@millardayo millardayoMillardayo Magazine is trending on social media, specifically on Twitter, with a post dated October 22, 2025, related to Kenya. The tweet seems to be a mention or reference to the magazine, but the context is unclear.
Social category influence countries #5397 travel destinations 16.97% currencies 3.64% premier league 1.21% stocks 0.61% technology brands 0.61% finance 0.61% musicians 0.61% us election 0.61%
Social topic influence tanzania #12, uganda #139, leo #19, serengeti 9.09%, gabon 5.45%, wa 4.24%, kenya #1263, angola 4.24%, mali 3.03%, cameroon 3.03%
Top accounts mentioned or mentioned by @ppinyado @joycehuru @ayotv @samatta77 @peppatz @allybenjuma @alhatanmathew @baharyy25 @daxmaga @mfinanga_j @totalenergiestz @lugumisaidi @annatibaijuka @4reiigner @biddalmask @saidmuhibu255 @olodarasero @freedata462 @ufntc @kidimbes
Top assets mentioned Uber Technologies, Inc. (UBER) April (APRIL)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"RT moja ya heshima kwa Simba tafadhali hata kama wewe sio Simba"
X Link 2023-12-19T15:03Z 3.1M followers, 176.4K engagements
"Shirikisho la Soka Ulimwenguni FIFA leo limetaja timu ambazo zipo katika nafasi ya kuweza kuwania kucheza fainali za kombe la Dunia kwa vilabu [----]. Tanzania na Afrika Mashariki ni Simba SC pekee ndio imekidhi vigezo vya kuwa katika timu [--] zenye nafasi ya kupambana kwenye mchujo huo. Mfumo mpya wa Kombe la Dunia la Vilabu utahusisha jumla ya timu [--] kutoka mabara yote kwa Afrika ni timu nne pekee ndio zitafuzu kati ya [--] zilizotajwa na FIFA. #MillardAyoUPDATES"
X Link 2023-12-24T21:40Z 3.1M followers, 214.7K engagements
"RT moja utulivu kama hapo ulipo hutaki mboyoyo mingi"
X Link 2024-01-07T19:18Z 3.1M followers, 188.3K engagements
"Kampuni ya GSM Tanzania ( GSM Tanzania Limited ) ambayo ni miongoni mwa Makampuni ya GSM yanayoongozwa na Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed imetangazwa Mshindi wa tenda ya kuujenga uwanja wa Club ya Young Africans Sports Club utakaojengwa Makao Makuu ya Yanga yaliyopo JangwaniJijini Dar es salaam. Akiongea na Waandishi wa Habari leo Mkuu wa Idara ya Habari wa Club hiyo Ally Kamwe amesema Kampuni ya GSM Tanzania ndio iliyoshinda tenda hiyo baada ya kuzishinda Kampuni nyingine zilizojitokeza baada ya kukidhi vigezo ambavyo Club ya Yanga iliviweka wakati ilipotangaza tenda hiyo. Alipoulizwa"
X Link 2026-02-02T16:07Z 3.1M followers, 13.4K engagements
"Baada ya mchango wa Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby wakati akichangia mjadala wa hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa uzinduzi wa Bunge la [--] ambapo ameonesha kuchoshwa na vitendo vya ufisadi na kusema yuko tayari kuwataja vyombo vya Habari vililipoti taarifa hiyo kwamba yeye na Kangi Lugola watahojiwa na TAKUKURU. Leo Februari [--] [----] tumempata mbunge Shabiby na amefafanua kuhusu wito huo mimi sijawahi kuitwa na ukiangalia lile gazeti halijaandika kwamba hatujawahi kuitwa na limeandika Mkurugenzi wa TAKUKURU kama atatuhitaji"
X Link 2026-02-02T19:03Z 3.1M followers, 22.7K engagements
"Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini ( LATRA ) imeeleza kuwa imepokea barua kutoka Ofisi za UBER zilizopo Amsterdam Uholanzi na kuthibitisha kuwa ni kweli Kampuni hiyo ya Taxi Mtandao ya Kimataifa imesitisha shughuli zake Nchini Tanzania. Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano ( LATRA ) Salum Pazi kwenye mahojiano maalum na @AyoTV_ amesema UBER wamesitisha kwa muda huduma zao kuanzia Jumamosi January [--] [----] na kwamba hawajajiondoa moja kwa moja kufanya biashara Nchini Tanzania. "Barua hiyo imetutaarifu rasmi kwamba Kampuni ya UBER inasitisha kwa muda na hapa napenda nieleze vizuri sio"
X Link 2026-02-03T13:52Z 3.1M followers, 30.9K engagements
"Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) amesema kamwe hatokalia kimya vitendo vya Watu kutekwa Nchini Tanzania na kusisitiza kuwa Dini ya kweli ni ile inayokemea uovu na kusimamia haki. Heche ameyasema hayo leo akiwa katika Kijiji cha Buriba Sirari Tarime katika maziko ya Mama Rhobiha Samson ambaye kifo chake kinahusishwa na msongo wa mawazo kutokana na Mtoto wake aitwae Sinda Giteba ambaye ni Mwanachama wa CCM na Mtia nia wa Udiwani Kata ya Sirari [----] kutekwa na Watu wasiojulikana miezi kadhaa iliyopita. "Leo tunazungumza Sirari Mji mdogo kama huu zaidi ya Vijana"
X Link 2026-02-03T21:56Z 3.1M followers, 23.4K engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan jana usiku ameshiriki uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) uliofanyika Dubai U.A.E ikiwa ni tukio lililoashiria hatua mpya ya Afrika katika kuvutia mitaji ya kimataifa kupitia uwekezaji uliopangiliwa na wenye uhalisia wa kifedha. Akihutubia mkutano huo Rais Samia alisisitiza kuwa Wawekezaji hawatafuti fursa pekee bali uaminifu uthabiti wa sera Taasisi imara na Serikali zinazotekeleza ahadi zake ambapo pia alielezea namna Tanzania imewekeza kimkakati katika nishati reli bandari na miundombinu ya uchukuzi pamoja na maeneo maalum ya"
X Link 2026-02-04T11:49Z 3.1M followers, [----] engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki mjadala katika Jukwaa la Serikali za Dunia (WGS2026) uliofanyika hii leo Februari [--] [----] huko Madinat Jumeirah Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). #MillardAyoUPDATES"
X Link 2026-02-04T13:46Z 3.1M followers, 10.4K engagements
"#VIDEO Mbunge wa Jimbo la Ukonga (ACT) Bakari Shingo leo Bungeni Dodoma amejikuta akipata kigugumizi wakati wa kujinadi kwa kutumia lugha ya Kingereza akiomba kura za Wabunge ili akaiwakilishe Nchi ya Tanzania katika Jukwaa la Maziwa Makuu akiwakilisha upande wa walio wachache Bungeni. Mchakato wa kuwapata Wajumbe watakaoliwakilisha Bunge la Tanzania katika Jumuiya za Kimataifa umefanyika Bungeni Dodoma leo Februari [--] [----] ambapo Wabunge mbalimbali wamechuana kuwania nafasi za uwakilishi katika Taasisi mbalimbali kama vile Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Jukwaa la Wabunge wa SADC (SADC-PF)"
X Link 2026-02-05T13:14Z 3.1M followers, 11.4K engagements
"Mbunge wa Jimbo la Ukonga (ACT) Bakari Shingo ambaye mapema leo Bungeni alipata kigugumizi wakati wa kujinadi kwa kutumia lugha ya Kingereza akiomba kura za Wabunge ili akaiwakilishe Nchi ya Tanzania katika Jukwaa la Maziwa Makuu akiwakilisha upande wa walio wachache Bungeni ameshinda nafasi hiyo kwa kura [---] kati ya wapiga kura [---]. Akitangaza matokeo hayo Katibu wa Bunge Baraka Leonard amewataja washindi katika uwakilisha wa Umoja wa Mabunge ya Nchi za Maziwa Makuu ambao ni Sylvia Sigula Said Salim Hamad Eng. Ezra Chiwelesa Cosmas Bulala na Bakari Shingo. #MillardAyoUPDATES"
X Link 2026-02-05T18:06Z 3.1M followers, 34.1K engagements
"Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma ameeleza kushangazwa na kitendo cha Mbunge wa Ukonga (ACT) Bakari Shingo kushinda uchaguzi uliofanyika Bungeni leo February [------] na kumfanya awe miongoni mwa wanaokwenda kuiwakilisha Tanzania katika Jukwaa la Maziwa Makuu licha ya kutojua Kiingereza. Mbunge Musukuma amehoji Mh. Spika mwanzoni ulisema nafasi hizi zinaombwa na Watu wanaoweza kuongea kiingereza wakati zoezi likiendelea tumeshuhudia muombaji mmoja ambaye amechaguliwa kuwakilisha Nchi yetu kutoka kambi ya walio wachache sijamjua jina vizuri lakini nimesikia anaitwa Shingo"
X Link 2026-02-05T19:08Z 3.1M followers, 41.6K engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kulizindua Soko la Kimataifa la Kariakoo jijini Dar es salaam Februari [--] baada ya maboresho na matengenezo kukamilika. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ameyasema hayo leo February [--] [----] mbele ya Waandishi wa Habari ambapo amesema Wafanyabiashara waliokuwepo hapo awali wakati soko hilo linaungua mwaka [----] watapewa kipaumbele cha kurejeshwa kufanya biashara zao katika eneo hilo jipya Aidha Chalamila ameongeza kuwa sasa soko hilo lililoboreshwa lina zaidi ya Vizimba [----] maegesho ya magari zaidi ya 400"
X Link 2026-02-06T13:46Z 3.1M followers, 17.8K engagements
"Mradi wa RISE Tanzania Unaotekelezwa na Wakala wa Barabara za Mjini na Vijini TARURA kwa kufadhiliwa na Benki ya Dunia umewatatulia Wananchi changamoto za Barabara katika maeneo ya hapa nchini na kuwapa matumaini mapya kwa kurahisisha shughuli za usafirishaji Kuunganisha Vijiji na Kurahisisha mawasiliano Wakizungumza kwa nyakati tofauti Wananchi wa Katavi wameeleza umuhimu wa daraja la Ifume lililojengwa na TARURA kuwa ni daraja la ukombozi kwami limeweza kurahisisha Shughuli za usafirishaji kwani wanakijiji zaidi ya [----] wameweza kunufaika na Daraja hilo. Huu mto unaitwa ifume yani zamani"
X Link 2026-02-06T14:19Z 3.1M followers, [----] engagements
"Mahakama Kuu ya Zanzibar Masjala ya Tunguu mbele ya Jaji Salma Hassan leo imetoa amri ya muda ya kusitisha kitendo (status quo) katika maombi madogo ya madai na. [--] ya mwaka [----] ambapo amri hiyo imesimamisha rasmi mpango wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) wa kuharibu vifaa na nyaraka zilizotumika katika uchaguzi wa mwaka [----]. Chimbuko la shauri hilo Waombaji ambao ni wadai katika mashauri ya uchaguzi Na. [--] [--] [--] [--] [--] [--] [----] [--] [--] [--] [--] [--] [--] [--] na [--] za mwaka [----] waliwasilisha maombi hayo chini ya hati ya dharura baada ya tangazo la Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa Umma likieleza nia ya"
X Link 2026-02-06T17:26Z 3.1M followers, 14K engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti kuwa Balozi na atapangiwa kituo. #MillardAyoUPDATES"
X Link 2026-02-06T18:22Z 3.1M followers, 42.5K engagements
"Kilainishi cha Rubia chenye ubora na ufanisi wa hali ya juu ni mshirika safi kabisaa wa gari inayotumia dizeli. Rubia inapatikana katika vituo vya @totalenergies_tz TotalEnergies na mawakala walioidhinishwa"
X Link 2026-02-06T19:17Z 3.1M followers, [----] engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo ya pamoja na Ujumbe wa Uganda uliongozwa na Rais wa Jamhuri ya Uganda Yoweri Kaguta Museveni katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam hii leo Februari [--] [----] ambapo Rais Museven amekuja Tanzania katika ziara yake ya kikazi ambayo inatarajiwa kukamilika hii leo. #MillardAyoUPDATES https://twitter.com/i/web/status/2020115536395300901 https://twitter.com/i/web/status/2020115536395300901"
X Link 2026-02-07T12:40Z 3.1M followers, [----] engagements
"Mfanyabiashara maarufu wa Tanzania Said Lugumi ( @lugumisaidi ) leo February [--] [----] ameadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa njia ya kipekee na yenye kugusa mioyo kwa kula kunywa na kukata keki pamoja na Watoto yatima kutoka Vituo [--] vya Mkoa wa Dar es salaam na Pwani. Katika mahojiano maalum aliyofanya na AyoTV Lugumi amesema amekuwa mstari wa mbele kusaidia Watoto yatima kwa zaidi ya miaka [--] akisisitiza kuwa hiyo ni sehemu ya maisha yake na wajibu wa kurudisha kwa Jamii. Akifunguka kuhusu safari yake ya mafanikio Lugumi amesema uamuzi mgumu lakini wa msingi alioufanya ni kujitenga na waongo"
X Link 2026-02-07T17:57Z 3.1M followers, 30.7K engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya TAMISEMI kuhakikisha mchakato wa kuwarejesha kwenye soko jipya la Kariakoo Wafanyabiashara waliokuwa wamepangishwa kwenye soko la zamani lililoungua ufanyike bila kujuana wala upendeleo. Akiongea leo February [------] wakati akizindua soko la Kariakoo Rais Samia amesema Natambua katika soko la zamani kulikuwa na upangishaji usiofuata utaratibu mfumo huu ulisababisha soko kukosa mapato na kuleta malalamiko miongoni mwa Wafanyabiashara hivyo TAMISEMI ihakikishe mchakato wa kuwarejesha Wafanyabiashara waliokuwepo awali unafanyika bila"
X Link 2026-02-08T12:23Z 3.1M followers, [----] engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema anatambua juhudi za Mawinga za kujitafutia kipato ndio maana kipaumbele cha Serikali ni kurasimisha biashara za Vijana kote nchini. Akiongea leo February [------] wakati anazindua soko la Kariakoo Rais Samia amesema Naomba nizungumze na Vijana wetu wanaojitafutia kipato kupitia biashara ndogondogo na sasa hivi huko nyuma tulikuwa tunajua Wamachinga kumbe kuna neno jipya limejitokeza la Mawinga na nilikuwa nazungumza na Waziri hapa Mawinga ni kina nani akaniambia ni wale ambao wanafanya survey ndani ya Kariakoo bidhaa fulani hazipo ndani ya soko"
X Link 2026-02-08T13:12Z 3.1M followers, 16.3K engagements
"MillardAyo Magazeti Tanzania & Kenya Februari [--] [----] https://www.instagram.com/p/DUhR0NeggAe/igsh=MWVkZmZsN2lxZ2RxOQ== https://www.instagram.com/p/DUhR0NeggAe/igsh=MWVkZmZsN2lxZ2RxOQ=="
X Link 2026-02-09T04:01Z 3.1M followers, [----] engagements
"Ni takribani siku [---] ikiwa sawa miezi [--] tangu alipoanza kusota mahabusu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anayekabiliwa na Kesi ya Uhaini katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam. Hii leo kesi yake inatarajiwa kuendelea tena katika hatua ya ushahidi baada ya kuahirishwa Novemba [--] [----] ikiwa ni takribani siku [--] zimepita. Lissu anakabiliwa na kesi hiyo namba [-----] ya mwaka [----] ambapo mara ya mwisho Lissu aliibua pingamizi dhidi ya shahidi wa Nne wa siri kati ya mashahidi [--] wa Upande wa Jamhuri. Lissu alidai Mahakamani hapo kuwa hata kama sheria ya ulinzi wa mashahidi"
X Link 2026-02-09T06:32Z 3.1M followers, 16.4K engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kazi yake ni kukuza na kulea hivyo amemtoa aliyekuwa Katibu wake Wazir Salum kwenda kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara ili akakue zaidi kama ambavyo aliwatoa wengine akiwemo aliyekuwa Mshauri wake wa uchumi Blandina na DC wa Kisarawe Petro Magoti. Akiongea leo February [------] Ikulu Dar es salaam Rais Samia amesema Wazir umekaa na Mimi muda mreeefu umefanya kazi nzuri sana akiambiwa Mama kaupiga mwingi na wewe humo kwasababu wewe ndio Mtu wangu wa hapa lakini kazi yangu ni kulea na kukuza sio kulea na kudumaza na ndio maana wengi"
X Link 2026-02-09T11:25Z 3.1M followers, 18.4K engagements
"Dada wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu mbele ya Waandishi wa Habari leo Mahakamani Jijini Dar es salaam amemtaka Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokukubali vitendo visivyo vya kidemokrasia viendelee kufanyika katika ardhi ya Tanzania na kupendekeza Tundu Lissu na Watanzania wengine waliofungwa waachiwe na kisha maridhiano yafanyike. Akizungumza hii leo Februari [--] [----] alipofika katika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es salaam kufuatilia kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu amenukuliwa akieleza yafuatayo mimi kwanza naomba niseme kama Mwanamke Mama"
X Link 2026-02-09T12:28Z 3.1M followers, 49.1K engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza kujengwa kwa shule mpya [--] za kukuza vipaji vya Watoto ili waandalie na wakidhi vigezo na masharti yanayotakiwa kwenye kununuliwa au kusajiliwa na Timu kubwa ndani na nje ya Tanzania. Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda amesema hayo leo February [------] wakati akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Dare salaam. Mkakati wa Wizara chini ya maelekezo ya Dkt. Samia kwanza tunaanza ujenzi wa shule za mfano [--] ambazo kwa awamu ya kwanza tutajenga shule [--] ambazo zitakuwa maalum kwa ajili ya kukuza na kutengeeneza fursa ya Watoto"
X Link 2026-02-09T12:51Z 3.1M followers, 10.2K engagements
"Dada wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu mbele ya Waandishi wa Habari leo Mahakamani Jijini Dar es salaam amemtaka Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokukubali vitendo visivyo vya kidemokrasia viendelee kufanyika katika ardhi ya Tanzania na kupendekeza Tundu Lissu na Watanzania wengine waliofungwa waachiwe na kisha maridhiano yafanyike. Akizungumza hii leo Februari [--] [----] alipofika katika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es salaam kufuatilia kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu amenukuliwa akieleza yafuatayo mimi kwanza naomba niseme kama Mwanamke Mama"
X Link 2026-02-09T12:51Z 3.1M followers, 12.7K engagements
"Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema hawatakubali masharti watakayopewa juu ya kuachiwa kwa Mwenyekiti wao Tundu Lissu. Heche ameyasema hayo akiwa nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam mara baada ya kuahirishwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili Lissu. Mbali na Heche pia aliyekuwa mbunge wa Kilwa Selemani Saidi Ally Bungara Bwege amezungumzia mwenendo wa kesi hiyo"
X Link 2026-02-09T17:18Z 3.1M followers, [----] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda ameagiza kuchukuliwa hatua za haraka za kinidhamu na kisheria dhidi ya mtumishi wa umma aliyedaiwa kujihusisha na mgongano wa maslahi wizi wa mali za Serikali na ucheleweshaji wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Mkoa yenye hadhi ya Rufaa unaotekelezwa Wilaya ya Ukerewe. Akizungumza wakati wa ukaguzi wa mradi huo Mtanda amesema changamoto ilianza pale ambapo kampuni ya Nosa inayomilikiwa na mtumishi wa Serikali ilipewa tenda ya kusambaza kokoto kwa ajili ya mradi huo bila mhusika kutangaza maslahi yake (declare interest) jambo ambalo ni kinyume"
X Link 2026-02-10T14:06Z 3.1M followers, 17K engagements
"MillardAyo Magazeti Tanzania & Kenya Februari [--] [----] https://www.instagram.com/p/DUma_jUAslj/igsh=amlwdHY0MXUyd3dt https://www.instagram.com/p/DUma_jUAslj/igsh=amlwdHY0MXUyd3dt"
X Link 2026-02-11T05:13Z 3.1M followers, [----] engagements
"Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kuendelea na kesi yake ya uhaini. Kesi hiyo hii leo inatarajiwa kutolewa uamuzi wa mapingamizi ya Lissu kuhusu shahidi na kizimba maalum cha siri kilichopo ndani ya Mahakama hiyo. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa na Jopo la Majaji watatu akiwemo Jaji Dunstan Ndunguru. #MillardAyoUPDATES https://twitter.com/i/web/status/2021485748000628986 https://twitter.com/i/web/status/2021485748000628986"
X Link 2026-02-11T07:25Z 3.1M followers, [----] engagements
"Wafuasi wa CHADEMA wamejitokeza katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu. Wafuasi hao pia wamefanya maombi ndani ya chumba cha mahakama kabla ya kuanza kwa kesi hiyo ambayo inatarajiwa kutolewa uamuzi mbele ya Jopo la Majaji watatu akiwemo Jaji Dunstan Ndunguru. Uamuzi huo unatokana na mapingamizi ya Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho ya kumpinga shahidi wa Nne ambaye ni wa siri kutoka upande wa Jamhuri. #MillardAyoUPDATES"
X Link 2026-02-11T07:58Z 3.1M followers, [----] engagements
"Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam imetoa amri ya kurekebishwa kwa kizimba cha siri cha ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Uamuzi huo umetolewa leo na Jopo la Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru aliyesema wametupilia mbali hoja nne za mapingamizi ya Lissu huku wakikubaliana na hoja moja ya marekebisho ya kizimba. Miongoni mwa hoja za Lissu ni kwamba uwepo wa kizimba hicho hakiwapi nafasi Majaji kumuona shahidi pia yeye mwenyewe atashindwa kumuhoji ama kumdadisi shahidi kwa sababu hamuoni pia kanuni za ulinzi wa"
X Link 2026-02-11T11:39Z 3.1M followers, 24.1K engagements
"Mtoto Daniel Jeremiah maarufu kama Junior amesafiri rasmi kwenda kuanza masomo yake mkoani Geita ambapo alipatikana mfadhili ambaye alijitolea kumsomesha mpaka pale ambapo atahitimu masomo yake Chuo Kikuuu na kisha kumpatia kazi. Mtoto Daniel amezungumza na @ayotv_ ambapo ameahidi kuwa ataenda kusoma kwa bidii ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa Mwanajeshi kwani ni ndoto ambayo amekuwa akitamani kuitimiza kwa muda mrefu na hivi sasa hana mashaka kwani anamuacha mama yake akiwa salama. #MillardAyoUPDATES https://twitter.com/i/web/status/2021598254761205954"
X Link 2026-02-11T14:52Z 3.1M followers, 20.6K engagements
"MillardAyo Magazeti Tanzania & Kenya Februari [--] [----] https://www.instagram.com/p/DUpI8yMAoZL/igsh=MWYzdW9kaGFhNnZ6OA== https://www.instagram.com/p/DUpI8yMAoZL/igsh=MWYzdW9kaGFhNnZ6OA=="
X Link 2026-02-12T05:12Z 3.1M followers, [----] engagements
"Kamisheni ya Utalii Zanzibar imewataka Watalii Wafanyabiashara na Wadau wa utalii Zanzibar kuheshimu maadili ya Dini na Utamaduni uliopo Zanzibar kipindi hiki cha kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani. Kamisheni imesema ni lazima Migahawa na sehemu za chakula zilizo nje ya Hoteli zifungwe hadi wakati wa jua kuzama (IFTAR) na kupiga marufuku kula kunywa au kuvuta Sigara hadharani wakati wa mchana na kusisitiza Watu wakiwemo Wageni kuvaa mavazi yenye staha katika maeneo ya Umma. Kamisheni hiyo imepiga marufuku uvaaji wa mavazi yanayoonesha sehemu za mwili na kuwataka Wadau wa Utalii Visiwani humo"
X Link 2026-02-12T11:07Z 3.1M followers, 21.9K engagements
"Shahidi wa siri wa upande wa Jamhuri aliyetambulika kwa jina la P5 (33) ameieleza Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam kuwa maneno ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu yalisababisha akae ndani siku sita huku akiwa na njaa kali. Shahidi huyo aliyaeleza wakati akitoa ushahidi wake mbele ya Jopo la Majaji watatu akiwemo Jaji Dunstan Nduguru ambapo alidai kuwa njaa hiyo ilitokana na kukaa ndani kwa sababu ya vurugu za Uchaguzi Mkuu zilizotokea Oktoba [----]. Aidha amedai kuwa kauli hiyo ilisababisha mzozo katika kijiwe cha kahawa ambapo wengi walionekana kuunga mkono kauli hiyo"
X Link 2026-02-12T14:29Z 3.1M followers, 36.8K engagements
"Mwigizaji Steve Mengele maarufu Steve Nyerere amewaomba Wasanii kuwa na tabia ya kujitokeza katika misiba mbalimbali inayotokea na kuacha tabia ya kujifungia ndani wakati wengine wanapitia changamoto. "Wasanii jiungeni na hakikisheni mnakimbiliana kwenye matatizo msiba huu ( Msiba wa Mama Chid Benz ) ungetokea Kinondoni shughuli ingekuwepo lakini leo upo Chanika Watu wanawaza gharama ya mafuta nawaomba mjitokeze kwenye misiba kwani ni ibada" Ameyasema hayo akiwa Chanika Jijini Dar es salaam kwenye mazishi ya Mama wa Rapper Chidi Benz ambayo yamefanyika leo Nyumbani kwake Chanika Msantula Mtaa"
X Link 2026-02-12T16:24Z 3.1M followers, 19.6K engagements
"Wajumbe wa Mkutano wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) wamewasili nchini leo Februari [--] [----] kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Wajumbe hao wanatarajiwa kushiriki Mkutano huo utakaofanyika kesho Februari [--] [----] katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam. Mkutano huo utaongozwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dkt. Patrick Motsepe na unatarajiwa kukutanisha viongozi mbalimbali wa soka barani Afrika kujadili masuala muhimu ya maendeleo ya mpira wa miguu. Uenyeji wa mkutano huo unaendelea"
X Link 2026-02-12T18:51Z 3.1M followers, 21.9K engagements
"MillardAyo Magazeti Tanzania & Kenya Februari [--] [----] https://www.instagram.com/p/DUrmvBQAl1J/igsh=aXV1ZWFvZmpicmxn https://www.instagram.com/p/DUrmvBQAl1J/igsh=aXV1ZWFvZmpicmxn"
X Link 2026-02-13T05:50Z 3.1M followers, [----] engagements
"Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe [--] Februari [----] Dodoma. Katika Mazungumzo hayo Makamu wa Rais amewahimiza watendaji DSE kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kuwa wabunifu katika masuala ya masoko na kuendelea kuvutia uwekezaji. Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela ameahidi kuendelea kushirikiana vema na Serikali katika kutafuta mitaji ili kuweza"
X Link 2026-02-13T12:28Z 3.1M followers, [----] engagements
"Leo Ijumaa Februari [--] [----] Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeahirishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam. Kesi hiyo imepangwa kuendelea kusikilizwa Jumatatu Februari [--] [----] ambapo shahidi mwingine anatarajiwa kupandishwa kizimbani kuendelea kutoa ushahidi. Baada ya kuahirishwa kwa shauri hilo Lissu alionekana akizungumza na kuagana na dada yake huku wakipeana salamu ambapo alimpa ujumbe wa kuwasalimia wajomba zake na kumwhia "Unibakishie keki #MillardAyoUPDATES"
X Link 2026-02-13T15:33Z 3.1M followers, [----] engagements
"MillardAyo Magazeti Tanzania & Kenya Februari [--] [----] https://www.instagram.com/p/DUzgM14Ahff/igsh=MWZhdTFuc290Z2tqaQ== https://www.instagram.com/p/DUzgM14Ahff/igsh=MWZhdTFuc290Z2tqaQ=="
X Link 2026-02-16T04:39Z 3.1M followers, [----] engagements
"Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda leo February [------] ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa miaka miwili wa Kocha Miguel Gamond kuifundisha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars). Waziri Makonda ameshuhudia utiaji saini huko wa mkataba katika ukumbi uliopo uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam ambapo amesema malipo yote ya Gamond yatatolewa na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Makonda amerejea tena kuwasihi Vijana wa Kitanzania wanaocheza soka katika Mataifa mbalimbali kurejea nchini ili kuipa nguvu Taifa Stars kuelekea mashindano ya AFCON mwakani."
X Link 2026-02-16T11:48Z 3.1M followers, 25.4K engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:05Z 3.1M followers, [---] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:05Z 3.1M followers, [---] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:05Z 3.1M followers, [---] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:06Z 3.1M followers, [---] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:08Z 3.1M followers, [---] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:09Z 3.1M followers, [----] engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametamatisha ziara yake katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) hii leo Februari [--] [----] ambapo ameondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai kurejea nchini Tanzania. Rais Dkt. Samia alishiriki kwenye Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit WGS) [----] pamoja na uzinduzi wa Jukwaa la Kimataifa wa Uwekezaji Afrika (GAIS). #MillardAyoUPDATES https://twitter.com/i/web/status/2019727453162209303 https://twitter.com/i/web/status/2019727453162209303"
X Link 2026-02-06T10:58Z 3.1M followers, [----] engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema katika mazungumzo na Mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Museveni leo February [------] pamoja na mambo mengine wameongelea kuhusu kuondosha vikwazo vya kibiashara kati ya Tanzania na Uganda ili kukuza uchumi wa Nchi hizi mbili. Akiongea Ikulu ya Dar es salaam leo Rais Samia amesema Tumeongea kuhusu kuondosha vikwazo vya biashara tumekuwa tukiongea mara nyingi vikwazo hivi kila tukiviondoa biashara zinakua biashara zimekua ndani ya Afrika Mashariki lakini kuna vikwazo ambavyo Watendaji na Watu wetu wanaviweka ila tumezungumza kuviondosha ili"
X Link 2026-02-07T13:36Z 3.1M followers, [----] engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema amesikia sauti za Vijana na amewahakikishia kuwa soko la Jangwani litajengwa pale utakapokamilika ujenzi wa daraja la Jangwani. Rais Samia amesema hayo leo February [------] wakati akizindua soko la Kariakoo. Na leo hapa niliambiwa kuna Wanangu Wamachinga ambao walitaka kuingia na fulana zao waniambie Mama tunasubiri soko la kule Jangwani lakini mmewazuia kuingia nataka niwaambie Wanangu sauti zenu nimezisikia na soko lile tupo katika hatua ya kulijenga Kuna mambo yanafanyika tuweke bonde sawa tujenge soko Serikali ipo tayari kujenga soko"
X Link 2026-02-08T15:11Z 3.1M followers, [----] engagements
"Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema hakutokuwa na suala la kupindua meza na kuwabadilisha Watendaji wote bali kutakuwa mabadiliko madogo tu na Watu ambao watawekwa pembeni na kutenguliwa ni wale tu ambao matendo yao mabaya yatakithiri. Rais Samia ameyasema hayo Ikulu Jijini Dar es salaam leo February [------] wakati akiwaapisha Viongozi mbalimbali. Rais Samia amesema Wale waliofikiri kutakua na pindua meza mambo yaanze upya hapana hii Serikali inaendelea kutakuwa na mabadiliko madogo inapobidi kubadilishana vituo kubadilisha sekta hayo yatakuwepo lakini mpaka Mtu akithiri sana"
X Link 2026-02-09T13:37Z 3.1M followers, 18.5K engagements
"Katibu Tawala wa Halmashauri ya Jiji La Arusha Jacob Julius Rombo amelazimika kutatua mgogoro uliotokea katika Soko la Samunge lililopo jijini humo hii ni baada ya moja ya Mfanyabiashara kubomolewa banda lake la biashara usiku na vitu vyake kuchukuliwa na Mgambo wa jiji pamoja na uongozi wa soko. Akizungumzia mgogoro huo Aliyevunjiwa banda lake la Biashara Samson Ernest Kaaya amesema Mgambo wa Jiji kwa kushirikiana na Mkuu wa soko na Mwanasheria wa Soko walivunja na kuchukua mali zake zenye thamani ya milioni tano na kuzipeleka depo tangu mwanzoni mwa mwezi januari ambapo hajafanya biashara"
X Link 2026-02-13T12:52Z 3.1M followers, 13.1K engagements
"Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam leo tarehe [--] Februari [----] limefanya Mkutano Maalum wa Mapitio ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2024/25 pamoja na mapitio ya nusu mwaka wa fedha 2025/26 (JulaiDesemba 2025) na hatimaye kufanya makadirio ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/27 yenye jumla ya Shilingi bilioni [-----]. Kiasi hiki ni ongezeko la Shilingi bilioni [---] ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2025/26. Kati ya fedha hizo Shilingi bilioni [-----] sawa na asilimia [--] ni ruzuku kutoka Serikali Kuu huku Shilingi bilioni [-----] sawa na asilimia [--] zikitokana na"
X Link 2026-02-13T16:05Z 3.1M followers, 32.8K engagements
"MillardAyo Magazeti Tanzania & Kenya Februari [--] [----] https://www.instagram.com/p/DUwyk-mAhDN/igsh=ZmxxaTVtbmx6Zm81 https://www.instagram.com/p/DUwyk-mAhDN/igsh=ZmxxaTVtbmx6Zm81"
X Link 2026-02-15T04:17Z 3.1M followers, [----] engagements
"Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda amemuagiza Msajili wa Michezo kuhakikisha ndani ya mwezi huu anakamilisha taratibu zote za kisheria na kikanuni na awape majibu Viongozi na Mashabiki wa klabu ya Simba ili klabu hiyo iendelee na mchakato wa kupata katiba mpya na mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa club na iondokane na mikwamo na migongano. Makonda amesema hayo leo February [------] kwenye hafla ya utiaji saini wa mkataba wa miaka miwili wa Kocha wa Taifa Stars Miguel Gamond katika uwanja wa Benjamin Mkapa. Msajili wa michezo nilitaka mkamilishe taratibu za Simba simu"
X Link 2026-02-16T12:02Z 3.1M followers, [----] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:05Z 3.1M followers, [---] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:06Z 3.1M followers, [----] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:06Z 3.1M followers, [----] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:07Z 3.1M followers, [----] engagements
"Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya Watu wanaoanzisha Kampuni na kuziita ni Kampuni za Wazawa wakati kiuhalisia zinamilikiwa na Wageni. Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Februari [--] [----] akikagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya Kiserikali Mkoani humo. Wapo wasio waaminifu wanawatumia Watanzania kuanzisha Makampuni wanasema ni ya wazawa tunataka kuinua Kampuni za Watanzania upo mchezo Mgeni anatumia anuani ya Mtanzania ambaye si mnufaika wale watakaogundulika wanafanya ujanja"
X Link 2026-02-16T14:35Z 3.1M followers, [----] engagements
"Katika hali isiyokuwa ya kawaida familia ya Daniel Peter Wakazi wa Kata Malangarini Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha inayoomboleza msiba wa Ndugu yao imejikuta ikipata maumivu juu ya maumivu baada ya Wezi kuingia ndani ya nyumba yao kwa kupita kwenye paa na kuiba vitu mbalimbali ikiwemo pikipiki na simu baada ya Wafiwa kupatwa na usingizi mzito. Edna Samson mmoja wa Wanafamilia hao amesema siku ya tukio walilala saa tisa usiku ambapo baada ya kulala walipitiwa na usingizi mzito ambao ulifanya wasisikie chochote kikiibwa ambapo ameongeza kuwa waliporipoti tukio hilo Polisi na Watuhumiwa"
X Link 2026-02-16T16:11Z 3.1M followers, [----] engagements
"Katika hali isiyokuwa ya kawaida familia ya Daniel Peter Wakazi wa Kata Malangarini Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha inayoomboleza msiba wa Ndugu yao imejikuta ikipata maumivu juu ya maumivu baada ya Wezi kuingia ndani ya nyumba yao kwa kupita kwenye paa na kuiba vitu mbalimbali ikiwemo pikipiki na simu baada ya Wafiwa kupatwa na usingizi mzito. Edna Samson mmoja wa Wanafamilia hao amesema siku ya tukio walilala saa tisa usiku ambapo baada ya kulala walipitiwa na usingizi mzito ambao ulifanya wasisikie chochote kikiibwa ambapo ameongeza kuwa waliporipoti tukio hilo Polisi na Watuhumiwa"
X Link 2026-02-16T16:26Z 3.1M followers, [----] engagements
"📍 Mkapa Stadium DSM"
X Link 2025-03-08T13:04Z 3.2M followers, 42.2K engagements
"MillardAyoMagazetiniKENYA March [--] [----] https://www.instagram.com/share/BBtAhY4NRr https://www.instagram.com/share/BBtAhY4NRr"
X Link 2025-03-09T03:09Z 3.1M followers, [----] engagements
"✍ Prof. @AnnaTibaijuka"
X Link 2025-03-10T10:42Z 3.1M followers, 31.1K engagements
"MillardAyoMagazetiniKENYA April [--] [----] https://www.instagram.com/share/BBsWi9Iorw https://www.instagram.com/share/BBsWi9Iorw"
X Link 2025-04-06T02:05Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTanzania April [--] [----] https://www.instagram.com/p/DIsS07jCBIL/igsh=YWpmNmw2dzh0ZmRj https://www.instagram.com/p/DIsS07jCBIL/igsh=YWpmNmw2dzh0ZmRj"
X Link 2025-04-21T02:39Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTanzania May [--] [----] https://www.instagram.com/p/DJnfXUyiofN/igsh=ejl3c2lnbWxhN2Nx https://www.instagram.com/p/DJnfXUyiofN/igsh=ejl3c2lnbWxhN2Nx"
X Link 2025-05-14T02:23Z 3.2M followers, 11.9K engagements
"Dakika ya [--] RS BERKANE [--] - [--] SIMBA SC ( CAMARA [--] OUSSAMA 15)"
X Link 2025-05-17T19:20Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiniKENYA June [--] [----] https://www.instagram.com/p/DKvhwejiwK3/igsh=MWU3ZzZxcHQ1dGw5Mg== https://www.instagram.com/p/DKvhwejiwK3/igsh=MWU3ZzZxcHQ1dGw5Mg=="
X Link 2025-06-11T05:04Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTanzania June [--] [----] https://www.instagram.com/p/DK004hYC3jY/igsh=eHozZzU1NmZvYmdz https://www.instagram.com/p/DK004hYC3jY/igsh=eHozZzU1NmZvYmdz"
X Link 2025-06-13T05:34Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTanzania June [--] [----] https://www.instagram.com/p/DLTXetdiIjL/igsh=bmt6a2t4ZTN4Mmlp https://www.instagram.com/p/DLTXetdiIjL/igsh=bmt6a2t4ZTN4Mmlp"
X Link 2025-06-25T04:45Z 3.2M followers, [----] engagements
"Kamilisha malengo yako kwa kutumia taa zetu za sunshine zinazodumu na chaji kwa zaidi ya masaa [--]. Taa za sola za sunshine zinapatikana katika vituo vya TotalEnergies vifuatavyo: Arusha: TotalEnergies Makuyuni Maji ya Chai. Pwani: TotalEnergies Ukuni na Chalinze. Dar es Salaam: TotalEnergies Africana Uhuru Chang'ombe University Kinyerezi Bagamoyo road Msimbazi Kariakoo Shekilango South Side East Oysrebay Dar Petrol Samora Mtoni na Makanya. Dodoma: TotalEnergies Dodoma Dodoma Star na Nkuhungu. Morogoro: TotalEnergies Morogoro Star na Mikumi. Kilimanjaro: TotalEnergies Kibo Uhuru Peak Mashujaa"
X Link 2025-07-10T13:34Z 3.2M followers, [----] engagements
"Kamilisha malengo yako kwa kutumia taa zetu za sunshine zinazodumu na chaji kwa zaidi ya masaa [--]. Taa za sola za sunshine zinapatikana katika vituo vya TotalEnergies vifuatavyo: Arusha: TotalEnergies Makuyuni Maji ya Chai. Pwani: TotalEnergies Ukuni na Chalinze. Dar es Salaam: TotalEnergies Africana Uhuru Chang'ombe University Kinyerezi Bagamoyo road Msimbazi Kariakoo Shekilango South Side East Oysrebay Dar Petrol Samora Mtoni na Makanya. Dodoma: TotalEnergies Dodoma Dodoma Star na Nkuhungu. Morogoro: TotalEnergies Morogoro Star na Mikumi. Kilimanjaro: TotalEnergies Kibo Uhuru Peak Mashujaa"
X Link 2025-07-25T10:59Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya July [--] [----] https://www.instagram.com/p/DMtwqX4CXVG/igsh=MTk3dG82bnJvdXdwZQ== https://www.instagram.com/p/DMtwqX4CXVG/igsh=MTk3dG82bnJvdXdwZQ=="
X Link 2025-07-30T04:54Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya July [--] [----] https://www.instagram.com/p/DMwMKzaCK5m/igsh=aWJ6eHYwcTV1anRn https://www.instagram.com/p/DMwMKzaCK5m/igsh=aWJ6eHYwcTV1anRn"
X Link 2025-07-31T03:04Z 3.2M followers, [----] engagements
"HT: MAURITANIA [--] - [--] TANZANIA #CHAN 2024"
X Link 2025-08-06T17:56Z 3.2M followers, 17.9K engagements
"FT: MAURITANIA [--] - [--] TANZANIA (KAPOMBE 89) #CHAN 2024"
X Link 2025-08-06T18:57Z 3.2M followers, 26.5K engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Aug [--] [----] https://www.instagram.com/p/DNXA4UiCmgy/igsh=a2VmNmRseTN1Z3Nl https://www.instagram.com/p/DNXA4UiCmgy/igsh=a2VmNmRseTN1Z3Nl"
X Link 2025-08-15T05:03Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Aug [--] [----] https://www.instagram.com/p/DNZmlTEC_ON/igsh=YnUyeDE0NDB1YmFv https://www.instagram.com/p/DNZmlTEC_ON/igsh=YnUyeDE0NDB1YmFv"
X Link 2025-08-16T03:09Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Aug [--] [----] https://www.instagram.com/p/DN1ogQjRKKA/igsh=djBzemRmdGNmYm84 https://www.instagram.com/p/DN1ogQjRKKA/igsh=djBzemRmdGNmYm84"
X Link 2025-08-27T06:01Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Aug [--] [----] https://www.instagram.com/p/DN63yUbAgz3/igsh=eWpkdWkwMHljbHB0 https://www.instagram.com/p/DN63yUbAgz3/igsh=eWpkdWkwMHljbHB0"
X Link 2025-08-29T05:07Z 3.2M followers, [----] engagements
"FT: TANZANIA [--] - [--] NIGER (SOSAH 58)"
X Link 2025-09-09T15:06Z 3.2M followers, 38.8K engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Sept [--] [----] https://www.instagram.com/p/DOceFXTAi6p/igsh=MWhwc25odTBjM3prMw== https://www.instagram.com/p/DOceFXTAi6p/igsh=MWhwc25odTBjM3prMw=="
X Link 2025-09-11T05:34Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Sept [--] [----] https://www.instagram.com/p/DOfA-0rApLz/igsh=MWd1bDk0MDN5cmRtdw== https://www.instagram.com/p/DOfA-0rApLz/igsh=MWd1bDk0MDN5cmRtdw=="
X Link 2025-09-12T04:54Z 3.2M followers, [----] engagements
"Chidi Beenz x Blu Boi Millard Ayo"
X Link 2025-09-21T18:40Z 3.2M followers, 39.2K engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Sept [--] [----] https://www.instagram.com/p/DO4nW30gqSZ/igsh=dTdmdXpjMHByaTY= https://www.instagram.com/p/DO4nW30gqSZ/igsh=dTdmdXpjMHByaTY="
X Link 2025-09-22T05:49Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Sept [--] [----] https://www.instagram.com/p/DPNaa4VghB5/igsh=anU4ejBtMXl3Z3c3 https://www.instagram.com/p/DPNaa4VghB5/igsh=anU4ejBtMXl3Z3c3"
X Link 2025-09-30T04:47Z 3.2M followers, [----] engagements
"MillardAyoMagazetiTz&Kenya Oktoba [--] [----] https://www.instagram.com/p/DPu13PeAr7Q/igsh=MWMzNHQ4eHZ5emp1YQ== https://www.instagram.com/p/DPu13PeAr7Q/igsh=MWMzNHQ4eHZ5emp1YQ=="
X Link 2025-10-13T05:15Z 3.2M followers, 10.6K engagements
"#LIVEMATCH: DK 78: Fulham [--] [---] Man U (kafunga Wyne Rooney )"
X Link 2013-02-02T19:16Z 3M followers, [--] engagements
"#LIVEMATCH DK 71: Barcelona [--] - [--] Rayo Vallecano (Tamudo 70'). (post sponsored by CRDB & AIRTEL)"
X Link 2013-03-17T21:27Z 3M followers, [--] engagements
"Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na familia yake http://t.co/77yJtDb3yC http://instagram.com/p/dEfc3jKtju/ http://instagram.com/p/dEfc3jKtju/"
X Link 2013-08-16T10:09Z 3M followers, [--] engagements
"#TZA Ripori ya picha na video ya ajali ya Treni Nairobi October [--] [----] http://t.co/NNJYtilgfd http://millardayo.com/citi30/ http://millardayo.com/citi30/"
X Link 2013-10-31T00:41Z 3M followers, [--] engagements
"Tanzania imeishinda Uganda kwa penalty"
X Link 2013-12-07T13:13Z 3M followers, [--] engagements
"#Livematch Full Time: Bayern Munich 0-4 Real Madrid"
X Link 2014-04-29T20:38Z 3M followers, [--] engagements
"#TZA Davido matatani kwa hiki alichokifanya http://t.co/SSIj7CTeZx http://millardayo.com/davidoobo/ http://millardayo.com/davidoobo/"
X Link 2014-05-13T18:29Z 3M followers, [--] engagements
"#TZA Listi ya mastaa wa Real Madrid wanaokuja Tanzania http://t.co/kthze02agl http://millardayo.com/madrid2014/ http://millardayo.com/madrid2014/"
X Link 2014-07-23T23:52Z 3M followers, [--] engagements
"#TZAsports Full Time ya Liverpool vs AFC Bournemouth picha na video ya goli viko hapa http://t.co/mH78l4fv65 http://millardayo.com/matokeo1708/ http://millardayo.com/matokeo1708/"
X Link 2015-08-17T21:37Z 3M followers, [--] engagements
"#Livematch dakika ya [--] Man United [--] (Andreas Pereira ) - [--] Ipswich Town"
X Link 2015-09-23T20:18Z 3M followers, [--] engagements
"#Livematch #fullTime Dynamo Kyiv [--] - [--] Chelsea"
X Link 2015-10-20T20:39Z 3M followers, [--] engagements
"#Livematch dakika ya [--] Liverpool [--] (Nathaniel Clyne 17') - [--] AFC Bournemouth"
X Link 2015-10-28T20:13Z 3M followers, [--] engagements
"#MillardAyoLiveUPDATES: #DYNAMOKYIV VS #MANCITY #UEFA"
X Link 2015-12-14T11:20Z 3M followers, [--] engagements
"Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April [--] [----] kwenye Udaku Hardnews na http://millardayo.com/magapril21-2/ http://millardayo.com/magapril21-2/"
X Link 2016-04-21T07:16Z 3M followers, [--] engagements
"#MillardAyoUPDATES #LiveMatch #FullTime #Mexico [--] (#Hernandez 18' #Peralta 81') - [--] #Jamaica #CopaAmerica"
X Link 2016-06-10T04:03Z 3M followers, [--] engagements
"#BREAKING Donald Trump ashinda Uchaguzi Marekani"
X Link 2016-11-09T07:47Z 3M followers, [---] engagements
"#MillardAyoUPDATES LiveMatch #Zimbabwe 3-0 #Tanzania"
X Link 2016-11-13T14:16Z 3M followers, [--] engagements
"#MillardAyoUPDATES LiveMatch #Zimbabwe (Musona 8' 57' Rusike 53') 3-0 #Tanzania #FullTime"
X Link 2016-11-13T14:53Z 3M followers, [--] engagements
"#VIDEO: Magoli ya Zimbabwe vs Taifa Stars November [--] [----] Full Time 3-0 http://millardayo.com/wq78goli/ http://millardayo.com/wq78goli/"
X Link 2016-11-13T21:20Z 3M followers, [--] engagements
"Kikosi cha Man City kitakachocheza vs Burnley leo November [--] Toure kapewa nafasi tena na Pep Guardiola"
X Link 2016-11-26T12:14Z 3M followers, [--] engagements
"Fashion Designer Of The Year East Africa Martin Kadinda (Tanzania) #ASFAs2016 #Uganda"
X Link 2016-12-09T23:03Z 3M followers, [--] engagements
"Best Dressed Celebrity East Africa Female Award Wema Sepetu (Tanzania) #ASFAs2016 #Uganda"
X Link 2016-12-09T23:06Z 3M followers, [--] engagements
"Best Dressed Media Personality/Entertainer Idris Sultan (Tanzania) #ASFAs2016 #Uganda"
X Link 2016-12-09T23:10Z 3M followers, [--] engagements
"Yanga watacheza na Ngaya de Mbe ya Comoro Club Bingwa Africa wakiitoa watacheza na mshindi kati ya Zanaco ya Zambia dhidi ya APR ya Rwanda"
X Link 2016-12-21T20:48Z 3M followers, [--] engagements
"Game ya Burkinafaso vs Cameroon ndio inaanza muda huu timu zimeingia uwanjani #CAN2017 #FootballTogether"
X Link 2017-01-14T18:55Z 3M followers, [--] engagements
"Cameroon wanapata goli la kwanza dakika ya [--] dhidi ya Burkinafaso #CAN2017 #FootballTogether"
X Link 2017-01-14T19:36Z 3M followers, [--] engagements
"Burkinafaso vs Cameroon ni mapumziko Cameroon wanaongoza goli 1-0 #CAN2017 #FootballTogether"
X Link 2017-01-14T19:52Z 3M followers, [--] engagements
"Mechi za AFCON [----] za leo January [--]. Gabon vs Burkinafaso saa 19:00 #EAT Cameroon vs Guinea-Bissau saa 22:00 #EAT"
X Link 2017-01-18T11:03Z 3M followers, [--] engagements
"Cameroon inakuwa timu ya kwanza ya Kundi A kuondoka na point tatu 2-1 Guinea Bissau #AFCON2017 (Siani 62'Ngadeu 72' goli la Guinea Silva 12'"
X Link 2017-01-18T20:57Z 3M followers, [--] engagements
"Morocco inapata ushindi wa goli 3-1 vs Togo magoli ya Morocco yamefungwa na (Bouhaddouz 15' Saiss 21'Nesyri 72') goli la Togo (Dossevi 5')"
X Link 2017-01-20T20:55Z 3M followers, [--] engagements
"Game ya Ghana vs Mali ni mapumziko Ghana wanaongoza kwa goli 1-0 limefungwa na Asamoha Gyan #AFCON2017"
X Link 2017-01-21T16:59Z 3M followers, [--] engagements
"Robo fainali ya EuropaLeague Genk ya @samatta77 imepangwa vs Celta Vigo ya Hispania michezo ya kwanza ni April [--] na marudiano April 20"
X Link 2017-03-17T12:18Z 3M followers, [--] engagements
"Game ya Arsenal vs ManCity katika uwanja wa Emirates imemalizika kwa sare ya kufungana goli 2-2 #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-04-02T16:57Z 3M followers, [--] engagements
"Suti watakazovaa Serengeti Boys kuelekea Gabon katika fainali za AFCON U-17 #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-04-03T07:51Z 3M followers, [---] engagements
"Dakika ya [--] Celta Vigo wanasawazisha goli vs KRC Genk kupitia kwa Sisto #EuropaLeague #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-04-13T19:21Z 3M followers, [--] engagements
"Dakika ya [--] Guidetti anaifungia goli la [--] Celta Vigo dhidi ya KRC Genk magoli 3-1 #EuropaLeague #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-04-13T19:45Z 3M followers, [--] engagements
"Game ya robo fainali ya Europa League Celta Vigo vs KRC Genk ni mapumziko magoli 3-1 #EuropaLeague #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-04-13T19:54Z 3M followers, [--] engagements
"Thomas Buffel anaifungia KRC Genk goli la pili dhidi ya Celta Vigo dakika ya [--] magoli 2-3 #EuropaLeague #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-04-13T20:31Z 3M followers, [--] engagements
"KRC Genk ya @samatta77 leo wanacheza game ya robo fainali ya marudiano vs Celta Vigo saa 22:05 #EAT #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-04-20T10:09Z 3M followers, [--] engagements
"Game imemalizika Chelsea wamepata ushindi wa magoli 3(Costa 23' Alonso 34'Matic 65')-0 dhidi ya Middlesbrough #EPL #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-08T20:56Z 3M followers, [--] engagements
"Dakika ya [--] Roncaglio anaisawazishia goli Celta Vigo vs ManUnited magoli 1-1 #EuropaLeague #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-11T20:52Z 3M followers, [--] engagements
"Leo saa 17:30 #EAT Serengeti Boys itacheza game yake ya kwanza ya Kundi B dhidi ya Mali #AFCON U-17 #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-15T09:28Z 3M followers, [--] engagements
"Kutoka Libreville Gabon Serengeti Boys vs Mali Bingwa mtetezi wa Kombe la AFCON U-17 game imemalizika kwa sare tasa 0-0 #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-15T16:29Z 3M followers, [--] engagements
"Kutoka Libreville Gabon Kikosi cha Serengeti Boys vs Angola game inaanza saa 17:30 #EAT #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-18T14:08Z 3M followers, [--] engagements
"Kutoka Stade de Amitie Gabon game ya Serengeti Boys vs Angola imeanza dakika ya [--] bila bila #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-18T14:34Z 3M followers, [--] engagements
"Dakika ya [--] Hassan Ali anaifungia Serengeti Boys goli la kuongoza vs Angola goli 1-0 #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-18T14:39Z 3M followers, [---] engagements
"Kutoka Libreville Gabon game ya Serengeti Boys vs Angola ni mapumziko magoli 1-1 #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-18T15:21Z 3M followers, [--] engagements
"Abdul Selemani anaifungia Serengeti Boys goli la pili vs Angola game inaendelea magoli 2-1 #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-18T15:59Z 3M followers, [---] engagements
"Game ya Serengeti Boys vs Angola imemalizika kwa Serengeti Boys kupata ushindi wa magoli 2-1 #MillardAyoUODATES"
X Link 2017-05-18T16:25Z 3M followers, [---] engagements
"#PICHA 5: Ushindi wa Serengeti Boys vs Angola michuano ya AFCON U-17 http://millardayo.com/7yu8u/ http://millardayo.com/7yu8u/"
X Link 2017-05-18T17:37Z 3M followers, [--] engagements
"#PICHA 5: Baada ya ushindi wa Mali vs Niger Serengeti Boys anahitaji sare kwenda World Cup http://millardayo.com/gtuyu12/ http://millardayo.com/gtuyu12/"
X Link 2017-05-18T20:02Z 3M followers, [--] engagements
"#VIDEO: Clinic ya zaidi ya Tsh milioni [--] waliyowekewa Serengeti Boys hotelini kwao Gabon http://millardayo.com/yyy7u8u/ http://millardayo.com/yyy7u8u/"
X Link 2017-05-19T08:10Z 3M followers, [---] engagements
"Kutoka Port Gentil Gabon hii ni dressing room ya Serengeti Boys ambao watacheza dhidi ya Niger saa 20:30 #EAT #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-05-21T16:04Z 3M followers, [--] engagements
"#TZA Picha ya Beckham na mtoto wake Serengeti imeleta mjadala hadi kwao http://millardayo.com/gt613jkk/ http://millardayo.com/gt613jkk/"
X Link 2017-06-03T00:29Z 3M followers, [--] engagements
"Rapa Ace Hood alilipwa dola [-----] (Tsh. Milioni 55925000) ili kufanya collabo na rapa kutoka Ghana Sarkodie kwenye single ya "New Guy""
X Link 2017-06-14T21:40Z 3M followers, [---] engagements
"Good morning mtu wangu Tayari Magazeti ya Tanzania leo Jully [--] [----] yapo kwenye http://millardayo.co/mgjuly14/ http://millardayo.com http://millardayo.co/mgjuly14/ http://millardayo.com"
X Link 2017-07-14T03:10Z 3M followers, [--] engagements
"Good morning mtu wangu Tayari Magazeti ya Tanzania leo Jully [--] [----] yapo kwenye http://millardayo.com/mgjuly17/ http://millardayo.com http://millardayo.com/mgjuly17/ http://millardayo.com"
X Link 2017-07-17T01:46Z 3M followers, [--] engagements
"Kipa wa Serengeti Boys iliyoshiriki AFCON U-17 Gabon Ramadhani Kabwili amejiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka mitano #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-07-25T13:41Z 3M followers, [---] engagements
"Vituo [----] kati ya 40883: Uhuru Kenyatta ana kura [------] (59.61%) Raila Odinga ana [------] (39.66%) #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-08-08T16:37Z 3M followers, [---] engagements
"#TZA PICHA&VIDEO: Ushindi wa Real Madrid UEFA Super Cup vs ManUnited http://millardayo.com/sup43c/ http://millardayo.com/sup43c/"
X Link 2017-08-08T21:58Z 3M followers, [--] engagements
"FC Barcelona imemsajili kiungo mbrazil Paulinho kwa euro milioni [--] akitokea club ya Guangzhou Evergrande ya China #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-08-14T11:24Z 3M followers, [--] engagements
"Dakika ya [--] Eric Bailly anaifungia goli la kwanza Man United vs Swansea game ni HalfTime kwa sasa magoli 1-0 #EPL #MillardAyoUPDATES"
X Link 2017-08-19T12:18Z 3M followers, [--] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing