@trtafrikaSW TRT Afrika SwahiliTRT Afrika Swahili posts on X about tanzania, kenya, kwanza, israel the most. They currently have [------] followers and [----] posts still getting attention that total [-----] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries travel destinations currencies us election celebrities technology brands social networks finance premier league automotive brands
Social topic influence tanzania #915, kenya, kwanza, israel, mambo, hamas, nairobi, morocco #1294, ethiopia #1260, sudan
Top accounts mentioned or mentioned by @visitngorongoro
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) DOLA (DOLA)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Mpiganaji wa Cameroon wa 'Mixed Martial Arts' Francis Ngannou ametia saini mkataba na Ligi ya Professional Fighters baada ya kutengana na UFC. Ngannou alijiondoa katika mkataba wake wa UFC Desemba mwaka jana baada ya kusema madai yake ya bima na ufadhili yamekataliwa"
X Link 2023-05-17T11:58Z 44.2K followers, [--] engagements
"Mkaa huu unaotokana na taka unabadilisha maisha wa wakazi wa eneo la Kigilagila Dar es Salaam Tanzania. Wao hukusanya taka na kuzichakata kuwa madonge ya mkaa"
X Link 2023-06-14T07:35Z 44.1K followers, [--] engagements
"Tanzania: Kivutio bora cha Utalii Afrika watalii wasema Mbuga ya wanyama ya Tanzania Serengeti imeteuliwa kuwa eneo bora zaidi ya kutalii Barani Afrika kwa mujibu wa matokeo ya tuzo za kila mwaka za Utalii za Tripadvisor"
X Link 2023-07-04T18:25Z 44.1K followers, [--] engagements
"#HABARIZAHIVIPUNDE: Yevgeny Prigozhin kiongozi wa kundi la mamluki la Wagner miongoni mwa watu kumi waliofariki katika ajali ya ndege nchini Urusi Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya nchi hiyo inasema"
X Link 2023-08-23T18:00Z 38K followers, [---] engagements
"Jukwaa la mtandao wa kijamii X litaanza kutoa huduma za video na sauti mmiliki Elon Musk alitangaza Alhamisi akisema ni hatua ya kugeuza Twitter ya zamani kuwa "programu ya kila kitu""
X Link 2023-08-31T15:40Z 39K followers, [---] engagements
"Timu ya taifa ya Gambia ikiongozwa na Rais wa Shirikisho la Soka Lamine Kabba Bajo imechangia damu kuwasaidia waathiriwa wa tetemeko la ardhi Morocco. Timu hiyo ilikuwa mjini Marrakech kwa mechi ya kufuzu AFCON wakati tetemeko la ardhi lilipopiga"
X Link 2023-09-13T05:09Z 38.7K followers, [--] engagements
"Mfalme Mohammed VI wa Morocco aliwazuru baadhi ya waliojeruhiwa hospitalini karibu na kitovu cha tetemeko hilo ambako pia alichangia damu"
X Link 2023-09-13T09:53Z 40.1K followers, [--] engagements
"AFCON: Afrika Mashariki itakuwa na mwakilishi mmoja pekee baada ya Tanzania kurejea fainali hizo tangu [----] kwa kuipiku Uganda"
X Link 2023-09-13T10:30Z 38.7K followers, [--] engagements
"Mwanadada Belyse NININAHAZWE aliteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Inter Star ya ligi kuu ya soka Burundi na anakuwa mwanamke wa kwanza kufundisha timu ya wanaume inayoshiriki ligi kuu nchini Burundi"
X Link 2023-09-13T13:22Z 38.5K followers, [--] engagements
"Kijana wa Morocco ambaye mahojiano yake na Al Arabiya akiwa amevaa jezi ya Real Madrid yalisababisha wimbi kubwa la msaada baada ya kupoteza familia yake nzima katika tetemeko la ardhi. Sasa atakuwa chini ya uangalizi wa klabu hiyo Uhispania ambapo atacheza soka na kusoma"
X Link 2023-09-14T17:54Z 44.2K followers, [--] engagements
"Muda wa mshikamano na dakika la kimya litazingatiwa katika Kombe la dunia la Raga Duniani nchini Ufaransa ili kuwakumbuka wale ambao wamepoteza maisha yao na wote walioathiriwa na mafuriko nchini Libya na tetemeko la ardhi nchini Morocco"
X Link 2023-09-15T07:11Z 38.7K followers, [--] engagements
"Bei ya mafuta nchini Kenya imefikia kiwango cha juu zaidi kihistoria na kuvuka alama ya shilingi [---] ya Kenya ambayo ni takriban $1.36. Lita moja ya petroli Nairobi sasa itauzwa kwa dola [----] huku dizeli ikigharimu $1.37 na mafuta ya taa $1.38"
X Link 2023-09-15T09:50Z 38.8K followers, [--] engagements
"Kwa mara nyingine Kinshasa imepiga kengele juu ya janga la kibinadamu lililosababishwa na "uchokozi" wa Rwanda ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) siku chache kabla ya Mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa utakaoanza wiki ijayo"
X Link 2023-09-15T15:24Z 38.1K followers, [--] engagements
"Waziri wa Mazingira nchini Tanzania ameongoza wakazi wa Dodoma kufanya usafi katika eneo la Soko la Machinga"
X Link 2023-09-16T15:41Z 38.7K followers, [--] engagements
"Wizara ya Ulinzi nchini Somalia imesema jeshi limewaua wapiganaji wa AL shabaab na kunasa silaha"
X Link 2023-09-17T09:00Z 39K followers, [--] engagements
"Nani atakutana na nani katika mashindano ya AFCON [----] nchini Cote D'Ivoire - Kundi A - Cote D'Ivoire Guinea-Bissau Equatorial Guinea Nigeria Kundi B - Msumbiji Cape Verde Misri Ghana Kundi C - Gambia Cameroon Senegal Guinea"
X Link 2023-10-12T20:43Z 38K followers, 328.3K engagements
"Waandamanaji katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu wapinga mashambulizi ya Israel dhidi ya Palestine. Waandamanaji hao wametaka kukomeshwa kwa mashambulizi ya kikatili ya Israel ya kulipua mabomu huko Gaza"
X Link 2023-10-25T14:01Z 38K followers, [---] engagements
"Rais Erdogan wa Uturuki akutana na rais wa Somalia Mohamud mjini Istanbul: - Mashambulizi ya Israel dhidi ya Wapalestina yamegeuka mauaji - Ujumbe wa mataifa ya Kiislamu kuonyesha mshikamano na Wapalestina ni muhimu - Amani ya kudumu inawezekana tu kwa Waislamu kutenda kwa umoja"
X Link 2023-10-27T17:21Z 38K followers, [---] engagements
""Wewe ni mvamizi shirika" Rais Erdogan wa Uturuki ahutubia Israel katika mkutano mkuu wa Palestina mjini Istanbul akiashiria uvamizi ulioanza mwaka [----] katika ardhi ya Palestina"
X Link 2023-10-29T08:20Z 38K followers, [---] engagements
"Riziki ni majaaliwa lakini kutafuta riziki ni wajibu wako. Kama sio ajira basi ujasiria mali nao upo. Nguvu zako na akili yako tu. Tazama vijana kutoka Dodoma Tanzania waliotumia ubunifu wao kujiajiri kama 'machinga'"
X Link 2023-10-31T05:30Z 38.1K followers, [--] engagements
"Uganda na Gabon miongoni mwa nchi zilizotolewa kutoka AGOA. Marekani yaziadhibu kwa kukataa kutekeleza sera zake za haki ya binadamu"
X Link 2023-10-31T06:00Z 38.1K followers, [--] engagements
"Tanzania ilikuwa nchi ambayo ilishuhudia umwagaji damu zaidi katika historia ya ukoloni. Wataalamu wanasema watu [------] waliuawa kikatili wakati wa kile kinachoitwa Uasi wa Maji Maji hasa kutokana na uharibifu uliofanywa na wanajeshi wa Ujerumani"
X Link 2023-11-01T16:41Z 38.1K followers, [---] engagements
"Mwanajeshi wa Gambia akutwa na hatia ya jaribio la mapinduzi apewa miaka [--] jela"
X Link 2023-11-01T19:02Z 38K followers, [---] engagements
"Wakuu wa nchi za SADC wamekutana kwa njia ya mtandao na kujadiliana hali ya usalama ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo"
X Link 2023-11-02T09:23Z 38.1K followers, [---] engagements
"Rais wa Uturuki Erdogan amezungumza na rais wa Azerbaijani Aliyev: - Wamejadili mahusiano maendeleo ya kikanda na kimataifa - Suluhu ya kudumu ya Palestine yawezekana kwa misingi ya mipaka ya [----] & Jerusalem kama mji mkuu - Wamejadili kurudisha uhusiano wa Uturuki-Armenia"
X Link 2023-11-03T06:40Z 38K followers, [--] engagements
"Rwanda inasema itawaruhusu Waafrika kusafiri bila visa kwenda nchini humo. Kenya ilitangaza Jumatatu mipango ya kuruhusu Waafrika wote kusafiri bila visa ifikapo Desemba [--]. Mataifa mengine barani ambayo yameondoa viza kwa raia wa Afrika ni Gambia Benin na Ushelisheli"
X Link 2023-11-03T11:15Z 38K followers, [--] engagements
"Rais Paul Kagame akitoa tangazo hilo alitaja uwezo wa Afrika kama "kivutio cha utalii cha umoja" kwa bara ambalo bado linategemea 60% ya watalii wake kutoka nje ya Afrika"
X Link 2023-11-03T11:15Z 38K followers, [---] engagements
"Kocha wa Burundi ametangaza kikosi cha wachezaji [--] kwa ajili ya kuandaa mechi mbili dhidi ya Gambia na Gabon baadae mwezi huu ili kutafuta nafasi ya kufuzu katika Kombe la Dunia 2026"
X Link 2023-11-03T16:50Z 38.1K followers, [---] engagements
"Kiongozi wa upinzani nchini Kenya aungana na dunia kukemea mauaji ya Israel Gaza na aitaka serikali ya Kenya kulaani mauaj ihayo"
X Link 2023-11-05T10:30Z 38K followers, [--] engagements
"Sanaa au Uasi msanii kutoka Gabin azua gumzo kwa 'grafitti' zake kwenye kuta anazosema zinalenga kuamsha jamii"
X Link 2023-11-05T12:01Z 38.1K followers, [---] engagements
"Kiongozi wa Upinzani wa Kenya Raila Odinga akemea mauaji yanayofanywa na Israel kama ukatili na unyama"
X Link 2023-11-05T13:15Z 38K followers, [---] engagements
"Mbio za Istanbul Marathon awamu ya [--] zamalizika kwa Kenya kuhodhi mataji yote upande wa wanawake na wanaume"
X Link 2023-11-05T15:00Z 38K followers, [---] engagements
"Mauricio Pochettino ana amini Tottenham ni washindani wa kweli wa taji huku akijiandaa kurudi kuchuana klabu yake ya zamani akiiongoza Chelsea leo Jumatatu"
X Link 2023-11-06T14:54Z 38K followers, [---] engagements
"Jeshi la israel limemkamata mwanaharakati wa upinzani wa Palestina Ahed Tamimi katika mji wa Nabi Saleh ukingo wa Magharibi. "Ahed Tamimi alikamatwa kwa tuhuma za kuchochea vurugu na shughuli za kigaidi katika Nabi Saleh" msemaji wa jeshi alisema"
X Link 2023-11-06T16:59Z 38K followers, [---] engagements
"Maoni: Ni nini suluhu ya mzozo unaoendelea Gaza"
X Link 2023-11-08T11:48Z 38.3K followers, 446K engagements
"Rais Erdogan: -Tunachukua hatua zote za kidiplomasia ili usitishwaji wa mapigano ufanikiwe Gaza -Siku zote tunabuni njia za kuwepo kwa amani endelevu -Jitihada zetu sio za maneno matupu bali hatua madhubuti"
X Link 2023-11-10T07:41Z 38K followers, [---] engagements
"Rais Erdogan: -Mamilioni duniani wameungana wakitaka kusitishwa kwa kinachoendelea Gaza -Watetezi wa haki za binadamu na sheria za kimataifa lazima wasitishe mashambulizi machafu haraka -Amani itakuwepo eneo letu pindi tu mgogoro wa Israel-Palestine utakapopata utatuzi sahihi"
X Link 2023-11-10T07:41Z 38.1K followers, [---] engagements
"Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amemfukuza Waziri wa Mambo ya Ndani Suella Braverman ambaye aliwaudhi wengi kwa kuwashutumu polisi kwa kuwa wapole sana kukabiliana na waandamanaji waliokuwa wakiunga mkono Palestina"
X Link 2023-11-13T16:26Z 38.1K followers, [---] engagements
"Harambee Stars inatarajiwa kuwa na kibarua kigumu kwenye Kundi F la katika michuano ya kufuzu kwa Kombe la Dunia FIFA [----] kwani imepangwa pamoja na Cte D'ivoire Gabon Gambia Burundi na Ushelisheli Hapa ni kikosi kilichotajwa na mkufunzi Engin Firat"
X Link 2023-11-13T17:32Z 38.1K followers, [---] engagements
"Je unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki Mpango wa kuhamisha Israel kuja Afrika uliitwa "Mpango wa Uganda" na lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni"
X Link 2023-11-15T15:14Z 38.4K followers, 124.9K engagements
"Stars wa Kenya wanafungua safari yao ya kusaka tiketi Kombe la Dunia [----] dhidi ya Gabon Alhamisi saa [--] jioni Imejumuishwa pamoja na Cte D'ivoire Gabon Gambia Burundi na Shelisheli katika Kundi F kwenye michuano ya makundi ya kufuzu kombe la Dunia"
X Link 2023-11-16T12:46Z 38.2K followers, [---] engagements
"Akibainisha kuwa hatua ya Israel ya kulenga raia kwa jumla inahitaji jibu kali Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan anahimiza ulimwengu wa Magharibi "kuzingatia maadili na kujiepusha na kushiriki katika ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu huko Gaza""
X Link 2023-11-16T12:47Z 38.1K followers, [--] engagements
"Timu yataifa ya soka ya Burundi Intamba mu Rugamba imewashangaza wengi kwa kuichapa Gambia 3-2. Ushindi huo umeiwezesha Burundi kuanza safari yake ya kufuzu Kombe la Dunia [----] vyema. Mechi hiyo ya kufana ilichezwa ugani Benjamin Mkapa Dar es Salaam Tanzania"
X Link 2023-11-16T18:57Z 38.2K followers, [---] engagements
"Kukabiliani na kero ya Plastiki Kenya"
X Link 2023-11-17T08:23Z 38.3K followers, 185K engagements
"Sadio Mane adhihirisha ustadi wake akichezea Senegal mechi ya [---] huku wakikwea kilele cha jedwali katika kuwania kufuzu kombe la dunia"
X Link 2023-11-19T11:30Z 38.2K followers, [---] engagements
"Tanzania yaweka matumaini juu kwa Afrika Mashariki baada ya kufungua kampeni ya kufuzu kombe la dunia kwa ushindi"
X Link 2023-11-19T12:00Z 38.2K followers, [---] engagements
"Wachezaji wa Burundi waliotafuta hifadhi Ubelgiji wanyimwa uhamisho na kuwekwa kizuizini"
X Link 2023-11-19T17:01Z 38.3K followers, [---] engagements
"Shirika la Ujasusi la Uturuki (MIT) limemkata makali Gulsume Dogan aliyepewa jina la Jiyan Mardin mmoja wa wale waliokusanya mchango na kutoa ajira kwa niaba ya shirika la kigaidi la PKK/KCK kaskazini mwa Iraq"
X Link 2023-11-20T11:07Z 38.3K followers, [---] engagements
"Rais wa Recep Tayyip Erdogan asema kuwa Uturuki haiwezi kamwe kulamiwa kwa chuki dhidi ya Wayahudi"
X Link 2023-11-21T05:15Z 38.3K followers, [--] engagements
"Olunga aipiga busti Harambee Stars hadi nafasi ya tatu kundi F kwa ushindi wao wa kwanza wa kishindo 5-0 dhidi ya Ushelisheli"
X Link 2023-11-21T11:01Z 38.7K followers, [--] engagements
"Shirika la WHO limewafidia wanawake [---] nchini DRC waliodhalilishwa kingono na baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo. Huu ni muendelezo wa kujisafisha kutokana na kashfa hii kubwa zaidi ya ngono katika historia ya shirika hilo"
X Link 2023-11-21T11:59Z 38.6K followers, 268.5K engagements
"Timu ya taifa ya soka ya Morocco inaanza safari yake ya mechi ya makundi ya kufuzu kwa Kombe la dunia [----] dhidi ya Tanzania jijini Dar Es Salaam"
X Link 2023-11-21T12:17Z 38.3K followers, [---] engagements
"Komoro yaikumuta wababe wa mpira Afrika Ghana 1-0 mechi ya kufuzu Kombe la Dunia. Bao la mshambuliaji Myziane Maolida limelifungulia Komoro ukurasa wa mabao dhidi ya Ghana mechi iliyochezwa Stade de Moroni"
X Link 2023-11-21T18:43Z 38.8K followers, [--] engagements
"Morocco yaiongoza Tanzania 1-0 jijiini Dar Es Salaam kipindi cha kwanza kikikamilika.Wageni hao Simba wa Atlas wa Morocco walipata goli la uongozi kupitia Hakim Ziyech"
X Link 2023-11-21T19:58Z 38.8K followers, [---] engagements
"Katika kuelekea kilele cha mwezi wa Vijana - TRTAfrika inakuletea mfululizo wa makala maalum juu ya vijana ambapo leo tunamuangazia kijana mjasiriamali kutoka Kenya aliyeamua kutotegemea ajira na sasa amepata tija katika uchuuzi"
X Link 2023-11-22T04:05Z 38.3K followers, [--] engagements
"Nestory Irankunda mwanasoka mkali wa Burundi aliyejiunga na Bayern Munich ya Ujerumani ni nani Wapenzi wa soka Burundi wakiongozwa na Shirikisho FFB wanazidi kummezea mate Irankunda huku wakijitahidi kumshawishi kuichezea timu ya taifa Intamba mu Rugamba"
X Link 2023-11-22T15:45Z 38.3K followers, [---] engagements
"Kenya yahitimisha mitihani ya KCPE ya shule za msingi na kukaribisha CBC"
X Link 2023-11-23T18:35Z 38.4K followers, [--] engagements
"Je Liberia ni mfano mzuri wa demokrasia kwa Afrika Magharibi Rais wa Liberia George Weah amepongezwa kwa kukubali kushindwa na mpinzani wake wa Urais. Kampeni za uchaguzi nchini Liberia zilipamba moto"
X Link 2023-11-24T05:46Z 38.4K followers, [---] engagements
"Somalia imekubaliwa rasmi kuwa mwanachana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hatua hii inaifanya Somalia kuwa mwanachama wa [--] katika jumuiya hiyo"
X Link 2023-11-24T11:59Z 38.4K followers, [----] engagements
"Huku DRC ikijiandaa na uchaguzi mkuu Disemba mwaka huu hali ya ukosefu wa amani katika eneo la mashariki mwa nchi bado ni tatizo kubwa"
X Link 2023-11-24T15:17Z 38.8K followers, 132.9K engagements
"#HABARIZAHIVISASA: Hamas wakabidhi mateka [--] wa Israel kwa Msalaba Mwekundu chini ya makubaliano ya kubadilishana wafungwa na Israeli"
X Link 2023-11-24T15:33Z 38.4K followers, [--] engagements
"Magari ya msaada wa mizigo [---] yameingia Gaza iliyozingirwa na Israeli kupitia mpaka wa Rafah yakiwemo [--] yaliyosheheni gesi ya kupikia na mafuta Mamlaka Gaza"
X Link 2023-11-24T16:38Z 38.4K followers, [---] engagements
"#HABARIZAHIVISASA: Wafungwa [--] wa Kipalestina waachiliwa kutoka katika gereza la Ofer la Israeli kama sehemu ya makubaliano ya kubadilishana - Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar"
X Link 2023-11-24T18:48Z 38.4K followers, [--] engagements
"Afrika inastahili kiti cha kudumu katika Baraza la usalama UN - asema Rais wa Equitorial Guinea"
X Link 2023-11-25T07:31Z 38.4K followers, [---] engagements
"Matatu Bajaji Bodaboda Mwendo Kasi keke au hata 'kajamba nani' kule Zanzibar ni mifumo ya usafiri wa umma barani Afrika inayopokewa kwa mchanganyiko wa raha na karaha zake. Je mustakbali wake ni upi"
X Link 2023-11-26T14:00Z 38.5K followers, [---] engagements
"Fuatilia dondoo za habari za sasa kutoka Palestine: Hamas imedokeza kuwa inataka kurefusha makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza"
X Link 2023-11-27T05:00Z 38.5K followers, [--] engagements
"Michael Olunga: Mshambuliaji wa Kenya kuwania tuzo ya mwanasoka bora dhidi ya Ronaldo"
X Link 2023-11-27T12:06Z 38.6K followers, [--] engagements
"Tukio la mwishoni mwa juma nchini Sierra Leone linarudisha kumbukumbu ambayo imeanza kusahaulika ya machafuko ambayo yamewahi kuikumba nchi hiyo kuanzia miaka ya [----] hadi 2002"
X Link 2023-11-27T13:24Z 38.6K followers, [---] engagements
"SUDAN: Shirika la kutetea haki za binadamu yaani Human Rights Watch imesema utafiti wake mpya unaonyesha kikundi cha RSF kiliua mamia ya raia huko Darfur Magharibi mapema Novemba 2023"
X Link 2023-11-27T14:05Z 38.6K followers, [--] engagements
"Rais William Ruto wa Kenya amejipongeza kwa mvua kubwa inayonyesha nchini humo kwa wiki kadhaa. Kulingana na rais William Ruto mvua kubwa zilizonyesha ambazo zimeleta mafuriko na kusababisha vifo vya watu kadhaa na uharibifu wa mali katika baadhi ya maeneo ya nchi"
X Link 2023-11-27T14:31Z 38.8K followers, 84.6K engagements
"Denis Mukwege daktari maarufu wa maradhi ya wanawake na mshindi wa Nobel amefanya mkutano wake mkubwa wa kwanza wa kampeni wa kuwania urais wa DRC. Mukwege ameahidi kukabiliana na ufisadi na migogoro iwapo atachaguliwa"
X Link 2023-11-27T15:40Z 38.6K followers, [---] engagements
""Usiulize fyatua risasi tu" Ushahidi wa mwanajeshi unaonyesha kuwa jeshi la Israel huenda liliwafyatulia risasi raia wao wenyewe wakati wa shambulizi la Hamas Oktoba [--] karibu na uzio wa Gaza"
X Link 2023-11-28T06:30Z 38.6K followers, [--] engagements
"Kundi la upinzani la Wapalestina la Hamas linamwalika bilionea wa Marekani Elon Musk kuzuru Gaza na kuona kile ambacho zaidi ya "tani 40000" za vilipuzi vya Israel zimefanya katika "nyumba za Wagaza wasio na ulinzi""
X Link 2023-11-29T06:30Z 38.6K followers, [--] engagements
"Maelfu ya maandamano kuunga mkono Palestina yamefanyika duniani tangu Oktoba [--]. Mikutano [----] iliandaliwa katika wiki tatu za kwanza za mashambulizi ya kijeshi ya Israel. Tunaangalia nchi [--] zilizo na maandamano mengi zaidi #FreePalestine"
X Link 2023-11-29T16:26Z 38.7K followers, [---] engagements
"Ajali mbili za ndege mbili tofauti zilitokea [--] Novemba Mashariki mwa Tanzania ndani ya saa chache. Baada ya ajali ya kwanza ndege iliyotumwa kuwachukua abiria iiligonga jengo katika uwanja mdogo wa ndege wa Mikumi. Hifadhi ya Taifa Tanzania ilisema kuwa hakuna aliyejeruhiwa"
X Link 2023-11-30T12:32Z 38.7K followers, [--] engagements
"Manchester United wanakabiliwa na hatari ya kuondolewa Ligi ya Mabingwa katika hatua ya makundi baada ya kusalimu uongozi wa mabao mawili na kuishia sare ya 3-3 na Galatasaray huko Istanbul Jumatano"
X Link 2023-11-30T13:35Z 38.7K followers, [--] engagements
"Komoro wafalme wapya wa kandanda EA Timu ya Taifa ya soka ya Komoro imeruka nafasi [--] hadi nambari [---] katika orodha ya viwango bora vya FIFA. Hii ni baada ya kuwa na mwezi bora zaidi wa kujipa ushindi dhidi ya Ghana na Jamhuri ya Afrika ya kati CAR"
X Link 2023-11-30T13:55Z 38.7K followers, [---] engagements
"Komoro imeingia nafasi ya [---] ambayo ni nafasi yao ya juu kabisa kwenye orodha ya timu za taifa za FIFA. Komoro ni bora kuliko Tanzania Rwanda Burundi na Sudan Kusini. Ushindi dhidi ya Ghana na CAR umeipa pointi [--] na kuwa kileleni Kundi I michuano ya kufuzu Kombe la Dunia"
X Link 2023-11-30T14:04Z 38.7K followers, [---] engagements
"Rais Erdogan akutana na Waziri Mkuu wa Italia Meloni: - Walijadili mashambulizi ya Israeli dhidi ya Gaza juhudi za Uturuki kwa ajili ya misaada - Alisisitiza haja ya hatua za kukomesha Israeli - Walibadilishana maoni kuhusu ulinzi mchakato wa Uturuki wa EU na Umoja wa Forodha"
X Link 2023-12-01T13:38Z 38.7K followers, [---] engagements
"Rais wa Uturuki Erdogan katika mkutano na Rais wa Uzbekistan Mirziyoyev: - Alijadili uhusiano wa Uturuki na Uzbekistan na maendeleo ya kikanda - Amesisitiza nchi mbili zitaendelea kuimarisha ushirikiano katika nyanja zote katika kipindi kijacho"
X Link 2023-12-01T13:38Z 38.7K followers, [--] engagements
"Milio mikali ya risasi yalisikika katika mji mkuu wa Guinea Bissau karibu na kambi ambapo walinzi wa kitaifa walikuwa wamejificha kusini mwa mji huo"
X Link 2023-12-01T14:15Z 38.7K followers, [---] engagements
"Uturuki amechaguliwa tena kuwa mjumbe wa baraza la Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Majini (IMO) kwa mara ya [--] mfululizo na kupata kura nyingi zaidi katika historia yake akiungwa mkono na nchi [---] Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki yatangaza"
X Link 2023-12-02T15:00Z 38.7K followers, [--] engagements
"Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki kuhusu tangazo la Wizara ya Mambo ya Nje Israeli: - Israeli inavyowakandamiza Wapalestina ndivyo watapata upinzani zaidi - Tatizo liko kwa fikra ya walowezi Israeli kutaka kuchukua maeneo zaidi - Ukatili haitohalalishwa kama njia ya kujilinda"
X Link 2023-12-02T19:28Z 38.7K followers, [---] engagements
"Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole kufuatia maafa ya mafuriko yaliyotokea Kijiji cha Katesh Wilayani Hanang Mkoani Manyara na kusababisha vifo zaidi ya watu [--]. Rais Samia ametoa maelekezo na kutaka nguvu zote za Serikali zielekezwe kwenye uokozi"
X Link 2023-12-03T15:13Z 38.7K followers, [--] engagements
"47 wafariki nchini Tanzania kufuatia mvua kubwa iliyosababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi kaskazini mwa nchi"
X Link 2023-12-04T04:30Z 38.7K followers, [---] engagements
"Jeshi la Israel linasema kuwa vikosi vyake vitapigana kusini mwa Gaza "kama walivyofanya kaskazini" huku Qatar ikiendelea na juhudi zake na nchi nyingine kurejesha usitishaji vita"
X Link 2023-12-04T05:00Z 38.7K followers, [--] engagements
"Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki: - Thuluthi mbili ya waliouawa Gaza ni wanawake na watoto - Idadi ya watu waliopotea imezidi [----] - Wale wanaojaribu kuhalalisha vifo vya wengi wasio na hatia kwa kutumia Hamas kama kisingizio hawana tena la kusema kwa ulimwengu"
X Link 2023-12-04T09:34Z 38.7K followers, [---] engagements
"Rais Erdogan wa Uturuki: - Netanyahu 'Mchinjaji wa Gaza' hatimaye atahukumiwa kama mhalifu wa vita - Hatutasahau jinsi Magharibi iliruhusu Israeli kuwa na silaha za nyuklia - Hatuwezi kamwe kuruhusu Israeli kumiliki Gaza - Israeli sio tu muuaji bali pia mwizi"
X Link 2023-12-04T09:34Z 38.7K followers, [---] engagements
"Rais wa zamani wa Mauritania ahukumiwa kwenda jela kwa ufisadi Alipatikana na hatia ya kujitajirisha haramu lakini akafutiwa mashtaka mengine"
X Link 2023-12-04T19:18Z 38.7K followers, [---] engagements
"Israel lazima iwajibishwe kwa uhalifu wa kivita iliofanya rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan asema katika mkutano na Emir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani huko Doha"
X Link 2023-12-05T06:00Z 38.7K followers, [--] engagements
"Diplomasia ya Marekani ya marehemu Henry Kissinger barani Afrika Habari za kifo cha aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Henry Kissinger siku ya Jumatano zimeleta hisia nyingi"
X Link 2023-12-05T19:25Z 38.7K followers, [--] engagements
"'Maajenti' wa Marekani wakiri kuhusika katika mauaji ya Rais wa zamani wa Haiti Jovenel Moise huko Port-au-Prince"
X Link 2023-12-06T07:30Z 38.7K followers, [---] engagements
"Wakazi wa Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara nchini Tanzania wakiendelea na usafi wa maeneo ambayo yameathirika zaidi kutokana na maporomoko ya udongo yaliyotokea katika eneo hilo na kusababisha vifo vya zaidi watu [--] na wengine kadhaa kujeruhiwa"
X Link 2023-12-06T12:46Z 38.7K followers, [---] engagements
"Ababu Namwamba Waziri wa Michezo Kenya alizidiwa na hisia baada ya timu ya taifa ya soka ya Wavulana kuifunga Tanzania katika nusu fainali ya CECAFA U18. Kenya iliishinda Tanzania 4-3 katika penalti baada ya kutofungana katika muda wa kawaida"
X Link 2023-12-06T14:04Z 38.7K followers, [--] engagements
"Tunatambua kwamba plastiki ni adui wa mazingira yetu ndio maana tunataka jamii ituunge mkono tuchukue hatua kwa pamoja Ndivyo wasemavyo vijana wa One Bike ambao wamejiwekea kufanya usafi kwa kuokota chupa za plastiki katika mji wa Moshi nchini Tanzania"
X Link 2023-12-06T16:01Z 38.7K followers, [--] engagements
"Rwanda imeondoa ada kwa huduma kumi za serikali kwa umma. Uhamisho wa umiliki wa nyumba na ardhi kibali cha ujenzi vijijini na vyeti vya kuzaliwa ni miongoni mwa huduma ambazo hazitavutia ada yoyote kulingana na notisi katika gazeti la serikali"
X Link 2023-12-07T15:05Z 38.7K followers, [--] engagements
"Katika Picha: Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ametaka Wizara ya Maji nchini humo kuhakikisha huduma ya maji safi na salama zinaendelea kupatikana muda wote hasa maeneo yaliyowekwa kambi wa waathirika wa maporomoko"
X Link 2023-12-08T07:06Z 38.7K followers, [---] engagements
"Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Burundi Alain Guillaume Bunyoni amehukumiwa kifungo cha maisha jela. Mahakama Kuu imetangaza uamuzi huo mapema hii leo kulingana na Shirika la AFP. Watuhumiwa wengine wamehukumiwa kifungo cha miaka [--] jela"
X Link 2023-12-08T18:20Z 38.8K followers, [---] engagements
"Miaka [--] ya Uhuru Tanzania: Manusura wa Hanang waadhimisha kwa shukrani kwa serikali na Watanzania wote kwa kuwakumbuka wakati wa janga"
X Link 2023-12-09T11:06Z 38.8K followers, [--] engagements
"Waziri wa Fedha wa Uturuki Mehmet Simsek katika #TRTWorldForum2023: - Ukuaji umekuwa thabiti nchini Uturuki - Tunafanya mambo yote sahihi ili kupunguza mfumuko wa bei - Sera zetu za kiuchumi zina matokeo chanya"
X Link 2023-12-09T12:13Z 38.8K followers, [---] engagements
"Viongozi wa IGAD wamesema wamepata ahadi kutoka pande zinazozozana Sudan kusitisha vita"
X Link 2023-12-10T07:52Z 38.8K followers, [---] engagements
"Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan pamoja na wenzake waliotumwa na mkutano wa kilele wa ajabu wa Kiarabu na Kiislamu wanazuru Canada kushinikiza kusitishwa kwa vita vya Israel dhidi ya Gaza"
X Link 2023-12-10T09:00Z 38.8K followers, [---] engagements
"Baraza kuu la UN linadai kwa kiasi kikubwa kusitishwa kwa mapigano huko Gaza katika kura ambayo inaitenga zaidi Marekani na mshirika wake Israel huku Tel Aviv ikiendelea na mashambulio yake"
X Link 2023-12-13T05:06Z 38.8K followers, [---] engagements
"AfDB imeidhinisha mkopo wa $696m kwa Tanzania-Burundi SGR Jumla ya kilomita [---] za miundombinu ya reli tayari zimejengwa nchini Tanzania kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma tangu kuanza kwa awamu ya kwanza ya mradi huo"
X Link 2023-12-13T15:45Z 38.9K followers, [---] engagements
"Tanzania yawahukumu kifo washukiwa sita kwa kulipua kanisa Watu sita wamehukumiwa kifo kwa makosa yanayohusiana na ugaidi katika kanisa moja mjini Arusha"
X Link 2023-12-14T18:59Z 38.9K followers, [---] engagements
"Somalia imejiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki rasmi katika sherehe iliyofanyika mjini Entebbe nchini Uganda na kuongozwa na mwenyekiti wa EAC rais wa Sudan Kusini Salva Kiir"
X Link 2023-12-15T12:31Z 38.9K followers, [---] engagements
"Serikali ya Tanzania imesema ipo tayari kupokea ujumbe wa wataalamu na wakaguzi wa UNESCO unaolenga kuangalia zoezi la uhamaji wa hiari kwa wananchi waliopo kwenye eneo la Hifadhi ya Ngorongoro na kukagua Hifadhi hiyo"
X Link 2023-12-15T13:58Z 38.9K followers, [---] engagements
"Mkurugenzi wa Mawasiliano Fahrettin Altun amelaani vikali njama za Israeli za 'kulenga' waandishi wa habar huku akilaumu Tel Aviv kwa kujaribu kuficha uharibifu uliofanywa kwa Wapalestina Gaza kwa kuwanyanyasa waandishi"
X Link 2023-12-15T17:28Z 38.9K followers, [--] engagements
"DRC inataka maelekezo kutoka Kenya baada ya tangazo la kuundwa kwa muungano wa kisiasa unaojumuisha kundi la waasi la M23. Tangazo hilo lilitolewa jijini Nairobi na aliyekuwa mkuu wa Tume Huru ya Uchaguzi wa DRC mwaka 2018"
X Link 2023-12-16T18:50Z 39K followers, [---] engagements
"Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa leo ameungana na Marais kutoka nchi sita barani Afrika kwenye sherehe za kumuapisha Rais wa Madagascar Andry Rajoelina"
X Link 2023-12-16T19:42Z 39K followers, [---] engagements
""Siku zimekaribia ambapo tutashinda mauaji huko Gaza na vitendo vya kichokozi huko Jerusalem vinavyotekelezwa na serikali dhalimu ya Israeli" Rais Recep Tayyip Erdogan anasema"
X Link 2023-12-17T07:48Z 39K followers, [--] engagements
"Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amewasili nchini Budapest Hungary kwa ziara rasmi"
X Link 2023-12-18T11:40Z 39K followers, [---] engagements
"Tume Huru ya Uchaguzi nchini DRC-CENI inasema maandalizi yote yamekamilika kuelekea uchaguzi mkuu wa Disemba [----]. Haya ni baadhi ya mambo yanayotakiwa kuzingatiwa na wapiga kura"
X Link 2023-12-19T10:30Z 39K followers, [--] engagements
"Rais wa Uturuki Erdogan azungumza na waandishi wa habari akirejea kutoka Hungary: - Kura [---] za kuunga mkono UNGC zinaonyesha mshikamano wa kimataifa na Palestina - Marekani inawajibika kukomesha mauaji huko Gaza lakini Marekani hadi sasa imehimiza Israel achilia mbali kuyakomesha - Fatah na Hamas lazima waishi kwa amani wao kwa wao"
X Link 2023-12-19T11:08Z 39K followers, [--] engagements
"Rais Erdogan: - Mkataba wa F-16 na ahadi za Marekani na Canada utaharakisha mtazamo chanya wa bunge letu kuhusu zabuni ya NATO ya Uswidi - Hivi karibuni nitazungumza na Putin kufufua Mpango wa Nafaka wa Bahari Nyeusi - Kuondoka madarakani hakutamuokoa Netanyahu tutamfuata kisheria"
X Link 2023-12-19T14:19Z [--] followers, [---] engagements
"Rais Erdogan kuhusu ziara ya kiserikali nchini Hungary: - Tumeimarisha ushirikiano wetu na mikataba [--] mipya - Tunalenga kuongeza kiwango cha biashara kati ya nchi hizi mbili hadi $6B - Tumeimarisha ushirikiano wetu wa kimkakati"
X Link 2023-12-19T14:21Z [--] followers, [--] engagements
"Seneta wa zamani ahukumiwa kifungo cha maisha kwa mauaji ya rais wa Haiti John Joel Joseph seneta wa zamani wa Haiti amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa mauaji Rais wa zamani Jovenel Mose"
X Link 2023-12-19T20:19Z 39K followers, [---] engagements
"Mmoja wa waangalizi kutoka Zambia Enoch Kavindele amewataka wananchi wa DRC kujitokeza kwa wingi na kupiga kura. Nataka kusema kuwa hii ndio nchi pekee waliyokuwa nayo hivyo wajitokeze na wachague viongozi wao. Inaonekana watu wanashauku ya kutaka kupiga kura hivyo tunawahimiza waje amesema Kavindele. DRC imeruhusu waangalizi kutoka AU na SADC tu"
X Link 2023-12-20T11:26Z 39K followers, [--] engagements
"Kwa mara ya kwanza katika historia ya Congo raia wake waishio ugenini wataweza kushiriki katika uchaguzi mkuu. Kwa hatua ya kwanza raia kutoka nchi tano ndio watakaoweza kushiriki ambazo ni Marekani Canada Ubelgiji Ufaransa na Afrika ya Kusini ambako wapiga kura [-----] walijiorodhesha"
X Link 2023-12-20T11:31Z 39K followers, [---] engagements
"Uchaguzi uliosubiriwa kwa shauku zote na kutazamwa ndani na nje ya mipaka ya Jamhuri ya Kidemkrasia ya Kongo umefanyika leo tarehe [--] Disemba. Rais anayemaliza muhula wa kwanza Felix Tshisekedi hatimaye amefika kituoni na kupiga kura saa moja tu kabla ya vituo kufungwa"
X Link 2023-12-20T18:38Z 39K followers, [--] engagements
"Maoni: Vugugugu la 'Pan-Africanism' ni harakati zilizoibuka mwishoni mwa karne ya [--] na mwanzoni mwa karne ya [--] zinawakilisha utambulisho wenye msukumo uliojengeka katika kupigania maono yanayofanana"
X Link 2023-12-21T07:01Z 39K followers, 12.9K engagements
"Tanzania: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Martin Otieno hii leo atakutana na wananchi wa Dodoma katika mkutano wa hadhara ili kusikiliza kero zao. Hatua hii inakuja siku chache baada ya baadhi wa wananchi wa mkoa huo kulalamika kufanyiwa vitendo vya ukatili baada ya kukamatwa na jeshi la polisi. Wakati huo huo Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania David Misime katika taarifa iliyotolewa na jeshi hilo amesema Jeshi la Polisi litahakikisha haki inatendeka baada ya kushirikiana na wataalamu wa haki jinai kuchunguza malalamiko hayo"
X Link 2023-12-21T11:32Z 39K followers, [--] engagements
"Ndoto yangu [----] ni kutetea taji la Olimpiki mjini Paris Eliud Kipchoge Iwapo Kipchoge atafanikiwa kutetea taji lake la Olimpiki basi ataandika historia kama mwanariadha wa kwanza kabisa wa Marathon kutwaa ubingwa wa Olimpiki mara tatu"
X Link 2023-12-21T19:25Z 39K followers, [---] engagements
"Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki atoa wito wa kusitishwa kwa mapigano Gaza suluhisho la serikali mbili "Tatizo haliwezi kutatuliwa kabla ya uvamizi wa Israel kuisha. Taifa huru la Palestina lazima lianzishwe haraka iwezekanavyo" anasema Hakan Fidan"
X Link 2023-12-21T22:18Z 39K followers, [--] engagements
"Waziri wa zamani wa utalii nchini Kenya Najib Balala amekamatwa kwa tuhuma za ufisadi. Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inadai kuwa Hazina ya Utalii (TF) iliyokuwa chini ya Balala ililipa kinyume cha sheria Kshs. Bilioni [---] (sawa na TSh [-----] Bilioni za Tanzania ) katika mpango wa kuanzisha Chuo cha Utalii katika pwani ya Kenya. Kwa sasa Balala anahudumu kama Makamu wa Rais wa Fauna Flora International na Mshauri wa Utalii katika Taasisi ya Tony Blair"
X Link 2023-12-22T08:24Z 39K followers, [---] engagements
"Muungano wa EU unaiona Uturuki kama "mpinzani badala ya mshirika" na wanachama wa NATO hawazingatii wasiwasi wa usalama wa Ankara Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema"
X Link 2023-12-22T14:57Z 39K followers, [--] engagements
"Je una maoni gani kuhusu tatizo la ukosefu wa umeme nchini Tanzania"
X Link 2023-12-23T10:33Z [--] followers, 69.1K engagements
"Watu [--] wameuawa nchini Burundi katika shambulio la watu wenye silaha kwenye eneo la mpakani mwa Burundi na DRC. Kundi la waasi wa RED Tabara wamedai kuwa wamehusika na shambulio hilo"
X Link 2023-12-24T13:00Z 39.1K followers, [---] engagements
"Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amesamehe wafungwa [---] katika magereza mbalimbali ya nchi. Kifungo cha maisha kimepunguzwa hadi miaka 35"
X Link 2023-12-25T14:39Z 39.1K followers, [---] engagements
"Tume ya Uchaguzi ya DRC CENI imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi yakiashiria kuongoza kwa kiasi kikubwa kwa Felix Tshisekedi. Matokeo ya jumla ya karibu kura milioni [---] yanaonesha kuwa Tshisekedi anaongoza kwa zaidi ya 81%"
X Link 2023-12-26T05:34Z 39.1K followers, [---] engagements
"Felix Tshisekedi aliye na miaka [--] ni mzaliwa wa kati katika familia ya watoto watano na mrithi wa kisiasa wa babake tienne Tshisekedi aliyefariki dunia [----]. Mfahamu rais wa kwanza kuchukua uongozi kidemokrasia tangu DRC kupata uhuru 1960"
X Link 2023-12-26T13:02Z 39.1K followers, [---] engagements
"Sam Allison: Muamuzi wa kwanza mweusi kweny Premier League tangu 2008"
X Link 2023-12-26T17:24Z 39.1K followers, [--] engagements
"Misri na Tanzania kumenyana Cairo"
X Link 2023-12-26T17:38Z 39.1K followers, [--] engagements
"Kati ya marefa [--] waliotajwa na CAF kusimamia mechi za AFCON watano ni wanawake. Watano hao wanatoka Rwanda Morocco Zambia Mauritius na Afrika Kusini"
X Link 2023-12-28T14:51Z 39K followers, [---] engagements
"Benki Kuu ya Tanzania imesema inakusudia kuanza kupokea sarafu zenye thamani ya kuanzia shilingi [--] hadi [---] katika kipindi cha mwezi [--]. BoT imesema lengo ni kufuatia utafiti uliofanywa ambao ulibaini kuwa sarafu hizo mara hazitumiki katika mzunguko wa fedha nchini humo"
X Link 2023-12-30T10:06Z 38.6K followers, [--] engagements
"Bouchra Karboubi Inspekta wa Polisi na Refa kutoka Morocco. Bouchra ndiye refa pekee wa kike atakayechezesha mechi za AFCON [----] Cote dIvoire. Mbali na kuwa Refa wa soka Bouchra pia ni Inspekta wa polisi katika Makao Makuu ya Polisi ya mjini Meknes nchini Morocco"
X Link 2023-12-30T11:00Z 38.8K followers, [---] engagements
"Bouchra ndiye mwanamke wa kwanza wa Kiarabu kusimamia fainali ya soka ya mechi ya wanaume. Alisimamia mechi ya fainali nchini Morocco mwaka [----] kati ya AS FAR na Moghreb Atletico de Tetouan. Muamuzi huyo alihudumu kama refa mkuu katika mechi za Kombe la Dunia la Wanawake [----]. Aidha Bouchra Karboubi alikuwa mmoja wa marefa katika mechi ya fainali ya AFCON kati ya Senegal na Misri na alishiriki katika fainali hiyo kama muamuzi msaidizi wa video (VAR)"
X Link 2023-12-30T11:00Z 38.3K followers, [--] engagements
"Furahia safari bora za anga za Kiafrika na viwanja hivi [--] bora vya ndege vya kimataifa barani Afrika [----] kulingana na shirika la utafiti la Skytrax"
X Link 2024-01-01T18:00Z 38.4K followers, [---] engagements
"Shujaa anayepigana vita vya mabadiliko ya tabia nchi Madagascar Ny Aro Andriamiarosoa anaongoza CliMates Madagascar maabara ya kimataifa ya mawazo na hatua za kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabia nchi katika kisiwa"
X Link 2024-01-01T19:25Z 39K followers, [---] engagements
"Maoni: Ujio wa Misri na Ethiopia ndani ya BRICS unazidi kuimarisha ushawishi wa Bara la Afrika ndani ya Jumuiya hiyo"
X Link 2024-01-02T10:23Z [--] followers, [--] engagements
"Viongozi mbalimbali wamempongeza rais Flix Tshisekedi kwa kuchaguliwa tena kuiongoza DRC. Miongoni ya waliompongeza Afrika Mashariki ni rais wa Tanzania Samia Hassan wa Kenya William Ruto wa Burundi Evariste Ndayishimiye na wa Uganda Yoweri Museveni"
X Link 2024-01-02T10:58Z [--] followers, [--] engagements
"Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori nchini Tanzania-TAWA imekamilisha uchunguzi wake wa siku kadhaa baada ya shutuma nzito kuelekezwa kwa mamlaka hiyo kuhusu uhalali wa wawindaji wawili wa kigeni ambao ni wanandoa kumuua mamba mwenye umri wa miaka [---] katika mojawapo ya hifadhi ya wanyama nchini humo. Vipande vya video vilivyosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii vikimuonesha mwindaji huyo akiwa na mamba aliyewindwa viliibua hisia na taharuki kubwa miongoni mwa jamii. Hata hivyo Desemba mwaka jana TAWA iliahidi kufanya uchunguzi zaidi juu ya hilo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na"
X Link 2024-01-02T14:52Z 40.1K followers, [---] engagements
"Mabinti wawili Adela Alex na Adelina Alex ambao ni mapacha waliopo jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ni miongoni mwa mabinti wachache nchini humo walioanza kujiingiza katika harakati za kutetea haki za watoto wenzao wakiwa na umri mdogo kabisa. Tangu walipoanza harakati hizo licha ya kuwa na matokeo chanya katika baadhi ya maeneo lakini wamekuwa wakikabiliwa na changamoto hasa kutokana na kasumba iliyoko katika jamii kwamba watoto hawawezi kuwakosoa wakubwa"
X Link 2024-01-03T12:21Z 39K followers, [---] engagements
"Katika orodha hii ya idadi ya ushindi wa kombe la AFCON Misri ndiyo inayoongoza kwa kushinda mara saba ikifuatiwa na Ghana kisha Cameroon na Nigeria"
X Link 2024-01-04T12:43Z 39K followers, [--] engagements
"Kutana na kikundi cha wanawake wazee nchini Kenya waliojifunza Karate ili kujilinda katika mtaa wa Korogocho jijini Nairobi"
X Link 2024-01-04T13:57Z 39K followers, [--] engagements
"Katika orodha hii ya idadi ya ushindi wa kombe la AFCON Misri ndiyo inayoongoza kwa kushinda mara saba ikifuatiwa na Cameroon Ghana kisha Nigeria"
X Link 2024-01-05T05:48Z [--] followers, 79.9K engagements
"Sudan imemrudisha nyumbani balozi wake kutoka Nairobi kama ishara ya kupinga kitendo cha Rais wa Kenya William Ruto kuandaa mazungumzo na kamanda wa kijeshi wa kikundi cha Rapid Support Forces Mohamed Hamdan Dagalo kaimu waziri wa mambo ya nje wa Sudan amesema"
X Link 2024-01-05T09:43Z 40.1K followers, [--] engagements
"Mkutano huo ulikuwa tarehe tatu mwezi Januari mwaka huu jijini Nairobi Dagalo amezuru miji mikuu ya Afrika katika ziara yake ya kwanza nje ya nchi. Tayari alitembelea Uganda Ethiopia na Djibouti pamoja na Kenya na kwa sasa yuko Afrika Kusini"
X Link 2024-01-05T09:43Z 38.9K followers, [---] engagements
"Mwanariadha wa zamani wa Olimpiki nchini Afrika Kusini Oscar Pistorius ameachiliwa huru takriban miaka [--] baada ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Alipatikana na hatia ya mauaji na alihukumiwa kifungo cha miaka [--] jela mwaka [----] baada ya kesi kusikilizwa kwa muda mrefu"
X Link 2024-01-05T12:09Z 39K followers, [--] engagements
"Tanzania: Wapagazi wa Mlima Kilimanjaro wanaobeba mizigo ya watalii wanaopanda mlimani wamepata nyongeza ya mishahara kutoka Tsh [----] hadi TSH [-----] kwa siku. Safari moja huchukua takriban siku [--] na mpagazi hubeba uzito zaidi ya kilo 20"
X Link 2024-01-05T12:41Z 38.7K followers, [---] engagements
"Tanzania imesitisha uanzishaji wa bei elekezi za mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kufuatia ukosoaji unaoongezeka na tishio linalowezekana la kususia kutoka hospitali kibinafsi"
X Link 2024-01-05T15:24Z 40.1K followers, [---] engagements
"Kenya yawapokea watalii wa kwanza kuingia nchini humo bila viza"
X Link 2024-01-06T11:00Z 38.9K followers, [--] engagements
"Zimbabwe yaiomba WHO msaada wa chanjo dhidi ya Kipindupindu huku visa vikiongezeka"
X Link 2024-01-07T09:30Z 40.1K followers, [---] engagements
"Taifa Stars wa Tanzania waingia dimbani Cairo kujipima nguvu dhidi ya mafarao katika maandalizi ya AFCON"
X Link 2024-01-07T10:00Z 39K followers, [---] engagements
"Beijing imeziwekea vikwazo kampuni tano za sekta ya ulinzi ya Marekani kutokana na hatua kama hiyo ya Washington msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje anasema"
X Link 2024-01-07T10:30Z 39K followers, [---] engagements
"Waandamanaji wanaounga mkono Palestina wakusanyika kote ulimwenguni: Toronto yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano Annapolis yaonyesha mshikamano katika Ikulu ya Jimbo la Maryland na Brussels waandamana katika Soko la Hisa la kihistoria wakibeba wanasesere wenye damu"
X Link 2024-01-08T05:00Z 39K followers, [---] engagements
"Mahakama ya Uswizi yaanza kusikiliza Jumatatu kesi ya Ousman Sonko Waziri wa zamani wa Gambia anayetuhumiwa kwa uhalifu wa kibinadamu na ubakaji wakati wa uongozi wa Yahya Jammeh"
X Link 2024-01-08T05:30Z 38.6K followers, [---] engagements
"Mpira wa Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON [----] utakaofanyika nchini IVory Coast umezinduliwa na CAF. Imepewa jina la Pokou kwa heshima ya Laurent Pokou gwiji wa zamani wa timu ya taifa ya Ivory Coast Mpira hii ina mchanganyiko wa rangi nyeupe kijani na chungwa rangi ya taifa la Ivory Coast. Pokou alikuwa nani Pokou alikuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Ivory Coast na alikuwa mfungaji bora mara mbili wa AFCON. Alifunga mabao masita katika mashindano ya [----] nchini Ethiopia na manane katika dimba la [----] nchini Sudan yakiwemo matano katika mechi moja dhidi ya Ethiopia ambayo Ivory Coast"
X Link 2024-01-08T11:41Z [--] followers, 44.8K engagements
"Mahakama ya kijeshi nchini Niger imetoa agizo kuachiliwa kwa muda kwa mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka [--] wa Rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Bazoum"
X Link 2024-01-09T03:59Z 39K followers, [---] engagements
"Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amezuru Eritrea siku chache baada ya "kubatilisha" mkataba wa utumiaji wa bahari kati ya Somaliland na Ethiopia"
X Link 2024-01-09T04:30Z 38.8K followers, [---] engagements
"Makamanda wa kijeshi wa Ethiopia na eneo lililojitenga la Somalia la Somaliland wamekutana mjini Addis Ababa huku kukiwa na hali ya mvutano juu ya makubaliano ya bandari ya Bahari Nyekundu ambayo Ethiopia ilitia saini na Somaliland"
X Link 2024-01-09T08:00Z [--] followers, [---] engagements
"Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hii leo ameungana na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Omar Said Shaabani pamoja na viongozi wengine na wananchi wa Chakechake katika ufunguzi wa Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) lililopo Chakechake Pemba"
X Link 2024-01-09T11:14Z 38K followers, [--] engagements
"Serikali ya Rwanda imekana madai kuwa imezingatia kuwapa hifadhi Wapalestina ikiwa watahamishwa kutoka Gaza. Wiki iliyopita maelezo yalitoka kuwa Israel inafanya mazungumzo ya siri na nchi za Afrika na kuzitaka kuwachukua Wapalestina kutoka Gaza"
X Link 2024-01-09T14:12Z 39K followers, [--] engagements
"Israel inaziamuru hospitali za kaskazini kujiandaa kwa wimbi la maelfu ya watu waliojeruhiwa huku kukiwa na mvutano unaoongezeka na Hezbollah ya Lebanon shirika la utangazaji la Israel KAN linaripoti"
X Link 2024-01-10T09:45Z 38.8K followers, [---] engagements
"Kingo Sokwe maarufu wa misitu ya Congo ambaye kifo chake kiliwashtua wanamazingira na wahifadhi wa wanyama pori"
X Link 2024-01-10T10:00Z 39K followers, [--] engagements
"Katibu Mkuu wa chama cha upinzani Tanzania Chadema John Mnyika amependekeza kuondolewa kwa baadhi ya vipengele katika Mswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais Wabunge na Madiwani ya mwaka [----] pamoja na kile kinachotoa nafasi kwa wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia uchaguzi. Hayo ameyasema wakati wadau mbalimbali wakiwemo vongozi wa dini vyama vya kisiasa pamoja na asasi za kiraia viliposhiriki katika kutoa maoni kuhusu Miswada [--] ya Sheria inayotarajiwa kufanyikwa mabadiliko. Miswada iliyoonekana kuvuta hisia za wengi ni ile ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais Wabunge na Madiwani ya Mwaka [----] Sheria"
X Link 2024-01-11T10:32Z 39K followers, [---] engagements
"Ikiwa imesalia siku moja kabla ya kuanza kwa michuano ya Afcon [----] inayotarajiwa kuanza Ivory Coast Hospitali ya Benjamen Mkapa iliyopo jijini Dodoma nchini Tanzania imeungana na wadau wengine kuiunga mkono Timu ya Taifa ya Tanzania kwa kuchangia kiasi cha shilingi milioni [--]. "BMH pia inapoichangia timu za Taifa za Tanzania inakuwa imehamasisha pia michezo kwa kuwa michezo ni afya na unapo shiriki michezo unaondoa uwezekano wa kupata magonjwa yasiyo yakuambukiza" alisema Dkt Chandika. Mgeni rasmi katika hafla hiyo ya harambee alikuwa Kassim Majaliwa Waziri Mkuu wa Tanzania"
X Link 2024-01-11T11:21Z [--] followers, [---] engagements
"Nchi ya Burundi imefunga mipaka yake yote ya ardhini na nchi ya Rwanda kuanzia tarehe 11Januari [----]. Kwa nini Burundi imechukua hatua hii"
X Link 2024-01-12T09:36Z 38.8K followers, [--] engagements
"Rais William Ruto wa Kenya amemteua mwanamazingira maarufu wa Uholanzi Prof Patrick V. Verkooijen kuwa Chansela wa Chuo Kikuu cha Nairobi. Prof. Verkooijen ana Shahada ya Uzamili katika Falsafa kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam na Shahada ya Uhandisi wa Mazingira kutoka Chuo Kikuu cha sayansi cha Utrecht. Akiwa na historia yake kubwa ya uharakati wa mazingira na maendeleo endelevu Prof. Verkooijen atabadilishana uzoefu wake na taasisi hiyo yenye hadhi katika muda wote wa uongozi wake wa miaka mitano. Patrick V. Verkooijen alizaliwa Mei [--] [----]. Nafasi hiyo ilikuwa imeshikwa na Dk. Vijoo Rattansi"
X Link 2024-01-12T12:59Z 38.7K followers, [---] engagements
"Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imezitaka nchi wanachama kutumia njia sahihi za kutatua misuguano baina yao huku ikiziomba kuendelea kudumisha utangamano na undugu kati yao. Kauli hii inakuja muda mfupi baada ya Burundi kufunga mipaka yake na Rwanda"
X Link 2024-01-12T20:01Z 39K followers, [--] engagements
"Marekani yathibitisha shambulio jipya dhidi ya waasi wa Houthi wa Yemen huku Israel ikifanya mashambulio dhidi ya nyumba ya raia katika vitongoji vya West Bank inayokaliwa kwa nguvu"
X Link 2024-01-13T07:20Z 38K followers, [--] engagements
"Kwa jumla maandalizi ya tukio hili kubwa yamekwisha kamilika ambapo viwanja sita vitawaka moto pale nchi [--] zitakapotunishiana misuli katika siku [--] . swali linatotawalavVichwa kwa sasa ni kwa nini hasa michuano hii iitwe Afcon [----] wakati inafanyika 2024"
X Link 2024-01-13T10:09Z [--] followers, [--] engagements
"Kwa nini AFCON huvutia mashabiki wachache barani"
X Link 2024-01-13T13:00Z 38.5K followers, [--] engagements
"AFCON: Wenyeji Cte d'Ivoire waingia mtanange kwa kimuhemuhe huku wakiwacharaza wageni Guinea-Bissau 2-0 katika mechi ya ufunguzi"
X Link 2024-01-14T08:30Z [--] followers, [--] engagements
"Tanzania: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameagiza vikosi vya jeshi la taifa wakiwemo FFU na JKT kufanya shughuli ya usafishaji mji Januari 23-24 tarehe inayogongana na siku iliyoitishwa na CHADEMA ya maandamano"
X Link 2024-01-14T10:30Z 38.9K followers, [---] engagements
"Tanzania: [--] wafariki kufuatia kuporomoka kwa mgodi mdogo wa dhahabu wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu. Mgodi huo ulikuwa umakatazwa kuchimbwa na uliporomoka kutokana na mvua kubwa iliyonyesha"
X Link 2024-01-14T11:36Z 39K followers, [---] engagements
"Huku michuano ya AFCON [----] ikianza kwa kishindo mjini Abidjan kikosi cha TRT Afrika kimepiga kambi huko na kukutana na mashabiki waliozungumzia mechi ya ufunguzi Cte d'Ivoire 2- [--] Guinea Bissau"
X Link 2024-01-14T12:18Z 38.4K followers, [--] engagements
"Serikali ya Sudan imepinga uamuzi wa IGAD wa kumwalika Mohamed Dagalo kamanda wa vikosi vya dharura RSF kwenye mkutano wa kilele nchini Uganda Januari 18"
X Link 2024-01-14T14:30Z 40.1K followers, [--] engagements
"Siku ya pili ya #AFCON2023 imekuwa ya kusisimua zaidi. Nuri Aden akuletea mukhtasari wa yaliyojiri akiwa Abidjan Cote D'ivoire"
X Link 2024-01-15T04:20Z [--] followers, [--] engagements
"🏆 Mabingwa watetezi Senegal kuanza safari ya kulihifadhi taji lao mechi za kundi C nao wenyeji wa Kombe la Afcon lililopita Cameroon wakishuka dimbani ikiwa ni siku ya tatu ya Kombe la Afcon linaloendelea nchini Cte dIvoire. ⚽ Senegal itakutana na Gambia inayoshiriki Afcon kwa mara yake ya pili huku Sadio Mane aliyeuasi ukapera akisalia kuwa tumaini la Simba wa Teranga. ⚽ Aidha Cameroon inayoongozwa na Rigobert Song itakuwa inamtegemea Vincent Aboubakar itakapokwaruzana na Guinea iliyojihami na mfungaji hatari Serhou Guirassy anayeichezea Stuttgart ya Ujerumani. ⚽ Mbali na Kundi C Riyad"
X Link 2024-01-15T04:20Z [--] followers, [--] engagements
"Mafarao washindwa kuwadhibiti Msumbiji na kuishia sare ya 1-1 mechi yao ya ufunguzi ya makundi - AFCON"
X Link 2024-01-15T05:30Z [--] followers, [--] engagements
"AFCON - Senegal wanoa kucha tayari kutetea ubingwa wao wanapokutana na Gambia katika mechi yao ya ufunguzi ya kundi la kifo - C"
X Link 2024-01-15T06:00Z 38.3K followers, [--] engagements
"Mshikamano wa kimataifa kwa Palestina unaendelea: Maandamano ya Karachi dhidi ya mashambulizi ya anga ya Israeli watoto wa Selangor warusha tiara za rangi za Palestina Lisbon yataka Gaza kusitisha mapigano na Amsterdam yafurika bendera za Palestina kuonyesha uungaji mkono"
X Link 2024-01-15T10:25Z 38.7K followers, [---] engagements
"Majina ya wanyama ni mengi katika timu za taifa za Afrika. Kuanzia Simba wa Atlas hadi Tembo wa Cote dIvoire kupitia Tai wa Mali au Farasi wa Burkina Faso. Hata hivyo kanuni za msitumi mara nyingi zinakiukwa uwanjani. Kwa mfano katika Kombe la Mataifa ya Afrika la mwaka wa [----] nchini Misri Simba wa Teranga walitafunwa vibaya na 'Fennecs' mbweha wa jangwani wa Algeria. Kwa maana hiyo aliye dhaifu anaweza pia kumkung'uta mwenye nguvu. Kama ndivyo basi kwa nini sehemu kubwa ya timu hizi aidha wamejipa au kujibatiza nembo au majina ya wanyama"
X Link 2024-01-15T10:25Z 38.3K followers, [---] engagements
"Wakati Chris Hughton anatangaza majina ya wachezaji [--] watakaoshiriki fainali za AFCON wiki tatu zilizopita Abdul Fatawu Issahaku hakuwemo kwenye orodha hiyo. Nini kimemfika kinda huyo anayechezea klabu ya Leicester City"
X Link 2024-01-15T13:29Z 40.1K followers, [--] engagements
"Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania TCAA imeamua kubadilisha safari za Shirika la Ndege la Kenya-KQ kati ya Nairobi na Dar es Salaam kuanzia tarehe [--] mwezi Januari. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Tanzania TCAA. Taarifa hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mkuu Hamza Johari imesema uamuzi huo umechukuliwa baada ya Mamlaka husika nchini Kenya kukataa ombi la Tanzania la kutaka ndege zake zote la mizigo kupitia Nairobi hivyo kukiuka kifungu nambari [--] cha makubaliano ya anga yaliyotiwa saini tarehe [--] Novemba [----] kati ya Tanzania na Kenya. Kufuatia"
X Link 2024-01-15T16:37Z 39K followers, 46.3K engagements
"Wasiwasi watanda visiwani Comoros huku matokeo ya uchaguzi yakisubiriwa"
X Link 2024-01-16T04:33Z [--] followers, [---] engagements
"Lionel Messi ametawazwa kama mchezaji bora wa FIFA wa wanaume kwa [----] huku Aitana Bonmati akiongeza mkusanyiko wake wa tuzo za kibinafsi katika hafla ya tuzo huko London"
X Link 2024-01-16T05:43Z [--] followers, [---] engagements
"Mamlaka ya Anga nchini Kenya imeliruhusu Shirika la ndege la Air Tanzania kuendelea na safari zake kati ya Nairobi na Dar es Salaam na shughuli za kusafirisha mizigo kati ya nchi mbili hizo. Kwa upande wake Mamlaka ya Anga Tanzania TCAA imeondoa marufuku yake ya awali ya kuzuia ndege za Shirika la Kenya Airways kufanya safari zake kutoka Nairobi hadi Dar es Salaam. Mgogoro kati ya nchi mbili hizo umefuatia kile kinachodaiwa ni ukiukwaji wa makubaliano katika itifaki zinazotawala usafiri wa anga kati yao"
X Link 2024-01-16T14:03Z 38.9K followers, [---] engagements
"Bunge la Senate la Marekani limekataa azimio - lililolazimishwa na Seneta Bernie Sanders - ambalo lingeilazimisha Wizara ya Mambo ya Nje kutoa ripoti ndani ya siku [--] kuchunguza ikiwa Israel ilikiuka haki za binadamu katika uvamizi wake Gaza"
X Link 2024-01-17T05:05Z [--] followers, [---] engagements
"AFCON: Timu katika kundi F Morocco Tanzania Zambia na DRC watacheza mechi zao za ufunguzi leo Januari [--]. Unatabiri matokeo yatakuwaje"
X Link 2024-01-17T05:15Z 38.7K followers, [--] engagements
"Karim Benzema nyota mkongwe wa soka wa Ufaransa anapambana na kashfa ya kuchafuliwa jina kwa hatua za kisheria dhidi ya Waziri wa Mambo ya Ndani Gerald Darmanin"
X Link 2024-01-17T06:03Z 38K followers, [---] engagements
"Timu ya taifa ya soka ya Tanzania Taifa Stars pamoja na wenzake kundi F - Morocco DRC na Zambia wanacheza leo #AFCON2023. Ratiba: - 8pm* - -11pm *Kwa majira ya Afrika Mashariki Daniel shabiki wa soka Tanzania aelezea maoni yake"
X Link 2024-01-17T07:23Z 38.8K followers, [---] engagements
"Tanzania na Kenya wametatua mzozo wao wa safari za anga. Tanzania [--] Januari ilitangaza itapiga marufuku safari za Kenya Airways kwa nchi yake baada ya Kenya kukataa kuipa leseni Air Tanzania kubeba mizigo kutoka Kenya kwenda nchi nyingine"
X Link 2024-01-17T08:07Z 38.8K followers, [--] engagements
"Timu ya Taifa ya Tanzania hapo baadae itakutana na Timu ya Morocco katika ufunguzi wa michezo ya kundi F utakaochezwa kwenye uwanja wa Laurent Pokou mjini San-Pedro nchini Ivory Coast. Je nani ataibuka kidedea. Tupe utabiri wako"
X Link 2024-01-17T13:22Z 38.7K followers, [---] engagements
"Timu ya Taifa ya Tanzania hapo baadae itakutana na Timu ya Morocco katika ufunguzi wa michezo ya kundi F utakaochezwa kwenye uwanja wa Laurent Pokou mjini San-Pedro nchini Ivory Coast. Je nani ataibuka kidedea Tupe utabiri wako"
X Link 2024-01-17T13:49Z [--] followers, [---] engagements
"AFCON: Clatous Chama wa Zambia asema kuwa wao 'Chipolopolo' kuchukuliwa kuwa timu ndogo inawapa nafasi zaidi ya kufanikiwa. Zambia inapambana na DRC leo saa tano usiku katika mechi yao ya kwanza katika #AFCON2023"
X Link 2024-01-17T13:57Z 38.7K followers, [--] engagements
"Macho na masikio ya Afrika mashariki yako katika Taifa Stars usiku huu katika mechi baina ya Taifa Stars na Simba wa Atlas. Hawa ndio wachezaji tegemeo katika timu ya Tanzania wanapopambana na Morocco"
X Link 2024-01-17T14:47Z 38.3K followers, [--] engagements
"Zaidi ya watu [--] wameripotiwa kupata maambukizi ya ugonjwa wa macho mekundu (Red Eye) jijini Dodoma nchini Tanzania. Kwa mujibu wa Mratibu wa huduma za macho Mkoa wa Dodoma Elizabeth Kiula ambae amesema wagonjwa hao ni kutoka Wilaya mbili za Chamwino na Dodoma mjini"
X Link 2024-01-17T15:23Z 38.6K followers, 116.5K engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing