@Nipashetz Nipashe TanzaniaNipashe Tanzania posts on X about tanzania, zanzibar, kwanza, mambo the most. They currently have [-------] followers and [----] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries travel destinations currencies finance social networks technology brands musicians automotive brands celebrities us election
Social topic influence tanzania #86, zanzibar, kwanza, mambo, kenya, israel, mali, leo, serengeti, bali
Top accounts mentioned or mentioned by @ummymwalimu @samiasuluhuhassan @suluhusamia @ikulumawasliano @msanuajit @freemanmbowetz @everton @tzsportpesa @khaligraphjones @simbasctanzania @salimtryagain @gimmah @smanoni @taifastars @chadematz @ikulumawasiliano @jakayakikwete @alikamwe @sigifridswai @actwazalendo
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) Toyota Motor Corporation (TM) HILO (HILO)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"UTACHEKA: Utani wa Ahmed Ally na Zakazakazi wa NYUKI Vs NZI 😂😂😂 Kipute ni leo Februari [------] Saa 1: [--] usiku pale kwa Mkapa. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheDigital"
X Link 2025-02-24T12:12Z 206.9K followers, [---] engagements
"Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imekubaliana na pingamizi la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu kwamba kizimba maalum kilichotengenezwa kwa ajili ya shahidi wa siri kifanyiwe marekebisho ili majaji waweze kumuona na kutathmini ipasavyo ushahidi https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/mahakama-yakubali-pingamizi-la-lissu-2026-02-11-124621 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/mahakama-yakubali-pingamizi-la-lissu-2026-02-11-124621"
X Link 2026-02-11T09:49Z 206.6K followers, [----] engagements
"Mbunge wa Jimbo la Hai Mafue Sahasisha amesema mkakati wa kutafuta ufumbuzi wa tatizo la maji katika Mji wa Bomangombe na viunga vyake unaendelea kuzaa matunda baada ya kukamilika kwa ujenzi wa tanki jipya la maji kutoka chanzo cha https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/mkakati-wa-maji-bomangombe-waendelea-tangi-jipya-lakamilika-2025-12-18-112525 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/mkakati-wa-maji-bomangombe-waendelea-tangi-jipya-lakamilika-2025-12-18-112525"
X Link 2025-12-18T09:05Z 206.6K followers, [---] engagements
"Balozi wa Tanzania nchini Sweden Mobhare Matinyi ameongoza ujumbe wa ubalozi pamoja na taasisi za Serikali katika kikao cha kimkakati na wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Chama cha Wafanyabiashara wa Sweden na Afrika. Kikao hicho kilifanyika juzi katika Ubalozi wa Tanzania jijini Stockholm https://www.ippmedia.com/nipashe/biashara/read/balozi-matinyi-avutia-wawekezaji-sweden-2026-02-09-134021 https://www.ippmedia.com/nipashe/biashara/read/balozi-matinyi-avutia-wawekezaji-sweden-2026-02-09-134021"
X Link 2026-02-09T10:43Z 206.6K followers, [---] engagements
"Kwa sababu uchaguzi haukufanikiwa hatutambui waliopo madarakani kwa sababu wamejipachika kiholela. Kinyume na katiba yetu wametumia nguvu na silaha kudhibiti madaraka amedai Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche akifanyiwa mahojiano na https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kimataifa/read/heche-chadema-haitambua-walioko-madarakani-2026-02-10-133628 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kimataifa/read/heche-chadema-haitambua-walioko-madarakani-2026-02-10-133628"
X Link 2026-02-10T11:25Z 206.6K followers, [----] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amewataka wananchi wanaoishi pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro (KINAPA) kuachana na tabia ya kujenga nyumba za mbao badala yake kutumia matofali ili kujikinga na madhara ya majanga ya moto yanayojitokeza mara kwa mara katika maeneo https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/watakiwa-wasijenge-nyumba-za-mbao-hatari-kwenye-moto-2026-02-10-172934 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/watakiwa-wasijenge-nyumba-za-mbao-hatari-kwenye-moto-2026-02-10-172934"
X Link 2026-02-10T15:41Z 206.6K followers, [----] engagements
"Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyarara amesema Serikali inaendelea kuwekeza katika Bandari ya Dar es Salaam kufuatia ongezeko la meli kubwa zinazoingia bandarini hali iliyosababisha kuongezeka kwa shehena ya https://www.ippmedia.com/nipashe/biashara/read/bandari-dar-yaendelea-kupokea-meli-kubwa-prof-kahyarara-2026-02-10-193312 https://www.ippmedia.com/nipashe/biashara/read/bandari-dar-yaendelea-kupokea-meli-kubwa-prof-kahyarara-2026-02-10-193312"
X Link 2026-02-10T16:37Z 206.6K followers, [---] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amelaani ucheleweshaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo akieleza kuwa kuna viashiria vya rushwa vinavyochangia kukwamisha miradi https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/chalamila-aonya-ucheleweshaji-miradiataja-viashiria-vya-rushwa-2026-02-11-143742 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/chalamila-aonya-ucheleweshaji-miradiataja-viashiria-vya-rushwa-2026-02-11-143742"
X Link 2026-02-11T11:44Z 206.6K followers, [---] engagements
"Wakala wa Serikali wa Uchapishaji Tanzania (TGPA) leo umepokea ugeni wa watu [--] kutoka Shirika la Uchapishaji la Uganda (Uganda Printing and Publishing Corporation UPPC) waliowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya kubadilishana uzoefu na kuimarisha ushirikiano katika sekta ya uchapishaji wa https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/ujumbe-wa-uppc-kutoka-uganda-waja-kujifunza-tgpa-2026-02-11-164728 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/ujumbe-wa-uppc-kutoka-uganda-waja-kujifunza-tgpa-2026-02-11-164728"
X Link 2026-02-11T14:05Z 206.6K followers, [---] engagements
"Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Abel Paul ametoa shukrani za dhati kwa wadau wote wa sekta ya habari kwa ushirikiano wao uliowezesha kukamilika kwa utafiti wake wa https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/mkaguzi-wa-polisi-aishukuru-nipashe-wadau-2026-02-11-165938 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/mkaguzi-wa-polisi-aishukuru-nipashe-wadau-2026-02-11-165938"
X Link 2026-02-11T14:06Z 206.6K followers, [---] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa uamuzi kuhusu mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu kati ya wanafamilia wa marehemu Dk. Bernard Mwambingu katika eneo la Kunduchi Mtoni https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/chalamila-atatua-mgogoro-ardhi-kunduchi-2026-02-11-172403 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/chalamila-atatua-mgogoro-ardhi-kunduchi-2026-02-11-172403"
X Link 2026-02-11T14:26Z 206.6K followers, [---] engagements
"Mhubiri wa Kenya Paul Mackenzie anayehusishwa na vifo vya zaidi ya watu [---] baada ya kudaiwa kuwahimiza wafuasi wake kufunga hadi kufa ameshtakiwa tena na kuongezewa mashtaka mapya yanayohusiana na vifo vingine https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/mackenzie-aongezewa-mashtaka-mapya-vifo-shakahola-2026-02-12-115526 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/mackenzie-aongezewa-mashtaka-mapya-vifo-shakahola-2026-02-12-115526"
X Link 2026-02-12T08:58Z 206.6K followers, [----] engagements
"Wafanyabiashara wa ndizi wakiwahudumia wateja katika Soko la Machinjio mjini Bukoba mkoani Kagera jana. Ndizi zimepanda bei sokoni hapo kutokana na msimu wake kuisha na mkungu mmoja kuuzwa 10000/- hadi 30000/- kulingana na aina na ukubwa wake tofauti na awali uliuzwa kwa 5000/- hadi 7000/-. PICHA RESTUTA DAMIAN Tembelea kusoma gazeti lako au wasiliana nasi 📞+255 [---] [----] [---] au 0677- [---] [---] kwa maelezo zaidi. #NipasheDigital #NipasheMwangaWaJamii #miaka30yakupashahabari http://epaper.ippmedia.com http://epaper.ippmedia.com"
X Link 2026-02-12T09:33Z 206.6K followers, [----] engagements
"Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam leo Februari [--] [----] kabla ya kuondoka nchini kuelekea Addis Ababa Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa [--] wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU). PICHA IKULU Tembelea kusoma gazeti lako au wasiliana nasi 📞+255 [---] [----] [---] au 0677- [---] [---] kwa maelezo zaidi. #NipasheDigital #NipasheMwangaWaJamii #miaka30yakupashahabari http://epaper.ippmedia.com http://epaper.ippmedia.com"
X Link 2026-02-12T09:52Z 206.6K followers, [---] engagements
"Shirikisho la muungano wa vyama vya soka Ulaya UEFA na Real Madrid viko tayari kumaliza mzozo wao wa kisheria kuhusu Ligi Kuu mpya ya Klabu za Ulaya (Super League) kwa mujibu wa https://www.ippmedia.com/nipashe/michezo/soka/read/real-madrid-uefa-kumaliza-mzozo-wa-super-league-2026-02-12-142411 https://www.ippmedia.com/nipashe/michezo/soka/read/real-madrid-uefa-kumaliza-mzozo-wa-super-league-2026-02-12-142411"
X Link 2026-02-12T11:47Z 206.6K followers, [---] engagements
"Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA)imesema ili kuchochea uamuzi sahihi kwa ajili ya kuimarisha usalama wa chakula na ustahimilivu wa kilimo nchini itaendelea kushirikiana na wadau wote kuhakikisha taarifa za hali ya hewa na tabianchi zinakuwa rahisi kufikika na https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/tma-kujidhatiti-taarifa-za-tabianchi-zieleweke-2026-02-12-145627 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/tma-kujidhatiti-taarifa-za-tabianchi-zieleweke-2026-02-12-145627"
X Link 2026-02-12T12:01Z 206.6K followers, [--] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametembelea mradi wa ujenzi wa shule ya ghorofa katika Wilaya ya Kinondoni unaogharimu zaidi ya Sh bilioni [---] ambao unatarajiwa kupokea wanafunzi zaidi ya [----]. Mradi huo unalenga kupunguza msongamano wa wanafunzi pamoja na changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/rc-chalamila-akagua-mradi-wa-shule-ya-ghorofa-kinondoni-2026-02-12-174250 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/rc-chalamila-akagua-mradi-wa-shule-ya-ghorofa-kinondoni-2026-02-12-174250"
X Link 2026-02-12T14:49Z 206.6K followers, [---] engagements
"Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)imesema ili kuchochea uamuzi sahihi kwa ajili ya kuimarisha usalama wa chakula na ustahimilivu wa kilimo nchini itaendelea kushirikiana na wadau wote kuhakikisha taarifa za hali ya hewa na tabianchi zinakuwa rahisi kufikika na https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/tma-kujizatiti-taarifa-za-tabianchi-zieleweke-2026-02-12-145627 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/tma-kujizatiti-taarifa-za-tabianchi-zieleweke-2026-02-12-145627"
X Link 2026-02-12T15:22Z 206.6K followers, [--] engagements
"Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepunguza ada za leseni kwa watoa huduma na wakusanya maudhui mtandaoni hatua inayolenga kuondoa vikwazo vilivyokuwa vikikabili sekta hiyo na kuongeza ushiriki katika uchumi wa https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/serikali-yapunguza-ada-leseni-watoa-maudhui-mtandaoni-2026-02-12-184618 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/serikali-yapunguza-ada-leseni-watoa-maudhui-mtandaoni-2026-02-12-184618"
X Link 2026-02-12T15:52Z 206.6K followers, [---] engagements
"Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Paul Makonda na viongozi wengine wakimpokea Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dk. Patrice Motsepe leo. Rais huyo wa CAF anatarajia kuongoza kikao cha Kamati ya Utendaji ya shirikisho hilo kitakachofanyika leo hii jijini Dar es Salaam. Imeandikwa Mwandishi Wetu Tembelea kusoma gazeti lako au wasiliana nasi 📞+255 [---] [----] [---] au 0677- [---] [---] kwa maelezo zaidi. #NipasheDigital #NipasheMwangaWaJamii #miaka30yakupashahabari http://epaper.ippmedia.com http://epaper.ippmedia.com"
X Link 2026-02-13T07:12Z 206.6K followers, [----] engagements
"Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka amewataka viongozi katika mikoa yote nchini kuhakikisha hakuna kijana anayezuiwa au kuambiwa hana sifa ya kunufaika na mikopo ya Sh. bilioni [---] iliyotengwa na Serikali kwa ajili ya kuwawezesha vijana https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/nanauka-apiga-marufuku-viongozi-kuwazuia-vijana-kuomba-mikopo-2026-02-13-143459 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/nanauka-apiga-marufuku-viongozi-kuwazuia-vijana-kuomba-mikopo-2026-02-13-143459"
X Link 2026-02-13T11:38Z 206.6K followers, [---] engagements
"Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara limethibitisha tukio la mauaji ya watoto wawili wa familia moja Mwikwabe Saina (10) mwanafunzi wa darasa la tatu na mdogo wake Joseph Saina (4) lililotokea katika Kijiji cha Rungabure Wilaya ya Serengeti mkoani humo. Chanzo cha tukio hilo kinadaiwa kuhusishwa na imani potofu za https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/watoto-wauawa-serengeti-mtuhumiwa-afariki-2026-02-12-120745 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/watoto-wauawa-serengeti-mtuhumiwa-afariki-2026-02-12-120745"
X Link 2026-02-12T09:10Z 206.6K followers, [----] engagements
"Katika hali isiyo ya kawaida Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amelazimika kuchukua jukumu la askari wa usalama barabarani na kusaidia kuongoza magari kufuatia msongamano mkubwa wa magari jioni ya https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/rc-mtanda-aongoza-magari-barabarani-2026-02-16-182036 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/rc-mtanda-aongoza-magari-barabarani-2026-02-16-182036"
X Link 2026-02-16T15:23Z 206.6K followers, 10.8K engagements
"Askari wa Kikosi cha Usalama barabarani (Trafiki) Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza Coplo Tumsifu Kileo aliyefariki baada ya kugongwa na daladala ya abiria ameagwa leo na askari wenzake wananchi na baadhi ya viongozi wa Serikali ambapo anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwao Lyamungo mkoani https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/askari-aliyegongwa-na-daladala-mwanza-aagwa-2026-02-16-194624 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/askari-aliyegongwa-na-daladala-mwanza-aagwa-2026-02-16-194624"
X Link 2026-02-16T16:50Z 206.6K followers, 19.8K engagements
"Katibu Mkuu wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Majalio Kyara amewataka wakazi wa Peramiho mkoani Ruvuma kutowachagua wagombea ubunge wanaokwenda bungeni kupiga makofi na kufanya uchawa bali wanaowasemea kero https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/sau-yawataka-peramiho-kutochagua-wagombea-machawa-2026-02-17-122617 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/sau-yawataka-peramiho-kutochagua-wagombea-machawa-2026-02-17-122617"
X Link 2026-02-17T09:41Z 206.6K followers, [----] engagements
"Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuanza ziara ya siku nne mkoani Kilimanjaro kuanzia kesho Februari [--] hadi [--] [----] ambapo atakagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya takribani Sh.bilioni https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/rc-babu-aonya-mabango-mwigulu-atua-kilimanjaro-2026-02-17-153033 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/rc-babu-aonya-mabango-mwigulu-atua-kilimanjaro-2026-02-17-153033"
X Link 2026-02-17T12:52Z 206.6K followers, [----] engagements
"Wafanyabiashara wadogo wanaofanya biashara katika mipaka ya Tanzania na Malawi wanatarajia kunufaika na Mfumo Rahisi wa kurahisisha na kuimarisha biashara za wafanyabiasha wadogo zinazofanyika katika mipaka ya Tanzania na Malawi (Simplified Trade Regime (STR) hususan katika Mpaka mkubwa wa Kasumulo na https://www.ippmedia.com/nipashe/biashara/read/wafanyabiashara-wadogo-tanzania-malawi-kunufaika-mkataba-wa-str-2026-02-17-163617 https://www.ippmedia.com/nipashe/biashara/read/wafanyabiashara-wadogo-tanzania-malawi-kunufaika-mkataba-wa-str-2026-02-17-163617"
X Link 2026-02-17T13:54Z 206.6K followers, [---] engagements
"Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amewaonya wafanyabiashara wanaodanganywa na madalali kuwa watawafutia madeni ya kodi na kuwataka kufika kwenye ofisi za mamlaka hiyo kama https://www.ippmedia.com/nipashe/biashara/read/tra-yawaonya-wafanyabiashara-wanaohangaika-kufuta-madeni-2026-02-17-171331 https://www.ippmedia.com/nipashe/biashara/read/tra-yawaonya-wafanyabiashara-wanaohangaika-kufuta-madeni-2026-02-17-171331"
X Link 2026-02-17T14:33Z 206.6K followers, [---] engagements
"Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanamuziki mkongwe nchini Steven Hiza aliyeimba kibao maarufu kiitwacho Tanzania Yetu Ndio Nchi ya https://www.ippmedia.com/nipashe/michezo/read/samia-amlilia-mtunzi-kibao-tanzania-yetu-kuzikwa-kesho-2026-02-17-172347 https://www.ippmedia.com/nipashe/michezo/read/samia-amlilia-mtunzi-kibao-tanzania-yetu-kuzikwa-kesho-2026-02-17-172347"
X Link 2026-02-17T14:37Z 206.6K followers, [----] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza uamuzi wa kuikabidhi rasmi nyumba namba [--] kiwanja namba [--] iliyopo Mtaa wa Mkunguni na Bondeni Kariakoo kwa mnunuzi wake halali Salim Salehe Selemani kufuatia utekelezaji wa hukumu ya https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/chalamila-akabidhi-nyumba-mgogoro-wa-ardhi-kariakoo-2026-02-17-174757 https://www.ippmedia.com/nipashe/habari/kitaifa/read/chalamila-akabidhi-nyumba-mgogoro-wa-ardhi-kariakoo-2026-02-17-174757"
X Link 2026-02-17T15:17Z 206.6K followers, [----] engagements
"Serengeti mbuga bora Afrika https://www.ippmedia.com/sw/biashara/serengeti-mbuga-bora-afrika https://www.ippmedia.com/sw/biashara/serengeti-mbuga-bora-afrika"
X Link 2018-06-16T06:43Z 206.7K followers, [--] engagements
"#NipasheMakala DUNIA ILIPOSIMAMA; Kusalimika Ethiopia-Eritrea Korea mtihani sasa ni mdororo uchumi https://www.ippmedia.com/sw/makala/kusalimika-ethiopia-eritrea-korea-mtihani-sasa-ni-mdororo-uchumi https://www.ippmedia.com/sw/makala/kusalimika-ethiopia-eritrea-korea-mtihani-sasa-ni-mdororo-uchumi"
X Link 2018-07-11T07:50Z 206.8K followers, [--] engagements
"#NipasheMichezo Serengeti Boys yahitaji mechi [--] https://www.ippmedia.com/sw/michezo/serengeti-boys-yahitaji-mechi-8 https://www.ippmedia.com/sw/michezo/serengeti-boys-yahitaji-mechi-8"
X Link 2018-07-14T08:57Z 206.7K followers, [--] engagements
"#UCLDraw Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya #UefaChampionsLeague Ajax Vs Juventus Liverpool Vs FC Porto Tottenham Vs Man City Barcelona Vs Man United Nini maoni yako #NipasheMwangaWaJamii"
X Link 2019-03-15T11:44Z 206.8K followers, [--] engagements
"#NipasheKatuni"
X Link 2019-03-28T04:12Z 206.8K followers, [--] engagements
"#NipasheKatuni"
X Link 2019-04-01T09:50Z 206.7K followers, [--] engagements
"#NipasheKatuni"
X Link 2019-04-03T04:59Z 206.7K followers, [--] engagements
"#NipasheKatuni"
X Link 2019-04-09T04:25Z 206.7K followers, [--] engagements
"#NipasheKatuni"
X Link 2019-04-10T04:58Z 206.8K followers, [--] engagements
"#NipasheKatuni"
X Link 2019-04-12T04:14Z 206.8K followers, [--] engagements
"#NipasheMichezo Dk. Mengi awatangazia neema Serengeti Boys Soma zaidi: https://bit.ly/2IcvOAt https://bit.ly/2IcvOAt"
X Link 2019-04-13T02:19Z 206.7K followers, [--] engagements
"#HABARI BALOZI wa Norway Nchini Tanzania Elisabeth Jacobsen ameahidi nchi yake kuendelea kushirikiana kwa karibu na Tanzania katika miradi mbalimbali ikiwemo kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa"
X Link 2023-05-18T15:37Z 206.3K followers, [--] engagements
"#KIMATAIFA MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Federal Polytechnic Ilaro (FPI) Nchini Nigeria Samuel Adegoke amejiua kwa kunywa sumu baada ya kutumia ada yake ya chuo na ya mwanafunzi mwenzake kuchezea kamari mtandaoni na kuliwa"
X Link 2023-05-25T15:27Z 206.3K followers, [--] engagements
"#NipasheBUNGENI "Napendekeza kusamehe kodi ya mapato kwenye mapato yanayotokana na uwekezaji unaofanywa na Mfuko wa Kitaifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwenye amana (fixed deposit) hati fungani za muda mfupi (treasury bonds and treasury bills) pamoja na gawio linalotokana na hisa"
X Link 2023-06-15T15:46Z 206.2K followers, [--] engagements
"#TETESI KLABU ya Simba imeanza makeke ya usajili baada ya kukamilisha dili la kumchukua Winga wa kushoto wa Rayon Sports ya Rwanda raia wa Cameroon Andre Onana Esombe ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu"
X Link 2023-06-19T10:53Z 206.3K followers, [--] engagements
"#TETESI KLABU ya Manchester United bado wanapambana kusaka saini ya Golikipa wa Intermillan Andre Onana (27) Raia wa Cameroon kuwa mbadala wa David De Gea ambaye mkataba wake umeisha. Onana amesema hana mpango wa kuondoka intermillan kwenye dirisha la msimu huu wa joto"
X Link 2023-06-21T15:39Z 206.3K followers, [--] engagements
"#HABARI WAKUU wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wameombwa kuingilia kati sakata linaloendelea nchini Kenya kati ya serikali na kiongozi wa upinzani baada ya kuendelea kushuhudiwa sintofahamu inayohatarisha usalama wa wananchi na kugharimu maisha yao"
X Link 2023-07-18T08:29Z 206.3K followers, [--] engagements
"#NipasheTBT Basi aina ya Ikarus maarufu kumbakumba ni mabasi yaliyotamba sana miaka katikati ya [----] hadi katika ya miaka ya [----]. Aina hii ya mabasi yanayofanana kabisa na mabasi ya sasa ya Mwendokasi yaliyotengenezwa nchini Hungary Ulaya ya Mashariki yalikuwa yakimilikiwa na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA). Moja kati ya vituko vya vilivyokuwa vinatokea katika mabasi hayo ni kwamba yalikuwa kivutio kwa abiria wengi kiasi wale waliokuwa hawana haraka sana walikuwa wakiyasubiri. Yalikuwa ni mabasi ambayo ukiwa ndani 'unainjoi' kuanzia viti vyake nakshi na ulaini wa springi zake pindi"
X Link 2023-08-24T14:16Z 204.1K followers, [----] engagements
"#MICHEZO Gwiji wa zamani wa soka na mmiliki mwenza wa klabu ya soka ya Marekani ya Inter Miami David Beckham amemuajiri mlinzi wa kumlinda mshambuliaji wa timu hiyo Lionel Messi dhidi ya usumbufu ambao unaweza kutokea nje ya uwanja. Mlinzi huyo ajulikanae kwa jina la Yassine Cheuko ni mwanajeshi mstaafu wa jeshi la Marekani aliepigana vita vya Iraq na Afghanistan kabla ya kustaafu na kuamua kuwa mkufunzi na mchezaji wa ngumi za MMA na Taekwondo. Mlinzi huyo amekuwa akionekana kwenye mitandao ya kijamii akiwa na na mkali huyo wa Argentina kila mahali kuhakikisha usalama wake."
X Link 2023-08-25T10:31Z 204.4K followers, [----] engagements
"#BURUDANI Msanii wa Hip Hop kutoka Kenya Omollo @khaligraph_jones ametoa ngoma yake ambayo amewachana wasanii wa Bongo kama Wakazi Billnass G Nako Nikki Mbishi Rosa Ree huku wengine akiwasifia kama Young Killer japo alianza kupotea alipopata mke Roma alimfungulia milango Lunya Conboi na Mex Cortez. Omollo kwenye Ngoma yake hiyo anakili ni kweli Bongo Rap imemlea na ilianza kupotea tangu ilipompoteza Ngwair. #KhaligraphJones #Hiphop #BongoFleva #NipasheMwangaWaJamii #NipasheBurudani"
X Link 2023-08-26T11:21Z 204.6K followers, [----] engagements
"#MICHEZO MWENYEKITI ya Bodi ya Wakurugenzi wa @SimbaSCTanzania Salim Abdallah @salim_tryagain amesema kuwa malengo ya klabu hiyo kwa mwaka huu ni kuvuka hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) pamoja na kutwaa ubingwa wa Tanzania. Kauli hiyo ameitoa wakati akifanya mahojiano na kitengo cha habari cha klabu hiyo. Chanzo: @SimbaSCTanzania #NipasheMwangaWaJamii#NipasheMichezo"
X Link 2023-08-29T07:30Z 204.4K followers, [---] engagements
"#NipasheJumapili Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imekifungia Kituo cha kuuza mafuta cha GBP kilichopo Tabora kwa kutouza mafuta kwa siku tatu wakati kukiwa na akiba ya mafuta kwenye ghala. Taarifa ya EWURA Tabora imeeleza kuwa baada ya kukifungia kituo"
X Link 2023-09-03T18:34Z 204.4K followers, [--] engagements
"#NipasheJumapili RAIS wa Kenya William Ruto ametuma salamu za pole kwenda kwa Taifa la Morocco kufuatia vifo vya watu kadhaa na majeruhi waliotokana na tetemeko la ardhi lililotokea nchini humo. Kenya inasimama pamoja na watu wa Morocco wanapokabiliana na athari mbaya za tetemeko la ardhi lililokumba taifa lao Ijumaa usiku. Mawazo na sala zetu ziko pamoja na wote walioathirika. Ameandika Ruto kwenye mtandao wa X. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-09-10T12:14Z 204.4K followers, [----] engagements
"#NipasheJumapili UTAWALA wa kijeshi wa Niger umeituhumu Ufaransa kwa kukusanya wanajeshi na vifaa katika mataifa jirani ya Afrika ya magharibi kwa lengo la kuivamia kijeshi. DW imeripoti kuwa akizungumza kupitia televisheni ya taifa jana msemaji wa utawala huo Kanali Amadou Abdramane amesema kuwa Ufaransa inaendelea kupeleka vikosi vyake katika nchi kadhaa za Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika ya Magharibi ECOWAS kama sehemu ya maandalizi kwa ajili ya uchokozi dhidi ya Niger. Amefafanua kuwa Ufaransa imeshapeleka ndege za kijeshi helikopta na vifaru [--] katika nchi za Ivory Coast Benin na Senegal."
X Link 2023-09-10T13:24Z 206.2K followers, [--] engagements
""Tumeruhusu mikutano ya hadhara tukiwa na nia ya vyama vya siasa vizungumze wananchi wasikie sera mada na mipango yao ili vyama vikue na kurudisha wale waliowapoteza ili tukienda kwenye uchaguzi kila chama kiwe kimejijenga vya kutosha hatukutoa fursa ile watu wavunje sheria"
X Link 2023-09-11T10:36Z 204.4K followers, [--] engagements
"#HABARI BAADA ya kuachiwa kwa dhamana na Polisi mkoani Arusha Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara Tundu Lissu amesema wanaenda kujipanga na watarudi tena kwa ajili ya kufanya mkutano wa hadhara Ngorongoro. Mikutano ya mwisho haijakamilika tunaenda kujipanga tunaenda kupumzika halafu tutarudi Kanda ya Kaskazini tutaenda Ngorongoro tutaenda kila mahali tutafanya mikutano. Tutazungumza na wananchi wa Ngorongoro vinginevyo Rais na Serikali yake watuambie wanaficha nini Ngorongoro ni madhambi gani hayo aliyoyafanya Ngorongoro ambayo hataki nchi iyajue na dunia iyafahamu. #NipasheMwangaWaJamii"
X Link 2023-09-11T13:05Z 204.2K followers, 14.9K engagements
"#HABARI MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma amewataka vijana kuwekeza katika kilimo uvuvi na ufugaji ili wajiajiri wenyewe na kuajiri wenzao badala ya kuendelea kuinyooshea vidole serikali kwa kukosa ajira"
X Link 2023-09-13T08:24Z 204.4K followers, [--] engagements
"#HABARI KIONGOZI Mkuu wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amesema ziara yake nchini Urusi inaonesha umuhimu wa kimkakati wa uhusiano baina ya Nchi hizo mbili Kim tayari amewasili Urusi kushiriki mkutano wake na Rais Vladimir Putin wa Urusi. Mkutano huo unafuatiliwa kwa karibu na"
X Link 2023-09-13T10:03Z 204.2K followers, [---] engagements
"#BURUDANI MWANAMITINDO Mtanzania Zuhura Bedal Said maarufu kama Zara anazidi kupata umaarufu katika nchi za Ulaya na kufanikiwa kuyateka makampuni mbalimbali yanayojihusisha na mavazi. Ikiwa ni mara yako ya kwanza kufika katika nchi za Ujerumani na Italia utakutana na mabango"
X Link 2023-09-13T14:57Z 204.4K followers, [--] engagements
""Kwa mtu ambaye anaamini katika sheria si adui kwa Askari na Askari si adui wa mtu anayefuata sheria kwahiyo ukimuona Askari ujivune kabisa kwamba umeona mahali salama na sahihi pa kupeleka shida zako lakini sio kukimbia yule anayekimbia ujue ana tabia za kuvunja sheria maana yake ana mawazo ya kufanya uhalifu Askari awe rafiki ili sote tuwe salama" -amesema Mwanasheria wa usalama barabarani Deus Sokoni katika mahojiano na chombo kimoja cha habari. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-09-14T06:58Z 204.8K followers, 11K engagements
"#HABARI MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara Tundu Lissu ameondoka nchini juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi nchini Kenya ambako alianza rasmi safari ya kwenda katika mataifa ya Ubelgiji na Marekani. Lissu atakaa nje ya nchi kwa"
X Link 2023-09-14T07:23Z [--] followers, [----] engagements
"#HABARI SERIKALI Mkoa wa Singida imesema itashirikiana na mwekezaji wa kiwanda cha kuchambulia pamba cha Biosustain (T) Limited kilichopo mjini Singida ili fedha Sh.milioni [--] ambazo anavidai Vyama vya Msingi (AMCOS) vya mkoani hapa ziweze kurejeshwa ili kutomkatisha tamaa"
X Link 2023-09-14T13:32Z 204.1K followers, [--] engagements
"#CAFCL FULL TIME Mchezo wa hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Power Dynamos dhidi ya Simba Sc umemalizika kwa sare ya mabao 2-2. Power Dynamos 2-2 Simba FT: Al Merrikh 0-2 Yanga #CAFCL #YangaSC #NipasheMichezo"
X Link 2023-09-16T15:20Z 204.5K followers, [--] engagements
"#CAFCL FULL TIME Dakika [--] za mchezo wa hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Al Merrikh dhidi ya Yanga Sc umemalizika katika dimba la Pele Kigali Rwanda kwa Wananchi wameibuka na ushindi wa mabao 2-0. Al Merrikh [--] - [--] Yanga SC #CAFCL #YangaSC"
X Link 2023-09-16T15:24Z 204.6K followers, [--] engagements
"#HABARI WANANCHI wa Kata ya Mtyangimbole Kijiji cha IKalangiro kilichopo Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wametakiwa kutofanya makosa katika uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata hiyo unaotarajiwa kufanyika Septemba [--] mwaka huu na kuombwa kumchagua mgombea anayetokana na Chama"
X Link 2023-09-16T15:35Z 204.3K followers, [--] engagements
"#PICHA NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk.Doto Biteko leo Septemba [--] [----] ametembelea Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere Hydro Power Project ( JNHPP) ambao ujenzi wake umefikia asilimia [--]. [--] huku bwana likiwa na ujazo wa mita [------] sawa"
X Link 2023-09-16T17:03Z 204.6K followers, [--] engagements
"#PICHA RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa Kata ya Lupaso Masasi Mkoani Mtwara. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-09-17T07:56Z 204.5K followers, [--] engagements
"#NipasheJumapili MAHAKAMA moja mjini CAIRO imemhukumu mchapishaji na mwanaharakati mashuhuri Hisham Kassem ambaye hivi karibuni alizidisha ukosoaji wake dhidi ya utawala wa Rais Abdel Fattah al-Sisi kifungo cha miezi sita jela wakili wake alisema. Kassem ni kiongozi wa kundi"
X Link 2023-09-17T09:56Z 204.8K followers, [--] engagements
"#ADVERT [--] days to go Tanzania Investment Centre (TIC) brings you the launch of : [--]. Tanzania Electronic Investment Window (TeIW) [--]. TIC Guide to Investors Service Providers [--]. Ambitious Investment Promotion"
X Link 2023-09-20T09:48Z 204.1K followers, [--] engagements
"( ) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameungana na Rais wa Zambia Hakainde Hichilema kuweka mashada ya maua kwenye Mnara wa Uhuru wa"
X Link 2023-10-24T12:25Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itatenga eneo la ekari [--] katika Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kuhudumia mizigo kutoka Zambia. Rais alitoa kauli hiyo wakati akitoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka [--] ya Uhuru wa Zambia ambapo yeye alikuwa mgeni rasmi. Zambia ni mteja mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam ikichukua asilimia [--] ya mizigo yote inayopitia bandari hiyo kwenda nje ya Tanzania. Rais Samia alitumia fursa hiyo kusema kwamba mipaka ya kijiografia baina ya Tanzania na Zambia haipaswi kuwa kikwazo cha biashara na uwekezaji baina ya nchi jirani. #NipasheMwangaWaJamii"
X Link 2023-10-24T13:54Z 204.1K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NipasheMwangaWaJamii popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Oktoba [--] 2023"
X Link 2023-10-24T19:54Z 204.1K followers, [---] engagements
"#HABARI MAJIMBO [--] nchini Marekani yameishitaki kampuni inayomiliki mitandao ya kijamii ya Meta ikishutumu kuathiri afya ya akili ya vijana kupitia uraibu wa namna mitandao hiyo ilivyo. VOA imeripoti kuwa Kesi hiyo ilifunguliwa Jumanne katika mahakama ya serikali kuu mjini Oakland California ikishutumu Meta kwa kuweka vitu vinavyo sababisha uraibu katika mitandao yake ya kijamii ya Instagram na Facebook. Vilevile inashutumi kampuni hiyo ya mtandao kuchukuwa taarifa za vijana wadogo walio chini ya miaka [--] bila wazazi wao kuruhusu ikivunja sheria ya serikali kuu. Mlalamikaji amesema utafiti"
X Link 2023-10-25T09:01Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Tanzania na Zambia zinajipanga kuhakikisha Reli ya TAZARA inafanya kazi kwa uwezo wake wote na kuchochea uchumi wa nchi hizo mbili. Akihutubia kwenye Bunge la Zambia leo jioni Rais Samia amesema kwa sasa reli hiyo inafanya kazi kwa asilimia nne tu ya uwezo wake jambo linalohitaji mabadiliko. Reli ya Tazara ina uwezo wa kusafirisha kiasi cha tani za mizigo milioni tano (5000000) lakini kwa sasa kiasi cha tani laki moja na elfu themanini na nane (184000) pekee ndizo zinazosafirishwa. #NipasheMwangaWaJamii"
X Link 2023-10-25T20:20Z 204K followers, [---] engagements
"( ) WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Dk. Saada Mkuya Salum amesema uamuzi wa kampuni ya Airpay kuanzisha kituo cha teknolojia nchini utachochea kasi ya ukuaji wa uchumi wa Zanzibar na Tanzania kwa"
X Link 2023-10-26T04:06Z 204K followers, [---] engagements
"( ) BAADA ya Stephane Aziz Ki kufunga mabao matatu hat-trick katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa juzi akiipa timu yake ya Yanga ushindi wa 3-2 idadi hiyo si tu inamfanya kuwa kinara wa ufungaji kwa sasa bali ameweka rekodi nyingine mpya. Katika hat-trick hiyo bao moja la Aziz Ki lilitokana na mpira wa kutenga (faulo) hivyo linamfanya kuweka rekodi nyingine ya kuongoza kwa kufunga mabao mengi ya faulo mpaka sasa. Akizungumza mchezaji huyo raia wa Burkina Faso alisema hattrick yake anaitoa zawadi kwa wachezaji wenzake kwa sababu ndiyo"
X Link 2023-10-26T15:48Z 204.1K followers, [----] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NipasheMwangaWaJamii popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Oktoba [--] 2023"
X Link 2023-10-27T02:47Z 204.1K followers, [---] engagements
"#TANZIA Chama cha Mapinduzi CCM kimesikitishwa na taarifa ya kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Arusha Zelote Stephen. Zelote amefariki dunia jijini Dar es Salaam jana akiwa hospitalini akiendelea kupatiwa matibabu Mbunge wa Ukonga Jerry Silaa amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram akisema kuwa kada huyo wa Chama cha Mapinduzi CCM amefariki akiwa hospitalini ambako alikuwa akiendelea na matibabu. Enzi za uhai wake Zelothe amewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa pamoja na kuhumudumu kama Kamanda wa Polisi katika mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma na Mbeya."
X Link 2023-10-27T03:08Z 204.1K followers, [----] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameeleza mikakati ya serikali katika kufanya ujenzi wa maboresho ya barabara za Mkoa wa Dar es Salaam huku akisisitiza TANROADS TARURA na DART kuhakikisha wanatenga sehemu maalaum ya kupumzika pembezoni mwa Barabara ikiwemo bustani za na upandaji wa miti. #NipasheMwangWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-10-28T11:00Z 204.1K followers, [----] engagements
": Chama cha ACT Wazalendo kimeshinda uchaguzi mdogo wa Jimbo la Mtambwe Pemba ambapo mgombea wake wa Nafasi ya Uwakilishi Dk Mihammed Ali Suleiman amepata kura [----] na kumshinda mgombea wa CCM Hamad Khamis aliyepata kura [----]. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-10-28T18:05Z 204.1K followers, [----] engagements
"( ) MADIWANI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga wamelalamikia kitendo cha kukithiri wimbi la wizi mashuleni kwa kuiba mali za shule yakiwamo na masufuria ya kupikia chakula cha"
X Link 2023-10-30T15:14Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) WANAWAKE katika Mkoa wa Shinyanga wamempatia Tuzo ya pongeza Rais Samia kutokana na kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo mkoani humo na Tanzania kwa ujumla na kufikiwa vijiji"
X Link 2023-10-30T16:24Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) Programu ya kuendeleza kilimo na Uvuvi (AFDP) imewezesha Tafiti za Kiteknolijia kupitia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Nchini (TARI) katika kuzalisha mbegu za kisasa zenye uwezo wa kukabiliana na Mabadiliko ya"
X Link 2023-10-30T16:44Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) RAIS Samia Suluhu Hassanamewaagiza watendaji wa serikali kushirikiana na Zambia kuondoa tatizo la foleni ya malori katika mpaka wa nchi"
X Link 2023-10-30T20:02Z 204.1K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NipasheMwangaWaJamii popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Oktoba [--] 2023"
X Link 2023-10-30T20:59Z 204.3K followers, [---] engagements
"#BallonDor Kiungo wa Real Madrid Timu ya Taifa England Jude Bellingham ameshinda tuzo Kopa Trophy kama mchezaji bora mwenye umri chini ya miaka [--] kwenye hafla la tuzo za Ballon d'or [----]. Bellingham imewashinda: 🏴 Jude Bellingham 🥇 Jamal Musiala 🥈 Pedri 🥉 Eduardo Camavinga (4th) Gavi (5ty) Xavi Simons (6th) Alejandro Bald (7th) Antnio Silva (8th) Rasmus Hjlund (=9th) Elye Wahi (=9th) #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-10-30T21:21Z 204.1K followers, [---] engagements
"#BallonDor Winga wa Real Madrid Vinicius Junior ametwaa tuzo ya Socrates kwa mapambano yake dhidi ya ubaguzi wa rangi pamoja na mchango wake wa hisani kwa jamii kwa kuanzisha Taasisi ya Vini Jr ambayo inasaidia wanafunzi wasio na uwezo kupata elimu. Tuzo kama hiyo ikiwahi kuchukuliwa na Sadio Mane mnamo [----] kwa kujitolea kwake kwa jamii. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-10-30T21:33Z 204.1K followers, [---] engagements
"#BallonDor Golikipa wa Aston Villa na Timu ya Taifa ya Argentina Emiliano Martnez ametwaa tuzo ya Yashin Trophy kama Golikipa Bora wa mwaka [----]. Martnez amewashinda; Yassine Bounou Thibaut Courtois Mike Maignan Marc-Andr ter Stegen Andre Onana 🏴 Aaron Ramsdale Dominik Livakovi Brice Samba #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-10-30T21:44Z 204.1K followers, [---] engagements
"#BallonDor Mshambuliaji wa Manchester City na Timu ya Taifa ya Norway Erling Haaland ameshinda tuzo ya 'Gerd Muller Trophy ' kama Mshambuliaji Bora wa mwaka [----] kwenye sherehe za tuzo za Ballon d'or. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-10-30T21:59Z 204.1K followers, [---] engagements
"#BallonDor Mwamba wa soka duniani Lionel #Messi ametangazwa mshindi wa tuzo ya mwanasoka bora duniani (Ballon d'Or) [----]. Tuzo hiyo inakuwa ya nane (8) kwake akiwa ni mchezaji pekee aliyeshinda tuzo hiyo mara nyingi zaidi. 🏆 [----] 🏆 [----] 🏆 [----] 🏆 [----] 🏆 [----] 🏆 [----] 🏆 [----] 🏆 [----] #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-10-30T22:18Z 204.1K followers, [----] engagements
"#HABARI RAIS wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier amesema Ujerumani iko tayari kufanya mazungumzo na Tanzania kuhusu urithi wa miongo yake mitatu ya utawala wa kikoloni katika taifa la Afrika Mashariki na kurudisha mali za kitamaduni na mabaki ya binadamu. Wanasiasa na wanaharakati wa Tanzania wamekuwa wakisisitiza kwa muda mrefu kuhusu fidia na kurejeshwa kwa mabaki ya binadamu yaliyochukuliwa kutoka nchini mwao ambayo yanaonyeshwa katika makumbusho nchini Ujerumani. "Hatupaswi kusahau yaliyopita Uhusiano kati ya nchi hizo mbili umegubikwa na ukatili wa uvamizi wa ukoloni wa Kijerumani"
X Link 2023-11-01T06:24Z 204.1K followers, [----] engagements
"( ) Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA) Monica Hangi amewaomba Wanawake wanaonufaika na mchakato wa programu ya Mwanamke Sokoni inayoratibiwa taasisi isiyo ya kiserikali ya Equality for Growth (EFG) kutumia teknolojia ili kukuza"
X Link 2023-11-01T15:46Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wamewasilisha taarifa za utekelezaji wa shughuli za Maendeleo kwenye Kata zao na kulalamikia tatizo la kushindwa kukamilishwa maboma ambayo yalianzishwa kwa nguvu za"
X Link 2023-11-01T16:09Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) MTANDAO wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (MKUKI) umetangaza Novemba [--] mwaka huu kuzindua rasmi Maadhimisho ya Kampeni ya Siku [--] za Uanaharakati Dhidi ya Ukatili wa Kijinsia yatakayohitimishwa Desemba [--] mwaka huu. Akizungumza na wanahabari leo Mkurugenzi wa Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo barani Afrika (WiLDAF) Anna Kulaya alisema mtandao wa MKUKI unaojumuisha mashirika yasiyo ya kiserikali zaidi ya [---] chini ya uratibu wa WiLDAF kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum wadau wa Maendeleo mashirika ya haki za binadamu Asasi"
X Link 2023-11-01T16:52Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) DEREVA Philipo Mhina (52) Mkazi wa Nyansaka mkoani Mwanza na dereva wa gari la shule ya Msingi Nyamunge anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa kosa la kumgonga na kumsababishia kifo Askari Polisi kitengo cha Usalama barabarani WP [----] Sajenti Stella Alphonce (49) aliyekuwa akitekeleza majukumu"
X Link 2023-11-01T17:13Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme amempongeza Rais Samia kwa kuboresha huduma za kiafya mkoani Shinyanga pamoja na kutoa vifaa tiba vya kisasa ikiwamo Digital X-Ray Mashine na CT-SCAN ya kisasa na kutoa huduma bora matibabu kwa wananchi na kuokoa afya"
X Link 2023-11-01T17:14Z 204.1K followers, [---] engagements
"#HABARI MBUNGE wa upinzani kutoka katika Chama cha Citizens Coalition for Change (CCC) huko nchini Zimbabwe Takudzwa Ngadziore ametekwa nyara na watu wasiojulikana na kisha kutupwa umbali wa takriban kilomita [--] kaskazini mwa mji mkuu Harare. Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters limesema kuwa Ngadziore mwenye umri wa miaka [--] ambaye ndiye mbunge kijana zaidi kutoka chama cha Citizens Coalition for Change aliweka video mubashara kwenye Facebook ikionyesha mwanamme akikimbia kuelekea alipokuwa akiwa ameshika bunduki aina ya riffle kabla ya video hiyo kukatizwa ghafla kwa sekunde 7."
X Link 2023-11-02T06:00Z 204.1K followers, [----] engagements
"( ) MADEREVA wa malori ya mizigo kuelekea nchi jirani kupitia mpaka wa Zambia na Tanzania Tunduma wameomba kuongezwa eneo la kusubiria ambalo litaimarishwa ulinzi na usalama kuepukana na"
X Link 2023-11-03T11:45Z 204.1K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NipasheMwangaWaJamii popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Novemba [--] 2023"
X Link 2023-11-04T22:09Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia kujihusisha na sanaa msanii wa Bongo Fleva Whozu na kumtaka kushusha mara moja video ya wimbo wake wa Ameyatimba kwenye digital platform zote kutokana na maudhui yalipo ndani yake. Whozu amefungiwa kujihusisha na kazi za sanaa kwa miezi sita na kutozwa faini ya sh. milioni tatu kuanzia Novemba [--] [----]. BASATA pia imewafungia Billnass na Mbosso ambao wameshirikishwa kwenye wimbo huo kutojihusisha na sanaa kwa miezi mitatu kila mmoja na kutozwa faini ya sh.milioni tatu. Wasanii hao wamekumbana na adhabu hizo baada ya wimbo huo kuwa na maudhui"
X Link 2023-11-04T22:11Z 204.1K followers, [---] engagements
"#NipasheMtandaoni Kutoka Mtandaoni Shabiki wa soka anahoji. Simba Sc imemfukuza kocha wake siku chache baada ya kuwa kocha bora wa mwezi. Na kama haitoshi kocha aliyemfukuzisha kazi (Gamondi-Yanga) alizidiwa na kocha wa Simba SC katika kinyang'anyiro hicho. Yaani kocha Robertinho hajapoteza katika mechi nyingi. Anafukuzwa kwa mechi moja tu Tumerogwa #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-11-07T12:44Z 204.1K followers, [----] engagements
"( ) KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paul Makonda ameingia mkoani Kagera akiwa kwenye usafiri wa bajaji baada ya kuwasili uwanja wa ndege kwa ajili ya kuanza ziara yake leo. Makonda akiwa kwenye usafiri wa bajaji iliyokuwa wazi kwa juu aliwapungia wananchi mikono akiwa njiani kuelekea kiwanja cha Mayunga Manispaa ya Bukoba Mjini mkoani Kagera akisindikizwa na wanachama wa CCM. Msafara huo ulipambwa na waendesha boda boda wakiwa wanevalia tisheti za rangi ya chama huku kukiwa na mabango yenye ujumbe tofauti yaliyosomeka 'Asante mama Samia ametukosha na bodaboda'"
X Link 2023-11-09T13:03Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) MKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe kuhakikisha ujenzi wa shule ya Sekondari Kitanga unakamilika ifikapo Novemba [--] mwaka huu. Vilevile ameliagiza Shirika la Umeme TANESCO kuunganisha umeme katika shule hiyo ifikapo Desemba [--] [----] ili shule itakapoanza kutumika wanafunzi wasipate usumbufu lakini pia wananchi wapate urahisi wa kuunganishiwa nishati hiyo"
X Link 2023-11-09T13:57Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Doto Biteko leo amezindua kituo cha kwanza cha kisasa cha kujazia gesi asilia kwenye magari na karakana ya kuweka mfumo wa gesi asilia ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa mipango ya Serikali kuchochea matumizi ya gesi asilia kama nishati safi na salama kwa mazingira"
X Link 2023-11-11T19:03Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) JESHI la Polisi kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia doria ya pamoja imewakamata watuhumiwa wawili wakiwa na jumla ya mbuzi [---] ambayo walikua wanaisafirisha kwenda nje ya nchi kwa njia za magendo bila kuwa na vibali. Akiongea katika mnada wa Longido Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Nchini Kamishna Msaidizi wa Polisi Simon Pasua leo Novemba [--] [----] amebainisha kuwa mifugo hiyo pamoja na watuhumiwa hao wamekamatwa maeneo ya Buguruni C Wilaya ya Longido mkoani Arusha. Amesema bado wanaendelea na upelelezi na utakapokamilika watuhumiwa hao watafikishwa"
X Link 2023-11-19T10:45Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) LEO Novemba [--] [----] Klabu ya Simba imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Dar City na kuibuka na ushindi wa bao [--]. Waliofunga mabao hayo ni Willy Onana Mosses Phiri Che Malone pamoja na Israel Mwenda. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheMichezo"
X Link 2023-11-19T10:59Z 204.6K followers, [---] engagements
"#PICHA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Doto Biteko akipokea zawadi ya picha kutoka kwa Askofu Mkuu Mpya wa Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa baada ya kuwasili katika Makazi ya Baba Askofu mkoani Tabora Novemba [--] [----]. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-11-19T11:26Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) ASILIMIA [--] ya wanawake walioolewa wana mke mwenza mmoja au zaidi huku asilimia sita ya wanaume wakiwa na wake wawili au zaidi nchini takwimu rasmi za serikali zinabainisha. Viongozi wa dini wametaja sababu zinazochangia hali hiyo. Miongoni mwa sababu hizo ni utandawazi wanawake kukosa utii kwa waume zao na wanaume kupenda unafuu wa maisha kwa kukubali kulelewa"
X Link 2023-11-19T11:55Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) KATIBU Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT) Jokate Mwegelo ametoa wito kwa wazazi kuhakikisha wanashirikiana kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kuwaepusha kuingia katika vitendo"
X Link 2023-11-19T12:36Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) SERIKALI imeiomba Jumuiya ya Ismaili inayomiliki Hospitali za Aga khan kuangalia uwezekano wa kupunguza gharama za matibabu ili watanzania wenye kipato cha chini waweze kupata huduma. Ombi hilo lilitolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassani katika hafla ya kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammadi iliyo andaliwa na jumuiya hiyo"
X Link 2023-11-19T13:21Z 204.2K followers, [----] engagements
"( ) WATU watatu wamefariki dunia na wengine watatu kunusurika baada ya kuvuta hewa chafu ya moshi wa jenereta wakati wakilifanyia usafi ndani ya karo nyumbani kwa Mchungaji wa Kanisa la EAGT Utemini. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida Peter Majira akizungumza na waandishi wa habari jana alisema tukio hilo limetokea nyumbani kwa mchungaji huyo John Mafwimbo katika eneo la Sabasaba Manispaa ya Singida"
X Link 2023-11-19T14:19Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) ASILIMIA [--] hadi [--] ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti) kisha kupoteza maisha 'wanawapasua vichwa' wataalamu wa Hospitali ya Rufani ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kutafuta namna ya kukabiliana na vifo hivyo. Kati ya Januari hadi Novemba mwaka huu watoto njiti [---] wamezaliwa KCMC huku idadi ya waliopokewa kutoka maeneo mbalimbali ni watoto 1356"
X Link 2023-11-19T15:20Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) VIONGOZI wa Senet ya vyuo na vyuo vikuu Mkoa wa Shinyanga wa Umoja wa Vijana (UVCCM) wamefanya ziara katika Chuo Cha Sayansi za Afya Kolandoto katika Manispaa ya Shinyanga kwaajili ya kutoa elimu ya itikadi kwa wanachama wa senet pamoja na kuwapatia kadi za CCM. Ziara hiyo imefanyika jana na kuongozwa na Mwenyekiti wa Senet Said Sultani ambayo iliendana sambasamba na kuhamasisha kuongeza idadi ya wanachama wapya ili kuendelea kukiimarisha Chama cha Mapinduzi (CCM) na Jumuiya zake. Sultani akizungumza na Wanachama wa Senet katika chuo hicho cha Sanyansi za Afya Kolandoto amesema katika"
X Link 2023-11-19T15:55Z 204.2K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Novemba [--] 2023"
X Link 2023-11-19T19:37Z 204.2K followers, [---] engagements
"#HABARI BAADHI ya serikali za Kiislamu zimelaani uhalifu wa Israel katika mikutano mbalimbali wakati baadhi yao hawajafanya hivyo. Hili halikubaliki alisema Khamenei kabla ya kusisitiza kuwa jukumu kuu la serikali za Kiislamu ni kusitisha nishati na bidhaa nyingine kwenda Israel Kiongozi mkuu wa kidini wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ametoa wito kwa mataifa ya Kiislamu yenye uhusiano wa kisiasa na Israel kukata mahusiano kwa kipindi fulani vyombo vya habari vya kitaifa vimeripoti ikiwa ni wiki kadhaa baada ya kutoa wito wa vikwazo vya mafuta na chakula dhidi ya Israel. Wakati wa mkutano wa"
X Link 2023-11-20T07:00Z 204.4K followers, [---] engagements
"#HABARI RAIS wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta amewataka viongozi waliochaguliwa kufanya kazi katika kuboresha maisha ya Wakenya. Akizungumza mjini Mwingi jana Rais huyo wa zamani alisema licha ya kustaafu siasa amekuwa akiiombea nchi. Huku kukiwa na kupanda kwa gharama ya maisha jambo ambalo linawaacha Wakenya wengi bila matumaini mkuu huyo wa zamani wa serikali alisema kuwa amekuwa akiiombea nchi kila mara. "Wakati wangu katika siasa umekwisha. Lakini sasa naiombea nchi yetu. Naiombea nchi yetu kwa kweli ili kuwe na amani na umoja. Matumaini yangu ni kwamba viongozi wanapaswa kuungana kwa"
X Link 2023-11-20T07:48Z 204.2K followers, [--] engagements
"( ) TAFADHALI tuma pesa kwa namba hii. Huu ni ujumbe mfupi wa maandishi ambao umekuwa ukiwafikia wateja wengi wa simu za mkononi kutoka kwa matapeli huku wengine wakipigiwa simu kuwa watoto wao walioko shule za bweni wanaumwa hivyo watume fedha za matibabu. Utapeli huu wa mtandaoni umeshika kasi nchini huku wananchi kutoka mikoa mbalimbali wakifunguka namna walivyolizwa kwa kuibiwa fedha zao na mbinu za matapeli hao zikibadilika mara kwa mara. Mbinu wanazotumia ni baadhi kujitambulisha kama watumishi katika kampuni za simu au watu wa karibu wa wanaowatapeli wengine hujifanya kuwa na wagonjwa"
X Link 2023-11-20T08:04Z 204.2K followers, [----] engagements
"#HABARI RAIS wa Kenya William Ruto amesema Serikali inafanya mabadiliko ya gharama za matibabu kwa Wananchi wa kipato cha chini wanaotumia Bima ya Mfuko wa Bima wa Taifa (NHIF) ambapo waliokuwa wanalipa Tsh. [----] kwa mwezi wataanza kulipa Tsh. [----]. Ruto ameongeza kuwa kwa wananchi wasio na uwezo wa kumudu gharama za matibabu serikali inakamilisha mpango wa kutambua hali ya kipato cha kila mwananchi na itabeba gharama zote ili watibiwe bure. Amesema "Kila mwananchi kwa umoja wetu tutaenda hospitali na tutatibiwa bila ya kuulizwa pesa yoyote kwasababu tunataka kuhakikisha kwamba Kenya ni Nchi"
X Link 2023-11-20T08:41Z 204.2K followers, [----] engagements
"( ) MVUA inayoendelea kunyesha mkoani Tanga imesababisha ndoa mbili zilizokuwa zimepangwa kufungwa wikiendi ya jana kushindwa kufanyika. Hiyo imetokana na mabwana harusi wawili waliokuwa wakitoka Segera na Tanga mjini kwenda kuoa katika Tarafa ya Amani wilayani Muheza kushindwa kuendelea na safari baada ya daraja la Mto Msangazi kufurika maji"
X Link 2023-11-20T09:17Z 204.2K followers, [----] engagements
"#HABARI WAZIRI Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Augustin Matata Ponyo ameachana na azma yake ya kuwania urais na badala yake ameeleza kumuunga mkono mgombea atakayeteuliwa na muungano wa upinzani. Hii ni kufuatia mapendekezo ya wagombea wanne wa upinzani waliokutana Afrika Kusini wiki iliyopita. Kupitia mtandao wa kijamii wa X Waziri Mkuu huyo wa zamani amesema atamuunga mkono Moise Katumbi mfanyibiashara tajiri na gavana wa zamani wa jimbo la Katanga. Katumbi anatarajiwa kuzindua kampeni yake leo Jumatatu. Wawakilishi wa vyama vikuu vya upinzani nchini Kongo walifanya"
X Link 2023-11-20T09:51Z 204.2K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Novemba [--] 2023"
X Link 2023-11-20T19:14Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) NI miaka mitano sasa tangu serikali itangaze kujaa kwa maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kuzika mkoani Dar es Salaam lakini baadhi ya maeneo hayo yanaendelea kutumika kwa maziko. Uchunguzi wa Nipashe umebaini kuwa gharama za maziko katika maeneo ya jiji ni kuanzia Sh. milioni [---] hadi Sh. milioni [---] kwa kaburi la kujengwa kwa zege na Sh. [------] hadi Sh. [------] kwa lisilojengwa kwa zege. Waandishi wa habari hizi wamebaini kuwa madalali ndio hutumika kutangaza kuwapo nafasi za kutosha na kupanga bei. Uchunguzi wetu umebaini kuwa makaburi ya Kinondoni Sinza Kisutu na Magomeni yameendelea"
X Link 2023-11-21T07:51Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Taifa (UWT) Mary Chatanda amewahamasisha wanawake nchini kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan ili achaguliwe kiti cha urais mwaka [----]. Amesema fursa za uongozi wa juu hasa kwa wanawake ni nadra kutokea nafasi iliyopatikana kwa kundi hilo isiachwe kwa kumuunga mkono Samia arudi katika urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025"
X Link 2023-11-21T08:44Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) WAZIRI wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amewasimamisha kazi Wakurugenzi wawili wa Halmashauri kuanzia jana Novemba [--] [----] kwaajili ya kupisha uchunguzi. Wakurugenzi hao waliosimamishwa ni Butamo Nuru Ndalahwa wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro Lena Martin Nkaya. Mchengerwa amechukua hatua hiyo baada ya kupokea taarifa ya awali ya timu iliyoundwa kuchunguza tuhuma za Wakurugenzi hao kushindwa kusimamia miradi ya maendeleo katika Halmashauri zao kwa nyakati tofauti timu hiyo iliyoundwa na Katibu Mkuu kwa maelekezo"
X Link 2023-11-21T09:21Z 204.2K followers, [---] engagements
"#HABARI RAIS wa Liberia Joseph Boakai ambaye ameMshinda aliyekuwa Rais wa nchi hiyo George Weah katika duru ya pili ya urais wa Novemba [--] amesema utawala wake utaangalia kwa karibu mikataba ya uchimbaji madini ili kuhakikisha kuwa inanufaisha nchi. Amesema kinachofuata ni kushughulikia masuala ambayo yanarudisha nyuma nchi na kutaja ufisadi na ukosefu wa huduma za msingi. Boakai amesema eneo muhimu ambalo Waliberia hawajanufaika nalo ni sekta ya madini licha ya kuwa na akiba kubwa ya madini katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi ikiwa ni pamoja na almasi dhahabu madini ya chuma na mbao."
X Link 2023-11-21T09:38Z 204.1K followers, [---] engagements
"( ) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Abdurahman Kinana amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Somalia nchini Tanzania Zahra Hassan leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam ambapo lengo la mazungumzo hayo ni pamoja na kuimarifa ushirikiano wa kidemokrasia. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-11-21T16:22Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewapongeza wahitimu bora wa Chuo Kikuu cha Kilimo Cha Sokoine (SUA) cha Morogoro kwa kuwapatia zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni"
X Link 2023-11-22T05:36Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) KATIBU Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Professa Godius Kahyarara amewahakikishia watumiaji wa Bandari ya Dar es Salaam kuwa serikali inapitia kwa kina mifumo ya upokeaji na upakiaji shehena kukabiliana na ongezeko la Shehena na matumizi ya bandari ya Dar es Salaam ili kuvutia watumiaji wengi zaidi kwa"
X Link 2023-11-22T11:05Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imesema baada ya ripoti ya uchunguzi wa tuhuma za kifo cha mjamzito Mariam Zahoro (39) na kichanga chake kukamilika itachukua uamuzi mgumu ikiwamo kunyanganya leseni za watumishi wa afya watakaobainika. Mariam na kichanga chake walipoteza maisha Novemba [--] mwaka huu katika Kituo cha Afya cha Kabuku kilichoko Wilaya ya Handeni mkoani Tanga kwa madai ya kukosekana Sh. [------] gharama ya kufanyiwa upasuaji. Naibu Katibu Mkuu (TAMISEMI) anayeshughulikia afya Dk. Wilson Mahera alisema serikali itawapokonya leseni hizo wale"
X Link 2023-11-22T12:19Z 204.2K followers, [----] engagements
"( ) MKOA wa Mara umenufaika na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh. [---]. [--] ambavyo vimepelekwa Kituo cha Afya Kisorya kilichopo wilayani Bunda kwa ajili ya kuhudumia katika kituo"
X Link 2023-11-22T19:29Z 204.2K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Novemba [--] 2023"
X Link 2023-11-22T19:36Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) WIZARA ya Elimu imetoa wito kwa watanzania hasa wanaojihusisha na uandishi bunifu kuendelea kupeleka kazi zao za uandishi kwaajili ya kushindanishwa ikieleza kuwa mwisho wa uwasilishaji wa kazi hizo itakuwa ni Novemba [--] mwaka"
X Link 2023-11-24T15:33Z 204.2K followers, [---] engagements
"#CAFCL Yanga yadondosha pointi tatu Algeria Full Time : CR Belouizdad [--] - [--] Yanga SC. Benguit DK10 Maskani DK45+2 Jallow 90+4 #CAFCL #YangaSC #CRB"
X Link 2023-11-24T21:41Z 204.2K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Novemba [--] 2023"
X Link 2023-11-25T03:21Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) Imeelezwa kwamba uwekezaji wa hoteli kubwa na za kisasa unasaidia katika kuchochea shughuli za utali na kuongeza thamani ya Mji wa Mbinga kwa sababu ya upekee wa vivutio"
X Link 2023-11-25T04:28Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) SHIRIKA la WaterAid Tanzania limetoa msaada wa vifaa vya usafi katika vituo viwili vya afya wilayani Temeke kwa ajili ya kuadhikisha siku ya choo duniani ambayo hufanyika Novemba [--] kila"
X Link 2023-11-25T04:54Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha kuwa wanatekeleza agizo la Rais Dk. Samia Suluhu Hassan la kuendelea kutoa elimu ya mlipakodi kwa Watanzania na Wafanyabiashara ili kuleta ufanisi katika ukusanyaji kodi kuendelea kuweka uhusiano mzuri kati ya Wafanyabiashara na TRA na kuhakikisha kuwa kila anayestahili kulipa kodi nchini anailipa bila"
X Link 2023-11-25T05:34Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) RAIS Mstaafu wa Serikali ya Mapindunzi ya Zanzibar Dk. Ally Mohamed Shein amewasisitiza wahitimu kutoka vyuo mbalimbali nchini kuzingatia suala la nidhamu na weledi ili kulinda heshima ya elimu zao na kufikia malengo"
X Link 2023-11-25T08:31Z 204.2K followers, [---] engagements
"( ) Benki ya NMB iliibuka Mshindi wa Jumla Kitaifa kama Mlipa Kodi Mkubwa Zaidi Tanzania na kama Mlipa Kodi Bora zaidi anayelipa Kodi kwa hiari (Most Compliant Tax"
X Link 2023-11-26T07:28Z 204.3K followers, [---] engagements
"( ) Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk.Doto Biteko ametunuku vyeti vya ngazi mbalimbali kwa wahitimu [---] wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori cha Mweka mkoani Kilimanjaro ambapo amewaasa kuwa chochote watakachofanya kuchukia rushwa kutojitajirisha katikati ya hali ngumu za wananchi na walinde maliasili za nchi kwa wivu mkubwa na kuwa walinzi wa"
X Link 2023-11-26T11:01Z 204.3K followers, [---] engagements
"( ) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Benki ya Mandeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa mchango wake katika kutoa mikopo yenye riba nafuu na hivyo kuchangia kuboresha maisha ya wakulima na kukuza uchumi wa nchi ambao kwa kiasi kikubwa unategemea"
X Link 2023-11-26T17:14Z 204.3K followers, [---] engagements
"( ) KASI ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu za kiume imekuwa ikiongezeka kila uchao kutokana na watu wengi kukumbwa na tatizo hilo. Sababu kubwa ni mfumo wa maisha hasa ulaji wa vyakula na matumizi ya"
X Link 2023-11-27T10:57Z 204.3K followers, [----] engagements
"( ) WAKATI kukiripotiwa athari za vifo uharibifu wa mali na miundombinu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wananchi katika maeneo mbalimbali wamesema kuna uwezekano wa kutokea baa la njaa kwa sababu ya mazao"
X Link 2023-11-27T11:20Z 204.3K followers, [----] engagements
"( ) MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuanzia sasa wahudumu watakaofanya kazi katika vyombo vya moto vya kibiashara vya ardhini ni ambao wamepata mafunzo na kusajiliwa rasmi na mamlaka"
X Link 2023-11-27T11:50Z 204.3K followers, [----] engagements
"( ) VIONGOZI wa Chama cha Msalaba Mwekundu nchini wamekumbushwa kuzingatia umuhimu wa kuwapo chama hicho nah majukumu yake na kuyasimamia"
X Link 2023-11-27T12:49Z 204.3K followers, [--] engagements
"( ) NAIBU Waziri wa Nishati Judith Kapinga ameelekeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha kwamba wanatatua changamoto zote sugu ambazo zimekuwa zikiripotiwa kwa muda mrefu hasa katika sekta ya huduma kwa wateja ili kupunguza malalamiko kwa"
X Link 2023-11-27T13:22Z 204.3K followers, [---] engagements
"( ) BENKI ya NMB imeingia Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Kampuni ya Uuzaji na Usambazaji Gesi ya Oryx Gas Tanzania yaliyopewa jina la 'Moto Mkali Bei Poa' ambao ni mpango mkakati unaolenga kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ya kupikiaili kuunga mkono juhudi za utunzaji mazingira kukabiliana na mabadiliko ya"
X Link 2023-11-27T16:36Z 204.3K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Novemba [--] 2023"
X Link 2023-11-28T20:42Z 204.3K followers, [---] engagements
"( ) KAMATI ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi ya Bodi ya Ligi Zanzibar imetoa alama tatu na mabao mawili kwa Zimamoto SC baada ya shabiki wa timu ya Kundemba FC kumpiga mwamuzi pembeni (mshika kibendera namba mbili) na kusababisha mchezo huo kuvunjika ndani ya dakika za nyongeza. Katika mchezo huo ulichezwa Novemba [--] mwaka huu kwenye Uwanja wa Mau hadi unavunjika timu hizo zilikuwa zimetoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2"
X Link 2023-11-29T14:00Z 204.3K followers, [----] engagements
"( ) NAIBU Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema hadi kufikia Juni [----] vijiji vyote hapa nchini na baadhi ya vitongoji vyake vitakuwa tayari vimeshapata umeme huku akiwagiza wakandarasi wote wanaofanya miradi hiyo kuhakikisha wanatekeleza kwa wakati. Judith amesema hayo wakati akiwasha umeme katika vijiji vya Maseyu na New Land vilivyopo katika Halmshauri ya Wilaya ya Morogoro ikiwa kama uzinduzi rasmi wa kufika kwa umeme wa mradi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA)"
X Link 2023-11-29T15:41Z 204.3K followers, [----] engagements
"( ) MWANAFUNZI wa udaktari Ahlam Azam Mohamed ameweka rekodi ya kuwa mwanafunzi mdogo kuliko wote kuwahi kutokea nchini kuhitimu Shahada ya Udaktari wa binadamu akiwa na miaka"
X Link 2023-11-29T16:26Z 204.3K followers, [----] engagements
"#PICHA RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakati akielekea Dubai kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) leo November [--] [----]. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-11-30T08:36Z 206.2K followers, [--] engagements
"( ) LICHA ya serikali kuweka mikakati madhubuti kudhibiti uharibifu wa misitu ya hifadhi nchini kwa lengo la kuepusha nchi kuwa jangwa siku za usoni baadhi ya wakulima wameibuka na mbinu mpya ya kuingia kwenye hifadhi nyakati za usiku kufanya shughuli za kilimo kwa kutumia mwanga wa tochi"
X Link 2023-11-30T10:09Z 204.3K followers, [----] engagements
"(: ) Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Richard Mchomvu akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu mmoja wa watuhumiwa wa kesi za udhalilishaji kulawitiwa mahabusu ya polisi. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-11-30T11:15Z 204.3K followers, [----] engagements
"( ) NAIBU Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa amegoma kuchangia ujenzi wa Shule ya Msingi Mundarara mpaka apate maelezo ya kina Sh. milioni [---] zilizotolewa na serikali kuu zimetumikaje katika ujenzi wa shule hiyo. Dk. Kiruswa ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Longido mkoani Arusha alitoa msimamo huo baada ya kutembelea shule hiyo na kujionea ujenzi wa madarasa manane jengo la utawala vyumba vitatu vya maabara na vyoo havijamalizika na nyumba ya mkuu wa shule haijajengwa milango hakuna na sakafu haijawekwa huku Sh. milioni [---] zikiwa zimetumika katika ujenzi huo"
X Link 2023-11-30T12:51Z 204.3K followers, [----] engagements
"( ) BODI ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha mbio za kilomita tano na [--] pamoja na michezo ya kuogelea kwa washiriki wa kongamamo la Wahasibu mwaka huu linalofanyika kwa siku tatu jijini Dar es"
X Link 2023-11-30T13:24Z 204.3K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Desemba [--] 2023"
X Link 2023-11-30T19:51Z 204.3K followers, [---] engagements
"( ) SHIRIKA linalojihusisha na masuala ya utunzaji wa mazingira haki za binadamu na Jinsia la Envirocare Tanzania limewajengea uwezo vijana [--] kutoa Vyuo vikuu na wanasiasa namna bora ya kutumia stadi za mawasiliano ili kuweza kushirinki kikamilifu kugombea nafasi za"
X Link 2023-12-01T12:53Z 204.3K followers, [---] engagements
"( ) WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa Daraja la Bibi Titi Mohamed Mohoro"
X Link 2023-12-01T18:36Z 204.3K followers, [---] engagements
") SHIRIKA lisilo na kiserikali la Equality for Growth (EFG) linaendelea kuunga mkono juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kupanda miti na miche ya matunda katika shule mbalimbali"
X Link 2023-12-02T16:20Z 204.4K followers, [----] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Desemba [--] 2023"
X Link 2023-12-03T04:16Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Wakala ya Maabara ya Veterinari nchini (TVLA) imetangaza kuanza kuwashughulikia wazalishaji na wauzaji wa vyakula vya mifugo wasiofuata sheria na kanuni zinazoongoza utekelezaji wa shughuli"
X Link 2023-12-03T05:12Z 204.3K followers, [----] engagements
"( ) Wahitimu wa Chuo cha Biblia cha Evengelism Church wameaswa kuwa askari wazuri wa vita dhidi ya mmomonyoko wa maadili ambao unaendelea kushamiri katika jamii zetu hususani kwa"
X Link 2023-12-03T05:32Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Doto Biteko amefanyakikao kazi na Wakurugenzi wa Kanda na Mameneja wa Mikoa wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ambapo katika kikao kazi hicho ametoa maagizo makuu matatu ambayo ni kupambana na rushwa katika maeneo ya kazi kujenga mahusiano mazuri na watu na kutekeleza maono ya vitu vitakavyoboresha utendaji kazi kwenye maeneo yao bila kuona kuwa fedha ni kikwazo cha utendaji"
X Link 2023-12-03T05:58Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU) kimeiomba serikali itoe ruzuku kwa vyuo vikuu vinafsi ili kuvijengea uwezo kuboresha miundombinu yake kusomesha wahadhiri na mifumo yake ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano"
X Link 2023-12-03T07:26Z 204.4K followers, [----] engagements
"#NipasheJumapili JUMUIYA ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS) imelaani vikali kuzuka kwa mapigano Ijumaa huko Guinea-Bissau ambapo hali imerejea kuwa shwari siku ya Jumamosi. Mapambano kati ya walinzi wa kitaifa na kikosi maalum cha walinzi wa rais yalizuka Alhamisi usiku katika mji mkuu Bissau na kusababisha vifo vya watu wawili. ECOWAS inalaani vikali ghasia na majaribio yote ya kuvuruga utaratibu wa kikatiba na utawala wa sheria nchini Guinea-Bissau jumuiya hiyo yenye makao yake makuu mjini Abuja lilisema katika taarifa yake. ECOWAS imetoa wito zaidi wa kukamatwa na kufunguliwa"
X Link 2023-12-03T08:21Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema serikali inawatarajia wahitimu katika mafunzo ya elimu kuwa mabalozi wa utekelezaji wa sera ya elimu na mafunzo ya mwaka [----] toleo la"
X Link 2023-12-03T08:32Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) JAJI Mkuu Prof. Ibrahim Juma amesema amepokea malalamiko kutoka kwa majaji kuhusu mawakili wa kujitegemea kutumia lugha zinazokiuka maadili ndani ya mahakama. Kutokana na hali hiyo amekitaka Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kuchukua hatua kabla ya majaji kulalamika"
X Link 2023-12-03T08:40Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) MAHAKAMA ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora imemhukumu Jesca Yegera (60) mkazi wa Mtaa wa Mwanzugi Kata ya Igunga Mjini na mwalimu mstaafu wa Shule ya Msingi Mwanzugi kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela. Mstaafu huyo amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na hatia katika makosa mawili ya kushawishi na kutoa rushwa ya Sh.500000 kwa ofisa utumishi"
X Link 2023-12-03T09:11Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Masjala ya Iringa imemhukumu Happiness Mkolwe kunyongwa hadi kufa baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua mwanafunzi aliyetajwa kwa jina la Jackson Kiungo kwa lengo la amuadhibu mama wa mwanafunzi huyo (Happy Mwenda) ambaye alimtuhumu kuwa na mahusiano na mume wake Rogatus Malekela. Hukumu hiyo ilisomwa Desemba Mosi mwaka huu na Jaji James Karayemaha katika mahakama hiyo mjini Njombe ambapo amesema kuwa kwa mujibu wa mashtaka Septemba [--] [----] katika Mtaa wa Mliwati Kata ya Ihunga Njombe alimuua mtoto wa Happy Mwenda (Jackson) lakini alikana mashtaka"
X Link 2023-12-03T10:54Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) MKUU wa Wilaya ya Hanang Janeth Mayanja amesema watu [--] wamefariki dunia katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara kufuatia mafuriko yaliyoambatana na mawe makubwa na miti kuingia katika makazi ya watu ambapo imepelekea nyumba kadhaa kuanguka. Leo asubuhi tumepata changamoto hapa Hanang toka jana usiku zilikuwa zikinyesha mvua za kawaida lakini maji yakawa yameporomoka kutoka Mlima Hanang yakiwa na mawe na miti kuja katika Mji wa Kateshi yakiwa na nguvu ambapo mpaka sasa tumepata vifo vya watu [--] pamoja na majeruhi ambapo maiti zimehifadhiwa katika Hospitali ya Tumaini lakini pia uharibifu"
X Link 2023-12-03T11:23Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) CHAMA cha Riadha Tanzania (RT) kimepongeza mwitikio wa wananchi waliojitokeza kushiriki mbio ndefu na fupi akiwemo mtoto wa miaka sita aliyeshiriki kukimbia km [--] na kushika nafasi ya kwanza. Katibu wa Chama cha riadha Mkoa wa Geita Saguda Maduhu ameiambia Nipashe Digital kuwa mbio hizo zimefana kutokana na mwitikio mkubwa wa wananchi waliojitokeza kushiriki kwenye tamasha la "Chato Utalii Festival" na kwamba zimezingatia sheria taratibu na kanuni za michezo huo"
X Link 2023-12-03T12:11Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) imesema Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mkoani hapa inaongoza kwa malalamiko ya rushwa kwa asilimia [--] ikifuatiwa na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia yenye asilimia [--]. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa TAKUKURU mkoani hapa John Joseph wakati akitoa taarifa ya robo tatu ya mwaka ya utekelezaji wa kazi zao mkoani hapa. Joseph alisema sekta binafsi zinalalamikiwa kwa asilimia tano ardhi [--] afya [--] Jeshi la Polisi nne kilimo tano ununuzi tatu ujenzi moja na maji nne. Zingine ni nishati moja mifugo moja"
X Link 2023-12-03T13:00Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama mkoani Singida limewafukuza kazi na kuwasimamisha watumishi wanane kwa tuhuma za kushindwa kutekeleza majukumu na ulevi. Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo James Mkwega alikiambia kikao cha baraza hilo wakati wa kujadili utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha wa 2023/24"
X Link 2023-12-03T13:25Z 204.4K followers, [----] engagements
"#VIDEO Rais Samia atoa salamu za pole na kutoa maelekezo kwa vyombo vinavyoshughulikia maafa yaliyotokea katika kijiji cha Katesh wilayani Hanang mkoani Manyara kufuatia mvua kubwa iliyonyesha mkoani humo. @ikulumawasliano"
X Link 2023-12-03T13:50Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) WATUMISHI watatu wa Hospitali binafsi ya Sakamu iliyopo mkoani Geita wamesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi kufuatia video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha watumishi wawili wakimpongeza mwenzao kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kutumia majitiba maarufu dripu. Akizungumza na chombo kimoja cha habari Mkurugenzi wa Hospitali hiyo Dk. Salvatory Msimu amesema tukio hilo limetokea kwenye hospitali yake na sio kwenye kituo cha afya Nyankumbu kama ilivyosemekana awali. Ni kweli tumefuatilia tumeona ni watumshi wetu na ninaandaa taarifa kwa umma kuwajulisha kuwa sio"
X Link 2023-12-03T13:52Z 204.4K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Desemba [--] 2023"
X Link 2023-12-04T04:26Z 204.4K followers, [---] engagements
"#UPDATES MKUU wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amethibitisha kuongezeka kwa vifo vya watu wawili vilivyotokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha wilayani Hanang mkoani humo na kupelekea kuongezeka kwa idadi ya vifo na kufikia [--]. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-12-04T06:12Z 204.4K followers, [----] engagements
"#HABARI ISRAEL imetoa amri mpya kwa Wapalestina wasiokuwa na makazi kusini mwa Gaza Jumapili wakati mapigano yakipamba moto baada ya kuvunjika kwa makubaliano ya kusimamisha mapigano na wanamgambo wa Hamas Ijumaa. VOA imeripoti kuwa kwa kutumia lugha ya kiarabu katika kurasa za mitandao ya Facebook na X Israel imewaambia Wapalestina kwamba kuheshimu amri hiyo ni jambo la usalama kwa maisha yao na familia zao. Wapalestina wametakiwa kuondoka kaskazini mwa Gaza mapema katika vita vya miezi miwili na Hamas. Kutokana na uwezekano wa mashambulizi zaidi katika eneo hilo Israel imewaeleza"
X Link 2023-12-04T06:41Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama mkoani Singida James Mkwega amesema kama angefanikiwa kuingia Ikulu kitu ambacho angekifanya ni kufyeka mishahara ya viongozi wakubwa wakiwamo wabunge kwa kuwalipa Sh. [------] kwa mwezi. Aidha amesema kundi ambalo angelilipa mshahara mkubwa ni wenyeviti na watendaji wa vitongoji vijiji na kata"
X Link 2023-12-04T07:42Z 204.4K followers, 11.2K engagements
"( ) BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini (NEMC) limetoa onyo kwa watu wanaotupa hovyo wa taulo za kike na chupi za watoto (pampasi) kwa madai ni taka hatarishi kwa afya ya jamii na kwa atakayeibainika hatua kali zitachukuliwa dhidi yake. Akizungumza na Nipashe Digital Ofisa sheria mkuu wa NEMC kanda ya ziwa Vicent Haile amesema taka hizo zinapaswa kuteketezwa kwa moto badala ya kuzitupa hovyo mitaani na kwamba mtu akithibitika kufanya hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake ikiwemo kutozwa faini au kufikishwa mahakamani"
X Link 2023-12-04T14:28Z 204.4K followers, [---] engagements
"@g_immah Zinapaswa kuteketezwa kwa moto"
X Link 2023-12-04T14:35Z 204.4K followers, [--] engagements
"(: ) Daktari wa Afya ya Akili wa Hospital ya wagonjwa wa Akili Kidongochekundu Zanzibar Khadija Abdulrahman Omar akizungumza kuhusu wimbi la talaka linavyowaathiri wanawake kupata magonjwa ya afya ya akili na kueleza kuwa wanawapokea wanawake wengi wajane wenye tatizo hilo na huwapatia tiba lakini pia huwapatia elimu ya ujasiriamali. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-12-05T11:39Z 204.4K followers, [---] engagements
"#HABARI RAIS wa zamani wa Mauritania Mohamed Ould Abdel Aziz amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa mzunguko haramu wa fedha na utajiri haramu. VOA imeripoti kuwa Abdel Aziz aliiongoza nchi hiyo ya Afrika Magharibi kwa muongo mmoja baada ya kuingia madarakani katika mapinduzi ya mwaka [----] na alikuwa mshirika wa nchi za Magharibi akipambana na wanamgambo wa Kiislamu katika eneo la Sahel. Alikuwa kwenye kesi tangu mwezi Januari na alikanusha madai ya ufisadi. Mahakama ilimkuta Abdel Aziz na hatia ya mashtaka mawili kati ya [--] kufuatia uchunguzi wa madai ya ubadhirifu wa mali ya umma na"
X Link 2023-12-06T06:17Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) KIKOSI cha Simba tayari kimerejea kambini kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco Kocha Mkuu wa kikosi hicho Abdelhak Benchikha ameahidi kuibadilisha timu yake icheze kama anavyotaka yeye. Akizungumza jijini Dar es Salaam kocha huyo aliyejiunga hivi karibuni akitokea USM Alger ya Algeria amesema kwa jinsi alivyokiona kikosi chake bado kuna mambo mengi ambayo yanahitaji kufanyiwa kazi na kitabadilika"
X Link 2023-12-06T12:08Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) SERIKALI kupitia Bohari ya Dawa (MSD) imeendelea kuongeza vifaa na bidhaa zinazohitajika kusaidia maafa yaliyotokea mkoani Manyara. Leo hospitali ya Wilaya ya Hanang (Tumaini) imepokea majokofu mawili ya kuhifadhia miili ambapo kila moja ina uwezo wa kuhifadhi miili sita kuongeza kwenye majokofu waliyokuwa nayo awali. Hatua hii ni muendelezo wa MSD kuwasilisha bidhaa za afya kwa ajili ya kusaidia maafa yaliyojitokeza katika wilaya ya Hanang. Timu ya MSD ipo wilayani humo kupokea mahitaji na kuhakikisha mahitaji hayo yanafika eneo la tukio. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-12-06T12:09Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii kuungana kwaajili ya kuchangia familia zilizoathirika na mafuriko na maporomo ya tope katika mji wa Katesh wilayani Hanang mkoani Manyara. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Desemba [--] [----] Katibu Mtendaji wa BASATA Dk. Kedmon Mapana amesema wako tayari kuwasindikiza wasanii wanaotaka kutoa mchango wao kwa waathirika"
X Link 2023-12-06T12:42Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) Kampuni ya Bima ya Jubilee kwa kushirikiana na Axieva pamoja na Airtel Money wamezindua BIMA AFYA ambayo ni nafuu kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa huduma za bima ya mtu mmoja au kwa"
X Link 2023-12-06T13:43Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) MKOA wa Dar es Salaam imeunga mkono juhudi za serikali kwa kutoa pole kwa familia zilizopata maafa yaliyotokana na mafuriko ya mjongeo wa tope na mawe huko Kateshi katika Wilaya hanang mkoani Manyara baada mvua kubwa kunyesha. Akizungumza na Vyombo vya Habari leo Desemba [--] [----] ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema wamelazimika kuchukua hatua hiyo ikiwa ni pamoja na kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi hiki kigumu lililoikumba Taifa"
X Link 2023-12-06T14:06Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) JESHI la Polisi mkoani Iringa linamshikia Dereva Bajaji Alex Msigwa (34) kwa tuhuma za kujihusisha na matukio zaidi ya [--] ya ubakaji katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Iringa kwa kuwalubuni watoto kwakujitambulisha kuwa yeye ni Askari Polisi wakati mwingine Afisa ustawi wa jamii na kazi yake ni kuwakamata watoto wanaozurura na kutembea nyakati za usiku. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa ACP Allan Bukumbi amethibitisha taarifa hiyo ambapo amesema kuwa mtuhumiwa huyo amefanya vitendo hivyo vya ubakaji katika maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye mapori ambapo huwaongoza Watoto kwa"
X Link 2023-12-06T14:16Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Dk. Tulia Ackson leo Desemba [--] [----] amewatembelea na kuwajulia hali majeruhi wa maafa ya mafuriko ya matope na mawe yaliyotokea wilayani Hanang waliolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara. #NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari"
X Link 2023-12-06T14:39Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe anatarajia kufanya ziara katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara yenye lengo la kutoa pole na faraja kwa familia zilizokumbwa na janga la mafuriko. Katika ziara hiyo Mbowe ataambatana na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini Godbless Lema Pamoja na viongozi wa chama hicho kutoka mkoani Manyara"
X Link 2023-12-06T15:29Z 204.4K followers, [----] engagements
"( ) Zahanati ya Nangomba iliyopo mkoani Mtwara inakwenda kufanyiwa ukarabati mkubwa kwa kutumia zaidi ya sh.milioni [--] utakaoiwezesha kutoa huduma bora na salama za kiafya kwa wakazi wa eneo"
X Link 2023-12-06T15:55Z 204.4K followers, [---] engagements
"Wasiliana nasi 📞+255 [---] [---] [---] au [----] [---] [---] kwa maelezo zaidi ili tukuletee Gazeti lako la #NIPASHE popote ulipo au fanya kutembelea 👉 kusoma habari zote mtandaoni. Desemba [--] 2023"
X Link 2023-12-06T20:10Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama amesema misaada yote inayotolewa na wadau mbalimbali itawafikia walengwa walioathirika wa poromoko ya matope kutoka Mlima"
X Link 2023-12-07T04:38Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) BALOZI wa Tanzania nchini Burundi Gelasius Byakanwa ametembelea mabanda ya Wajasiriamali wanaoshiriki Maonesho ya [--] ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki maarufu Nguvu Kazi au Jua Kali yanayoendelea kufanyika Bujumbura Burundi. Akiwa katika maonesho hayo Balozi Byakanwa amewataka wajasiriamali kuendelea kufanya biashara zao kwa tija na ufanisi na kuwahimiza kutumia fursa hiyo kutafuta masoko zaidi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Vile vile ameipongeza Serikali kwa kuwezesha Wajasiriamali Wadogo na wa Kati kutoka maeneo mbalimbali nchini Tanzania"
X Link 2023-12-07T04:50Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Ruth Zaipuna ameshiriki uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Benki ya Dunia (IDA20 Mid Term Review) unaofanyika kwa siku tatu Zanzibar"
X Link 2023-12-07T05:12Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) KIKOSI cha wachezaji [--] wa Klabu ya Simba tayari kimeondoka kwenda Casablanca nchini Morocco kwa ajili ya mechi ya raundi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi B dhidi ya Wydad Casablanca utakaochezwa Jumamosi ijayo huku Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha akiweka wazi kuwa amekuta wachezaji hawana utimamu wa mwili"
X Link 2023-12-07T15:54Z 204.4K followers, [---] engagements
"( ) SERIKALI wilayani Chato mkoani Geita imetoa siku [--] kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo kuhakikisha analipa deni la kiasi cha Sh. milioni [---] zinazodaiwa na Chama cha kuweka na kukopa cha walimu Chato (CTS) ili kuisaidia taasisi hiyo kujiendesha"
X Link 2023-12-07T16:09Z 204.4K followers, [----] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing