@ezekiel_kamwaga Avatar @ezekiel_kamwaga Ezekiel โ€˜Top Penโ€™ Kamwaga

Ezekiel โ€˜Top Penโ€™ Kamwaga posts on X about tanzania, kwa, kwanza, mambo the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [-------] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [-------] #

Engagements Line Chart

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

Followers: [-------] #

Followers Line Chart

CreatorRank: [-------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries currencies travel destinations finance celebrities us election technology brands social networks fashion brands musicians

Social topic influence tanzania #244, kwa, kwanza #99, mambo, sio, pia #82, kenya, india, leo #1885, amiri #36

Top accounts mentioned or mentioned by @ezekielkamwaga @edutalktz @sharb84 @zittokabwe @jmakamba @ccmtanzania @simbasctanzania @ahmedrajab @suluhusamia @azamtvtz @rkishaija81715 @thomasjkibwana @kennedymmari @mabalamakengeza @bhudulila @issashivji @williamsruto @thechanzo @lfc @actwazalendo

Top assets mentioned Mambo (MAMBO) Alphabet Inc Class A (GOOGL) Roost (ROOST) RAFIKI (RAFIKI)

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"No African university listed for new UK visa scheme via @BBCNews https://www.bbc.co.uk/news/live/world-africa-61170251ns_mchannel=social&ns_source=twitter&ns_campaign=bbc_live&ns_linkname=62947cdbfc2fb576dc00c7f4%26No%20African%20university%20listed%20for%20new%20UK%20visa%20scheme%262022-05-30T08%3A39%3A31.540Z&ns_fee=0&pinned_post_locator=urn:asset:5e5eadb2-87b5-48a4-9541-7625e6e25956&pinned_post_asset_id=62947cdbfc2fb576dc00c7f4&pinned_post_type=share"
X Link 2022-05-30T12:43Z 29.5K followers, [--] engagements

"Mungu ni Mwema Nimetumia Jumapili ya leo kumshukuru Mungu. Nilikuwa na wenzangu kwenye ajali hii mbaya ya gari wiki moja iliyopita. Kuna maumivu majeraha operesheni na huzuni. Lakini sote tu wazima. Na tunamshukuru Mungu kwa kutuokoa"
X Link 2023-09-10T08:21Z 28.1K followers, [---] engagements

""Kwa hivyo siku Nyerere aliyomkwepa Barwani kwenda kwa balozi wa Misri Nyerere alifanya hivyo kwa akili zake. Akijua akifanya nini. Magari ya Land Rover akiyahitaji lakini hakutaka kufadhiliwa na Misri adui wa Waingereza.""
X Link 2023-09-14T07:35Z 28.1K followers, [--] engagements

"Avec Moise Katumbi Chapwe Julius Nyerere International Airport. At @SOAS we dissected the connection between sports and politics in Africa especially in cities. I was always citing him as a good example. It was great to meet him and chat a little @moise_katumbi"
X Link 2023-10-23T08:25Z 27.6K followers, 10.8K engagements

"Tanzania na Zambia Nimemuuliza Ofisa Mmoja wa Mambo ya Nje hapa Lusaka Tanzania ni muhimu kwenu kiasi gani Akaniambia "unaona haya magari Kati ya magari [--] unayoona Zambia ni tisa yanapita Bandari ya Dar es Salaam. Na mafuta yanayoendesha hayo magari yanatoka Dar pia"
X Link 2023-10-24T10:34Z 27.6K followers, [---] engagements

"Tz na Zambia Najifunza mengi kupitia maadhimisho ya miaka [--] ya Uhuru wa Zambia yanayoendelea Ikulu ya Zambia. Wanafanya tofauti kidogo nasi. Kwa kuanzia hakuna gwaride. Nadhani ninahitaji andishi zima kwenye Gazeti la Dunia wiki ijayo kwa ajili ya kuonesha tunayoweza kufanya"
X Link 2023-10-24T10:51Z 27.6K followers, [----] engagements

"Dk. Tulia Ackson ashinda Urais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU). Kapata kura [---] kati ya kura [---] zilizopigwa"
X Link 2023-10-27T11:51Z 27.6K followers, 11K engagements

"Rais aliyewahi kugawa figo kwa mkewe Kesho Tanzania itapata ugeni wa Rais wa Ujerumani Frank Steinmeier. Huyu ni gwiji wa siasa za Ujerumani. Alikuwa swahiba wa kisiasa wa Kansela Gerhard Schoeder. Akaja kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa taifa lake nyakati mbili tofauti wakati"
X Link 2023-10-29T12:46Z 27.6K followers, [---] engagements

"wa Urais wa Angela Merkel. Ni msomi wa kiwango cha PhD kwenye sheria na andishi lake lilihusu namna nchi inavyoweza kusaidia masikini wasio na makazi. Ni mwanadiplomasia mbobezi na mjuvi wa mambo. Kiongozi aliyefanya kazi kubwa ili mgogoro wa Ukraine unasuluhishwa bila vita"
X Link 2023-10-29T12:46Z 27.6K followers, [--] engagements

"Namkaribisha kwenu Prof @IssaShivji kwa mara ya kwanza kwenye Gazeti la Dunia. Leo hii amedadavua suala la mgogoro wa Israel na Palestina kwa namna ya kipekee. Ingia hapa. Uchambuzi kwa Kiswahili kiwango cha kimataifa"
X Link 2023-11-01T14:29Z 27.6K followers, [----] engagements

"Kwa miaka sita yeye na Hamed na makomredi wengine akiwemo kiongozi wetu Babu walisota katika jela za Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Rais Karume. Walipoachiwa huru na Nyerere Hashil na Hamed walipata hifadhi ya kisiasa denmarkdotdk"
X Link 2023-11-01T15:53Z 27.6K followers, [---] engagements

"@makakalajr Its not right. We can not live in a world of conquests now. Its why the Europeans had a Westphalia moment"
X Link 2023-11-02T11:47Z 27.6K followers, [--] engagements

"Ushindi wa George Weah Uchaguzi wa Liberia umemalizika kwa Rais George Weah kushindwa na Joseph Boakai aliyewania kupitia upinzani. Ingawa kura hazikutosha namwona George akiwa mshindi. Kwa nini Kwanza kwa kukubali matokeo na kuendesha uchaguzi ambao hata waangalizi wa"
X Link 2023-11-18T07:17Z 27.7K followers, 82.6K engagements

"Hivi kuna kampuni yoyote hapa Tanzania ambayo ina huduma ya internet ya fiber kwenye maeneo ya kuanzia Mbagala kuelekea Chamazi Mbande Msongola hadi Chanika"
X Link 2023-11-19T13:00Z 27.7K followers, [----] engagements

"Javier Milei Wananchi wa Argentina wamemchagua Javier Milei kuwa Rais wao. Demokrasia inakupa unachostahili. Lakini najua hapa wameingia chaka. Wanasiasa wa aina hii ni wazuri sana wakiwa nje. Wakipewa madaraka wanakuwa hawana wa kumlaumu. Hawajui cha kufanya. Tunasubiri"
X Link 2023-11-21T06:43Z 27.8K followers, [----] engagements

"Tatizo la Demokrasia changamoto ya akina Milei Sina shaka kwamba kama uchumi wa Argentina ungekuwa na afya Javier Milei asingeshinda uchaguzi wa taifa hilo. Tatizo ni kwamba mahali penye matatizo watu watatafuta mtu ambaye atakidhi kiu yao ya mabadiliko. Chukulia mfano wa"
X Link 2023-11-21T10:30Z 27.8K followers, [---] engagements

"Huwezi kufananisha Liberia na Argentina. Liberia wamemchagua mtu ambaye si populist. Ni mtu wanayeona anaweza kutimiza ndoto zao. Ushindi wa Melia ni disappointment ya watu. Ushindi wa Boakai ni common sense. Apples and Oranges"
X Link 2023-11-21T11:09Z 27.8K followers, [--] engagements

"Now Trump compares himself to Mandela๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sina mbavu. Like Mandela was prosecuted for tax evasion. These people have no shame at all Trump compares himself to Mandela and rails against Biden after filing for New Hampshire primary"
X Link 2023-11-21T13:09Z 27.7K followers, [---] engagements

"Kama unaamini michezo haitakiwi kuchanganywa na siasa unaishi katika dunia yako mwenyewe. Ukweli uko wazi hadharani na mbele kabisa ya macho yako"
X Link 2023-11-21T13:20Z 27.7K followers, [----] engagements

"#MaalimSeif Majira ya alasiri leo nitatoa mada kwenye Mkutano wa Kumuenzi Maalim Seif hapa Zanzibar. Nitazungumza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zbar; Imekwama Wapi Nini kifanyike Kurekebisha Mambo Mwenyekiti wa Mjadala atakuwa Balozi na mwanasiasa mbobezi Amina Salum Ali. ๐Ÿ™"
X Link 2023-11-26T06:22Z 27.7K followers, [---] engagements

"Benchika anasema wale ambao hawatamvutia mazoezini wata benchika sana. Yale mambo ya kocha aingie kwenye mfumo wa mchezaji tuachane nayo. Kocha sasa aachwe afanye kazi"
X Link 2023-11-28T12:58Z 27.8K followers, [----] engagements

"Gazeti la Dunia liko tayari leo lakini kwa sababu ya yote yanayoendelea nchini tutasubiri mpaka Ijumaa na kuwapa picha pana. Kumbuka ni uchambuzi wa hadhi ya dunia kupitia lugha adhimu na aushi ya Kiswahili. Ni"
X Link 2023-11-29T04:48Z 27.8K followers, [----] engagements

"Siku moja Oktoba [----] mimi na rafiki yangu @kabsjourno tulitumia takribani saa tano kumjadili Henry Kissinger - kwanza kwa kitabu chake cha The World Order na mtazamo wake kuhusu diplomasia na usalama. Nakumbuka kwa sababu mjadala ule ulifanyikia jikoni London huku tunapika"
X Link 2023-11-30T11:47Z 27.8K followers, [---] engagements

"Nani atachukua nafasi ya Chongolo CCM @ccm_tanzania Gazeti lako adhimu na aushi Gazeti la Dunia liko kwa ajili yako"
X Link 2023-12-01T13:19Z 28.1K followers, [----] engagements

""Kwa kutazama historia ya Makatibu Wakuu wa CCM waliopita kuna vitu kadhaa vinajiweka wazi. Kwa mfano mambo yafuatayo yanajipambanua yenyewe; utii kwa Mkiti ukaribu naye kukijua chama utendaji usio na mashaka na mtu anayependekezwa na deep state""
X Link 2023-12-01T13:25Z 27.8K followers, [---] engagements

"On @zittokabwe Naangalia siasa zetu eneo letu na dunia kwa ujumla. Wamebaki wanasiasa wachache wanaoamini kwenye consensus wanaojua nini kinahitajika kukwamua uchumi wenye utu na uvumilivu wa kiuongozi. Zitto ni mmoja kati ya wachache waliobaki. Akosolewe. Ajengwe. Alindwe"
X Link 2023-12-02T07:13Z 27.8K followers, 35.6K engagements

"Wakati nasoma Tosamaganga nilikuwa najulikana kwa uwezo wangu mkubwa sana wa kutopoteza pasi. Kuna mechi nilipiga pasi [--] na haikupotea hata moja. Lakini zote nilirudisha kwa kipa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2023-12-03T09:08Z 27.8K followers, [---] engagements

"Unanitafutia matatizo ujue๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. @zittokabwe ni Mwami na hilo jina lina maana yake. Kwenye Kiha hapo hajakanyagwa mtu. Ni kitu kingine kabisa kinaendelea hapo. Tatizo ni kutumia lugha ya Kiswahili kutafsiri mambo ya Kiha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2023-12-03T10:55Z 27.8K followers, [---] engagements

"Nimekipiga sana Msiwasi pale๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Jamaa mmoja akawa ananiita Lauren tame Mayer full back mmoja matata wa Cameroon. Ila benchi limenihusu sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Na back pass zangu. Ila nimeweka rekodi ya kutopoteza pasi. Nasikia haijavunjwa bado๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ"
X Link 2023-12-03T11:43Z 27.8K followers, [---] engagements

"Watoto milioni [--] wa Rais @SuluhuSamia Leo nchi imeamka na majanga tofauti. Hanang bado kuna shida huko Kilosa mafuriko ya Mto Wami yameleta madhara makubwa na hapa Dar tumeamka na tukio la kuunguliwa maduka Mwenge. Matukio haya yamenikumbuka interview alowahi kufanya"
X Link 2023-12-05T08:49Z 27.8K followers, 12.7K engagements

"Rais wa Costa Rica Jose Figueres mara baada ya Uhuru wao. Aliulizwa ana watoto wangapi Akasema milioni tatu. Hiyo ilikuwa ni idadi ya raia wa taifa lake. Wote maisha yao yanamhusu. Hii ndiyo hali ambayo Rais wetu anaamka nayo leo. Wote waliopata majanga ni watoto wake"
X Link 2023-12-05T08:49Z 27.8K followers, [----] engagements

"Nyerere na Urais Kuna hotuba moja ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kuhoji ni kwa vipi mtu anapambana kabisa kuwania urais katika nchi masikini na yenye changamoto lukuki kama ya kwetu. Si kazi nyepesi kama kweli una uchungu na watu wako. Inaumiza. Inazeesha"
X Link 2023-12-05T09:22Z 27.8K followers, [----] engagements

"@J_Camavinga @SuluhuSamia Usijione una akili kuliko ulivyo. Ulihitaji tu kusoma nilichoandika. Kama umesoma part [--] tu - kama ilivyo kawaida yenu watu "wenye akili sana" mitandaoni huwezi kujua hiyo milioni [--] imetoka wapi. Na tagging ndiyo essence nzima ya social media. Kama hupendi its not my problem"
X Link 2023-12-05T09:49Z 27.8K followers, [--] engagements

"Weka caption๐Ÿคฃ"
X Link 2023-12-05T12:44Z 28K followers, [----] engagements

"Kuhusu Makamu wa Rais Kuna maneno na minongono mingi kuhusu alipo Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango. Gazeti la Raia Mwema limearifu kwamba zaidi ya mwezi mmoja umepita sasa tangu aonekane hadharani kwa mara ya mwisho. Huyu ni mtu mkubwa kwa taifa letu. Namba mbili kwa mamlaka"
X Link 2023-12-07T11:41Z 28K followers, 113K engagements

"Utamaduni kitu kigumu Nimemaliza kumsikiliza Dk. Tony Klug. Ameusoma na kuutafiti mgogoro wa Israel na Palestina kwa miaka [--]. Kajifunza tabia tofauti za watu hawa. Ukienda kutatua mgogoro na Wapalestina - na anasema ni kama utamaduni wa Waarabu wao wanakuwa na End Game kabisa"
X Link 2023-12-11T15:07Z 28.1K followers, [--] engagements

"Futeni hii John. @YolandeMakolo hakusema haya. Ya Rwanda kujivunia kuwa na jeshi bora. @ayubu_madenge ndiye aliyefanya upotoshaji huu kwa mara ya kwanza. Kama mlichukua kwake kawaingiza chaka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2023-12-12T09:09Z 28.1K followers, [--] engagements

"Rais @WilliamsRuto leo kasema Kenya itaondoa viza kwa wageni wanaoingia kwao. Sababu Anasema kwa kuwa binadamu wameanzia Kenya na ni sawa na kuwarudisha watu kwenye asili yao. Mmmh. Marketing nzuri. Lakini sisi tunajua binadamu wa kale alikuwa Mtanzania. Ushahidi uko Laetoli"
X Link 2023-12-12T16:01Z 28.1K followers, [---] engagements

"GD litakujia leo mchana. Mchana huu katika kuna mambo matatu muhimu. @ahmedrajab anakumbuka kisa cha mkutano wa Nyerere na Kissinger miaka mingi ilopita. @ezekiel_kamwaga anauliza nani anataka kuwa Katibu Mkuu wa @ccm_tanzania Baadaye kidogo"
X Link 2023-12-13T07:10Z 28.1K followers, [---] engagements

"Zambia wanafanya nini kukumbuka siku yao ya Uhuru Kuna la kujifunza kwa Tanzania"
X Link 2023-12-13T15:12Z 28.1K followers, [--] engagements

"Vijana wekeni akiba. Si akiba ya pesa pekee. Muwe na akiba ya marafiki. Unaweza kushinda debates za humu mitandaoni lakini ukashindwa vita kubwa huko mbele ya safari kwa sababu ya hizi ligi ndogo unazoshinda humu"
X Link 2023-12-17T06:02Z 28.1K followers, [----] engagements

"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Ngoja nicheke kwanza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2023-12-21T12:01Z 28.2K followers, [----] engagements

"Jumapili ya Demokrasia kwenye GD. Baada ya yaliyomkuta Daniel Godfrey Chongolo nani atataka kuwa Katibu Mkuu wa @ccm_tanzania"
X Link 2023-12-24T08:30Z 28.2K followers, [----] engagements

"Sure thing. Kabisa. @ezekiel_kamwaga @darassa_cmg The Last Man Standing The only original Bongoflava DNA remaining The flag bearer. The One One thing very unique and original about hm is that he is so grounded that he going in and it if hiatus as he likes. And evertyn he returns he is hotter than when he left @ezekiel_kamwaga @darassa_cmg The Last Man Standing The only original Bongoflava DNA remaining The flag bearer. The One One thing very unique and original about hm is that he is so grounded that he going in and it if hiatus as he likes. And evertyn he returns he is hotter than when he"
X Link 2023-12-29T14:46Z 27.6K followers, [---] engagements

"Malawi na Tz. Ni Soya na Mahindi tu Nimemaliza kusikiliza mahojiano ya @raiyajenerali na Balozi Polepole kwenye @TheChanzo. Interview nzuri. Nilivutiwa na maelezo ya Balozi kuhusu biashara ya soya na mahindi itakavyozinufaisha Tz na Malawi kibiashara. Lakini wiki hii serikali"
X Link 2023-12-30T09:53Z 28.1K followers, [----] engagements

"Za nchi hizi mbili zimepigana marufuku kuhusu mazao hayo mawili kuanzia mbegu na mpaka mazao yenyewe. Kwa interview ya Polepole mwaka unaokuja ndiyo hasa majirani hawa wataanza kuona faida ya biashara hiyo kati yao"
X Link 2023-12-30T09:53Z [--] followers, [---] engagements

"Halafu ndiyo tunasikia mambo ya ban. Kwa sababu ya GMO na matumizi ya pembejeo zenye madhara. Na Malawi wametumia stori za mwaka [----] kuzuia mahindi. Nadhani wamejibu mapigo tu"
X Link 2023-12-30T09:53Z 27.8K followers, [---] engagements

"Kwa sisi walevi wa siasa mwaka [----] utakuwa na chaguzi za kutoka. Theluthi moja ya nchi zitapiga kura barani Afrika. Na bado kuna India. Halafu jioniiiii baba lao Marekani. Mwaka mzuri sana"
X Link 2024-01-01T10:37Z [--] followers, [---] engagements

"Kama leo ukipewa fursa ya kufanya mahojiano na @JMakamba utamuuliza swali gani Au ni kitu gani kumhusu ungetamani sana kukisikia kutoka kwake"
X Link 2024-01-02T08:28Z 27.6K followers, [---] engagements

"Tabasamu. Dunia ina umri wa mamilioni ya miaka. Tunapewa zawadi ya uhai kwa miaka michache sana hapa duniani. Smile"
X Link 2024-01-07T08:19Z 28.1K followers, [----] engagements

"Ushauri huu wa @moodewji ni muhimu. Kuna faida na madhara ya AI ambayo kama nchi tunapaswa kujiandaa nayo. Sidhani kama kuna nchi ya Afrika yenye wizara ya namna hii na kama tukiwa wa kwanza tutapata "first mover" advantage. Wataalamu wapo. Penye nia njia itajionyesha. African Governments should create ministries that will focus on Artificial intelligence (AI) AI can help in Agriculture i.e precision farming monitoring of crops predicting of yield. I also urge our continent to use AI in education Supporting students with intelligent African Governments should create ministries that will focus"
X Link 2024-01-07T09:17Z 28.1K followers, [---] engagements

"Kwa hakika Balozi @binaysrikant76 alikuwa rafiki mzuri wa Tanzania na rafiki mzuri anaondoka kutumikia taifa lake kwingine. Nina hakika tutamsikia zaidi huko mbele maana ni mtu mahiri na wasifu wake unaonyesha taifa lake linamuamini"
X Link 2024-01-10T16:30Z 27.8K followers, [---] engagements

"Nimejuaje Kwa India mataifa ya kimkakati kwake ni Pakistan US UK na Russia na Binaya kapiga mzigo Moscow na Karachi tayari. Yeye na Waziri @JMakamba wanakaribiana kiumri na walijenga uhusiano mzuri katika muda mfupi waliofahamiana na nafahamu January atamkosa rafiki mzuri pia"
X Link 2024-01-10T16:30Z 27.8K followers, [--] engagements

"Hallucinations kwenye AI Nimeanza kujifunza kuhusu Akili Mnemba (Artificial Intelligence). Tayari nimejifunza kuhusu kitu kinaitwa hallucination. Yaani kompyuta inaulizwa halafu inatoa jibu la uongo. Kwa kulipangilia kabisa๐Ÿ˜‚. Kompyuta zinaanza kufanana nasi hadi kwenye fiksi๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-01-11T08:28Z 27.6K followers, [---] engagements

"Leo ilikuwa siku ya huzuni na furaha kwetu waandishi wa @azamtvtz hapa Dar wakati tulipofanya tukio dogo la kuzungumza na kumuaga rasmi nguli Tido Mhando. Alikuwa bosi mzuri sana. Anabaki kuwa mtu mzuri. Retired not tired. Tutaendelea kuchota maarifa kutoka kwake"
X Link 2024-01-13T11:29Z 27.7K followers, [---] engagements

"Trotsky once said; "Partys work first and then political work. Looks like @IsmailJussa is reading from the same hymn book. VIDEO: Ismail Jusa @IsmailJussa amtabiria @zittokabwe Urais https://t.co/kxvhqMkuIx VIDEO: Ismail Jusa @IsmailJussa amtabiria @zittokabwe Urais https://t.co/kxvhqMkuIx"
X Link 2024-01-14T14:19Z 28K followers, [----] engagements

"Nchi ikiwa smart kwenye diplomasia kuna vitu unaviona. Mojawapo ni namna gani inaitumia mikutano ya nchi nyingi kufanikisha mambo yake na nchi moja moja zilizopo mkutanoni. Na unahitaji waziri mwenye energy na maarifa kama @JMakamba kutekeleza hilo"
X Link 2024-01-21T13:23Z 28.2K followers, [--] engagements

"Rais wa Namibia @hagegeingob anaumwa. Nimeipenda taarifa kwa vitu vi3; Uwazi wa Ugonjwa kueleza kufurahishwa na mwitikio wa raia na maombi na tatu - muhimu zaidi Rais kusema huduma atakayopata USA ambayo haipo Namibia atahakikisha inaletwa nyumbani ili watu wake nao wapate President @hagegeingob to Undergo a Seven Day Specialized Medical Treatment in the United States of America Consistent with his commitment to transparency and accountability in Effective Governance President Hage G. Geingob informed the Namibian people on [--] January [----] https://t.co/eNseokaO7n President @hagegeingob to"
X Link 2024-01-25T07:48Z 28.1K followers, [----] engagements

"Siku moja kwenye mjadala na msomi mmoja wa India alinieleza kwamba huwezi kuondoa hiyo caste system. Kwa sababu hayo ndiyo maelekezo ya dini yao. Nilishangaa kwa sababu kabla hajanipa darasa nilijua ni jambo unaloweza kulipigia kelele kama FGM ndoa za watoto na mambo kama haya"
X Link 2024-01-25T07:51Z 27.6K followers, [--] engagements

"Kujiuzulu kwa Simai Zbar Katika miaka [--] iliyopita wanasiasa wanaojiuzulu wanaangukia katika makundi mawili; wanaolazimishwa na wanaolazimika. @simai_z anaangukia katika kundi la pili. Kwa nini amejiuzulu na hili lina maana gani kwa siasa za Znz Soma Gazeti la Dunia kesho"
X Link 2024-01-26T08:49Z 27.7K followers, [--] engagements

"Mwandishi namba moja wa habari za Liverpool James Pearce amearifu Jurgen Klopp katangaza kuondoka Liverpool mwisho wa msimu huu. @JamesPearceLFC @LFC @jabirayman @"
X Link 2024-01-26T10:49Z 28K followers, [--] engagements

"Klopp anaondoka Liverpool. Wow Did not see it coming kusema kweli. A lot of broken heart today. And now I have to make sure I am at Anfield at his final game for @LFC . In Sha Allah A message to Liverpool supporters from Jrgen Klopp. https://t.co/l7rtmxgOzt A message to Liverpool supporters from Jrgen Klopp. https://t.co/l7rtmxgOzt"
X Link 2024-01-26T10:57Z 27.6K followers, [---] engagements

"Kulia kwa Balozi @MbelwaK aliyesimama ni msomi wa Korea Kusini na mchumi nguli Ha Joon Chang. Siku ya kwanza kumwona SOAS nilimkimbilia na kuomba kupiga naye picha. Nilikuwa nimesikiliza mihadhara yake kadhaa na kumkubali lakini sikutaraji kuonana naye tukitembea korido moja"
X Link 2024-01-26T17:31Z 27.8K followers, [--] engagements

"Jana Ivory Coast hawakumlilia Pacome๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-01-30T13:15Z 28.2K followers, [----] engagements

"Furaha Katika miezi yetu michache ya kuwa hewani GD tumeweza kufikisha idadi hii ya wasomaji. Kuanzia Tanzania Uingereza Burundi Oman Uholanzi na kwingineko. Nawashukuru sana wasomaji wetu. Mwaka huu nataka In Sha Allah tufikishe wasomaji laki moja. Ahsanteni sana"
X Link 2024-01-30T14:17Z 28.2K followers, [--] engagements

"Leo nainjoi sana kumwona Kapombe akicheza kiungo. Wakati akichipukia Moses Basena alipata kuniambia "This boy is going to dominate your midfield for years". Cha ajabu pamoja na kuandika mara nyingi makocha wengi hawakuliona hilo. Naamini Benchika kaona kitu"
X Link 2024-01-31T17:42Z [--] followers, [--] engagements

"MSAADA TUTANI Kama una rafiki ndugu au jamaa anayezungumza Kiswahili na anaishi Dakar au kokote nchini Senegal tafadhali naomba mawasiliano yake inbox"
X Link 2024-02-06T15:28Z 28.2K followers, [--] engagements

"Na kibaridi hiki"
X Link 2024-02-06T20:18Z 28.2K followers, [----] engagements

"Kwa hadhi na heshima ya Jiji la Dar es Salaam haikubaliki kuwa na barabara kama hii ya Banana - Kitunda - Kivule. Rafiki yangu mmoja kutoka Zbar kapita juzi na ameapa hatarudi tena kama barabara yenyewe ndiyo hii"
X Link 2024-02-10T08:07Z 28.2K followers, [--] engagements

"Huyu ndiye Waziri mpya wa TEHAMA wa Namibia. Ana umri wa miaka [--] tu. Alikuwa Naibu wakati ana miaka [--]. Vijana ni taifa la LEO"
X Link 2024-02-10T08:25Z 28.2K followers, [--] engagements

"Bila shaka Gazeti la Dunia litaandika kitu kuhusu Lowassa. Toleo letu la kwanza tulianza naye. Wiki hii"
X Link 2024-02-10T15:56Z 28.2K followers, [--] engagements

"Urais na kizazi cha dhahabu cha Arusha"
X Link 2024-02-11T12:39Z 28.2K followers, [--] engagements

"@ThabitSenior Tuache hizi mambo. JK na Lowassa wamefahamiana kabla hujazaliwa. Wamekuwa marafiki. Wameshindana na wakashinda pamoja. Wameongoza pamoja. Anaenda msibani unasema ni hypocrisy Kama JK angetangulia Lowassa angeenda msibani. Huu ni msiba. Tuache watu waomboleze"
X Link 2024-02-12T11:28Z 28.2K followers, [--] engagements

"Its East Africa turn. @RailaOdinga isnt bad. But I feel Tanzania will provide a better candidate. Lets wait and see. OPPOSITION LEADER Raila Odinga declares interest in the African Union Commission chairmanship; Moussa Faki's term ends in February [----]. https://t.co/TIXkIgdNxS OPPOSITION LEADER Raila Odinga declares interest in the African Union Commission chairmanship; Moussa Faki's term ends in February [----]. https://t.co/TIXkIgdNxS"
X Link 2024-02-15T13:16Z 28.2K followers, [----] engagements

"January kasema nini @JMakamba Dunia iko katika mtanziko. Migogoro ya Gaza na Ukraine imeonyesha ufa mkubwa katika mfumo wa uendeshaji wa dunia. Katika Jukwaa hili lililoandaliwa India Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania January Makamba ameweka wazi - kwa mara ya kwanza I joined Ministers of Foreign Affairs of Netherlands and India; former President of Bolivia; and Special Advisor to UAE President in a panel where I spoke of the inadequacy of the existing global political and economic architecture to cater for the interests of the Global South. https://t.co/SZpwNq1b56 I joined Ministers of"
X Link 2024-02-22T15:01Z 28.2K followers, [----] engagements

"Ni wapi Tanzania inasimama katika dunia ya sasa. Kwenye mkutano huu wa India JM amesema kinachohitajika ni kufumwa upya kwa mfumo wa dunia badala ya kufanyiwa marekebisho (re-order nor reforms). Alisema Tanzania inaamini kuna unafiki mkubwa kuhusu namna mataifa makubwa"
X Link 2024-02-22T15:01Z 28.2K followers, [--] engagements

"Yanavyoshughulika na migogoro ya dunia kwa sasa. Nimependa zaidi pale alipodadavua kuhusu maneno mawili; Rule na Order na kusema jambo la kwanza ni kujiuliza ni; Who makes the rules Dunia inaanza kujiunda upya na ni vema kwamba Tanzania nayo inaanza kukaa mezani kujadili"
X Link 2024-02-22T15:01Z 28.2K followers, [--] engagements

"Ulumuntu Mwiza @thomasjkibwana @AD_Abinallah Wakati @zittokabwe akiwa anamaliza ngwe yake ya uongozi pale ACT Wazalendo naamini wikiendi hii ni wakati murua kufanya space kumzungumzia mwanasiasa huyu. Wakati mwingine tuwajadili watu wakiwa hai. Mimi nitashiriki"
X Link 2024-02-23T07:53Z 28.2K followers, [--] engagements

"Kavazi la Dr. Salim linazidi kutema madini. Tazama barua hii ambayo ni Hati ya Kuteuliwa kwake kuwa Waziri Mkuu - wa kwanza kutoka Znz mwaka 1984"
X Link 2024-02-23T08:23Z 28.2K followers, [--] engagements

"1. Namibia ni zaidi ya rafiki kwetu. Tumeshiriki kupambania Uhuru wao. Pia sisi na wao sasa ni Wenyeviti wa asasi ya SADC. [--]. @jmkikwete ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee Mashuhuri wa SADC. Msiba huu ni wa kiongozi wa SADC. Kwa wadhifa wake huo pekee analazimika kuwa msibani. This photo speaks more than Ikulu intended ๐Ÿ˜ƒ Talk about puppet masters in the back pulling the strings ๐Ÿ˜‚ On a serious note: Why is she traveling with a former President and vice Chair of her party CCM - not with her foreign minister other MFA officials Who is Kikwete in https://t.co/TjXLD7Z1l2 This photo speaks more than"
X Link 2024-02-25T06:04Z 28.2K followers, 16.2K engagements

"Ni muhimu watu mkajua tofauti ya Kachero Jasusi na Shushushu. Kwa sababu kama watu hawajui hiyo tofauti hata mjadala wenyewe unakuwa hauna maana"
X Link 2024-02-28T06:43Z 28.2K followers, [--] engagements

"Nyamvumba: Nyuma ya Uteuzi wa Balozi Wakati Rwanda ilipomteua Fatou Harerimana kuwa Balozi wake nchini Tz baadhi yetu tulishangaa kidogo na kujaribu kutafuta maelezo. Wakati ule nikafikiri labda Rwanda imeona ikiwa na Balozi mwanamke anaweza kufanya kazi vizuri zaidi na Rais"
X Link 2024-02-28T08:37Z 28.2K followers, [--] engagements

"Ni kama ulidogosha hadhi ya uhusiano wa Tz na Rwanda. Lakini uteuzi wa Jenerali Nyamvumba ni tofauti. Huyu ni miongoni mwa watu wachache ndani ya Rwanda wanaoweza kusema wako karibu na Rais @PaulKagame. Hii maana yake Rwanda wameipa Tanzania heshima kidiplomasia. Sasa tatizo"
X Link 2024-02-28T08:37Z 28.2K followers, [--] engagements

"Vitu viwili. Kwanza ukaribu na kiongozi wa nchi - bila kujali occupation yake. Pili idea kuwaa majenerali au mashushushu huwa hawatakiwi ni fake news. Hii ni kwa sababu kimsingi kazi ya ubalozi ni kazi ya kishushushu/ kikachero. Yako maandishi na mifano mingi kuthibitisha hilo"
X Link 2024-02-28T09:03Z 28.2K followers, [--] engagements

"Sijaona hoja yako hapa. Lakini nafahamu kwamba wewe ni muumini wa conspiracy tbeories. Kuanzia mambo ya Covid Climate Change etc. Watu wa aina yako mna ukweli wenu. I am a journalist. I dont have that luxury"
X Link 2024-02-28T11:27Z 28.2K followers, [--] engagements

"Tanzania ni super power hapa Afrika Mashariki. Hatutakiwi kukosa usingizi kwa sababu ya Uganda Rwanda Burundi Kenya na wengine. Ni jirani zetu. Tuwapende. Mara zote tufikiri kuhusu urafiki na ushirikiano. Kama kuna chokochoko zozote tuna track record nzuri sana ya mapambano"
X Link 2024-02-28T17:19Z 28.3K followers, [--] engagements

"Sawa nimeamini kweli Wangoni wametokea Sauzi. Huyo dogo anaitwa Nyoni lakini asili yake ni Zimbabwe. Kama Nyoni yupo Zim basi hata Joberg watakuwepo tu. @LuambanoDennis @BonfasiaMapunda @NdumbaroDamas"
X Link 2024-02-29T10:57Z 28.3K followers, [--] engagements

""Mwinyi hakuisahau jamala hiyo na kila alipokuwa akija Zanzibar hata alipokuwa Rais wa Muungano akipita njiani akisimamisha gari na kunisalimia Makala nzuri sana"
X Link 2024-03-05T14:15Z 28.3K followers, [--] engagements

"Ahueni Una mgonjwa ambaye dawa zake zinasumbua kupatikana Tanzania lakini unafahamu zipo India Mimi nimesaidiwa. Kama nawe una shida hiyo naomba tuwasiliane inbox. Unaweza kupata dozi mpaka ya miezi mitatu kuondoa usumbufu"
X Link 2024-03-10T08:16Z 28.3K followers, [--] engagements

"My heart is in pain for what is going on in Burundi Haiti and Gaza"
X Link 2024-03-12T05:32Z 28.3K followers, [----] engagements

"Kinachoendelea Burundi kinatuhusu"
X Link 2024-03-12T05:33Z 28.3K followers, [--] engagements

"Mwishoni mwa mwaka jana nilikutana na Agathon Rwassa - Kiongozi wa Upinzani nchini Burundi na kufanya mahojiano kupitia podcast yangu #EzekielKamwagaShow. Sikiliza"
X Link 2024-03-12T05:36Z 28.3K followers, [--] engagements

"Mzee Karume akizungumzia SUK kupitia @azamtvtz usiku huu. Mwandishi wetu wa Zanzibar Yussuf Khamis kafanya mahojiano mazuri sana"
X Link 2024-03-12T17:08Z 28.3K followers, [--] engagements

"Kwenye eneo la SUKI maneno ya Karume yanachukuliwa kwa uzito mkubwa. Yeye anaweza bila ubishi wowote kuitwa ndiye mlinzi au mwangalizi wa Maridhiano ya kisiasa ya Zanzibar hasa baada ya kifo cha Seif Shariff Hamad"
X Link 2024-03-13T06:54Z 28.3K followers, [--] engagements

""Mimi naamini kwamba tatizo kubwa la SUKI ya Zanzibar na serikali nyingine za maridhiano zilizowahi kufanyika Afrika haliko kwenye SUKI yenyewe. Tatizo kubwa liko kwenye dhamira za wale waliounda serikali hizo""
X Link 2024-03-13T06:56Z 28.3K followers, [--] engagements

"Hakuna uwezekano wa uchaguzi HURU na HAKI kama hakuna mwafaka. Mwafaka ni muhimu Zbar kwa sababu kuna historia ya matatizo yaliyotokea huko nyuma ambayo uchaguzi hufanya kazi ya kuyatonesha na kuyaanika hadharani. Bahati mbaya hakuna kitabu kinachoeleza inabidi mjaribu mara ngapi"
X Link 2024-03-13T07:53Z 28.3K followers, [--] engagements

"Viongozi na Wazanzibari wenyewe wanatakiwa kujaribu kutafuta mwafaka mpaka waupate. Kama nia ipo wataweza. Kama hakuna nia uchambuzi wangu unapendeleza washinikizwe kuwa na nia njema"
X Link 2024-03-13T07:53Z 28.3K followers, [--] engagements

"Pombe Mpira na Kosa la Gorbachev Nimejifunza sana kuhusu Mikhal Gorbachev wa Urusi. Pamoja na nia yake njema ya kubadili taifa lake naamini kosa lake kubwa lililokuja kumharibia baadaye alilifanya kwenye miezi yake miwili ya kwanza madarakani. Kosa lilikuwa ni kuwaingilia"
X Link 2024-03-21T11:01Z 28.3K followers, [--] engagements

"Somo la Unyenyekevu Balozi @tonytogolani angeweza kabisa kukaa kwenye kile kiti kilicho chini ya picha ya Rais ambacho ndiyo cha kwake kama Balozi wetu Korea Kusini. Lakini amempisha mgeni akae na yeye amekaa na wenzake wa ubalozini. Vitu vidogo vidogo. Lakini vikubwa"
X Link 2024-03-23T13:16Z 28.4K followers, [--] engagements

"Somo la Unyenyekevu (2) Nimeipenda picha hii kwa sababu watu wengi wasiomfahamu @JMakamba wanamzungumza kwa namna isiyomwakilisha vema. Nazungumzia heshima yake kwa viongozi na unyenyekevu wake. Hapa wala hupati taabu kujua yupi ni Makamu wa Rais na yupi ni Waziri. #SADC"
X Link 2024-03-23T13:23Z 28.3K followers, [--] engagements

"Naogopa sana mchezo unaoendelea huko Russia. Muda si mrefu tutarejea dunia ile ya [----] na [----] ambako kulikuwa na hofu kuu ya nyuklia. Labda tuanze kujiandaa na maisha bila Ulaya na Marekani. Nawaza tu kwa sauti. Captured terrorist involved in the Russian mall attack reveals that he was offered [------] Rubles to carry out the shooting. Someone reached out to him on Telegram deposited the money told him where to go and delivered the guns to him and told him to just kill. This has https://t.co/6JChxxJpSD Captured terrorist involved in the Russian mall attack reveals that he was offered 500000"
X Link 2024-03-23T19:14Z 28.4K followers, [----] engagements

"Wabongo na Vyeo Siku moja niko kwenye daladala ya Mbagala - Posta. Nafanya kazi @SimbaSCTanzania. Jamaa mmoja wakati anashuka akanishika bega na kuniambia; "Sikutegemea kukuona kwenye daladala๐Ÿคฃ". Yaani nisipande daladala kwa sababu ni maarufu Mshahara huuhuu wa laki saba๐Ÿคฃ"
X Link 2024-03-24T11:31Z 28.4K followers, [--] engagements

"Nazungumzia @SimbaSCTanzania ya miaka [--] nyuma. Mishahara kikosi cha [--] na [--] jumla 55m. Mapato ya klabu hayazidi 33m. Kila mwezi kuna nakisi ya walau 20m hivi. Wewe unazungumzia Simba yenye bajeti ya zaidi ya 300m kwa mwezi. Ni vitu viwili tofauti. Mwaka [----] ulikuwa la ngapi๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-03-24T12:06Z 28.4K followers, [--] engagements

"First [--] yangu @SimbaSCTanzania kwa umri wangu [--]. Mwameja [--]. Said Sued Panucci [--]. Alphonce Modest [--]. Pawasa [--]. Victor Costa [--]. Matola [--]. Ulimboka Mwakingwe [--]. Hamis Gaga [--]. Samatta [--]. Boban [--]. Okwi Benchi:Kaseja Masatu Rama Wasso Nyagawa Mark Sirengo Machupa Garrincha"
X Link 2024-03-24T12:26Z 28.4K followers, 14.6K engagements

"Nakataa. Narudia nakataa kufundishwa itifaki na mtu asiyejua tofauti ya brash na brush๐Ÿ˜‚. Nashauri umtafute Ras Simba aku "brush" kwanza halafu ndiyo urejee mitaa hii"
X Link 2024-03-24T15:26Z 28.4K followers, [--] engagements

"President elect Bassirou Diomaye Faye. He looks way younger than me๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. But he was born just five months after me๐Ÿ˜‚. Its fresh. Its cool. Its a new beginning for Senegal. Lets rejoice Africa"
X Link 2024-03-25T04:54Z 28.4K followers, 24.2K engagements

"Tofauti ya Senegal na Tanzania Kwenye kupima ukomavu au upevu wa demokrasia kwenye taifa jambo moja linalotumika kupima ni kuangalia mara ngapi watu wamebadilishana madaraka kutoka kwa chama kimoja kwenda kingine. Ili demokrasia ionekane imekomaa lazima hilo litokee walau"
X Link 2024-03-27T08:20Z 28.4K followers, [--] engagements

"Nchi yetu ni secular. Hatuwezi kuruhusu kuwa na vikundi vya watu wanaotembea na viboko na mijeledi kutafuta wanaokula wakati wa Ramadhani. Leo wanatandika wanaokula hadharani kesho"
X Link 2024-03-29T09:49Z 28.4K followers, [--] engagements

"@Dom_equinox ๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-03-30T13:23Z 28.4K followers, [--] engagements

"Nasoma Biblia hapa. Hivi watoto wa Adam hasa yule Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa kule alikoenda wakati duniani ilitakiwa iwe familia ya Adam tu"
X Link 2024-03-31T11:17Z 28.4K followers, [--] engagements

"Hapo jamaa anapelekwa kwenda kugundua Ziwa Victoria au nini sijui๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ. Wanaompeleka hawajapagundua bado๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ"
X Link 2024-03-31T12:57Z 28.4K followers, [--] engagements

"Ndiyo kwanza akiwa ametua nchini kutoka Dakar Senegal @zittokabwe kaeleza alichokiona kwenye uchaguzi huo kupitia Gazeti la Dunia. Nimeinjoi kusoma makala yake"
X Link 2024-04-01T15:49Z 28.5K followers, [--] engagements

"Akiandika kwenye GD wiki hii @zittokabwe alibashiri huenda Sonko atakuwa Waziri Mkuu mpya wa Senegal. Imekuwa hivyo. Soma"
X Link 2024-04-03T08:15Z 28.5K followers, [--] engagements

"Moshi mweupe huo. Ni Makalla na Mongella"
X Link 2024-04-03T14:44Z 28.5K followers, [--] engagements

"Tatizo ni kuwa hujui anaitwa Jenerali na si General. Na siwezi kuanza jina la mtu kwa small letters hata kama naandika ujumbe kwenye WhatsApp. Kwenye mitaa hii ndiyo kabisa"
X Link 2024-04-04T13:03Z 28.5K followers, [--] engagements

"Iran na Israel Sioni uwezekano wa WW3. Kamanda wa Revolutionary Guard wa Iran kauawa. Kama Iran wangekaa kimya huenda wasingeeleweka kwa wanajeshi wao. Naamini wamefanya hivi kupoza hali. Walifanya shambulio pia wakati alipouawa Jenerali Soleiman. Huenda USA na Israel wanajua"
X Link 2024-04-14T06:48Z 28.5K followers, [--] engagements

"@JMakamba is just different. Nafahamu pia kwamba kuna gharama ya kulipa hapa Tanzania kama ukiwa different au extraordinary. What do you do You block out all the noises and you keep going. #KaziInaendelea"
X Link 2024-04-21T13:01Z 28.5K followers, 11.2K engagements

"Gone too soon. Ulale salama. Ulizaliwa wakati mimi nikiwa nakaribia kumaliza shule ya msingi. Lakini kazini ulifikia hatua ya kunifundisha namna ya kubamba kwenye dunia ya mitandao. Sitasahau msaada wako na Askofu @AskofuTZA wakati tulipokuwa ughaibuni Zambia. RIP"
X Link 2024-04-26T13:18Z 28.5K followers, [--] engagements

"Maneno ya Mchangaji Mlayi: "Usharika una bahati kubwa ya kupata viongozi WAKUBWA wawili wa VYAMA VIKUBWA vya siasa". Nimeweka herufi kubwa kwa msisitizo. Nina maana yangu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-04-28T14:36Z 28.5K followers, [--] engagements

"Msiogope mabadiliko kwenye vyama. Leo hii @SemuDorothy anapeleka @ACTwazalendo katika maeneo ambako pengine @zittokabwe angepata taabu kuingia. Anazungumza na kuwaelewa watu kwa namna ambayo huenda ZZK asingeweza. Mabadiliko ni muhimu. Wakati wote popote"
X Link 2024-04-28T15:40Z 28.5K followers, [--] engagements

"Huu ushauri wako niliuona siku ya kwanza ulipoposti lakini nikauchukulia poa. Leo naahidi kuufuata kwa mwezi mzima kwanza. Nikinogewa naongeza dozi"
X Link 2024-04-28T17:27Z 28.5K followers, [--] engagements

"I am a Tanzanian Nimezaliwa kwenye mkesha wa ushindi dhidi ya Nduli Idi Amin Musuguri na Mahfoudh Nyerere na Jumbe bega kwa bega Nimekua na Dkt. Salim UN na PM Nimesoma na Hamisi wa Jambiani Nimesomeshwa na Mzanzibari Nimestaftahi na Ahmed wa Landani Mimi ni Mtanzania"
X Link 2024-05-04T11:34Z 28.5K followers, [--] engagements

"Wa kisusio cha Moshi kichuri cha Tarime wa urojo wa Unguja wa migebuka ya Kigoma na sato wa Mwanza. Mimi ni Mtanzania Rais wangu ni Nyerere na Karume. Rais wangu ni Dkt. Mwinyi na Mkapa. Rais wangu ni Samia na JK Waandishi wangu ni Nabwa na Kamana. Ni Shafi na Kezilahabi"
X Link 2024-05-04T11:34Z 28.5K followers, [--] engagements

"Ushairi wa miaka [--] ya @ACTwazalendo Sijaandika mimi kuna mdau mmoja kanitumia akasema niposti maana yeye ana followers [--] tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-05-05T06:39Z 28.5K followers, [--] engagements

"January kwa dakika mbili Tazama vizuri hii video na note watu wanaomsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje @JMakamba wanavyokunwa na ama ujumbe wenyewe au eloquence yake. Uamuzi wa Rais @SuluhuSamia kumteua JM kwenye wadhifa huu ulikuwa ni master stroke"
X Link 2024-05-05T15:01Z 28.5K followers, [--] engagements

"Nimejifunza kupitia posti yangu kuwa waandishi hatuandiki sana kuhusu masuala ya Foreign Affairs hasa kwa Kiswahili. Nimefanya uamuzi wa kuamua kuandika walau mara moja kwa mwezi kuhusu masuala hayo. Leo jioni naanza ya kwanza kwenye Gazeti la Dunia"
X Link 2024-05-07T04:21Z 28.5K followers, [--] engagements

"@KennedyMmari na @EngThomasMinja mnaona namna "conspiracy theorists" mnavyopotosha mambo ili muonekane mko sahihi Hatari sana๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-05-08T07:39Z 28.5K followers, [--] engagements

"@KennedyMmari @EngThomasMinja Leo twende na hii kwanza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Ilinipiga knock out asubuhi nikataka kukimbia. Kumbe loh๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-05-08T08:42Z 28.5K followers, [--] engagements

"I belong to the greatest country in East Africa"
X Link 2024-05-08T15:54Z 28.5K followers, [----] engagements

""Na tulipoingia kwenye mgogoro na Malawi enzi za Rais Banda jirani zetu hao walipoamua kuagiza boti ya kivita kwa ajili ya kulinda Ziwa Nyasa lililokuwa na mgogoro Ni mamlaka za Msumbiji ndizo zilizotutonya kuwa Malawi wameagiza silaha za kutuumiza.""
X Link 2024-05-09T14:00Z 28.5K followers, [--] engagements

""Naamini Chapo ni chaguo la Nyusi. Kwa nini naamini hivi Kwa sababu zipo taarifa za kutosha kuwa Chapo ni swahiba wa Waziri wa Kilimo wa Msumbiji Celso Ismael Correia. Na ndani ya nchi hiyo inafahamika kwamba Correia ni mtu wa karibu na Nyusi.""
X Link 2024-05-09T14:02Z 28.5K followers, [--] engagements

""Si kwamba nia ya kuungana ilikuwa mbaya. Lakini Muungano uliingia nuksi kwa namna ulivyoasisiwa kwa papara kwa malengo yasiyotukuka na bila ya ridhaa ya wananchi wa Tanganyika na wa Zanzibar.""
X Link 2024-05-09T14:05Z 28.5K followers, [--] engagements

"@ahmedrajab safari hii kaamua kutuandikia wosia kabisa. I got emotional really emotional reading this"
X Link 2024-05-09T15:08Z 28.5K followers, [--] engagements

"Ziara ya kwanza Vladmir Putin kaanza ziara ya siku [--] nchini China leo. Ndiyo ya kwanza tangu aapishwe wiki jana. Russia ilikuwa nchi ya kwanza kutembelewa na Rais Xi mara baada ya kuingia madarakani awamu ya kwanza. Unakumbuka nchi ya pili kutembelewa na Rais Xi wakati huo"
X Link 2024-05-16T01:39Z 28.5K followers, [--] engagements

"@ahmedrajab anaendelea kutudadavulia mambo ya Comoro kwenye Gazeti la dunia. "Ni muhali mtu kuupata ukweli wa yanayojiri Comoro ikiwa huna mtu wa ndani mwenye kuielewa mikondo ya kisiasa ya visiwani humo.""
X Link 2024-05-18T05:20Z 28.6K followers, [--] engagements

"Nini kilizungumzwa jana kwenye mkutano baina ya Waziri wa Mambo ya Nje @JMakamba na mwenzake wa China Wang Yi Yapi ni mambo ya msingi wanayosimamia kwa niaba ya nchi zao"
X Link 2024-05-18T05:27Z 28.6K followers, [--] engagements

""Wote walianza ajira zao serikalini kupitia wizara ya mambo ya nje ya nchi zao. Wote wamepata elimu yao ya juu kupitia vyuo vikuu vilivyoko nchini USA Wang Yi akisomea Chuo Kikuu cha Georgetown wakati January akisoma kwenye Chuo Kikuu cha George Mason""
X Link 2024-05-18T05:31Z 28.6K followers, [--] engagements

""La kwanza ni kuhakikisha sauti ya China inasikilizwa na kuheshimiwa duniani na pili ni kuona mapendekezo ya China kuhusu mwenendo dunia yakisikilizwa pia. China ingefuata mwongozo alioupa jina la Two Guidances"
X Link 2024-05-18T05:39Z 28.6K followers, [--] engagements

"Tunaweza kubadilika Juzi nimeona mtu akishindwa kusafiri kutokana na mkanganyiko wa majina. Yeye ni Mhandisi Kitaaluma na alipoambiwa atume jina lake akaandika Eng. John Said (si jina halisi). Tiketi ikaonesha jina lake ni Eng. Pasipoti haisomi hivyo. Jamaa wamekataa asiingie"
X Link 2024-05-18T06:57Z 28.6K followers, [--] engagements

"Kuanzia Alhamisi hii kutakuwa na mfululizo wa makala ya sehemu tatu kuhusu uhusiano wa China na Tanzania kupitia kurunzi ya ziara ya hivi karibuni ya Waziri wa Mambo ya Nje @JMakamba nchini humo. Tutazama ndani kabisa"
X Link 2024-05-21T13:07Z 28.6K followers, [--] engagements

"Michael Jackson. GOAT In [----] during a concert in Seoul a fan climbed up to Michael Jackson on a crane. Jackson securely held onto the fan to prevent her from falling all while continuing his performance of Earth Song. https://t.co/FiPi3xzQu6 In [----] during a concert in Seoul a fan climbed up to Michael Jackson on a crane. Jackson securely held onto the fan to prevent her from falling all while continuing his performance of Earth Song. https://t.co/FiPi3xzQu6"
X Link 2024-05-22T10:58Z 28.5K followers, [---] engagements

"January na @SimbaSCTanzania Hapa @JMakamba yuko kiwanda cha HUAWEI. Kaonyeshwa kalamu za kisasa. Kwa majaribio akaambiwa aandike neno moja tu ubaoni ambalo litajiandika kwa Kichina ingawa neno ni la Kiswahili. Akaikumbuka timu yake๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-05-27T14:43Z 28.6K followers, [--] engagements

""Kenya wataendelea kufanya mambo yao kama Kenya. Na Tanzania tutabaki kuwa Tanzania. Ni nchi yao ni mustakabali wao. Lakini hakuna bao lolote ambalo Tanzania imepigwa kwa sababu Kenya imepewa vifaru na ndege za kijeshi.""
X Link 2024-06-01T10:31Z 28.6K followers, [--] engagements

""This shirt is now my skin. Your dreams are now my dream". Jose at his best. What a way to excite the fan base. Looks like Jose and @Fenerbahce are a match made in heaven. Turkish Football League will be different next season. I can guarantee that๐Ÿ’ช"
X Link 2024-06-03T05:59Z 28.6K followers, [---] engagements

"Kwa kweli Kigoma ina potential kubwa sana. Naamini wenye kufanya maamuzi wanaziona. Kuna namna Kigoma ikiwa marketed properly watu wengi watapenda kutembelea. Starting with a Dar- Kigoma on the central rail adventure then Lake Tanganyika Gombe national park & so much more. Kuna namna Kigoma ikiwa marketed properly watu wengi watapenda kutembelea. Starting with a Dar- Kigoma on the central rail adventure then Lake Tanganyika Gombe national park & so much more"
X Link 2024-06-03T09:27Z 28.6K followers, [---] engagements

"Nikijikumbuka mwenyewe wakati nina miaka [--] na nikiangalia watu ninaowafahamu wakati wana miaka [--] naona wajibu mkubwa aliotwishwa Dk. Salim Ahmed Salim angali mdogo. Katika picha hii akiwa na magwiji Julius Nyerere Gamal Abdel Nasser na Oscar Kambona. Mkewe Amne kulia kwake"
X Link 2024-06-05T11:24Z 28.6K followers, [--] engagements

"Bye bye @DailyMailUK . This is the last day I will read anything from you. I have had enough. Racist impartial unfair and bogus. I'll just leave these here as well. https://t.co/lD7fQC6UgP I'll just leave these here as well. https://t.co/lD7fQC6UgP"
X Link 2024-06-09T07:25Z 28.6K followers, [----] engagements

"@moses_godian @DailyMailUK Unfortunately"
X Link 2024-06-09T09:03Z 28.6K followers, [--] engagements

"Yes nilikuwa ndani @SimbaSCTanzania . Na kwa hakika kabisa najua kinachoendelea. Lakini kwa heshima ya viongozi wangu kwa miaka yote huwa sitoi maoni yangu hadharani kuhusu klabu. Ni utaratibu ambao nimejiwekea kwa miaka [--] sasa"
X Link 2024-06-09T09:22Z 28.6K followers, [--] engagements

""Fikiria kama wakati ule wa Magufuli angekuwa na washauri wa pembeni yake kama @TunduALissu @fatma_karume @zittokabwe Lowassa @freemanmbowetz na wengine ndani ya baraza lake si tungeweza kupata dili zuri zaidi kwenye mikataba ya madini""
X Link 2024-06-09T11:29Z 28.6K followers, [--] engagements

"Hongereni sana Balozi @AMpungwe naamini muda si mrefu Tanzania itaanza kuzalisha sukari yote tunayotumia ndani. Nina imani kubwa na uwekezaji wenu na ule unaofanywa na kampuni za Bakhresa @ofclbakhresagrp kwenye eneo hili. Keep going ๐Ÿ’ช Just had inspiring visit @Kilombero K4 expansion due to start prod. June 2025: double capacity meet national demand double current 8K growers and add to current 4K workforce generate 30MW more ethanol save forex etc https://t.co/MZE8sST245 Just had inspiring visit @Kilombero K4 expansion due to start prod. June 2025: double capacity meet national demand double"
X Link 2024-06-16T06:49Z 28.6K followers, [---] engagements

"Watanzania tunatakiwa kuulinda huu mradi kwa wivu sana. Tabia zozote za "Kitanzania" kuufanya ufeli zinatakiwa kupigwa vita from day one. Dakika [--] Morogoro. Saa tatu Dodoma na saa nyingine kadhaa Mwanza na Kigoma. Ikibidi Jeshi lihusishwe. Manake ndiyo taasisi watu wanaiogopa"
X Link 2024-06-16T09:02Z 28.6K followers, [--] engagements

"I Matamela Cyril Ramaphosa"
X Link 2024-06-22T10:26Z 28.6K followers, [---] engagements

"Kwa siku kadhaa sasa nimekuwa nazungumza na watu wa makundi tofauti kupata picha ya mambo yanavyoenda kwenye nchi yetu. Ujumbe mmoja ambao natamani kuwaambia viongozi wetu ni huu: wanahitaji ku smell the room. Wasikilize zaidi sauti za walio mbali nao kuliko za walio karibu nao"
X Link 2024-06-23T08:36Z 28.6K followers, [--] engagements

"Wiki hii Tanzania imezindua ujenzi wa majengo pacha ya Tanzania Tower jijini Nairobi Kenya. Nini hasa kinaendelea Ungana nami hapa"
X Link 2024-06-23T11:24Z 28.6K followers, [--] engagements

""Nilitabasamu wakati Waziri @JMakamba alipomtania Waziri Mkuu wa Kenya @MusaliaMudavadi kwamba ingawa Tanzania imechelewa kujenga jengo lake likikamilika litakuwa kubwa zaidi na zuri zaidi kulinganisha na lile lililojengwa na Kenya nchini kwetu.""
X Link 2024-06-23T11:29Z 28.6K followers, [--] engagements

""Sidhani kama kuna Mkenya angeipa Tanzania heshima kwa kuiona ikiwa imejibana kwenye kighorofa kimoja huku ikiwa imepakana na maduka ya kutoa fotokopi na kuuza nywele bandia na vifaa vya wanafunzi kutumia shuleni.""
X Link 2024-06-23T11:36Z 28.6K followers, [--] engagements

"Kenya ni nchi ya kidemokrasia. Unaingia kwa kura na unatoka kwa kura. Umejiuliza kama wanaoandamana walipiga kura mwaka juzi Kama walipiga walimchagua Ruto Kama hawakumpigia na alishinda hiyo nguvu yao ya umma inatoka wapi"
X Link 2024-06-23T11:56Z 28.6K followers, [--] engagements

"Somo la kuchukua kutoka Kenya ni moja - vijana pigeni kura. Analysis zilizofanyika baada ya lection iliyompa Ruto Urais ni kuwa vijana hawakupiga kura. Leo vijana wanaandamana kusema Ruto hafai. Huwezi kula keki na ikabaki kama ilivyo"
X Link 2024-06-23T14:17Z 28.6K followers, [--] engagements

"Wazee wa teknolojia. Hivi kwa hapa Dar wapi naweza kupata charger za smart watch za Huawei"
X Link 2024-06-24T04:55Z 28.6K followers, [--] engagements

"UNIP ya Zambia ilitoka madarakani kwa kura. KANU ilitoka kwa kura. Yahya Jammeh alitoka kwa kura. Senegal Nigeria Ghana nk wamebadili serikali kwa kura. Watu waambiwe waende kupiga kura kwanza. Hili ndilo jambo la kwanza. Kuanzia 75% wakipiga kura utaona kitakachotokea"
X Link 2024-06-24T07:01Z 28.6K followers, [--] engagements

"Kwa sababu unaitwa Nisaidie nitakusaidia kidogo. Huyo waziri ambaye sasa ni marehemu baada ya kuona watu wanagombania kupiga picha na mgeni akauliza ni nani huyu Akaambiwa na ndiyo akafanya hiyo approach. Na Roman hakualikwa na govt. Alikuja kwa ratiba zake. Mwongo ni WEWE"
X Link 2024-06-24T08:27Z 28.6K followers, [--] engagements

"THE END OF POLITICAL PARTIES AS WE KNOW THEM Akiwa mwanafunzi wa Shahada ya Sheria ya Chuo Kikuu cha DSM Issa Shivji @IssaShivji aliandika kijitabu Tanzania: The Silent Class Struggle. Alieleza kuwa wakati TANU - CCM ya sasa ikijinasibu kama chama cha kijamaa chenye"
X Link 2024-06-26T08:00Z 28.6K followers, [--] engagements

"Pamoja na mapungufu - CCM @ccm_tanzania na ANC cha Sauzi vimebaki kuwa na walau base ya wafuasi - wafia chama wa kutosha Labda wewe hujawahi kuona lakini mimi nawajua wana CCM - si mmoja wala wawili ambao njano na kijani ndiyo rangi yao. Ipo kazi ya kisiasa ilifanyika"
X Link 2024-06-26T08:33Z 28.6K followers, [--] engagements

"Nimeuona Umoja wa Kitanzania kwenye jambo hili. Nawashukuru nyote." @zittokabwe"
X Link 2024-07-02T09:21Z 28.6K followers, [--] engagements

"Hivi hata asipoandika yeye ni mstaafu itaondoa ukweli kwamba ni mstaafu Akianzisha ofisi binafsi itaondoa connection yake na ACT Na kama asingeandika yeye ni mstaafu waandishi ambao wangeichukua hii kama stori wangemtaja @zittokabwe kama nani"
X Link 2024-07-02T10:26Z 28.6K followers, [--] engagements

"@SAUSIFANUEL @MabalaMakengeza @Sativa255 Una uhakika anafahamu kinachofanyika"
X Link 2024-07-02T11:20Z 28.6K followers, [--] engagements

"@255antos Anadai eti nimefanana na jamaa aliyeshika kiuno kwenye frame ya kwanza๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ"
X Link 2024-07-02T12:20Z 28.6K followers, [--] engagements

"Natazama interview ya Ahmed Ally na Mahmoud Zubeir kwenye SportsAm ya @azamtvtz. Yaani kama huyu dogo angekuwa msemaji wa Yanga hivi sasa tungepata taabu sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Na kama angekuwa msemaji wa Simba kwenye ile miaka minne ya mataji mfululizo Yanga wangelala na viatu๐Ÿคฃ"
X Link 2024-07-06T07:15Z 28.7K followers, [--] engagements

"Madikteta Mahaba na Taswira (1) Yapo maandishi yanayoonyesha namna madikteta wanavyoumizwa pale watu wanavyoonyesha mahaba makubwa kwa mtu mwingine asiye yeye. Mwandishi Gao Wengxian amewahi kueleza namna Mao Zedong alivyoumizwa na mahaba Wachina walioonyesha hadharani pale"
X Link 2024-07-07T07:39Z 28.7K followers, [--] engagements

"GEN Z: The Deal Hivi karibuni India zilitangazwa nafasi za kazi [----] za wakusanya kodi. Maombi yakawa milioni [---]. Nafasi hizo ni za kada ya chini lakini miongoni mwa walioomba walikuwa ni wahandisi laki moja. Nimetoa mfano wa India lakini hata hapa Tanzania ipo mifano"
X Link 2024-07-08T06:20Z 28.7K followers, [--] engagements

"President Kamala Harris"
X Link 2024-07-09T10:57Z 28.8K followers, [----] engagements

"@TheRealEkiswaga Kabisa kabisa"
X Link 2024-07-11T16:29Z 28.7K followers, [--] engagements

"Mmmhhh. Wewe una matusi. Sichezi na wewe tena๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ"
X Link 2024-07-11T16:53Z 28.7K followers, [--] engagements

"Nakumbushia. President Kamala Harris"
X Link 2024-07-12T07:28Z 28.8K followers, [----] engagements

"Hizi tuhuma ni nzito๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sasa nikuhakikishie kuwa liko na leo kabla hujala chakula cha usiku - au kabla ya Taraweh utakuwa umemsoma @ahmedrajab . Hapa nilipo natafsiri article ya George Clooney kwenye New York Times kuhusu @POTUS . Itakuwa kwenye GD"
X Link 2024-07-13T08:18Z 28.7K followers, [--] engagements

"KATAVI NA RUKWA Kabla ya Rais @SuluhuSamia Joyce Banda wa Malawi ndiye alikuwa Rais wa mwisho mwanamke kwenye Jumuiya ya SADC. Kabla ya kuingia madarakani alikuwa Makamu wa Rais na mtangulizi wake Bingu wa Mutharika alifariki ghafla wakati akiwa madarakani mwaka [----]. Joyce"
X Link 2024-07-15T14:31Z 28.7K followers, [--] engagements

"Alipata support kubwa sana wakati anaingia madarakani. Lakini kwenye uchaguzi wa mwaka [----] alishindwa Urais. Kwa nini alishindwa Urais Kuna sababu kubwa tatu; Uchumi Kutoonekana na kashfa ya Ufisadi. Kwenye uchumi Banda alikubali ushauri wa IMF wa kushusha thamani ya Kwacha"
X Link 2024-07-15T14:31Z 28.7K followers, [--] engagements

"ya Malawi kwa asilimia [--]. Ingawa alisifiwa na taasisi hiyo wananchi walikasirika kwa sababu hali ya uchumi ilikuja kuwa mbaya zaidi kuliko aliyoikuta. La pili ni lile ambalo kwa Kiingereza Wamalawi waliliita "absent president". Kulikuwa na maoni kwamba Banda alikuwa anasafiri"
X Link 2024-07-15T14:31Z 28.7K followers, [--] engagements

"La tatu lilikuwa ni kashfa ya ufisadi. Rais Banda aliagiza kuuzwa kwa ndege ya Rais iliyonunuliwa na mtangulizi wake. Tatizo likawa kwamba mauzo ya fedha za ndege ile hayakuwahi kuonekana popote kwenye akaunti za serikali. Mwishoni yakatolewa maelezo kuwa ndege iliuzwa kwa"
X Link 2024-07-15T14:31Z 28.7K followers, [--] engagements

"Kampuni ambayo ilikuwa inaidai Malawi. Kwa hiyo ndege iliuzwa kulipa deni. Lakini maelezo hayo hayakuingia kichwani kwa wapiga kura. Kwa nini nimekumbusha haya kwenye uzi huu Nimekumbuka baada ya kuona ziara hii ya Rais @SuluhuSamia kwenye mikoa ya Katavi na Rukwa. Ninaamini"
X Link 2024-07-15T14:31Z 28.7K followers, [--] engagements

"Kama Dar es Salaam ingekuwa ni jimbo la uchaguzi unadhani nani anastahili kuitwa Mbunge wa Dar es Salaam Nani yeye mwenyewe - kwa hoja matendo na maono yake anawakilisha watu wa Dar es Salaam Anatakiwa kuwa mmoja wa wabunge waliopo sasa wa mkoa huu"
X Link 2024-07-16T13:01Z 28.7K followers, [--] engagements

"Retired but certainly not TIRED๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-07-17T10:56Z 28.7K followers, [----] engagements

"Kuna timu mbili Moja washabiki wake wanaingia uwanjani kwa kulipa viingilio na nyingine washabiki wanaingia bure๐Ÿคช. Hongera kwa timu ambayo washabiki wake wa HERA - kwa lafudhi ya Kihaya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-07-17T12:21Z 28.7K followers, [--] engagements

""Kilio hicho sasa kimelivuka jangwa la Sahara na kinagonga lango la Ruto. Jee atangoka madarakani au atasalimika" @ahmedrajab kwenye GD"
X Link 2024-07-18T07:25Z 28.7K followers, [--] engagements

""Mataifa ya Magharibi na taasisi zao za kifedha ndio hasa waliomponza Ruto kwa msisitizo wao kwamba lazima apandishe kodi ili kupata fedha za kulilipa deni la serikali linalofikia dola za Marekani bilioni 2.7." @ahmedrajab"
X Link 2024-07-18T07:33Z 28.7K followers, [--] engagements

"We kijana anza kufanyia lamination hii picha. Halafu ikae sebuleni kwako au pale mbele kabisa ya ofisi yako. Utaelewa ndani ya siku saba kutoka sasa. @GibsonKawago"
X Link 2024-07-19T13:46Z 28.7K followers, [--] engagements

"Natarajia Kamala Harris kuwa mgombea na Makamu wake atakuwa Josh Shapiro. Halafu muziki utaanzia hapo"
X Link 2024-07-19T14:12Z 28.7K followers, [--] engagements

"Naunga mkono hoja. Ningekuwa @WilliamsRuto Nisingewarudisha kwenye nafasi mawaziri walioongoza vyombo vya dola vilivyopambana na GEN Z kwenye maandamano. Siwaoni vijana wakikubali mabadiliko haya"
X Link 2024-07-19T14:18Z 28.7K followers, [--] engagements

"@Semkae @OnlineDentistTz Kamala is THE ticket. She was with Biden. Biden had one more term to serve. Biden has health problems. He can't continue. If you remove Kamala you kill THE ticket. You can't change the winning team with few months before the election. You keep half the team. That's Momala"
X Link 2024-07-19T15:20Z 28.8K followers, [--] engagements

"Kuna siku @ExMayorUbungo Utakuja kuwa mbunge na hii michezo utakutana nayo. Kwenye hii dunia katili ya husda na yenye teknolojia zote za uchafuzi kila kitu kinawezekana"
X Link 2024-07-21T16:14Z 28.8K followers, [--] engagements

"@AllyUmpa @Hakingowi Kabisa. Wana muda mfupi sana wa mambo yasiyo ya kazi. Lakini naona pia yeye alikuwa generation tofauti. Wao waliamini zaidi kwenye word of mouth kwa sababu mitandao haikuwepo"
X Link 2024-07-23T06:29Z 28.8K followers, [--] engagements

"@VP first campaign ad๐Ÿ‘Œ. Freedom by @Beyonce as a soundtrack is a fantastic idea. Women are going to be decisive in the coming American election. In the land of the Free FREEDOM is King/Queen. BREAKING: The Kamala Harris campaign just released their first ad. Retweet to make sure every American knows who Kamala Harris is and what is at stake this November. https://t.co/d55aNDbYNZ BREAKING: The Kamala Harris campaign just released their first ad. Retweet to make sure every American knows who Kamala Harris is and what is at stake this November. https://t.co/d55aNDbYNZ"
X Link 2024-07-25T13:42Z 28.8K followers, [---] engagements

""Nina uhakika kama January angekuwa anafanya mikutano mitatu kwa siku na waandishi wakati wa ziara za Rais ughaibuni Balile angetumia hilo kama mfano wa namna waziri huyo wa zamani alivyokuwa anatumia ziara hizo kwa manufaa yake binafsi""
X Link 2024-07-27T16:50Z 28.8K followers, [--] engagements

"@huruma_msu95338 @Balambirwa1 Kumbe unajua kuandika Naona tangu uingie twitter kazi yako ni ku repost tu maandishi ya wengine. Endelea kuandika. Ku repost mwaka mzima ni kuonyesha kichwa chako kimejaa yaliyomo kwenye ndoo za profile yako. Andika"
X Link 2024-07-27T20:11Z 28.8K followers, [--] engagements

"@Msandashwa Uchawa ni mtu mzima - tena Mhaya kumaliza mwaka mzima akiwa ana repost tu vitu walivyoandika wenzako mitandaoni. Wewe huna kitu kabisa kichwani kwako Una boksi tu juu ya shingo yako"
X Link 2024-07-27T21:38Z 28.8K followers, [--] engagements

"The Last TRUE cadre Nyumbani kwa Cde Kinana mara baada ya kukubali kurejea tena @ccm_tanzania kama Makamu Mwenyekiti mwanafamilia yake mmoja aliniuliza; "Ni lini mtamwacha Mzee awe tu baba yetu" Leo familia yake italala usingizi wa amani. Mtu makini hodari. Askari"
X Link 2024-07-29T17:17Z 28.9K followers, [--] engagements

"@FreeData462 @ccm_tanzania Kwanza leo umekuwa muungwana sana. Nitukane tena kama ulivyotukana hapa chini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Leta matusi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-07-29T19:14Z 28.9K followers, [--] engagements

"@fundo_baraka @enovelist1 @mbuzekongira @ccm_tanzania ๐Ÿ˜‚"
X Link 2024-07-30T14:23Z 28.9K followers, [--] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing