@ChademaTz CHADEMA TanzaniaCHADEMA Tanzania posts on X about tanzania, kwa, kwanza, zanzibar the most. They currently have [-------] followers and [---] posts still getting attention that total [------] engagements in the last [--] hours.
Social category influence countries travel destinations currencies technology brands social networks musicians finance automotive brands
Social topic influence tanzania #120, kwa #91, kwanza #105, zanzibar #83, serengeti, mambo, bara #842, mali #356, wa #377, leo #1807
Top accounts mentioned or mentioned by @freemanmbowetz @tundualissu @jjmnyika @jonmrema @godblesslema @amwaitenda2020 @patricolesosopi @suluhusamia @johnpambalu @tanpol @shekhalykadogoo @ccmtanzania @catherineruge @tanganyikalaw @mwigulunchemba1 @halimamdee @salummwalimu @hildanewton21 @duaafrica @attalouisa
Top assets mentioned Mambo (MAMBO) HILO (HILO)
Top posts by engagements in the last [--] hours
"Asante Tarime. #StrongerTogether"
X Link 2025-02-13T18:51Z 791K followers, 10.1K engagements
"Ikungi umeitwa ikaitikia. #StrongerTogether"
X Link 2025-02-15T15:18Z 791.2K followers, 28.9K engagements
"#NoReformNoElection"
X Link 2025-02-15T17:41Z 791.2K followers, 10.8K engagements
"#ComingSoon"
X Link 2025-02-19T10:38Z 791.4K followers, [----] engagements
"https://www.youtube.com/live/lhPWb-cMtnssi=tOaLNZck_A9InaEs https://www.youtube.com/live/lhPWb-cMtnssi=tOaLNZck_A9InaEs"
X Link 2025-10-20T08:55Z 787.3K followers, [----] engagements
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Serikali imeanza kuchukua hatua za kuunda Tume ya Maridhiano ya Kitaifa ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kujenga na kuimarisha umoja wa kitaifa kuelekea mwaka [----] kufuatia changamoto za kisiasa na kijamii zilizojitokeza nchini mwaka [----]. Akihutubia Taifa katika salamu za kufunga Mwaka [----] na kuukaribisha Mwaka Mpya [----] tarehe [--] Desemba [----] kutoka Ikulu Ndogo ya Tunguu Zanzibar Rais Samia amesema utulivu wa kisiasa pamoja na hali ya amani na usalama ni nguzo muhimu ya maendeleo ya taifa. Amesema mwaka 2025"
X Link 2025-12-31T20:04Z 782.7K followers, [----] engagements
"Mwenyekiti wa Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA) Habibu Mchange ameibuka na madai mazito dhidi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwatuhumu kuhusika katika vitendo vya utekaji mateso na mauaji ya vijana wasio na hatia pamoja na kupanga matukio mbalimbali ya kisiasa tangu mwaka [----] kwa lengo la kuipotosha jamii na kuichafua taswira ya Serikali. Kwa mujibu wa Mchange matukio hayo yanajumuisha vurugu za Arusha tukio la Morogoro alikofariki mwanahabari Arizona kifo cha Daud Mwangosi Iringa madai ya kutekwa na kuteswa kwa Yona Temeke"
X Link 2026-02-03T16:47Z 782.7K followers, 14.4K engagements
"Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC Murtaza Mangungu ameweka wazi msimamo wake kuhusu madai ya kuwepo kwa makundi ndani ya uongozi na timu ya klabu hiyo. Akizungumza katika mahojiano maalum na Jambo TV Mangungu amesema kuwa Haiwezekani watu wenye akili timamu wakakaa katika eneo moja halafu wakawa na mawazo yanayofanana kabisa. Tofauti za mawazo zipo lakini hilo halimaanishi kuwa kuna makundi"
X Link 2026-02-05T21:18Z 782.7K followers, [----] engagements
"Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini inayoendelea kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumatatu Februari [-------] amewaeleza Majaji watatu (3) wanaosikiliza kesi hiyo wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru mambo kadhaa anayoona hatendewi haki akiwa gerezani Katika maelezo yake Lissu amelalamikia haki yake ya kuzungumza na Mawakili wake bila kusikilizwa na maafisa wa Magereza akidai kuwa kwasasa Mawakili wake wakifika gerezani wanapelekwa kwenye chumba cha Mkuu wa Usalama wa gereza na kwamba wakiwa"
X Link 2026-02-09T09:41Z 782.7K followers, [----] engagements
"Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wote walioapishwa wakafanye kazi ya kuwatumikia wananchi. Hafla ya uapisho wa viongozi hao imefanyika Ikulu ya Magogoni jijini Dar es Salaam. hii leo Februari [--] 2026"
X Link 2026-02-09T10:13Z 782.7K followers, [---] engagements
"Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo chini ya maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan imezindua mpango wa kimkakati wa kukuza vipaji vya watoto nchini kupitia ujenzi wa shule za mfano [--]. Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amesema "Mkakati wa wizara chini ya maelekezo ya Dkt.Samia kwanza tunaanza ujenzi wa shule za mfano [--] ambazo hizo kwa awamu ya kwanza tunakwenda kujenga shule [--] na shule hizi zitakuwa maalumu kwaajili ya kukuza na kutengeneza fursa kwa watoto wenye vipaji kuandaliwa katika umri mdogo ili waje wakidhi vigezo na"
X Link 2026-02-09T15:54Z 782.7K followers, [---] engagements
"Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo chini ya maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan imezindua mpango wa kimkakati wa kukuza vipaji vya watoto nchini kupitia ujenzi wa shule za mfano [--]. Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amesema "Mkakati wa wizara chini ya maelekezo ya Dkt.Samia kwanza tunaanza ujenzi wa shule za mfano [--] ambazo hizo kwa awamu ya kwanza tunakwenda kujenga shule [--] na shule hizi zitakuwa maalumu kwaajili ya kukuza na kutengeneza fursa kwa watoto wenye vipaji kuandaliwa katika umri mdogo ili waje wakidhi vigezo na"
X Link 2026-02-09T16:00Z 782.7K followers, [---] engagements
"Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema limeanza kufanya uchunguzi kuhusiana na picha mjengeo inayosambazwa kupitia mitandao ya kijamii wakionekana wanawake wawili wakimpiga mwanamke mmoja kwa kutumia mwiko na kumshambulia kwa maneno kwa madai ya kudhalilishwa na mhanga wa tukio hilo kupitia mtandao Facebook. Taarifa ya Polisi iliyotolewa leo Jumatatu Februari [--] [----] na Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini (DCP) David Misime imeeleza kuwa katika Picha hiyo mjongeo wanawake hao wamesikika wakihoji sababu za mmoja wao kudhalilishwa kwenye Mitandao ya kijamii kuwa amekuwa akiiba mabwana (Waume)"
X Link 2026-02-09T17:10Z 782.7K followers, [----] engagements
"Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa nchi inaendelea kuwa salama yenye amani na umoja mkubwa katika kipindi cha siku [---] tangu kuhitimishwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba [--] [----] uliompa ushindi Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza na BBC Swahili leo Februari [--] [----] Msigwa amesema kuwa licha ya changamoto na ghasia chache zilizojitokeza mara baada ya uchaguzi serikali imefanikiwa kurejesha utulivu na kuhakikisha wananchi wanaendelea na shughuli zao za kila siku bila hofu. Kwa ujumla taifa liko salama katika siku hizi [---]. Kwa mara nyingine Tanzania"
X Link 2026-02-10T08:14Z 782.7K followers, [----] engagements
"Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Joseph Paul maarufu kama Chuga anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka [--] hadi [--] mkazi wa Mtaa wa Simu C Kata ya Mji Mpya Manispaa ya Morogoro amefariki dunia baada ya kujinyonga tukio linalodaiwa kusababishwa na migogoro ya kifamilia. Kwa mujibu wa Mwanahamisi mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo marehemu amekuwa na migogoro ya mara kwa mara na mke wake kwa siku za hivi karibuni. Inadaiwa kuwa migogoro hiyo ilimfanya hadi kuacha kazi kufuatia tuhuma kutoka kwa mke wake kwamba alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mwingine. Jitihada za kuwasiliana"
X Link 2026-02-10T14:19Z 782.7K followers, [----] engagements
"Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCRMageuzi Joseph Selasini amevishutumu vyombo vya habari vya sasa kwa kupoteza weledi na kushindwa kutimiza wajibu wake wa kuwatetea wananchi akidai kuwa vingi vimegeuka kuwa machawa badala ya kuwa sauti ya umma kama ilivyokuwa miaka ya nyuma. Akizungumza hayo na Jambo TV leo Jumanne Selasini amesema waandishi wa habari wa kizazi cha sasa wamekumbwa na hofu pamoja na changamoto za kiuchumi hali inayowafanya washindwe kuikosoa serikali pale inapokosea"
X Link 2026-02-10T14:57Z 782.7K followers, [----] engagements
"Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga amesema wanamshikilia Bw. Charles Oden Mwakasege (32) fundi simu Mkazi wa Meta Jijini Mbeya na Bw. Isack Charles 'Bebwa' mkazi wa Shewa kwa tuhuma za kuingilia mdumo wa kibiashara wa makampuni ya ukopeshaji wa simu. Kulingana na Kamanda Kuzaga katika taarifa yake ya leo Jumanne Februari [--] [----] kwa Vyombo vya habari watuhumiwa hao walikamatwa katika msako uliofanyika kuanzia Januari [--] [----] katika maeneo mbalimbali Mkoani humo ambapo watuhumiwa wanadaiwa kubadili simu zilizokopwa na watu mbalimbali"
X Link 2026-02-10T16:06Z 782.7K followers, [----] engagements
"Kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Mawasiliano Duniani (ITU) Tanzania imeendelea kuongoza katika viwango vya usimamizi wa usalama mtandaoni miongoni mwa nchi za Afrika Mashariki na Kati na kutambuliwa kuwa miongoni mwa nchi [--] bora duniani katika utekelezaji wa viwango vya usalama wa mtandaoni. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Usalama Mtandaoni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nicolaus Mkapa amesema serikali inaendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha wananchi wanatumia mtandao kwa usalama ikiwemo kuimarisha mifumo ya kiusalama na kutoa elimu"
X Link 2026-02-11T07:42Z 782.7K followers, [---] engagements
"Mwanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Patrick Assenga amekemea vikali kauli zinazotolewa na baadhi ya wanachama wa chama hicho dhidi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu pamoja na chama hicho kwa ujumla akizitaja kuwa ni kauli zisizofaa na zisizo na staha. Assenga ametoa kauli hiyo leo nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam mara baada ya kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Lissu. Lugha ya makada wa CHAUMMA wanayozungumza kuhusu Lissu au viongozi wa CHADEMA ni maneno ya hovyo kabisa. Hayakupaswa hata kuzungumzwa na viongozi wa kisiasa amesema"
X Link 2026-02-11T11:16Z 782.7K followers, [----] engagements
"Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) Askofu Dkt. Vernon Fernandes amesisitiza kuwa umoja huo utashirikiana na serikali na kutoa baraka pale ambapo itafanya vizuri na kukemea pale itakapokosea. Kauli hiyo ilitolewa wakati wa hafla ya usimikaji na uzinduzi wa uongozi wa Awamu ya Tano wa CPCT iliyofanyika katika Ukumbi wa Agape Life Church Mbezi Jogoo. https://twitter.com/i/web/status/2021560333819580433 https://twitter.com/i/web/status/2021560333819580433"
X Link 2026-02-11T12:21Z 782.7K followers, [---] engagements
"Mtangazaji wa Jambo TV Paschal Mayala ameelezea kuhusu umuhimu wa kuheshimu uraia wa Tanzania akisema kuwa ukiukana uraia mtu hawezi kuendelea kuitwa raia halali wa nchi hii. Video JAMBO TV"
X Link 2026-02-11T13:19Z 782.7K followers, [----] engagements
"Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Dkt. Erasmus Kipesha leo Februari [--] [----] amewasilisha taarifa kuhusu majukumu na utendaji wa mamlaka hiyo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu Utamaduni na Michezo. Wasilisho hilo limefanyika katika muktadha wa mafunzo yaliyotolewa kwa wajumbe wa kamati hiyo yakilenga kuwajengea uelewa wa kina kuhusu majukumu muundo na utendaji wa taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia. Akiwasilisha taarifa hiyo Dkt. Kipesha ameeleza majukumu ya TEA hususan katika usimamizi na uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Elimu akifafanua"
X Link 2026-02-11T16:06Z 782.7K followers, [---] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewaonya vijana wa jijini humo kutumia fursa zinazotolewa na miradi ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami badala ya kuhusika na majungu au lawama zisizo na tija. Kauli hiyo ameitoa leo Februari [--] [----] wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Kinondoni akiwa amembeba Mkuu wa Wilaya hiyo Saad Mtambule. Chalamila amesisitiza kuwa miradi hiyo inapaswa kuwa chanzo cha ajira na maendeleo ya kiuchumi kwa vijana na wakazi wa maeneo husika. Mara nyingi vijana wanakosa kutumia fursa zilizopo wakijiingiza katika tabia zisizo"
X Link 2026-02-11T22:07Z 782.7K followers, [---] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewaonya vijana wa jijini humo kutumia fursa zinazotolewa na miradi ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami badala ya kuhusika na majungu au lawama zisizo na tija. Kauli hiyo ameitoa leo Februari [--] [----] wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Kinondoni akiwa amembeba Mkuu wa Wilaya hiyo Saad Mtambule. Chalamila amesisitiza kuwa miradi hiyo inapaswa kuwa chanzo cha ajira na maendeleo ya kiuchumi kwa vijana na wakazi wa maeneo husika. Mara nyingi vijana wanakosa kutumia fursa zilizopo wakijiingiza katika tabia zisizo"
X Link 2026-02-11T22:12Z 782.7K followers, [----] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewaonya vijana wa jijini humo kutumia fursa zinazotolewa na miradi ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami badala ya kuhusika na majungu au lawama zisizo na tija. Kauli hiyo ameitoa leo Februari [--] [----] wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Kinondoni akiwa amembeba Mkuu wa Wilaya hiyo Saad Mtambule. Chalamila amesisitiza kuwa miradi hiyo inapaswa kuwa chanzo cha ajira na maendeleo ya kiuchumi kwa vijana na wakazi wa maeneo husika. Mara nyingi vijana wanakosa kutumia fursa zilizopo wakijiingiza katika tabia zisizo"
X Link 2026-02-11T22:16Z 782.7K followers, [---] engagements
"Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Alhamisi Februari [--] [----] inaendelea kusikiliza kesi ya uhaini Na. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu. Kesi hiyo inasikilizwa mbele ya jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dastan Ndunguru. Katika hatua ya jana Februari [--] [----] Mahakama ilitoa uamuzi wa mapingamizi matano yaliyowasilishwa na mshtakiwa ambaye anajitetea mwenyewe. Kati ya mapingamizi hayo manne yalitupiliwa mbali huku moja likikubaliwa na Mahakama. Pingamizi lililokubaliwa linahusu uwepo wa kizimba"
X Link 2026-02-12T07:02Z 782.7K followers, [---] engagements
"Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania IGP Camillus wambura akiambatana na maafisa wengine wa Polisi Makao Makuu Dodoma wamefanya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba za wakufunzi na familia zao pamoja na ujenzi wa mabweni ya wanafunzi kwenye shule ya Polisi Moshi Mkoani Kilimanjaro. Ujenzi huo unatekelezwa na serikali ya awamu ya sita chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha na kuboresha upatikanaji wa miundombinu ya ujenzi wa miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa ndani ya Chombo hicho cha ulinzi na"
X Link 2026-02-12T09:04Z 782.7K followers, [----] engagements
"Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania IGP Camillus wambura akiambatana na maafisa wengine wa Polisi Makao Makuu Dodoma wamefanya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba za wakufunzi na familia zao pamoja na ujenzi wa mabweni ya wanafunzi kwenye shule ya Polisi Moshi Mkoani Kilimanjaro. Ujenzi huo unatekelezwa na serikali ya awamu ya sita chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha na kuboresha upatikanaji wa miundombinu ya ujenzi wa miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa ndani ya Chombo hicho cha ulinzi na"
X Link 2026-02-12T09:24Z 782.7K followers, [---] engagements
"Shauri la uhaini linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu limeahirishwa mpaka jumatatu kwa ajili ya kuendelea kutolewa kwa ushahidi. Ambapo leo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam mbele ya majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru mashahidi wawili walitoa ushahidi wao. Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Dkt. Rugemeleza Nshala akiwa nje ya Mahakama ameeleza kusikitishwa na ushahidi unaotolewa katika keshi hiyo akisema 'intaia hasira na uchungu' huku akieleza kuwa rasilimali za nchi hazitumiki vizuri kwa kuendesha mashauri ambayo mashahidi wanaenda kusema"
X Link 2026-02-13T19:58Z 782.6K followers, [----] engagements
"Baada ya Chama cha chadema kutoshiriki UCHAGUZI wa serikali ya Jamhuri ya muungano wa tanzania [----] Hali iliyopelekea chama hichi kukosa ruzuku kutokana na kutokua na mwakilishi ndani ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Mchambuzi wa maswala ya kisiasa na mwansishi wa habari Ezekiel kamwaga ametoa maoni yake na kusema kua uenda hii Ndo ikawa Chanzo cha anguko la chama ichi Amesema kua mbowe alikua na FEDHA Pamoja na wafadhili ndio maana iliwasaidia kuendesha chama icho lakini tundu LISSU Hana pesa na wala Hana wadhamini ambao wataweza kukisaidia chama icho kusimama"
X Link 2026-02-13T20:01Z 782.6K followers, [----] engagements
"Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitimiza siku [---] ofisini katika muhula wake wa pili CHADEMA imesema haikuitambua mamlaka ya viongozi waliopo na kudai uchaguzi mkuu mpya. Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara John Heche amesema mchakato wa Oktoba [--] [----] haukuwa uchaguzi halali na chama hakitahesabu au kuitambua kalenda ya siku [---]. Viongozi walioko madarakani wamejipachika kinyume cha Katiba hatutambui amesema. Kuhusu uwezekano wa maridhiano au mchakato wa Katiba Mpya Heche amesema mazingira sasa hayaruhusu mazungumzo. Hatuwezi kufanya maridhiano wakati Mwenyekiti wetu Tundu Lissu yupo gerezani"
X Link 2026-02-10T12:16Z 782.6K followers, [----] engagements
"Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekamilisha siku [---] za utekelezaji wa ahadi ikitoa matokeo thabiti katika sekta za afya elimu uchumi maji na utawala bora huku takwimu rasmi zikionyesha mafanikio ya kipekee. Afya: Mfumo wa Taifa wa Bima ya Afya kwa Wote umeanza kutumika tarehe 26.01.2026 kwa makundi [-------] ya wananchi wasio na uwezo pamoja na wazee [---] na watoto [---]. Sh48.8 bilioni zimetolewa kufanikisha huduma katika vituo [-----] vya afya. Hadi sasa wananchi [------] (9% ya awamu ya kwanza) wamesajiliwa kuashiria hatua ya kwanza yenye mafanikio makubwa. Elimu: Ushirikiano kati ya"
X Link 2026-02-14T09:04Z 782.6K followers, [----] engagements
"Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewatahadharisha Watanzania kuepuka kuingiza ufa wa kubaguana kutokana na majukumu waliyonayo akisema kuwa kufanya hivyo kunaweza kuharibu misingi ya taifa. Akizungumza mkoani Tanga Waziri Mkuu alieleza kuwa idadi ya watu na mifugo inaongezeka kwa kasi huku ardhi ikibaki ileile jambo linalofanya upangaji bora wa matumizi ya ardhi kuwa suala lisiloepukika. Idadi ya watu inaongezeka kila siku idadi ya mifugo inaongezeka lakini ardhi haiongezeki. Hivyo suala la kupanga matumizi bora ya ardhi haliepukiki. Tusiingize ufa wa kubaguana kwa kazi zetu hiyo"
X Link 2026-02-14T13:52Z 782.6K followers, [----] engagements
"Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) imeanza ujenzi wa vituo maalumu vya mafunzo ya ufundi kwa vijana waliokosa elimu ya msingi (IPOSA) katika mikoa ya Dodoma Dar es Salaam Tabora Kigoma na Songwe. Ujenzi wa vituo hivyo ni sehemu ya juhudi za kuunga mkono mkakati wa Serikali wa kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata haki ya elimu bora na yenye usawa bila kujali changamoto za kimazingira. Akizungumza wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho katika Shule ya Msingi Kaliua mkoani Tabora"
X Link 2026-02-14T21:00Z 782.6K followers, [----] engagements
"Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha Elisa Mungure amesema mwanachama wa chama hicho anayetuhumiwa kuhusika na wizi wa fedha za michango iliyokuwa ikikusanywa kwa ajili ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu aliyeko gerezani anapaswa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila upendeleo wowote. Akizungumza na waandishi wa habari leo Januari [--] [----] Mungure ameeleza kuwa mtu aliyekamatwa Fredrick Mbwambo ni mwanachama wa CHADEMA lakini hilo halipaswi kuwa kizuizi kwa vyombo vya dola kuchukua hatua stahiki za kisheria dhidi yake endapo tuhuma zinazomkabili"
X Link 2026-01-29T19:14Z 782.6K followers, [----] engagements
"Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika Confdration Africaine de Football (CAF) limefanya droo rasmi ya hatua ya robo fainali ya michuano ya CAF Confederation Cup msimu wa 2025/26 hafla iliyofanyika katika makao makuu ya shirikisho hilo jijini Cairo Misri. Droo hiyo imekutanisha vigogo nane waliovuka hatua ya makundi huku kila mshindi wa kundi akipangwa kucheza na mshindi wa pili kutoka kundi tofauti. Hatua hiyo inaashiria mwanzo wa safari ya kusaka tiketi ya nusu fainali na hatimaye ubingwa wa pili kwa ukubwa wa mashindano ya vilabu barani Afrika. TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI Timu zilizofanikiwa"
X Link 2026-02-17T12:04Z 782.6K followers, [----] engagements
"Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara limethibitisha tukio la mauaji ya watoto wawili wa familia moja yaliyotokea katika Kijiji cha Rungabure Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara yakihusishwa na imani potofu za kishirikina. Watoto hao wamefahamika kwa majina ya Mwikwabe Saina (10) mwanafunzi wa darasa la tatu pamoja na mdogo wake Joseph Saina (4). Tukio hilo lilitokea Februari [--] [----] majira ya saa [--] alfajiri katika Kitongoji cha Getasamo Kata ya Rungabure. Kwa mujibu wa taarifa za awali za polisi watoto hao walichomwa na kitu chenye ncha kali na mtuhumiwa aliyefahamika kwa jina la Joseph Marwa (18)"
X Link 2026-02-12T09:10Z 782.6K followers, [----] engagements
"Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mwandishi wa habari Ezekiel Kamwaga amesema kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walipaswa kushiriki uchaguzi hata kama hakukuwa na reforms walizokuwa wakizidai. Akizungumza kupitia kipindi cha Jambo Asubuhi cha Jambo TV Kamwaga alieleza kuwa kushiriki uchaguzi ni jukumu la kisiasa ambalo chama kikuu cha upinzani kilipaswa kulitimiza. Tukumbuke kuwa mwaka [----] chini ya sheria hizi hizi za uchaguzi za Tanzania CHADEMA walishiriki uchaguzi licha ya changamoto zilizokuwepo. "Kwa mtazamo wangu kama mfuatiliaji wa siasa za Afrika kushiriki uchaguzi ni"
X Link 2026-02-15T08:09Z 782.6K followers, [----] engagements
"Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi DCP David Misime leo Jumapili Februari [--] [----] amesema Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi na kuwafuatilia watu ambao wamesikika kwenye Kipande cha Video kilichosambaa kwenye Mitandao ya Kijamii wakimuhamasisha mtoto mdogo wa kiume kuvuta sigara kwani kitendo hicho ni kinyume na sheria kanuni na taratibu za kijamii. Taarifa iliyotolewa kwa Vyombo vya habari na Msemaji huyo wa Polisi imesema uchunguzi utakapokamilika hatua za kisheria zitachukuliwa akitoa wito kwa yeyote anayewafahamu watu hao au mtoto huyo kulisaidia Jeshi la Polisi"
X Link 2026-02-15T17:02Z 782.6K followers, [----] engagements
"Baada ya kuibuka na ushindi katika pambano lake la hivi karibuni bondia wa ngumi za kulipwa Ibrahim Mafia amesema kuwa kwa sasa hajioni kama ndiye bondia namba moja nchini Tanzania. Akizungumza mara baada ya pambano hilo Mafia alisema kuwa kwa mujibu wa takwimu rasmi zilizotolewa hivi karibuni bondia anayetambulika kushika nafasi ya kwanza kwa sasa ni Fadhili Majiha. Siwezi kusema kua me ni tanzania one kwasababu linked azijajificha linked zinaonekana kwamba Tanzania one ni Fadhili https://twitter.com/i/web/status/2023317639183917190 https://twitter.com/i/web/status/2023317639183917190"
X Link 2026-02-16T08:44Z 782.6K followers, [----] engagements
"Sekta inayotoa hakikisho la nguvu kazi Sekta ya afya; hali ni mbaya zaidi. Mfano Bajeti nzima ya Afya ilipungua kutoka sh 1.07tr. mwaka 2017/18 mpaka kufikia sh 866.233Bn. mwaka 2018/19 ikiwa ni anguko la shilingi bilioni [-------] sawa na asilimia [------]. @halimamdee (Mb)"
X Link 2020-06-12T09:51Z 782.6K followers, [---] engagements
"Vyama [--] vya siasa vinaendelea kunadi sera zao katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Peramiho unaotarajiwa kufanyika Februari [--] [----]. Kampeni hizo zimekuwa zikifanyika katika kata mbalimbali za jimbo hilo huku wagombea wakijinadi kwa ahadi mbalimbali zinazolenga kuboresha maisha ya wananchi. Mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia tiketi ya Alliance for Democratic Change (ADC) ndugu Said Ismail Mkopi amesema endapo wananchi wa Peramiho watampa ridhaa ya kuwa mbunge wao atahakikisha anasimamia na kutetea maslahi ya watumishi wa serikali wanaokumbwa na changamoto ya mikopo umiza maarufu"
X Link 2026-02-15T10:42Z 782.6K followers, [----] engagements
"Dakika [--] zimekamilika Yanga yupo Mbele kwa bao [--] kwa [--] dhidi ya JS Kabylie"
X Link 2026-02-15T17:05Z 782.6K followers, [---] engagements
"Ikiwa mwendelezo wa mchezo wa Yanga SC dhidi ya JS Kabylie Yanga yupo mbele kwa bao [--] kwa 0"
X Link 2026-02-15T17:41Z 782.6K followers, [----] engagements
"Dakika ya [--] bado mchezo wa AL Ahly vs as far hakuna alieona lango la mwenzake"
X Link 2026-02-15T18:03Z 782.6K followers, [----] engagements
"RASMI Yanga wameungana na Simba Azam FC na Singida Black Stars kurejea nyumbani baada ya kuondoshwa katika michuano ya kimataifa hii leo wakiwatandika JS Kabylie 3-0 ushindi uliofunikwa na sare ya FAR Rabat dhidi ya Al Ahly"
X Link 2026-02-15T18:54Z 782.6K followers, [----] engagements
"Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu inaendelea leo Jumatatu Februari [--] [----] katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam. Shauri hilo linasikilizwa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru ambapo mahakama inatarajia kuanza kusikiliza ushahidi wa shahidi wa saba kuanzia saa tatu kamili asubuhi. Ijumaa iliyopita mahakama ilisikia ushahidi wa mashahidi wawili. Shahidi wa kwanza anayelindwa kwa utambulisho wa P6 (24) ambaye ni dereva bodaboda na mwanachama wa CHADEMA alidai mbele ya mahakama kuwa alishawishiwa na mshtakiwa"
X Link 2026-02-16T07:27Z 782.6K followers, [----] engagements
"Kocha Mkuu mpya wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Miguel ngel Gamondi ameahidi kufanya kazi kwa bidii na kuisaidia Tanzania kuwa miongoni mwa mataifa yenye nguvu kubwa kisoka barani Afrika baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuinoa timu hiyo. Akizungumza mara baada ya kusaini mkataba huo Gamondi alieleza kufurahishwa na imani aliyopewa akiahidi kujitoa kwa hali na mali kuhakikisha Taifa Stars inapiga hatua kubwa katika ushindani wa kimataifa. Kocha huyo raia wa Argentina aliishukuru Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mkuu wa Mkoa wa Dar es"
X Link 2026-02-16T09:27Z 782.6K followers, [----] engagements
"Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amemuagiza Msajili wa Vyama vya Michezo kutoa mwongozo rasmi kwa Simba Sports Club kuhusu mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu hiyo ikiwemo marekebisho ya Katiba yake. Agizo hilo limekuja wakati Simba ikiwa kwenye hatua muhimu ya mageuzi ya kiutawala huku wadau na wanachama wakisubiri kwa hamu mwelekeo wa mabadiliko hayo. Waziri Makonda amesisitiza kuwa ni lazima taratibu zote zifuatwe kwa kuzingatia sheria kanuni na miongozo iliyowekwa ili kuhakikisha uwazi uhalali na ulinzi wa maslahi ya wanachama. Ni muhimu Msajili"
X Link 2026-02-16T09:47Z 782.6K followers, 12.7K engagements
"Mwanaharakati maarufu kutoka Kenya Mwabili Mwagodi amekamatwa na kushikiliwa katika Kituo cha Polisi cha mpakani baada ya kuzuiwa kuondoka nchini Jumapili Februari [--] [----]. Alikamatwa akiwa njiani kuelekea Dar es Salaam Tanzania kutokana na Red Notice iliyowekwa kwenye pasipoti yake mapema mwaka jana na ofisa wa Directorate of Criminal Investigations (DCI). Mwagodi amesema kuwa hati ya kukamatwa haikueleza kosa lolote lililomkabili na katika kituo cha mpaka wanasubiri maagizo zaidi kutoka DCI kuhusu hatua ya kuchukua dhidi yake. "Nimekabidhiwa kwa DCI katika Kituo cha Polisi cha mpaka"
X Link 2026-02-16T09:54Z 782.6K followers, 14.7K engagements
"Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limefanikiwa kumkamata mwanamke aliyekuwa akitafuta hifadhi ya muda kwa kumtelekeza mtoto wake mchanga ndani ya ofisi za kukatia tiketi za kampuni ya Superfeo mjini Njombe. Tukio hilo lilitokea juzi tarehe [--] Februari [----] majira ya saa [--] jioni katika mtaa wa Kibena Kata ya Ramadhani ambapo mtoto huyo aliachawe bila kuwepo kwa wafanyakazi wa ofisi hiyo. Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na wananchi wema liliendesha operesheni ya kumtafuta mtuhumiwa ili hatua stahiki za kisheria zichukuliwe amesema RPC wa Njombe Banga. Februari [--] [----] mtuhumiwa huyo Zainabu"
X Link 2026-02-16T11:47Z 782.6K followers, [----] engagements
"Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii zikimhusu mwanaume mmoja anayejinasibu kuhusika katika tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Tawi la Itumbi Elia Richard Sambala (53) mkazi wa Itumbi Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya tukio hilo lilitokea Februari [--] [----] majira ya saa [--] mchana katika Kijiji cha Itumbi. Marehemu Elia Richard Sambala alikutwa shambani kwake akiwa amejeruhiwa kichwani kwa kukatwa na kitu chenye makali na watu wasiojulikana."
X Link 2026-02-16T12:50Z 782.6K followers, [----] engagements
"Vurugu zilizotokea Oktoba [--] wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania zimekuwa mada muhimu katika Mkutano wa [--] wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika Addis Ababa Ethiopia. Waziri wa Mambo ya Nje Mohamed Thabit Kombo amesema Rais Samia Suluhu Hassan aliwapa viongozi wenzake taarifa kamili kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali kudhibiti machafuko hayo. Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza vurugu na kuanzishwa kwa wizara mpya za vijana pamoja na mahusiano ya jamii. Balozi Kombo alisisitiza kuwa vurugu zilizotokea nchini ni ndogo ikilinganishwa na"
X Link 2026-02-16T13:44Z 782.6K followers, [---] engagements
"Vurugu zilizotokea Oktoba [--] wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania zimekuwa mada muhimu katika Mkutano wa [--] wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika Addis Ababa Ethiopia. Waziri wa Mambo ya Nje Mohamed Thabit Kombo amesema Rais Samia Suluhu Hassan aliwapa viongozi wenzake taarifa kamili kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali kudhibiti machafuko hayo. Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza vurugu na kuanzishwa kwa wizara mpya za vijana pamoja na mahusiano ya jamii. Balozi Kombo alisisitiza kuwa vurugu zilizotokea nchini ni ndogo ikilinganishwa na"
X Link 2026-02-16T13:44Z 782.6K followers, 12.9K engagements
"Vurugu zilizotokea Oktoba [--] wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania zimekuwa mada muhimu katika Mkutano wa [--] wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika Addis Ababa Ethiopia. Waziri wa Mambo ya Nje Mohamed Thabit Kombo amesema Rais Samia Suluhu Hassan aliwapa viongozi wenzake taarifa kamili kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali kudhibiti machafuko hayo. Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza vurugu na kuanzishwa kwa wizara mpya za vijana pamoja na mahusiano ya jamii. Balozi Kombo alisisitiza kuwa vurugu zilizotokea nchini ni ndogo ikilinganishwa na"
X Link 2026-02-16T13:53Z 782.6K followers, [----] engagements
"Baada ya kuondoshwa katika michuano ya kimataifa ya CAF Champions League Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa kwa sasa timu hiyo inaelekeza nguvu zake zote katika mashindano ya Ligi Kuu Tanzania Bara ili kuhakikisha inafanya vyema na kutetea heshima yake. Akizungumza leo mara baada ya kuwasili kutoka Zanzibar ambako timu hiyo ilikuwa imecheza mchezo wake wa kimataifa kocha huyo alisema kuwa licha ya matokeo yasiyoridhisha katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika bado wana imani na kikosi chao na malengo yao ya msimu bado yapo wazi. https://twitter.com/i/web/status/2023395276833136875"
X Link 2026-02-16T13:53Z 782.6K followers, [----] engagements
"Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Kenani Kihongosi amesema chama hicho kina historia ya takribani miaka [--] ya uongozi iliyoambatana na utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo katika sekta muhimu kama afya elimu na kilimo. Kihongosi ameeleza kuwa katika kipindi hicho CCM imekuwa mstari wa mbele kuanzisha na kusimamia sera zilizochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi huku akisisitiza kuwa chama hicho ndicho kilichoruhusu kurejea kwa mfumo wa vyama vingi nchini mwaka [----] hatua aliyodai imeimarisha demokrasia na ushindani wa kisiasa. Kauli hiyo"
X Link 2026-02-16T20:17Z 782.6K followers, [----] engagements
"Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa Felius Festo Kinimi amesema aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe alikwenda Ikulu akiwa na wenge la kutoka gerezani. Kinimi aliyasema hayo wakati akifanya mahojiano na Jambo Media akieleza kuwa Mbowe alipopelekwa Ikulu hali yake ilichangiwa na mazingira ya kutoka jela. Mbowe alichukuliwa na kupelekwa Ikulu akiwa na wenge la kutoka jela alisema Kinimi katika mahojiano hayo akisisitiza kuwa tukio hilo lilitokana na hali aliyokuwa nayo baada ya kutoka gerezani"
X Link 2026-02-17T07:26Z 782.6K followers, [----] engagements
"Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa Felius Festo Kinimi amesema aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe alikwenda Ikulu akiwa na wenge la kutoka gerezani. Kinimi aliyasema hayo wakati akifanya mahojiano na Jambo Media akieleza kuwa Mbowe alipopelekwa Ikulu hali yake ilichangiwa na mazingira ya kutoka jela. Mbowe alichukuliwa na kupelekwa Ikulu akiwa na wenge la kutoka jela alisema Kinimi katika mahojiano hayo akisisitiza kuwa tukio hilo lilitokana na hali aliyokuwa nayo baada ya kutoka gerezani"
X Link 2026-02-17T09:52Z 782.6K followers, [----] engagements
"Kelele za shangwe zikisindikizwa na sauti za Shujaa Shujaa Shujaa zimesikika ndani ya chumba namba [--] cha Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam wakati Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu alipokuwa akipanda kizimbani kwa ajili ya kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili. Tukio hilo lilitokea asubuhi ya leo mahakamani hapo huku wafuasi na wananchi waliojitokeza kufuatilia mwenendo wa kesi hiyo wakionyesha hisia zao waziwazi mara tu kiongozi huyo wa upinzani alipoingia katika ukumbi wa mahakama. https://twitter.com/i/web/status/2023697257518788664"
X Link 2026-02-17T09:53Z 782.6K followers, [----] engagements
"Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi Mhe. Patrobas Katambi amesisitiza na kuwakumbusha Watanzania kuwa wanawajibika katika kulinda nchi na rasilimali za Tanzania pamoja na kuhakikisha Tanzania inaendelea kubakia salama na yenye amani kwa mustakabali wa maendeleo ya Taifa na ustawi wa jamii na kila Mtanzania. Waziri Katambi amebainisha hayo Mkoani Tanga wakati wa muendelezo wa ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akisisitiza kuwa bila amani na usalama hakuna shughuli yoyote ya kijamii ama kiuchumi inayoweza kuendelea. "Niwakumbushe Watanzania"
X Link 2026-02-17T10:27Z 782.6K followers, [----] engagements
"Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumanne Februari [--] [----] imesikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Said Issa Mohamed pamoja na wenzake wawili. Mapingamizi hayo yanahusu kesi ya usawa katika mgawanyo wa mali za CHADEMA kati ya Tanzania Bara na Zanzibar. Waleta maombi wanapinga maombi yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ambaye ameomba kujumuishwa kama sehemu ya wadaiwa katika kesi hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya usikilizwaji wa shauri hilo Mwanasheria Mkuu"
X Link 2026-02-17T10:33Z 782.6K followers, [----] engagements
"Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo Jumanne Februari [--] [----] imesikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Said Issa Mohamed pamoja na wenzake wawili. Mapingamizi hayo yanahusu kesi ya usawa katika mgawanyo wa mali za CHADEMA kati ya Tanzania Bara na Zanzibar. Waleta maombi wanapinga maombi yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ambaye ameomba kujumuishwa kama sehemu ya wadaiwa katika kesi hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya usikilizwaji wa shauri hilo Mwanasheria Mkuu"
X Link 2026-02-17T10:52Z 782.6K followers, [----] engagements
"Mamlaka za kidini nchini Saudi Arabia zimetangaza rasmi kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani baada ya kuthibitishwa kuonekana kwa mwezi mwandamo. Kwa mujibu wa tangazo hilo Ramadhani itaanza Februari [--] kufuatia kuonekana kwa mwezi Februari [--] ambayo ilikuwa siku ya [--] ya Shaaban katika kalenda ya Kiislamu. Kwa mara ya kwanza zoezi la kuandama mwezi lilisaidiwa na matumizi ya teknolojia ya kisasa kupitia Kituo cha Uangalizi wa Anga cha Sudair. Mtaalamu wa masuala ya uandamaji mwezi Abdullah Al-Khudairi alithibitisha kuonekana kwa mwezi huo hatua iliyoweka bayana mwanzo wa mwezi mtukufu kwa"
X Link 2026-02-17T19:24Z 782.6K followers, [---] engagements
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert ChalamilaLeo Februari [--] [----] amehitimisha rasmi mgogoro wa muda mrefu wa umiliki wa nyumba namba [--] iliyopo Mtaa wa Mkunguni na Bondeni Kariakoo na kumtangaza Salehe Salim Salehe kuwa mmiliki halali wa jengo hilo. Uamuzi huo umetolewa baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya kamati maalumu aliyoiunda kuchunguza mgogoro uliokuwa ukihusisha familia ya marehemu Abdallah Sultani Mtambo na mnunuzi huyo aliyepata nyumba kupitia mnada wa hadhara uliofanyika kwa amri ya Mahakama. Kwa mujibu wa kamati Mahakama ilitoa amri ya kuuzwa kwa nyumba hiyo mwaka [----] kufuatia"
X Link 2026-02-17T20:22Z 782.6K followers, [---] engagements
"Makamu Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Bara Isihaka Mchinjita amesema kuna dhamira mbaya iliyojificha nyuma ya sheria ya kupiga kura kwa siku mbili katika uchaguzi wa Zanzibar akidai kuwa utaratibu huo unaweza kuhatarisha uadilifu wa mchakato mzima wa uchaguzi. Akizungumza na Jambo TV Mchinjita alieleza kuwa mfumo wa kupiga kura kwa awamu mbili unatoa mwanya wa upotevu wa kura na uwezekano wa ukiukwaji wa taratibu jambo linaloweza kuzua mashaka makubwa miongoni mwa wapiga kura na wadau wa demokrasia. Alifafanua kuwa chini ya utaratibu huo watumishi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar pamoja na"
X Link 2026-02-17T21:48Z 782.6K followers, [---] engagements
"@Chadematz wachambua ripoti ya C.A.G 2019/2019. https://youtu.be/SL707eZIuEs https://youtu.be/SL707eZIuEs"
X Link 2020-04-11T06:13Z 781.9K followers, [--] engagements
"SEHEMU YA [--] - Uchambuzi ripoti ya C.A.G https://youtu.be/AxptSyHL7M0 https://youtu.be/AxptSyHL7M0"
X Link 2020-04-11T06:22Z 781.8K followers, [--] engagements
"@Chadematz wachambua ripoti ya C.A.G 2019/2019. https://youtu.be/SL707eZIuEs https://youtu.be/SL707eZIuEs"
X Link 2020-04-11T06:29Z 781.8K followers, [--] engagements
"Last night our offices in Arusha were set on fire by unkown people this has happened shortly before our Presidential Candidate @TunduALissu and his running mate @salum_mwalimu visit to seek guarantors for nomination. The whereabouts of office security guard are still unkown"
X Link 2020-08-14T06:57Z 782.2K followers, [---] engagements
""The people of Zanzibar have their own Government and President but what do the people of Tanganyika have completely nothing Instead they depend on the Union. We argue the people of Tanganyika to fight for their country. We are ready to support the movement." Hon. Salum Mwalim"
X Link 2023-08-02T20:53Z 745.7K followers, 15.7K engagements
""Tunaitaka Serikali mwezi septemba ipeleke Bungeni muswada wa Sheria wa kukwamua mchakato wa #KatibaMpya." Mhe. Salum Mwalim #255KatibaMpya #OkoaBandariZetu"
X Link 2023-08-26T18:19Z 745.8K followers, [----] engagements
""Zanzibar CCM haijawahi kushinda tangu mfumo wa vyama vingi uanze nchini mwaka 1995." Mhe. @freemanmbowetz - Kahama #255KatibaMpya #OkoaBandariZetu"
X Link 2023-08-26T18:27Z 744.7K followers, [----] engagements
"Peoples Peoples Kata ya Didia"
X Link 2023-08-27T09:40Z 744.3K followers, [----] engagements
"#LIVE: Makamu Mwenyekiti Bara Mhe @TunduALissu akizungumza na wakazi wa Kata ya Misenyi Wilaya ya Serengeti"
X Link 2023-09-07T10:26Z 745.9K followers, [--] engagements
"#Updates Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu wameamuru kufungwa kwa ofisi ya Chadema wilaya ya Karatu na kuwakamata watu wengine wakiwemo viongozi wa Chadema wa wilaya hiyo. [--]. Joseph Mtui [--]. John Malle [--]. Fabiola Niima [--]. Daniel Mnyampanda [--]. Eliya Kibola Katibu wa Chadema"
X Link 2023-09-10T11:29Z 745.8K followers, [---] engagements
"#Tunduma Operesheni #255KatibaMpya #OkoaBandariZetu"
X Link 2023-10-21T13:39Z 740.5K followers, [----] engagements
"#PeoplesPower Lwasho Momba"
X Link 2023-10-22T14:17Z 750.2K followers, [----] engagements
"Namanyere Nkasi. #255KatibaMpya #OkoaBandariZetu"
X Link 2023-10-23T15:05Z 741K followers, [----] engagements
"Chadema ni mashine kubwa ina koboa na kusaga. Asante Mpasa. #255KatibaMpya #OkoaBandariZetu"
X Link 2023-10-23T16:27Z 741K followers, 13.2K engagements
"Mbowe: Samia Haaminiki Aweke wazi Mikataba Mipya ya DP World - Nkasi wapiga kura kutaka mikataba iwekwe wazi. SIKU moja baada ya Serikali kusaini mikataba mitatu ya kutekeleza uwekezaji wa bandari na kampuni ya DP World ya Dubai Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe ametaka mikataba yote mipya iliyosainiwa jana iwekwe wazi ili umma wote wa Watanzania upate kuiona kuichambua na kujiridhisha. Jana katika hafla ya utiaji saini wa mikataba hiyo serikali ilieleza kuwa mikataba hiyo imezingatia maoni na ushauri wa wananchi na wadau mbalimbali vikiwemo"
X Link 2023-10-23T16:46Z 740.6K followers, 10.8K engagements
"Shwange la wananchi wa Kirando Jimbo la Nkasi Kaskazini. #255KatibaMpya #OkoaBandariZetu"
X Link 2023-10-24T16:34Z 740.6K followers, [----] engagements
""Kondwe Nkasi wananchi wamezuiwa kuvua kwa madai kuwa ni eneo la hifadhi lakini Serikali imeamua kumbinafsishia Mzungu. Kama wananchi wamezuiwa kwa sababu ni hifadhi kwa nini mzungu aruhusiwe. Ni baya kwa mwafrika ila ni salama kwa mzungu." Mhe. Aida Joseph Khenani"
X Link 2023-10-24T19:04Z 740.6K followers, [----] engagements
"Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar Mhe. Salum Mwalim akishiriki maziko ya Baba mzazi wa Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa kichama wa Temeke @HildaNewton21 aliyefariki majuzi na kuzikwa Tunduma Jumamosi Oktoba [--] 2023"
X Link 2023-10-28T21:02Z 740.8K followers, [----] engagements
"Kuna mambo mawili ambayo tunaweza kupitia tukatatua masuala ya kiuchaguzi kikatiba; [--]. Kuharakisha mchakato wa #KatibaMpya. Hii pia tumechelewa kama Taifa kama tunalenga uchaguzi wa [----] na [----]. Ipelekwe bungeni kwenye Bunge linaloenda kuanza Januari [--] [----] Mswada wa Sheria wa kuendeleza mchakato wa #KatibaMpya. [--]. Kufanya marekebisho kwenye Katiba ya mwaka [----] katika maeneo yanayohusiana na uchaguzi. Mhe. @jjmnyika Katibu Mkuu Chadema"
X Link 2023-11-18T10:51Z 742.5K followers, 35K engagements
"Tamko la kulaani kusimamishwa kiholela kwa wakili Mpale Mpoki na tishio kwa mawakili wa kujitegemea nchini"
X Link 2023-11-21T15:57Z 744.7K followers, [----] engagements
"Naibu katibu Mkuu Bara Mhe. Benson Kigaila leo tarehe [--] Novemba [----] ametembelea vituo vya kuandikisha Wapiga Kura katika Kata ya Ikoma na kuzunguza na wasimamizi wa zoezi hilo na kushuhudia wananchi wakijitokeza kuandikishwa na kuboresha taarifa zao ikiwa ni siku ya pili ya zoezi hilo. Kata ya Ikoma iliyopo wilaya ya Rorya mkoani Mara ni moja ya kata za majaribio la zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura"
X Link 2023-11-25T18:44Z 743.2K followers, [----] engagements
"Wananchi wa #Zanzibar tujitokeze katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura"
X Link 2023-11-27T11:46Z 743.6K followers, [----] engagements
"Tunatoa wito kwa wananchi wenye umri wa kuanzia miaka [--] na zaidi na wale wenye nia ya kuboresha taarifa zao kujitokeza kwa wingi katika kata za majaribio la zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura. Kata hizo ni kata ya Ngambo iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Tabora na kata ya Ikoma iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Rorya"
X Link 2023-11-28T17:54Z 743.8K followers, [----] engagements
"Katibu Mkuu wa chama Mhe. @jjmnyika ameondoka nchini leo tarehe 03/12/2023 alfajiri kuelekea nchini Marekani kwa ziara ya kikazi ya siku nne"
X Link 2023-12-03T07:40Z 744.3K followers, [----] engagements
"Katibu Mkuu wa chama Mhe. @jjmnyika ameondoka nchini leo tarehe 03/12/2023 alfajiri kuelekea nchini Marekani kwa ziara ya kikazi ya siku nne"
X Link 2023-12-03T09:00Z 744.3K followers, [----] engagements
""Tujiandae kwa mambo magumu vibaya sana mbeleni" Mhe. @TunduALissu"
X Link 2023-12-03T19:30Z 744.4K followers, [----] engagements
""Tuseme mambo kwa uhalisia wake." Mhe. @TunduALissu"
X Link 2023-12-04T12:25Z 744.5K followers, [----] engagements
"Changia wahanga wa mafuriko wilaya ya Hanang Mkoani Manyara. #SaidiaHanang #Chadema"
X Link 2023-12-06T03:24Z 744.7K followers, 30.2K engagements
"Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @freemanmbowetz kesho Desemba [--] [----] atatembelea waathirika wa mafuriko Wilaya ya Hanang"
X Link 2023-12-06T12:20Z 781.3K followers, [--] engagements
"Changia wahanga wa mafuriko #Hanang Namba: [----] [---] [---] Jina: Chadema HQ"
X Link 2023-12-06T12:41Z 744.7K followers, [----] engagements
"Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @freemanmbowetz leo Desemba [--] [----] ameshiriki ibada ya mazishi ya Askofu Mstafu Dk. Erasto Kweka wa KKKT dayosisi ya Kaskazini"
X Link 2023-12-06T14:05Z 744.7K followers, [----] engagements
"Leo Desemba [--] [----] Katibu Mkuu wa Chama Mhe. @jjmnyika akiwa ziarani nchini Marekani ametembelea studio za VO Washington DC pamoja na mambo mengine amezungumzia hali ya kisiasa na kijamii nchini Tanzania"
X Link 2023-12-06T18:42Z 744.8K followers, [----] engagements
"Katibu Mkuu Mhe. @jjmnyika pamoja na Mwenyekiti Mwenza wa @dua_africa Mhe. @AttaLouisa na Katibu wa Kimataifa wa chama cha @pdcirdaofficiel Ivory Coast walipata wasaa wa kusalimiana na kisha kuwa na mazungumzo na Mwenyekiti wa @idualliance na Waziri Mkuu mstaafu wa Canada Mhe. @stephenharper kwenye kilele cha #IDUForum2023 Jijini Washington Marekani"
X Link 2023-12-08T03:41Z 744.9K followers, [----] engagements
""Ni vizuri kama taifa kila mwaka tunapoadhimisha tarehe [--] Desemba tukakubaliana kwamba ni siku ya kukumbuka uhuru wa Tanganyika." Mhe. @jjmnyika"
X Link 2023-12-10T17:21Z 745.2K followers, [----] engagements
"Kesho Desemba [--] [----] Bunge la Wananchi litazungumza na watanzania kupitia mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika Makao Makuu ya Chadema yaliyopo Kinondoni Dar es salaam kuanzia saa tano kamili asubuhi. Waandishi wote wa Habari mnakaribishwa"
X Link 2023-12-12T15:53Z 745.4K followers, [---] engagements
""Ikumbukwe kuwa Chadema ilitoa uchambuzi wa taarifa ya CAG mwezi July ilipopelekwa bungeni na kutaka mamlaka husika ziwachukulie hatua watumishi wote waliotajwa kuiba kupoteza au kuidhinisha matumizi ya hovyoo ya kodi za wananchi." Mhe. @amwaitenda2020"
X Link 2023-12-13T08:31Z 745.4K followers, [----] engagements
""Sasa kwenye Bunge la Novemba [----] lililoisha majuzi kamati mbili za Bunge zilitoa taarifa mbele ya Bunge kuhusu madudu yaliyomo kwenye ripoti ya CAG na kutoa maazimio ambayo yanatakiwa kutekelezwa na serikali. Kamati hizo ni [--]. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC). [--]. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)." Mhe. @amwaitenda2020"
X Link 2023-12-13T08:33Z 745.4K followers, [----] engagements
""Katika ripoti ya PAC yenye kurasa [---] kamati inasema imechambua ripoti ya CAG kwenye maeneo [--] ambapo baadhi ya maeneo yanasema; Taarifa hii imechambua kwa kina hoja mbalimbali za ukaguzi zinazohusu matumizi ya fedha za umma kwa hesabu za Serikali Kuu na Mashirika ya Umma kwa Mwaka wa Fedha ulioiishia tarehe [--] Juni [----]. Kamati imegawanya uchambuzi wake katika maeneo makuu [--]. Katika eneo la kwanza Kamati imefanya tathmini ya ukusanyaji wa mapato ya Serikali kwa Taasisi zinazotakiwa kutekeleza jukumu hilo. Kamati imebainisha nakisi ya ukusanyaji mapato katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)"
X Link 2023-12-13T08:36Z 745.4K followers, [----] engagements
""Kamati imelichambua kwa kina ni suala la usimamizi wa mikataba na athari zake katika matumizi ya fedha za umma mfano mkataba wa Tanesco na IPTL ambapo Tanesco haifuatilii madai yake kwa IPTL Sh. bilioni [-----] baada ya kuishinda kesi (mnakumbuka IPTL walipiga hela za ESCROW) ucheleweshaji wa malipo ya wakandarasi inayoleta riba katika Wakala wa Barabara (TANROADS) kiasi cha Sh.36860022278.59 (bilioni 36) SGR procurement etc. Kamati imechambua Taarifa za Kaguzi Maalumu ikiwamo ya Mikataba ya Kukiri Makosa (plea bargain) Utaifishaji Mali(Fofeirture) Mfuko wa Tuzo na Tozo wa Jeshi la Polisi na"
X Link 2023-12-13T08:39Z 745.4K followers, [----] engagements
""Mpaka pale CAG anapoamua kutoa maoni yake kwenye hesabu anakuwa amejiridhisha pasipo na shaka kwamba anachokitoa kama maoni yake kimetokana na taarifa na vielelezo alivyopewa na wahusika waliopo eneo la tukio." Mhe. @amwaitenda2020 Mjumbe wa Kamati Kuu"
X Link 2023-12-13T12:34Z 745.4K followers, [---] engagements
""Tunaitaka TRA kuimarisha mfumo wake wa taarifa na kufaili ritani za mapato (efiling portal)." Mhe. @amwaitenda2020 Mjumbe wa Kamati Kuu"
X Link 2023-12-13T12:56Z 745.4K followers, [----] engagements
""Tunaitaka Serikali kuacha propaganda kwenye mambo ya uchumi Waziri wa Fedha Dr. Mwigulu Nchemba anamdanganya Rais kuwa Serikali yake haina wizi." Mhe. @amwaitenda2020 Mjumbe wa Kamati Kuu"
X Link 2023-12-13T13:00Z 745.4K followers, [----] engagements
""Mamlaka ya Usimamizi wa Ununuzi wa Umma (PPRA) ifanye ukaguzi wa kina katika maeneo yote yaliyobainishwa katika ripoti ya CAG ambayo yameonesha kuwepo kwa ukiukwaji wa Sheria ya Ununuzi wa Umma ikiwa ni pamoja na matumizi ya force account na kuchukua hatua stahiki kwa watumishi waliohusika na dosari hizo kwa mujibu wa Sheria;Pia kuimarsha tendaji wa MSD ambao wanachelewesha vifaa tiba kwenye halmshairi ambapo jumla ya Bilioni [--] ililipwa MSD lakini hawakupeleka vifaa kwenye halmashauri husika." Mhe. @amwaitenda2020 Mjumbe wa Kamati Kuu"
X Link 2023-12-13T13:04Z 745.4K followers, [----] engagements
"Taarifa ya awali kuhusu hukumu ya Mahakama Kuu masjala kuu Dar es Salaam kuhusu wanachama [--] waliofukuzwa"
X Link 2023-12-14T16:59Z 745.6K followers, [----] engagements
"Baada ya uamuzi wa Mahakama wa Desemba [--] [----] atekeleze uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kilichoketi Novemba [--] [----] na kuazimia kuwafukuza uanachama wanachama [--] na kukosa sifa ya kuendelea kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
X Link 2023-12-15T11:16Z 745.7K followers, [----] engagements
""Miswada yote hii mitatu ya Sheria ni Cosmetic hakuna mabadiliko yoyote ya maana ya kisheria yatakayopatikana." Mhe. @freemanmbowetz Mwenyekiti Taifa"
X Link 2023-12-15T12:41Z 745.7K followers, [----] engagements
""Ombi langu kwa @TanganyikaLaw andaeni kama jambo la haraka sana modal bill ya uchaguzi wa Mitaa Vijiji na Vitongoji ambayo itaweka utaratibu ambao uchaguzi huo utasimamiwa na Tume Huru ya Uchaguzi na kuweka utaratibu ulio huru na haki." Mhe. @jjmnyika Katibu Mkuu"
X Link 2023-12-15T12:47Z 745.7K followers, [----] engagements
""Tujiulize [--]. Hivi tatizo la nchi hii la mfumo wetu wa uchaguzi ni nini [--]. Je hili tatizo la mfumo wetu wa uchaguzi yanatibiwa na mapendekezo haya. " Mhe. @TunduALissu Makamu Mwenyekiti Bara"
X Link 2023-12-15T13:00Z 745.7K followers, [---] engagements
""Hii miswada iondolewe ikaandikwe upya ijibu matatizo ya kweli ya mfumo wetu wa uchaguzi." Mhe. @TunduALissu Makamu Mwenyekiti Bara"
X Link 2023-12-15T13:02Z 745.7K followers, [----] engagements
""Katibu Mkuu wa Chadema Mhe. @jjmnyika amemwandikia barua Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumpa nakala; [--]. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. [--]. Msajili wa Vyama vya Siasa. [--]. Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi." Mhe. @JonMrema"
X Link 2023-12-17T15:16Z 745.9K followers, [----] engagements
""Katiba ya mwaka [----] irekebishwe katika maeneo yanayohusu Uchaguzi." Mhe. @jjmnyika Katibu Mkuu"
X Link 2023-12-20T17:38Z 746.3K followers, [----] engagements
""Sisi Chadema kama Chama Kikuu cha Upinzani tunataka kauli ya Serikali na siyo kauli ya CCM. jambo hili la reforms za kiuchaguzi tunataka kauli za mamlaka za kiserikali juu ya yale ambayo Chadema tumeyaeleza katika kongamano la @TanganyikaLaw na wadau wengine walioeleza kupitia njia mbalimbali." Mhe. @jjmnyika Katibu Mkuu"
X Link 2023-12-22T10:38Z 746.3K followers, [----] engagements
"Tunawatakia kheri ya mwaka mpya. #2024MwakaWaMapambano"
X Link 2024-01-01T07:29Z 740.6K followers, [----] engagements
"Leo Januari [--] [----] Baraza na Wanawake Chadema (BAWACHA) wamefika ofisi ya UN WOMEN kupaza sauti juu ya miswada iliyowasilishwa mwezi Novemba [----] kuitaka iwaunge mkono kuitaka Serikali kuondoa miswada hiyo bungeni. Badala yake iwasilishe bungeni miswada mitatu Mosi muswada wa kuendeleza mchakato wa Katiba Mpya. Pili muswada wa marekebisho ya Katiba ya mwaka [----]. Tatu muswada wa sheria wa kuwezesha uchaguzi wa Serikali za Mitaa Vijiji na Vitongoji kusimamiwa na Tume ya Uchaguzi"
X Link 2024-01-04T17:07Z [--] followers, 10K engagements
"Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) wakielekea Bungeni Dodoma kutoa maoni yao juu ya miswada iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba [----]. Leo Januari [--] [----] ikiwa ni siku ya kwanza kwa Kamati ya Bunge kuanza kupokea maoni hayo"
X Link 2024-01-06T08:29Z 744.3K followers, [----] engagements
"Jana Januari [--] [----] Katibu wa Chadema Kanda ya Kati Mhe. Emmanuel Masonga akiwasilisha maoni kwa Kamati ya Bunge juu ya miswada ya sheria iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba 2023"
X Link 2024-01-07T05:51Z 750.1K followers, [----] engagements
""Hakuna namna yoyote tukatunga miswada hii bila kugusa Katiba." Lumola Steven Naibu Spika wa Bunge la Wananchi"
X Link 2024-01-07T09:27Z 741K followers, [----] engagements
"Leo tarehe [--] Januari [----] Chadema inakusudia kuwasilisha maoni yake juu miswada iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba [----]. Maoni hayo yatawasilishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mhe. @jjmnyika. Katibu Mkuu wa Chadema ameambatana mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi Mhe. Gaston Shundo Garubindi na Katibu wa Chadema Kanda ya Kati Mhe. Emmanuel Masonga pamoja na baadhi ya viongozi wa Bavicha Taifa"
X Link 2024-01-10T06:26Z [--] followers, [----] engagements
""Tunapendekeza mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wapitie mchakato huru kwenye upatikanaji wao." Sheila Mchamba"
X Link 2024-01-10T09:32Z [--] followers, [---] engagements
"Leo tarehe [--] Januari [----] Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema tayari kimewasilisha maoni yake juu ya miswada iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba [----] kwenye E-mail ya Bunge. Katibu Mkuu wa Chadema Mhe. John Mnyika atawasilisha maoni hayo kwa kuyasoma mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria leo mchana tarehe [--] Januari 2024"
X Link 2024-01-10T09:44Z 745.9K followers, [---] engagements
"Leo tarehe [--] Januari [----] Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema tayari kimewasilisha maoni yake juu ya miswada iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba [----] kwa maandishi. Katibu Mkuu wa Chadema Mhe. John Mnyika atawasilisha maoni hayo kwa kuyasoma mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria leo mchana tarehe [--] Januari 2024"
X Link 2024-01-10T09:54Z 750.1K followers, [----] engagements
"Katibu Mkuu wa Chama Mhe. @jjmnyika akizungumza nje ya ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuwasilisha maoni ya Chama mbele ya Kamati ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria juu ya miswada iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba [----]. Katibu Mkuu akiwa anawasilisha maoni ya Chama alizuiwa na mwenyekiti wa Kamati kusoma utangulizi wa maoni hayo licha ya hilo amekatishwa mara kadhaa akiwa anasoma maoni"
X Link 2024-01-10T14:06Z 744.8K followers, [----] engagements
"Katibu Mkuu wa Chama Mhe. @jjmnyika akisoma maoni ya Chama jana tarehe [--] Januari [----] mbele ya Kamati ya Utawala Katiba na Sheria juu ya miswada iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba 2023"
X Link 2024-01-11T10:25Z 746.3K followers, [----] engagements
"Mhazini Bavicha Taifa Mhe. @Nice_Gisunte akiwasilisha maoni ya Bavicha mbele ya Kamati ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria tarehe [--] Januari [----] juu ya miswada iliyowasilishwa bungeni mwezi Novemba 2023"
X Link 2024-01-11T10:33Z [--] followers, [----] engagements
"Mhe. Susan Lyimo akiwasilisha maoni ya BAWACHA mbele ya Kamati ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria juu ya miswada iliyowasilishwa mwezi Novemba 2023"
X Link 2024-01-11T11:02Z 745.4K followers, [----] engagements
"Kesho Jumamosi Januari [--] [----] saa tano kamili asubuhi Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @freemanmbowetz atazungumza na watanzania kupitia mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika Makao Makuu mapya ya Chadema yaliyopo Mikocheni Dar es salaam. Vyombo vyote vya habari vinakaribishwa"
X Link 2024-01-12T08:00Z 750.2K followers, [----] engagements
"Naibu Spika wa @BungeWananchi akitoa maoni juu ya miswada iliyowasilishwa Novemba [----] ametoa ushuhuda mbele ya kamati ya ya kudumu Bunge ya Utawala Katiba na Sheria namna mwaka [----] Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega alivyohusika kuhujumu uchaguzi"
X Link 2024-01-12T09:08Z 750.1K followers, [----] engagements
"Chama kinatangaza maandamano ya amani ya kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni na mapendekezo ya wadau mbalimbali wa uchaguzi nchini ambayo yataanza Dar Es salaam tarehe 24/01/2024 mpaka hapo Serikali itakapoondoa miswada hiyo Bungeni "
X Link 2024-01-13T11:12Z 744.3K followers, [----] engagements
""Chama kinatangaza maandamano ya amani ya kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni na mapendekezo ya wadau mbalimbali wa uchaguzi nchini ambayo yataanza Dar Es salaam tarehe 24/01/2024 mpaka hapo Serikali itakapoondoa miswada hiyo Bungeni ." Mhe. @freemanmbowetz"
X Link 2024-01-13T11:40Z 744.3K followers, [---] engagements
""Serikali imejaa kiburi vitisho na kufanya mambo ambayo hayaleti utengamano na mpasuko mkubwa katika taifa letu." Mhe. @freemanmbowetz"
X Link 2024-01-14T07:28Z 744.7K followers, [----] engagements
""Hii ndio lugha CCM wataweza kuielewa (maandamano) lugha zingine zote Mbowe nimeshindwa." Mhe. @freemanmbowetz"
X Link 2024-01-14T10:43Z 744.7K followers, 12.7K engagements
""Hawa ambao ni wafaidika wa mfumo huu haramu hawataki mabadiliko tukawalazimishe wayakubali mabadiliko." Mhe. @freemanmbowetz"
X Link 2024-01-14T11:44Z 745.4K followers, [----] engagements
"Zimebaki siku kumi (10) kuelekea maandamano ya amani tarehe [--] Januari [----]. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-14T16:39Z 750.1K followers, [----] engagements
"1. Kuondoa Miswada mibovu mitatu bungeni [--]. Kupunguza gharama za maisha [--]. Kusikiliza na kuheshimu maoni ya watu () kuelekea maandamano ya amani tarehe [--] Januari [----]. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-15T04:20Z 741K followers, [----] engagements
". Msimamo wa Chama ni kuwa kama anataka mdahalo sisi kama Chama tupo tayari na hatujawahi kukimbia midahalo kama wao na Chama chao #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-15T11:43Z 744.7K followers, 19.7K engagements
"Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) Mhe. @John_Pambalu atoa wito kwa vijana nchi nzima kujitokeza katika maandamano ya amani tarehe [--] Januari [----]. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-15T14:01Z 744.3K followers, 12.5K engagements
""Tunategemea tarehe [--] Januari [----] Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe [--] Januari [----] na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." Mhe. @JonMrema"
X Link 2024-01-16T09:14Z 745.8K followers, [----] engagements
"Katibu Mkuu wa Chama aeleza njia zitakazotumika Januari [--] [----] katika maandamano ya amani. Kutakuwa na njia mbili; Njia ya kwanza itaanzia Mbezi Mwisho kupitia Morogoro road Shekilango Sam Nujoma - Ofisi za UN Njia ya pili itaanzia Buguruni Sheli Uhuru Msimbazi na Morogoro hadi Shekilango Sam Nujoma - Ofisi za UN"
X Link 2024-01-17T11:11Z [--] followers, [----] engagements
""Tunakutania ofisi za UN" Mhe. @jjmnyika"
X Link 2024-01-17T12:30Z 746.3K followers, [----] engagements
""Barua zote tumeziandika leo tarehe [--] Januari [----] na kupeleka kwa wahusika wote wa Jeshi la Polisi." Mhe. @jjmnyika"
X Link 2024-01-17T12:38Z 745.8K followers, [----] engagements
""Nawasisitiza wanachadema na watanzania kwamba maandamano ya tarehe [--] Januari [----] yalipangwa na Kamati Kuu ya Chama na yalitangazwa na Mwenyekiti wa Chama taifa kwa hiyo nje ya Chadema hakuna mamlaka yoyote au mtu yeyote mwenye kuweza kusitisha maandamano tuliyopanga kuyafanya tarehe [--] Januari 2024." Mhe. @jjmnyika"
X Link 2024-01-17T12:38Z 745.8K followers, [----] engagements
""Tumefanya mjadala wa ndani kwa mwaka mzima kwa muda ambao tumefanya mjadala na mdahalo sioni mantiki yoyote kama CCM haitatekeleza yale ambayo Mkurugenzi @JonMrema amayatoa kwenye kauli ya Chama. Sioni mantiki yoyote ya kupoteza muda kwenye mjadala na mdahalo tukutane barabarani." Mhe. @jjmnyika"
X Link 2024-01-17T12:45Z 746.3K followers, [----] engagements
"Katibu Mkuu wa Chama azungumzia maoni ya Chama juu ya haja ya kufanya marekebisho ya mpito kwenye Katiba ya mwaka [----] juu ya uwakilishi bungeni"
X Link 2024-01-17T13:08Z 746.3K followers, [----] engagements
"Njia ya kwanza ya maandamano ya amani Januari [--] [----] itaanzia Mbezi Mwisho kupitia barabara ya Morogoro hadi barabara ya Shekilango na kuelekea barabara ya Igesa mpaka barabara ya Sam Nujoma - Ofisi za UN. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-18T10:09Z 745.8K followers, [----] engagements
"Mkoa wa Singida upo tayari kuelekea Dar es Salaam kushiriki maandamano ya amani tarehe [--] Januari [----]. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-18T16:43Z 745.8K followers, [----] engagements
"Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @freemanmbowetz akiagana na Balozi wa Marekani leo Januari [--] [----] katika ubalozi huo baada ya mazungumzo juu ya masuala mbalimbali yanayohusu Demokrasia nchini. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-18T19:07Z 745.2K followers, [----] engagements
"Zimebaki siku () kuelekea maandamano ya amani Januari [--] [----]. [--]. Kuondoa Miswada mibovu [--] Bungeni. [--]. Kupunguza gharama za maisha [--]. Ianze mchakato wa kuboresha Katiba ya [----] [--]. Kusikiliza na kuheshimu maoni ya watu"
X Link 2024-01-20T06:48Z 746.3K followers, [--] engagements
""Mashindano ya AFCON yataendelea kuwepo. Nitashiriki maandamano ya amani ya siku ya tarehe [--] Januari [----] yatakayofanyika wiki ijayo." Mhe. @TunduALissu #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-20T09:40Z 745.8K followers, [--] engagements
""Tuungane kwa pamoja Januari [--] 2024." Mhe. @TunduALissu #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-20T10:05Z 746.3K followers, [--] engagements
"Makamu Mwenyekiti @bavicha_taifa Mhe @MozaAlly_ akipita mtaa kwa mtaa Jimbo la Kinondoni kuhamasisha maandamano ya amani siku ya tarehe 24"
X Link 2024-01-20T17:16Z 744.8K followers, [--] engagements
"Zimebaki siku () kuelekea maandamano ya amani Januari [--] [----]. [--]. Kuondoa Miswada mibovu [--] Bungeni. [--]. Kupunguza gharama za maisha [--]. Ianze mchakato wa kuboresha Katiba ya [----] [--]. Kusikiliza na kuheshimu maoni ya watu"
X Link 2024-01-21T07:16Z 750.1K followers, [--] engagements
"Jimbo la Siha wapo tayari kushiriki maandamano ya amani tarehe [--] Januari [----]. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-21T13:15Z [--] followers, [--] engagements
"#VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-22T06:30Z 750.1K followers, [----] engagements
"Magari ya matangazo yakiwa tayari kuingia katika mitaa ya jiji la Da es salaam kufanya matangazo juu ya maandamano ya amani Januari [--] [----]. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-22T11:48Z [--] followers, [--] engagements
"Leo Januari [--] [----] Chama kitakuwa na press conference ya dharura saa kumi na nusu jioni mzungumzaji katika press hiyo atakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Benson Kigaila. Vyombo vyote vya habari vinakaribishwa. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-22T13:13Z 746.3K followers, [--] engagements
""Jana Januari [--] [----] Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam alitupigia simu na kutupa wito wa kukutana nae leo Januari [--] [----] saa tano asubuhi. Leo tumekutana nae yeye pamoja na timu yake yote na kukubaliana nao kwamba tarehe [--] Januari [----] tutaandamana kwa kutumia barabara zile zile tulizotangaza awali." Mhe. Benson Kigaila"
X Link 2024-01-22T15:04Z 740.6K followers, [--] engagements
""Tumejadiliana na Jeshi la Polisi juu ya usalama wa watu watakaoandamana na kukubaliana." Mhe. Benson Kigaila"
X Link 2024-01-22T15:06Z 744.3K followers, [--] engagements
"Imebaki siku () kuelekea maandamano ya amani Januari [--] [----]. Kesho maandamano yatakuwa na vituo viwili vya kuanzia Mosi na Pili . [--]. Kuondoa Miswada mibovu [--] Bungeni. [--]. Kupunguza gharama za maisha [--]. Ianze mchakato wa kuboresha Katiba ya [----] [--]. Kusikiliza na kuheshimu maoni ya watu"
X Link 2024-01-23T04:17Z 750.1K followers, [--] engagements
"Maandamano ya amani Januari [--] [----]. Kesho kuanzia saa tatu asubuhi. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-23T10:00Z 745.9K followers, [--] engagements
"Kariakoo imesimama maandamano ya amani yakipita barabara ya Msimbazi. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-24T09:00Z 750.1K followers, [--] engagements
"Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Jumanne Muliro akisalimiana na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @freemanmbowetz walipokutana barabara ya Msimbazi mwenyekiti akiongoza maandamano ya amani. #VuguvuLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-24T09:00Z 744.4K followers, [--] engagements
"Maandamano yakiwa yamefika maeneo ya Usalama yakielekea Shekilango ambapo yataungana na maandamano yaliyoanzia Mbezi mwisho. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-24T09:49Z 744.3K followers, [--] engagements
"Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @freemanmbowetz muda huu akiwa amefika Shekilango akisubiri msafara wa maandamano ulioanzia Mbezi mwisho uwasili kisha kuanza maandamano ya pamoja kuelekea Ofisi za UN. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-24T10:44Z 744.3K followers, [--] engagements
"Maisha magumu. Maneno ya waandamanaji. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-24T10:47Z 746.3K followers, [--] engagements
"Msafara wa maandamano wa Makamu Mwenyekiti Mhe. @TunduALissu ukiwasili Shekilango kuungana na msafara wa maandamano wa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @freemanmbowetz kuelekea ofisi za UN. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-01-24T11:48Z [--] followers, [--] engagements
""Mwezi Februari [----] ni mwezi wa maandamano awamu ya pili ya maandamano ya amani yatafanyika katika majiji matatu; [--]. Jiji la Mwanza Tarehe [--] Februari [----]. [--]. Jiji la Mbeya Tarehe [--] Februari [----]. [--]. Jiji la Arusha Tarehe [--] Februari 2024." Mhe. @jjmnyika"
X Link 2024-02-01T12:51Z 750.2K followers, [--] engagements
"Maadamano ya amani mwezi huu wa Februari [----] katika majiji matatu. [--]. Mwanza tarehe 13/02/2024 [--]. Mbeya tarehe 20/02/2024 [--]. Arusha tarehe 27/02/2024 #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-02T07:56Z 750.2K followers, [--] engagements
"Februari [----] ni mwezi wa maandamano"
X Link 2024-02-03T03:32Z 750.9K followers, 18K engagements
"Zimebaki siku () kuelekea maandamano ya amani Jijini Mwanza. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-04T04:19Z 750.4K followers, [--] engagements
"#VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-04T16:44Z 750.7K followers, [----] engagements
"Zimebaki siku () kuelekea maandamano ya amani Jijini Mwanza. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-05T06:04Z 750.5K followers, [--] engagements
"#Tujikumbushe majibu ya Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. @TunduALissu juu ya baadhi ya Kauli za Ndugu Abdulrahman Omari Kinana Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-05T10:26Z 750.5K followers, [--] engagements
"Zimebaki () kuelekea maandamano ya amani Jijini Mwanza. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-06T07:06Z 751K followers, [--] engagements
"#Tujikumbushe "Wewe ukajiona mjanja ukaipuuza siasa ukasema siasa siyo kazi yangu ni kazi ya wengine bei ya Sembe Maharage Mafuta inakuhusu tozo inakuhusu ugumu wa maisha unakuhusu." Mhe. Freeman Mbowe Maandamano ya amani #Mwanza Tarehe [--] Februari [----]. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-06T07:46Z 750.6K followers, [--] engagements
"Zimebaki () kuelekea maandamano ya amani Jijini Mwanza. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-07T04:10Z 751K followers, [--] engagements
"Leo tarehe [--] Februari [----] Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa [--] alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu. Aidha asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv"
X Link 2024-02-07T05:58Z 750.7K followers, [--] engagements
"#Updates Mhe. Tundu Lissu akiwa katika ofisi za Wasafi Tv asubuhi hii amekutana na watangazaji wa kipindi cha Good Morning cha Wasafi Tv kutaka kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano yake maalum na kituo hicho yalipangwa kufanyika leo asubuhi"
X Link 2024-02-07T06:09Z 750.7K followers, [--] engagements
""Nimekuja hapa (WASAFI) ningependa kujua huyo aliyeleta maelekezo kutoka juu ni nani ili tumjue tumseme hadharani." Mhe. @TunduALissu"
X Link 2024-02-07T08:24Z 750.7K followers, [--] engagements
"Kesho Alhamisi Februari [--] [----] saa 5:00 asubuhi Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe. Benson Kigaila atazungumza na Watanzania kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari utakaofanyika katika Ofisi ya Chadema Kanda ya Victoria zilizopo Mwanza Nyegezi . Waandishi wote wa Habari mnakaribishwa"
X Link 2024-02-07T09:09Z 750.8K followers, [--] engagements
"Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria Mhe. Ezekia Wenje leo tarehe [--] Februari [----] ameanza safari ya kutoka Kingston Canada kuja kushiriki maandamano ya amani tarehe [--] Februari [----]. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-08T19:58Z 751K followers, [--] engagements
"Zimebaki siku tano (05) kuelekea siku ya maandamano ya amani Jijini Mwanza. Maandamano hayo yatafanyika tarehe [--] Februari [----] kuanzia saa tatu asubuhi na kuhitimishwa katika uwanja wa Furahisha ambapo utafanyika mkutano wa hadhara. #VuguvuguLaKudaiHaki"
X Link 2024-02-10T07:26Z 751K followers, [--] engagements
Limited data mode. Full metrics available with subscription: lunarcrush.com/pricing