@mwananchidigital Mwananchi DigitalMwananchi Digital posts on YouTube about tanzania, events, al ahly, channel the most. They currently have [---------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries 50.34% travel destinations 4.08% finance 2.04% us election 1.36% automotive brands 0.68% technology brands 0.68% social networks 0.68% celebrities 0.68%
Social topic influence tanzania #43, events #256, al ahly #3, channel #3093, leo #288, ali #471, js 4.76%, zanzibar 2.72%, dar 2.72%, russia 2.72%
Top accounts mentioned or mentioned by @taboramedia @simbasctanzania255 @youngafricanssctv @zvponlinetv
Top assets mentioned HILO (HILO) Crown (CRW) BANKS (BANKS) MADA (MADA) Mambo (MAMBO) Hana (HANA)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Kauli ya Heche kuhusu siasa za upinzani na msimamo wa familia Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli"
YouTube Link 2026-02-14T11:12Z 1.2M followers, [---] engagements
"SINGIDA BLACK STARS NAYO INAUTAKA UBWABWA WA IKULU Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli"
YouTube Link 2026-02-13T08:47Z 1.2M followers, [--] engagements
"KOCHA JS KABYLIE AICHIMBA MKWARA YANGA AKIZUNGUMZIA MAANDALIZI YA MWISHO STAA ASHINDWA KUJIZUIA . Kocha wa JS Kablyie Josef Zinnbauer amesema wanafahamu uhitaji wa Yanga katika mechi ya kesho Februari [--] [----] hivyo anategemea mechi ngumu na yenye ushindani. "Hatuna presha tunajua Yanga watacheza kwa ajili ya mashabiki wao lakini kwetu tunauhitaji mchezo huo nategemea mechi ngumu kwa sababu Yanga wanauhitaji mchezo huo kushinda mabao mengi hivyo tunatarajia watashambulia sisi tumejipanga tumekuja hapa kwanza kupata ushindi na kuonyesha kiwango bora. "Wachezaji wengi hawana uzoefu wengine ndio"
YouTube Link 2026-02-14T08:45Z 1.2M followers, [----] engagements
"SHUHUDIA MAZOEZI YA MWISHO JESHI LA JS KABYLIE USIKU HUU NEW AMAAN COMPLEX LIKIVAANA NA YANGA KESHO Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2026-02-14T16:54Z 1.2M followers, [---] engagements
"KOCHA YANGA AFAFANUA ATAVYOPISHANA NA JS KABYLIE MECHI YA MTEGO AKIISAKA ROBO FAINALI TSHABALALA. Kocha wa Yanga Pedro Goncalves amesema JS Kabylie ni timu nzuri na imara yenye nguvu kubwa ambayo imewekeza kwa kiasi kikubwa msimu huu ili kurejea katika historia yake ya mafanikio. Amesema wanafahamu vizuri ubora na udhaifu wa wapinzani wao. Ameeleza JS Kabylie wanakuja bila presha kwa kuwa tayari wameshatoka kwenye mashindano lakini bado wataingia uwanjani kwa lengo la kuonesha ukubwa na heshima ya klabu yao. Akizungumzia mechi ya kesho Februari [--] [----] akivaana na wapinzani hao wa Algeria"
YouTube Link 2026-02-14T09:08Z 1.2M followers, [----] engagements
"TAKUKURU YAWAASA WATENDAJI KUZINGATIA THAMANI YA FEDHA Moshi. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewaasa watendaji wa Serikali wanaosimamia miradi ya maendeleo hususan sekta ya afya kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa wakati na kwa kuzingatia thamani halisi ya fedha za umma ili kuleta manufaa kwa wananchi. Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Crispin Chalamila amesema taasisi hiyo haitasita kuchukua hatua kali dhidi ya watendaji wazembe au wanaokwaza utekelezaji wa miradi kwa makusudi akisisitiza kuwa yeyote atakayebainika kukiuka taratibu za matumizi ya fedha za umma"
YouTube Link 2026-02-12T15:22Z 1.2M followers, [---] engagements
"ALI KAMWE ASHTUKIA JAMBO DAKIKA ZA JIONI WAKIJIWINDA KUIVAA JS KABYLIE KESHO Yanga imefanya mazoezi yake ya mwisho yakimhusisha pia winga mpya Buba Jammeh kwenye Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar ikijiandaa kuikaribisha JS Kabylie ya Algeria kesho Februari [--] [----] katika mechi ya mwisho Kundi B itakayotoa hatima ya timu itakayofuzu hatua inayofuata ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) msimu wa 2025/26. Ofisa Habari wa klabu hiyo Ally Kamwe amesema wapinzani wao hawataacha kuona rangi yoyote kwani wachezaji wamewekewa motisha ya bonasi nono endapo watafanikiwa kuipeleka timu hiyo hatua ya"
YouTube Link 2026-02-14T15:10Z 1.2M followers, [----] engagements
"Siri ya misimamo kutoogopa kwa John Heche Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli"
YouTube Link 2026-02-14T11:18Z 1.2M followers, [---] engagements
"GSM ATINGA MAZOEZI YA YANGA ZANZIBAR IKIJIANDAA KUVAANA NA JS KABYLIE BUBA NA WENZAKE WANAITAKA. Wakati kikosi cha Yanga kikiendelea na mazoezi usiku huu kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar mdhamini wa timu hiyo Ghalib Said Mohamed (GSM) ameibuka mazoezi hapo. Iko hivi Yanga ilianza mazoezi saa 1:00 jioni ikiwa na wachezaji wengine isipokuwa kiungo Mohamed Damaro ambaye hatakuwepo kutokana na kutumikia adhabu. Katikati ya mazoezi hayo GSM alitinga saa 1:20 usiku akiongozana na familia yake ambayo ilikuwa jukwaani kushuhudia timu hiyo ikijifua. Baada ya kufika mfadhili huyo"
YouTube Link 2026-02-13T17:54Z 1.2M followers, 29.3K engagements
"MRATIBU MATAWI YANGA ANAVYOENDELEA KUJICHIMBIA ZAIDI YA SIKU TATU ZENJI AKIWAANDALIA DOZI JS KABYLIE Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2026-02-14T00:55Z 1.2M followers, [----] engagements
"JOHN HECHE ASIMULIA MAUMIVU ALIYOPITIA KWENYE SIASA TANZANIA Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo mashabiki wa simba leo samia mbowe ali kamwe fei toto ahmed ally yanga sc vs al ahly goli la yanga vs al ahly mechi ya mwisho yanga vs al ahly simba vs jwaneng galaxy highlights"
YouTube Link 2026-02-14T05:00Z 1.2M followers, 33.5K engagements
"GSM YANGA WATOA TAARIFA MPYA KABLA YA KUIKABILI JS KABYLIE MECHI YA MTEGO KESHO CAFCL Rais wa Klabu ya Yanga Injinia Hersi Said amesema uongozi wa klabu hiyo umepokea rasmi mchoro wa awali wa uwanja utakaojengwa Jangwani na mwekezaji Kampuni ya GSM chini ya rais wa kampuni hayo Ghalib Said Mohamed. Hersi amesema baada ya kikao kilichofanyia Leo Februari [--] [----] Zanzibar pande zote zimefikia makubaliano kwa zaidi ya asilimia [--] huku zilizobaki zikihitaji kufanyiwa marekebisho na mwekezaji ndani ya wiki moja ili mchoro ukamilike. Ameongeza kuwa baada ya hatua hiyo kukamilika wiki inayofuata"
YouTube Link 2026-02-14T14:16Z 1.2M followers, [----] engagements
"CHADEMA YAMPA MASHARTI SAMIA KUSHIRIKI MARIDHIANO MADAI KESI YA TUNDU LISSU Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo mashabiki wa simba leo samia mbowe ali kamwe fei toto ahmed ally yanga sc vs al ahly goli la yanga vs al ahly mechi ya mwisho yanga vs al ahly simba vs jwaneng"
YouTube Link 2026-02-13T05:00Z 1.2M followers, 37.6K engagements
"ALI KAMWE AWAPASUA WAARABU USIKU HUU BAADA YA GSM KUTINGA MAZOEZINI 'MOTO UTAWAKA JUMAPILI .' Ofisa Habari wa Yanga Ally Kamwe amesema Jumapili Februari [--] [----] itakuwa siku ya hukumu kuhusu hatima ya timu zitakazofuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Kundi B pale watakapokutana na JS Kabylie kwenye Uwanja wa New Amaan Complex. Ameeleza ana imani kubwa ya kufuzu kutokana na ubora wa kikosi chao. Kamwe amesema timu iko tayari na dhamira kuu ni kufuzu akibainisha wamekubaliana kutafuta ushindi wa kishindo. Pia amesisitiza mechi hiyo haina jina la mchezaji yeyote kama ilivyo"
YouTube Link 2026-02-13T20:02Z 1.2M followers, 19.3K engagements
"TAZAMA BUBA JAMMEH ANAVYOTESTI BALAA LAKE LA KUWAPELEKEA MOTO WAARABU YANGA IKIPIGA TIZI LA MWISHO Yanga imefanya mazoezi yake ya mwisho yakimhusisha pia winga mpya Buba Jammeh kwenye Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar ikijiandaa kuikaribisha JS Kabylie ya Algeria kesho Februari [--] [----] katika mechi ya mwisho Kundi B itakayotoa hatima ya timu itakayofuzu hatua inayofuata ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) msimu wa 2025/26. Ofisa Habari wa klabu hiyo Ally Kamwe amesema wapinzani wao hawataacha kuona rangi yoyote kwani wachezaji wamewekewa motisha ya bonasi nono endapo watafanikiwa kuipeleka"
YouTube Link 2026-02-14T15:04Z 1.2M followers, [----] engagements
"Moto wateketeza nyumba Moshi familia tano zabaki bila makazi Familia tano zimebaki bila makazi baada ya moto kuteketeza nyumba waliyokuwa wamepanga yenye vyumba sita katika Mtaa wa Kanisani Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro Gadafi Dauda Masudi amesema tukio hilo limetokea leo Jumamosi Februari [--] [----] asubuhi lakini halikusababisha madhara kwa kibinadamu. Amesema mali zote zilizokuwa ndani ya vyumba vya wapangaji zimeteketea huku chanzo cha moto kikiendelea kuchunguzwa kutokana na uwepo wa matumizi ya"
YouTube Link 2026-02-14T14:02Z 1.2M followers, [---] engagements
"Vodacom CEO on AI startups and Tanzania's cashless economy goals Vodacom Tanzania chief executive Philip Besiimire reflects on the companys 25-year journey and shares insights into digital transformation financial inclusion policy reforms and the drive towards a cashless economy. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo mashabiki wa simba leo samia mbowe ali kamwe fei toto ahmed ally"
YouTube Link 2025-09-01T19:41Z 1.2M followers, [---] engagements
"TUNDU LISSU ARUDISHWA RUMANDE KESI YAKE KUENDELEA JUMATANO Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu imeahirishwa mpaka Februari [--] [----] ambapo Mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi baada kusikiliza hoja za kisheria za pande zote mbili kuhusiana na uhalali wa mashahidi fiche wa Jamhuri. Lissu anakabiliwa na shtaka moja la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2) (d) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu linalotokana na maneno aliyoyatamka kuhusiana na kuzuia kufanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari"
YouTube Link 2026-02-09T11:28Z 1.2M followers, [----] engagements
"'TENGENI ENEO LA KULEA WATOTO AMBAO MAMA ZAO WANAFANYABIASHARA SOKONI' Rais Samia Suluhu Hassan ameutaka uongozi wa Soko Kuu la Kariakoo kutenga eneo maalumu la kulelea watoto ili kuwawezesha mama wafanyabiashara kufanya shughuli zao kwa ufanisi zaidi wanapokuwa sokoni hapo. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Februari [--] [----] wakati wa uzinduzi rasmi wa soko hilo jipya akisema ameridhishwa na miundombinu ya kisasa iliyojengwa ikiwemo maeneo ya huduma mifumo ya usalama pamoja na huduma rafiki kwa mama na mtoto. Amesema pamoja na kuwepo kwa mpango wa vyumba vya kunyonyeshea watoto bado kuna"
YouTube Link 2026-02-08T12:26Z 1.2M followers, [----] engagements
"SAKATA LA KIONGOZI WA UPINZANI VENEZUELA ATEKWA BAADA YA Venezeula. Kiongozi wa upinzani nchini Venezuela Maria Corina Machado amesema mwanasiasa mwenzake Juan Pablo Guanipa ametekwa nyara tukio hilo limetokea saa chache tu baada ya Guanipa kuachiwa huru kutoka kizuizini habari hizo zimetikisa jukwaa la kisiasa nchini humo. BBC imeripoti kuwa Machado mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel alisema tukio hilo lilifanyika katika eneo la Los Chorros jijini Caracas alidai kuwa wanaume wenye silaha nzito na waliovaa kiraia walifika kwa magari manne watu hao walimchukua Guanipa kwa nguvu na kuondoka"
YouTube Link 2026-02-10T12:04Z 1.2M followers, [---] engagements
"HASHEEM IBWE AFURAHISHWA NA SARE YA SIMBA KWA MWARABU: NI KAMA KUPIGA CHAFYA UMEINGIA UKUTA WA VUMBI Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2026-02-01T20:01Z 1.2M followers, [----] engagements
"#LIVE: RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE IKULU DAR ES SALAAM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni katika hafla inayofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam Februari [--] [----]. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo mashabiki wa simba leo samia mbowe ali kamwe fei toto ahmed ally yanga sc vs al ahly goli la"
YouTube Link 2026-02-09T20:00Z 1.2M followers, [----] engagements
"SIMBU AREJEA KUTOKA DUBAI ATAMANI KUWEKA REKODI ZAIDI Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania kutoka Jeshi la Wananchi (JWTZ) Staff Sajenti Alphonce Simbu amerejea nchini akitokea Dubai alikokwenda kushiriki mbio za Burji2Burj Half Marathon. Mbio hizo zilifanyika jana Jumapili Februari [--] [----] ambapo Simbu alimaliza nafasi ya tatu akitumia muda wa 59:30 akiweka rekodi yake binafsi bora katika mbio za nusu marathoni. Katika mashindano hayo Simbu alizidiwa kwa sekunde nne pekee na mshindi wa kwanza Joshua Cheptegei wa Uganda aliyetumia 59:26 huku nafasi ya pili ikichukuliwa na Nicholas Kipkorir wa"
YouTube Link 2026-02-09T08:45Z 1.2M followers, [---] engagements
"TUNDU LISSU APANDISHWA KIZIMBANI MAHAKAMA KUU WAFUASI WAIBUA SHANGWE Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waibua shangwe baada ya mwenyekiti wao Tundu Lissu kupandishwa kizimbani katika Mahakama Kuu Dar es Salaam ambapo kesi ya uhaini inayomkabili inatarajiwa kuendelea kuunguruma leo Februari [--] [----]. Katika kesi hiyo upande wa mashtaka utajibu hoja za kisheria za pingamizi la Lissu kuhusiana na uhalali wa mashahidi fiche wa Jamhuri. Kesi imepangwa kuanza tena leo kwa siku [--] mfululizo za kazi mpaka Machi [--] [----]. Lissu anakabiliwa na shtaka la uhaini kinyume na kifungu cha"
YouTube Link 2026-02-09T07:11Z 1.2M followers, [----] engagements
"KCB YAUNGA MKONO USAFI SOKO LA DARAJANI ZANZIBAR Zanzibar. Taasisi za kifedha na makampuni mbalimbali zimetakiwa kujitolea na kusaidia shughuli za kijamii sambamba na kutenga kiasi cha faida wanazopata kusaidia jamii zinazowazunguka katika biashara zao. Usafi ni jukumu la kila mtu. Benki ya Biashara ya KCB imeamua kuunga mkono jitihada za Serikali ya Zanzibar katika kudumisha usafi na mazingira ikitambua kuwa usafi ni afya. Mkuu wa Soko la Darajani Manispaa ya Mjini Zanzibar Mariam Juma Mzee amesema hatua hiyo imewapa faraja na kuzitaka taasisi nyingine kuunga mkono juhudi za usafi katika"
YouTube Link 2026-02-10T17:09Z 1.2M followers, [---] engagements
"NONDO ZA DC MAPUNDA KWA MADIWANI TEMEKE Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli"
YouTube Link 2026-02-10T17:27Z 1.2M followers, [--] engagements
"#LIVE: BUNGE LA KUMI NA TATU MKUTANO WA PILI KIKAO CHA [--] FEBRUARI [--] [----] #LIVE: BUNGE LA KUMI NA TATU MKUTANO WA PILI KIKAO CHA [--] FEBRUARI [--] [----] Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo mashabiki wa simba leo samia mbowe ali kamwe fei toto ahmed ally yanga sc vs al ahly goli la yanga vs al ahly mechi ya mwisho yanga vs al ahly simba vs jwaneng galaxy highlights simba vs jwaneng galaxy"
YouTube Link 2026-02-06T22:33Z 1.2M followers, [----] engagements
"MADEREVA WA TRENI WATANGAZA MGOMO WAKIDAI Hispania. Madereva wa treni nchini Hispania wameanza mgomo wa kitaifa wa siku tatu kuanzia jana Jumatatu mgomo huo ni kupinga kile wanachosema ni ukosefu wa dhamana za usalama katika mfumo wa reli wa nchi hiyo hatua hiyo inatarajiwa kuathiri safari za maelfu ya abiria. Shirika la habari BBC limeripoti kuwa mgomo huo umechochewa na ajali mbili mbaya za treni zilizotokea Januari ajali ya kwanza ilitokea Adamuz kusini mwa Uhispania na kuua watu [--] ajali ya pili ilitokea karibu na Barcelona siku mbili baadaye na kusababisha kifo cha dereva wa treni pamoja"
YouTube Link 2026-02-10T08:07Z 1.2M followers, [---] engagements
"Maombi yalivyoshushwa mahakamani kesi ya Tundu Lissu leo Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli"
YouTube Link 2026-02-11T08:15Z 1.2M followers, [---] engagements
"MWONEKANO UWANJA WA NEW AMAAN COMPLEX KWA SASA YANGA VITANI NA WAARABU ZFF YAFUNGUKA Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF) limesema limekamilisha maandalizi yote ya kuikaribisha Yanga kwenye Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar itakapocheza mechi ya mwisho ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya JS Kabylie ya Algeria Jumapili Februari [--]. Akizungumza na Mwananchi Digital Ofisa Habari wa ZFF Mohamed Kabwanga amesema Zanzibar kama wenyeji wako tayari kwa asilimia [---] kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa. Kabwanga amesema sio suala la usalama wa mechi bali pia ni kuhakikisha"
YouTube Link 2026-02-13T15:45Z 1.2M followers, [----] engagements
"VILIO VYATAWALA MAHAKAMANI TUNDU LISSU AKIDAI KUNYIMWA CHAKULA Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli"
YouTube Link 2026-02-12T16:33Z 1.2M followers, [----] engagements
"GAMONDI KABAKI YEYE TU KUSAINI MKATABA KUWA KOCHA MKUU STARS Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli"
YouTube Link 2026-02-09T09:39Z 1.2M followers, [---] engagements
"Bwege atinga Mahakama Kuu kesi ya Lissu Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini (CUF) Suleiman Bungara maarufu Bwege ni kati ya watu waliofika Makahama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kufuatilia kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa Tundu Lissu leo Jumatano Feb [--] [----]. Lissu anakabiliwa na shtaka moja la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2) (d) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu linalotokana na maneno aliyoyatamka kuhusiana na kuzuia kufanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka [----]. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania"
YouTube Link 2026-02-11T08:07Z 1.2M followers, [---] engagements
"TUNDU LISSU ALIVYOTINGA MAHAKAMANI LEO Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli"
YouTube Link 2026-02-11T08:27Z 1.2M followers, [---] engagements
"#LIVE: RAIS WA UGANDA YOWERI MUSEVENI AKIWASILI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI #LIVE: RAIS WA UGANDA YOWERI MUSEVENI AKIWASILI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo mashabiki wa simba leo samia mbowe ali kamwe fei toto ahmed ally yanga sc vs al ahly goli la yanga vs al ahly mechi ya mwisho yanga vs al ahly simba vs jwaneng galaxy highlights simba vs jwaneng"
YouTube Link 2026-02-07T09:39Z 1.2M followers, [---] engagements
"TUNDU LISSU AFIKISHWA MAHAKAMA KUU ULINZI WAIMARISHWA Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu leo Februari [--] [----] inatarajiwa kuendelea kuunguruma ambapo upande wa mashtaka utajibu hoja za kisheria za pingamizi la Lissu kuhusiana na uhalali wa mashahidi fiche wa Jamhuri. Kesi hiyo imepangwa kuanza tena leo kwa siku [--] mfululizo za kazi mpaka Machi [--] [----]. Lissu anakabiliwa na shtaka moja la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2) (d) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu linalotokana na maneno aliyoyatamka kuhusiana na kuzuia kufanyika Uchaguzi"
YouTube Link 2026-02-09T07:05Z 1.2M followers, [---] engagements
"YANGA HESABU MPYA ZIPO HAPA PACOME TATIZO AZAM YAVUNJA REKODI YA SIMBA Klabu ya Yanga inasubiri mechi ya mwisho ya hatua ya makundi ili kufahamu hatima yake ya kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) itakapoikaribisha JS Kabylie ya Algeria Februari [--] [----] kwenye Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar. Mwandishi Mwandamizi wa Michezo wa Mwananchi Communications Limited Khatimu Naheka anaeleza mchanganuo wa hesabu (calculator) na mambo mawili muhimu yatakayoiwezesha Yanga kusonga mbele katika mashindano hayo msimu wa 2025/26. Kwa sasa Kundi B linaongozwa na Al Ahly ya Misri yenye"
YouTube Link 2026-02-08T15:14Z 1.2M followers, [----] engagements
"RAIS SAMIA AWAAPISHA WAKUU WAPYA WA MIKOA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaapisha Kanali Yahaya Kido kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera na Kanali Donald msengi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Uapisho huo umefanyika leo Jumatatu Februari [--] [----] Ikulu jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo"
YouTube Link 2026-02-09T08:58Z 1.2M followers, [---] engagements
"AMRI KIEMBA ACHAMBUA BALAA LA BUBA JAMMEH AIKUMBUSHA HAYA YANGA KUEPUKA MTEGO WA FAR RABAT SILAHA Nyota wa zamani wa Simba Yanga na Azam Amri Kiemba amesema mechi kati ya AS FAR Rabat na Yanga itakayopigwa Februari [--] [----] ni kama fainali kwa timu zote mbili kutokana na ushindani na hali ya msimamo wa kundi B la Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) msimu wa 2025-2026. Akizungumza na Mwananchi Digital Kiemba amesema licha ya presha kubwa iliyopo katika mechi hiyo Yanga ina wachezaji wakubwa na wenye uzoefu wanaoweza kuhimili presha hiyo akiwataja Pacme Zouzoua na Prince Dube. Kiemba amesema kwa"
YouTube Link 2026-02-05T13:30Z 1.2M followers, 36.7K engagements
"Dada yake Lissu akiongoza maombi mahakamani kabla kesi kuanza Mchungaji Rose Masesa ambaye ni dada mkubwa wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu amefanya maombi maalumu ndani ya chumba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kuanza kwa usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mdogo wake akimuombea afya njema na haki kutendeka katika mwenendo mzima wa shauri hilo. Maombi hayo yamefanyika leo Ijumaa Februari [--] [----] kabla ya kuanza kwa usikilizwaji wa kesi hiyo ambapo shahidi wa sita wa upande wa mashtaka (P6)"
YouTube Link 2026-02-13T09:18Z 1.2M followers, [---] engagements
"#LIVE: RAIS WA UGANDA YOWERI MUSEVENI AKIWASILI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI #LIVE: RAIS WA UGANDA YOWERI MUSEVENI AKIWASILI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo mashabiki wa simba leo samia mbowe ali kamwe fei toto ahmed ally yanga sc vs al ahly goli la yanga vs al ahly mechi ya mwisho yanga vs al ahly simba vs jwaneng galaxy highlights simba vs jwaneng"
YouTube Link 2026-02-07T12:43Z 1.2M followers, [---] engagements
"#LIVE: RAIS SAMIA AKIZINDUA SOKO KUU JIPYA LA KARIAKOO #LIVE: RAIS SAMIA AKIZINDUA SOKO KUU JIPYA LA KARIAKOO Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti Tanzania News Habari Tanzania events wema Magufuli yanga sc live yanga sc leo yanga sc day simba scene simba sc leo simba sc live clatous chama simba sc entertainment news entertainment channel mashabiki wa yanga leo mashabiki wa simba leo samia mbowe ali kamwe fei toto ahmed ally yanga sc vs al ahly goli la yanga vs al ahly mechi ya mwisho yanga vs al ahly simba vs jwaneng galaxy highlights simba vs jwaneng galaxy magoli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti"
YouTube Link 2026-02-08T08:40Z 1.2M followers, [----] engagements
"ULEGA: TUNAJIPANGA KWA UJENZI BARABARA ZA KULIPIA JNIA KIA Wakati Serikali ipo mbioni kumpata mkandarasi atakajenga barabara ya kulipia kutoka Kibaha- Chalinze Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amedokeza kuwa wanafikiria kujenga barabara kama hizo kwenye Viwanja vya Ndege vya Julius Nyerere jijini Dar es Salaam na ule wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Waziri Ulega ameeleza hayo Februari [--] [----] akiwa mkoani Arusha kutoa tathimini ya siku [---] za Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu utendaji kazi wa wizara hiyo na kujibu maswali ya wanahabari. "Sasa hivi tuna maelekezo ya 'express way' ya Kibaha-Chalinze"
YouTube Link 2026-02-09T14:35Z 1.2M followers, [----] engagements
"Uwekezaji wa bandari Mtwara na Kisiwa Mgao kufungua uchumi wa kusini Uwekezaji wa zaidi ya Sh [---] bilioni katika ujenzi wa Bandari mpya ya Kisiwa Mgao na maboresho ya Bandari ya Mtwara unatarajiwa kufungua uchumi wa Ukanda wa Kusini kwa kuongeza biashara ajira na fursa za uwekezaji katika sekta mbalimbali. Hatua hiyo pia inalenga kuimarisha ushoroba wa Kusini na kuongeza ushindani wa bandari za Tanzania katika kuhudumia mizigo ya ndani na nchi jirani. Hayo yamebainishwa leo Jumatano Februari [--] [----] na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya miradi"
YouTube Link 2026-02-11T16:25Z 1.2M followers, [---] engagements
"RAIS SAMIA: MAGARI YAPANGIWE MUDA MAALUMU WA KUINGIZA MIZIGO SOKONI Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa kuwepo kwa mpangilio maalumu wa maegesho upakiaji na upakuaji wa mizigo katika Soko Kuu la Kariakoo ili kuhakikisha shughuli za biashara zinafanyika kwa ufanisi bila kusababisha msongamano. Akizungumza leo Februari [--] [----] wakati wa uzinduzi wa soko hilo Rais Samia amesema magari yatakayokuwa yakileta mizigo kutoka mikoani viwandani na maeneo mbalimbali yanapaswa kupangiwa muda maalumu wa kuingia na kushusha ili barabara ziendelee kuwa wazi muda wote. Amesema pamoja na magari ya"
YouTube Link 2026-02-08T12:33Z 1.2M followers, [---] engagements
"Exclusive: Why Stanbic Bank is betting big on Tanzania's next growth phase In an exclusive sit-down with The Citizen Stanbic Bank Tanzania Chief Executive Manzi Rwegasira opens up on the banks growth journey the challenges faced and the strategy driving its next phase of expansion. He speaks on navigating market headwinds financing priority sectors empowering SMEs and Stanbics role in advancing inclusive economic growth in Tanzania. Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News Tanzania makutukio Habari Tanzania events wema Magufuli Mwananchi Thecitizen Mwanaspoti MCL Tanzania News"
YouTube Link 2026-02-09T15:24Z 1.2M followers, [----] engagements
"SERIKALI YAZINDUA SERA YA TAIFA YA KINGA YA JAMII Arusha. Mkutano wa siku mbili wa wadau wa Sekta ya Kinga ya Jamii umeanza Februari [--] [----] katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) huku Serikali ikizindua rasmi Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii inayolenga kuimarisha ustawi wa wananchi. Sera hiyo imezinduliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi Ajira na Mahusiano Kazini) Deus Sangu aliyesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan iliahidi kuandaa sera hiyo ili kuhakikisha hakuna Mtanzania anayebaki nyuma anapokumbwa na changamoto"
YouTube Link 2026-02-10T07:38Z 1.2M followers, [---] engagements
"HISTORIC PARTNERSHIP: MCL and Crown Media launch The Citizen Rising Woman [----] The Citizen has partnered with Crown Media to launch the 5th edition of the Rising Woman Initiative [----] under the theme Accelerate Her Impact"
YouTube Link 2025-02-07T16:46Z 1.1M followers, [---] engagements
"Mwijaku amuwashia moto Tunda Man baada ya kuchelewa mkutano wa ubalozi Mwijaku amuashia moto Tunda Man baada ya kuchelewa mkutano wa ubalozi"
YouTube Link 2023-08-28T18:20Z 909K followers, [---] engagements
"#LIVE: KINACHOENDELEA KWA MKAPA MUDA HUU BAADA YA SIMBA KUGOMEA RASMI DABI YA KARIAKOO Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele"
YouTube Link 2025-03-08T09:30Z 1.1M followers, [----] engagements
"MFAHAMU MWANAMAMA ALIYEAMUA KESI YA YANGA CAS Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) ilianzishwa mwaka [----] ili kutatua migogoro inayohusiana na michezo kwa njia ya usuluhishi. Makao yake makuu yako Lausanne Uswizi na mahakama zake ziko New York City Sydney na Lausanne. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko"
YouTube Link 2025-05-03T06:51Z 1.1M followers, [---] engagements
"Kiatu cha mfungaji bora apewa Fei Toto Aziz KI apigwa chini Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara"
YouTube Link 2024-04-21T22:03Z 953K followers, [--] engagements
"Mwalimu Yanga aiponda AZAM asema YANGA ya sasa ni bora kuliko MAN CITY Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki"
YouTube Link 2024-08-11T19:21Z [---] followers, [--] engagements
"RUSSIA YAMKATAA TRUMP MATUKIO [--] MAZITO NDANI YA SAA [--] Februari [--] [----] ndiyo siku ambayo Russia ilitangaza kuanza kwa Operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine ambapo vikosi vya wanajeshi vilivyoambatana na vifaru vilianza kurusha makombola nchini humo. Leo Novemba [--] zinatimia siku [---] tangu kuanza kwa Operesheni hiyo ambayo inafahamika kama Vita ya Russia dhidi ya Ukraine. Kwa mujibu wa Jarida maarufu la The War Steet Journal raia zaidi ya [-----] wakiwemo watoto [---] wa wa Ukraine wameshauwawa huku zaidi ya [-----] wakijeruhiwa katika vita hiyo. Kwa upande wa Russia Tovuti ya The Russian"
YouTube Link 2024-11-12T10:51Z 1M followers, [---] engagements
"KAULI YA MSIGWA SAKATA LA DABI YA KARIAKOO ATUMA UJUMBE KWA TFF Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. https://youtu.be/XSTOVJ0W13ssi=Fy2YvZqh5JPgwXVw #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga"
YouTube Link 2025-03-16T14:11Z 1.1M followers, [----] engagements
"Serikali yakana kuipa bahari madini Korea Kusini Serikali imefafanua juu ya mkopo wa Sh6.7 trilioni iliyoupata kutoka nchi ya Korea Kusini huku ikieleza kuwa haijatoa sehemu ya bahari yake wala madini ya kimkakati. Ufafanuzi huo umetolewa na Msemaji wa Serikali Mobhare Matinyi leo Juni [-----] wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kufuatia kuwapo kwa taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikiwemonyesha namna Korea itakavyokwenda kunufaika na rasilimali za Tanzania baada ya kutoa mkopo huo. Kupitia tovuti ya Sauti ya Amerika Juni [--] mwaka huu ilichapishwa habari"
YouTube Link 2024-06-04T14:09Z 969K followers, [--] engagements
"HECHE AFIKISHA 'NO REFORMS NO ELECTION' IGIMBA MOROGORO Makamu Mwenyekiti Chadema Bara John Heche akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Igima Jimbo la Mlimba mkoani Morogoro ikiwa ni uzinduzi wa kampeni ya 'No Refoms No election' katika mikoa ya Kanda ya Kati inayoanza leo Juni [--] [----]. Heche pamoja na viongozi wengine wa juu wa Chadema wanafanya ziara kwenye mikoa ya Morogoro Dodoma na Singida inayounda Kanda ya Kati ya chama hicho. Heche akiwa na viongozi wengine wa chama hicho kwenye ziara hiyo atafanya mikutano ya hadhara kuelimisha na kushawishi umma kuunga mkono msimamo kampeni ya kudai"
YouTube Link 2025-06-05T17:42Z 1.1M followers, [----] engagements
"AMRI KIEMBA: FADLU AKIKOMAA NA HAYA ATAITESA RS BERKANE UNAKIMBIZA MWIZI MLANGO UMEACHA WAZI CAFCC Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Video na Khatibu Mgeja. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba"
YouTube Link 2025-05-23T04:00Z 1.1M followers, 14.9K engagements
"MAPYA YAIBUKA ALIYEREKODI VIDEO [---] ZA NGONO SERIKALI YATANGAZA KUWAFUTA KAZI YUMO MKE WA. "Leo tutachukua hatua ya kuwasimamisha kazi mara moja maofisa wote ambao wamejihusisha katika mahusiano ya kingono ndani ya ofisi za wizara za nchi. Hiyo ni moja ya kauli iliyochapishwa kupitia taarifa iliyotolewa kwenye X (zamani Twitter) na Makamu wa Rais wa Guinea ya Ikweta Teodoro Nguema akitangaza kuwachukulia hatua maofisa wa serikali hiyo wanaodaiwa kujihusisha na mahusiano ya kingono sehemu ya kazi kisha kanda zao kuvuja. Kiongozi huyo amesema serikali itachukua hatua kali dhidi ya vitendo hivyo"
YouTube Link 2024-11-05T08:19Z 1M followers, [----] engagements
"🔴#LIVE: MWANANCHI SPACE Je maudhui muziki wa sasa huchangia mmomonyoko wa maadili 🔴#LIVE: MWANANCHI SPACE Je maudhui muziki wa sasa huchangia mmomonyoko wa maadili"
YouTube Link 2023-11-23T07:27Z 914K followers, [---] engagements
"MBUZI ALIYECHUNWA KUVISHWA SANDA AZUA TAHARUKI TABORA Katika hali isiyo ya kawaida wakazi wa Mtaa wa Bombamzinga Kata ya Isevya Manispaa ya Tabora wamejikuta katika taharuki baada ya kugundua mbuzi aliyekuwa amechunwa ngozi kuvishwa sanda na kisha kutundikwa juu ya mti wa muembe. Tukio hilo limezua taharuki na hofu kwa wakazi wa mtaa huo huku wengi wakidhani kifurushi hicho kilikuwa ni mtoto mchanga waliyedhania amekufa na kutundikwa juu ya mti huo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Desemba [--] [----] Mwenyekiti wa mtaa huo Ramadhan Kamandwa amesema taarifa za tukio hilo alizipata"
YouTube Link 2024-12-12T19:19Z 1.1M followers, [----] engagements
"BREAKING NEWS : JOB NDUGAI AFARIKI DUNIA Ndugai afariki dunia ofisi ya Bunge kutoa taarifa zaidi Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai amefariki dunia leo Jumatano Agosti [--] [----] wakati akipatiwa matibabu katika moja ya hospitali jijini Dodoma. Taarifa ya Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson aliyoitoa imesema: Kwa masikitiko makubwa naomba kutoa taarifa ya kifo cha kiongozi wetu mwanasiasa mkongwe na Spika mstaafu wa Bunge Job Ndugai kilichotokea leo jijini Dodoma. Natoa pole kwa familia ya marehemu ndugu jamaa na wananchi wa Jimbo la Kongwa Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu na"
YouTube Link 2025-08-06T16:00Z 1.2M followers, 21.7K engagements
"🔴 LIVE: IBADA NA KUAGA MWILI WA PADRE NKWERA - UBUNGO DAR ES SALAAM Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania"
YouTube Link 2025-05-18T02:16Z 1.1M followers, [---] engagements
"DK MOLLEL AJILIPUA AWACHANA WANAOMPINGA SAMIA Naibu Waziri wa Afya na Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk Godwin Mollel amewatolea uvivu baadhi ya wanachama wa CCM wanaojitokeza hadharani kupinga uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika mahojiano maalum Dk Mollel amesema kuwa kuna wanachama wanaojitokeza kuhoji au kuonesha upinzani dhidi ya Rais Samia hali ambayo kwa mtazamo wake inaweza kuwa ishara ya changamoto za afya ya akili. Wapo watu ambao wanapokuwa si main character wanajichanganya na kufikiri kuwa huo si ukweli. Hilo ni tatizo la akili kama ilivyo matatizo"
YouTube Link 2025-07-21T07:02Z 1.2M followers, [---] engagements
"The Equity turnaround: Former Chair Eng. Mbilinyi tells the story In an exclusive interview with The Citizen Eng. Raymond Mbilinyi former Board Chair of Equity Bank Tanzania shares how the institution managed to turn its fortunes around to become one of the country's most profitable banks"
YouTube Link 2025-05-16T11:28Z 1.1M followers, [--] engagements
"AHMED ALLY ahofia balaa la RS BERKANE fainali ya CAFCC Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Video Credit @simbasctanzania255 #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele"
YouTube Link 2025-05-17T11:31Z 1.1M followers, [----] engagements
"MLANDEGE YATUMA SALAMU KWA WAHABESHI FEI TOTO ATAJWA Katika kuhakikisha inafanya vyema katika Ligi ya Mabingwa Afrika mabosi wa Mlandege wamemuongeza kocha Abdallah Mohamed 'Baresi' katika benchi la ufundi la timu hiyo. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Zanzibar imekata tiketi ya michuano tangu [----] ikipangwa kukutana na Ethiopia Insurance ya Ethiopia kati ya Septemba [--] wataanzia ugenini. Akizungumzia maandalizi kwa ujumla kocha wa Mlandege Hassan Ramadhan Hamis amesema wanaendelea vizuri na wamefanya usajili mzuri ambao wanaamini utaweza kuisaidia timu hiyo kufanya vizuri ndani na kimataifa."
YouTube Link 2025-08-17T12:17Z 1.2M followers, [---] engagements
"How is NMB supporting house finance in Tanzania Mortgage loans tenors have increased from [--] [--] years in [----] to [--] [--] years to date. The number of banks offering mortgage loans has increased from [--] banks in [----] to [--] banks by [--] September 2017"
YouTube Link 2017-12-30T09:54Z 1.1M followers, [---] engagements
"MAAJABU KITUO CHA POLISI CHAFUNGWA KISA DENI LA KODI YA PANGO SH40.9 MILIONI Katika hali isiyo ya kawaida Kituo cha Polisi cha Riandira Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya kimefungwa kwa muda usiojulikana kutokana na malimbikizi ya deni la kodi ya KSh2 milioni (Tsh40.9 milioni). Kituo hicho kimekuwa kikiwahudumia wakazi wa eneo hilo kwa takriban miaka tisa katika jengo linalomilikiwa na mtu binafsi. Kituo hicho kilifungwa Machi [--] [----] huku uamuzi huo ukiwafanya wakazi wa Soko la Riandira na viunga vyake kujawa na hofu ya kiusalama. Polisi walionekana wakibeba virago vyao na kuondoka katika eneo"
YouTube Link 2025-03-25T17:02Z 1.1M followers, [---] engagements
"ALEX NGAI ATOBOA SIRI BAADA YA KUIFUNGA WILIETE BAO 2-0 "HALI IKIWA MBAYA TUTAJUWA NINI KITATOKEA" Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-09-27T19:06Z 1.2M followers, [---] engagements
"SHUHUDIA WAPIZANI WA SIMBA WAKIPASHA MISULI KWA MKAPA VITA YA CAFCC Timu ya CS Sfaxien ya Tunisia wamefanya mazoezi yao ya mwisho leo wakijiandaa kuivaa Simba SC kesho Desemba [--] [----] kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Hii ni mechi ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko"
YouTube Link 2024-12-14T14:04Z 1.1M followers, [----] engagements
"HESABU KALI ZA MBWADUKE SIMBA IKIIFATA STELLENBOSCH AWATAHADHARISHA MAKALI YAO CAF ATEBA. Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-04-13T17:05Z 1.1M followers, [---] engagements
"AZIM DEWJI: SIMBA NI KATI YA TIMU TISHIO AFRIKA TUSAHAU DABI YA KARIAKOO ILA AL MASRY. Mfadhili wa zamani wa Klabu ya Simba Azim Dewji amesema Al Masry si timu rahisi akisisitiza kuwa kila timu iliyofuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ni yenye ubora. Hata hivyo ana imani kwamba Simba itaweza kupata ushindi ugenini huku akitamba Simba hali mzonga bali wanawinda. Aidha amewatoa hofu mashabiki kwa kusisitiza Simba ni kati ya timu zinazoogopwa Afrika na kwamba wapo tayari kupambana na moja ya timu bora barani humo. Azim pia amewahimiza mashabiki wa Simba na wadau wa soka"
YouTube Link 2025-03-13T14:15Z 1.1M followers, [----] engagements
"VIBE LA MBOSSO AKIKIWASHA SIMBA DAY KWA MKAPA Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo"
YouTube Link 2025-09-10T14:30Z 1.2M followers, 18.2K engagements
"SHABIKI SIMBA KUTOKA MWANZA AITUPIA LAWAMA YANGA WALICHOTUFANYIA KWA MKAPA HAKIJAWAHI KUTOKEA. Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-03-08T17:40Z 1.1M followers, [----] engagements
"Exclusive interview with South Africa's High Commissioner to Tanzania South Africa has commemorated [--] years since the end of the minority white Apartheid regime and the establishment of a majority African government. In an exclusive interview South Africa's High Commissioner to Tanzania Noluthando Mayende-Malepe reflects on the long journey to freedom and discusses Tanzania's pivotal role in supporting South Africa's attainment of self-rule"
YouTube Link 2024-06-15T13:54Z 1M followers, [---] engagements
"SHABIKI SIMBA ASHANGAZWA NA YANGA: MATOKEO YA AJABU AKOSHWA NA KASI YA USHAMBULIAJI YA TP MAZEMBE Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-01-04T18:48Z 1.1M followers, [---] engagements
"Mzaramo Simba aiponda Al Ahli Tripoli "Dakika [--] nyepesi tutawageuza kama Chapati" Yanga wamekimbia Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2024-09-20T17:42Z 1M followers, [---] engagements
"Biden ampongeza Trump kwa ushindi Harris ampigia simu Donald Trump ndiyo mshindi wa nafasi ya Urais katika uchaguzi wa Marekani uliofanyika kuanzia juzi na yeye kujitangaza jana Novemba [-----] kuwa ameshinda kinyanganyiro hicho. Trump ambaye pia alikuwa Rais wa [--] wa Marekani kati ya mwaka [----] hadi [----] alimshinda mpinzani wake Kamala Harris wa Chama cha Democrats na anachotokea Rais wa Sasa Joe Biden. Donald Trump kutoka chama cha Republican ameshinda nafasi ya Urais wa taifa hilo kwa takriban kura [--------] dhidi ya Kura [--------] za Kamala Harris wa chama cha Democrat. Aidha katika Uchaguzi"
YouTube Link 2024-11-07T08:13Z 1M followers, [---] engagements
"KAULI YA BODI YA LIGI KUHUSU WADHAMINI LIGI KUU BARA HATMA YAO IKOJE Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Video na Khatibu Mgeja. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-03-29T05:00Z 1.1M followers, [----] engagements
"How Juif turns Tanzanian streets into global film stories From performing on the lively streets of Tanzania to captivating audiences around the world Juif's journey is a powerful story of resilience creativity and determination. Discover how he transformed challenges into opportunities and built a name for himself on the global stage. Watch the full story now #TheBeatInterview #GlobalStorytelling #TanzaniaToTheWorld"
YouTube Link 2025-04-29T14:48Z 1.1M followers, [--] engagements
"KIINI CHA DANADANA UJENZI WA MV MWANZA HIKI HAPA MINONG'ONO YA WADAU YAIBUKA Ukimya juu ya ulipofikia mradi wa ujenzi wa meli ya kisasa ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu umeibua minongono miongoni mwa wakazi wa Kanda ya Ziwa huku wengine wakihoji ni lini meli hiyo itazinduliwa na kuanza safari zake. Kutokana na minongono hiyo Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza Oktoba [--] [----] katika kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza alisemakuhusu ujenzi wa meli ya MV Mwanza nataka niwaambie kabla ya kurudi Dar es Salaam nitafika mwenyewe eneo la mradi kukagua maendeleo ya mradi"
YouTube Link 2024-11-02T09:47Z 1M followers, [----] engagements
"VURUGU ZA MAKONDA ZAHAMIA TANGA MWANA F.A ATAMBA 'NI [--] BY [--] KUNYWA CHAI YA NAZI' Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania"
YouTube Link 2025-02-12T18:23Z 1.1M followers, [----] engagements
"RC ALIVYOTINGA HOSPITALINI KIMYAKIMYA NA MGONJWA ABAINI MADUDU Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC) Nurdin Babu amesikitishwa na huduma mbovu zinazotolewa na baadhi ya wahudumu wa afya wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mawenzi mkoani humo. Hatua hiyo inatokana yeye kumpeleka mgonjwa hospitalini hapo na kupewa huduma isiyoridhisha ambayo aliisubiri kwa zaidi ya saa tatu. RC Babu amesema alikwenda hospitalini hapo akiwa amevalia kanzu na kofia kama mwananchi wa kawaida na wahudumu hao hawakutambua kama ni mkuu wa mkoa huo. Kiongozi huyo wa mkoa ametoa kauli hiyo jana Agosti [--] [----] wakati akizungumza"
YouTube Link 2025-08-13T11:36Z 1.2M followers, [----] engagements
"MZIZE YUPO KAMILI GADO KUIVAA BURKINA FASO APIGA TIZI NA WENZAKE GYNKHANA Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele"
YouTube Link 2025-08-01T18:22Z 1.2M followers, [---] engagements
"NABI AMNG'OA FADLU SIMBA Kabla ya tukio la Simba kuangusha pointi moja mbele ya Fountain Gate juzi jioni mjadala ulikuwa kitendo cha Kocha wa Yanga Saed Ramovic kuikacha timu hiyo ndani ya muda mfupi na kuibukia CR Belouizdad ya Morocco. Lakini sasa kuna jipya. Mwanaspoti linajua kuna timu nyingine ya nchi hiyo ambayo ipo siriazi ikipania kumng'oa Kocha wa Simba Fadlu Davids tena kwa ahadi ya mkwanja mrefu wa mshahara na posho ndefu. Mwanaspoti linajua kwamba kuna kitu kinaendelea kati ya Fadlu na FAR Rabat . Video na Khatibu Mgeja. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki"
YouTube Link 2025-02-08T16:24Z 1.1M followers, [----] engagements
"KOCHA RS BERKANE ATAMBA ZANZIBAR KUIANGUSHA SIMBA CAFCC CAMARA APIGILIA MSUMARI Kocha Mkuu wa RS Berkane Mouin Chaabani amesema kuwa kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Simba SC utakaopigwa kesho Mei [--] [----] kwenye Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar. Akizungumza na wanahabari kocha huyo amesema maandalizi yao yameenda vizuri licha ya kukumbwa na changamoto kadhaa kama hali ya hewa. Hata hivyo amesisitiza kuwa wanajua wapo hapa kwa ajili ya dakika [--] muhimu na kikosi chake kimetayarishwa kukabiliana na hali yoyote. Kocha huyo pia"
YouTube Link 2025-05-24T09:56Z 1.1M followers, [----] engagements
"USHAWAHI KUCHEZA NA BABA YAKO KAMA HIVI Tazama rapa Rick Ross akiwa na binti yake aitwaye Toie Roberts wakicheza moja ya challenge maarufu katika mtandao wa TikTok. Vipi ushawahi kucheza muziki au challenge yoyote na baba yako #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga"
YouTube Link 2024-09-21T15:51Z 1M followers, [----] engagements
"ALI KAMWE AELEZA MIKAKATI YA KUMVUTA MAYELE YANGA AMTAJA FEI TOTO Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki"
YouTube Link 2025-02-28T15:21Z 1.1M followers, 16.7K engagements
"MKUTANO WA MADINI KUJADILI MADA [--] WACHIMBAJI WADOGO WAPEWA KIPAUMBELE Wakati Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kufungua mkutano wa sita wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania mwaka [----] jijini Dar es Salaam mada nane zitajadiliwa kwenye mkutano huo. Mkutano huo wa siku tatu utaanza Novemba [--] [----] ukiwaleta pamoja washiriki [----] kutoka ndani na nje ya Tanzania. Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema miongoni mwa watakaoshiriki ni Mawaziri wa Madini kutoka nchi za Afrika watendaji wakuu wa kampuni kubwa za madini duniani zilizowekeza na zinazotarajia"
YouTube Link 2024-11-14T13:39Z 1M followers, [--] engagements
"MR NICE: NILIENDA KAMA CHOONI. HATA MIMI MWENYEWE NILIJISHANGAA SIJUI NINGEWAIMBIA NINI Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele"
YouTube Link 2025-08-31T04:51Z 1.2M followers, [----] engagements
"SIMBA wametuotea 😂 Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli"
YouTube Link 2025-02-02T19:08Z 1.1M followers, [----] engagements
"MDUDE AMALIZANA NA POLISI SONGWE APELEKWA MBEYA RPC AFAFANUA Wakati Jeshi la Polisi mkoani Songwe likimaliza mahojiano na kada wa Chadema Mdude Nyagali mwanaharakati huyo anapelekwa mkoani Mbeya kwa mahojiano mengine na jeshi hilo kujibu tuhuma zinazomkabili. Nyagali alikamatwa Novemba [--] [----] mkoani Songwe akiwa na makada wengine wa Chadema akiwamo Mwenyekiti wake Taifa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Kanda ya Nyansa Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai ya kukiuka taratibu za kampeni. Hata hivyo makada wengine waliachiwa na Polisi kueleza kuwa inamshikilia Mdude kwa mahojiano zaidi. Akizungumza na"
YouTube Link 2024-11-25T14:11Z 1M followers, [----] engagements
"CHAUMMA KUBINAFSISHA SEKTA YA MAJI KUCHAKATA JIPSAMU SAME Mgombea mwenza wa urais Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) Devota Minja ameahidi kubinafsisha sekta ya maji punde chama hicho kitakapopata ridhaa ya wananchi kupitia uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Sambamba na hilo ameahidi kujenga viwanda vya kuchakata jipsamu inayopatikana Same mkoani Kilimanjaro ili iwanufaishe wakaazi wa hapo. Akihutubia Jumatano Septemba [--] [----] Kata ya Makanya Same Magharibi Minja amesema Serikali ya Chaumma haitakubali watu wateseke na maji na huduma zote muhimu na kwa sasa chama hicho kinaumia kinavyoona"
YouTube Link 2025-09-25T09:26Z 1.2M followers, [---] engagements
"KUPOROMOKA KWA JENGO KARIAKOO FUNDI ATOBOA SIRI Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema uchunguzi utafanyika kubaini sababu ya jengo la ghorofa mtaa wa Kariakoo kuporomoka huku mafundi ujenzi wakieleza chanzo cha tukio. Majaliwa amesema katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu yupo kariakoo akifanya ufuatiliaji wa sababu ya jengo hilo kuporomoka. "Nimewasili pale nimeona ujenzi mpya unaendeleakariakoo ni soko la kimataifa na tunategemewa na nchi zaidi ya nane ujenzi ule nimewataka waimarishe yasitokee haya lile jengo lilikuwa lazamani sio jipya kwanini limebomoka leo wataalamu wetu watatuambia"amesema."
YouTube Link 2024-11-16T15:10Z 1M followers, 13.1K engagements
"AUSTIN ODHIAMBO AUKUBALI MZIKI WA SIMBA AELEZA KILICHOWAPONZA KUWAVUTIA SIMBA DAY Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele"
YouTube Link 2025-09-11T00:43Z 1.2M followers, [---] engagements
"HASHEEM IBWE: HATUJAUMIA KUFUNGWA NA YANGA ATANGAZA KIAMA MECHI ZILIZOBAKI LIGI KUU BARA Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele"
YouTube Link 2025-04-10T19:15Z 1.1M followers, [---] engagements
"Natoa ONYO wasikie hili jambo. Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano"
YouTube Link 2025-09-28T09:11Z 1.2M followers, [----] engagements
"#LIVE: KINACHOENDELEA KWA MKAPA MUDA HUU BAADA YA SIMBA KUGOMEA RASMI DABI YA KARIAKOO Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele"
YouTube Link 2025-03-08T07:10Z 1.1M followers, 35.5K engagements
""HATUTUMII MBINU ZA YANGA SIMBA WAMETUOTEA SASA HAWATOTUFUNGA TENA TABORA UNITED" Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele"
YouTube Link 2025-02-02T17:40Z 1.1M followers, [---] engagements
"RC Chalamila afunguka "Kama huna pesa na una miaka zaidi ya [--] usimlaumu Rais" Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewashangaa wenye umri zaidi ya miaka [--] wanaolalamika kukosa pesa na kutoa lawama kwa Rais Samia. Chalamila amesema: Kama una umri kama wa kwangu na bado hujawa na hela huna haja ya kutenda dhambi ya kumlaumu Rais aliyeingia miaka mitatu iliyopita.Umri huu zaidi ya miaka [--] hela sina nilizaliwa wakati wa Nyerere akaja Mwinyi Mkapa Kikwete Magufuli pamoja na Samia huna pesa ninashangazwa. Chalamila amesema hayo leo Mei [--] [----] akiwa katika ziara ya Jimbo la Ukonga"
YouTube Link 2024-05-29T08:58Z 1M followers, [----] engagements
"KINACHOENDELEA MKUTANO MKUU WA YANGA [----] MUDA HUU THE SUPER DOME Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki"
YouTube Link 2025-09-07T08:29Z 1.2M followers, [---] engagements
"WALIOUA WALINZI WA SUMA JKT CRDB DCB KUNYONGWA Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam imewahukumu adhabu ya kifo watu wawili waliovamia Benki mbili za CRDB na Benki ya Biashara ya DCB za jijini Dar es Salaam na kuua watu watatu kwa mtutu wa bunduki. Tukio hilo la mauaji lilitokea saa 8:40 mchana wa Desemba [--] [----] katika eneo la Chanika Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam wakati wa uvamizi wa benki hizo ambapo miongoni mwa waliouawa ni walinzi wawili wa Suma-JKT. Waliouawa wametajwa kuwa ni Ramadhan Rashid Halili na Shani Rajabu Mohamed waliokuwa walinzi wa Suma JKT katika"
YouTube Link 2025-05-01T14:20Z 1.1M followers, [---] engagements
"#LIVE: CATALYZING IMPACT - COLLABORATION FOR PEOPLE PLANET AND PROSPERITY #LIVE: CATALYZING IMPACT - COLLABORATION FOR PEOPLE PLANET AND PROSPERITY"
YouTube Link 2025-08-15T00:58Z 1.2M followers, [---] engagements
"SIMBA YATUA KINYONGE DAR FADLU AFICHUA MPANGO WA KUPINDUA MEZA KWA AL MASRY ANATAKA NUSU FAINALI Kocha wa Simba SC Fadlu Davids amesema licha ya kupoteza mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) kwa mabao 2-0 dhidi ya Al Masry ya Misri anaamini kikosi chake kina uwezo wa kugeuza matokeo hayo katika mchezo wa marudiano. "Tulicheza vizuri lakini matokeo hayakuwa mazuri. Hali ya uwanja haikuwa rafiki na tulistahili kupata penalti kama ukitazama marudio ya mchezo. Hata maamuzi ya kuotea yalikuwa makubwa sana. Lakini tuna uwezo wa kufunga mabao matatu au zaidi hasa"
YouTube Link 2025-04-04T03:17Z 1.1M followers, [---] engagements
"TSHABALALA AFICHUA WALIVYOIANDAA DOZI YA KULIPA KISASI KWA AL MASRY AELEZA MIKAKATI YA NUSU FAINALI Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-04-09T17:26Z 1.1M followers, 61.7K engagements
"Sio kila MTU ana bana PUA kuhusu CALCULATOR 😂 Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. VIDEO CREDIT @YoungAfricansSCTV #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele"
YouTube Link 2025-01-16T14:22Z 1.1M followers, [----] engagements
"#LIVE: Nyomi la mashabiki Simba Kwa Mkapa wavunja uzio kama una tiketi ya SIMBA DAY na hujafika. Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2024-08-03T11:59Z 1M followers, [----] engagements
"SKUDU AANIKA UKWELI MAISHA KUONDOKA YANGA MAUMIVU ALIYOPITIA DR CONGO AWATAJA DOUMBIA RUSHINE NEO Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-10-07T04:00Z 1.2M followers, [---] engagements
"BREAKING NEWS: UKRAINE KUMELIPUKA RUSSIA YATUMA MAKOMBORA [--] DRONI [---] Taarifa za hivi pundi zinasema Russia imeshusha mashambulizi mazito nchini Ukraine shambulio hilo linatajwa na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy kuwa moja ya mashambulizi mazito kuwahi kufanywa na Russia nchini humo. Katika mashambulizi hayo Russia imetuma makombora [--] na Droni zaidi ya [---] kwa wakati mmoja siku ya leo Ijumaa Disemba [------]. Tovuti ya The Guardian imeripoti kuwa makombora hayo yamepiga na kuharibu vibaya miundombinu ya nishati maeneo yote ya taifa hilo. Zelenskyy amesema vikosi vya Ukraine vimepambana"
YouTube Link 2024-12-13T14:20Z 1.1M followers, 14K engagements
"SIKU [--] KIFO CHA DIDA: ALIYEKUWA MENEJA WAKE ASEMA MENGI KUMUHUSU DIDA 'ALIKATAA'. Katika ulimwengu wa habari mara nyingi mashabiki hufikiri watangazaji hufanya kazi katika vipindi wanavyovipenda tu. Lakini ukweli ni kwamba wapo ambao vipaji vyao hukuzwa na kuzalishiwa ndoto mpya licha ya awali kutamani kuwasilisha maudhui ya aina fulani. Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi Media aliyekuwa akifanya kipindi cha Mashamsham marehemu Khadija Shaibu Dida ambaye kabla ya kuingia kwenye ulimwengu wa Taarab alipenda muziki wa hip-hop na nyimbo za Kiingereza zilizopo kwenye"
YouTube Link 2024-11-01T03:30Z 1M followers, [--] engagements
"ALI KAMWE AELEZA MSIMAMO WA YANGA MPAKA SASA KUHUSU DABI YA KARIAKOO ASEMA SIO KILA TIMU ITAKIMBIA Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-03-13T14:45Z 1.1M followers, [---] engagements
"NYALANDU ATUA KIGOMA KUSAKA KURA ZA SAMIA Mratibu wa Taasisi ya Samia Love Lazaro Nyalandu amewahimiza wananchi wa Kigoma kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi kumpokea na kumuunga mkono mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan. Nyalandu ambaye amewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii tayari amewasili mkoani Kigoma akiwa na timu yake ya uhamasishaji huku Samia akitarajiwa kutua mkoani humo kuendelea na kampeni za kunadi sera na kuomba kura kwa wananchi. Akizungumza na baadhi ya wanachama na makada wa chama hicho baada ya kupokewa na"
YouTube Link 2025-09-11T12:57Z 1.2M followers, [---] engagements
"ALI KAMWE ALALA SELO POLISI YATAJA SABABU Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Aprili [-----] Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard Abwao amethibitisha jeshi hilo kumshikilia Kamwe huku akitaja sababu kuwa ni kauli chafu kwa viongozi wa Serikali. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited"
YouTube Link 2025-04-03T07:16Z 1.1M followers, [----] engagements
"RUSSIA YASHAMBULIWA NA UKRAINE MAKOMBORA YA ATACMS YATUMIKA Moscow. Russia imesema itajibu mapigo kufuatia mashambulizi ya makombora nane aina ya ATACMS yaliyorushwa na vikosi vya Ukraine nchini humo. Ukraine ilipewa makombora hayo aina ya ATACMS na Marekani. Kwa mujibu wa The Guardian shambulizi ya Ukraine nchini Russia yalifanyika jana Jumamosi Januari [-----] ambapo makombora hayo yalilenga kupiga umbali wa Kilometa [---] ndani ya Russia kutoka nchini Ukraine. Wizara ya Ulinzi ya Russia imeripoti kuwa makombora yote nane yakiambatana na Droni zaidi ya [--] hayakupenya baada ya kudhibitiwa na"
YouTube Link 2025-01-05T08:36Z 1.1M followers, [----] engagements
"HERSI AWEKA WAZI MSIMAMO WA YANGA SAKATA LA DABI YA KARIAKOO Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara"
YouTube Link 2025-03-27T16:31Z 1.1M followers, [---] engagements
"#LIVE: RAIS SAMIA AKIFUNGUA KIWANDA CHA MAMBOMBA NA KIWANDA CHA KUCHAKATA PAMBA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifungua Kiwanda cha Mabomba na Kiwanda cha Kuchakata Pamba Mkoa Simiyu leo tarehe [--] Juni 2025"
YouTube Link 2025-06-16T07:37Z 1.1M followers, [---] engagements
"HUU NDIO MWONEKANO MPYA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA CHAN [----] NDIMBO ATIA NENO Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele"
YouTube Link 2025-07-29T15:19Z 1.2M followers, [----] engagements
"AHMED ALLY: Hao ni watu wa hovyo .🙌 Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo"
YouTube Link 2025-07-10T10:07Z 1.1M followers, 65K engagements
"#LIVE: SIMBA vs STELLENBOSCH NUSU FAINALI CAFCC🔥 UWANJA WA NEW AMAAN COMPLEX ZANZIBAR Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele"
YouTube Link 2025-04-20T11:04Z 1.1M followers, 17.4K engagements
"Why Africa must be treated as an equal partner President of Finland Alexander Stubb spoke candidly about free trade and the shifting global order emphasizing that the future of global growth lies on the African continent a region he insists must be engaged not merely as a market but as a true partner"
YouTube Link 2025-05-21T16:11Z 1.1M followers, [--] engagements
"MAMBO NI MOTO Russia China ZAGOMEA azimio la UN kuhusu mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas Russia na China zimetumia kura zao za turufu kuukataa muswada wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu mapigano yanayoendelea kati ya Israel na kundi la Hamas katika Ukanda wa Gaza"
YouTube Link 2023-10-26T07:00Z 905K followers, [---] engagements
"How a Tanzanian startup is moving over $1 billion to Africa and Asia II PART [--] Benjamin Fernandes founder and CEO of Nala has opened up about the challenges he faced launching his fintech company in Tanzania. Despite early setbacks he successfully built a strong customer base in other markets and today Nala facilitates over $1 billion in remittances to Africa and Asia"
YouTube Link 2025-07-10T15:31Z 1.1M followers, [---] engagements
"KEJELI ZA KIBOKO YA WACHAWI MITANDAONI 'JUENI FIKRA ZA KISHIRIKINA' Video zenye maudhui ya kejeli zinazotolewa na Mchungaji Domique Dibwe maarufu kama Kiboko ya Wachawi zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zimeibua mjadala huku wadau wakitaka waumini wajihadhari na imani potofu na Serikali iwalinde dhidi ya imani hizo. Kiboko ya Wachawi aliondoka nchini baada ya Serikali kulifunga Kanisa la Christian Life Church alilokuwa akiliongoza nchini. Katika moja ya video hizo Kiboko ya Wachawi ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) anaonekana akihesabu fedha huku akisema bado"
YouTube Link 2024-09-04T07:28Z 1M followers, [--] engagements
"SINGIDA BS YAMPA MZUKA MWANA FA AMWAGA MAUA Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma (Mwana FA) amepongeza juhudi za Singida Black Stars katika kuwekeza kwenye miundombinu ya michezo wakati wa uzinduzi wa uwanja wao mpya uliopi Mtipa. Akizungumza katika hafla hiyo Mwana FA amesema maendeleo ya soka nchini yanategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji katika viwanja bora huku akibainisha juhudi za serikali katika kuhakikisha miundombinu inaboreshwa kote nchini. Akiongelea juhudi za serikali Mwana FA alisema ndani ya kipindi cha miaka minne hatua kubwa zimepigwa katika ukarabati wa"
YouTube Link 2025-03-24T14:31Z 1.1M followers, [---] engagements
"Mashabiki SIMBA waigeukia AFCON Wa Yanga wavamia SHOO ya Mlandege Utani wa jadi watawala Amaan Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2024-01-13T21:39Z 913K followers, 24.3K engagements
"SHABIKI AKIONA KITI KICHUNGU BAADA YA KUFUNGWA MAELEKEZO KAMA YOTE Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania"
YouTube Link 2024-08-17T13:32Z 993K followers, [--] engagements
"SHABIKI AFICHUA VITA KUBWA YA SIMBA LIGI KUU BARA ASEMA WALISHTUKIA MCHEZO SIMBA 6-0 DODOMA JIJI Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-03-14T17:28Z 1.1M followers, [---] engagements
"ALI KAMWE anusurika Kifo Mzigo wa Sh10 Bilioni jezi feki za Simba & Yanga zakamatwa MLINZI awaka Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. . #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2023-10-25T20:00Z 905K followers, [--] engagements
"SARAKASI ZA MWENDOKASI ABIRIA WAKIGOMBANIA SITI MBELE YA CHALAMILA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo asubuhi Jumatano Oktoba Mosi [----] amefika katika kituo cha mwendokasi cha Kimara Mwisho na kushuhudia namna wananchi wanavyokabiliana na changamoto za usafiri ukiwamo kutumia muda mrefu vituoni na kugombania mabasi. Video"
YouTube Link 2025-10-01T06:45Z 1.2M followers, [----] engagements
"GB [--] AFUNGUKA SH100 BILIONI ZA YANGA MSIMU HUU WAMEJIPANGA Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara"
YouTube Link 2025-09-08T09:50Z 1.2M followers, [---] engagements
"Kauli ya Fei Toto baada ya kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora Azam yaisambaratisha KMC mabao 4-0 Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2024-09-19T16:01Z 1M followers, [---] engagements
"#CHAN 2024: DR CONGO MOROCCO NGOMA NZITO MCCARTHY MTEGONI MWA TAIFA STARS Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele"
YouTube Link 2025-08-17T11:56Z 1.2M followers, [----] engagements
"MABASI YA ABIRIA YAGONGANA YAWAKA MOTO ABIRIA WAKIWA NDANI SAME Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara"
YouTube Link 2025-06-28T16:01Z 1.1M followers, 13.2K engagements
"SAMIA ATAKA KAMPENI ZA NYUMBA KWA NYUMBA Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanachama na wafuasi wa chama hicho kufanya kampeni za nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba [--] [----]. Akizungumza leo Jumapili Agosti [--] [----] katika mkutano wa kampeni uliofanyika wilayani Chamwino mkoani Dodoma Samia amesema kampeni hizo ni muhimu kwa kuwa zinahakikisha chama kinawafikia wananchi moja kwa moja na kueleza sera na mikakati yake. Wito wangu ndugu zangu wa"
YouTube Link 2025-08-31T09:09Z 1.2M followers, [---] engagements
"SAMATTA ATEMWA STARS [--] WAITWA YUMO MBAPPE KUIVAA MOROCCO Baada ya kukosekana katika kikosi cha Taifa Stars kwa siku [---] mshambuliaji Kelvin John amerudishwa kundini baada ya kujumuishwa kwenye kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia [----] dhidi ya Morocco ugenini Machi [--] mwaka huu. Mara ya mwisho kwa John anayechezea Aalborg ya Denmark kujumuishwa katika kikosi cha Taifa Stars ilikuwa ni Juni [--] [----] wakati timu hiyo ilipokabiliana na Zambia katika mashindano hayo ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia ambapo timu hiyo iliibuka na ushindi"
YouTube Link 2025-03-14T10:21Z 1.1M followers, [---] engagements
"Mtoto wangu wa KIUME amempenda sana Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo"
YouTube Link 2025-09-04T07:39Z 1.2M followers, 123.7K engagements
"AHMED ALLY asema ni KESI ya HOVYO mno kuwahi kutokea DUNIANI Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara"
YouTube Link 2025-05-03T16:57Z 1.1M followers, 14.2K engagements
"BALAA TUPU SIMBA YATINGISHA AIRPORT YAIFUATA AL MASRY USIKU MNENE FADLU AFICHUA DOZI KALI Kocha wa Simba Fadlu Davids amesema kikosi chake kimejiandaa kikamilifu kwa mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya Al Masry ya Misri unaopigwa Aprili [--] [----]. Akizungumza kuhusu maandalizi ya timu yake Fadlu ameeleza kuwa tayari wamefanya uchambuzi wa kina wa wapinzani wao na wanajua mbinu zao hasa mfumo wao wa ulinzi wa mabeki watatu na presha ya juu wanayoitumia uwanjani. Ingawa anatarajia mechi ngumu ugenini amesisitiza kuwa Simba italenga kufunga mabao ya ugenini ili"
YouTube Link 2025-03-28T02:08Z 1.1M followers, [---] engagements
"MAAJABU YA MTIPA: MZEE AFAFANUA SIRI KUBWA ILIYOJIFICHA KWENYE UWANJA MPYA WA SINGIDA BLACK STARS Mtipa ni kata yenye historia ndefu iliyojaa simulizi yenye kusisimua. Inasemekana kuwa jina "Mtipa" lilianzia zaidi ya miaka [--] iliyopita lilipotokana na tukio la mzee maarufu wa eneo hilo ambaye alikata mti mkubwa na kuangusha karibu na mlima mashuhuri wa eneo hilo. Tukio la uzinduzi wa uwanja mpya wa kisasa wa Singida Black Stars Machi [--] [----] lilifanyika kwa shamrashamra kubwa likihudhuriwa na viongozi wa michezo nchini akiwemo Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma"
YouTube Link 2025-03-24T22:16Z 1.1M followers, [---] engagements
"SIMBA KUIANDIKA UPYA HISTORIA AFRIKA BAADA YA MIAKA [--] MASTAA WAJIFUA KIBABE STELLENBOSCH DAH. Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-04-19T19:01Z 1.1M followers, [----] engagements
"KOCHA SIMBA AFUNGUKA KILICHOMPONZA KUUKOSA UBINGWA WA NGAO YA JAMII JKT QUEENS YACHEKELEA Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-10-12T16:24Z 1.2M followers, [--] engagements
"MOTO WAJERUHI ZAIDI YA [--] MALAYSIA WAATHIRIWA NI . Kuala Lampur. Zaidi ya watu [--] wameripotiwa kujeruhiwa baada ya moto mkubwa kulipuka jijini Kuala Lamour nchini Malysia leo Jumanne Aprili Mosi [----] asubuhi. Moto huo ulitokea katika jengo la Ghorofa la biashara ambapo waathiriwa wengi walikuwa wafanyabisahara pamoja na wafanyakazi wa ofisini waliokuwa wakiendelea na shughuli zao. Vyombo vya Habari nchini Malaysia ikiwemo shirika la habari la The Reuters vimeripoti kuwa taarifa ya uchunguz wa awali inaonyesha chanzo cha moto huo kuwa ni bomba la gesi linaloendeshwa na Kampuni ya Nishati ya"
YouTube Link 2025-04-01T11:23Z 1.1M followers, [---] engagements
"#LIVE: RAIS SAMIA AKISHIRIKI CHAKULA CHA MCHANA NA WAOKOAJI WA KARIAKOO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan akishiriki Chakula cha Mchana na Walioshiriki Zoezi la Uokoaji wa Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo leo Januari [--] [----]. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news"
YouTube Link 2025-01-30T23:30Z 1.1M followers, [---] engagements
"LAMINE JARJOU ATUMA SALAMU SIMBA YANGA Nyota mpya wa Singida Black Stars Lamine Diadhiou Jarjou amesema anaona ni heshima kubwa kwake na wenzake kuwa sehemu ya mafanikio ya timu hiyo huku akituma salamu kwa Simba Yanga na Azam kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu 2025-2026. Jarjou amesema hayo Oktoba [--] [----] alipofanyiwa mahojiano maalum na Mwananchi Digital katika paredi la timu hiyo baada ya Singida Black Stars kurejea mkoani Singida ikiwa na ubingwa wa Kombe la Kagame ililotwaa Septemba [----] kwa kuifunga Al Hilal mabao 2-1. Winga huyo aliyejiunga na Singida BS akitokea Ufaransa"
YouTube Link 2025-10-05T08:44Z 1.2M followers, [---] engagements
"NILIUMIA SANA YANGA SC KUFUNGWA NA TABORA UNITED BAO 3-1 Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Video Credit @simbasctanzania255 #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote"
YouTube Link 2025-02-02T19:59Z 1.1M followers, 13.9K engagements
""LEMA ANAJISAHAU HANA MAMLAKA YOYOTE KWENYE CHAMA" MBOWE Mbowe amemtaja Lema kama miongoni mwa vijana wake wanaomshambulia akisema amejiharibia mwenyewe kwa kushindwa kusimamia uongozi wake na sasa amekimbia kugombea uenyekiti wa Kanda ya Kaskazini na ubunge. Lema aliyejitokeza mbele za waandishi wa habari Januari [--] [----] na kueleza kiini cha mgogoro ndani ya chama hicho alimkosoa Mbowe akisema kuwa alikataa kusikiliza ushauri waliokuwa wakimpa. Lema ame mishandle (ameshindwa) uenyekiti katika kanda yake ikafika mahali akawa hataki kugombea uenyekiti wa kanda. Tukamuuliza Lema kwa nini"
YouTube Link 2025-01-17T18:00Z 1.1M followers, 59.6K engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing