zinataka usikilizwaji wa mashauri haya uwe wa haki kwa pande zote. Ni hayo tu waheshimiwa majaji. Anamaliza Mheshimiwa Lissu hapa. Majaji wanateta huku wakiandika kidogo. Mheshimiwa Lissu anakusanya makabrasha yake taratibu hapa. Bila shaka kesi itaahirishwa leo. Watahitaji kuandika uamuzi wa hoja zilizowasilishwa. Anawasha kipaza sauti Jaji Ndunguru hapa akiwa serious sana na kama amechoka. Anaonesha hana nuru kabisa. ๐Ÿ˜‚ Naomba niseme yafuatayo kabla sijaahirisha shauri. Mtakumbuka leo"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020817538985210264)  2026-02-09T11:10Z 950.3K followers, 35.3K engagements


"Leo kwenye ukumbi wa Mahakama Mama huyu alifanya maombi maalum kwa ajili ya Mhe. Lissu Mwenyezi Mungu ambariki sana"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020828647805141232)  2026-02-09T11:54Z 950.3K followers, 28.1K engagements


"Salam kutoka BAWACHA ๐Ÿ’ช"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020842467160138012)  2026-02-09T12:49Z 950.3K followers, 12.8K engagements


"Tumuunge mkono Tundu Lissu anaendeleza mapambano-; Bwege"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020850113720029335)  2026-02-09T13:19Z 950.3K followers, 15.3K engagements


""Hatutakubali Mhe. @TunduALissu kuachiwa kwa masharti yoyote alikamatwa kwa uongo aachiwe bila masharti yoyote." Mhe. @HecheJohn NB. Nduli Idd Amin Mama anataka kumuachia Mhe. Lissu kwa sharti la kuipeleka CHADEMA kwenye maridhiano ila Mhe. Lissu kagoma. Anasema yupo tayari kufia jela lakin sio kuwauza Watanzania.๐Ÿ’ช"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020870361806430306)  2026-02-09T14:40Z 950.3K followers, 30.1K engagements


"Mliokaribu na Idd Amin Mama na Machawa wake wafikishieni huu ujumbe ili aache/waache mara moja kujiita Doctor"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020963272158257413)  2026-02-09T20:49Z 950.3K followers, 34.5K engagements


"Mwanza Nyegezi kimenuka muda huu madereva bajaji wamefunga barabara ili mabasi yasitoke stendi hii imetokea Baada ya bajaji kuzuiwa kubeba na kushusha abiria nje ya stendi hakuna kukaa kinyonge SASA"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021202249200919024)  2026-02-10T12:39Z 950.4K followers, 36.1K engagements


"Mahakama imeanza soon nitakuletea updates za kesi ya Mhe. Lissu"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021845413825859595)  2026-02-12T07:14Z 950.6K followers, 20.9K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo February [--] [----] Jana tuliishia Part [---] so leo tunaendelea na-; Part [---]. Ni siku nyingine karibuni tena leo kwenye Darasa la Sheria. Mhe. Lissu tayari ameingia kama kawaida Wananchi wamepiga shangwe ile ya Rais Rais Rais Majaji nao wameingia kama kawaida yao wapo watatu. Naona Kizimba kimetobolewa kidogo upande wanaokaa Majaji ila kama shaidi ni mfupi hata Majaji hawawezi kumuona ila tuendelee. Jaji Ndunguru anasema sasa tuendeleee. Anasimama Wakili wa Serikali Renatus Mkude Wakili wa serikali Mkuu anasaidiwa na Ajuaye Katuga Ignas Thawabu Cathbert na Winiwa"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021852038171070774)  2026-02-12T07:41Z 950.6K followers, 52.1K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Wakili wa Serikali Ajuaye: Ulipoona video ulifanya nini Shahidi: Nilifungua na kucheza kutaka kuona anasema nini Nikacheza na kumsikia akisema atahakikisha uchaguzi wa [----] haufanyiki ataenda kukinukisha. Hiyo ameisema kwa kutamka neno moja moja. Majaji wanasema rudia. A ta ha ki ki sha u chagu zi A TA KI NU KI SHAAA. Amejibu hivyo hivyo kama mtoto anayejifunza kuongea. ๐Ÿ˜‚ Uchaguzi ulikuwa unahusu madiwani wabunge na Rais. Ajuaye anaendelea kumuhoji. Kingine alisema Polisi wanatumika kuiba kura pia nilisikia akisema Majaji nao ni MaCCM hawatendi"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021856283012321483)  2026-02-12T07:57Z 950.6K followers, 46.9K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu na maswali ya Dodoso Mhe. Lissu: Una leseni ya biashara Shahidi wa Kificho; Leseni ya Biashara sina ila ninayo naiandaaa. Mhe. Lissu: Una kitambulisho cha NIda Shahidi wa kificho; Sina ila napambana nikipate. Mhe. Lissu: una kitu chochote cha kukutambulisha ni mfanyabiashara zaidi ya maneno yako Shahidi wa kificho: Kile ninachotembeza ndio ushahidi wangu. Mhe. Lissu : Umekileta hapa Shahidi wa kificho; Sijaleta. Mhe. Lissu: Watajuaje we ni mfanyabiashara. Shahidi wa kificho: Waniamini tu. Lissu: unakaa ubungo kibangu Shahidi: ndio."  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021865153264791654)  2026-02-12T08:33Z 950.6K followers, 48.7K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu na cross examination Watu wanacheka jamaa kuulizwa kama yeye ni mwanaume.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Shahidi wa kificho: Hapa hayapo ili nilihojiwa. Mhe. Lissu: safi ukisema hayapo unaokoa muda sasa uliulizwa kuhusu ulikuwa unafanya nini Posta ya zamani Garden na ukasema ulikuwa unaperuzi facebook whatsapp na youtube. Sasa waeleze majaji kama hayo maneno yapo kwenye maelezo yako uliyonayo mkononi Shahidi wa kificho; Whstapp na Youtube hakuna hayajaandikwa hapa na Faceebok na Youtube hapa hayajaandikwa ila nilisema. Mhe. Lissu: uliulizwa kuhsuu simu yako na"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021872212525953364)  2026-02-12T09:01Z 950.6K followers, 70K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu na cross examination. Mhe. Lissu: Uliporudi nyumbani kwako umesema kwamba ulimpigia ndugu yako askari Shahidi wa kificho: kweli. Mhe. Lissu: ulisema anafanya kazi tabata relini Shahidi wa kificho: kweli. Mhe. Lissu: Tuoneshe yako wapi kwenye maelezo yako Shahidi wa kificho: Hapa hayapo. Mhe. Lissu: huyo ndugu yako askari Polisi ana jina Shahidi wa kificho: ndio jina analo. Mhe.Lissu: Polisi umemtaja jina Waeleze majaji kama kuna mahali umemtaja jina Shahidi wa kificho: Sijamtaja. Mhe. Lissu: Ana cheo chochote Shahidi wa kificho: sijui"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021880647472599095)  2026-02-12T09:34Z 950.6K followers, 49.6K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anamalizia Mhe. Lissu Shahidi wa kificho: Hapa Hayapo. Mhe. Lissu: Ahsante sana. Unajibu vizuri napenda. Mhe. Lissu: Waheshimiwa Majaji sina swali na shahidi. Jaji Ndunguru anawaita Mawakili wa Serikali: Je mtakuwa na swali lolote kwa ajili ya re examination. Ajuaye anajibu kuwa sisi hatuna swali lolote. Jaji: Sasa shahidi tunakuruhusu tumemalizana na wewe. Kimlango kinafungwa na Majaji wanaandika kidogo. Anasimama Wakili wa Serikali anasema tunaomba ahirisho hadi saa nane ili tuendelee na shahidi huyo. Mhe. Lissu: Sina pingamizi ila waseme shahidi wao ni nani"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021883078197600522)  2026-02-12T09:44Z 950.6K followers, 51.4K engagements


"Wanachi na Wanachama waliohudhuria Mahakama leo wakilia kwa Uchungu baada ya Mhe. Lissu kusema hajapewa CHAKULA.๐Ÿ˜ญ"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021930265954644449)  2026-02-12T12:51Z 950.6K followers, 28.4K engagements


"Basi bhana leo wakati shahidi wa kificho anatoa ushahidi wake alipewa desa akawa anasoma asa Mawakili wa Serikali walimuandikia aseme simu aliyotumia kutizama video ya Kukinukisha ni Sony Experia au Galaxy yeye akasema alitumia simu aina ya Sony Xperia Galaxy .๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021977818431934885)  2026-02-12T16:00Z 950.6K followers, 58.1K engagements


"Serikali haramu ya Idd Amin Mama imefungia Youtube Channel zote za BBC zilizorusha video ya kiuchunguzi ya Tanzania State of Fear iliyofanywa na @BBCAfrica kupitia #BBCAfricaEye na hazitaweza kuonekana tena Tanzania bila kutumia VPN. The illegal Tanzanian government has blocked all BBC YouTube channels that aired an investigative video made by @BBCAfrica #BBCAfricaEye and they will no longer be viewable in Tanzania without using a VPN. Unaweza kutazama hapa lini https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=p00IBP23Bsazy0RF https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=p00IBP23Bsazy0RF"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2019059888433889498)  2026-02-04T14:46Z 950.6K followers, 18.1K engagements


"Uchaguzi haukufanikiwa hatutambui waliopo madarakani-; Mhe. @HecheJohn"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021309587052249500)  2026-02-10T19:45Z 950.4K followers, 11K engagements


"KUTOKA UKUMBI WA MAHAKAMA KUU Waandishi wa Habari wapo wa kutosha sana ndani ya Ukumbi wa Mahakama. Muda huu ameingia Makamu Mwenyekiti wa Chama Mhe. John Heche pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Chama Dr. Rugemeleza Nshala. Ameingia pia Naibu Katibu Mkuu wa Chama Amani Golugwa. Tunasubiri Leo nawaona Mawakili wa Mhe. Tundu Lissu wapo wakutosha pia. Nimemuona. [--]. Dr. Nshala [--]. Hekima Mwasipu [--]. Edson Kilatu [--]. Faraji Mangula [--]. Frednand Makore [--]. Deogratias Mahinyila [--]. Michael Lugina [--]. Ikoti Lissu Na wengine ngoja niendelee kutafuta majina yao hapa. Mawakili wa Serikali pia nao naona wanaingia"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021483808843862404)  2026-02-11T07:17Z 950.4K followers, 25.9K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea kusoma uamuzi Jaji Ndunguru Pingamizi la nne lilihusiana na suala la fair trial na haki ya kusikilizwa. Kwamba atashindwa kumdodosa pia shahidi vizuri kwasababu atakuwa haonekani na hawezi kumuhoji shahidi vizuri. Mshitakiwa aliturejesha kwenye Katiba na Mikataba ya kimataifa juu ya haki sawa mbele ya Sheria. Mahakama imetafakari hoja hiyo kwa makini haikuona ni kwa namna gani mshitakiwa atashindwa kumuhoji shahidi kwasababu hamuoni sura yake. Pingamizi la tano kuhusu kifungu cha [---] cha CPA marekebisho yake hayakutangazwa kwenye gazeti la serikali"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021506223632236729)  2026-02-11T08:46Z 950.5K followers, 32.8K engagements


"Nilikuwa najiuliza mbona leo ni kama Mawakili wa Serikali na Majaji wanajivuta sana mpaka kesi imechelewa kuanza kumbe wenzetu walikuwa wanajua kwamba wanakuja kuhairisha kesi"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021531231419256877)  2026-02-11T10:26Z 950.6K followers, 30.6K engagements


"@NgalulaAngelina Hii ndo kazi na Utu yenyewe"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021725318495748383)  2026-02-11T23:17Z 950.6K followers, [----] engagements


"Hiki ndo kizimba cha mashaidi wa kificho pamoja na Mahakama kuhairisha kesi jana ili kirekebishwe ila mpaka muda huu naona kipo vile vile hakuna kilichobadilishwa.๐Ÿ˜ค"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021827725103698144)  2026-02-12T06:04Z 950.6K followers, 41K engagements


"Ni leo saa mbili kamili usiku hapa hapa X so usikose kufuatilia mjadala huu"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2022188069043216566)  2026-02-13T05:56Z 950.6K followers, 13.4K engagements


"Anaandika @IAMartin_ Ujumbe umfikie James Mbowe na Chawa wenzake. Wanaharakati hawajatufikisha hapa. Tumefika hapa kwa kuwa kikundi kidogo cha watu kiliamua kufanya siasa za UDALALI na kutumika na MaCCM wakahamia CHAUMMA kwa kupewa ahadi za uongo za madiwani wabunge na halmashauri. Hizo ni siasa za UDALALI. CHADEMA sasa inashtakiwa na wahuni ambao wamewahi kuwa viongozi waandamizi. Maombi ya wahuni ndiyo yametumiwa na Mahakama kuzuia shughuli za CDM. Hao ndiyo wanatumika na MaCCM kutaka kupoteza tunu ya wananchi CHADEMA. Kama kweli ungelikuwa unampenda Tundu Lissu kuliko hao wanaharakati"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2020149341831241854)  2026-02-07T14:55Z 950.6K followers, 34.1K engagements


"Kizimba kama kizimba๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021678070650831068)  2026-02-11T20:09Z 950.6K followers, 11.5K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Imepigwa High Courtttttt Majaji wameingia. Mhe. Lissu alivyoingia anauliza mmekula Mimi mwenzenu sijala kabisa. Majaji wamewasha kipaza sauti pale na karani anasoma namba ya kesi. Anasimama Renatus Mkude anajitambulisha na kusoma anaoambatana nao na kusema Mshitakiwa yupo. Shauri lilipangwa na tunae shahidi P6 tuko tayari. Mhe. Lissu anasema na mimi niko tayari. I ngawa sijala mnapofunga watu mjue hilo. Renatus Mkude anasimama anasema kula ni haki yake ya msingi kama hajala tuahirishe maana kula ni haki yake. nashangaa kwanini hajala. Mhe. Lissu anasema"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2021918774065058150)  2026-02-12T12:06Z 950.6K followers, 60.2K engagements


"Dunia inajua kwamba Nduli Idd Amin Mama ni muuaji. Samia Suluhu Hassan has caused Tanzanias most dangerous crisis since independence https://t.co/jcnwE1SRnX Samia Suluhu Hassan has caused Tanzanias most dangerous crisis since independence https://t.co/jcnwE1SRnX"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2022035136431440183)  2026-02-12T19:48Z 950.6K followers, 13.4K engagements


"HAYA NDO MAMBO AMBAYO MHE. LISSU AMEFANIKIWA KUYABADILISHA. Wakati tunasubiri kesi ya Mhe. Lissu ianze kuunguruma siku ya leo. Tangu kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe.Lissu ianze mpaka sasa ameshabadilisha mfumo wa uendeshaji wa Mahakama na kulazimisha baadhi ya mambo yabadilike. Mambo hayo ni kama yafuatayo;- [--]. Amefanikiwa kurekebisha kiboksi cha Mashahidi. Kuanzia sasa vizimba vyote ya Mashahidi vitakuwa wazi kwa kiasi cha Majaji kuwaona. Kazi hiyo amefanya Tundu Lissu. [--]. Kupata Chakula ni Haki ya Msingi kwa mahabusu na Binadamu yeyote. Mahabusu kwenye Mahakama za Tanzania hawakuwahi kuwa"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2022194488588795967)  2026-02-13T06:21Z 950.6K followers, 57.5K engagements


"Mahakama imeanza"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022199306065981803)  2026-02-13T06:40Z 950.6K followers, 22.8K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo February [--] [----] Jana tuliishia Part [---] so leo tunaendelea na-; Part [---] Mahakama imeanza muda huu saa tatu na nusu. Mhe. Lissu anaingia akiwa amevaa kombati nyeusi. Sauti ya High Courttt inapigwa kila mtu anasimama na kelele za kumsalimia Mwenyekiti zinasimama kidogo. Majaji wanaandika kidogo pale mbele. Anasimama Wakili wa Serikali Renatus Mkude anasema yupo na Ajuaye Katuga Ignas Cathbert na Winiwa na wote tunawakilisha Jamhuri na Mshitakiwa yupo. Sisi tuko tayari kuendelea na leo tumekuja na P6 yuko tayari endapo Mshitakiwa atakuwa tayari. Mhe. Lissu anaulizwa"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022207144171360481)  2026-02-13T07:12Z 950.6K followers, 38K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mazingira aliyokuwa anayatolea ilikuwa ni kama sehemu ya Ukumbini ndo nilimuona hapo. Muda huu ameingia Mtaalamu Wakili Msomi Peter Kibatala wakati kesi inaendelea. Amekaa pale karibu na Kizimba cha Mhe. Tundu Lissu nimeona wanasalimiana kimya kimya Mhe. Lissu anacheka anamuonyeshea kidole cha Upendo ni kama anamwambia wewe kijana wangu wewe.๐Ÿ˜‚ Wakili wa Serikali: Muonekano wa Lissu ulikuwaje Shahidi wa kificho P6: Alivaa Kombati ya Kaki. Namfahamu Tundu Lissu kama mwanasiasa mkongwe na mwanasiasa maarufu. Wakili: Baada ya kuona hiyo hotuba wewe ulifanya nini"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022216085601145122)  2026-02-13T07:47Z 950.6K followers, 41.3K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Shahidi wa kificho P6: Akasema tutawanyike na atapanga tarehe nyingine ya mkutano huo. Wakili: Huyo Makamu Mwenyekiti ni nani Shahidi wa kificho P6: Ni Mh. Heche. Wakili: Tar. 18/04/2025 nini kilitokea Shahidi wa kificho P6: Nilipokea taarifa kuwa tarehe 20/04/2025 siku ya pasaka kutakuwa na matembezi ya hiyari ambapo katika matembezi hayo yataambatana na kuvalia tshirt zilizoandikwa agenda ya No Reforms: No Election ili kuendeleza agenda ya Chama. Wakili: Kingine kilichoendelea Shahidi wa kificho P6: Ukafanyika utaratibu wa kuzipata tshrit na tunachangia elfu"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022223995437756913)  2026-02-13T08:19Z 950.6K followers, 41.3K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mhe. Lissu anaendelea kumsomea Shahidi maelezo yake. Amemaliza kusoma maelezo anamuonesha maeneo aliyodanganya au kuleta mkanganyiko. [--]. Dini [--]. Umri [--]. Shughuli za Chama alizoambiwa atakuwa anataka kuzifanya [--]. Tar. 04/04/2025 ulikuwa na simu infinix smart [--]. [--]. Hiyo simu yako lilikuwa na bando la Internet [--]. Uliingia kwenye mtandao wa youtube wa Jambo Tv [--]. Mimi mtuhumiwa nilisema yoyote atakayekuwa nasi tutaenda nae ambae hatataka tutamuacha. [--]. Nilisema anayetaka kugombea udiwani au ubunge asahau na mimi niliyetaka kugombea urais nisahau [--]. No Reforms: No"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022236789411312032)  2026-02-13T09:09Z 950.6K followers, 38.5K engagements


"Wakati tunaendelea na updates za kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu Huyu ndo Shahidi wa kificho siku ya leo kwenye kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu. Watu wa maeneo ya Songea mjini bila shaka mnamfahamu mwambieni aache kutumika. Haya tuendelee na updates"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022240037610611026)  2026-02-13T09:22Z 950.6K followers, 50K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia cross examination Shahidi wa kificho P6. Mhe. Lissu: Mhe. Jaji naomba shahidi ajibu maswali yangu. Jaji: Hebu muulize tena. Mhe. Lissu: Hayo maneno ya simu infinix smart [--] yapo au hayapo Shahidi wa kificho P6: sifahamu. Jaji: Nafikiri lengo lako mshitakiwa ni ku empeach credibility ya shahidi kwahiyo akisema hafahamu wakati kielelezo kipo na sisi Mahakama tutakipitia. Basi acha aendelee kusema hafahamu. Mhe. Lissu: Maneno kwamba ulikuwa na bando la kuingia youtube hebu tuoneshe kwenye maelezo yako hapo Shahidi wa kificho P6:"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022243256164143339)  2026-02-13T09:35Z 950.6K followers, 45.6K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia cross examination Shahidi wa kificho P6. Mhe. Lissu: Pameandikwa tarehe 06/04 kutakuwa na ziara ya Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Songea umeona vizuri hapo. Shahidi wa kificho P6: Naweza kurudia pia wilaya ya songea anaisoma. ๐Ÿ˜‚ Shahidi ni kama Futuhi kwakweli. Mhe. Lissu: Twende Tarehe 10/04 umesema hivi ukiwa umekusanyika uwanja wa shule ya Msingi Matalawe na kuwataja viongozi ghafla gari ya polisi ilifika na kuwatawanya. Waeleze majaji kama hayo maneno gari la polisi lilifika na mkatawanywa. Shahidi wa kificho P6: Hayapo"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022252990774616233)  2026-02-13T10:14Z 950.6K followers, 49.8K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu Mhe. Lissu: Mhe. Jaji hawako serious hawa kwanza ukisoma D4 kila kitu chake kipo hata jina lake hawajaficha lipo na taarifa zake zote zipo hawajielewi hawa. Katuga: Anasimama anasema Mh. Sisi ni maafisa wa mahakama aonywe mshitakiwa kwanini anasema hatuko serious. Mhe. Lissu: Mh. Jaji ni kweli hayupo serious ila nataka niliondoe neno hilo lakini kama anasema nionywe siko tayari kuonywa naomba nifanye submission ya kuonesha ni kwa namna gani hawako serious Jaji Ndunguru: Basi Mshitakiwa tuishie hapo kama umesema umeliondoa. Watu wanacheka"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022255462695964867)  2026-02-13T10:24Z 950.6K followers, 48.4K engagements


"Mahakama imerejea"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022278193961431284)  2026-02-13T11:54Z 950.6K followers, 28.2K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mahakama imerejea. Anasimama Renatus Mkude na kusema tuko tayari kuendelea na tuko na shahidi wa wazi. Muda huu tunaendelea na shahidi ambae ni H3923 Detective Coplo Michael Mimi ni askari Polisi. Mimi ni Mristo. Huyu Polisi mwingine ni shahidi ambae atakuwa ni PW6 Anaongozwa na Ignas Mwinuka Wakili wa Serikali. Shahidi ni mwemba mrefu kidogo mweusi na amevaa miwani. D. Koplo Michael anasema anaishi Kiusa Street Moshi Kilimanjaro. Ninafanya kazi Askari Polisi naifanyia kazi yangu ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kilimanjaro nimekuwa katika ofisi hiyo tangu"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022286868792893810)  2026-02-13T12:28Z 950.6K followers, 51.6K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Jaji Ndunguru: Mshitakiwa una maswali ya Dodoso Mhe. Lissu: Ninayo mengi sana. Mhe: Lissu: Na Nyie ambao mna watoto mnawapeleka kuwa askari polisi mnawapeleka kwenda kutenda Dhambi za kusema uongo mjue hivyo. Mhe. Lissu: Sasa D. Koplo Michael unakumbuka ulitoa maelezo yako na unaweza kuyatambua ukiyaona Koplo Michael : Ndio naweza. Anapatiwa maelezo yake hapa. Koplo Michael : Haya maelezo ni ya tarehe 22/04 nimeyatambua yana sahihi yangu. Mhe. Lissu: Naomba nikusomee maelezo yako na pia nitakuonesha maeneo ninayotaka ku impeach na baadae nitamuomba yapokelewe"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022299746514120773)  2026-02-13T13:20Z 950.6K followers, 43.1K engagements


"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia cross examination Koplo Michael. Mhe. Lissu: Kwahiyi P8 alikuwa amefanya kosa Koplo Michael: ni kweli alikuwa amefanya makosa Mhe. Lissu: Kwahiyo maelezo yake hayapo Koplo Michael: Sijayaleta Mhe. Lissu: Je mlifungua kesi Koplo Michael: Hatukufungua kesi. Mhe. Lissu: hadi leo hamjafungua Koplo Michael: Sijui kwakweli. Lissu: RCO ndio alikwambia chukua maelezo ya shahidi kwenye kesi ya Lissu. Shahidi: Hapana sio hivyo. Mhe. Lissu: anamsomea alipoandika kuwa shahidi kwenye kesi ya lissu. Koplo Michael: Ni kweli nilisema kumbe."  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022305425178194278)  2026-02-13T13:42Z 950.6K followers, 42.1K engagements


"Meza ya Mhe. Lissu imesheheni ๐Ÿ™Œ"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/2022342770518794749)  2026-02-13T16:11Z 950.6K followers, 14.1K engagements


"Tuko humu. https://t.co/wwpKqoMEUH https://t.co/wwpKqoMEUH"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2022365150863356320)  2026-02-13T17:40Z 950.6K followers, [----] engagements


"RT @MmusiMaimane: Let me add. Zimbabwe Mozambique Tanzania and Uganda"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2022540411198153115)  2026-02-14T05:16Z 950.6K followers, [---] engagements


"Please sign and share this petition to join the fight for justice for the thousands of Tanzanians who were murdered or shot by the mercenaries of Samia Suluhu Hassan. Stand with us to demand accountability and protect the rights of the victims. #TanzaniaOnTrial #SamiaMustGo #JusticeForTanzania https://www.change.org/p/recognize-the-tanzania-massacre-launch-an-independent-investigation-a4e4c1a5-78e8-4c2a-9f9b-36931db72edfrecruiter=1394738489&recruited_by_id=2e9b3790-bd46-11f0-9bdd-6d6fa6fdd162&utm_source=share_petition&utm_campaign=petition_dashboard_share_modal&utm_medium=twitter"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1988333499192078381)  2025-11-11T19:50Z 946K followers, 25.5K engagements


"Mshua master anawasalimia๐Ÿ’ช๐Ÿป"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1988509270216683630)  2025-11-12T07:28Z 945.7K followers, 33.7K engagements


"Please sign and share this petition to join the fight for justice for the thousands of Tanzanians who were murdered or shot by the mercenaries of Samia Suluhu Hassan. Stand with us to demand accountability and protect the rights of the victims. #TanzaniaOnTrial #SamiaMustGo #JusticeForTanzania https://www.change.org/p/recognize-the-tanzania-massacre-launch-an-independent-investigation-a4e4c1a5-78e8-4c2a-9f9b-36931db72edfrecruiter=1394738489&recruited_by_id=2e9b3790-bd46-11f0-9bdd-6d6fa6fdd162&utm_source=share_petition&utm_campaign=petition_dashboard_share_modal&utm_medium=twitter"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1988866181093069203)  2025-11-13T07:07Z 947.2K followers, 16K engagements


"Elimu ya Wolfgang Pisa Rais wa TEC; [--]. Bachelor degree in Philosophy- Zambia [--]. Bachelor degree in Divinity - Zambia [--]. Bachelor degree in Theology- Jordan [--]. Masters of Education - UDSM [--]. Masters in Social ethics- USA [--]. PhD in Social Ethics- USA"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1989714448198595056)  2025-11-15T15:17Z 947K followers, 52.8K engagements


"Wanafanya propaganda za kitoto sana mpaka Watanzania tunaonekana wote hatuna akili BREAKING: Tanzanias police are claiming they captured a U.S. soldier with explosives at the TanzaniaKenya border after massacring thousands of its un-armed citizens. Nothing about this story is independently verified. However authoritarian regimes have a long history of https://t.co/BwWt6PZRi5 BREAKING: Tanzanias police are claiming they captured a U.S. soldier with explosives at the TanzaniaKenya border after massacring thousands of its un-armed citizens. Nothing about this story is independently verified."  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1990302685783048232)  2025-11-17T06:15Z 946.7K followers, 19.9K engagements


"Tukutane December [--] 2025"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1990709426315997685)  2025-11-18T09:11Z 947K followers, 23.1K engagements


"THABO MBEKI OFFICIAL STATEMENT The Samia Suluhu Hassan & CCM regime has NO legitimacy The October [----] elections were brazenly rigged. SADC and the AU have confirmed voters were NOT free. Violence abductions murders this is NOT democracy"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1992862512623345936)  2025-11-24T07:47Z 947.4K followers, 18.6K engagements


"Disemba [--] 2025"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1993785332199006653)  2025-11-26T20:54Z 947.4K followers, [----] engagements


"Natoa masaa [--] mrudisheni Humphrey Polepole au nitalipiza kisasi-; Kanali Agustino Polepole Kaka wa Balozi Polepole"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1993975044351852793)  2025-11-27T09:27Z 948.5K followers, 36.4K engagements


"Nduli Idd Amin Mama the butcher"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2000127730713772083)  2025-12-14T08:56Z 949.1K followers, 23.1K engagements


"Dear God thank you for this beautiful life and the blessings that come with it. Happy Birthday Hilda.๐ŸŽ‚๐Ÿพ๐Ÿฅ‚"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2002988587701424531)  2025-12-22T06:24Z 949.4K followers, 114.1K engagements


"@elia_elish16135 Thank you"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2003088363352707527)  2025-12-22T13:00Z 949.3K followers, [--] engagements


"Anaitwa Clement Mwandambo. ๐Ÿ™Œ"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2004942054003257654)  2025-12-27T15:46Z 949.4K followers, 12.4K engagements


"#FreeClementMwandambo"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2005882621402677547)  2025-12-30T06:04Z 949.5K followers, 10.3K engagements


"Wanachofanyiwa Wananchi wa Iran hakina tofauti na tulichofanyiwa Watanganyika Oktoba 29.๐Ÿ˜ญ Message from inside Iran: Please help us. The situation here is horrific. It is a full scale war. The regimes forces show no mercy. They shoot protesters in the head and heart and even finish off those already wounded on the streets. In hospitals the wounded are being kidnapped Message from inside Iran: Please help us. The situation here is horrific. It is a full scale war. The regimes forces show no mercy. They shoot protesters in the head and heart and even finish off those already wounded on the"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2010991361453912479)  2026-01-13T08:24Z 949.7K followers, 17.9K engagements


"New evidence points to killings and grave human rights abuses by security forces in Tanzania. https://youtu.be/-ZZrAoiAmqcsi=o30rNJ0kRLkL_KTg https://youtu.be/-ZZrAoiAmqcsi=o30rNJ0kRLkL_KTg"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2011489652394349050)  2026-01-14T17:24Z 949.9K followers, 24.3K engagements


"Woyooooooooooooo. imoooooo"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2012999655177527470)  2026-01-18T21:24Z 949.8K followers, [----] engagements


"Ukweli mchungu"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2014614698621063519)  2026-01-23T08:22Z 950K followers, 19.2K engagements


"@English_snow2 Asante sana"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2003190991298396176)  2025-12-22T19:48Z 949.8K followers, [----] engagements


"Hii imeniliza sana.๐Ÿ˜ญ"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2015106205207719943)  2026-01-24T16:55Z 949.8K followers, 17.1K engagements


"Maneno ya Asenga wa CHAUMA baada ya Salam za rambirambi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2015381013220737272)  2026-01-25T11:07Z 949.8K followers, 41.2K engagements


"State of Fear: Inside Tanzanias Enforced Disappearances - BBC Africa Ey. Iangalie hapa Youtube LIVE. Inaanza baada ya masaa [--] ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ http://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi http://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/2018049083059888236)  2026-02-01T19:49Z 950K followers, [----] engagements


"Huyu kijana na yeye ni miongoni mwa walioshitakiwa pamoja na Niffer kwenye kesi ya Uhaini. Jeshi la Polisi Tanzania walikataa hata kumruhusu apige simu nyumbani kwao kuomba aletewe nguo za kubadilisha. Leo kapandishwa kizimbani kusomewa mashitaka akiwa amevaa vest na boksa kama mnavoona hapa kwenye picha. Polisi wa Tanzani wanaroho mbaya wanaroho ngumu kama maisha yao wengi walivyo. ๐Ÿšฎ ๐Ÿšฎ ๐Ÿšฎ"  
[X Link](https://x.com/HildaNewton21/status/1986820300273566119)  2025-11-07T15:37Z 950.6K followers, 143.2K engagements


"Kampeni Tesha ashauri JWTZ kuchukua nchi haraka sana kutokana na jinsi mambo yanavoendelea nchini"  
[X Link](https://x.com/anyuser/status/1974429097020506552)  2025-10-04T10:59Z 950.5K followers, 188.5K engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@HildaNewton21 Avatar @HildaNewton21 Hilda Newton

Hilda Newton posts on X about wa, leo, youtube, tanzania the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [-------] #

Engagements Line Chart

  • [--] Week [---------] +2,915%
  • [--] Month [---------] +1,320%
  • [--] Months [---------] +555%
  • [--] Year [---------] +36%

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

  • [--] Week [--] +485%
  • [--] Month [--] +856%
  • [--] Months [---] +214%
  • [--] Year [---] -85%

Followers: [-------] #

Followers Line Chart

  • [--] Week [-------] +0.05%
  • [--] Month [-------] +0.09%
  • [--] Months [-------] +1.90%
  • [--] Year [-------] +3.50%

CreatorRank: [------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries 8% technology brands 6% social networks 5% currencies 2%

Social topic influence wa #31, leo #169, youtube 5%, tanzania #612, tu 3%, sana 3%, cross #172, newton #45, kwanza 2%, nao #1019

Top accounts mentioned or mentioned by @grok @tundualissu @markseventz @hechejohn @tnerei34894 @freedata462 @uzao_mteule_jr @firstborn06 @sharb84 @bbcafrica @zephafx @myhope04 @richardmwalwib4 @makorokochoe @tonnyadamms @nchimbiras @plagiarised_ @barakawamb @mariastsehai @bonifacemwangi

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"Comments ziwe fupi fupi"
X Link 2026-01-29T19:17Z 950.2K followers, 95K engagements

"State of Fear : Inside Tanzanias Enforced Disappearances - BBC Africa Eye Documentary @MariaSTsehai : Utekaji umekuwa ugonjwa sugu ndani ya serikali ya CCM ilinza kwa kiasi wakati wa Kikwete kutekwa na Ulimboka kisha Magufuli naye akaendeleza Lakini wakati huu wa Samia kuna zaidi ya watu [---] wametekwa na watu [---] wamepotea kabisa toka walipotekwa awajaonekana tena wengi wa hawa watu ni wakosoaji wa serikali au mtu mwenye maoni tofauti na serikali https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=p00IBP23Bsazy0RF https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=p00IBP23Bsazy0RF"
X Link 2026-02-02T09:14Z 950.3K followers, [----] engagements

""They told me to take off all my clothes then they lifted me up and handcuffed me to a long stick between two tables they greased my feet and then started beating me. They opened my buttocks and greased me and then started inserting I don't know if it was a stick or what but they inserted it all the way in Then they took my underwear out of my mouth and told me to cut my waist saying THANK YOU SAMIA".-; @bonifacemwangi Kenyan activist describing the brutality he suffered from the security forces in Tanzania. #BBCAfricaEye @BBCAfrica"
X Link 2026-02-02T16:02Z 950.1K followers, 14.6K engagements

"Hatuwezi kukalia kimya mauaji ya utekaji-; Mhe. @HecheJohn Leo akiwa kwenye msiba wa Mama Mzazi wa Sinda Geteba ambae alitekwa miezi kadhaa iliyopita"
X Link 2026-02-03T16:04Z 950.3K followers, 19.4K engagements

"Kama ulipitwa na hii Documentary hakikisha unaangalia ๐Ÿ“ฝ You can now watch the full documentary 'State of Fear' here: https://t.co/Hmp9W7IMMT https://t.co/fSl3PyKIJp ๐Ÿ“ฝ You can now watch the full documentary 'State of Fear' here: https://t.co/Hmp9W7IMMT https://t.co/fSl3PyKIJp"
X Link 2026-02-04T07:53Z 950.3K followers, [----] engagements

"Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu imepangwa kuendelea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----]. Zimebaki siku tano tu tujitokeze kwa wingi kupata darasa la sheria kutoka kwa Mhe. Lissu. #FreeTunduLissu"
X Link 2026-02-04T07:56Z 950.3K followers, [----] engagements

"Sauti inatosha. https://t.co/8OvdHKq3AQ https://t.co/8OvdHKq3AQ"
X Link 2026-02-04T17:10Z 950.3K followers, 15.5K engagements

"Tulikubaliana hakuna kushirikiana na maccm hawa waandishi walienda kutafuta nini uko kama sio uchawa na kujipendekeza"
X Link 2026-02-05T17:59Z 950.3K followers, 13.5K engagements

"Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu imepangwa kuendelea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----]. Zimebaki siku tatu tu tujitokeze kwa wingi kupata darasa la sheria kutoka kwa Mhe. Lissu. #FreeTunduLissu"
X Link 2026-02-06T13:25Z 950.3K followers, [----] engagements

"Leo tangu nimeamka asubuhi hii nyimbo inaimba sana kichwani kwangu. Limama liuaaaajiiiiii ๐Ÿ˜ญ"
X Link 2026-02-07T10:08Z 950.3K followers, 17.6K engagements

"Huyu Dereva Bajaji ni Familia kabisa Mungu amlinde. R. I. P wote Oktoba [--] 2025๐Ÿ™"
X Link 2026-02-07T11:25Z 950.3K followers, 32.9K engagements

"Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu imepangwa kuendelea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----]. Kesho Jumatatu tujitokeze kwa wingi kupata darasa la sheria kutoka kwa Mhe. Lissu. #FreeLissu"
X Link 2026-02-08T09:25Z 950.3K followers, [----] engagements

"Nduli Idd Amin Mama muoga sana yani leo anaenda kufungua Soko la Kariakoo lakin Wafanyabiasha wote wamelazimishwa wafunge maduka yao halafu hapo hapo Maccm yote ya Mkoa wa Dar yameambiwa yatapewa elfu [--] ili yaende yakajazane kwenye Uzinduzi maana wanaogopa aibu ya kukosa watu wa kwenda kumsikiliza. Damu za Watanganyika zaidi ya elfu kumi alizomwaga zitaendelea kumuandama yeye na washirika wake mpaka siku wanaingia kaburini. https://twitter.com/i/web/status/2020433139638685714 https://twitter.com/i/web/status/2020433139638685714"
X Link 2026-02-08T09:42Z 950.3K followers, 36.5K engagements

"Ujinga umefikisha Taifa kubaya Viongozi wanatetea uwongo ufisadi na upuuzi"
X Link 2026-02-08T16:35Z 950.3K followers, 20.1K engagements

"State of Fear: Inside Tanzanias Enforced Disappearances - BBC Africa Ey. via @YouTube https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=geWz43i9fvQ37eKu https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=geWz43i9fvQ37eKu"
X Link 2026-02-09T04:14Z 950.3K followers, [----] engagements

"Tunamshukuru Mungu kwa kutuamsha salama sasa uelekeo ni Mahakama Kuu kwenye kesi ya Mhe. Lissu kesi itakuwa LIVE kwenye ukurasa huu kama kawaida"
X Link 2026-02-09T04:18Z 950.2K followers, 14K engagements

"Hali ilivo njee ya Mahakama Kuu Polisi wamejazana sana yani mtu ukiwa mgeni unaweza kudhani hapa ni Darfur-Sudan"
X Link 2026-02-09T06:02Z 950.3K followers, 14.6K engagements

"Mhe. Lissu akiwasili Mahakamani muda huu"
X Link 2026-02-09T06:14Z 950.3K followers, 14.3K engagements

"Ukumbi wa Mahakama tayari umejaa sasa anasubiriwa Mhe. Lissu na Majaji waingie ili kesi iweze kuanza"
X Link 2026-02-09T06:30Z 950.3K followers, 13.3K engagements

"UTANGULIZI KUHUSU KESI YA MHE.LISSU. Leo ni February [--] [----] tunaendelea na Kesi ya Uhaini Na. [-----] inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa itaendelea Katika Mahakama kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dar es salaam. Kama mnakumbuka vizuri tuliishia shahidi Na. [--] ambae ni P11 yaani shahidi wa siri. Alivyoingia Mahakamani Novemba [--] [----] shahidi huyu wa siri hakuonekana kokote hata kwa Majaji ndio Mheshimiwa Lissu akaweka pingamizi kuhusu kibox kilivyowekwa na namna ambavyo sheria inahitaji shahidi wa siri kutoa ushahidi wake. Lakini pia katika pingamizi lake alielezea kuhusu kanuni za"
X Link 2026-02-09T06:47Z 950.3K followers, 26.3K engagements

"Shangwe la WanaCHADEMA wakati Mhe. Lissu akiingia katika ukumbi wa Mahakama kuu asubuhi hii"
X Link 2026-02-09T07:08Z 950.3K followers, 21.4K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo February [--] [----] Last time tuliishia Part [---] so leo tutaendelea na-; Part [---]. Ameingia Mheshimiwa Lissu zimepigwa kelele nyingi sana hapa Mahakamani ni kelele za Rais Rais Rais Mhe. Lissu amepiga kombati ya kaki ameingia kwa vibe sana. Amebeba makabrasha yake mavifurushi mengi sana ya vitabu. Imepigwa sauti ya Courttttt ikiwa na ukali watu hawanyamazi wanaendelea na minong'ono fulani ya kushangilia. Wameingia Majaji na kuketi eneo lao. Jaji anasema tuendelee Karani anasoma namba ya shauri. Anasimama Renatus Mkude wakili wa Serikali Mkuu yuko na Ajuaye Nasoro"
X Link 2026-02-09T07:20Z 950.2K followers, 75.1K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu. Tuna haki yakutembelewa waheshimiwa Majaji kuna masharti kwenye hiyo kanuni ikiwemo sharti la kutembelewa na mfungwa mwenzako sharti lingine ni askari magereza wakuone na kukusikiliza ila kwa Mawakili kanuni haisemi hivyo. Waheshimiwa Majaji tangu tarehe 10/04/2025 mpaka 12/11/2025 nilikuwa natembelewa bila tatizo. Na ndugu familia marafiki na Mimi ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa walikuwa wananitembelea wana Chadema Tanzania nzima. Niliitwa kwa Bwana Jela nikaambiwa ni marufu kwa viongozi na wanaChadema kukutembelea Gerezani. Chadema ni"
X Link 2026-02-09T07:58Z 950.3K followers, 52.5K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu Hili ni kosa la kipekeee angalieni ibara ya 28(4) ya Katiba ya JMT ndo kosa pekee la Jinai lililotajwa kwenye Katiba kwasababu sio kosa la kawaida. Kama hiyo ndio hoja kosa hili pia la Uhaini linapaswa kuwa na kipaumbele maana ni tofauti na makosa mengine yote. Kwenye kuthibitisha hilo hii sio kesi ya kwanza ni kesi ya tatu toka tumepata uhuru. Kesi ya Grey Likungu miaka [--] iliyopita ilikuwa na washitakiwa [--] lakini ilichukua miezi [--] tu hadi kufika Mahakama ya Rufani. Kwasababu uhaini ni kosa kuu kuliko mengine yote ilipewa uzito huo."
X Link 2026-02-09T08:34Z 950.3K followers, 40K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---]. Anaendelea Wakili wa Serikali Katuga. Mahakama hii tukufu ijiulize je shahidi huyu P11 ni mashahidi ambao wamelindwa akirejea kanuni ya [--] ya Kanuni za ulinzi wa Mashahidi akiwaambia pia Shahidi anayelindwa ni shahidi ambae yupo kwenye amri ya Ulinzi. Pia amewarejesha kanuni ya [--] inamuelezea shahidi gani ambae anapewa ulinzi au analindwa au amri ya ulinzi inatolewa kwake. Naomba mrejee uamuzi wa Jaji Mtembwa wa Mahakama hii juu ya uamuzi wa kulinda mashahidi wa kesi hii. Hoja hii ina majibu mawili kama ifuatavyo. Jibu la kwanza ni kwamba kanuni ya [--] za ulinzi"
X Link 2026-02-09T09:12Z 950.3K followers, 41.5K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Naomba nimalizie kwa upande wetu wa Serikali na tumuachie mwenzetu aweze kujibu na kuwasilisha Rejoinder yake. Jaji anawauliza mmemaliza Upande wa Mashitaka. Wanajibu wamemaliza. Mhe. Lissu anajiandaa kufanya rejoinder hapa. Anasimama Mh. Lissu. Nawashukuru Waheshimiwa Majaji. Nimesikiliza hoja za Majibu ya Mawakili wa Serikali na nitajibu kama zilivyoletwa na Wakili wa Serikali. Hoja ya kuhusu kizimba maalumu cha mashahidi. Swali nililouliza je hicho kizimba kinaendana na matakwa ya sheria Sheria inasema kizimba ni eneo ambalo sisi wengine haturuhusiwi"
X Link 2026-02-09T09:57Z 950.3K followers, 49.3K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu Kifungu cha [---] cha CPA amekisoma Katuga hapa kwamba Mahakama inaweza ku regulate taratibu zake wakati wa kutekeleza wajibu wake wa jinai. Msifungwe sana na hizi kanuni maana mnaweza kuregulate procedure zenu. Sasa kifungu cha [---] sio kichaka cha kujificha ili kukiuka sheria na taratibu zilizowekwa wazi. Utaratibu wa kulinda mashahidi umewekwa wazi kifungu cha [---] cha CPA na kanuni za ulinzi wa mashahidi. Huu mualiko wa kwamba muache sheria inasemaje mtafute busara zenu nawashauri msikubali huu mwaliko wa Katuga wa kudharau sheria."
X Link 2026-02-09T10:48Z 950.3K followers, 47.8K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anamalizia Mhe. Lissu Vinginevyo haitakuwa Mahakama ya Haki na kanuni zinataka usikilizwaji wa mashauri haya uwe wa haki kwa pande zote. Ni hayo tu waheshimiwa majaji. Anamaliza Mheshimiwa Lissu hapa. Majaji wanateta huku wakiandika kidogo. Mheshimiwa Lissu anakusanya makabrasha yake taratibu hapa. Bila shaka kesi itaahirishwa leo. Watahitaji kuandika uamuzi wa hoja zilizowasilishwa. Anawasha kipaza sauti Jaji Ndunguru hapa akiwa serious sana na kama amechoka. Anaonesha hana nuru kabisa. ๐Ÿ˜‚ Naomba niseme yafuatayo kabla sijaahirisha shauri. Mtakumbuka leo"
X Link 2026-02-09T11:10Z 950.3K followers, 35.3K engagements

"Leo kwenye ukumbi wa Mahakama Mama huyu alifanya maombi maalum kwa ajili ya Mhe. Lissu Mwenyezi Mungu ambariki sana"
X Link 2026-02-09T11:54Z 950.3K followers, 28.1K engagements

"Salam kutoka BAWACHA ๐Ÿ’ช"
X Link 2026-02-09T12:49Z 950.3K followers, 12.8K engagements

"Tumuunge mkono Tundu Lissu anaendeleza mapambano-; Bwege"
X Link 2026-02-09T13:19Z 950.3K followers, 15.3K engagements

""Hatutakubali Mhe. @TunduALissu kuachiwa kwa masharti yoyote alikamatwa kwa uongo aachiwe bila masharti yoyote." Mhe. @HecheJohn NB. Nduli Idd Amin Mama anataka kumuachia Mhe. Lissu kwa sharti la kuipeleka CHADEMA kwenye maridhiano ila Mhe. Lissu kagoma. Anasema yupo tayari kufia jela lakin sio kuwauza Watanzania.๐Ÿ’ช"
X Link 2026-02-09T14:40Z 950.3K followers, 30.1K engagements

"Mliokaribu na Idd Amin Mama na Machawa wake wafikishieni huu ujumbe ili aache/waache mara moja kujiita Doctor"
X Link 2026-02-09T20:49Z 950.3K followers, 34.5K engagements

"Mwanza Nyegezi kimenuka muda huu madereva bajaji wamefunga barabara ili mabasi yasitoke stendi hii imetokea Baada ya bajaji kuzuiwa kubeba na kushusha abiria nje ya stendi hakuna kukaa kinyonge SASA"
X Link 2026-02-10T12:39Z 950.4K followers, 36.1K engagements

"Mahakama imeanza soon nitakuletea updates za kesi ya Mhe. Lissu"
X Link 2026-02-12T07:14Z 950.6K followers, 20.9K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo February [--] [----] Jana tuliishia Part [---] so leo tunaendelea na-; Part [---]. Ni siku nyingine karibuni tena leo kwenye Darasa la Sheria. Mhe. Lissu tayari ameingia kama kawaida Wananchi wamepiga shangwe ile ya Rais Rais Rais Majaji nao wameingia kama kawaida yao wapo watatu. Naona Kizimba kimetobolewa kidogo upande wanaokaa Majaji ila kama shaidi ni mfupi hata Majaji hawawezi kumuona ila tuendelee. Jaji Ndunguru anasema sasa tuendeleee. Anasimama Wakili wa Serikali Renatus Mkude Wakili wa serikali Mkuu anasaidiwa na Ajuaye Katuga Ignas Thawabu Cathbert na Winiwa"
X Link 2026-02-12T07:41Z 950.6K followers, 52.1K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Wakili wa Serikali Ajuaye: Ulipoona video ulifanya nini Shahidi: Nilifungua na kucheza kutaka kuona anasema nini Nikacheza na kumsikia akisema atahakikisha uchaguzi wa [----] haufanyiki ataenda kukinukisha. Hiyo ameisema kwa kutamka neno moja moja. Majaji wanasema rudia. A ta ha ki ki sha u chagu zi A TA KI NU KI SHAAA. Amejibu hivyo hivyo kama mtoto anayejifunza kuongea. ๐Ÿ˜‚ Uchaguzi ulikuwa unahusu madiwani wabunge na Rais. Ajuaye anaendelea kumuhoji. Kingine alisema Polisi wanatumika kuiba kura pia nilisikia akisema Majaji nao ni MaCCM hawatendi"
X Link 2026-02-12T07:57Z 950.6K followers, 46.9K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu na maswali ya Dodoso Mhe. Lissu: Una leseni ya biashara Shahidi wa Kificho; Leseni ya Biashara sina ila ninayo naiandaaa. Mhe. Lissu: Una kitambulisho cha NIda Shahidi wa kificho; Sina ila napambana nikipate. Mhe. Lissu: una kitu chochote cha kukutambulisha ni mfanyabiashara zaidi ya maneno yako Shahidi wa kificho: Kile ninachotembeza ndio ushahidi wangu. Mhe. Lissu : Umekileta hapa Shahidi wa kificho; Sijaleta. Mhe. Lissu: Watajuaje we ni mfanyabiashara. Shahidi wa kificho: Waniamini tu. Lissu: unakaa ubungo kibangu Shahidi: ndio."
X Link 2026-02-12T08:33Z 950.6K followers, 48.7K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu na cross examination Watu wanacheka jamaa kuulizwa kama yeye ni mwanaume.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Shahidi wa kificho: Hapa hayapo ili nilihojiwa. Mhe. Lissu: safi ukisema hayapo unaokoa muda sasa uliulizwa kuhusu ulikuwa unafanya nini Posta ya zamani Garden na ukasema ulikuwa unaperuzi facebook whatsapp na youtube. Sasa waeleze majaji kama hayo maneno yapo kwenye maelezo yako uliyonayo mkononi Shahidi wa kificho; Whstapp na Youtube hakuna hayajaandikwa hapa na Faceebok na Youtube hapa hayajaandikwa ila nilisema. Mhe. Lissu: uliulizwa kuhsuu simu yako na"
X Link 2026-02-12T09:01Z 950.6K followers, 70K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu na cross examination. Mhe. Lissu: Uliporudi nyumbani kwako umesema kwamba ulimpigia ndugu yako askari Shahidi wa kificho: kweli. Mhe. Lissu: ulisema anafanya kazi tabata relini Shahidi wa kificho: kweli. Mhe. Lissu: Tuoneshe yako wapi kwenye maelezo yako Shahidi wa kificho: Hapa hayapo. Mhe. Lissu: huyo ndugu yako askari Polisi ana jina Shahidi wa kificho: ndio jina analo. Mhe.Lissu: Polisi umemtaja jina Waeleze majaji kama kuna mahali umemtaja jina Shahidi wa kificho: Sijamtaja. Mhe. Lissu: Ana cheo chochote Shahidi wa kificho: sijui"
X Link 2026-02-12T09:34Z 950.6K followers, 49.6K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anamalizia Mhe. Lissu Shahidi wa kificho: Hapa Hayapo. Mhe. Lissu: Ahsante sana. Unajibu vizuri napenda. Mhe. Lissu: Waheshimiwa Majaji sina swali na shahidi. Jaji Ndunguru anawaita Mawakili wa Serikali: Je mtakuwa na swali lolote kwa ajili ya re examination. Ajuaye anajibu kuwa sisi hatuna swali lolote. Jaji: Sasa shahidi tunakuruhusu tumemalizana na wewe. Kimlango kinafungwa na Majaji wanaandika kidogo. Anasimama Wakili wa Serikali anasema tunaomba ahirisho hadi saa nane ili tuendelee na shahidi huyo. Mhe. Lissu: Sina pingamizi ila waseme shahidi wao ni nani"
X Link 2026-02-12T09:44Z 950.6K followers, 51.4K engagements

"Wanachi na Wanachama waliohudhuria Mahakama leo wakilia kwa Uchungu baada ya Mhe. Lissu kusema hajapewa CHAKULA.๐Ÿ˜ญ"
X Link 2026-02-12T12:51Z 950.6K followers, 28.4K engagements

"Basi bhana leo wakati shahidi wa kificho anatoa ushahidi wake alipewa desa akawa anasoma asa Mawakili wa Serikali walimuandikia aseme simu aliyotumia kutizama video ya Kukinukisha ni Sony Experia au Galaxy yeye akasema alitumia simu aina ya Sony Xperia Galaxy .๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2026-02-12T16:00Z 950.6K followers, 58.1K engagements

"Serikali haramu ya Idd Amin Mama imefungia Youtube Channel zote za BBC zilizorusha video ya kiuchunguzi ya Tanzania State of Fear iliyofanywa na @BBCAfrica kupitia #BBCAfricaEye na hazitaweza kuonekana tena Tanzania bila kutumia VPN. The illegal Tanzanian government has blocked all BBC YouTube channels that aired an investigative video made by @BBCAfrica #BBCAfricaEye and they will no longer be viewable in Tanzania without using a VPN. Unaweza kutazama hapa lini https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=p00IBP23Bsazy0RF https://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi=p00IBP23Bsazy0RF"
X Link 2026-02-04T14:46Z 950.6K followers, 18.1K engagements

"Uchaguzi haukufanikiwa hatutambui waliopo madarakani-; Mhe. @HecheJohn"
X Link 2026-02-10T19:45Z 950.4K followers, 11K engagements

"KUTOKA UKUMBI WA MAHAKAMA KUU Waandishi wa Habari wapo wa kutosha sana ndani ya Ukumbi wa Mahakama. Muda huu ameingia Makamu Mwenyekiti wa Chama Mhe. John Heche pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Chama Dr. Rugemeleza Nshala. Ameingia pia Naibu Katibu Mkuu wa Chama Amani Golugwa. Tunasubiri Leo nawaona Mawakili wa Mhe. Tundu Lissu wapo wakutosha pia. Nimemuona. [--]. Dr. Nshala [--]. Hekima Mwasipu [--]. Edson Kilatu [--]. Faraji Mangula [--]. Frednand Makore [--]. Deogratias Mahinyila [--]. Michael Lugina [--]. Ikoti Lissu Na wengine ngoja niendelee kutafuta majina yao hapa. Mawakili wa Serikali pia nao naona wanaingia"
X Link 2026-02-11T07:17Z 950.4K followers, 25.9K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea kusoma uamuzi Jaji Ndunguru Pingamizi la nne lilihusiana na suala la fair trial na haki ya kusikilizwa. Kwamba atashindwa kumdodosa pia shahidi vizuri kwasababu atakuwa haonekani na hawezi kumuhoji shahidi vizuri. Mshitakiwa aliturejesha kwenye Katiba na Mikataba ya kimataifa juu ya haki sawa mbele ya Sheria. Mahakama imetafakari hoja hiyo kwa makini haikuona ni kwa namna gani mshitakiwa atashindwa kumuhoji shahidi kwasababu hamuoni sura yake. Pingamizi la tano kuhusu kifungu cha [---] cha CPA marekebisho yake hayakutangazwa kwenye gazeti la serikali"
X Link 2026-02-11T08:46Z 950.5K followers, 32.8K engagements

"Nilikuwa najiuliza mbona leo ni kama Mawakili wa Serikali na Majaji wanajivuta sana mpaka kesi imechelewa kuanza kumbe wenzetu walikuwa wanajua kwamba wanakuja kuhairisha kesi"
X Link 2026-02-11T10:26Z 950.6K followers, 30.6K engagements

"@NgalulaAngelina Hii ndo kazi na Utu yenyewe"
X Link 2026-02-11T23:17Z 950.6K followers, [----] engagements

"Hiki ndo kizimba cha mashaidi wa kificho pamoja na Mahakama kuhairisha kesi jana ili kirekebishwe ila mpaka muda huu naona kipo vile vile hakuna kilichobadilishwa.๐Ÿ˜ค"
X Link 2026-02-12T06:04Z 950.6K followers, 41K engagements

"Ni leo saa mbili kamili usiku hapa hapa X so usikose kufuatilia mjadala huu"
X Link 2026-02-13T05:56Z 950.6K followers, 13.4K engagements

"Anaandika @IAMartin_ Ujumbe umfikie James Mbowe na Chawa wenzake. Wanaharakati hawajatufikisha hapa. Tumefika hapa kwa kuwa kikundi kidogo cha watu kiliamua kufanya siasa za UDALALI na kutumika na MaCCM wakahamia CHAUMMA kwa kupewa ahadi za uongo za madiwani wabunge na halmashauri. Hizo ni siasa za UDALALI. CHADEMA sasa inashtakiwa na wahuni ambao wamewahi kuwa viongozi waandamizi. Maombi ya wahuni ndiyo yametumiwa na Mahakama kuzuia shughuli za CDM. Hao ndiyo wanatumika na MaCCM kutaka kupoteza tunu ya wananchi CHADEMA. Kama kweli ungelikuwa unampenda Tundu Lissu kuliko hao wanaharakati"
X Link 2026-02-07T14:55Z 950.6K followers, 34.1K engagements

"Kizimba kama kizimba๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2026-02-11T20:09Z 950.6K followers, 11.5K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Imepigwa High Courtttttt Majaji wameingia. Mhe. Lissu alivyoingia anauliza mmekula Mimi mwenzenu sijala kabisa. Majaji wamewasha kipaza sauti pale na karani anasoma namba ya kesi. Anasimama Renatus Mkude anajitambulisha na kusoma anaoambatana nao na kusema Mshitakiwa yupo. Shauri lilipangwa na tunae shahidi P6 tuko tayari. Mhe. Lissu anasema na mimi niko tayari. I ngawa sijala mnapofunga watu mjue hilo. Renatus Mkude anasimama anasema kula ni haki yake ya msingi kama hajala tuahirishe maana kula ni haki yake. nashangaa kwanini hajala. Mhe. Lissu anasema"
X Link 2026-02-12T12:06Z 950.6K followers, 60.2K engagements

"Dunia inajua kwamba Nduli Idd Amin Mama ni muuaji. Samia Suluhu Hassan has caused Tanzanias most dangerous crisis since independence https://t.co/jcnwE1SRnX Samia Suluhu Hassan has caused Tanzanias most dangerous crisis since independence https://t.co/jcnwE1SRnX"
X Link 2026-02-12T19:48Z 950.6K followers, 13.4K engagements

"HAYA NDO MAMBO AMBAYO MHE. LISSU AMEFANIKIWA KUYABADILISHA. Wakati tunasubiri kesi ya Mhe. Lissu ianze kuunguruma siku ya leo. Tangu kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe.Lissu ianze mpaka sasa ameshabadilisha mfumo wa uendeshaji wa Mahakama na kulazimisha baadhi ya mambo yabadilike. Mambo hayo ni kama yafuatayo;- [--]. Amefanikiwa kurekebisha kiboksi cha Mashahidi. Kuanzia sasa vizimba vyote ya Mashahidi vitakuwa wazi kwa kiasi cha Majaji kuwaona. Kazi hiyo amefanya Tundu Lissu. [--]. Kupata Chakula ni Haki ya Msingi kwa mahabusu na Binadamu yeyote. Mahabusu kwenye Mahakama za Tanzania hawakuwahi kuwa"
X Link 2026-02-13T06:21Z 950.6K followers, 57.5K engagements

"Mahakama imeanza"
X Link 2026-02-13T06:40Z 950.6K followers, 22.8K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo February [--] [----] Jana tuliishia Part [---] so leo tunaendelea na-; Part [---] Mahakama imeanza muda huu saa tatu na nusu. Mhe. Lissu anaingia akiwa amevaa kombati nyeusi. Sauti ya High Courttt inapigwa kila mtu anasimama na kelele za kumsalimia Mwenyekiti zinasimama kidogo. Majaji wanaandika kidogo pale mbele. Anasimama Wakili wa Serikali Renatus Mkude anasema yupo na Ajuaye Katuga Ignas Cathbert na Winiwa na wote tunawakilisha Jamhuri na Mshitakiwa yupo. Sisi tuko tayari kuendelea na leo tumekuja na P6 yuko tayari endapo Mshitakiwa atakuwa tayari. Mhe. Lissu anaulizwa"
X Link 2026-02-13T07:12Z 950.6K followers, 38K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mazingira aliyokuwa anayatolea ilikuwa ni kama sehemu ya Ukumbini ndo nilimuona hapo. Muda huu ameingia Mtaalamu Wakili Msomi Peter Kibatala wakati kesi inaendelea. Amekaa pale karibu na Kizimba cha Mhe. Tundu Lissu nimeona wanasalimiana kimya kimya Mhe. Lissu anacheka anamuonyeshea kidole cha Upendo ni kama anamwambia wewe kijana wangu wewe.๐Ÿ˜‚ Wakili wa Serikali: Muonekano wa Lissu ulikuwaje Shahidi wa kificho P6: Alivaa Kombati ya Kaki. Namfahamu Tundu Lissu kama mwanasiasa mkongwe na mwanasiasa maarufu. Wakili: Baada ya kuona hiyo hotuba wewe ulifanya nini"
X Link 2026-02-13T07:47Z 950.6K followers, 41.3K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Shahidi wa kificho P6: Akasema tutawanyike na atapanga tarehe nyingine ya mkutano huo. Wakili: Huyo Makamu Mwenyekiti ni nani Shahidi wa kificho P6: Ni Mh. Heche. Wakili: Tar. 18/04/2025 nini kilitokea Shahidi wa kificho P6: Nilipokea taarifa kuwa tarehe 20/04/2025 siku ya pasaka kutakuwa na matembezi ya hiyari ambapo katika matembezi hayo yataambatana na kuvalia tshirt zilizoandikwa agenda ya No Reforms: No Election ili kuendeleza agenda ya Chama. Wakili: Kingine kilichoendelea Shahidi wa kificho P6: Ukafanyika utaratibu wa kuzipata tshrit na tunachangia elfu"
X Link 2026-02-13T08:19Z 950.6K followers, 41.3K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mhe. Lissu anaendelea kumsomea Shahidi maelezo yake. Amemaliza kusoma maelezo anamuonesha maeneo aliyodanganya au kuleta mkanganyiko. [--]. Dini [--]. Umri [--]. Shughuli za Chama alizoambiwa atakuwa anataka kuzifanya [--]. Tar. 04/04/2025 ulikuwa na simu infinix smart [--]. [--]. Hiyo simu yako lilikuwa na bando la Internet [--]. Uliingia kwenye mtandao wa youtube wa Jambo Tv [--]. Mimi mtuhumiwa nilisema yoyote atakayekuwa nasi tutaenda nae ambae hatataka tutamuacha. [--]. Nilisema anayetaka kugombea udiwani au ubunge asahau na mimi niliyetaka kugombea urais nisahau [--]. No Reforms: No"
X Link 2026-02-13T09:09Z 950.6K followers, 38.5K engagements

"Wakati tunaendelea na updates za kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu Huyu ndo Shahidi wa kificho siku ya leo kwenye kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu. Watu wa maeneo ya Songea mjini bila shaka mnamfahamu mwambieni aache kutumika. Haya tuendelee na updates"
X Link 2026-02-13T09:22Z 950.6K followers, 50K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia cross examination Shahidi wa kificho P6. Mhe. Lissu: Mhe. Jaji naomba shahidi ajibu maswali yangu. Jaji: Hebu muulize tena. Mhe. Lissu: Hayo maneno ya simu infinix smart [--] yapo au hayapo Shahidi wa kificho P6: sifahamu. Jaji: Nafikiri lengo lako mshitakiwa ni ku empeach credibility ya shahidi kwahiyo akisema hafahamu wakati kielelezo kipo na sisi Mahakama tutakipitia. Basi acha aendelee kusema hafahamu. Mhe. Lissu: Maneno kwamba ulikuwa na bando la kuingia youtube hebu tuoneshe kwenye maelezo yako hapo Shahidi wa kificho P6:"
X Link 2026-02-13T09:35Z 950.6K followers, 45.6K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia cross examination Shahidi wa kificho P6. Mhe. Lissu: Pameandikwa tarehe 06/04 kutakuwa na ziara ya Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Songea umeona vizuri hapo. Shahidi wa kificho P6: Naweza kurudia pia wilaya ya songea anaisoma. ๐Ÿ˜‚ Shahidi ni kama Futuhi kwakweli. Mhe. Lissu: Twende Tarehe 10/04 umesema hivi ukiwa umekusanyika uwanja wa shule ya Msingi Matalawe na kuwataja viongozi ghafla gari ya polisi ilifika na kuwatawanya. Waeleze majaji kama hayo maneno gari la polisi lilifika na mkatawanywa. Shahidi wa kificho P6: Hayapo"
X Link 2026-02-13T10:14Z 950.6K followers, 49.8K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Anaendelea Mhe. Lissu Mhe. Lissu: Mhe. Jaji hawako serious hawa kwanza ukisoma D4 kila kitu chake kipo hata jina lake hawajaficha lipo na taarifa zake zote zipo hawajielewi hawa. Katuga: Anasimama anasema Mh. Sisi ni maafisa wa mahakama aonywe mshitakiwa kwanini anasema hatuko serious. Mhe. Lissu: Mh. Jaji ni kweli hayupo serious ila nataka niliondoe neno hilo lakini kama anasema nionywe siko tayari kuonywa naomba nifanye submission ya kuonesha ni kwa namna gani hawako serious Jaji Ndunguru: Basi Mshitakiwa tuishie hapo kama umesema umeliondoa. Watu wanacheka"
X Link 2026-02-13T10:24Z 950.6K followers, 48.4K engagements

"Mahakama imerejea"
X Link 2026-02-13T11:54Z 950.6K followers, 28.2K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mahakama imerejea. Anasimama Renatus Mkude na kusema tuko tayari kuendelea na tuko na shahidi wa wazi. Muda huu tunaendelea na shahidi ambae ni H3923 Detective Coplo Michael Mimi ni askari Polisi. Mimi ni Mristo. Huyu Polisi mwingine ni shahidi ambae atakuwa ni PW6 Anaongozwa na Ignas Mwinuka Wakili wa Serikali. Shahidi ni mwemba mrefu kidogo mweusi na amevaa miwani. D. Koplo Michael anasema anaishi Kiusa Street Moshi Kilimanjaro. Ninafanya kazi Askari Polisi naifanyia kazi yangu ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kilimanjaro nimekuwa katika ofisi hiyo tangu"
X Link 2026-02-13T12:28Z 950.6K followers, 51.6K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Jaji Ndunguru: Mshitakiwa una maswali ya Dodoso Mhe. Lissu: Ninayo mengi sana. Mhe: Lissu: Na Nyie ambao mna watoto mnawapeleka kuwa askari polisi mnawapeleka kwenda kutenda Dhambi za kusema uongo mjue hivyo. Mhe. Lissu: Sasa D. Koplo Michael unakumbuka ulitoa maelezo yako na unaweza kuyatambua ukiyaona Koplo Michael : Ndio naweza. Anapatiwa maelezo yake hapa. Koplo Michael : Haya maelezo ni ya tarehe 22/04 nimeyatambua yana sahihi yangu. Mhe. Lissu: Naomba nikusomee maelezo yako na pia nitakuonesha maeneo ninayotaka ku impeach na baadae nitamuomba yapokelewe"
X Link 2026-02-13T13:20Z 950.6K followers, 43.1K engagements

"#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Part [---] Mhe. Lissu anaendelea kumfanyia cross examination Koplo Michael. Mhe. Lissu: Kwahiyi P8 alikuwa amefanya kosa Koplo Michael: ni kweli alikuwa amefanya makosa Mhe. Lissu: Kwahiyo maelezo yake hayapo Koplo Michael: Sijayaleta Mhe. Lissu: Je mlifungua kesi Koplo Michael: Hatukufungua kesi. Mhe. Lissu: hadi leo hamjafungua Koplo Michael: Sijui kwakweli. Lissu: RCO ndio alikwambia chukua maelezo ya shahidi kwenye kesi ya Lissu. Shahidi: Hapana sio hivyo. Mhe. Lissu: anamsomea alipoandika kuwa shahidi kwenye kesi ya lissu. Koplo Michael: Ni kweli nilisema kumbe."
X Link 2026-02-13T13:42Z 950.6K followers, 42.1K engagements

"Meza ya Mhe. Lissu imesheheni ๐Ÿ™Œ"
X Link 2026-02-13T16:11Z 950.6K followers, 14.1K engagements

"Tuko humu. https://t.co/wwpKqoMEUH https://t.co/wwpKqoMEUH"
X Link 2026-02-13T17:40Z 950.6K followers, [----] engagements

"RT @MmusiMaimane: Let me add. Zimbabwe Mozambique Tanzania and Uganda"
X Link 2026-02-14T05:16Z 950.6K followers, [---] engagements

"Please sign and share this petition to join the fight for justice for the thousands of Tanzanians who were murdered or shot by the mercenaries of Samia Suluhu Hassan. Stand with us to demand accountability and protect the rights of the victims. #TanzaniaOnTrial #SamiaMustGo #JusticeForTanzania https://www.change.org/p/recognize-the-tanzania-massacre-launch-an-independent-investigation-a4e4c1a5-78e8-4c2a-9f9b-36931db72edfrecruiter=1394738489&recruited_by_id=2e9b3790-bd46-11f0-9bdd-6d6fa6fdd162&utm_source=share_petition&utm_campaign=petition_dashboard_share_modal&utm_medium=twitter"
X Link 2025-11-11T19:50Z 946K followers, 25.5K engagements

"Mshua master anawasalimia๐Ÿ’ช๐Ÿป"
X Link 2025-11-12T07:28Z 945.7K followers, 33.7K engagements

"Please sign and share this petition to join the fight for justice for the thousands of Tanzanians who were murdered or shot by the mercenaries of Samia Suluhu Hassan. Stand with us to demand accountability and protect the rights of the victims. #TanzaniaOnTrial #SamiaMustGo #JusticeForTanzania https://www.change.org/p/recognize-the-tanzania-massacre-launch-an-independent-investigation-a4e4c1a5-78e8-4c2a-9f9b-36931db72edfrecruiter=1394738489&recruited_by_id=2e9b3790-bd46-11f0-9bdd-6d6fa6fdd162&utm_source=share_petition&utm_campaign=petition_dashboard_share_modal&utm_medium=twitter"
X Link 2025-11-13T07:07Z 947.2K followers, 16K engagements

"Elimu ya Wolfgang Pisa Rais wa TEC; [--]. Bachelor degree in Philosophy- Zambia [--]. Bachelor degree in Divinity - Zambia [--]. Bachelor degree in Theology- Jordan [--]. Masters of Education - UDSM [--]. Masters in Social ethics- USA [--]. PhD in Social Ethics- USA"
X Link 2025-11-15T15:17Z 947K followers, 52.8K engagements

"Wanafanya propaganda za kitoto sana mpaka Watanzania tunaonekana wote hatuna akili BREAKING: Tanzanias police are claiming they captured a U.S. soldier with explosives at the TanzaniaKenya border after massacring thousands of its un-armed citizens. Nothing about this story is independently verified. However authoritarian regimes have a long history of https://t.co/BwWt6PZRi5 BREAKING: Tanzanias police are claiming they captured a U.S. soldier with explosives at the TanzaniaKenya border after massacring thousands of its un-armed citizens. Nothing about this story is independently verified."
X Link 2025-11-17T06:15Z 946.7K followers, 19.9K engagements

"Tukutane December [--] 2025"
X Link 2025-11-18T09:11Z 947K followers, 23.1K engagements

"THABO MBEKI OFFICIAL STATEMENT The Samia Suluhu Hassan & CCM regime has NO legitimacy The October [----] elections were brazenly rigged. SADC and the AU have confirmed voters were NOT free. Violence abductions murders this is NOT democracy"
X Link 2025-11-24T07:47Z 947.4K followers, 18.6K engagements

"Disemba [--] 2025"
X Link 2025-11-26T20:54Z 947.4K followers, [----] engagements

"Natoa masaa [--] mrudisheni Humphrey Polepole au nitalipiza kisasi-; Kanali Agustino Polepole Kaka wa Balozi Polepole"
X Link 2025-11-27T09:27Z 948.5K followers, 36.4K engagements

"Nduli Idd Amin Mama the butcher"
X Link 2025-12-14T08:56Z 949.1K followers, 23.1K engagements

"Dear God thank you for this beautiful life and the blessings that come with it. Happy Birthday Hilda.๐ŸŽ‚๐Ÿพ๐Ÿฅ‚"
X Link 2025-12-22T06:24Z 949.4K followers, 114.1K engagements

"@elia_elish16135 Thank you"
X Link 2025-12-22T13:00Z 949.3K followers, [--] engagements

"Anaitwa Clement Mwandambo. ๐Ÿ™Œ"
X Link 2025-12-27T15:46Z 949.4K followers, 12.4K engagements

"#FreeClementMwandambo"
X Link 2025-12-30T06:04Z 949.5K followers, 10.3K engagements

"Wanachofanyiwa Wananchi wa Iran hakina tofauti na tulichofanyiwa Watanganyika Oktoba 29.๐Ÿ˜ญ Message from inside Iran: Please help us. The situation here is horrific. It is a full scale war. The regimes forces show no mercy. They shoot protesters in the head and heart and even finish off those already wounded on the streets. In hospitals the wounded are being kidnapped Message from inside Iran: Please help us. The situation here is horrific. It is a full scale war. The regimes forces show no mercy. They shoot protesters in the head and heart and even finish off those already wounded on the"
X Link 2026-01-13T08:24Z 949.7K followers, 17.9K engagements

"New evidence points to killings and grave human rights abuses by security forces in Tanzania. https://youtu.be/-ZZrAoiAmqcsi=o30rNJ0kRLkL_KTg https://youtu.be/-ZZrAoiAmqcsi=o30rNJ0kRLkL_KTg"
X Link 2026-01-14T17:24Z 949.9K followers, 24.3K engagements

"Woyooooooooooooo. imoooooo"
X Link 2026-01-18T21:24Z 949.8K followers, [----] engagements

"Ukweli mchungu"
X Link 2026-01-23T08:22Z 950K followers, 19.2K engagements

"@English_snow2 Asante sana"
X Link 2025-12-22T19:48Z 949.8K followers, [----] engagements

"Hii imeniliza sana.๐Ÿ˜ญ"
X Link 2026-01-24T16:55Z 949.8K followers, 17.1K engagements

"Maneno ya Asenga wa CHAUMA baada ya Salam za rambirambi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2026-01-25T11:07Z 949.8K followers, 41.2K engagements

"State of Fear: Inside Tanzanias Enforced Disappearances - BBC Africa Ey. Iangalie hapa Youtube LIVE. Inaanza baada ya masaa [--] ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ http://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi http://youtu.be/9WkYK-SjJtEsi"
X Link 2026-02-01T19:49Z 950K followers, [----] engagements

"Huyu kijana na yeye ni miongoni mwa walioshitakiwa pamoja na Niffer kwenye kesi ya Uhaini. Jeshi la Polisi Tanzania walikataa hata kumruhusu apige simu nyumbani kwao kuomba aletewe nguo za kubadilisha. Leo kapandishwa kizimbani kusomewa mashitaka akiwa amevaa vest na boksa kama mnavoona hapa kwenye picha. Polisi wa Tanzani wanaroho mbaya wanaroho ngumu kama maisha yao wengi walivyo. ๐Ÿšฎ ๐Ÿšฎ ๐Ÿšฎ"
X Link 2025-11-07T15:37Z 950.6K followers, 143.2K engagements

"Kampeni Tesha ashauri JWTZ kuchukua nchi haraka sana kutokana na jinsi mambo yanavoendelea nchini"
X Link 2025-10-04T10:59Z 950.5K followers, 188.5K engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing

@HildaNewton21
/creator/twitter::HildaNewton21