@MwanzoTvPlus MwanzoTvPlusMwanzoTvPlus posts on X about tanzania, kenya, kwanza, uganda the most. They currently have [-------] followers and [----] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries travel destinations currencies technology brands social networks us election celebrities automotive brands finance musicians
Social topic influence tanzania #97, kenya #630, kwanza, uganda, mambo, leo #665, zanzibar, israel, nairobi, mali
Top accounts mentioned or mentioned by @chadematz @tundualissu @ccmtanzania @suluhusamia @mwabuk2boniface @actwazalendo @machumukadutu @freemanmbowetz @tanganyikalaw @youtube @mwigulunchemba1 @simbasctanzania @husseinbashe @johnpambalu @godblesslema @deusdedithsoka @jjmnyika @halimamdee @bavichataifa @hechejohn
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) HILO (HILO) HAPI (HAPI) BODA (BODAV2) Toyota Motor Corporation (TM) StarLink (STARL) Everest (ID)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Mke wa Rais wa #Kenya Mama Rachel Ruto amezindua mafunzo ya kidijitali kwa wanawake Tazama hapa: #InternationalWomensDay #InternationalWomensDay2023 https://youtu.be/5LHnbr6ZO9c https://youtu.be/5LHnbr6ZO9c"
X Link 2023-03-08T09:07Z 117K followers, [----] engagements
"#KENYA: Kiongozi wa Azimio la Umoja Raila Odinga amesema Rais William Ruto anaonekana kutojua au kuguswa na hali ya sasa nchini Fahamu zaidi: #MwanzoHabari https://www.youtube.com/live/leWQWJkvrMQfeature=share https://www.youtube.com/live/leWQWJkvrMQfeature=share"
X Link 2023-06-08T17:57Z 113K followers, [---] engagements
"#KENYA: Rais William Ruto ametangaza kuwa paspoti za kidiplomasia zitapewa wanamichezo. Akizungumza alipompokea mvunja rekodi ya dunia Faith Kipyegon katika Ikulu Ruto alisema wanariadha wanaofanya vizuri wanapaswa pia kupewa heshima nyingine za kitaifa"
X Link 2023-06-13T08:56Z 113.5K followers, [--] engagements
"Kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga anasema atawaongoza Wakenya kupinga kupitishwa kwa Mswada wa Fedha wa [----] unaopendekezwa ambao anautaja kuwa wa adhabu na kurudi nyuma katika juhudi za kutokomeza umaskini nchini"
X Link 2023-06-15T09:20Z 113K followers, [--] engagements
"#TANZANIA; Shabiby ajilipua sakata la Bandari "tusiwapuuze Wananchi nchi hii wapigaji ni wengi" Zaidi;"
X Link 2023-06-24T10:00Z 113K followers, [--] engagements
"#KENYA: Kiongozi wa Azimio Raila Odinga amewaambia wafuasi wake kufika katika uwanja wa Kamkunji saa [--] (2pm) mchana kwa mpango wa maandamano wa kupinga Mswada wa Fedha Tazama: #MwanzoHabari"
X Link 2023-06-26T18:02Z 113K followers, [--] engagements
"#KENYA: Kiongozi wa Azimio Raila Odinga amewahimiza wakenya kutumia njia zozote zile kukwepa kulipa ushuru Fahamu zaidi: #MwanzoHabari"
X Link 2023-06-27T18:05Z 113K followers, [--] engagements
"#TANZANIA Wanachama wa CHADEMA wakiongozwa na Zacharia Obadia Katibu wa Kanda ya Victoria leo jioni katika kata ya Nyehunge wilaya ya Buchosa mkoani Mwanza wamepinga mkataba wa bandari ulioingiwa na serikali na kampuni ya Dubai Ports World"
X Link 2023-06-29T19:16Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA; Jamaa amjia juu Rais Samia sakata la bandari na #DPW ahoji mambo mazito. Zaidi;"
X Link 2023-07-01T10:00Z 112.8K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mshambuliaji Willy Essomba Onana (23) raia wa Cameroon kwa mkataba wa miaka miwili kutoka klabu ya Rayon Sports ya nchini Rwanda. Onana alikuwa mfungaji bora msimu uliopita akiwa na mabao [--] ligi kuu nchini humo"
X Link 2023-07-05T13:53Z 113.1K followers, [--] engagements
"#KENYA: Muungano wa Azimio umeapa kuendeleza kalenda ya maandamano ya amani siku tatu mfululizo kuanzia Jumatano hadi Ijumaa wiki hii. Katika kikao na wanahabari Azimio imesema hawatatishwa kwani maandamano ipo ndani ya katiba Tazama: #MwanzoHabari"
X Link 2023-07-17T18:25Z 113K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu umewakutanisha pamoja marais sita wa nchi za Afrika katika kujadili namna ya kuinua na kuimarisha rasilimali watu katika bara la Afrika"
X Link 2023-07-26T12:58Z 112.6K followers, [--] engagements
"Marais waliohudhuria mkutano huo ni pamoja na Dk William Ruto (Kenya) Filipe Nyuso (Msumbiji) Andry Rajoelina (Madagascar) Julius Maada Bio (Sierra Leone) Lazarus Chakwera (Malawi) na Carlos Vila Nova (Sao Tome and Principe)"
X Link 2023-07-26T12:58Z 112.6K followers, [--] engagements
"Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) wamewapa wanajeshi wa Niger wiki moja kungatuka madarakani na kuurejesha utawala kwa rais Mohamed Bazoum Tazama:"
X Link 2023-07-31T19:18Z 113.1K followers, [--] engagements
"Majaji wa Umoja wa Mataifa wameamuru kuwa mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda Flicien Kabuga achukuliwe hatua za haraka za kuachiliwa huru na kwamba kesi ya uhalifu wa kivita dhidi yake isitishwe kwa muda usiojulikana #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-08-08T18:27Z 113.1K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: RC DAR ATISHIA KULIFUNGA SOKO LA NDIZI MABIBO"
X Link 2023-08-18T08:17Z 109.3K followers, [----] engagements
"Mkuu wa Wagner Yevgeny Prigozhin amethibitishwa kufariki baada ya uchanganuzi wa vinasaba vya miili iliyopatikana katika ajali ya ndege iliyotokea Jumatano"
X Link 2023-08-28T09:17Z 108.2K followers, [---] engagements
"#KENYA:Waziri wa Biashara Moses Kuria leo alionekana akielekea kwenye kikao cha baraza la mawaziri huko Kakamega kwa kutumia bodaboda. Mnamo tarehe [--] Agosti 2023Waziri huyo alizuiwa kushiriki shughuli ya Ikulu kwa kuchelewa kufika. Rais Ruto alimtaka aombe msamaha kwa maandishi"
X Link 2023-08-29T07:51Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Bob Chacha Wangwe amjia juu Waziri wa Katiba na Sheria juu ya tamko lake adai hawana uzalendo na nia njema na Taifa hili. Zaidi:"
X Link 2023-08-29T15:36Z 109.3K followers, [----] engagements
"HABARI ZA HIVI PUNDE: Wanajeshi wa Gabon watangaza kufutwa kwa uchaguzi kuvunjwa kwa taasisi kwenye televisheni na kufunga mipaka"
X Link 2023-08-30T05:11Z 112.3K followers, [--] engagements
"Kiongozi wa Wagner Yevgeny Prigozhin ambaye alifariki katika ajali ya ndege alizikwa siku ya Jumanne katika hafla ya siri katika eneo alikozaliwa la Saint Petersburg. Inaaminika kuwa alizikwa kwenye makaburi ya Porokhovskoye huku kukiwa na usalama ulioimarishwa"
X Link 2023-08-30T06:30Z 108.4K followers, [--] engagements
"Mkuu wa Kikundi cha Wagner Yevgeny Prigozhin alizikwa katika ibada ya mazishi ya kibinafsi huko St. Petersburg #MwanzoHabari Fahamu zaidi:"
X Link 2023-08-30T18:10Z 107.7K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: Marais waliopita wote wamefanya vitu vingi sana barabara wamejenga majengo wamejenga madaraja wamejenga lakini kuna kitu kimoja ambacho Mh. Rais(Rais Samia) anahitaji akifanye ili jina lake liandikwe kwa wino wa dhahabu.Sasa Mh Rais akituwekea mfumo mzuri"
X Link 2023-09-12T11:24Z 109.3K followers, [----] engagements
"#UGANDA: Magazetini leo. Daily Monitor New Vision Bukedde Jumatano Septemba [--] 2023"
X Link 2023-09-13T04:59Z 108.6K followers, [--] engagements
"Makamu wa Rais waTanzania Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Museum of fine arts Jijini Budapest nchini Hungary kushiriki Mkutano wa Tano wa Idadi ya Watu (5th Budapest Demographic Summit) unaofanyika leo Septemba 142023"
X Link 2023-09-14T11:43Z 109.4K followers, [---] engagements
"Kundi la wapiganaji la #Palestina Hamas limeanzisha "Operesheni Al Aqsa flood" dhidi ya #Israel shambulio lake kubwa kama hilo katika miongo kadhaa. Ilianza wakati Hamas ilipoanza kurusha kile inachosema ni maelfu ya maroketi kuelekea Israel"
X Link 2023-10-07T12:00Z 112.8K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: Leo ni kumbukizi ya miaka [--] tangu alipofariki Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere. Mwalimu Nyerere ambaye alikuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania alifariki Dunia Oktoba [--] [----] katika hospitali ya Mtakatifu Thomas jijini London Uingereza alikokuwa akipatiwa matibabu"
X Link 2023-10-14T11:35Z 107.6K followers, [----] engagements
"ya Atlantis The Royal Dubai katika nchi za Falme za Kiarabu ambapo Ngorongoro imeshinda tuzo hiyo baada ya kushinda vivutio vingine vya utalii barani Afrika ambavyo ni table Mountain Hartbeespoort aerial cableway V& A Waterfront Ruben Island vya afrika kusini"
X Link 2023-10-16T06:54Z 108.4K followers, [----] engagements
"Ziwa Malawi Okavango Delta ya Botswana Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro na Pyramis of Giza ya Misri"
X Link 2023-10-16T06:54Z 107.7K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: TIMU [--] KUSHIRIKISHWA MICHUANO YA AFRICAN FOOTBALL LEAGUE MSIMU UJAO. Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Patrice Motsepe amesema sasa ni rasmi kuanzia msmu ujao michuano ya African Football League itashirikisha timu 24.Ametoa kauli hiyo leo wakati"
X Link 2023-10-20T14:03Z 107.7K followers, [----] engagements
"MHE. RAIS SAMIA AKISHIRIKI MIAKA [--] YA UHURU WA ZAMBIA via @YouTube"
X Link 2023-10-24T10:48Z 107.6K followers, [---] engagements
"#ZAMBIA: RAIS SAMIA AWEKA SHADA LA MAUA KWENYE KABURI LA MWASISI WA UHURU WA ZAMBIA Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameungana na Rais wa Zambia Hakainde Hichilema kuweka mashada ya maua kwenye mnara wa uhuru wa Zambia ikiwa ni ishara ya kutoa heshima na kutambua walioongoza harakati za kutetea uhuru Taifa hilo mwaka [----]. Baada ya kuweka shada kwa mashujaa Rais Samia pia ameweka shada la maua kwenye kaburi la Baba wa Taifa la Zambia Dk. Kenneth Kaunda Jijini Lusaka. Leo Zambia inaadhimisha miaka [--] tangu ipate Uhuru kutoka kwa Waingereza mwaka [----] na tukio la kuweka shada hufanywa"
X Link 2023-10-24T10:49Z 107.6K followers, [----] engagements
"#UGANDA: Magazetini leo. Daily Monitor New Vision Bukedde Jumatano Oktoba [--] 2023"
X Link 2023-10-25T05:41Z 107.7K followers, [---] engagements
"#UGANDA: Magazetini leo. Daily Monitor New Vision Bukedde Alhamisi Oktoba [--] 2023"
X Link 2023-10-26T04:24Z 107.7K followers, [---] engagements
"#UGANDA: Magazetini leo. Daily Monitor New Vision Bukedde Ijumaa Oktoba [--] 2023"
X Link 2023-10-27T05:30Z 107.7K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Padre Charles Kitima ambaye ni Katibu Mkuu wa Baraza La Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC) amesema kuhudhuria halfa ya utiaji saini mkataba wa HGA na PDW iliyofanyika Ikulu Dodoma Octoba [--] [----] haimaanishi kwamba wamekubaliana na mkataba wa Bandari kwani kulikuwa na mazingira ambayo yeye kama yeye asingeweza kujua nini hasa ameitiwa na asingeweza kuweka masharti kwa Rais baada ya kupewa mwaliko ambao yeye mwenyewe hakuwa anajua lengo lake. "Hatujaona mabadiliko kimaandishi tunasimama na tamko la Maaskofu tukiona kimaandishi mabadiliko yaliyofanywa kwenye IGA ndipo tutaona kama"
X Link 2023-10-27T09:54Z 107.7K followers, [----] engagements
"Mfalme wa Uingereza Charles III akikagua Walinzi wa Heshima alipowasili katika Ikulu jijini Nairobi nchini Kenya Oktoba [--] [----] @royalfamily #KingCharlesIII #RoyalVisitKenya #RoyalVisit"
X Link 2023-10-31T08:54Z 107.7K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: BAHATI AAPISHWA RASMI KAMA MBUNGE WA MBARALI. Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge umeanza ambapo shughuli ya kwanza katika Kikao cha Kwanza ilikuwa ni Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson kumuapisha Bahati Ndigo ambaye alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbarali kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo marehemu Francis Mtega"
X Link 2023-10-31T10:05Z 107.7K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: UKISHAITWA MSTAAFU TULIA ULEE FAMILIA - MAKONDA Ukishaitwa Mstaafu tulia lea Familia yako wakikuona wa maana watakuita kama walivyomuita Makonda huwezi kuwa Mstaafu halafu kutwaa aah aah na Wastaatu Nchi hii wanaheshimika sana na Mimi nimejifunza kutoka kwao nakumbuka Marehemu Mzee Mkapa alipostaafu siku moja nimeenda nyumbani kwake nikamuuliza Mzee vipi mbona uko kimya sana akasema unataka nifanye nini nikamwambia Mzee unajua akasema hapana Mimi nimemaliza wajibu wangu- Paul Makonda"
X Link 2023-11-01T14:14Z 107.8K followers, 181.1K engagements
"#TANZANIA: TUNAMPA MIEZI SITA WAZIRI MKUU AWE AMEMALIZA NA KUFUTA MIGOGORO YOTE YA ARDHI NCHINI - MAKONDA Chama CCM kinamtaka Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ndani ya miezi sita awe amesimamia na kuratibu kikamilifu kuondoa na kufuta migogoro yote ya ardhi inayopelekea wavuvi wakulima wafugaji na wananchi kuteseka chini ya ardhi yao. - Paul Makonda Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM"
X Link 2023-11-01T14:29Z 107.8K followers, 14.9K engagements
"#UGANDA: Magazetini leo. Daily Monitor New Vision Bukedde Alhamisi Novemba [--] 2023"
X Link 2023-11-02T05:10Z 107.8K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Mbunge Msukuma awawashia moto Mawaziri na wezi wa Mali za Umma muda huu bungeni. Zaidi:"
X Link 2023-11-03T10:32Z 107.9K followers, [----] engagements
"Rais wa #Rwanda Paul Kagame ameanzisha safari zisizohitaji visa kwa Waafrika wote na kuifanya Rwanda kuwa nchi ya nne barani Afrika kufanya hivyo. Pia tumeondoa vizuizi vya visa kwa raia wa kila nchi ya Afrika pamoja na mataifa mengine mengi.Mwafrika yeyote anaweza kupanda ndege hadi Rwanda wakati wowote anaotaka na hatalipa chochote kuingia nchini mwetu Rais Kagame alisema siku ya Alhamisi"
X Link 2023-11-03T10:49Z 107.9K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Mpina aanika wizi Serikalini awavaa vibaya Waziri Mwigulu Nchemba Mbarawa na wengine waliohusika kuhujumu uchumi ataka wakamatwe mara moja. Zaidi:"
X Link 2023-11-03T10:49Z 107.9K followers, 35.9K engagements
"#TANZANIA: WALIOIBA FEDHA ZA UMMA WANYONGWE TUBAKI NA WATU WEMA - WAITARA Ningependekeza wale wote ambao imedhibitika pasipo shaka walioiba bila kuwaonea hawa watu wanyongwe kwenye nchi hii watoke tubaki na watu wema katika taifa hili- Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara"
X Link 2023-11-03T13:25Z 107.9K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: RAIS SAMIA AKABIDHI NYUMBA KWA FAMILIA YA HAYATI MAGUFULI Rais Samia Suluhu akimkabidhi mfano wa ufunguo mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Mama Janeth Magufuli ikiwa ni ishara ya kukabidhi nyumba mpya ya kuishi kwa familia ya Dkt. John Pombe Magufuli iliyopo wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam ambayo amejengewa na Serikali kwa mujibu wa sheria Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Novemba 2023"
X Link 2023-11-05T16:52Z 107.9K followers, [----] engagements
"Mwanariadha wa Kenya Hellen Obiri alishinda mbio za New York City Marathon Jumapili akitumia saa 2:27:23. Nafasi ya pili ilikwenda kwa Muethiopia Letesenbet Gidey huku Mkenya mwingine Sharon Lokedi akimaliza mbio hizo katika nafasi ya tatu"
X Link 2023-11-06T08:06Z 107.9K followers, [---] engagements
"Msanii wa kutoka #Tanzania Naseeb Abdul Issack anayejulikana kwa jina la usanii kama Diamond Platnumz ameshinda Tuzo ya Mmwimbaji Bora wa Afrika kwenye Tuzo za Muziki za Ulaya za MTV (EMAs 2023). Ndiye Msanii wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo tatu za MTV EMA"
X Link 2023-11-06T09:55Z 107.9K followers, [----] engagements
"Rais wa #Uganda Yoweri Museveni ametetea uamuzi wa kusitisha ununuzi wa mafuta ya petroli kutoka #Kenya akisema wafanyabiashara wa kati walipandisha bei kwa hadi asilimia [--] na kusababisha maumivu yanayoweza kuepukika kwa watumiaji"
X Link 2023-11-06T10:54Z 107.9K followers, [---] engagements
"Msanii wa kutoka Tanzania Naseeb Abdul Issack anayejulikana kwa jina la usanii kama Diamond Platnumz ameshinda Tuzo ya Mmwimbaji Bora wa Afrika kwenye Tuzo za Muziki za Ulaya za MTV EMAs awards [----] #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-06T18:56Z 107.9K followers, [---] engagements
"Idadi ya watu waliouawa Gaza tangu Israel ilipoanza kulipua eneo hilo kwa mabomu sasa imefikia [-----] kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas huko Gaza. Idadi hiyo inajiri baada ya usiku wa mashambulizi makali ya Israel huku jeshi la Israel likisema likilenga mamia ya maeneo ikiwa ni pamoja na kambi ya kijeshi ya Hamas #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-06T19:02Z 107.9K followers, [----] engagements
"Serikali ya Tanzania imetangaza kupunguza bei ya mafuta huku Kenya ikipanga kuongeza bei ya mafuta hata zaidi. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari serikali ya Tanzania ilitangaza kushuka kwa bei ya mafuta kuanzia Novemba [--] [----]. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imebainisha kuwa kushuka kwa gharama za mafuta ya petroli kumechangiwa na kupungua kwa bei ya mafuta duniani kwa asilimia 5.68"
X Link 2023-11-07T08:33Z 107.9K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: KLABU YA SIMBA YAMFUKUZA ROBERTINHO Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi hicho Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho). Ikumbukwe Robertinho ndiye kocha bora wa mwezi Octoba mwaka huu na amepoteza mechi moja tangu msimu huu uanze. Kupitia kwa barua ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba Iman Kajula imesema Klabu hiyo imefikia pia makubaliano ya kuachana na kocha wa viungo Corneille Hategekimana. Kajula amesema kwa kipindi hiki cha mpito kikosi kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola na kwamba"
X Link 2023-11-07T10:14Z 108K followers, [----] engagements
"LIVE: MWANZO HABARI Tazama YouTube:"
X Link 2023-11-07T17:54Z 107.9K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: NAMUNGO FC WANAPATA BAO LA UONGOZI DHIDI YA SIMBA SC Klabu ya Namungo Fc wanapata bao la uongozi dhidi ya klabu ya Simba Sc bao hilo limepatikana mnamo dk ya 31"
X Link 2023-11-09T13:39Z 107.9K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: 45' SIMBA SC [--] - [--] NAMUNGO FC Dakika [--] za kipindi cha kwanza zimetamatika Uwanja wa Uhuru jiji Dar Es Salaam huku mwenyezi Simba Sc akiwa nyuma kwa bao [--] - [--] dhidi ya Namungo Fc bao hilo limefungwa dk [--] na Lusajo. Nini maoni yako"
X Link 2023-11-09T13:57Z 108K followers, [---] engagements
"Waziri mkuu wa #Israel anasema nchi hiyo haitaki kuliteka kukalia au kutawala Ukanda wa #Gaza baada ya vita vyake na Hamas kumalizika. Benjamin Netanyahu alikiambia kituo cha televisheni cha Marekani Fox News kwamba "nguvu ya kuaminika" itahitajika kuingia katika eneo hilo ikiwa ni lazima ili kuzuia kuibuka kwa vitisho vya wanamgambo"
X Link 2023-11-10T09:14Z 114.8K followers, [--] engagements
"Huyu Malema wa South Africa ni mjuaji- Gachagua anguruma #kenya #juliusmal. via @YouTube"
X Link 2023-11-15T15:30Z 108.1K followers, [---] engagements
"Sam Altman anatarajiwa kujiunga na Microsoft mwanateknolojia huyo ametangaza akiibua uvumi kwamba anaweza kurudi OpenAI saa [--] tu baada ya kuondolewa kwake kwa ghasia. Mtendaji mkuu wa Microsoft Satya Nadella aliandika kwenye Xambayo zamani ilikuwa Twitter kwamba Bw Altman atajiunga na Microsoft ili kuongoza "timu mpya ya juu ya utafiti wa AI""
X Link 2023-11-20T13:47Z 108.1K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Wakili @MpaleMpoki amesimamishwa Uwakili kwa miezi sita kwa kutaka kukatia rufaa amri ya Jaji Ntemi katika Kamati ya Maadili ya Mawakili ikumbukwe Wakili @MpaleMpoki alianza shughuli za Uwakili mwaka [----]. Kutokana na hayo Mawakili tisa wanaomuwakilisha @Mwabuk2Boniface wamejiondoa kwa kutoridhishwa na mwenendo wa Jaji Ntemi Wakili Mwabukusi @Mwabuk2Boniface amemuomba Jaji Ntemi ajiondoe kama Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili kwa kutoridhishwa na mwenendo wake na kumgomea kukata rufaa Jaji amekataa. Kesi hiyo itaendelea kusikilizwa kesho Novemba 21"
X Link 2023-11-20T17:57Z 108.1K followers, 11.7K engagements
"#Israel imetoa orodha ya Wapalestina [---] ambao wanaweza kutolewa chini ya makubaliano yaliyofikiwa kati ya #Israel na #Hamas. Orodha hiyo iliyowekwa kwenye tovuti ya wizara ya sheria ya Israel inajumuisha majina umri na makosa ya wale wanaostahiki. Ni wafungwa [---] pekee wanaotarajiwa kuachiliwa mara ya kwanza. Tutakuwa na maelezo zaidi hivi karibuni"
X Link 2023-11-22T09:22Z 107.8K followers, [--] engagements
"Wabunge wa #Afrika Kusini wamepiga kura ya kuufunga ubalozi wa #Israel mjini Pretoria na kusitisha uhusiano wote wa kidiplomasia. Chama tawala cha African National Congress - ambacho kinatawala bunge - kimekuwa kikiikosoa #Israel kwa muda mrefu na kiliunga mkono hoja hiyo bungeni"
X Link 2023-11-22T09:26Z 108.1K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Magazetini leo. MwananchiNipashe Uhuru Habari Leo Alhamisi Novemba [--] 2023"
X Link 2023-11-23T04:51Z 108.3K followers, [----] engagements
"#KENYA: Michael Warutere ndiye mwanafunzi bingwa katika mtihani wa darasa la nane KCPE uliotangazwa leo. Warutere mwanafuzi wa shule ya msingi ya kibinafsi ya Riara Springs jijini Nairobi alipata alama [---] kati ya alama zote [---] #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-23T18:53Z 108.2K followers, [--] engagements
"Katika hotuba yake ya kwanza kabisa tangu atangazwe mshindi wa uchaguzi wa Liberia rais mteule Joseph Boakai amemsifu rais George Weah kwa kukubali kushindwa baada ya muhula mmoja pekee madarakani #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-23T19:27Z 108.2K followers, [----] engagements
"Somalia imejiunga rasmi na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Inaungana na Kenya Burundi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Rwanda Sudan Kusini Uganda na Tanzania katika umoja huo. Hii inafuatia uamuzi wa Ijumaa wa Mkutano wa [--] wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki mjini Arusha"
X Link 2023-11-24T15:54Z 108.2K followers, [----] engagements
"Bingwa wa mbio za mita [---] za Olimpiki za walemavu Oscar Pistorius ataachiliwa kutoka jela kwa msamaha takriban miaka [--] baada ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Pistorius mwenye umri wa miaka [--] alihukumiwa kifungu cha miaka [--] mwaka wa [----] na mahakama moja nchini Afrika Kusini #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-24T18:55Z 108.2K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Mfumo wa utoaji haki Tanzania wapingwa vikali mtaalamu aelezea kiundani jinsi mfumo wa utoaji haki ulivyo na unavyowagusa watawala. Zaidi:"
X Link 2023-11-27T11:18Z 108.2K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: UCHUNGUZI UNAENDELEA KWA WANAODAIWA KUFANYIWA UKATILI NA GEKUL - POLISI Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara ACP George Katabazi amesema wanaendelea kufanya uchunguzi wa kina kufuatia sakata la vijana wawili wanaodaiwa kufanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji na aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul anayedaiwa kuwatendea vitendo hivyo tarehe 11.11.2023. Katabazi amethibitisha hayo mkoani Manyara alipozungumza na waandishi wa habari huku akisisitiza kuendelea kumhoji kiongozi huyo na kutenda haki kwa pande zote mbili kwa"
X Link 2023-11-27T11:48Z 108.2K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: @Advocate_Jebra akiwasha sakata la kusimamishwa Wawili mwenzake ataja madhaifu yaliyopo kwenye mfumo wa utoaji haki nchini Tanzania. Zaidi:"
X Link 2023-11-27T12:22Z 108.2K followers, [----] engagements
"Wanasiasa wa upinzani nchini #Malawi na mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemkosoa Rais Lazarus Chakwera na serikali yake kwa kutuma vijana [---] wa #Malawi kufanya kazi katika mashamba nchini #Israel. Hatua hiyo ya Jumamosi ilifuatia msaada wa #Israel wa $60m (47m) wiki mbili zilizopita kusaidia kuimarisha uchumi wa #Malawi"
X Link 2023-11-27T12:32Z 108.2K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: @godbless_lema ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama cha @ChademaTz afunguka mazito juu ya ufisadi unaofanywa na Viongozi wa Serikali kwa kuficha mabilioni ya fedha nje ya nchi awataka Wananchi kuungana kuipigania nchi yao. Zaidi:"
X Link 2023-11-27T13:03Z 108.2K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: LATRA YATANGAZA NAULI MPYA Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini nchini Tanzania (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za masafa marefu na masafa mafupi baada ya kupitia maoni ya wadau wa usafiri nchini humo. Kwa safari zisizozidi kilometa [--] nauli yake ilikuwa shilingi [---] sasa itakuwa shilingi [---] kwa safari za kilometa [--] hadi [--] ambayo nauli yake ilikuwa shilingi [---] sasa itakuwa shilingi [---] kwa kilometa [--] hadi [--] ambapo nauli ilikuwa shilingi [---] sasa itakuwa shilingi [---] huku kwa safari za kilometa [--] hadi [--] nauli ilikuwa shilingi [---] sasa ni shilingi 900"
X Link 2023-11-27T13:29Z 108.2K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: KANUNI NA TARATIBU ZINAFANYIKA KUHUSU TUHUMA ZA GEKUL - MAKONDA Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Paul Makonda amesema kanuni na taratibu zinafatwa juu ya tuhuma zinazomkabili Mbunge wa Babati Mjini mkoani Manyara Pauline Gekul na kwamba zikishakamilika kuanzia ngazi ya chini zitafikishwa katika ngazi ya Taifa na watatoa taarifa ya nini kimetokea. Mbunge Gekul anakabiliwa na tuhuma za kumfanyia ukatili Mfanyakazi wake aitwaye Hashimu Ally na mwenzake ambapo tayari Jeshi la Polisi limethibitisha kumuhoji Mbunge huyo na Watu wengine wawili na kusisitiza kuwa"
X Link 2023-11-27T13:47Z 108.2K followers, [----] engagements
"Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema alimwambia Rais Biden kwa njia ya simu leo kwamba #Israel itaanza upya shughuli zake huko Gaza kwa nguvu kamili mara tu mapatano ya sasa yatakapokamilika. #Israel ilisitisha operesheni zake huko Gaza siku ya Ijumaa ili kuruhusu mateka waliokuwa wakizuiliwa katika eneo hilo kuachiliwa na pia wafungwa wa Kipalestina kuruhusiwa kuondoka kutoka magereza ya Israel lakini mapatano hayo yanatarajiwa kudumu hadi Jumatatu"
X Link 2023-11-27T14:14Z 108.2K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Kijana Mzalendo @Davidlev43David amvaa Waziri January Makamba wizi wa mabilioni ya pesa TANESCO ampa tahadhari Waziri wa Nishati na Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko "angekuwa Rais leo angekuwa Rais wa aina gani" Zaidi:"
X Link 2023-11-28T15:55Z 108.3K followers, [----] engagements
"Timu ya soka ya Kenya ya vijana wasiozidi umri wa miaka [--] imefuzu nusu fainali ya mashinda ya ubingwa wa CECAFA baada ya kuishinda Rwanda bao moja kwa bila. Bao hilo la Kenya lilifungwa na nyota Aldrine Kibet katika dakika ya [--]. Katika mechi nyingine chipukizi wa Somalia wamefufua matumaini yao ya kusonga katika hatua ya nusu fainali baada ya kuishinda sudan mabao matatu kwa bila #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-28T19:11Z 108.3K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Kocha mkuu mpya wa klabu ya @SimbaSCTanzania Abdelhak Benchikha amekutana na kufanya kikao na wachezaji kwa mara ya kwanza hii leo"
X Link 2023-11-29T13:39Z 108.3K followers, [----] engagements
"Bunge la Kenya limepiga marufuku uvaaji wa suti za 'Kaunda' vazi lililopewa jina la aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Kenneth Kaunda ndani ya jengo hilo. Spika wa Bunge Moses Wetangula alisema suti za Kaunda pamoja na nguo za asili za Kiafrika hazikubaliki #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-29T18:41Z 108.3K followers, [---] engagements
"Papa Francis ameahirisha safari yake ya mkutano wa COP28 wa hali ya hewa mjini Dubai kutokana na mafua na kuvimba kwa mapafu yake. Papa mwenye umri wa miaka [--] alitarajiwa kuanza ziara ya siku tatu siku ya Ijumaa lakini kutokana na homa kali inayomsumbua Papa aliahirisha mkutano huo na badala yake amemtuma msaidizi wake katika hafla ya COP28 #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-29T18:48Z 112.8K followers, [--] engagements
"Timu ya soka ya Tanzania ya vijana wasiozidi umri wa miaka [--] wamefungwa magoli 2-1 na Chipukizi kutoka Sudan Kusini katika mashindano ya ubingwa wa CECAFA #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-11-29T19:03Z 108.3K followers, [---] engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba [------] ameondoka nchini kuelekea Dubai kuhudhuria Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) tarehe [--] Novemba 2023"
X Link 2023-11-30T08:15Z 108.3K followers, [----] engagements
"Nepal imesajili ndoa yake ya kwanza ya jinsia moja ambayo wanaharakati waliisifu kama ushindi kwa haki za LGBT. Mwanamke aliyebadili jinsia Maya Gurung ambaye anajitambulisha kisheria kuwa mwanamume na Surendra Pandey walipata cheti cha ndoa kutoka wadi ya eneo hilo katika wilaya ya Lamjung nchini Nepal siku ya Jumatano"
X Link 2023-11-30T09:19Z 108.3K followers, [---] engagements
"Rais wa Kenya William Ruto leo ameongoza hafla ya kuadhimisha mwaka wa kwanza wa hazina ya Hustler jijini Nairobi. Hazina ya Hustler ni mpango wa serikali ambao hutoa mikopo nafuu kwa wafanyabiashara wadogo na wajasiriamali"
X Link 2023-11-30T09:32Z 108.3K followers, [----] engagements
"Chama cha Mpira wa Kikapu Marekani (NBA) kimefungua ofisi jijini Nairobi kwa nia ya kusaidia maendeleo ya mchezo huo nchini Kenya. Kupitia ushirikiano na Wizara ya Michezo Wizara ya Elimu na Shirikisho la Mpira wa Kikapu la Kenya shirikisho hilo limeahidi kutekeleza mipango ya mashinani ili kukuza talanta nchini. Hii ni ofisi yao ya [--] barani Afrika"
X Link 2023-11-30T09:54Z 108.3K followers, [----] engagements
"Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Henry Kissinger amefariki dunia akiwa na umri wa miaka [---]. Mwanadiplomasia huyo na mshindi wa tuzo ya Nobel alikua mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa na wenye utata wa sera za kigeni katika historia ya Marekani"
X Link 2023-11-30T10:17Z 108.3K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: Waziri wa Mipango nchini Tanzania Prof. Kitila Mkumbo amesema Serikali inaendelea kubana matumizi kwa kiasi kikubwa na haitumii pesa kwa matumizi ya anasa pia pato la Mtanzania limeongezeka kutoka TZS [------] mwaka [----] hadi TZS milioni [----] mwaka [----]. Zaidi:"
X Link 2023-12-01T13:15Z 108.3K followers, [----] engagements
"Sandra Day O'Connor mwanamke wa kwanza katika Mahakama ya Upeo ya Merika alifariki dunia siku ya Ijumaa huko Phoenix Arizona. Alikuwa na umri wa miaka [--]. O'Connor aliteuliwa katika Mahakama ya Upeo na rais Ronald Reagan mwaka wa [----] na akajiuzulu mwaka wa [----]. Alijulikana kuwa na ushawishi mkubwa kama kiongozi mkuu kwenye benchi iliyogawanyika sana"
X Link 2023-12-01T16:07Z 108.3K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: [--] WAFARIKI KWENYE MAFURIKO MKOANI MANYARA Mkuu wa Wilaya ya Hanang Janeth Mayanja amesema Watu [--] wamefariki dunia katika Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kufuatia mafuriko yaliyoambatana na mawe makubwa na miti kuingia katika makazi ya Watu ambapo imepelekea nyumba kadhaa kuanguka"
X Link 2023-12-03T12:14Z 108.3K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Hali ni mbaya Katesh Wilaya ya Hanang mkoani Manyara mafuriko ya kutisha yaua watu [--] mawe na magogo yaharibu makazi ya watu biashara na magari vyasombwa mkuu wa Wilaya hiyo athibitisha. Zaidi:"
X Link 2023-12-03T12:58Z 108.3K followers, [----] engagements
"#UGANDA: Magazetini leo. Daily Monitor New Vision Bukedde Jumatatu Desemba [--] 2023"
X Link 2023-12-04T04:44Z 108.3K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Magazetini leo. Mwananchi The Citizen Habari Leo Mwanaspoti Jumatatu Desemba [--] 2023"
X Link 2023-12-04T04:45Z 108.3K followers, [---] engagements
"Waasi wa M23 wamesema watayakalia tena maeneo ambayo yanaachwa na vikosi vya kanda ya Afrika mashariki vilivyoanza kuondoka kwenye misheni yao mashariki mwa DR #Congo siku ya Jumapili. Kikosi cha #Kenya cha takriban wanajeshi [---] kilikuwa cha kwanza kuondoka kwenye nyadhifa zao kupitia uwanja wa ndege wa Goma hii inawadia baada ya mamlaka yao kutoidhinishwa upya na jumuiya ya eneo kwa kukosolewa na serikali ya Kinshasa"
X Link 2023-12-04T10:27Z 108.4K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Helikopta za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) zilizowabeba Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Mawaziri na Viongozi mblimbali wa Serikali zikielekea Mlima Hanang na kijiji cha Gendabi wilayani Hanang ambapo kumeathiriwa na maporomoko ya matope"
X Link 2023-12-04T14:35Z 108.4K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: SABAYA MWENYEKITI MPYA MKOA WA ARUSHA Msimamizi wa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Antony Mtaka amemtangaza Loy Thomas Sabaya kuwa Mwenyekiti mpya wa CCM Mkoa wa Arusha kwa kupata kura [---] kati ya kura [---] kura moja iliharibika. Fahamu kuwa Loy Sabaya ni Baba Mzazi wa aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya wagombea wengine ni pamoja na Solomon Kivuyo kura [--] Dkt. Daniel Pallangyo [---] pamoja na Edna Israel Kivuyo kwa kupata kura [--]. Ikumbukwe kuwa Uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha umefanyika baada ya kufariki kwa ndugu Zelothe Steven"
X Link 2023-12-04T17:06Z 108.4K followers, [----] engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametangaza kukatiza safari yake katika Mkutano wa COP28 unaoendelea UAE na kurejea nchini kufuatia vifo vya maporomoko ya ardhi na mafuriko yaliyoikumba Tanzania. Mafuriko hayo hadi sasa yamegharimu maisha ya watu [--] kufikia Jumatatu jioni. Zaidi ya wengine [--] wamelazwa hospitalini huku takriban [----] wakihama makazi yao"
X Link 2023-12-05T09:04Z 108.4K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: RAIS SAMIA ASAINI MSWADA WA SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE Rais @SuluhuSamia ametia saini muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa wote na sasa tayari imekua sheria kamili. Novemba [--] [----] Bunge la Tanzania lilipitisha muswada huo kwa asilimia [---] na kuweka historia baada ya mkwamo uliokuwepo kwa takribani miaka mitano tangu ulipofufuliwa upya"
X Link 2023-12-05T11:17Z 108.4K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: @TunduALissu akiwasha ugumu wa maisha kwa kila mwananchi wa nchi hiyo awanyookea Askari Polisi Waalimu Manesi na wengine azungumzia kupanda kwa nauli za mabasi "wanaosheherekea nchi hii ni genge la watu wachache sana" Zaidi:"
X Link 2023-12-05T12:40Z 108.4K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: SIMBA SC YAWAFUATA WYDAD AC NCHINI MOROCCO Klabu ya Simba yaanza safari kuelekea Marrakech nchini Morocco kuwafuata Wydad AC wameondoka na wachezaji [--] kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Jumamosi kwenye Dimba la Stade de Marrakech. Unaipa nafasi gani klabu ya Simba kwenye kundi hilo"
X Link 2023-12-05T12:41Z 108.4K followers, [---] engagements
"Rais wa #Marekani Joe Biden na anayetaka kuwa mpinzani wake Donald Trump wamekuwa wakishambuliana huku kampeni ya Ikulu ya White House [----] ikipamba moto. Bw Biden alisema sehemu ya motisha yake ya kugombea muhula wa pili mwaka ujao ni kumzuia Mrepublican huyo akiongeza kuwa "hatuwezi kumwacha ashinde""
X Link 2023-12-06T11:54Z 108.4K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: BEI YA MAFUTA YAPUNGUA TANZANIA Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei ya petroli na dizeli kuanzia leo Desemba [--] [----]. Taarifa ya Ewura iliyotoka usiku wa kuamkia leo imesema kuwa kushuka kwa bei hizo kunatokana na kupungua kwa bei ya bidhaa hiyo katika soko la dunia na kushuka kwa gharama za uagizaji mafuta kupitia bandari ya Dar es Salaam na Tanga. Kwa mujibu wa EWURA kwa mwezi huu wa Desemba [----] bei za mafuta (FOB) kwenye soko la dunia zimepungua kwa wastani wa [---] kwa mafuta ya petroli na asilimia [----] kwa mafuta ya"
X Link 2023-12-06T12:10Z 108.4K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Wakili Msomi @heche_edward ambaye ni Mwenyekiti wa Mawakili Vijana akiwasha sakata la Mawakili kufungiwa Uwakili waandaa maandamano ya amani na mkutano wa dharura Mawakili wote waaswa kuhudhuria mkutano huo Desemba [--] mwaka huu. Zaidi:"
X Link 2023-12-06T13:53Z 108.4K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Wakili @heche_edward ambaye ni Mwenyekiti wa Mawakili Vijana ametuma salamu za pole kwa Wananchi waliopatwa na majanga ya mafuriko huko Hanang' mkoani Manyara. Zaidi:"
X Link 2023-12-06T14:40Z 108.4K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: Magazetini leo. Mwananchi Nipashe Habari Leo The Citizen Alhamisi Desemba [--] 2023"
X Link 2023-12-07T06:01Z 108.4K followers, [---] engagements
"Hali ya hatari imetangazwa nchini #Seychelles baada ya kutokea kwa mlipuko mkubwa katika eneo la viwanda kwenye kisiwa kikuu cha Mah pamoja na mafuriko. Rais wa Ushelisheli Wavel Ramkalawan ameamuru raia wote isipokuwa wafanyikazi muhimu kusalia nyumbani. Watu kadhaa wamejeruhiwa"
X Link 2023-12-07T10:16Z 108.2K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: RAIS SAMIA KUPELEKA WATAALAM WA SAIKOLOJIA HANANG Majanga kama haya yanapotokea huwa yanaleta mfadhaiko kwa wananchi. Hivyo basi nimeitaka Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum kuleta wataalam wa saikolojia hapa Hanang wazungumze na waathirika na waweze kuwarudisha katika hali ya kawaida kabisa. Samia Suluhu Rais wa Tanzania"
X Link 2023-12-07T16:17Z 108.4K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Rais Samia Suluhu akiwa ndani ya helikopta wakati akiangalia athari za mafuriko yaliyotokea katika mji mdogo wa Katesh pamoja na vijiji jirani Hanang Mkoani Manyara tarehe [--] Desemba 2023"
X Link 2023-12-07T16:24Z 108.4K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: LISSU AHOJI USIRI WA ALIKO MAKAMU WA RAIS "Hivi Serikali hii ilijifunza chochote juu ya kifo cha Magufuli mwaka juzi Kifo au ugonjwa wa kiongozi mkuu wa nchi havifichiki Kufichaficha kunaleta hisia mbaya za mchezo mchafu dhidi yake. Jisafisheni Tuambieni aliko Makamu wa Rais Phillip Mpango sasa" - @TunduALissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema"
X Link 2023-12-08T07:58Z 108.4K followers, [----] engagements
"Marekani imeidhinisha kutoa msaada wa dola [------] kufuatia maafa ya mafuriko na maporomoko ya ardhi katika mkoa wa Manyara nchini Tanzania ambayo yamesababisha vifo vya watu zaidi ya [--] kuharibu mamia ya ekari za mashamba na maelfu ya watu wengine kuyahama makazi yao. Msaada wa dharura unaotolewa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID) kupitia Shirika la Mpango wa Chakula Duniani utasaidia hatua inayoendelea ya Serikali ya Tanzania kukabiliana na maafa ya asili katika eneo la kaskazini mwa nchi. USAID na Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa vya Marekani (CDC) vitaendelea"
X Link 2023-12-08T09:17Z 108.4K followers, [---] engagements
"#ZANZIBAR: UNGUJA YAKOSA UMEME KISA HITILAFU TANZANIA BARA Shirika la Umeme visiwani Zanzibar (ZECO) limetangaza kwamba Wananchi wa maeneo yote ya Unguja wamekosa huduma ya umeme hii leo Ijumaa ya Disemba [--] [----] kuanzia saa 4:15 asubuhi hadi sasa ZECO imesema tatizo hilo limesababishwa na hitilafu iliyotokea Tanzania Bara ambapo Wataalamu wa Shirika la Umeme (TANESCO) wanafuatilia tatizo hilo. Shirika hilo la Umeme Zanzibar imesema maeneo yote ya Unguja kwa sasa yanakosa huduma ya umeme na imeomba radhi kwa usumbufu unaoendelea kujitokeza"
X Link 2023-12-08T09:30Z 108.5K followers, [----] engagements
"HABARI ZA HIVI PUNDE: Uganda imetwaa ubingwa wa CECAFA [----] kwa wavulana walio chini ya umri wa miaka [--] baada ya kuifunga Kenya mabao 2-1 katika fainali iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jomo Kenyatta mjini Kisumu Kenya"
X Link 2023-12-08T14:54Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Rais Samia Suluhu akimsikiliza Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bw. Lawrence Mafuru kuhusu kazi mbalimbali ambazo zinafanyika katika Tume hiyo wakati wa Maadhimisho ya miaka [--] ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe [--] Desemba [----]. Maadhimisho hayo pamoja na uzinduzi wa Mchakato wa ukusanyaji maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo [----] yamefanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma"
X Link 2023-12-09T10:37Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Rais Samia Suluhu akiwa kwenye picha na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bw. Lawrence Mafuru wakati wa Maadhimisho ya miaka [--] ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe [--] Desemba [----] pamoja na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050"
X Link 2023-12-09T10:46Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: ADO SHAIBU ATUA ARUMERU MASHARIKI KWA KISHINDO Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu atua na kupokelewa kwa kishindo katika Jimbo la Arumeru Mashariki ambako jana tarehe [--] Disemba alikuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa kuwachagua viongozi wa Jimbo hilo kwa miaka [--] ijayo"
X Link 2023-12-09T11:21Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Ujenzi wa nchi ni mchakato hivyo katika kila awamu ya uongozi wa nchi yetu kuna mchango wa maendeleo ya nchi yaliyofanyika. Mafanikio tuliyonayo leo ni matokeo ya uongozi thabiti maono na michango ya viongozi walionitangulia. Tathmini inatuonesha kuwa tumepiga hatua katika kuweka mifumo ya kuongeza uwazi na kusimamia maadili kwenye utumishi wa umma. Hili tutaendelea kulisimamia vyema. Hivi sasa tunaendelea kupambana na athari za ongezeko la bei ya mafuta duniani na uhaba wa dola za Kimarekani fedha ambayo inategemewa sana duniani. Rais Samia ameyasema hayo alipokuwa akihutubia"
X Link 2023-12-09T11:42Z 108.5K followers, [---] engagements
"Makamu wa Rais wa Tanzania Dk Philip Mpango amejitokeza kuzungumzia uvumi ulioenea kuhusu mahali alipo kufuatia wasiwasi kutoka kwa wananchi. Mpango amefafanua kuwa yu hai na mwenye afya njema na alikuwa nje ya nchi akihudhuria majukumu maalum kwa zaidi ya mwezi mmoja. Mpango amewataka Watanzania kupuuza uvumi unaoenea mitandaoni kuhusu afya yake. Mpango alisema hayo alipokuwa akihudhuria misa ya Jumapili katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma leo [--] December 2023"
X Link 2023-12-10T11:42Z 108.5K followers, [----] engagements
"Mwanasheria wa Haki za Kibinadamu kutoka Tanzania @Oleshangay alipokea Tuzo ya Haki za Kibinadamu ya Weimar nchini Ujerumani mnamo Desemba [--] [----]. Kulingana na Shirika la Haki za Kibinadamu la Gesellschaft fr bedrohte Vlker Oleshangay alitunukiwa tuzo kwa juhudi zake za kutetea haki za jamii ya Wamasai nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na vita vyao dhidi ya kulazimishwa kuhamishwa na serikali"
X Link 2023-12-11T08:05Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA Serikali ya Tanzania jana Jumapili December [--] [----] imetoa taarifa kuhusu maendeleo ya hali baada ya maafa ya maporomoko ya tope mawe magogo na maji kutoka Mlima Hanang Wilayani Hanang Mkoani Manyara ambapo imesema hadi kufikia sasa miili iliyopatikana ni [--] na yote imeshatambuliwa na Ndugu zao na kuchukuliwa kwa mazishi. Aidha imesema inagharamia mazishi yote na kutoa mkono wa pole wa Tsh.milioni moja kwa kila mwili ambapo kama Familia imepoteza Watu watano inapewa Tsh. milioni tano. Hadi sasa jumla ya majeruhi na Wagonjwa waliopokelewa tangu maafa yatokee ni [---] lakini waliopo"
X Link 2023-12-11T09:06Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: "Mwaka [----] wagombea wengi walienguliwa kwa kuwa sheria ni ileile na wasimamizi ni walewale mnafikiri tukienda nini kitakachoenda kufanyika Huu ukimya wetu juu ya mfumo wa uchaguzi unaenda kutuangamiza watatupeleka machinjioni"- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu"
X Link 2023-12-11T10:06Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara linamshikilia Abdallah Mohamed (53) na Hamidu Athuman (50) Wakazi wa Kwadelo Wilayani Kondoa Mkoani Dodoma baada ya kuwakamata wakisafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi gunia sita zikiwa na bunda [---] sawa na KG [---]. RPC wa Manyara George Katabazi amesema wamekamata mirungi hiyo ikiwa inasafirishwa kwenye gari aina ya Toyota land Cruser LX T [---] ADE rangi nyeusi"
X Link 2023-12-11T13:03Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Baraza la Maaskpofu Tanzania (TEC) kupitia kwa Katibu Mkuu wao Padre Charles Kitima waingilia kati sakata la hamisha hamisha huko Loliondo wamesema wao wataendelea kutoa huduma maeneo hayo na kubainisha kuwa wataendelea kuteseka nao hadi mwisho wapokea simu za vitisho katikati ya mjadala "zimepigwa simu hapa tusitishe alipokuwa anaongea kijana wa Loliondo". Zaidi:"
X Link 2023-12-11T15:39Z 108.5K followers, 31.3K engagements
"Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Phillip Mpango siku ya Jumapili alionekana hadharani kwa mara ya kwanza baada ya wiki kadhaa zilizojaa tetesi kuhusu alipo kiongozi huyo. Mpango hata hivyo amewaonya wananchi dhidi ya kutumia mitandao ya kijamii na kueneza uvumi na taharuki akisema amekuwa nje ya nchi kikazi #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-12-11T19:25Z 108.5K followers, [---] engagements
"Mashindano ya East African Safari Classic Rally (EASCR) yalianza Jumamosi asubuhi kutoka Vipingo Ridge nchini Kenya PGA kabla ya matembezi ya siku [--]. Mwenyekiti wa EASCR Joey Ghose ambaye alitangaza magari [--] ya kwanza alisema kuwa mkutano huo siku zote umekuwa zaidi ya mbio tu sherehe za utofauti wa kitamaduni na mandhari ya kupendeza ambayo eneo linapaswa kutoa #MwanzoHabari Tazama:"
X Link 2023-12-11T19:57Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Muongoza video (Director) maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie Nic Davie maarufu Nisher amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Desemba [----]. Kwa mujibu wa Familia ya Dr. GeorDavie ambayo imethibitisha kutokea kwa msiba huoni kwamba msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye"
X Link 2023-12-12T09:05Z 108.5K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: KINANA AZURU KABURI LA HAYATI DK. MAGUFULI WILAYANI CHATO. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amezuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano hayati Dk. John Magufuli akiwa ziarani mkoani Geita. Kinana amezuru kaburi hilo akiwa katika siku ya kwanza kati ya mbili ya ziara yake ya kukagugua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM na uhai wa Chama mkoani humo akiambatana na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela"
X Link 2023-12-12T10:58Z 108.5K followers, [---] engagements
"#CONGO: Tunajiona tumeachwa kana kwamba sisi sio Wakongo kana kwamba hatuna haki za kiraia kwa kweli haki zetu zote zimevunjwa kwa sababu wangetujali wangemaliza vita. kufikia sasa na sote tungekuwa na haki ya kupiga kura katika maeneo yetu ya Rutshuru na Masisi." - Dani Rukara mtu aliyehamishwa vitani. Zaidi:"
X Link 2023-12-12T13:33Z 108.5K followers, [----] engagements
"Rais wa zamani wa #Sierra Leone Ernest Bai Koroma ametangazwa kuwa mshukiwa wa uchunguzi unaoendelea kuhusu jaribio la mapinduzi ya mwezi uliopita. Bw Koroma ambaye aliachiliwa kwa dhamana siku ya Jumamosi amekuwa katika kizuizi cha nyumbani na kuzuiliwa kutembea"
X Link 2023-12-13T10:37Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Chama cha Demokrasia na Maendeleo @ChademaTz kupitia kwa Mshauri wa Maswala ya Uchumi wa chama hicho ndugu @amwaitenda2020 ameitaka Serikali kupunguza matumizi yasio ya lazima na kuwachukulia hatua wabadhirifu wa fedha za Umma waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Zaidi:"
X Link 2023-12-13T11:25Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: "Kamati imefanya tathmini ya ukusanyaji wa mapato ya Serikali kwa Taasisi zinazotakiwa kutekeleza jukumu hilo. Kamati imebainisha nakisi ya ukusanyaji mapato katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ya kiasi cha Tsh.887301296148 aidha kuna hasara ya Tsh. [----------] katika Kampuni ya TANOIL Tume ya Madini ambayo haikukusanya kiasi cha Sh. [----------] na Wizara ya Maliasili na Utalii kutokusanya mapato ya takribani Dola za Marekani [------] kutokana na Uwindaji wa Kitali" - @amwaitenda2020 Mshauri wa Maswala ya Uchumi wa Chadema na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema"
X Link 2023-12-13T12:12Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: SIMBA SC YAJA NA KAMPENI YA MFALME SHANGWE "Mwaka huu tulianza na Shabiki Bingwa ambapo mashabiki wanashinda fedha taslimu safari tiketi za mechi na wakati hii kuelekea sherehe za mwisho wa mwaka tumekuja na MFALME SHANGWE. Mfalme ni Simba shangwe ni kuelekea mwisho wa mwaka. Tumekuja na shindano ambalo lina jumla ya zawadi zisizopungua Tsh. [---] milioni na kushinda zawadi ya tiketi za mechi."- Imani Kajula CEO wa Klabu ya @SimbaSCTanzania"
X Link 2023-12-13T12:38Z 108.5K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: SIMBA INAAMINI KATIKA MASHABIKI WENYE FAIDA - KAJULA "@SimbaSCTanzania inaamini kwenye mashabiki wake kuwa na faida kama atakuwa ni shabiki ambaye anaeleza mambo ambayo anataka lakini hashiriki kuisaidia timu basi ni ushabiki usio na faida. Kwa mashabiki wa faida basi MFALME SHANGWE ni jambo la kushiriki."- CEO Imani Kajula"
X Link 2023-12-13T13:44Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: "Tunawakaribisha Wanasimba na mashabiki wa soka Tanzania kushiriki MFALME BINGWA. Tunaamini tutaendelea kujitahidi ili Simba iwe sehemu ya furaha yenu kuelekea mwisho wa mwaka huu."- CEO wa Klabu ya @SimbaSCTanzania Imani Kajula"
X Link 2023-12-13T13:49Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: ASKARI WANAODAIWA KUMUUA MLINZI WA BAR WAFUKUZWA KAZI Jeshi la Polisi Dar es Salaam limewafukuza kazi askari wawili wa Kituo cha Mabatini wanaodaiwa kumuua kwa kumpiga risasi mlinzi wa baa ya Board Room Riziki Azan (29). Azan ambaye alikuwa mlinzi wa baa hiyo iliyoko Sinza jijini hapa aliuawa usiku wa kuamkia Novemba [--] mwaka huu wakati askari hao wakitaka kumkamata muhudumu wa baa hiyo kwa madai anafanya biashara ya kujiuza. Hata hivyo siku moja baada ya tukio hilo kutokea Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kupitia Kaimu Kamanda Gabriel Pupa alitoa taarifa akisema kuwa"
X Link 2023-12-13T13:59Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: HATMA YA MDEE NA WENZAKE [--] KUJULIKANA KESHO Kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema iliyofunguliwa na Halima Mdee na wenzake [--] kutolewa uamuzi wake kesho Alhamisi Disemba [--] [----] katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar Es Salaam. Kesi hiyo No.36/2022 ya @halimamdee na wenzake [--] wanaiomba Mahakama ifanye mapitio ya kina ya kisheria kuona kama mchakato wa CHADEMA kuwavua uanachama ulikua halali huku wao wakipinga wakisema ulikua kinyume cha sheria batili na wala hawakupewa nafasi ya kusikilizwa. Itakumbukwa kwamba kesi hiyo ilipigwa"
X Link 2023-12-13T14:30Z 108.5K followers, [---] engagements
"HABARI ZA HIVI PUNDE: Bunge la Ulaya lilipitisha azimio kuhusu jamii za Wamasai nchini Tanzania kupitia taarifa iliyochapishwa Desemba [--] [----] na kuitaka serikali ya Tanzania kusitisha mara moja uhamishaji wa lazima wa jamii ya Wamasai unaoendelea katika Wilaya ya Ngorongoro. Azimio hilo linasisitiza wapate haki na suluhisho kwa jamii zilizoathirika. Bunge la Ulaya pia linaitaka serikali ya Tanzania kutambua na kulinda haki za watu wa kiasili na kutambua ardhi na rasilimali ambazo jamii za Wamasai zimesimamia kwa vizazi na nafasi zao katika kudumisha wanyamapori na viumbe hai"
X Link 2023-12-14T13:26Z 108.6K followers, 12.6K engagements
"#TANZANIA: HAWA HAPA MAWAKILI WA UPANDE WA AKINA MDEE AKIELEZEA MAAMUZI YA MAHAKAMA KUU WA KUFUTWA UANACHAMA WATEJA WAO NA CHAMA CHA CHADEMA :"
X Link 2023-12-14T16:22Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Haya hapa maamuzi ya Mahakama Kuu dhidi ya kesi ya @halimamdee na wenzake [--] na Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kuhusu uhalali wa uanachama wa Mdee na wenzake [--] hapa Wakili @AdvMatata anatuelezea kiundani maamuzi hayo. Zaidi:"
X Link 2023-12-14T17:29Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Huyu hapa Wakili wa upande wa akina @halimamdee na wenzake akielezea maamuzi ya Mahakama Kuu juu ya uamuzi wa kufutwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema. Zaidi:"
X Link 2023-12-14T17:31Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: MFUMO WA UNUNUZI WA UMEME (LUKU) UMERUDI Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema huduma za kununua Umeme (LUKU) imerejea sasa wateja wanaweza kununua kupitia wakala njia za mitandao ya simu na benki. Ikumbukwe huduma hii ilianza kukosekana mapema hii leo"
X Link 2023-12-14T17:46Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA (NIDA) NA RITA ZAUNGANISHWA "Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inaunganishwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Uthamini (RITA) na kuunda Taasisi Moja inayohusika na Utambuzi wa matukio muhimu maishani kwa hiyo kutoka kuzaliwa mpaka kufariki tunataka tuwe na Taasisi Moja ambayo inahusika na utambulisho wake lengo ni kutekeleza maelekezo ya Mheshimiwa Rais ya kuwa na namba moja ya utambulisho" - Prof. Kitila Mkumbo Waziri wa Mipango Tanzania"
X Link 2023-12-15T09:50Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: BANK YA KILIMO NA MFUKO WA MAENDELEO YA KILIMO ZAUNGANISHWA "Benki ya Kilimo Tanzania (TADB) na Mfuko wa Maendeleo ya Kilimo (AITF) vinaunganishwa ili kuwa na Taasisi Moja itakayohusika na Mikopo na ugharamiaji wa Maendeleo ya Kilimo Nchini kwa sababu Taasisi hizi zote zinahusika na ugharamiaji na Mikopo kwa sekta ya Kilimo kwa hiyo tumeona hakuna sababu ya kuwa na Taasisi mbili zitaunganishwa na kuwa Taasisi Moja" - Prof. Kitila Mkumbo Waziri wa Mipango Tanzania"
X Link 2023-12-15T10:08Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA MANNE YA UMMA Serikali ya Tanzania imetangaza kuyafuta Mashirika manne ya Umma likiwemo Shirika la Uzalishaji la Jeshi la Polisi (TPFCS) na Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) na imefuta pia Bodi ya Pareto na shughuli zake zitahamishiwa katika Mamlaka ya Usimamizi wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko. Uamuzi huo umetangazwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo leo December [------] ambapopamoja na mambo mengine pia amesema Shirika la Elimu Kibaha linavunjwa na kuunda na Shule ya Sekondari Kibaha ama kwa jina ambalo Mamlaka"
X Link 2023-12-15T10:18Z [--] followers, [----] engagements
"#TANZANIA: "Katika mchakato huu hakuna mtumishi hata mmoja atakayepoteza ajira yake na maslahi yote ya Watumishi wa Umma katika Mashirika na Taasisi ambazo zinaathirika yatalindwa na kuzingatiwa kikamilifu kwa kuzingatia Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma hakuna sababu yoyote ya Watumishi wetu wa Umma kuwa na hofu ya ajira zao ajira zao zipo salama" - Prof. Kitila Mkumbo Waziri wa Mipango Tanzania"
X Link 2023-12-15T10:40Z 108.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: CHADEMA WAMTAKA SPIKA TULIA KUWAONDOA BUNGENI MDEE NA WENZAKE [--] "Baada ya uamuzi wa Mahakama wa Desemba [--] [----] atekeleze uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kilichoketi Novemba [--] [----] na kuazimia kuwafukuza uanachama wanachama [--] na kukosa sifa ya kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.""
X Link 2023-12-15T12:01Z 108.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: SAFARI YA TANZANIA KWENYE SETELAITI YAIVA - NAPE "Tumefanikiwa kupata nafasi katika Orbit kwa ajili ya matumizi ya setelaiti. Orbit mpya ya setelaiti kwa Tanzania ni nyuzi (16 W). Mafaniko haya ni moja ya matokeo ya mkutano wa Umoja wa Mawasiliano Duniani-2023(WRC23) Ahsante Rais Samia kwa Uongozi uliotukuka" - Nape Nnauye Waziri wa Habari Tanzania"
X Link 2023-12-15T12:09Z 108.6K followers, [---] engagements
"Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (Ecowas) imesimamisha uanachama wa #Niger baada ya serikali kuu ya kijeshi kukataa kumrejesha madarakani Rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Bazoum. Bazoum alipinduliwa katika mapinduzi ya kijeshi mwezi Julai. Ecowas ilisema katika taarifa Alhamisi kwamba mkutano wa hivi karibuni wa viongozi wake nchini #Nigeria "ulitambua" kwamba serikali ya Bw Bazoum "ilipinduliwa kikamilifu katika mapinduzi ya kijeshi""
X Link 2023-12-15T12:19Z 108.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: "Moja ya sababu ya kuwahamisha wananchi ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro ni kuangalia usalama wa wananchi kumekuwa na matukio ya wananchi kushambuliwa na wanyama kipindi hiki ambacho shule zimefungwa watoto wadogo ndio wanaochunga mifugo wakipishana na wanyama wa polini si eneo salama kwa Binadamu na ongezeko kubwa la watu kwa sasa limekua hatari kwa wanyama na hatari kwa Binadamu asilimia [--] ya eneo la Ngorongoro limekaliwa na watu wakiwa na mifugo zaidi ya [------] na iwapo hatutachukua hatua ya kudhibiti hali hii kufikia [----] eneo hili litafikia Km [-----] likiwa na Binadamu na"
X Link 2023-12-15T12:26Z 108.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Hizi hapa nondo za @TunduALissu Makamu Mwenyekiti wa @ChademaTz akipinga Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi aonyesha mapungufu yaliyopo. Zaidi:"
X Link 2023-12-16T19:29Z 108.4K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: @ChademaTz watolea ufafanuzi hukumu kesi ya akina @halimamdee na wenzake [--] na hatua walizozichukuwa mpaka hivi sasa. Zaidi:"
X Link 2023-12-17T12:08Z 108.3K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: @freemanmbowetz Mwenyekiti wa Chama cha @ChademaTz acharuka vikali juu ya Muswada wa Sheria za Uchaguzi aipasua pasua @ccm_tanzania bila huruma. Zaidi:"
X Link 2023-12-17T12:29Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Msikilize Naibu Katibu Mkuu wa @ccm_tanzania #Zanzibar aungana na @TunduALissu kuhusu kuondoa Mswada wa Sheria za Uchaguzi atofautiana naye kwenye kupatikana kwa #KatibaMpya ataka ipatikane baada ya Uchaguzi Mkuu wa [----]. Zaidi:"
X Link 2023-12-18T09:01Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imerejesha tabasamu kwa Mkazi wa Mtwara Bi. Fadina Namponda aliyekatwa mikono miwili kwa panga na mtalaka wake baada ya kumtengenezea viungo saidizi vitavyomsaidia kufanya shughuli zake za kimaendeleo. Mtaalam wa viungo saidizi MOI Leah Mamseru alisema kwa sasa Fadina anaweza kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kunywa maji kubeba vikapu anapoenda sokoni kuvua na kuvaa nguo pamoja na shughuli nyingine ndogo ndogo"
X Link 2023-12-18T09:02Z 108.6K followers, [----] engagements
"Vikosi vya #Somalia vimechukua usalama wa ikulu ya rais na jengo la bunge la shirikisho katika mji mkuu Mogadishu kutoka kwa ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini humo (Atmis) baada ya miaka [--]. Rais Hassan Sheikh Mohamud alisifu jeshi la taifa kwa kuchukua jukumu la usalama la viongozi wa nchi akisema kuwa hatua hiyo ilionyesha "kupatikana tena kwa uwezo na mamlaka" ya jeshi la nchi hiyo shirika la habari la Sonna linalomilikiwa na serikali liliripoti"
X Link 2023-12-18T11:11Z 108.6K followers, [---] engagements
"Waziri wa Ulinzi wa #Marekani Lloyd Austin amewasili #Israel huku shinikizo la kimataifa la kusitishwa kwa mapigano Gaza likizidi. Austin anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenzake wa Israel Yoav Gallant na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu"
X Link 2023-12-18T11:14Z 108.6K followers, [---] engagements
"Rais wa #Kenya William Ruto anasema alikataa ombi la kukamatwa kwa wanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioanzisha muungano na waasi mjini Nairobi siku ya Ijumaa. Corneille Nangaa mkuu wa zamani wa baraza la uchaguzi la DR #Congo Ijumaa alitangaza katika hoteli moja katika mji mkuu wa Kenya kwamba anaunda muungano wa kisiasa na kijeshi na waasi wa M23 na makundi mengine yenye silaha kwa lengo la kurejesha amani"
X Link 2023-12-18T11:18Z 108.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Wazazi wa Tanzania acheni kuiachia mitandao kuwalea watoto wenu mtakuwa mnawapeleka kwenye shimo ambalo mtawapoteza. Kwetu sisi ni sawa na kuwatoa kafara watoto - Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye"
X Link 2023-12-18T11:20Z 108.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Mkoa uko salama sana. Na yeyote ambaye anaendelea kulalamika kwamba mkoa huu labda una mambo mengi una foleni nyingi tafadhali kuna vijiji vingi bado havijajaa unaeweza ukahamia huko mkoa ukauacha. Albert Chalamila Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam"
X Link 2023-12-18T11:41Z 108.6K followers, [---] engagements
"Upigaji kura katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa uliahirishwa ili kujaribu kuzuia kura nyingine ya turufu ya #Marekani mshirika wa karibu wa #Israel. Rasimu ya azimio awali ilitoa wito wa "kusitishwa kwa haraka kwa uhasama" ili kuruhusu misaada ya kibinadamu kufikishwa kwa Wagaza. Hatua hiyo imekuja baada ya wakuu wa kijasusi wa Marekani na Israel kukutana na waziri mkuu wa Qatar ambaye ni mpatanishi na Hamas kujaribu kuachiliwa kwa mateka zaidi wa Israel. Huu ni mkutano wa kwanza unaojulikana tangu kusitishwa kwa usitishaji mapigano kwa wiki moja mwezi uliopita. Jana usiku wazee"
X Link 2023-12-19T10:27Z 108.4K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Serikali ya Tanzania imesema hakuna miili zaidi iliyopatikana wilayani Hanang mkoani Manyara ambapo kulitokea maporomoko ya matope na hivyo idadi ya miili inabakia kuwa [--] (Watu wazima 50: wanaume [--] na wanawake 29; na watoto 39: kiume [--] na kike 20). Miili [--] ilishatambuliwa na kuchukuliwa na familia zao kwa ajili ya mazishi lakini mwili mmoja wa mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja bado haujatambuliwa ingawa mchakato wa kuutambua kwa kutumia teknolojia ya vinasaba (DNA) unaendelea"
X Link 2023-12-19T10:30Z 108.6K followers, [---] engagements
"Mlipuko wa Volkano umetokea kwenye rasi ya Reykjanes kusini-magharibi mwa #Iceland baada ya wiki za shughuli kubwa ya tetemeko la ardhi. Awali karibu watu [----] walihamishwa kutoka mji wa Grindavik na kituo cha joto ardhi kilicho karibu cha Blue Lagoon kilifungwa. Mlipuko huo ulianza kaskazini mwa mji saa 22:17 saa za ndani (22:17 GMT) Mamlaka y aUtabiri wa Hali ya Hewa ya #Iceland ilisema"
X Link 2023-12-19T10:31Z 108.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: SIMBA SC [--] - [--] WYDAD AC Klabu ya Simba inaongoza kwa mabao [--] - [--] dhidi ya Wydad Ac ya nchini Morocco mabao hayo ya Simba yamefungwa na Onana"
X Link 2023-12-19T13:44Z 108.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: 90' SIMBA SC [--] - [--] WYDAD AC Klabu ya @SimbaSCTanzania ya Tanzania imefanikiwa kupata alama [--] muhimu dhidi ya Wydad Ac ya nchini Morocco mabao yote mawili yamefungwa na Onana katika kipindi cha kwanza. Asec [--] Simba [--] Jwaneng Galaxy [--] Wydad [--]. Mechi inayofuata ni kati ya Asec na Jwaneng Galaxy katika kundi hilo. Nini maoni yako katika kundi hili"
X Link 2023-12-19T15:12Z 108.6K followers, [---] engagements
"#MAREKANI: Mahakama ya Juu ya Colorado imeamua kuwa Donald Trump hawezi kugombea urais mwaka ujao katika jimbo hilo ikinukuu kifungu cha katiba kuhusu uasi. Katika uamuzi wa kihistoria mahakama iliamua 4-3 kwamba Bw Trump hafai kuwa mgombeaji. Ni mara ya kwanza kwa Kifungu cha [--] cha Marekebisho ya [--] ya Katiba ya Marekani kutumika kumuondoa mgombea urais. Majaribio kadhaa ya kumtimua Bw Trump kwenye kura katika majimbo mengine yameshindwa"
X Link 2023-12-20T10:58Z 108.6K followers, [---] engagements
"Mkuu wa kundi la wapiganaji wa Hamas amewasili mjini Cairo kukutana na mkuu wa kijasusi wa Misri Ismail Haniyeh kwa kawaida anakaa #Qatar lakini ziara yake katika mji mkuu wa #Misri ni ishara ya hivi punde ya uwezekano wa harakati katika mazungumzo. Misri pamoja na #Qatar zilisaidia kufikia mapatano mwezi uliopita ambayo yalidumu kwa wiki moja na kushuhudia mateka kadhaa wa Israel wakiachiliwa huru halikadhalika wafungwa wa Kipalestina"
X Link 2023-12-20T13:17Z 108.6K followers, [---] engagements
"Rais wa #Guinea-Bissau Umaro Sissoco Embal amemfuta kazi Waziri Mkuu Geraldo Martins wiki moja tu baada ya kumrejesha kwenye wadhifa huo. Bw Martins aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu kwa mara ya kwanza mwezi Agosti lakini alipoteza nafasi hiyo mapema mwezi huu wakati Rais Embal alipovunja serikali kufuatia jaribio la mapinduzi lililoshindwa tarehe [--] Desemba. Rais kisha akamteua tena Bw Martins kama Waziri Mkuu wiki iliyopita"
X Link 2023-12-21T09:35Z 108.7K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: MAKONDA AWAPA ONYO KALI WANAOTAKA MAJIMBO KIPINDI HIKI "CCM inatoa rai kwa watu walio na shauku ya kutaka Majimbo na Udiwani sasa CCM inasema chokochoko zote ziachwe mara moja wabunge wapewe nafasi ya kufanya kazi zao kama ulivyo utaratibu na katika hili nitoe mfano mimi niligombea ubunge Kigamboni nikashindwa na akateuliwa mgombea wa Chama kwa kura za maoni na mimi nikakubali kushindwa na kuacha na sijawahi tena kwenda kigamboni nimemuacha mbunge afanye kazi zake" "Acheni kuwanyima utulivu viongozi wetu waacheni wafanye kazi zao acheni kuwachafua huko kwenye magroups ya whatsapp"
X Link 2023-12-21T11:36Z 108.7K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Wapinzani au watoa tarifa wasipofanya mikutano ya hadhara umaana wangu na thamani yangu kwenye chama unapotea. Thamani yangu inaongezeka kunapokuwa na mikiki mikiki kule. Paul Makonda Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM"
X Link 2023-12-21T11:53Z 108.7K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar Es Salaam Yuda Thaddaeus Ruwa'ichi atolea ufafanuzi juu ya tamko la kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis wa kwanza kuhusu ushoga. Zaidi:"
X Link 2023-12-21T14:56Z 108.7K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Balaa zito Ngorongoro wafungua kesi dhidi ya Serikali wananyang'anywa mifugo yao "ili upate mifugo yako unatakiwa utoe milioni kumi" Zaidi:"
X Link 2023-12-26T10:10Z 108.7K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: KESI YA MBUNGE GEKUL YAFUTWA NA MAHAKAMA HUKO BABATI Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara Victor Kimario hii leo Disemba [--] [----] amefuta shauri la jinai lililofunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini Paulina Gekul la kumfanyia shambulio la kimwili Hashim Ally. Hii ni baada ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali kuona hana nia ya kuendelea na kesi hiyo na ameiondoa kwa mujibu wa kifungu cha [--] (1) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai sura ya [--] iliyofanyiwa marekebisho mwaka [----] ambayo inampa DPP Mamlaka ya kuondoa kesi"
X Link 2023-12-27T12:12Z 109.3K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: MAHAKAMA INAJIDHARAULISHA YENYEWE - MADELEKA "Mtu yeyote anayekiuka sheria au anayeidharau sheria cha kwanza anatakiwa apewe adhabu kwa kuidharau Mahakama ambayo sio zaidi ya miezi sita (6) kitendo cha kutokumuona Mshtakiwa Mahakamani licha ya kuwa wito uliotolewa na Mahakama ameupokea Disemba [--] [----] ilikuwa sababu tosha kabisa kabla hatujaendelea na mambo mengine yeye atoe amri huyo mtu aende akakamatwe na aletwe Mahakamani aje ajieleze kwa nini hajafika Mahakamani kama alivyoitwa tukiacha huu utaratibu uendelee hivi ipo siku watu watakuja kuitukana hii Mahakama na Mahakama"
X Link 2023-12-27T12:39Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar Es Salaam Yuda Thaddaeus Ruwa'ichi atolea ufafanuzi juu ya tamko la kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis wa kwanza kuhusu ushoga. Zaidi:"
X Link 2023-12-28T10:31Z [--] followers, [----] engagements
"#TANZANIA: @DEUSDEDITHSOKA amjia juu DPP kwa kufuta kesi ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mbunge wa Babati Paulina Gekul kwa kumfanyia ukatili kijana Hashim Ally kwa kumuingizia chupa kinyume na maumbile ampiga spana Makonda amuita mlopokaji. Zaidi:"
X Link 2023-12-28T11:54Z 108K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: @Mwabuk2Boniface ataka vyama vya upinzani na NGO's na Mashirika mengine kuungana kuikomboa Tanzania amesisitiza bila Katiba Mpya hakuna Uchaguzi. Zaidi:"
X Link 2023-12-29T09:46Z [--] followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Balaa Matukio mazito yaliyotokea Tanzania mwaka [----] mengi yameacha simanzi nzito mengine mpaka leo ni kilio kwa Watanzania:"
X Link 2023-12-30T07:58Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Matukio mazito yaliyoitikisa Tanzania mwaka [----] mengi yameacha simanzi nzito wengi wamepoteza maisha. Zaidi:"
X Link 2023-12-30T08:41Z 108.2K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Hali ngumu ya maisha yawaibua wananchi wafunguka mazito bila woga Mbunge wa Ukonga Jerry Slaa ashambuliwa vikali kisa ubovu wa barabara "hiki kizazi mpaka kifutike ndo watu watakuwa na akili" Zaidi:"
X Link 2023-12-31T09:14Z 109.3K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Rais @SuluhuSamia afunga mwaka [----] kwa ahadi kem kem afunga na Waalimu atangaza treni ya mwendo kasi kuanza July mwaka huu:"
X Link 2023-12-31T22:44Z [--] followers, [----] engagements
"Polisi wa Kenya walisema siku ya Jumatatu wamewakamata watu wawili mji wa Eldoret kuhusiana na mauaji ya mwanariadha wa Uganda Benjamin Kiplagat. Mwanariadha huyo mzaliwa wa Kenya alikuwa ameiwakilisha Uganda kimataifa katika mbio za mita [----] kuruka viunzi na katika Michezo kadhaa ya Olimpiki na Mashindano ya Dunia. Mwili wa kijana huyo mwenye umri wa miaka [--] ulipatikana kwenye gari Jumamosi usiku ukiwa na jeraha kubwa la kisu shingoni"
X Link 2024-01-01T13:00Z [--] followers, [---] engagements
"Marekani imeiondoa Uganda katika Sheria ya Ukuaji na Fursa Afrika (AGOA) kutokana na sheria yake ya kupinga ushoga. Uganda sasa inaungana na Jamhuri ya Afrika ya Kati Gabon na Niger kama mataifa ambayo yametimuliwa kutoka AGOA"
X Link 2024-01-03T09:12Z 108.3K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Kisa cha kuhuzunisha Ngorongoro asingiziwa kumuua Askari Polisi afungwa hadi uchaguzi ulipopita ndipo akaachiwa ng'ombe wao wanataifishwa. Zaidi:"
X Link 2024-01-03T10:37Z [--] followers, [----] engagements
"#TANZANIA: "Tuwe wajasiri wa kusimama na kuzungumza mawazo yetu lakini tuwe jasiri zaidi wa kukaa na kusikiliza mawazo ya wenzetu na pale mawazo ya mwenzako yanapokuwa na msingi na hoja ni vyema kukubali hoja hiyo njia rahisi ya kufikia hayo ni kutanguliza maslahi ya Taifa letu mbele kila wakati tujiulize ni lipi bora zaidi kwa Taifa letu tukikubali mawazo yoyote kwa msingi huo bila ya shaka tutavuka salama" "Wito wangu kwenu nyote kulitendea haki Taifa hili Kwa kutumia fursa tuliyoipata vizuri namna ya kutumia vizuri fursa tuliyoipata ni kutoa michango bora itakayosaidia kuziboresha Sheria"
X Link 2024-01-03T10:46Z 108.6K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Naibu Katibu Mkuu wa @ChademaTz #Zanzibar Salumu Mwalimu asisitiza umuihimu wa kupatikana kwa Katiba Mpya ili iendane na R nne anazozizungumzia Rais @SuluhuSamia. Zaidi:"
X Link 2024-01-03T17:16Z 108.1K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Mama Mongela alipuka sakata la Katiba Mpya naye anaitaka lakini anamashaka kama Katiba Mpya italeta mabadiliko nchini humo. Zaidi:"
X Link 2024-01-03T17:32Z [--] followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Katibu Mkuu wa @ACTwazalendo @AdoShaibu azungumzia R nne za Rais Samia ataka utekelezaji lakini pia asisitiza mchakato wa #KatibaMpya uanze haraka. Zaidi:"
X Link 2024-01-03T17:46Z 108.5K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Vijana wa Kitanzania wapeleka barua Ubalozi wa #Marekani kutaka waingilie kati Muswada wa Sheria za Uchaguzi Mswada wa marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Upatikanaji wa Katiba Mpya nchini humo. Zaidi:"
X Link 2024-01-04T14:45Z [--] followers, [----] engagements
"#TANZANIA: RAIS SAMIA ATENGUA UTEUZI WA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI Rais wa Tanzania @SuluhuSamia ametengua uteuzi wa Michael Songora Mjinja aliyekuwa Kamishna wa Petroli na Gesi Wizara ya Nishati. Michael Songora Mjinja atapangiwa kazi nyingine"
X Link 2024-01-04T19:19Z 109.6K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: BAWACHA WAFIKA OFISI ZA UN WOMEN KUPAZA SAUTI JUU YA MISWADA ILIYOPELEKWA BUNGENI Leo Januari [--] [----] Baraza na Wanawake Chadema (BAWACHA) wamefika ofisi ya UN WOMEN kupaza sauti juu ya miswada iliyowasilishwa mwezi Novemba [----] kuitaka iwaunge mkono kuitaka Serikali kuondoa miswada hiyo bungeni. Badala yake iwasilishe bungeni miswada mitatu Mosi muswada wa kuendeleza mchakato wa #KatibaMpya. Pili muswada wa marekebisho ya Katiba ya mwaka [----]. Tatu muswada wa sheria wa kuwezesha uchaguzi wa Serikali za Mitaa Vijiji na Vitongoji kusimamiwa na Tume ya Uchaguzi"
X Link 2024-01-04T19:56Z [--] followers, [---] engagements
"#TANZANIA: "Hii Tume ya Uchaguzi tuliyonayo leo ukiitaka kuiita kwa jina sahihi ni chombo cha Rais cha kuratibu kuendesha na kusimamia Uchaguzi pia ambayo inapendekezwa jina inayostahili ni hilo hilo kwa sababu Kamati ya Usahili ni Kamati ya Rais hatuwezi kusema kuna nafuu. Tunachokosea kuhusu kutunga Sheria zetu tunataka kumfanya Rais kama Mungu Rais ni mtu na ni mgombea wa uchaguzi wa Chama kwa nini tunampa mamlaka ya kuunda vyombo vya kusimamia uchaguzi" - Benson Kigaila Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara. Zaidi:"
X Link 2024-01-04T20:38Z 108.6K followers, [---] engagements
"Mwanariadha wa zamani wa Olimpiki wa Afrika Kusini Oscar Pistorius ameachiliwa huru leo Ijumaa Januari [--] [----] kwa msamaha karibu miaka [--] baada ya kumuua kwa kumpiga risasi mpenzi wake Reeva Steenkamp. Pistorius ambaye alikuwa mwanariadha wa Olimpiki mwenye ulemavu alimpiga mpenzi wake risasi kadhaa kupitia mlango wa bafuni mwaka wa [----] na kudai kuwa alidhani ni mwizi"
X Link 2024-01-05T13:38Z 109.3K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: BAWACHA Kanda ya Pwani wakiongozwa na @RoseMakei ambaye ni Mratibu wa Kamati pamoja na Wakina mama Wajasiriamali jijini Dar Es Salaam wakiongozwa na Fidea Komba wafika BAKWATA na CCT (Umoja wa Makanisa ya Kikristo Tanzania) kuwaomba waungane pamoja katika kutaka Miswada iliyopelekwa bungeni iondolewe na badala yake irudishwe kwa Wananchi waijadili kwa kina kwa maslahi ya Taifa kisha waipeleke tena bungeni. Zaidi:"
X Link 2024-01-05T14:15Z [--] followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) wakielekea Bungeni Dodoma kutoa maoni yao juu ya Miswada iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba [----]. Leo Januari [--] [----] ikiwa ni siku ya kwanza kwa Kamati ya Bunge kuanza kupokea maoni hayo"
X Link 2024-01-06T11:31Z 107.9K followers, [----] engagements
"#TANZANIA: WAFANYAKAZI WA SGR WAGOMA ILI KUSHINIKIZA KULIPWA PESA ZAO Baadhi ya Wafanyakazi walioko katika Ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa ya (SGR) kwenye Kambi ya Ilala (Dar Es Salaam) Tabora Itigi (Singida) na Dodoma wamegoma kufanya kazi leo Jumamosi Januari [--] [----] wakishinikiza kulipwa mshahara wa Disemba [----] kutoka kwa Mkandarasi Mkuu wa Mradi huo Kampuni ya Yapi Merkezi. Wafanyakazi hao wamefikia hatua ya kugoma kutokana na Mkandarasi kutotoa taarifa yoyote juu ya malipo yao kila wanapouliza hivi karibuni Yapi Merkrzi walitangaza kupunguza zaidi ya Wafanyakazi [---] kutokana na sababu"
X Link 2024-01-06T11:54Z 108.5K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: KAULI YA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI KUHUSU NGORONGORO YAZUA UTATA Kauli ya Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi imemuibua Wakili Onesmo Olengurumwa ambaye ni Mratibu kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na kutoa wito kwa Rais Samia Suluhu kutazama upya zoezi la kuhamisha wakazi wa Ngorongoro kuelekea kijiji cha Msomera wilaya ya Handeni mkoani Tanga. "Hapa Msemaji wa Serikali moja kwa moja ametangazia Dunia kuwa Serikali imeamua kuwanyima huduma za jamii sehemu ya Watanzania. Huu ni ukiukwaji wa haki za Binadamu wa Hali ya Juu sana ambao lazima"
X Link 2024-01-06T12:17Z [--] followers, [----] engagements
"Deobra Redden mwanamume aliyemshambulia Jaji wa Las Vegas Mary Kay Holthus wiki iliyopita kwenye video iliyosambaa mitandaoni amerejea mahakamani kupokea hukumu yake kutoka kwa hakimu huyo huyo. Redden alihukumiwa kifungo cha miezi [--] hadi [--] jela kwa shtaka lake la kwanza la shambulio. Redden atarejea Jumanne kujibu mashtaka katika shambulio dhidi ya hakimu"
X Link 2024-01-09T08:31Z 108.4K followers, [---] engagements
"#TANZANIA: Taasisi yaTiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili(MOI) imesema asilimia [--] ya majeruhi wanaopelekwa kwenye taasisi hiyo wanatokana na ajali za pikipiki ambapo wanaume ndiyo kundi linaloathirika zaidi kwa asilimia [--]. Daktari bingwa mbobezi wa Mifupa wa Taasisi ya MOI Dkt. Joseph Mwanga amesema miaka [--] iliyopita kitengo cha dharura cha MOI kilikuwa kinapokea majeruhi watatu hadi watano kwa siku na kwa sasa kitengo hicho kinapokea majeruhi [--] hadi [--] kwa siku"
X Link 2024-01-09T09:21Z 108.3K followers, [----] engagements
"Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron Jumanne alimteua Gabriel Attal mwenye umri wa miaka [--] kama Waziri Mkuu. Attal anakuwa mkuu wa serikali mwenye umri mdogo zaidi na wa kwanza kuwa shoga waziwazi"
X Link 2024-01-09T15:17Z [--] followers, [--] engagements
"#TANZANIA: Balaa Vuta ni ni kuvute @bavicha_taifa na Kamati ya Bunge Miswada ya Sheria za Uchaguzi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi "Refa akiletwa na Kocha wa Simba si Yanga watalalamika" Zaidi:"
X Link 2024-01-10T07:22Z [--] followers, [----] engagements
"#TANZANIA: Wakili @Mwabuk2Boniface awaasa Watanzania wote kuungana kudai #KatibaMpya kabla ya Uchaguzi ujao awaasa Viongozi wa dini zote Wanaharakati Wanasiasa na makundi mengine kusimama na msimamo wa bila #KatibaMpya hakuna uchaguzi. Zaidi:"
X Link 2024-01-10T09:44Z 107.7K followers, [--] engagements
"#TANZANIA: "TUNA VYAMA VINGI LAKINI BADO TUKO KWENYE TAIFA LA CHAMA KIMOJA" - ASKOFU BAGONZA "Miswada hii inalenga kupunguza dhana ya udhibiti wa Chama kimoja na kutuingiza katika uwepo wa Vyama vingi sasa tuna zaidi ya miaka [--] ya uwepo wa Vyama vingi lakini ukiona mazingira ya uendeshaji wa Taifa letu bado tumo katika ndoto za Chama kimoja wengine wanaita Chama Dola/ Chama Dume sijuwi Chama Jike ni kipi hapo nk sasa tunajaribu kupunguza hayo kwa sababu tuna Vyama vingi vipo unaweza ukasema ni vidhaifu unaweza ukasema havijawa tayari lakini Vyama vyetu vipo kwahiyo tuweke mazingira ya"
X Link 2024-01-10T09:59Z 108.6K followers, [----] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing