@Hakingowi Avatar @Hakingowi Haki Ngowi

Haki Ngowi posts on X about tanzania, zanzibar, mambo, kwanza the most. They currently have [-------] followers and [----] posts still getting attention that total [-----] engagements in the last [--] hours.

Engagements: [-----] #

Engagements Line Chart

Mentions: [--] #

Mentions Line Chart

Followers: [-------] #

Followers Line Chart

CreatorRank: [---------] #

CreatorRank Line Chart

Social Influence

Social category influence countries travel destinations currencies finance technology brands automotive brands social networks celebrities luxury brands us election

Social topic influence tanzania #576, zanzibar #133, mambo, kwanza, zambia, korea, china, kenya, dubai, seoul

Top accounts mentioned or mentioned by @euintz @mankinduwezo @yusuphkileo @wizaramth @arafatah @soughtoutiam @jgbwana @tcratanzania @maelezonews @babakeagan @wizarasanaa @mwigulunchemba1 @beletenathan @drmakame @docfaustine @njegotz @saidmushitz @ghwankajha @officialaucho @mwenyeherikamil

Top assets mentioned Mambo (MAMBO) April (APRIL) HAPI (HAPI)

Top Social Posts

Top posts by engagements in the last [--] hours

"VIDEO: It takes my breath away. Sophie Darlington one of the #NatGeoQueens directors of photography takes us to Tanzanias awe-inspiring Ngorongoro Crater which holds a special significance for her. Queens is now streaming on Disney Plus"
X Link 2024-04-19T17:32Z 438.6K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam EU Awards TZS [----] Billion in Grants to Strengthen Civil Society in Tanzania ๐Ÿ—“;February [--] [----] The European Union (EU) has committed TZS [----] billion (6.5 million) to empower Tanzanian civil society focusing on key areas such as good governance media freedom youth empowerment and public financial accountability. This investment funded through the Civil Society Thematic Programme and the Finance for Growth Action aims to foster a more transparent just and inclusive society by strengthening the voices of citizens and institutions. "Today as we formalize these grant contracts"
X Link 2025-02-14T14:44Z 447K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Zanzibar ๐Ÿจ:Golden TulipZanzibar Fiata -Rame Field Meeting ๐Ÿ—“: April 30-1 May 2025"
X Link 2025-02-18T11:37Z 447K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ I K U L U Chamwino ๐Ÿ“ B U N G E N I Dodoma"
X Link 2025-11-16T18:53Z 442.5K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dodoma Unity through Accountability In a tone of reconciliation Tanzanias president Samia Suluhu Hassan addressed the tragic post-election violence with empathy and resolve. President Samia announced an inquiry commission to uncover the causes of the unrest and guide dialogue for peace. #UnitedTanzania #ForwardTogether #NewDawn Constitutional Reforms for United Future Tanzanias President Samia Suluhu Hassan pledged to jump-start the long-awaited constitutional review within her first [---] days of her new term. She highlighted that a special Reconciliation and Harmony Commission will be"
X Link 2025-11-16T20:38Z 442.5K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Zanzibar ๐ŸŒž ๐ŸŒŠ โ›ต ๐Ÿ—“:November [--] [----] Zanzibar Tourists are enjoying the sun the sea and the peaceful atmosphere while feeling completely safe. Tanzania welcomes you to explore its natural beauty rich culture and unmatched hospitality"
X Link 2025-11-22T15:21Z 438.9K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Abu Dhabi President His Highness Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan has received a written message from President of the United Republic of Tanzania Samia Suluhu Hassan concerning bilateral relations between the two countries. The message was received by H.H. Sheikh Abdullah bin Zayed Al Nahyan Deputy Prime Minister and Minister of Foreign Affairs during his meeting today in Abu Dhabi with Mahmoud Thabit Kombo Tanzian Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation. During the meeting the two sides discussed ways to strengthen bilateral relations and advance avenues of joint"
X Link 2025-12-29T12:18Z 438.6K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Chamwino Tanzanias stable outlook signals investor confidence and economic resilience.- President Samia Suluhu Hassan"
X Link 2026-01-15T20:35Z 438.6K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Chamwino Tanzania prioritises investment jobs and inclusive growth through economic diplomacy- President Samia Suluhu Hassa"
X Link 2026-01-15T20:45Z 438.6K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Chamwino President Samia calls for a shift from health aid to health investment to boost Tanzanias workforce"
X Link 2026-01-15T20:57Z 438.6K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Accra Ghana GHANA TANZANIA STRENGTHEN LOCAL CONTENT COLLABORATION IN MINING Tanzania is set to deepen domestic participation industrial growth and value retention in its mining sector following the strengthening of institutional collaboration with Ghana on Local Content implementation. The two countries are enhancing cooperation on policies and best practices aimed at increasing the participation of local citizens and firms across the mining value chain strengthening domestic institutions and ensuring that a greater share of mineral wealth benefits national economies. This was underscored"
X Link 2026-01-20T15:29Z 438.6K followers, [---] engagements

"Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa na timu nzima wamefika Salama Kwenye Kilele Cha Mlima Kilimanjaro "GILMAN'S POINT" 5685M/18655 Ft kutoka Usawa wa Bahari"
X Link 2022-12-13T11:06Z 438.2K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam SERIKALI NA BENKI YA DUNIA WAJADILI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO INAYOFADHILIWA NA BENKI YA DUNIA 1-2:Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Natu El-maamry Mwamba akizungumza wakati wa Kikao kazi cha Country Portfolio Performance Review (CPPR) na ujumbe wa Benki ya Dunia kilichofanyika katika Ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es Salaam. 3: Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Kusini mwa Afrika Bi. Milena Stefanova akizungumza wakati wa Kikao kazi cha Country Portfolio Performance Review (CPPR) kilichofanyika katika Ofisi za Benki Kuu ya Tanzania"
X Link 2025-10-01T09:23Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Chamwino President Samia announces plans to operationalise Tanzanias carbon credit market and scale clean cooking under green diplomacy"
X Link 2026-01-15T21:04Z 438.6K followers, [---] engagements

"#KaziNaUtuTunasongaMbele #TabasamuLaUtu #MazingiraNiUtu"
X Link 2026-01-26T21:35Z 438.2K followers, [---] engagements

"COP30 highlights Tanzanias climate action on resilient infrastructure By Catherine Sungura The 30th United Nations Climate Change Conference (COP30) held in November [----] in Belem Brazil has reinforced Tanzanias position on the global stage as a country taking practical steps to address the impacts of climate change particularly in infrastructure protection and public welfare. For Tanzania the conference provided an opportunity to demonstrate how government agencies are implementing concrete strategies to safeguard infrastructure and communities from climate-related disasters. In a"
X Link 2026-01-27T17:34Z 438.6K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Serengeti Shabiki mashuhuri duniani wa klabu ya soka ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent atua Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuanza ziara ya 'ki-Royal Tour' hifadhini humo leo tarehe [--]. Januari 2026"
X Link 2026-01-28T16:12Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Vatican Tanzania Deepens Diplomatic Cooperation with the Holy See on Peace Dialogue and Social Development"
X Link 2026-01-29T10:03Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Arusha WAZIRI KIJAJI AKAGUA MAANDALIZI YA TUZO ZA "THE SERENGETI AWARDS [----] Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ameridhishwa na maandalizi ya hafla ya tuzo za The Serengeti Awards na kuipongeza timu nzima ya maandalizi kwa kazi kubwa iliyofanya. Dkt. Kijaji akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt.Hassan Abbasi Naibu Katibu anayeshughulikia Utalii Bw. Nkoba Mabula na Menejimenti ya Wizara pamoja na viongozi wa Taasisi zake amefanya ukaguzi wa maandalizi ya tuzo hizo kubwa nchini zinazotarajiwa kufanyika leo tarehe [--] Januari [----] huku Mgeni rasmi akitarajiwa"
X Link 2026-01-31T11:46Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Zanzibar UNICEF calls on artists at Sauti za Busara to use their influence to protect children and turn music into a voice for childrens right to protection ๐Ÿ—“:5 February [----] UNICEF calls on musicians and performers participating in the [----] Sauti za Busara festival with the theme Let Them (Children) Shine to use their platforms to promote childrens rights challenge harmful social norms and inspire positive change across communities. Music and creative spaces have long played a role in bringing communities together and inspiring positive change. Artists hold a unique ability to engage wide"
X Link 2026-02-05T12:33Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Kujenga Taasisi ya Saratani Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepanga kuanza ujenzi wa Taasisi ya Saratani Zanzibar mwaka huu ujenzi ambao unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miaka miwili. Taasisi hiyo inalenga kutoa huduma za matibabu ya saratani ndani ya Zanzibar hatua itakayopunguza changamoto ya wananchi kusafiri nje ya visiwa hivyo kwa ajili ya matibabu jambo ambalo limekuwa likiwagharimu muda na fedha nyingi. Dkt. Miraji alitoa kauli hiyo baada ya kupokea ugeni"
X Link 2026-02-08T14:10Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Cape Town Afrika Kusini Mawaziri wa Afrika Waweka Mkakati wa Kuongeza Thamani ya Madini Barani Waziri Mavunde Atoa Uzoefu Ushirikiano kati ya Sekta ya Nishati na Madini Tanzania Aangazia Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere Upanuzi wa Gridi na Miradi ya REA Mawaziri wa Madini kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wameazimia kwa kauli moja kuweka mikakati madhubuti ya kuongeza thamani ya madini ndani ya nchi zao hususan madini mkakati ili kuongeza mapato ya taifa kukuza uchumi na kuzalisha ajira. Katika azma hiyo Sekta ya Nishati imetajwa kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa"
X Link 2026-02-08T20:29Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Arusha SIKU [---] ZA DKT. SAMIA ZAWEKA HISTORIA UJENZI WA MIUNDOMBINU NCHINI Serikali yatoa zaidi ya Shilingi Bil [---] kulipa makandarasi Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imeweka historia mpya katika eneo la King'ori jijini Arusha na maeneo mengine nchini kwa kuweka tumaini jipya kwa wananchi kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja ndani ya siku [---] za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yameelezwa na Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega wakati akizungumza na waandishi wa Habari pamoja na wananchi wa Kingori jijini Arusha kuhusu mafanikio"
X Link 2026-02-09T09:27Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea nakala ya kitabu "Jamhuri na Plato" kilichotafsiriwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kutoka kwa Bw. Walter Bgoya Mkurugenzi wa kampuni ya uchapishaji ya Mkuki na Nyota mwishoni mwa juma jijini Dar es Salaam. Kitabu hiki asili yake ikiwa ni The Republic (Politeia) cha mwanafalsafa wa Kigiriki Plato kinajadili mazungumzo ya Socrates ambapo Plato anachambua aina za tawala asili ya nafsi nadharia ya maumbo na dhana ya mji bora (Kallipolis) unaoongozwa na wanafalsafa-wafalme. Tafsiri hii ya"
X Link 2026-02-09T11:36Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Kanali Donald William Msengi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-09T13:56Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Kanali Yahya Ramadhani Kido kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-09T13:59Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULUDar es Salaaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Stephen Justice Nindi kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Njombe kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-09T15:52Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndugu Nsubili Akomeligwe Kajela Joshua kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha (anayeshughulikia Huduma za Hazina) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-09T16:11Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Rose Zacharia Ambrose kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-09T16:15Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Chamwino Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndugu Aristides Robert Mbwasi kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-09T16:22Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam MAKAMU WA RAIS AZINDUA MPANGO WA USHIRIKIANO KATI YA TAASISI ZA ELIMU NA VIWANDA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa sekta binafsi kushirikiana na Vyuo kuwekeza katika tafiti hususan za sayansi na teknolojia ili kuinua viwango vya tafiti na ubora wa elimu nchini. Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa uzinduzi wampango wa ushirikiano kati ya Taasisi za Elimu naWaajiri uliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam. Amesema Kupitia Mpango huo sekta binafsi"
X Link 2026-02-10T01:40Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Balozi Baraka Haran Luvanda kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (anayeshughulikia masuala ya mazingira) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-10T01:50Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapishaDkt. Toba Alnason Nguvila kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Arusha kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-10T01:53Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Prof. Mohammed Ali Sheikh kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (anayeshughulikia masuala ya Uvuvi) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-10T01:55Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Emmanuel Daud Tayari kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya (anayeshughulikia masuala ya dawa na vifaa tiba) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari2026"
X Link 2026-02-10T01:58Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Meja Jenerali Marco Elisha Gagutikuwa Balozi kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-10T02:01Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Fabian Magawa Madele kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia masuala ya Mifugo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari2026"
X Link 2026-02-10T02:04Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Bw. Sosthenes Laurent Kewe kuwa Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango anayeshughulikia masuala ya ufuatiliaji na tathmini kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-10T02:06Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amesema kuwa Serikali inatambua jitihada za wabunifu wa nyenzo mbalimbali zinazosaidia kupunguza gesijoto inayotokana na matumizi ya mafuta kwenye vyombo vya moto. Amesema hayo wakati mkutano na wadau kutoka Jumuiya ya Vyombo vya Moto vitumiavyo Umeme Tanzania (TAEMA) pamoja na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujadiliana na kuweka mikakati ya namna bora ya kuifanyia huduma hiyo iwe endelevu. Dkt. Muyungi alitoa wito kwa wadau hao kuendelea kuongeza wigo wa huduma ya"
X Link 2026-02-10T06:45Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Emmanuel Nchimbi wakifurahia jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Balozi Waziri Rajab Salum baada Mhe Balozi Waziri kuapishwa rasmi kushika wadhifa huo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----]. https://twitter.com/i/web/status/2021127933214040359 https://twitter.com/i/web/status/2021127933214040359"
X Link 2026-02-10T07:43Z 438.2K followers, 13.2K engagements

"๐Ÿ“ Cape Town Afrika Kusini MAWAZIRI WA MADINI AFRIKA WAWEKA MKAKATI WA KUONGEZA THAMANI YA MADINI BARANI Waziri Mavunde Atoa Uzoefu Ushirikiano kati ya Sekta ya Nishati na Madini Tanzania Aangazia Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere Upanuzi wa Gridi na Miradi ya REA Mawaziri wa Madini kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wameazimia kwa kauli moja kuweka mikakati madhubuti ya kuongeza thamani ya madini ndani ya nchi zao hususan madini mkakati ili kuongeza mapato ya taifa kukuza uchumi na kuzalisha ajira. Katika azma hiyo Sekta ya Nishati imetajwa kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha utekelezaji"
X Link 2026-02-10T07:52Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam NAIBU WAZIRI MAGHEMBE AKUTANA NA BALOZI WA CUBA NCHINI MHE. YORDENIS VERA Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Ngwaru J. Maghembe (Mb.) amefanya mazungumzo na Balozi wa Cuba nchini Mhe. Yordenis Despaigne Vera katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar Es Salaam tarehe [--] Februari [----]. Mazungumzo hayo yamefanyika ili kujadiliana namna ya kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia baina ya Tanzania na Cuba. Tanzania na Cuba zimekuwa na uhusiano wa karibu na kindugu zaidi ya miongo sita iliyopita. Uhusiano wetu umejengwa tangu enzi za"
X Link 2026-02-10T09:48Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Zanzibar Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Balozi wa Japan nchini Tanzania Balozi YOICHI MIKAMI aliyefika Ofisini kwake Vuga Zanzibar kwa ajili ya Kufanya mazungumzo yaliyolenga kuimarisha zaidi uhusiano kati ya Zanzibar na Japan. Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR ) Tarehe 10.02.2026"
X Link 2026-02-10T12:29Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Cape town Afrika Kusini WADAU NA TAASISI ZA FEDHA ZA DUNIANI WAONESHA UTAYARI WA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUKUZA SEKTA YA MADINI Benki ya Dunia yafurahishwa na mchango wa Sekta ya Madini wa kuchochea Uchumi Tanzania Sekta ya Madini Tanzania kupitia Kongamano la Mining Indaba [----] imeendelea kuimarisha nafasi yake kimataifa huku Tanzania ikiendelea kujidhihirisha kama kimbilio la uwekezaji katika Sekta ya Madini kwa kuvutia mashirika ya kimataifa kampuni mbalimbali na wawakilishi wa kidiplomasia. Februari [--] [----] Waziri wa Madini alikutana na wadau muhimu ikiwemo Benki ya Dunia katika vikao"
X Link 2026-02-11T14:40Z 438.2K followers, [---] engagements

"Breakthrough Attorneys na Benki ya NMB washirikiana kuvutia uwekezaji Tanzania Kampuni ya Breakthrough Attorneys na benki ya NMB zimeshirikiana kuandaa na kutekeleza warsha ya kuitangaza sekta ya madini na kuvutia uwekezaji nchini Tanzania. Warsha hiyo iliyofanyika Februari [--] [----] jijini Cape Town nchini Afrika Kusini na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya madini kutoka sehemu mbalimbali duniani. Breakthrough Attorneys ni kampuni ya kisasa ya huduma za kisheria yenye makao yake Tanzania inayotoa huduma mbalimbali za kisheria za kimataifa kwa kampuni taasisi za fedha taasisi za"
X Link 2026-02-11T14:40Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Ethiopia Tanzania Yashiriki Mkutano wa [--] wa Baraza la Mawaziri Afrika Ethiopia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inashiriki Mkutano wa [--] wa Baraza la Mawaziri Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa Ethiopia kuanzia Februari 11-12 [----]. Ujumbe wa Tanzania katika mkutano huo unaongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.shimiwa Mahmoud Thabit Kombo (Mb). Mkutano huo unawakutanisha Mawaziri wa Mambo ya Nje na viongozi waandamizi kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Afrika kujadili masuala muhimu ya maendeleo usalama ushirikiano wa kikanda na utekelezaji wa maamuzi ya"
X Link 2026-02-11T19:39Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----] kuelekea Addis Ababa Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa [--] wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU). #MaendeleoEndelevu #DiplomasiaYaKiuchumi #KaziNaUtuTunasongaMbele https://twitter.com/i/web/status/2021899392018456842 https://twitter.com/i/web/status/2021899392018456842"
X Link 2026-02-12T10:49Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dodoma Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda (MB.) atafungua rasmi mkutano Mkuu wa Mwaka wa vyombo vya Utangazaji (ABC 2026) yanayofanyika katika Ukumbi wa New Generation- Kisasa Dodoma. ๐Ÿ—“Tarehe: [--] [---] Februari [----] Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii kupitia jina @tcra_tanzania #tcratz #abc #broadcasting #utangazaji @wizara_sanaatz @maelezonews @baba_keagan @wizaramth @ICTanzania https://youtube.com/live/UJrGo_EdFXQfeature=share https://youtube.com/live/UJrGo_EdFXQfeature=share"
X Link 2026-02-12T10:51Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dodoma Maafisa wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na baadhi ya washiriki wa maonesho katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa vyombo vya Utangazaji (ABC 2026) uliofanyika tarehe [--] na [--] Februari [----] Jijini Dodoma. Mkutano huo umekutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utangazaji na waandaji wa maudhui nchini kwa lengo la kukuza sekta hiyo. Mkutano wa mwaka wa Vyombo vya Utangazaji unaongozwa na kauli mbiu isemayo Matumizi ya Teknolojia katika Kupanua na Kuboresha Huduma za Utangazaji Vijjini. #tcratz #abc2026 #broadcasting #utangazaji https://twitter.com/i/web/status/2021960922223313261"
X Link 2026-02-12T14:53Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Ethiopia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Katika Matukio tofauti ya picha alivyowasili katika uwanja wa Ndege Jijini Addis Ababa Nchini Ethiopia leo February [--] [----] ambapo anatarajiwa kushiriki Mkutano wa [--] wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU). https://twitter.com/i/web/status/2021963792070894013 https://twitter.com/i/web/status/2021963792070894013"
X Link 2026-02-12T15:05Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Cape Town Afrika Kusini UMOJA WA ULAYA NA TANZANIA WAJADILIANA USHIRIKIANO KWENYE SEKTA YA MADINI Sekta ya Madini Tanzania imeendelea kudhihirisha mwelekeo chanya wa ukuaji na uimarikaji wa kimkakati kufuatia mwendelezo wa vikao vya Wizara ya Madini na wadau wa kimataifa katika Kongamano la Mining Indaba [----] linaloendelea jijini Cape Town nchini Afrika Kusini. Majadiliano mbalimbali yaliyofanyika Februari [--] [----] yameakisi dhamira thabiti ya Serikali ya kuboresha mazingira ya uwekezaji kukuza ushiriki wa wazawa wanawake na vijana pamoja na kuhakikisha rasilimali za madini zinachangia kwa"
X Link 2026-02-12T15:13Z 438.2K followers, [---] engagements

"Baririck Yatoa Msukumo Mpya Sekta ya Madini Katika kikao kilichofanyika baina ya Waziri wa Madini na kampuni ya Barrick Mining Corporation kampuni hiyo imeahidi kushirikiana na Tanzania katika kuhaulisha ujuzi kwa wafanyakazi wa wizara kupitia mafunzo ya vitendo katika fani na ujuzi mbalimbali unaohitajika kwenye sekta ya madini. Kupitia kikao hicho Mhe. Waziri ameishukuru Barrick Mining Corporation kwa kudumisha desturi ya ushirikiano wake na Serikali na kusisitiza matarajio ya Serikali kuona manufaa makubwa zaidi kwa Taifa kutokana na uwepo wa kampuni hiyo nchini. Waziri Mavunde pia"
X Link 2026-02-12T15:13Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dodoma WIZARA YA NISHATI YAPEWA KONGOLE NA KAMATI YA BUNGE KWA UBUNIFU WA MIRADI YA NISHATI* Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mhe. Subira Mgalu ameipongeza Wizara ya Nishati Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kubuni na kutekeleza miradi mbalimbali inayorahisisha upatikanaji wa huduma za nishati kwa wananchi. Mhe. Mgalu ametoa pongezi hizo tarehe [--] Februari [----] jijini Dodoma wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na Wizara ya Nishati kwa Kamati hiyo kuhusu mipango uwekezaji na ufuatiliaji wa miradi ya nishati nchini. Kupitia"
X Link 2026-02-12T16:18Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Addis Ababa Ethiopia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliposhiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika (AU) na Serikali kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (CAHOSCC) Jijini Addis Ababa Nchini Ethiopia leo February [--] [----]. https://twitter.com/i/web/status/2022327502518063391 https://twitter.com/i/web/status/2022327502518063391"
X Link 2026-02-13T15:10Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Afrika Kusini BARAZA LA DHAHABU DUNIANI(WGC) LAONESHA UTAYARI WA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI Wachimbaji wadogo kujengewa uwezo wa kuzalisha zaidi dhahabu Wafurahishwa na Programu ya MBT ya wanawake na Vijana WGC kusaidiana na serikali kurusha satelaiti ya utafiti wa madini wa kina Serikali ya Tanzania na Baraza la Dhahabu Duniani(WGC) na Kampuni ya Usafishaji dhahabu ya GGR inayosimamiwa na Mama Sarah Masasi leo wamefanya kikao cha ushirikiano baina ya pande mbili kwa lengo la kukuza uwekezaji na kukuza biashara ya Dhahabu nchini. Kikao hicho ambacho kimehudhuriwa na"
X Link 2026-02-13T15:38Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam RAIS WA CAF AWASILI TANZANIA Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe amewasili rasmi nchini Tanzania asubuhi ya leo kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Kamati Tendaji ya Shirikisho hilo. Mutsepe amepokelewa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere International Airport Terminal [--] jijini Dar es Salaam. Dkt. Motsepe ataongoza mkutano huo unaotarajiwa kufanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam The Kilimanjaro. Mkutano huo unatarajiwa kukutanisha viongozi mbalimbali wa soka"
X Link 2026-02-13T15:41Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Tanga Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi akitoa maelezo ya Mradi wa Kituo cha Kupooza na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovati 132/33 kilichopo Mkata wilayani Handeni kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba wakati wa ukaguzi wa kituo hiko pamoja na uwekaji wa jiwe la msingi leo Januari [--] [----] mkoani Tanga. https://twitter.com/i/web/status/2022344658131570997 https://twitter.com/i/web/status/2022344658131570997"
X Link 2026-02-13T16:18Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dodoma MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MTENDAJI MKUU WA DSE Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana nakufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe [--] Februari [----] Dodoma. Katika Mazungumzo hayo Makamu wa Raisamewahimiza watendaji DSE kuendelea kufanya kazikwa bidii na kuwa wabunifu katika masuala ya masokona kuendelea kuvutia uwekezaji. Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Bw. Peter Nalitolela ameahidikuendelea"
X Link 2026-02-13T18:28Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dodoma Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inawashukuru wadau wote walioitikia wito wetu katika sherehe za kuadhimisha siku ya Usalama Mtandaoni (Safer Internet Day) tarehe [--] Februari [----] Ukumbi wa Auditorium - UDOM Dodoma. Kati ya taasisi zilizoshiriki ni pamoja na Wawakilishi wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum ambao ni wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Ushauri kuhusu Usalama wa Mtoto Mtandaoni Wawakilishi kutoka Jeshi la Polisi Wawakilishi wa Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano (TAMNOA) Wawakilishi wa Chama"
X Link 2026-02-14T09:43Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Addis Ababa Ethiopia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharikialozi Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia Mhe. Gedion Timotheoswakati waKikao cha Ngazi ya Juu cha Bonde la Mto Nile kilichohusisha Mawaziri wa Mambo ya Nje kutoka katika Nchi wanachama wa Bonde la Mto Nile kilichofanyika February [------] pembezoni mwa Mkutano Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa Ethiopia kuanzia February 11-15 [----]. https://twitter.com/i/web/status/2022612460667097302 https://twitter.com/i/web/status/2022612460667097302"
X Link 2026-02-14T10:02Z 438.2K followers, [----] engagements

"Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Mhe.Henry Oryem Okell wakati waKikao cha [--] cha Kawaida cha Jukwaa la Kujitathmini Barani Afrika la Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika kilichofanyika jijini Addis Ababa Ethiopia pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika unaofanyika kuanzia Februari [----] [----]. https://twitter.com/i/web/status/2022612495580463359 https://twitter.com/i/web/status/2022612495580463359"
X Link 2026-02-14T10:02Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Addis Ababa Ethiopia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika (AU) unaoongozwa na kauli mbiu ya Mwaka [----] inayosema kuhakikisha Upatikanaji Endelevu wa Maji na Huduma Salama za Usafi wa Mazingira ili kufikia Malengo ya Ajenda ya [----] kauli mbiu hiyo inalenga kuhimiza hatua za pamoja za Bara katika kuhakikisha Usalama wa Rasilimali Maji Afya ya Jamii na Maendeleo Endelevu Mkutano huo unafanyika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa Ethiopia. tarehe [--] Februari 2026."
X Link 2026-02-14T13:08Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam Salamu za Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan baada ya kutembelea Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam Februari [--] 2026"
X Link 2026-02-14T13:36Z 438.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“ Addis Ababa Ethiopia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mheshimiwa Abiy Ahmed pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika tarehe [--] Februari [----] jijini Addis Ababa Ethiopia https://twitter.com/i/web/status/2022714202876490225 https://twitter.com/i/web/status/2022714202876490225"
X Link 2026-02-14T16:47Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dodoma Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeimarisha Dawati la Huduma kwa wateja pamoja na mifumo ya ufuatiliaji wa watoa huduma hatua inayolenga kuongeza uwazi ufanisi na ushirikishwaji mkubwa katika maamuzi ya sekta. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dkt. Jabiri Bakari katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji (ABC 2026) uliofanyika tarehe 12-13 Februari [----] jijini Dodoma ambapo alifafanua kuwa maboresho hayo yanatoa fursa kwa watoa huduma kushiriki kikamilifu katika michakato ya maamuzi na utoaji wa maoni. Dkt. Bakari alisema kuwa kupitia Dawati la Huduma"
X Link 2026-02-14T17:25Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam 1:Dkt. Ally Possi Wakili Mkuu wa Serikali akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kushiriki uzinduzi wa Kamati za Ushauri wa Kisheria Ngazi ya Mkoa na Wilaya na Kliniki ya Sheria Bila Malipo Mkoa wa Dar es Salaam. 2:Mhe. Hamza Johari Mwanasheria Mkuu wa Serikali akitoa msaada wa sheria bila malipo kwa mwananchi wakati wa Kliniki ya Sheria Bila Malipo Mkoa wa Dar es Salaam inayofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. 3:Dkt. Ally Possi Wakili Mkuu wa Serikali (aliyeketi kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Taifa wa Mashtaka ndugu Slyvester Mwakitalu kabla"
X Link 2026-02-16T22:07Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dodoma Mtangazaji wa Azam Media Bw. Goodluck Paul akichangia mada kuhusu mchango wa vyombo vya Habari katika Kupanua na Kuboresha Huduma za Utangazaji Vijijini kwenye moja ya paneli za majadiliano zilizofanyika katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji (ABC) uliofanyika tarehe [--] na [--] Februari [----] jijini Dodoma. Bw. Goodluck amesisitiza jukumu kubwa la vyombo vya habari katika kuonesha utajiri wa fursa zilizopo vijijini kupitia maudhui. Pia ametoa wito kwa vyombo hivyo kuendelea kukidhi haja ya walaji wa maudhui waliopo vijijini wanaohitaji taarifa zitakazowasaidia kuendesha"
X Link 2026-02-17T07:58Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ UAE Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya Kikazi Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) tarehe [--] Februari [----]. Mhe. Rais Dkt. Samia alishiriki kwenye Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit WGS) [----] pamoja na Uzinduzi wa Jukwaa la Kimataifa wa Uwekezaji Afrika (GAIS). https://twitter.com/i/web/status/2019710129839522218 https://twitter.com/i/web/status/2019710129839522218"
X Link 2026-02-06T09:49Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ UAE Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya Kikazi Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) tarehe [--] Februari [----]. Mhe. Rais Dkt. Samia alishiriki kwenye Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit WGS) [----] pamoja na uzinduzi wa Jukwaa la Kimataifa wa Uwekezaji Afrika (GAIS). https://twitter.com/i/web/status/2019710862362075584 https://twitter.com/i/web/status/2019710862362075584"
X Link 2026-02-06T09:52Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Mwandishi wa habari mkongwe wa Radio Tanzania Eda Sanga amesema kuwa matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika utangazaji yanapaswa kuendana na weledi maadili na taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji (ABC 2026) uliofanyika tarehe [----] Februari [----] jijini Dodoma Eda Sanga alieleza kuwa pamoja na kukua kwa kasi ya teknolojia za kidijitali ni muhimu kwa vyombo vya habari kuhakikisha ubora wa maudhui na uadilifu wa taaluma unalindwa. Alisema kuwa TEHAMA imeleta mapinduzi makubwa katika ukusanyaji uhariri na"
X Link 2026-02-15T13:59Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Zanzibar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Kiwanja che Ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar na kupokelewa na Viongozi mbalimbali akitokea nchini Ethiopia baada ya kukamilisha ziara ya kikazi ya siku nne ambapo pamoja na mambo mengine alishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika tarehe [--] na [--] Februari [----] . https://twitter.com/i/web/status/2023059471140847725 https://twitter.com/i/web/status/2023059471140847725"
X Link 2026-02-15T15:38Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Tabora TUTAJENGA VITUO VYA KUPOKEA NA KUPOZA UMEME KILA WILAYA: WAZIRI NDEJEMBI Akagua Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Uhuru Urambo- TABORA Asisitiza Tanzania inazalisha umeme wa kutosha unaokidhi mahitaji ya nchi Aipongeza TANESCO kwa utekelezaji wa miradi inayoendana na teknolojia ya kisasa Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Serikali kupitia TANESCO itahakikisha inajenga vituo vya kisasa vya kupokea kupoza na kusambaza umeme katika kila wilaya ili kuhakikisha umeme unaozalishwa unawafikia wananchi kwa uhakika na kuwawezesha kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi"
X Link 2026-02-15T17:29Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Pangani Tanga Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe Jumaa Aweso akizungumza kwa niaba ya wana Pangani katika mkutano wa wananchi mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Mwigulu Nchemba alipofika Wilaya ya PANGANI Mkoani Tanga kukagua Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita [---] na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita [----]. Gharama ya mradi ni Shilingi bilioni [-----]. https://twitter.com/i/web/status/2023103992918683661 https://twitter.com/i/web/status/2023103992918683661"
X Link 2026-02-15T18:35Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ IKULU Dar es Salaam 1:Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Bw. Bakari Machumu akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari [----] kuhusu Ziara za Kikazi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alizofanya Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 12-15 Februari [----] pamoja na Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) tarehe 2-6 Februari [----]. [--]. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahamoud Thabit Kombo akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Februari 2026"
X Link 2026-02-16T15:01Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Zanzibar Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar zimefanya kikao cha ushirikiano kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya Muungano na yasiyo ya Muungano leo Februari [--] [----] Zanzibar. Kikao hicho ngazi ya Makatibu Wakuu kimepokea na kujadili taarifa ya maandalizi ya kikao maalumu cha Kamati ya Pamoja kinachotarajiwa kufanyika mwaka huu. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Dkt. Islam Seif Salum ambaye ni Mwenyekiti ameongoza kikao hicho pamoja na Mwenyekiti Mwenza ambaye ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya"
X Link 2026-02-16T15:06Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam TANZANIA NA SOMALIA WASAINI MKATABA MASUALA YA KIUHAMIAJI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia wamesaini Hati ya Makubaliano kuhusu masuala ya kiuhamiaji. Hati hiyo ya Makubaliano imelenga kuondoleana hitaji la visa kwa Pasipoti za kidiplomasia na za kiutumishi pamoja na mashirikiano katika masuala ya uhamiaji baina ya nchi hizo mbili. Hati hiyo ya Makubaliano imesainiwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Ndani ya NchiPatrobas Katambi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa Serikali ya SomaliaJenerali Abdullahi"
X Link 2026-02-16T15:22Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Manyara VIDEO: TANESCO WILAYA YA HANANG YAPOKEA GARI JIPYA KUENDELEA KUWAHUDUMIA WATEJA WA WAKATI TANESCO Wilaya ya Hanang mkoani Manyara imepokea gari jipya kwa ajili ya kurahisisha kumhudumia mteja kwa wakati na ufanisi ikiwa ni mwendelezo wa Shirika katika kuimarisha huduma kwa wateja. https://twitter.com/i/web/status/2023107745919218142 https://twitter.com/i/web/status/2023107745919218142"
X Link 2026-02-15T18:50Z 438.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“ Zanzibar Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ametoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la Uchumi wa Buluu kuwa sehemu ya agenda katika vikao vya pande mbili za Muungano. Amesema hayo wakati wa kikao cha ushirikiano kati ya Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais kilichoketi Zanzibar Februari [--] [----]. Dkt. Dugange alisema kuwa Zanzibar imepiga hatua katika eneo la uchumi hivyo kuendeleza ushirikiano wake na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutaimarisha uchumi wa Taifa."
X Link 2026-02-17T08:02Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Dar es Salaam WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA BALOZI WA OMAN WAJADILI MASUALA YA MAFUTA NA GESI Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania Mhe. Saud Al-Shidhani yaliyolenga kuimarisha na kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika sekta ya nishati. Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe [--] Februari [----] katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Nishati jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo hayo wamejadili kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo kubadilishana uzoefu wa kitaalamu mafunzo kwa wataalamu teknolojia ya uchimbaji pamoja na"
X Link 2026-02-17T10:36Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Lushoto Tanga FEDHA ZA MIRADI ZITUMIKE KAMA ILIVYOKUSUDIWA-DKT. MWIGULU Aonya watendaji wa Serikali kuzoea matatizo ya wananchi Azindua mitambo ya kuzalisha hewa tiba ya Oksijeni WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa anataka kuona kila fedha inayotolewa kwa ajili ya miradi ya maendeleo inatumika kama ilivyokusudiwa. Amesema kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona watendaji wa Serikali wenye dhamana wanashindwa kufuatilia matumizi ya fedha na kusababisha kushindwa kutekelezwa kwa miradi kwa viwango na ubora kwa manufaa ya wananchi. Amesema hayo leo Jumanne (Februari [--] 2026) alipokuwa"
X Link 2026-02-17T12:44Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Magharibi "A" Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na Viongozi wa Serikali viongozi wa Dini wanafamilia ndugu jamaa na marafiki katika Swala na dua ya kumuombea Marehemu Dkt. MOHAMED DHAMIR KOMBO aliekuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo Zanzibar iliyoswaliwa Masjid BADRII uliopo Masingini Wilaya ya Magharibi "A" Unguja. Inna liilahi wainna ilaihi raajiun. Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR ) Tarehe 17.02.2026 https://twitter.com/i/web/status/2023748466774508001"
X Link 2026-02-17T13:16Z 438.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lushoto-Tanga ๐Ÿ—“:Februari [--] [----] WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa anataka kuona kila fedha inayotolewa kwa ajili ya miradi ya maendeleo inatumika kama ilivyokusudiwa. Amesema kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona watendaji wa Serikali wenye dhamana wanashindwa kufuatilia matumizi ya fedha na kusababisha kushindwa kutekelezwa kwa miradi kwa viwango na ubora kwa manufaa ya wananchi. Amesema hayo alipozungumza na wananchi wa Lushoto baada ya kuzindua mitambo ya hewa tiba (Oksigeni) katika Hospitali ya Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga."
X Link 2026-02-17T14:45Z 438.2K followers, [---] engagements

""Congrats to #AirTanzania ChairmanBoard of Directors & Management.We made historytaking The first #Dreamliner787 to KIA & Mwanza. The best part of the flight was flying over the Roof of Africa Mount Kilimanjaro."Devota @DevotaMdachi Managing Director of Tanzania Tourist Board"
X Link 2018-07-29T17:21Z 446.1K followers, [---] engagements

"๐Ÿฆ๐Ÿต๐Ÿ’๐Ÿฆ๐Ÿบ๐Ÿฟ ๐Ÿ”ดActor Idris Elba wife Sabrina in #serengeti - #Tanzania Hollywood actor @idriselba is in #Tanzania on a personal visit with his wife Sabrina though not much has been let out their instagram posts show they are in the Serengeti. #TanzaniaUnforgettable"
X Link 2019-05-30T21:06Z 446.1K followers, [---] engagements

"๐Ÿฆ๐Ÿฆ Fausta a cow (female) eastern black rhino (Diceros birconis michaelli) died of suspected natural death at 20:29 hours in captive environment in the Ngorongoro crater Tanzania on 27th Dec [----] at the age of 57"
X Link 2019-12-29T22:45Z 446.2K followers, [--] engagements

"Happy Birthday Anko @issamichuzi"
X Link 2020-08-28T07:27Z 446.1K followers, [---] engagements

"It is quite interesting record for an Austrian professional outdoor guide who has climbed Mount Kilimanjaro since [----] when he was 21years old. Ever sinceRudi has made 138th climbs to Mt Kilimanjaro out of which 137th was for reaching the highest peak of the Mountain Uhuru Peak"
X Link 2022-02-09T13:01Z 446.1K followers, [--] engagements

"Mwakilishi kutoka Taasisi ya Hali ya Hewa Denmark (DMI) Bw.Christian Johansenakizungumza wakati wa semina ya siku moja kwa ajili ya kujadili mapungufu yaliyopo katika Mamlaka ya hiyo na kuyafanyia maboresho ili kufikia viwango vya kimataifa katika utoaji wa takwimu sahihi za hali ya hewa kwa maendeleo ya Taifa leo Mei [------] jijini Dodoma"
X Link 2023-05-15T17:55Z 445.5K followers, [--] engagements

"USADF Call for Proposals United States African Development Foundation calling all agricultural cooperatives producers or enterprises based in Burkina Faso Burundi Cote d'Ivoire DRC Liberia Malawi Mauritania Niger Senegal Tanzania Uganda or Zambia: Apply today for USADF grant funding Visit more information and submit your application by June 30th #usadf #tanzania #malawi #uganda #zambia #liberia"
X Link 2023-05-17T10:11Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Norway nchini Bi. Elisabeth Jacobsen (kulia) na Balozi wa Finland nchini Bi Theresa Zitting (katikati) wakati wa hafla ya kuzindua rasmi mchakato wa maandalizi ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Maendeleo ya Rasilimali Watu (Africa Human Capital Heads of State Summit) uliyofanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe [--] - [--] July [----] ambapo Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwa Mgeni Rasmi. ๐Ÿ“ธ:W/Fedha"
X Link 2023-05-19T15:03Z 445.3K followers, [--] engagements

"Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) ameondoka nchini leo Mei [--] [----] kuelekea Mahe Seychelles kushiriki Mkutano wa Kamati Tendaji ya SADC-PF utakaofanyika Mei [--] na [--] [----] nchini humo ๐Ÿ“ธ:Bunge"
X Link 2023-05-25T15:52Z 445K followers, [--] engagements

"Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson akichangia mada wakati wa Mkutano wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Kibunge la nchi za SADC (SADC-PF) unaoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Eden Blue uliopo Mahe nchini Seychelles leo ๐Ÿ“ธ:Bunge"
X Link 2023-05-27T14:31Z 445K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“IKULUDar es Salaam Wachezaji wa timu ya Yanga wakiwa kwenye hafla ya kupongezwa kwa kufanikiwa kufika na kucheza mchezo wa Fainali ya Mashindano ya Shirikisho Afrika (CAF) nchini Algeria. Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] June [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-06-05T21:29Z 445.5K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“IKULUDar es Salaam Msanii Lady Jaydee akitumbuiza kwenye hafla ya kuwapongeza Yanga kwa kufanikiwa kufika na kucheza mchezo wa Fainali ya Mashindano ya Shirikisho Afrika (CAF) nchini Algeria. Hafla hiyo ya kuwapongeza Yanga imefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe [--] June [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-06-05T21:30Z 445.5K followers, [--] engagements

"Kaimu Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Vienna nchini Austria Bi. Elizabeth Rwitunga akizungumza katika hafla ya kuzindua Ubalozi wa Tanzania Vienna terehe [--] Juni [----] ๐Ÿ“ธ:W/Mambo ya Nje"
X Link 2023-06-13T10:38Z 445.3K followers, [--] engagements

"Balozi wa Norway Nchini Tanzania Amtembelea Makamu Wa Rais Dk Gahrib Bilal http://t.co/k8zJBKS0"
X Link 2012-02-07T12:31Z 444.9K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“Serengeti Bayern Munich legend and World Cup winner Jerome Boateng and France National team & Bayern Munich winger Kingsley Coman are visiting Serengeti National Park"
X Link 2023-07-08T09:24Z 439.2K followers, [----] engagements

"Happy birthday Vice President of the United Republic of Tanzania H.E Dr. Philip Mpango. ๐Ÿ“„:O/Makamu wa Rais"
X Link 2023-07-14T13:32Z 441.1K followers, [----] engagements

"Naibu Katibu Mkuu - Wizara ya Fedha Bi. Amina Khamis Shaaban akizungumza wakati wa Mkutano wa [--] wa Wataalamu wa masuala ya Fedha Mipango ya Kiuchumi na Ushirikiano kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika uliofanyika jijini Nairobi nchini Kenya. Kikao hicho kimelenga kutoa fursa kwa nchi za Kiafrika ili kukabiliana na changamoto za kiuchumi za muda mfupi na kuweka mikakati ya muda mrefu ya kushughulikia vikwazo vya kimuundo ambapo itasaidia kuimarisha ukuaji wa uchumi na kuharakisha maendeleo. ๐Ÿ“ธ:W/Fedha"
X Link 2023-07-17T21:59Z 445.2K followers, [--] engagements

"#KUMBUKIZI Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiteta jambo na Rais wa Marekani Jimmy Carter katika Ikulu ya Marekani -White House Washington DC Tarehe 04-08-1977 ๐Ÿ“ธ:Maktaba/ Fred Mwangota"
X Link 2023-08-27T16:49Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“BungeniDodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza naWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi HamadMasauni BungeniAgosti29 [----]. ๐Ÿ“ธ:O/Waziri Mkuu"
X Link 2023-08-29T08:57Z 445.4K followers, [--] engagements

"๐Ÿ”ดKANUSHO Yah Taarifa za Kusafirisha Wanyamapori Nje ya Nchi Kupitia Maeneo ya Hifadhi ya Ngorongoro na Pori la Akiba Pololeti ๐Ÿ“„:Ngorongoro"
X Link 2023-09-02T06:53Z 441.5K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Only at Ngorongoro Crater #Tanzania"
X Link 2023-09-11T12:48Z 444.1K followers, [----] engagements

"Nchi ya Tanzania kupitia Jiopaki pekee iliyoko kusini mwa jangwa la Sahara ya Ngorongoro-Lengai ambayo inatambuliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu Sayansi na Utamaduni (UNESCO) imekabidhiwa u-Rais wa mtandao huo katika kikao cha [--] cha Kidunia cha UNESCO Jiopaki kinachofanyika katika mji wa Marrakesh Nchini Morocco. Ujumbe kutoka Tanzania ulioko Nchini Morocco kupokea heshima hiyo umeongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro Jenerali Venance Mabeyo (Mstaafu) Kamishna wa Uhifadhi wa NCAA Dkt. Freddy Manongi. Rais Mpya wa Mtandao wa Jiopaki Afrika"
X Link 2023-09-12T01:24Z 440.4K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam WATAALAMU wa Uvuvi kutoka Tanzania Bara na Visiwani wameanza Mafunzo ya kujengewa uwezo kwenye masuala ya Sheria ya Utunzaji wa Wanyama bahari ya Marekeni ambayo yanatolewa na Wataalamu wabobezi kutoka nchini Marekani. Akizungumza na Waandishi wa habari wakati akifungua Mafunzo hayo Septemba [------] Jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amesema Tanzania ni moja ya nchi ambazo zinauza mazao ya bahari pamoja na mazao hai kutoka baharini na wanauza mazao hayo hadi Marekeni. "Wao Marekani ili ufanye nao biashara lazima ufahamu sheria zao"
X Link 2023-09-12T01:28Z 439.4K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar kuelekea Havana Cuba kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la [--] na China (G77+ China) utakaofanyika tarehe [--] hadi [--] Septemba [----]. Mkutano huo unalenga kukutanisha Mataifa yanayoendelea (Developing Countries) ili kujadili changamoto zinazoikabili dunia hasa baada ya kuathirika na UVIKO-19 na migogoro inayoendelea duniani pamoja na vikwazo mbalimbali vya kiuchumi. Hivyo mkutano huo"
X Link 2023-09-12T15:57Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ BudapestHungary Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Budapest nchini Hungary leo tarehe [--] Septemba [----]. Makamu wa Rais anatarajia kumwalikisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa"
X Link 2023-09-13T15:23Z 439.5K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“BusanKorea Kusini. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum akiongoza kikao cha ujumbe wa Tanzania kukamilisha mapitio ya taarifa zitakazowasilishwa katika mkutano wa saba wa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Korea Kusini na"
X Link 2023-09-13T15:59Z 441.3K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“BusanKorea Kusini Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Amina Khamis Shaaban akifuatilia mada wakati wa mkutano wa Mawaziri uliokuwa ukiangazia namna ya kukabiliana na changamoto ya nishati pamoja na kuleta mageuzi ya kilimo barani Afrika katika mkutano wasabawa Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Korea Kusini na Nchi za Afrika(Korea-Africa Economic Cooperation(KOAFEC)mjiniBusanJamhuri yaKoreaKusini.Tanzania imeungana na nchi nyingine [--] za Afrika kushiriki katika mkutano huo. ๐Ÿ“ธ:W/Fedha"
X Link 2023-09-14T12:27Z 439.5K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Budapest Hungary Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia katika Mkutano wa Tano wa Idadi ya Watu (5th Budapest Demographic Summit) unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Museum of Fine Arts Jijini Budapest nchini Hungary. (Tarehe [--] Septemba 2023). ๐Ÿ“ธ:O/Makamu wa Rais"
X Link 2023-09-14T13:27Z 441.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Budapest Hungary Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Jumuiya ya Watanzania wanaoishi na wale wanaopata elimu ya ngazi mbalimbali nchini Hungary mazungumzo yaliofanyika Jijini Budapest nchini Hungary. ๐Ÿ“ธ:O/Makamu wa"
X Link 2023-09-16T12:40Z 440.9K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“ Budapest Hungary Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza changamoto mbalimbali zinazotolewa na Jumuiya ya Watanzania wanaoishi na wale wanaopata elimu ya ngazi mbalimbali nchini Hungary wakati wa mazungumzo yaliofanyika"
X Link 2023-09-16T12:43Z 440.8K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“ Budapest Hungary Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja baadhi ya Watanzania wanaoishi na wale wanaopata elimu ya ngazi mbalimbali nchini Hungary mara baada ya mazungumzo yaliofanyika Jijini Budapest"
X Link 2023-09-16T12:49Z 440.4K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“ Nanyamba MjiniMtwara Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Nanyamba mjini ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe [--] Septemba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-09-16T12:51Z 439.5K followers, [--] engagements

"Wananchi wa Nanyamba mjini wakiwa kwenye shamrashamra za kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe [--] Septemba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-09-16T12:54Z 439.3K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“ Hungary Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Hungary Mhe. Viktor Orban pamoja na Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Hungary. ๐Ÿ“น:O/Makamu wa Rais"
X Link 2023-09-16T13:24Z 439.5K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“Nanguruwe Wilaya ya Mtwara Vijijini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Nanguruwe wilaya ya Mtwara Vijijini ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe [--] Septemba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-09-16T13:50Z 440.7K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“TandahimbaMtwara Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwasili katika uwanja wa Majaliwa kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi wa Tandahimba kwenye Mkutano wa hadhara ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe [--] Septemba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-09-16T15:11Z 439.5K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“ TandahimbaMtwara Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Tandahimba katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Majaliwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe [--] Septemba 2023"
X Link 2023-09-16T15:13Z 439.6K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“HavanaCuba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Hussein Ali Mwinyi akimaliza ziara yake nchini Cuba amekutana na Makamu wa Rais wa Uganda Mhe. Jessica Alupo pamoja na ujumbe wa Wizara ya Kilimo ya Cuba ikiongozwa na Naibu wa Wizara huyo Mhe"
X Link 2023-09-17T11:23Z 439.3K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“HavanaCuba Balozi wa Tanzania nchini Cuba MheBalozi Humphrey Polepole akizungumzia maazimio ya Mkutano Kati ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Hussein Ali Mwinyi na Makamu wa Rais wa Uganda Mhe. Jessica Alupo pamoja na ujumbe wa Wizara"
X Link 2023-09-17T11:33Z 440.9K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“ Mtama Mkoani Lindi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Mkoani Lindi tarehe [--] Septemba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-09-18T22:37Z 440.2K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“ Nanganga -Ruangwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na Viongozi wengine wakati akivuta kitambaa kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa barabara ya"
X Link 2023-09-18T22:43Z 440.9K followers, [--] engagements

"Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Bw. Emmanuel Tutuba akitazama dhahabu iliyosafishwa katika kiwanda cha kusafisha dhahabu cha Mwanza (Mwanza Precious Metals Refinery Co. Ltd)alipofanya ziara kiwandani hapo kujionea uendeshwaji wa shughuli mbalimbali"
X Link 2023-09-22T17:14Z 445.3K followers, [--] engagements

"#Tanzania #Kenya #Uganda to host the Africa Cup of Nations. #Afcon2027"
X Link 2023-09-27T12:23Z 440.3K followers, [--] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam ๐Ÿ‘จ๐Ÿพ๐ŸŽ“:GPA ya [---] Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi cheti Bw. Placidi Leonardi Lala mmoja wa wanafunzi wahitimu wawili wa shahada ya awali ambao wamefaulu daraja la kwanza akiwa na (GPA) ya [---] ambao ni ufaulu wa juu kupita wahitimu wote [----] katika Mahafali ya [--] ya duru la pili la chuo hicho yaliyofanyika Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam leo Jumanne Oktoba [--] [----]. Bw. Lala amefuzu Digrii ya Awali ya Elimu Jamii katika Muziki (Bachelor of Arts in Music) ๐Ÿ“ธ:Issa Michuzi"
X Link 2023-10-17T20:49Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“IKULUDar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ameshika zawadi yake ya Bendera (Pennant) ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kama kumbukumbu mara baada ya kupewa na Rais wa Shirikisho hilo Dkt. Patrice Motsepe Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-20T11:15Z 439.2K followers, 29.6K engagements

"๐Ÿ“IKULUDar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akijadiliana jambo na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe wakati alipomtembelea Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-20T11:23Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Angola Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Mabunge Duniani kwa Kundi la Afrika (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimkabidhi zawadi ya shukrani Spika wa Bunge la Angola Mhe. Carolina Cerqueira wakati alipomtembelea ofisini kwake Jijini Luanda Angola leo tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:Bunge"
X Link 2023-10-20T12:55Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Angola Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Mabunge Duniani kwa Kundi la Afrika (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson akifurahi jambo na Spika wa Bunge la Angola Mhe. Carolina Cerqueira wakati alipomtembelea ofisini kwake Jijini Luanda Angola leo tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:Bunge"
X Link 2023-10-20T12:55Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“LuandaAngola Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson leo tarehe [--] Oktoba [----] akizungumza na Wajumbe wa kundi la Latini na Amerika kusini katika ukumbi mdogo wa Bunge la Angola wakati wa Mkutano wa [---] wa IPU akiwaomba wampigie kura katika Uchaguzi wa Urais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaotarajiwa kufanyika tarehe [--] Oktoba [----] nchini humo. ๐Ÿ“ธ:Bunge"
X Link 2023-10-23T14:13Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Mkoa wa Kaskazini Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi ameanza ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo kuelekea shamra shamra za miaka mitatu ya Serikali ya awamu ya nane madarakani ambapo amefungua hospitali ya Kivunge baadae aliweka jiwe la msingi katika ujenzi unaoendelea wa Skuli ya ghorofa Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo tarehe [--] Oktoba [----]. Rais Dk.Mwinyi amesema Serikali imekuja na utaratibu mpya wa kushirikisha sekta binafsi katika kutoa huduma kwa hospitali za Serikali ikiwemo maabara utoaji wa dawa huduma za Xray na Ultra"
X Link 2023-10-23T21:02Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Donge Wilaya ya Kaskazini B Mkoa wa Kaskazini Unguja. #Miaka3DrMwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi ameweka jiwe la msingi ujenzi wa Skuli ya ghorofa Donge Wilaya ya Kaskazini B Mkoa wa Kaskazini Unguja leo tarehe [--] Oktoba [----] ๐Ÿ“น:IKULU"
X Link 2023-10-23T21:07Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Mkoa wa Kaskazini Unguja. #Miaka3DrMwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja leo tarehe [--] Oktoba [----] ๐Ÿ“น:IKULU"
X Link 2023-10-23T21:07Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Zambia BILIONEA wa Kitanzania Rostam Aziz Kuzalisha Umeme wa Gesi nchini Zambia Mfanyabishara maarufu nchini Rostam Aziz kupitia kampuni yake ya Taifa Group ameingia nchini Zambia ambako ameanza kuwekeza kwenye sekta ya uzalishaji umeme kwa kutumia gesi. Chini ya kampuni yake tanzu ya Taifa Gas Rostam Aziz amewekeza kiasi cha awali cha dola milioni [---] katika uwekezaji huo kwa kushirikiana na kampuni ya Zambia iitwayo Delta Marimba. Kampuni hizo mbili zimeunda kampuni ya ubia ya Taifa Marimba ambayo ndiyo inafanya uwekezaji huo huku mtambo wa kwanza wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi"
X Link 2023-10-24T04:33Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Arusha Fatma Fungo afisa mtendaji Mkuu Zanzibar Maisha Bora Foundation akiwa katika Mkutano wa Azaki. Wiki ya azaki [----] imefunguliwa jana rasmi jijini arusha na kuwakutanisha wadau mbalimbali wa sekta binafsi na serikali Lengo ni kuwaunganisha wadau mbalimbali wakimaendele kutoka ndani na nje ya nchi ilikufikia maendeleo endelevu kwa kutumia teknolojia Akizungumza mbele ya washiriki wa Mkutano wa Azaki uliowakutanisha wana Azaki iliyo fanyika jijini Arusha Mrajisi wa asasi za kiraia wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ahmed Khalid Abdula amezitaka asasi za kiraia nchini kusaidia jamii katika"
X Link 2023-10-24T04:52Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Zanzibar #Miaka3DkMwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa kipindi cha Miaka Mitatu ya uongozi wake amefanikiwa kusimamia uwajibikaji kwa watumishi wa umma hatua ambayo imechangia kuleta maendeleo kwa haraka. Aidha Rais Dk.Mwinyi ameongeza maslahi ya wafanyakazi Serikali kwa kuwaongezea kima cha mishahara. ๐Ÿ“„:IKULU"
X Link 2023-10-24T06:46Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Uhuru Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Zambia ukiimbwa mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Wapigania Uhuru (Mashujaa) wa nchi hiyo kwenye maadhimisho ya miaka [--] ya Uhuru wa nchi hiyo Mtaa wa Uhuru Jijini Lusaka tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-24T10:31Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Uhuru Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati viongozi mbalimbali walipokuwa wakiweka Mashada ya maua kwenye eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Wapigania Uhuru (Mashujaa) wa nchi hiyo katika maadhimisho ya miaka [--] ya Uhuru wa nchi hiyo Jijini Lusaka tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-24T10:41Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Uhuru Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua kwenye mnara wa kumbukumbu ya Wapigania Uhuru (Mashujaa) Lusaka Zambia tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-24T10:44Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Uhuru Lusaka Matukio mbalimbali katika maadhimisho ya miaka [--] ya Uhuru wa Taifa la Zambia katika mnara wa kumbukumbu ya Wapigania Uhuru wa Taifa la Zambia uliopo Mtaa wa Uhuru Jijini Lusaka. Zambia inaadhimisha miaka [--] ya Uhuru wa nchi hiyo tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-24T10:47Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Uhuru Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua kwenye kaburi la Rais wa Kwanza wa Zambia Hayati Kenneth Kaunda (Presidential Burial site Embassy Park Jijini Lusaka tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-24T10:48Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Morogoro Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Jenifa Christian Omolo akionesha chapisho la [--] la Ripoti ya Benki ya Dunia ya Hali ya Uchumi ya Mwaka [----] (Tanzania Economic Update-The Efficiency and Effectiveness of Fiscal Policy in Tanzania wakati wa Kongamano la Wahariri wa Vyombo vya Habari na Wakuu wa Vitengo vya Mawasiliano kutoka Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha lililoandaliwa na Wizara hiyo mkoani Morogoro ambapo amewaelezea jinsi chapisho hilo linavyoonesha namna Tanzania inavyofanya vizuri katika maeneo mengi yaliyofanyiwa utafiti ikiwemo kuimarika kwa hali ya uchumi"
X Link 2023-10-25T18:16Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akihutubia Bunge la Zambia wakati akihitimisha Ziara yake ya Kitaifa nchini humo tarehe [--] Oktoba [----]. Rais Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke kulihutubia Bunge hilo lililopo Lusaka nchini Zambia. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-26T01:20Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akiwashukuru Wabunge wa Bunge la Zambia mara baada ya kuwahutubia tarehe [--] Oktoba [----]. Rais Samia ni Rais wa Kwanza Mwanamke kulihutubia Bunge lililopo Lusaka nchini Zambia. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-26T01:22Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Zambia Mhe. Malungo Chisangano mara baada ya kuwasili Bungeni hapo Lusaka nchini Zambia tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-26T01:31Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wakielekea kuzungumza na Waandishi wa Habari katika Ikulu ya Lusaka nchini Zambia tarehe [--] Oktoba [----] ๐Ÿ“ธ:IKULJ"
X Link 2023-10-26T01:33Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Zambia ukiimbwa mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya Kitaifa ya Siku tatu nchini humo tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-26T01:34Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima wakati akihitimisha ziara yake ya Kitaifa ya Siku tatu nchini Zambia tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-26T01:35Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lusaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema katika Ikulu ya Lusaka wakati akihitimisha ziara yake ya Kitaifa ya Siku tatu nchini humo tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-26T01:36Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Lusaka Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa Lusaka nchini Zambia ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-26T01:40Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ametekeleza ahadi yake aliyoitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka [----] kwa wafanyabiashara wadogo wadogo kuwatengenezea mazingira mazuri rasmi ya kuyafanyia biashara zao ikiwemo mama nitilie mafundi gereji wafua vyuma wauza mbao na wengineo. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo leo tarehe [--] Oktoba [----] wakati akifungua kituo maalum cha wafanyabiashara na wajasiriamali Kitogani Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja. Aidha Rais Dk.Mwinyi ametoa wito kwa halmashauri"
X Link 2023-10-26T09:21Z 439.2K followers, [----] engagements

"Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi tarehe [--] Oktoba [----] amefungua kituo maalum cha wafanyabiashara na wajasiriamali Kitogani Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja. ๐Ÿ“น:IKULU"
X Link 2023-10-26T09:29Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam ๐Ÿ’Ž:USIKU WA MADINI WAUPAMBA MKUTANO WA KIMATAIFA Waziri wa Madini Malawi Apongeza Juhudi za Tanzania Kuendeleza Sekta Kampuni mbalimbali Zapewa Tuzo kutambua Mchango Wao Prof. Mruma apata Tuzo Maalum ya GeoScience Miss Tanzania [----] Awa Kivutio Onesho la Bidhaa za Vito na Usonara Waziri wa Madini nchini Malawi Mhe. Monica Changanamuno amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi na mikakati mbalimbali anayofanya katika kuendeleza Sekta ya Madini nchini. Mhe. Chang'anamuno alitoa pongezi hizo Oktoba [--] [----] katika hafla ya Usiku"
X Link 2023-10-26T10:29Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Luanda Angola Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson akiomba Kura za Urais IPU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson leo tarehe [--] Oktoba [----] ameshiriki na kuomba kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja huo kwenye mdahalo wa uchaguzi wakati Mkutano wa [---] unaoendelea Jijini Luanda Angola. Katika maelezo yake Dkt. Tulia amewaeleza Wajumbe wa Mkutano huo kuwa endapo watamchagua atahakikisha anasimamia misingi ya Umoja huo kwa kuongeza Ufanisi Uwajibikaji na Uwazi. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika kesho tarehe"
X Link 2023-10-26T18:35Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Kundi la Washirika wa Maendeleo nchini Bw.Zlatan Miliiakizungumza wakati wa Kikao cha Pili cha Kamati ya Usimamizi ya Pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini kilichofanyika katika ukumbi wa Kambarage jijini Dodoma. ๐Ÿ“ธ:W/Fedha"
X Link 2023-10-26T19:44Z 439.2K followers, [---] engagements

"Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Tulia Ackson ameshinda kwa KISHINDO nafasi ya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) . Mhe Tulia Kapata kura [---] kati ya kura [---] zilizopigwa. Somalia - [--] Senegal - [--] Malawi - [--] Tanzania - 172โœ”"
X Link 2023-10-27T12:01Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Angola :Latest News Spika wa Bunge Mhe Dr Tulia Ackson akihutubia muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi ya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) . katika kura zilizopigwa ambapo Mhe Tulia amepata kura [---] kati ya kura [---] zilizopigwa kwenye uchaguzi huo nchini Angola Dr Tulia anakuwa Rais wa [--] Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) #IPU #IPU147 #Angola"
X Link 2023-10-27T12:08Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“IKULUZanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania Nathan Balete na ujumbe wake Ikulu Zanzibar leo tarehe [--] Oktoba [----] Katika mazungumzo yao wamegusia ushirikiano uliopo kati ya Benki ya Dunia na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo uchumi wa buluu sekta ya nishati hususani umeme wa jua upepo na suala la gesi asilia elimu afya kilimo kujenga uwezo na msaada wa kiufundi uwezeshaji wa Wanawake Mahakama na mengineyo. Aidha Rais Dk.Mwinyi ameishukuru"
X Link 2023-10-27T13:51Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Luanda Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaambaye pia ni Rais mteule wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)Mhe. Dkt. Tulia Acksonakiwashukuru Wajumbe waliompigia kura na kushinda nafasi hiyo leo tarehe [--] Oktoba [----] Jijini Luanda Angola. Dtk. Tulia ameshinda kwa kupata kura [---] kati ya [---]. ๐Ÿ“ธ:Bunge"
X Link 2023-10-27T18:11Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Luanda Kauli ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson muda mfupi baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) katika uchaguzi uliofanyika leo Oktoba [--] [----] Jijini Luanda nchini Angola. Dkt. Tulia ameshinda Urais huo baada ya kupata kura [---] kati ya kura [---] zilizopigwa na anarithi mikoba ya Rais aliyemaliza muda wake Duarte Pacheco kutoka Ureno. Wagombea wengine walioshiriki Uchaguzi huo ni Catherine Hara kutoka Malawi kura [--] Adji Diarra kutoka Senego kura [--] na Marwa Hagi kutoka Somalia kura [--]. ๐Ÿ“น:Bunge"
X Link 2023-10-27T19:54Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa watu wa Iran ukiongozwa na Balozi wake nchini Tanzania Mhe. Hossein Alvandi Bahineh tarehe [--] Oktoba [----] jijini Dar es Salaam. Pamoja na Mambo mengine nchi ya Iran imeonyesha nia ya kufanya uwekezaji na biashara katika Sekta ya Mafuta na Gesi nchini Tanzania. ๐Ÿ“ธ:W/Nishati"
X Link 2023-10-28T08:41Z 439.4K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia Kifo cha Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha Kamishna Mstaafu Zelothe Stephen Zelothe Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Oktoba [----] ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-28T18:26Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Bi. Flora Zelothe Mjane wa Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha Kamishna Mstaafu Marehemu Zelothe Stephen Zelothe wakati alipokwenda kutoa pole nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Oktoba [----] ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-28T18:37Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa Heshima za mwisho kwenye Jeneza la Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha Kamishna Mstaafu Marehemu Zelothe Stephen Zelothe wakati alipokwenda kutoa pole nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Oktoba [----] ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-28T19:09Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi Watumishi wa Sekta ya Afya pamoja na wageni mbalimbali kutoka ndani na Nje ya Nchi wakati akizindua Ripoti ya Utafiti wa afya ya Uzazi na mtoto na Viashiria vya malaria Tanzania kwa mwaka [----] kwenye hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-28T23:01Z 439.2K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiteta jambo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko kabla ya kuwasili Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba [--] [----] akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa [---] wa Umoja huo. ๐Ÿ“ธ:W/Nishati"
X Link 2023-10-30T15:10Z 439.3K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba [--] [----] akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa [---] wa Umoja huo. ๐Ÿ“ธ:W/Nishati"
X Link 2023-10-30T15:18Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba [--] [----] akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa [---] wa Umoja huo. ๐Ÿ“ธ:W/Nishati"
X Link 2023-10-30T15:21Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga akisalimiana na kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo Oktoba [--] [----] akitokea nchini Angola ulikofanyika Mkutano wa [---] wa Umoja huo. ๐Ÿ“ธ:W/Nishati"
X Link 2023-10-30T15:31Z 439.3K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“IKULUDar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Burundi Mhe. variste Ndayishimiye ambaye ni Waziri wa Masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Vijana Michezo na Utamaduni Mhe. Balozi Gervais Abayeho (pamoja na ujumbe wake) mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-10-30T15:53Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma. Katikati ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko ๐Ÿ“ธ:O/Waziri Mkuu"
X Link 2023-10-30T16:52Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpongeza Rais wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson kwa kuteuliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge ya Dunia (IPU) katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma. ๐Ÿ“ธ:O/Waziri Mkuu"
X Link 2023-10-30T16:52Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“JKU-Kama Mkoa wa Mjini Magharibi. Kamanda Mkuu wa Idara Maalum ya Vikosi vya SMZ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amevipongeza vikosi vya SMZ kwa kazi kubwa wanazozifanya kwa kuhakikisha amani na utulivu wa nchi kushiriki kazi za uzalishaji mali ujenzi wa miradi mbalimbali kujenga uwezo na ujuzi kwa vijana uanzishwaji wa viwanda malezi kwa vijana na kuwafanya wawe wazalendo kwa mafunzo yanayotolewa kutoa huduma kwa jamii ikiwemo elimu tiba akitolea mfano wa hospitali ya KMKM. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo leo tarehe [--] Oktoba [----] alipozungumza na"
X Link 2023-10-30T16:56Z 439.3K followers, [----] engagements

"Kamanda Mkuu wa Idara Maalum ya Vikosi vya SMZ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Maafisa pamoja na Wapiganaji wa Idara Maalum za SMZ katika uwanja wa JKU-Kama Mkoa wa Mjini Magharibi leo tarehe [--] Oktoba [----]. ๐Ÿ“น:IKULU"
X Link 2023-10-30T16:59Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania imefanikiwa kushika nafasi ya nne barani Afrika kwenye masuala ya usalama wa anga kwa kupata alama [----] ikitanguliwa na Nigeria Kenya na Ivory Coast katika ukaguzi uliofanyika Mei [----]. ๐Ÿ“ธ:O/Waziri Mkuu ๐Ÿ“น:O/Waziri Mkuu"
X Link 2023-10-30T18:13Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Algeria Balozi wa Tanzania Nchini Algeria Iman Njalikai leo Oktoba [--] [----] amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Balozi Noureddine DJoudi Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Marafiki wa Algeria tangu kipindi cha Ukombozi ambaye ndiye Balozi wa Kwanza wa Nchi hiyo nchini Tanzania mara tu baada ya kujipatia uhuru wake mwaka [----]. Mazungumzo na Balozi huyo mwenye historia na kumbukumbu kubwa ya uhusiano wa Algeria na Tanzania yalifanyika kwenye Ofisi za Ubalozi wa Tanzania jijini Algiers na yalilenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia baina ya Algeria na Tanzania. Mheshimiwa Balozi Joudi"
X Link 2023-10-30T20:34Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Arusha TANZANIA YAPATA HESHIMA YA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA [--] WA KAMISHENI YA AFRIKA YA MISITU NA WANYAMAPORI Kwa mara ya kwanza Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa masuala ya wanyamapori kilimo na misitu. Akiongea na waandishi wa habari leo mara baada ya kufungua mkutano wa [--] wa Kamisheni ya Afrika ya Misitu na Wanyamapori (AFWC24) na wiki ya Nane (08) ya Misitu na Wanyamapori Afrika (AFWW8) jijini Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii mh. Angellah Kairuki amesema hiyo ni heshima kubwa kwani kati ya nchi [--] ambazo ndio wanachama wa kamisheni hiyo nchi [--] zimetuma"
X Link 2023-10-30T20:47Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“BungeniDodoma Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge umeanza ambapo shughuli ya kwanza katika Kikao cha Kwanza cilikuwa ni Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson kumuapisha Mhe. Bahati Ndigo ambaye alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbarali kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo ๐Ÿ“ธ:Bunge"
X Link 2023-10-31T09:28Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip uwanja wa ndege Mkoa wa Mjini Magharibi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited Bakari Machumu leo tarehe [--] Oktoba [----] kwenye kongamano la fikra lenye mada inayosema "Tukiangazia Miaka Mitatu ya Dk Mwinyi MafanikioFursa na Changamoto " ukumbi wa Golden Tulip uwanja wa ndege Mkoa wa Mjini Magharibi. Kongamano hilo limeandaliwa na Kampuni ya MCL Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC)."
X Link 2023-10-31T12:19Z 439.3K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“BungeniDodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Dotto Biteko akifurahia jambo na Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu pamoja na Naibu Waziri wa Afya Dkt Godwin Mollel leo Bungeni Jijini Dodoma wakati Bunge la [--] Mkutano wa [--] kikao cha kwanza leo 31Oktoba 2023"
X Link 2023-10-31T12:54Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip uwanja wa ndege Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited Bakari Machumu leo tarehe [--] Oktoba [----] kwenye kongamano la fikra lenye mada inayosema "Tukiangazia Miaka Mitatu ya Dk.Mwinyi:MafanikioFursa na Changamoto " ukumbi wa Golden Tulip uwanja wa ndege Mkoa wa Mjini Magharibi. Kongamano hilo limeandaliwa na Kampuni ya MCL Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC). ๐Ÿ“น:IKULU"
X Link 2023-11-01T09:32Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Zanzibar #Miaka3DrMwinyi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali inampongeza Rais na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa kutimiza miaka Mitatu ya Uongozi wake. Akizungumza kwa niaba ya Wizara hiyo Mhe. Waziri Lela Mohammed Mussa amesema miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Dk. Mwinyi imekuwa miaka ya mafanikio katika sekta ya Elimu kwa kujenga skuli [--] za kisasa ambapo kati ya hizo [--] za ghorofa. "Kwa niaba ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali tunakupongeza Mhe Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa kutimiza miaka mitatu ya Uongozi wako ambapo kwa kipindi kifupi"
X Link 2023-11-01T12:14Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Dar es Salaam Mshauri wa kodi kizimbani kwa kuisababishia TRA hasara MSHAURI wa Kodi Denis Tililo (29) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam akikabiliwa na mashtaka nane likiwemo la utakatishaji na kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania hasara ya Sh milioni [-----]. Tililo ambaye ni mkazi wa eneo la Msingwa Dar es Salaam amesomewa mashtaka yake na wakili wa serikali Theresia Mtao mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Rehema Lyana leo Novemba Mosi [----] jijini Dar es Salaam. Katika kesi hiyo mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka sita ya kutoa risiti za uongo kutoka kwenye"
X Link 2023-11-01T15:49Z 439.3K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk ofisini kwake Bungeni Dodoma. ๐Ÿ“ธ:Bunge"
X Link 2023-11-01T16:23Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“Namibia Mhe Geofrey Pinda(Mb)Naibu Waziri wa ArdhiNyumba na Maendeleo ya Makazi akiwa na Mhe Caesar C.WaitaraBalozi wa Tanzania nchini Namibia kwenye picha ya pamoja katika Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia. Mhe Pinda yuko nchini Namibia kuhudhuria Mkutano unaohusu maendeleo ya makazi barani Afrika unaofanyika kuanzia tarehe [--] Oktoba hadi [--] Novemba [----] jijini WindhoekNamibia. ๐Ÿ“ธ:Ubalozi wa Tanzania -Namibia"
X Link 2023-11-02T20:07Z 439.3K followers, [----] engagements

"Naibu Waziri wa ArdhiNyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Geofrey Pinda akipata maelezo kuhusu maktaba ya kiswahili iliyopo Ubalozini kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Namibia Mhe Balozi Caesar Waitara"
X Link 2023-11-02T20:16Z 439.3K followers, [---] engagements

"๐Ÿ“ Lesotho JK na Rais Hichilema waendelea na usuluhishi wa Mgogoro wa Lesotho. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ameungana na Rais Haikande Hichilema wa Zambia kukutana na Viongozi mbalimbali wa Ufalme wa Lesotho kama sehemu ya mchakato wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa kisiasa na kiusalama uliopo katika Ufalme wa Lesotho. Viongozi hao wawili wapo nchini Lesotho kutekeleza maagizo ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC ya kuusaidia Ufalme huo kukamilisha mchakato wa kutafuta amani ya kudumu katika Ufalme huo ambao haujawahi kupata amani ya kudumu tangu ulipopata uhuru hadi sasa. Rais Hichilema"
X Link 2023-11-02T20:28Z 439.5K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Angola Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano kuhusu Ulinzi na Usalama (Troika) wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC Luanda nchini Angola tarehe [--] Novemba [----]. Pamoja na mambo mengine Mkutano huo utajadili juhudi za SADC katika kuimarisha hali ya Amani Ulinzi na Usalama Mashariki mwa Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-11-04T11:49Z 439.4K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Angola Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa Wimbo wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika SADC pamoja na ule wa Umoja wa Afrika (AU) ukiimbwa kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Utangulizi kuhusu Ulinzi na Usalama (Troika) wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC Luanda nchini Angola tarehe [--] Novemba [----]. ๐Ÿ“ธ:IKULU"
X Link 2023-11-04T11:50Z 439.2K followers, [----] engagements

"๐Ÿ“Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Doris Mollel Bi. Mollel (kushoto) katika ofisi ya Naibu Waziri Mkuu leo Novemba [--] [----] bungeni jijini Dodoma. Taasisi hiyo inajihusisha na kusaidia watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti). ๐Ÿ“ธ:W/Nishati"
X Link 2023-11-04T18:23Z 439.4K followers, [----] engagements

Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing